Luke
Luke 1
Luke 1:1-4
Taarifa kwa Ujumla
Luka anaeleza kwanini anamwandikia Theofilo.
mada
"taarifa" au "simulizi za kweli"
kati yetu
Neno "yetu" katika kauli hii linaweza au haliwezi kutomhusisha Theofilo.
Alikabidhi kwetu sisi
"Sisi" katika kauli hii Theofilo hahusiki.
Kabidhiwa kwao
"kupewa wao" au "iliyotolewa kwao"
Watumishi wa ujumbe
Unaweza kuhitaji kupambanua kwamba ujumbe ni nini. NI: "kumtumikia Mungu kwa kuwaambia watu habari zake" au "kufundisha watu habari njema kuhusu Yesu"
Ilichunguzwa kwa uangalifu
"kutafiti kwa makini." Luka alikuwa makini kutafuta uhakika wa kile kilichotokea. Huenda alizungumza na watu mbalimbali ambao waliona kilichotokea kuhakikisha anachokindika kuhusu tukio hili ni sahihi.
Mheshimiwa sana Theofilo
Luka alisema hivi kuonesha heshima na taadhima kwa Theofilo. Hii inaweza kumaanisha kwamba Theofilo alikuwa afisa mhimu serikalini. Sehemu hii tumia mfumo unaotumika kwenye utamaduni wako kumwongelea mtu mwenye mamlaka ya juu. Baadhi ya watu wanaweza kupendelea pia kuweka salamu mwanzoni na kusema "kwa ... Theofilo" au "Mpendwa ... Theofilo."
Mheshimiwa sana
"mheshimiwa" au "muungwana"
Theofilo
Jina hili linamaana "rafiki wa Mungu." Linaweza likaweka wazi tabia ya mtu huyu au inaweza kuwa ndilo jina lake halisi. Tafsiri nyingi limetumika kama jina lake.
Luke 1:5-7
Kauli unganishi:
Malaika anatoa unabii kuzaliwa kwa Yohana
Taarifa ya Jumla
Zakaria na Elizabethi watabulishwa. Mistari hii inatoa taarifa ya historia kuwahusu wao.
Katika siku za Herode, mfalme wa Uyahudi
"Wakati ambao Mfalme Herode alitawala katika Uyahudi"
palikuwa na uhakika
"Palikuwa pa uhakika" au "palikuwa na." Hii ilikuwa njia ya kutambulisha mhusika mpya katika katika historia. Fikiria namna lugha yako inavyofanya.
mgawo
Inafahamika kwamba hii inarejea kwa makuhani. NI: "mgawo wa makuhani au "kundi la makuhani."
wa Abiya
"ambaye alitokea ukoo wa Abiya." Abiya alikuwa mhenga wa kundi la makuhani na wote waliokuwa wanatokea kwa Haruni, ambaye alikuwa kuhani wa kwanza katika Israeli.
"Mke wake alikuwa akitokea katika mabinti wa Haruni."
"Mke wake alitokea ukoo wa Haruni" Hii inamaanisha anatokea katika mfumo ule ule wa kikuhani kama Zakaria. "mke wake pia alitokea pia ukoo wa Haruni" au "Zakaria na mke wake wote wawili walitokea kwa Haruni."
"Kutokea kwa mabinti wa Haruni"
"tokea ukoo wa Haruni"
mbele za Mungu
"mbele za macho ya Mungu" au "kwenye mtazamo wa Mungu"
amri zote na maagizo ya Bwana
"yote ambayo Bwana alishaamuru na aliyotaka"
Lakini
Hili neno la kutofautisha kwamba yafuatayo hapa ni kinyume cha yaliyotarajiwa. watu walitarajia kwamba kama walifanya yaliyosahihi, Mungu angeliwaruhusu kuwa na watoto. Ingawa wanandoa hawa walifanya yaliyo sahihi, hawakuwa na mtoto yeyote.
Luke 1:8-10
Sasa ikaja kuwa
Hii kauli ilitumika kubadili simulizi kutoka taarifa za mwanzo kwenda kwa wahusika.
katika utaratibu wa mgawo wake
"ilipokuwa zamu ya kundi lake" au "wakati ulipowadia wa kundi lake kuhudumu"
kutokana na desturi ya kuchagua kuhani yupi ambaye ... achome ubani
Sentensi hii inatupa sisi taarifa kuhusu wajibu wa kikuhani.
taratibu za kidesturi
"mfumo wa kiutamaduni" au "njia yao ya kawaida"
kuchagua kwa kura
kura ilikuwa ni jiwe lenye alama ambalo lilitupwa au viringishwa chini ili kwamba liwasaidie kuamua jambo fulani. Makuhani waliamini kwamba Mungu aliielekeza kura kuwaonesha kile walichokitaka makuhani kuchagua.
hivyo anaweza kuchoma ubani
Makuhani walikuwa wanachoma harufu nzuri kama sadaka kwa Mungu kila asubuhi na jioni katika madhabahu maalumu ndani ya hekalu.
mkutano wote wa watu
"Idadi kubwa ya watu" au "Watu wengi"
nje
Kiwanja ilikuwa ni eneo linalolizunguka hekalu. NI: "nje ya jengo la hekalu" au "kwenye kiwanja nje ya hekalu."
katika wakati
"kwenye muda uliopangwa." Haikowazi kama ilikuwa muda wa asubuhi au jioni kwaajili ya sadaka ya ubani.
Luke 1:11-13
Sentensi Unganishi:
Wakati Zakaria anafanya wajibu wake hekaluni, malaika anakuja kutoka kwa Mungu kumpa ujumbe.
Sasa
Neno hili linazingatia mwanzo wa kitendo katika historia,
alimtokea
"ghafla alikuja kwake" au "ghafla alikuwa pale pamoja na Zakaria." Hii inaweka wazi kwamba malaika alikuwa pamoja na Zakaria, na siyo tu maono.
Zakaria ... alikuwa katekewa ... woga ukamwangukia
Hizi kauli mbili zinamaana ileile, na zinasisitiza jinsi Zakaria alivyokuwa na hofu.
Zakaria alipomuona
"Zakaria alipomwona malaika" Chanzo cha hofu kilikuwa kushituliwa na ile asili ya malaika. Zakaria hakufanya kitu chochote kibaya.
Hofu ikaja juu yake
Hofu ni kitu kinachofafanuliwa kama kwamba shambulio au Zakaria alizidiwa nguvu.
Usiogope
"usiendelee kuniogopa mimi" au "Wewe hutakiwi kuniogopa mimi"
maombi yako yamesikiwa
"Mungu amesikia ambacho uliomba." Kinachofuata kinadokeza na kingeliongezwa: "ataruhusu hiyo." Mungu hakukomea kusikia tu alichoomba Zakaria; pia alikuwa anaelekea kutenda.
utazaa mwana
"mwana wa kiume kwaajili yako" au "kuzaa mtoto wako wa kiume"
Luke 1:14-15
Kwaajili
"Kwasababu" au "Katika nyongeza kwa hili"
shangwe na kufurahia
Haya maneno mawili yanamaanisha jambo lilelile na yangeliweza kuunganishwa kama lugha haina maneno yanayofanana. NI: "furaha sana."
kwa kuzaliwa kwake
"kwasababu ya kuzaliwa kwake"
atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana
"atakuwa mtu mhimu sana kwaajili ya Bwana" au "Mungu atamstahilisha kuwa mtu mhimu sana" (UDB)
atajazwa na Roho Mtakatifu
Hii itatajwa kama kauli tendwa: NI: "Roho Mtakatifu atamwezesha" au "Roho Mtakatifu atamwongoza." Hakikisha haieleweki sawa na ambavyo roho mchafu anaweza kumfanya mtu.
toka tumboni mwa mamaye
watu tayari walishawahi kujazwa na Roho Mtakatifu, lakini hakuna hata mmoja aliyesikia mtoto ambaye hajazaliwa kajazwa na Roho Mtakatifu.
Luke 1:16-17
Watu wengi wa Israeli
Inaeleweka kama japo Zakaria haikuwekwa, kauli hii ingelitafsiriwa kama "wengi wa koo za Israeli" au "wengi wenu ambao ni watu wa Mungu, Israeli." Kama mabadiliko haya yakifanyika, hakikisha kwamba "Mungu wao" imebadilishwa kuwa "Mungu - wao (wingi)."
kurudi
"kirudi nyuma" au "rejea"
atakwenda mbele ya uso wa Bwana
Yeye angelitangulia kutangaza kwa watu kwamba Bwana angelikuja kwao.
mbele ya uso wa
"uso wa" iko hapa ni nahau ambayo inarejea kwenye ule uwepo wa Bwana. Wakati mwingine iliondolewa kwenye tafsiri. NI: "kabla."
katika roho na nguvu ya Eliya
"pamoja na ile roho na nguvu alizokuwa nazo Eliya." Neno "roho" liwe linarejea kwa Roho Mtakatifu wa Mungu au mwenendo wa Eliya au namna ya kufikiri. Hakikisha kwamba neno "roho" halimaanishi mzimu au roho mchafu.
badilisha mioyo baba kuwaelekea watoto
"Kushawishi baba kutunza watoto wao tena" au "kuwasababisha baba kurejesha uhusiano na watoto"
rejesha mioyo
"kurejesha moyo" ni sitiari kwaajili ya kubadili nia ya mtu fulani kuelekea hali fulani.
asiyetii atatembea
"tembea" ni sitiari kwa namna mtu anaishi na kutenda. NI: "asiyetii atatenda" au "asiyetii ataishi"
asiyemtii
"watu ambao hawatii"
fanya tayari kwaajili ya Bwana
haijasemwa jinsi watakavyo kuwa tayari. Hii ilidokeza taarifa zingeliongezwa. NI: "jitayarishe kuamini ujumbe wa Bwana" au "uwe tayari kumtii Bwana."
Luke 1:18-20
Namna gani naweza kujua hili?
"Jinsi gani naweza kujua kwa hakika kwamba ulichosema kitatokea"? "kujua" kunamaanisha kujifunza kupitia uzoefu, akipendekeza Zakaria alikuwa akiuliza kutokana ishara kama uthibitisho. Hii inaweza kusemwa wazi kama: NI: "unaweza kufanya nini kuthibitisha kwangu kwamba hiki kitatokea?"
Mimi ni Gabrieli, ambaye nasimama katika uwepo wa Mungu
Hii inasemwa kama kukemewa kwa Zakaria. Uwepo wa Gabrieli, unakuja moja kwa moja kutoka kwa Mungu, itakuwa inatosha kumthibitishia Zakaria.
ambaye husimama
"ambaye hutumika"
nilitumwa kuzungumza na wewe
Hii inaweza. kusemwa kwenye mtindo wa kutenda. NI: "Mungu alinituma kusema kwako."
tazama
Neno "tazama" hapa linatutaarifu kuwa makini kwa taarifa zinazofuata za ku.shangaza
ukimya, kutoweza kuzungumza
Hii inamaanisha kitu kilekile, na vilirudiwa kusisitiza ukamilifu wa ukimya wake. NI: "kutoweza kuzungumza kabisa" au "hawezi kuzungumza kwa vyovyote."
kutoamini maneno yangu
"usiamini yale niliyosema"
kwa wakati sahihi
"kwa wakati ulioandaliwa"
Luke 1:21-23
Sasa
Hii inadokeza kuhama katika simulizi kutokana nakilichotokea ndani ya hekalu kwenda kilichotokea nje. NI: "Wakati huo" au "Wakati malaika na Zakaria wanazungumza."
Walitambua kwamba alishapata maono wakati akiwa hekaluni. Aliendelea kuwafanyia ishara na alibaki kimya.
Mambo haya huenda yalitokea muda uleule, na ishara za Zakaria ziliwasaidia watu kuelewa kwamba amepata maono. Inaweza ikawa msaada kwa wasikilizaji wako wabadili utaratibu kuonesha hivyo. NI: "Yeye aliendelea kuwafanyia ishara na alibaki kimya. Hivyo walitambua kwamba alipata maono wakati akiwa ndani ya hekalu."
maono
maelezo yaliyotangulia yanaashiria kwamba Gabrieli alikuja kweli kwa zakaria hekaluni. Watu, hawajui hilo, walidhani Zakaria aliona maono.
ilitokea
Kauli hii inahamisha simulizi kwenda mbele ambapo huduma ya Zakaria ilikuwa inaishia.
alikwenda nyumbani kwake
Zakaria alikuwa haishi Yerusalemu, ambapo palikuwa na hekalu. Alisafiri kwenda kwenye mji alioishi.
Luke 1:24-25
Baada ya siku hizi
Kauli "siku hizi" inarejea wakati Zakaria alikuwa anatumika hekaluni. Hii inawezekana kulisema hili kwa uwazi. NI: "Baada ya Zakaria kurudi nyumbani tokea kwenye huduma hekaluni."
mke wake
"mke wa Zakaria"
alijitenga mwenyewe
"hakuondoka nyumbani kwake" au "alibaki peke yake ndani"
Hiki ndicho alichokifanya Bwana kwaajili yangu
Kauli hii inarejea ukweli kwamba Bwana alimruhusu apate ujauzito.
hiki ndicho
Hili ni tamko zuri la mshangao. Yeye alikuwa na furaha sana kwa kile alichokitenda Bwana kwaajili yake.
aliniangalia mimi kwa upendeleo
"Kuangalia" ni nahau ambayo inamaanisha "kutendea" au "kushughulikia." NI: "tazama kwa wema" au "alinihurumia"
aibu yangu
Hii inarejea kwenye aibu aliyoihisi kwa sababu alikuwa hawezi kuwa na watoto.
Luke 1:26-29
Taarifa kwa Jumla
Malaika Gabrieli anamtangazia Mariamu kwamba anakwenda kuwa mama wa mtu ambaye ni Mwana wa Mungu.
kwenye mwezi wake wa sita
"katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeth." Hii ilikuwa lazima kulisema wazi kama ingelichanganya na mwezi wa sita katika mwaka.
malaika Gabrieli alikuwa katumwa kutokea kwa Mungu
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutenda: NI: "Mungu alimwambia malaika Gabrieli nenda"
Yeye ni wa nyumba ya Daudi
"Yeye niwa kabila lilelile kama Daudi" au "Yeye alikuwa ukoo Mfalme Daudi" (UDB)
kaposwa
"rehani" au "kuahidiwa kuolewa." wazazi wa Mariamu waliweka msimamo kwaajili yake atamwoa Yusufu.
jina la bikra alikuwa Mariamu
Hii inamtambulisha Mariamu kama mhusika mpya katika simulizi.
Alikuja kwake
"Malaika alikuja kwa Mariamu"
Salaamu
Hii ilikuwa ni salamu ya kawaida. Inamaana: NI: "furahia" au "uwe na furaha."
ninyi ambao mnaupedeleo mkubwa
"ninyi ambao mmepokea neema kubwa!" au "ninyi mmepokea wema maalumu!"
Bwana yuko pamoja na wewe
"pamoja nawe" ni nahau ambayo inadokeza kutiwa moyo na kukubalika. NI: "Bwana kafurahishwa na wewe."
alikuwa na wasiwasi sana ... salamu hii ingekuwa ya aina gani.
Mariamu alifahamu maana ya maneno hayo, lakini hakuelewa kwanini malaika alimwambia salaamu hii ya kushangaza.
Luke 1:30-33
Usiwe na hofu, Mariamu
Malaika hakutaka Mariamu kuwa na woga kwa ujio wake, kwasababu Mungu alimtuma ujumbe mzuri.
umepata wema wa Mungu
Nahau "kupata fadhila" inamaana kupokelewa vizuri na mtu fulani. Sentensi inaweza kugeuzwa kuonesha Mungu kama mtenda. NI: "Mungu ameamua kutoa neema yake" au "Mungu anaonesha wema wake."
utakuwa na ujauzito tumboni mwako na kuzaa mwana ... Yesu ... Mwana wa aliye Juu Sana
Mariamu atazaa "mwana" atakayeitwa "Mtoto wa aliye Juu Sana" (UDB). Yesu ni mtoto aliyezaliwa na mama mwanadamu, na Yeye vilevile ni Mwana wa Mungu. Maneno haya yatafsiriwe kwa uanglifu sana.
ataitwa
Maana zinazowezekana ni 1) "watu watamwita" au 2) "Mungu atamwita."
Mwana wa aliye Juu Sana
Hii ni sifa mhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
Kupewa kiti cha mhenga wake Daudi
Kiti kinawakilisha mamlaka ya mfalme kutawala. NI: "kumpa mamlaka kutawala kama mfalme kama baba yake Daudi alivyofanya"
hapatakuwa na mwisho kwa ufalme wake
Kauli hasi ""hakuna mwisho" sisitiza kwamba utaendelea milele. Pia inaweza kusemwa kwa kauli chanya. NI: "ufalme wake hautaisha."
Luke 1:34-35
Namna gani hili litatokea
NI: "Hili linawezekana kwa namna gani?" Ingawa Mariamu hakuelewa jinsi itakavyotokea, yeye hakuwa na shaka kwamba ingelitokea.
Mimi sijalala pamoja na mwanaume yeyote
Mariamu alitumia hali halisi kusema kwamba hajawahi kuhusika kwenye tendo la ngono. NI: "Mimi ni bikra" (UDB)
Roho Mtakatifu atakuja juu yako
utungaji mimba wa Mariamu ungelianza na ujio wa Roho Mtakatifu kwake.
atakuja juu
"kuja ghafla" au "atakutokea"
nguvu ya aliye Juu Sana
Ilikuwa ni nguvu ya Mungu ingelikuja zaidi ya kawaida kumsababisha Mariamu kuwa mjamzito hata wakati akiwa bado akabaki bikra. Hakikisha hii haidokezi hali au muungano wa ngono - huu ulikuwa muujiza.
itakuja juu yako
"utafunikwa kma kivuli"
mtakatifu
"mtoto mtakafu" au "mtoto mchanga mtakatifu"
atakuwa akiitwa
Maana zinazowezekana 1)"watu watamwita" au 2) Mungu atamwita
Hivyo mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu
Ingawaje mama yake Yesu alikuwa mwanadamu, Mungu zaidi ya kawaida alimweka Yesu tumboni mwake. Hivyo basi, Mungu alikuwa Baba yake, na Yesu alikuwa anaitwa "Mwana wa Mungu."
Mwana wa Mungu
Hii ni sifa mhimu kwaajili ya Yesu.
Luke 1:36-38
Na anglia
Huu udhihirisho hapa unasisitiza umhimu wa kauli inayomhusu Elizabeth ambayo inafuata.
ndugu yako Elizabeth
Kama unataka kusema uhusiano maalumu, Elizabeth huenda alikuwa shangazi wa Mariamu au shangazi - mkubwa.
pia anaujauzito wa uzeeni mwake
"pia anaujauzito, ingawa tayari kazeeka, pia mjamzito na atazaa mtoto." Hakikisha haieleweki kama ingawa wawili Mariamu na Elizabethi walikuwa wazee walipopata ujauzito.
mwezi wa sita kwake
"mwezi wa sita wa ujauzito wake"
Kwaajili
Kwa sababu" au "Hii inaonesha hivyo"
hakuna lisilowezekana kwa Mungu
Kauli yake inamashaka maradufu inaweza kutamkwa kwa kauli chanya. NI: "Hii inaonesha Mungu anaweza kufanya kitu chochote." Ujauzito wa Elizabethi ulithibitisha kwamba Mungu anaweza kufanya lolote - hata kumwezesha Mariamu kuwa mjamzito bila kushiriki na mwanaume.
Tazama
Mariamu anatumia udhihirisho huo huo kama malaika kusisitiza jinsi alivyokuwa anajali kuhusu uamzi wake kujikabidhi kwa Bwana.
Mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana
Chagua udhihirisho ambao unaonesha unyenyekevu na utii kwa Bwana. Yeye alikuwa hajiinui juu ya kuwa mtumishi wa Bwana.
Acha hii itokee kwangu
"Acha hii itokee kwangu." Mariamu alikuwa anadhihirisha utayari wake kwa mambo yatakayo tokea kwamba malaika alishamwambia yalikuwa karibu yatokee.
Luke 1:39-41
Sentensi Unganishi
Mariamu anakwenda kumtembelea ndugu yake Elizabethi ambaye alikuwa anakaribia kumzaa Yohana.
aliinuka
Nahau hii inamaanisha hakusimama tu, lakini pia "alikuwa tayari." NI: "alianza kutoka" au "alikuwa tayari"
nchi ya vilima
"eneo la vilima" au "sehemu ya milima ya Israeli"
Alikwenda
Hii inadokeza kwamba Mariamu alimaliza safari yake kabla ya kwenda nyumbani kwa Zakaria. Hii ingelisesemwa wazi. NI: "Yeye alipofika, alikwenda."
Sasa ilitokea
Kauli ilitumika kuonesha tukio jipya katika sehemu ya simulizi hii.
Katika tumbo lake
"katika tumbo la Elizabethi"
karuka
"sogea ghafla"
Luke 1:42-45
alipaza sauti ... lisema kwa nguvu
Kauli hizi mbili zinamaanisha kitu kilekile, na zinatumika kusisitiza namna Elizabethi alivyokuwa kasisimka. Zingeliweza kuwekwa katika kauli moja. NI: "liotamka ghafla kwa sauti." (UDB)
alipaza sauti yake
Nahau hii inamaanisha "aliongeza kiwango cha sauti yake"
umebarikiwa kati ya wanawake
Nahau "kati ta wanawake" inamaana "zaidi kuliko wanawake wengine."
matunda ya tumbo lako
Mtoto wa Mariamu analinganishwa na matunda ya mti unaozaa. NI: "mtoto katika tumbo lako" au "mtoto utakayemzaa" (UDB)
Na kwa nini hii imetokea kwangu kwamba mama wa Bwana wangu aje kwangu?
Elizabethi alikuwa haulizi apate taarifa. Alikuwa anaonesha jinsi alivyoshangaa na alivyokuwa na furaha kwamba mama wa Bwana amekuja kwake. NI: "Jinsi ilivyokuwa ajabu kwamba mama wa Bwana amekuja kwangu!"
mama wa Bwana
Hii inarejea kwa Mariamu. "wewe, mama wa Bwana wangu." (UDB)
Tazama
Kauli hii inatuamsha tusikilize kushangaa kwa kauli ya Elizabethi inayofuata.
aliruka kwa furaha
"lisogea ghafla kwa furaha" au "ligeuka kwa haraka kwa sababu alikuwa na furaha!"
ilikuja masikioni mwangu
Hii nahau inamaana "nilisikia."
"amebarikiwa yeye ambaye kaamini
"ninyi mlio amini mmebarikiwa" au "kwa sababu mliamini, mtakuwa na furaha"
pale pangekuwa na utimilifu wa mambo
"mambo haya yangelitokea kweli" au "mambo haya yangelikuwa kweli"
mambo ambayo yalisemwa kutoka kwa Bwana kwake
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. " ujumbe ambao Bwana amempa" au "mambo yale uliyo ambiwa na Bwana"
Luke 1:46-47
Maelezo kwa ujumla:
Mariamu anaanza wimbo wa kumsifu Bwana Mwokozi wake.
Nafsi yangu inasifu ... roho yangu inashangilia
Mariamu anatumia mtindo wa ushairi pale anaposema mambo yale yale katika njia mbili mhimu. ikiwezekana tafsri haya katika tofauti ndogo ya maneno au kauli ambayo inamaana inayofanana.
Nafsi yangu ... roho yangu
Yote "nafsi" na "roho" ... hurejea kwenye viungo vya kiroho vya mtu. Mariamu anasema kwamba ibada yake inatokea kwenye mtima wake wa ndani. NI: "utu wangu wa ndani ... moyo wangu" au "Mimi ... Mimi."
imefurahi ndani
"amehisi kufurahi sana" au "alikuwa na furaha sana"
Mungu Mwokozi wangu
"Mungu, ambaye ndiye aniokoaye mimi" au "Mungu ananiokoaye mimi"
Luke 1:48-49
Kwa yeye
"Kwa sababu yeye"
alitazama pale
"alitazama pale kwa makini" au "alijali"
hali ya chini
"umaskini." Familia ya Mariamu ilikuwa siyo tajiri.
Angalia
Kauli hii inatoa wito kwa kauli inayofuata.
tokea sasa na kuendelea
"sasa na badaye"
vizazi vyote
"watu wote katika vizazi vyote"
yeye ambaye anauweza
"Mungu, mwenye nguvu" (UDB)
jina lake
Hapa "jina" hurejea kwenye hali yote ya Mungu. NI: "Yeye."
Luke 1:50-51
Rehema Yake
"rehema ya Mungu"
tokea kizazi kwenda kizazi
"kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kinachofuata" au "kupitia kila kizazi" au "kwa watu wa kila majira"
alionesha nguvu kwa mkono wake
"mkono wake" ni lugha picha inayorejea mkono wa nguvu wa Mungu. NI: inaonesha kwamba Yeye ananguvu sana."
tawanyika
"fukuza katika uelekeo mbalimbali"
mawazo ya mioyo yao
"moyo" ni nahau ambayo inarejea kwenye mawazo ya mtu ya ndani. NI: "mawazo katika utu wao wa ndani."
Luke 1:52-53
amewashusha chini wafalme kutoka kwenye enzi zao
Enzi ni kiti ambacho mtawala anakalia, na ni mfano wa mamlaka. Kama mfalme akiondolewa kwenye enzi yake, inamaanisha hana mamlaka tena ya kutawala. NI: "Yeye amechukua mamlaka ya wafalme au "watawala kuacha kutawala."
amewashusha chini wafalme ... amewainua juu wenye hali ya chini
Kupingana kati ya hali hizi mbili iwekwe wazi katika tafsiri kama inawezekana.
hali ya chini
"umaskini." Familia ya Mariamu walikuwa siyo tajiri. Angalia livyotafsriwa 1:48.
amewainua ambao wana hali ya chini
Katika neno picha hili, watu ambao ni wa mhimu wako juu zaidi ya wale ambao si mhimu. NI: "amefanya watu wanyenyekevu kuwa wa mhimu" au "amewapa heshima ambao watu wengine hawakuwaheshimu."
amewalisha wenye njaa ... matajiri wameondoka bila kitu
Kutofautisha kati ya matendo wawili yaliyo kinyume itengenezwe tafsiri iliyowazi kama inawezekana.
kashibisha wenye njaa na chakula kizuri
Maana zinazowezekana ni 1) "amewapa wenye njaa chukula kizuri wale" au 2) "kawapa wahitaji vitu vizuri,"
Luke 1:54-55
Maelezo kwa ujumla
UDB inarekebisha mistari hii kuwa daraja ili kutunza kwa pamoja taarifa zinazohusu Israeli.
ametoa msaada kwa
"Bwana amesaidia"
Israeli mtumishi wangu
Kama wasomaji watachanganya hiki na mtu anayeitwa Israeli, itatafsiriwa kama "mtumishi wake, taifa la Israeli" au "Israeli, mtumishi wake."
Hivyo kama vile
"ili kwamba"
kukumbuka
Mungu hawezi kusahau. Ambapo Mungu "hukumbuka," hii nahau inayomaanisha Mungu anatenda kutokana na ahadi yake aliyotoa mapema.
kama alivyosema kwa baba zetu
"hakika kama alivyoahidi kwa wahenga wetu angelifanya." "Kauli hii inaleta taarifa ya nyuma ahadi ya Mungu kwa Abrahamu." NI: "kwa sababu aliahidi kwa wahenga wetu angelikuwa na rehema."
uzao wake
"wazawa wa Abrahamu"
Luke 1:56-58
Kauli Unganisha
Elizabethi anajifungua mtoto wake na Zakaria anamwita jina mtoto wao.
alirudi nyumbani kwake
"Mariamu alirudi nyumbani kwake" au "Mariamu alirudi kwenye nyumba yake"
Sasa
Neno hili linaonesha mwanzo wa tukio linalofuata katika historia.
Jirani zake na ndugu zake
"majirani na ndugu wa Elizabethi"
alizidisha rehema yake kwaajili yake
""amekuwa mwema sana kwake" UDB
Luke 1:59-61
Sasa ilitokea katika hiyo siku ya nane
"Sasa wakati mtoto akiwa na siku nane" au NI: "Ndipo, siku ya nane baada ya mtoto kuzaliwa"
wao
Hii huenda wanarejea kwa Zakaria na rafiki na ndugu wa Elizabethi.
kumtahiri mtoto
Hii ilikuwa sherehe ya kawaida wakati mtu alipokuwa anamtahiri mtoto rafiki zake wapaswa kuwa hapo kusherehekea pamoja na hiyo Familiya. NI: "sherehe kwaajili ya kutahiriwa kwa mtoto."
Wangeliweza kumwita yeye
"Walikuwa wanaenda kumwita yeye" au "Walitaka kumwita yeye jina." Hii ilikuwa desturi ya kawaida.
kama jina la baba yake
"jina la baba yake"
kwa jina hili
"kwa jina hilo" au "kwa jina lilelile"
Luke 1:62-63
Wao
Hii inarejea kwa watu ambao walikuwa pale kwaajili ya sherehe ya kutahiriwa.
alifanya ishara
"alitaja." Pengine Zakaria alikuwa hawezi kusikia, vilevile kuzungumza, au watu walikisia kwamba hangeliweza kusikia.
kwa baba yake
"kwa baba wa mtoto"
jinsi alivyotaka awe anaitwa
"jina ambalo Zakaria alitaka kumpa mtoto"
Baba yake aliomba ubao wa kuandikia
Inaweza ikasaidia kusema jinsi Zakaria "alivyoomba," Sababu hakuweza kuzungumza. NI: "Baba yake alitumia mikono kuwaonesha watu kwamba alihitaji wampe ubao wa kuandikia"
ubao wa kuandikia
"kitu fulani unachoweza kuandika"
alistaajabishwa
"shangaa sana" au "stajaabishwa"
Luke 1:64-66
kinywa chake kilifunguliwa ... ulimi wake uliwekwa huru
Hizi kauli mbili ni maneno picha ambayo pamoja yanasisitiza kwamba Zakaria aliweza kuzungumza ghafla.
kinywa chake kilifunguliwa na ulimi wake uliwekwa huru
Kauli hizi zinaweza pia kusemwa katika mtindo wa kutenda. NI: Mungu akafungua kinywa chake na kuuweka huru ulimi."
Hofu ikawajia wote ambao waliishi karibu nao
"Wote walioishi karibu na Zakaria na Elizabethi walikuwa na hofu." Walikuwa wamepigwa butwaa kwa njia ya Mungu ya miujiza kumrejeshea Zakaria uwezo wa kuzungumza. NI: "Kila mmoja aliyeishi karibu nao walikuwa katika hofu ya Mungu."
wote ambao waliishi
Hii hairejei tu kwa wale majirani wa karibu lakini kwa kila mmoja ambaye aliishi eneo hilo.
wote waliowasikia wao
Neno "wao" hapa linarejea kwenye mambo yaliokwisha tokea.
wote waliosikia
Hii inarejea kwenye kundi kubwa la watu walioishi Uyahudi yote.
kusema
"kuuliza"
Mtoto huyu atakuja kuwa kuwa nani?
"Aina gani ya ukuu ambao atakuwa nao mtoto huyu akikua?" Hii pia inawezeakana kwamba swali hili lilikuwa linamaanisha kuwa ni kauli ya kuwashangaza kwa kile walichisikia kuhusu mtoto. NI: "Mtoto huyu atakuwa mkuu wa namna gani!"
mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye
Kauli hii "mkono wa Bwana" inarejea nguvu za Mungu. "Nguvu za Mungu zilikuwa pamoja naye" au "Mungu alikuwa anafanya kazi ndani yake kwa nguvu."
Luke 1:67-68
Kauli Unganisha:
Zakaria anasema kilichotokea kwa Yohana mtoto wake.
Zakaria Baba yake alikuwa kajazwa na Roho Mtakatifu
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: "Roho Mtakatifu alimjaza Zakaria baba yake."
Baba yake
baba wa Yohana
alitoa unabii, akisema
fikiria njia za asili za kuanza kunukuu moja kwa moja katika lugha yako. NI: "alitoa unabii na alisema" au "alitoa unabii na hiki ndicho alichokisema"
Mungu wa Israeli
"Israeli" hapa anarejea kwa taifa la Israeli. Uhusiano kati ya Mingu na Israeliungelisemwa moja kwa moja. NI: "Mungu ambaye anatawala juu ya Israeli" au "Mungu ambaye Israeli anamwabudu."
watu wake
"watu wa Mungu"
Luke 1:69-71
pembe ya wokovu kwaajili yetu
pembe ya mnyama ni mfano kwaajili ya nguvu zake kujitetea yenyewe. Maana hii isemwe wazi. NI: "mtu fulani mwenye nguvu kutuokoa sisi."
ndani ya nyumba ya mtumishi wake Daudi
"Nyumba" ya Daudi inawasilisha familia yake, hasa, ukoo wake, NI: "katika familia ya mtumishi wake Daudi" au "ambaye ni ukoo wa mtumishi wake Daudi"
kama alivyosema
"kama tu Mungu alivyosema"
alisema kwa kinywa cha manabii wake watakatifu
Mungu aliwawezesha manabii kuzungumza neno alilotaka wao wazungumze. udhibiti wa Mungu unaweza kusemwa NI: "alisababisha manabii wake watakatifu kusema."
kwa mdomo wa
Hii inazungumzia ujumbe wa manabii kama ilikuwa midomo inasema maneno NI: "kwenye maneno ya"
walikuwapo katika ulimwengu wa kale
"waliishi zamani"
kuleta wokovu
Hii inarejea kwenye wokovu wa mwili, zaidi kuliko wokovu wa kiroho.
adui zetu ... wote wanaotuchukia
Hizi kauli mbili kimsingi zinamaanisha jambo lilelile na zimerudiwa kusisitiza jinsi adui zao walivyokuwa na nguvu kinyume chao.
kutoka katika mkononi mwa
Itakuwa ni msaada kusema tena "wokovu" hapa. NI: "wokovu kutokana na mkono wa."
mkono
"nguvu" au "udhibiti." Neno "mkono" linakwenda pamoja na nguvu ambazo zinatumika kuwaumiza watu wa Mungu
Luke 1:72-75
kuonesha rehema
"kuwa na huruma kwa" au "kutenda kutokana na rehema yake kwao"
kumbuka
Hapa neno "kumbuka" linamaana kuendelea kujitoa au kukamilisha kitu fulani.
agano lake takatifu ... kiapo ambacho alikisema
Kauli hizi mbili zinarejea kwenye kitu kile kile. Zimerudiwa kuonesha kujali kwa Mungu juu ya ahadi kwa Abrahamu.
kutoa idhini kwetu
"kufanya iwezekane kwaajili yetu"
kwamba sisi, tumekombolewa ... tumtumikie yeye bila hofu
Inaweza ikasaidia kubadili mtindo wa kauli hizi. NI: "kwmba tungelimtumikia yeye bila bila hofu baada sisi kuokolewa kutoka katika nguvu za adui wetu."
kutoka katika mkono wa adui zetu
"mkono" inarejea kudhibiti au nguvu ya mtu. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kutoka katika udhibiti wa adui zetu."
bila hofu
Hii inarejerea nyuma kwenye hofu ya adui zao. NI: "bila kuwaogopa adui zetu"
katika utakatifu na haki
Hizi zinaweza kudhihirishwa kama matendo. NI: "kuishi katika njia safi na kutenda haki"
mbele yake
Nahau hii ambayo inamaanisha "katika uwepo wake"
Luke 1:76-77
ndiyo, na wewe
Zakaria anatumia kauli hii kuanza hotuba yake moja kwa moja kwa mtoto wake. Unaweza kuwa na njia ile ile ya kuhutubia moja kwa moja katika lugha yako.
huyu, mtoto, ataitwa nabii
Watu watatambua kwamba huyu ni nabii. Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "watu watajua kwamba wewe ni nabii."
wa aliye Juu Sana
"ambaye anamtumikia aliye Juu Sana." Hii inarejea kwa Mungu. NI: "ambaye anazungumza kwaajili ya Mungu aliye Juu Sana."
kwenda mbele za uso wa Bwana
Nahau hii inamaana "kwenda mbele za Bwana" au "kuja mbele za Bwana."
kuwapa maarifa ya wokovu watu wake
"kuelezea wokovu kwa watu wake" au "hivyo watu wake waweze kufahamu wokovu"
kwa msamaha wa dhambi zao
"kupitia msamaha wa dhambi zao." Pia inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwa sababu Mungu amewasamehe"
Luke 1:78-79
Maelezo kwa ujumla
Kupitia katika mistari hii : "sisi" inahusisha watu wote.
kwa sababu kawaida ya huruma iliyotolewa na Mungu wetu
Hii inaweza kusaidia kusema kwamba rehema ya Mungu inatusaidia sisi. NI: "kwa sababu Mungu anahuruma na na rehema kwetu."
jua linachomoza kutoka juu ... kuchomoza juu
Mwanga kwa kawaida ni sitiari kwa ukweli. Hapa, jinsi jua linavyochomoza mwanga wake juu ya nchi ilitumika kama mfano wa jinsi mwokozi anavyotoa ukweli wa kiroho kwa watu.
angaza juu
"toa maarifa kwa" au "toa mwanga wa kiroho kwa"
wao wanaokaa gizani
Giza hapa ni sitiari kwa watu wasio na kweli. Hapa, watu ambao wanapungukiwa ukweli wa kiroho wanasemwa kama kwamba wanakaa gizani. NI: "watu wasiojua kufanya kweli"
giza... kivuli cha kifo
kauli hizi mbili zinafanya kazi pamoja kusisitiza giza nene la kiroho kwa watu Mungu huwaonesha rehema kwao.
katika kivuli cha mauti
kivuli ni sitiari kwa kitu fulani ambacho kinakabili. Hapa, inarejea kwenye giza la kiroho ambalo litawasababisha kufa. NI: "ambao wanakaribia kufa."
ongoza miguu yetu
Kuongoza mtu kutembe ni sitiari ya kuongoza ufahamu wa kiroho. NI: "tuongoze" au "Tufundushe."
miguu yetu
"miguu" inatumika kuwakilisha mtu kwa ujumla. NI: "sisi"
katika njia ya amani
"njia ya amani" ni sitiari kwaajili ya njia inayomsababisha mtu kuwa na amani na Mungu. NI: "kuishi maisha ya amani" au "kutembea katika njia ambayo inatuongoza kwenye amani."
