Matayo
Sura 1
1 Yesu Kristu mutoto wa Dauda tena mutoto wa Ibrahimu. 2 Ibrahimu arimuzala Isaka, na Isaka arimuzala Yakobo, na Yakobo arimuzala Yuda na ba ndugu yake. 3 Yuda naye arimuzalaPeresi na Zera na mama Yabo arikuya Tamari, na Tamari arimuzala Esromu na Esromu arimuzala Aramu. 4 Na Aramu arimuzala Aminadabu, na Aminadabu arimuzala Nashomi, na Nashomi arimuzala Salomoni , 5 Na Salomoni arimuzala Boazi na mama yake Rahabu, Boaze na ye arimuzala Obedi na mama yake Ruth, na Obedi arimuzala Yese. 6 Yese na ye arimuzala mufalme Daudi, na mufalme Daudi arimuzala Salomoni na bibi wa Uria. 7 Na Salomoni arimuzala Roboamu, na Roboamu arimuzala Abiya, na Abiya arimuzala Asa , 8 na Asa arimuzalaYehoshafati, na Yehoshafati arimuzala Yoramu, na Yoramu arimuzala Uzia 9 Na Uzia arimuzala Yothamu , na Yothamu arimuzala Ahazi, na Ahazi arimuzala Hezekia, 10 na Hezekia arimuzala Manase, na Manase arimuzala Amoni, na Amoni arimuzala Ysia, 11 na Yosia arimuzala Yekonia na ndugu yake wakati barikuya batumwa ya babeli. 12 Na Kisha kuhamisha babeli, Yekonia arimuzala Shatieli, na arimuzala Zerubabeli. 13 Zerubabeli na ye arimuzala Abiudi, na Abiudi arimuzala Eliakimu, na Eliakimu arimuzala Azoni, 14 na Azoni arimuzala Zadoki, na Zadoki arimuzala Akimu, Akimu arimuzala Eliudi 15 Eliudi arimuzala Elieza, na Elieza arimuzala Matani, na Matani arimuzala Yakobo . 16 Yakobo na ye arimuzala Yusufu bwana yake ya Miriamu mama yake wa Yesu Kristu ambao kwenye alizaliwa. 17 Kutoka kizazi ya Ibrahimu mupaka Daudi ilku wa kizazi kunu na ine , na wakati mufalme Daudi walikuwa mubutumwa ku mufi wa babeli kizazi ilkuwa kunu na ine mpaka wakati wa Yesu Kristo. 18 Na kuzaliwa kwa Yesu kurikuwa namuna hii; na Maria mama yake arikuya muchumba na mimbaya mwa Yusufu, basi mbele bakuye fazi moya, yeye Maria aliechukurichkuriwa na mimba ya roho mutakatifu. 19 Mume wake Yusefu arituya mutu wa kweli lakini ashkupende kupata haya munkundji ya bantu naalitaka ku amuwa buchumbu yaho. 20 Na wakati arianza kuwaza mambo hiyi na mlaika ya bwana arifika kwake mu ndoto na kumwambiya "Yusufu mototo wa Daudi, usiongo pe naukamate bibi yako Maria, arishakupata mimba kupitia roho mutakatifu. 21 Na atazala mutoto mwana ume jina yake ni Yesu ata kuya kuokola bantu kotoka ku Zambi yao. 22 Yote hiyi irifayi ifanyike kwakutangziwa kwa bwana kupitiya nabii arisema . 23 Kutakuya bikisa moja atapata mimba na atazala mutoto mwana une ataitwa Emmanueli "Mungu panoja na sisi. 24 Yusefu arishutuka arikuya mubushingishi na arishikiya ile malaika wa bwana arituniwa afwanye ju ya bibi yake. 25 Natangia pale abakujuwane sawa mume na muke mpaka kuzaliwa kwa Yesu.
Sura 2
1 Ksha kuzaliwa katika inchi ya Betelehemu ya yuda wa kati ya mfalme Herode, batu bakili ba kisema. 2 Eko wapi mfalme wa ba yuda mwenye anazaliwa? Tuliona nyota yake mashariki na tuna kuya ku mwabudu. 3 Wa kati mfalme Herode akasi kiya abari iyi, aka shangaa na yeruzalema yote. 4 Herode aka kusanya ya ba kubwa bote bate bamakuhani, na baandi bayi ya batu, ata ba utiza, christo ana zalika wapi. 5 Nabo ba ka mujibu, ku betelehema ya yuda, kama vile ili andi kwa na ba nabii. 6 weye betelehema auko mugini kidogo katika ba mfalme ba yuda, ndani yako njoo kutakuwa mu mfalme, ata tawala na kuchunga batu bangu ba Israrli. 7 Kisha Herode akaita tena batu ba akili kwa sili, aka bauliza ni wakati gani nyota ili onekana. 8 aka batuma batelema aka sema, mutafute muzuri mtoto ule anaza liwa, kisha mukuye munipashe. na miye niende nika mwabudu. 9 Kisha ku musikiya Herode, ba kaendeleya na safari yabo, na nyota yenye balikuwa na fwa ta kutokeya mashariki ili kuwa mbele yabo na ika sibama fasi polikuwa mtoto. 10 Wakati ba baona nyota bakafurayi sana na zaidi 11 Ba kaingiya munnyumba, ba kaona mtoto wakuza zaliwa, na mama yake Mariya , ba kapika magoti na ba ka mwabudu, baka fungula bitunga byabo na ba kotosha majewa yabeyi nguvu baka mu toleya, or, malasi na mafuta ya beyi. 12 Mungu aka baongo za katika ndoto, basirudiye tena kwa Herode, kisha baka ondoka na kurudiya kwabo kupitiya njeya ingine. 13 Kisha kwenda kwanda kwabo, malauka ya Mungu aka mutoya yusufu katika ndoto akisema, si bama, kamata megipito mtoto na mama yake mukimbiye ku egipito mwikate kule mpaka nitakwita, kwa sababu Herode eko natafuta mtoto mpaka amahuwe. 14 Na bu siku yusufu ali kamata mtoto na mama yake baka ki mbiya egipito. 15 Ba ka ikala kule tii wakati Herode alikufa, mambo iyi fanyika juu ya kutimiliza mambo Mungu alise maka na ba nabii, naita mtoto yangu mu egipito. 16 Wa kati Herode akaona kama batu ba akili bana muchezeya aki katoto bote bana ume betelehema kwa njiya ba toto ba ku zalika leo mpaka myaka mbili, kufatana na hesabu ya batu balikuwa ndani ya mugini, 17 Ni vile mambo yote yenyewe nabii Yeremiya ali tabiryaka ili timi lika. 18 Sauti ya kiliyo ili sikilika ku kama ya uruma sana kachel akiliya ba toto yake na alikatala ku nyamazishwa kwa sababu ba toto bati kufa. 19 Wakati Herode aka kufa malaika wa bwana aka mto keya Yesufu katika ndoto mu egipito na aka sema . 20 Si bama kamata mtoto na mama yake mwende mujimbo ya Israeli kwa sbabu bale balipenda ku uwa mtoto bote bana kufa. 21 Yusufu aka sibama aka beba mtoto na mama yake ba karudiya kujimbo ya Israele. 22 Na wakati bali sikiya kama arikelau ana kuwa mfalme wa yuda ana kombola baba yake Herode, ogopa kwenda kule kisha Mungu kumusemayaka tika ndoto, akatoka na akaenda ku jimbo ya galileya. 23 Na akaenda kwibala ku muji banaita nazanite, iyi ili timilika ku fatana na matabiri ya ba nabii, ya kama ata itwa kuzariti.
Sura 3
1 Kwa ile masiku, kukatokea yoano wakubatiza batu. Akanza kuhubiri katika jangwa ya jumbo ya Judea ekonasema. 2 Geuzeni ma mifano yenu, juu ufalme wa mbingu inakuya karibu. 3 Muone ule nabii Isaya alisemeyaka aseme: "sauti ya mutu ule eko na lalamika katika ya jangwa na kusema: " tengenezeni njia ile bwana atapiti yamo, munyyoloshe na tuma njia twa pori twake". 4 uone: yoano alikuya mwenye kuuwala nkanzo ya baridi ya manyonya ya mpunda na mukaba yangoji mu kivuno. Alianza kula kuria mpaka ba mpandjo aba banene-banene na sari mu pori. 5 Kwanza Yelusalema, jimbo ya Yudea na ile kipande ya pembeni na mutoni munene ya Yordano balianza kuya bote kule kwiko yoano. 6 Aka ba batiza yeye moya mule mu mutoni ya munene Yordani, kisha kutubu ma Nzambi yabo. 7 Wakati aliona bafalisayo naba sadukaiba mingi beko nakuya juu ababatize, aka mambiya: mwenye ba ku kizazi ya nyoka wa sumu, ni nina anemikalamu sha juu mukimbiye kishilani Mungu? 8 Mwende mbele mukazale matunda ya kueneanana kugeu za mifano. 9 Na haina vile muko munasema ndani ya ma roho yenu aseme: "tu banankana ya Abalahamu mujuwe aseme Mungu eko na uwezo ya kulamusha kizazi kya Abalahamu ata kutoka ku hii maibwe munaona. 10 Na shoka bana isha kusimamisha yulu ya mujiji ya miti hivi sasa, kila muti yenye haizale matunda muzuri ni kuikata naku itupa ku moto. 11 Miye namibatiza mu mai bale bana geuza mifano. Kuko ule ekona kuya kisha miye, eko na uwezo kuni ipita miye, na miye sienee ata kumu bebea mapapa yake. Ye ule atamibatiza mu Roho mutakatifu na mu moto. 12 Eko na saani ya pepulia ku mikono, mwenye kujitayarisha afwakiyeee muzuri fwashi yake. Lakini ata lunguza makanda yote katika moto ile haita anza kuzimika ata kiloko. 13 Kisha Yesu akafika pale kutoka ku Galilaya kumu mutoni munene ya Yordani juu yoano amubatize. 14 Lakini yoano ali anzatu kumu kataria, eko nasema: "Ni miye njo niko nataka weye unibatize, sasa weye ukuye kwangu miye?" 15 esu akamujibu na kusema: "acha tumbele yende vile; juu iko muzuri tu eneshe kilankitu kizuri". 16 Kwisha tu kabatizwa, Yesu anatoka mu maipaka hivi kwangaria hivi mbingu ikafunguka wazi yulu yake akaona Roho ya Mungu ikamushukiya kwa mufano wa jiwa, na kusimama Yesu yulu yake. 17 MAra moya, sauti ika anza kusema kutoka mule mu mbingu, inasema: uyu njo mutota yangu minapenda kupita. Ananipaka furaha sana.
Sura 4
1 Na roho mutakatifu alibeba Yesu mu janguafu a nu jaribu. 2 Na alisikiya nzala nuyuma ya kufunga masiku ma siku makumi ine ya mucame na busiku. 3 NA wule shetani alikuya mbele yake na kusema, "na iyi liyiwe uyibadilishe ikuwe mukate ka ma uko mtoto wa Mungu". 4 Lakini Yesu alimu jibiya, imandikwa, lakini ni kwa neno la Mungu. 5 Kisha shetani alimu beba ndani ya muji takatifu na aka mutiya mufasi ya yulu sana ya hekolu. 6 Na aka sema, " ujitupe chini kama uko mutoto wa Mungu, sababu ime a ndikwa kama, ata tu ma bamalayika bake sababu yako, na bataku beba kumikono yabo sababu usifi gonge ku lijiwe. 7 Lakini Yesu aka mujibiya, "ili ya ndikiwa" usi pime bwana Mungu wako". 8 Na shetani alimu beba tena mu fasi ya yutu sana tena alimu onesha ufalme yote wa duniya iyi na furaha yabo yote. 9 Na aka mwambiya tena, "nita kupatiya iyi bitu yote una one kama unanipigiya magoti na kunia budu". 10 Kisha Yesu akasema, "toka, shetani, ju imea ndikwa "uta abudu Bwana Mungu na uta mutumiki ya yeye pekeyake". 11 Kisha shetani alimuasha na ba malayika balikuya na baka mutumisikiya. 12 Vile Yesu alisikiya kama balifunga yahani, akataka mu mujiwa GAlilaya. 13 Na aka enda mu Nazareti na kwenda kuhishi mu KAperanaumu yenye ime pati kanaka pembeni ya mayi ya Galilaya, mu mipaka ya majimbo ya Zabuloni na Naftali. 14 Iyi yote ili fika ju tu itimize yenye ISaya alisema, 15 "Bulongo ya Zabuloni na ya Naftali, ku elekeza Bahari, ngambo ya Yorodani, Galilaya na ya mataifa. 16 Mataifa wale walikuwa ndani ya giza wali ona nuru kubwa, na bale benye balikuwa na ikala chini ya kimvuri ya mawuti, nuru ime wangaza. 17 Kwanziya wakati ile, Yesu alianza kuubiri na ku sema "mubadilike sababu ufalme wa Mungu ka ribiya". 18 Vile alikuwa anatembeya pembeni pembeni ya bathari ya Galilaya, ali ona wa ndugu mbili, Simoni ule bali ita Petro na Andrea ndugu yake. Balikuwa natupa makiya yabo ndani ya bahari, sababu balikuwa na loba samaki. 19 Na Yesu aka bambiya, "mukuye, na munifuate na munifuate na nita bananya wa kuloba sasa batu". 20 Kwa araka (mbiyo) bali acha makiya bo na kumu fuata. 21 Na vile Yesu alikuwa na fwata njiya yake, ali ona ndugu mbili, Yakobo, nutoto wa Zebedayo, na Yohane ndugu yake. Walikuwa ndani ya mutu mbu na Zebedayo baba yabo, bali kuwa na shona makiya yabo. Aka wahita. 22 Na sasa, bakatoka ndani ya mutumbu na baba yabo kisha balimu fwata. 23 Kisha Yesu alitembea Galilaya yote, na kuwubiri ndani ya ma sinagogi, kitagaza neno la Mungu na kuponya magonfwa ya kila ayina ya ku pooza ndani ya batu 24 Habari yake ilitembeya mupaka suria yote na batu benye baliteta ba gonfwa, na benye baliteseka sana mukila magonfua mbali mbali, na mawumivu na benye ma pepo ma pepo muchafukifwafwa, kuposza; na Yesu aliba ponya. 25 Na batu mingiu balimu fwata taka GHalilaya, na Dekapoli, Yerusalemu, Yudea na hata kutoka pembeni pembeni yote ya Yerodani.
Sura 5
1 Sa Yesu aiona iyi kiundi, a kapanda mu kilma wa katif alikala, banafunzi yaku bakakuya kwake. 2 A kafugiula kinwa na akasema . 3 Furaha ku bale benye biko ba masikini dani ya Yesu dju ufalme wa mungu ;ika sababu yabo. 4 Furaha ku bale benye biko bana liya ,dju batapata nguvu tena . 5 Furaha kwa bale benye bupole dju bata pata bulongo. 6 Furaha ku bale benye biko na njala na kiu ya mayi ya uzima, sababu bata chiba. 7 Furaha ku bale benye biko na uruma, sababu bata ba rumiya. 8 Furaha ku bale benye raho muzuri, kwa sababu bata ana mungu 9 Furaha ku bale benye bana leta amani, dju bata ba ita kwa mutoto wa mungu . 10 Furaha ku bale benye bana teseka sababu ya aki, sababu ufalme ya binguni ni dju yabo. 11 Furaha kwenu batu benye mukoma tukaniwa ma ku ba tesa ao kubasemeya bubaya dju yangu. 12 Mufurahi na mukwe na Furaha , dju malipo yeno iko ya Mungu ku mbinguni. Kwa kuwa batu balitesa ba nabi benye balikuya mbele yenu. 13 Muko tshumvi ya dunia lakini tshumvi ika poteza butamu yayo . Namunagani unaweza kuipata ainatena ya muzuri ku kitu, djutu ya kwitupa inji na kuikanianga kwenye batu . 14 Muko mwangaza ya dunkia .inchi muginki yenye bana djenga yulu ya kilima abawezi kuifitcha. 15 Ni sawa na batu benye bana wacha tala na ,kuiwe ka ndani ya kitunga? Lakini banaweza kuiwa cha na kui weka yulu ya kitu ndani ya nymba dju batu benye biko ndani baone mwangaza. 16 Dju mwangaza yako iangaze mbele ya batu dju ikuwe matendo ya muzuri yenu na musifu baba yenu wa mbinguni 17 Musi waze kama minakuya ku vuta cheriya yenye ba nabii sikuye kuivita apana , lakini ;dju ya kuitimiza. 18 Kwa ukweli na bambeya, kwamba mpaka mbinguni na dunia biote bipite hapana ata kanuni moya wa mukta moya ya sheriayenye vutiwa, na ile mpaka uti miliko ya maneno yote. 19 Na ndjo mona mwenye ata vunja sheriya kidogo na kufundisha bengine kufanya ayo ata kwa wa kidogo ku mfalme wa mbinguni. 20 Na bambia , haki yenu isipiti haki ya banye bananolikaka na wa pharisao dju ya bile biote amuta ingiya ku mfalme wa mbinguni. 21 Mulisikia balisema wakati mingi zamani: "hauta ua" na "ule mutu myenye ata na mwangine ata sambishiwa". 22 Lakini miye nabambiya kama ule mutu mwenye ata kwana bisilani kwa ndungu wake ata sambishiwa; na mwenye atambiya ndugu yake" weye uko wa bure" ata kuwa mbele ya benye bana sambishaka na ule mwenye ata sema: "weye toka", atakwa na kifoya moto 23 Nanisa na mwenye ata towa sadaka yake ku maza babu na una djuwa kama ndugu yako iko na lazima ya makuta. 24 Umwachiye ile makuta yako mbele ya mazababu, wende utengeneze kwanza na ndugu yako kisha ukuye upane sadaka yako 25 26 Musikilizane mbiyo na ule mwenye alikutshongeya, wakati muko kunjiya muna elekeya kusamba ; kitsha mwenyi aliku tshongeya ata ku atcha kumikono ya ndugu yake " weye uko wa bure" ata kuwa mbele ya benye bana sambishaka na ulemwenye ata sema. 27 Mulisikia banasema "musifanya bu busharati" . 28 Lakini na bambiya ivi : mutu mwenye ata angalia mwa na muke kwa kumu penda , alisha fanya busharati na ye dani ya roho ya ke 29 Nakama litsho yako inakutuma kubu shariti to chayo na tupayo mbali yako ; sababu ni muzuri kwako kipande moya ya ma mwili wungo yako ya ribiki kuliko muili yako ikufe kwa milele. 30 Na kama mukono wako wa kiume ina kutuma muku fanya zambi ( busharati) katayo na utpayo mbali na weye ; sababu ni muzuri kwako kipande moya ya muili ya iyaribi ke kuliko muili yako muzima baitupe kumoto. 31 Ilisemawake" mutu yote mwenye ata fukuza bibi yake na ata mupatiya baruwa ya kwatshanisha ndowa ". 32 Lakini na ba mbiya mutu yote mwenye ata kata lana na bibi yake lubuda tu kubusharati, una mufungulia ndjiya ya busharati na mwenye ana awa bibi mwenye bana mufuza kubu kweyi; na ye ana fanya busharati. 33 Tena mulisikia bana sema kwa ba nka mbo yetu (batatel, ba nzee betu) : musifanya malapo ya bongo lakini mubebe ye mufalme malapo yenu". 34 Lakini musilape ku mbingu sababu ni kiti ya utu kufuya Mungu. 35 ; na ata apa ku dunia dju ni kwenye Mungu anatembeleyaka; na ata yerusam dju ni mungini munene ya mfalme . 36 Usi sambishi ku kitchwa yako, sababu amuna uwezo yaku geriza nyele kukwa mweripe ao mwensi . 37 Wakati una sema masemo yako inapatsho kwa ya kufanana (sawa sawa): " ndiyo ndiyo" wala "apana apana " ile yote yenye inadiogeza ina toka kwa ba kala musi. 38 Mulisikia kiyenye balisema: "litsho pa litsho, na lino ku lino". 39 Lakini miye na bambiya, musishendane na mutu mu baya; lakini mutu aka kupita kulishafu ya kimwana ume geuka umu patiye tena lishafu ya ki mwanu muke. 40 Na kama mutu anataka ku ku tshongya dju a bebe nguo yako, umuotshe a bebe na Nzambala yako. 41 Ule mwenye ata kwambiya ukimbiye ku makazo ku elfu moya , weye ufanye elfu mbili pamoya. 42 Patiya mwenye ana kulomba na usi katale ku patiya mwenye ana kulomba deni. 43 Mulisikia balisema " utpenda jirani yaka na uta mutshukia adui yako". 44 Lakini miye na bambiya: " mupende ba adui yenu na mu ombeye benye biko na basa . Djo muna kua ba toto ya baba yenu mwenye iko ku mbinguni . 45 Dju iko na lamusha yuwa ku batu ba baya na ku batu bazuri, na ana tumia nvula ku batu benye bikona imani na benye abana inani 46 Dju kama una penda tu benye bana ku pendaka , malipo gani inye utapata ku ile ? Na ata benye bana lipishaka kodi nabo bana ifanyaka muna patshwa ku fanya muzuri kupita yabo. 47 Na kama muna salimiya tuba ndugu yenu, nini yenye muna fanya ya muzuri kuzidia begine? Ata ba pagano bana ifanya ka mingi. 48 Djo mana muna patshwa bamilifu, sa vile baba yenu wa mbinguni anakwaka mukamilifu.
