2 Kings
2 Kings 1
2 Kings 1:1-2
Moabu
"nchi ya Moabu"
waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu
Chumba cha juu kilichokuwa kimejengwa kwenye paa la jumba la mfalme. Waya zilitengenezwa kwa kupambambwa na mbao zilizopishana juu ya moja baada ya nyingine kutengeneza ubaraza wa ghorofani au dirisha lililofunikwa. "bao za mbao zilizoizunguka sakafu iliyo sawa sawa ya jumba lake"
Baal Zebubu
Hili ni jina linaloonyesha cheo cha ukuu wa maovu.
2 Kings 1:3-4
Yahwe
Hili ni jina la Yahwe ambalo alijifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
Mtishbi
Hii inarejea kwa mtu kutoka mji wa Tishbi.
Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
Hili swali lisilokuwa na majibu liliulizwa kama onyo kwa kujenga Baal Zebubu. Pengine hii inaweza kuandikwa kama sentensi.
taka shauri na Baal Zebubu
Neno "taka shauri" maana yake kupata oni la mtu kuhusu swali.
Kwa hiyo Yahwe asema
Huu ni ujumbe wa Yahwe kwa Mfalme Ahazia. "Kwa hiyo Yahwe anamwambia Mfalme Ahazia"
Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda
Wakati Mfalme Ahazi alipoumia, alilazwa kitandani. Yahwe amesema hatapona na kuweza kuinuka kitandani. "Hutapona na hutainuka kutoka kitandani ambacho unacholalia"
2 Kings 1:5-6
wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia
Baada ya kuonana na Eliya, wajumbe walirudi kwa mfalme badala ya kwenda kwa Ekroni.
Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekroni?
Hili swali lisilo na majibu limeuliza kwa kama kuonya kwa ajili ya mashauri na Baal Zebubu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi.
hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda
Wakati Mfalme Ahazia alipokuwa ameumia, alilazwa kwenye kitanda. Yahwe alisema kwamba hatapona na kuweza kutoka kitandani.
2 Kings 1:7-8
Alikuwa amevaa kanzu yenye nywele
Maana ziwezekanazo ni 1) hii ni sitiari inayomzungumzia yeye kuwa na mvi sana kana kwamba nywele zake zilikuwa kanzu. "Nguo zake zilikuwa zimetengenezwa kwa nywele za mnyama"
2 Kings 1:9-10
Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya
Mfalme akamtuma kiongozi wa jeshi pamoja na watu hamsini kumrudisha Eliya kwake. "kisha mfalme akamtuma nahodha pamoja na maaskari hamsini kumkamata Eliya"
maaskari hamsini
"Maaskari 50"
Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni
Nahodha alimuita Eliya mtu wa Mungu, laki
mbingu
"anga"
2 Kings 1:11-12
maaskari sabini
"maaskari 50"
Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni
Nahodha alimuita Eliya mtu wa Mungu, lakini nahodha na mfalme hakumuonyesha Eliya heshima inayostahili. Eliya alisema hivi basi moto utashuka chini kutoka mbinguni, na hii itathibitishs kwamba hakika Eliya alikuwa mtu wa Mungu na alistahili heshima yao.
moto kutoka wa Mungu
Hii inamaanisha kwamba moto ulishuka kutoka kwa Mungu. "moto kutoka kwa Mungu"
2 Kings 1:13-14
watu hodari hamsini
"mashujaa 50" au "maaskari 50"
kumsihi
"kumuomba"
hawa watumishi wako hamsini
Nahodha akasema kwamba hawa watumishi ni watumishi wa Eliya kumuonyesha heshima.
acha uzima wangu ... uwe na thamani usoni pako
Kirahi "usoni kwako" kinarejea kwa kile Eliya anachofikiria. Nahodha anawatetea pamoja na Eliya kuwaacha waishi. "tafadhali fikiria maisha yangu ... kama thamani kwako" au "fikiria maisha yangu ... kuwa ya thamani kwako na usituue"
acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako
Hapa nahodha anatubu ombi lake kwa ajili ya Eliya kuonyesha ukarimu kwake na kumuacha aishi.
2 Kings 1:15-16
Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari?
Hili swali lisilokuwa na majibu liliulizwa kwa ajili ya kufanya shauri na Beel Zebubu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. Hii ni kejeli kwa sababu mfalme macho kwa Mungu wa Israeli. "Unadhani hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza habari!" au "Ninyi wapumbavu! mnajua kuna Mungu katika Israeli wa kufanya shauri, lakini mmetenda kana kwamba hamkfahamu."
hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda
Wakati mfalme Ahazi alipokuwa ameumia, aliwekwa kitandani,. Yahwe akasema kwamba hatapona na kuweza kuinuka kitandani.
2 Kings 1:17-18
likle neno la Yahwe lililozungumzwa na Eliya
"Yahwe alimwambia nini Eliya ambalo Eliya alilizungumza"
mwaka wa pili
"mwaka wa 2"
katika mwaka wa pili wa Yoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda
Hii inaelezea mda ambao Yoramu alipoanza kutawala kwa kuanza ni mda gani mfalme wa Yuda aliepo alitawala. "katika mwaka wa pili ambao Yoramu mwana wa Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda"
Je hayajaandikwa ... Israeli?
Hili ni swali lisilokuwa na majibu linaloweza kuandikwa kama sentensi. "yameandikwa ... Israeli"
2 Kings 2
2 Kings 2:1-2
Hivyo ikawa
"Hivyo ikatokea." Hiki kirai hutumika kutambulisha tukio lijalo katika hadithi.
uvumi
upepo mkubwa ambao usokotao kuzunguka na kuzunguka
Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo
"Kama hakika kama Yahwe aishivyo na kama uishivyo." Hapa Elisha analinganisha hakika kwamba Yahwe na Eliya wanaishi kwa hakika ya kile wanachokisema. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya heshima. "kwa heshima nakuahidi kwamba hivyo"
2 Kings 2:3-4
wana wa manabii
Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii. "Kundi la watu ambao walikuwa manabii"
Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintakuacha
"Kwa hakika kama Yahwe aishivyo na kama usihivyo, sintakuacha." Hapa Elisha analinganisha bila shaka kwamba Yahwe na Eliya wako hai kwa hakika wa kile asemacho. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya heshima.
2 Kings 2:5-6
Kisha wana wa manabii waliokuwa Yeriko wakaja kwa Elisha na kumwambia
"Wakati Eliya na Elisha walipokuja karibu na Yeriko, wana wa manabii waliokuwa wametoka huko kwa Elisha"
wana wa manabii
Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, hao walikuwa kundi la manabii.
Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintakuacha
"Kwa hakika kama Yahwe aishivyo, sitakuacha." Hapa Elisha analinganisha hakika kwamba Yahwe na Elisha wanaisha kwa hakika ya kile anachokisema.
2 Kings 2:7-8
hamsini wa wana
"wana 50"
wana wa manabii
Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, hao walikuwa kundi la manabii.
kusimama kinyume nao
Hii inamaanisha kwamba walikuwa wamesimama, wakiwatazama. "kusimama kuwatazama" au "wamesimama wakiwaangali"
vazi
nje ya kipande cha nguo kinachotumika kufunika
Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu
"Maji ya Mto Yordani yakafunguka hivyo kulikuwa na njia kavu kwa ajili ya Eliya na Elisha kukatiza upande mwingine"
pande zote
"upande wa kulia na kushoto." Hii inareje kulia na kushoto mahali Eliya alipokuwa ameyapiga maji.
2 Kings 2:9-10
Ikawa
"ikatokea"
kupita
Hii inarejea kupita Mto Yordani. "kupita juu ya Mto Yordani"
kabla sijachukuliwa kutoka kwako
"kabla Yahwe hajanichukua kutoka kwako"
sehemu kubwa ya roho yako
Hapa roho ya Eliya inarejea kwa nguvu ya roho. "mara mbili zaidi ya mara mbili ya nguvu yako ya roho"
2 Kings 2:11-12
tazama
Neno "tazama" linatutahadharisha kuwa makini kwa habari inayoshangaza ifuatayo.
gari la farasi la moto na farasi za moto
Hapa neno "ya moto" inamaanisha kwamba vilikuwa vimezungukwa kwa moto. "gari la farasi lilizungukwa kwa moto likivutwa na farasi waliozungukwa kwa moto"
kwenda juu mbinguni kwa uvumi
"alibebwa juu kwenye anga kwa uvumi."
Baba yangu, baba yangu
Elisha anamwita Eliya mheshimiwa kiongozi wake.
kuzichana kuwa vipande viwili
Watu huchana nguo zao marar chache kama ishara ya masikitiko makubwa au huzuni. "akazichana katika vipande viwili kuonyesha huzuni yake kubwa"
2 Kings 2:13-14
vazi
Vazi lilikuwa vazi la mnyama la nabii. Ilikuwa alama ya kazi yake. Wakati Elisha alipochukua vazi lake alikuwa akisema alikuwa akichukua nafasi ya Elisha kama nabii.
Yhawe yuko wapi, Mungu wa Eliya?
Elisha anauliza kama Yahwe yu pamoja naye kama alivyokuwa na Eliya. "Yahwe, Mungu wa Eliya, je uko pamoja nami hapa?"
ziligawanyika katika sehemu zote na Elisha akapita
Mto uligawanyika na Elisha akatembea upande wa pili wa nchi kavu, vivyo hivyo akafanya kama awali wakati alipokuwa na Eliya.
pande zote
"hata kulia na kushoto." Hii inarejea kwa kulia na kushoto ambapo Eliya alipiga maji.
2 Kings 2:15-16
wana wa manabii
Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, walikuwa kundi la manabii.
wakasujudu chini mbele yake
Wanamuonyesha heshima ya juu na kumkiri kama kiongozi wao mpya.
Roho ya Eliya imepumzika kwa Elisha
Hapa "roho" wa Eliya inarejea kwa nguvu yake ya kiroho. Hii inamzungumzia Elisha kuwa na huu uwezo wa kiroho kana kwamba ilikuwa kitu ambacho kilichopumzika kimwili juu yake. "Elisha anayo nguvu ya kiroho ile ile ambayo Eliya ameifanya" au "nguvu ya kiroho ELiya alikuwa nayo sasa iko na Elisha"
Ona sasa, miongoni mwa watumishi wako kuna watu hamsini hodari. Waache waende
Hawa watu anajirejea wenyewe wakati waliposema "watu shujaa hamsini." "Ona sasa, sisi ni watu hamsini hodari sasa sisi ni watumishi wako. Twendeni"
watu hodari hamsini
"Watu 50 hodari"
2 Kings 2:17-18
Lakini walimsihi Elisha hadi akaona aibu
Wana wa manabii waliendelea kumuuliza Elisha hadi alipojisikia vibaya kuhusu kusema "hapana." "Waliendelea kumuuliza Elisha hadi alijisikia vibaya kwa kutaa swali lao, hivyo"
sikusema, 'msiende'?
Elisha anatumia swali lisilo na majibu kusisitiza kwamba aliwaambia awali nini kingetokea. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "nimekwambia kwamba usiende, kwa sababu hutamkuta!"
2 Kings 2:19-20
Watu wa mji
"Viongozi wa mji"
hali ya huu mji ni mzuri
Hii inamaanisha kwamba mji uko katika sehemu nzuri. "huu mji uko katika sehemu nzuri" au "huu mji uko katika mahali pazuri"
kama bwana wangu aonavyo
Watu wanarejea kwa Elisha hapa kama "bwana wangu" kumheshimu.
kuzaa
"kutoa matunda mazuri"
2 Kings 2:21-22
kuyaponya haya maji
Hii inamzungumzia Yahwe akifanya maji machafu kuwa masafi kana kwamba ameyaponya. "kufanya maji masafi"
hakutakuwa na kifo tena au nchi isiyozaa matunda
Hii inarejea kwa vitu visababishwavyo kwa maji machafu. Hii inaweza kuandikwa pia katika mfumo chanya. "hakutakuwa na kifo tena au matatizo na mbegu zisababishwazo na haya maji" au "kutoka sasa juu ya haya maji yataleta uhai na kusaidia nchi kuzaa matunda"
maji yaliponya
"maji yamebakia masafi"
hata leo ... aliongea
Hii inamaanisha kwamba kitu kimebaki katika hali fulani hata wakati uliopo. "kwa neno ambalo Elisha aliongea, na kubakia siku zote masafi"
2 Kings 2:23-25
kupanda kutoka huko kwenda Betheli
Neno "kupanda" analitumia kwa sababu Betheli ni juu kupanda kuliko Yeriko.
Kupanda
Vijana wadogo walimtaka Elisha kwenda mbali nao na kueleza hii kwa kusema "panda juu."
upara
Watu mwenye upara hana nywele yeyote juu ya vichwa vyao. Vijana wadogo walikuwa wakimtania Elisha kwa kuwa na kichwa chenye kipara.
vijana arobaini na mbili
vijana wawili** - "vijana 42"
2 Kings 3
2 Kings 3:1-3
katika mwaka wa kumi na wa Yehoshefati mfalme wa Yuda
Hii inaelezea mda ambao Yoramu alianza kutawala kwa kusema ni mda gani mfalme wa Yuda aliyepo alivyoongoza. Maana ya sentensi inaweza kuwekwa wazi. "katika mwaka wa kumi na nane ambao Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda"
mwaka wa kumi na nane
"mwaka wa 18"
Yoramu mwana wa Ahabu
Wakati mwingine huyu mtu anamrejea kama "Yoramu." huyu sio mtu mmoja kama mtu alyetajwa katika 1:17 aitwaye "Yehoramu."
Alifanya yale yaliyo sahihi usoni mwa Yahwe
Jina vumishi "uovu" unaweza kutafsiriwa kama kifungu jamaa. Hapa "uso" wa Yahwe inarejea kwa kile afikiriacho. "Alifanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa maovu"
lakini si kama baba yake na mama yake
Hii inalinganisha jinsi alivyofanya maovu kuwa chini kuliko kiasi hayo ni wazazi wake waliyafanya. "lakini hakufanya maovu zaidi kama baba yake na mama yake waliyoyafanya"
ile nguzo takatifu ya Baali
Hii nguzo ilitumika katika kumwabudu Baali, ingawa haijulikani vile ambavyo nguzo ilivyokuwa ikionekana. "jiwe takatifu la nguzo kwa ajili ya kumwabudu Baali"
alishikilia dhambi
Hii ni lahaja. Hapa "kushikilia" kwa kitu maana yake ni kuendelea kuifanya. "aliendelea kufanya dhambi"
Nebati
Hili ni jina la mwanamume.
hakuizacha
"Kugeuka" mbali na kitu ni lugha inayomaanisha kuacha kuifanya. "hakuacha kuzifanya hizo dhambi" (UDB) au "aliendlea kufanya hizo dhambi"
2 Kings 3:4-6
Alikuwa akimpatia mfalme wa Israeli kondoo 100,000 na manyoya ya kondoo dume 100,000
Mesha alitakiwa kutoa hivi vitu kwa mfalme wa Israeli kwa sababu ufalme wake ulitawaliwa na mfalme wa Israeli. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kutengenezwa wazi.
kuhamasisha Israli yote kwa ajili ya vita
"kuwaandaa watu wa Israeli kwa ajili ya vita." Hapa "Israeli yote" inarejea kwa maaskari wote wa Waisraeli. "kuwahamasisha maaskari wote wa Israeli kwa ajili ya vita"
2 Kings 3:7-8
Maelezo ya Jumla:
Mfalme Yoramu anaendelea kuongea na Mfalme Yehoshafati.
Je mtaenda pamoja juu ya Moabu kupigana?
Neno "ninyi" linamrejea Yehoshafati, lakini linawarejea wote yeye na jeshi lake lote. Hapa "Moabu" anasimama badala ya "jeshi la Moabu."
Nitaenda
Yehoshafati anasema hivi yeye pamoja na jeshi lake lote watapigana na Mfalme Yoramu juu ya Moabu. "Tutaenda pamoja"
Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako
Yehoshafati anamuacha Yoramu kutumia mwenyewe, watu wake, na farasi wake kwa kusudi lake mwenyewe. Anaizungumzia hii kana kwamba wanamilikiwa na Yoramu.
Kwa njia ya jangwa la Edemu
"Kwa kwenda kupitia jangwa la Edomu"
2 Kings 3:9-10
wafalme wa Israeli, Yuda, na Edomu
Hii inawarejea wafalme walioongozana karibu na majeshi yao. "wafalme wa israeli, Yuda, na Edomu na majeshi yao"
alikwenda nusu duara
Hii inaeleza kwa njia isiyo sahihi walivyo safiri kama ilivyotajwa katika 3:7.
nusu duara
Tao ambayo imeumbwa kama nusu duara.
Hapakuwa na maji
Hii inaweza kuelezwa katika umbo tendaji. "Hawakukuta maji" au "Hawakukuta maji yoyote"
Hii ni nini? Je Yahwe amewaita wafalme watatu kuwatia kwenye mkono wa Moabu?
Mfalme anatumia swali lisilo na majibu kusisitiza ulivyo ujinga na na vile hali yao ilivyo mbaya. Hii inaweza kaundikwa kama kauli.
kuwawekakwenye mkono wa Moabu
Hapa "Moabu" inarejea kwa jeshi lake. Pia, "mkono wa Moabu" unarejea kwa "utawala" wa Moabu.
2 Kings 3:11-12
je hakuna nabii wa Yahwe, ambaye tunaweza kufanya shauri kuhusu Yahwe kupitia yeye?
Yehoshafati anatumia swali lisilo hitaji majibu hapa kueleza kwamba yamkini kwamba yeye ni nabii huko na kumtafuta alipo. "Ninauhakika kuna nabii wa Yahwe hapa! Nambie alipo, ili tuweze kumwambia Yahwe juu yake."
Shafati
Hili ni jina la kiume.
alikuwa akimimina maji kwenye mikono ya Eliya.
Hii lahaja inamaanisha kwamba ulikuwa msaada wa Eliya. Neno "kummiminia maji juu ya mikono" ni maelezo ya moja ya njia aliyomwokoa Eliya. "ambaye alikuwa msaada kwa Eliya"
Neno la Yahwe liko pamoja nami
Hii inamaanisha kwamba yeye ni nabii na kwamba Yahwe anamwambia nini cha kusema. "Huongea kile Yahwe amwambiacho kusema" (UDB)
wakashuka chini kwenda kwake
Walienda kumuona Eliya na kuhojiana pamoja naye kuhusu nini wangefanya. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "kwenda kumuona Elisha kumuuliza nini wangefanya"
2 Kings 3:13-14
Nifanye nini kwa ajili yako?
Elisha anatumia hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwamba yeye na mfalme hawaendani. Hili swali linaweza kutafsiriwa kama sentensi. "Sina cha kufanya pamoja nawe."
kuwaweka kwenye mkono wa Moabu
Hapa "mkono wa Moabu" unarejea "utawala" wa Moabu. "kuwatoa juu ya utawala wa Moabu" au "kuwaruhusu kutekwa na jeshi la Wamoabu"
Kama Yawhe wa majeshi aishivo, ambaye nimesimama mbele zake, hakika
"Kama nijuavyo kwamba Yahwe wa majeshi aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, hakika." Hapa Elisha analinganisha uhakika kwamba Yahwe yu hai na uhakika kwamba, kama isngekuwa kwa ajili ya Yehoshafati kuwa huko, asingevuta usikivu kwa Yoramu. Hii ni njia ya kufanya ahadi nzito.
nimesimama mbele zake
Hapa kumtumikia Yahwe inazengumziwa kama kusimama katika uwepo wake. "ambaye nimtumikiaye"
je haukuwa ukweli kwamba ningeheshimu uwepo wa Yehoshafati mfalme wa Yeda, Nisingevuta usikivu wowote kwako
"Navuta usikivu kwako pekee kwa sababu naheshimu uwepo wa Yehoshafati mfalme wa Yuda"
naheshimu uwepo wa Yehoshafati
Hapa Yehoshafati anarejewa kwa uwepo wake. "Namheshimu Yehoshafati"
nisingevuta usikivu kwako, wala hata kukutazam
Haya maneno mawili yana maana moja na yanatumika pamoja kusisitiza kwamba asingevuta usikivu kwa Yoramu. "Nisingekuwa na chochote chochote cha kufanya pamoja nawe"
2 Kings 3:15-17
Ndipo alipokuja
"Na ikatokea kwamba"
mpiga muziki
mtu apigaye kinubi
mkono wa Yahwe ukaja juu ya Elisha
Hapa "mkono" wa Yahwe inarejea kwa "nguvu" yake. "nguvu ya Yahwe ikaja juu ya Elisha"
mahandaki
Andaki ni mfereji mrefu ambao wafanya kazi huchimba ndani ya nchi kukusanya maji.
hili bonde la mto litajaa maji
"An ikatokea kwamba"
mtakunywa
Hii inarejea kunywa maji ambayo Yahwe aliyoyaandaa. "mtakunywa maji"
2 Kings 3:18-19
Hiki ni kitu rahisi usoni mwa Yahwe
Hapa "uso" wa Yahwe inarejea kwa kile afikiriacho. "Yahwe anaichukulia hii kama kitu rahisi kufanya" "Hili ni jambo rahisi kwa Yahwe kufanya" (UDB)
mji imara
Mji imara umelindwa vizuri kutokana na maadui. kwa vitu kama kuta ndefu.
kuziharibu sehemu zote nzuri za nchi na miamba
Hii inamaanisha kuweka mawe juu nchi yenye rutuba ili kwamba iwe vigumu kutumia. Maana ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "kuviharibu kila vipande vya nchi kwa kuvifunika kwa mawe"
2 Kings 3:20
yakaja maji
"maji yakaanza kutiririka"
nchi ikajaa maji
"na baada ya kitambo nchi ikajawa na maji"
nchi
"nchi" au "aridhi"
2 Kings 3:21-23
Sasa
Hili neno linatumika limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaeleza habari za nyuma kuhusu jeshi la Wamoabu kuandaa kuwalaki wafalme wawili na majeshi yao kwenye vita.
wote waliotakiwa kubeba silaha
Hapa "silaha" inawakilisha uwezo wa kupigana. "watu wote walioweza kupigana"
wafalme walikuja
Hapa neno "wafalme" linwarejea wafalme wote na majeshi yao" au "wafalme na majeshi yao walikuja"
ilionekana nyekundu kama damu
Hii inalinganisha mwonekano mwekundundu wa maji kwenye rangi ya damu. "ilikuwa nyekundu kama damu"
Hivyo, basi Moabu
Hapa maaskari wanarejea wenyewe kama "Moabu" "maaskari wa Moabu"
kuwateka nyara
"kuiba mali zao." Baada ya jeshi kuwashinda adui zao, mara nyingi waliiteka nyara miji yao kwa kuiba kila kilichokuwa kimebaki cha thamani.
2 Kings 3:24-25
kambi ya Israeli
Hapa "Israeli" inawarejea maaskari Waisraeli pekee na sio taifa zima la Israeli.
Waisraeli wakashangazwa
Hapa "Waisraeli" inawarejea maaskari Waisraeli pekee na sio kwa taifa zima la Israeli. "maaskari Waisraeli walishangazwa"
walikimbia mbele yao
"kuwakimbia"
Kir-haresethi
Huu ni mji mkuu wa Moabu.
ilichwa na mawe yake
Kuta na majengo ya mji yalitengenezwa kwa mawe. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "bado kulikuwa na kuta za mawe yake na majengo"
na makombeo
"Kombeo" ni kipande kidogo cha ngozi chenye kamba ndefu pande zote za mwisho ambayo mtu anaweza kuweka jiwe au kitu kingine kidogo, kitu kigumu na kukitupa umbali mrefu.
2 Kings 3:26-27
Mfalme Mesha
Tafsri jina la huyu mfalme kama ulivyofanya katika 3:4.
kwamba ameshindwa
"kwamba jeshi lake lilishindwa"
watu hodari wa upanga mia saba
"hodari wa upanga 700"
hodari wa upanga
maaskari ambao hupigana kwa upanga
kuvunja kupita
"lazimisha njia kupita." Kulikuwa na maaskari wengi wakipigana kwenye uwanja wa vita ambao ulifanya kuwa vigumu kuondoka kwenda kwenye umati.
kumtolea kama sadaka ya kuteketezwa
Mfalme Mesha alimteketeza mwanaye kwa moto hadi akafa. Alifanya hivi kama sadaka kwa Kemoshi, mungu wa uongo wa Moabu. Maana kamili ya hii kauli inaweza kuwekwa wazi.
Hivyo kulikuwa na hasira kubwa juu ya Israeli
Hapa neno "hasira" linaweza kuelezwa kama kitenzi. Kuna maana mbili ziwezekanazo kwa yule aliye na hasira hapa 1) Maaskari wa Moabu. "Hivyo maaskari wa Moabu walikuwa na hasira sana na Israeli" au 2) Mungu. "Hivyo Mungu alikuwa na hasira sana na Israeli"
2 Kings 4
2 Kings 4:1-2
wana wa manabii
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, walikuwa kundi la manabii.
Mtumishi wako mume wangu
"Mume wangu, aliyekuwa mtumishi wako"
mwia
mtu atoaye pesa kwa wengine
Watumishi wako hawana kitu
Mwanamke anajirejea mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumuonyesha heshima.
hakuna kitu katika nyumba, isipokuwa sufuria ya mafuta
Kitu pekee cha thamani alichokuwa nacho kilikuwa chupa ya mafuta.
2 Kings 4:3-4
nenda ndani
Hii inamaanisha kwenda ndani ya nyumba yao. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwa wazi. "nenda ndani ya nyumba yako"
2 Kings 4:5-6
vyombo
"chupa"
2 Kings 4:7
mtu wa Mungu
Hii inamhusu Elisha. "Elisha, mtu wa Mungu"
yatakayobaki waachie watoto wako
Hii ilimaanisha kwamba kutumia pesa kununua vitu ambavyo walihitaji, kama vile chakula na mavazi. "tumia pesa zitakazobaki kwa ajili yako na mwanaye kwa kuwa ndicho utakacho kuishi"
2 Kings 4:8-9
Sunemu
Hili ni jina la mji.
alimwagiza kunywa uji pamoja naye
Hii inamaanisha kwamba alimwambia kuacha na kupata chakula kwenye nyumba yake. "alimuuliza kuja kwenye nyumba yake kupata chakula"
pita karibu
"alisafiri kupitia Shunemu"
Tazama, sasa natambua
"Sasa ninaelewa"
aliyekuwa akipita karibu mara zote
"aliyekuwa akipita mara kwa mara"
2 Kings 4:10-11
Maelezo ya Jumla:
Huyu mwanamke muhimu anaendelea kuongea mme wake kuhusu Elisha.
Basi sisi
Hapa "sisi" inamhusu mwanamke muhimu na mume wake.
2 Kings 4:12-13
Gehazi
Hili ni jina la mwanamume.
muite huyu Mshunami
"Muite mwanamke Mshunami." Hii inamuhusu mwanamke wa Shunami aliyekuwa akiishi na Elisha.
Umeyapitia haya mabaya yote kutujali sisi
Neno "haya mabaya yote" linavihusus vitu ambavyo mwanamke alivifanya kwa ajili ya Elisha. "Umeonyesha ukarimu sana kujishughulisha kwa ajili yetu"
Nini kitendeke kwa ajili yako
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Tukutendee nini"
Tunaweza kukuombea
Hapa elisha anauliza kama angeweza kuzungumza kwa niaba yake kwa mfalme au amiri jeshi kuomba kwa ajili yake.
Ninaishi miongoni mwa watu wangu mwenyewe
Mwanamke anamaanisha kwamba hahitaji chochote kwa sababu familia yake inajali mahitaji yake. "ninaishi kuzungukwa na familia yangu, na kwa sababu wananiangalia, sina mahitaji."
2 Kings 4:14-16
Muite
"Mwambie aje kutuona"
Wakati alipomuita
"Wakati Gehazi alipomuita"
mlango
Hii inahusu mlango wa kutokea. "mlango wa kutokea"
mwana
"mwanao"
bwana wangu na mtu wa Mungu
Mwanamke anatumia haya majina yote kumrejea Elisha.
mtumishi wako
Mwanamke ajirejea yeye mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumounyesha heshima.
2 Kings 4:17-20
katika kipindi hicho mwaka uliofuata
"katika majira yale yale mwaka uliofuata"
Wakati mtoto alipokuwa
"wakati mtoto alipokuwa mkubwa"
Kichwa changu, kichwa changu
Mtoto alisema hivi kwa sababu kichwa chake kiliuma.
yule mtoto alikaa juu ya magoti yake hadi mchana na kisha akafa
Hapa magoti ya mwanamke yanahusu mapaja yake. Alimsaidia mwanaye katika mapaja yake hadi alipokufa. "alimsaidia juu ya mapaja yake hadi mchana kisha akafa"
2 Kings 4:21-22
juu ya kitanda cha mtu wa Mungu
Hiki kilikuwa kitanda katika chumba alichokuwa amekiandaa kwa ajili ya Elisha aliposafiri kupitia Shunemu.
mtu wa Mungu
"Elisha, mtu wa Mungu"
ili niweze kuwahi kwa mtu wa Mungu ili niweze kurudi
Yule mwanamke alimwambia mume wake alikuwa anaenda kumuona Elisha lakini hakusema kwamba alienda kwa sababu mtoto wao alikuwa amekufa.