Luke 1:80
Maelezo kwa ujumla:
Hii inatuambia kwa kifupi kuhusu miaka ya Yohana kuongezeka.
Sasa
Neno hili linatumika hapa kuonesha kituo kwenye mfululizo wa habari kuu. Luka anahama kwa haraka kutoka kuzaliwa kwa Yohana kwenda kwenye huduma yake.
kuwa na nguvu katika roho
"kukomaa kiroho" au "kuimarisha uhusiano na Mungu"
alikuwa katika mwitu
"aliishi katika mwitu." Luka hasemi katika umri gani Yohana alianza kuishi mwituni.
mpaka
Hii siyo lazima kuonesha hoja ya kumalizia. Yohana anaendelea kuishi katika pori hata baada ya kuanza kuhubiri hadharani.
siku ya kujitokeza kwake
"alipoanza kuhubiri hadharani"
siku
Hii ilitumika hapa katika dhana ya jumla ya "wakati" au "fursa"
Luke 2
Luke 2:1-3
Maelezo kwa ujumla
Hii inatoa maelezo ya nyuma kuonesha kwanini Mariamu na Yusufu wanatakiwa kuondoka kwaajili ya kuzaliwa kwa Yesu.
Sasa
Neno hili ni alama ya kuanza kwa sehemu mpya ya simulizi.
ikaja ikawa kwamba
Kauli hii ilitumika kuonesha kwamba huu ni mwanzo wa wajibu. Kama lugha yako inayo njia ya kuonesha kuanza kwa kuwajibika, unaweza ukatumia hiyo. Baadhi ya tafsiri haziweki kauli hii.
Kaisari Agusto
"Mfalme Agusto" au "Mtawala Agusto." Agusto alikuwa mtawala wa kwanza wa dola ya Rumi.
alitoa agizo likielekeza
Amri hii huenda ilinabebwa na wajumbe kupitia katika dola. NI: "wajumbe waliotumwa maelekezo ya amri"
kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi katika ulimwengu
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba waorodheshe watu wote wanaoishi katika ulimwengu wa kirumi" au "wahesabu watu wote katika ulimwengu wa kirumi na waandike majina yao."
ulimwengu
eneo la dunia lililotawaliwa na serikali ya Rumi au "nchi zilizoongozwa na dola ya Kirumi"
Krenio
Krenio aliteuliwa kuwa mtawala wa Siria/Shamu
kila mmoja alikwenda
"kila mmoja aliondoka" au "kila mmoja alikuwa anakwenda"
mji wa kwao
Inaweza ikasaidia kusema kwamba "ya kwake" hairejei kwenye mji ambao alikuwa akiishi. NI: "ni mji ambao wahenga wake waliishi."
kuandikishwa kwaajili ya sensa
"kuwa na majina yameandikwa kwenye orodha" au "kuwekwa kwenye idadi kiofisi"
Luke 2:4-5
Maelezo kwa ujumla
UDB inaweka sawa hii mistari miwili kuwa daraja ambalo litatengeneza urahisi wa kufupisha sentensi.
pia Yusufu
Hii inamtambulisha Yusufu kama mhusika mpya katika simulizi.
kwenye mji wa Daudi
Taarifa hizi zilizotangulia kuhusu umhimu wa wa Bethlehemu. Ingawa ulikuwa mji mdogo, Mfalme Daudi alizaliwa pale, na ulikuwapo unabii kwamba masihi atazaliwa pale. NI: ambao ulikuwa unaitwa mji wa Daudi"
kwa sababu alikuwa wa nyumba na familia ya Daudi
"kwa sababu Yusufu alikuwa wa uzao wa Daudi"
Kuandikisha
Hii inamaanisha kutaarifu kwa afisa kule hivyo wamhusishe naye kwenye wajibu. Tumia kauli kwaajili ya afisa mwandikishaji wa serikali ikiwezekana.
pamoja na Mariamu
Mariamu alisafiri pamoja na Yusufu kutoka Nazarethi. Ni wazi kwamba wanawake pia walihitajika, hivyo Mariamu angelihitaji kusafiri na kuandikishwa vile vile.
ambaye alikuwa kaposwa naye
"mchumba wake" au "aliyekuwa ameahidi kwake." Wachumba walihesabiwa kisheria wameoana, lakini pale isingelikuwa kukaribiana kimwili kati yao.
Luke 2:6-7
Kauli Unganishi:
Hii inatuambia kuzaliwa kwa Yesu kwa tangazo la malaika kwa wachungaji.
Maelekezo kwa ujumla:
UDB inapanga upya mistari hii katika mstari daraja ili kutunza pamoja undani kuhusu mahali walipokaa.
Sasa ikaja kwamba
Kauli hii inaweka alama ya kuanza kwa tukio linalofuata katika simulizi.
wakati wakiwa pale
"wakati Mariamu na Yusufu walikuwa Bethlehemu"
wakati ukawadia wa kuzaa mtoto
"ilikuwa ni muda wa kujifungua mtoto wake"
alimsetiri kwa nguo nadhifu
Hii ilikuwa ni njia ya kawaida kwa akinamama kukinga na kutunza watoto wao kiutamaduni. ungesema hii wazi: NI: "akasetiri joto kwa kumfunga blanketi vizuri" au "akamfunga kumsetiri kwa blanketi."
alimlaza katika kihori
Hiki kilikuwa aina ya kiboksi au chombo ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kingine ndani yake kwaajili ya chakula cha wanyama. kilikuwa safi sana na kilikuwa laini na kavu kama nyasi kavu ndani kama sponji kwa mtoto. Wanyama kawaida walitunzwa karibu na nymbani kuwalinda kiusalama na kuwalisha kwa urahisi. Ni dhahiri Mariamu na Yusufu walibaki kwenye eneo ambalo lilitumika kwaajili ya wanyama.
hapakuwa na nafasi kwaajili yao katika nyumba za wageni
"hapakuwa na mahali kwaajili yao kwenye vyumba vya wageni." Hii huenda ilikuwa kwa sababu ya watu wengi walikwenda Bethlehemu kujiandikisha. Luka anaongeza kama taarifa ya iliyokwishakutolewa.
Luke 2:8-9
Malaika wa Bwana
""malaika kutoka kwa Bwana" au "malaika anayemtumikia Bwana"
aliwatokea
"akaja kwa wachungaji"
utukufu wa Bwana
chanzo cha mwanga mweupe ulikuwa ni utukufu wa Bwana, ambao uliwatokea kwa wakati ule ule kama malaika.
Luke 2:10-12
usiwe na hofu
"koma kuwa na hofu"
kwamba zitaleta furaha kwa watu wote
"kwama zitawafanya wote kufurahi sana"
watu wote
Baadhi wanafahamu hii kurejea kwa Wayahudi. Wengine wanaelewa inarejea kwa watu wote.
mji wa Daudi
Hii inamaanisha Bethlehemu
Hii ni ishara itakayotolewa kwenu
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo tendea. NI: "Mungu atawapa ishara hii" au "mtaona ishara hii inayotoka kwa Mungu."
ishara
""uthibitisho." Hii pengine inaweza kuwa ishara kuthibitisha kwamba kile ambacho malaika alikuwa anasema ni kweli, au inaweza kuwa ishara ambayo ingelisaidia wachungaji kumtambua mtoto.
atasetiriwa katika nguo nadhifu
Hii ilikuwa njia ya kawaida kwamba mama alimlinda na kutunza watoto wao katika utamaduni huo. NI: "alisetiriwa vema katika blanketi itunzayo joto" au "alifungwa kwaufanisi kwenye blanketi." Angalia jinsi ilivyotafsiriwa 2:2.
Kalala katika kihori cha kulishia
Hiki kilikuwa kiboksi au kitu ambabacho watu waliweka humo majani au chakula kwaajili ya kula ng'ombe. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6.
Luke 2:13-14
idadi kubwa, ya jeshi la mbinguni
Neno "jeshi la mbinguni" hapa itarerejea kwenye jeshi halisi la malaika, au inawezakuwa sitiari kwaajili kikundi cha malaika kilicho andaliwa. NI: "kundi kubwa la malaika kutoka mbinguni." (UDB)
kumsifu Mungu
"kumpa sifa Mungu"
Utukufu kwa Mungu juu sana
Maana zinazowezekana ni 1) "Toa heshima kwa Mungu aliye mahali pa juu sana" au 2) "Toa heshima ya juu sana kwa Mungu."
hapa duniani iweze kuwa amani kati ya watu ambao ameridhishwa nao
"wale watu ambao wako duniani ambao Mungu ameridhishwa nao basi wawe na amani"
Luke 2:15-16
Ikawa
kauli hii ilitumika kuonesha kubadili kwa masimulizi kwenda kwenye ambacho wachungaji walifanya baada ya malaika kuondoka.
kutoka kwao
"kutoka kwa wachungaji"
Baina ya mtu na mtu
"kwa mmoja na mwingine"
ngoja nasi ... kwetu
Tangu wachungaji walikuwa wanazungumza mmoja na mwingine, lugha ambayo inamtindo wa kuhusisha kwa "sisi" na "nasi" tumia mtindo wa kuhusisha hapa.
ngoja nasi
"nasi tuta"
jambo hili ambalo limetokea
Hii inarejea kuzaliwa kwa mtoto, na siyo kuonekana kwa malaika.
kalala katika kihori cha kulishia
Hii ilikuwa aina fulani ya boksi au kitu ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kwaajili ya wanyama kula. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6.
Luke 2:17-20
ambacho kilikuwa kimesemwa kwao na wachungaji
Hii inaweza ikasemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: ""kile ambacho malaika waliwaambia wao wachungaji."
mtoto huyu
"mtoto"
kile ambacho kilizungumza kwao na wachungaji
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "ambacho wachungaji waliwaambia."
kuyatunza moyoni mwake
hazina ni kitu fulani ambacho ni cha thamani sana na kizuri. Mariamu alifikiri mambo aliyoambiwa kuhusu mtoto wake kuwa ni mazuri sana. NI: "kuyakumbuka kwa makini" au "kuyakumbuka kwa furaha."
walirudi
"wakarudi mashambani kwenye kondoo"
kumtukuza na kumsifu Mungu
haya yanafanana na yanasisitiza jinsi walivyochangamka kuhusu kile ambacho Mungu kafanya. NI: "sema juu ya kusifu ukuu wa Mungu."
Luke 2:21
Maelezo kwa ujumla:
Sheria Mungu aliyowapa Wayahudi waamini aliwaambia lini mtoto mvulana atahiriwe na sadaka ipi wazazi walete.
ilipokuwa mwishoni mwa siku ya nane
kauli hii inaonesha muda ukapita kabla ya tukio jipya.
mwishoni mwa siku ya nane
"ilikuwa siku nane baadaya kuzaliwa kwake" au "alikuwa na umri wa siku nane"
aliitwa
Yusufu na Mariamu walimwita jina lake.
jina alilokwishakuwa amepewa na malaika
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "jina ambalo malaika alimwita."
Luke 2:22-24
wakati hesabu iliyotakiwa ... ilishapita
Hii inaonesha kupita kwa muda kabla ya tukio jipya.
hesabu iliyotakiwa ya siku
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa tendea. NI: "hesabu ya siku ambazo Mungu alitaka."
kwaajili ya kujitakasa kwao
"kwaajili ya wao kuwa safi kiutaratibu." Pia unaweza kuisema nafasi ya Mungu. "Mungu kutaka wao wawe safi tena."
kumkabidhi kwa Bwana
"kumleta kwa Bwana" au "kumleta yeye kwenye uwepo wa Bwana." Hii ilikuwa ni sherehe kutambua nia ya Mungu kwa mtoto mzaliwa wa kwanza ambaye ni wa kiume.
kama ilivyo andikwa
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa tendea. NI: "kama alivyo andika Musa" au "walifanya hivyo kwa sababu Musa aliandika."
kila mwanaume ambaye anafungua tumbo
"fungua tumbo" ni nahau ambayo inarejea kwa mtoto wa kwanza kutoka tumboni. Hii ilirejea kwa wote wanyama na wanadamu. NI: "kila mzaliwa wa kwanza mtoto ambaye ni mwanaume."
hicho ambacho kilisemwa katika sheria ya Bwana
"ambacho sheria ya Bwana inasema." Hii ni sehemu tofauti katika sheria. Inarejea kwa wanaume, iwe mzaliwa wa kwanza au sivyo.
Luke 2:25-26
Kauli Unganishi:
Wakati Mariamu na Yusufu wako hekaluni, waliwaona watu wawili: Simeoni, ambaye alimsifu Mungu na kutoa unabii kuhusu mtoto, na nabii mke Ana.
Tazama
Neno "tazama" linatuashiria mtu mpya katika simulizi. Lugha yako inaweza ikawa na njia ya kutenda hivi.
alikuwa mwenye haki na mcha Mungu
Kauli za nadharia hizi zinaweza kudhihirishwa kama matendo. NI: "alifanya kilichokuwa kinamridhisha Mungu na alitii sheria za Mungu."
mfariji wa Israeli
Hili ni jina jingine la "Masihi" au "Kristo." NI: "ndiye ambaye atafariji Israeli."
Roho Mtakatifu alikuwa juu yake
"Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye." Mungu alikuwa pamoja naye katika njia maalumu na alimpa hekima na maelekezo katika maisha yake.
ikafunuliwa kwake na Roho Mtakatifu
Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "Roho Mtakatifu akamwonesha" au "Roho Mtakatifu akamwambia."
asingalikufa kabla hajamwona Kristo Bwana
"angelimwona Masihi Bwana kabla hajafa"
Luke 2:27-29
ikatokea
Baadhi ya lugha zinaweza kusema "kwenda"
aliongozwa na Roho Mtakatifu
Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "kama Roho Mtakatifu alivyo mwelekeza."
kwenye hekalu
"katika kiwanja cha hekalu." Makuhani tu wangeliigia kwenye jengo la hekalu.
wazazi
"wazazi' wa Yesu"
desturi ya sheria
"desturi ya sheria ya Mungu"
Sasa mpe ruhusa mtumishi wako aende kwa amani
"Mimi mtumishi wako; niruhusu niende katika amani." Simeoni alikuwa anarejea kwake mwenyewe.
ondoka
Hii ni tasifida imaanishayo "kufa"
kutokana na neno lako
"kama ulivyosema" au "kwasababu ulisema ningeli"
Luke 2:30-32
macho yangu yameona
Udhihirisho huu unamaanisha, "Nimeona mwenyewe" au "Mimi, Mwenyewe, nimeona"
wokovu wako
Udhihirisho huu unarejea kwa mtu ambaye angeleta wokovu - mchanga Yesu--ambaye Simeoni alikuwa amembeba. NI: "mwokozi ambaye umemtuma" au "yeye ambaye ulimtuma kuokoa" (UDB)
ambacho wewe
inategema na jinsi unavyo tafsiri kauli iliyopita, hii inahitaji kubadilishwa kuwa "ambaye wewe."
umeandaa
"umepanga" au "ulisababisha itokee"
Nuru
Sitiari hii inamaanisha kwamba mtoto atasaidia watu kuona na kufahamu njia inasema mwanga husaidia watu kuona barabara. NI: "huyu mtoto anawezesha watu kuelewa nuru inavyoruhusu kuona barabara."
kwaajili ya ufunuo
iwe lazima kusema ambacho kimefunuliwa. NI: "ambacho kitaufunua ukweli wa Mungu."
Udhihirisho
itakuwa lazima kusema udhihirisho ni nini, NI: "kwamba itadhihirisha ukweli wa Mungu"
utukufu kwa watu wako Israeli
"atakuwa sababu kwamba utukufu utakuja kwa watu wako Israeli"
Luke 2:33-35
mambo ambayo yalisemwa kumhusu yeye
Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "mambo ambayo Simeoni aliyasema kumhusu yeye."
alimwambia Mariamu mama yake
"alisema kwa mama wa mtoto, Mariamu." Hakikisha haieleweki kama Mariamu ni mama wa Simeoni.
Tazama
Simeoni alitumia udhihirisho huu kumwambia Mariamu kwamba ambacho anachokwenda kukisema ni cha mhimu sana kwake.
mtoto huyu ni mstaakabali wa kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli.
Neno "kuinuka" na "kuanguka" yanadhihirisha kugeuka kutoka kwa Mungu na kumkaribia Mungu karibu. "mtoto huyu atasababisha watu wengi katika Israeli kuanguka kutoka kwa Mungu au kuinuka karibu na Mungu."
kwaajili ya ishara ambayo ilikataliwa
"kwaajili ya ujumbe kutoka kwa Mungu kwamba watu wengi watapinga"
upanga utapenya nafsini mwako
Sitiari hii inafafanua huzuni ya ndani ambayo Mariamu angeliisikia. NI: "Huzuni yako itakuwa maumivu ingawa kama upanga utapenya moyoni mwako."
mawazo kutoka kwenye "mioyo" mingi yatadhihirishwa"
NI: "mawazo ya watu wengi yatawekwa wazi."
Luke 2:36-38
Nabii mke jina lake Ana pia alikuwa pale
Hii inatambulisha mhusika mpya katika simulizi.
Fanueli
"Fanueli" ni jina la mwanaume.
miaka saba
"miaka 7 "
baada ubikra wake
"baada ya kuolewa naye"
mjane kwa miaka themanini na minne
miaka minne** - Maana zinazowezekana 1) kawa mjane kwa miaka 84 au 2) alikuwa mjane na alikuwa na umri wa miaka 84.
hakuondoka hekaluni
Hii huenda ni maana iliyokuzwa kwamba alitumia muda mwingi katika hekalu hii ilionekana kama kwamba hakuondoka pale. NI: "kila mara alikuwa hekaluni" au "daima alikuwa hekaluni."
akifunga na kuomba
"kujinyima chakula na maombi"
akawajia karibu yao
"kuwafuata" au "alikwenda kwa Mariamu na Yusufu"
wokovu wa Yerusalemu
Hapa neno "wokovu" lilitumika kurejea kwa mtu ambaye angetenda. NI: yule ambaye angeokoa Yerusalemu" au "mtu ambaye angeleta baraka za Mungu na fadhila tena kwa Yerusalemu."
Luke 2:39-40
Kauli Unganishi:
Mariamu, Yusufu na Yesu waliondoka Bethlehemu na kurudi kwenye mji wa Nazarethi kwaajili ya utoto wake.
wao walitakiwa kufanya kutokana na sheria ya Bwana
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwamba sheria ya Bwana iliwataka kufanya."
mji wa kwao, Nazarethi
Kauli hii inamaana waliishi Nazarethi. Hakikisha haieleweki kama mji ulio milikiwa.
kuongezeka katika hekima
"kuwa na hekima zaidi" au "alijifunza ambayo yalikuwa ya hekima"
neema ya Mungu ilikuwa juu yake
"Mungu alimbariki" au "Mungu alikuwa pamoja naye kwa namna pekee"
Luke 2:41-44
Kauli Unganisha
Wakati Yesu akiwa na umri wa mika 12, huenda Yerusalemu pamoja na familia yake. Wakati akiwa pale, anauliza na kujibu maswali kwa waalimu hekaluni.
Wazazi wake walikwenda ... sherehe ya Pasaka
Haya ni maelezo ya nyuma. (angalia:
Wazazi wake
"Wazazi wa Yesu"
wakapanda tena
Yerusalemu ulikuwa juu ya mlima zaidi kuliko ya maeneo mengine, hivyo wilikuwa kawaida kwa Waisreli kusema wanapanda kwenda huko Yerusalemu.
kwa muda wa kidesturi
"muda wa kawaida" au "kama walivyofanya kila mwaka"
baada ya kubaki kwa siku nyingi kwaajili ya sherehe
"Wakati wote wa kusherehekea sikuu ulipokwisha" au "Baada ya kusherehekea sikukuu kwa siku zote zilizotakiwa"
sikukuu
Hili ni jina lingine la kwaajili ya sherehe ya Pasaka, sababu ilihusisha kula chakula cha sherehe.
Walidania
"walifikiri"
walisafiri safari ya siku nzima
"walisafiri siku moja" au "walikwenda umbali wa kama watu wanatembea siku moja"
Luke 2:45-47
ikatokea kwamba
Kauli hii ilitumika hapa kuashiria umhimu wa tukio katika simulizi. Kama lugha yako ina namna ya kufanya hivi, ufikiri kuitumia hapa.
katika hekalu
Hii inarejea kwenye kiwanja cha hekalu. Makuhani tu walioruhusiwa ndani ya hekalu. NI: "katika kiwanja cha hekalu" au "kwenye hekalu."
katikati ya
Hii haina maana ya katikati kabisa. Zaidi, inamaanisha, "kati" au "pamoja na" au "kuzunguka."
waalimu
"waalimu wa dini" au "wale ambao waliwafundisha watu kuhusu Mungu"
wote waliosikia walishangaa
Walikuwa hawawezi kuelewa namna gani mvulana wa miaka kumi na miwili asiye na elimu ya dini ajibu vizuri hivyo.
kwenye ufahamu wake
"kwa kiwango kipi alielewa" au "kwamba yeye anaelewa mengi sana kuhusu Mungu"
majibu yake
"kwa namna alivyo wajibu vizuri" au "kwamba yeye aliwajibu maswali yao vizuri sana"
Luke 2:48-50
Walipomwona yeye
"Wakati Mariamu na Yusufu wanamwona Yesu"
kwanini umetutendea namna?
Hii ilikuwa kumkemea kwa kupindisha kwa sababu hakwenda pamoja nao wakati wa kurudi nyumbani. NI: usingefanya hivi!"
Sikiliza
Hili neno daima linatumika kuonesha mwanzo wa tukio jipya au mhimu. Hii pia inaweza kuonesha kutumika mahali tukio linapoanzia. Kama lugha yako inakauli ambayo inatumika kwa njia hii, fikiri ikiwa itaonesha uasili ikitumika hapa.
Kwa nini mlikuwa mnanitafuta mimi?
Yesu alitumia maswali mawili kuwakemea wazazi wake kwa upole, na kuanza kuwaambia kwamba analo kusudi kutoka kwa Baba yake wa mbinguni ambalo wao hawakulielewa. NI: "mlikuwa hamhitajiki kunijali mimi."
ninyi hamkujua ... nyumbani?
Yesu anatumia swali hili la pili kujitahidi kusema kwamba wazazi wake wangejua kuhusu kusudi ambalo Baba alimtuma. NI: "Ninyi mngejua ... nyumbani."
Baba yangu
Kwenye miaka 12, Yesu, Mwana wa Mungu, alielewa kwamba Mungu alikuwa Baba yake halisi (siyo Yusufu, mume wa Mariamu).
ndani ya nyumba ya Baba yangu
Maana zinazowezekana ni 1) "katika nyumba ya Baba yangu" au 2) "kuhusu biashara ya Baba yangu." Ikiwa kwa lolote, ambalo Yesu alisema "Baba yangu" alikuwa anarejea kwa Mungu. Kama alimaanisha "nyumba," basi alikuwa anarejea hekalu. Kama alimaanisha "biashara," alikuwa anarejea kwenye kazi ya Mungu aliyopewa kuifanya. Lakini sababu ya mstari unaofuata anasema kwamba wazazi wake hawakuelewa ambacho alichokuwa anawaambia hao, ingelikuwa vema usifafanue zaidi.
Luke 2:51-52
alirudi nao nyumbani
"Yesu alirudi nyumbani pamoja na Mariamu na Yusufu"
ulikuwa utii kwao
"aliwatii" au "kwa njia zote aliwatii"
alihifadhi mambo yote moyoni mwake
"alikumbuka mambo yote kwa makini" au "kwa furaha alifikiri kuhusu mambo haya." Maneno "kuhifadhi" au "moyo" yanaashiria kwamba Mariamu alijali mambo haya kuwa ni yanamhusu kwa kina na ni mhimu.
kukua katika hekima na kimo
"kuwa na hekima sana na nguvu." Hivi vinarejea kwenye akili na kukua kimwili.
kuongezaka kupata fadhila kwa Mungu na watu
Hii inarejea kukua kiroho na kijamii. Hii ingetofautishwa. NI: "Mungu alimbariki zaidi na zaidi, na watu walimpenda zaidi na zaidi."
Luke 3
Luke 3:1-2
Sentensi unganisha
Maelezo kwa Ujumla
Katika mwaka wa kumi na tano wa wa utawala wa Kaisari Tiberio
"Wakati akitawala Kaisari Tiberio ikiwa miaka kumi na tano"
Filipo ... Lisania
Haya ni majina ya watu.
Iturea na Trakoniti...Abilene
Haya ni majina ya maeneo ya utawala
Kipindi cha ukuhani mkuu wa Annasi na Kayafa
"Wakati ambapo Anasi na Kayafa walikuwa wakihudumu pamoja kama kuhani mkuu." Anasi alikuwa kuhani mkuu, na wayahudi waliendelea kumtambua hivyo hata baada ya Warumi walipomteuwa mtoto wake mkwe, Kayafa, kuchukua nafasi yake kama kuhani mkuu.
neno la Mungu likaja
"Mungu alisema neno lake"
Luke 3:3
Akihubiri ubatizo wa toba
Neno "Ubatizo" na "Toba" yanaweza kuelezewa kama vitendo. AT: "na alihubiri kwamba watu wale inapaswa kubatizwa kuonyesha kwamba walikuwa wakitubu."
Kwa ajili ya msamaha wa dhambi
"Ili kwamba dhambi zao zingeweza kusamehewa" au "ili kwamba Mungu angeweza kusamehe dhambi zao." Toba ilikuwa kwamba Mungu aweze kusamehe dhambi zao.
Luke 3:4
Maelezo kwa Ujumla
Mwandishi, Luka, kanukuu mstari kutoka nabii Isaya tokana na Yohana Mbatizaji.
Kama ilivyoandikwa...nabii
Misitari 4-6 ni nukuu kutoka Isaya. Ingeweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Hii ilitokea kama Isaya alivyokuwa ameandika katika kitabu chake" au "Yohana aliyatimiza maneno ambayo Isaya alikuwa ameyaandika katika kitabu chake."
Sauti ya mtu inapazwa nyikani
Hii inaweza kudhihirishwa kama sentensi. NI: "Sauti ya mmoja inapazwa ikisikika katika nyika" au "Wanasikia sauti ya mtu fulani inapazwa katika nyika"
Itengenezeni njia ya Bwana ... tengeneza mapito kwa unyoofu
Kauli hizi mbili kimsingi ni kitu kile kile.
Tayarisha njia ya Bwana
"Andaa njia kwaajili ya Bwana." Kufanya hivi kunawakilisha kujiandaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja. Watu hufanya hivi kwa kutubu dhambi zao. NI: "Andaa kusikia ujumbe wa Bwana anapokuja" au "Tubu na uwe tayari kwaajili ya ujio wa Bwana"
njia
"pa kupita" au "barabara"
Luke 3:5-6
Kila bonde litajazwa...kila mlima na kilima vitasawazishwa
Watu wanapoandaa barabara kwa ajili ya mtu mhimu anayekuja, wanasawazisha maeneo yaliyoinuka na kujaza maeneo ya mabonde ili kusawazisha barabara. Hii ni sehemu ya msemo wa neno lililozungumzwa katika msitari ulioelezwa juu.
Kila bonde litajazwa
Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Watalijaza kila eneo la bonde katika barabara.
Kila mlima na kijilima vitasawazishwa
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "watasawazisha kila mlima na kilima"" au "Wataondoa kila eneo la mwinuko katika barabara"
Angalia wokovu wa Mungu
Hii inaweza kuelezewa kama tendo. AT: "Jifunze jinsi Mungu anavyookoa watu kutoka katika dhambi."
Luke 3:7
Kubatizwa na Yeye
Hii inaweza kuelezewa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza"
Enyi kizazi cha Nyoka wenye sumu
Katika sitiari hii, nyoka wenye sumu ni hatari na wanawakilisha uovu. AT: "Ninyi nyoka waovu wenye sumu!" au "Ninyi ni waovu kama nyoka wenye sumu."
Nani aliyewaonya ... kuja?
Hakuwatarajia haswa kujibu. Yohana alikuwa anawakemea watu kwasababu walikuwa wanamwomba awabatize, lakini hawakutaka kuacha kutenda dhambi. AT: "Hamwezi kuikimbia gadhabu ya Mungu namna hii" au "Hamwezi kuepuka gadhabu ya Mungu kwa kubatizwa."
Kutoka kwenye ghadhabu inayokuja
Neno "gadhabu" linatumika hapa kumaanisha adhabu ya Mungu kwa sababu gadhabu yake inaizidi hiyo. AT: "kutoka kwenye adhabu ambayo Mungu anaituma" au "kutoka kwenye gadhabu ya Mungu ambayo yuko karibu kuiachilia"
Luke 3:8
Zaeni matunda yanayoendana na toba
Katika mfano huu, tabia ya mtu inalinganishwa na mti. Kama tu kwa mmea linavyotarajiwa kuzaa tunda linaloendana na aina ya mmea, mtu ambaye anasema kwamba ametubu, anatarajiwa kuishi kwa haki. AT: "Zaeni aina ya tunda linaloonyesha kwamba umetubu" au "fanya mambo mema yanayoonyesha kwamba umegeuka kutoka katika dhambi zako."
Mkisema wenyewe ndani yenu
"Kusema mwenyewe" au "kufikiri mwenyewe"
Tuna Ibrahimu aliye baba yetu
"Abrahamu ni Baba yetu" au Sisi ni uzao wa Ibrahimu. "kama inaeleweka kwanini wangesema hili, unaweza pia kuongeza habari imaanishayo: "Hivyo Mungu hatatuadhibu sisi."
Kumwinulia Ibrahimu watoto
Nahau hii inamaanisha "Umba watoto kwa ajili ya Ibrahimu" au "sababisha watu kuwa wafuasi wa Ibrahimu."
Kutokana na mawe haya
Labda Yohana alikuwa anamaanisha mawe halisi kando ya Mto Yordani.
Luke 3:9
Shoka limeshawekwa dhidi ya mzizi wa miti
Shoka ambalo liko tayari kukata mizizi ya mti ni mfano wa adhabu iliyo karibu kuanza. Inaweza pia kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Mungu ni kama mtu aliyeweka shoka lake dhidi ya mzizi wa miti."
Kila mti usiozaa tunda jema hukatwa chini
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Hukata chini kila mti usiozaa tunda jema."
Kutupwa motoni
"Moto" pia ni mfano wa adhabu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Hulitupa ndani ya moto"
Luke 3:10-11
Maelezo unganishi:
Yohana anaanza kujibu maswali ambayo watu kwenye mkutano wanamuuliza.
Walimuuliza, wakisema
"Walimuuliza na kusema" au Walimuuliza Yohana"
Alijibu na kusema kwao
"Aliwajibu, akisema" au "aliwajibu" au "alisema"
Fanya hivyohivyo
"Fanya jambo hilohilo." Inaweza kwa msaada kuelezea hasa inavyomaanisha. AT: "Mpe chakula mtu ambaye hana kabisa."
Luke 3:12-13
Kubatiza
Hii ingeweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza."
Msikusanye fedha zaidi
"Msiombe fedha zaidi" au "Msitake fedha zaidi." Watoza ushuru walikuwa wakikusanya fedha zaidi kuliko walivyokuwa wanatakiwa. Wanapaswa kuacha kufanya hivyo.
Zaidi kuliko mnavyotakiwa
Kifungu hiki kinaonyesha kwamba mamlaka ya watoza ushuru hutoka Rumi. AT: "zaidi kuliko kile Warumi wamewaamuru kuchukua."
Luke 3:14
Maaskari
"Watu wanaotumika jeshini"
Na sisi je? Tunapaswa kufanya nini?
Vipi na sisi maaskari, tunapaswa kufanya nini?" Yohana haunganishwi katika maneno "sisi" na "sisi." Maskari walimaanisha kwamba alikuwa amewaambia makutano na watoza ushuru wanachotakiwa kufanya na walitaka kujua kama maaskari wanachotakiwa kufanya.
Msimshutumu yeyote kwa uongo
Inaonekana kwamba maaskari walikuwa wanatengeneza tuhuma za uongo dhidi ya watu ili kujipatia fedha. AT: "kwa namna ileile, msimshutumu yeyote kwa uongo ili mjipatie fedha kutoka kwao" au "Msiseme kwamba mtu asiye na hatia amefanya kitu kinyume cha sheria."
Rizikeni na mishahara yenu
"Toshekeni na malipo yenu"
Luke 3:15-16
Kama watu
"Kwa sababu watu." Hii inamaanisha watu walewale waliokuja kwa Yohana.
wasiwasi katika mioyo yao
Udhihirisho huu hapa unamaanisha "fikiria juu yao kwa utulivu"
Yohana alijibu kwa kusema
Jibu la Yohana kuhusiana na mtu mkuu ajaye ni wazi inamaanisha Yohana siyo Kristo. Inaweza kusaidia kusema hili wazi kwaajili watu wako, kama UDB, inavyofanya. "Hapana, Mimi siye"
Nawabatiza kwa maji
"Nawabatiza kwa kutumia maji" au "Nawabatiza kwa nyenzo ya maji"
Haistahili hata kufungua kamba za viatu vyake
Kufungua kamba za viatu ilikuwa ni wajibu wa mtumwa. Yohana alikuwa anasema kwamba yule atakayekuja ni mkubwa kiasi kwamba Yohana hakustahili hata kuwa mtumwa wake. AT: "Hafikii umuhimu hata kulegeza kamba za viatu vyake."
Viatu
"Viatu vilivyotengenezwa kwa ngozi" au "Aina ya viatu vya wazi vyenye kamba za ngozi"
Atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto
Huu mfano unalinganisha ubatizo wa kawaida unamleta mtu katika muunganiko na maji kwenye ubatizo wa kiroho unaowaleta katika muunganiko na Roho Mtakatifu na moto.
Moto
Hapa neno "moto" linamaanisha 1) hukumu au 2) utakaso. Inafaa kuionda kama moto
Luke 3:17
Pepeteo lake liko mkononi mwake
Kama mkulima alivyo tayari kutenganisha mbegu za ngano kutoka kwenye pumba hivyo, ndivyo ilivyo kwa Kristo alivyo tayari kumhukumu mwanadamu. AT: "Anashikilia pepeteo kwasababu yuko tayari."
Pepeteo
Hiki ni chombo cha kurushia ngano juu hewani kutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba. Mbegu nzito huanguka kurudi chini na pumba azisizotakiwa hupulizwa mbali na upepo. Inafanana na kirushio.
Uwanda wake wa kupepetea
Mahali pa kupepetea ni eneo ambapo ngano iliwekwa katika kuiandaa kuipepeta. "Kusafisha" AT: "Eneo lake" au "Eneo ambako hutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba"
Kukusanya ngano
Ngano ni nafaka inayokubalika kuitunza na kuhifadhi.
Kuzichoma pumba
Pumba hazitumiwi kwa chochote, hivyo, watu huyachoma zote.
Luke 3:18-20
Maelezo kwa ujumla
Simulizi inaelezea nini kinaenda kutokea kwa Yohana lakini halijatokea kwa wakati huu.
Kwa maonyo mengine mengi
"Pamoja na hoja zingine za nguvu nyingi"
Herode Tetraki
Herode alikuwa Tetraki, siyo mfalme. Alikuwa na utawala unaokomea eneo maalumu katika mkoa wa Galilaya.
Kwaajili ya kumuoa mke wa ndugu yake Herodia
"kwa sababu Herode alimuoa Herodia, mke wa ndugu yake." Huu ulikuwa uovu kwa sababu kaka wa Herode alikuwa hai. Hii inaweza kusemwa wazi. AT: "kwasababu alimuoa mke wa kaka yake, Herodia, wakati kaka yake akiwa hai"
Alimfunga Yohana gerezani
"Aliwaambia askari wake kumuweka Yohana jela
Luke 3:21-22
Sentensi unganishi
Yesu anaanza huduma yake kwa ubatizo wake.