Sura 6
1 Musifanje matimbo majuni, mbele ya batu ju bamitape, la kimi muyafanye kwa ufficho wala siri ju Baba yenu maflame auye mbiguni abalipe. 2 Na musi fanane na wanafiki .Wenye wanafuya vile kuma Hekala na ku ma nua ju ya ku sifiwa na ba tu. naba mbia kwa kweli batabata molizi. 3 Lakinu wakati unamupatia mutu kitu usijulikane kwa mutu mwengine ( usijipeke kilari). 4 Ju kipaji yako usejulikane kwa batu, nja apa baba mwonye anakuona tika fasi ya maficho atakulipi. 5 Musikuwe kama wanafiki watkati munaomba, ju ba mipenda kuomba kwa ku simama ku hekalu na ma njio ju ya kuonena kwa batu kwa sababu wana malipo yabo. 6 lakini wakati unapenda kuomba, injia ku nyumba, na fungo kisha uombi baba wako Mungu mwenye anaona ku ma ficho akulipe. 7 Usi seme mambo mingi kwa kurudilia kila maneno kama fiki wenye wana fikini kwa kuomba mingi njo Mungu ata basikia. 8 Kwa hiyo, musifanane bale, ju baba yenu alishajua yote enye muko noyo la zima mbele ya ku muomba. 9 Muombe hivi« Baba yatu wa mbinguni, ulitukuze jina yako. 10 Upendo yako ifanyike apa ku donia nle inafanyikama kule yulu. 11 Utupatie chakula yetu ya siku yote. 12 Utu samee dahambi yetu kama vile siye tu na sameaka bali benye banatu fanya mubaya. 13 usetubebe ku majaribu, lakinu utu-toshe ku mabaya ya shetani». 14 Kwa sababu mukisameya dhambi ya batu, ba yemu wa mbingumi atabasamea vile vile. 15 Lakini kama munakatala ku basameye, baba wenu na vile hatabasamea makosa yenu. 16 Ikiwa mumafanga, Musionye she sura ya huzini. kama wanafiki benye banabaderisha masure yabo, ju batu bajuwe kama banafunga. kwa kwele bale batu biko na malipizi yabo. 17 Kakini wakati munafunga, mujitengeneze muzuli na kupakala mafuta, bichwa na buso yenu. 18 Hiviyo, ju musionyesh kwa batu kama munafunga, lakimu baba yenu yenye peke mwenye iko dani ya uficho, na amabaona ku muficho, atabalipa. 19 Musijiaze na mali apa ku dunia ya uficho, kwenye biluluna kutu etayaribisha, bizi banaweza kuingia na kuiba. 20 Kuliko ele, muyaze mali yenu mbinguni kwenge ata bilulu wata kutu haitaya ribisha, wala kwenge bizi banawiza kuingia na kuyiba. 21 Kawa sababa kwenye mali yaki ikonjo kwenye mali yaki iko njo kwenye noho (wala akili) yako vile ilakuwa. 22 Licho ni tata ( mwinda) ya mwile, kwa kama licho yako iko muzuri, mwili yako vile inayazwa na mwangaz. 23 Lakini kama licho yako inakufa, mwili yako yote inayazwa na giza! kwa kama mwangozi enye iko mwako iko ya giza, giza, giza enyewe itakwa ya bunene gani? 24 Mutu moja hawezi kutumikia babiozi bawle kwa mana moyo, kwa sababu atapenda moja, na atakatala mwengine, wala atajipatia kwa umoja atamutupa yale mwengine. Hamuwezitumikia Mungu na mali mu wakati moja. 25 Njo maama na mali na na bambia, mausikwe na shaka ju ya maisha yenu, kuwa mutakula nini, mutavala nin, kwa sa bubu maisha (uzima haina maana kushinda chakula, na mwili kushinda manguo. 26 Angalieni mandege yulu, habandi na habavuni na habakusonyi na kutunza ghalani, laki baba wenu wa mbinguni anaba kulisha. Hevi mingi hamuko thamani. kuwashinda. 27 Nani ndani yenu kwa kujihangoisha anaeza ongeza ata siku moja ku maisha ya ke?. 28 Ju ya munajiuzi ju ya manguo ya kuvala? Mufikirie ju ya mauwa ku mashamba, mudele inakwaka, habitumake wala habashoneshake manguo. 29 Lakini nabimbia kama sulemani ndani ya utukufu yake yote hakuvala ota kama umoja ya abo. 30 Kama Mungu anavilisha mayani ndani ya mashamba , enye nashinda leo ne kesho ba naitupaku moto, basi kwa nini ashinde ku bavalisha nuye batu ya imani kidogo. 31 kwa hujo masijisumbue;« kwa kuwa mutakula nini?» wata; Mutu kunywa nini».ao« mutavala nini». 32 Mambo kama haya inatafutwa na wapagamu; baba yenu alie mbinguni anayuwa maitaji yenu. 33 Lakini mutafute kwanza ufalme wake na haki yake; na mutapewa bitu byote benye inaabakia. 34 Musiji sumbue ju ya kesho kwa sababu kesho itaji shughulikia ye mwenyewe kwani kila siku inaenae na mambo yake.
Sura 7
1 Usihukumu, kwani nawe wihukumiwe. Kwa hukumu unahukumu , na weye utahukumiwa. 2 Na kwa kipimo unapima na weye pia utapimwa vile vile. 3 Juu ya nani ukonaona kipande na mutikpo licho na ndugu yako , lakini unakosa kutambuwa kipande ya kubwa katika licho yako? 4 Kwa nini unaweza kusema kwa ndugu yako, ngoya nikutoshee kipande ya majini kolicho yako, wakati kipande kubwa ikondani ya licho yako? 5 Mnafiki weye, tosha mbele mayani kubwa kwenye iko kolicho yako na utaweza kuona muzuri na kutosha muti kwenye iko ndani ya licho na ndugu yako 6 muchiwape vitu vitakatifuna na waimbwa, walawa nguruwe, kwani wata ikanyanga na watakugeukia na kupasula vipande vipande 7 Omba , nawe utapewa , tafuta, nawe atapata. Piga hodi na weye batakufungulia. 8 kwa yote anaomba atapokea. Na kwa yote anatafuta atapata. Na kwa mutu anapiga hodi, atafunguliwa. 9 Iko mutu miongni wenu akiwa na na mtoto wake aki mwomba kipande ya mkate atamupa lijiwe. 10 Au akimwomba samaki , na ye atamupa nyoka ? 11 Kwa hiyo, ikawa nyinyi watu wabaya, munajua kuwapa wa toto wenu zawadi muzuri? Je ! Nikiasi ganizaidi baba aliye mbinguni atawapa vituvizuri wale wanamuomba yeye? 12 Kwa sababu hiyo ukitaka watu wakufanyia kitu yote na watu wengeni, na we pia unapesa kuwafanyia hivyovyo wao. Hiyo ni sheria na manabii. 13 Ingieni kwa mulango ya muembamba, juu ile ya munene, ni njia ina yoongoza kwenye uharibifu, na ikona watu wengi wanapita njia hiyo. 14 Mulangu muembaka, ni njia inayongooza katika uzima na ni wachache wanaweza koiona 15 Mukuwena akili na manabii wa uongo wanakuya wamevala ngozi ya kondoo, lakinki kweli ni mbwcha wakali . 16 Basi mutawatambu wa ku matendo yao ambaye zi kutosha ntumba ya mangaku muti wa gazi, wala ntunda ya avocat ko mutiya ndimo? 17 Ni vile vile muti muzuri ita tosha ntunda, mutimubaya na yo itatosha ntunda mubaya. 18 Muti muzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya walamuti mubaya hauwezi kuzaa matunda muzuri. 19 Kila muti ambao haikuzaa matunda mabiya wala muti mubaya hauwezi kuzaa matunda muzuri itakatiwa na kutupa katika moto. 20 Hivyo basi utawatambua kutokana na matanda yao 21 Haiko kila mutu ataniambia miye bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni, ni yule peke atatenda mapenzi ya baba hyangu aliye mbinguni. 22 Watu wengi wataniambia siku hiyo, bwana , bwana hatukutoa unabii kwa jina yako hatukutoa mapepo kwa jina yako, kwa jina yako tulifanya matendo mengi makuu? 23 Hivyo ntawa ambia wazi, sikuwatambua nyinyi ! Ondokeni kwangu nyinyi watu wa matendo mabaya 24 Kwa hiyo, kila moya asikiye maneno yangu na kutumikia hayo atafananana mutu mwenye hekima ali jenga nyumba yake juu ya lijiwe . 25 Muula ikanyesha mafuriko yakaja , na upepo ukaja ukaipiga nyumba hiyo lakini haikuweza kuanguka chini sababu ilikuwa juu ya lijiwe 26 Lakini kila mutu anaskiya nendyangu, na asitumikia hayo atafanana na mutu mpumbafu alijenga nyunga nyumba yake juu ya mchanga . 27 Mvula ikaza mafuriko yakaja na upepo ukaja na kuipiga nyumba hiyo na ikaanguka , na uhabifu wake ukakamilika . 28 Ilifika wakati ambao Yesu Kristo alimaliza kuogeya maneno haya makutano walishngazwa na mafundisho yake . 29 Kwa maana, aliwafundisha na uwenzo na kupitawaandishi wao
Sura 8
1 Wakati Yesu alishuka kukilima, watu wengi walimfuata. 2 Na ongalia mtu moya wa ukoma alitokea na kupiga magoti mbele ya Yesu akimwambia bwana, ikikupendeza unitakase. 3 Yesu akanyolosho mkono na akamgusa, na akasema naye: Nataka utakasike. Mara moja ukoma wake ukaisha. 4 Yesu akamwambia: usimwembia mtu manone hii. Lakini wende zako, na kuzionesha kwa kuhuni na utwe sadaka, kwa kufatana na gisi Musa anamuru. Kwa sababu ya ushuuda. 5 Yesu alifika Karanaumu, mkuu wa jeshi akakuya akamliza Yesu. 6 Akasema: Bwana, mtu wangu wakazi ni mgoja na analala ku nyumba akomgojwa wa kilema na maumivu ju nguvu saana. 7 Yesu akamujibu kama atafike kwake kwa kumponyesha. 8 kamanda mkuu akajibu, akisema: Bwana, miye sina uwezo ya kukuleta kwangu, sema neno moja tu mtu wangu atapona. 9 Sababu nami niko na uwezo na askari wenye kuwa chini ya uwezo wangu. Nikimpa oda ya kwena na anaenda, pia mwengine mikisema kuya na nakuya. Na kwa mtu wangu wa kazi: fanya iv na anafanya. 10 Yesu akamusikie na akashangaa kwa ona neno yake, na Yesu akawambia wato walikuwa pamoja naye, Yesu akasema, hakika sijaona mtu mwenye imana sawa yeye katika Israeli. 11 Nawalisha kama wengi watatoka mashariki na magharibi wtaikola meza moja na Abrahimu, Isaka na Yakobo, katika ufame wa mbingu. 12 Mara ingine watoto wa ufalme watupwa katika giza la inje kwenye kutakiwa kiliyo na kiliyo na kusaga meno. 13 Yesu akasema na kamanda, kwenda kama vile umekwisha amini, na ifanyike vile kwako. Na pale pale mtu wa kazi alipona kwa saa ile. 14 Yesu akafika kwa nyumba ya Petro na alikuta mama mkwe na Petro ni mgonjwa wa homa. 15 Yesu akamgusa, na homa ikaisha na akaamka na kwanza kumikutukia. 16 Ilipo fika saa za magaribi, watu wakuya na wagonjwa wa pepo mchufu; Akawatosa pepo na wagonjwa wengi aliwaponyesha. 17 Kwa haya, ikatimia ile nabi Isaya amekwisha sema: Yeye peke alibeba magonjwa yetu. 18 Kisha, yesu alipoona watu wengi wenye kumunguluka, apana oda ya kuvuka ngambo ya pili ya bahari ya Galileya. 19 Kisha mandikaji akakuya kwa Yesu na akambia, mwalimo, tutaenda pamoja nawewe fasi yote utaenda. 20 Yesu akamwambia mbwa mwitu ako na mashimo, na ndeke wa anga wanayo chicha, lakini mtoto wa mwana damu hana fasi ya kutia kichwa yake. 21 Tena mwanafunzi mwengine aka mwambia Bwana, unipa ruhusa nende kuzika baba yangu. 22 Lakini Yesu alimujibu unifaute, na uwaache wafu wazika wafu wao. 23 Wakaki Yesu alipanda katika mtumbu, na wanafunzi wake walimfata. 24 Tazama mpepeo mkwi ukawa juu ya bahali, karibu mtumbu kutaka kufumikwa na mayi lakini kwa saa ile Yesu alikuwa, wanafunzi walipo ona mambo ile. 25 Wanafunzi walipo ona kama kuko hatari: wakaenda kumbamusha Yesu sababu alikwa wa kulala wakasema Bwana, tuponuesha, tunataka kufa! 26 Yesu alipo amuka, akamwmbia, sababu ya nini mnaogopa, wenye imani kidogo? Ndio akaamka na alokataza upepe na bahari. Kisha kulikuwa kimia kabambi. 27 Watu walibaki kwa kushangaa kabambi saana na walisema, nimtu gani ata pepo na bahari vinamtii? 28 Wakali Yesu alipovuka ngabo ya bahari katika nchi ya Magadala watu wawili waliku wakitesua na pepo chavi katika maisha yao na wakutana na Yesu, watu wale walikua wanatokea ku maburi poali wakiishi na walikuwa makifa fujo kwa wapita njia. 29 Walipo kutanana Yesu, wakalalamika nguvu na kusema. Tuna nin la kufanya kwako, mwana wa Mungu? unakuya hapa kutunganiza na bado wakati kutimia. 30 Pale kulikwa nguruwe mingi wenye walikuwa mpembeni yao. 31 Na wutu wa pepo walikuwa wakilalamika kwa Yesu, na kukumwmba kama napenda kuwatosha penye wako, ni hiziru ututume kwa kundi la nguruwe! 32 Yesu akatowa oda kwa pepo kwendea kwingia katika ile kundi la nguruwe akisema mwende katika ile kikudi ya wanguruwa. Pepo wakatoka na kwende kwa nguruwe. Nakuni lote likashuka kuteka lokashuka kutoka kukilima kushuka ndani ya bahari lote na walikufa wate. 33 Wachungaji wa nguruwe walikimbia na kwena ku mjini kuelezea watu kitu moja, zaidi kiliyo wafika kwa wanaume wenye kuwa na mapepo. 34 Tazama watu wa mjini wote wakuja kukutana na Yesu wakimuomba atoke lakini katika mugini yao.
Sura 9
1 Yesu akayingiya katika mutumbu juu ya kwenda ngambo ya pili kumugi ni ali kuwa ana ikala. 2 Akaona bana muleteya mutu moya mgonjwa wa kulekeya mikulu wa kulala pa kitanda, akaona imani yabo aka sema na mugonjwa, mutoto yangu, kuwa na furaha, Zambi ya ko ina kurunuuwa. 3 Angaliya ba handikayi ya mikanda bana anza kusema sema bopeke huyu mutu ana zarahu Mungu, 4 Yesu aka fahamu mazwazo yabo na aka sema, juu ya nini mukona mawazo mubaya ndani ya maroho yenu? 5 Kitu gani kiko nguvu kama na mutu Zambi yako ina urumina, ao kusema sibama na utembeye? 6 Lakini juu mutambuwe kama mutoto wa mutu eko na uwezo wa kuhurumi ya zambi, na akasema na mu gonjwa sibama, beba kitanda chako na urudiye kunyumba yako. 7 Mara moya mugongwa wa kuleke ya mikuni aka sibama na kurudiya kwabe, 8 Wakati batu bote bakaona ivi ba kashangaa sani, na ba katuza Mungu, kwa sababu yeye njoo mwenye kupatiya batu uwezo. 9 Yesu akaza kupita, aka ona mutumoya jina yake kwikala ku bureau ya batu ba kupisha kodi, Yesu aka mwambiya unifwate, naye aka mufwata. 10 Wakati Yesu aka ingiya ndani ya nyumba juu ya kula chakula, batu ya ku lipisha kodi, na ba pagano ba mingi, baka anza kula na Yesu pamoya na bana funzi bake. 11 Wakati ba fanisa yo baka ona ivi, ba kasemana ba na funzi yake, kwa ini mwalimu wenu ana kula chakula na ba kulipisha kodi piya na ba pagano? 12 Wa kati Yesu aka sikiya,,aka szma, batu benye kwabila magonjwa bata weza kutafuta munganga? mupaka mtu ule eko mungijwa njoo ata tafuta munganga. 13 Mufanye nguvu muka jifunze maana ya mambo iyi, nina penda zaidi kurumiya kupita sadaka si kuya kutubu, la kini bapagago ba tubu zambi yabo. 14 Bana funzi ba Yohana baka muliza, juu ya nini siyeena ba farisaya tuna funga chakula la kini bana funzi bako haba funge? 15 Yesu aka bakibu batu kwalikwa ku feti ya ndowa bata weza weza ku katala kula chakula na wakati bwqana mwenye ndowa ana toka kati yabo ngo nabo bata funga chakula 16 Hakuna mutu ata weza kubeba kilaka kipya ala mike ku nguwo ya zamani, kilaka kipya kita pasula tena ngo ya zamani nguvu sana, 17 Hakuna mutu ana weza kuka mata pombe ya mupya na ku weka ayo mukibuyu kya zamani lakini ba ta weka pombe mupya mu kibuyu ya mupya, na pale pombe na kibuyu ita kuwa muzuri. 18 Wakati Yesu alikuwa aka sema nabo mambo iyi, mukubwa mayo waba askari aka fika na aka piga magoti mbele ya Yesu, aka sema, mtoto yangu mwana muke ana kufa sasa ivi, na kuomba ukuye umu wekeye mikono yako yulu yake naye ata pona. 19 Na Yesu aka sibama na akamu fwata na bana funzi bake, 20 Na kuona, mwana muke moya mgonjwa ya kutoka damu nyaka kumi na mbili, aka fika nyuma Yesu na aka gusa nguwo yake. 21 Kwa sababu "ali ji semeya ye peke, kama nika gusa ata nguwo ya Yesu nita weza kupona". 22 Yesu aka geuka na aka mwa ngaliya, akisema mtoto ya ngu mwana muke, kuwa na nguvu, imani yako ina ku ponesha, na mara moya mwana muke ule aka pona. 23 Wa kati Yesu aka fika kunyumba ya mukubwa ya ba askari aka kuta ba imbayi na batu bamingi beko na tiya makelele. 24 Naye aka sema, mutoke bote inje, kwa sababu mutoto uyu mwana muke eko muzima na ana lala busingizi, batu bote baka mucheka na baka muzarau. 25 Kisha bate baka toka inje na Yesu aka ingiya ndani ya chumba aka mukamata mutoto ule ku mukona naye aka sibama. 26 Baka tangaza habari hini mujimbo muzima. 27 Wakati Yesu akatoka pale, batu mbili ya magonjwa ya upofu ba ka mfuata, na baka anza ku lala mika, utu samehe mtoto wa Dawudi. 28 Wa kati Yesu aka fika kunyumba na babi pofu bawili bakafika pale, Yesu aka bauliza muna amini kama nitaweza kubaponesha bano baka jibu ndiyo bwana, 29 Naye Yesu akagusa macho yabo aka sema, itendeke kwenu kama vile imani yenu ina omba. 30 Na mara moya macho yabo ikafunguka, na Yesu aka bambiya kusema, ata mutu moya asijuwe mambo iyi. 31 Lakini bipofu mbili aba, ba kaenda na ku tangaza habari iyi jimbo yabo muzima. 32 Wa kati babipofi mbili bana toka, analiya baka muleteya Yesu mutu mmoya bubu waku ja zwa na mapepo muchafu, wakati. 33 Mapepo ika mutoka na bubu aka anza kusema, batu bote baka shangaa sana, na kusema mambo ya ivi babo aiya ba nyika mu Israel. 34 Na ba farisayo ya mukubwa wa mapepo njoo ana fukuza nayo mapepo? 35 Yesu aka tembeya majimbo na migini yote mbali, aliendeleya kuhubiri kwenye makanisa yote kidigo kidogo na kuponya batu ya magonjwa ya kila aina na bilema bya kila haina, 36 Wakati akaona bwingi ya batu, Yesu aka basikiliya uruma kwa sababu balikuwa ba kucho ka sana katika maroho yabo balikuwa kama kondolo aina muchungaji. 37 Naye akasema na bana funzi bake, mavuno iko mingi lakini ba fanya kazi nikidogo. 38 Na ivi kwa haraka mumuombe bwana wamavuno, kama atume ba fanya kazi katika mavuno yake.