2 Kings 4:23-24
Itakuwa sawa
Yule mwanamke alieleza hivi, kujua hii itakuwa kesi kama mume wake atafanya kama alivyoomba.
akatandika kwenye punda
Yule mwanamke hakumtaka punda, badala yake mtumishi angeitandika kwa ajili yake. "alikuwa na mtumishi wake wa kutandika punda"
2 Kings 4:25-26
Hivyo alienda na kuja na mtu wa Mungu katika mlima Karmeli
"Hivyo alisafiri kuelekea Mlima Karmeli ambapo Elisha, mtu wa Mungu, alipokuwa"
Hivyo wakati mtu wa Mungu alipomuona kwa mbali
"Wakati alipokuwa mbali, na alimuona akija"
Hawajambo
"Hawajambo" au, kila kitu kiko salama" (UDB)
2 Kings 4:27
mlima
"Mlima Karmeli"
alimkumbatia miguu yake
Hii inamaanisha kwamba alipiga magoti juu ya aridhi mbele yake na kunyakua miguu yake. "alishuka chini juu ya ardhi mbele yake na kuweka mikono yake kuzunguka miguuyake"
Yahwe amenificha tatizo kwangu, na hajanambia kitu
Elisha anaweza kuona huyo mwanamke amekasirika lakini Yahwe hajamfunulia sababu ya tatizo lake.
2 Kings 4:28-29
Nilikuuliza mtoto wako, bwana wangu? Sikusema, 'Usinifiche'?
Yule mwanamke anatumia hili swali lisilo na majibu kuonyesha kwamba amechukia kuhusu kilichotokea. Hivyo anazungumza kuhusu mazungumzo yake na Elisha wakati alipomwambia kwamba alikuwa akienda kumpata mtoto.
Vaa kwa ajili ya safari
"Kuwa tayari kwa ajili ya safari"
Kama ukimkuta mtu yeyote, usimsalimie, na kama mtu yeyote akikusalimia, usimjibu
Elisha alimtaka Gehazi kusafiri haraka iwezekanavyo, bila hata kusimama kuongea na yeyote.
2 Kings 4:30-31
Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo
"Bila shaka kama Yahwe aishivyo na kama uishivyo." Hapa mwanamke analinganisha kuhakiki kwamba Yahwe na Eliya kwa hakika kwa kile anachokisema. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya dhati.
lakini mtoto hajaongea wala kusikia
Hii inamaanisha kwamba mtoto hakuwa hai. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "lakini huyo mtoto hakuonyesha ishara zozote kuonyesha yuko hai"
hajaamka
Hapa kufa kunazungumziwa kama kulala. "bado amekufa"
2 Kings 4:32-34
Hivyo Elisha aliingia ndani na kufunga malango yeye mwenyewe na yule mtoto
"Hivyo Elisha alienda yeye mwenyewe kwenye chumba mtoto alipokuwa amelala, akafunga mlango"
2 Kings 4:35-37
akajinyoosha mwenyewe kwa yule kijana
"akalala juu ya yule kijana tena"
Mshunami
"mwanamke Mshunami"
Kisha akainamisha uso wake chini kwenye miguu yake na kusujudu
Yule mwanamke akainama chini mbele ya Elisha kama ishara ya heshima kubwa na shukrani. "Kisha akainama mbele ya Elisha kwa uso wake hadi chini kumuonyesha shukrani"
2 Kings 4:38-39
wana wa manabii
Hii haimanaashi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, hao walikuwa kundi la manabii.
sufuria
Hii ni sahani ambayo kwa kawaida ilitengenezwa kwa nyama na mboga za majani zilizopikwa kwenye chungu pamoja na kimiminiko.
matango pori
Hizi mboga za majani zilikuwa zinaota porini, kumaanisha kuna mtu alizipanda.
alipojaza kwenye nguo yake
Aliinua chini ya mpaka wa vazi lake juu hadi kwenye kiuno kufanya nafasi kubeba walinzi zaidi kuliko angebeba kwa mikono yake pekee.
lakini hakujua zilikuwa za aina gani
Hawakujua kwamba walikuwa walinzi wa aina gani hawakujua kama hazikuwa salama kula.
2 Kings 4:40-41
walipakua kutoka kwenye kuchemka
"walipakuliwa na kusambaziwa kwenye mabakuli"
kuna kifo kwenye sufuria
Hii inamaanisha kwamba kulikuwa na kitu kwenye sufuria ambacho kingeweza kuwaua, sio kwamba kuna kitu kilichokufa katika sufuria.
Alitupia kwenye sufuria
"Aliichemsha kwenye sufuria"
Kuipakua kwa ajili ya watu
"Kuwahudumia watu"
2 Kings 4:42-44
Baal shalisha
Hili ni jina la mji.
mikate ishirini
"mikate 20"
kutoka mavuno mapya
"iliyotengenezwa kutoka kwenye nafaka kutoka kwenye mavuno mapya"
maskio safi ya nafaka
"vichwa safi vya nafaka." Hii inarejea kwenye nafaka kutoka kwenye mavuno mapya.
Je, niandae hii mbele ya watu mia moja?
Yule mtu alitumia hili swali lisilo na majibu kumaanisha kwamba huu mkate hautoshi kulisha watu 100.
watu mia moja
"watu 100"
neno la Yahwe
Hapa Yahwe inarejea kwa kile alichokisema.
2 Kings 5
2 Kings 5:1-2
katika mtazamo wa bwana wake
"Mtazamo" wa mfalme unarejea kwa kile afikiriacho kuhusu jambo. "katika maoni ya mfalme"
kwa sababu kwa yeye Yahwe alimpatia Shamu ushindi
Hapa "Shami" inarejea kwa jeshi la Washamu. "kwa sababu kupitia Naamani, Yahwe alimpatia ushindi jeshi la Washamu"
Washami walikuwa wametoka nje
Hapa "Washami" inarejea kwa maaskari wa Sahami.
kuongoza kikundi
"katika makundi madogo kushambulia." Hii inamaanisha kutoka nje kushambulia adui katika makundi madogo.
2 Kings 5:3-4
Msichana alimwambia bibi yake
Msichana kutoka Israeli, aliyekuwa amekamatwa na maaskari wa Kishamu, aliongea na mke wa Naamani.
bwana wangu
Hapa "bwana wangu" inamrejea Naamani.
2 Kings 5:5-6
nitatuma barua
Mfalme anaenda kumpatia barua Naamani kwenda pamoja naye kwa mfalme wa Israeli. "nitatuma barua pamoja nawe"
talanta kumi za fedha, elfu sita vipande vya dhahabu
"talanta 10 za fedha, vipande vya 6,000 vya dhahabu." Hii inaweza kuandikwa katika vipimo vya kisasa. "kilo 340 ya fedha, 6,000 ya vipande vya dhahabu"
akachukua pamoja naye kumi ... mavazi
Hizi zilikuwa zawadi kutoka kwa mfalme wa Shami kwa ajili ya mfalme wa Israeli. "chukua pamoja naye kumi ... mavazi, ambazo zilikuwa zawadi kwa ajili ya mfalme wa Israeli"
2 Kings 5:7
akararua mavazi yake
Mara nyingi watu walipasua nguo zao kama walikuwa katika huzuni."alichana nguo zake kuonyesha huzuni yake"
Je mimi ni Mungu, niue na nirudishe uhai, kwamba huyu mtu anataka nimponye mtu ukoma wake?
Mfalme anatumia hili swali lisilo na majibu kusisitiza ombi la mfalme wa Shami ni hasira na ni kitu ambacho hawezi kufanya.
Inaonekana anatafuta mashindano na mimi
Mfalme wa Israeli hakuamini ombi kumponya Naamani ilikuwa sababu ya kweli kwa ajili ya barua. Alifikiri sababu ya kweli ilikuwa kuanza kupigana. "inaonekana anatafuta udhuru kuanza kupigana nami"
2 Kings 5:8-10
Maelezo ya Jumla:
Elisha alizungumza na Mfalme wa Israeli kuhusu Naamani.
Kwa nini umechana mavazi yako?
Elisha anauliza swali hili lisilo na majibu kusisitiza kwa mfalme kwamba hahitaji kuwa na huzuni na kuchana mavazi yake.
mwili wako utarudishwa
Hii inaweza kuandikwa katika umbo tendaji. "mwili wako utapona"
utakuwa msafi
hii inamaanisha kwamba hatakuwa najisi tena. Mtu ambaye Mungu anamfikiria kiroho hatakiwi au najisi anazunguziwa kana kwamba huyo mtu alikuwa alikuwa mchafu kimwili.
2 Kings 5:11-12
Tazama
Hili neno linatumika kuleta usikivu wa mtu kwa kile kitakachosemwa. "Sikiliza"
jina la Yahwe
Hapa Yahwe inarejewa kwa jina lake. "Yahwe"
juu ya sehemu
"juu ya eneo la ngozi lenye ugonjwa" au "juu ya ukoma wangu"
Je sio Abana na Faepari, mito ya Damaskasi, bora kuliko maji yote ya Israeli?
Naamani anatumia hili swali lisilokuwa na majibu kusisitiza kwambwa Abana na Faepari ni mito mizuri kuliko Yordani.
Abana na Faepari
Haya ni majina ya mito.
Je siwezi kuoga ndani yao na kuwa safi?
Naamani anatumia swali lisilo na majibu kusisitiza kwamba angeweza kuoga katika mito mingine kirahisi. Anaamini kwamba kuoga katika hayo yangeweza kumponya kama kuoga katika Yordani.
kwenda kwa hasira
"alikuwa na hasira kana kwamba alienda"
2 Kings 5:13-14
Baba yangu
Watumishi walikuwa wakionyesha heshima kwa Naamani kwa kumtambulisha kama "baba yangu" au "bwana."
usingeifanya?
Mtumishi anatumia hili swali kwa makini kumuonya Naamani. "hakika ungekuwa umemaliza!"
Je si zaidi basi?
Mtumishi analinganisha utayari wa Naamani ni kiasi gani zaidi ataweza kutii amri rahisi tangu awe tayari kutii ile ngumu.
Je si zaidi basi, atakapokwambia rahisi, 'Zama mwenyewe na uwe safi?
Mtumishi anatumia hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwa Naamani kwamba anatakiwa atii amri ya Elisha. Hili swali linaweza kuandikwa kama kauli.
mtu wa Mungu
"Elisha mtu wa Mungu"
Mwili wake ulirudishwa tena kama mwili wa mtoto mdogo
Hii inazungumzia jinsi gani ngozi ya Naamani ilivyokuwa nyororo baada ya kuponywa kwa kuilinganisha na ngozi ya mtoto mdogo. "Ngozi yake ilikuwa imerudishwa tena na alikuwa laini kama ngozi ya mtoto mdogo"
Mwili wake
"Ngozi yake"
aliponywa
Hii inaweza kuainishwa katika umbo tendaji. "ukoma wake uliondoka"
2 Kings 5:15-16
Tazama
Hili neno limetumika hapa kuleta usikivu wa mtu kwa kile kitakachosemwa.
hakuna Mungu katika dunia yote isipokuwa katika Israeli
Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Mungu wa Israeli ndiye Mungu pekee wa kweli!"
Kama Yahwe aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake
"Kwa hakika kama nijuavyo kwamba Yahwe yu hai, abaye nimesimama mbele zake." Bila shaka hapa Elisha analinganisha kwamba Yahwe yu hai kwa hakika kwamba hatapokea zawadi yeyote kutoka kwa Naamani. Hii ni njia ya kufanya agano la sherehe.
ambaye nimesimama mbele zake
Hapa kumtumikia Yahwe inazungumziwa kama kusimama katika uwepo wake. "ambaye namtumikia"
sintopokea kitu
Hii inamaana kwamba hatapokea zawadi zozote. "sintachukua zawadi zozote"
2 Kings 5:17-19
Kama sivyo
Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "Kama hutachukua zawadi nilizokuletea"
acha apewe mtumishi wako huko
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji.
mzigo wa baghala mbili za aridhi
Naamnai anauliza kuchukua udongo kutoka Israeli na kuuweka kwenye magunia kwa baghala mbili kubeba nyumbani pamoja naye. Kisha alipanga kujenga madhabahu kwenye udongo.
mtumishi wako
Naamani anajirejea mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumheshimu.
hatotoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe
Hii inaweza kuandikwa katika muundo chanya. "hatatoa sadaka ya kuteketeza au dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe"
wakati mfalme wangu
Hii inamrejea mfalme wa Shami, mfalme ambaye Naamani alimtumikia.
akajifunza kwenye mkono wangu
"alijisaidia mwenyewe juu ya mkono wangu." Hii inamaanisha kwamba Naamani humsaidia mfalme wakati ainapo katika nyumba ya Rimoni kwa sababu mfalme ni mzee au anaumwa.
Nenda kwa amani
"Nenda nyumbani na usiwe na wasi" au "ondoka bila wasi"
2 Kings 5:20-22
Alisafiri
"Naamani alisafiri"
Gehazi
Hili ni jina la kiume.
Tazama
Hili neno limetumika hapa kumvuta mtu usikivu kwa kile kitakachosemwa.
amemuandaa huyu Naamani Mshami
"amemuacha Naamani Mshami kuondoka kirahisi"
bila kupokea
"bila kukubali"
kutoka kwenye mikono yake
Hapa naamani anarejea karibu na mikono yake kusisitiza tendo la kutoa. "kutoka kwake"
Kama Yahwe aishivyo
"Kwa hakika kama Yahwe aishivyo." Hapa Gehazi analinganisha uhakika kwamba Yahwe yu hai kwa uhakika wa kile alichoamua kufanya. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya sherehe. Kama Yahwe aishivyo, naahidi"
wa wana wa manabii
Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, walikuwa kundi la manabii.
Tafadhali, wapatie talanta ya fedha na nguo mbili za kubadilisha
Gehazi anamuuliza Naamani awapatie hivi vitu yeye ili kwamba avichukue na kuwapatia manabii. "Tafadhali wapatie talanta ya fedha na nguo mbili za kubadilisha kuwapatia.
Tazama
Hili neno limetumika hapa kuleta usikivu wa mtu kwa kile anachotaka kukisema.
talanta ya fedha
Hii inaweza kuandikwa katika kipimo cha kisasa. "kilo 34 za fedha"
2 Kings 5:23-25
talanta mbili
Hii inaweza kuandikwa katika vipimo vya kisasa. Hizi talanta za fedha. "talanta mbili za fedha" au "kilo 68 za fedha"
kuzitandaza juu ya wawili
"kuwapatia"
Naamani alimwagiza Gehazi
Naamani alimwagiza kuchukua zawadi. "Naamani alimwagiza kuchukua zawadi"
Mtumishi wako
Gehazi anajirejea yeye mwenyewe hapa kama mtumishi wa Elisha.
2 Kings 5:26-27
je haikuwa roho yangu na wewe wakati yule mtu alipoyarudisha magari yake ya farasi ili kukutana na wewe?
Elisha anatumia hili swali kusisitiza kwamba Yahwe alimruhusu kuona kile Gehazi alichokifanya. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Unatakiwa kutafakari kwamba roho angekuona wakati Naamani aliposimamisha magari yake ya farasi na kuzungumza na wewe."
Je huu ni mda wa kupokea pesa na nguo
Elisha anatumia swali hili lisilo na majibu kusisitiza kwamba huu sio mda wa kuchukua zawadi. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Huu sio mda wa kupokea pesa ... watumishi wa kike."
ukoma wa Naamani utakuwa juu ya uzao wako
Hii inamzungumzia Gehazi na uzao wake kupata ukoma kana kwamba ukoma wa Naamani ulichukuliwa kutoka kwake na kupatiwa Gehazi. "wewe na uzao wako mtakuwa na ukoma, kama Naamani alivyokuwa na ukoma"
Basi Gehazi akatoka kwenye uwepo wake
Neno "uwepo wake" linarejea kwenye ambalo Elisha angeweza kumuona. Hii inamaanisha kwamba alikiacha chumba ambacho alichokuwa. Wakati Gehazi alipokicha hicho chumba, alikuwa"
kama theluji
Ukoma hufanya ngozi nyeupe. Hapa ngozi ya ukoma wa Gehazi unalinganishwa na rangi ya theluji. "na ngozi ambayo ilikuwa nyeupe kama theluji"
2 Kings 6
2 Kings 6:1-3
Wana wa manabii
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii.
twendeni Yoradani
Hii inarejea kwenye eneo la Mto Yordani. "twendeni karibu na Mto Yordani"
watumishi wako
Hapa mmoja wa nabii anarejewa kwa wana wa manabii kama watumishi wa Elisha kumuonyesha heshima.
2 Kings 6:4-5
Maelzo ya Jumla:
Elisha alienda na manabii kukata miti.
kichwa shoka kikaangukia kwenye maji
Kichwa cha shoka kinarejea kwenye ubapa wa shoka. Hii inamaanisha kwamba kichwa cha shoka kikalegea kutoka kwenye mkono wake na kuangukia kwenye maji. "kichwa cha shoka kikajitenga kutoka kwenye mshkio na kuangukia kwenye maj"
la hasha
Yule mtu alisema hivi kuonyesha kwamba alikuwa amekasirika na kukata tamaa.
ilikuwa imeazimwa
"kuiazima"
2 Kings 6:6-7
Basi mtu wa Mungu akasema
"Hivyo Elisha mtu wa Mungu, akauliza"
Kisha akakata fimbo, akarusha kwenye maji, na kufanya chuma kuelea
Mungu anamtumia Elisha kufanya muujiza. Kichwa cha shoka kuelea kwenye uso wa maji na kukaa hapo ili nabii aweze kukichukua.
kufanya chuma
"sababisha chuma kuelea"
chuma
"kichwa cha shoka." Kichwa cha shoka kilitnegenezwa kwa chuma.
2 Kings 6:8-9
Basi mfalme wa Shamu alikuwa akipigana vita dhidi ya Israel
Wakati mfalme wa Sahmi alipokuwa kwenye vita pamoja na Israeli,"
Sasa
Hili neno limetumika hapa kugawanya katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.
akisema, "kambi yangu itakuwa sehemu flani
Mfalme wa Shamu alikuwa akiwaambia washauri wake wapi waweke kambi. Hapa nene "hivi na hivi" ni njia ya kurejea kwenye habari ya eneo la kambi bila kuiandika.
mtu wa Mungu
"Elisha mtu wa Mungu"
Kuwa makini usipite ile sehemu, kwa kuwa ndipo Washamu wanakoshukia hapo
Elisha alipajua mahali halisi ambapo Washami walipokuwa wanaenda kuweka kambi zao na kumshauri mfalme wa Israli kwa ajili ya maaskari wake kuiepuka hiyo sehemu.
2 Kings 6:10-11
kwenda pale sehemu ambayo mtu wa Mungu alipaongelea na kumtahadharisha
Hii inarejea kwenye eneo ambalo Elisha alililokuwa amemuonya mfalme katika 6:8.
Zaidi ya mara moja au mara mbili, wakati mfalme alipoenda huko, alikuwa juu ya ulinzi wake
Elisha alimuonya mfalme ambapo jeshi la Washami wangewashambulia ili kwamba angewataarifu watu kabla ya kushambuliwa. "Elisha alimuonya mfalme wa Israle katika njia hii mara nyingi na Waisraeli waliweza kukaa salama"
Je hamtaniambia ni nani miongoni mwetu aliye upande wa Israeli?"
Mfalme wa Shami anasadiki kuna msaliti miongoni mwa maaskari wake ambao anawapa habari mfalme wa Israeli. Anauliza hili swali lisilihitaji kujibiwa kujaribu kutafuta huyo msaliti ni nani.
ni kwa ajili ya mfalme wa Israeli
"Kuwa kwa ajili ya mtu mmoja" inamaanaisha kuwa mwaminifu kwa huyo mtu. Katika hii kesi, inamaanisha kwamba wangewapa habari kumsaidia mfalme wa Israeli. "anamsaidia mfalme wa israeli" au "ni mwaminifu kwa mfalme wa Israli"
2 Kings 6:12-13
Hapana
Huyu mtumishi anasema kwamba hakuna maaskari wa mfalme anayempatia habari mfalme wa Israeli.
bwana wangu, mfalme
Hii inarejea kwa mfalme wa Shami.
maneno uliyoyazungumza katika kitanda chako mwenyewe
"kile ulichokisema katika siri ya kitanda chako mwenyewe"
Naweza kuleta watu na kumkamata
Mfalme anapanga kutuma watu kumkamata Elisha kwa ajili yake. Mfalme hapangi kumkamata yeye mwenyewe. "naweza kuleta watu kumkamata"
Tazama
Hili neno limetumika hapa kuvuta usikivu wa mfalme kwa kile alichokisema. "Siliza"
Yupo Dotahazi
"Elisha yuko Dotahani"
Dothani
Hili ni jina la mji.
2 Kings 6:14-16
Hivyo mfalme
Hii inarejea kwa mfalme wa Sshami.
mtu wa Mungu
"Elisha, au "Elisha mtu wa Mungu"
tazama
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba mtumishi alishangazwa na kile alichokiona.
aliinuka mapema na kutoka nje, tazama
"kuinuka mapema asubuhi na kutoka nje, na akamuona"
Mtumishi wake akamwambia
Mtumishi amerudi ndani ya nyumba kumwambia Elisha alichokuwa amekiona.
wale walio na sisi ni zaidi kuliko wale walio nao
"Kuwa na mtu" katika vita inamaanisha kupigana kwa ajili yao. "wale walio upande watu katika vita ni zaidi kuliko wale walio upande wao"
2 Kings 6:17-19
fungua macho yake ili aweze kuona
Elisha anauliza kwamba mtumishi wake anaweza kuona vitu ambavyo watu wengine hawawezi kuona, viitwavyo farasi, na magari ya farasi ya moto ambayo yaliyo wazunguka. "mfanya aweze kuona"
na akaona. Tazama
"na kuweza kuona. Kile alichokiona kilikuwa kwamba"
Tazama
Neno "Tazama" hapa linaonyesha kwamba mtumishi alishangazwa na kile alichokiona.
mlima ulikuwa umejaa farasi
"mlima wote ulikuwa umefunikwa kwa farasi"
kumzunguka Elisha
Hii inarejea kwa mji ambao Elisha alipo. "kuzunguka mji aliokuwa Elisha"
hawa watu
Hii inarejea kwa maaskari Washami.
Wapige hawa watu upofu
"Wafanya hawa watu kuwa vipofu!" Hii inarejea kwa yahwe kuwasababisha kutoona vizuri.
Hii sio njia, wala huu mji
Elisha anawachanganya Washami kwa kuwaambia kwamba hawapo katika mji wanaoutafuta. "Hii sio njia, wala sio mji mliokuwa mnautafuta"
2 Kings 6:20-21
Ikawa kuhusu hilo
"Ikatokea kwamba" au "Kisha,"
fungua macho ya hawa watu ili waweze kuona
Elisha anamuuliza Yahwe kuwafanya watu kuona dhahiri tena. "ruhusu hawa kuona".
Yahwe alifungua macho yao na wakaona
Yahwe aliwaruhusu watu kuona dhahiri tena. "Yahwe aliuchukua upofu wao" au "Yahwe aliwaruhusu kuona dhahiri"
tazama
Neno "tazama" hapa linaonyesha Washami walishangazwa kwa kile walichokiona
wakati alipowaona
"wakati alipowaona maaskari Washami"
Baba yangu
Mfalme anazungumza na Elisha nabii na kumuita "baba" kuonyesha heshima.
niwaue? niwaue?
Hapa mfalme wa Israeli anarejea kwa jeshi lake kama yeye mwenyewe. "Niliagize jeshi langu kuwaua hawa maadui maaskari?"
2 Kings 6:22-23
Elisha akajibu
Elisha alikuwa akimjibu Elisha mfalme wa Israeli swali.
Ungeweza kuwaua wale ambao uliokuwa umewachukua mateka kwa upanga na upinde wako?
Elisha anauliza hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwa mfalme kwamba asiwaue hawa watu.
ulikuwa umechukuliwa mateka na upanga wako na upinde
Hii inawazungumzia maaskari wa mfalme kuwachukua watu mateka kana kwamba mfalme mwenyewe alikuwa ndiye aliye wateka. "maaskari wako walikamatwa mateka pamoja na panga zao na mikuki"
pamoja na upanga wako na upinde
Hizi ni silaha zilizokuwa zikitumika katika vita. "katika vita pamoja na upanga wako na upinde"
Weka mkate na maji mbele yao, kwamba wanaweza kula na kunywa
Hapa "mkate" unarejea kwa chakula kwa ujumla. "Kuwapatia chakula kula na maji kunywa,"
nenda kwa bwana wao
Hii inarejea kwa mfalme wa Shami.
Hivyo mfalme aliandaa chakula kwa ajili yao
Mfalme aliwaagiza watumishi wake kuandaa chakula. Hakuandaa chakula mwenyewe. "Kisha mfalme aliwaagiza watumishi wake kuandaa chakula kingi kwa ajili yao"
Hale makundi
"Hayo makundi"
halikurudi kwa mda mrefu katika nchi ya Israeli.
Hii inamaanisha kwamba hawakuishambulia Israeli kwa mda mrefu. "kuacha kuishambulia nchi ya Israeli kwa mda mrefu"
2 Kings 6:24-26
Ben Hadadi
Jina la mfalme wa Shami. Jina lake linamaanisha "mwana wa Hadadi."
kuiteka Samaria
Mfalme na jeshi lake waliiteka Samria. "waliiteka Samaria"
Tazama
Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuvuta usikivu kwenye habari za kushangaza zinazofuata.
kichwa cha punda kiliuzwa kwa
"gharama ya kichwa cha punda
vipande themanini vya fedha
"vipande 80 vya fedha"
sehemu ya nne ya kibaba
Hii inaweza kuandikwa katika vipimo vya kisasa. "sehemu ya nne ya lita" au " robo ya lita"
sehemu ya nne
"sehemu ya nne." Hii ni sehemu moja ya nne yenye sehemu sawa sawa.
kinyesi cha njiwa kwa
Neni linalokosekana linaweza kuongezwa. "kinyesi cha njiwa kiliuzwa kwa" au "ghara ya kinyesi cha njiwa"
akipita juu ya ukuta
"kutembea juu ya mji wa ukuta"
bwana wangu
Mwanamke anarejewa kwa mfalme kwa hili jina kumwonyesha heshima.
2 Kings 6:27-29
Alisema
"Mfalme wa Israeli alimjibu yule mwanamke,"
Kama Yahwe hawezi kukusaidia, nitakusaidiaje?
Mfalme anatumia hili swali lisilohitaji majibu kumwambia mwanamke kwamba hawezi kumsaidia. "Kama Yahwe hakusaidii, kisha siwezi kukusaidia."
je kuna kitu chochote kinakuja kutoka sehemu ya kupuria nafaka au shinikizoni
Mfalme anatumia hili swali lisilohitaji majibu kusisitiza kwamba hakuna chakula kinachopatikana.
Mfalme akaendelea
"Mfalme alisema." Hii inamaanisha kwamba waliendelea kuongea.
tulichemsha
"tulipika"
2 Kings 6:30-31
aliposikia yale maneno ya yule mwanamke
"msikilize mwanamke mwambie alikuwa na mwanamke mwingine alifanya,"
alirarua mavazi yake
Mfalme alichana mavazi yake ya nje kuonyesha huzuni yake. "alirarua mavazi yake katika huzuni"
sasa alikuwa akipita juu ya ukuta
alikuwa akitembea juu ya ukuta wa mji wakati mwanamke alipoitwa naye nje.
alikuwa amevaa nguo ya gunia chini, dhidi ya ngozi yake
Kwa kuvaa mavazi ya gunia hata kwa ajili ya vazi la ndani, mfalme alionyesha kwamba alikuwa na huzuni kubwa sana na kufadhaika sana.
Mungu afanye hivyo kwangu, na zaidi pia
Mfalme anasema anatumaini Mungu atamuadhibu na hata kuua kama Elisha nabii hatakufa kwa sababu ya mambo yaliyotokea katika mji wa Samaria. "Mungu aniadhibu na kuniua"
kama kichwa cha Elisha mwana wa Shefati
Hii inamrejea Elisha kufa, dhahiri kukatwa kichwa. "kama Elisha mwana wa Shafati hajakatwa kichwa leo"
2 Kings 6:32-33
Mfalme alimtuma mtu wa mbele yake
"Kuwa mbele ya mfalme" maana yake kuwa kuwa mmoja ya hawa watumishi wake. "Mfalme wa Israeli alimtuma mmoja wa watumishi wake kama mjumbe"
wakati mjumbe alipokuja kwa Elisha, aliwaambia wazee
Hapa Elisha anaongea na wazee mbele ya mjumbe wa mfalme alipofika. "wakati mjumbe alipokaribia kufika, Elisha akawaambia wazee"
"Ona jinsi huyu mwana wa muuaji alivytumwa kuchukua kichwa changu?