Sasa ikawa kwamba
Msemo huu ni mwanzo wa tukio jipya katika hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
wakati watu wote walikuwa wakibatizwa na Yohana
"Wakati Yohana alikuwa akibatiza watu wote." Neno "watu wote" inahusu watu akiwemo na Yohana.
batizwa
"Yesu alibatizwa na Yohana." Baadhi ya makundi wanaweza kuchanganywa kwamba Yohana alikuwa anabatiza wakati Herode alimweka gerezani kwenye mstari uliotangulia. Ikiwa hivyo, inaweza ikasaidia kuwaambia kwamba tukio hili lilitokea kabla Yohana hajakamatwa. UDB inaliweka hivi "Lakini kabla ya Yohana hafungwa gerezani" mwanzoni mwa mstari huu.
Yesu pia alibatizwa
Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutendea. NI: "Yohana alimbatiza Yesu, vilevile"
mbingu zimefunguka
"Anga likafunguliwa" au "anga likawa wazi." Hii ni zaidi ya kusafisha mawingu, lakini siyo wazi nini maana yake. Ni uwezekano ina maana kwamba shimo alionekana katika anga.
Roho Mtakatifu kwenye umbo la mwili alishuka juu yake
"Roho Mtakatifu akashuka juu Yesu"
kama la njiwa
"Katika hali ya kimwili Roho Mtakatifu alionekana kama njiwa"
Wewe ni Mwanangu, ambaye nakupenda
Mungu Baba anaongea na Mwanaye ("ambaye nampenda"), Yesu ni Mungu Mwana, wakati Mungu Roho shuka juu ya Yesu. watu wa Mungu kupendana na kufanya kazi pamoja kama Baba, Mwana, na Roho.
Mwanangu, ambaye nampenda
Hili ni jina muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu
Luke 3:23-24
Maelezo kwa ujumla
Luka anaorodhesha mababu wa Yesu kwa njia ya uzao wa baba yake mlezi, Yusufu.
Wakati
Neno hili limetumika hapa kuthibitisha mabadiliko kutokana na hadithi ya taarifa za msingi kuhusu kuhusu umri Yesu na mababu.
umri wa miaka thelathini
"umri wa miaka 30"
Alikuwa mwana (kama ilivyodhaniwa) wa Yusufu
"Ilidhaniwa kwamba alikuwa ni mwana wa Yusufu" au "Watu walidhani kuwa yeye ni mwana wa Yusufu"
mwana wa Eli, mwana wa Mathati, mwana wa Lawi
fikiria jinsi watu wanavyoorodhesha wahenga katika lugha yako. Utumie mfumo huohuo kwa orodha yote. Mifumo inyoowezekana ni 1) "ambaye alikuwa mwana wa Heli, ambaye alikuwa mwana wa Mathat, ambaye alikuwa mwana wa Lawi" 2) Yusufu alikuwa mwana wa Heli, Heli alikuwa mwana wa Mathat, baba wa Mathat alikuwa Lawi"
mwana wa Eli.
"Yusufu alikuwa mwana wa Eli" au "baba Yusufu alikuwa Eli"
Luke 3:25-26
mwana wa Matathia, mwana wa Amosi ... Joda
Huu ni mwendelezo wa orodha ya mababu wa Yesu. Tumia namna ile ile kama ulivyotumia kwenye mistari ile iliyotangulia.
Luke 3:27-29
mwana wa Yohanani, mwana wa Resa ... Levi
Matumizi maneno sawa kama wewe kutumika katika mistari uliopita. AT "ambaye alikuwa mwana wa Yohanani, ambaye alikuwa mwana wa Resa ... Levi" au "Joda alikuwa mwana wa Yohanani, Yohanani mwana wa Resa ... Levi" au "baba Joda ilikuwa Yohanani, baba Yohanani aliitwa Rhesa ... Levi. " Hii ni muendelezo wa orodha ya mababu Yesu.
Luke 3:30-32
mwana wa Simoni, mwana wa Yuda
Matumizi maneno sawa kama wewe kutumika katika mistari uliopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Simeoni ambaye alikuwa mwana wa Yuda" au "Levi mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda" au" baba Levi aliitwa Simeoni, baba Simeon alikuwa Yuda"
Luke 3:33-35
mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini
Matumizi maneno sawa kama wewe ulivyotumika katika mistari iliyopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Aminadabu, ambaye alikuwa mwana wa Admini" au "Levi alikuwa mwana wa Aminadabu, Simeoni ni mwana wa Admini" au "baba Nashon ilikuwa Aminadabu, Aminadabu baba aliitwa Admin"
Luke 3:36-38
mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi
Tumia maneno sawa kama uliyotumia katika mistari iliopita. "Ambaye alikuwa mwana wa Kenani, ambaye alikuwa mwana wa Arfaksadi" au "Levi alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi" au "baba Shela alikuwa Kenani, Kenani baba aliitwa Arfaksadi"
Luke 4
Luke 4:1-2
Sentensi Unganishi
Ibilisi amkuta Yesu aweze kumjaribu akose baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini 40.
Ndipo Yesu
Hii inarejea baada ya Yohana kumbatiza Yesu. NI: "Baada ya Yesu kuwa kabatizwa"
akaongozwa na Roho
Hii inaweza katika mfumo wa kutenda. NI: "Roho alimwongoza"
Kwa siku arobaini yeye alijaribiwa
Tafsiri nyingi zinasema kwamba majaribu yalikuwa kwa siku zote arobaini. UDB inasema "Wakati akiwa pale, Ibilisi aliendelea kumjaribu" kuweka hili wazi.
siku arobaini
"siku 40"
alikuwa akijaribiwa na shetani
Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutenda. NI: "ibilisi alimjaribu asimtii Mungu"
Hakuna alichokula
Neno "yeye" linarejea kwa Yesu.
Luke 4:3-4
Kama ni mwana wa Mungu
Ibilisi anamtega Yesu afanye muujiza huu ili kwamba athibitishe yeye ni "mwana wa Mungu"
hili jiwe
Ibilisi ama anashikilia jiwe au ananyooshea kidole kwenye jiwe lililokaribu.
Yesu alimjibu
Kukataa kwa Yesu kukosolewa na Ibilisi iko wazi kwenye jibu lake. Itaweza kusaidia kusemwa hili kwa wazi kwa kundi lako, kama inavyofanya UDB "Yesu alijibu, Hapana, sitafanya hivyo"
Hii imeandikwa
Nukuu inatoka kwa Maandiko ya Musa katika Agano la Kale. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko"
Mtu haishi kwa mkate pekee
Neno "mkate" linarejea kwenye chakula kwa ujumla. Chakula kama ukilinganisha kwa Mungu, chenyewe tu, hakitoshi, kumtosheleza mtu. Yesu ananukuu maandiko kwanini asibadili jiwe mkate. NI: "watu hawahawezi kuishi kwa mkate tu" au "siyo chakula tu ambacho kinamfanya mtu aishi" au "Mungu anasema vitu mhimu zaidi ya chakula"
Luke 4:5-7
mahali pa juu
mlima mrefu
katika muda mfupi
hapo hapo au "kwa ghafla"
nimepewa mimi haya
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. Huenda kwamba maana "wao" inarejea 1) mamlaka na fahari ya falme au 2) falme NI: "Mungu ameyatoa kwangu"
kama utainama chini ... kuniabudu
Kauli hizi mbili zinafanana sana. Zinaweza kuwekwa pamoja. NI: "kama utainama chini katika kuniabudu"
Itakuwa ya kwako
"Nitakupa wewe ufalme hizi zote, pamoja na fahari zake"
Luke 4:8
Lakini Yesu alijibu ... imeandikwa
Utofauti huu unamaanisha kwamba Yesu alikataa kufanya kile alichoambiwa na Ibilisi. Itakuwa msaada kusema hiki wazi kwa hadhara yako. NI: "Lakini alijibu, 'Hapana, sitakuabudu wewe, kwa sababu imeandikwa" (UDB)
alijibu na akamwabia
"akamjibu" au "alimjibu"
Imeandikwa
Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji. NI: "Musa ameandika katika maandiko"
Utamwabudu Bwana Mungu wako
Yesu alikuwa ananukuu amri kutoka kwenye maandiko kusema kwanini hataweza kumwabudu Ibilisi.
Wewe
Hii inarejea kwa watu katika Agano la Kale waliopokea amri ya Mungu. Unawea kutumia kauli ya umoja 'wewe' sababu kila mtu ilikuwa atiii, au ungetumia kauli ya wingi "ninyi" sababu watu walipaswa kuitii.
yeye
Neno "yeye" anarejea kwa Mungu.
Luke 4:9-11
ncha ya juu sana
Hii ilikuwa ni ncha kwenye paa la hekalu. Kama mtu akianguka kutokea kule, angejeruhiwa sana au kufa.
Kama wewe ni mwana wa Mungu
shetani alikuwa anamkosoa Yesu athibitishe kwamba alikuwa Mwana wa Mungu
Mwna wa Mungu
Hiki ni cheo mhimu kwaajili ya Yesu.
jitupe mwenyewe chini
"ruka chini ardhini"
Kwa kuwa imeandikwa
Ibilisi anamaanisha kwamba nukuu yake kutoka Zaburi inamaanisha Yesu hataumia kama ni Mwana wa Mungu. Hii inwaeza kusemwa wazi, kama inavyofanya UDB. NI: "Hutaumia" sababu imeandikwa"
imeandikwa
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mwandishi ameandika"
Yeye atatoa maagizo
"Yeye" inarejea kwa Mungu. Ibilisi kwa sehemu alinukuu kutoka Zaburi kwa juhudi kumshawishi Yesu kuruka kutoka juu ya jengo.
Luke 4:12-13
Hii ilisemwa
Yesu anamwambia Ibilisi kwanini hatafanya kile ambacho Ibilisi amemwabia kufanya. Kukataa kwake kufanya inaweza kusemwa wazi. NI: "Hapana, sitafanya hivyo, kwasababu ilisemwa"
Hii ilisemwa
Yesu ananukuu kutoka maandiko ya Musa katika Kumbukumbu la Torati. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Musa amesema" au "katika maandiko Musa alisema"
Usimweke Mungu wako katika majaribu
Maana zinazowezekana ni 1) Yesu hataweza kumjaribu Mungu kwa kuruka kutoka katika hekalu, au 2) Ibilisi hawezi kumjaribu Yesu kuona kama yeye ni Mwana wa Mungu. inafaa zaidi kutafsiri mstari kama ilivyoelezwa zaidi kuliko kujaribu fafanua maana.
Mpaka wakati mwingine
"mpaka tukio lingine"
lishamaliza kumjaribu Yesu
Hii haimaanishi kwamba Ibilisi alikuwa kafanikiwa katika majaribu yake - Yesu alipinga kila jaribio. Hii inaweza ikasemwa wazi. Ni: "lishamaliza kujaribu kumjaribu Yesu" (UDB) au "pumzika kujaribu kumjaribu Yesu"
Luke 4:14-15
Sentensi Unganishi:
Yesu alirudi Galilaya, akifundisha katika Sinagogi, na anawaambia watu pale kwamba yeye anatimiza maandiko ya Isaya nabii.
Ndipo Yesu alirudi
Hii inaanza simulizi jipya katika habari.
katika nguvu ya Roho
"na Roho alikuwa anampa yeye nguvu." Mungu alikuwa pamoja na Yesu kwa namna maalumu, anamwezesha yeye kufanya vitu ambayo kawaida watu wasingeviweza.
habari kumhusu yeye zikaenea
Wale waliomsikia Yesu waliwaambia watu wengine kuhusu yeye, na ndipo wale watu wengine waliwaambia hata zaidi kuhusu yeye. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "watu wakaeneza habari kuhusu Yesu" au "watu waliwaambia watu wengine kuhusu Yesu" au "maarifa kumhusu yeye yalikuwa yakipita kutoka kwa mtu kwenda mtu mwingine"
kupitia katika eneo lote linalozunguka ukanda
Hii inarejea kwenye maeneo au mahali karibu na Galilaya.
likuwa anasifiwa na wote
"kila mmoja alisema mambo makuu kuhusu yeye" au "watu wote walimsema vizuri "
Luke 4:16-17
mahali yeye alipokuziwa
mahali wazazi wake walipomlelea " au "pale alipoishi alipokuwa mdogo" "mahali alipokulia"
kama ilivyokuwa desturi yake
"kama alivyofanya kila sabato." ilikuwa siyo mazoea ya kawaida kwenda kwenye sinagogikwenye siku ya sabato.
Yeye alipewa Gombo la nabii Isaya
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mtu fulani alimpa gombo la nabii Isaya"
Gombo la nabii Isaya
Hii inarejea kwenye kitabu cha Isaya imeandikwa kwenye gombo. Isaya aliandika maneno miaka mingi kabla, na mtu fulani mwingine aliyanukuru kwenye gombo.
mahali ambapo palikuwa pameandikwa
"mahali katika gombo palipo na maneno haya." Sentensi hii inaendelea katika mstari unaofuata.
Luke 4:18-19
Roho wa Bwana iko juu yangu
"Roho Mtakatifu yuko pamoja nami kwa namna maalumu." Wakati mtu fulani anasema hivi, anathibitisha kunena maneno ya Mungu.
aliniweka wakfu mimi
Katika Agano la Kale, mafuta ya upako yalimiminwa juu ya mtu aliyepewa nguvu na mamlaka kufanya kazi maalumu. Yesu anatumia sitiari hii kurejea kwa Roho Mtakatifu kuwa juu yake kumwandaa kwaajili ya kazi. NI: "Roho Mtakatifu yuko juu yangu kuniwezesha" au "Roho Mtakatifu alinipa mimi nguvu na mamlaka"
maskini
"watu maskini"
kutangaza uhuru kwa mateka
"kuwaambia ambao walikuwa wametekwa kwamba wako huru" au "kuwaweka huru wafungwa wa vita"
kupona macho kwa wale vipofu
"kumpa kipofu kuona" au "kumfanya kipofu aweze kuona tena"
wekwa huru wale ambao wanagangamizwa
"weka huru wale ambao tumikishwa vibaya"
kutangaza mwaka wafadhila ya Bwana
"mwambia kila mmoja kwamba Bwana tayari amebariki watu wake" au "tangaza kwamba huu ni mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake"
Luke 4:20-22
bingilisha gombo
gombo lilikuwa limefungwa kwa kubingilishwa kama bomba kutunza kile kilichoandikwa ndani yake.
mhudumu
Hii inarejea kwa mtumishi wa sinagogi ambaye alileta na kutunza kwa uangalifu and unyenyekevu gombo linalobeba maandiko.
yalikuwa yamekazwa kwake
Lahaja hii inamaanisha "yalikuwa yameelekezwa kwake" au "walitazama kwa makini kwake"
maandiko haya yametimizwa mkiwa mnasikiliza
Yesu alikuwa anasema hivyo kutimiza unabii kwa vitendo na hotuba kwa wakati wake kabisa. Hii inaweza ikaelezwa katika kauli tendaji. NI: "Sasa hivi ninatimiza inatimiza ambacho maandiko yalisema mnaponisikiliza sasa"
shangazwa na maneno ya neema ambayo yalikuwa yanatoka katika kinywa chake
"lipigwa butwaa na vitu vya neema alivyokuwa akivisema." Hapa "aneema" inaweza kuerejea 1) ubora au jinsi ya ushawishi aliozungumza Yesu, au 2) kwamba Yesu alizungumza maneno kuhusu neema ya Mungu.
Huyu si ni mwana wa Yusufu?
Watu walifikiri kwamba Yusufu alikuwa baba wa Yesu. Yusufu hakuwa kiongozi wa dini, hivyo walishangaa kwamba mtoto wake atahubiri kiasi hicho. NI: "Huyu ni mwana wa Yusufu tu!" au "Baba yake ni Yusufu tu!"
Luke 4:23-24
Maelezo kwa Ujumla
Nazarethi ni mji ambao ndimo Yesu alikulia
Kwa hakika
"Kwa hakika" au "bila shaka." Huu ni uthibitisho wa nguvu.
Daktari, jiponye mwenyewe!
Kama daktari haonekani kuwa ana afya, hakuna sababu kumwamini kuwa kweli ni daktari. Wakati watu wanasema mithali hii kwa Yesu, watamaanisha hawakuamini kwamba yeye ni nabii sababu hafanani.
lolote tulilosikia ... fanya hivyo hivyo kwenye miji ya kwenu.
Watu wa Nazarethi hawakuamini Yesu kuwa nabii sababu ya sifa yake ya chini kama mtoto wa yusufu. Hawataamini isipokuwa waone wao wenyewe akifanya miujiza.
Ukweli nasema kwenu
"Hii kweli ni hakika." Hii ni kauli ya msisitizo kuhusu kile kinachofuata.
hakuna nabii anayepokelewa kwenye mji wa kwao
Yesu anaitengeneza kauli hii kwa ujulma ili kwmba awakemee watu. Yeye anamaanisha kwamba wanakataa kuamini taarifa za miujiza yake Kapernaumu. Wao walifikiri tayari walijua yote yanayomhusu yeye.
mji wa kwao
"ardhi yao" au "wenyeji wa mji" au "nchi ambayo alikulia"
Luke 4:25-27
Sentensi kwa Ujumla
Yesu anawakumbusha watu, wanaomsikiliza kwenye sinagogi, kuhusu Eliya na Elisha waliokuwa manabii ambao waliwafahamu.
Lakini nawaambia ukweli
"Nawaambia ukweli kabisa." Kauli hii ilitumika kusisitiza umhimu, ukweli na usahihi wa kauli zinazofuata.
wajane
mjane ni mwanamke aliyefiwa na mume wake.
wakati wa Eliya
Watu wale aliokuwa anawahutubia walijua kwamba Eliya alikuwa mmoja wa manabii wa Mungu. Kama wasomaji wako hawatajua hilo, unaweza ukafanya taarifa zisizowazi kuwa wazi kma UDB. AT: "Eliya alipokuwa anatoa unabii Israel"
wakati wingu lilipofungwa
Hii ni sitiari. Anga limefananishwa na dari iliyofungwa, na hivyo hakuna mvua itakayonyysha toka huko. NI: "ambapo hakuna mvua inashuka chini kutoka angani" au "wakati ilikuwa hakuna mvua kabisa"
njaa kubwa
"tatizo kubwa la kupungua chakula." Njaa ni kipindi kirefu ambapo hakuna uzalishaji wa mazo ya kutosha chakula kwa watu.
mpaka Sarepta ... kwa mjane anayeishi huko
Watu walioishi Sarepta walikuwa Wamataifa, siyo Wayahudi. Watu wanaomsikiliza Yesu wangeelewa kwamaba watu wa Sarepta walikuwa Wamataifa. Mjane mmataifa anaishi Sarepta.
Naamani Msiria
Msiria ni mtu kutoka nchi ya Siria. Watu wa Siria ni siyo Wayahudi. NI: "Mmataifa Naamani kutoka Siria"
Luke 4:28-30
Watu wote kwenye sinagogi walijaa hasira waliposikia mambo haya
Watu wa Nazarethi walikosewa sana kwamba Yesu alidondoa maandiko ambayo Mungu aliwasaidia wamataifa badala ya Wayahudi.
walimlazimisha yeye atoke nje ya mji
"walimlazimisha yeye kuuacha mji" au "alisukumwa nje ya mji" (UDB)
jabali la kilimani
"ncha ya jabali"
yeye alipitia katikati yao
"kupita katikati ya mkutano" au "kati ya watu ambao wanajaribu kumuua yeye." Neno "haki" hapa ni sawa na neno "rahisi." Linaashiria kwamba hakuna kilichomzuia yeye kuweza kutembea kupitia mkutano wenye hasira.
alikwenda sehemu nyingine
"alikwenda mbali" au "alikwenda kwa njia yake" Yesu alikwenda ambako alikuwa kapanga kwenda badala ya ambako watu walijaribu kumlazimisha aende.
Luke 4:31-32
Sentensi Unganishi
Yesu anakwenda Kapernaumu, anafundisha watu katika Sinagogi huko, na anaamuru mapepo kuondoka kwa mtu.
Ndipo yeye
"ndipo Yesu." Hii inaashiria tukio jipya.
alishuka Kapernaumu
Kirai hiki "shuka chini" ilitumika hapa sababu Kapernaumu ni chini kuliko Nazarethi.
Kapernaumu, ni mji katiaka Galilaya
"Kapernaumu, mji mwingine katika Galilaya"
liostaajabisha
"lishangaa sana" au "liovutia sana" au "lioshangaza "
alizungumza kwa mamlaka
"alizungumza kama mtu mwenye mamlaka" au "maneno yake yalikuwa na nguvu kubwa"
Luke 4:33-34
Sasa ... alikuwepo mtu
Kirai hiki kinatumika kudokeza utangulizi wa mhusika mpya ndani ya simulizi; katika suala hili, mtu aliyepagawa pepo.
ambaye alikuwa na pepo mchafu
"ambaye alipagawa na pepo mchafu" au "ambaye alitawaliwa na na roho mchafu" (UDB)
alilia kwasauti ya juu
"yeye alipiga kelele"
Tunanini cha kufanya na wewe
Hili jibu la kichokozi ni nahau ambayo inamaana: "Nini tulichonacho cha kufanana?" au "unahaki gani ya kutusumbua sisi?"
Nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazarethi?
Swali hili lingeandikwa kama sentensi. NI: "Nini wewe, Yesu wa Nazarethi, unataka kutufanyia" au Hakuna chochote cha kufanya na wewe, Yesu wa nazarethi!" au "Huna haki kutusumbua sisi, Yesu wa Nazarethi!"
Luke 4:35-37
Yesu alikemea pepo, akisema
"Yesu alikemea pepo akisema," au "Yesu bila huruma alisema kwa pepo"
toka nje yake
Yeye alimwamuru pepo kutokumtawala mtu. NI: "mwache peke yake" au "usiishi ndani ya mtu huyu tena"
Haya ni maneno ya aina gani?
Watu wanadhihirisha jinsi walivyoshangazwa kwamba Yesu anamamlaka kuamuru pepo kumwacha mtu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Haya maneno yanashangaza!" au "maneno yake ya ajabu"
Anaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu
"Yeye anamamlaka na nguvu kuamuru roho wachafu"
Habari kumhusu zilianza kuenea ... kanda inayozunguka
Hii ni amri kuhusu kile kilichotokea baada ya simulizi ambacho kilisababishwa na matukio ndani ya hadithi yenyewe.
habari kumhusu yeye zilianza kuenea
"taarifa kuhusu Yesu zilianza kuenea" au "watu walianza kueneza habari kuhusu Yesu"
Luke 4:38-39
Sentensi Unganishi
Yesu bado yuko Kapernaumu, lakini sasa yuko katika nyumba ya Simoni, alipomponya mama mkwe wa Simoni na watu wengi.
Ndipo Yesu akaondoka
Hii inaanzisha tukio jipya
Mama mkwe wa Simoni
Mkwe** - "mama yake mke wa Simoni"
Alikuwa anaumwa
Hii ni nahau inayomaanisha "alikuwa anaugua"
homa kali
"mwili wake ulikuwa na joto kali"
kusihi badala yake
Maana yake walimwomba Yesu amponye homa yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kumwomba Yesu amponye homa"
Hivyo alisimama
Neno "Hivyo" linaweka wazi kwamba alifanya hivi kwa sababu watu walimsihi badala ya mama mkwe wa Simoni.
alisimama kwake
"alikwenda kwake na aliegama kwake"
liikemea homa
"alisema kwa kuikaripia homa" au "aliamuru homa kumwacha" UDB. Itakuwa ni msaada kusema wazi alichoiambia homa kufanya. NI: "aliiamuru ngozi kupoa" "aliuamuru ugonjwa kumwacha"
alianza kuwahudumia
Hapa hii inamaana alianza kuandaa chakula kwaajili ya Yesu na watu wengine ndani ya nyumba.
Luke 4:40-41
alilaza mkono wake juu
"aliweka mkono wake juu" au "aligusa"
Pepo pia yakatoka nje
Hii ilimaanisha kwamba Yesu aliyafanya mapepo yaondoke kwa watu yaliokuwa yamewatawala. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "Yesu pia aliyalazimisha mapepo yatoke"
analia kwa sauti na akisema
inamaanisha kitu kilekile, na huenda inarejea kulia kwa hofu au hasira. Baadhi ya tafsiri inatumia neno moja. NI: "paza sauti"
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo mhimu kwa Yesu.
alikemea pepo
"aliwaambia pepo kwa ukali"
usingeliwaruhusu
"Wao hapana kuwaruhusu"
Luke 4:42-44
Sentensi Unganishi:
Ingawa watu walitaka Yesu abaki Kapernaumu, anakwenda kuhubiri kwenye masinagogi mengine Uyahudi.
ilipofika mapambazuko
"wakati wa jua kuchomoza"
mahali palipo jitenga
"mahali pa pekee" au "mahali pasipokuwa na watu"
kwa miji mingi mingine
"kwa watu katika miji mingine mingi"
hii ni sababu nilikuwa nimetumwa hapa
Hii inaweza ikawekwa kwenye kauli tendaji, NI: "hii ni sababu Mungu alinituma hapa mimi"
Uyahudi
Tangu Yesu awe Galilaya, neno "Uyahudi" hapa huenda linarejea kwenye ukanda wote ambako Wayahudi waliishi wakati huo, NI: "ambapo waliishi Wayahudi"
Luke 5
Luke 5:1-3
Kauli Unganishi:
Yesu anahubiri kutoka katika mtumbwi wa Simoni Petro katika ziwa Genesareti
Sasa ilitokea
Kauli hii inatumika hapa kuweka alama kwenye mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yako inanamna ya kufanya hivi, ungefikiri kutumia hapa.
ziwa Genesareti
Hili ni jina lingine la ziwa Galilaya. Galilaya ulikuwa upande magharibi wa ziwa, na na nchi ya Genesareti ulikuwa upande wa mashariki, hivyo ulikuwa unaitwa kwa majina yote.
kuosha nyavu zao
Walikuwa wanasafisha nyavu za kuvuvia ili wazitumia tena kupata samaki.
mitumbwi mmoja ambao ulikuwa wa Simoni
"mtumbwi unaomilikiwa na simoni"
akamwambia kuweka kwenye maji mbali kidogo kutoka kwenye ardhi
"alimwambia Petro kuusukuma mtumbwi zaidi kutoka ufuoni"
aliketi na akawafundisha watu
kuketi ilikuwa ni mfumo wa kawaida kwa mwalimu.
aliwafundisha watu tokea kwenye mtumbwi
"aliwafundisha watu akiwa amekaa kwenye mtumbwi." Yesu alikuwa katika mtumbwi mbali kidogo kutoka ufuoni na alikuwa anaongea na watu ambao walikuwa kwenye ufuo.
Luke 5:4-7
Alipokwisha kumaliza kuzungumza
"Yesu alipomaliza kuwafundisha watu"
ya maneno yako
"kwa sababu ya maneno yako" au "kwa sababu umeniambia kufanya hivi"
walipunga
walikuwa mbali sana kutoka ufuoni hivyo walifanya ishara, huenda kupunga mikono.
walianza kuzama
"mtumbwi ulianza kuzama." "mtumbwi ulianza kuzama kwa sababu samaki walikuwa wazito sana."
Luke 5:8-11
alianguka chini magotini pa Yesu
Maana zinazowezekana ni 1) "kuinama chini magotini pa Yesu" au 2) kulala chini miguuni ya ardhi miguuni pa Yesu" 3) "kupiga magoti mbele ya Yesu." Yesu hakuanguka kwa bahati mbaya. Yeye alifanya hivi kama ishara ya unyenyekevu na heshima kwa Yesu.
mtu mwenye dhambi
Neno hapa kwa "mtu" linamaanisha "mtu mzima mwanaume" na kwa ujumla zaidi "binadamu."
kamata samaki
"idadi kubwa ya samaki"
washirika pamoja na Simoni
"Wadau wa Simoni katika biashara ya uvuvi"
utakamata watu
Sura ya kukamata samaki imekuwa ikitumika kama sitiari kwa kukusanya watu kumfuata Kristo. NI: "utavua watu" au "mtakusanya watu kwaajili yangu" au "mtaleta watu kuwa wanafunzi"
Luke 5:12-13
Sentensi Unganishi
Yesu anamponya mkoma katika mji tofauti ambao hautajwi jina.
Ikawa
Kauli hii inaonesha tukio jipya katika simulizi.
mtu aliyejaa ukoma
"mtu alikuwa anaukoma." Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
akaangukia kichwa
"alipiga magoti na kichwa kikagusa chini" au "aliinama mpaka chini" (UDB)
kama uko tayari
"kama unataka"
unaweza ukanifanya msafi
ilifahamika kwamba yeye alikuwa anamuuliza Yesu aponywe. Hii inaweza ikasemwa wazi. NI: tafadhali nisafishe, sababu unaweza
nifanye msafi ... uwe safi
Hii inarejea kwenye usafi wa ibada, lakini ilifahamika kwamba yeye si msafi kwasababu ya ukoma. Yeye hasa anamuuliza Yesu amponye maradhi yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "niponye ukoma hivyo nitakuwa msafi ... upone"
ukoma ukamwacha
"hakuwa naukoma tena" (UDB)
Luke 5:14
kutomwambia mtu
Hii tafsiri inaweza ikanukuiwa moja kwa moja. "kutomwambia mtu kwamba wewe umeponywa." Ni "Kutokusema kwa yeyote."
dhabihu kwa utakaso wako
Sheria inamtaka mtu kufanya dhabihu maalumu baada ya utakaso wao. Hii ilimruhusu mtu kuwa safi kitaratibu, na kuweza tena kushiriki katika desturi kidini.
kwa ushuhuda
"Hii inathibitisha uponyaji wako""
Kwao
Maana zinazowezekana 1) "kwa makuhani" 2) "kwa watu wote"
Luke 5:15-16
Taarifa kumhusu yeye
"habari kuhusu Yesu." Hii pengine ingemaanisha "taarifa kuhusu uponyaji mtu kwa Yesu" au "taarifa kuhusu Yesu kuponya watu."
taarifa kuhusu yeye zilisambaa zaidi na zaidi
"taarifa kuhusu yeye zilizagaa sana" au "watu waliendelea kuzisema habari kuhusu yeye katika maeneo mengine"
maeneo yaliyotengwa
"maeneo ya pekee" au "maeneo ambapo hapakuwa na watu wengine"
Luke 5:17
Kauli Unganishi:
Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha katika jengo, baadhi ya watu walimleta mtu aliyepooza kwaajili Yesu kumponywa.
Ilitokea
Kauli hii inaonesha mwanzo wa sehemu mpya katika simulizi.
Luke 5:18-19
Sasa baadhi ya watu wakaja
Hawa ni watu wapya katika simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kuonesha kwamba hawa ni watu wapya. "kulikuwa na watu ambao walikuja."
godoro
"kitu cha kulalia" au "kitu cha kuunyosha mwili"
alikuwa amepooza
"hangeweza kuondoka mwenyewe"
Wasingeweza kupata njia ya kumleta ndani kwa sababu ya kusanyiko, hivyo
Katika baadhi ya lugha inaweza inaweza ikawa kiasili ukirekebishwa. "Lakini kwa sababu ya mkutano wa watu, wasingepata njia kumleta mtu ndani"
kwasababu ya mkutano
Ni wazi kwamba sababu iliyowafanya wasiweze kuingia ilikuwa hadhara kubwa sana pale hapakuwa na nafasi kwaajili yao.
walikwenda juu hadi juu kabisa ya nyumba
Nyumba zilikuwa na dari, na baadhi ya nyumba zilikuwa na ngazi au kipandio (daraja) cha kurahisisha kupanda kule juu.
mbele ya Yesu kabisa
"mbele ya Yesu moja kwa moja" au "kwa haraka mbele ya Yesu"
Luke 5:20-21
angalia imani yao, Yesu alisema
ilieleweka kwamba walimwamini Yesu anaponya mtu aliyepooza. NI: "Yesu alipotazama kwamba wanaamini kwamba anaweza kumponya mtu, alimwambia "
Mwanadamu
Hili ni neno lililotumika kwa ujumla ambalo watu walitumia walipokuwa wakizungumza mtu na ambaye jina lake hawakulijua. ilikuwa siadabu, lakini pia haikuonesha heshima maalumu. Baadhi ya lugha ziliweza kutumia neno kama "rafiki" au "mkuu."
dhambi zako zimesamehewa
"umesamehewa" au "nasamehe dhambi zako"
hoji hiki
"jadili hili" au "toa hoja kuhusiana na hili." NI: "pengine jadili hata siyo Yesu alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi."
Nani huyu ambaye anasema kufuru?
Swali hili linaonesha jinsi walivyoshituka na kukasirika kwa kile ambacho Yesu alisema. "Mtu huyu anamkufuru Mungu" au "Yeye anamkufuru Mungu kwa kusema hivyo"
Nani anayeweza kusamehe dhambi, lakini Mungu pekee?
Inachodokeza taarifa ni kwamba kama mtu anadai kusamehe dhambi anasema ni Mungu. "Hakuna anayeweza kusamehe dhambi lakini Mungu pekee" au "ni Mungu pekee ambaye anaweza kusamehe dhambi."
Luke 5:22-24
kutambua walichokuwa wanafikiri
Kirai hiki kinaashiria kwamba walikuwa wanahojiana kimya kimya, hivyo kwamba Yesu alitambua zaidi na alisikia walichokuwa wanfikiri.
Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu
Msingepaswa kusema hivi mioyoni mwenu " au"Msingepaswa kutia shaka kwamba nina mamlaka ya kusamehe dhambi"
Mioyoni mwenu
Hii inarejea sehemu ya mtu ambayo hufikiri au huamini.
rahisi kusema
Kitu ambacho hakipo wazi ni kimoja. "Ni rahisi kusema, sababu hakuna mmoja atakayejua, lakini kitu kingine ni "kigtumu kusema sababu kila mmoja atajua". watu wasione kama mtu dhambi zako zimesamehewa, 'lakini Mungu pekee anaweza sababisha huyu mlemavu kusimama na kutembea."
mnaweza kujua
Yesu alikuwa akiongea kwa Waandishi na Mafarisayo. Neno "enyi" ni wingi.
Mwana wa Adam
Yesu alikuwa akirejea yeye peke yake
Nasema kwenu
Yesu alikuwa akisema haya kwa mtu aliyepooza .Neno "wewe" ni umoja
Luke 5:25-26
kwa haraka
"mara moja"njia sahihi"
akainuka
Inaweza kusaidia kusema kwa wazi kwamba aliponywa. NI: "mtu aliponywa! akainuka."
kujawa na hofu
"hofu sana"au" kujawa na utisho"
vitu vinavyozidi vya kawaida
"vitu vya kushangaza "au" vitu vigeni"
Luke 5:27-28
Sentensi Unganishi:
Yesu alipoondoka nyumbani, anamwita Lawi, Myahudi mtoza ushuru amfuate. Lawi anaandaa mlo kwaajili ya Yesu uliowakera mafarisayo na waandishi.
Baada ya mambo hayo kutokea
Kirai "vitu hivi" kinamaanisha kilichotokea kwenye mistari iliyopita. Ishara hii ni tukio jipya.
akamwona mtoza ushuru
"akamwangalia mtoza ushuru kwa umakini "au" alimwangalia mtoza ushuru kwa uangalifu"
Nifuate
Kufuata mtu ilikuwa ni kauli imaanishayo kuwa mwanafunzi. NI: "Kuwa mwanafunzi wangu "au" njoo, nifuate kama mwalimu wako"
Acha vyote nyuma
"akaacha kazi yake kama mtoza ushuru"
Luke 5:29-32
Sentensi Unganishi
Chakulani, Yesu anazungumza na Mafarisayo na waandishi.
Nyumbani mwake
"kwenye nyumba ya Lawi"
walioketi mezani
Aina ya Kigiriki ya kula kwenye karamu ilikuwa kuegemea kochi na kujihimili peke yako kwa mkono wa kushoto kwenye baadhi ya mito ." au " "kwenye meza"kukaa mezani"
kwa wanafunzi wake
"kwa wanafunzi wa Yesu"
Kwa nini unakula ... kwa mtu mwenye dhambi?
Mafarisayo na Waandishi waliuliza haya kudhihirisha kutoridhishwa kwao kwamba Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanakula na wenye dhambi. NI: "Huwezi kula na wenye dhambi!"
mnakula na kunywa pamoja ... watu wenye dhambi
Mafarisayo na waandishi waliamini kwamba watu wa dini wanapaswa kujitenga na watu waliowaona kuwa ni wenye dhambi. Neno "wewe" ni wingi.
Watu ambao ni wazima ... wagonjwa
Yesu anadhihirisha hii kama mithali.
Tabibu
daktari atibuye " au" daktari"
ni ambao wanaumwa tu
Maneno "inahitaji" yanaeleweka kutoka kirai kilichotangulia. NI: "ni wale wagojwa tu wanamwitaji"
watu wenye haki
Baadhi ya watu walifikiri wanahaki. Yesu anarejea kwa hao kwa namna walivyofikiri kuhusu wao wenyewe ingawaje alijua kwamba hawakuwa wenye haki. NI: "watu wafikirio wanahaki"
Luke 5:33-35
Akawaambia
"Viongozi wa dini wakasema kwa Yesu"
inawezekana yeyote akafanya ... pamoja nao?