Sura 10
1 Yesu aka ku sonya bana funzi bake kumi na mbili na aka batiya uwezo ju ya wapepo muchafu kwa sababu ku fukuza na ku ponya magonjwa ya kila ayina tene ku ponya magonjwa ya kupeoza. 2 Mu hone ma jina ya bana funzi kumi na mbili. Wakwanza, Simoni (ule bali muhita Petro), na Andrea ndungu yake, Yakobo, mtoto wa Zebedayo na Yoane tena ndugu yake. 3 Filipo, na Bartelemayo, Tomasi, na Matayo mwenye ali kuwa mu kazi ya serikali, Yakobo mtoto wa Alfayo, na Tadeo, 4 Simoni wa helote na Yuda Iskariote, ule alimusatiti Yesu. 5 Yesu alituma ba kumi na mbili. Aka bambia maneno aya, "mu si ende ata fasi moya kwenye wa pagoni wa na ishi na mu si ingiye ata ku mugini moya ya benye Samaliya. 6 Lakini, mwende njo ku na kondoo zilipotea katika nyumba ya Israeli. 7 Tena wakati muko na enda, muu biri na ku sema " ufalme wa mbunguni ime karibiya". 8 Muponye magonjua, mu fufuwe bafu, muta kose benye magonjua ya ukoma na kufukuza ma pepo. Mulipokeya ya bure, mu ba patie na bo ya bure. 9 Mu si ka mate ata za habu, ata pesa wala shaba ju ya mifuku yenu. 10 Kwa sababu mutu mishi anastakili na kuli pwa mushara. 11 Hata mugini ao ku ifi yenye muta ingiya, muta fute mwenye anasthili ka ba pokeya na mu bakiye kuake mupaka muta toka wa kwenda. 12 Wakati mu na ingiya mu nyumba, mu ba sali miye. 13 Na ka ma nyumba inastahili, amani yenu ibakiye kwa bo. Lakini kama ile nyumba aastahili, amani yenu ibarudiliye. 14 Na bale banakatala ku ba pokeya na kukatala kusi kiya maneno yenu, wakati mu ta toka mu ile nyumaba ao mu ile mugine, mupumpute vumbi ya migula yenu. 15 Kwa kweli, na bambiya, mugini wa Sodoma ne Gomorah ita pata kidogo kuliko ile mugine siku ya hukumu. 16 muone, na ba tuma kama kondoo ndani ya mbwamwitu, mukuwe na fanya angalisho kama nyoka na wapole tena kama njiwa. 17 Mufanye angalisho na batu, ju bata bapeleka ju baba fung tena bata bapiga fimbo ndani ya ma sinagigi yabo. 18 Na bata ba peleka mbele ya wakua na ba falme kwa ajili yangu, ju ikuwe ushuhuda kwabo na kwa mataifa. 19 Na wakati bata bapeleka, nu si ogopi ata vile muta sema, ju yenye muta sema muta ipata pale pale na kwa ile saa. 20 Kwa sababu ayiko niye njo muta sema lakini roho ya baba yenu ata sema ndani yenu. 21 Ndugu ata wuwa ndugu yake na baba ku mtoto wake. Na batoto bata tombokeya bazazi juya ile kifo (ma wuwaji). 22 Bote bata bachukiya kwa sababu yangu. Lakini ule ata kaza nakuvu miliya mpaka mwisho ule ata ponga. 23 Na wakati nata batesa ku iyi mugini, mukimbiye mukimbiliye ku mugine ingine. kwa sababu na bambia ukueli, "Amuta kuwa mu me malizaka tembeya mi fi yote ya Isreali bila mtoto wa Mungu a kuye. 24 Ju mwana funzi ayika zalidi ya mwalimu wake, ata mutunishi akuwe ju ya Bwana wake. 25 Kwa sababu inalombatu kama mwana funzi akuwe kama mwalimu yake, na natumishi vile vile akuwe kama bwa wake. Ju kama bana hita mwenye nyumba Belzabuli, mar ngopi sasa itakuwa mu baya sana ma fi na ya batu ya nymba yake. 26 Na njo ma na mu si agope, sababu akuna kitu ya siri yenye ayita kuwa ine fumuliwa batu bote na ile imefinikwa ita julikana na batu bote. 27 Na ile yenye nabambiya busiku, mu yisema mu juwa kati na benye bali kuwa na bambiya mu masikiyo, mu ijitoshe inje ya nyumba. 28 tena mu si ogopi bale bana wuwa mwili lakini a bawezi ku wuwa roho. njo mana, mu ogopi ule ana weza ku wuwa mwilina roho ndani ya jeya namu. 29 Mbo na ayiko ka suku mbili njo ina wujisiwa na pesa kidogo? na njo mana mu juwe, kama akuna ata mumoya ya bo mwenye ata enguka chini bila baba ku yuwa. 30 Na vile vile, nywele za kicha yenu ime hesabiliwa. 31 Njo mana mu si ogopi. Ju muko ba maana sana kuliko ma ka suku bengi. 32 Njo, kila mutu ata ni kiri mbele ya batu, na miye nita mu kiri mbele ya baba yangu aliye ju mbi nguni. 33 Na wule ata ni ka na mbele ya batu, na miye pia nita mukana mbele ya Baba ye ngu aliye ju mbingni. 34 Lakini musi waze kama nilikuya kuleta kimia (amani) mu dunia. Siku kuya kuleta kimia (amani) lakini ni mupanga. 35 Sababu nili kuya kwachanisha mtoto na baba ya ke, na binti na mama yake, na bibi ya mtoto wake na mama mukwe yake. 36 Na mtu ata kuwa na ba aduwi batu ya nyumba yake. 37 Ye ule ana penda ba bayake ao mama yake kulike miye ahastaili kwa ngu na ule ana penda mtoto binti wala mwana wume kuliko miye ahastaili na na miye. 38 Mwe nye aata beba mu salaba na kuni fuata anipendi. 39 Mwenye ata ku tana na mayisha yake ata ipoteza, lakini mwenye ata poteza mayisha yake kwa ka jili ya ngu ata yi pokeya tena. 40 Mwe nye ata bapokeya ata kuwa ameni pokeya nayeye amani pokeya, ata kuwa ame poke ya ule ali nituma. 41 Na wale ata pokeya nabii kwa sababu yeye ni nabie, ata pata mailipo ya nabii. Na ule ata pokeya mtu wa kweli ju ni wa kweli ata pokeya malipo ya ukweli. 42 Na ule wote ata patiya kopo ya mayi ku muya ya ba toto ya ke kwa sababu na bana funzi bangu, kwa ukueli na bambiya, ata poteza ka malipo yake.
Sura 11
1 Ilukuyaka tu Yesu ana Isaka kubatia banafunziba ke kumi na mbili mafundisho fulani, aka enda toka palende akafundishe na k u hubiri muma migini yabo miji minene. 2 Pale njo yaona wa kubatiza batu (ao mubatizaji), pale yeye eko mu buloko, akasikiya kavunu ya makazi Kristo alianza kufanya, akatma mjumbe na mwa nafunzi wake moya na kumwambiya 3 Weye njo ule atakuya ongleko mwingini? 4 Yesu akajibu asema " mwene na mupatie habariya mambo ile munaona ile munasikia . 5 Bipofu bana anza kouna , ba bilema binatembeya, bama bukoma papona, bale basikiyo ya kufwa baoba bana anza kusikiya , bafu banafuka, na habari njema iko ina hubiriwa ku batu bama itaji. 6 Waheri ni ule mutu asipate ki kwazo kya ku mwangusha kupita miye. 7 Pale wale waku wali anza kuridiya Yesu akanza ku ba ambili bikundi bikuya pale mambo ina angaria ni matete ikona tenda juu ya pepo . 8 Sasa mulitoka kwenda ku ona nini ? Mutu mwenye kuvwala ma nguo ya bupanda mwekundu? Bya kweri tu bale bana vwala ma nguo bapamba mwekundu beko naikala mu ma nyumba bafalme. 9 Sasa mulitoka mukaona nini, nabii, ao? kweli naba ambia, na ule anapita nabu nabii . 10 Mu one bali andika juu yake: " ona , natumba mbele njumbe wangu ule ata kutengenenzea njia yako mbele yako. 11 Na miambiya kweli aktikati ya bale bote benye kuzaliwa na banamuke ata mutu moya amupitabukubwa. Lakini ule mutu wa chini sana mu falme wa mbigu ana mupita bukubwa. 12 Tangiya masiku ya yaono ule wa kubatiza watu kufika leo ufalme wa mbigu niyaku komba nia tena ni watu wana nguvu na makari njo bata ingiyaku nguvu. 13 Juu ba nabii bote nayenye sheria, bile balitabiri na ishiya peko yaono. 14 Na kama muna mwichika ye njo eliya, ule bali semaka atarudiya . 15 ule wa masikiyo ile ina isikiyaka, asikiye. 16 Mitafananisha iki kizazi na kitu kani? iko saa batoto bale bekona cheza pa nsoko, kisha banaikala chini , bana anza ku uliza uyu kwa uyu aseme . 17 Tu libapikia aba ba mindule, batu hamu cheze. Tuna baimbia nyimbo yakilio, na mweye hamulie. 18 Yu yoano ali kuyaka, asikule chakula ya batu bote , a si kunywe pombe na bali sema: " ule eko na pepo mubaya". 19 Mtototo wa mutu anakuya ekonakula na kunwa, apa batu banasema: " ni mutu ekonakula mubaya tena mulevi rafiki wa batu ba nzambi na balpishana malipo ya sheria ya inchi". Lakini benye akiri banaba juwaka kupitia makazi yabo. 20 Kwanza pale Yesu aka anza kufokea ile migini mine ne ile alipitano mi ujiza ya munene ili fanyika juu batu bamu. Ile migini ya minene ile habaku mwamini. Laana kwako korazini ! 21 Laana kwako Betesaida kama hii miujiza minene ile ili fanika mutilo ao musidoni kama ile migini ikoako na leo, balitafuka kutubu mu kirizo,ya kupasla ma nguo kurimwangya maivu. 22 Siku ya kukata mambo ya mwisho, batashushako roho juu ya migini kupitaa mwenye. 23 Na weye kapalanaume, uneriwaziaka aseme bata kupandishaka mpaka mu mbigu? Apana bataku shushana kufika mu kaburi. Juu kama ile miujiza ile ilifanika mule, kama ili fanikaka mu Sodomo, kama ikoaka na leo hii. 24 Sasa nami ambiya aseme ile ili fikaka mu Sodoma itakuwa kiloko kupita yoko 25 Ile wakafi ile Yesu akasema. "nakusifu baba mwenye heshima yote mu mbingu na pa dunia, juu uli fuchika hii maneno kwa bale batu benye mawazo murefi na kwa batu ba akari, na ku ionesha wazi kubatu ba shokufunda naku batoto kuloko. 26 Ni vile baba njo vile weye ulipenda. 27 Ibi bitu byote babayangu ani achia byo chini ya bu ongozaji bwangu. Hakuna ata mutu moya ana mu juwa mutoto muzuri, paka babi tena hakuna mutu awa mu juwa tu baba muzuri, paka to mutoto ye peke na ule mutu mtoto ata anesha ye wazi. 28 Mukuyeni kwango mwe bote muko nama kazi inemi chkesha miziko ya buzito inemi kunjamisha mikongo. Mitemipatia kupumuzika . 29 Muvwale kyuma kya batumwa kya mushingo kile miye mina leta na mufwate mafundisho ile minaleta, juu niko na bileta na roho ya kurishusha na akiriya teketeke njo maroyo yenu nayo itapumuzika. 30 Kya mushingo kyangu akina nguvu na kya kubeba kyangu akinabuzito"
Sura 12
1 Siku ya sabata Yesu alionda kupitia mashamba . Wanafunzi wake balikuwa na njala na bakaanza kukati masuke na kuya kula . 2 Bafarisayo banabaona na bana mwambia Yesu: " wana funzi wako banafanya enye sheria inakataza siku ya sabata. 3 Yesu a mabambia: "bado hamujiasona enye Daudi alifanya wakati alikuya na njala yeye na batu benye alikuwa nabo? 4 Namuna jinsi aliingia ndani ya nyama ya Mungu na kula mekate ya wanyesho, enye, kitu yenye sheria ilimukatalia yeye na watu wenye wa likuwa na ye lakini ilikubaliwa kwa makuhami. 5 Na hamuyaisona ndani ya sheria kama siku ya sabato makuhani ndani ya hekua huinajisi sabato lakini habana hatia ? 6 Lakini bambia mwenye iko mukubwa zaidi ya iko mukubwa zaidi ya ikolu iko apa 7 Mungejua maanaa ya iki ningipenda uruma lakini na katala alhabibu hamungeangsha bale beyne habana atia . 8 Kwa sababu mutoto wa mutu njo bwana wa sabata. nyuma yapa Yesu akatoka pale na akoingia ndani ya simagagi yabo 9 Nyama yapa Yesu akatoka pale na akoingia ndani ya sinagogi yabo. 10 Apo kulikuwa mutu moja mwenye alioza mukono. Mofarisayo banamuliza Yesu banasema: " sheria inanuusu kupanye sha mutu siku yan sabata ?" Ju bamustaki kama anafanya alhomba . 11 Yesu akabambia " nani ndani mwenu mwenye ananguka ku shimu siku ya sabato ! 12 Mara ngapi mutu iko na maana kumshinda koondo kwani iko muzuri ;kufanya muzuri siku ya sabato 13 Kisha yesu ana mwambia ule mutu "nydosha mukono wake aminyoosha, na aka pana kwa liomoya . 14 Bafarisayo bakatona na kapanga jinse ya kumufanya mubaya. 15 Yesu alie lewa oya mipango, akatoka pale . watu wingi walimufuata na walipona wote. 16 Aka bambia basiambie batu gegine. 17 Ju itimike ile enye ilisema na nabi . Isaya, akasema. 18 Uzu njo mutu misha wangu wangu yule mwake nafasi yangu nilimuchagua, mpendwa wangu yulu mwake na fasi yangu inapendeza. Nitatia roho yango yule yake na atatangaza (wali ataubiri) hukumu kwa mataifa (wa pagano) 19 Halatomboka walea kulia kwa nguvu , na hakuna ata mutu moya mwenye ata sikiya sauti yake mitaoni (mu manjia) . 20 Havunja ata tete moyo enye enye inatosha moshi mpaka ataleta hukumu ikashinda. 21 Na mataifa batakuya na ujasiri ndani ya jina yake . 22 Balimuleta Yesu mutu moya wa kipofu na bu mwe mwenye alikuwa na basimu. Anamuponyesha pamoja na matekeo ya kama mutu bubu anasema na kuona. 23 Kikundi yote banashangola na banasema " inawezekana uyu mutu akuwe mwana wa Daudi . 24 Walifalisayo walisikiya kuusu aya muujiza wakasema uyu mutu ana futukuza mapepo kwa nguvu yake mwenyewe Belzebuli, mukubwa wa mapepo. 25 Lakini Yesu alijuwa mawazo yabo na akambia " ufalme yote enye inangawanyika peke yake inaomba baiyovunje na kila muji au nyumba enye enagawanyika pekeye houtasimama . 26 Ikawa shetani atafukuza shetani, basi anajipinga katika nafsi yake mwenyewe kwani ufalme wake uta simama je ? 27 Na kama mafuta mapepo kwa nguri ya Belzebuli, na kwa nji ya nani bafuasi yenu batabafukuza? Ju ya ile, bata sambishwa . 28 Kama nafukuza mapepo kwa nguri ya roho wa mungu basi mufalme wa Mungu anakuya kwenu . 29 Na itafanyikana je mutu majo aingie ku nyumba ya mutu wa nguri na kuiba bitu biake kama bado akumufunga mbele? Njo atajiba bitu biake yote. 30 Mutu yote mwenye haiko pamoja na miye iko kinyune yangu na yeye pia hatakusanya na miye pa moja. 31 Kina hiyo nabambia dhambi yote na kufunu batu batasamehewa, lakinki ku furu wa roho mtakatifu hatasamehewa. 32 Na mutu yote atasema kinyume cha mwana wa Adamu atasemekwa. Lakine ule mwenye atasema kinyume na roho mtakatifu , yule hatasomewa ikuwe katika iyi dunia na katika dunia enye itakuya. 33 Mukifanya muti nzula na matunda nzuli pîa, na kama mukifanya muti mubaya na matuunda yake vile itakuwa mubaya kwa sababu banajuwaka muti na matunda . 34 Kizazi kya nyoka nyi, batu babaya, mwanagani mutasema mambo muzuri kwa sababu kiniwa insema kwa kuyuza kwa roho. 35 Mutu mwena anatosha mazuri zanye ziko ndani ya roho yake ;, na mutu mubaya anatoshabia mubaya zenye ziko ndani yake. 36 Na bambia sku ya lukumu, batu mingi batambua masemo yote enye haina maana enye balikwasema. 37 Kwa kuwa kwa masemo yenu itahesabiwa haki na kwa maneno yenu ita samehewa. 38 Kisha ba noya wa baandishi na bafarisayo banamujibia Yesu na bakasema: " Mwalino tuna penda utuonyeshe ishara " . 39 Lakini anajibia na kubaambia, kizaki kibaya na kya zimaa banafuta ishara. Lakini hakuna ishara yenye itapewa tena kuacha ishara ya yema nabii . 40 Kama vile yona alifanya siku tatu mu tumbu ya samaki, njo vile mutoto wa nchi keva siku tatu muchana na busiku 41 Batu ya Ninive batasimama siku ya hukumu na hiki kizazi na atabahukumu. Kwa sababu balitubu kwa huburi ya Yona na angalia , mutu moyo mukubwa kumushinda Yona iko apa. 42 Matia wa kusini atasimama siku ya hukumuna watu wa kizazi hiki na atabahumu. Alitoka ku mwisho wa dunia zuya kusikia hekima ya sulemani, na angalia kuna mutu mja hapa kumishinda kwa mbali sulemani. 43 Wakati mapepo muchafu anatoka ndani ya mutu itapita kwenye hakuna mayi ju ya kutafuta fasi ya kupumuzika, hakini haune . 44 Kisha atasema nitarudie nyumbanu ni mwangu kwenye nimetoka " na wakati 45 aturudia anakuta nyumba imesafishwa na iko tayari . Kisha atarudia na kukamata mapepo saba nyingine kumushinda yeye, na bote batakuya kuikala mu nyumba, njo maishaya uyu mutu itakwa tena mubaya kushinda maisha yake ya kwanza . Njo vile itakuwa na kizazi hiki kibaya 46 Wakati alikuwa anaongea na umati ( kindikwa batu), mama yake na wa ndugu wake waliza mama inje wakafuta kuona na ye . 47 Mutu moya akamwambia, angalia mama na wanduku wako wapo inje, wana kiyo kuongeo na weye 48 Lakini Yesu onamujibia na aka mwambia : " ni nani mama yangu na wa ndungu zangu ni wa nani ? . 49 Kisha akanyosha makona wake kwa wanfunzi wake na akasema :" angalia aba njo mama na bandungu wangu. 50 Kwa mutu yote mbinguni huyo matu njo ndugu yangu dada na mama yangu.