Elisha anatumia hili swali lisilohitaji majibu kuleta usikivu kwa wajumbe wa mfalme na kumdhalilisha mfalme.
mwana wa muuaje
Hii inamaanisha kwamba mfalme wa Israeli anatabia za mauaji. "huyu ambaye yuko kama muuaji" au "muuaji"
amemtuma
Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "amemtuma mtu kwa"
kuchukua kichwa changu
Hii inamaanisha kumkata kichwa. "kukata kichwa changu"
Tazama
Elisha anatumia hili neno hapa kuleta usikivu wa wazee kwa kile anachotaka kukisema.
shika mlango funga juu yake
Kama mlango ukifungwa juu ya mtu inamaana kwamba umefungwa na kwamba hawawezi kuingia kupitia huo. "shika mlango funga ili asiweze kuingia"
Je sio sauti ya mguu wa bwana wake nyuma yake?
Elisha anatumia hili swali kuwahakikishia wazee kwamba mfalme anakuja sio mbali naye.
tazam, mjumbe
Neno "tazam" linatutahadharisha kufika kwa wageni
mjumbe akashuka chini kwenda kwake
Mjumbe, alifika, na mfalme alifanya, kama Elisha alivyokuwa amesema angefanya. Neno "alishuka chini kwake" linamaanisha kwamba walifika mahali ambapo alipokwa. "mjumbe na mfalme walifika"
Tazama, hii shinda
"Hakika, hii shida." "Neno "tazama" hapa inaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho.
Kwa nini nimsubiri Yahwe tena?
Huyu mfalme anatumia hili swali lisilohitaji kijibiwa kusisitiza kwamba haamini kwamba Yahwe anaenda kuwasaidia.
2 Kings 7
2 Kings 7:1-2
kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli
Inaeleza kwamba Waisraeli watakuwa wakilipa pesa kidogo kwa ajili ya hivi vitu kuliko walivyokuwa. Hii inaweza kuanza katika muundo tendaji. Watu watanunua kipimo cha unga mzuri kwa shekeli moja na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja"
kipimo kimoja cha unga mzuri ... vipimo viwili vya shayiri
Hapa neno "kipimo" linatafsiri neno "sea," ambacho ni kipimo kikavu sawa na kama lita 7. "lita 7 za unga mzuri ... lita 14 za shayiri"
shekeli moja
Shekeli moja muunganiko wa uzito sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au Fedha moja ya sarafu"
nahodha ambaye mkono wake mfalme alijifunza
Cheo cha juu cha nahodha ambaye alikuwa msaidizi wa mfalme anazungumziwa kana kwamba mtu ambaye mfalme alijifunza mkono wake. "nahodha ambaye alikuwa karibu na mfalme" au "nahodha ambaye alikuwa msaidizi"
hata kama Yahwe angefanya madirisha mbinguni
Yahwe anafanya mvua kubwa kunyesha ili kufanya mimea kukua inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akifungua madirisha mbinguni kupitia ambavyo amwagapo mvua chini. "hata kama Yahwe alisababisha mvua kubwa kunyesha kutoka mbinguni"
hili jambo linaweza kutokea?
Nahodha anauliza hili swali kueleza kutokuamini kwake. Hili swali lisilo na majibu linaweza kutafsiriwa kama kauli. "hii haitatokea!"
utaona ikitokea kwa macho yake mwenyewe
Neno "kwa macho yako mwenyewe" linasisitiza kwamba nahodha hakika ataona mambo ambavyo Elisha alivyovitabiri. "wewe mwenyewe utaona haya mambo yakitokea"
lakini hutakula chochote katika hicho
"lakini hutakula unga wowote au shayiri"
2 Kings 7:3-4
Sasa
Hili neno limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaanza kueleza mwanzo wa hadithi.
Kwa nini tuketi hapa hadi tutakapokufa?
I+ngawa hapa kulikuwa na watu wanne, ni kama mmoja wao aliuliza hili swali. Hili swali ni swali lisilo na majibu
Kama wakitupa uhai, tutakuwa hai, na kama wakituua, tutakufa tu
Wale watu wanne wenye ukoma wanasema kwamba Waaramu wangeweza kuwajaza ili kwamba waweze kuishi, au wanaweza kuwaua, ambapo hakutakuwa na ubaya zaidi wangekufa vyovyote.
2 Kings 7:5-6
wakati wa jioni
Hii inarejea mapema jioni baada ya jua kuzama, lakini kabla ya giza.
Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa
Maaskari wa Shami walisikia s
jeshi la Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa
Maaskari wa jeshi Washami walisikia sauti zilizokuwa zinalia kama jeshi kubwa linalokaribia kuwapiga. Hili halikuwa jeshi halisi, lakini Bwana aliwatengeneza kusikia hizi sauti.
waliambizana kila mmoja
"maaskari wa Washami waliambizana kila mmoja"
wafalme wa Wahitina Wamisri
Hapa neno "wafalme" linawakilisha majeshi ya haya mataifa. "majeshi ya Wahiti na Wamisri"
kuja juu yetu
"kutupiga sisi" au "kutushambulia"
2 Kings 7:7-8
Maelezo ya Jumla
Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya Bwana kusababisha maaskari Washami kufikiri wamesikia jeshi kubwa la adui linakaribia kambi yao.
jioni
Hii inarejea jioni mapema baada ya jua kuzama, lakini nyuma yake ni giza.
nyara
Hii inarejea kwa vitu ambavyo huchukuliwa na jeshi lililoshinda kutoka jeshi jingine ambalo limeshindwa. Hapa inarejea kwa "fedha na dhahabu na nguo."
2 Kings 7:9-11
hadi macheo
"hadi asubuhi"
adhabu itatupata
Mmoja anawaadhibu watu wanne anazungumziwa kana kwamba adhabu ilikuwa mtu awakamataye. "watu watatuadhibu" au "mtu atatuadhibu"
waambie kaya ya mfalme
Hapa neno "kaya" inawakilisha watu ambao waishio katika nyumba ya mfalme. "mwambie mfalme na watu wake"
kama walivyokuwa
Habari za wazi inaweza kusambazwa katika tafsiri. "kama walivyokuwa wakati maaskari walipokuwa huko"
ndipo walipoambiwa ndani ya kaya ya mfalme
Hii inaweza kuanza katika muundo tendaji. "kisha watu waliiambia nyumba kaya ya mfalme"
2 Kings 7:12-13
walichotufanyia
"kinachopangwa kufanywa kwetu" au "walichofanya kutudanganya"
kuwakamata wakiwa hai
Hii inamaana kwamba wangewakamata watu na sio kuwaua.
farasi waliobaki, ambao waliobaki katika mji
Farasi wengi ni mali ya Waisraeli walikufa kwa sababu ya njaa. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "farasi katika mji ambao bado wako hai"
Wako kama mkutano wote wa Israeli waliobaki
Watu watakao enda kwa kambi ya Washamu watashiriki mauti ile ile kama mabaki ya Waisraeli waliobaki katika mji. Pengine watakufa kwa njaa, au labda kuwa kama karibu na Washami.
na tazama
Habari ya wazi inaweza kuongezwa kufanya maana wazi. "na tazama kama hawa wakoma walichokisema ni kweli?
2 Kings 7:14-15
Nenda na tazama
Habari ya uwazi inaweza kuongezwa kufanya maana wazi. "Nenda na tazama kama hawa wakoma walichikisema ni kweli"
Walifuatana nao kwenda Yordani
"Walifuata njia ya jeshi la Washamu kuchukua njia ya mto Yordani"
njia zote zilikuwa zimejaa nguo na vifaa
Hii inamaanisha kwamba watu waliviona hivi vitu vimetawanyika karibu na barabara walipokuwa wakisafiri. "kulikuwa na nguo na vitu vyote karibu na barabara"
2 Kings 7:16-17
wakaziteka nyara kambi
Hii inarejea kuchukua vitu kutoka jeshi lililoshindwa.
Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja
Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Hivyo watu waliuza kipimo kimoja cha unga mzuri kwa shekeli moja na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja"
kipimo kimoja cha unga mzuri ... vipimo viwili vya shayiri
Hapa neno "kipimo" linatafsiri neno "sea," ambayo ni moja ya kipimo kikavu sawa na kama lita 7. "lita 7 za unga mzuri ... lita 14 za shayiri"
shekeli
Shekeli uzito mmoja sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au "fedha moja ya sarafu"
kama neno la Yahwe lilivyokuwa amesema
Hapa "neno" limuwakilisha Yahwe. "kama Yahwe alivyokuwa amesema"
nahodha ambaye mkono wake ulikuwa umejifunza
Nahodha wa daraja la juu aliyekuwa msaidizi wa mfalme anazungumziwa kana kwamba alikuwa mtu ambaye mfalme amejifunza mkono wake.
kumkanyaga chini
Kundi la watu lilikuwa katika kukurupuka kupata chakula katika kambi waligonga juu ya mtu na kumkanyaga hati kufa.
2 Kings 7:18-20
Maelezo ya Jumla:
Katika huu mstari, mwandishi amefupisha kilichotokea kwa kurudia matukio ambayo alielezea katika 7:1.
Mda kama huu
"Mda kama huu kesho"
vipimo viwili vya shayiri ... kipimo kimoja cha unga mzuri
Hapa neno "kipimo" unatafsri neno "sea," ambayo ni umoja wa kipimo kikavu sawa na lita 7. "lita 14 za shayiri ... lita 7 za unga mzuri"
shekeli
Shekeli ni moja ya uzito sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au "fedha moja ya sarafu"
Ona
"sana." Neno "Ona" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho.
hata kama Yahwe akiweka madirisha mbinguni
Yahwe analeta mvua kubwa sana kunyesha kwa ajili ya kufanya mimea ikue inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akifungua madirisha mbinguni ambavyo ashuahapo mvua chini.
je hili jambo linaweza kutokea?
Nahodha anauliza hili swali kuelezea kutokuamini kwake. Hili swali linaweza kuatafsiriwa kama kauli.
utaona ikitokea kwa macho yako mwenyewe
Neno "kwa macho yako mwenyewe" linasisitiza kwamba nahodha anaona bila shaka mambo ambayo Elisha aliyoyatabiri.
lakini hutakula chochote katika hicho
"lakini hutakula chochote katika unga au shayiri"
2 Kings 8
2 Kings 8:1-2
Sasa
Hili neno linatumika hapa kugawanya mwanzoni mwa hadithi. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi.
yule mwanamke ambaye mwanaye alifufuliwa
Hadithi ya huyu mwanamke na mwanaye inapatikana kwenye 4:8.
alifufuliwa
"alisababisha akafufuliwa tena"
Inuka
"kuinika kutoka ulipo"
mtu wa Mungu
"Elisha, mtu wa Mungu"
2 Kings 8:3-4
kwa mfalme
Hii inarejelea kwa mfalme wa Israeli.
kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake
wakati yule mwanamke alipokwenda, nyumba yake na vitu vyake vilizingirwa. Anaanza kuvirudisha kwa ajili yake.
Sasa
Hili neno linatumika hapa kugawanya kwenye hadithi kuu. Hapa mwandishi anatuambia historia kuhusu mfalme alichokuwa akifanya wakati mwanamke alipofika.
2 Kings 8:5-6
mtoto aliyekuwa amekufa alifufuliwa
"alisababisha mtoto aliyekuwa amekufa kuwa hai tena"
kwa ajili ya nyumba yake na nchi
Wakati yule mwanamke alipoondoka, nyumba yake na mali zake vilizingirwa. Anawaomba arudishwe.
kuhusu mwanaye
Hii inarejlea hadithi ya mwanaye akifa na Elisha kurejeshea uhai wake.
mafuno yote ya shambani mwake
Haya maelezo yanarejea kwa kiasi cha pesa ambacho mavuno ya shambani kwake yalikuwa ya thamani wakati alipokuwa mbali. Manufaa yote ya mavuno ya shamba lake"
2 Kings 8:7-9
Ben Hadadi
Hili ni jina la mfalme wa Shami. Jina lake linamaanisha "mwana wa Hadadi."
Hazaeli
Hili ni jina la kiume.
Chukua zawadi
Hazaeli alichukua zawadi nyingi, sio moja tu. "chukua zawadi nyingi"
katika mkono wako
Hili neno "katika mkono wako" ni lugha inayomaanisha kwake kuchukua zawadi pamoja naye. "pamoja nawe"
mtu wa Mungu
Elisha, mtu wa Mungu"
kushauriana na Yahwe kupitia yeye, kusema
"muulize Elisha kumwambia Yahwe"
kubeba ngamia arobaini
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "alibeba ngamia arobaini"
ngamia arobaini
"ngamia 40"
Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamii
Ben Hadadi hasa alikuwa mwana wa Elisha, lakini Hazaeli alimuita ili kwamba kuonyesha uhusiano wa karibu kati yao. "Ben Hadadi mfalme wa Shami, ambaye ni kama mtoto kwako,"
2 Kings 8:10-12
hadi alipoona aibu
"hadi Hazaeli alijisikia hana raha"
bwana wangu
Hazaeli anarejea kwa Elisha kwa njia hii kumheshimu yeye.
Kwa najua
Mungu alimuonyesha Elisha nini kitchukua nafasi mbeleni.
utafanya
Neno "wewe" linamrejea Hazaeli na kumrejea yeye mwenyewe na maaskari chini ya utawala wake wakti wakiwa mfalme. "utasababisha itokee" au "utawaagiza maaskari wako"
Utaweka ... utawaua
Neno "wewe" linamuwakilisha Hazaeli hapa kurejea kwa maaskari na sio kwa Hazaeli mwenyewe. "Ninyi maaskari mtawekwa ... maaskari wako watauawa"
kuwaseta vipande vipande watoto wao
"kuwaponda watoto wao wadogo. "Haya ni maelezo ya ukatili ya maaskari kuwau watoto.
kuwaua watoto wao wadogo kwa upanga
Hii inamaanisha kwamba wanaume watauawa kwa kwenye vita. Upanga ulikuwa silaha kubwa iliyokuwa ikitumika katika vita. "kuwaua watoto wao wa kiume wadogo katika vita"
kupasua mimba zao wanawake
Hii inarejea hasa kupasua wazi matumbo yao. "pasua wazi matumbo ya mimba za wanawake kwa upanga"
2 Kings 8:13-15
Mtumwa wako ni nani, ambaye atafanya hili jambo hili kubwa
Hazaeli anarejea kwake mwenyewe hapa kama mtumishi wa Elisha. Hazaeli anatumia hili swali lisilodai jibu kusisitiza kwamba hafikirii angefanya mambo mabaya ambayo Elisha ameyasema.
jambo hili kubwa
"jambo hili kubwa." Hapa neno "kubwa" linarejea kwa kitu ambacho kina madhara makubwa na kibaya.
Yeye ni mbwa tu
Hazaeli anajizungumzia mwenyewe. Anaongea kwa hali ya chini na kupungukiwa na ushawishi kwa kujilinganisha na mbwa. Hapa mbwa anawakilisha mbwa mnyama wa chini.
kuja kwa bwana wake
Neno "bwana wake" inamrejea Ben Hadadi.
uso hivyo basi akafa
Hii inamaanisha kwamba Ben Hadadi akakosa hewa kwenye blangeti. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "uso. Ben Hadadi hakuweza kupumua kupitia hiyo, na hivyo akafa"
2 Kings 8:16-17
Maelezo ya Jumla:
Yohoramu akawa mfalme wa Yuda.
Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli
Hii inaeleza kipindi ambacho Yehoramu alipoanza kutawala kueleza mda gani Yoramu, mfalme aliyepo wa Israeli, alitawala. "Katika tano ambao Yoramu mwana wa Ahabu alipokuwa mfalme wa Israeli"
mwaka wa tano
"mwaka wa 5"
Yoramu alianza kutawala
Yoramu, mwana wa Yehoshafati, akawa mfalme wa Yuda.
umri wa miaka kumi na mbili
umri wa miaka miwili** - "miaka 32"
2 Kings 8:18-19
Yehoramu akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli
Hapa "kuenenda" ni lugha inayorejea jinsi alivyoishi na kutawala kama mfalme. Katika kipindi hiki kihistoria, wafalme wa Israeli walikuwa wafalme waovu. Maana halisi ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "Yehoramu alikuwa mfalme muovu, kama wafalme wengine wa Israeli waliotawala kabla yake alivotawala"
kama nyumba ya Ahabu ilivokuwa ikifanya
Hapa "nyumba" ya Ahabu inarejea kwa wadau wa familia ya Ahabu na uzao wake mpya. Ahabu ni mkwe wa Yoramu. "sawa kama familia iliyobaki ya Ahabu ilivyokuwa inafanya"
kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mkewe
Yehoramu alimuoa binti Ahabu.
alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
Hapa "uso" wa Yahwe unarejea kwa yale ayafikiriyo. "alifanya mambo ambayo Yahwe aliyoyasema yalikuwa maovu"
angamiza Yuda
Hapa "Yuda" ni kielelezo kwa ajili ya watu walioishi huko. "angamiza watu wa Yuda"
tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao
"tangu Yahwe alipomwambia Daudi kwamba angeupatia uzao wa Daudi." Hii inarejea kwa ahadi ya Yahwe kwa Daudi kwamba ukoo wake ungeitawala Yuda. Maana kamili ya hii sentence inaweza kuwekwa wazi. "tangu alipomwambia Daudi kwamba huu ni ukoo utakaoitawala Yuda.
2 Kings 8:20-21
Edomu akaasi kutoka chini
"Edemu aliasi juu ya"
mkono wa Yuda
Hapa neno neno "mkono" inarejea kwa utawala wa Yuda, na "Yuda"
wakamuweka mfalme juu yao
"kamteua mfalme kutawala juu yao"
Kisha Yehoramu akavuka
ilikuwa kuvuka nini "akavuka" inaweza kuelezwa wazi. "Kisha Yehoramu akavuka mistari ya adui"
Ikatokea akainuka usiku
"Kisha, usiku, akainuka"
akainuka
Hapa neno "yeye" inawakilisha Yehoramu na kurejelea kwa yeye mwenyewe na makamanda wake. "yeye na makamanda wake"
2 Kings 8:22-24
Maelezo ya Jumla:
Mfalme Yoramu wa Yuda akafa na mwana wake Ahazia akawa mfalme.
Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi
"Hivyo baada ya hayo, Edomu hakutawaliwa tena na Yuda, na bado iko hivyo" (UDB)
utawala wa Yuda
Hapa "Yuda" inarejea kwa mfalme wa Yuda. "utawala wa mfalme wa Yuda" au "mamlaka ya mfalme wa Yuda"
hadi sasa
hadi hiki kitabu kilipoandikwa
Libna aliasi pia mda huo huo
Libna aliasi juu ya mfalme wa Yuda kama Edomu alivyokuwa. "Katika kipindi hicho hicho, Libna pia aliasi juu ya mfalme wa Yuda"
Libna
Hili ni jiji jingine ambalo lililokuwa sehemu ya Yuda kwa asili. Hapa "Libna" inarejea kwa watu wanaishi hapa. "watu wa Libna"
Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Yoramu, yote aliyoyafanya
"Kusoma zaidi kuhusu hadithi ya Yoramu na kile alichokifanya,"
je hayajaandikwa ... Yuda?
Hili swali linatumika pengine kujulisha au kuwakumbusha wasomaji kwamba habari kuhusu Yoramu ipo katika hiki kitabu. "haya mambo yameandikwa ... Yuda." au "unaweza kusoma kuhusu wao ... Yuda."
Yoramu alikufa na kupumzika na baba yake, na alizikwa na baba yake
Hapa "kupumzika" ni heshima ya kurejea kwa mtu kufa. Baada ya kufa, mwili wake ulizikwa sehemu moja na miili ya baba zake. Neno "alizikwa" linweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Yoramu alikufa, na walimzika pamoja na baba zake"
Kisha Ahazia mwanaye akawa mfalme
"Kisha Ahazia, mwana wa Yoramu, akawa mfalme baada ya yeye kufa"
2 Kings 8:25-27
Maelezo ya Jumla:
Ahazia akawa mfalme wa Yuda.
Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yuoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli
Hii inaeleza mda ambao Ahazi alianza kutawala kama mfalme wa Yuda kwa kusema ni mda gani Yoramu, mfalme wa sasa wa Israeli, alitawala, "katika mwaka wa kumi na mbili ambao Yoramu mwana wa Ahabu alikuwa mfalme wa Israeli"
mwaka wa kumi na mbili
"mwaka wa 12"
miaka ishirini na mbili
ishirini na mbili** - miaka 22"
Athalia ... Omri
Athalia ni jina la mwanamke. Omri ni jina la mwanamume.
Ahazia alienenda katika njia za
Hapa "enenda" inarejea tabia yake au vile alivyoishi. "Ahazia aliishi kama wengine"
nyumba ya Ahabu
Hapa "nyumba" ya Ahabu inarejea kwa familia yake. "familia ya Ahabu"
alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
Hapa "uso" wa Yahwe unawakilisha kile afikiriacho. "alifanya mambo ambayo Yahwe aliyahesabu kuwa maovo" au "alifanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa maovu"
mkwewe kwenye nyumba ya Ahabu
mkwewe kwenye nyumba ya Ahabu*** - Hii inaielezea mahusiano ya familia ya Ahazia kwa Ahabu. Baba yake na alimuoa binti wa Ahabu. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "mwana wa mkwewe na Ahabu" au "mjukuu wa Mfalme wa Ahabu"
2 Kings 8:28-29
Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu
Majina ya wafalme watatu wametajwa hapa ni maneno yenye maana sawa na pia yanareje kwa adui zao ambao walioongozana nao. Jeshi la Ahazia lilijiunga na jeshi la Mfalme Yoramu wa Israeli kupigana juu ya jeshi la Mfalme Hazaeli wa Shami" (UDB)
kuponywa
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. au "kupona"
juu ya Hazaeli mfalme wa Shami
Hapa "Hazaeli" inamrejea mwenyewe na jeshi lake. "jeshi la Hazaeli mfalme wa Shami"
Yoramu alijeruhuiwa
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Washami walimjeruhi Yoramu"
2 Kings 9
2 Kings 9:1-3
wana wa manabii
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, walikuwa kundi la manabii.
katika mkono wako
Neno "katika mkono wako" ni lugha inayomaanisha kwake yeye kushika chupa pamoja naye. "pamoja nawe"
Ramothi Geliadi
Hili ni jina la kiume.
Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi
Hii inamaanisha kwamba Yehoshafati ni baba yake na Yehu na kwamba Nimshi ni baba yake Yehoshafati.
marafiki
Hawa ni watu ambao Yehu aliokuwa ameketi nao.
kumpeleka
"kwenda pamoja naye kwa"
chumba cha ndani
"chumba binafsi"
2 Kings 9:4-6
tazama
Mwandisha anatumia neno "tazama" kupeleka umakini kwa kile kifuatacho.
manahodha wa jeshi walikuwa wameketi
Yehu alikuwa ameketi miongoni mwa manahodha. "Yehu na baadhi maafisa wa majeshi mengine waliokuwa wameketi pamoja"
Yupi kati yetu
Neno "sisi" linarejea kwa Yehu na manahodha wengine.
2 Kings 9:7-8
Maelezo ya Jumla:
Nabii mdogo anaendelea kunena na Yehu, ambaye alikuwa amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli.
niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe
Hapa manabii na watumishi "damu" linarejea kwa vifo vyao. "naweza kulipa kisasi cha kifo cha watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yahwe" au "hivyo basi ninaweza kuwaadhibu kwa kuwaua watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yahwe"
na damu
Neno linalokosekana "kulipa kisasi" linaweza kuongezwa "na kulipa kisasi cha damu"
nani aliuawa kwa mkono wa Yezebeli
"ambaye Yezebeli aliwaamuru watumishi wake kuua"
kwa mkono wa Yezebe
Hii inamaanisha kwamba Yezebeli aliwaamuru watu kuuawa. "kwa agizo kutoka Yezebeli" au "kwa amri ya Yezebeli"
Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu
Hapa ku "kata" maana yake kuuawa. "Kwa ajili ya familia yote ya Ahabu itaangamia, na nitamfanya kila mtoto wa kiume katika familia yake kuuawa" au "Kila mwanajumuiya wa familia ya Ahabu atakufa, pamoja kila mtoto wa kiume"
kila mtoto wa kiume
Hili neno limetumika kumrejea kila mwanamume, lakini imwekwa bayana "mtoto
2 Kings 9:9-10
Maelezo ya Jumla:
Nabii mdogo anaendelea kunena maneno ya Yahwe kwa Yehu, ambaye alikuwa amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli.
Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama
Hii inamaanisha kwamba Mungu atamwangamiza Ahabu na familia yake kama alivyomwangamiza Yeroboamu na Baasha na familia zao. "nitaiendesha nyumba ya Ahabu kama ninavyoiendesha ya"
nyumba ya
Hili neno limetumika katika huu mstari mara tatu. Kila wakati, neno "nyumba" linarejea kwa "familia" ya mtu maalumu. "familia ya"
Nebati ... Ahiya
Haya ni majina ya wanaume.
Mbwa watamla Yezebeli
Hii inamaanisha kwamba mbwa wataila maiti yake. "Mbwa wataila maiti ya Yezebeli"
2 Kings 9:11-13
watumishi wa bwana wake
Hii inarejea kwa maafisa wengine waliokuwa wakimtumikia Mfalme Ahabu.
mwenda wazimu
"mtu mjinga"
Unamjua huyo mtu na mambo asemayo
Yehu asema kwamba yeye ni nabii mdogo na wote ni familia pamoja na aina ya mambo yote ya jumla yasemwayo na manabii.
Tuambie
"Tuambie alichokwambia"
Amesema hivi na vile juu yangu
"Alinena kuhusu baadhi ya mambo"
kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu
Katika utamaduni hii, kuweka nguo juu ya ardhi ilikuwa njia ya kumheshimu mfalme, ili kwamba miguu yake isiguse ardhi kavu.
Wakapiga baragumu na kusema
Sio kila mmoja alipiga baragumu. Inaelekea mtu mmoja alipiga tarumbeta. "mmoja wao walipiga tarumbeta na wote walisema"
2 Kings 9:14-16
Nimshi
Nimshi ni jina la baba wa Yehoshafati
Basi Yoramu
Hili neno limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaeleza habari ya historia jinsi Yoramu alivyokuwa amejeruhiwa na kwenda kupona katika Yezreeli.
Israeli yote
Hii inarejea kwa jeshi la Waisraeli pekee na sio kwa kila mmoja aishie katika Israeli. "yeye na jeshi lake" au "yeye na jeshi la Israeli"
kuponywa
"kupona kutokana na"
majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami
Hii inamaanisha kwamba alikuwa amejeruhiwa katika vita pamoja na Washami. "majeraha ambayo Yoramu aliyapata kipindi cha vita pamoja na jeshi la Shami"
juu ya Hezekia mfalme wa Shamu
Hii inamrejea Hazaeli na jeshi lake. "juu ya na jeshi lake"
Hazaeli
Hazaeli alikuwa mfalme wa Shami
Yehu aliwaambia watumishi wa Yoramu
Hii inawarejea maafisa waliokuwa pamoja na Romath Gileadi.
Kama hili ni wazo lako
"Kama upo kwenye makubaliano pamoja nami" Yehu anatumia hili neno kurejea kama watu wanamuunga mkono kuwa mfalme na maamuzi yake. "Kama kweli mnataka niwe mfalme wenu"
ili kwenda kusema hizi habari katika Yezreeli
Hii inarejea kumwambia Yoramu na jeshi lake la mbinu za Yehu. "kumuonya mfalme Yoramu na jeshi lake katika Yezreeli"
Basi Ahazia
Neno "basi" limetumika hapa kuvunja alama katika kichwa cha hadithi. Hapa mwandishi anaeleza habari za nyumba kuhusu Ahazia kumtembelea Yoramu.
2 Kings 9:17-18
mlinzi
"ulinzi"
lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo
"Yehu na watu wake walipokuwa bado wako mbali"
Unataka kufanya nini na amani?
Yehu anatumia swali lisilohitaji jibu kumwambia mjumbe kwamba haimuhusu kama akija katika amani au hapana.
Mjumbe amekutana nao, lakini harudi
Mlinzi alimwambia Mfalme Yoramu kwamba yule mtu aliyemtuma harudi pamoja majibu ya swali la mfalme.
2 Kings 9:19-20
Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao
"Kisha mfalme Yoramu akamtuma mjumbe kuendesha farasi, ambaye alitoka nje kumlaki Yehu na jeshi lake"
mtu wa pili
"mtu wa 2"
Wewe una nini na amani
Yehu anatumia hili swali lisilohitaji majibu kumwambia mjumbe kwamba haimuhusu kama akija kwa amani au hapana. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. ""Haiko juu yako kujua kama nimekuja kwa amani!"
Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo
"Kwa sababu dereva wa gari la farasi huendesha kama ambavyo yehu mwana wa Namshi huendesha"
2 Kings 9:21-22
kila mmoja kwenye gari lake la farasi
"kila mmoja katika gari lake mwenyewe la farasi" (UDB)
kila mmoja kwenye
"Walipomfikia Yehu, alikuwa kwenye"
Nabothi
Hili ni jina la mwanamume.
Myezreeli
Hii inarejea kwa mtu kutoka Yezreeli.
Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?
Yehu anatumia hili swali lisilohitaji majibu kueleza kwa nini haji kwa amani.