Yesu alitumia swali kusababisha watu kufikiri kuhusu hali ambayo tayari wanaijua."Hakuna mmoja wenu anawaambia waliohudhuria harusini kufunga wakati bado Bwana arusi yupo nao."
waliohudhuria harusini
"wageni" au "marafiki. "Hawa ni marafiki ambao husherehekea na mtu ambaye anafunga ndoa.
waalikwa wa bwana arusi wanafunga
kufunga ni ishara ya huzuni. Viongozi wa dini walielewa kwamba waalikwa arusini hawawezi kufunga wakati bwana arusi akiwa pamoja nao.
siku zitakuja
"upesi" au siku hizo" (UDB)
Bwana Arusi atakapoondolewa kwao.
Yesu anajifananisha yeye mwenyewe na bwana arusi, wanafunzi wake ni waalikwa arusini. Hakufafanua sitiari, hivyo tafsiri ieleze kama ni lazima tu.
Luke 5:36
Taarifa kwa ujumla
Yesu anasema habari kwa waandishi na mafarisayo waliokuwa nyumbani kwa Lawi.
Hakuna mtu huchana
"Hakuna mmoja hupasua " au" mtu hachani kamwe"
kama alifanya hivyo
Kauli hii tete inaelezea sababu kwa nini mtu hatarekebisha vazi kwa njia hiyo.
kurekebisha
"karabati"
kisingefaa
"kisingeweza kukubaliana " au" kisingekuwa sawa"
Luke 5:37-39
Hakuna mtu awekae
"Mtu hawezi kuweka "au" hakuna hata mmoja huweka"
Divai mpya
"juisi ya dhabibu."Hii inamaanisha divai ambayo bado hajachachishwa."
Kiriba
Hii ni mifuko iliyotengenezwa kwa ngozi ya mnyama. Ingeweza kuitwa mifuko ya divai "au "mifuko iliyotengenezwa kwa ngozi."
kiriba kipya kingepasua ngozi
Kipindi divai mpya inachana na kuvutika, inapasua ngozi ya zamani kwa sababu hata hivyo hunyooka. Wasikilizaji wa Yesu walielewa taarifa zihusuzo divai iliyochachishwa na kuvutika.
Divai ingevuja
"Divai ingevuja nje ya mifuko"
viriba vipya
"viriba vipya " au "mifuko mipya ya divai."Hii inamaanisha viriba vipya vya divai, visivyotumika.
kunywa divai ya zamani ... anataka mpya
Sitiari hii inakanusha mafundisho ya zamani ya viongozi wa dini ni kinyume na mafundisho mapya ya Yesu. Dokezo ni kwamba watu ambao walizoea mafundisho ya zamani hawako tayari kusikiliza vitu vipya ambavyo Yesu anafundisha.
Divai ya zamani
"divai ambayo imechachishwa"
Anasema cha zamani ni bora
Itasaidia kwa kuongeza: na "hata hivyo tayari kujaribu divai mpya.
Luke 6
Luke 6:1-2
Sentensi Unganishi:
Sasa Yesu na wanafunzi wake wanatembea kupitia kwenye shamba la ngano wakati baadhi ya mafarisayo wanaanza kuwauliza wanafunzi kuhusu walichokuwa wanafanya siku ya sabato ambayo katika sheria ya Mungu imetengwa kwaajili ya Mungu.
Taarifa kwa Ujumla
Neno "wewe" hapa ni wingi, na linarejea kwa wanafunzi.
sasa ikatokea
Kirai hiki kilitumika hapakuzingatia mwanzo wa sehemu mpya ya masimulizi. Ikiwa lugha yako ni njia ya kufanya hivi, ingeweza kutumika hapa.
masuke
Kwa suala hili, hizi ni sehemu kubwa za nchi ambapo watu walikuwa wametawanya mbegu pawe na ngano nyingi.
juu ya ngano
Hii ni sehemu ya juu ya mmea wa ngano, ambao ni aina jani kubwa. inashikilia mbegu inayoota ya mmea.
kufikicha katikati ya mikono yao
Walifanya hivi kutenganisha ngano. NI: "Walifikicha ngano katika mikono yao kutenganisha ngano na ganda" (UDB)
Kwa nini mnafanya vitu ambavyo ni kinyume kufanya siku ya sabato?
Hili ni swali linalowatuhumu wanafunzi kwa kuvunja sheria. NI: "Kuchuma nafaka siku ya sabato ni kinyume na sheria ya Mungu!"
kufanya kitu fulani
Mafarisayo waliona hata kitendo kidogo cha kufikicha ngano kuwa ni kazi ivunjayo sheria. NI: "kufanya kazi"
Luke 6:3-5
Hamkuwahi hata kusoma ... yeye?
Yesu anawakemea mafarisayo kwaajili ya kutojifunza maandiko. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi NI: "Mtajifunze kutokana na yale mliyo soma .... yeye"
Mkate wa wonyesho
"Mkate mtakatifu " au "mkate ambao uliokuwa ukitolewa sadaka kwa Mungu"
Mwana wa Adam
Yesu alikuwa anarejea yeye peke yake. 'Mimi' Mwana wa Adam. NI: "Mimi, Mwana wa Adamu"
ni Bwana wa Sabato
Cheo "Bwana" hapa inasisitiza mamlaka juu ya Sabato. NI: "ana mamlaka kutambua kipi ni sahihi kwa mtu kufanya siku ya sabato!"
Luke 6:6-8
Sentensi Unganishi:
Waandishi na Mafarisayo wanatazama Yesu anaponya mtu siku ya Sabato
Taarifa kwa Ujumla
Hapa sasa ni siku ya Sabato nyingine na Yesu yuko kwenye Sinagogi.
Ilitokea
Kirai hiki kimetumika hapa kuzibgatia mwanzo wa tukio jipya katika masimulizi.
Mtu alikuwa pale
Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
mkono wake umepooza
mkono wa mtu ambaye umepata umeadhirika kiasi ambachomhawezi kuunyoosha. Ulikuwa umejikunja kwenye eneo la ngumi, ikaufanya uonekane mdogo na wenye kupinda.
walikuwa wanamuangalia kwa karibu
"walikuwa wanamuangalia Yesu kwa makini"
ili waweze kupata
"kwa sababu walitaka kutafuta"
katikati ya kila mmoja
"mbele ya kila mtu" (UDB). Yesu alimtaka yule mtu kusimama ambapo kila mmoja angemuona.
Luke 6:9-11
Kwao
"kwa Mafarisayo"
ni halali ... okoa maisha ... iharibu?
Yesu alitaka kuwasahihisha Mafarisayo wajuao kwamba ni kosa kuponya siku ya Sabato. Aliuliza swali kama kupinga kati ya kufanya wema au uovu ili kwamba iwe wazi kipi ni sahihi na kipi ni kibaya. NI: "tendo lipi ambalo sheria inaruhusu - kufanya wema na kuponya, au kuumiza na kuharibu maisha?"
kufanya mema au kufanya madhara
"kusaidia mtu au kumdhuru mtu"
Nyoosha mkono wako
"Shikilia mkono wako" au" panua mkono wako"
alirejeshwa
"aliponywa"
Luke 6:12-13
taarifa kwa Ujumla
Yesu anachagua mitume kumi na wawili baada ya kuomba usiku mzima.
Ikatokea katika siku hizo
kirai hiki kimetumika hapa kuashiria mwanzo wa kipande kipya cha masimulizi.
katika siku hizo
"katika wakati huo" au"sio mbali baada ya hapo " au" siku moja katikati ya hapo"
alikwenda nje
"Yesu alikwenda nje"
ilipokuwa siku
"ilipokuwa asubuhi" au "siku iliyofuata"
Aliwachagua kumi na wawili miongoni mwao
"aliwachagua kumi na wawili kati ya wanafunzi"
"ambao pia aliwaita mitume"
"ambao aliwafanya mitume" au "na alipowateua wao kuwa mitume."
Luke 6:14-16
majina ya mitume yalikuwa
Hizi ni taarifa zimeongezwa kwenye mstari wa ULB
ndugu yake Andrea
"kaka yake Simoni, Andrea"
Zelote
inawezekana maana 1) "Zelote" ni cheo kinacho onesha alikuwa sehemu ya kundi la watu waliotaka kuwaacha huru Wayahudi kutoka utawala wa Rumi NI: "mzalendo" au "mtaifa" au 2) "mwenye bidii" ni maelezo yanayoashiria alikuwa na bidii kwaajili ya Mungu kuheshimiwa. NI: "shauku"
kuwa msaliti
Inaweza kuwa lazima kueleza nini maana ya "msaliti" katika mkutadha huu. NI: "aliwasaliti rafiki zake" au "aliwageuka rafiki zake mbele ya maadui" (kawaida kwa kurudisha fedha alizolipwa" au "kumweka rafiki katika hatari kwa kuwaambia maadui kuhusu yeye"
Luke 6:17-19
Sentensi Unganishi:
Ingawa Yesu akiwaelekea hasa wanafunzi wake, walikuwapo watu wengi karibu ambao wanasikiliza.
pamoja nao
"pamoja na kumi na wawili aliowachagua" au "pamoja na mitume wake kumi na wawili"
waliponywa
Hii inaweza kusema katika kauli tendaji "kwa Yesu kuwaponya wao"
waliokuwa wakisumbuliwa na roho wachafu pia walipona
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Yesu pia aliwaponya watu walisumbuliwa na roho wachafu."
waliosumbuliwa na roho wachafu
"sumbuliwa na roho chafu" au waliotawaliwa na roho chafu"
nguvu za kuponya zilikuwa zikimtoka
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji NI: "alikuwa na nguvu kuponya watu" au "alitumia nguvu zake kuponya watu"
Luke 6:20-21
Ninyi mmebarikiwa
Kirai hiki kimerudia mara tatu. Kila mara ,kinaashiria kwamba Mungu huwapa neema watu fulani au kwamba hali zao ni chanya au nzuri.
Mmebarikiwa ninyi mlio maskini
"Wale ambao ni maskini hupokea neema ya Mungu" au " ambao ni maskini hunufaika"
Kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu
Lugha ambazo hazina neno ufalme laweza sema, "Mungu ni mfalme wako" au "kwa sababu Mungu ni mtwala wako."
Ufalme wako ni wa Mungu
"ufalme wa Mungu ni wako." Hii ingeweza kumaanisha 1) "umetokana na ufalme wa Mungu" au 2) Utakuwa na mamlaka katika ufalme wa Mungu."
Mtacheka
"Mtacheka na kufurahia" au "Mtakuwa na furaha"
Luke 6:22-23
Mmebarikiwa ninyi
"Mmepokea neema ya Mungu" au "Mnanufaika" au "Ni kwa namna gani ni nzuri kwenu"
Kuwatenga ninyi
"kuwakataa ninyi"
Kwa ajili wa Mwana wa Adam
"kwa sababu mnajumuika na Mwana wa Adam" au" kwa sababu walimkataa Mwana wa Adam "
Siku hiyo
"Kipindi wanafanya mambo hayo" au "kipindi yanatokea"
vuna kwa furaha
Nahau hii inamaanisha "kuwa na furaha zaidi"
dhawabu kubwa
"malipo makubwa" au "zawadi nzuri"
Luke 6:24-25
Ole wenu
"jinsi gani kwenu ni hatari." Kirai hiki kimerudia mara tatu. Ni kinyume cha "mmebarikiwa ninyi" Kila mara, kinaashiria kwamba hasira ya Mungu ni moja kwa moja kwa watu, au kwamba kitu hasi au kibaya kinawasubiri.
ole wenu ninyi mlio matajiri
namna gani balaa ni wale ambao ni matajiri" au "shida zitakuja kwa wale ambao ni matajiri"
Mfariji wenu
"mfariji wenu" au "kinacho waridhisha ninyi" au "kinacho wafanya mwe na furaha"
Mlio shiba sasa
"ambao matumbo yao yameshiba sasa" au "ambaye hula kingi sasa"
wanao cheka sasa
"ambaoana furaha sasa."
Luke 6:26
Ole wenu
"ni gani balaa gani litakuwa kwenu" au "jinsi mtakavyo kuwa na huzuni"
Kipindi wanadamu wote
kipindi watu wote" au "kipindi kila mmoja"
hivyo ndivyo wahenga waliwafanya manabii wa uongo
"walinena vizuri juu ya manabii wa uongo"
Luke 6:27-28
Sentensi Unganishi:
Yesu anaendelea kuzungumza kwa wanafunzi wake na vile vile na mkutano wanao msikiliza yeye.
kwenu mnaosikiliza
Yesu sasa anaaza kuzungumza kwa hadhara yote, zaidi kuliko kwa wanafunzi wake tu.
penda ... fanya mema ... Bariki ... omba
Katika kila amri hizi hufanyika kwa mwendelezo, siyo tu kwa mara moja.
penda adui zako
Hii hainamaana unawapenda tu adui na siyo marafiki. Hii inaweza kusemwa. NI: "Wapende adui, siyo tu rafiki!" (UDB)
penda ... fanya mema kwa
Virai viwili hivi vinamaana sawa, na kwa pamoja vinasisitiza hoja.
Bariki ambao
Mungu ndiye abarikie. Hii inaweza ikadhihirisha. NI: "Omba Mungu kubariki hao" (UDB)
ambao wanakulaani
"ambao wanatabia ya kukulaani"
wale ambao wanakutendea mabaya
"wale ambao wanatabia ya kukutenda mabaya"
Luke 6:29-30
Kwa yeye akupigaye
"kama yeyote akupigaye"
katika shavu moja
"kwenye upande mmoja wa uso"
Mpe pia upande mwingine
Inasaidia kusema ambacho mshambuliaji atafanya kwa mtu. NI: "geuza uso wako kwamba aweza kupiga na shavu jingine pia"
Usizuie
"hapana kumzuia kuchukua"
Mpe kila mmoja akuombaye
"Ikiwa yeyote anakuomba kitu, mptie"
usimuulize
"usimwombe" au "usihitaji"
Luke 6:31-34
Kama unavyotaka watu wakufanyie, ufanye hivyo kwao
Kwa baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa uasilia zaidi kubadili amri: NI: "Uwafanyie watu sawasawa na unavyotaka watu wakufanyie."
Ni ujira gani kwenu?
"Ni dhawabu gani mtapokea?" au "Mtapokea sifa gani kwa kufanya hivyo?" Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hamtapokea thawabu yeyote kwa hilo" au "Mungu hatawazawadia kwa hilo"
kurudisha kiasi kile kile
Sheria ya Musa iliamuru Wayahudi wasipokee riba kwa pesa waliyokopeshana.
Luke 6:35-36
Dhawabu yenu itakuwa kubwa
"mtapokea dhawabu kubwa" au "mtapokea malipo mazuri" au "mtapata zawadi nzuri kwa sababu ya hilo"
Mtakuwa wana wa aliye juu
Ni vizuri sana kutafsiri "wana" kwa maneno ambayo lugha yako itayatumia kwa asili kurejea kwa mwana wa kibinadamu.
wana wa aliye juu
Hakikisha kwamba neno "wana" ni wingi lisichanganywe na cheo cha Yesu "Mwana wa aliye Juu Sana"
Wasio na shukrani na ni watu waovu
"Watu ambao hawamshukuru yeye na ambao ni waovu"
Baba yako
Hii inamrejea Mungu. Ni bora kutafsiri "Baba" kwa neno ambalo lugha ambayo kwa asili hutumika kurejea kwa baba binadamu.
Luke 6:37
Msihukumu
"Msihukumu watu" au "usimkosoe mtu"
na wewe
"na kama matokeo yako"
hamtahukumiwa
Yesu hakusema ambao wasingehukumu. Inawezekana maana ni 1) "Mungu hatakuhukumu wewe" au 2) "hakuna wa kukuhukumu wewe."
Msishutumu
"Msishutumu watu"
Hamtashutumiwa
Yesu hakusema ambaye angehukumu. inawezekana inamaanisha 1) "Mungu hatakushutumu wewe" au 2) "hakuna hata mmoja atakaye washutumu."
Nanyi mtasamehewa
Yesu hakusema ambaye angesamehe. Inawezekana inamaanisha 1) "Mungu atakusamehe" au 2 ) "watu watakusamehe."
Luke 6:38
Nanyi mtapewa
Yesu hakusema kwa hakika ambaye angetoa. Inawezekana inaanisha 1) "yeyote atakupa wewe 2) "Mungu atakupa wewe?
kiasi cha ukarimu ....magotini penu
Amri ya sentensi hii inaweza kurudiwa. NI: "kitamwagwa magotini penu kiasi cha ukarimu kilichosindiliwa na kumwagika. "Yesu alitumia mfano wa mfanya biashara wa nafaka kupata kiasi cha ukarimu. NI: "Ni kama mfayabiashara wa nafaka ambaye hushindilia nafaka na kuzitikisa pamoja na hutoka nafaka nyingi ambazo humwagika, watakupatia wewe kwa ukarimu.
Kiasi cha ukarimu
"kiasi kingi"
Itapimwa hivyo hivyo kwako
Yesu hakusema kwa hakika nani atapima. Maana zinazowezekana 1)"watatumia kipimo hicho hicho kupima vitu vyako" au 2) Mungu atakupimia pia vitu wewe
Luke 6:39-40
Sentensi Unganishi
Yesu anahusisha baadhi ya mifano kujenga hoja yake.
mtu kipofu anaweza kumuongoza kipofu mwingine?
Yesu alitumia swali ili kupata watu wa kufikiri kitu ambacho tayari wanajua. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Mtu kipofu hawezi kumuongoza mtu mwingine kipofu.
mtu kipofu
mtu ambaye ni "kipofu" ni sitiari kwa mtu ambaye hajafundishwa kama mwanafunzi.
Ikiwa alifanya
Baadhi ya lugha zinaweza kupendelea, "kama mmoja alifanya" Hii ni hali upuuzi kwamba haiwezi kabisa kutokea.
wote wataangukia shimoni, je hawawezi?
Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: wawili wote wataangukia shimoni"
Mwanafunzi siyo mkubwa kuliko mwalimu mwalimu wake
"Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake." Maana zinazowezekana ni 1) "Mwanafunzi hana maarifa kuliko mwalimu wake" au 2) Mwanafunzi hana mamlaka kuliko mwalimu"
Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake
Hii inaweza kumaanisha kuwa 1)"mwanafunzi hawezi kuwa na ufahamu mkubwa kuliko mwalimu "au 2) " Mwanafunzi hana mamlaka zaidi ya mwalimu ."Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu."
kila mmoja akishamaliza kufundishwa
"Kila mwanafunzi aliyefundishwa vizuri" au "kila mwanafunzi ambaye amejazwa mafundisho na mwalimu."
Luke 6:41-42
kwanini unaangalia ... lakini huzingatii kijiti ambacho kimo kwenye jicho lako?
Yesu anatumia swali hili kuwapa watu changamoto kuzingatia dhambi zao wenyewe kabla hawajafuatilia dhambi za watu wengine. NI: "usiangalie ... lakini puuza kitiji ambacho kimo kwenye jicho lako"
kibanzi kilichomo kwenye jicho la ndugu yako
Hii ni sitiari ambayo inarejea kwenye kosa dogo alilofanya muumini mwenzako.
kipande cha kijiti
"doa" (UDB) au "kibanzi." Tumia neno kwa kitu kidogo ambacho kwa kawaida kinaingia kwenye jicho la mtu.
ndugu
Hapa "ndugu" inanarejea kwa myahudi au muumini mfuasi wa Yesu.
kijiti ambacho kimo kwenye jicho lako
Hii ni sitiari kwa kosa la mtu maarufu. kijiti hakiwezi kuingia kwenye kwenye jicho la mtu kilivyo. Yesu anasisitiza kwamba mtu awe makini kwa makosa yake mwenyewe kabla hajashughulikia makosa madogo ya mwingine.
kijiti
"boriti " au "kigogo"
Unawezaje kusema ... jicho?
Yesu anauliza swali hili kukosoa watu wazingatie dhambi zao kabla ya kufuatilia dhambi za wengine. NI: "Usiseme ... jicho"
Luke 6:43-44
Taarifa kwa Ujumla:
watu wanaweza wakasema kama mti ni mzuri au mbaya, na ni aina gani ya mti, kwa matunda yake unayozaa. Yesu anatumia hii kama sitiari isiyo elezewa - tunajua mtu wa aina gani kwa ya kuona mtendo yao.
kwa kuwa ipo
"sababu ipo" Hii inaashiria kwamba kinachofuata ni sababu ni sababu ya kwanini hatupaswi kuwahukumu ndugu zetu
mti mzuri
mti wenye afya
haribika
"liooza" au "baya" au "siofaa"
Kila mti hujulikana
watu hutambua aina ya mti kwa matunda yake unayozaa. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "watu wanajua aina ya mti" au "watu wanatambua mti"
Mchongoma
Mmea au kichaka chenye miiba
waridi mwitu
mzabibu au kichaka kilicho na miiba
Luke 6:45
Taarifa kwa Ujumla:
Yesu analinganisha mawazo ya mtu kwa hazina nzura au mbaya. Mawazo mazuri ya mtu mzuri yanasababisha matendo mazuri. Mawazo maovu ya mtu mwovu husababisha matendo mabaya.
Mtu mwema
Neno "mwema" hapa linahusu mwenye haki au maadili mema.
mtu mwema
Neno "mtu" linarejea kwa mtu, mwanaume au mwanamke. NI: "mtu mwema"
Hazina njema ya moyo wake
"vitu vizuri hutunza moyoni mwake" au "vitu vizuri huvithamini"
huzaa kilicho kizuri
Kutoa kilicho kizuri ni sitiari kwa kufanya mema. NI: "kufanya kilicho kizuri"
hazina mbaya ya moyo wake
"mambo mabaya anayotunza moyoni mwake" au "mambo mabaya anayothamini"
katika utajiri wa moyo wake mdomo huzungumza
Kirai "kinywa chake" kinawakilisha yeye kutumian mkinywa chake. NI: "anachofikiri moyoni mwake kinaathiri anachosema kwa mdomo wake" au anachokithamini moyoni mwake huamua kinachosemwa na kinywa.
Luke 6:46-48
Taarifa kwa Ujumla:
Yesu anamlinganisha mtu ambaye anatii na mtu anayejenga nyumba juu ya mwamba ambapo itakuwa na uimara na gharika.
Bwana, Bwana
Urudiaji wa maneno haya huashiria kwamba walimwita Yesu kwa kawaida "Bwana."
Kila mtu ajaye kwangu ... nitakwambia anacho kifanana
Itakuwa wazi zaidi kubadili mfumo wa sentensi hii. NI: "Nitakuambia jinsi kila mtu anayekuja kwangu akasikia na kuyatii maneno yangu anavyofanana "
jenga msingi wa nyumba kwenye mwamba imara
"Kuchimba msingi wa nyumba kwa kina kufikia mwamba imara" Baadhi ya tamaduni hawajengi juu ya mwamba, wanaweza kuhitaji kutumia kitu kingine kwa msingi imara.
Msingi
"msingi" au "saidia"
mwamba imara
Huu ni mwamba mgumu ambao upo chini ya udongo.
Maporomoko ya maji
"maji yaendayo kasi" au "mto "
Yakatokea dhidi
"Yakagonga dhidi yake"
tikisa
Maana zinazowezekana ni 1) "sababisha kutikisika" au 2) "iharibu."
Kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri
"kwa sababu mtu alikuwa ameijenga vizuri"
Luke 6:49
Taarifa kwa Ujumla:
Yesu anamlinganisha mtu asikiaye hatii mafundisho na mtu ambaye kajenga nyumba bila msingi hivyo itaanguka wakati wa mafuriko.
lakini mtu
"Lakini" inaonesha utofauti mkubwa kwa mtu aliyetangulia ambaye alijenga kwenye msingi.
juu ya ardhi pasipo msingi
Baadhi ya tamaduni nymba yenye msingi ni imara. Taarifa za kuongeza zinaweza zikawa msaada NI: "lakini hakuchimba chini na kujenga kwanza msingi"
Msingi
"msingi" au "msaada imara"
mafuriko ya maji
"maji -yanayotembea kwa kasi"
Maporomoka
"maji yanakwenda kwa kasi" au "mto"
tiririka kinyume
"iliyogonga"
poromoka
"anguka chini" au "ikagawanyika"
kifusi cha nyumba hiyo kilikuwa kamili
"nyumba hiyo ilikuwa imeharibika kabisa"
Luke 7
Luke 7:1
Taarifa kwa ujumla
Yesu anaingia Kapernaumu pale alipomponya mtumishi wa akida.
watu wakiwa wanasikiliza
Nahau "wakati watu wanasikiliza" anasisitiza anataka watu wasikie anchosema. NI: "ni kwa watu ambao walikuwa wanamsikiliza" au "kwa watu waliohudhuria" au "kwaajili ya watu kusikia"
Aliingia Kapernaumu
Hii inaanzisha tukio jipya katika simulizi
Luke 7:2-5
Nani alikuwa wa thamani kwake
"ambaye akida alimthamini" au "ambaye alimweshimu"
alimuuliza kwa uaminifu
"sihi pamoja" au "alimwomba"
anayestahili
"akida anastahili"
Taifa letu
"Watu wetu" hii inarejea kwa wayahudi.
Luke 7:6-8
aliendelea kwenye njia yake
"alienda"
siyo mbali kutoka kwenye nyumba
kauli hasi hizi zinaweza kubadilishwa. NI: "karibu na nyumba"
Usijisumbue mwenyewe
Akida alikuwa anaongea kwa upole kwa Yesu. NI: "Usijisumbue mwenyewe kwa kuja nyumbani kwangu" au "Sitaki kukuudhi"
Ingia chini ya dari yangu
Kirai hiki ni nahau inayo maanisha "Njoo ndani ya nyumba yangu." Kama lugha yako ina nahau inayomaanisha "Njoo kwenye nyumba yangu" fikiri kama ina weza kuwa nzuri kuweka hapa."
sema neno tu
Mtumishi alijua kuwa Yesu atamponya yule mtumishi kwa kusema tu. Hapa "neno" linarejea kuamuru. NI: "toa tu agizo"
Mtumishi wangu atapona
Neno lililotumiwa kutafsiri hapa kama "Mtumishi" mara nyingi limetafsiriwa kama "Mvulana" inaweza kuonyesha ishara kuwa mtumishi alikuwa kijana mdogo au inaonyesha ufanisi wa akida kwake.
kwa mtumishi wangu
Neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni neno la kawaida kwa mtumishi.
Luke 7:9-10
Alimshangaa
"alimshanga akida"
nawaambia
Yesu alisema haya kusisitiza maajabu ambayo anataka kuwaambia.
hata katika Israel sijawahi kuona imani kubwa hivi
maana yake ni kuwa Yesu alitarajia wayahudi kuwa na imani kama hii, lakini hawakuwa hivyo. Hakuwatajia wamataifa kuwa na imani ya namna hii, lakini huyu mtu amekuwa na imani hiyo. Unaweza kuongeza taarifa iliyofichika. NI: "sijaona mwisraeli yeyote anaye niamini kwa kiasi kama mmataifa huyu!" (UDB)
wale waliokuwa wametumwa
Ilifahamika kwamba hawa walikuwa watu waliotumwa na akida. Hii inaweza kusemwa NI: "watu ambao watawala wa Rumi waliowatuma kwa Yesu"
Luke 7:11-15
Sentensi Unganishi
Yesu anaenda katika mji wa Naini, pale alipomponya mtu aliyekuwa amekufa.
Naini
ni jina la Mji
tazama, mtu aliyekufa alikuwa kafa
Neno "Tazama" linatuashiria utangulizi wa simulizi ya mtu aliyekufa kwenye habari. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivi. NI: "Kulikuwa na mtu aliyekufa"
mtu ambaye alikuwa amekufa alikuwa kabebwa
Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji. NI: watu walikuwa wanapeleka nje ya mji mtu aliyekufa"
mwana pekee wa mama yake (ambaye alikuwa mjane)
"alikuwa mwana pekee wa mamaye, na alikuwa mjane" Hii ni taarifa iliyotangulia kuhusu aliyekufa na mama yake.
ilitokea kuwa
hii sentensi inatumika hapa kuonyesha mwanzo wa habari mpya. kama Lugha yako ina njia nyingine ya kufanya hivi unaweza kutumia hapa.
mjane
mwanamke ambaye mumewe amesha kufa
alisukumwa na huruma kwa ajili yake
"aliona huruma kwa ajili yake"
akaja mbele
"akaenda mbele" au "akamsogelea aliyekufa"
jeneza lililokuwa limebeba mwili
Hiyo ilikuwa ni machela au kitanda kilitumika kubeba mwili kwenda maeneo ya kuzika. kisingeweza kuwa kitu cha kuzikia. Tafsiri nyingine inapunguza uthamani "Jeneza" au "Kiti cha msiba"
nasema kwako
Yesu alisema hili kuonyesha mamlaka yake "Nisikilize!"
maiti
mtu alikuwa bado amekufa; sasa alikuwa hai. Itakuwa lazima kusema hili wazi. NI: "ni mtu aliyekuwa amekufa."
Luke 7:16-17
Sentensi Unganishi
Hii inatumabia jinsi ilivyotokea kama matokeo ya uponyaji wa Yesu kwa mtu aliyekuwa amekufa.
hofu ikawajaa wote
"Hofu huwajaa wote." Hii inaweza katika kauli tendaji. NI: "wate wakawa na hofu sana."
Nabii mkuu
Walikuwa wanarejea kwa Yesu, siyo kwa yule nabii asiyejulikana.
Ameinuliwa kati yetu
"Amekuja kuwa nasi" au "Ameonekana kwetu." Mungu ameinua nabii mkuu katikati yetu." Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu ameinua nabii mkuu kati yetu"
amengalia juu ya
Nahau hii inamaana "ajali"
Habari hizi njema kuhusu Yesu zikaenea
"Habari hizi njema" inarejea kwa vitu ambavyo watu walikuwa wanasema katika mstari wa 16. Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji "Watu wakaeneza hizi taarifa kuhusu Yesu" au "Watu waliwaambia wengine hii taarifa ya kuhusu Yesu."
Habari hizi
"Hili neno" au "Huu ujumbe"
Luke 7:18-20
Taarifa Unganishi :
Yohana anatuma wawili wa wanafunzi wake kumuuliza Yesu.
Wanafunzi wa Yohana walimwambia kuhusu mambo yote
Hii inatambulisha tukio jingine kwenye habari
akamwambia
"akamwambia Yohana"
mambo yote haya
"mambo yote alikuwa anafanya"
watu walisema, "Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema 'ni wewe ... au tumtazamie mwingine?"
Sentensi hii inaweza kuandikwa hivyo kwamba ikawa na nukuu ya moja kwa moja tu. NI: "watu walisema kwamba Yohana mbatizaji aliwatuma wao kwake kuuliza 'wewe ni yule ajaye, au tumtazamie mwingine?" au "watu walisema, '"Yohana katutuma sisi kwako kuuliza kama ni yule ambaye anakuja, au kama tutazamie mwingine."
tumtazamie mwingine
"tusubiri mwingine" au "tumtazamie mtu fulani"
Luke 7:21-23
Kwa saa hiyo
"kwa wakati huo"
kutoka kwa roho wachafu
Itakuwa msaada kusema tena uponyaji. NI: "aliwaponya na roho chafu"au "na aliwaweka huru watu kutoka katika roho chafu"
aliwaambia
"aliwaambia wajumbe wa Yohana" au "alisema kwa wajumbe aliowatuma Yohana"
Toa taarifa kwa Yohana
"Mwambie Yohana"
watu wahitaji
"watu masikini"
Mtu asiyeacha kuniamini kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu atambariki mtu ambaye haachi kuamini kwake sababu ya matendo yake"
Mtu
"Watu" au "yeyote" Huyu si mtu maalumu.
usisitishe
maana mbili hasi "Hendelea"
Luke 7:24-26
Sentensi Unganishi
Yesu anaanza kuzungumza katika makutano kuhusu Yohana mbatizaji. anauliza maswli balagha kuwasaidia kufikiri kuhusu ambacho Yohana mbatizaji hasa anavyofanana.
Nini ... mwanzi ukutikiswa na upepo?
Hii inategemea jibu hasi. "milikwenda nje kuona mwanzi ukitikiswa na upepo? siyo hivyo" Inaweza pia ikaandikwa kama sentensi. NI: "Kwa hakika hamkwenda kuona mwanzi ukitikiswa na upepo!"
Mwanzi umetikiswa na upepo
Maana zinazowekeana kwa sitiari hii ni 1) mtu anaye badili mawazo yake, kama mwanzi ni rahisi kugeuzwa na upepo, au 2) mtu anayeongea sana lakini hasemi chochote cha mhimu, kama mwanzi ugeuzwavyo wakati upepo unapovuma.
Lakini nini ... mtu aliyevaa mavazi laini?
Hii pia inatazamia jibu hasi, sababu Yohana alivaa vazi gumu. "mlikenda huangalia mtu amevaa nguo laini? siyo hivy!" Hii pia inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: Hakika hamkwenda kuona mtu amevaa nguo laini!"
liyevaa nguo laini
Hii inarejea nguo za gharama. Nguo za kawaida zilikuwa chakavu. NI "vaa nguo za gharama"
Ikulu ya mfalme
Ikulu ni kubwa, nyumba ya gharama anayoishi mfale.
Lakini ... Nabii?
Hii inaelekea kwenye jibu chanya. "Mlikwenda nje kuona nabii?" Ndivyo mlivyofanya!" Hii pia inaweza ikaandikwa kama sentensi. NI: "Lakini mlienda kweli kuona nabii!"
Ndiyo, asema kwenu
Yesu alisema kusisitiza umhimu wa vile ambavyo angesema badaye
zaidi ya nabii
Kirai hiki kinamaanisha kwamba Yohana alikuwa kabisa nabii, lakini kwamba alikuwa hata zaidi ya nabii halisi. NI: ""siyo nabii wa kawaida" au "ni muhimu zaidi ya nabii wa kawida"
Luke 7:27-28
Huyu ndiye aliyeandikiwa
"Nabii huyo ni yule manabii waliyeandika kumhusu" au "Yohana ni yule manabii walimwandika wakati mrefu uliopita"
Tazama, mimi namtuma
katika mstari huu, Yesu anamnukuu nabii Malaki na kusema kuwa Yohana ni mjumbe wa kile Malaki alisema.
Mbele ya uso wako
Nahau inamaana "Mbele yako" or "kwenda mbele yako"
yako
Neno "Yako" ni umoja kwa sababu Mungu aliongea kwa masihi katika nukuu.
Nasema kwako
Yesu alikuwa anaongea na makutano hivyo "Ninyi" ni wingi. Yesu alitumia kirai hiki kusisitiza ukweli wa vitu vya kushangaza aliokuwa anaenda kuusema.
kati ya waliozaliwa na mwanamke
"baadhi ya wale mwanamke amewazaa" hii ni sitiari lakini inalenga kwa watu wote. NI: "watu wote waliowahi kuishi."
Hakuna aliye mkuu kuliko John
"Yohana ni mkuu zaidi"
angalau mtu mhimu katika ufalme wa Mungu
Hii inahusiana na kila mtu ambaye ni sehemu ya ufalme ambao Mungu atauanzisha.
Ni mkuu kuliko alivyo
kiwango cha kiroho cha watu katika ufalme wa Mungu kitakuwa cha juu kuliko cha watu kabla ya ufalme uliokuwa umeanzishwa. NI: "kiwango cha kiroho cha juu kuliko Yohana"
Luke 7:29-30
Taarifa kwa Ujumla
Luka, mwandishi wa kitabu, alichangia juu ya mwitikio wa watu kwa Yohana na Yesu.
Wakati watu wote ... ubatizo wa Yohana
Mstari huu unaweza kurekebishwa wazi zaidi. NI: "wakati watu wote waliokuwa wamebatizwa na Yohana, wakiwemo watoza ushuru, walisikia hiki, wakatangaza kwamba Mungu ni mwenye haki.
walitangaza kuwa Mungu ni mwenye haki
"Walisema kwamba Mungu amejionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye haki" au "walitangaza kuwa Mungu alitenda kwa haki
sababu walibatizwa na ubatizo wa Yohana
Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji NI: "sababu walikubali Yohana awabatize" au "sababu Yohana aliwabatiza wao."
walikataa kusudi la Mungu kwa ajili yao wenyewe
"walikataa ambacho Mungu alitaka wao wafanye" au "chagua kutotii ambacho Mungu aliwaambia"
wao hawakubatizwa na Yohana
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji NI: "ambao Yohana hakuwabatiza" au "ambao walikataa kubatizwa na Yohana" au " wale waliokataa ubatizo wa Yohana."
Luke 7:31-32
Taarifa Unganishi:
Yesu aliendelea kusema kwa watu Kuhusu Yohana mbatizaji.
Tena, naweza kuwalinganisha na nini ... wanafanana?
Yesu alitumia maswali kutambulisha mlinganisho.Yawaeza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hivi ndivyo nitawafananisha kizazi hiki., na ndivyo wanavyofanana.