Sura 13
1 Kwa ile siku, Yesu alitoka mu nyumba ile arianza kufundisha pebeni ya bahari. 2 Batu mingi barimujungu laka na aringia mu mutumburi na anaikala. Na kundji ya batu barikuya baikuya tu ku kavu ya bahari. 3 Kisha Yesu aribambiya maneno mingi mu mifano: «Angariyeni mupandaji ana ende kupanda mbegu.» 4 Wakati alianza kupanda mbegu, na yingine ile angukiya kumpembeni ya njia. Kisha ba ndege bakaikula. 5 Ingine mu mayibwe na bulongo ilikuya kiloko. Na alichofa tena sababu bulongo iriku ya murefu. 6 Na wakati jua ili toka, nabile baripanda birika uka baribichoma sababu mijiji ili kauka. 7 Ingine iriangukia mu nuba, na miba wakati ili ko meya ilijifunga. 8 Na ingine mbegu iliangukia pa bulongo muzuri na irizala matunda, ingine miya moja kupita, yingine mumi na shita, na ingine kumi na tatu. 9 Wa mashikiyo ashikiye. 10 Banafunzi bana kuja kwa Yesu na ku mwambia: «Kwa nini unasema paka mifano ku kintunju?» 11 Na aribajibu na kuwaombiya : « mweye munapewa upendeleo ya ku jwa (siri) uficho ya bu falume wa mbingu. Sabu bo habakuyi pokeya.» 12 Kwa ule eko nayo batamu ongezea tena, lakini kwa ule hana nayo, na bata mutosha tena ile eko nayo. 13 Alianza tu kuba ambiya mumifano. Kama bo bana ona, banaona lakini haboone, bana shikiye lakine habashikiye tena. 14 Naifayiunabii wa nabii Isaya: mutashikia lakini hamutayi pokeya. 15 Na ma roho yabo ili ku ya bila uzima, sababu mashikiyo yabo ilikuya nguvu kushikiya na macho yabo irifungiwa, na ma roho yabo ilikosa kufuata, sababu barudiye na ba tunze. 16 Ibarikiwe macho yenu na ione, na mashikiyo yenu ishikiye. 17 Kwa ukweli nibambiya, ma nabii wengi na benye ukweli baripenda baone mambo hiyi na ba kuyione, nabali penda kuyisikiya na bakuyisikiya. Abakuyi sikia ata kiloko 18 Musikiye mufano wa mupandaji mbego. 19 Kama mutu anasikiya sauti sababu ya ufalme, nahayi sikiye, na shetani ni mukalamushu ata tuya kuyiba ile inaisha kupandiwa ndani ya ma roho yao. Ni sawa mbegu ili anguka pembeni ya injia. 20 Na mbegu ile irianguka mu mayibwe, ni ule ana sikiya sauti na kuyipakeya wepesi kwa furaha munene. 21 Na pasipo mijiji na kuvumilia kwa wakati kidogo. Kama mateso na kusumbuwa inafika kwa sababu ya sauti la Mungu, na wana jikwala wepesi. 22 Ingine ilianguka mumiba, ni ule auaisikia sauti lakini mashaka na udanganifu ya dunia na mali ina songewa kwa sauti la Mungu na hayizale tena matunda. 23 Na mbegu ingine ilianguka mu bulongo muzuri, nikwa ule auasikiya sauti ya Mungu, kwa uhaki ni ule auazala matunda nzuri. Na auailima te; ingine mara mia moja kupita, ingine makumi sita na ingine makumi tatu ya kuyi tengeuza. 24 Yesu aliwaletea mfano na anasema : « Kwa ni ufalme wa mbingu unafanona na mutu yule alipanda mbegu muzuri katika mashamba yake. 25 Na wa kati watu wali lala, na adui yake na ye alikuya kupenda mbegu mubaya na akaenda lwake. 26 Wakati mbegu ili kumeya na ili zala matunda yake, majani mu baya ili one kana tena. 27 Ba tu mishi ya mwenye shamba barikuya na ku mwa mbia: Mwalimu, haukitima matunda muzuri mushamba yako? Kwa nini unapata majani mubaya? 28 Na aka wambiya :«Ni kazi ya adui.» Na watumushi walifibu: "Unapenda twende tubi toshe?" 29 Mwalimu akajibu " Apana, musitoshe magugu Aababu mutaweza kutosha ngano." 30 Muache magugu na ngano iko meye pamoja mpaka waka wa mavuno. Na wakati ni ta sema na muvunaji : «Muitoshe kwanja magugu, » muyi weke fazi moja na mu yi funga pamoja ju ya kuichoma, na kisha muchanga ngano pamoja na ku yi weka mu gala. 31 Kisha aribambiya mufano ingine na ku sema : « Ufalme wa mbingu umefanana na mbegu ya mutarde (haradali) kama mutu aribeba na kuyipanda mu mashamba yake.» 32 Mbego hiye keko kaloko kupita ma mbego yote. Makisha kukomeya kwayo, ilikuya muti munene ndani ya ma shamba. Na mandeke barianza kuya na kuweka bisangala biaba kutu miti kiloko. 33 Yesu aribambiya mufano ingine tena : « Ufalme wa mbingu unafanana na chachu ile mwana moja aribeba na auaichanga mubipimo bitatu biabunga ivimbe. 34 Yesu arifundisha tena kinkuandji na arisemeya tena paka mumifana. 35 Na irikuya tu ju yeneshewe mubile na bii aribitangazaka : « Mita fungula kinua changu na mitasema mu mifano mubitu bile bia kufichama tangu mwanzo wa dunia. » 36 Na kisha Yesu kutuma kinkundji ya batu, na arieuda munyumba, ba tumishi bari muchofeya na bari anza kumwambia: «Utwelezeye mufono huji ya magugu ya mu mashamba.» 37 Yesu aribajibu : « Ulearipanda mbegu ni mwana wa mutu. 38 Na mashamba ni dunia. Na mbegu muzuri ni batoto yo ufalme wa mbingu. Na magugu ni batoto ya shetani. 39 Na adui aripanda magugu ni shetani. Na mavino ni mwisho wa dunia. Na bavinaji ni ba malaika. 40 Na mo jani mubaya batayi funga fazi moja na kuyi choma, ita kuya mwisho wa dunia. 41 Na mutoto wa mutu ata tu ma wa malaika, kwa kumata ufalme yake kwa maneno yote ya zambi, na bale benye kutenda ma kosa. 42 Na atabatupa mu chungu yaa moto ya nguvu, kule kuta kuya kuria na kusaga kumeno. 43 Na benye kweli bata angala sawa jua mu ufalme wa Baba yao. Na ule eko na mashikiyo ashikiye. 44 «Ufalme wa mbingu unafanana tena sawa mali ya ku fichika ndani ya ma shamba.» 45 Tena ufalme wa mbingu ni sawa mwenye kufanya biashara ya beyi. 46 Na wakati ana ivumbula ile mali ya beyi mingi na awa yi zusha 47 Ufalme wa mbingu una fana nisha tena na makila ile bantupa mu maji ya bahari, na inabamba kila semeki yote ya kuachana. 48 Kisha bana anaiweka mu bitunga bizuri, na samaki ya yote ile ya mubaya bariitupa. 49 Njo vile itakuya siku ya mwishe. Na ba malaika batakuya pale Mungu ata hukunu batu na kuba ka bula na benye kuya na uwaki. 50 Na bata bata tupa uki jibo ya moto ya nguvu, mule mutakuya kuria na kusaga meno. 51 «Namuna bisikiya muzuri?» Na ba tu mishi ba kamujibu: 52 «Ndiyo, tu na bishi ki ya.» Na Yesu akawambia: « kila mwanjikaji ata mufwanya mwana funzi wa ufalme wa mbingu na mutu yule anafanana na nyumba inakuya na bitu bia zamani na bitu bia sasa kama mari yake. 53 Kisha Yesu alimaliza ju ya mifano yote, na aka ondaka pa ile fazi. 54 Na kisha Yesu aringiya mu mugini na akaanza ku wa fundisha mu sinagogi yao. Bale bariishiya barikaanza kushanga na kusema: « Wapi ku na tokea hekima ya huyu mutu na muijiza?» 55 Huyu mutu ana mutoto wa mufwanya ma mbao? Na mari ashikukuye mama yake? Yakobon Yusufu, Simeoni na Yuda abakukuya banduku yake? 56 Na ba dada tena haba kukuya katikati yetu? Sasa huyu mutu anatosha wapi hiyi maneno? 57 Baliona kama vile auaba songeya, lakini Yesu aka wambiya: « Mutu haba muitika kwabo wa mu inchi yeke». 58 Na haku fwanye miujiza mingi pale sababu ya mioyo migumu yao.
Sura 14
1 Kwa ile wa kati, Herodia alisikia habari ya Yesu. 2 Aka ambia batu mbishe: «ni yoha ne mu ba tizai djo anafufuka ku ba fwe. djo mana nguku ina tumika ndani yake». 3 Kwa kuwa, Herode ali mufunga yohane na ku mutu ma ku gerza kwa dju ya Herodia, bibi wa ndugu ya Filipo. 4 Dju yohane ali mwambiya: « ai kurusi wa ku sheriya ku beba uyu mwana muke kama bibi yake. » 5 Herode alipenda ku muwa, lakini ali kua na ogopa batu, kwa sababu bali muona yohani ka ma vile mu nabii. 6 Lakini wa kati siku ya kuzaliwa ya Herode ilifika, binti wa Herodia ali cheza ndani ya batu na ku mu pe ndeza Herode. 7 Katika, wa kati ya ku mujibiya aka mu laga kitu kwa ku mu la piya dju ya tu mu patiya yote yenye ata mulomba? 8 Baada ya kupata shauri kwa ma ma yoke, akasema: « uipatiye miye apa, dani ya sahani kitshwa ya Yoane mu batizaji.» 9 Mufalme aka tshangani kwa dju ya kulamba ya binti, lakini dju ya ku lapa ya ke, na dju ya bote benye bali kwa na ku tchakula ya mu tchana, aka rusu ile ifanyike. 10 Aka tu ma baende kata kitcha ya Yoane ku gereza . 11 Na kitcha yake bakaileta ndani ya sahani na ba ka mu patiya uyu binti, aka ibebeya ma ma ya ke. 12 Kitcha, banafunzi ya ke ba kafika ma kuanza ku liya muili ma ba ka muzika. nyama ya iyi, ba kaenda na baka mwambiya Yesu. 13 Wa kati Yesu aka sikiya ile, ata ditacha kule, ndani ya mutumbu, dju ya kuenda fasiyake peke wakati ki kundi ili yuwa fasi ilikwa, batu bali kwa na toka ku midini dju ya ku mufuta ku migulu. 14 Na Yesu aka simama mbele yabo na kaona kikundi ya batu. Aka basikilia huruma na ku ponesha benye ba gondja yabo. 15 Wa kati ya magaribi, ba nafunzi ba ka kuya kwake na baka mwambiya: « iyi fasi ni ku pori, na wa kati ina pita Rudisa kikundi dju baende ku mungini ku diuziya tshakula.» 16 Lakini Yesu aka ba mbiya: «Abana hamu ya kuenda. Mu bapatiye mweye peke kitu ya ku kula. » 17 Ba ka muambiya: « Tu ko apa tu na mikate tano na samaki mbili. » 18 Yesu aka sema :« Muni leteya ayo. » 19 Yesu aka mbiya ki kundi bai kale ku mayani. Aka beba mikate tano na samaki mbili. Aka ngalia ku mbingu ni, aka bariki mikate na kui kata na ku patiya banafunzi ya ke, ba ka gabuliya ki kundi. 20 Ba ka kula bote na kishiba. Kisha baka beba mikate yenye ili ba kiya, bitunga kumi na mbili ya ku yala. 21 Benye balikula bali kwa karibu batu milioni tano, kutosha banamke na manaume. 22 Ku limoya kish, akaba pandisha banafunzi yake ku mutumbu dju baende mbele ku ngambo ingine, wa kati ye ke ikona rudisha kikundi. 23 Baanda yake ku rudisha kikundi, ata panda ye peke ku mulima dju ya ku lomba. Wa kati magaribu ili fika, alikwa pale yepeke. 24 Lakini mutubu, pa kati kati ya mayi, ikakwa na yumba yumba kwa sababu ya ma wimbi, dju pepo ile kwa na kuya ngambo moya. 25 26 27 Katika busa buyi ya zami ya mara in ne, Yesu aka ba zogeleya, muku tembeya dani ya mayi. Wa kati ba nafunzi yake baka muona mukutembeya yulu ya mayi, ba kasi kiya baka na ba ka sema: « Uyu ni muzimu», na baka lala mika dju ya boga. Lakini Yesu aka ba semeya mara moya na aka ba mbiya: « Muji patiye moyo! mu siogope. » 28 Petro aka mujibiya na ku sema: «Bwana, kama ni weye, unya mbiye ni kuye karibu ya mu ku te mbeya ku mayi. » 29 Yesu aka sema : «Kuya»! kisha, Petro aka toka ndani ya mutumbu na aka tembeya yulu yami dju ya kwenda karibu ya Yesu. 30 Lakini waka ti Petro aka ona mupepeyo, aka ogopa. Na akanza kuzama chini ya mayi, aka lala mika: «Bwana, ni poneshe! » 31 Kwa mbiyo Yesu aka nyorisha mukono yake na kumu bamba kumu kamata Petro, na aka sema: « Mutu wa imani kidogo, dju ya nini ukona pinga? » 32 Na wa kati Yesu na Petro bali banda ku mutumbu, mu pepe yo ika si ma ma. 33 Kisha banafunzi benye bali kwa ndani ya mutumbu baka muabudu Yesu na kusema: «Kwa ukweli; uko mtoto wa Mungu ! » 34 Wakati balienda ku vuka ku ngambo ya mayi, baka sima ma ku Genesareti. 35 Wakati batu ba ile fasi ba ka mu yuwa Yesu, baka tu mana mi dju mbe fasi yote ku migini ya pembeni, pembeni « kando, kando», na ba ka mu leteya wote mwenye ali kua na ma godjua. 36 Baka mu bembeleza dju baguse maguo yake ma bote menye bali mugusa bali pona.
Sura 15
1 Bafarizayo na waadishi balitaka yerusalema, bakafika pemneni na yesu . 2 Bakamuhuliza , juu ya nini banafunzi bako habaeshimie sheria ya bazee kwa sababu biko na kula kunawa mikono. 3 Yesu akabajibu, na mweye juu ya nini amueshimie sheria ya Mungu juu ya sheria yenu . 4 Lakini Mungu alisema, eshimie baba yako na mama yako, na ule wote ata uovu baba yake ao mama yake kweli atakufa. 5 Mweye munasemaka na baba ao mama, musaada nilipenda kusaidia moliwate ayo juu ya kutolea Mungu. 6 Mutu huyo akisha hivi hawezi tena kusaidia baba wa ba mama yake. na hivi nzo munahari bu maandiko ya Mungu juu ya sheria yenu. 7 Mweye bato ya bongo, nabii isaya alitabiriaka kweli juu yenu . 8 Mungu akasema batu haba bananihe shimu kwa kinywa, lakini roho yabo iko mbali na miye. 9 Maombi yabo niya bure, sababu bana fwatatu mahubiri ya banadamu. 10 Kisha akaita batu bote akabaambia, musikie na mutamue. 11 Hakuna kitu nkuingia, kukinywa ya mutu na kumuaribisha roho, laki nini ile Enye kutokako kinywa, nzo inaharibishaka roho ya mutu. 12 kisha banafunzi balienda kusema na Yesu, unajua kama maseme yako unafaza isha sana barizao ndani na maroho yabo?. 13 Yesu akabajibu asema , mutiyote, yenyewe baba yangu azikupanda ita ngolewa?. 14 Ubaache, biko baongazi vipofu, kama mutu kipofu anaongoza mwenze yake kipofu, bote mbili batahanguka ndani ya shilu. 15 petro akajibu na kumwambia Yesu. Utuambia mfano hi unatoka kusena. 16 Yesu akazibu, na mweye amuyakua bado na kuttambua?. 17 Hamuoni kama kila kitu ikaenda ko kinywa kupitia kutumbu na kwenda choo? . a 18 Kakini bituyote kotoka kukinywa kutoka na roho, niyo inaharibisha ka roho ya mutu. 19 Juu, ndani na roho, inatokaka mawazo mabaya, uuaji, usharati wizi usuuhuda wa uongo, na matusi. 20 Huyu nzo mambo inaharibisha roho ya mutu. 21 Yesu akatoka, mule, akatoka, akaenda kumunginiya mronasidoni. Akakutana mwana muke mkanani kutoka upande hiyo. 22 akapandisha sauti akisema "nihurumie, bwana wa daudi: mtoto yangu anagonza malali ya pepo. 23 Yesu akujibu neno, bana funzi yake, bakaenda kumuomba, ahache arudi kwake juu ya kelele. 24 Yesu akajibu, sikutumiwa kwa mutu yote, ni juu ya kondoo walipotea wa nyomba ya israeli . 25 Lakini alikuya na kuinana mbele yake, akisema, bwana nisaidie. 26 Alimujibu na kusema, " hauzikana, kubeba chakula ya batoto na kuwatupia imba" 27 Akasema, ndiyo bwana, hata hivi, imbwa wa dogo banakulaka kinangukia ku meza wa bwana yao. 28 Yesu akajibu naakisema" imani yako nikubwa. na ifanyike kwako kama unapenda, nya mutoto yake alipona ile wakati. 29 Yesu akaondoka pale na kwenda karibu na bahari ya galilaya, kisha alienda juu ya milimana kuikalia kule. 30 Kundi kubwa balikuya kwale na kumletea viwete, vipofu, mabubu, vilema na wengine, balikuwabagonzwa, baliba weka katika miguu ya Yesu na akabaponesha. 31 Na hiyo umafi bakashangaa baliona mabubu baligea, na bilena banakua bazima, viwete balitembea na vipfu wakiona. balimsifu Mungu wa Israeli. 32 Yesu akaita bana funzi wake, akasema "minawaonea hurumaunati, kwa sababu bamekuwa na miye kwasiku tatu bila kukula chakula, sitabarudisha kwao bila kukula, kwa sababu bakazimia kuzia. 33 Bana funzi yake baka mwambia, niwapi tutaweza kupata mkate ya kutosha nyikani ya kushibisha umatikubwahivi?. 34 Yesu akawaambia,«mukonamikatengapi? bakasema , saba, nasamaki wadogo wachache. 35 Yesu akawambia na umati kuikaa, chini. 36 Alikamatayule mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaaigawanya na banafunzi. banafunzi bakawapa umati. 37 Watu wote walikula nakutosha, na baka kusanyika mabaki ya vipande ya chakula wa vipande vipande, iliyala vikapusaba. 38 Wote walikula walikuwa banaume elfu ine bila wanamuke na batoto. 39 Kisha Yesu akarudisha makutano baende kwao na akaingia ndani ya mashua na kusafiri sehemu ya magadani.