2 Kings 9:23-24
akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia
"akageuza gari lake la farasi kuzunguka kujaribu kukimbia"
udanganyifu
udanganyifu au hila
kwa nguvu zake zote
"kwa nguvu zake zote" au "kwa uwezo wake wote"
akaanguka chini kwenye gari lake la farasi
Yoramu akafa kwa kupigwa na mshale. "Yoramu akaanguka chini akafa katika gari lake la farasi"
2 Kings 9:25-26
Bidkari
Hili ni jina la mwanamume.
Mchukue na mtupie
"Ichukue maiti yake na itupe"
Fikiri kuhusu ambavyo
"Kumbuka"
baada ya Ahabu baba yake
Hii inamaanisha kwamba waliendesha katika gari la farasi nyuma ya gari la farasi la Ahabu. "nyuma ya baba yake gari la farasi la Ahabu"
Yahwe akamuweka huyu nabii dhidi yake
"Yahwe alinena huu unabii huu dhidi ya Ahabu"
damu ya Nabothi na damu ya watot wake
Hapa neno "damu" linarejea kwa "kuua" "mauaji ya Nabothi na mauaji ya watoto wake"
nitakulipa
Hii inamaanisha kwamba atamuadhibu Ahabu kama astahilivyo kwa ajili ya uovu alioufanya. "nitakupatia unachostahili kwa ajili ya uovu ulioufanya"
mchukue na mtupie kwenye hiyo sehemu, hilo shamba
"ichukue maiti ya Yoramu na itupe kwenye shamba lile lile, shamba la Nabothi"
kuleta kupita kile tulichokuwa tumeambiwa kingetokea
"kutimiza unabii ulionenwa kwetu"
tuliambiwa itatokea kwa neno la Yahwe
"kile Yahwe alichosema kingetokea" (UDB)
2 Kings 9:27-28
Maelezo ya Jumla:
Hii ni hesabu ya kile kilichotokea kwa Ahazia, mfalme wa Yuda, baada ya Yehu kuua Yoramu.
alipoliona hili
"alipoona kilichotokea kwa Yoramu"
Bethi Hagani ... Guri ... Ebleamu ... Magido
Haya ni majina ya mahali
mahali pa kupandia Guri
Neno "kupandia" linamaanisha walikuwa wakipanda juu ya kilima wakiwa wanasafiri juu ya barabara ya Guri. "juu ya barabara ya kupanda juu kwenda Guri"
baba zake
"babu zake"
2 Kings 9:29
katika mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu
Hii inaeleza wakati ambao Ahazia alianza kutawala kwa kuanza wakati gani mfalme aliyepo wa israeli alikuwa ametawala. "katika mwaka wa kumi na moja wa ambao Yoramu mwana wa Ahabu alipokuwa mfalme wa Israeli"
mwaka wa kumi na moja
"mwaka wa 11"
2 Kings 9:30-32
akapaka wanja macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri
"kuweka mwonekano, alifanya nyele zake kuonekana nadhifu"
Unakuja kwa amani, wewe Zimri, bwana wako muuaji?
Yezebeli anatumia hili swali lisilo na majibu kumshtaki Yehu kwa kutokuja kwa amani. "Yamkini unakuja bila amani, wewe Zimri, bwana wako muuaji!"
wewe Zimri, bwana wako muuaji
Hapa Yezebeli anamuita Yehu "Zimri" kusema kwamba yeye ni muuaji. Zimri alikuwa kamanda wa jeshi la Israeli lililomuua mfalme wa Israeli kwa sababu alitaka kuwa mfalme. "umemuua bwana wako, kama Zimri alivyomuua bwana wake"
Zimri
Hili ni jina la mwanamume.
Ambaye yu upande yangu
"Kuwa juu ya upande wa mtu mwingine" maana yake kuwa mwaminifu kwao na kuwasaidia. "Ambaye aliye mtiifu kwangu"
2 Kings 9:33-34
Kumtupa chini
Yehu alimwambia towashi kumtupa Yezebeli nje ya dirisha.
Hivyo wakamtupa Yezebeli chini
Matowashi wakamtupa Yezebeli nje ya dirisha la juu akafa wakati alipopiga chini.
na Yehu akamseta chini ya miguu
Hii inamaanisha kwamba aliende farasi wake ambao walikuwa wakivuta gari lake kuseta mwili wake chini ya miguu yake"
Mtazameni
Neno "mtazameni" maana yake kutoa umakini kwa yeyote aliyewekwa wazi. "Sasa nenda kwa"
kwa kuwa ni binti wa mfalme
kwa kuwa Yezebeli alikuwa binti wa mfalme, ilikuwa lazima kumzika nabii wake. "kwa sababu alikuwa binti wa mfalme na kwa hiyo angezikwa inavyostahili" (UDB)
2 Kings 9:35-37
hawakumkuta ila
"hawakumkuta ila mwili wake"
viganja vya mkono wake
Kiganja ni sehemu ya ndani ya mkono.
Mtishibi
Hii inarejea kwa mtu kutoka mji wa Tishbi.
mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema
Hii inazungumzia vipande vya mwili wa Yezebeli kutawasambaa katika shamba kana kwamba walikuwa kinyesi kilichosambazwa katika shamba. Tangu vipande vya mwili wake vilipokuwa vidogo na kutawanyika hapakuwa na kitu ambacho kingeweza kukusanywa na kuzikwa. "vipande vya mwili wa Yezebeli utatawanyika kama kinyesi katika mashamba, ili kwamba pasiwe na mtu atakayeweza kuitambua na kusema"
kinyesi
"mbolea" Hii inarejea dhaihiri kwenye kwa kinyesi kilichotumika kama mbolea.
basi hakuna atakayeweza kusema, "Huyu ni Yezebeli."
"basi hakuna atakayeweza kueleza huyu alikuwa Yezebeli."
2 Kings 10
2 Kings 10:1-3
zao sabini
"zao 70"
Yehu aliandika barua na kuwatuma kwenda Samaria
Hii inamaanisha kwamba Yehu alituma mjumbe kupeleka barua. "Yehu aliandika barua na kumtuma mjumbe kuzipeleka Samaria"
kusema, "Wa bwana wako
"Barua zilisema, 'Ya bwana wako"
kumuweka juu ya kiti cha kifalme cha baba yake
Hapa, kumuweka juu ya kiti cha kifalme inamaanisha kuteuliwa kama mfalme. "kumfanya mfalme katika mahali pa baba yake"
kwa ajili ya safu ya ufalme wa bwana wako
"uzao wa bwana wako" Hapa huyo mtu ambaye waliye mchagua kuwa mfalme anarejewa kwa safu ya uzao ufalme wa Ahabu. "kulinda uzao wa bwana wako" au "kumlinda"
2 Kings 10:4-5
Lakini waliogopa
"Kisha waliogopa"
wafalme wawili
"wafalme wawili, Yoramu na Ahazia"
wasingeweza kusismama mbele ya Yehu
Hapa "simama" inamaanisha kuweza kustahimili chini ya shida. "wasingeweza kustahimili juu ya Yehu" au "wasingeweza kumpinga Yehu"
Hivyo tunawezaje kusimama?
Uzao unatumia swali lisilohitaji jibu kuonyesha kwamba hawawezi kusimama juu ya Yehu. "Hatuwezi kusimama juu yake popote!" au "Hatuwezi kumpinga popote!"
huyo mtu aliyekuwa juu ya mji
"meya wa mji" (UDB). Hapa kuwa "mwisho" kitu inamaanisha kuwa na mamlaka na wajibu juu yake. "yule mtu aliyekuwa msimamizi wa mji"
wale waliowalea watoto
Hii inarejea kwa watu waliowalea watoto wa mfalme. "wale waliowalea watoto wa mfalme"
Fanya kilicho chema katika macho yako
Hapa "mcho" ya Yehu inarejea kwa "uso" wake. "Uso" wake inarejea kwa kile afikiriacho. "Fanya kilicho chema katika uso wako" au "Fanya chochote ufikiriacho ni bora"
2 Kings 10:6-7
mara ya pili
"mara ya 2"
upande wangu
Kuwa "upande wa mwingine" inamaanisha kuwa mttifu kwao na kuwasaidia. "mwaminifu kwangu"
sikia
kusikiliza na kutii
sauti yangu
Hapa "sauti" ya Yehu inarejea kile akisemacho. "kwa kile asemacho"
mtachukua vichwa ... na mje kwangu
Inaonyesha kwamba wanatakiwa kuleta vichwa vya uzao wa Ahabu na kuviweka kwa Yehu. "mtachukua vichwa ... na kuvileta kwangu"
mtachukua vichwa ... na mje kwangu
Inaonyesha kwamba wanatakiwa kuleta vichwa kwa uzao wa Ahabu na kuviweka kwa Yehu. "mtavichukua vichwa ... na kuvileta kwangu"
mtachukua vichwa vya watu wa uzao wa bwana wenu
Hii inarejea kuwaua na kuwaondoa vichwa vyao. "kuua uzao wa bwana wenu na kuvikata vichwa vyao"
sabini katika namba ... watu sabini
"70 katika namba ... watu 70"
waliokuwa wakiwapandisha juu
Hii inamaanisha kwamba walikuwa wakiwasimamia na kuwafundisha. "waliokuwa wakiwalea" au "waliokuwa wakiwasimamia"
na kuwapeleka kwa Yehu
Hii inaanisha kwamba waliwatuma watu kupeleka vikapu kwa Yehu. "na kuwapeleka watu kuwachukua kwa Yehu"
2 Kings 10:8-9
wa wana wa mfalme
"wa ukoo wa Ahabu" (UDB)
Yehu alitoka na kusimama
"Yehu alienda kwenye lango la mji na kusimama mbele ya watu"
huna hatia
Inaweza kuelezwa wazi walikuwa hawana hatia kwa lipi. "Huna hatia kwa kile kilichotokea kwa Yoramu na familia yake" au "Huna hatia kwa hili jambo"
Ona
Yehu anatumia hili neno hapa kuleta usikivu wa watu kwa kile anachotaka kukisema"
lakini ni nani aliyewaua hawa wote?
Yehu anatumika swali lisilo hitaji majibu kuwafanya watu kufikiria kwa undani kuhusu hii hali. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "lakini ilikuwa mapenzi ya Yahwe hawa watu kufa"
2 Kings 10:10-11
hakika tafakarini
"elewa" au "kuwa makini usipingika kwamba"
hakuna sehemu ya neno la Yahwe ... litaanguka kwenye nchi
Hii inazungumzia kila kitu kinachotokea kwamba Yahwe amesema kitatokea kana kwamba kilikuwa kitu ambacho kilikuwa kimekufa na kuanguka katika nchi.
Yahwe amefanya
Hii inamzungumzika Yahwe kuufanya uzao wa Ahabu kuuawa kana kwamba amewaua yeye. "Yahwe amefanya itokee"
Hivyo Yehu aliwaua wote ... na makuhani wake
Yehu hakuwaua hawa watu wote mwenyewe, isipokuwa aliwaamuru wauawe. "Hivyo Yehu aliwaamuru wote ... kuuwa"
wote waliosalia
"wote waliokuwa hai" au "wote waliokuwa wameondoka"
hakuna hata mmoja wao alisalia
hii inamaanisha kwamba wote wote waliuawa. au "hadi wote walipokufa"
2 Kings 10:12-14
Bethi Ekedi ya mchungaji
hili lilikuwa jina la mahali ambapo kondoo walipokuwa wakinyolewa.
kwenda chini kusalimia
"kwenda kutembelea"
watoto wa mfalme
"watoto wa Mfalme Yoramu"
Kuwachukua hai
Hii inamaanisha kuwakamata, lakini sio kuwaua. "Kuwatwaa!" (UDB) au "Kuwakamata!"
Hivyo waliwachukua wakiwa hai
"Hivyo waliwakamata"
watu arobaini na mbili
watu wawili** "watu 42"
Hakumwacha hata mmoja wao akiwa hai
Hii inaweza kuelezwa katika muundo hasi. "aliwaua wote"
2 Kings 10:15-17
Yonadabu mwana wa Rekabu
Hili ni jina la mwanamume.
Je moyo wako uko na mimi, kama moyo wangu ulivyo pamoja na wako? ... "ndiyo."
Hapa "moyo" wa mtu inarejea kwa uaminifu wao. Kama uaminifu wa mtu uko "pamoja na mtu," inamaanisha kwamba ni waaminifu kwa hao watu. "utakuwa mwaminifu kwangu, kama nitakavokuwa mwaminifu kwako? ... 'ndio."'
Kama ipo, nipatie mkono wako
"Kama ni hivyo weka mkono wako ndani yangu" au "Kama ni hivyo, tushikane mikono" Katika tamaduni nyingi, wakati watu wawili washikanapo mokono, inaimarisha makubaliano yao.
na uone wivu wangu
Neno "wivu" unaweza kuelezwa kama kivumishi. "na tazama jinsi nilivyo na wivu"
safu ya familika ya kifalme
"familika yote ya kifalme"
kama walivyokuwa wameambiwa kabla ya neno la Yahwe, ambalo aliloambiwa Eliya
"kukamilisha unabii ambao Eliya alikuwa ameunena, ambao yahwe aliwapatia"
2 Kings 10:18-20
akawakusanya
"akawaita"
watu wote pamoja
"watu wote wa Samaria"
kumwokoa zaidi
"kumwokoa zaidi kuliko Ahahbu"
Asikosekane mtu hata mmoja
"Usimwache mtu hata mmoja nje"
Yeyote ambaye hatakuja hataishi
Hii inamaanisha kwamba kama hawatakuja watapingwa. "Tutawapinga yeyote ambaye hatakuja"
Tengeni mda
Hii inamaanisha kuonyesha na kuandaa majira ya mda kwa ajili ya kitu. Katika kesi hii walitakiwa kuandaa kwa ajili ya mkutano wa Baali. "Andaa"
2 Kings 10:21-22
Kisha Yehu akaituma
Hii inamaanisha kwamba kutuma wajumbe kuuchukua huu ujumbe kupitia nchi. "Kisha Yehu akawatuma wajumbe" au "Kisha Yehu akatuma ujumbe"
hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja
"hivyo basi kila mwabudu Baali alikuwa huko" au "hivyo basi kila mtu akaja"
lilijaa
"waliijaza"
aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani
Hapa "kutunza" kitu inamaanisha kuiangalia na kuisimamia. "ambaye alikuwa msimamizi wa kabati la mfalme"
2 Kings 10:23-24
akawaambia wamwabuduo Baali
"na Yehu akawaambia watu waliokuwa katika hekalu kumwabudu Baali"
lakini wamwabuduo Baali pekee
"lakini wale wanaomwabudu Baali wako hapa"
Kama mtu yeyote miongoni mwa hawa watu ambao nimewaleta kwenye mikono yenu atoroke
Hapa "mikono" ya watu inarejea kwa "utawala" wao. Kwa kuwa katika lindo kuzunguka hekalu walikuwa katika utawala wa lindo na ilikuwa juu yao eidha watu waliweza kutoroka au hapana. "Kama mmoja wa hawa watu niliowaleta katika utawala wako wakitoroka" au "Kama yeyote katika hawa watu walio ndani wakitoka"
yeyote atakayemwacha huyo mtu atoroke, maisha yake yatachukuliwa kwa ajili ya yule aliyeokoka
"tutamuua yule mtu aliye mwachia aondoke"
uhai wake utachukuliwa
Hii ni njia ya heshima kumrejea mtu aliyeuawa. "tutachukua uhai wake" au "tutamuua"
kwa kuwa wa yule
"katika kubadilishana uhai wa uyo mtu" Hapa huyu mtu inarejea kwa "uhai" wake, kusisitiza kwamba hakuwa amekufa. "kwa kuwa huyo mtu"
2 Kings 10:25-28
aliwaambia mlinzi na manahodha
Yehu alitoka nje ya hekalu kabla ya kunena na mlinzi. "alirudi nje ya hekalu la Baali na kuwaambia walinzi na manahodha"
kwa ukali wa upanga
Kisha watu wakatumia panga kuwaua wamwabuduo Baali. Hili neno linarejea kwa panga zao. "pamoja na panga zao" (UDB)
wakawatupa nje
Hii inamaanisha kwamba walizitupa maiti nje za watu ya hekalu. "walizitupa maiti zao nje ya hekalu"
kuifanya choo
"kuifanya choo cha uma" Choo ni chumba cha kuogea, au eneo la choo, kawaida kwa ajili ya kambi au majengo yalitumika kwa nyumba ya maaskari.
ambacho kipo hadi leo
Hii inamaanisha kwamba hicho kitu kilichosalia katika hali flani hadi wakati huu. "na tangu hapo ilikuwa hivyo siku zote"
2 Kings 10:29-31
hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati
Hii inamzungumzia Yehu akifanya dhambi zile zile ambazo Yeroboamu alizozifanya, kana kwamba dhambi za Yeroboamu zilikuwa sehemu ambayo Yehu hakuziacha. "hakuacha kufanya aina ya dhambi ambazo Yeroboamu mwana wa Nabeti alizifanya" (UDB)
Nabeti
Hili ni jina la kiume
dhambi ya Israeli
Hapa "Israeli" inarejea kwa watu walioshi huko. "dhambi ya watu wa Israeli"
katika kutimiza
"katika kutekeleza" au "katika kukamlisha"
kile kilicho sahihi katika macho wangu
Macho yanawakilisha kuona, na kuona kunawakilisha mawazo au hukumu. "Kile nilichohukumu kuwa sahihi" au "kile nifikiriacho kuwa sawa"
nyumba ya Ahabu
Hapa "nyumba" ya Ahabu inarejea kwa "familia" yake." "familia ya Ahabu"
yote hayo yalikuwa katika moyo wangu
Hapa "moyo" unawakilisha "tamaa" "yote ninayoyatamani kwa ajili yako kufanya" au "yote ambayo ninayoyataka uyafanye"
kukaa juu ya kiti cha kifalme
"kuwa wafalme"
hata kizazi cha nne
"hata kizazi cha 4" au "kwa vizazi vinne vijavyo." Hii inarejea kwa mwana wake, mjukuu, kitukuu, na nyanya.
Yahwe hakuwa makini kutembea katika sheria ya Yahwe
Hapa "kutembea" inarejea kwa "kuishi." "Yehu hakuwa makini kuishi kulingana na sheria ya Yahwe"
kwa moyo wake wote
Hapa "moyo" inarejea kwa matashi ya mtu na tamaa. "katika kila kitu alichokifanya"
Hakuzigeukia dhambi za Yeroboamu
Ku "geukia" kutoka kwenye kitu inamaanisha kuacha kukifanya. "Yehu hakuacha kufanya dhambi kama alivyofanya Yeroboamu"
2 Kings 10:32-33
kupunguza mikoa ya Israeli
"kuanza kusababisha himaya iliyotawaliwa na Israeli kuwa ndogo"
mikoa
"maeneo ya nchi"
Hazaeli kuwashinda
Hapa "Hazaeli" inamrejea mwenyewe na jeshi lake. "Hazaeli na jeshi lake"
Hazaeli
Hili lilikuwa jina la kiume
kutoka magharibi mwa Yordani
"kutoka kwenye nchi mashariki ya Yordani"
Aroeri ... Bashani
Haya yote ni majina ya sehemu.
Arnoni
"Mto Arnnoni" Hili ni jina la mto.
2 Kings 10:34-36
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hili ni swali lisilohitaji majibu linaloweza kuandikwa kama sentensi. "yameandikwa kwenye Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Israeli."
Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria
Hii inamaanisha kwamba yehu alikufa. Hii inazungumzia yeye kuzikwa walipozikwa wazee wake kana kwamba alikuwa amelala pamoja nao. "Yehu akafa na kuzikwa katika Samaria, ambapo pia walizikwa wazee wake."
Yehoahazi
Hili ni jina lwa mwanamume.
Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane
miaka ishirini** - "Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria kwa mda wa miaka ishirini na nane"
miaka ishirini na nane
miaka minane** - "miaka 28"
2 Kings 11
2 Kings 11:1-3
Athalia ... Yehosheba ... Yoashi
watoto wa mfalme
kuona kwamba mtoto wake alikuwa amekufa
"kuwa makini kwamba mtoto wake alikuwa amekufa"
aliinuka na kuwaua watoto wote wa kifalme
Athalia hakuwaua watoto mwenyewe. "aliwaamuru watumishi wake kuwaua idadi yote ya familia ya Ahazia walioweza kuwa wafalme"
akamchukua Yoashi mwana wa Ahazia, na kumficha mbali mwa miongoni mwa watoto wa mfalme waliokuwa wameuawa, wakati wote pamoja na mlezi wake; akawaweka kwenye chumba cha kulala. Wakamficha kutoka Athalia kwa hiyo hakuuawa
"akamchukua mtoto mdogo sana wa Ahazia Yoashi na kumficha na mhudumu wake katika chumba cha kulala katika hekalu. Hivyo hakuuawa." (UDB)
Alikuwa pamoja na Yehosheba, wamejificha kwenye nyumba ya Yahwe, kwa mda wa miaka sita, wakati Athalia alipotawala juu ya nchi
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Yoashi na Yehosheba alijificha miaka sita katika nyumba ya Yahwe kama Athalia alivyoongoza nchi"
nchi
"ufalme"
2 Kings 11:4-6
Kauli Unganishi:
Hii inaendelea hadithi ya kilichotokea baada ya Yoashi, mwana wa Mfalme Azaia, alijificha kwenye hekalu baada ya Wafalme wote wa uzao wa Ahazia kuawa.
Katika siku ya saba
"Katika siku ya saba ya utawala wa Athalia" au "Katika mwaka wa 7 wa utawala wa Athalia"
Yehoyada
kuhani mkuu
Wakari
Hili ni jina la kundi maalumu la walinzi wa kifalme.
kuwaleta kwake
Yehoyada, kuhani mkuu, alikuwa na hawa askari wa kijeshi wakitoa taarifa kwake kwenye hekalu. "walikuja kuonana naye kwenye hekalu"
Kisha akawaonyesha mwana wa mfalme
Yehoyada akawafunulia kwamba Yoashi, mwana wa Mfalme Azahia, alikuwa bado yu hai.
2 Kings 11:7-8
Maelezo ya Jumla:
Yehoyada anaendelea kutoa mwelekeo kwa maaskari ambao watamlinda Mfalme Yoashi.
kwa ajili ya mfalme
Walitakiwa waendelee kuangalia kwa lengo la kumlinda mfalme kuumizwa. "ili kumlinda Mfalme Yoashi"
Yeyote aingiaye ndani ya safu yako
Safu inarejea mstari wa maaskari. "Yeyote aingiaye kwenda nyuma yako wakati unamlinda Mfalme Yoashi"
acha auawe
Hii inaweza kuanza katika muundo tendaji. "lazima umuue"
Lazima mkae pamoja na mfalme kila atokapo na kila aingiapo
Haya mambo mawili ya kinyume ni uaminifu ambayo yanarejea kwa kila kitu mfalme afanyacho. "Lazima ukae karibu na mfalme mda wote"
2 Kings 11:9-10
mamia ya makamanda
Hii inareje kwa maafisa waliowashangaza walinzi wa kifalme na walinzi wa nyumba ya kifalme.
Kila mmoja
"Kila kamanda"
ambayo katika nyumba ya Yahwe
"ilipokuwa imetunzwa kwenye hekalu"
2 Kings 11:11-12
kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu
Haiko wazi kama neno "nyumba" hapa inarejea kwenye hekalu au jumba la kifalme.
kumleta nje mwana wa mfalme
Yehoyada, kuhani mkuu, akamleta mwana wa mfalme, Yoashi, nje kutoka kwenye hekalu la fleti ambapo alipokuwa amefufuka kwa kujificha.
kumpatia mikataba ya agano
"kumzawadia kwa kitabu cha sheria"
kumpaka mfuta
Kuhani alimwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi kama ishara kwamba sasa alikuwa mfalme. "kumwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi"' (UDB)
kupiga makofi
Kupiga makofi ilikuwa ishara ya furaha ya watu kwenye kupakwa mafuta ya mfalme mpya.
2 Kings 11:13-14
sauti ya mlinzi
Hii inarejea kwenye sauti iliyotengenezwa na maaskari wote.
alikuja kwa watu katika nyumba ya Yahwe
"alikuja mahali ambapo watu walipokuwa wakikusanyika kwenye hekalu"
Alitazama, na, tazama, mfalme alikuwa amesimama
Hapa "tazama" inasisitiza kwamba alishangazwa kumuona Yoashi. "Wakati alipofika, alishangazwa kumuona Mfalme Yoashi amesimama"
karibu na nguzo
"karibu na moja ya nguzo za hekalu"
kama utamaduni ulivyokuwa
"ambapo ilikuwa kawaida jumba kwa ajili mfalme kusimama"
tarumbeta
watu ambao wachezao tarumbeta
Athalia alirarua mavazi yake
Alirarua mavazi yake kuonyesha kwamba alikuwa alikuwa amekasirika sana na hasira.
Uhaini! Uhaini!
"Wewe ni mhaini! Umenisaliti!" (UDB)
2 Kings 11:15-16
mamia ya makamanda
Hii inarejea kwa maafisa waliosimamia walinzi wa kifalme na walinzi wa nyumba ya kifalme.
Mtoeni kwenye safu
Safu ni mistari au mstari wa maaskari.
Yeyote amfuataye
Inadokeza kwamba mtu aliyemfuata atakuwa anajaribu kumsaidia. "Yeyote anayemfuata kujaribu kumuokoa"
wakamtwaa kadiri walivyokuwa wakiikaribia hiyo sehemu iliyokuwa na farasi wakaingia chini, na akauawa huko
Baadhi ya matoleo yanatafsiri hii kama "walinzi wakamtwaa na kumchukua hadi kwenye jumba la kifalme, hadi kwenye jumba la kifalme ambapo farasi huingia kwenye ua."
2 Kings 11:17-18
pia kati ya mfalme na watu
"pia kutengeneza agano kati ya mfalme na watu"
watu wote wa nchi
Huku ni kuenea kuonyesha kwamba kundi kubwa la watu walilia chini kwenye hekalu la Baali. idadi kubwa ya watu wa nchi"
nyumba ya Baali
"hekalu la Baali"
Matani
Hili ni jina la kuhani wa kiume.
2 Kings 11:19-20
Maelzo ya Jumla:
Wamemchukua mfalme mpya, Yoashi, kutoka kwenye hekalu hata kwenye nyumba ya mfalme.
mamia ya makamanda
Hii inareje kwa maafisa waliowashangaza walinzi na walinzi wa nyumba ya mfalme.
Wakari
Hili ni jina la kundi maalumu la walinzi wa kifalme.
wakamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe na wakaenda kwenye nyumba ya mfalme
"kumleta mfalme kutoka kwenye hekalu hadi kwenye nyumba ya mfalme"
watu wote wa nchi furahini
Hii ni kujumuisha. Inawezekana kwamba wengine hawakufurahi.
mji ulikuwa kimya
"mji ulikuwa shwari" au "mji ulikuwa na amani"
2 Kings 11:21
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba
"Yoashi alikuwa na umri wa miaka 7"
2 Kings 12
2 Kings 12:1-3
Katika siku ya saba ya Yehu
"Kipindi cha mwaka wa 7 wa utawala wa Yehu juu ya Israeli"
utawala wa Yoashi ulianza
"Yoashi alianza kutawala juu ya Yuda"
Sibia
Hili lilikuwa jina la mwanamke.
Sibia, wa Bersheba
"Sibia, kutoka mji wa Bersheba" (UDB)
kile kilicho sahihi usoni mwa Yahwe
Neno "uso wa Yahwe" linawakilisha asili ya Yahwe. "kile kilichokuwa kinampendeza Yahwe"
kumwelekeza
"kumfundisha"
Lakini mahali za juu hazikuwa pamechukuliwa
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Lakini watu hawakuziharibu mahali za juu"
Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu
Yahwe aliwakataza watu kuabudu katika hizi sehemu. Hii inaweza kuwa wazi. "Watu waliendelea kwenda sehemu ambazo hazikukubaliwa na Yahwe, kufanya dhabihu na kuchoma ubani"
2 Kings 12:4-5
pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe
Hii inazirejea pesa ambazo watu huto kusaidia hekalu. Hizi pesa huja katika miundo mitatu ambayo zimeelezwa katika mwisho wa sentensi.
pesa zilizoletwa na watu zilimuhasisha Yahwe katika mioyo yao kutoa
Hii inazirejea pesa ambazo watu waliamua kuzitoa kwa uhuru kwa Yahwe.
2 Kings 12:6-8
karibu na mwaka wa ishirini na tatu wa Mfalme Yoashi
mwaka wa tatu wa Mfalme Yoashi*** - "wakati Yoashi alipokuwa mfalme kwa miaka ishirini na tatu"
Kwa nini hujakarabati kitu chochote kwenye Hekalu?
Yoashi anauliza hili swali kuwakemea makuhani. "Mlitakiwa muwe mmekarabati hekalu!"
wapatie wale ambao wanweza kufanya ukarabati.