Watu wa kizazi hiki
Watu wanalioishi wakati wa Yesu anasema
Wanafanana
Haya maneno ni mwanzo wa kulinganisha kwa Yesu. Yesu anasema kwamba watu wa kizazi hiki wanafanana na watoto ambao hawaridhiki na njia mbazo watoto wengine wanafanya
Eneo la soko
Kubwa, eneo la wazi ambapo watu huja kuuza bidhaa zao.
na hamkucheza
"Lakini hamkucheza kwenye mziki"
Na hamkuomboleza
"Lakini hamkuomboleza na sisi"
Luke 7:33-35
hakula mkate
Maana zinazowezekana ni 1) "Kufunga mfululizo" au 2) kutokula chakula cha kawaida
mnasema, 'Ana pepo'
Yesu alikuwa ananukuu kile watu walikuwa wanasema kuhusu Yohana. Hii inaweza ikasemwa bila nukuu ya moja kwa moja. NI: "Mlisema kuwa ana pepo" au "Mlimtuhumu kuwa ana Pepo"
Mwana wa Mtu
Yesu alitarajia watu pale kujua kuwa alikuwa anajisemea mwenyewe. NI: "Mimi" mwana wa mtu.
Mkasema, "Angali ... mdhambi"
Yesu alikuwa ananukuu kile watu walikuwa wanasema kuhusu mwana wa Mtu. Hii inaweza kusemwa moja kwa moja. NI: "mmesema kwamba mimi ni mtu Mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi"
Mtu mlafi
Ni yule kitabia ya hula chakula kingi zaidi ya uhitaji wake.
hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote
Hii inaonekana kabisa kuwa ni mithali ambayo Yesu aliihusisha na hali hii. Hii huenda inamaana kwamba watu wenye hekima wangeelewa watu hawangemkataa Yesu na Yohana.
Luke 7:36-38
Sentensi Unganishi:
Mfarisayo alimwalika Yesu kula nyumbani kwake.
Taarifa kwa Ujumla
Ilikuwa ni desturi ya wakati huo mtazamaji kuhudhuria chakula cha jioni bila kula.
Sasa mmoja wa mafarisayo
Alama ya mwanzo mpya wa habari na inatambulisha mfarisayo kwenye habari.
aliegemea kwenye meza ili ale
"Alikaa kuzunguka kwenye meza kwa ajili ya chakula." Ilikuwa ni desturi kwa chakula cha starehe kama hiki chakula cha jioni kwa wanaume kula huku wakiwa wamejilaza kwa raha wakizunguka meza.
Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja
Neno "Tazama" linatutazamisha sisi kwa mtu mwigine katika hadithi. Lugha yako inaweza ikawa na namna ya kufanya hivi.
aliyekuwa na dhambi
Yawezekana alikuwa kahaba. "Aliyeishi maisha ya dhambi" au "Ambaye alikuwa na sifa za kuishi maisha ya dhambi."
chupa ya manukato
"chupa hii ilitengenezwa kwa jiwe laini." Chupa ni laini, mwamba mweupe. watu walihifadhi vitu vya thamani katika hiyo chupa.
mafuta ya manukato
"na manukato ndani yake." manukato yalikuwa ni mafuta yaliyokuwa yanatoa harufu nzuri ndani yake. watu walijipaka wao wenyewe au kunyunyizia nguo zao ili wanukie vizuri.
kwa nywele za kichwa chake
"Kwa nywele zake"
kuwalowanisha kwa manukato
"mwaga manukato juu yao"
Luke 7:39-40
akawaza mwenyewe akisema
"alisema yeye mwenyewe"
Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua ... mdhambi
Farisayo aliwaza kuwa Yesu hakuwa nabii kwa sababu amemruhusu mwanamke mwenye dhambi kumgusa. NI: "Inaonekana Yesu siyo nabii, sababu nabii angejua kwamba mwanamke anayemgusa ni mwenye dhambi."
ni mdhambi
Simoni kimakosa alihisi kwamba nabii asingeruhusu kuguswa. Ukweli huu ungeongezwa. NI: "ni mdhambi na asingeruhusiwa kugusa"
Simoni
Hili lilikuwa ni jina la Farisayo aliyemwalika Yesu katika nyumba yake. Huyu hakuwa Simoni Petro.
Luke 7:41-43
Taarifa kwa Ujumla:
Kusisitiza nini anaenda kumwambia Simoni Farisayo, Yesu alimwambia hadithi.
Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja
"mkopeshaji fulani alikuwa na wadeni wawili"
dinari mia tano
"posho ya siku 500. " Dinari" ni wingi wa dinarius." Dinari ilikuwa ni sarafu ya fedha.
hamsini
"posho ya siku 50"
aliwasamehe wote
"aliwasamehe madeni yao" au "aliyafuta madeni yao"
Nadhani
Simoni alikuwa na tahadhari ya jibu hili. NI: "Huenda"
Umehukumu kwa usahihi
"Uko sahihi"
Luke 7:44-45
Yesu akamgeukia mwanamke
"Yesu akamwangalia mwanamke. "Yesu akaelekeza uamkini wa Simoni kwa mwanamke kwa kumgeukia"
hukunipa maji kwaajili ya miguu yangu
Huu ni wajibu wa msingi kwa mwenyeji kuleta maji na taulo kwaajili ya wageni kuoshwa na kukausha miguu yao baada ya kutembea kwenye njia ya vumbi.
wewe ... lakini yeye
Yesu mara mbili anatumia virai hivi kupinga upungufu wa heshima ya Simoni kwa kile kitendo cha ziada cha mwanamke.
kailowanisha miguu yangu kwa machozi yake
Mwanamke alitumia machozi yake kwa maji yaliyokosekana.
aliifuta kwa nywele zake
Mwanamke alitumia nywele zake badala ya taulo iliyokosekana.
hukunipa busu
"Mwenyeji mzuri kwenye huo utamaduni aliwasalimia wageni wake kwa busu kwenye shavu. Simono hakufanya."
hakuacha kunibusu miguu yangu
"ameendelea kunibusu miguu yangu"
Luke 7:46-47
Hukufanya ... lakini yeye
Yesu anaendelea kupinga wema hafifu wa Simoni na kitendo cha mwanamke
tia kichwani pangu mafuta
"paka kichwa changu kwa mafuta" Hii ilikuwa ni desturi ya kumkaribisha mgeni aliyeheshimika. NI: "nikaribisha kwa kunitia mafuta kichwani"
tia mafuta miguu yangu
Mwanamke alimweshimu sana Yesu kwa kufanya hivi. Alitoa kielelezo cha unyenyekevu kwa kutia mafuta miguuni badala ya kichwani.
Nawaambia
Hii inasisitiza umhimu wa sentensi inayofuata.
dhambi zake, ambazo zilizo nyingi, zimesamehewa
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu kasamehe dhambi zake nyingi"
yeye alipenda zaidi
upendo wake ulikuwa ulikuwa ushahidi kwamba dhambi zake zimesamehewa. Baadhi ya lugha zinahitaji kitu cha "Upendo" Kusema. "alipenda zaidi ambaye amemsamehe" au " alimpenda sana Mungu."
Lakini aliyesamehewa kidogo
"Mtu yeyote anasamehewa vitu vichache." Katika sentensi hii Yesu anaonyesha kanuni za jumla. Hata hivyo, Simon alikuwa anatarajia kuelewa kuwa Yesu anazungumzia kuwa Simoni ameonesha upendo kidogo.
Luke 7:48-50
Ndipo akamwambia
"ndipo akamwabia mwanamke" (UDB)
Dhambi zako zimesamehewa
"umesamehewa." Hii inaweza ikasemwa katika kauli tendaji NI: "Nasamehe dhambi zako"
kaa pamoja
"kaa pamoja kuzunguka meza" au "kula pamoja"
Nani huyo hata anasamehe dhambi
Viongizi wa dini walijua kwamba Mungu tu anayesamehe dhambi, na hawakuamini kwamba Yesu alikuwa Mungu, Swali hili huenda lilikusudiwa kuwa tuhuma. NI: "Huyu mtu anafikiri kuwa yeye ni nani?" Ni Mungu pekee anaye samehe dhambi!" au "Kwanini huyu mtu anajifanya kuwa Mungu awezaye kusamehe dhambi?"
Imani yako imekuponya wewe
"Kwa sababu ya imani, umeokoka" "imani" inaweza ikatazamwa kama kitendo. NI: "kwa sababu umeamini, umeokoka"
Nenda katika amani
Hii ni namna ya kusema kwaheri wakati huohuo unatoa baraka. NI: "Unapokwenda, usiwe na wasi wasi kabisa" au "Mungu akupe amani unapoenda"
Luke 8
Luke 8:1-3
Taarifa ya jumla:
mistari hii inatoa mrejesho wa habari za Yesu kuhusu kuhubiri wakati anasafiri.
Ilitokea
Hiki kipande cha maneno kimetumika hapa kuweka alama ya sehemu ya habari mpya.
waliokuwa wameponywa na roho wachafu na magonjwa mbalimbali
"Ambao Yesu amewaweka huru kutokana na roho chafu na kuwaponya na magonjwa"
Mary... na wanawake wengi.
"Wanawake watatu waliokuwa wanaitwa: Mariam, Yoana, na Susana.
Yoana, mke Kuza, Meneja wa Herode.
Yoana alikuwa mke wa Kuza, na Kuza alikuja meneja wa Herode. "Yoana, Mke wa meneja wa Herode."
Luke 8:4-6
Taarifa ya yumla:
Yesu aliwaambia mfano wa mpandaji kwa makutano. Alieleza maana ya ke kwa wanafunzi wake.
Sasa
Hili neno linaonyesha mwanzo wa kitendo katika habari.
mpandaji alienda kupanda mbegu
"mkiulima alienda kupanda baadhi ya mbegu shambani"
zikakanyagwa chini ya miguu
"Zilikanyagwa pia mara zilipoota"
wakazila
"Walizila zote"
Zilipooza
"Miche ikakauka na kupooza"
hazikuwa na unyevunyevu
"ardhi ilikuwa kavu"
Luke 8:7-8
taarifa unganishi
Yesu anamaliza kuwaambia mfano makutano
zikasongwa
Miti ya miiba ikachukua madini, maji, na mwanga, kwa hiyo miche ya mkulima haikukua vizuri.
zikazaa mazao
"Kuzaa mavuno" au "Kuzaa mbegu zaidi"
Yeyote mwenye masikio ya kusikia na asikie.
inaweza kuwa ni kiasili sana kwa baadhi ya lugha kutumia nafsi ya pili: "Wewe mwenye sikio la kusikia, sikia."
Yeyotemwenye sikio la kusikia
" Anayeweza kusikia" au "Yeyote anayenisikia mimi"
na asikie
"Na asikilize vizuri" au "na awe makini kwa kile ninachokisema"
Luke 8:9-10
Ujumbe wa kuunganisha
Yesu anaanza kusema kwa wanafunzi wake.
Mmepewa upendeleo wa kujua
"MUngu amewapa ninyi zawadi ya kuelewa" au "Mungu amewafanya watu kuelewa"
siri ya ufalme wa Mungu
Hizi ni kweli kwamba zimejificha lakini Yesu aliwafunulia.
wakiona wasione
"kupitia wanachoona, hawatajua." "kupitia wanavyoona vitu, hawatavielewa" au "kupitia wanavyoona vitu vikitokea, hawataelewa vina maanisha nini."
wakisikia wasielewe
"Kupitia wanavyosikia hawatelewa." "kupitia wanavyosikia maelekezo, hawataelewa ukweli."
Luke 8:11-13
Ujumbe wa kuunganisha:
Yesu anaaza kuelezea maana ya mfano wa udongo kwa wanafunzi wake.
mwovu shetani hulichukua neno mbali kutoka moyoni
Hii inamaanisha kuwa anawafanya kusahau neno la Mungu ambalo wamelisikia.
hulichukua mbali
Kwenye mfano hii ilikuwa kama fumbo la ndege anayedaka mbegu. jaribu kutumia maneno kwa lugha yako ambayo hutunza picha hii.
kutoka moyoni mwao
Hii ina maana kuwa shetani hukichukua neno mbali mbali na hamu zao za kuliamini neno la Mungu.
ili kwamba wasiamini na kuokolewa
Tangu mwanzo hili lilikuwa kusudi la mwovu, inaweza kutafsiriwa kama. "Kwa sababu mwovu amezama, 'Hawataamini na hawataokolewa"' au "'Hawataweza kuamini kwa matokeo ambayo Mungu atawaokoa."
wakati wa majaribu huanguka
"Wakikutana na magumu wanaanguka mbali na Imani" au "Wanapokutana na magumu wanaacha kuamini"
Luke 8:14-15
husongwa na huduma na utajiri
"huduma na utajiri na ubora wa maisha huwasonga." "kama palizi huzuia miche mizuri kukua, huduma, utajiri, na ubora wa maisha haya zinawabana hawa watu kukua."
huduma
"vitu ambavyo watu huogopa"
ubora wa maisha haya
"vitu ambavyo kwenye maisha watu hufurahia"
hawazai matunda
"hawazai kuzaa matunda." "kama mche ambao haukui na kuzaa matunda, hawawezi kukua na na kufanya kazi njema."
kuazaa matunda ya uvumilivu
"Kuzaa matunda ya Uvumilivu." Ni kama miche yenye afya inavyozaa matunda mazuri, wanatoa kazi njema kwa uvumilivu"
Luke 8:16-18
Ujumbe wa kuunganisha:
Yesu aliendelea na mfano mwingine kisha akahitimisha kwa wanafunzi wake kwa kusisitiza jukumu la familia yake katika kazi yake.
Sasa
Hili neno limetumika hapa kuweka alama ya kuanza kwa mfano mwingine.
kinara cha taa
"meza" au "rafu"
hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana
"kita kitu kilichojificha kitajulikana"
au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga
"na kila kitu ambacho ni siri kitajulikana na kuja kwenye mwanga"
unapokuwa unasikiliza
"jinsi gani unasikiliza katika kile ninawaambia" au "Jinsi unavyosikiliza neno la Mungu"
aliye nacho
"yeyote anayesikiliza" au "yeyote anayepokea ninachokifundisha"
kwake ataongezewa zaidi
"vingi atapewa." "Mungu atampa vingi"
asiye nacho
"yeyote ambaye hataaelewa" au "yeyote ambaye hatapokea kile ninachofundisha"
Luke 8:19-21
Ndugu
Hawa walikuwa wadogo zake Yesu nusu ndugu.
ikaelezwa kwake
"watu wakamwambia" au "mtu fulani akamwambia"
wanahitaji kukuona
"wanasubiri kukuona" au " na wanataka kukuona"
Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii
"Wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii wanafanana na mam yangu na ndugu zangu kwangu" au "Wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii ni mhimu sana kwangu kama mama yangu na ndugu zangu"
Luke 8:22-23
ujumbe wa kuunganisha
Yesu na wanafunzi wake kisha wakatumia mashua kuvuka ziwa Genasareti. wanafunzi wakajifunza megi kuhusu nguvu ya Yesu kupitia dhoruba iliyotokea.
Sasa ilitokea
Neno hili limetumika hapa kuonyesha alama wa mwanzo wa kipande kipya cha kile kilichotekea.
ziwa
Hili ni ziwa Genesareti ambalo liliitwa ziwa la Galilaya.
walipoanza kuondoka
"walipotoka"
akalala usingizi
"Alilala"
dhoruba kali yenye upepo ikaja
"upepo wenye nguvu ghafla ukaanza kupiga"
Luke 8:24-25
Bwana mkubwa
Neno la kigriki ambalo limetafsiriwa hapa kama "Bwana mkubwa" siyo neno la kawaida kwa "Bwana mkubwa" hili linahisiana na mtu mwenye mamlaka, na si kwa mtu ambaye anamiliki mtu mwingine. "Bosi" au "Msimamizi" au na neno ambalo linamlenga mtu mwenye mamlaka, kama "Mheshimiwa"
akaukemea
"alizungumza kwa kasi"
vikatulia
"upepo na mawimbi wakakoma"
Imani yenu iko wapi?
Yesu alikuwa anawakemea kwa upole kwa sababu walikuwa hawamwamini kuwa atawajali. "Mlipaswa kuwa na imani" au "Mlipaswa kuniamini"
Huyu ni nani
"Ni mtu wa namna gani huyu."
kwamba anaamuru
Hii inaweza ikawa mwanzo wa sentensi chache: "Anaamuru"
Luke 8:26-27
ujumbe wa kuunganisha
Yesu na wanafunzi wake wakaja pwani kwa Wagerasi ambapo Yesu aliondoa mapepo mengi kutoka kwa mwanaume.
Mkoa wa Gerasini
Wagerasini walikuwa ni watu kutoka mji ulioitwa Gerasa.
usawa wa Galilaya
"Upande mwingine wa Galilalya"
mtu fulani kutoka mjini
"mtu kutoka mji wa Gerasa"
na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza
"mtu ambaye nguvu za giza zilimwendesha" au "huyu mtu alikuwa anaendeshwa na nguvu za giza"
Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo.... lakini aliishi kwenye makaburi
Hii ni taarifa ya nyuma kuhusu huyu mtu aliyekuwa na mapepo.
alikuwa havai nguo
"hakuwa anavaa nguo"
Makaburini
Hizi ni sehemu ambazo watu huwa wanaweka miili ya watu waliokufa, yawezekana ni mapango. ukweli kwamba mtu huyu alikuwa anaishi humo inaashiria kuwa haya hayakuwa mashimo yaliyochimbwa chini ya ardhi.
Luke 8:28-29
Alipomwona Yesu
"yule mwenye pepo alipomwona Yesu"
akalia kwa sauti
"alipiga kelele" au "alipiga yowe"
akaanguka chini mbele yake
"alilala chini ya ardhi mbele ya Yesu." Hakuanguka kwa ajali kama ajali.
kwa sauti kubwa akisema
"Alisema kwa sauti ya juu" au "Alipiga kelele"
Nimefanya nini kwako
"Kwa nini unanitesa mimi"
mwana wa Mungu aliye juu
Hiki ni cheo kikubwa sana kwa ajili ya Yesu.
mara nyingi amepagawa
"mara nyingi walikuwa wanamshika mtu huyu" au "mara nyingi huenda ndani mwake." Hii inatuambia jinsi Pepo alivyofanya mara ya nyingi kabla ya Yesu kukutana naye.
hata kama alikuwa amefungwa.... na kuwekwa chini ya ulinzi
"Hata kama watu walimfunga... na kumbana na kumlinda"
Luke 8:30-31
Jeshi
imetafsiriwa hii na neno ambalo linahusu kikundi kikubwa cha maaskari au watu. Katika tafsiri zingine zinasema "Legioni." "Kikosi cha" au Brigedia"
twende kwenye shimo
"Kumtoka mtu na kwenda kwenye shimo"
Luke 8:32-33
Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima
ona
lilikuwa likichunga juu ya kilima
"lilikuwa karibu linakula majani juu ya kilima"
iyo wale mapepo
Neno "Hivyo" limetumika hapa kuweka alama ya tukio lililotokea kwa sababu ya kitu fulai kingine kilichotokea huko nyuma. kwa jambo hili. Yesu akayaambia mapepo kwamba yaweza kwenda kwa nguruwe.
likakimbia
"Kimbia kwa haraka sana"
Luke 8:34-35
wakakimbia
"kwa haraka wakakimbia mbali"
wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka
"walimwona mtu ambaye mapepo yamemtoka"
alikuwa amevaa vizuri
"Alikuwa amevaa nguo"
mwenye akili timamu
"alikuwa na akili timamu" au "alikuwa anaishi kawaida"
amekaa kwenye miguu ya Yesu
"amekaa chini, akimsikiliza Yesu"
na waliogopa
"walimwogopa Yesu"
Luke 8:36-37
mmoja wao aliyeona kilichotokea
Hawa walikuwa watu waliokuwa na mtu yule wakati Yesu alifanya mapepo yaondoke.
mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa
Yesu amemwokoa mtu aliyekuwa na mapepo yakimwongoza" au "Yesu alimponya mtu alikuwa na mapepo yakimwongoza"
mkoa wa Gelasini
"Eneo hilo la Gerasini" au "eneo ambapo watu wa wagerasini waliishi"
walikuwa na hofu kuu
"wakajawa na hofu." au "hofu kubwa iliwajaa."
Luke 8:38-39
Mtu yule
wakati mwingine unapaswa kuaza na hii. "Kabla ya Yesu ana wanafunzi wake kuondoka, yule mtu" au "Kabla ya Yesu na wanafunzi wake hawajawasha mashua yao, mtu"
Nyumba yako
"kaya yako" au "familia yako"
Luke 8:40-42
Ujumbe wa kuunganisha:
wakati Yesu na wanafunzi wake waliporudi Galilaya upande mwingine wa ziwa, alimponya binti wa mtawala wa sinagogi mwenye miaka 12 na pia mwnamke aliyekuwa akitokwa na damu miaka 12.
taarifa za jumla
Mistari hii inatupa taarifa za nyuma kuhusu Yairo.
makutano wakamkaribisha
"Kwa furaha ya makutano wakamsalimia"
Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo
Neno "Tazama" linatutazamisha sis kwa Yairo kama mtu mpya katika habari hii. lugha yako inaweza kukawa na njia nyingine ya kufanya hivi. "Kulikuwa na mtu aliyeitwa Yairo."
mmoja kati ya viongozi katika sinagogi
"mmoja wa viongozi katika sinagogi la mtaa" au "'kiongozi wa watu walikutana kwenye sinagogi katika eneo hilo"
akaanguka miguuni pa Yesu
1) "Alianguka kwenye miguu ya Yesu" au 2) "alilala chini kwenye ardhi katika miguu ya Yesu." Yairo akuanguka kwa ajali. alifanya vile kama ishara ya ubinadamu na heshima kwa Yesu.
alikuwa katika hali ya kufa
"alikuwa katika hali ya kufa" au "alikuwa karibu na kifo"
Na alipokuwa akienda
Watafsiri wengine wanaweza kusema kwanza, "Hivyo Yesu alikubali kwenda na yule mtu."
makutano walikuwa wakimsukuma dhidi yake
"makutano walikuwa wakijaa kwa kubanana kumzunguka Yesu"
Luke 8:43-44
mwenye kutokwa damu
"alikuwa anatokwa na damu nyingi" alikuwa akitokwa damu kutoka na tumbo lake hata kama haikuwa kawaida ya wakati wake. kwa kabila baadhi wanaweza wakawa na njia ya upole kuhusiana na hali hii.
hakuna aliyemponya hata mmoja
"lakini hakuna hata mmoja wao wa kumtibu" au "hakuna hata mmoja wao aliweza kumponya"
kugusa pindo la vazi lake
"aligusa pindo la vazi lake" Wanaume wa kiyahudi walivaa Taso juu ya makunjo ya nguo zao kama sehemu ya mavazi ya sherehe zao kama amri katika amri za Mungu. Hii inaonyesha ndiyo alichogusa.
Luke 8:45-46
Bwana Mkubwa
Neno liliotafsiriwa hapa kama "Bwana mkubwa" siyo neno la kawaida kwa "Bwana mkubwa." Hii inaenda kwa mtu mwenye mamlaka, lakini si kwa mtu mwingine yeyote. "Bosi" au "Msimamizi" au na neno ambalo ni la kawaida limetumika kuelezea mtu aliye kwenye mamlaka, kama vile "Mheshimiwa"
umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga
Kwa kusema hiv, Petro alikuwa akihusisha kila mmoja anaweza kumgusa Yesu. hii ni taarifa thabiti inaweza kufanywa kwa wazi kama ni mhimu katika UDB
nilijua nguvu zimetoka kwangu
"Nimesikia uponyaji nguvu zimetoka kwangu." Yesu hakupotwza nguvu au kuwa mdhaifu, lakini nguvu yake inamponya mwanamke.
Luke 8:47-48
hawezi kuficha alichokifanya
"hawezi kutunza siri ya kile alichokifanya." "kwamba asingeweza kuendelea kutunza kama siri maana yeye ni yule aliyemgusa Yesu."
akaanza kutetemeka
"akatetemeka kwa hofu"
akaanguka chini mbele za Yesu
yawezekana maana ni 1). "aliinama chini mbele za Yesu" au 2) alilala chini kweye ardhi katika miguu ya Yesu. "hakuanguka kiajali. alifanya hivi kama ishara ya ubinadamu na heshima kwa ajili ya Yesu.
mbele ya
"Kwenye sehemu ya" au "Mbele"
Binti
Hii ilikuwa ni aina ya kusema kwa mwanamke. Kabila lako linaweza kuwa na njia nyingine ya kuonyesha huu wema.
imani yako imekufanya uwe vizuri
"Kwa sababu ya Imani yako, umekuwa vizuri." "Kwa sababu umeamini, umeponywa"
Enenda kwa Amani
Hii ni njia ya kusema, ""Kwa heri" na kutoa baraka kwa wakati mmoja. "Unapokwenda, Usiogope hata kidogo" au "Mungu akupe amani unapoenda"
Luke 8:49-50
Alipokuwa akiendelea kusema
"wakati Yesu alipokuwa akiongea kwa mwanamke"
kiongozi wa sinagogi
Hii inarudi kwa Yairo.
alimjibu
"Yesu alimjibu Yairo"
ataokolewa
"Nitamponya"
Luke 8:51-53
Kisha alipokuja kwenye nyumba
"Kisha walipokuja katika nyumba, Yesu"
isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake
"aliwaruhusu Petro, Yohana, Yakobo, baba yake binti, na mama yake kuingia ndani"
watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake
"watu wote walikuwa wanaonyesha huzuni zao na kulia kwa sauti kwa sababu binti amekufa"
Luke 8:54-56
Mtoto, inuka
"Binti mdogo, amka"
roho yake ikarudi
"akawa mzima" au "akawa hai tena"
roho
"pumzi" au "Uhai"
Luke 9
Luke 9:1-2
Sentensi Unganishi
Yesu anawakumbusha wanafunzi wake waasitegemee pesa na vitu nyao, anawapa nguvu, na pia awatuma waende sehemu mbalimbali.
nguvu na mamlaka
Maneno haya mawili yametumika pamoja kuonesha kwamba wale kumi na wawili walikuwa na uwezo na haki ya kuponya watu.
magonjwa
"ugonjwa"
aliwatuma nje
"aliwatuma sehemu mbalimnbali" au "aliwambia waende"
Luke 9:3-4
Akawaambia
"Yesu akawaambia wale thenashara"
Usichukue chochote
AT." usichukue chochote" au "usije na chochote"
Kwaajili ya safari yako
"kwa ajili ya safari yako" au "wakati unasafiri." Wasichukue chochote kwaajili ya safiri yao yote, watapita kijiji kwa kijiji mpaka warudi kwa yesu.
fimbo
"fimbo" au "fimbo ya kutembelea." ilikuwa ni fimbo kubwa iliyotumika kumsaidia mtu wakati wa kupanda au kwenye barabara mbovu. ilikuwa ikitumika pia kujilinda dhidi ya watekaji.
Mkoba
ni mfano wa kibebeo(begi) ambalo wasafiri hutumia kwa kubebea kile anachokitaka safarini.
Mkate
AT: "Chakula"
Nyumba yeyote mtakayoingia
"Nyumba yoyote mtakayoingia"
Kaeni humo
"Bakieni humo" au "muishi kwa mda ndani ya ile nyumba kama wageni"
Kutoka mahali hapo
"kutoka mjini" au "kutoka katika sehemu ile"
Luke 9:5-6
Na kwa wale watakao kataa kuwapokea
AT: " hiki ndo mtakachofanya kwa watu watakao kataa kuwapokea"
mtakapo ondoka
"waliondoka sehemu ambayo yesu alikuwepo"
kila mahali
"walienda kila mahali"
Luke 9:7-9
Taarifa kamili
Mistarin hii inapingan kutoa taarifa kuhusu Herode
sasa
hili neno limetumika kuonesha pumziko katika story kamili. Hapa Luka anasimulia taarifa za msingi za Herode.
Herode, mkuu wa mkoa
Inamwakilisha Herod ambae alikuwamtawala wa moja ya nne ya Israel.
alitaabika sana
"alikasirika sana" au "alikuwa anashangaa"
Nilimkata kichwa Yohana
AT: "niliwaamlisha wanajeshi wangu wamkate kichwa Yohana"
Luke 9:10-11
Sentensi unganishi
Ingawa wafuasi walirudi kwea yesu na wakaenda Bethadia kupumzika, makutano walimfata yesu awaponye na kusikiliza mafundisho yake. Aliwasaidia kugawanyisha mkate na samaki wakati wanarudi nyumbani.
wale waliotiumwa
AT: " wale mitume kumi na mbili aliowatuma yesu"
walirudi
"walirudi pale alipokuwa yesu"
wakamuambia
"mitume wakamuambia yesu"
kila kitu walichofanya
Hii ina wakilisha mafundisho na uponyaji waliofanya walipoenda kwenye miji.
aliwachukua , aliondoka mwenyewe
Yesu na mitume wake waliondoka wenyewe. AT: "aliwachukua wakaondoka pamoja"
Bethadia
Hili ni jina la mji.
Luke 9:12-14
Siku ikaanza kuisha
"jua lilivyoanza kuzama" au " siku ilivyoanza kuisha"
Watawanye makutano
"kuwaambia makutano waondoke"
labda twende tukanunua chakula
AT: " labda tutaenda kununa chakula" au " labda kama twende kununua chakula" au unaweza kuanza sentyensi mpya "kama wewe unataka tuwalishe, tutatakiwa kwenda kununua chakula."
kama wanaume elfu tano
"kama wanaume elfu tano." hii number haijumuishi wanwake na watoto ambao yaweza kuwa walikuwepo.
wakalisheni
"waambieni wakae"
"hamsini kila "
"50 kila "
Luke 9:15-17
Wakafanya hivyo
wanfunzi wakawakalisha makutano kwenye makundi ya watu hamsini hamsini.
akachukua
"yesu akachukua"
mkate
kiwango maarumu cha mkate wa kuokwa. AT: "mkate mzima"
na akiangalia
"wakati anaangalia" au " baada ya kuangalia"
juu mbinguni
Hii inawakilisha kuangalia juu, kuelekea mawinguni. Wayahudi waliamini kuwa mbingu iko juu mawinguni.
watenge mbele ya
"kuwagawia" au " kuwapa"
wakashiba
AT: "walikula kama walivyotaka"
Luke 9:18-19
Sentesi kiunganishi:
Yesu akisali, pekee yake na wanfunzi wake, na kuanza kuongelea kuhusu yesu ni nani. Yesu anawaambia kuhus kifo chake na ufufuo utakao fata na kuwataka wamfate yeye hata iweje.
Nayo ikawa kwamba
Hii sentensi inaashiria mwanzo wa tukio jipya.
alipokuwa akiomba
"yesu alipokuwa akiomba"
kusali pekee
Wanfunzi walikuwa na yesu, lakini alikuwa anasali pekee yake na yeye mwenyewe kwa siri.
kujibu, wakasema
"walimjibu wakisema"
Yohana mbatizaji
AT: "wengine wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"
kutoka nyakati za zamani
"ambae aliishi muda mrefu uliopita"
amefufuka tena
"alifufuka"
Luke 9:20-22
Akawaambia
"yesu akawaambia wanafunzi wake"
kujibu, Petro akasema
"Petro alijibu na kusema" au "Petro alijibu kwa kusema"
Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza
AT: "Lakini yesu waliwaonya na kuwaelekeza" au '"Ndipo yesu waliwapa onyo kali"
kutomwambia yoyote
"kutokumwambia mtu yoyote" au " wasimwambie mtu yoyote." Hii inaashiria msemo. AT: "lakini kuwaaonya, yesu aliwaambia, "msimwambie mtu yoyote"
kwamba mwana wa Adamu atateseka kwa vingi
AT: "kwamba watu wanweza msababishia mwana wa Adamu kuteseka sana." Hii pia inaweza kutafasiriwa kama msemo wa moja kwa moja kwa sababu ipo kwenye UBS.
na kukataliwa na wazee na wakuu wa Makuhani na waandishi
AT: "na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi watamkataa"
na atauliwa
AT: " na watu watamuua"
kwenye siku ya tatu
"siku tatu baada ya kufa" au "kwenye siku ya taut baada ya kifo chake"
atafufuka
"atawekwa hai." AT: "Mungu atamfanya hai tena" au "atafufuka"
Luke 9:23-25
akawambia
yesu akawaambia
wote
Hii inamaanisha wanafunzi wake wote waliokuwa na yesu.
kunifata mimi
"kunifata mimi" au "kuongozana na mimi kama mwanafunzi"
ajikane
AT: "kujijitoa kwa nfasi yake mwenywe," au "na aache tamaa yake mwenyewe"
achukue msalaba wake kila siku
"auchukue na aubebe msalaba wake kila siku." Hii haimaanishi aubebe msalaba kila siku. Inamaanisha wafuasi wake wakatae vitu wanavyovitakana wawe tayari kuteseka na kufa ili kumtii yesu.
anifuate
"kenda pamoja na mimi" au "kuanza kunifuata na kuendelea kunifuata"
kitamfaidia nini mwanadamu...binafsi?
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi wake. AT: "mwanadamu hapati kitu chochote kizuri...binafsi."
kama akiupata ulimwengu wote
"kama atapata kila kitu ulimwenguni"
akapoteza au akapata hasara yake binafsi
AT: "yeye mwenyewe atapotea"
Luke 9:26-27
na maneno yangu
AT: "na nilichosema" au "na nilichofundisha"
yeye mwana wa Adam atamuonea aibu
"mwana wa Adam atamuonea aibu"
mwana wa Adam
Yesu alikuwa anajiongelea yeye mwenyewe. AT: "mimi, mwana wa Adam"
atakapo kuwa katika utukufu wake
Yesu anajiongelea yeye mwenyewe kupitia nafsi ya tatu. AT: "nitakapokuja kwenye utukufu wangu"
baadhi yenu wasimamao hapa
"baadhi yenu mliosimama na mimi hapa"
hawata ionja mauti mpaka wauone ufalme wa Mungu
AT: "watauona ufalme wa Mungu kabla hawajafa" au "utauona ufalme wa Mungu kabla huja"
Luke 9:28-29
Sentensi kiunganishi
Siku nane baada ya Yesu kuwaambia kuwa baadhi hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu, Yese anaenda mlimani kuomba pamoja na Petro na Yohana ambao walilala wakati Yesu anabadilika muonekano .
Ikatokea
Hii sentenso imetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika hadithi. Kama lugha yako ina namna nzuri ya kufanya hivi, unaweza kufikria kuitumia hapo.
siku nane
"siku 8"
maneno haya
Hii inaashiria Yesu alisema kwa wanafunzi wake kwenye mistari inayoendelea.
juu ya mlima
Haiko wazi ni juu kiasi gani walienda. AT: "pembeni mwa mlima"
meupe na ya kung'aa
"nyeupe ya kungaa na kali" au "nyeupe kali na ya kung
aa"
Luke 9:30-31
Tazama, walikuwepo wanaume wawili wanaongea
Neno "tazama" hapa liaashiria tuwe makini kwa taarifa ya kushangaza inayofata. AT: "ghafla kulikuwa na wanaume wawili wanaongea" au "ghafla wanaume wawili walikuwa wanaongea."
walionekana katika utukufu
Hii sentensi ya kuoanaisha inatoa taarifa kuhusu Musa na Elisha. AT: "na walionekana wenye utukufu"
kuondoka kwake
"kuondoka kwake" au "atakavyooondoka." AT: "kifo chake."
Luke 9:32-33
sasa
Hii sentensi ya imetumika kuashiria pumziko kwenye hadithi wenyewe inayotolewa, Hapa Luka anasimuili taarifa kuhusu Musa na Yakobo, na Yohana.
waliuona utukufu wake
Hii inamaanisha mwanga uliowaka kuwazunguka. AT: "Aliona mwanga mkali unawaka kwa yesu" au "waliona mwanga mkali unatokea ndani ya Yesu"
wanaume waili walikuwa wamesimama nae
Inamaanisha Musa na Elisha.
Ikatokea kwamba
Hii sentensi imetumika hapa kuonesha matukio yananza. Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
Bwana
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hili linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "kiongozi" au neno huwa linatumika kueleza mtu mwenye mamlaka, mfano kama "Sir"
malazi
"hema" au "kibanda"
Luke 9:34-36
Alipokuwa akisema vitu hivi
"Wakati Petro alikuwa akisema viotu hivi"
waliogopa
Hawa wanafunzi wazima hawakuogopa mawingu. Msitari unaashiria woga usio wa kawaida ulitokea juu yao kupitia mawing. AT: "walishitushwa"
walivyokuwa wamezungukwa na wingu
AT: "kama mawingu yalivyo wazunguka"
Sauti ikatoka winguni, ikisema
AT: "Mungu akaongea nao kupitia mawinguni akisema"
mwanangu uliyechaguliwa
Neno "kuchaguliwa" linatoa taarifa kuhusu mtoto wa Mungu. Haisemi kuwa Mungu alikuwa na mtoto zaidi ya mmoja. AT: "mwanangu niliuyekuchagua" (UDB) au "mwanangu,uliyechaguliwa"
walikaa kimya, na katika siku hizo... vitu walivyoona
Hii ni taarifa inayosema kilichotokea baada ya hadithi kama matokeo ya hadithi yenyewe.
siku hizo
Hizi zinaweza kuwakirisha siku ambazo mpaka Yesu anachukuliwa mawinguni baada ya ufufuo au yaweza kuwa baada ya siku ambazo Yesu alitoa kauli.