Sura 16
1 Wafalisayo na wasadukayo walikuya kwa Yesu kumijiribu muhiyiza inayo toka mbingani. 2 Yesu aliwajibu na kuwaambia kama " ikiwa magaribi mnasema hali ya hewa ni mzuri, ababu julu ni nyekundu. 3 Na asubuyi mnasema " hali ya hewa leo si mzuri kwa sababu julu ni nyekunda na mawingu inayafunika yulu lote mnajiwa kutafisili kuonekana kwa juu, lakini amuwezi kutafisili miuziza ya wakaki. 4 Kizazi kibaya na cha usharati kinatafuta miuziza lakini hakuna miuziza isipo kuwa ile ya Yona. Kiishja Yesu akotaka na akaenda zake 5 Wanafunzi wakamba ngambo ya pili, lakini walisahau kukamata mikate. 6 Yesu akawaambia " angalisho na vinyo na shachu ya wafalisayo na wasadukayo". 7 Wanafunzi wakaanza, kuwaza wenyewe: " Ni sababu hatukeleta mikate". 8 Yesu alijiwa maneno wanafunzi walikuwa wakiwaza , akasema "niye wenye amani kidogo, kwa nini juu hamukubela mikate? 9 Ndio kusema hamukumbuki ile mikate tano kwa watu elfu tano na bitunga bingapi ile mulikusanya kishu kula? 10 Au mikate saba kwa watu elfu ine bitunga bingapi mulipo kusanya kisha kula ? 11 Namna gani hamukuweza kama nilikwa ni kisema juu ya mikate hangaisho na chachu ya wafasiyo na wasadukayo. 12 Kiisha wakajuwa kama alikuwa akasema muwe hange na mikate iliyo na chachu lakini muwe na angaisho kwa mafundisho ya wafalisayona wasadukayo 13 Wakati Yesu alifika mtaa wa Kaisaria ya filipo akawauliza wanafunzo wake kama watu wako wanasema mtoto wa mtuni nani. 14 wanafuzi wakamyibu watu wanasema uko Yohana mbatizazi, wengine Eliya na Yeremia, au ni mmoya ya wanabii. 15 Yesu akawauliza , sasa niye munasema nini juu jangu? 16 Simoni Petro akajibu wewe ni kristo mtoto wa Mungu wa huzima . 17 Yesu akamwambia: unaburikiwa Simona mtoto wa Yona, sababu si kwa damu ao kwa mwili haiku kupatia ile jibu lakini ni bababa yangu aliye mbinguni. 18 Na mimi pia na kuambia kama wewe ni Petro na jiu ya mwambahii ndio mitajenga kanisa langu. Milangu ya kuzimu hatalishinda. 19 Nitakupatia fungola za mufalme wa mbingu yote utakapo ifunga hapa duniani kitafunguliwa mbinguni. 20 Kiisha Yesu akawapatia wanafunzi oda hii: wasiseme na mtu yeyote kama jeye ni Kristo 21 Basi, Yesu akanza ku waambia wanafunzi wake kama inampasa kwenda Jerusalemu kuteswa kwa mambo katika mikono ya waju wa makuhani na wandishi, atauwawa na kufufuka siku ya tatu . 22 Kiisha Petro akamukamatia Yesu akaenda naye pembeni kwa kumukataza kwa kusema " neno hili likwe mbali nawe bwana isikutoe. 23 Lakini Yesu akamwangali Petro akasema " rudi nyuma jangu shetani ! weye ni kizuizo kwangu, kwa maana hawangaikie maneno ya Mungu , lakini maneno ya watu. 24 Kiisha Yesu akawambia wanafunzi wake kama mutu yote akitaka kunifuata mimi ni mzuri ajikatale ye peke na abebe masalaba yake na anifuate. 25 Kwa kuwa mtu ule anayetaka kuokowa maisha jake ataipoteza na ule yote anaye poteza maisha yake kwa ajili yangu ataiokowa . 26 Je ! Ni kitu mtu anaweza towa katika kubadilishama na maisha yake 27 Kwa kuwa mtoto wa mtu atakuya katika utukufu wa nbaba jake na wamalaika wake , na ye atamulipa kila mtu kufuatana na kazi jake . 28 Kweli ninawambia kuko wenye kati yenu hapa ambao hawatoona kufa mpaka watamuona mtoto akikuya kati ufalme wake.
Sura 17
1 Masiku sita kupita, Yesu aka beba Petro, Yakoba na Yohana ndugu yake, na kuenda nabo yulu ya mulima. 2 Aka badilika yabo. Suna yake ika geuka kama djuwa, na manguo yake inangara kama vile nuru. 3 Na muone Musa na Eliya bana ongeya naye. 4 Petro akamujibiya na ku mwambiya Yesu: "Bwana, ni muzuri kwetu tu kwe apa. Ukapenda, Mita jenga aapa ma nyumba tatu, moya yako, moya ya Musa, na moya dju ya Elia". 5 Gisi alikwa na sema tena, angalia wingu ya kwangara ika bafinika ika ba finika, sauti moya ili toka wingu na kusema: " huyu ni mutoto wangu mupendwa, mwenye nina penda mumu sikiye". 6 Wakati bana funzi bakasikia ile, bakanguka mbele yabo na baka ogo pasama. 7 Kitcha Yesu aka kuya ku bagusa na kusema: "simama na usiogope". 8 Nabo baka lamucha macho yabo yulu nakini abakuona mutu kama aiko Yesu ye peke. 9 Wakati bali kwa na chuka ku kilima, Yesu aka bambiya kusema: " Musiseme iyi abariata kua mutu moya mpaka siku mutoto wa mutu ata fufuka ku bafwa". 10 Bana funguzi yake baka muliza bana sma: "dju nini bahandishi bana sema Elia ata kuya wa kwanza?. 11 Yesu aba jibuya aka sema: "kwa ukweli, Elia ata kuya na ata rudisha mambo yote". 12 lakini na bambiya: Elia alisha kuya, lakini mumu famiye. Bahati yake baka mufanya yenye balipenda. Na muna moya na mutoto wa mutu bali teseka ku mikono yabo. 13 Lakini bana funzi banasikia ana bambiya dju ya Yohani mubatisayi. 14 Wa kati balirudia kukikundi ya batu, mutu moya aka kuya mbele ya yasu, na kupiga magoti mbele yake. 15 Na akasema:" Bwana, umurumie mutoto wangu sababu ana kwaka na kifafa na ana teseka sana. Kwakuwa, ana angukaka mingi ku moto na ku mayi. 16 Mina mubeba kwa banafunzi yako lakini abakuweza kumu ponesha". 17 Yesu akajibiya: "Kizazi yenye ai amini na yakuaribika, mita ikala na mweye mpaka siku gani? mpaka siku gani mita ba vumilia? mumu lete apa". 18 Yesu aka mukemeya pepo mubaya na akatocha ndani yake kiyana aka pona ku ile wakati. 19 Kisha bana funzi baka zo geya mbele ya Yesu kusini na baka sema: " djuya nini atuku ba fukuza". 20 Yesu na bambiya kwa ukuli, kama muko na imani tu kidogo sa vile punje ya mbego, muna weza kwambiya ku ile kilima, "udji bebe kutoka apa na wende kule", akaji beba na akuna kitu kenye kita bashinda". 21 [Zingatia mambo ya mustari ya makumi mbili na moya " lakini, mapepo kama iyi ina toka tu ku moambi na kufunga]. 22 Kisha balikua ku Galilaya, Yesu ana ambiya bana funzi ivi: " bata pana mutoto ya mutu ku mikono ya batu, 23 Ma bata mu ua, na kusi ku ya tatu aka fufuka". Bana funzi baka kuwa na uzuni. 24 Wakati balifika Kapenaumu, batu benye bana lipishaka kodiya ya nusu shekeli dju ya kanisa, baka enda kwa Petro na kusema: "Je mwalimu wenu ana katala ku lipa kodi nusushekeli?". 25 Akasema: "diyo" wa kati Petro ali ingiya ku nyumba. Yesu amlisema wa kwanza na Petro akasema ivi: "nini una waza Simona, mufalme wa dunia, kwa na ni una pataka kodi ao ushuru? Kwa bo peke wala ku begeni?" 26 Wakati Petro ana jibiya: " kwa bengine" Yesu aka mambiya: "ivi bata waliwa bana toka katika kulipa. 27 Lakini dju ya ku tatala ku fanya mokosa (zambi), ku balipishi ya kodi, wende ku mayi, tupandobo ndani na utoshe sanati yenye ina kwa yakwa ku ndobo; wakati uta fungula kinua yake, uta ona shekeli moya. Kama tayo na uyi patiyi ba lipishi kodi sababu yako na miye".
Sura 18
1 na mu yile wa kati tu, bana funzi balikuya kwa Yesu na baka sema "Nani iko mukubwa zayidi kwa ufalme wa Mungu?". 2 Yesu alihita mbele ya bo mtoto mudogo na aka musi ma misha kati kati yabo. 3 Na aka sema, kwa ukweli na bambiya kama amu badilike, na kukuwa kana batoto badogo, amuta ingia kwa ufalme wa mbinguni. 4 Ju ya ile, mtu mwenye ata jishusha kama mtoto ule njo mukubwa zayidi kwa ufalme wa mbinguni. 5 Na wule wote ata pokea uyu mtoto mudogo kwa jina la ngu, a me nipokeya. 6 Lakini bale bote bato sukuma aba batoto kidogo benye bana nila mini ba na fanya zambi, na inge kuwa muzuri kwake bamu funge lijiwe kubwa na ba mutupe ku baali. 7 ole kwa duniya sababu ya wakati wa nguvu! kwa sababu niye mala na sana iyi bitu bifike lakini ole kua wule mtu ii bitu bitatokele ya! 8 Na kama mukono wako ao mugulu wako iko kwako nfiya ya ku anguka, uyi kate na ku itupa mbali na weye. Ni mu zuri kwaka ku hi ngiya ndani ya ufalme wa mbingu ni bila macho wala bila mu gulu, kuliko baku tupe ndani ya moto ya milele na mikono yote na mugulu yote mbili. 9 Kama licho yako iko kwako nfiya ya kua nguka, ugitoshe na kuitupa mbali na weye. Ju ni mu zari kwa ko kuingiya mu ufalme wa mbingu na licho moya kuliko kutupa ku moto wa milele na macho yote mbili. 10 Fa nye angalisho, Ju musi one aba batoto bure. Ju na bambia, kule mbinguni, ba malayika yabo ba na ona sura ya baba yangu aliye mbinguni. 11 Kwa sababu mtoto wa mtu alikuaya ju ya ku ta futa bale benye bali poteya. 12 Mu na waza nini? Kama mtu eko na ko ndoo niya moya kisha moya ina poteya, a ye awazi acha makunitisa na tisa bingine yulu ya mulima fu ya kwenda tafutana na ile ina peya? 13 Na kama nayipata, kwa kueli na ba mbiya, ata furahi tena sana ju ya ile kuliko makumitisa na tila yenye ayiku poteya. 14 Na ivi, ayiko mapenzi ya Mungu baba yenu mwenyu iko mbinguni ju moya kubatoto yeke apoteya. 15 16 kama ndugu yako an kukoseya, wende, na umaweneshe makosa yake na mu kuwe niye mbili weye na yeye. Na kama ana sikuya, una weza. Na kama akusikiya, ukamate ndugu mbili tena ju kupitiya ma kinya mbili ao tatu ya ushuda, ukweli ita patikana. 17 Na kama an katala tena ku ba sikiya, ka mata meneno ile iyi bebe mu kanisa. Na aki katala pia ku sikiya kanisa, mu mu kamate kama mupagani na mwenye an lipishaka koodi 18 Kwa ukweli, na bambiya, ile yote mu ta funga a pa mu duniya na kule mbinguni ita fungiya na ile yote muta fungula apa muduniya nakule mbunguni ita fungiliwa. 19 Tena na bambiya, ka ma batu mbili ba na kubaliyana apa mu duniya ju ya kitu moja na kuilo mba, na bata ipata kwa baba yangu iko mbinguni. 20 Kwa sababu kwenye batu mbili ao tatu bana ku sanya kwa jina la ngu, niko kati kati ya bo. 21 Kisha, Petro aka kuya kwa Yesu na ku sema, "Bwana, mbala ngapi ni ta samee ndugu wagu kama anani fa ni ziya mabaya? Mupaka mbala saba? 22 Yesu aka mwambia," siku bambiya kama mbala saba, lakini paka ma kumi saba na saba kwa saba. 23 Kisha, ufalme wa mbinguni iko ka ma mfalme moya alipenda ku juwa vile batu mishi bake biko na tu mika. 24 Wakati alianza e sabiya bake mu leteya mtumishi moya mwenye alikuwa na nulomba talata elfu kumi. 25 Lakini vile vile akukuwa na kitu ya ku lipa, mfalme alisema ba muwujishe pamoya na bibi yake, pia na batoto yake na bitu yote alikuwa nayo ju alipe deni 26 Mtumishi alianguka, na kupiga magoti mbele yake na kusema, "Rabi uni siki liye uruma uvumi liye nita lipa yote." 27 Kisha mfalme wa wule mu tu mishi, ali mu sikiya uruma, aka mua shilia na deni yake yote. 28 Lakini ule mtu mishi alitaka na aka kutana na mwenzake moya mtumishi alikuwa deni yake ya denari mia. Aka mufunga, na ku shika ku shingo kisha ku singo kisha akasema " Unilipa deni yangu." 29 Lakini mwenzake mutu shi aka anguka chini na kumulomba akasema, " nisikiliye uruma na uni vuliliye ni ta kulipa." 30 Lakini mtu mishi wa kwanza alikatala, na ali mutia mu gereza, mu paka siku ata lipa ka deni yake. 31 Na wakati benzeke ba mukazi batu mishi baliona yenye ilipitikana, bali sikiya mubaya sana mu ma roho, na bali kuya na baka ba mbiya mfalme yote ilipitikana. 32 Kisha mfalme wa ule mtu mishi aka muyita na aka sema "Weye, mutushi mubaye, nili ku rumiya ma deni yangu yote ile ju uli milomba. 33 Nawe ye a wange sikiliya mwe nzako mtu mishi uruma vile miye nilikusikiliya uruma?" 34 Mfalme alisirika, na aka tupa ku mikono ya bali benye kutesa mu paka atalipa deni yote ye nye iko nayo. 35 Na ivi njo baba ya ngu wa mbuni ata ba fanizia kama ndo ni ye nu anusame yane na ba ndugu na roho moya."
Sura 19
1 Wakati Yesu alimaliza kusema maneno ile, akatoka Galilaya, na akaenda Yudea kupita mutoni ya Jordani. 2 Kikundi ya batu balimufuata na anaba ponyesha. 3 Bafarisayo balimufuata, bakamujaribu, na bakamuliza: "inarusiwa kufuatena na sheria kwa mutu kukatala bibi yake kwa sababu yote". 4 Yesu akabakibia na aka sema, hamu kusoma, kama mutu mwenye alibaumba kuanzia mwanzo, alibaumba mwanaume na mwana muke? 5 Na akasema tena: "njo maana, mwanaume ataacha baba yake na mama yake na ataungana na mwana muke wake, na bote bawili bata kwa mwili moja?. 6 Nyokwa maona habiko tena batu bawili, lakini bana kwa mwili mojao kwa hiyo, enye Mungu anaunganisha, mutu ata moja asiachanishe". 7 Bakamwambia: " ju ya nini basi Musa alituamuru (alituruhusu) kutosha barua ya kuwa bunyumba na kumufukusa"?. 8 Akabambia, kwa ugumu wenu wa roho, Musa aliba ruhusu kubapa ba bibi wenu barua ya kuvunya bunyumba, lakini ku mwanzo, haikukuwa vile". 9 Na bambia: "kama mutu yote ataacha na bibi yake kama haiko ju ya uzini, na anaoa mwingini, amezani. Bwana mwenye atamoa wa bibi uyu amezani". 10 Bana funzi bakamwambiya Yesu, kama muzuri kuoa. 11 Lakini akabambia, "haiko mutu yote njo ana weza kupokea mafundishi iyi, lakini bale benye bana rusiwa kuiyapokea. 12 Kwa vile njo bako batowashi benye balizalika kutoka mu tumbu ya bamama yabo. Na vile vile kuna batowashi benye balifanya na batu. a kuna batowashi benye balifanya matowashi ju ya ufalme wa mbinguni. Acha mutu yote mwenyte ana uwezo ya kupokea mafundisho hiyi na upokee. 13 Kisha wakamuleta watoto kidogo ju abatilie mikono na ku baombea, lakini wana funzi baka bafukuza. 14 Bali Yesu akasemea: " acha batoto ba dogo na musibakaze bakuye kwangu, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni ya kama bao. 15 NA akaweka mikomo yake yulu yabo, na kisha akatoka pale. 16 Angali, mutu moya alikuya kwa Yesu na akasema: "mwilimu, ni fanye nuni ju nipate uzima ya milele" 17 Yesu aka mwambia, "Ju ya nini unaniulisa hivi?juna mutu moya mwenye anastaili, lakini kama unapenda kupata uzima, kamata sheria ya Mungu. 18 Ule mutu akamuliza, "ni sheria ganria?" Yesu akasema, "usiwe, uzini, usiibe, usishu hudie uongo, 19 Uheshimu baba yake na mama yako, na upendi jina ni yako kama unajipende mwenyewe". 20 Yule mutu aka mwambia: "mambo ya yote nimeyatii. Inanibakilia tena nini?" 21 Yesu akamwambia, "kama unapenda ukuwe mukamilifu, wende uuzishe bitu yako yote, upatie bamasikini, na utakuwa na hazani mbinguni, na utakuwa na hazani mbinguni. Kisha kuya unifuate". 22 Lakini wakati yule kijana alisikia ile enye Yesu alimwambia, akatoka kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali mingi. 23 Yesu aka bambia, ni magumu ku mutajiri kwingia katika wa mbingini. 24 Tena na baambia, ni rahisi kwa ngamia kupita ndani yu tundu la simdano, kuliko kwa mutajiri kuingia katika ufalme wa mungu. 25 Wakati bana funzi balisikia hiyi neno, baka shangala sana na bana sema; "nani basi mwenye atapona?" 26 Yesu aka baangalia na kusem, "kwa banadamu hile hai wezekana". 27 Kisha Petro aka mujibu na akamwambia, " tunaocha yote na tunakuata wewe. Tutapata nini?" 28 Yesu akamwambia, "ju kweli na maambia, niye benye bulinifuata, katika uzao mupya wakati mwana wa Adam ataikala mu kiti ya enzi ya utukufu yake, niny vite mutaketi julu beti kumi na mbili ya enzi, kubahukumu makabili kumi na mbili ya Israeli. 29 Kila mutu ndani yenu mwenye ataacha bitu yake yote ju jina yangu, atapata mala mia na ku urith uzima wa milele. 30 Lakini mingi batikuwa ba kwanza sasa, batukuwa bamwisho, na bawisho bata kuwa bakwanza.
Sura 20
1 Mana ake ufalme wa mbingu inafanana na mwenye shamba, alilamuka asubuhi sana kutafuta bafanyakazi katika shamba yake ya vinyo. 2 Kisha naye kubaliana na bafanyakazi dinari moya kwa siku moya. Alibatuma kwenda katika shamba yake ya vinyo. 3 Alienda tena katika saa tatu hivi na aliona bafanyakazi wengine balikuwa na simama sehemu ya soko bila kazi. 4 Aka baambia, na nyiye pia, muende katika shamba ya vinyo, na ile yote ya muzuri nitapatia. Hivi bakaenda kufanya kazi. 5 Aka toka tena na saa sita na tena saa kenda, na alifanya namuna moya. 6 Mara ingine tena katika saa kumi na moya, alienda kukutana na batu bengine bana shimama bila kazi ali wahuliza: Ni juu ya nini munashimama hapa bila kazi kwa siku mzima? 7 Baka mwmbia, ni kwasababu, hakuna mutu na kutupatia kazi. akabaambia, na nyi pia muende katika shamba ya vinyo. 8 Kufika mangarimbi, mwenye shamba ya vinyo aliambia musimamizi yake, "aite bafanyakazi na kubalipa malipo yao kwa mwisho na wa kwanza." 9 Wakati bali kuya bale wa saa kumi na moya, kila yao alipokeadenari moya. 10 Balikuya bafanyakazi wa kwanza, walizania kama batapokea mingi. Lakini balipokea pia dinari moya kila mutu. 11 kisha kupokea malipoyao, balilalamikia na mwenye shamba. 12 Bakisema, haba bafanyakazi wa mwisho balitumika saa moya tu katika kufanya kazi, lakini una ba wunganisha na siye siye tunabeba miziku kwa siku mzima na kuungua na kifukutu. 13 Lakini mwenye shamba akajibu na kusema kwa moya yao,« rafiki sikufanya mambo mubaya, kwa ninin, hatukubalianana miye kwa dinari moya?» 14 Pokea malipo ya ko na wendekwako. Na furahi kumpa haba bafanyakazi ba litumika mwisho sawa na weye. 15 Ni shida kwango kufanya ile minataka na mali yangu? Ao kwenu ni wivu kwa sababu miye niko mwema? 16 Hivi wa mwisho a takuwa wa kwanza na wa kwanza wa mwisho" 17 Yesu ali kuwa napanda kwenda Yerusalemu ali bachukuwa bana funzi yake, kumi na mbili pembeni, na njia aka baambia. 18 Muone tuna panda Yerusalemu, na mwana wa adamu ati tiwa katika mikono ya wakuu wa makuhani na waandishi. 19 Batamhu ku mu kufa. Bata mutoa kwa watu wa mataifa wenye batamusumbua, na kumpiga fimbo na kumuuwa kwa musalaba. Lakini katika siku ya tatu atafufuka. 20 Kisha mam wa batoto wa Zebedayo alikuya kwa Yesu na batoto yake. alipiga magoti mbele yake na kumuomba kitu kutoka kwake. 21 Yesu aka mwambia, unataka niani? Aka mwambia, hitika kwa haba batoto yangu bawili baikale, moya mukono yako wa kulia na moya mukono wa kushoto katika ufalme wako. 22 Lakini Yesu aka jibu na kusema, "Haujui ile unaomba. Na unaweza kukunywa kikombe ambao nitakunywa?" Baka mwambia, tunaweza". 23 Aka baambia, "Kikombe yangu kweli mutaikunywa, lakini kuikaa mukonao tangu wa kulia na mukono yangu wa kushoto, si ukumu yangu kuba pa. Lakini ni kwa bale ambao bali tayarishwa na baba yangu. 24 Wakati ban funzi bengine kumi balisikia hivi bakahuzunika sana na bale bandugu bawili. 25 Lakini Yesu ali baita mwenyewe na kubaambia, " muna fahumu" kama, watawala wamataifa. 26 Lakini isikuwe hivi kwenu. Lakini mwenye yote ana taka kuwa mukubwa piongoni, yenu, lazima akuwe mtumishi yenu. 27 Na huyu anataka kuwa wa kwanza miongoni yenu lazima akuwe mtumishi yenu. 28 Kama vile mwana wa adamu hakukuya kutumikiwa, lakini ni juu ya kutumika na kutoa maisha yake kuwa mukombozi kwa mingi. 29 Wakati balitoka yeriko umati kubwa ilimu fwata. 30 Na baliona vipofu bawili bana ikaa pembeni ya barabara. balisikia. balisikia. balisikia kuawa Yesu alikuwa anapita, balipiga sauti na kusema " Bwana, mwana wa Daudi, utuhurumie." 31 Lakini umati akabakemea, na kubaambia munyamaze hata hivi bao bakapiga sauti mingi na kusema, " Bwana, mwana wa Daudi, utuhurumie". 32 Kisha Yesu alisimama na ali baita na kubauliza, "Munataka nibafanyie nini? 33 Baka mwambia, " Bwana kwamba macho yetu ifunguliwe." 34 Basi Yesu aliyala na hukuma, aka gusa macho yao, waka ona na waka mufwata.