"kulipa watenda kazi watakaofanya ukarabati"
2 Kings 12:9-10
Badala yake
"Badala ya makuhani kukusanya pesa"
upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe
"upande wa kulia wa kuingia kwenye hekalu"
weka kwenye
"weka kwenye kasha" au "kuweka kwenye sanduku" (UDB)
pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "pesa ambazo watu walizileta"
kuweka pesa katika mfuko na kisha kuzihesabu
Matoleo mengi yanaiweka hii katika mpango wa mantiki kama vile "kuhesabu pesa na kuziweka katika mifuko."
weka pesa kwenye mifuko
Maana ziwezekanazo ni 1) "kuweka pesa katika mifuko" au 2) "kufunga pesa juu katika mifuko" (UDB).
pesa zilipatikana
"pesa zilizokuwa zimepatikana katika kasha"
2 Kings 12:11-12
imepimwa
"imehesabiwa"
kwenye mikono ya watu
Hapa "mikono" inarejea kwa watu. "kwa watu"
waliokuwa wanatunza hekalu
"waliokuwa wanakarabati hekalu"
maseremala
watu wajengao na kukarabati vitu vilivyotengenezwa kwa mbao
waashi
watu wajengao kwa mawe
wakata mawe
watu wakatao mawe kwenye kipimo kimoja na umbo
kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe
"kununua mbao na kukata jiwe"
yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza
"kulipa kwa ajili ya ukarabati wote"
2 Kings 12:13-14
haikulipwa kwa kufanya chochote
"hazikutumika kulipwa kwa ajili ya sehemu yoyote ya hekalu"
vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo
Hivi ni vitu ambavyo vilikuwa vitumike na makuhani kwa ajili ya kazi mbali mbali, kama vile dhabihu au sikukuu.
2 Kings 12:15-16
hazikuzihitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuhesabiwa kwa ajili ya watu waliozipokea nakuzilipa kwa watenda kazi
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "hawakuwataka watu waliopokea pesa na kuwalipa watenda kazi kwa ajili ya kukarabati kuhesabu pesa"
kuwajibika kwa ajili ya
kuendelea kuhifadhi ni kiasi gani cha fedha kilichokuwa kimepokewa na kutumika
pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe
Inaelezwa kwamba hizi pesa hazikutumika kwa ajili ya ukarabati. Hii inaweza kuelzwa katika muundo tendaji. "hawakutumia pesa kutoka kwenye sadaka za hatia na sadaka za dhambi kulipa kwa ajili ya kukarabati hekalu la Yahwe"
2 Kings 12:17-18
Hazaeli mfalme wa Shamu akatekwa ... Hazaeli akarudi kuishambulia
Hii inarejea kwa jeshi la Hazaeli pia kama kwa Hazaeli. "Hazaeli mfalme wa Shamu na jeshi lake wakashambuliwa ... Kisha wakarudi kushambulia"
Hazaeli
Hili ni jina la mfalme wa nchi ya Siria.
kuichukua
"kushinda na kuitawala"
Yehoshafati na Yehoramu na Ahazia, baba zake
Hawa watu walikuwa wafalme waliopita wa yuda.
iliyotengwa
"weka wakfu"
dhahabu iliyokuwa imepatikana katika vyumba vya kuhifadhi"
"dhahabu ambayo ambayo ilikuwa imehifadhiwa kwenye vyumba vya kuhifadhi"
Kisha Hazaeli akaondoka kutoka Yerusalemu
Zawadi Yoashi alizompatia Hazaeli zilimshawishi asiishambulie Yerusalemu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Basi Hazaeli aliacha kuishambulia Yerusalemu na kuondoka"
2 Kings 12:19-21
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji kwamba haya mambo yamerekodiwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia ya Wafalme wa Yuda."
Sila
Eneo la hii sehemu haijulikani.
Yozakari ... Shimeathi ... Yehozabadi ... Shomeri ... Amazia
Haya ni majina ya wanaume.
pamoja na baba zake
"katika jumba la kifalmeambapo baba zake walipokuwa wamezikwa (UDB)
akawa mfalme katika mahali pake
"akawa mfalme wa Yuda aliyefuata"
2 Kings 13
2 Kings 13:1-2
Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda
mwaka wa tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda** - "Baada ya Yoashi alipokuwa akitawala Yuda kwa takribani miaka 23"
kutawala juu ya Israeli katika Samaria
"tawala juu ya ufalme wa Israeli iliyopo katika Samaria"
alitawala miaka kumi na saba
"Yehoahazi alikuwa mfalme kwa miaka 17"
Alifanya yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
Hapa "katika uso wa" inarejea kwa maoni ya Yahwe. "Alifanya yale yaliyo maovu kulingana na Yahwe"
kufuata dhambi za Yeroboamu
"kufanya dhambi zile zile kama Yeroboamu"
Yehoahazi hakugeuka kutoka kwao
Hapa kusimama dhambi yake inazungumziwa kana kwamba amerudi kutoka kwao. Hii pia inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Yehoyazi hakuacha kufanya dhambi za Yeroboamu" au "Yehoyazi aliendelea kufanya dhambi zile zile kama Yeroboamu"
2 Kings 13:3-5
Hasira ya Yahwe ikawaka juu ya israeli
Yahwe kuwa na hasira na Israeli inazungumziwa kana kwamba hasira yake ilikuwa moto uliokuwa unawaka. "Kisha Yahwe akawa na hasira sana na Israeli"
akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli
Hapa "wao" inarejea kwa Israeli na "mkono" inarejea kwenye nguvu kuwatawala. "kumruhusu Hazaeli mfalme wa Shami, na Ben Hadadi, mwanaye, kuwashinda mara kwa mara Waisraeli katika vita"
kumsihi Yahwe
"kumuomba Yahwe"
aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa
Haya maneno mawi yanamaaanisha kitu kimoja na yamerudiwa kusisitiza. "ukandamizaji" inamaanisha kama "mfalme wa Shami alivyokuwa akiwakandamiza."aliona mara kwa mara mfalme wa Shami alikuwa akiwakandamiza Israeli"
mkombozi
"mtu wa kuwaokoa"
walikimbia kutoka kwenye mkono wa Washami
Hapa "mkono" unarejea kwa nguvu ya kuwatawala. "aliwawezesha kuwa huru kutoka nguvu ya Shami"
2 Kings 13:6-7
hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu
Kuacha kufanya dhambi kunazungumziwa kana kwamba waliondoka kutoka kwenye dhambi. "Israeli hawakuacha kufanya dhambi zile zile kama Yerobamu alizokuwa amezifanya" au "Israeli iliendelea kufanya dhambi zile zile kama Yeroboamu alizokuwa amezifanya"
nyumba ya Yeroboamu
"familia ya Yeroboamu"
aliwaangamiza
"alilishinda jeshi la Yehoahazi"
kuwafanya kama makapi yaliyopurwa
Jeshi la Washami liliwashinda moja kwa moja jeshi la Israeli ambacho kilichokuwa kimebaki hakikuwa na thamani ambacho kinalinganishwa na makapi ya ngano ambayo wafanya kazi hutembea kwenye kipindi cha mavuno. "aliwaangamiza kama wafanyakazi waangamizavyo makapi chini ya miguu yao wakati wa mavuno"
2 Kings 13:8-9
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yameandikwa kwenye kitabu kingine. Ona jinsi hili neno lilivyotafsiriwa katika 1:17. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli."
akalala na mababu zake
Hii ni njia ya heshima ya kusema kwamba amekufa.
2 Kings 13:10-11
Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda
mwaka wa saba wa Yoashi mfalme wa Yuda** - "Baada ya Yoashi kutawala Yuda kama miaka 37"
utawala wa Yoashi mwana wa Yehoashi ulianza juu ya Israeli katika Samaria
"Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutwala juu ya Israeli katika Samaria"
Yehoashi
Huyu alikuwa mfalmew aIsraeli ambaye alikuwa mwana wa Yehoahazi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwani Yahwe
Hapa "uso" unawakilisha mwazo wa Yahwe au hukumu. "Alifanya mambo ambayo Yahwe aliyoyafikiria kuwa uovu"
Hakuacha nyuma dhambi zake zozote za Yeroboamu
Kuacha kufanya dhambi inzungumziwa kana kwamba aliacha dhambi nyuma" Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Yoashi hakuacha kutenda dhambi kama Yeroboamu" "Yoashi aliendelea kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu"
ambayo aliifanya Israeli kuasi
"ambayo Yeroboamu aliifanya Israeli kuasi"
lakini alitembea katikati yao
Kutenda dhambi kunzungumziwa kana kwamba alikuwa akitembea karibu na njia ya dhamb. "lakini Yoashi anaendelea kufanya dhambi hizi hizi"
2 Kings 13:12-13
na shujaa wake ambaye aliyepigana dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda
"na nguvu ambayo jeshi lake ilionyesha wakati walipokuwa wakipigana juu ya jeshi la Amazia mfalme wa Yuda"
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yaliandikwa katika kitabu kingine. Taza jinsi ambavyo ilivyotafsiriwa katika 1:17. "yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli."
Yehoashi akalala na babu zake
"Hii ni njia ya heshima kusema Yehoashi amekufa.
Yeroboamu alikaa juu yakiti chake
Hapa "alikaa juu ya kiti chake" inarejea kutawala kama mfalme. "Yeroboamu akawa mfalme baada ya yeye" au "Yeroboamu akaanza kutawala baada ya yeye"
2 Kings 13:14-16
omboleza juu yake
"omboleza kwa sababu Elisha alikuwa anaumwa"
Baba yangu, baba yangu
Elisha hakuwa baba wa mfalme halisi. Mfalme Yoashi alitumia hili neno kama alama ya heshima.
magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua
Hii ni kumbukumbu kwa Elisha kwanda mbinguni katika 2:11. Yoashi anatumika hili neno kusema kwamba Elisha alikwa anaenda kufa. "magari ya farasi ya Israeli na waendesha farasi wanakuchukua kwenda mbinguni"
waendesha farasi
Hii inarejea kwa watu waliokuwa wakiendesha farasi. "waendesha magari ya farasi"
2 Kings 13:17-19
Maelezo ya Jumla:
Elisha anaendelea kuongea na Yoashi, mfalme wa Israeli.
Fungua dirisha upande wa mashariki
"fungua dirisha lielekee mashariki" au "fungua hilo dirisha kuelekea mashariki" (UDB)
hivyo alilifungua
Tangu hii ilipotokea baada ya Yoashi kuchukua upinde na mishale, inaweza kuwa alikuwa mtumishi wa kufungua dirisha.
akarusha
"Yoashi akarusha mshale"
Huu ndiyo mshale wa ushindi wa Yahwe, huu mshale wa ushindi juu ya Shamu
Mahusiano kati ya mshale na ushindi unaweza kuwekwa wazi. "Huu mshale ni alama kutoka kwa Yahwe ambao atakupatia ushindi juu ya Shami"
Afeki
Huu ulikuwa mji katika nchi ya Israeli.
Lakini mtu wa Mungu alikuwa na hasira naye
"Lakini Elisha alikuwa na hasira na Mfalme Yoashi"
hadi ulipoingamiza
"hadi ulipoiangamiza kabisa"
2 Kings 13:20-21
Sasa
"Wakati ule"
mwanzoni mwa mwaka
"kila mwaka majira ya machipuko" (UDB)
Walipokuwa wakimzika mtu flani
"Kama baadhi ya Waisraeli walipokuwa wakiuzika mwili wa mtu"
waliona kundi la Wamoabu
Inaweza kuwekwa wazi kwamba walikuwa wakiogopa Wamoabu. "waliona kundi la Wamoabu washambuliaji wakija kuwaelekea na waliogopa"
kaburi la Elisha
"kaburi ambalo Elisha alizikwa"
Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha
Hapa "mtu" inarejea kwa maiti yake. Hii inaweza kuwekwa wazi. ""Mara alipokufa mwili wake uliigusa mifupa ya Elisha"
alifika na kusimama kwa miguu yake
"maiti ya mtu ilifufuka na kusimama juu"
2 Kings 13:22-25
Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao
Inaweza kuwa msaada kugawanya sentensi yake kwenye sehemu ndogo ndogo. "Lakini Yahwe alikuwa mkarimu sana kwa watu Waisraili. Aliwasaidia" (UDB)
Hivyo Yahwe hakuwaangamiza
Agano ya Yahwe ni sababu hakuiangamiza Israeli. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Hii ni sababu kwamba Yahwe hakuwaangamiza" au "Kwa sababu ya agano lake, Yahwe hakuwaangamiza"
hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake
Kukataa kwa Yahwe kunazungumziwa kana kwamba alikuwa akiitoa Israeli kwa mwili kutoka alipokuwa. "hakuwakataa" (UDB)
2 Kings 14
2 Kings 14:1-3
Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli
"wakati Yehu mwana wa Yehoazi alipokuwa mfalme wa Israeli takribani miaka miwili"
Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaanza kutawla
Amazia mwana wa Yoashi, akawa mfalme wa Yuda"
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala
miaka ishirini na tano wakati alipoanza kutawala** - "Alikuwa na umri wa miaka 25 alipokuwa mfalme"
alitawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu
miaka tisa katika Yerusalemu** - "alikuwa mfalme katika Yerusalemu kwa miaka 29"
Yehoyadani
hili ni jina la mwanamke
Alifanya yaliyo sahihi katika uso wa Yahwe, sio kama Daudi baba yake
Hapa "usoni mwa Yahwe" inaurejea uso wake, na uso wake unarejea hukumu yake. "Amazia alifanya mambo mengi yaliyompendeza Yahwe, lakini hakufanya mambo mengi ambayo yalimtukuza Yahwe kama mfalme Daudi aliyokuwa ameyafanya"
Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alifanya
Yoashi alimtii Yahwe na kufanya mambo mazuri. "Alifanya baadhi ya mambo mazuri ambayo baba yake Yoashi aliyafanya"
2 Kings 14:4-5
Maelezo ya Jumla:
Hadithi ya kanuni ya Amazia kama mfalme wa Yuda inaednelea.
Lakini mahali pa juu hapakuwa pamechukuliwa
Mahali pa juu palikuwa pakitumika kwa ajili ya kuabudu kipagani. "Lakini hakupaondoa mahali pajuu"
kutoa sadaka na kufukiza ubani hapo mahali pa juu
"Mahali pa juu palitumika kwa ajili ya kuabudu kipagani. "kutoa sadaka na kufukiza ubani kwa miungu ya kipagani mahali pa juu"
Ikawa mara
Hii inatumika kutambulisha tukio jipya.
mapema kama kanuni yake ilipokuwa imeanzishwa vizuri
"mapema kama Amazia alipotambulisha kanuni ya kifalme na mamlaka ya kifalme"
aliwaua watumishi
Amazia ni kama aliwaagiza watu wengine kuwaua maafisa. "aliwafanya watumishi wake kuwatekeleza maafisa" (UDB)
2 Kings 14:6-7
Maelezo ya Jumla:
Msimuliaji anaeleza kuhusu kile alichofanya mfalme Amazia baada ya baba yake Mfalme Yoashi kuuawa.
Ila hakuwaweka wana wa wauaji kwenye kifo
Mfalme Amazia hakuwaagiza watumishi wake kuwaua watoto wa watu waliomuua baba yao. "Lakini hakuwaambia watumishi wake kuwatekeleza hao watoto wa maafisa" (UDB)
Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya wazazi wao
"Watu wasiwaue mababa kwa ajili ya dhambi za watoto wao, na wasiwaue watoto kwa ajili ya dhambi za wazazi wao"
kila mtu atauawa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe
"kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe"
Aliwaua
Hapa "Yeye" inarejea kwa jeshi lake. "Jeshi la Amazia liliuawa" au " Maaskari wa Amazia waliuawa" (UDB)
maaskari elefu kumi
"maaskari 10,000"
Bonde la Chumvi
Hili ni jina la mahali panapoonyesha kusini mwa Bahari mfu.
pia aliichukua Sela katika vita
Hapa "Yeye" inarejea jeshi lake. "Jeshi la mfalme Amazia liliuchukua mji wa Sela
Sela ... Yoktheeli
Waliupa mji wa Sela. Jina jipya lilikuwa Yoktheeli.
2 Kings 14:8-10
Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, "Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano."
Hapa "kila mmoja" kujumuisha na majeshi yao. "Kisha Amazia akapeleka wajumbe kwa Mfalme Yehoashi wa Israeli, akisema, "Njooni hapa tuyaache majeshi yetu yapigane katika vita" (UDB)
"Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni ... umeanguka chini ya mbaruti
Hili ni neno la picha na fumbo. Mti wa mkangazi ni mkubwa na mbaruti ni mdogo na usio na thamani. Yehoashi anajilinganisha yeye na mkangazi na Amazia na mbaruti na kumuonya Amazia asimshambulie.
mbaruti
"kichaka chenye miba"
akisema, "Mtoe binti yako kwa mwanangu kuwa mke;
Hii nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "kuuliza mkangazi kumtoa binti yake kwa mbaruti mwana wa mke"
Umemshambulia Edomu sana
Hii ni sehemu ya onyo la ujumbe wa Yuda kwa Amazia. "Amazia, umeishinda Edomu kabisa"
moyo wako umekuinua
Hii ni lugha ambayo inayorejea kuwa na kiburi. "una kiburi kwa kile ulichokifanya"
Chukua sifa katika ushindi wako
"Ridhika na ushindi wako"
kwa nini unataka kujisababishia matatizo na kuanguka
Yehoashi anatumia hili swali kumuonya Amazia asimshamulie.
2 Kings 14:11-12
Lakini Amazia hakutaka kusikia.
Hapa "kusikia" inarejea kutii onyo. "Ingawa, Amazia hakutii onyo la Yehoashi"
Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akashambulia ... Amazia mfalme wa Yuda wakakuta uso kwa uso
Majeshi ya hawa wafalme yalienda kupigana nao. "Hivyo Yehoashi na jeshi lake wakaenda kupigana na Amazia na jeshi lake wakaonana uso kwa uso"
Bethi Shemeshi
Huu ni mji katika Yuda karibu na mpaka wa Israeli.
Yuda alishindwa na Israeli
"Israeli iliishinda Yuda"
kila mtu alikimbia nyumbani
"watu wote waliokuwa katika jeshi la Yuda walikimbia nyumbani"
2 Kings 14:13-14
Maelezo ya Jumla:
Hii ni jinsi ilivyotokea baada ya jeshi la Israeli kulishinda jeshi la Yuda huko Bethi Shemeshi.
Akaja ... Akachukua
Hapa "Yeye" inarejea kwa Yehoashi na jeshi lake. "Yehoyashi na jeshi lake wakaja ... maaskari wa Yehoyashi wakachukua"
lango la Efraimu ... pembe ya lango
Kuna majina ya malango katika ukuta wa Yerusalemu.
dhiraa mia nne
"kama mita 180"
dhiraa
Ridhaa moja ilikuwa kama sentimita 46.
pamoja na mateka pia, na kurudi Samaria
Hii inaonyesha kwamba Yehoyashi alihitaji kuchukua hawa mateka kumlinda Amazia asitekwe tena. Hii inaweza kuwekwa wazi. "na pia walimchukua baadhi ya wafungwa kuhakikisha kwamba Amazia asingewasababishia matatizo tena
2 Kings 14:15-16
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yamehifadhiwa katika kitabu kingine. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli."
Kisha Yehoashi akalala na wazee wake
Hii ni heshima kusema kwamba alikufa. "Kisha Yehoashi akafa"
akawa mfalme katika eneo lake
"akawa mfalme baada ya yeye"
2 Kings 14:17-19
je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
Hili swali limetumika kuwakumbusha wasomaji kwamba haya mambo yamehifadhiwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia cha Wafalme wa Yuda."
Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu
Njama ni mpango wa siri wa kuleta madhara kwa mtu au kitu. "Baadhi ya watu katika Yerusalemu walifanya njama juu ya Amazia"
Lakishi
Huu ni mji katika kusini ya magharibi mwa Yuda.
lakini walipeleka watu baada ya yeye kwenda Lakishi
Watu waliokuwa wametengeneza njama waliwatuma watu wengine kumfuata Amazia kwenda Lakishi.
2 Kings 14:20-22
Maelezo ya Jumla:
Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya kifo cha Mfalme Amazia.
Wakamrudisha juu ya farasi
"Wakaurudhisha mwili wa Amazia juu ya farasi"
Watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Amazia
Hii inajumiosha. Baadhi watu wanaweza wasimtake kuwa mfalme. "Watu wa Yuda walimchukua Azaria akiwa na miaka 16 na kumfanya kuwa mfalme baada ya baba yake, Amazia"
Alikuwa Azaria aliyeijenga Elathi
Azaria hakulifanya hili peke yake. "Alikuwa Azaria aliyemwagiza Eliathi kujengwa" au "Alikuwa Azaria aliyesimamia kujengwa tena kwa Eliathi"
Azaria
Huyu mfalme anafahamika sasa kwa jina la Uzia."
Eliathi
mji mmoja katika Yuda
kuirudishia Yuda
"kuirejesha ka Yuda"
kulala na wazee wake
Hii ni heshima kusema alikufa.
2 Kings 14:23-25
Maelezo ya Jumla:
Hii inaeleza kile Mfalme Uzia alichokifanya baada ya kuwa mfalme.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia
"katika mwaka wa 15 wa Amzia"
miaka arobaini na moja
mwaka mmoja** - "miaka 41"
uovu katika uso wa Yahwe
Hapa "uso" ni picha kwa ajili ya kuhukumu. "uovu kulingana na Yahwe"
Hakuziacha dhambi yoyote ya kutoka kwa Yeroboamu
Kuacha kuasi imezungumziwa kama kupita njia. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Hakuacha kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu" au "Aliendelea kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu"
Akarudisha mipaka
Hii inamaanisha jeshi lake lilirudisha nchi hata kwenye mpaka. "Maaskari wake wakayashinda baadhi ya maeneo yaliyokuwa yamemilikiwa na Israeli"
Lebo Hamathi
Huu mji pia ulikuwa unaitwa Hamathi.
Bahari ya Araba
"Bahari mfu" (UDB)
2 Kings 14:26-27
yalikuwa machungu sana
Kuteseka ilikuwa vigumu ilizungumziwa kana kwamba ilikuwa ladha chungu. "ilikuwa chungu sana"
hapakuwa na mwokozi kwa ajili ya israeli
"hapakuwa na mtu yeyote angeweza kuiokoa israeli"
kufuta
Kuiangamiza Israeli kabisa inazungumziwa kana kwamba Yahwe amewasafisha kwa nguo. "angamiza kabisa"
jina la Israeli
Hapa "jina la Israeli" linawakilisha Israeli yote na wenyeji wake. "watu wa Israeli"
chini ya mbingu
"juu ya nchi"
aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana Yehoashi
Hapa "mkono" unarejea kwa uweza. Yeroboamu aliwashinda maadui wa Israeli kwa msaada wa jeshi lake. "alimuwezesha Mfalme Yeroboamu na jeshi lake kuwaokoa"
2 Kings 14:28-29
Je hayajaandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Israeli?
Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoyazi yamehifadhiwa katika kitabu kingine. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme waa Israeli.
Yeroboamu akalala na wazee wake, pamoja na wafalme wa Israeli
Hii ni njia ya heshima kusema kwamba alikufa na alizikwa. "Yeroboamu akafa, na alizikwa walipokuwa wamepelekwa wafalme wengine wa Israeli walipozikwa"
2 Kings 15
2 Kings 15:1-3
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu
Mwaka wa saba wa Yeroboamu** - huu ni mwaka wa ishirini na saba wa utawala wake. "Katika mwaka wa 27 wa utawala wa Yeroboamu"
Azaaria
Huyu mfalme anajulikana vizuri leo kwa jina la Uziya."
Yekolia
Hili ni jina la mama yake na Amazia
Alifanya yaliyo sahihi
"Amazia alifanya yaliyo sahihi"
yaliyo sahihi katika macho ya Yahwe
Neno "macho ya Yahwe" linasimama kwa ajili ya uso wa Yahwe, ambao ni badala ya hukumu ya Yahwe. "yaliyo sahihi katika hukumu ya Yahwe"
2 Kings 15:4-5
mahala pa juu hapakuwa pameondolewa
"hakuna aliyepaondoa mahali pa juu" au "Azaria hakuwa na yeyote wa kupaondoka mahali pa juu"
hapakuchukuliwa
Kuchukuliwa inawakilisha kuharibiwa. "paliharibiwa"
hata siku yake ya kufa
"kifo" "kufa" "hata siku aliyokufa"
Yothamu, mwana wa mfalme, alikuwa juu ya kaya
Neno "kaya" linarejea kwa watu waishio katika nyumba ya kifalme. Kwa sababu Azaria alikuwa na ukoma, alitakiwa aishi katika nyumba iliyojitenga. Hivyo mwana wake, Yothamu, akachukua shtaka juu ya nyumba ya kifalme.
alikuwa juu ya kaya
Kuwa juu ya kaya inawakilisha kuwa na mamlaka juu ya walio humo. "alikuwa kiongozi wa kaya" au "alikuwa na mamlaka juu ya wale walio katika nyumba ya Hazaria"
2 Kings 15:6-7
je hayajaandikwa ... Yuda?
Hili swali limetumika pengine kufahamisha au kukumbusha wasomaji kwamba habari kuhusu Azaria zipo katika hiki kitabu. "yameandikwa ... uda."
Azaria akalala na wazee wake
Kulala inawakilisha kufa. "Azaria alikufa kama wazee wake" au "kama wazee wake, Azaria alikufa"
walimzika pamoja na wazee wake
"familia yake ilimzika walipozikwa wazee wake walipokuwa wamezikwa"
akawa mfalme katika mahali pake
Neno "katika mahali pake" ni sitari ikimaanisha "badala yake." "akawa mfalme badala ya Azaria"
2 Kings 15:8-9
Katika mwaka wa thelathini na nane wa Azaria mfalme wa yuda
mwaka wa nane wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba hii ni miaka thelathini na nane mwaka wa utawala wake. "Katika mwaka wa 38 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda"
Zakaria mwana wa Yeroboamu
Huyu Yeroboamu alikuwa mfalme wa pili wa Israeli ambaye alikuwa na hilo jina. Alikuwa mwana wa mfalme Yoashi.
alitawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita
Samaria ni mji ambao Zekaria aliishi huko alipokuwa mfalme wa Israeli. "aliishi Samaria na kutawala juu ya Israeli kwa miezi sita"
Alifanya yaliyo maovu
"Zekaria alifanya yaliyo maovu"
yaliyo maovu katika uso wa Yahwe
Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. "yaliyo maovu katika hukumu ya Yahwe" au "kile Yahwe afikiriacho kuwa uovu"
Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti
Kuziacha`dhambi inawakilisha kuzifanya hizo dhambi. "Zekaria hakukataa kufanya dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti" au "aliasi kama Yeroboamu mwana wa Nabeti alivyo asi"
Yeroboamu mwana wa Nabeti
Huyu Yeroboamu alikuwa mfalme wa kwanza kati ya makabila kumi ya kaskazini ambayo yaliutengeneza ufalme wa Israeli.
ambaye aliisababisha Israeli kuasi
Hapa neno "Israeli" linawakilisha watu wa ufalme wa Israeli. "ambao walisababisha watu wa Israeli kuasi"
2 Kings 15:10-12
Shalumu ... Yabeshi
Haya ni majina wanaume.
Zekaria
"Mfalme Zakaria"
Ibleamu
Hili lilikuwa jina la mji.
Kisha akawa mfalme katika mahali pake
"Kisha Shalumu akawa mfalme katika mahali pa Zekaria"
yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli
"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli"
Kisha akawa mfalme katika mahali pake
"Kisha Shalumu akawa mfalme katika mahali pa Zekaria"
Uzao wako utaketi juu ya kikti cha Israeli hata kizazi cha nne
Kukaa juu ya kiti inawakilisha kuwa mfalme. "Uzao wako utakuwa wafalme wa Israeli kwa vizazi vinne"
2 Kings 15:13-14
katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda
mwaka wa tisa wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa thelathini na nane wa utawala wake. "katika mwaka wa 39 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda"
Shalumu ... Yuda
Haya ni majina ya wanaume.
Menahemu ... Gadi
Haya ni majina ya wanaume wawili.
alitawala mwezi mmoja pekee katika Samaria
Samaria ni mji ambao aliishi alipokuwa mfalme wa Israeli. "Shalumu aliishi katika Samaria na kutwala juu ya Israeli kwa mda wa mwezi mmoja tu"
akawa mfalme katika mahali pake
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake." "kuwa mfalme badala ya Shalumu"
2 Kings 15:15-16
njama aliyoifanya
"njama" "mpango." Inaweza kuelezwa wazi hii njama ilikuwa nini. "alipangaje kumuua Mfalme Zekaria" na jinsi gani alimuua Mfalme Zekaria"
yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Mfalme wa Israeli
"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli"
Tifsa
Hili ni jina la mji. Baadhi ya matoleo yana "Tapua," ambalo ni jina la mji mwingine.