Luke 9:37-40
Sentensi unganishi
Siku ya pili baada ya Yesu kubali muonekano, Yesu alitoa pepo lililokuwa limemuingia kijana ambae wanafunzi walishindwa kumponya.
Ikatokea
Hii tungo inaashiria mwanzo wa sehemu nyingine ya hadithi, Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko
Neno "tazama" linatujulisha juu ya mtu mpya anaetokea kwenye hadithi. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na mwanaume kwenye kusanyikao"
unaona, roho
Tungo "unaona" inatutambulisha kwa pepo kwenye hadithi ya mwanadamu. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na pepo"
Lilitoka kwa tabu
inaweza kuwa na maana hizi 1) "vigumu kumuacha kamwe mwanangu" (UDB) au 2) "ni ngumu kwa mwanangu wakati linatoka"
povu mdomoni
Wakati mtu anamshituko, wanaweza kupata shida kupimua au kumeza. Hii inasababisha povu jeupe kutokea kwenye midomo yao. Kama lugha yako inaweza elezea vizuri, itumie.
Luke 9:41-42
Yesu akajibu akasema
"kwenye jibu Yesu akasema"
Enyi kizazi kisicho amini na wachafu
Hii ilielezwa kwenye umati uliokuwa limekusanyika, na sio kwa wanafunzi.
mpaka lini nitazidi kuwabeba
Hapa "nita" ni wingi. Yesu anatumia swali kukemea umati. AT: "nimefanya merngi na bado hamuamini!"
Mlete mwanao hapa
Hapa "wako" ni umoja. Yesu snaongea moja kwa moja na baba wa anaemshughulikia.
aliokuwa anakuja
"anakuja" au "yuko anakuja"
aliikemea
"alizungumza kwa ukali kwa"
Luke 9:43-45
Wote walishangazwa kwa ukuu wa Mungu
Yesu alifanya miujiza , lakini umati haukutambua nguvu za Mungu zilitumika kuponya.
aliyo yafanya
"kwamba Yesu alifanya"
Maneno haya yazame kwa undani masikioni mwenu
AT: "sikizia kwa makini na ukumbuke" au "usisahau hili"
kwa kuwa mwana wa Adamu atatolewa kwenye mikoni ya wanadamu
Hapa " mikono" inamaanisha nguvu au utawala. AT : "wanadamu watamkabidhisha mwan wa Adamu kwenye mamlaka."
mwana wa Adamu
Yesu anajiongelea mwenyewe kwenye nafsi ya tatu. AT: "mimi, mwana wa Adamu"
Lakni hawakuelewa maana ya neno hili
AT: "wahakujua anaongelea kifo chake"
na lilifichwa juu yao
AT: "Mungu aliwafichia maana yake"
Luke 9:46-48
Taarifa kamili
Mzozo kuhusu madarsks ukanza kati ya wanafunzi.
kati yao
"kati ya wanafunzi"
wakihojiana mioyoni mwao
AT: "kufikiria juu ya mtu mmoja mmoja" au "kufikilia kimoyoni"
jina langu
Hii inawakilisha mtu anaefanya jambo au an kama muwakirishi wa Yesu. AT: "kwa sababu yangu
anampokea pia
AT: "ni kama amenipokea mimi"
aliyenituma mimi
"Mungu, aliyenituma"
Luke 9:49-50
Petro akajibu akasema
Yohana alikuwa anajibu juu ya kile Yesu alichosema kuhusu ukuu. Hakuwa anajibu swali. alitaka kujua mtu aliye yalhimiza mapepo kutoka atakuwa na nafasi gani kati ya wanafunzi. AT : "kwenye kujibu, Yohana akasema" au "Yohana alijibu kwa Yesu"
Bwana
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hapa linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "mweshimiwa"
jina lako
Hii inamaanisha mtualiyekuwa anaongea alikuwa na nguvu na mamlaka ya Yesu.
Msimzuie
AT: "mruhusu aendelee"
kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu
Baadhi ya lugha ina misemo inayomaanisha kitu kile kile. AT: "kama mtu asipokuzuia , ni kama anakusaidia" au "kama mtu hatendi kinyume na wewe, anafanya sawa sawa na matakwa yako."
Luke 9:51-53
Taarifa kwa ujumla
Na sas ni dhahili kuwa Yesu ameamua kwenda Yerusalem.
Ikatokea kwamba
Hii tungo imetumika hapa kuashiri mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi
siku zake za kwenda juu zilikaribia
"muda ulikuwa unafika wa yeye kwenda juu" au " muda ulikaribia wa yeye kwenda juu"
aliazimia
"kudhamilia" au "kukusudia"
weka uso wake
AT: "alifikiria akilini mwake" au "aliamua"
kumuandalia
Hii inamaanisha kufanya mipango ya kufika katika eneo, inawezekana kuunganisha eneo la kuongealea, anaeo la kukaa, na chakula.
Hawakumpokea
"hawakumkaribisha" au au hawakutaka abaki"
Luke 9:54-56
liona hili
"aliona kwamba wasamaria hawakumpokea Yesu"
tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze
Yakobo na Yohana walipendekeza njia hii ya hukumu kwa sababu walijua kwamba hivi ndivyo manabii kama Elia walivyo hukumu watu waliomkataa Mungu.
aliwageukia akawakemea
"Yesu aligeuka na kuwakemea Yakobo na Yohana." Yesu hakuwahukumu Wasamaria , kama wanafunzi walivyo tegemea.
Luke 9:57-58
mtu mmoja
Huyu hakuwa moja ya wanafunzi
Mbweha wanamashimo
Yesu anajibu kwa mithali ili kufundisha watu kuhusu kuwa mwanafunzi wa Yesu. Yesu anajibu kwamba kama mtu atahitaji kumfuata, kwamba mtu huyo anaweza asiwe na nyumba. AT: "Mbeha wana mashimo...wala sehemu ya kulaza kichwa. Hivyo usitegemee kama utakuwa na nyumba"
Mbweha
Hawa ni wanyama wa nchi sawa na mbwa. Wanalala katika mapango au shimo katika arthi.
ndege wa angani
"ndege wanaoruka angani"
mwana wa Adamu
"Yesu anaongea kuhusu yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu"
hana pakulaza kichwa chake
"sina sehemu ya kulaza kichwa changu" or "wala sehemu ya kulala." Yesu anakuza ili kujenga hoja kwambaalikuwa hakalibishwi popote kuishi.
Luke 9:59-60
Sentensi Unganishi
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake akiwa pembezoni mwa barabara.
Mnifuate mimi.
Hii ina maanisha kuwa mfuasi wa Yesu na kwenda pamoja naye.
Mniruhusu kwanza niondoke
"Kabla sijafanya hivyo, mniache niende."
Waache wafu wawazike wafu wa kwao
Kwa sababu watu waliokwisha kufa hawawezi kumzika mtu yeyote, Maana inayokusudiwa hapa ni ya kwamba watu walio wafu katika roho wawazike watu walio wafu katika mwili.
Luke 9:61-62
Nitakufata
"nitaungana nawe kama mwanafynzi" au " niko tayari kukufata"
kwanza ni ruhusu nikuagae
"kabla sijafanya hivyo, niruhusu niseme kwaheri" au "niruhusu kwanza niwaambie naondoka"
walio katika nyumba yangu
"nyumba yangu" au "watu wa nyumabani kwangu"
Hakuna anaefaa kwa ajili ya ufalme wa Mungu
Yesu anajibu mithari kumfundisha mwandamu kwa mwanafunzi wake, Yesu anamaanisha mtu hafai kwa ajili ya ufalme wa Mungu kama anafata watu wa nyuma badala ya kumfata Yesu
"Atiae mkono wake kwenye jembe
AT: " baada ya kuanza kulima shamba lake" au "baada ya kuanza kuandaa shamba lake"
akaangalia nyuma
Mtu anaangalia nyuma wakati analima hawezi kuliongoza vizuri jembe pale linapotakiwa kwenda. Wanatakiwa kuwa makini kuangalia mbele ili walime vizuri.
kufaa kwa
"kufaa kwa" au " kizuri kwaajili ya"
Luke 10
Luke 10:1-2
Taarifa kwa ujumla
Yesu anawatuma zaidi ya watu sabini mbele yake. Hao sabini wanarudi na furaha , na Yesu anawajibu kwa kumuabudu baba wa mbinguni.
sasa
Neno hili limetumika kuashiria tukio jipya katika hadithi.
sabini
"70." matoleo mengine yanasema "sabini na mbili" au "72." utatakiwa kuweka maezezo yanayosema ivyo.
Aliwatuma huko, wawili wawili
"Aliwatuma huko katika makundi ya wawili wawili" au "Aliwatuma huko wawili wawili katika kila kundi"
Akawaambia
Hii iikuwa kabla hawajaondoka. AT: "Hiki ndo alichowaambia" au "kabla hajaondok aliwaambia."
Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache
"kulikuwa kuna mazao mengi, lakini
Luke 10:3-4
enendeni katika njia zenu
"enendeni kwenye majiji" au "enendeni kwa watu"
ninawatuma nje kama kondoo katikati ya mbwa mwitu
Hii inamaana ya kuwa kuna watu wangewadhuru wale ambao Yesu aliwatuma. Majina ya wanyama wengine yangeweza kuwakilishwa. AT;"Nitakapowatuma huko nje watu watawadhuru kama ambavyo mbwa mwitu huwaingilia kondoo"
Mbwa mwitu
Hii imetafasiriwa na maana halisi ya "mbwa wa mwituni" au "mbwa wakali" au jina la mnyama wa pekee kama mbwa ambaye watu huwa wanamfaham.
Musibebe mfuko/mikoba yenye pesa.
"Musichukue Mikoba yenye pesa ndani yake"
Msimusalimie yeyote muwapo njiani.
Yesu alikuwa anasisitiza ya kuwa waende kwa haraka huko mjini na wafanye hii kazi. Hakuwambia wawe wakorofi au watu wabaya.
Luke 10:5-7
Amani iwe katika nyumba hii
Hii ilikuwa ni salamu na baraka. Hapa "nyumba" inawakilisha watu wanaoishi ndani ya nyumba. AT: "watu wa nyumba hii na wapokee amani."
mtu wa amani
"mtu mwenye amani." Huyu ni mtu anaetaka kuwa na amani na Mungu na watu.
amani yenu itabaki juu yake
AT: "atakuwa na amani aliyombarikia"
kama sivyo
AT: "kama hakuna mtu mwenye amani huko" au "mwenye nyumba sio mtu wa amani"
itarudi kwenu
"hatokuwa na hiyo amani" au "hatoipokea hiyo amani uliyombarikia"
Mbakie katika nyumba ile ile.
Yesu hakumaanisha waendelee kubakia ndani ya nyumba kwa siku nzima, ila wapate kulala katika nyumba mojakila usiku. AT:" Kuendelea kulala katika nyumba"
Mfanya kazi anasitahili mshahara wake
Yesu alikuwa alikuwa akizungumzia wale watu aliowatuma huko nje. Kwa sababu wangekuwa wakiwafundisha na kuwaponya watu, hivyo watu wangewapatia mahali pa kukaa pamoja na chakula.
Msiende nyumba kwa nyumba
AT:" Msilale sehemu/nyumba tofauti tofauti katika kila usiku"
Luke 10:8-9
Na wakawapokea ninyi.
" Kama wakiwakaribisha"
Kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu
AT " kuleni chakula chochote watakacho wapeni"
Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu,
Hii inarejea ya kuwa kazi ya ufalme wa Mungu ilikuwa ikifanyika mahali pale kupitia uponyaji kwa wanafunzi wake na mafundisho ya Yesu. AT:" Munaweza kuuona ufalme wa Mungu ukiwazunguka ninyi".
Luke 10:10-12
Na wasiwapokee
"kama wakiwakataa"
Hata vumbi lililonatia miguu yetu kutoka katika mji wenu tunalikung'uta thidi yenu
Kwa sababu Yesu alikuwa akiwatuma watu hawa huko nje katika makundi ya watu wawili wawili, hivyo watu wawili wawili walikuwa wasemaji kwa kila kundi. kwa hiyo lugha zenye tafasiri ya neno "sisi" ndo ilikuwa hivyo. AT: "Kama ambavyo mlitukana sisi, na ndivyo tutakavyo wakana ninyi. Na hata tumekataa vumbi linalo toka katika mji wenu linalonata katika miguu yetu".
Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.
Neno "Lakini tambueni hiii" linatambulisha onyo. Linamaanisha "hata kama mkitukana sisi, haibadilishi maana ya ufalme wa Mungu kuwepo hapa".
Ufalme wa Mungu umekaribia.
"Ufalme wa Mungu upo kati yenu"
Ninasema kwenu
Yesu alikuwa akiyasema haya kwa watu sabini(70) ambao alikuwa akiwatuma huko nje, Alisema haya ili kuonesha ya kuwa alikuwa aseme kitu cha muhimu zaidi"
Siku ya hukumu
kwa kawaida neno linasema "siku ile"Lakini wanafunzi wake walielewa ya kuwa, alimanisha siku ya mwisho ya hukumu kwa wenye dhambi.
Itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
"Mungu hataihukumu Sodoma kwa nguvu kama atakavyouhukumu ule mji" AT "Mungu atawahukumu watu wa ule mji kwa nguvu zaidi ya atakavyo wahukumu watu wa Sodoma".
Luke 10:13-15
Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethadia!
Yesu aliongea kana kwamba watu wa Korazini na Bethadai walikuwepo, lakini hawakuwepo.
Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingali fanyika Tire na Sidoni.
Yesu anaelezea hali ambayo ingetokea hapo nyuma lakini haikutokea. AT: " Kama mtu angelitenda miujiza kwa watu wa Tire na Sidoni ambayo ningetenda kwenu"
Wangeli tubu zamani sana,
"Watu wanyonge walioishi huko wangelionesha huzuni ya dhambi zao".
wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
"Wakivaa nguo za magunia na kukaa kwenye majivu"
Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tire na Sidoni zaidi yenu.
AT: "Lakini kwa sababu hamkutubu na kuniamini mimi hata kama mliniona nikitenda miujiza, Mungu atawaadhibu zaidi ya jinsi ambavyo atawadhibu Tire na Sidoni"
Katika hukumu
"Siku ya mwisho ambapo amaungu atamuhukumu kila mmoja.
Wewe Kaperanaum,
Yesu anaongea na watu wa mji wa Kaperanaum, kama vile walikuwa wakisikiliza kumbe ndivyo sivyo.
Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni?
Yesu anatumia swali kuwakalipia watu wa Kaperanaum kwa kujisifu kwao. AT : "Hautakaamufikie juu mpka mbinguni" au "Mungu hatakuheshimu"
Utashushwa chini mpaka kuzimu
AT: "Utaenda chini kuzimu" au " Mungu atakupeleka kuzimu".
Luke 10:16
Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi
AT: "Mtu akiwasikiliza, ni kama ananisikiliza mimi"
Yeyote awakataapo anikataa mim
"Atakaye wakataa ninyi, amenikataa mimi".
Yeyote anikataaye mimi amtakaa aliyenituma"
Atakaye nikataa mimi, itakuwa kama anamkataa yeye aliyenituma".
Aliyenituma mimi.
Hii inarejea Mungu Baba aliemuteuwa Yesu kwa ajili ya kazi Maalumu. AT: " Mungu, alienituma".
Luke 10:17-20
Wale sabini walirudi
Lugha zingine zinaweza sema ya kuwa wale sabini walienda kwanza huko nje kama ambavyo UDB inasema. Hii ni taarifa ya mwanzo inayoweza fanya ya mwisho.
Sabini
Unawezataka kuongeza idadi, kwa maana ya kwamba, "Andishi mbalimbali wana 72 badala ya 70.
Katika jina lako
kwa hapa, "Jina" lina rejea Nguvu na mamulaka ya Yesu".
Nilimtazanma Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
Yesu alitumia mfano hai, kuonesha jinsi ambavyo Mungu alikuwa akimshinda shetani pale ambapo wanafunzi wake 70 walikuwa wakihubiri mjini".
Mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge
"Mamlaka ya kukanyaga nyoka na kusaga n'ge" Maana zinazotambulika ni kama, 1)Hii inarejea uhalisia wa nyoka na n'ge. au 2) Nyoka na nge ni vielelezi wa roho chafu. UDB inatoa tafasiri ya kuwa hizi ni roho chafu. "Nimewapa haki na mamlaka ya kuteka roho chafu"
Mamlaka juu ya pepo wabaya na n'ge
Hii inamaana ya kuwa watafanya haya na hawatadhurika. AT:Watatembea juu ya nyoka na n'ge na hawatawadhuru".
N'ge
Mnyama mdogo mwenye sehemu mbili za kushikia mfano wa pembe, na kitolea sumu mfano wa sindano kali kwenye mkia wake.
Na nguvu zote dhidi ya adui
Nimewapa mamlaka kuzishinda nguvu za adui" au " Nimewapa mamlaka ya kumshinda adui" na adui ni Shetani.
Msifurahi tu katika hili,kwamba roho wanawatii
" Msifurahi tu kwa sababu wanawatii"'
majina yenu yameandikwa mbinguni.
AT: "Mungu ameyaandika majina yenu mbinguni" au "Majina yenu yapo katika orodha ya watu ambao ni ufalme wa mbinguni".
Luke 10:21
Bwana wa mbingu na dunia
AT: "Mtawala juu ya kilammoja na kilakitu mbinguni na duniani"
Vitu hivi
Hii inarejea mafundisho ya nyuma ya Yesu juu ya mamlaka ya wanafunzi wake. Inaweza kuwa rahisi kusema " vitu hivi" na msomi aweze kuielewa maana.
Wenye hekima na ufahamu
" kutoka kwa watu wenye hekima na ufahamu". AT: "kutoka kwa watu wanaofikiri kuwa waoni wenye hekima na ufahamu".
kwa wasio fundishwa
Hii inamaanisha wale watu wasio waza kuwa wao ni wenye hekima na wanawiwa kuyapokea mafundisho ya Yesu.
Kama watoto wadogo
"kama watoto wadogo". hii inawakilisha watu wanaojua ya kuwa si wenye hekima na maarifa.
kwa kuwa ilikuwa nzuri na kupendeza katika macho yako.
SAT: "kwa nyie mkiyafanya haya, yanawapendeza ninyi".
Luke 10:22
Kila kitu kimekabithiwa kwangu kutoka kwa Baba yangu
AT: " Baba yangu amekabidhi kila kitu kwangu".
Baba... Mwana.
Hivi ni vichwa vikuu vya muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.
Mwana
Yesu alikuwa akijizungumzia yeye katika nafasi ya tatu.
afahamuye Mwana ni nani
Neno ambalo limetafasiriwa kama "Afahamuye" linamaanisha kujua kutokana na kumwelewa mtu. Mungu Baba anamjua Yesu kwa namna hiyo.
Ila Baba
Hii inamaanisha ni Baba peke yake anajua Mwana ni nani.
na yeyote ambaye mwana anatamani kujifunua kwake
AT: "na watu watajua Baba ni nani endapo Mwana atataka kuwadhihirishia Baba kwao".
Luke 10:23-24
Akawageukia wanafunzi, akasema kwa siri,
Yawezekana hii ilikuwa katika wakati fulani. AT: "badaye, ambapo wanafunzi wakewalikuwa peke yao pamoja naye, akasema"
Wamebarikiwa wavionavyo vitu mvionavyo
Pengine hii ilikuwa na maana kwa watu wote waliokuwa wamekuja kumsikiliza Yesu AT: "Ni jinsi gani ilivyo vyema kwa wale wanaoona vitu mnavyoviona".
Vitu hivi mvionavyo
"Vitu ambavyo mmeniona mimi nikivifanya"
Vitu hivi mvisikiavyo
"Vitu ambavyo mmenisikia mimi nikiviongea".
Luke 10:25-28
Sentensi unganishi
Yesu anajibu kwa kutumia simuilizi kwa mwalimu wa kiyahudi ambaye alitaka kumujaribu Yesu.
Tazama, mwalimu fulani
Hii pia ilitokea kwa wakati fulani, AT: "Siku moja Yesu alipokuwa akiwafundisha watu, Mwalimu fulani"(UDB)
Tazama
Hii inatupeleka moja kwa moja kwa mtu mpya katika simulizi. Pengine lugha yako ikawa ina namna ya kufanya hivi.
Alimujaribu
"Kumchanganya"
Kimeandikwa nini katika sheria?
Yesu anatumia mfano kumfundisha huyu Mwalimu wa kiyahudi. AT: "niambie ni nini Musa aliandika kwenye sheria"
Unaisoma je?
"Umesoma nini ndani yake?" au "Unaelewa nini ambacho unaweza sema?"
Lazima umpende.... jirani kama wewe mwenyewe
Mtu yule(myahudi) ananukuu kile Musa alichoandika kwenye sheria.
Moyo wako.....roho yako....nguvu zako...akili yako
Yote hii inamaanisha ya kuwa mtu lazima ampende Mungu kikamilifu na kila kitu chake
Jirani yako
Hii inamaanisha mtu aliepo katika jamii yako. AT: "raia mwenzako" au "watu wa jamii yako".
Luke 10:29-30
Lakini mwalimu, akitamani kujibibitisha kuwa
Lakini alijaribu kutafuta njia ya kujisafisha yeye mwenyewe, hivyo akasema" au " lakini akataka kuonekana kuwa ni mwenye haki, akasema"
Akajibu, Yesu akasema
Yesu akamjibu yule mtu kwa kumwambia fumbo AT: " kwa kumjibu Yesu akamwambia simulizi hii"
Akaangukia kati ya wanyang'anyi,
" Alizungukwa na wanyang'anyi" au "wanyang'anyi wakamteka".
Wakamvuaa na kumnyang'anya vya kwake
"Walimchukulia vyote alivyokuwa navyo" au "Wakamuibia vitu vyake vyote"
Luke 10:31-32
Kwa bahati
Hiki ni kitu ambacho hakuna alikuwa amepanga.
kuhani fulani
Maelezo haya yanatambulisha mtu mpya katika simuilizi, lakini haimutaji kwa jina lake.
Na alipomuona
"Na baada ya kuhani kumuona yule mtu aliekuwa amejeruhiwa".Kuhani ni mtu wa dini, hivyo watu walihisi ya kuwa angemsaidia yule mtu.Kwa sababu hakumsaidia aya hii ingeweza kutafasiriwa kama "lakini baaada ya kumuona" kuleta umakini kwa hii hali ambayo haikutokea kama ilivyokuwa ikitarajiwa.
Akapita uapende mwingine wa barabara
Inaonesha dhahiri ya kuwa hakumsaidia yule mtu mwenye majeraha. AT:"hakumsaidia yule mwenye majeraha badala yake alimpita".
Luke 10:33-35
Lakini msamaria mmoja
Hii inatambulisha mtu mpya kwenye simulizi bila ya kutaja jina lake. Tunajua tu ya kuwa alikuwa msamaria . Wayahudi walikuwa wakiwadharau wasamaria na walikuwa wakimudhania ya kuwa hatamsaidia yule myahudi aliekuwa ameumizwa.
Alipomuona
"Baada ya msamaria kumuona yule mtu aliekuwa ameumizwa"
Alisukumwa kwa huruma
"Akamuonea huruma"
Akamfunga vidonda vyake, akavimwagia mafuta na divai.
Angekuwa ameweka yale mafuta na divai kwenye vidonda vyake, AT:" akaweka divai na mafuta kwenye vidonda na akavisokota kwenye nguo"
Akavimwagia mafuta na divai
Divai ilitumika kusafisha vidonda na mafuta yalitumika kuzuia kudhuriwa kwa vidonda
Mnyaama wake
"Mnyama wake mwenyewe". Huyu alikuwa mnyamaambaye alitumika kubeba mizigo mizito. inasemekana alikuwa punda.
Dinari mbili
"Mshahara wa siku mbili". Denari ni umoja wa denari.
Mwenyeji wake.
" Mwangalizi wake" au "mtu ambaye alimtunza na kuwa akribu naye"
Luke 10:36-37
Ni yupi kati ya hawa watatu unafikiri.
AT:" Unafikiri nini? ni nani kati ya hawa watatu"
Alikuwa jirani
"Alijionesha mwenyewe kuwa jirani mwema"
Yeye alieangukia kati ya wanyang'anyi.
" Kakwe yeye ambaye wanyang'anyi walimteka"
Luke 10:38-39
Taarifa kamili
Yesu anakuja kwenye nyumba ya Matha ambapo dada yake Mariam akawa akimsikiliza Yesu kwa umakini mkubwa.
sasa
Neno hili limetumika mahali hapa kuonesha tukio jipya
walipokuwa wakisafiri,
"Kama ambavyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakisafiri"
kijiji fulani
Hii inatambulisha kijiji kama sehemu mpya,lakini hapakupewa jina.
mwanamke mmoja jina lake Matha
Hii inamtambulisha Matha kama mhusika mpya. Pengine lugha yako ikawa na namna nyingine ya kumtambulisha mtu mpya.
alikaa miguuni mwa Bwana
Hii ilikuwa kawaida na yenye heshima kwa mtu anayetaka kujifunza kwa mda ule. AT:" alikaa kwenye sakafu"
na kusikiliza neno lake
AT: "Na akasikiliza Mafundisho ya Bwana"
Luke 10:40-42
haujali...peke yangu?
Martha alaikuwa analalamika kuwa Bwana alimruhusu Mariamu aketi amsikilize wakati kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Alimuheshimu Bwana, ndo maana alitumia swali la kejeli kufanya malaliko yake kuwa ya upole.AT: "inaonekana hujali..pekeyangu."
Martha, Martha
Yesu arudia rudia jian la martha kuonesha msisitizo. AT: "Mpendwa Martha" au "wewe Martha."
ambacho hakitachukuliwa kutoka kwake
Inaweza maanisha 1) " Sitachukua fursa yake" au "2) "Hatapoteza alichopatakwa sababu ananisikiliza."
Luke 11
Luke 11:1
Habari za jumla
Hii ni mwanzo wa sehemu inayofuata ya hadidhi. Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kuomba
Ilitokea
Neno hili lilitumika kuonyesha mwanzo wa...
Luke 11:2
Yesu akawaambia, "msalipo mseme, "Baba Jina lako litakaswe
Yesu, mwana wa Mungu, Aliwaamuru wanfunzi kuheshimu Jina la Mungu "Baba", kwa kulitamka jina la Mungu kama "Baba" wakati wa kuomba
Yesu akawaambia
Yesu aliwaambia wanafunzi wake
Baba
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
Jina lako litakaswe
"Watu wote wakuheshimu wewe" au "mfanye kila mmoja aliheshimu Jina lako"
Ufalme wako uje
"Uizimamishe ufalme wako" Tunataka utawale watu wako.
Luke 11:3-4
Maneno yenye kuunganisha
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake namna ya kuomba.
mkate wetu wa kila siku
Mkate ni chakula cha gharama ambacho huliwa na watu kila siku
Utusamehe makosa yetu
"Utusamehe kwa kufanya dhambi kinyume na wewe" au "Tusamehe dhambi zetu"
Kama nasi tunavyo wasamehe
Kwasbabu nasi tunawasamehe
Waliotukosea
wale waliofanya makosa juu yetu au waliotutendea mambo mabaya
Usituongoze katika Majaribu
Tuongoze mbali na majaribu
Luke 11:5-8
Maneno yenye kuunganisha
Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake juu ya maombi
Ni nani kati yenu mwenye
Yesu alitumia maswali kuwafundisha wanafunzi wake . "Fikiria mmoja wenu anayo" au "Fikiria unayo"
Niazime mikate mitatu
Nikopeshe mkate mitatu au nipe mikate mitatu na nitakupilia baadaye . Mwenyeji hana chakula chochote kilicho tayari cha kumpa mgeni wake.
amenijia sasa hivi kutoka njiani
alikuwa akisafiri na sasa hivi akaja nyumbani mwangu
sina cha kumuandalia yeye
"chakula chochote kilicho tayari cha kumpa"
Siwezi kuamuka
"Siyo rahisi kwangu mimi kuamka"
Nawaambia
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi, Neno ninyi ni wingi
akupe mkate kwasababu wewe ni rafiki yake
Yesu aliongea na wanafunzi wake kana kwamba wao ndiyo waliokwenda kuomba mkate.
kuendelea bila aibu
Hii inamaanisha ile hali ambayo yule mtu aliendelea kuomba mkate bila kujali kama ni wakati mwafaka wa rafiki wake kuamka katikati ya usiku na kumpa mkate
Luke 11:9-10
Omba..tafuta....bisha
Yesu alitoa hizi amri kuwatia moyo wanafunzi wake kuomba bila kukoma. Lugha nyingine huitaji maelezo zaidi. "waweza kuelezea kama ifuatavyo: endelea kuomba kwa kile unachokihitaji....endelea kutafuta kile unachohitaji kwa Mungu...endelea kubisha hodi kwenye mlango"
Nanyi mtapewa
"Mungu atakupatia " au "Utapokea"
Bisha/kugonga
Kugonga katika mlango ni kupiga mara kadhaa kumfanya yule aliyeko ndani ajue kuwa unasimama je. Inaweza pia kutafsiriwa kwa kutumia njia ambayo watu wa kabila lenu huonyesha kuwa wamefika. Mfano "Kuita" au "kukohoa" au "Kupiga makofi" . Hapa inamaana mtu anendelee kuomba kwa Mungu hadi amjibu
itafunguliwa kwenu
"Mungu atafungua Mlango kwa ajili yako" au "Mungu atakukaribisha Ndani"
Luke 11:11-13
kauli inayounganisha
Yesu alimaliza kufundisha wanafunzi wake kuhusu maombi.
Nani kati yenu...nyoka?
Yesu alitumia maswali kufundisha wanafunzi wake. " Hamna kati yenu...nyoka"
Mkate
"Mkate" au "Kiasi cha cakula"
au badalaya samaki, nyoka?
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Au, kama akiomba samaki, hutampa nyoka"
Nnge
Nge ni kama buibui , lakini ana mkia wenye sumu unao choma. Kama Nnge hafahamiki sehemu unayoishi, waweza kutafsiri kama "buibui mwenye sumu" au "Buibu anayechoma"
kama ninyi mlio waovu mnajua
"kwa kuwa ninyi mlio waovu mnajua " au "hata japokuwa ninyi ni watenda dhambi , mnajua"
Je si zaidi Baba yenu wa mbinguni atawapa na kuzidi Roho Mtakatifu ... wamuombao?
Je si zaidi na kwa uhakika Baba yenu wa mbinguni atawapa Roho Mtakatifu ...Yeye? Yesu alitumia maswali tena kuwafundisha wanafunzi wake. "Uwe na uhakika kuwa Baba yenu wa Mbinguni atawapatia Roho Mtakatifu...yeye"
Luke 11:14-15
Habari ya Jumla
Hii ni sehemu nyingine ya hadithi iliyofuata. Yesu alihojiwa baada ya kukemea pepo limtoke kwa mtu aliyekuwa bubu.
Yesu alikuwa akimuondoa pepo
"Yesu alikuwa akimuondoa pepo nje ya mtu" Au " Yesu alimuamuru pepo kumuacha mtu"
alikuwa bubu
hunda yule pepo haongei. Huenda msomaji alifahamu kuwa huyo pepo alikuwa na nguvu ya kuwafanya watu wasiongee. " pepo alimsababishia yule mtu asiweze kuongea"
ikawa
kifungu hiki inatumika kuonyesha tendo lilipoanza. Kama lugha yenu ina namna ya kufanya hili, unaweza kutumia hapa. Pepo alipomtoka mtu yule, na hivyo ikampelekea Yesu kufundisha habari za roho mbaya.
ikawa pepo lilipomtoka
"wakati pepo lilipo mtoka mtu" au "wakati pepo lilipo muacha mtu"
yule mtu aliyekuwa bubu akazungumza
"mtu ambaye alikuwa hawezi kuzungumza sasa akazungumza"
Kwa Beelzebul, mkuu wa mapepo, anatoa mapepo
"anatoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebul, mkuu wa mapepo"
Luke 11:16-17
Habari ya jumla
Yesu alianza kujibu umati waliojikusanya
Wengine wakamjaribu
"Watu wngine walimjaribu Yesu". Walimtaka awathibitishie kuwa mamlaka yake yanatoka kwa Mungu.
na kumtaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni
"na kumuambia awape ishara kutoka mbinguni" au "kwa kutaka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni". Ni kwa njia hii walimtaka yeye athibitishe kuwa mamlaka yake yanatoka kwa Mungu.
Kila ufalme utakaogawanyika itakuwa ukiwa
"Kama watu katika ufalime watapigana wenyewe kwa wenyewe, wataingamiza ufalme wao. "
Nyumba iliyogawanyika itaanguka
Hapa "Nyumba" inamaanisha ni familia, "Kama watu wa familia moja wakipigana wenyewe kwa wenyewe wataiharibu familia yao"
kuanguka
"Kuangushwa chini na kuharibiwa" Taswira hii ya nyumba kuanguka chini inafananishwa na uharibifu utakaotokea pale watu wa familia moja wakipigana wenyewe kwa wenyewe.
Luke 11:18-20
kama shetani takuwa amegawanyika
"Shetani" hapa inawakilisha wale mapepo waliojiunga na Shetani kumuasi Mungu. "Kama shetani na washirika wa ufalme wake wanapigan a wao kwa wao"
ufalme wake utasimamaje?
Yesu alitumia maswali kufundisha watu. "Ufalme wa Shetani hautadumu" au "Ufalme wa shetani utaanguka na kusambaratika"
Kwasababu mwasema natoa mapepo kwa Belzebuli
Kwa sababu mwasema ni kwa nguvu ya Belzebuli nawafanya mapepo kuwaacha watu . sehemu iliyofuata ya majibu yake inaweza kutamkwa kirahisi: "hii inamaana Shetani amegawachika juu yake"
Je wenzenu wanatoa mapepo kwa njia gani?
"ni kwa nguvu ya nani wenzenu wanawaamurisha mapepo kuwaacha watu. " Yesu alitumia swali kufundisha watu.Swali la Yesu inaweza kurahisishwa, "basi ni lazima tukubaliane kuwa wenzenu pia hutumia nguvu ya Beelzebuli kuondoa mapepo". "Lakini tunajua kuwa hiyo si kweli".
wao watawahukumu ninyi
wenzenu wanao watoa mapepo kwa nguvu ya Mungu watawahukumu ninyi kwa kusema kuwa mimi natoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebuli.
kwa kidole cha Mungu
"Kidole cha Mungu" inamaanisha ni Nguvu ya Mungu
Basi ufalme wa Mungu umewajia
"Hii inaonyesha kuwa ufalme wa Mungu umekuja kwenu"
Luke 11:21-23
mtu mwenye nguvu ...akilinda nyumba yake
Hii inaongelea Yesu ambaye anamshinda Shetani na mapepo wake kama mtu mwenye nguvu zaidi ananyo chukua vitu vya mtu mwenye nguvu
vitu vyake vitakaa salama
"hakuna awezaye kuiba vitu vyake"
na kuzichukua mali zake zote
"Kuiba mali zake" au kuchukua kila kitu alichokitaka"
yeye asiye pamoja nami
"yeye asiyenisaidia " au "yeye asitenda kazi pamoja nami"
yuko kinyume nami
"anafanya kazi kinyume nami". Hii inamaanisha wale watu waliosema kuwa Yesu anafanya kazi pamoja na Shetani.
Luke 11:24-26
mahali pasipo maji
"Hii inamaanisha "sehemu ya ukiwa", mahali ambapo roho mbaya hurandaranda .
akikosa
"kama roho hakupata sehemu ya kupumzika"
nyumba yangu nilikotokea
Hii inamaanisha mtu yule ambaye alikuwa anakaa kwake. "mtu ambaye nilikuwa nikikaa kwake"
na kukuta nyumba imefagiliwa na imekaa vizuri
"akaikuta mtu alifagia nyumba na kuwa safi na kuweka kila kitu mahali pake " au " kumkuta mtu kama nyumba iliyosafishwa na kupangiliwa vizuri"
imefagiliwa
"tupu" Mfano huu inamaanisha hali ambayo mtu hakujazwa Roho wa Mungu baada ya mapepo kuondoka.
Luke 11:27-28
Habari ya Jumla
Huu ni mkatizo wa mafindisho wa Yesu. Mwanamke aliongea baraka na Yesu akajibu.