Sura 21
1 Gisi Yesu na bana funzi yake bali zogeya ku Yerusalemu na ba kaenda ku migini ya Betifage, 2 kisha ku mulima wa Mizeituni. Kisha, Yesu aka tuma bana funzi ya ba wili na ku bambiya : « mwende ku mingini ya karibu, na mu ta ona limoya punda ba na mufunga pale, na mutoto wa punda nafungi wa pamoya, mu ba fungule na mu ni leteye a bo. 3 Kama mutu an kwambi kitu dju ya bo, mu mwambiye: " Bwana iko wayo lazima, na ule mutu ata ba atcha mara moya mwende nayo." 4 Kisha , kufika na yenye balisema ku ba na bii inanza kufanika aka sema: 5 « ombiya binti wa Siona: una mufalme wa ko ana kuja kwako, mu ku di shusha na ana panda ku punda, na mutoto wa mwaka moya. » 6 Kisha, ban funzi yake baka enda na kufanya gisi yeni ali bambiya. 7 Baka leta mutoto wa punda na punda, ba ka tandika manguo yabo na Yesu aka ikala ku manguo ya bo. 8 Bi kundi ya mingi bali ta ndika manguo ya bo ku ujiya na bengine bali kwa na kata bipande ya mi ti na bali kwa ku njiya. 9 Bi kundi yenye ili enda mbele ya Yesu na benye bali la la mika: «Hosana ku mutoto wa Daudi ! abarikiwe mwenye ana kuya ku ji na ya Bwana ! Hosana Yerusalema ! 10 Wa kati Yesu alingiya ku Yerusalema, mugini muzima ili nyamaza na ku sema : « uyu ni nani? » 11 Bikundi a ka ji biya : « uyu ni Yesu, na biitiwa nazareti ku Galilaya» 12 Fisha Yesu akai ngiya dani ya kanisa. Aka ba fukuza bote benye bali kwa uza na kuuzisha dani ya kanisa na kuvu nja ma meza yote ya ba badilisha ba ma kuta na mafasi ya benye ba li kwa na uzisha ma ndiwa. 13 Aka bambiya: « a kandika : "nymba yangu ba ta ita nyumba ya maombi" lakini mu na ifanya fasi ya bo muizi:» 14 Kisha ba pofu na bilema ba ka kuya kwa ke ndani ya kanisa na aka ba po nesha. 15 Lakini sa mukubwa wa ba ku hani ma ba andisha ba ka fika bali fanya bitu bizuri na wa kati bali sikiya batoto ku la la mi ka doni ya kanisa na ba ka sema: « hosana ku mutoto Daudi» ba ka kwa na hasira sana. 16 Ba ka mwa mbiya : « ulisikiya kile kenye ban sema aba batu?» Yesu aka ba mbiya : «ndiyo, lakini a muya soma ku kinwa ya batoto na bale benye biko bana nyonya, muko na furaha mingi?» 17 Kisha Yesu, aka batoto na kutoka ndani ya mugini ju ya kuenda Betania na ku lala kule. 18 Kisha, busu buyi, wakati alirudiya ndani ya munguni aka si kiya nzala. 19 Akaona muti kando kando ya njiya, akaende na kukuta tu mayini akambiya muti « Kwa sasa akuna tena matunda yenye itatoka kwako.» na pale pale muti ika kauka. 20 Wakati bana funzi bali ona ile, bakaifuraiya na ku sema: « Ina kua aye muti ina kauka mara moya?» 21 Yesu aka baji biya: « Kwa ukweli, na ba mbiya, kama muko na imani na amuko naa pinga, amuta fanya tu yenye minafanya ku ili muti lakini mutafayna ya mingi (zaidi) na muta mbiya kilima toka pale na uji tupe ku mayi na ile itafaniwa. 22 Yote yenye muta omba ku maombi muitike, muta pata. » 23 Wakati Yesu alingiya dani ya kanisa, mukubwa wa ba kihani na bazee ba ma taifa bali kuya kwake wakati ali kwa nafundisha na kusema: « kwa uwezo gani una fanya iyi mambo na nani an kupatiya ile uwezo?» 24 Yesu akaba dibiya: « nda bauliza nua li moya. Kama muna nyambiya, nda ba mbiya kwa uwezo gani minafanya kwa uwezo gani minafanya iyi bitu. 25 Ubatizo ya yohani (ili toka wapi?) mbinguni wala kwa batu ? Baka ji uliza ndani yabo aisema : « ju ya nini a mu ku mwa mini?» 26 Lakini tu ki sema : "bana ume " tu na hogopa kikundi ju kikundi bi ko na ka ma ta Yohane kama vile mu na bii. 27 Kisha, baka ji biya Yesu na kusema: « Atu yuwa» aka bambiya naye:» sita ba mbiya kwa uwezo gani nu na fanya iyi bitu. 28 Lakini muna waza nini ? mutu moya ali kwa na batoto bawili ba naume : « akaenda kwa mtoto wa kwanza» na ka mwambiya: « mtoto, wende kutumika mu shamba ya mizabibu lewo. 29 Mtoto aka mujibiya ana sema: "sita ifanya" kisha, aka badilisha mawazo na akaenda". 30 Na mwanaume akaenda tena ku mttoto wa pili na kasema ile kifu kimoya kile mtoto aka sema naendanbwana lakini akwena. 31 Nani kati ya aba batoto anafanya mepenzi ya baba yake? baka sema wa kwanza Yesu aka bambiya ivi kwa u kweli, na bambiya, ba kulipisha kodi na ba sharati baka ingiya dani ufalme ya Mungu mbele yenu. 32 Ju, Yoane alikuya mbele yenu kunjiya ukweli, lakini amuku muitaka, lakini balipisha ma kodi na ba sharati bali muitika. na mweye, wakati muliwona ile kufika, amuku tubu, amutubu ata nyuma ju ya ku muitaka. 33 Musikiaye mufalme muingine: ku li kua mutu, mwenye lupangu munene. Alipanda muti wa miza bibu, ata jengea lupango aka chimbala shimu, akajenga lupangao ya balinzi na ku pana muke panga ku batunga zabibu. Kisha akaenda ku inchi ingine. 34 Sa wa kati yaku chuma mbego aka fika, aka tuma batu mishi nusunku batunza zabibu ju yaku beba mbego. 35 Basi ba tunza bakulima mashamba zabibu baka funga batumishi, na kuba pika moya na ku ua mwengine mu moya na kupika mwengine moya majiwe. 36 Mwenye kiwanja a ka tuma tena bengine ba tumishi ba mingi kubita bale bakwa nza, lakini ba tunza za bibubaka bapika tu sa bale bengine. 37 Kisha ile, mwenye kiwanja aka ba tumiya mtoto wake na kusema "bata heshimiya mtoto yangu". 38 Lakini bakulima ma shamba baka ona mtoto wa mwenye ma shamba, baka ambiyana, uyu ni muriti jo anakuya, tu muuwe na tu bele iyi mali. 39 Kisha baka mubeba, naku mutupa inje ya shamba, na ku muwa. 40 Lakini wa kati mwenye shamba aka kuya, atafanya nini ku ba chunga shamba iyi? 41 Baka mwona: bata aribisha iyi shamba na kisirani sana na kisha bata pangisha shamba ku batu bengine bachunga ma shamba, batu benye baka mu patiya kipande yake ya matunda wakati waku chuma. 42 Yesu aka mbiya: « Hamusoma ndani ya ma ndiko» lijiwe yenye ba jengayi bali tupa ili fanyiwa lijewe ya mahana. Iyi ili toka kwa bwana na muzuri ku macho yetu? 43 Jo mana mi na bambiya, bata batosha ufalme wa Mungu na ita paniwa ku inshi ingine yenye ita tosha matunda. 44 Kila mutu yote mwenye ita tosha matunda. Kila mutu yote mwenye ata anguka kwa iyi lijiwe ata katiwa ku bipande, bipande. Lakini, kwa uyu itangu kia ata ponde kana."» 45 Wakati bakubwa wa bakuhani na ba farisayo ak sikiya iyi mifano yake, bakasema alikwa na sema ju yabo mbili. 46 Balipenda ku mufunga, baliogopa kikundi ya batu ju batu balikwa na muona sa vile na bii
Sura 22
1 Yesu ali bambiya tena kwa mifano. 2 «Ufalme wa mbnguni inafanan an mufalme mwe ngine a lita ya risho kusharekeya wa ndawa ya mtoto wake. 3 Alituma batunishi bake ju bahite bale benye bali bayita ku ndowa, lakini a ba kupenda ku kuya. 4 Mufalme akatuma tena batumishoi bengine ka kusema, "Mu bambiye bale bali alikwa," «Muone, nilitayarisha chakula, ma ngombe na ngombe dume ina chijwa na bitu yote imetengenezwa tayari. Mukuye kusherekeya ndowa. 5 Lakini ili bitu abakayi kamata na maana. Na ba kaenda mu shamba ya bo, bengine mu makazi ya bo. 6 Bale balibakiya bak ban batumishi ba mufalme, na kubapika na ku ba wawa. 7 Na mfalme akapata bisirani san, na alituma ba askari ba kaba wuwe bale bawuwaji na ku lunguza mingini yabo. 8 kisha aka bambiya batumishi yake. "Chereye ndowa iko tayari, lakini bale bali bayita abakustahili. 9 Njo mana mwende ku mikutano kwenye na njiya irakutana niyite batu mingi benye muta ba ona kusherekeye ndowa. 10 "Na batumishe balienda kuma njiya na baka kusema batu ya kila ayina ba zuri na ba baya. Kisha numba ya kusherekeya ili jaa sana na batu. 11 Lakini wakati mufalme ali ingiya ju ya ku ona benye balialikwa, aliona mtu moya aku vala maguwa ya (karamu) ku sherekeya. 12 Na mfalme ali mu waliza, "Ndugu, na muna gani una hingiya apa bili nguo ya kusherekeya?" Na mtu alinyamaza kimia bila kusema neno. 13 Kisha, mufalme aka bambiya batumishi, "Mu ma funge mikono na migulu ya uyu mtu na mu mutupe inje ndani ya giza, kwenye kuta kawa kulia ra kusaga meno." Kwa sababu wengi bame alikwa, lakini kidogo njo bame chaguliwa. 14 Kwa sababu wengine bame alikwa, lakini kidogo njo bamechaguliwa. 15 Kisha, ba falisayo baka enda kutagarisho gisi bata nutiliya Yesu mutego ku pitiliya ma semi yake tu. 16 Na baka mtumiya bana funzi babo, pamoya na ba herodia. Baka sema na Yesu, «Mwalimo tu na juwa kama una sema kweli na tena una fundisha njiya ya Mungu na kweli. Na awuka mata ata masemi ya mtu na awa fanya kupendaleya na batu. 17 Sasa utua mbia, una waza nini? ni ya maana kulipa ya Kaisaria wala apana?» 18 Lakini Yesu ali juwa mabaya yabo aka sema «Banfiki ! kwa nini muko na nipima? 19 Muni patie pesa moya ya kodi» njo mana bali mupati dinari. 20 Yesu aka bambiya, ii sura ya nani na iijina? 21 Baka mwambiaya, "Ni ya Kaisari" kisha, Yesu aka bambiya, "Mupatie Kaisari yote yenye iko ya Kasairi na ya Mungu ile yote yenye iko ya Mungu. 22 Wakati balisikiya vile, batu balisha nga sona. Kisha bali mwasha na akaenda. 23 Na ile siku, wa sadukaye ambae balikuawa na sema kama ufufuko ayiko bali kuya mbele yake. Na bali mu lomba. 24 "Mwalimu, Musa alisema," kama mtu anakufa bila kwacha mtoto, ndugu yake ata wowa bibi yake ju ya kuzala na ye batoto. 25 Kuli kuwa wa ndugu Saba. Wa kwanza ali wowa na aka kuhu bila kuzala ata mtoto. Aka acha bibi kwa ndugu yake. 26 Kisha ndugu mwe ngeni naye alifanya vile vile tu, kisha watatu, mu paka ndugu wa saba. 27 Nyuma ya ba, na mwa muke pia alikufa. 28 Sasa utwa mbiye siye, kwa ufufuko, nani njo ata kuwa bwana wa ule bibi ndani ya aba bo te saba, ju bote bali mupelekeya mali.» 29 Lakini Yesu aka bafibiya na akasema "Muko na ma kosa, ju amu elewi maandiko, na ata nguvu ya Mungu. 30 Sababu kwa ufufuko, atuta wowa na atuta tuma ku wowasha, lakini, tu takuwa kama ba malaika kule mbinguni. 31 Lakini kuusu ufufuko wa bafu, a muku soma yenye Mungu alibambiya. 32 "Niko Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu ayiko Mungu ya bafu, lakini Mungu ya bale benye biko na uhai". 33 Wakati kundi ilisikiya musemi aya, balishangaa sana na ma fundisho yake. 34 Wakatika bafalisayo balisikiya kama Yesu ana banya mazisha ba sedukayo, baka kula nika. 35 Mumoya wao, akiwa mwana sheria, aka muhuliza swali ju ya kumupika. 36 "Mwalimu, sheria gani iko kubwa kuliko na sheria yote?" 37 Yesu aka mu jibiya " Upendo Bwana Mungu wako na roho yako yako, na akili yako yote na mawazo yako yote". 38 Na njo sheria kubwa na tena ya kwanza. 39 Na sheria ingine ina fuata na nayo ni iyi, "Upende mwenzako kama weye peke una ji penda" 40 Na iyi sheria mbili njo ma na inan pita ma sheria na unabi yote". 41 Na vile bafalisayo bali kuwa bana kwnya , Yesu alibawaliza. 42 Aka sema, "Mu nawaza nini ju ya Kristo? Ni mtoto wanani? Waka jibiya, mtoto wa Daudi". 43 Yesu akasema, mbona Daudi, ali sukumwa na roho, ana ita Bwana, wa kati ana sema. 44 "Bwana ali sema na Bwana wangu," ikala ku mukono wangu wa kue me, mu paka nita fanye baa duwi yako chini ya migii yako?" 45 Ka ma ssas Daudi ana muhita Kristo " Bwana " je tena ana kuwa mtoto wa Daudi? 46 Akuna mtu alikuwa na uwezo ya ku mwambia kitu.