2 Kings 15:17-18
Katika mwaka wa thelathini na nane wa Azaria mfalme wa Yuda
mwaka wa tisa wa Azaria mfalme wa Yuda** -Inaweza kuwekwa wazi kwamba huu ni mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake. "Katika mwaka wa 39 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda"
yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. "yale yaliyo maovu katika hukumu ya Yahwe"
Katika maisha yake yote
"maisha" inaweza kutafsiriwa pamoja na kitenzi "kuishi." "Wakati wote ambao aliishi"
hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati
Kuacha dhambi inawakilisha kukataa kuzifanya hizo dhambi. "Zekaria hakukataa kufanya dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati" au "Aliasi kama Yeroboamu mwana wa Nebati alivyoasi"
aliyekuwa ameifanya israeli kuasi
Hapa neno "Israeli" linawakilisha watu wa ufalme wa israeli. "walikuwa wamewasababisha watu wa Israeli kuasi"
2 Kings 15:19-20
Pulu mfalme wa Ashuru akaja juu ya nchi
Neno "Pulu mfalme wa Ashuru" inawakilisha Pulu na jeshi lake. "Pulu mfalme wa Ashuru akaja pamoja na jeshi lake juu ya nchi"
Pulu mfalme wa Ashuru
Pulu ni jina la mwanamume ambaye alikuwa mfalme wa Ashuru. Pia alikuwa anaitwa Tiglath Pilesa.
kuja juu ya nchi
Kuja juu ya nchi inawakilisha kuja kuwashambulia watu. "nchi" inarejea kwa nchi na watu wa Israeli. "kuja pamoja na jeshi kuwashambulia watu wa Israeli"
talanta elfu moja za fedha
"talenti 1000 za fedha." unaweza kubadislisha hii na kipimo cha kisasa. " kilo elfu thalathini na nne za fedha"
ili kwamba msaada wa Pulu unaweza kuwa naye
"msaada" inaweza kutafsiriwa pamoja na kitenzi "msaada." "Pulu anaweza kumsaidia"
kuimarisha utawala wa Israeli katika mkono wake
Kuwa na ufalme katika mkono wake inawakilisha kutawala ufalme. "kuimarisha utawala wake juu ya ufalme wa Israeli"
kutoza hii pesa kutoka Israeli
"kuchukua hii pesa kutoka israeli"
shekeli hamsini za fedha
Unaweza kubadilisha kwa kipimo cha kisasa. "gram mia sita za fedha"
na hakukaa huko katika nchi
"na hakukaa huko katika Israeli"
2 Kings 15:21-22
je yameandikwa .. Israeli?
Hili swali linatumika labda kujulisha au kukumbusha wasomaji hiyo habari kuhusu Menahemu ipo katika hiki kitabu. "yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Waflme wa Israeli."
Menahemu akalala na wazee wake
Kulala inawakilisha kufa. "Menahemu alikufa kama wazee wake walivyokufa" au "kama wazee wake, Menahemu alikufa"
Pekahia
Hili ni jina la kiume.
kuwa mfalme katika mahali pake
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaansha "badala ya yeye." "kuwa mfalme badala ya menahemu"
2 Kings 15:23-24
Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa hamsini wa utawala wake. "Katika mwaka wa 50 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda"
Pekahia
Hili ni jina la kiume.
yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe.
Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati
Kuacha dhambi inawakilisha kuacha kuzifanya hizo dhambi. "Pekahia hakuacha kufanya dhambi za Yeroboamu mwana Nebati" au "kuasi kama Yeroboamu mwana wa nebati"
alisababisha israeli kuasi
Hapa neno "Israeli" inawakilisha watu wa ufalme wa israeli.
2 Kings 15:25-26
Peka ... Remalia
Haya ni majina yakiume.
njama dhidi yake
"mpango wa siri kumuua Pekahia"
watu hamsini
"watu 50"
Argobu ... Arie
Haya ni majina yakiume.
ngome ya nyumba ya kifalme
"sehemu ya ngome ya nyumba ya mfalme" au "sehemu salama katika nyumba ya mfalme"
akawa mfalme katika mahali pake
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake" "kuwa mfalme badala ya Pekahia"
yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli
"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Mtukio ya Wafalme wa Israeli"
2 Kings 15:27-28
Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Uzia mfalme wa Yuda
mwaka wa pili wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa hamsini na mbili wa utawala wake. "Katika mwaka wa 52 wa uwala Azaria mfalme wa Yuda"
yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. "yaliyo maovu katika hukumu ya Yahwe" au "kile yahwe aonacho kuwa kiovu"
Hakuaziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati
Kuacha dhambi inawakilisha kuacha kufanya hizo dhambi. "Zekaria hakuacha kufanya dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati" au "Aliasi kama Yeroboamu mwana wa Nebati alivyo asi"
2 Kings 15:29-31
Katika siku za Peka mfalme wa Israeli
Inaweza kuelezwa wazi kwamba hii inarejea kwenye wakati wa utawala wa peka. "Katika siku za utawala wa Peka mfalme wa Israeli" au "Kipindi wakati ambao Peka alikuwa mfalme wa Israeli"
Tiglath Pileseri
Katika Biblia 2 Wafalme huyu mtu alikuwa akiitwa "Puli"
Iyoni ... Abel Beth Maaka ... Yanoa ... Kadeshi ... Hazori ... Gileadi ... Galilaya ... Naftali
Haya ni majina ya miji au mikoa.
Akawachukua watu kwenda Ashuru
Hapa "Yeye" inarejea kwa Tiglathi Pileseri na inamuwakilisha yeye na jeshi lake. Kuwabeba watu wa Ashuru. "Yeye na jeshi lake waliwalazimisha watu kwenda Ashuru
watu
Inaweza kuwekwa wazi hawa ni watu wa namna gani. "wata wa hayo maeneo" au "watu wa Israeli"
Hoshea ... Ela
Haya ni majina ya kiume
njama
Njama ni mpango wa siri kwa kundi kufanya madhara kwa mwingine au kitu.
Alimshambulia na kumuua
"Hoshea alimshambulia na kumuua"
akawa mfalme katika mahali pake
Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake." akawa mfalme badala ya Peka"
katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huo ni mwaka wa ishirini wa utawala wake. "Katika mwaka wa 20 wa utawala wa Yothamu mwana wa Uzia"
yameandikwa katika Kitabu cha Matukio cha Wafalme wa Israeli
"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli"
2 Kings 15:32-33
Katik,a mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa pili wa utawala wake. "Katika mwaka wa 2 wa utawala wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli,"
Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa yuda akaanza kutawala
"Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akawa mfalme wa Yuda"
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano ... miaka kumi na sita
umri wa miaka mitano ... miaka kumi na sita** - "Alikuwa na umri wa miaka 25 ... miaka 16"
Yerusha
Hili ni jina la mwanamke.
2 Kings 15:34-38
yale yaliyosahihi machoni mwa Yahwe
Neno "macho" sitiari kwa uso wa Yahwe, ambaye ni sitiari kwa ajili ya hukumu ya Yahwe. "yaliyo sahihi katika hukumu ya Yahwe"
mahali pa juu hapakuwa pameondolewa
"hakuna mtu aliyepaondoa mahali pa juu" au "Yothamu hakuwa na mtu yeyote wa kupaondoa mahali pa juu"
hapakuondolewa
Kuondolewa inawakilisha kuharibiwa. "hapakuharibiwa"
Yothamu alijenga lango la juu
"Yothamu alipajenga" inawakilisha Yothamu kuwafanya watenda kazi kuijenga. "Yothamu alikuwa na watenda kazi wake wakijenga lango la juu"
je hayajaandikwa ... Yuda?
Hili swali linatumika ama kuwajulisha au kuwakumbusha wasomaji kwamba hiyo habari kuhusu Yothamu ipo katika hiki kitabu kingine. "yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Yuda."
2 Kings 16
2 Kings 16:1-2
Katika mwaka wa kumi na saba wa mfalme Peka mwana wa Remalia
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa kumi na saba wa utawala wake. "Katika mwaka wa 17 wa utawala wa Peka mwana wa Remalia"
Peka ... Remalia
Haya ni majina yakiume. Peka alikuwa mfalme wa Israeli.
kile kilicho sahihi katika macho ya Yahwe Mungu wake
Hili neno "machoni mwa Yahwe" ni picha kwa ajili ya uso wa Yahwe, "kile kilichokuwa sahihi katika Yahwe hukumu ya Mungu wake" au "kile Yahwe Mungu wake alichofikiria kuwa sahihi"
kama Daudi mzee wake alichokuwa amefanya
Daudi alifanya yaliyosahihi.
2 Kings 16:3-4
akatembea katika njia ya wafalme wa Israeli
Kutembea inawakilisha tabia na matendo. "Mfalme Ahazi alitenda kama ambavyo wafalme wa Israeli walivyotenda" au "alifanya mambo ambayo wafalme wa Israeli waliyoyafanya"
kufuatana na machukizo yafanywayo na mataifa
Hapa "kufuata" inawakilisha yale wengine wafanyayo. "kunakili mambo maovu ambayo mataifa mengine wamefanya"
mataifa
Neno "mataifa" linawakilisha watu wa mataifa mengine. Hapa inarejea kwa watu wa mataifa waliokuwa wakiishi katika hiyo nchi. "watu wa mataifa mengine"
ambayo Yahwe aliwafukuza
"Kuwafukuza" inaamanisha "kuwatoa kwa nguvu." "ambao Yahwe aliwalazimisha kuondoka"
mbele ya watu wa Israli
Watu wa hayo mataifa walikimbia kama watu wa Israeli walivyoondoka kwenye nchi. "mbele ya watu wa Israeli waliondoka kwenye nchi" au "kama watu wa Israeli walivyoondoka kwenye nchi"
mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi
Haya ni maeneo ambapo watu wa mataifa mengine walipoabudu miungu yao ya uongo.
chini ya kila mti mbichi
Mungu aliwataka watu wake kutoa sadaka kwake katika Yerusalimu. Neno "kila" hapa ni kutia chumvi kuonyesha jinsi Mfalme Ahazi alivyodhamiria kutokumtii Mungu kwa kutoa sadaka katika mahali pengine badala yake. "chini ya miti mingi mibichi" au "chini ya miti mingine izungukayo nchi"
2 Kings 16:5-6
Riseni ... Peka ... Remalia
Haya ni majina ya wanaume.
wakamzunguka Ahazi
Ahazi alikuwa Yerusalemu. Hapa "Ahazi" inamuwakilisha yeye mwenyewe na watu waliokuwa katika Yerusalemu pamoja naye. "waliuzunzunguka mji pamoja na Ahazi katika huo" au "walimzunguka Ahazi na wengine katika mji pamoja naye"
akamponya Elathi kwa Shamu
Hii inawakilisha kuchukua utawala wa Elathi ili kwamba uwe milki ya watu wa Shamu. "kuchukua utawla wa mji wa Eliathi"
Eliathi
Hili ni jina la mji.
kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi
"kuwalazimisha watu wa Yuda kuondoka Elathi"
2 Kings 16:7-9
Tiglath Pileseri
Katika 15:19 huyu mtu alikuwa anaitwa "Puli."
mimi ni mtumishi wako na mwanao
Kuwa mtumishi na mwana inawakilisha kutii mamlaka ya mtu. "nitakutii kana kwamba nilikuwa mtumishi wako au mwana wako"
kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru na kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Israeli
Mkono ni picha inayowakilisha uweza. "kutoka kwenye uweza wa mfalme wa Ashuru na kutoka kwenye uweza wa mfalme wa Israeli"
ambaye aliyenishambulia
Wafalme kumteka Ahazi inawakilisha maadui wa hao wafalme kunishambulia pamoja na maadui zao"
Mfalme wa Shamu akapanda juu Damaskasi
Neno "mfalme" linawakilisha mfalme na jeshi lake. "mfalme wa Ashuru na jeshi lake walipanda juu ya Damaskasi"
kuwabeba watu wake kama hata Kiri
Kuwabeba watu wake inawakilisha kuwalazimisha kwenda mbali. "kuwafanya watu wake wafungwa na kuwalazimisha kwenda Kiri"
Kiri
Hili ni jina la mji
2 Kings 16:10-12
mchoro kwa ustadi wote ulikuwa umehitajika
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "maelekezo yote jinsi ilivyohitajika kujengwa" au "maelekezo yote ambayo watenda kazi walihiji ili kuujenga"
2 Kings 16:13-14
Maelezo ya Jumla:
Hivi ndivyo Ahazi alifanya baada ya kurudi kutoka Damaskasi na kutembelea madhabahu mpya aliyokuwa ameagiza ijengwe.
Alitengeneza sadaka yake ya kuteketeza
"Mfalme Ahazi alitengeneza sadaka yake ya kuteketeza"
juu ya madhabahu
Hii inarejea kwa madhabahu ambayo Mfalme Ahazi aliyomwambia Uria kujenga.
Mdhabahu ya shaba iliyokuwa mbele ya Yahwe
Hii ilikuwa ambayo watu wa Israeli waliitengeneza siku za nyuma zilizopita kulingana na maelekezo ya Mungu.
Madhabahu ya shaba yaliyokuwa mbele ya Yahwe
Neno "mbele ya Yahwe" ni picha inayorejea sehemu ambayo Yahwe alionyesha utukufu wake wa nyuma. "Madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele ya hekalu"
kutoka mbele ya hekalu ... kutoka katikati ya madhabahu yake na hekalu la Yahwe
Haya maneno mawili yanaeleza madhabahu ya shaba ilipokuwa.
2 Kings 16:15-16
madhabahu kubwa
Hii inarejea kwa madhabahu ambayo Ahazi alimwambia Uria kuijenga.
sadaka ya kuteketeza ya mfalme na sadaka ya unga
Wakati Ahazi aliposema "mfalme" na "vyake," alikuwa akijirejea yeye mwenyewe. "sadaka yangu ya kuteketeza na sadaka yangu ya unga"
2 Kings 16:17-18
vitako vinavyobebeka
Hivi vitako vilikuwa magurudumu juu yao hivyo wangeweza kuvihamisha kuzunguka. "vitako vya kuhamisha" au "mikokoteni"
pia alichukua bahari
"Bahari" lilikuwa beseni kubwa au bakuli la maji ambalo lilitengenezwa kwa shaba. "pia aliondoa bakuli kubwa"
kwa sababu ya mfalme wa Ashuru
Kwa nini walifanya hivi inaweza kuwekwa wazi. "kumfurahisha mfalme wa Ashuru"
2 Kings 16:19-20
je hayajaandikwa ... Yuda?
Hili swali lilitumika pengine kuwajulisha au kuwakumbusha wasomaji ambao habari kuhusu Yothamu ipo katika hiki kitabu kingine. "yaliandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Yuda."
Ahazia akalala na wazee wake
Kulala inawakilisha kufa. "Ahazia akafa kama wazee wake walivyokufa" au "kama wazee wake, Ahazia alikufa"
na alizikwa pamoja nao
"na watu walimzika pamoja na wazee wake"
akawa mfalme katika mahali pake
Hili neno "katika mahali pake." "akawa mfalme badala ya Ahazi"
2 Kings 17
2 Kings 17:1-3
Hoshea mwana wa Elahi
Hoshea akawa mfalme wa ufalme wa kaskazini ya Israeli.
Elahi
Hili ni jina la mwanamume.
Alitawala Samaria
Samaria ilikuwa mji mkuu wa Israeli.
uovu katika uso wa Yahwe
Hakutii sheria za Yahwe kama alivyopewa na Musa. "Katika uso wa " ni mfano kwa ajili ya hukumu au maoni. "uovu kwa Yahwe"
Hoshea akawa mtumishi na kumletea kodi
Hoshea akafanya kama Mfalme wa Ashuru alivyomwamuru na kumletea pesa ili kwamba Mfalme asiiangamize Israeli.
Shalmanesa
Hili ni jina la mwanamume.
2 Kings 17:4-6
So
Hili ni jina la mwanamume.
mwaka kwa mwaka
"kila mwaka" (UDB)
akamfunga na kumfungia katika gereza
"kumuweka Hoshea katika gereza" (UDB)
kuizingira
kuweka majeshi kuzunguka mji kwa ajili ya kuulzimisha kujisalimisha
kuichukua Israeli kwenda Shuru
Jina "Israeli" ni mfano kwa ajili ya watu wanaoishi huko. "kuwachukua Waisraeli kwenda Ashuru" (UDB)
Hala ... Mto Habori ... Gozani
Haya ni majina ya maeneo.
Waamedi
Hili ni jina la kundi la watu.
2 Kings 17:7-8
Maelezo ya Jumla:
Maelezo ya kuacha mhutasari wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli.
Huu uhamisho
Hii inarejea kwa mateka wa Israeli na Waashuru.
mkono wa
"Mkono" ni picha ya utawala, malmlaka au nguvu. "utawala wa"
kutembea katika mazoezi
"Kutembea" ni picha ya njia au mfumo wa tabia watu hutumia katika maisha yao. "kufanya kazi"
2 Kings 17:9-10
Maelezo ya Jumla:
Hadithi inaendelea kufupishwa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli.
juu ya kila mlima mrefu na chini ya kila mti wa kijani
Huu ni ueneaji kuonyesha kwamba kuabudu miungu wa uongo ilienea. "juu ya milima mirefu na chini ya miti ya kijani kila mahali"
2 Kings 17:11-12
Maelezo ya Umla:
Hii hadithi inaendelea kufupishwa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli.
kufanya mambo maovu kuchochea hasira ya Yahwe
Njia ziwezekanazo kuonyesha hii: 1) "kufanya mambo mengi maovu yaliyomfanya Yahwe kuwa na hasira" (UDB) au 2) "kufanya mambo ya dhambi yaliyomfanya Yahwe kukasirika"
kuhusu zile Yahwe alizokuwa amewaambia
"kuhusu zile Yahwe alizokuwa amewaonya"
2 Kings 17:13
Maelezo ya Jumla:
Hadithi inaendelea kufupishwa huku ya Yahwe juu ya Israeli.
Yahwe alishuhudia ... kwa kila nabii
Yahwe alizungumza kupitia manabii.
Keuka kutoka njia zako mbaya
"Kuacha kufanya mambo maovu uliyokuwa ukiyafanya"
nakuletea watumishi wangu manabii
Manabii walitumwa na Yahwe kuwakumbusha watu wa sheria za Mungu na kuzitii.
2 Kings 17:14-15
Maelezo ya Jumla:
Muhtasari wa hukumu wa Yahwe juu ya Israeli unaendelea.
walikuwa wakaidi
Hawakuwa tayari kufuata sheria za Mungu na kumtegemea Yahwe kama Mungu wao.
walikataa maagizo yake
Walikataa kutii shiria za Yahwe.
Walifuata mambo yasiyofaa
Walifuata mambo ya watu waliowazunguka.
kutokufuatisha
"kutonakili"
2 Kings 17:16-18
Maelezo ya Jumla:
Muhtasari wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli unaenedelea.
sanamu za kusubu
Sanamu za kusubu ni vitu vilivyotengenezwa kwa kuchemsha chuma kuwa umbo (au finyanga) kutengeneza umbo.
uchawi
"uchawi" (UDB)
wakajiuza wenyewe kufanya yale ambayo yalikuwa maovu usoni pa Yahwe
"Kujiuza wenyewe" ni picha kwa ajili ya kufanya kabisa kufanya yale yaliyo maovu. "kufanya wenyewe kufanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa maovu"
kuwaondoa usoni mwake
"Uso" ni picha ya kuwa ndani uangalifu wa Yahwe hivyo hawajali tena. "kuwaondoa kutoka kwenye uangalizi wake"
2 Kings 17:19-20
Maelzo ya Jumla:
Mhutasari wa huku ya Yahwe unaendelea juu ya Israeli pamoja na jinsi Yuda alivyojisikia kwenye kuabudu sanamu.
Yuda
Mahali "Yuda" ni picha kwa ajili ya watu waishio huko. "watu wa Yuda"
aliwatesa
"Yahwe aliwaadibu Waisraeli"
kuwatia kwenye mkono wa wale wenye kuwateka nyara
"Mkono" ni picha ya kwa ajili ya utawala, nguvu au mamlaka. "kuwapeleka juu ya wale walio waibia mali zao"
hadi atakapokuwa amewatupa usoni mwake
"uso wake" ni picha kwa ajili ya umakini na kujali.
2 Kings 17:21-23
Maelezo ya Jumla:
Sabau ya hukumu ya Yahwe juu ya Israeli kuendelea kuhusiana na historia nyuma yake.
Akawatoa
"Akawatoa" ni picha ya kuwatoa kwa kikatili. "Yahwe aliwatoa watu wa Israeli"
kutoka kwenye ukoo wa kifalme wa Daudi
"kutoka kwenye uzao wa Daudi" (UDB)
akawapeleka Israeli mbali na kumfuata Yahwe
"aliwageuza watu wa Israeli mbali na kumfuata Yahwe"
hawakujiepusha nazo
"Waisraeli hawakuacha kufanya hizi dhambi" au "Hawakugeuka kutoka kwenye hizo dhambo" (UDB)
basi Yahwe akawaondoa Israeli kutoka usoni mwake
"Uso" ni picha ya umakini na kujali. "Basi Yahwe aliwaondoa watu wa Israeli kutoka kwenye uangalifu wake na utunzaji"
2 Kings 17:24-26
Maelezo ya Jumla:
Hukumu ya Yahwe inaendelea juu ya wenyeji wa Waashuru mpya waliozoea dini zao za kipagani.
Kuthi ... Ava ... Hamathi ... Sefarvaimu
Hizi ni sehemu katika ufalme wa Kiashuru.
Ilitokea mwanzoni mwa makazi yao huko
"Wakati hao watu walipoishi kwa mara ya kwamnza huko"
Mataifa uliyoyachukua na kuyaweka katika miji ya Samaria
"Watu uliowaondoa kutoka nchi nyingine na kuwapeleka kuishi katika miji ya Samaria"
hawakujua yale mambo waliyokuwa wanatakiwa kuyafanya kwa mungu wa nchi
"hawakujua jinsi ya kumwabudu Mungu ambaye aliyeabudiwa na Waisraeli katika hii nchi" (UDB)
2 Kings 17:27-28
Mchukueni mmoja wa makuhani hapo ambaye mmemleta kutoka huko
"Mchukueni mmoja wa makuhani kutoka Samaria aliyebaki huko,"
na kumruhusu awafundishe
"na kumruhusu kuhani Msamaria kuwafundisha watu wanaoishi huko sasa"
2 Kings 17:29-31
Sakoth Benithi ... Nergali ... Ashma ... Nibhazi ... Tartaki ... Adrameleki ... Anameleki
Haya ni majina ya miungu, wote wakiume na wakike.
Kuthahi ... Hamathi
Haya ni majina ya mahali.
Waavi ... Sefarvaimu
Haya ni majina ya makundi ya watu.
wakawachoma watoto wao katika moto
"wakawatoa dhabihu watoto wao wenyewe" (UDB) au (wakawachoma watoto wao katika moto kama dhabihu"
2 Kings 17:32-33
Wao
Hii inawahusu watu wapagani ambao mfalme wa Ashuru aliwahamisha kwenda miji ya Samaria.
2 Kings 17:34-35
wameshikilia tamaduni zao
"waliendelea katika tabia zao zile zile kama zamani."
Wala hawamwogopi Yahwe
Watu walivutiwa na kumpendeza Yahwe pekee. Wala hawakuwa na shauku wala kutokuwa makini Yahwe alikuwa na shauku katika mahusiano nao.
2 Kings 17:36-38
Maelezo ya Jumla:
Ufupisho unaelekea mbele mwishoni pamoja kwa muomba Yahwe pekee.
pamoja na nguvu kubwa na mkono ulionyooshwa
Neno "mkono ulionyooshwa" ni picha ya kuonyesha nguvu na kumaanisha kimsingi jambo moja kama "nguvu kubwa." pamoja na nguvu kubwa" (UDB)
kuzishika
"kuzitii"
2 Kings 17:39-41
Maelezo ya Jumla:
Ufupisho sasa unaishia na ombi kumwabudu Yahwe pekee na maelezo ya dhambi za watu.
Hawatasikiliza
"Sikiliza" ni picha ya kuvuta usikivu na kutenda juu ya amri. "Hawakutii"
haya mataifa yalimwogopa Yahwe
Haya mataifa yalimwogopa Yahwe pekee kuelekea kumpendeza vile vile kama walivyoitenda miungu yao.
hata leo
"Siku hi" ni picha kwa ya kipindi ambacho mwandishi alichoishi.
2 Kings 18
2 Kings 18:1-3
Maelezo ya Jumla:
Hezekia akawa mfalme juu ya Yuda katika sehemu ya baba yake Mfalme Ahazi.
Hoshea ... Ela ... Zekaria
Haya ni majina ya wanaume.
Abija
Hili ni jina la mwanamke.
Alifanya yale yaliyo sahihi usoni mwa Yahwe
"Katika macho" ni mfano wa umakini wa Yahwe na kujali. "Mfalme Hezekia alifanya yale yaliyokuwa sahihi mbele ya Yahwe" au "Hezekia alifanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa sahihi"
2 Kings 18:4-5
Maelezo ya Jumla:
Hadithi ya utawala wa Mfalme Hezekia inaendelea.
Aliziondoa mahali za juu, akaiharibu nguzo ya jiwe, akaikata hiyo nguzo ya Ashera
"Hezekia aliziondoa mahali za juu za kuabudu, akaziangusha kuwa vipande vipande mawe ya kumbukumbu, na kuzikata nguzo za miti za Ashera"
Nehushtani
"Sanamu ya Joka la shaba"
2 Kings 18:6-8
Maelezo ya Jumla:
Hadithi ya utawala wa Mfalme Hezekia inaendelea.
alishikamana na Yahwe
Ku "ambatana na Yahwe" ni picha ya kusema uaminifu na kuambatana. "Hezekia alikuwa mwaminifu kwa Yahwe" au "Hezekia alibaki mwaminifu kwa Yahwe"
na popote alipoenda alifanikiwa
"na popote Hezekia alipoenda alifanikiwa."
mji imara
mji wenye ukuta uliouzunguka
2 Kings 18:9-10
Hoshea ... Ela ... Shalmanesa
Haya ni majina ya wanaume.
2 Kings 18:11-12
Hala ... Mto Habori ... Gozani
Haya ni majina ya mahali.
Wamedi
Hili ni jina la kundi la watu.
Basi mfalme wa Ashuru akawachukua Israeli kwenda Ashuru
"Hivyo mfalme wa Ashuru aliliamuru jeshi lake kuwachukua Waisraeli mbali kutoka nyumba zao, na kuwafanya waishi Ashuru"
sauti ya Yahwe
"Sauti" ni picha ya ujumbe kuhusu amri ya Yahwe. "amri ya Yahwe"
2 Kings 18:13-15
Senakerebu
Hili ni jina la mtu.
Lakishi
Hili ni jina la mji.
mji imara
Mji wenye kuta zilizoizunguka kwa ajili ya ulinzi.
Nichukue
Haya maelezo yasadiki kwamba "mimi" inawakilisha ufalme wa Hezekia. "Chukua jeshi lako nje ya eneo langu"
Popote utakaponiweka nitavumulia
"nitakulipa popote utakaponitaka"
talanta
Hili ni jina la aina ya uzito ambao ulitumika kwa ajili ya pesa.
hazina
Hapa palikuwa mahali katika mahali ambapo pesa na vitu vya thamani vilihifadhiwa.
2 Kings 18:16-18
mfalme wa Ashuru akalihamasisha jeshi lake kubwa, akawatuma Tartani na Rabsarisi na amiri jeshi mkuu
Senakeribu alipeleka kundi la watu kutoka jeshi lake kwenda Yerusalemu kuonana pamoja na Mfalme Hezekia, pamoja na maafisa waitwao Tartani na Robsarisi.
Tartani ... Rabsarisi
Baadhi ya Biblia zinatafsiri haya kama majina pekee. Matoleo mengine ya Biblia yanayatafsiri kama vyeo. "Tartani ... Rabsarisi" au "kiongozi wa askari ...afisa wa mahakama"
Lakishi
Hili ni jina la mji.
mfereji wa bwawa la juu
mfeji ambapo maji yalihifadhiwa katika "bwawa la juu" ububujikao kwenda mji wa Yerusalemu
kusimama huko
"na kumsubiri mfalme Ahazi huko kuonana nao"
Eliakimu ... Hilkia ... Shebna ... Joa ... Asafu
Haya ni majina ya watu.
2 Kings 18:19-21
Maelezo ya Jumla:
Rabshake anaendelea kusikiliza ujumbe kutoka mfalme wa Ashuru kwa watu wa Mfalme Hezekia.
Nini chanzo cha ujasiri wako? Sasa unamtumainia nani? Nani anakupa ujasiri wa kuasi dhidi yangu?
Mfalme wa Ashuru (kupitia mjumbe wake Rabshake) hajauliza haya maswali kutafuta majibu, lakini kutaka kumfanya shaka ya Mfalme Hezekia mwenyewe na msaada wa Misri. "Usimwamini kila mtu yeyote. Ulikuwa mjinga kuasi juu yangu."
kutembelea fimbo ya mwanzi huu uliopondeka wa Misri
Mfalme wa Ashuru analinganisha Misri kutembelea fimbo, unatajia hiyo itakusaidia wakati unapoiengemea, lakini badala yake itavunjika na kukukata. "msaada dhaifu kutoka Misri"
lakini kama mtu ... na kumtoboa
huyu mnenaji anaeneza picha kwa kueleza kilichotokea mwanzi unapotumika kama msaada. "lakini kama mtu atumiapo hii kwa ajili ya msaada, atajeruhiwa"
2 Kings 18:22-23
Maelezo ya Jumla:
Rabshake anaendelea kueleza ujumbe kutoka kwa watu wa mfalme wa Ashuru.
si yeye ambaye mahali pa juu ... Yerusalemu
Hili swali linasadiki wasikilizaji wanajua jibu na limetumika kwa ajili ya kusisitiza.