Ilitokea
Kifungu hiki kinatumika kuonyesha tukio muhimu katika historia. Kama lugha yako ina njia ya kufanya hii, unaweza ukatumia hapa.
aliyepasa sauti yake kwenye mkutano
"aliongea kwa sauti iliyozidi kelele za umati"
Limebarikiwa tumbo lililo kuzaa na matiti ulioyanyonya
Sehemu ya mwili wa mwanamke ilitumika kuwakilisha mwanamke. " Ana heri kiasi gani yule mama aliyekuzaa na kukunyonyesha kwenye matiti yake" au " Ana furaha iliyoje yule mwanamke aliyekuzaa na kukunyonyesha kwenye matiti yake"
lakini, wamebarikiwa wale
" Ni vizuri zaidi kwa wale "
Luke 11:29-30
Kauli inayounganisha
Yesu aliendelea kufundisha umati
Kizazi hiki ni kizazi cha uovu
Watu wanaoishi katika nyaka hii ni watu waovu
Hutafuta ishara
"Wanataka mimi niwape ishara " au "Wengi wenu mnataka mimi niwape ishara" . Habari ya aina ya ishara wanayotaka inaweza kufaywa rahisi kama ilivyo katika UDB
na hakuna ishara watakao pewa
"Mungu hatawapa ishara "
Ishara wa Yona
"kile kilichotokea kwa Yona" au "muujiza ambao Mungu alifanya kwa Yona"
Maana kama Yona alivyokuwa ishara...ndivyo
Hii inamaana kuwa Yesu atatumika kama ishara kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Wayahudi wa wakati huo kama ilivyokuwa kwa Yona alivyotumika kama ishara kutoka kwa Mungu kwa watu wa Ninawi.
Mwana wa Adamu
Yesu alikuwa akijisemea mwenyewe
Luke 11:31
Malkia wa Kusini
Hii ilimaanisha malkia wa wa Sheba. Sheba ilikuwa ni ufalme wa kusini mwa Israeli
atasimama siku ya hukumu na watu wa kizazi hiki
"Atasima pia na kuwahukumu watu wa kizazi hiki"
kalitoka katika mwisho wa nchi
"alikuja tokae umbali mrefu" au " Alikuja kutoka sehemu ya mbali"
Yuko mkuu kuliko Sulemani
Yesu alikuwa akiongelea juu yake. "Mimi ni mkuu kuliko Sulemani lakini hamnisikilizi"
Luke 11:32
Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki na kuwahukumu
"Watu wa Ninawi watasimama na kuwahukumu watu wa nyakati na kuwalaani."
kwani walitubu
"watu wa Ninawi walitubu"
Yuko aliye mkuu kuliko Yona
Yesu alijiongelea mwenyewe. "Mimi ni mkuu kuliko Yona lakini hamkutubu"
Luke 11:33-36
Kauli unayounganisha
Yesu alimaliza kuwafundisha makutano
Kuweka sehemu ya chini yenye giza
"kuficha kwenye sehemu iliyofichika"
Ila Juu ya kitu
"ila wanaweka juu ya meza" au " Ila wanaweka juu ya kabati"
Jicho lako ni taa ya mwili
Hii imewasilishwa na mafumbo tofauti. Jicho hufananishwa na Maono, ambayo ni mfano wa kuelewa. Mwili ni kiwakilishi cha maisha ya Mwanadamu. " Jicho lako ni taa ya maisha yako" au "Maono yako ni taa ya maisha yako" Kwasababu Yesu alikuwa anaongea kitu ambacho ni kweli kwa kila mtu, inaweza ikatafsiriwa kama " Jicho ni taa ya mwili wa mwanadamu"
Jicho lako likiwa zuri
" Maono yako yakiwa mazuri" au "ukiona vema"
mwili wako wote utakuwa kwenye mwanga
Yesu aliongelea kweli kama mwanga . "mwanga wa kweli utakuwa maishani mwako" Au "Maisha yako yote utakuwa na mwanga"
jicho lako likiwa baya , mwili wako wote utakuwa kwenye giza.
Yesu aliongelea habari ya kuwa katika uongo kama vile ni kuwa katika giza. " Maono yako yakiwa mabaya, basi maisha yako yote yanajawa na giza"
mwili wako wote utakuwa sawa na mwanga utouo mwango kwenu.
Yesu aliongea watu ambao wamejawa na kweli kama vile taa iwakavyo na kutoa mwanga wote.
Luke 11:37-38
Habari ya Jumla
Huu ni mwanzo wa sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alikaribishwa kula nyumbani mwa Mfarisayo
akawa pamoja nao
"kukaa katika meza". " ilikuwa ni desturi kwa chakula kama hii wanaume kula wakiwa wamekaa vizuri kwa kustarehe kwenye meza"
kunawa
Mafarisayo wana sheria ya kuwa watu ni lazima wanawe mikono yao ili waonekane kuwa wasafi mbele za Mungu. "kunawa mikono" au "kunawa mikono ili kuwa msafi kiibada"
Luke 11:39-41
Habari ya jumla
Yesu alianza kuongea na mafarisayo
nje ya vikombe na bakuli
Kuoasha nje ya vyombo ilikuwa ni sehemu ya mazoea ya ibada kwa Wafarisayo
lakini ndani yenu mmejaa tamaa na uovu.
Hii inafananishwa na njinzi wanavyosahau ndani ya vyombo na wanavyosahau maisha yao ya ndani.
Je yeye aliyeumba nje hakuumba na ndani pia?
Yesu alitumia swali kuwakemea Mafarisayo kwa kutojua ya kuwa kile kilichoko ndani ya miyoyo yao inajalisha kwa Mungu.
Wapeni maskini yaliyo ndani
"Wapeni Maskini kile kilichoko ndani ya vikombe na bakuli" au " Muwe wakarimu kwa watu maskini"
Luke 11:42
mnatoza zaka ya mnanaa na kila aina ya mboga ya bustani
" mnatoa moja ya kumi ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani", Yesu alikuwa anatoa mfano wa njinzi mafarisaya walivyo makini katika kutoa moja ya kumi ya mapato yao.
mnanaa na mchicha
hizi ni kama dawa. Watu huweka kidogo kwenye chakula ili kuipa utamu fulani. Kama watu hawafahamu mnanaa na mchicha, unaweza kutumia majina ya viungo wanayoijua au ufahamu wa jumla wa "viungo."
na kila aina ya viungo vya bustani
Tafsiri yake inaweza kuwa 1) Kila aina nyingine ya mbogamboga" 2) "Kila aina ya viungo vya bustani" 3) Kila aina ya mimea ya bustani
bila kuyaacha kuyafanya na hayo mengine pia
"na kila wakati myafanye na hayo mengine pia"
Luke 11:43-44
kauli inayounganisha
Yesu alimaliza kuongea na mafarisayo
viti vya mbele
"viti vizuri sana"
ole wenu, kwani mnafanana na makaburi yasiyo na alama ambayo watu hutembea juu yake pasipokujua"
Mafarisayo ni kama makaburi yasiyo na alama kwasababu wanaonekana kama waasafi, lakini huwafanya watu waliokaribu nao kuwa siyo wasafi.
makaburi yaliyofichika
Makaburi hayo yalikuwa mashimo kuchimbwa katika ardhi ambapo maiti kuzikwa. Wao hawakuwa na mawe nyeupe kwamba watu kawaida kuweka juu ya makaburi ili kwamba watu wengine kuona kwao. Wakati watu kutembea juu ya kaburi, wangeweza kuwa najisi.
Luke 11:45-46
Habari ya Jumla
Yesu alianza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi
kwani mnawapa watu mizigomikubwa wasiyoweza kuibeba
"munaweka mizigo juu ya watu ambayo ni mizito kubebeka" . Yesu aliongea kuhusu mtu fulani kuwapa watu sheria nyingi kama mtu kuwapa mizigo mizito kubeba. "Mnawapa watu mizigo mizito kwa kuwapa sheria nyingi za kufuata"
walakini ninyi hamgusi mizigo hiyo hata kwa moja ya vidole vyenu.
"lakini hamtumii hata moja ya kidole chenu kuwasaidia kubeba mizigo hiyo. "Lakini hamfanyi kitu chochote kabisa kuwasaidia waitii sheria zenu"
Luke 11:47-48
ambao
Hii huwafanya kuona utofauti kati yao kwa namna wanavyo waheshimu manabii wakati wakipuuza ukweli kuwa wababu zao ndio waliowauwa.
hivyo ninyi mwashuhudia na kukubaliana
Yesu aliwakemea Mafarisayo na waalimu wa sheria . Walijua mauwaji ya manabii, lakini hawakushutumu wala kuwalaani wababu zao kwa kuwauwa. " kwahiyo, badala ya kuwakana wao, ninyi mwashuhudia na kukubaliana "
Luke 11:49-51
Kwasababu hiyo
Hii inarejea sentensi iliyofuata, Mungu atawatuma manabii wengi ili kuonesha kuwa kizazi hiki kitawauwa, kama walivyofanya baba zao.
Hekima ya Mungu inasema
"Mungu kwa hekima yake alisema" au "Mungu alisema kwa hekima"
Nitawatumia manabii na mitume
"Nitawatumia manabii na mitume watu wangu"
watawatesa na kuwauwa baadhi yao
"watu wangu watawatesa na kuwauwa baadhi ya manabii na mitume"
Kizazi hiki, kitawajibika na damu iliyomwagwa ya manabi wote.
Damu iliyomwagwa inamaanisha mauwaji ya manabii. "Kwa hiyo Mungu atawajibisha kizazi hiki kwa kifo cha manabii wote ambao watu wamewauwa"
Zakaria
Huyu ni kuhani wakati wa Agano la kale aliyewakemea watu wa israeli kwa habari ya usinzi. Huyu siye Baba wa Yohana Mbatizaji.
ambaye ameuwawa
"ambaye watu walimuuwa"
Luke 11:52
Kauli ya kuunganisha
Yesu alimaliza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi
mmechukuwa funguo za ufahamu ...na mnawazuia wale wanaotaka kuingia
Yesu aliongea kuhusu ukweli wa Mungu kama vile ilikuwa ndani ya nyumba ambayo waalimu walikataa kuingia na hawaruhusu wengine kuingia. Hii ina maanisha waalimu hawamjui Mungu , na pia wanawazuia wengine kumjua Yeye pia.
Ufunguo
Hii inawakilisha maana ya ruhusa, kama kwenye nyumba au kwenye chumba cha stoo.
nyie wenyewe hamuingii
" ninyi wenyewe hamuingii ndani kupata ufahamu"
Luke 11:53-54
Habari za jumla
Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambapo Yesu alikula katika nyumba ya mfarisayo. Hii mistari inamweleza msomaji nini kilifanyika baada ya sehemu ya habari kuu ya hadithi kuisha "
Baada ya Yesu kuondoka pale
" Baada ya Yesu kuondoka katika nyumba ya mfarisayo"
wakijaribu kumtega kwa maneno yake
Hii inamaanisha walihitaji Yesu kusema kitu kibaya ili waweze kumshitaki
Luke 12
Luke 12:1
Habari za Jumla
Hii ni sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya maelfu ya watu.
kwa wakati huo
"wakati wakifanya hayo "
wakati maelfu ya watu ..walikanyagana
Hii ni habari ya nyuma inayoelezea mpangilio wa hadithi
watu wengi maelfu
"ni kusanyiko kubwa"
walikanyagana
Hii ni kivumishi kinachoelezea wingi wa watu waliokuwepo
Alianza kusema na wanafunzi wake kwanza
"Yesu alianza kwanza kuongea na wannafunzi wake, na kuwaambia"
Mjihadhari na chachu ya Mafarisayo ambayo ni unafiki.
Kama vile chachu inavyoenea kwa donge la unga wa mkate, unafiki wao huenea kwa jamii nzima. "Mjitunze na unafiki ya Mafarisayo ambayo ni sawa na chachu" au " Mjihadhari msije mkawa wanafiki kama Mapharisayo. Hii tabia ya uovu hushawishi kila mmoja kama ambavyo chachu huharibu donge la unga"
Luke 12:2-3
Lakini hapatakuwepo na siri iliyofichika ambayo haitafunuliwa
"Lakini kila kitu kilichofichwa kitaonyeshwa" Neno "lakini" ni neno la kiunganishi" Lakini watu watajua mambo yote wafanyayo watu kwa siri"
wala jambo lililo fichwa ambalo halitajulikana
Hii ina maana sawa na sehemu ya kwanza ya sentensi ili kuzizitiza ukweli. " na watu watajifunza kuhusu kile ambacho watu wengine wanajaribu kuficha"
itasikiwa katika mwanga
" watu watasikia katika mwanga"
mliyoyasema kwenye sikio
"Kumnong'onezea mtu mwingine"
ndani ya vyumba vyenu vya ndani
"kwenye chumba iliyofungwa". "Kwa sehemu ya faragha" au "Kwa siri"
vitatangazwa
"itasemwa kwa sauti ya juu". "Watu watatangaza"
juu ya nyumba
Nyumba katika Israeli zlikuwa na paa gorofa, hivyo watu wanaweza kwenda na kusimama juu yao. Kama viongozi wanavyokuwa na wasiwasi kujaribu kufikiria jinsi watu wanavyoweza kupanda juu ya zile nyumba, hii inaweza pia kutafsiriwa na usemi zaidi kwaa jumla, kama vile "kutoka mahali pa juu ambapo kila mmoja atakuwa na uwezo wa kusikia."
Luke 12:4-5
Nawaambia rafiki zangu
Yesu anawaanda wasikilizaji wake kutambua kuhamia kwenye mada nyingine, kwa hili, kuongelea kuhusu kutokuogopa.
hawana kitu kingine cha kufanya
"hawawezi kusababisha maumivu mengine zaidi" au "hawawezi kukuzuru zaidi"
Muogopeni yule
"Mwogopeni Mungu ambaye" au "Muogopeni Mungu kwa sababu"
akisha kuua
"baada ya kukua" au "baada ya kumuua mtu"
ana mamlaka ya kutupa kwenye jehanamu
"ana mamlaka ya kuwatupa watu kwenye jehanamu"
Luke 12:6-7
Je shomoro watano hawauzwi kwa senti mbili?
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi
Shomoro
Ni ndege wadogo sana wenye kula mbegu
hakuna mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu
"Mungu hajawahi kusahau mmoja wao". "Mungu kwa uhakika anakumbuka kila shomoro"
hata nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa
"Mungu anajua hata idadi ya nywele zilizoko kichwani mwako"
Msiogope
"Msiwaogope watu" au "Msiwaogope watu watakao waujeruhi ninyi"
Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
"Mungu anawathamini ninyi kuliko mashomoro wengi"
Luke 12:8-10
Nawaambia Ninyi
Yesu alikuwa anawaanda wasikilizaji wake kutambua kuhamia kwa mada nyingine, kwa hili, anaongelea kuhusu kukiri.
yeyote atakayenikiri mbele za watu
"yeye atakaye waambia wengine kuwa yeye nimwanafunzi wangu" au " yeyote atakaye nitambulisha mbele ya wengine kwamba ni mwaminifu kwangu"
Mwana wa Adamu
Yesu alikuwa akirejea Yeye mwenyewe. Mimi Mwana wa Adamu
yeyote atakaye nikana mbele za watu
"Yeyote atakaye nikataa mbele za watu" " Yeyote atakaye kataa kunitambulisha kwa wengine kuwa yeye ni mwanafunzi wangu" au " yeyote atakaye kataa kusema yeye ni mwaminifu kwangu"
naye atakanwa
"Atakanwa" Mwana wa Adamu atamkana yeye " au " Nitamkana kuwa si mwanafunzi wangu"
Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu,
"Yeyote atakayesema jambo baya juu ya Mwana wa Adamu "
atasamehewa
"atasamehewa". "Mungu atamsamehe yeye kwa hilo"
atakayemkufuru Roho Mtakatifu
"atakayeongea maovu juu ya Roho Mtakatifu " au "Kusema kuwa Roho Mtakatifu ni mwovu"
Hatasamehewa
"Mungu atamuhesabu kuwa na hatia milele"
Luke 12:11-12
mbele ya wakuu wa masinagogi
" Ndani ya masinagogi ili wawaulize maswali kwa viongozi wa kidini"
wenye mamlaka
"watu wengine wenye nguvu ndani ya nchi"
kwa wakati huo
"kwa muda huo" au "Kisha"
Luke 12:13-15
Habari za Jumla
Hii ni katizo kwa mafundisho ya Yesu. Mtu mmoja alimuomba Yesu amfanyie kitu na Yesu akamjibu.
Mtu
Maana inayowezekani ni 1) Hii ni namna ya kuongea na mtu mgeni au 2) Yesu anamkemea yule mtu. Labda lugha yenu ina njia mbadala ya kuongea na watu kwa namna ya njia hizi mbili. Watu wengine hawatafsiri neno hili kabisa.
Ni nani aliyeniweka kuwa mwamuzi au mpatanishi kati yenu?
Yesu alitumia swali kumfundisha huyo mtu. " Mimi siyo mwamuzi wenu au mpatanishi" . Lugha zingine hutumia wingi wa maneno ya "Yenu" au "Wenu"
Ndipo akawaambia
Neno "akawaambia" hapa huenda inarejea umati wote wa watu.
jihadharini na kila namna ya tamaa
"Jichungei na kila aina ya uchoyo". "Msijiruhusu kupenda kuwa vitu"au " Msiruhusu tamaa ya kuwa na vitu vingi iwatawale"
uzima wa mtu
Hii ni kauli ya jumla za ukweli. Haimrejei mtu yeyote maalum. Lugha nyingine zina jinsi ya kuelezea .
wingi wa vitu alivyo navyo
"Ni kiasi gani vya vitu anavyomiliki" au "kiasi gani ya mali anayomiliki"
Luke 12:16-19
Kauli inayounganisha
Yesu aliendeleza mafundisho yake kwa kuwaeleza mfano
Kisha Yesu akawaambia
Huenda Yesu alikuwa bado anaongea na mkutano wote.
ilizaa sana
"imezaa mavuno mengi"
ghala
jengo ambalo wakulima huhifadhi mazao na chakula wanachopanda baada ya kuvunwa
vitu
"Mali"
Nitaiambia nafsi yangu
"Nitajiambia mwenyewe"
Luke 12:20-21
kauli inayounganisha
Yesu alinukuu jinsi Mungu alivyomjibu mtu tajiri, alipokuwa anamalizia hadithi yake.
usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako
"utakufa usiku wa leo" au " Nitaichukuwa uhai wako kutoka kwako leo"
na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nani?
"nani atamiliki vitu ulivyo hifadhi?" au " ni nani atakayekuwa nayo vitu ulivyoviandaa?" Mungu alitumia swali kumfanya mtu atambue kuwa hatamiliki tena vitu hivyo.
anayejiwekea mali
"kuhifadhi vitu vya dhamani"
na si tajiri
"maskini"
kwa ajili ya Mungu
Maana yake ni kwamba mtu huyu hakuwa anajali vitu vilivyo muhimu kwa Mungu, au kuwa Mungu atamlipa. "kwa mtazamo wa Mungu" au "kulingana na Mungu"
Luke 12:22-23
Kauli inayounganisha
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya umati.
Kwahiyo
"kwasababu hiyo" au " kwasababu ya mafundisho ya hadihi hii"
Nawaambia
"Nataka niwaambie kitu muhimu"au "Inabidi msikilize kwa umakini juu ya hili"
juu ya maisha yenu-ya kuwa mtakula nini
"kuhusu maisha yenu na nini mtakula" au " kuhusu kuwa na chakula cha kutosha ili muweze kuishi"
juu ya miili yenu -ya kuwa mtavaa nini
"kuhusu miili yenu na nini mtavaa" au " kuhusu kuwa na nguo za kutosha za kuvisha miili yenu"
Luke 12:24-26
ndege wa angani (Rivens)
(Rivens) hii inamaanisha 1) Ni aina ya ndege wanaokula mbegu zaidi, au 2) aina ya ndenge wanaokula nyama ya wanyama waliokufa. Wasikilizaji wa Yesu watakuwa wameidharau hao ndege kuwa si kutu (rivens) kwani Wayahudi hawali aina hiyo ya ndege.
Ninyi si bora zadi kuliko hao ndege
Hii ni tahamaki na siyo swali. Yesu alisisitiza ukweli kwamba watu ni wa muhimu sana kwa Mungu kuliko ndege.
Ni yupi kati yenu ...maisha yake?
Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake
kuongeza dhiraa moja katika maisha yake
Huu ni mfano kwasababu dhiraa hutumika kupima urefu, na siyo muda. Taswira ya maisha ya mtu kufutwa kama vile ubao, au kamba , au kitu chochote kigumu.
ikiwa basi hamuwezi kufanya....hayo mengine ?
Yesu alitumia swali lingine kuwafundisha wanafunzi wake.
Luke 12:27-28
maua
(Lilies), haya ni mauwa mazuri yanayojiotea yenyewe shambani. Kama lugha yako haina jina la mauwa ya aina ya (lily) unaweza kutumia jina lingie la maua yanayofanana na hilo au tafsiri kama "maua"
wala hayajisokoti
"haitengenezi uzi ili yajivike" au "hawatengenezi uzi"
Sulemani katika utukufu wake
"Sulemani aliyekuwa na mali nyingi" au "Sulemani aliyevikwa vizuri"
Kama Mungu huyavika vizuri majani ya kondeni
"Kama Mungu huyavika majani ya kondeni namna hiyo " au "Kama Mungu huwapa mauwa ya kondeni mavazi mazuri hivyo" Kama Mungu hufanya majani ya kondoni kuwa mazuri kama hivi"
hutupwa kwenye moto
"mtu huzitupa kwenye moto"
Je si zaidi atawavika ninyi
"Hii ni mshangao na siyo swali. Yesu alitilia mkazo kuwa atawatunza na kuwajali watu zaidi kuliko anavyojali majani.
Luke 12:29-30
Msisumbukie juu ya kuwa mtakula nini au mtakunywa nini
"usitazame zaidi juu ya kula na kunywa" au "Msiwe na tamaa zaidi ya kula na kunywa"
mataifa yote ya dunia
Hapa "mataifa" inamaanisha "wasio amnini" "Watu wote wa mataifa mengine" au "watu wote wasio amini duniani"
Baba yenu anajua ya kuwa mnahitaji vitu hivyo
Baba wa Yesu, Mungu Baba, pia hufanyika Baba wa wote watakao muamini Yesu.
Baba
Hii ni sifa muhimu sana kwa Mungu.
Luke 12:31-32
tafuteni ufalme
"kushughulika na ufalme wa Mungu" au "Kutamani sana ufalme wa Mungu"
na hayo mengine mtazidishiwa
"hayo mambo mengine pia mtapewa". "Hayo mengine" ina maanisha chakula na mavazi. "Mungu atawapa ninyi hizo vitu"
kundi dogo
Yesu aliwaita wanafunzi wake kundi. Kundi ni mkusanyiko wa kondoo au mbuzi ambayo mchungaji anawatunza. Kama vile mchungaji anvyowajali kondoo, Mungu atawajali wanafunzi wa Yesu. "kundi dogo"au "kundi linalopendwa"
Luke 12:33-34
na mkawape maskini
"na wapeni watu maskini fedha mlizopata kwa mauzo"
mjifanyie mifuko ...hazina ya mbinguni
mifuko na hazina mbinguni zinamaanisha kitu kimoja. Vyote vinawakilisha baraka za Mungu mbinguni.
mjifanyie
"kwa namna hii mtajifanyia wenyewe"
mifuko isiyoishiwa
"mifuko ya fedha ambazo hazitoboki"
isiyokoma
'"ambazo haiishiwi" au "haipungui"
Moyo wako
Hapa "moyo" una maanisha mawazo ya mtu.
Luke 12:35-36
Kauli ya jumla
Yesu alianza kuelezea mfano
nguo zenu refu zifungwe na mkanda
Watu walivaa mavazi marefu. Walikuwa wakifunga na mkanda ili kuwafanya waweze kutembea njiani . " Funga nguo zako na mkanda ili uweze kuhudumia" au Uvae na uwe tayari kuhudumia"
taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelea kuwaka
"Fanyeni taa zenu ziendelee kuwaka"
muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao
Hii unafananishwa na jinsi wanafunzi wanavyotakiwa kuwa tayari kwa Yesu kurudi kama watumishi walio tayari kwa bwana wao kurudi.
kutoka kwenye karamu ya harusi
"kurudi nyumbani kutoka kwenye karamu ya harusi"
Luke 12:37-38
Wamebarikiwa
"Ni vizuri kama nini"
ambao bwana atawakuta wako macho akirudi
"wale ambao bwana wao atawakuta wakimngoja atakapo rudi" au "Walio tayari bwana akirudi"
atafunga ..atawaketisha chini
Kwasabu watumishi wamekuwa waaminifu na wako tayari kumuhudumia bwana wao, bwana atawalipa kwa kuwahudumia wao.
atafunga nguo yake refu na mkanda
'atajiandaa kuwahudumia wao kwa kufunga nguo yake na mkanda" au " atavaa tayari kuwahudumia"
kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku
zamu ya pili ya ulinzi ni kati ya saa 3:00 usiku na saa 6:00 usiku. "karibu na usiku wa manane" au "kabla ya usiku wa manane"
au kwa zamu ta tatu ya ulinzi
zamu ya tatu ya ulinzi ni kuanzia saa 6:00 usiku na na saa 9:00 usiku. Au "akija akiwa amechelewa sana usiku"
Luke 12:39-40
asingeruhusu nyumba yake ifunjwe
"asingeruhusu mwizi aivunje nyumba yake"
kwani hamjui ni saa ngapi mwana wa Adamu atarudi
Kitu pekee kinacho wafananishwa kati ya mwizi na Mwana wa Adamu ni kwamba watu hawajui ni wakati gani wanakuja, hivyo wanatakiwa kuwa tayari.
wakati gani Mwana wa Adamu atarudi
Yesu alikuwa akiongelea habari zake mwenyewe. "wakati Mimi, Mwana wa Adamu, nitakapo kuja"
Luke 12:41-44
Kauli inayounganisha
Katika mstari wa 42, Yesu aliendelea kuelezea mfano
Kauli ya jumla
Katika mstari wa 41, kuna katizo katika kuelezea mfano kwani Petro alimuuliza Yesu swali kuhusu mfano.
Ni nani...kwa wakati mwafaka
Yesu alitumia swali kufundisha watu. Yesu hakujibu swali la Petro moja kwa moja, lakini alitegemea wale wanaotaka kuwa watumwa waaminifu kuwa mfano huo inawahusu wao. " Nimesema kwa kila mmoja ambaye ..kwa wakati mwafaka.
Mtumwa mwaminifu na mwenye hekima
Yesu alielezea mfano mwingine wa jinsi watumishi wanavyotakiwa kuwa waaminifu wakati wanamngoja bwana wao arudi.
ambaye bwana wake atamuweka juu ya watumishi wengine
"ambaye bwana wake atamuweka kuwa mtawala wa wengine"
Amebarikiwa mtumishi yule
"Itakuwa heri kwa mtumishi yule"
ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya
"kama bwana wake akirudi atamkuta akifanya kazi hiyo"
Luke 12:45-46
Mtumishi yule
Hii ina maanisha yule mtumishi ambaye bwana alimuweka juu ya wengine
akisema moyoni mwake
"akafikiri ndani yake"
bwana wangu anakawia kurudi
"bwana wangu hatarudi mapema"
watumishi wa kiume na wa kike
Neno lililotafsiriwa hapa kama "watumishi wa kiume na Kike" mara nyingi hutafsiriwa kama "wavulana" na "wasichana". Inaweza kuashiri kuwa watumishi walikuwa vijana au wanao pendwa sana na bwana wao.
katika siku asiyotegemea
"wakati mtumishi hamtegemei"
kumuweka katika sehemu pamoja na wasio waaminifu
Inaweza kuwa na maana zifuatazo: 1) Ile hali ya bwana kutoa adhabu kali kwa mtumishi wake. 2) Hii inaelezea jinsi ambavyo mtumishi atakavyo vyongwa kama adhabu.
Luke 12:47-48
Kauli inayounganisha
Yesu alimaliza kuelezea mfano
atapigwa viboko vingi
"atapigwa mara nyingi" au "atachapwa mara nyingi" ."bwana wake atampiga mara nyingi"au "bwana wake atamuadhibu sana"
kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake
"watahitaji vingi kwa yeyote aliyepokea vingi" au " bwana atahitaji vingi kwa kila mmoja aliyempa vingi"
na yeye aliyeaminiwa kwa vingi
"Kwa yule waliyempatia vitu vingi avitunze" au "kwa yule aliyepewa wajibu mkubwa"
aliyeaminiwa ...vitadaiwa
"bwana alimkabidhi ..bwana atataka"
Luke 12:49-50
Kauli inayounganisha
Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake
Nimekuja kuwasha moto duniani
"Nimekuja kutupa moto duniani" au "Nimekuja kuwasha moto duniani" . Inawsza kuwa na maama zifuatazo: 1) Yesu alikuja kuwahukumu watu 2) Yesu alikuja kuwatakasa wanaomuamini 3) Yesu alikuja kusababisha kugawanyika kwa watu.
natamani iwe imekwisha kuwaka
Kuna msisitizo wa njisi alivyotaka hayo yatokee. " Natamani sana kuwa imeshawaka" au "Ni jinsi gani ninavyotamani iwe imeshaanza"
Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa kwayo
"Ubatizo" ina maanisha aina ya mateso ambayo Yesu atapata. Kama maji yamfinikavyo mtu wakati wa ubatizo, mateso yatamkabili na kumpata Yesu. " Ni lazima nipitie mateso mabaya" au "Nitapitia katika mateso makubwa kama vile mtu anavyofunikwa na maji wakati wa ubatizo"
Lakini
Neno "Lakini" linatumika kuonyesha kuwa hatawasha moto duniani mpaka kwanza apitie hayo mateso"
nina huzuni hadi ikamilike
Mshangao inasisitiza jinsi alivyo na huzuni. "Nina huzuni sana na itaendelea kuwepo hadi nimalize ubatizo huu wa mateso"
Luke 12:51-53
Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani?
Yesu alitumia swali kufundisha wanafunzi wake. Watu walimtegemea Masiha awaletee amani kwa maadui wao. "Msifikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani"
lakini badala yake mgawanyiko
" lakini nimekuja kuleta mgawanyiko" au "watu watakuwa wakigawanyika miongoni mwao kwa sababu nimekuja"
mgawaniko
"uadui" au "kutoelewana"
kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika
Hii ni mfano wa aina ya mgawanyiko utakao kuwepo kwenye familia.
kutakuwa na watano katika nyumba moja
kutakuwepo na watu watano katika nyumba moja
Luke 12:54-56
Kauli ya Jumla
Yesu alianza kuonge na umati
Nyakati za mvua zimewadia
"Mvua inakuja" au "Inaenda kunyesha"
nchi na anga
"nchi na anga" au " hali ya hewa"
inakuwaje hamuwezi kutafsiri nyakati za leo?
Yesu alitumia swali kukemea umati. "Mnatakiwa kujua namna ya kutafsiri nyakati za leo"
Luke 12:57-59
kwanini msihukumu yaliyo sahihi wenyewe?
Yesu anatumia swali kukemea umati. Anafundisha namna ya kufanya jambo jema kabila ya kuchelewa. Ninyi wenyewe mwatakiwa kutambua yaliyo mema"
wenyewe
"kwa utashi wenu" au "wakati bado mna muda wa kufanya hivyo"
Maana mkienda
Japo Yesu alikuwa akiongea na umati, hali aliyokuwa anaiwasilisha ni ya mtu kupitia mwenyewe..
kukubaliana na mshitaki wako
"mkubaliane juu ya jambo na mshitaki wako"
hakimu
Hili lina maanisha hakimu mkazi, lakini neno hili hap ni maalum zaidi na linatisha.
hatakutoa huko
"hatakuruhusu wewe utoke huko"
Luke 13
Luke 13:1-3
Unganisha maelezo:
Yesu bado akizungumza mbele ya umati wa watu. Hii ni sehemu moja ya hadithi aliyoanza
Habari kwa ujumla:
Katika aya hizi, baadhi ya watu katika umati walimuuliza Yesu swali na anaanza kujibu.
Wakati huo
Msemo huu unajumuisha tukio hili hadi mwisho wa sura ya 12 wakati Yesu alikuwa akifundisha umati wa watu.
ambao damu Pilato kuchanganywa na sadaka yao wenyewe
Hapa 'damu' inahusu kifo cha Wagalilaya. pengine Pilato akaamuru askari wake kuua watu badala ya kufanya hivyo mwenyewe. AT "ambaye askari wa Pilato waliuawa wakati Wagalilaya walipokuwa wakitoa dhabihu."
Unafikiri kwamba hawa Wagalilaya ni wenye dhambi
.......
Hapana nawaaambia
Hapa 'Nawaambia' nasisitiza 'hapana.' AT "Kwa hakika walikuwa si wenye dhambi" au "wewe unakosea kufikiri kwamba mateso yao yanathibitisha kwamba walikuwa wenye dhambi."
Nyinyi nyote mtaangamia kwa njia sawa
"nyinyi nyote pia mtakufa. "Msemo" katika njia hiyo hiyo' ina maana wao watakuwa na uzoefu wa matokeo sawa, si kwamba watakufa kwa njia sawa.
kuangamia
"kupoteza maisha yako " au "kufa"
Luke 13:4-5
Au wale
Huu ni mfano wa pili wa Yesu kuhusu watu ambao walioteseka. AT "Au kuhusisha wale" au "Fikiria kuhusu wale."
watu kumi na nane
"18 watu"
Siloamu
Hili ni jina la eneo la Yerusalemu
unathani walikuwa wamepotelea dhambini
'Walikuwa wenye dhambi zaidi' au "gani hii kuthibitisha kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi?' Yesu anatumia swali kufundisha watu. AT 'sidhani kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi
watu wengine
"watu wengine"
Hapana nasema
Hapa "Nasema" inasisitiza "Hapana" AT "Kwa hakika walikuwa si zaidi wenye dhambi" au 'Wewe ni unakosea kufikiri kwamba mateso yao yanathibitisha kwamba walikuwa zaidi wenye dhambi."
angamia
"Kupoteza maisha yako" au "kufa"
Luke 13:6-7
Habari za jumla
Yesu anaanza kwa kuwaambia mfano kueleza kauli yake ya mwisho, "Lakini kama hamta tubu, nyote pia mtangamia."
Mtu mmoja alikuwa amepanda mti
Mtu alikuwa amepanda mti
Miaka mitatu
3 miaka
Kwani unaleta unaharibifu wa ardhi?
mtu anatumia swali kusisitiza kwamba mti haina maana na mtunza bustan lazima aukata. AT "Je, si basi unaharibu ardhi".
Luke 13:8-9
kuunganisha maelezo
Yesu alimaliza kusimulia mfano wake. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambayo ilianza
Uache
AT '"usiufanyie kitu chochote huu mti" au " usiukate"
na weka mbolea juu yake
"na weka mbolea kwenye udongo." Mbolea ni kinyesi cha wanyama. Watu huiweka kwenye ardhi kufanya udongo kuwa mzuri kwa mimea na miti.
Ukate
Mtumishi alitoa pendekezo; yeye hakuwa anatoa amri kwa mmiliki. AT "Ngoja niukate" au "Niambie niukata."
Luke 13:10-11
Habari za jumla
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. aya hizi hutoa taarifa ziliyopita kuhusu mazingira ya sehemu hii ya hadithi na kuhusu mwanamke mlemavu aliyetambulishwa kwenye hadithi
Sasa
neno hili ni alama ya sehemu mpya ya hadithi.
wakati wa Sabato
"Siku ya Sabato." Baadhi ya lugha husema "Sabato" kwa sababu hatujui ambavyo hasa siku ya Sabato ilikuwa.
Tazama, mwanamke alikuwa huko
Neno "tazama" hapa alerts sisi mtu mpya katika hadithi.
Miaka kumi na nane
18 miaka
roho mbaya ya udhaifu
"Roho mbaya kwamba ilimfanya yeye awe dhaifu"
Luke 13:12-14
Umeponywa udhaifu wako
"Wewe umeponywa kutokana na ugonjwa wako." Kwa kusema hivyo, Yesu alikuwa akifanya na kutokea.
Aliweka mikono yake juu yake
Yeye alimgusa
yeye aliweza kujiinua
AT "yeye alisimama moja kwa moja"
alichukizwa kwa sababu Yesu alikuwa amemponya
AT "alikuwa na hasira kwa sababu Yesu amemponya"
akajibu na kusema
"Alisema" au "alijibu"
Mje na muponywe kisha
AT "njooni basi huponya wakati wa siku hizo sita"
Luke 13:15-16
Bwana akamjibu
"Bwana alijibu kwa mtawala wa sinagogi"
sio kila mmoja wenu kufungua punda wako ... Sabato?
Yesu anatumia swali kuwafanya wao kufikiri juu ya kitu tayari walijua. AT 'Wewe kufungua punda wako ... Sabato."
Punda au Ng'ombe
Hawa ni wanyama ambao watu kuwatunza kwa kuwapa maji.
Mtoto wa Ibrahimu
AT "uzao wa Ibrahimu"
ambaye Shetani alimfunga
AT "ambaye Shetani alimfanya kilema" au "ambaye Shetani alimfunga kwa ugonjwa huu"
miaka kumi na nane miaka mingi
18 kwa miaka mingi. "neno "mrefu" hapa inasisitiza kuwa miaka kumi na minane ilikuwa muda mrefu sana kwa mwanamke kuteseka. Lugha nyingine wanaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza hili.
lazima vifungo vyake asifunguliwe ... siku?