Sura 23
1 Kisha, aliongea na kikundi ya watu fa moja hapa moja na wanafinzi. 2 Wanohishi na wafalisayo wanaikala ku kiti ja musa. 3 Basi, kila wanawamba mfaye, mhifafanye na mkiwachunguza, lakini matendo jao, kwa sabubu wakonasema meneno nyenye hawafanye. 4 kweli, wao wanafunga mizigo ya mizito ni vigumu kwalo kuibeba, nakiisha kuibebesha watu wengine kumabega ayo lakini, wenyewe hawapime ata na kidole kubeba ile mizigo. 5 Yle matendo yote wako wanafanya ili waonekane, mbele ja watu kwa sababu wao wananenapesha yao na kupanua ukubwa wa mapindo ja manguo jao. 6 Wao wanapendaka kukaa fasi yenye kuonekana penye feti, na kukaa ku vitii ja heshina ndami ja makanisa. 7 Nakuasalimia na heshima popote na kuikwa wa walimu. 8 Lakini hamupaswa" kuitiwa "sababu moko na mwalimu moya tu na niye wate ni wandugu. 9 Hape dunimi hakuna mwenye anaweza kuitiwa baba, sababu tunaye baba mumoya tu, ule anaishi mbinguni. 10 Wala msiitwe«walimu» sababu mkana mwalimu mimoya tu, ndiye kristo. 11 Lakini ule anamekana kuwa mkubwa, atakuwa mtumishe wenu. 12 Na ule wote atajipandisha atashushwa, na ule majeshusha atapandishwa. 13 Waandishi na mafarisayo, lakini ni ole kwenu, waunafiki, mnazuia watu ufalwa wa mbingu, nanji pia hamwezi ni ole kwenu, waunafiki, mnazuia watu ufalme wa mbingu, nanyi pia hamwezi kuuingia na hamukubali, na mhurusu wenye kuwa tayori kwa kuuigia kufanya ayo. 14 ole wenu wandishi na wandishi na wafalisayo waunafiki sababu mko munanyayasa wajane. 15 Ole wenu waandishi na wafarisayo waunafiki mwavuka ngambo ja bahari na kufika kumwegeuza mtu mmayo kuwa mwaminifu ile mnayo fundisha, na wakati alipo kuwa sawe niye, mnamfanya kuwa mara pili mwana wa jenama kamavile niye muk. 16 Ole wenu viongozi vipofu na mnasema, Mwenye analapa kwa hekalu si kitu, lakini ule na lapa kwa or ja hekalu anafungwa na kiapo jake. 17 Niye vipofu, wapumbafu, kitu gani kiliko kikubwa kuliko, ingine, dhahabu au hekalu yenye ilitakasa dhahabu kwa Mungu 18 Na kwa wate, anaye lapa kwamazabahu si kitu, bali anaye lapa kwa sadaka yenye kwa juu jake, anafungwa na kiapo jake. 19 Niye watu vipofu, kitu gani ni kikubwa kuliko inegiko, sadaka au madhababu inaya takasa sadaka zinazo tolewa kwa Mungu. 20 Kwa hiyo, analapa kwa madhabahu, anapa kwa hiyo na kwa vitu yote juu yayo. 21 Naye analapa kwa hekalu, aapa kwa hiyo na kwa ule mwenye kukaa noni yote juu yayo. Naye analapa kwa hekalu, kwa hiyo na kwa ule mwenye kukaa ndomi jake. 22 Na yeye analapa kwa mbingu, uapa kwa kiti ja ufalme wa Mungu na kwa yeye aketiye juu jeyo. 23 Ole wenu, waandishi na mafulisayo waunofiki sababu mutowa sadaka kwa nanukato muzuri lakini mazarahu mambo makubwa, ja sheria-haki- rehema -na imani, lakini huyo ndio mmapashwa ku ifanga, na pasipo kuacha ingine bila kuacha ingene. 24 Niye viongozi vipofu niye ambio machuya kidudu kidogo lakini hamumeze ngamia. 25 Ole wenu, wandishina mafalisayo wanafiki, sababu niye mnasafisha ichi ja kopo na ichi ja sahani, lakini ndoni mmeyaa uchafu na kutukuwa na kiosi. 26 Niye mafalisayo vipofu, musukule kwanza ndani ja kopo na ndani ja sahani ili upanda wa ije nayo ile uwe safi. 27 Ole wenu, waandishi ma mafarisayo, wanafiki sababu munafanana sawa ma makaburi jenye inapaliwa langi kwa nje na inaonekana mazuri, lakini kwa ndani yameyaa mifupa ja watu waliyo kufana kila kitu kiliyo kichofu. 28 Hata vile niye kwa nje munaonekana watu wenye haki mbele ja wengine, lakini ndani jenu mmayala unafikina na zambi. 29 Ole wenu, waadishi na mafarisayo, wanafiki kwa kuwa mnajenga makaburi ya wanabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki. 30 Niyen mnasema kama tungeishi wakati wa baba zetu, hatumunga damu ja wanabui pamoja nao. 31 Kwa hiyo mnajishudia niye peke kama ni watoto ya wale waliyo uwa wanahi. 32 Tena niye mnakikisha kujaza kipande inayo sitahili dhambi za baba zenu. 33 Niye wa nyoka, watoto wa vipiribao, namna gani mtakimbiya ukumu ya jenama?. 34 Kwa sababu ja hii, natuma manabii kwem, watu wenye akili na waandishi, wa kufa, wengine kuwatia mselabami muta uwa wegine, ndani ja kanisa zenu kuwatowa inje . 35 Hii jote ni juu yenu kutaka damu ja wenye ukweli iliyo mwangika dunini, mbele ni damu ya habeli mwenye keli mfake damu ya zakaria, mtoto wa barakia muliye muwa katikati fasi pakatifu na madhabahui. 36 Kweli masema maneno hii yate itopita kizazi iki. 37 Yerusalemu, yerusalemu, uko unauya manabii na kuwapiga majiwe wale waliyo kumwa kwako ni mora ngapi watia pamoja watoto wako kama vile kuku awakusanya watoto yake chi ya mabawa lakini akuitika. 38 Angaliya nyumba yako inabaki na uruma. 39 Ndjo maana, mina kwambiya eko hamutanyonaka tena kamwe mpaka mutasema «Abarikuwe ule ko nakuya katika jina ya burana»
Sura 24
1 Yesu alitoka kuhekalu anarudia kwake. Banafunzi wake baka musungelea na banomoonyesha majengo ya hekalu. 2 Lakini alibajibia,«Hamuyaona bado mamboile yote ? Kweli nabaambia, hakuma lijewa hata moja enye itabakia yulu ya lijewa ingine bila kuanguka.» 3 Alikuwa anaikala yulu ya mulima ya olivia, banafunzi bake bana mufuata na bakamuliza «Utuambie ile mambo yote itafanyika wakati gani ? nini itaonyesha alama ya ku kuya yako mwisho wa dunia?» 4 Yesu alibajibia na akabaambia: «Mujichunge na mutu asibaola nganye. 5 Kwa sababu batu mingi batakuya mu jina yangu na batasema: « Miye njo Kristo», na batu mingi batapotea. 6 Mutasikia vita na malalamiko ya vita. Musichanganike bichwa, ju inaomba mambo iyi ifanyikike; lakini, haiko bado mwisho. 7 Kwa sababu taifa moja ita simamia taifa ingine; na ufalme ita simamia ufalme ingine. Kutakuwa na njala na matetemeko ya udongo ma fasi mbali. 8 Lakini ile yote iko mwanzo ya maumivu tu ya buchungu ya kujifungua. (Uchungu ya kuza yu mwanamuke). 9 Nji vile batapana ju ya mateso na ku bauwa. taifa yote itabachukia ju ya jina yagu. 10 Bamingi kawa nakusalitiana na batachiana bao benyewe. 11 Banabii mingi ba bongo batakuya na batala nganya batu mingi. 12 13 Njo maana uovu itaonzeka, mapendo ya bamingi itapota. Lakini ule mwenye atarumilia mpaka ku mwisho, atapona. 14 Hiyi nemo mzuri ya ufalme wa mbinguni itaubiriwa dunia mzima kama ushuhuda kwa mataifa yote. Kisha ile mwisho wa dunia itafika. 15 Njo maana, wakati maona mambo mabaya enye alisema nabili Daniele inamama fasimutakatifu (mwenye anasema aelewe), 16 bale benye bako Yudea bakimbie ku milima, 17 yule mwenye iko yulu ya nyumba asishuke chini kukamata kitu ndani ya nyumba yake, 18 na yule mwenye iko ku mashamba asirudie ju ya kukamata manguo yake. 19 Ole yabo benye biko na mimba pia na benye bananyingesha mu ile siku. 20 Muombe sana ju kumbia yenu isikuwe wakati ya balidi, wala siku ya sabato. 21 Kwa kuwa mateso kabambi enye haiyafanyiwaka kuanzia mwanzia mwazo wa dunia mpaka leo iyi na enye haita kuwaka tena. 22 Kama siku haingukuwa mufipi, hakungi kuwa ata na mutu moya mwenye ange pona. Lakinijuya bataule bamoufupisha. 23 Kwa hiyo kama mutu yote anakwambia: « Angalia, Kristo iko apa! au Kristo iko kule musi mu amini. 24 Kwa sababu kutakuya ba Kristo babongo na banabii babongo na bataonyesha ishashara (malama) kabambi na majabu ju ya kupoteza, kama inawezekana ata na bateule. 25 Angaliya nabaambia mbele iyo mambo ifeke. 26 Kwa hiyo kama banamiambia:«Kristo iko ku majangwa, musiende kule.» Au angalieni, iko ndani ya nyumba musitika ile maneno. 27 Kama vile radi anamulika na kuagaza ngambo yote, njo vile itakuwa ku kuya wa mutoto wa mutu. 28 Kwenye kuko nyama, njo kwenye taiwanaku sanya. 29 Kisha ile siku ya mateso kubwa, jua itageuka giza, mwezi haitatosha mwangaza wake, manyota itaanguka kutotayulu, na nguvu ya mbinguni itatikisika. 30 Kisha muzija wa mutoto wa Mungu itaeanekana na yulu, na bakabila yote ya dunia bataumboleza. Bataona mutoto wa mutu atakuya ndani ya mawingu ya angani kwa nguvu na utufuku. 31 Atatuma malaika bake kwa sauti kabambi ya tarumbeta, nabo batakusonya pamoja bateule bake kutoka upande ina ya dunia, kutoka mwisho umoja wa mbingu adi mwingine. 32 Muzifunze masomo la muti mtini. wakati matawi inaota na kutosha mayani, mujuwe mambo ile yote, mujuwe anakwa kama kipwa ina karibia. 33 Njo vile mukiona mambvo ile yote, mujuwe anakwa kubu na malanga. 34 Namiambia kweli kizazi haitapita bila mambo ile yote ifike. 35 Mbinguni na nchi itapita, lakini neno yangu haitapita ata siku moja. 36 Lakini mambo ya siku ile na hakuna mwenye anajua, hata bamalaika wa mbinguni, wala Mutoto, lakini baba yeye peke. 37 Kama vile ilikuwwa wakati ya nulu, ndiye itakuwu kukuja wa Mutoto wa Mutu. 38 Kwa kuwa katika siku ile mbele gharika batu balikwa banakwa, lanakutunywa, koa na kuolewa mpaka siku nuhu aliingia ndani ya masuwa, 39 nabakujua hata kitu kimoja mpaka nvula ilinysha na inasomba batu bote, Njo ginsi itakuwa kukuya wa mutoto wa mutu. 40 Kuwa hiyo ndani batu bawili banye batakuwa ku shamba-bakamata moja, na moja atabakia. 41 Banamuke ba wili bakuwa banasanga pamoja umoja atakamatuwa na moja atabakia. 42 Kwa hiyo mujichunge kwa sababu hameyuwe siku gani enye bwana wenu atakuya. 43 Mujiwe kama, mwenye nyumba engejua saa gani enye mwizi atakuya angekesha hangaesha mwizi uingie ku nyumba. 44 Njo maana mukuwe tayari ju mutoto atakuya mu saa habawaze. 45 Ni nani mutushi mwaminifu, na mutumwa wa akili, mwenye bwana wake anamupa mabaraka ku batu benye biko ku nyumba yake, ju abapatie chakula kwa wakati enye inastaili? 46 Huyu mutumishi anabarikiwa, mwenye bwana wake ata mukuta anafuanya hivyo wakati atafika. 47 Ni kweli nabambia kamabwana atamutia mamadaraka yulu ya bitu yake yote. 48 Lakini kama mutumishi mubaya anasema mu roho yake: «Bwana wangu haifika sasa hivi», 49 na anaanza kupika bale batumishi bengine, kukula na kukunywa na walevi. 50 Mfalme wa ule mutumishi ata siku enye mutumishi hakuwaza, na kuwakati anye hajui. 51 Mfalme yake ata atamukata bipande mbili na kumu weka ndani, fasi moja na banafiki, benye bata kuwa nakulia na kusaga meno.
Sura 25
1 Na ufalme wa mbingu uta fanana na bale banamuke kumi bakuji chunga benye bali beba matala yabonakwe nda, kupokeya bwana wandowa. 2 La kini banamuke tano, katiyabo bali kuwa bapumbafu na batano, bengine bali kuwa ba kalamusi. 3 bale bapumbafu. 4 wakati balibeba matala yabo aba kuweka mafuta balamusi balibeba matala yabo na mafuta ndani ya machupa . 5 Na wakati bwana wandowa ali kawiya kufika, bote baka chaka na kisha ba kalala bu singizi. 6 Na kufika batikati ya busiku, ba kahanza kulala mika mulamuke , bwana wando wa anafika, mutoke inje muka mupokeye. 7 Na bana muke bote ba kalamuka, na kuwasha matala yabo. 8 Bale bapumbafu ba kahambiya bale tano ya mayele, mutu sahidiye na mafuta kidogo kwa sababu yetu matala inazimika. 9 La kini bale bale tano bakuji chunga tena ba hakili bakajibu, na kubahambiya, mafuta yetu ni kilogo aita weze kana kukabula mweye na siye, la kini mwende kusoko mukauze yenu mafuta . 10 Na wakati bakaenda kuuza mafuta, na bwana wandowa akafika, na bale tano balikuwa tayari bakaenda naye kufeti yandowa, na kisha bakafunga mulango. 11 Na kisha bale banamuke tano bapumbafu ba kafika, bakisema, bwana, kwana utufunguliye. 12 Na akabajibu, kwakweli nina bambiya, miye simjuwe. 13 La kini malamuke na mukuwe macho saha yote, kwasababu amujuwe siku wala saha. 14 Kwa sababu, inafanana na mutu mwenye kuwenda safari kumugini ingine, ali baita ba fanya kaziyake, aka bakabu liya bote feza yake. 15 mutu wa kwanja alimupa makuta tano, mwengine makuta mbili na watatu likuta moya kila mutu alipata faza kufatana na nguvu yake, ule mwenye faza akatoka na kwenda lwake. 16 Na ule alipata makuta tano aka itumikisha na ikajala tena feza ingine tano. 17 Na muma moya na ule alipata fezambili akazalisha ingine faja mbili. 18 La kini mufangya kazi ule alipe wa faza moya, akaenda kuchi mba shimu na akazika feza moya ile. 19 Kisha wakati murefu kupita, mwenye faza akarudiya, na aka anja kubahu liza kila mutu. 20 Ule mufanya kazi alipata makuta tano akakuya na akaongeja ingine feza tano akasema, uli nyachiya feza tano, lakine na ongeza tena ingine feza tano. 21 Mwenye feja akasema, iko, muzuri sana mutu mishi munguri na mwenye kuwa na imani, kwaku wa uko mwaminifu kubitu kidogo, nita kupa cheo ya bitu binene na ingeya ndani ya nyumba wako. 22 Mufanya kazi ule alipewa feza mbili naye aka sema, bwana uli nipa feza mbili lakini nazalisha ingine faza mbili. 23 Mwalimu akasema, muzuri sana, mwenye kuwa naimona, kwa kuwa uko na imoni mubi tu kidogo, nitakupa cheoya ya bitu bikubwa, na ingeya ndani yanyumba ya feti paemoya na mwalimu wako. 24 Na kisha mutu mishi mwenye alipewa feza moya naye akasema, mwalimumiye na yuwa kama uko mutu miye nayuwa uko mutu wakasi rani sana, una vunaka ata fasi yenewe aukupanda na unabebaka ata kitu akina kyako. 25 Miye nili ogopa nani kaenda kuficha fiza yako ndoni ya bulongo, ni ivi nina, kurudishi ya feza yako. 26 27 Na kisha mwalimu aka mujibu na kusema, mwalimu aka mujibu na kusema, weye ni mutumishi mubaya na muchafu, uli yuwa kama miye, na vunaka fasi, yenye shikupanda na kubeba ata kitu akina kyangu. Uli pasha kwenda kuficha feza yangu ku banki nilipasha kubeba ayo na nyongezo. 28 Mumu nyangonye ile feza na mupatiye ayo ule mwenye kuwa na talanta kumi. 29 Muyuwe kama ule wote mwenye kwa na kitu, bata mongeze ya ingine loe kini ule asiye kuwa na kitu bata munya nganya ata kile eko na wekeya roho. 30 Mume tupe inje kugiza mutu mushi mubaya asiye kuwa na fauda kule kwenye kuta kuwa kiliyo na kusaka meno. 31 Wakati mutoto wa mutu atakuya na ba malaika bote pamoya naye, na ata kuwa wa kwikala kukiti kyake kya utukufu. 32 Na mataifa yate bata kusanyika mbele ya yote bata kusanyika mbele yake na yeye ata kabula batu kama vile muchungaji ana kabula ka mbuzi na kondolo. 33 Ata weka kondolo kumuno wa kuhume na mbuji ku mukono wakushoto. 34 Na kisha mfalme ata ambiya bale beko kumukono wake wa kumu, mukuye kwasa babu mweye muna barikiwa na baba yangu na muriti ufalme wa mbinguni kama vile ilitiya rishiwa juu toka mwanzo wa duniya. 35 Kwa kuwanili kuwa na njala na mulinipa chakula, nilikuwa mugeni na mweye muli nipokeya. 36 Nilikuwa bila nguo na mweye mulinivika , nili kuwa mugonjwa na muka ni tunza, nilikuwa kwenye buloko na mweye mulikuya kunihongaliya. 37 Na batenda maziri bata mujibu na kumuliza wakatigani ulikuwa na njala nasiye tuka kulisha? ao ulikuwa na kioya mayi na tuka kupa mayi? . 38 Wa kati gani ule kuwa mgeni nasiye tu kakupokeya? wakati gani ule kuwa bunchi na siye tuka kuvika nguo? . 39 Wakati gani ulekuwa mugonjwa ao kati ka buloko na siye tukaya kuku tazama?. 40 Na mufalme ata wa jibu myambiya, wakati wote mule tenda kitendo kama iki kwa mutumishi wangu ata mudogo muli niteya miye. 41 Na kisha ata ba ambiya bate bata kuwa kumakino wake wa kushoto, mutoke mbele yangu, muko ba kulainiwa, na mwende katika moto wa milele wenyewa katika moto wa kwa ajili ya shetani na ba malaika bake. 42 kwa sababunili kuwa na njala la kini hamu kunipa chakula, nili kuwa na kiu ya mayi la kini amukunipa mayi. Nilikuwa mgenila kini hamu kuni karibisha, nili kuwa 43 bunchi, lakini amu kunipa mavazi, nilikuwa mgonjwa na katika buloko, la kini hamu kuni angaliya. 44 Nabo piya bata mujibu na kusema, mwalimu, wakati ganitulekuona na njala ao na kio, ao mgeni, ao ukiwa bunchi, ao ukiwa mgonjwa ao ukiwa mfungwa na siye hatu kuku saidiya?. 45 Kisha ata wajibu, nakusema, kweli nina bahambiya, ileyote amuku tendeya ata mutu moya kati ya batumishi yangu ata ba kidogo, nimiye njoo ha mukuni tendeya. Na haba bote bataenda ka tika moto wa milele, lakini 46 batu ya haki bataenda batika uzima wamilele.