2 Kings 18:24-25
Maelezo ya Jumla:
Rabshake anaendelea kusema ujumbe kutoka kwa mfalme wa Ashuru kwa watu wa Mfalme Hezekia.
Wanawezaje kumpinga hata nahodha mmoja wa watumishi walio wadogo?
Aliuliza hili swali kusisitiza kwamba jeshi la Hezekia halina rasilimali kupigana' "usingelishinda kundi la maaskari walioamriwa na afisa wake mdogo."
Je nimesafiri kwenda huko juu bila Yahwe kupapigania hapa mahali na kupaharibu?
Anauliza hili swali kusisitiza kwamba Yahwe yu nyuma ya rasilimali zake kutii amri kuiangamiza Israeli. "Yahwe mwenyewe alituambia kuja hapa na kuiangamiza hii nchi!"
2 Kings 18:26-27
Eliakimu ... Hilkia ... Shebna ... Joa
Haya ni majina ya wanaume
katika masikio ya watu walio juu ya ukuta
"Katika maskio" ni picha ya kuweza kusikiliza. "kwa sababu watu wamesimama juu ya ukuta wataisikia na kuogopa"
Je bwana wangu amenituma kwa bwana wako na kuwachukua kuongea haya maneno? Je hajanituma kwa hawa watu ambao wameketi kwenye ukuta, ambao watakula kinyesi chao na kunywa mkojo wao wenyewe?
Anauliza haya maswali kuwahakikishia wasomaji kujua majibu kusisitiza kusudi lao kuwaangamiza na kuwadhililisha viongozi na watu wa Yerusalemu.
2 Kings 18:28-30
kutoka nguvu yangu
"nguvu yangu" ni picha ya uwezo wa mfalme mwenyewe. "kutoka kwangu" au "kutoka kwenye nguvu ya jeshi langu"
huu mji hautawekwa kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru
Yahwe hatamruhusu mfalme wa jeshi Ashuru kuuchukua huu mji"
mkono
"mkono" ni ishara ya utawala, mamlaka na nguvu.
2 Kings 18:31-32
Fanyeni amani pamoja nami na njooni kwangu
"Tokeni kwenye mji na jisalimisheni kwangu" (UDB) au "Fanyeni makubaliano pamoja nami kujisalimisha, na tokeni kwenye mji mje kwangu"
mzabibu wake mwenyewe ... mti wake mwenyewe wa mtini ... birika lake mwenyewe
Hivi vyanzo vya chakula na maji ni picha ya ulinzi na wingi. Hii pia ilikuwa kawaida ya kueleza hili wazo.
nchi ya nafaka na divai yetu ... mkate na mashamba ya mizabibu ... na miti ya mizaituni na asali
Huu ni mfano wa vitu vizuri na wingi kila siku.
2 Kings 18:33-35
Maelezo ya Jumla:
Rabshake anaendelea kueleza ujumbe kutoka kwa mfalme wa Ashuru kwa watu Mfalme Hezekia.
Je miungu yoyote ... Ashuru?
Je miungu yoyote ... Ashuru? Anazungumza hili swali kusisitiza kwa sababu wanajua majibu. "Hakuna miungu ya watu iliyowaokoa ... Ashuru."
Iko wapi miungu ya ... Arpadi?
Anauliza hili swali kwa msisitizo kwa sababu wanajua majibu. "nimeiharibu miungu ya ... Arpadi"
Hamathi ... Arpadi ... Sefarvaimu ... Hena ... Iva ... Samaria
Haya ni majina ya mahali yanayowakilisha watu wanaoishi huko.
kutoka mkono wangu
"mkono" ni picha ya utawala, nguvu, au mamlaka. "nje ya utawala wangu"
je kuna mungu aliyeiokoa nchi yake kutoka nguvu yangu."
Anauliza hili swali kwa ajili ya kusisitiza kwa sababu wanajua majibu. "Hakuna mungu aliyeiokoa yake kutoka uweza wangu."
kutoka uweza wangu
"Uweza wangu" ni picha ya mtu anayeishilia. "kutoka kwangu"
Inawezekanaje Yahwe akaiokoa Yerusalemu kutoka kwenye uwezo wangu?"
Anazungumzia hili swali kwa ajili kusisitiza kwa sababu wanalijua jibu. "Hakuna njia Yahwe anaweza kuiokoa Yerusalemu kutoka uweza wangu!"
2 Kings 18:36-37
Eliakimi ... Shebna ... Joa ... Asafa
Haya ni majina ya wanaume.
ambaye alikuwa juu ya nyumba ya mfalme
"aliyeisimamia nyumba ya mfalme"
mtunza kumbu kumbu
"mtunza hadithi"
kamanda mkuu
ni tafsiri ya Kiebrania; wengine wanaiona hii kama jina la mtu, "Rabshake"
2 Kings 19
2 Kings 19:1-2
nyumba ya Yahwe
Hii ni njia nyingine ya kusema "hekalu la Yahwe."
Eliakimu ... Shebna ... Isaya ... Amozi
Haya ni majina ya wanaume.
Alimtuma Eliakimu
"Hezekia alimtuma Eliakimu"
wote walikuwa wamefunikwa na nguo za magunia
"wote waliovaa nguo za magunia"
2 Kings 19:3-4
siku hii ni siku ya mateso
Hapa "siku" ni neno lenye maana sawa na mda. "Huu ni wakati wa dhiki"
wakati umewadia watoto kuzaliwa, lakini hakuna nguvu ili wazaliwe
Hii ni picha ya kuelezea jinsi watu na viongozi wao wamekuwa wadhaifu na kutoweza kupigana na adui.
maneno yote
"Maneno" ni neno lenye maana sawa na ule ujumbe wa maneno.
inua maombi yako juu
Hii ni njia ya kawaida (neno) kutumia tendo la kuinua picha ya kuwakilisha maombi kwa bidii kwa Yahwe ambaye yuko juu yetu. "omba kwa bidii"
2 Kings 19:5-7
nitaweka roho ndani yake, na yamkini atasikia taarifa na kurudi kwenye nchi yake mwenyewe
"Nitatawala mtazamo wa mfalme wa Ashuru, hivyo wakati asikiapo taarifa, atataka kurudi kwenye nchi yake mwenyewe"
nitaweka roho katika yeye
Hapa "roho" huenda linarejea kwa mtazamo wake na mawazo, kuliko kuliko ukiroho. "nitashawishi kufikiri kwake" au "nitamfanya kufikiria tofauti"
nitamfanya afe kwa upanga
"Kuanguka kwa upanga" ni picha ya kuuawa. "nitamfanya afe kwa upanga" au "nitawafanya watu wamuue kwa upanga"
2 Kings 19:8-9
kamanda mkuu
"afisa kutoka Ashuru msimamizi chini ya mfalme"
kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana
"aligundua kwamba jeshi la Ashuru lilikuwa likipigana"
Libna ... Lakishi
Majina ya miji katika ufalme wa Yuda.
Senakeribu ... Tirhaka
Haya ni majina ya wanaume.
alihamasisha kupigana dhidi
"aliliandaa jeshi lake kupigana dhidi ya Ashuru"
hivyo akamtuma
"hivyo Senakeribu aliwatuma"
ujumbe
Huu ujumbe uliandikwa katika barua.
2 Kings 19:10-11
Maelezo ya Jumla:
Huu ni ujumbe ambao Mfalme Senakaribu wa Ashuru aliutuma kwa Mfalme Hezekia.
Asikudanganye Mungu wako unayemwamini, kusema
"Usimwamini Mungu wako unayemwamini. Anadanganya wakati asemapo"
mkono wa mfalme wa Ashuru
"mkono" ni picha ya utawala, mamlaka au nguvu. "utawala wa serikali ya Ashuru"
Ona, umesikia
"Tazama, umesikia" au "Yamkini umesikia" (UDB). Hapa "ona" ilitumika kuleta usikivu kwa kile alichokuwa anataka kukisema.
Kwa hiyo je utaokoka?
Senakaribu alitumia hili swali kusisitiza kwamba Mungu hataweza kuwaokoa. "Mungu wako hatakuokoa" au "Hutaweza kukimbia popote"
2 Kings 19:12-13
Maelezo ya Jumla:
Ujumbe wa falme Senakaribu kwa Mfalme Ahazi unaendelea.
miungu wa mataifa wamewaokoa
Hili swali linaonyesha Hezekia anajua jibu na kupatia msisitizo. "miungu wa mataifa hawakuwaokoa bila shaka"
baba zangu
"wafalme wa Ashuru aliyepita" au "majeshi yaliyopita ya wafalme wa Ashuru" (UDB)
Gozani ... Harani ... Resefu ... Edeni ... Telasar ...Hamathi ... Arpadi ... Sefarvaimu ... Hena ... Iva
Haya yote ni majina ya mahali.
2 Kings 19:14-15
hii barua
Hii inarejea kwa barua ambayo Mfalme senakeribu wa Ashuru aliituma kwa Hezekia.
2 Kings 19:16-18
Maelezo ya Jumla:
Mfalme Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe baada ya kupokea barua kutoka kwa Mfalme Senakeribu wa Ashuru.
Tega sikio lako, Yahwe, na usikie. Fungua macho yako, Yahwe, na tazama
Sentensi hizi zote zinamsihi Yahwe kuvuta usikivu kwa vitu ambavyo Senakaribu anasema.
Tega sikio lako, Yahwe, na usikie
Maneno "Tega sikio lako" na "sikia" vinamaanisha kitu kimoja ni yanaongeza msisitizo kwenye maombi. "Yahwe, tafadhali sikiliza anachokisema."
Fungua macho yako, Yahwe, na ona
Maneno "Fungua macho yako" na "ona" yanamaanisha kitu kimoja na kuongeza msisitizo kwenye maombi. "Yahwe, tafadhali kuwa makini kwa kile kinachotokea."
Wameweka miungu yao kwenye moto
Wafalme wa Ashuru wamewachoma miungu ya mataifa mengine.
Waashuru wamewaangamiza
Waashuru wameiangamiza miungu yote ya mataifa na mataifa.
2 Kings 19:19
Maelezo ya Jumla:
Mfalme Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe baada ya kupokea barua kutoka kwa Mfalme Senakeribu wa Ashuru.
nakusihi
"nakuomba,"
kutoka kwenye nguvu yake
"kutoka kwenye nguvu ya Mfalme wa Ashuru" (UDB) au "kutoka kwenye majeshi ya Mfalme wa Ashuru."
2 Kings 19:20-22
Bikira binti Sayuni
"Bikira binti Sayuni ni picha ya watu wa Yerusalemu kana kwamba ni wadogo, mahiri na mzuri. "Watu wazuri wa Yerusalemu" Neno "binti" lilitumika kumpatia mtu tabia kwenye mji na baadhi ya waandishi wa kibiblia.
Bikira binti Sayuni amekudharau na kukucheka kwa dharau. Binti wa Yerusalemu akatikisa kichwa juu yako
Sentensi hizi zote zinakusudia kutoa maana moja.
Binti wa Yerusalemu
"Binti" ni picha ya watu wa Yerusalemu. "Watu wa mji wa Yerusalemu"
akatikisa kichwa juu yako
Hili tendo ni picha ya kuwakilisha dharau kwenye kuburi cha Waashuru.
kuinua macho yako katika majivuno
Inua macho yako katika majivuno" ni ishara ya mwenyeh kiburi au kuonyesha uso wa kiburi.
Mtakatifu wa Israeli
Msemo wa Mungu wa Israeli, Yahwe.
2 Kings 19:23-24
Maelezo ya Jumla:
Hii inaendeleza ujumbe kutoka kwa Yahwe uliotolewa kwa Isaya, nabii, kwa Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senakeribu.
mmemnajisi Yahwe
Ku "asi" ni kukataa kwa uwazi au dhihaka.
nimepanda ... nitaangusha chini ... nitaingia
Haya majivuno yalifanywa na Senakeribu yangeweza kukamilishwa na jeshi lake.
Nimekausha mito yote ya Misri chini ya soli ya miguu yangu
"Na kwa kutembea kupitia kijito cha Misri, tumevikausha vyote!"
2 Kings 19:25-26
Maelezo ya Jumla:
Hii inaendeleza ujumbe wa Yahwe, uliotolewa kwa Isaya, nabii, kwa ajili ya Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senakeribu.
hukusikia jinsi ... zamani?
Kufanya hatua imara hili swali linasadiki msikilizaji kujua jibu. "Hakika unajua jinsi ... zamani."
miji isiyoingilika
"miji ambayo haiwezi kunyakuliwa" au "miji iliyzizunguka kuta ndefu" (UDB)
mimea katika shamba, majani ya kijani
Hii picha inalinganisha majanga dhaifu ya Ashuru mimea dhaifu kuendelea. "kama mimea dhaifu na majani katika shamba" (UDB)
majani juu kwenye dari au kwenye shamba, lililochomwa kabla halijakua
Hii inaendeleza kulinganisha picha ya waathiriwa dhaifu wa Ashuru.
2 Kings 19:27-28
Maelezo ya Jumla:
Hii inaendeleza ujumbe kutoka kwa Yahwe, uliotoklewa kwa Isaya, nabii, kwa Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senekeribu.
kuyafikia masikio yangu
"hasira yako inapiga kelele kuhusu mimi,"
kwa sababu kiburi chako kimeyafikia masikio yako
"Masikio" ni picha ya kusikiliza au kusikia. "kwa sababu nimesikia maneno yako ya majivuno,"
Nitaweka kulabu yangu kwenye pua yako, na hatamu yangu kwenye mdomo wako
"Kulabu" na "hatamu" (kuongoza farasi) ni picha ya utawala kwa ajili ya Yahwe wa Senakeribu. "Nitakutawala kama mnyama."
nitakurudisha nyuma kwa njia iliyoijia
Kwamba Senakeribu atarudi nyumbani kabla hajaweza kuishinda Yerusalemu inaweza kuwekwa wazi. "Nitakufanya kurudi katika nchi yako mwenyewe kama ulivyokuja, bila kuishinda Yerusalemu."
2 Kings 19:29-31
Maelezo ya Jumla:
Hapa Isaya anaongea na Mfalme Hezekia. Anaendelea kutumia msambamba wowote.
viotavyo porini
"viotavyo bila kupandandwa,"
Mabaki ya nyumba ya Yuda ambayo yataokoka yatachukua tena mizizi na kuzaa matunda
"Watu wa Yuda waliosalia hai watafufuliwa uzima wao na ustawi."
Wivu wa Yahwe wa majeshi utafanya hivyo
"Tendo thabiti la Yahwe litafanya hii itokee."
2 Kings 19:32-34
Maelezo ya Jumla:
Huu ndio mwisho wa ujumbe kutoka kwa Yahwe, uliozungumzwa kupitia nabii Isaya kwa Mfalme Hezekia.
wala kupiga mshale hapa
"Mshale" ni picha ya kuwakilisha vifaa vyote vya kivita na uharibifu.
au kujenga boma dhidi yake
"na wala hawatajenga matuta marefu ya dunia dhidi ya ukuta kuwawezesha kuuteka mji." (UDB)
Hivi ndivyo asemavyo Yahwe
Kwa Yahwe ku "sema" ni ahadi ya Yahwe kuahidi agano au kufanya kile alichokisema atafanya.
kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu
"kwa ajili yangu mwenyewe na kwa sababu ya kile nilichokiahidi kwa Mfalme Daudi, aliyeniokoa vema." (UDB)
2 Kings 19:35-37
Ikawa kuhusu
"Ilitokea"
Wakati watu walipoamka
"wakati watu waliokuwa wameachwa hai walipoamka asubuhi iliyofuata"
Nisroki ... Adramaleki ... Shareza ... Esarhodani
Haya ni majina ya kiume.
2 Kings 20
2 Kings 20:1-3
Weka nyumba yako katika mpangilio
"Nyumba" ni picha kwa kile kilichokuwa chini ya utawala wa Hezekia. "Toa maelezo ya mwisho kwa wafanyakazi wako na serikali"
kukumbuka
Hii ni njia ya kawaida ya kuzungumza, lugha, kumsihi Yahwe kukumbuka. "kumbuka"
tembea
"tembea" ni ishara ya mwenedo wa maisha.
nzuri usoni mwako
Hapa uso unawakilisha hukumu au tathmini. "katika hukumu yako"
2 Kings 20:4-5
neno la Yahwe likaja
"Neno" ni picha ya ujumbe wa Yahwe uliofunuliwa kwa Isaya. Hii ni njia ya kawaida ya kuongea, lugha. "Yahwe alizungumza neno lake"
Nimesikia maombi yako, na nimeyaonamachozi yako
Sehemu ya pili inaimarisha sehemu ya kwanza kufanya ujumbe mmoja kwa kutumia usambamba. "Nimesikia maombi yako na kuona machozi yako."
siku ya tatu
"siku mbili kutoka sasa" (UDB) Siku Isaya aliposema hii ilikuwa siku ya kwanza, hivyo "siku ya tatu" ingekuwa sawa na "siku mbili kutoka sas."
2 Kings 20:6-7
Maelezo ya Jumla:
Ujumbe kutoka kwa Yahwe kwa Mfalme Hezekia kupitia nabii Isaya unaendelea.
Miaka kumi na tano
miaka 15
kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru
"Mkono" ni ishara ya nguvu, mamlaka na amri. "kutoka kwa amri ya mfalme wa Ashuru"
mkate wa tini
"gundi iliyotengenezwa na tini iliyochemshwa
Walifanya hivyo na kuiweka juu ya jipu lake
"Watumishi wa Hezekia walifanya hivyo na kuweka ile gundi kwenye uvimbe wa Hezekia"
2 Kings 20:8-9
Je kivuli kitaenda mbele ngazi saba, au kurudi nyuma hatua saba?"
Chanzo cha kivuli kiendapo mbele hatua kumi, au kirudipo hatua kumi?"
ngazi saba
Haya maelezo yanarejea kwa Ahazi "ngazi za Ahazi" katika 20:10. Hii ilikuwa ni kama ngazi maalumu zilizojengwa kwa ajili ya Mfalme Ahazi katika njia hii kwamba ngazi zake ziliweka alama za masaa kuwa wakati jua lichomoapo kuendelea karibu nao. Kwa njia hii, ngazi zinahumu kueleza muda wakati wa mchana.
2 Kings 20:10-11
Ni kitu chepesi kwa kivuli kwenda mbele hatua kumi
Kwa nini "ni kitu rahisi" kinaweza kuanza wazi. "Ni rahisi kusababisha kivuli kwenda mbele hatua kumi, kwa sababu hicho ni kitu cha kawaida kufanya"
ngazi za Ahazi
Hii ilikuwa ni kama ngazi ya pekee ilijengwa kwa ajili ya Mfalme Ahazi.
2 Kings 20:12-13
Merodaki Baladani ... Baladani
Haya ni majina ya mfalme wa Babeli na wana wake.
zisikilize hizo barua
1) "kwa umakini fikiria hizo barua" au 2) "sikia ujumbe kutoka kwa mfalme wa Babeli"
Hapakuwa na kitu ... ambacho Hezekia hakuwaonyesha
"Hakuna" na "hapana" kushauriana kila mmoja kufanya wazo chanya.
2 Kings 20:14-15
hawa watu
Hii inarejea kwa watu waliotumwa kwa Mfalme Hezekia pamoja na ujumbe na zawadi kutoka Berodaki Baladani.
Wameona kila kitu kwenye nyumba yangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha
Hezekia anatubu katika wazo hilo hilo katika njia mbili kusisitiza hatua yake.
Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha
"Hakuna jambo" na "hakuna" shauriana wenyewe kwa wenyewe nje kufanya wazo chanya. Huu ubaguzi umetumika kwa ajili ya kusisitiza. "Nimewaonyesha hasa kila mmoja vitu vyangu vya thamani"
2 Kings 20:16-18
Hivyo Isaya akamwambia Hezekia
Kwa nini usemi wa Isaya unaweza kuwa wazi. "Hivyo kwa sababu Isaya alimfahamu Hezekia alivyokuwa mpumbavu kuwaonyesha watu vitu vyake vyote vya thamani, Isaya alimwambia"
neno la Yahwe
"Neno" ni picha kwa ajili ya ujumbe ambao una neno ndani yake. "ujumbe wa Yahwe"
Tazama, siku zinakaribia kuja wakati
"Nisikilize, siku yaja kutakuwa wakati"; "Tazama" imetumika kuleta umakini kwa kile Isaya anachotaka kumwambia Hezekia.
siku
"Siku" inatumika kurejea shubiri isiyoelezeka.
2 Kings 20:19-21
kwa kuwa alifikiri
"Kwa sababu Hezekia alifikiri"
je hakutakuwa na amani na utahbiti huko katika siku zangu?
Hezekia anauliza hili swali kwa kusisitiza kujua jibu tayari. "Ninaweza kuwa na uhakika kwamba kutakuwa na amani na thabiti katika siku zangu."
bwawa
Eneo dogo litunzalo maji
mfereji
Njia ya kubebea maji
je yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Yuda?
Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji haya mambo hameandikwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia cha Wafalme wa Yuda."
2 Kings 21
2 Kings 21:1-3
Hefziba
Mama wa Mfalme Manase
yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
"uove" "mambo ambay ... mabay." Hapa "uso" wa Yahwe unajea vile uhukumuvyo au kuamua juu ya mambo.
kama mambo ya machukizo
maana nyingine iwezekanayo ni "pamoja na mambo ya machukizo."
akaijenga tena
Manase akaijenga tena"
2 Kings 21:4-6
Maelezo ya Jumla:
Hadithi ya utawala wa Mfalme Manase inaendelea.
Jina langu ndipo litakuwa Yerusalemu milele
Jina ni picha kwa ajili ya mtu. "Yerusalemu ndipo nitalifanya jina langu lijulikane mimi ni nani."
akajenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya Yahwe
Inaonekana kwamba, alijenga haya madhabahu ili watu waweze kufanya dhabihu na kuabudu nyota. "alijenga nyota kwenye nyua mbili za nyumba mbili za Yahwe ili kwamba watu waweze kuziabudu nyota na kuzitolea dhabihu"
Alimuweka mtoto wake kwenye moto
Unaweza kuweka wazi kwa nini alimuweka mtoto wake kwenye moto na nini kilitokea baada ya kufanya hivyo. "Alimchoma mwanae kwenye oto hadi kufa kama sadaka kwa miungu wake."
kutaka shauri
"tafuta habari kutoka"
uovu usoni mwa Yahwe
"uovu" "mambo ambayo ..." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea au kuamua juu ya thamani ya jambo.
2 Kings 21:7-9
Maelezo ya Jumla:
Hadithi ya utawala wa Mfalme inaendelea.
ambayo aliitengeneza
Manase ni kama hakufanya kazi. Watumishi wake walimaliza kufanya kazi. "ambayo Manase aliagiza watenda kazi wake waifanye"
ambako nitaliweka jina langu milele
"ambako nataka watu wangu waniabudu milele"
miguu ya Israeli
Miguu ni mfani wa kwenye Biblia kwa ajili ya mtu, na jina la kundi la watu ni mfano wa watu wenyewe. "Waisraeli"
hata zaidi kuliko yale ya mataifa ambayo Yahwe aliyaharibu mbele ya watu wa Israeli
Hapa "mataifa" inawarejea watu ambao waliishi katika ya "Kanaanani" kabla ya Waisraeli hawajafika. "hata zaidi ya watu ambao Yahwe aliwaangamiza kama watu wa Israeli kuendelea kwenye nchi"
2 Kings 21:10-12
sanamu," kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asema, "Tazama
Tafsiri hii inaeleweka maneno "kwa hiyo ... asema" manabii wanaotarajiwa. Maana nyingine iwezekanayo ni kwamba Yahwe anarejea kwake mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine: "sanamu. Kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israli, asema, 'Tazama ... ona."
kila alisikiaye, masikio yake yote yatang'aa
Hisia halisi ni ishara kwa ajili ya mhemko wa hisiaambao unaoisababisha. "wale wasikiao kile Yahwe afanyacho, kitashtusha."
2 Kings 21:13-15
nitanyoosha juu ya Yerusalemu kipimo kilichotumika dhidi ya Samaria, na kuangusha msatari utakaotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu
Maneno "kipimo cha mstari" na "kuunganisha mstari" ni picha kwa ajili ya kiwango cha Yhwe atumiacho kuwahukumu watu. "hukumu Yerusalemu kutumia kipimo kile kile ni nilichotumia wakati nilipoihumu Samaria na nyumba ya Ahabu"
juu ya Samaria
Samaria ni mji mkuu na inawakilisha watu wote wa ufalme wa Israeli"
kipimo cha mstari
ni kifaa chenye uzito mkubwa na kamba nyembamba kitutumikacho kuonyesha kama ukuta umenyooka
nyumba ya Ahabu
Hapa "nyumba" inawakilisha familia. "familia ya Ahabu"
Nitatupa
"nitakataa"
wapatia kwenye mkono wa maadui zao
"acha maadui zao wawashinde na kuchukua nchi yao"
2 Kings 21:16-18
Aidha
"Vile vile" au "Kwa kuongeza"
Manase akazimwaga damu nyingi za wasio na hatia
Maneno "kumwaga damu nyingi" ni picha ya ya kuua watu kwa nguvu. "Manase aliagiza maaskari wake kuwaua watu wengi wasiokuwa na hatia"
alipoijaza Yerusalemu kutoka upande huu kwenda mwingine kwa kifo
Hii mbalagha inaweka msisitizo namba kubwa ya watu Manase aliwauwa popote Yerusalemu. "kifo" kinaweza kuelezwa kama "watu waliokufa"." "kulikuwa na watu wengi waliokufa Yerusalemu kote"
yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
"uovu" mambo ambayo ni mabaya. Hapa "uso" wa Yahwe unarejea ambavyo ahukumuvyo au kuamua juu ya thamani ya jambo.
hayajaandikwa ... Yuda?
Swali halina majibu na linatumika kwa ajili ya kusisitiza.
kulala na baba zake na
Hii ni lugha ya upole ya kusema ali "kufa," kama baba zake walivyo lala, na"
bustani ya Uza
Maana ziwezekanazo 1) "bustani ambayo ilyokuwa ikimilikiwa na mtu aitwaye Uza" au 2) "Bustani ya Uza."
Amoni
Hili ni jina la mwanamume
2 Kings 21:19-20
Amoni ... Haruzi
Haya ni majina ya wanaume.
Meshlemethi;
Hili ni jina la mwanamke.
Yotba
Hili ni jina la mji.
yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
"uovu" "mambo ambayo ... uovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua juu ya uthamani wa jambo.
2 Kings 21:21-23
kufuata njia zote ambazo baba yake alienenda kwazo
"kutembea katika njia zote ambazo baba yake alienenda kwazo." Jinsi ambavyo mtu aishivyo inzungumziwa kana kwamba huyo mtu alikuwa akitembea kwenye njia. "kuishi hasa ambavyo baba yake alivyoishi"
Alijitenga na Yahwe
"Alienda mbali na Yahwe" au "Hakumsikiliza tena Yahwe"
kufanya njama juu yake
"kufanya mpango na kufanya kazi pamoja kwa ajili ya kumdhuru"
2 Kings 21:24-26
watu wanchi
Huu ni ujumla. "baadhi ya watu wa Yuda"
njama dhidi
"kufanya mipango na kufanya kazi pamoja kudhuru"
hayajaandikwa ... Yuda?
Hili swali halina majibu na linatumika kusisitiza. "Yameandikwa ... Yuda"
bustani ya Uza
Maana ziwezekanazo ni 1) "bustani ambayo ilimilikiwa na mtu aitwaye Uza" au 2) Bustani ta Uza.
2 Kings 22
2 Kings 22:1-2
miaka thelathini na moja
mwaka mmoja** - "miaka 31"
Yedida
Hili ni jinala mwanamke.
Adaye
Hili ni jina na mwanamume.
Bozkathi
Hili ni jina la mji wa Yuda.
Alifanya yale yaliyo sawa usoni kwenye macho ya Yahwe
Hapa "macho" inawakilisha mawazo ya Yahwe au kile anachokiwaza kuhusu jambo. "Alifanya ambacho Yahwe alikiona ni sawa" au "Alifanya kile kilichokuwa sawa kutokana na Yahwe"
Alienenda katika njia zote za Daudi baba yake
"Alitembea katika njia zote za Daudi baba yake" Yosia alitenda kama Daudi alivyofanya anazungumzia kana kwamba alitembea kwenye njia moja au kama njia ya Daudi. "Alifuata mfano wa Daudi baba yake"
hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto
Kumtii Yahwe kikamilifu kunazungumziwa kana kwamba mtu alikuwa kwenye barabara sahihi na hakurudi kutoka kwayo. "hakufanya chochote ambacho hakikumpendeza Yahwe"
2 Kings 22:3-5
Ikawa kwamba
Baada ya hayo kutokea
mwaka wa kumi na nane
"kumi na nane" ni mpango wa namba ya 18. "mwaka wa 18"
Shafani ... Azia ... Meshulamu ... Hilkia
Haya ni majina ya kiume.
nyumba ya Yahwe ... katika hekalu
Hapa "nyumba ya Yahwe" na "hekalu" inamaanisha jambo moja.
Panda juu kwa Hilkia
Kirai "Panda juu" imetumika kwa sababu hekalu la Yahwe lilikuwa juu kwenye mwinuko kisha Mfalme Yosia alipokuwa. "Panda juu kwa Hilkia"
ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu
"wale walinzi wa hekalu waliokuwa wamekusanya pesa kutoka kwa watu waliokuwa wamezileta kwenye hekalu la Yahwe"
Acha zigawanywe kwa mkono ya watendakzi
Hapa "mkono" inawakilisha watenda kazi wote. "Mwambie Hilkia awapatie pesa kwa watenda kazi"
2 Kings 22:6-7
Maelezo ya Jumla:
Ujumbe kutoka kwa Mfalme Yosia kwa Hilkia, kuhani mkuu, anaendelea.
Waacheni wapewe pesa ... walipewa ... kwa sababu waliimudu
Hapa "wao" na "-wa" inarejea kwa wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe katika 22:3.
mafundi seremala, wajenzi, na waashi
Hawa ni sawa na wafanyakazi waliopo katika nyumba ya Yahwe katika 22:3. Hapa wafanya kazi wanaelezwa kinaganaga zaidi.
wajenzi
watenda kazi wajengao kwa mbao
waashi
watenda kazi wajengao kwa mawe
zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa
"watenda kazi waliokuwa wasimamizi hawakutoa taarifa jinsi walivyotumia pesa ambayo walinzi wa hekalu waliwapatia"
kwa sababu walizimudu kwa uaminifu
"kwa sababu walitumia pesa kwa unyoofu"
2 Kings 22:8-10
Hilkia
Hili ni jina la mwanamume.
Kitabu cha sheria
Sheria zipendwazo sana ziliandikwa kwenye hati ya kukunja kuliko kwenye kitabu.
zilitolewa kwenye mkono wa wafanyakazi
Hapa "mkono" unawakilisha wafanyakazi kama wote.
2 Kings 22:11-13
Ikawa kwamba
Kama lugha yako ina njia ya kuweka alama mwanzoni mwa sehemu mpya ya hadithi, fikiria kuitumia hapa.
aliposikia maneno ya sheria
Hapa "maneno" huwakilisha ujumbe wa sheria. "alisikia sheria iliyokuwa imeandikwa katika kitabu" au alisikia sheria iliyokuwa imeandikwa katika hati ya kukunja"
alirarua mavazi yake
Hii ni alama inayoashiria huzuni kubwa sana au masikitiko.
Ahikamu ... Shafani ... Akbori ... Mikaya ... Asaya
Haya ni majina ya wanaume.
kujadiliana na Yahwe
Imewekwa wazi katika 22:14 kwamba watu wangeweza kujadiliana na Yahwe kubainisha mapenzi yake.
mjadala
kwenda kwa mtu kutafuta ushauri
maneno ya hiki kitabu yaliyopatikana
Hapa "maneno" yanawakilisha sheria. "sheria katika hiki kitabu ambacho hilikia amekikuta"
Kwa kuwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu
Hasira ya Yahwe inazungumziwa kana kwamba ulikuwa mto uliokuwa unawaka. "Kwa kuwa Yahwe anahasira sana na sisi"
yote yaliandikwa kuhusiana na sisi
Hii inarejea kwenye sheria iliyokuwa imetolewa na Israeli. "yote ambayo Musa aliyoyaandika katika sheria ambayo tunatakiwa kuyafanya" au "sheria yote ya Mungu aliyoitoa kupitia Musa kwa watu wa Israeli"
2 Kings 22:14-16
Hulda
Hili ni jina la mwanamke.
Shalumu ... Tikva ... Harhasi
Haya ni majina ya wanaume.
mtunza kabati la nguo
Maana ziwezekanazo 1) mtu anayeangalia nguo ambazo makuhani huvaa katika hekalu au 2) mtu anayeangali nguo za mfalme.
aliishi Yerusalemu katika mtaa wa pili
Hapa "theluthi ya pili" inarejea kwa sehemu mpya ambayo ilikuwa imejengwa kwa upande wa kaskazini mwa Yerusalemu. Pia, "aliishi Yerusalemu katika sehemu mpya ya Yerusalemu"
huyo mtu aliyekutuma kwangu
Hapa "huyo mtu" inamrejea mfalme Yosia.
Nitaleta msiba mahali pake na kwa wenyeji wake
Yahwe anafanya mambo mabaya yatokee imezungumzwa kana kwamba "msiba" ulikuwa kitu ambacho angekileta hiyo sehemu.
hapa mahali
Hapa inarejea kwenye mji wa Yerusalemu ambao unawakilisha nchi yote ya Yuda.
2 Kings 22:17-19
Maelezo ya Jumba:
Ujumbe wa Yahwe ulitumwa kwa Mfalme Yosia kupitia Hulda, unabii, unaendelea.
hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika
Yahwe anapatwa na hasira kali sana inazungumzwa kana kwamba hasira yake ilikuwa moto uliokuwa umewaka na usiweza kuzimwa. "hasira yangu juu ya hii sehemu ni kama moto ambao hauwezi kuzimwa"
hi sehemu
Hapa "mahali" inawakilisha watu waishio katika Yerusalemu na Yuda. "hawa watu"
Kuhusu maneno uliyosikia
Hapa "maneno" inawakilisha ujumbe ambao Hulda alioungea. "kuhusu ujumbe ambao uliousikia"
Kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini
Hapa "moyo" unawakilisha utu wa mtu wa ndani. Kuomba samahani inazungumziwa kana kwamba moyo ulikuwa malaini. "kwa sababu ulisamehe" au "kwa sababu umetubu"
kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana
"ukiwa" na "laana" unaweza kuanza kama kuvumishi na kitenzi. "kwamba nitawalaani na kulaani nchi yao kuwa ukiwa"
chana mavazi yako
Hii ni tendo la ishara linaloonyesha huzuni kubwa sana masikitiko.
huu ni usemi wa Yahwe
Hapa anajizungumzia mwenyewe katika nafsi ya tatu. Inaweza kuanza katika nafsi ya kwanza. "hivi ndivyo nisemavyo"
2 Kings 22:20
Maelezo ya Jumala:
Huu ni mwisho wa ujumbe kutoka kwa Yahwe kwa mfalme Yosia kupitia utabiri wa Hulda.
Tazama, nitakukusanya na babu zako; nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani
Sentensi zote kimsingi zinamaanisha kitu kimoja. Ni za njia ya heshima ya kusema atakufa. "Sikiliza, nikuruhusu ufe kwa amani"
Macho yako hayataona
Hapa "macho" yanawakilisha utu wote, na, "hutaona" inawakilisha hayatapitia"
janga nitakalolileta juu ya hii sehemu
Yahwe huleta mambo mabaya yatokee yazungumzwa kana kwamba "janga" yalikuwa kitu ambacho Yahwe angeleta mahali. "nitafanya mambo mabaya yatokee katika hii sehemu"
2 Kings 23
2 Kings 23:1-2
watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu
Hiki ni kizazi. "watu wengine wengi"
kuanzia ndogo hadi kubwa
"kutoka kwenye orodha ya chini muhimu hata kwenye orodha ya juu muhimu"
Kisha akasoma kwa sauti
"Kisha mfalme akasoma kwa saujti ili kwamba waweze kusikia"
ambalo limepatikana
"ambalo Hilkia alilipata" au "walilipata"
2 Kings 23:3
tembea na Yahwe
Vile mtu aishivyo inaongea kana kwamba huyo mtu alikuwa akitembea kwenye njia, "kutembea naye" mtu mmoja ni ishara kwa kufanya ambacho huyo mtu mwingine kufanya au kutaka wengine kufanya. "ishi kumtii Yahwe"
amri zake, maagizo yake, na sheria zake
Haya maneno yote yanamaanisha maana moja. Kwa pamoja yasisitiza kila kitu ambacho Yahwe alichoamuru katika sheria.
kwa moyo wake wote na roho yake
Lugha "kwa moyo wake wote" inamaana "kabisa" na "kwa roho yake yote" inamaana "pamoja na uhai wake wote" au "kwa nguvu zake zote"
ambayo yaliandikwa kkatika hiki kitabu
"ambayo yaliandikwa katika hiki kitabu" au "yale yaliyomo ndani ya hiki kitabu"
simama kwa agano
Hii lugha inamaanisha "kutii maneno ya agano."
2 Kings 23:4-5
kuhani chini yake
"makuhani wengine waliomtumikia"
mlinzi wa lango
watu ambao walikuwa wakilinda malango kwenye hekalu
kwa ajili ya Baali ... kwa nyota zote
"hivyo watu wangewatumia kumwabudu Baali ... hivyo watu wangeweza kuwatumia kuziabudu nyota zote"
Akachoma ... na kubeba ... Akawaondoa
Mifano miwili ya "Yeye" inamrejea Yosia, lakini inaweza kuwa bora kutafsiri ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" (23:4), inaweza kuwa Yosia hufanya hivo.
Bonde la Kidroni ... Betheli
majina ya mahali
kwa Baali, kwa juana kwa mwezi, kwa sayari, na kwa nyota zote
"kama njia ya kumwabudu Baali, jua na mwezi, sayari, na nyota"
2 Kings 23:6-7
Maelzo ya Jumla
Hii inaendelea kueleza kile ambacho mflme Yosia alichokifanya katika kujibu ujumbe kutoka kwa Yahwe.
Akaiondoa ... na kuichoma ... Akaipiga ... na kuitupa ... Akavisafisha
Mifano yote ya "Yeye" inamrejea Yosia, lakini inaweza kuwa bora kutafsiri ili kwamba msomaji awaelewe hao watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" (23:4), yawezekana wamemsaidia Yosia kwa haya mambo.
kushona nguo
"tengeza nguo"
2 Kings 23:8-9
Yosia akawaleta ... na kupanajisi ... akapaharibu
Inaweza kuwa tafsiri bora ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" wanaweza kumsaidia Yosia kufanya hivi.
Geba ... Bersheba
majina ya mahali
Yoshua (liwali wa mji)
"mji wa utawala uitwao Yoshua" au kiongozi wa mji aitwaye Yoshua." Huyu ni tofauti na Yoshua kutoka katika kitabu cha Agano la Kale cha Yoshua.
ndugu zao
Hapa "ndugu" inarejea kwa makuhani wenzao aliohudumu katika hekalu.
2 Kings 23:10-11
Tofeli ... Ben Hinomi
majina ya mahali
akamuweka mwanaye au binti yake kwenye moto kama sadaka ya Molaki
"kumuweka mwanaye au bintiye katika moto na kuwachoma kama sadaka kwa Molaki"
Akachukua
Inaweza kuwa njia bora kutafsiri ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake," wanaweza kumsaidia Yosia kufanya hivyo.
farasi
Maana ziwezekanazo ni 1) farasi halisi 2) sanamu za farasi.
alitoa kwa jua
"alitumika kuabudu jua."
Nathani Meleki
jina la kiume
2 Kings 23:12-14
Yosia mfalme akayaharibu ... piga ... tupa ... vunja ... katalia chini ... jaza
Inaweza kuwa tafsiri bora ili kwamba msomaji awaelewe hao watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake"
bonde la Kidroni
jina la mahali.
hizo sehemu zikajazwa kwa mifupa ya wanadamu
"ardhi kufunikwa na mifupa ya wanadamu ili watu wasiweze kuitumia tena kama madhabahu"
2 Kings 23:15-16
Yosia pia akaiteketeza kabisa ... Pia alichoma ... na kupiga ... pia alichoma
Inaweza kuwa tafsiri bora ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake"
aliyekuwa ameongea haya mambo kabla
"alisema hayo mambo yatatokea"
2 Kings 23:17-18
ukumbusho
alama au sheria ambayo humuheshimu mwanadamu.
Hivyo wakaiacha mifupa yake, pamoja na mifupa ya
"Hivyo hawakuigusa mifupa yake au mifupa ya"
2 Kings 23:19-20
Yosia akahamisha ... alifanya ... alichinja ... alichoma
Inaweza kuwa bora kutafsiri ili msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" {23:4), ingewezekana Yosia kusaidiwa kufanya haya mambo.
nini kilifanyika
"alifanya nini"
alichoma mifupa ya binadamu juu yao
"alichoma mifupa juu yao hivyo hakuna hata mmoja wao ataitumia tena"
2 Kings 23:21-23
Itunzeni pasaka
"Lazima kuisherekea pasaka"
Pasakakama hiyo haijawahi kufanyika tangu siku za
"Uzao wa Israeli haukusherekea sikukuu ya pasaka kwa njia hiyo kubwa katika wakati wa"
alitawala Israeli
Jina "Israeli" linasimama kwa ajili ya uzao wa Israeli."
siku za wafalme wa Israeli au Yuda
"kipindi wakati wana wa Israeli walipokuwa na mfalme wao wa watu wa Yuda walipokuwa na mfalme wao"
Pasaka hii ya Yahwe ilisherekewa
"watu wa Yuda walisherekea hii Pasaka ya Yahwe"
2 Kings 23:24-25
aliwafukuza ... roho
"kuzilazimisha hizo ... roho kuishi" au "kufanya sheria ambayo wale .. roho zilizokuwa ziondoke"
wale walioongea na wafu au na roho
Maneno yafananayo, "wale wliouawa na wafu na ... wale waliouawa na roho."
miungu
vitu ambavyo watu huamini kimakosa vyenye nguvu ya ajabu
ambaye amemgeukia Yahwe
"alijitoa mwenyewe kabisa kwa Yahwe"
Hapakuwa na mfalme kama Yosia aliyeinuka baada ya yeye
"Na tangu hapo hajawahi kutokea mfalme kama Yosia"
2 Kings 23:26-27
Walakini
Mwandishi anatumia hili neno kuonyesha kwamba hata kama haya mambo yote ambayo Yosia aliyafanya yalikuwa mema, Yahwe bado alikuwa na hasira na Yuda.
Yahwe hakugeuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake, ambayo ilikuwa dhidi ya
Moto ni ishara ya hasira, na moto ni ishara ya hasira kuanza kuwa na hasira. "ukali" na "hasira" inaweza kuatafsiriwa kama vivumishi. "Yahwe hakugeuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake kubwa, ambayo ilikuwa juu ya" au "Yahwe hakuacha kuwa mkali kwa sababu alikuwa na hasira na"
aligadhabisha
"alisababisha kuwa na hasira"
kuondoa usoni kwangu
"kutoka nilipo" au "kutoka kuwa karibu nami"
Jina langu litakuwa huko
Jina ni badala ya heshima ambayo watu wanayotakiwa kutoa kwa mtu. "Watu watatakiwa kuniheshimu hulo"
2 Kings 23:28-30
hayajaandikwa ... Yuda?
Swali halina majibu na linatumika kwa ajili ya kusisitiza. "huwezi kuyakuta ... Yuda."
Katika siku zake, Farao Niko, mfalme wa Misri
"Katika kipindi Yosia alipokuwa mfalme wa Misri, Farao Niko"
Niko ... Megido
Niko ni jina la kiume. Megido ni jina la mji.
2 Kings 23:31-33
umri wa miaka ishirini na tatu
umri wa miaka mitatu** - "umri wa miaka 23"
Hamathi
Hili ni jina la mwanamume.
Libna ... Libna ... Hamathi
Haya ni majina ya maeneo.
Yehoahazi alifanya yaliyo maovu usoni kwa Yahwe
"Uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo ... viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo.
kumuweka kifungoni
Baada ya kumfunga kwa minyororo, huenda alimuweka katika gereza. "kumuweka katika kifungo"
kuitoza Yuda
"kuwalzimisha watu wa Yuda kumpatia" (UDB)
talanta mia moja ... talanta moja
Talanta moja ilikuwa kama kilogramu 33. "3,3000 kilogramu ... kilogramu 33"
2 Kings 23:34-35
Yehoyakimu akaitoza nchi kodi
"Yehoyakimu alikusanya kodi kutoka wamilikio nchi"
watu wa nchi
"watu wa nchi ya Yuda." Maana ziwezekanazo 1) "watu walioishi katika nchi ya Yuda" au 2) "tajiri na hodari zaidi wa wale walioishi katika Yuda."
2 Kings 23:36-37
Zabida
Jina la kika
Pedaia
Jina la kiume
Ruma
Jina la mahali
Joakimu alifacho yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo...uovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua juu ya thamani ya kitu.
2 Kings 24
2 Kings 24:1-2
Katika siku za Yehoyakimu
"Katika kipindi ambacho Yehoyakimu alipoitawala Yuda"
akaiteka Yuda
"aliiteka na kuishinda Yuda"
Hii ilikuwa ni kuthibitisha pamoja na neno la Yahwe ambalo aliloliongea kupitia watumishi wake manabii
"Hii ilikuwa inatokana na neno la Yahwe kwamba watumishi wake manabii walipo nena" au "Hii ilikuwa dhahiri kile Yahwe alichowaambia watumishi wake manabii kusema kitakachotokea"
2 Kings 24:3-4
Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe
Baadhi ya matoleo yana, "Ilikuwa baada ya mda mfupi kwa sababu hasira ya Yahwe," ambayo ni nzuri kusoma ujumbe halisi.
kwenye kinywa cha Yahwe
Hapa "mdomo" unawakilisha amri ya Yahwe. "kama Yahwe alivyoamuru"
waondoe kwenye uso wake
"kuwaondoa" au "waharibu"
damu isiyo na hatia aliyoimwaga
Damu ni ishara kwa ajili ya uhai usio na hatia, na kumwaga damu ni ishara ya kuua watu wasio na hatia. "watu wasio na hatia aliowaua"
aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia
Damu ni ishara kwa uhai usio na hatia, na kumwaga damu ni ishara ya kuwaua watu wasio na hatia. "aliwaua watu wengi wasio na hatia katika Yerusalemu"
2 Kings 24:5-6
hayajaandikwa ...Yuda?
Hii imeandikwa kama swali lisilokuwa na majibu kwa sababu kwenye huo mda haya yalikuwa yameandikwa watu walikuwa tayari makini na hii habari.
lala na babu zake
"kufa na alizikwa karibu na babu zake"
2 Kings 24:7
Mfalme wa Misri hakushambulia tena nje ya nchi yake
"Mfalme wa Misri hakutoka kwenye nchi yake tena kuwashambulia makundi ya watu wengine"
2 Kings 24:8-9
Nehushta ... Elnathani
Nehushta ni jina la mwanamke. Elnathani ni jina la mwanamume.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe
"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo .. viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea ahukumuvyo au aamuavyo juu ya thamani ya kitu.
alifanya yote baba yake aliyoyafanya
Hii inajumuisha. "alifanya baadhi ya dhambi baba yake alizokuwa amezifanya"
2 Kings 24:10-12
Yekonia mfalme wa Yuda akatoka nje kwenda kwa mfalme wa Babeli, yeye, mama yake, maafisa wake
Unaweza kuhitaji kufanya ufafanuzi kwa nini Yekonia alienda kumlaki Nebukadreza. "Yekonia mfalme wa Yuda, mama yake, watumishi wake, wana wake, na maafisa wake wote walienda hata ambapo mfalme wa Babeli alipokuwa, kusaliti amri kwake"
Mfalme wa Babeli akamteka katika mwaka wa nane wa utawala wake
"Baada ya mfalme wa Babeli kuwa mfalme kwa mda wa miaka saba, alimchukua Yekonia"
2 Kings 24:13-14
Suleimani mfalme wa Israeli alivitengeneza
Unaweza kutaka kutafsiri hivi ili msomaji aelewe kwamba Suleimani anaweza kuwa alikuwa na msaada mwingine kufanya hivo.
Aliwachukua Yerusalemu wote kwenda uhamishoni
Hii ni kutengwa, na neno "Yerusalemu" ni ishara kwa ajili ya watu walioishi huku. "Nebukadreza aliwachukua watu wote muhimu kutoka Yerusalemu"
na mafundi wote, na wafua vyuma
"watu waliojua jinsi ya kufanya na kukarabati vitu ambavyo vimetengenezwa kwa chuma"
Hakuna aliyeondoka isipokuwa watu maskini kabisa katika nchi
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi chanya. "Watu maskini kabisa pekee katika nchi bado wanaishi huko"
2 Kings 24:15-17
elfu saba ... elfu moja
"7,000 ... 1,000"
Matania
Hili ni jina la kiume.
2 Kings 24:18-20
ishirini na moja ... kumi na moja
moja ... kumi na moja** - "21 ... 11"
Hamutali
Hili ni jina la mwanamke.
Yeremia
Hili ni jina la kiume.
Libna
Hili ni jina la mahali
Alifanya uovu usoni mwa Yahwe
"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo ... viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua kwenye thamani ya kitu.
2 Kings 25
2 Kings 25:1-3
katika mwaka wa tisa
Namba tisa mara nyingi imetumika katika Biblia kueleza nafasi ya kitu kilicho katika orodha.
katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya mwezi
Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda Kiebrania. Siku ya kumi ikaribu na mwishoni mwa mwezi wa kumi na mbili kwenye kalenda za Magharibi. Hiki ni kipindi cha msimu wa baridi wakati huo huweza kuwa na baridi na barafu.
kuja na jeshi lake lote juu ya Yerusalemu
Jina "Yerusalemu" ni ishara kwa ajili ya watu waishio humu. "Kuja na jeshi lake lote kupigana juu ya watu wa Yerusalemu" au "kuja na jeshi lake lote kuishinda Yerusalemu"
siku ya tisa ya mwezi wa nne
Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tisa liyo karibu na mwezi wa Saba kwa kalenda ya Magharibi. Hiki ni kipindi cha majira ya ukame wakati huo huwa na mvua kidogo au hakuna kabisa.
watu wa nchi
Hawa ni wenyeji wa Yerusalemu, pamoja na wakimbizi kutoka vijiji vilivyozunguka waliokimbia Yerusalemu wakati vita ilipoanza.
2 Kings 25:4-5
Kisha mji ulivunjwa kuwa
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Kisha jeshi la Wababeli lilivunjika kuwa mji"
watu wote wapiganaji
"mashujaa wote"
kwa njia ya lango
"kwa kutumia lango"
Wakaldayo
Baadhi ya tafsiri zinatumia "Wakaldayo" na nyingine hutumia "Wababeli." Njia zote zinarejea kwa kundi moja la watu.
Mfalme akaenda katika mwelekeo wa
"Mfalme Zakaria pia alikimbia na kuelekea mbele"
Jeshi lake lote lilitawanyika mbali naye
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Jeshi lake lote lilikimbia mbali naye"
2 Kings 25:6-7
Ribla
Hii ni sehemu ya mahali
pitisha hukumu juu yake
"amua jinsi watakavo mwadibu"
wakawachinja mbele ya macho yake
Macho yamemwona nafsi yake yote. "walimlazimisha mfalme Zedekia kuwaangalia wasiwaue wana watoto wake"
akamtoa macho yake
"Nebukadreza aliyatoa macho ya Zakaria."
2 Kings 25:8-10
katika mwezi wa tano, siku ya saba ya mwezi
Huu ni mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya saba ikaribu na mwezi wa Saba kwenye kalenda ya Kaskazini.
mwaka wa kumi na tisa
Hii ni namba ya mpangilio ya namba 19.
Nebuzaradani
Hili ni jina la mtu.
Kama kwa kuta zote zilizozunguka Yerusalemu, yote
"Hivi ndivyo ilivyotokea kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu: yote"
ambaye alikuwa chini ya
"ambaye alikuwa akifuata maagizo ya"
2 Kings 25:11-12
Kama kwa mabaki ya watu ... mji, wale
"Hiki ni kile kilichowatokea mabaki ya watu ... mji: ambao"
mabaki ya watu waliokuwa wamebaki katika mji
"watu waliobaki katika mji"
asi kwa mfalme
"kuacha mji na kwenda kuwa na mfalme"
2 Kings 25:13-15
Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo
"Hivi ndivyo ilivyotokea kwa kwa nguzo za chuma ... Yahwe: Wakaldayo"
misimamio
Hii inarejea kwa stendi kubwa zihamishikazo pamoja magurudumu ya shaba na ekseli. "zile stendi za nguzo za kuhamisha"
bahari ya shaba
"beseni kubwa ka shaba"
zivunje kuwa vipande vipande
"kuzivunja vipande vipande" au "kuzichonga kuwa vipande vipande"
mabeleshi
Beleshi kilikuwa kifaa kilichokuwa kikitumika kusafishia madhabahu, hasa kutolea vumbi la manyoya laini ya zulia, mchanga, au majivu.
pamoja ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu
"ambayo makuhani walivyokuwa wakitumika katika huduma ya hekalu"
Masufuria ya kuhamishia majivu
Unaweza kuhitaji kufanya dhahiri ambapo majivu huzungumiwa. "Masufuria hutumika kwa ajili ya kutolea majivu kutoka kwenye madhabahu"
2 Kings 25:16-17
bahari
"beseni kubwa la shaba."
stendi
Hii inarejea kwa stendi kubwa zihamishikazo pamoja magurudumu ya shaba na ekseli. "zile stendi za nguzo za kuhamisha
dhiraa kumi na nane ... dhiraa tatu
Dhiraa ilikuwa sintimita 46. "takribani mita 8.3 ... takribani mita 1.4"
kichwa cha shaba
"msanii, mbunifu wa shaba" au kipande cha shaba pamoja na ubunifu"
kazi ya kiunzi cha fito
Huu ulikuwa ubunifu uliotengenezwa kwa tepe zilizopishana zilizokuwa zikionekana kama wavu.
vyote vilitengenezwa kwa shaba
"vilitengenezwa kwa shaba kabisa"
2 Kings 25:18-19
Kamanda wa mlinzi
maneno yametokea sawa sawa katika 25:8.
Seraya
Hili ni jina la mtu.
kuhani wa pili
Hili neno linamrejea Zefania. Maana nyingine iwezekanayo ni "kuhani chini ya Seraya."
walinzi wa lango
Tafsiri kama katika 7:9.
chukua mfungwa
"chukua na kutunza bila kukimbia"
afisa aliyekuwa msimamizi wa maaskari
Tafsiri nyingine inaweza kusomwa "towashi aliyekuwa msimamizi wa maaskari." Towashi ni mtu ambaye ametolewa sehemu zake za siri.
wajibu wa afisa kwa kugawa kundi la watu kwenye jeshi
Maana ziwezekanazo 1) afisa kulazimisha watu kuwa maaskari au 2) afisa kuandika chini majina ya watu watakaokuwa maaskari.
2 Kings 25:20-21
Nebuzaradani
Hili nina la mtu.
Ribla
Hili ni jina la mahali.
kuwaua
Hii ni njia nzuri ya kusema "wameuawa." Inaweza kuwa nzuri kutafsiri ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine wamemsaidia mfalme kufanya jivyo.
Katika njia hii, Yuda aliiacha nchi yake kwenda uhamishoni
"Hivyo Yuda alichukuliwa kutoka kwenye nchi yake kwenda uhamishoni"
Yuda aliiacha nchi yake
Yuda, jina la kundi la watu, ni kati ya watu wenyewe. Watu wa Yuda walitoka katika nchi yao"
2 Kings 25:22-24
Gedalia ... Ahikamu ... Shafani ... Ishmaeli ... Nathania ... Yohanani ... Karea ... Seraya ... Yezania
Haya ni majina ya wanaume.
Mnetofa
Uzao wa mtu aitwaye Netofa
Mmaaka
kutoka sehemu iitwayo Maaka
2 Kings 25:25-26
Mwezi wa saba
Huu ni mwezi wa saba kwenye kalenda ya Kiebrania. Iko katika kipindi cha sehemu ya mwishoni mwa Mwezi wa tisa na sehemu ya kwanza ya Mwezi wa kumi huko magharibi.
Elishama
Hili ni jina la mtu
watu wote
Hiki ni kizazi. "watu wengi"
kutoka chini kwenda juu
Hii inamaanisha "Kila mtu," ambayo ni ujumla. "kutoka chini muhimu kwenda juu muhimu" au "kila mmoja"
2 Kings 25:27
katika mwaka wa saba
mwaka wa saba
katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi
siku ya saba ya mwezi - Huuulikuwa mwezi wa kumi na moja wa kalenda Kiebrania. Siku ya saba ikaribu na mwanzoni mwa Mwezi wa nne kwenye kalenda kaskazini.
Evil-Merodaki
Merodaki - Hili ndivyo ambavyo jina la mtu linatamkika, namna yake.
2 Kings 25:28-30
kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme
Kutoa sehemu nzuri kwenye meza ya chakula ni namna ya kumheshimu. "heshima zaidi kuliko wafalme wengine"
akamvua Yekonia nguo za gerezani
Msomaji aelewe kwamba kumvua nguo zake za gerezani ni ishara ya kumfanya mtu huru.
kwenye meza ya mfalme
"pamoja na mfalme na maafisa wake"
Chakula cha siku zote kiliruhusiwa apewe yeye
Hii inaweza kufsiriwa katika umbo tendaji. "Mfalme alihakikisha kwamba alikuwa na chakula cha marupurupu siku zote"
Chakula cha kila siku kiliruhusiwa
"Pesa ya kununulia chakula"