Sura 26
1 Wakati Yesu alimaliza kusema mambo iya , aka bambiliya bana funji bake . 2 Muna juwa kama kisha siku mbili kuta kuwa feti ya pasaka, na mutoto wa mutu ata tolewa juu asulukiwe. 3 Kisha ba kubwa balikutana pamoya ku nyumba ya kuhani mukubwa kayafa . 4 Bote pamoya balipanga ya kumukamata Yesu kwa sili juu ba muhuwe. 5 Bote baka sikiliza kama tu si muka mate siku ya feti ya pasaka apana, kwa sababu bati bamingi batatomboka 6 Wakati Yesu alikuwa Betani ndani ya nyumba ya Simon wa magonjwa ya bukoma . 7 Wakati alikuwa kumeza mwana muke moya alikuya kwake akiwa na chupa ya mafuta ya beyi kali na akamu mwangiya Yesu kuki chawa kyake. 8 Wakati bana funzi bake bakaona ivi bote baki kasirika sana, na kusema juu ya nini ana habaribisha mafuta ya beyi kali ivi ? 9 Mfuta iyi tulipasha ayo kubeyi kali na kupatisha ya ba masikini makuta iyi. 10 Lakini Yesu akajuwa mawazo yabo yote aka bahambiya , juu ya nini muna mutombokeya mwana muke uyu? Ana fanya mambo moya mujuri juu yangu . 11 Siko yote muta kuwa pa moya na ba masikini, lakini miye siwezi kuwa na mweye siku yote 12 Kama ana mwanga mafuta yulu ya mwili wangu, ana fanya ivi, sababu ya kuzi kwa kwangu. 13 Na miambiya kweli fasi yote bata hubiri habari nyema hiyi muduni ya muzima kitendo iki mwana muke uyu ana tenda kkita semewa siku yote juu ya kumu kumbuka . 14 Mutu moya kati ya banafunzi ya Yesu anaye itwa Yuda Iskariote, akaenda kwa bakubwa ba ma kuhani. 15 Na akisema mutanipa nini ! Kama na mitoleya Yesu, baka mupatisha ya Yuda bipande akumi tatu bya feza . 16 Kwanza siku ile Yuda aka anza kutafuta fasi gani ya kumukamata Yesu . 17 Siku ya kwanza ya mikate ya bila dawa, bana funzi yake baka mufukiya Yesu na kusema pasi gani una penda twende tuka kutarishiye chakula ya pasaka? . 18 Aka bajibu, mwende ku mugini kunyumba ya mutu moya , na mumwam biye kama , mwalimu anasema wakati yangu ina eneya nanita kula chakula ya pasaka ku nyumba yako pamoya na bana funzi bangu. 19 Bana funzi yake baka fanya vile Yesu ali batuma , na baka tayarisha chakula ya pasaka. 20 Wakati mangaribi ilifika Yesu aka ikala aka anza kula chakula pamoya na bana funzi bake kumi na mbkili. 21 Wakati bali kuwa na kula chakula naye aka sema , kweli na myambiya koma, mutu moya kati yenu ata nitoya . 22 Bote baka uziki sana, na kila mutu aka anza kumuliza bwana nimiye? 23 Aka bajibu, ule atatiya mkono wake pamoya namiye ndani ya sahani njoo ule ata nitowa . 24 Mototo wa mutu wote ule ata mutu wa mutoto wa mutu ni heri asingelizaliwe muduniya . 25 Yadu, mwenyewe ata mutowa Yesu akasema , mwalimu, nimiye Yesu aka mujibu wemwenyewe una sema . 26 Wakti balikuwa chakula , Yesu akabeba mukate na aka ubariki, na aka bakabuliya bana funzi bake aki sema , mubebe mukule iyi ndiyo mwili wangu. 27 Akabeda kikombe na kushukuru, aka bapa kishin akasema , mukungwe mwebote. 28 Kwa sababu iyi ni damu yangu ya agango ambayo ita mwangika juu ya ehema ya Zambi ya batu bote. 29 Lakini nili myambiya kama sita kunywa tena matunda muti uyu mpaka sika ile tuta kunywa ya munpya pa moya na mweye katika ufalme ya baba na mweye katika ufalma ya baba yangu.» 30 Wa kati balimaliza kwimba mwimbo, baka panda kumulima wa mizehituni. 31 Kisha aka bahambiya, busiku yaleo mwe bote muta ni kimbiya , kwasa babu ili andikwa, ni tapika muchungaji na kondolo yote ita zambala. 32 Lakini kisha kufufuka kwanga, nita mita nguliya Galilaya 33 Na kisha Petro akamwambiya ata kama batu bote bata ku tatala kwa sababu ya mateso ita kufikiya, la kini miye siwezi ku ku katala. 34 Yesu aka mujibu , kweli na kwambiya koma busiku ya leo uta nikana mara tata kabla ya kuku kuwika. nikufa nita weza kufa, lakini siwezi ku kukana, na bana funzi bake bengine baka sema namuna. 35 Petro aka mujibu, kama nikufa nita weza kufa, lakini siwezi ku kukana kukukama na bana funzi bake bengine bakasema namuna 36 Kisha Yesu akahenda na bana funji bake fasi moya ina itwa Gethsemane na aka ambiya bana funzi bake, mwikale apa lakini miye maenda kule kuomba. 37 Aka beta Petro na bana funzi mbili batoto ya zebedayo, na aka anza ku uzunika na ku zorotika. 38 Kisha aka ba bambiya roho yangu ina uzuni mukubwa sana karibu ya kufa, mubakiye apa na muomba pa moya na miye. 39 Aka chofa mbele kidogo , kisha aka anguka kifulifuli na kuomba akisema baba yangu kama ina we zekana kikombe kiki kini pitiye mbali , lakini isikuwe kama vile miye na penda, lakini ikuweka ma vile we ye una penda. 40 Kisha akarudiya kuangaliya banafunzi bake na aka bakuta bote bana lala busingisi na aka mwambiya Petro, juu ya nini muna shindwa kuomba pamoya na miye ata saa moya. 41 Mukeshe na kuomba kwa sababu musiya ribiwe na shetani, roho iko na ngufu lakini mwili ni ya kulekeya 42 Yesu akarudiya tena kuomba na akisema baba yangu kama mambo iyi aiwezikane kuepuka ni kunywe tu kikomba iki, mapenzi yako ifanyike. 43 Akarudi tena, na aka kutu ba na funzi bake bana lala busingizi kwa sababu macho yabo ili kuwa yakuchoka. 44 Kisha aka ba lacha na akarudiya lwake kwenda kuomba mara ya tatu na akisema kama vile aliosema tena mbele. 45 Na kisha Yesu aka barudiliya bana funji bake na akambiya muna lala na muna enndeleya kupumuzika? Angaliya wakati ina eneya mutoto wa mutu atepewa katika mikono ya bapagano. 46 Mulamuke twende kwasababu ule ata nitowa eko karibu na kufika. 47 Na wakati alikuwa akingali nasema, moya wabanafunzi bake kumi na mbili Yuda akafika na kikundi kikubwa kya batu pa moya na bakubwa ya makuhani na bazee ya batu balikuwa na mipanga piya namikuki . 48 Na ule mutu ali mutowa Yesu alibapatiya ala ma akisema ule miye nita muso geleya na kumubusu joo Yesu mumu kamate. 49 Mara moya ali mosogeleya Yesu na akisema jambo mwalimu na aka mkumbatiya. 50 Yesu aka mwambiya rafiki fanya kazi yako uliendeya kufanya mara moya ba kamu kamata Yesu 51 Angaliya mutu moya aliyekuwa pamoya na Yesu, akanyolosha mukkono wake na ku chukuwa mpanga na aka mupika mutumishi wa kuhani mukubwa na aka mukamata lisikiyo . 52 Kisha Yesu aka mwambiya rudisha mupanga wako fasi uli itosa, kwasababu mutu wote mwenye ku uwa na mupanga na ata kufa kwa mupanga. 53 Muna wajiya kama siwezi kumu ita baba yangu na yeye atashindwa kuni tuniya zaidi ya na batalyani kumi na mbili ya baba askari ya bamalaika?. 54 Lakini mambo yote iyi ina tendaka juu yaku timi liza ma andiko na ilipasha ku fanyika ivi ? 55 Na wa kati ule Yesu aka bambiya bantu bote bale juu ya nini muna kuyan na mipanga na mikuki, kuni kamata kama vile mwizi? Masiku yote nllikuwa ndani ya kanisa ni ka hubirta . 56 Lakini yote iyi inatendeka kwasababu ma tabini ya bana bii itimilike, na pale pale bana funzi bake baka mwacha naku mukimbiya. 57 Ba kamukamata Yesu na ba ka mupeleka kwa Kayafa mukubwa wa makushani wa fasi ya bahundi shi na bazee ya batu bali kuwa ba kikusanyika pamoya . 58 Lakini Petro ali mufwata nyuma kwa mbali mpaka kutribunale ya mukubwa wa mukuhani aka ingiya pamoya na bo kwa sababu ya kuona na muna kanibatamuteswa Yesu 59 Kwa lakini bakubwa ya makuhani na batu yote ya baraza, bakanza ku tafuta neno moya ya bongo yaku mudanganyiya Yesu kwa sababu ba mukuwe. 60 Aba kupata ata neno moya ya mubaya ingawa kulikuwa batu mingi ya ku mudanganyiya kisha batu mbili baka fika. 61 Na kusema mutu uyu alisema, ata weza kuvunja kanisa kwa siku moya na kuijenga tena kwasiku tatu. 62 Kuhani mukubwa akasibama na kumuliza hauwezi kujibu ? Kwamambo yote bana kusemeya. 63 Laki Yesu asikumujibu ata neno moya mukubwa wanakuhani akamwambiya katika jina la Mungu, na kuomba utwambiye kama weye ni Kristo mtoto wa Mungu. 64 Yesu aka mujibu, weye mwenyewe undisha kusema yote , lakini na kwambiya , kwanza sasa na kwendeleya utamuona mtoto wa mtoto wa mutu mwenye kwikala kumkono 65 Mara muya mukubwa wa makahani akapusula manguo yake na akasema , ana zarawu Mungu, juu ya nini mukona chunga tena ushada wengine? Angaliya siye bote tuna musikiya ana muzarawa Mungu. 66 Aka bahuliya sasa muna sema nini ? Bakajibu bote , anastahili kufa . 67 Na kisha bakamute mey a mate kubuso na kumupika ngume na kumupika makofi na mikono ; yabo. 68 Na ka mwambiya utu tabiriye weye ni Kristo, nani ana kupika ? 69 Na wa kati ule Petro alikuwa mwenye kwikila inje pembeni ya tribunale , na mutunishi moya mwana muke alifika pembeni yake aka muliza , na weye uli kuwa pa moya na Yesu wa Galilaya. 70 Lakini aka kana mbele yabo bote akasema sijuwe ata neno moya yenye ukpo nasema. 71 Wa kati akatoka inje ya lupangu mutumishi mwengine mwana muke aka sema , mutu uyu alikuwa pa moya na Yesu wa Nazareti . 72 Petro aka kana tena nakilapo akisema miye simujuwe uyu mutu 73 Kisha muda kidogo batu moya balikuya , bakusiba ma pale inji bakamwedeya bakisema na Petro kwa hakika weye ni mumoya wa mutuuyu kwa sababu ata kusema yako ina onekana. 74 Petro akanza kulahani na kulapa na kusema miye simufahumu uyu mutu na mara moya jogoo aka wika. 75 Petro akakumboka maneno Yesu ali mwambilyaka wakati jogoo ata wika uta nikana mara tatu.
Sura 27
Sura 26
1 Saa ya asui kukatika, ba kubwaba ba kuhani bote na bazee ba pa mugini bakamufungiya Yesu kanuni mubaya ya kumu uwa. 2 Bakamu funga nkamba baka enda naye na kumuka bula kwa liwali Pilato. 3 Na ile wakati Yuda ule ali mukabula ku bakubwa, pale ali ona aseme Yesu banamukatia kufa, aka anza kutu bu na akarudisha ile feza bipande makumi tatu ku bakubwa ba bakuhanina ku bazee, 4 Na kusema: "na fanya Nzambi pa kumikaburia mutu washo nkosa". Na baka mwambia: "ile inatwangaria shie ku nini? Ile ni mambo yako". 5 Naye aitupa ile feza yote ndani ya hekalu, kutoka pale akaenda kuritundika. 6 Bakubwa ba bakuhani bakalokotesha bile bipande bya feza, bakasema: "a ina sheria muzuri kuweka hii feza mu mu fasi tunachungiyaka yote juu hii ni fezaya damu". 7 Bakaanza ku bishana pale bote kisha na ile feza, bakauza nayo mashamba ili kuya ya mutu wa kufanya mitungibanze ku zika mo bageni. 8 Juu ya ile mawazo mashamba ile bana anza kuita : ma shamba ya damu" kufika na leso. 9 Njo pale bile Yeliya ali tabiriaka bilifika, aseme. "Baka beba bipande makumi tatu bya feza, ndo bei batoto ya Isaia ele bata mu uzisha nayo. 9 Njo pale bile Yelemiya ali tabiriaka bilifika, aseme. " BAka beba bipande makumi tatu bya njo bei batoto ya Isalaele bata mu uzisha nayabo. 10 Na wakalipa ayo ku uza mashamba ya ule wakufanya mitungi, mpaka vile bwana olileta mipango. 10 Na wakalipa ayo ku uza mashamba ya ule wakufanya mitungi, mpaka vile bwana oli leta mipango. 11 Ile wakati bakamuleta Yesu mbele ya liwali, na yeye aka mu uliza: "we njo mufalme wa Bayuda?" Yesu akamu jibu:"PAka vile una sema". 11 Ile wakati bakamuleta Yesu mbele ya liwali, na yeye aka mu uliza: "Wenjo mufalme wa bayuda? Yesu akamu jibu" "paka vile unasema". 12 Lakini, pale bakubwa baba kuhani na bazee ba mugini bali leta na masitaki yabo, Yesu alikuya kimia, pasipo kujibu 13 Kisha, Piulato akasema naye: "Hausikie bile byote beko naku staki?". 14 Pale tena hakusema ata neno moya na liwali akashangalasana. 12 Lakini, pale bakubwa ba bakuhani na bazee ba mugini bali leta na masitaki yabo Yesu alikuya kimia, pasipo kujibu. 13 Kisha, Pilato akasema naye: "Hausikie bile byote beko naku staki?" 15 Mujuwe kama, kwa kila siku ya furaha mukubwa, kulikuya Zoe Zoezi ya wafungulako mutu mayo wa buloko ule batu bata lomba. 16 Na kwa ile wakati, ku buloko kukuya mutu moya ule alijuli kana sana bana mwita balabasa. 17 Hivi batu bali yala ba mingi mbele ya nyumba yake, Pilato aka uliza: " katikati ya Yesu anaitwa Kristo na balabasa, ni nani muna pendani mwa chiliye ende?" 18 Alijuwa tu yakusema ni kwa bwivu tunjo balimu bamba Yesu. 19 Ile saa ile Pilato ali ikala pa kiti ile ana sambishiyaka batu, bibi yake akamutumia mjumbe aseme: "Usifanye ata kitu moya kwa ule mutu washo makosa, juu yake nalota ndoto ina ni hanganisha sana. 20 Pale, kiongozi wa batumishi bamu nhyumba ya Mungu na bazee bote baka chonganisha kundi ya batu balombe ba achiliye BAlabasa na ba uwe Yesu. 21 Liwali aka ba uliza tena: "Acha Bawili, muna penda ni achiliye nani? " bote bakasema: "acha Balabasa". 22 Pilato akaba ulizatena: "sasa uyu Yesu bana ita Kristo, nifanye naye jee?" kwa pamoja baka jibu:"akufe ku musalaba". 23 Naye akasema: "juu ya nini, kibaya ali fanya ni kinini?" Bo bakalamika nguvu kupita " akufe ku musalaba". 24 Pale Pilato akaona aseme hakuna tena namuna ya kumu ponesha, na akaonani batu bana anza butomboji, akabeba mayi, aka nawa mikono ku masho ya batu bale bote na kusema: "sina mo kosa mu kosa Damuya uyu mutu washo makosa ina miangalia mwe benyewe. 25 Batu bote baka sema: "Ndiyo, Damu yake ikuye paa bichiwa yetu na ya ba toto yetu". 26 Na, akabaachi liya Balabasa lakini akamupikisha Yesu fimbo na kumukabula ku batu bende banu uwe kumusalaba. 27 Kisha ba soda bale liwali ali leta baka enda naye mu ile chumba mule bana sambishiyaka batu. Na ba soda bote bali kuya mu kazi ile siku bakamuchangi ya pale. 28 Bakamu vula ma nguo yake na kumu vwika nkanzo kya moya mwekundu sawa Damu. 29 Baka suka kitaaji kya mi iba, bakamu vwika kyo pakichwa yake bakamupa na muti wa bakubwa mu mukono wake wa ku ume. Wamupikia magoti, na kumu zarau vile baitenda na kusema naye, "heshima kwako mufalme wa Bayuda. 30 Bakamu temea mate, ba kamupika mfimbo na matete na makoofi ku kichwa. 31 Kisha kumu zarau vile balipenda, bakamutosha nkochi ile na kumurudisha ma nguo yake, na bakaenda naye ku fasi yakumu uwiya. 32 Baka toka naye inje, pale bakakutana na Simoni mutu wa mu kulene (Libia), wakamubamba ku nguvu ende nabo amubebeye Yesu musalaba. 33 Baka fika pafasi bana ita Goligota, maana yake "fasi pa mifupa ya kichwa". 34 Baka penda ba munwishe pombe ya kuchanga na mai ya buchacho. Akapita tu ku milomo, na aka katala ku bikunwa. 35 Baka isha tu kumu pikia misumari ku musalaba, baka kabulana manguo yake mu kupika kura. 36 Nabakaikala pale bachunge vile atakufa. 37 Baka andika mbao kamoya baka kapopolea yulu ya kichwa yake ile masitaki yenye bali mu uwiya. Bali andika asema "uyu ni Yesu mufalme wa bayuda". 38 Pali kuwa na bamwizi bawili ku misalaba yabo, muyaku ume, mwingine ku shoto. 39 Bapita njia bote baliwa beko na muchambula sana na kutenkesha kichwa. 40 Nakusema: "we ye ulianza kusema utaweza kuvunja hekalu na kujenga ya mupya mu masiku tatu, uji okowe sasa! kama uko mutoto wa Mungu, shuka ku musalabu. 41 Vile vile, bakubwa ba bakuhani bali mu chekelea, pamoya na ba andishi na bazee na kusema: " 42 Ali poneshako bengine, anashindwa kujiponesha ye mwenyewe. Yeye mwenye mufalme wa Isalalele, shi ashuke ku musalaba njo tu mwamini. 43 Hivi ana tuma inia Mungu, sasa Mungu ule amukomole mokama Mungu ana mu eshimia, juu anasemaka" niko mutoto wa Mungu". 44 Na ba mwiji bale bali kuyaka naye ku misalaba, nabo vile vile baka anza kumu chambula. 47 45 Sasa, kwanza midi (saa sita) kufika saa kumi na tano (saa kenda) giza ya nguvu akafinika inchi yote. 46 Karibu na saa tatu ya magaribu, Yesu akalalamika na kusema: "Eli, Eli, Lama Sabakatani?" Maana ya ile ni:"Mungu wangu, Mungu wangu, juu ya nini una niachilia?". Batu bengine pale balisikia ile, bakasema "ye une ana anza kwita Elia". 48 Pale pale, mutu moya kati yao akaenda mbiyo na kubeba kifongo akati tanta mu binywaji bya bu chacho, aki chomeka ku litete aka mutia kyoku kinwa juu akunwe. 49 Benye kaza rau baka sema: " Mu muache, tu one kama Eliya atamu okea". 50 Ena Yesu akalalamika kwa sauti ya nguvu na kukata roho. 51 Kwangaria tu hivi, ile pazia ya mu hekalu, ikapasuka kati kati chini na yulu, pipande mbili. Inchi ikatetemeka na maibwe ya minene ikapasuka. 52 Makaburi ikapasuka na ma mwili ya mingi ya mingi ya batakatifu wale kabisa wali zikwaka, wakaffufuka. 53 PAle walitoka mu tuburi kisha kufufuka kwa Yesu, wali ingiyaka mu Yelusaleme na wakaji onesha ku watu wengi. 54 Na ule kamanda (ki ongozi) wa ba soda na bale bote balikuya beko na chunga, na kwangaliliya Yesu, pale bali ona inchi kutetemeka, na bile byote bilifanyika pale balisikiya boka sana na kusema: " Byakweri tu, uyu mutu alikuya mutoto wa Mungu". 55 Bana muke bale balianza kumufwata tangia Galilaya, bali anza kumu pikia na kumu tumikia makazi ya mikono, bali kuya paka pale, beko na angalilia. 56 Pa moja nabo sawa MAlia wuku Magadala Malia mama yake na Yakobo na Josefi, na mama wa ba toto ya Zebedayo vile vile. 57 Ku magaribu, mutajiri moya waku alimatea, jina lake Yosefi akafika pale. 58 Naye alikuyaka mwanafunzi wa Yesu kwa uficho. Ali fikaka kwa Pilato ku mulomba mwili wa Yesu. Naye Pilato ali leta oda bamupe ayo. 59 Josefi akatosha mwili wa Yesu, kuitengeneza, ikaifunga mu ma nguo ya kuzikia batu ya mupya. 60 Na kuijika mukarburi yake ali chimburishaka katikati ya maibwe. Kisha akanga mulango ya kaburi na lijiwe ya munene sana. Kisha akanga mulangoya kaburi na lijiwe ya munene sana aka rudia kwake. 61 Lakini Malia waku Magadala naule Malia mwingine, bo balibakiyaka paka pale mbele lya kaburi. 62 Siku ya kufwata, hivi ilikuyaka siku ya kutengeneza chakula ya pasaka. Bakubwa babakuhani na ba Falisayo bali kuanika bote kwa Pilato. 63 BAkasema: "Mu heshimiwa, tuna kumbuka masemo ya uyu mujanja uyu pale asiya kufa, ali sema:"kisha siku tatu, mita fufuka". 64 Sasa leta oda juu Ishikuye banafunzi bakuye bamu toshemo na ba ambiye batu asema batu seme "ana fufuka mu bafu", hii bujanja ita leta fujo kupita ile ya milele". 65 Pilato akawambia: "ni muzuri, mu beba bakufanyabu jamu mwende mupange ba jamu muzuri vile munasema". 66 BAka enda ku panga ba jamu, baka ifunga ile jiwe na minyololo bajamu beko naona.
Sura 28
1 Busubuyi sana, kwishakwa ilesiku yamana njo siku ya kwanza ya jumapuziko njosikuya kwanza ya juma, ule Malia waku Magadala na ule Malia mwingine wakalifika kule bangarie kaburi. 2 Mara moja, inchi ika tetemeka nguvu sana ni malaika wa bwana alishuka pale na kwikale yulu yayo. 3 Sura yake ilianza kwangala sawa moto yaradi, na manguo alivwala bye upe sana sawa mayi makas. 4 Ba jamubakasikiya boka sana na bakaanguka kama bakufwa. 5 Ule malaika aka ambiya bale banamuke akasema: «musi tetemeke vile, naisha kujuwa muko natafuta uyu Jesu bali uwiya ku musalaba. 6 Hana tena mukaburi, lakini ana isha kufufuka sawa vile alisema. Mukuye tu muone na penye Bwana alilalia. 7 Musikawiye, mwende muka baambiye banafunzi yake: «Ana isha kufufuka toka bafu, mu one, anamitanguria pale Galilea. Kule njo muta mu ona.» miye uyumi na miambia. 8 Mbiyo mbiyo, bale banamuke bakatoka pa kabuzi na boka uku tena na furaha bende baka oneshe banafunzi yake. 9 Mukurudia, Yessu akabatokelea na kusema nabo « Jambo yenu.» Pale tu bali muona bapika magoti ku mikulu yake na kumu abudu. 10 Njo Yesu naye aka babmbia:«Mutoshe boka. Mwende muka bambiye bandugu yangu bende ku Galilea, kule njo batanionea. 11 Ile wakati banamuke beko naenda, ba jamubakukaburi ya Yesu bakaingiya mu mugini na kusema nabakubwa bote mambo yote vile ili bafikiya kule . 12 Wakati batumishi ba mu nyumba ya Mungu balisikiya, nabo baambiya bazee, kisha kubishana juu ya ile maneno, wata milomo yaba soda nafeza ya mingi sana . 13 Na kubapatia hii akiri: « mwambiye batu aseme banafunzi ya Yesu bali kuya bushiku pale sheye turilala, bana iba mwili wa Yesu. 14 Kama ata liwali anebishiya, tutamulandalanda juu mweyemu sipate mambo mukazi yenu. 15 Kwanza pale basoda balipakata feza, kafwata paka ile wawazo bazee bali bapatiya.Ile habari ya bongo ika tembeya paka pale. 16 Bale banafunzi bote kumi na moya bakaenda pale Galilea, pa ile mulima Yesu aliba oneshaka. 17 Pale tu balimuona, bamuabudu benye kupika magoti, lakini bengine nabo hanza kwichika aseme ni yeye. 18 Yesu aka chofea kule beko, akabambiya hivi:«Uwezo wote ba nani kaburia mumbingu mote napa dunia yote. 19 Mwende sasa mukaeuze batu bama kabila yote bakuye banafunzi yangu mwi ba batize kwa jina ya Baba na ya Mwana na Roho Mutakatifu. 20 Mubafundisha ba eshimiye ile mambo yote nili bafundisha. Na miye niko na mweye kila siku kufika ku mwisho wa dunia.