Yesu anazungumza kuhusu ugonjwa wa wanawake kana kwamba ni kana kwamba amefungwa. AT "ni haki ya kumfungua yeye kutoka kwa Shetani ... siku" au "ni haki ya kutolewa yeye kutoka vifungo vya ugonjwa huu ... siku."
Luke 13:17
Kama alivyosema mambo hayo
"'Wakati Yesu aliposema mambo hayo"
mambo ya ukufu aliyofanya
"Mambo ya ukufu Yesu alikuwa akifanya"
Luke 13:18-19
Kuunganisha maelezo
Yesu alianza kwa kuwaambia mfano kwa watu katika sinagogi.
Ufalme wa Mungu unafanana na nini
Yesu anatumia swali kutambulisha kile yeye kitamhusu kufundisha. AT "Mimi nitawaambia ufalme wa Mungu ni kama nini"
nini naweza kuulinganisha nacho
Hii kimsingi ni sawa na swali lililopita. Yesu alitumia hilo kutambulisha nini ataweza kukizungumzia . Baadhi ya lugha wanaweza kutumia yote kwa ujumla, na baadhi kutumia moja tu.
Ni kama mbegu ya Haradali
Mbegu ya haradali ni mbegu ndogo sana ambayo hukua katika mimea kubwa. Kama hii haijulikani, inaweza kutafsiriwa kwa jina la mbegu nyingine kama hiyo au rahisi kama "mbegu ndogo."
na huipanda Bustanini mwake
na hupandwa katika bustani zao. ' Watu hupanda aina ya baadhi ya mbegu kwa kuzitupa ili waweze kuzitawanya katika bustani.
mti mkubwa
Hii ni exaggeration ya kufanya hatua. AT 'kichaka kubwa sana.'
"Ndege wa angani"
"Ndege wa angani." AT "ndege warukao angani" au "ndege".
Luke 13:20-21
Unganisha maelezo
Yesu alimaliza kuzungumza na watu katika sinagogi. Huu ni mwisho wa sehemu hii ya hadithi.
Kwa nini naweza kulinganisha Ufalme wa Mungu?
Yesu anatumia swali jingine kutambulisha kile yeye ataweza kufundisha.
Ni kama chachu
Kiasi kidogo tu cha chachu kilikua kinahitajika ili kufanya kiasi cha unga kuumuka . Hii inaweza kufanya wazi kama ilivyo katika UDB.
vipimo vitatu vya unga
"kiasi kikubwa cha unga" au kwa muda kwamba utamaduni wako unatumia kwa kupima kiasi kikubwa cha unga.
Luke 13:22-24
Habari za jumla:
Hii ni sehemu ya nyingine ya hadithi. Yesu anajibu swali kwa kuwaeleza mfano kuhusu kuingia ufalme wa Mungu
Yesu alitembelea kila mji na kijiji ... na kuwafundisha
Hii ni taarifa zilizopita kwamba kutuambia nini Yesu alikuwa akifanya wakati tukio hili lilipotokea.
ni watu wachache tu watakao okolewa
Mungu ataokoa watu wachache tu
pPmbana kuingia kwa kupitia mlango mwembamba
"Fanya Kazi kwa bidii ili kupita njia ya mlango mwembamba." Yesu anazungumza kuhusu ufalme wa Mungu kana kwamba ni nyumba. Yesu anazungumza na kundi, "wewe" alisema katika amri hii ni wingi
Luke 13:25-27
mmiliki wa nyumba
Hii ina maana ya Mungu. AT "Mungu."
utakuwa umesimama nje
Yesu alikuwa akizungumza na mkuta. mfumo wa "ninyi" ni wingi. Yeye aliwashughulikia wao kama vile hawataingia kwa kupitia mlango katika ufalme
Pound mlango
"Kugonga kwenye mlango"
Ondokeni kwangu
"Nenda mbali na mimi"
watenda maovu
"watu wanaofanya uovu "
Luke 13:28-30
Unganisha maelezo
Yesu anaendelea kuzungumzia kuingia katika ufalme wa Mungu. Huu ni mwisho wa mazungumzo haya.
lakini nyinyi-nyinyi mulikuwa mutupwe nje
"lakini ninyi wenyewe mulikuwa mutupwe nje." AT "Lakini Mungu atawafukuza nyinyi nje"
Wao watafika
"Watu watakuja"
wa mwisho ni wakwanza
Hii ni kuhusu heshima au umuhimu. AT "baadhi ambao ni muhimu angalau watakuwa muhimu zaidi'"au "baadhi ambaye watu hawata mheshima, Mungu atamheshimu."
Luke 13:31-33
Kuunganisha Maelezo
Kuunganisha Maelezo Hili ni tukio la lingine katika sehemu hii ya hadithi. Yesu bado yupo njia kuelekea Yerusalemu, wakati baadhi ya Mafarisayo wakizungumza naye kuhusu Herode.
Muda mfupi baadae
'"Muda mfupi baada ya Yesu alipomaliza kusema"
Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua
Tafsiri hii kama onyo kwa Yesu. Walikuwa wakitoa ushauri aende mahali pengine na kuwa salama.
Herode anataka kukuua
Herode ataagiza watu kumuua Yesu. AT "Herode anataka kupeleka watu wake kuua wewe."
yule mbweha
Yesu alimuita Herode mbweha. Mbweha ni mbwa porini mdogo. Maana inawezekana ni 1) Herode hakuwa tishio kubwa wakati wote 2) Herode alikuwa mdanganyifu
siku ya tatu
Angalia:
haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu
Viongozi wa Wayahudi waliua manabii wengi wa Mungu katika Yerusalemu na Yesu alijua kwamba wangeweza kumuua huko pia. AT "ni katika Jerusalem kwamba viongozi wa Wayahudi huwaua wajumbe wa Mungu."
Luke 13:34-35
Kuunganisha maelezo:
Yesu alimaliza kukabiliana na Mafarisayo. Hii ni mwisho wa sehemu hii ya hadithi.
Yerusalemu, Yerusalemu
esu anazungumza kana kwamba watu wa Yerusalemu walikuwa huko kumsikiliza. Yesu alisema hii mara mbili ili kuonyesha jinsi alikuwa akisikitisha kwa ajili yao
mnawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu
Kama itakuwa ni ajabu kushughulikia mji, unaweza kufanya wazi kwamba Yesu kwa kweli akihutubia watu katika mji "wewe watu wanaowaua manabii na kuwapiga mawe wale Mungu aliwatumwa kwenu"
kuwakusanya watoto wako
"Kukusanya watu wako" au 'kukusanya wewe"
kwa jinsi kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake
Hii inaelezea jinsi kuku inalinda vifaranga wake kutokana na madhara kwa kufunika wao kwa mbawa zake
nyumba yenu imetelekezwa
Hii inaelezea jinsi kuku inalinda vifaranga wake kutokana na madhara kwa kuwafunika wao kwa mbawa zake.Maana inawezekana ni 1) "Mungu amekuacha" au 2) "mji yako ni tupu." Inamaana kwamba Mungu ameacha kulinda watu wa Yerusalemu, hata maadui wanaweza kuwashambulia na kuwafukuza. Huu ni unabii kuhusu jambo ambalo lingetokea hivi karibuni. AT "nyumba yako itakuwa imetelekezwa' au 'Mungu atawaacha ninyi."
huwezi kuniona mimi hadi mtakaposema
"Huwezi kuniona mpaka wakati unakuja wakati utasema" au "wakati mwingine utakaponiona, utasema"
JIna la bwana
Hapa "jina" inahusu nguvu na mamlaka ya Bwana
Luke 14
Luke 14:1-3
Taarifa kwa ujumla
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Leo ni Sabato na Yesu yuko nyumbani kwa Mfarisayo. Mstari wa 1 huwapa kutumia taarifa za msingi kuhusu mazingira ya hadithi.
kula mkate
"Kula" au "kwa ajili ya chakula." Mkate ilikuwa ni sehemu ya mlo na hutumiwa katika adhabu hii kwa kutaja mlo.
kumuangali yeye kwa karibu
Walitaka kuona kama wangeweza kumshtaki kufanya kitu chochote kibaya.
Tazama, kuna mbele yake alikuwa ni mtu
Neno "tazama" hutahadharisha sisi kwa mtu mpya katika hadithi. lugha yako inaweza kuwa njia ya kufanya hili. kiingeleza anatumia "Kuna mbele yake alikuwa mtu."
alikuwa akisumbuliwa na uvimbe
Uvimbe ni uvimbe unaotokana na ujenzi wa maji hadi katika sehemu za mwili. Baadhi ya lugha inaweza kuwa na jina kwa hali hii. AT "alikuwa akisumbuliwa kwa sababu sehemu ya mwili wake ilikuwa na uvimbe wa maji"
Je, ni halali kumponya... siyo?
"Je, sheria kibali chetu sio kuponya...?
Luke 14:4-6
Lakini wao wakanyamaza
viongozi wa dini walikataa kujibu swali la Yesu.
Ni nani kati yenu ambaye ana mwana au ng'ombe ... haitakua mara moja kumvuta yeye nje?
Yesu anatumia swali kwa sababu yeye aliwataka kukubali kwamba wao wangemsaidia mtoto wao au ng'ombe, hata siku ya Sabato. Kwa hiyo, ilikuwa haki kwa yaye kuponya watu hata siku ya Sabato. AT "Kama mmoja wenu ana mwana au ng'ombe ... wewe bila ya shaka utamvuta yeye nje mara moja."
Wao hawakuwa na uwezo wa kutoa jibu
Walijua jibu na kwamba Yesu alikuwa sahihi, lakini hawakutaka kusema chochote kuhusu hilo. AT "Walikuwa hawana kitu cha kusema."
Luke 14:7-9
wale walioalikwa
AT "wale ambao ni viongozi wa Mafarisayo walikuwa wamelikwa kwenye mlo"
viti vya heshima
"Viti kwa ajili ya watu wakuheshimiwa" au"'viti kwa ajili ya watu muhimu"
Wakati wewe umealikwa na mtu
AT "Wakati mtu anapokualika"
kwa sababu mtu anaweza kuwa amemualika ambaye ni wakuheshimiwa zaidi kuliko wewe
AT "kwa sababu mtu anaweza kuwa amamualika mtu ambaye ni muhimu zaidi kuliko wewe"
na kisha kwa aibu
"Basi utajisikia aibu na"
Luke 14:10-11
Kuunganisha maelezo
Jesus continues speaking to the people at the Pharisee's house.
Unapoalikwa
AT "wakati mtu anakualika kwenye mlo"
mahali pa chini zaidi
"Kiti maana ya mtu angalau muhimu"
kwenda juu zaidi
"sogea kwenye kiti kwaajiri ya watu muhimu zaidi"
Basi utakuwa wakuheshimiwa
AT "Kisha mmoja ambaye aliyekualika wewe atakuheshimu"
ambae anajiinu nafsi yake
"Anajaribu kuangalia muhimu" au "ambaye anachukua nafasi muhimu"
anayejinyenyekeza
"atakuwa ameonyesha kuwa duni" au "atapewa nafasi isiyomuhimu." au "Mungu atakayejinyenyekeza.'
anayejinyenyekeza
"Ambaye amechagua kuangalia isiyo muhimu" au "ambaye amechukua nafasi isiyo muhimu"
atainuliwa
"Itakuwa inaonyesha kuwa muhimu" au "atapewa nafasi muhimu." AT 'Mungu atawainua."
Luke 14:12
kama wao wanaweza
"Kwa sababu wao wanaweza"
na wewe atalipwa
AT "na kwa njia hii kukulipa"
Luke 14:13-14
Unganisha maelezo
Yesu anaendelea kuzungumza na Mfarisayo aliyemwalika nyumbani kwake.
nawe utakuwa heri
AT"'Mungu atakubariki"
hawawezi kukulipa
AT "hawawezi kuwakaribisha karamu katika kurudi"
maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki
AT "Mungu atakulipa wakati yeye huleta watu wema nyuma ya maisha"
Luke 14:15-17
Habari za jumla
Mmoja wa watu katika meza anaongea na Yesu na Yesu anajibu kwa kuwaeleza mfano
Heri yeye
mtu alikuwa si akizungumza juu ya mtu fulani. AT "Amebarikiwa mtu yeyote ambaye" au" Jinsi nzuri ni kwa kila mtu. "
yeyeto atakae kula mkate
neno "mkate" hutumika kwa kutaja mlo mzima" AT "ambao kula katika mlo."
Lakini Yesu akamuambia
Yesu akaanza kuelezea mfano
Wakati chakula cha jioni kikiwa kimeandaliwa
AT "Wakati huo kwa chakula cha jioni" au "Wakati chakula cha jioni kikiwa tayari kuanza"
wale walioalikwa
AT "wale waliokuwa wamealikwa"
Luke 14:18-20
kuunganisha maelezo
Yesu anaendelea kusema mfano wake.
Habari za jumla
Watu wote ambao walialikwa na mtumishi wakampa udhuru kuhusu ni kwanini hawakuweza kuja kwenye karamu
kufanya udhuru
"Kusema kwa nini hawakuweza kuja chakula cha jioni"
Tafadhali udhuru kwangu
"Tafadhali nisamehe' au 'Tafadhali kubali msamaha wangu"
jozi tano za ng'ombe
AT "10 ng'ombe kufanya kazi katika mashamba yangu"
Kuoa mke
tumizi kujieleza ambako ni asili katika lugha yako. Baadhi ya lugha wanaweza kusema "wamezipata ndoa'"au "kuchukuliwa mke."
Luke 14:21-22
alikasirika
"Akawa na hasira na watu waliokuwa wamealikwa"
mtumishi akasema
Inaweza kuwa muhimu na hali wazi kulisema taarifa ambazo mtumishi alifanya nini bwana amemwagiza. AT "Baada mtumishi akatoka na alifanya hivyo, yeye akarudi na kusema."
nini uliamuli kimekuwa
AT "Nimefanya nini aliamuru"
Luke 14:23-24
Kuunganisha maelezo
Yesu alimaliza mfano wake.
barabarani na mipakani
Hii ina maana ya barabara na njia nje ya mji. AT "barabara kuu na njia nje ya mji."
kuwatawalia
Aliwadai
ile nyumba yangu inaweza kujaa
"Ili watu wanaweza kuijaza nyumba yangu"
kwa nilicho waambia
Neno "wewe" linamhusu mtumishi.
wale watu
neno hapa kwa "watu" linamaanisha "wanaume watu wazima" na si tu watu kwa ujumla
ambao walikuwa wa kwanza kualikwa
"Ambaye mimi nilimulika wakwanza"
utaonja chakula changu cha jioni
"Kufurahia chakula cha jioni Nimetengeneza"
Luke 14:25-27
Habari za ujumla
Yesu anaanza kufundisha umati wa watu ambao walikuwa safarini pamoja naye.
Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake mwenyewe ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu
Hapa, "chuki' ni exaggeration kuonyesha jinsi muhimu ni kumpenda Yesu zaidi kuliko mtu mwingine. AT "Kama mtu akija kwangu na hanipenda mimi zaidi kuliko yeye anavyompenda baba yake ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu" au "Tu kama mtu ananipenda mimi zaidi kuliko yeye anayempenda baba yake mwenyewe ... hawezi kuwa mwanafunzi wangu"
ndiyo, na nafsi yake mwenyewe
"Na hata nafsi yake mwenyewe"
Mtu asipochukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu
AT "Kama mtu anataka kuwa mwanafunzi wangu, ni lazima kubeba msalaba wake na kunifuata"
kubeba msalaba wake mwenyewe
Warumi mara nyingi walimfanya mtu kubeba msalaba wake kabla walipomsulubisha. Yesu hamaanishi kila Mkristo ni lazima asulubiwe. Yeye anamaana wao lazima kuwa tayari kuteseka kwa njia yoyote kuwa wanafunzi wake.
Luke 14:28-30
Maana ni nani katika ninyi, ambaye anatamani kujenga mnara, hatakaa chini kwanza akadirie gharama kwa mahesabu kama ana kile anachohitaji ili kukamilisha hilo?
Yesu anatumia swali kupata watu kufikiri juu ya nini wangeweza kufanya katika hali fulani. AT "Kama mtu alitaka kujenga mnara, bila ya shaka kwanza kukaa chini na kuamua kama alikuwa na fedha za kutosha kukamilisha hilo."
Mnara
Hii inaweza kuwa mnara katika shamba lake. AT "jengo refu" au "sehemu ya juu ya jukwaa."
baada ya kuweka msingi
"Wakati yeye imejenga msingi." AT "wakati yeye anaanza kujenga"
Luke 14:31-33
Au
Yesu alitumia neno hili kuanzisha hali nyingine ambapo watu kuhesabu gharama kabla ya kufanya uamuzi.
nini mfalme ... si kukaa chini kwanza na kuchukua ushauri ... wanaume?
Yesu anatumia swali jingine kufundisha umati wa watu. AT "unajua kwamba mfalme ... bila kukaa chini kwanza na kuchukua shauri ... wanaume."
kuchukua ushauri
Maana inawezekana ni 1) "kufikiri kwa makini kuhusu" au 2) "kumsikiliza washauri wake."
Kumi elfu ... Ishirini elfu
"10,000...20,000"
Na kama si
"Na kama yeye anatambua kwamba yeye hakuwa na uwezo wa kumshinda mfalme wengine"
yeyote kati yenu ambaye hataacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu
wale tu kati yenu ambao wataacha vyote walivyo navyo wanaweza kuwa wanafunzi wangu
Kuacha vyote alivyo navyo
Kuacha nyuma vyote alivyo navyo
Luke 14:34-35
Kuunganisha maelezo
Yesu anamalizia kufundisha umati wa watu.
Chumvi ni nzuri
"Chumvi ni muhimu." Yesu anafundisha somo juu ya wale ambao wanataka kuwa wanafunzi wake.
vipi inaweza kufanyika kuwa chumvi tena?
Yesu anatumia swali kufundisha umati wa watu. AT "hawezi kuwa chumvi tena" au " hakuna anaeweza kuifanya kuwa chumvi tena"
mbolea
Watu kutumia mbolea ku rutubisha bustani na mashamba. Chumvi bila ladha ni haina maana ni haina hata thamani ya kuchanganywa na mbolea. AT "lundo la mbolea' au 'mbolea."
Ni kutupwa mbali
AT "Mtu kuitupilia mbali"
Yeye aliye na masikio ya kusikia, na asikie
AT "Kama una masikio ya kusikia, kusikiliza vizuri" au "Kama unasikia ninachosema, kuwa makini"
Yeye aliye na masikio ya kusikia
"Yeyote anaweza kusikia" au "Mtu anikisikia mimi"
basi naye asikie
"basi naye asikilize vizuri" au "basi naye awe makini kwa kile nisemacho"
Luke 15
Luke 15:1-2
Habari kwa ujumla
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui sehemu ambapo haya yalijir; ni tu siku moja wakati Yesu alikuwa akifundisha.
Sasa
hii ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi.
Mtu huyu anakaribisha wenye dhambi
"Mtu huyu amaleta wenye dhambi mbele yake" au "Mtu huyu ameshiriki na wenye dhambi"
Mtu huyu
Walikuwa wakizungumza kuhusu Yesu.
hata anakula nao
neno "hata" inaonyesha kwamba wao walidhani ilikuwa mbaya kwamba Yesu kuruhusu wenye dhambi kuja kwake, lakini ilikuwa mbaya zaidi kwamba angeweza kula pamoja nao.
Watoza ushuru wote.
Hii ni kusisitiza kuwa kulikuwa na watu wengi sana. "watoza ushuru wengi"
Luke 15:3-5
Taarifa kwa ujumla
Yesu anaanza kwa kuwaambia mifano kadhaa. mfano wa kwanza ni kuhusu mtu na kondoo wake.
kwao
Hapa "wao" inamaanisha viongozi wa dini.
Nani kati yenu ... mpaka ampate?
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba kama yeyote kati yao akipoteza mmoja wa kondoo wake, wataenda kumtafuta. Baadhi ya lugha na njia za kuonyesha kwamba hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mtu fulani ambaye amepoteza kondoo.
Nani kati yenu, kama ana kondoo mia
Kwakua mfano umeanza na "Nani kati yenu," baadhi ya lugha zingeendeleza mfano katika mtu wa pili. "Tuseme mmoja wenu, kama ana kondoo mia"
mia ... tisini na tisa
tisa "100 ... 99"
Nani kati yenu ... hata waacha... mpaka ampate?
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba kama mmoja kati yao wamepoteza mmoja wa kondoo zao, wao bila ya shaka huenda kumtafuta. "Kila mtu ... bila ya shaka huondoka ... mpaka ampate." Baadhi ya lugha na njia za kuonyesha kwamba hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mtu fulani ambaye amepoteza kondoo.
mia ... tisini na tisa
tisa "100 ... 99"
kumlaza mabegani mwake
Hii ilikuwa njia ambayo wachungaji walibeba kondoo. Hii inaweza kusemwa "kumlaza mabegani mwake na kumbeba nyumbani"
Luke 15:6-7
Wakati anakuja nyumbani
"Wakati mmiliki wa kondoo anakuja nyumbani" au "Wakati umefika nyumbani". Rejea mmiliki wa kondoo kama alivyofanya katika mstari uliopita.
hata hivyo
"katika njia sawa" au "kama mchungaji na marafiki na majirani wangefurahia"
kutakuwa na furaha mbinguni
"kila mtu mbinguni atafurahi"
wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu
wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu. Yesu hakuwa akisema kwamba kweli kuna watu wenye haki. Anamaanisha watu ambao wanadhani ni wenye haki, ila sio. "Watu 99 ambao wanadhani kwamba wao ni wenye haki na hawana haja ya kutubu."
watu tisini na tisa wenye haki
watu tisini na tisa wenye haki "watu 99 wema"
zaidi ya watu wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu.
watu wenye haki tisini na tisa wasio hitaji kutubu Hii haina maana kwamba Mungu hana radhi kwa wale wanaomtii anachukua furaha kubwa ndani yao. Lakini furaha mbinguni kwa wakati mtu anaokolewa kutoka dhambini ni hata furaha zaidi!
hawana haja ya kutubu
Hii haina maana kwamba waumini hawana haja ya kutubu wote wanahitaji kufanya.
Luke 15:8-10
Kuunganisha kauli:
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu mwanamke na shilingi kumi.
Au mwanamke gani ... hatawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate?
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba yeyote kati yao akipoteza safara ya fedha, bila shaka ataanza kuitafuta kwa bidii.
Mwanamke gan.
Hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mwanamke halisi. Baadhi ya lugha ina njia ya kuonesha hili.
Hata hivyo
"Kwa njia hiyo hiyo" au "Kama vile watu hushangilia pamoja na mwanamke"
mwenye dhambi mmoja anayetubu
"wakati mwenye dhambi mmoja akitubu"
Au mwanamke gani ... hatawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate?
Yesu anatumia swali kuwakumbusha watu kwamba yeyote kati yao akipoteza safara ya fedha, bila shaka ataanza kuitafuta kwa bidii. "Mwanamke yeyote ... bila ya shaka atawasha taa ... na kutafuta kwa bidii hata aipate"
Kama alikua apoteze
Hii ni hali dhahania na si hadithi kuhusu mwanamke halisi. Baadhi ya lugha na njia ya kuonesha hili.
Luke 15:11-12
Kuunganisha kauli:
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu kijana ambaye anamuomba baba yake sehemu ya urithi wake.
Mtu mmoja
hii ni utangulizi wa mtu mwingine katika mfano. Baadhi ya lugha zinaweza kusema "Kulikuwa na mtu ambaye"
nipe saiv
mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo.
mali ninayo takiwa kurithi
"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa"
nipe
mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo.
sehemu ya mali ambayo inaniangukia mimi
"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa"
kati yao
"kati ya wanawe wawili"
Luke 15:13-14
wakakusanya wote aliokua anawadai
"akakusanya vitu vyake" au "kuweka mambo yake katika mfuko wake"
kununua vitu asivyo vihitaji, na kupoteza pesa yake juu ya maisha ya anasa
"kwa kutumia fedha yake yote juu ya vitu asivyo vihitaji"
njaa kali ikaenea nchini kote
"ukame ukatokea huko na nchi nzima haikuwa na chakula cha kutosha"
Sasa
Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika hadithi kuu. Hapa Yesu anaeleza jinsi yule mdogo akaenda kutoka kuwa na mengi hadi kuwa katika uhitaji.
kuwa katika mahitaji
"kukosa kile anachokihitaji" au "kutokua na yakutosha"
maisha ya anasa
"kuishi bila kufikiria"
Luke 15:15-16
Alikwenda
inahusu yule mdogo.
Kujitoa kiajira
"alichukua kazi kwa" au "alianza kufanya kazi kwa ajili ya"
moja wa mwananchi wa nchi ile
"mtu wa nchi hiyo"
kulisha nguruwe
"kuwapa chakula nguruwe wa mtu yule"
angefuraia kula
"alitaka sana kwamba angeweza kula." Ina eleweka kwamba hii ni kwa sababu alikuwa na njaa sana. Hii inaweza kuwa alisema. "alikuwa na njaa ambayo angefurahia kula"
maganda ya maharage
Haya ni maganda ya maharagwe kwamba kukua juu ya mti ....... "maganda ......" au "maganda" au "maganda ya maharage "
Luke 15:17-19
alipopata ufahamu
msemo huu una maana "akili yake kurejea." "kueleweka vizuri hali yake"
Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula cha kutosha
Hii ni sehemu ya mshangao, na si swali. "watumwa wa baba yangu wote wanachakula cha kutosha kula"
kufa kutokana na njaa
Hii pengine si kukisia. Kijana anaweza kweli kuwa amekuwa na njaa.
Nimefanya dhambi dhidi ya mbingun
Wayahudi wakati mwingine walikua wanaepuka kusema neno "Mungu" na walitumia neno "mbinguni" badala yake. "Mimi nimemkosea Mungu,"
Sistahili hata kuitwa mwanao
"Mimi sistahili hata kuitwa mwanao." Hii inaweza kusemwa "Mimi sistahili wewe uniite mwanao"
sistahili tena
"tena sistahili" Ina maana kwamba katika siku za nyuma alikuwa anastahili, lakini sasa hastahili.
nifanye kama mmoja wa watumishi wako
"niajiri kama mfanyakazi wako" au "niajiri nami nitakua mmoja wa wafanya kazi wako" Hili ni ombi, si amri. Na inaweza kuwa na manufaa kwa kuongeza "tafadhali" kama UDB ilivyo fanya.
Luke 15:20-21
Hivyo mwana mdogo akaondoka na akaja kwa baba yake
"Hivyo aliondoka nchini na kuanza kurudi kwa baba yake." neno "hivyo" linaweka alama tukio hilo kuwa lilichotokea kwa sababu ya kitu kingine kwamba kilichotokea kwanza. Katika kesi hiyo, kijana alikuwa katika haja na aliamua kwenda nyumbani.
aliwaonea huruma
"alikuwa na huruma juu yake" au "alimpenda saana kutoka moyoni mwake"
kumkumbatia na kumbusu
baba alifanya hivyo ili kumuonyesha mwanawe kuwa yeye alimpenda na alikuwa na furaha kwamba mwana alikuwa anakuja nyumbani. Kama watu wanadhani kwamba ni vigumu au ni vibaya kwa mtu kumkumbatia na kumbusu mtoto wake, unaweza kubadilisha na kuweka njia ambayo wanaume katika utamaduni wako huonyesha upendo kwa watoto wao.
mbele yako
Hii ina maana "katika uwepo wako" au "dhidi yeko"
Alipokuwa bado mbali
"Alipokuwa bado mbali sana na nyumbani kwake" au "Alipokuwa bado mbali sana na nyumbani kwa baba yake"
Sistahili kuitwa mwanao
Tazama 15:17
Luke 15:22-24
joho bora
"vazi bora katika nyumba." "koti bora" au "vazi bora"
weka pete kidoleni
pete ilikuwa ni ishara ya mamlaka ambayo wanaume walivaa kwenye moja ya vidole vyao.
viatu
Watu matajiri wa wakati huo walivaa viatu. Hata hivyo, katika tamaduni nyingi za kisasa itakuwa "viatu."
ndama aliyenona
ndama ni ng'ombe mdogo. Watu huwapa ndama moja ya chakula maalum ili aweze kukua vizuri, na kisha wakati wao humla huyo ndama siku wakitaka kuwa na sikukuu maalum "ndama bora" au "wanyama wadogo tumekuwa tukiwafanya wanenepe"
na kumchinja
maelezo yanaonyesha kuwa walikuwa wanapaswa kupika nyama zinaweza kufanywa safi. "na kumchinja na kuipika."
mwanangu alikuwa amekufa, na sasa yeye yu hai
Mfano huu unamuongelea mwana kuenda kana kwamba alikua amekufa.: "ni kama mwanangu alikuwa amekufa na akawa hai tena" au "nilihisi kama mwanangu alikuwa amekufa, lakini yeye sasa yu hai"
Alikuwa amepotea, na sasa kapatikana
Mfano huu unasema mwana kuwa wamekwenda kana kwamba alikuwa amepotea. "Ni kana kwamba mwanangu alikuwa amepotea na sasa nimemuona au "Mwanangu alikuwa amepotea na amerejea nyumbani"
kumchinja
maelezo yanaonyesha kuwa walikuwa wapike nyama na kuwekwa wazi.: "kumchinja na kumpika"
Luke 15:25-27
Sasa
Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika habari kuu. Hapa Yesu anaanza kwa kuwaambia sehemu mpya ya hadithi kuhusu mwana mkubwa.
mtumishi
neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni kawaida kutafsiriwa kama "kijana." inaweza kuonyesha kwamba mtumishi alikua mdogo sana.
mambo haya yanaweka yakawa nini
"nini kinatokea"
nje katika shamba
Inasemekana akilua shabani kwasababu alikua anafanya kazi uko.
mwana kondoo alie nona
Tazama 15:22
Luke 15:28-30
kamwe usivunje sheria yako
"kamwe usiasi sheria yako yoyote" au "daima tii kila kitu ulichoniambia nifanya"
na sikukuu
"kusherehekea"
mwanao
"yule mwana wako" mwana mkubwa alikua anamaanisha ndugu yake kwa njia hii ili kuonyesha jinsi gani anahasira.
aliyekula mali yako pamoja na makahaba
"kupoteza utajiri wako wote juu ya makahaba" au "kutupa mbali fedha yako yote kwa kuwalipa makahaba." Maana inawezekana ni 1) alifikiria hivi ndivyo ndugu yake alitumia fedha au 2) anatumia mafumbo kwa makusudi kukuza dhambi za ndugu yake.
hii miaka mingi
"kwa miaka mingi"
Mimi nimetumika kwa ajili yenu
"Nimefanya kazi kwanguvu kwaajili yako" au "nimefanya kazi kwa bidii kama mtumwa kwa ajili yako"
mwana mbuzi
mwana mbuzi ilikuwa mdogo na sio ghali kuliko ndama aliye nona. "hata mwana mbuzi"
mwana kondoo alie nona
Tazama 15:22
Luke 15:31-32
baba akamwambia
neno "yake" inahusu mwana mkubwa.
huyu ndugu yako
baba alikuwa anamkumbusha mwana mkubwa kwamba mtu ambaye alikuja nyumbani alikuwa ndugu yake.
Alikua amekufa, na sasa yu hai
Tazama 15:22
Alikua amepotea na sasa amepatikana
Tazama 15:24
Luke 16
Luke 16:1-2
Kuunganisha kauli:
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Hii bado ni sehemu moja ya hadithi na siku hiyo hiyo ambayo ilianza katika
Yesu aliwaambia wanafunzi
sehemu ya mwisho ilikuwa ilivyoagizwa kwa Mafarisayo na waandishi, ingawa wanafunzi wa Yesu walikua sehemu ya umati wakisikiliza.
Kulikuwa na mtu mmoja tajiri
huu ni utangulizi wa mhusika mpya katika mfano.
iliripotiwa kwake
Hii inaweza alisema kama "Watu waliripoti kwa tajiri"
kufuja mali yake
"kutumia mali ya tajiri kipumbavu"
Ni nini hii ninayosikia juu yako?
Tajiri anatumia swali kumkemea wakili. "Nimesikia nini unafanya"
Kutoa hesabu ya usimamizi wako
"panga rekodo zako ili kumkabidhi mtu mwingine" au "Andaa rekodi uliyo andika kuhusu fedha yangu"
Luke 16:3-4
Nifanye nini ... kazi?
wakili anauliza kwa hiari yake mwenyewe, kama njia ya kupitia upya chaguzi zake.
bwana wangu
Hii ina maana ya mtu tajiri. Wakili hakuwa mtumwa. "mwajiri wangu"
Sina nguvu kuchimba
"Mimi sina nguvu za kulima ardhi" au "Sina uwezo wa kuchimba"
wakati nikiondolewa kutoka kwenye kazi yangu ya usimamizi
hii inaweza kusemwa "wakati nikipoteza kazi yangu ya usimamizi" au "wakati bwana wangu inachukua mbali usimamizi wangu kazi"
Nifanye nini ... kazi?
meneja anauliza kwa hiari yake mwenyewe, kama njia ya kupitia upya chaguzi zake. "Inabidi nifikirie kuhusu nini nitafanya...kazi"
Watu wata nikaribisha katika nyumba zao
Hii ina maana kwamba watu hao watatoa kazi, au mambo mengine ambayo anayahitaji ili aishi.
Luke 16:5-7
wadeni wa bwana wake
"watu ambao walikuwa katika madeni kwa bwana wake" au "watu ambao wanadaiwa kitu na bwana wake." Katika hadithi hii wadaiwa wanadaiwa mafuta na ngano.
Alisema ... Naye akamwambia
"mdaiwa alisema ... Na wakili akamwambia mdaiwa"
Mapipa mia ya mafuta
Haya yalikuwa yapata lita 3,000 ya mafuta.
mia ... hamsini ... themanini
"100 ... 50 ... 80"
vipimo mia vya ngano
Hii ilikuwa yapata vikapu elfu vya ngano.
Wakili akamwambia mtu mwingine ... Alisema ... Naye akamwambia
"wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa"
Alisema ... Naye akamwambia
"mdaiwa alisema ... Na meneja akamwambia mdaiwa"
mia ... hamsini ... themanini
"100 ... 50 ... 80"
Wakili akamwambia mtu mwingine ... Alisema ... Naye akamwambia
"wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa"
Luke 16:8-9
Kuunganisha kauli:
Yesu alimaliza mfano huo kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Katika mstari wa 9, Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake.
bwana kisha alimpongeza
maandiko hayaonyeshi jinsi bwana alitambua juu ya matendo ya wakili wake.
alipongeza
"kusifiwa" au "akamsifu" au "kumpitisha "
yeye alikuwa ametenda ......
"alikuwa alitenda vyema" au "Yesu alikuwa amefanya jambo la busara"
Wana wa ulimwengu huu
Hii ina maana ya wale kama meneja wa udhalimu ambao hawajui au kutokujali juu Mungu. "Watu wa dunia hii" au "watu wa kidunia"
Wana wa nuru
Hii inamaanisha watu wenye haki wasio na chakuficha. "wana wa nuru" au "watu waishio kwenye mwanga"
Nina kwambia wewe
"Nina" inasemea Yesu. maneno "nawaambia" yanaweka alama ya mwisho ya hadithi na sasa Yesu anasimulia watu jinsi ya kutumia hadithi kwa maisha yao.
makao ya milele
Hii ina maana ya mbinguni ambako Mungu anaishi.
kujifanyieni marafiki kutokana kwa njia ya fedha isiyo halali
lengo hapa ni juu ya kutumia fedha kusaidia watu wengine, sio kwa njiacambayo utajiri unapatikana kwa uongo.
fedha isiyo ya halali
Inawezekana Maana ni 1) "fedha iliyopatikana kidhuluma" au 2) fedha iliyo patikana kwa mambo ya kidunia.
wanaweza kuwakaribisha
Hii inaweza kutaja 1) Mungu wa mbinguni, ambaye ameridhika kwamba umetumia hela kuwasaidia watu, au 2) marafiki ulio wasaidia na fedha yako.
Luke 16:10-12
nani atakayewakabidhi na mali za kweli?
Yesu anatumia swali kufundisha watu. "hakuna mtu atakayewakabidhi nyinyi mali ya kweli" au "hakuna mtu nitakupa utajiri wa kweli wa kusimamia"
ambao nitakupa fedha yako mwenyewe?
Yesu anatumia swali hili kufundisha watu. "hakuna mtu atakupa utajiri kwa nafsi yako"
Yeyote aliye mwaminifu
"Watu ambao ni waaminifu." Hii itakuwa ni pamoja na wanawake.
mwaminifu katika jambo dogo
'waaminifu hata kwa mambo madogo. " hakikisha hii haina sauti kama hao sio waaminifu sana.
mwaminifu katika mambo madogo sana
"wasio waadilifu hata katika mambo madogo." Kuhakikisha hii haina sauti kama sio waovu mara nyingi.
fedha isiyo ya halali
Tazama 16:08
mali wa kweli
hii inahusu mali ambayo ni zaidi ya kweli, halisi, au kudumu kuliko fedha ya udhalimu.
Luke 16:13
Taarifa kuu:
Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 inatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anaitikia kwa Mafarisayo.
Hakuna mtumishi anaweza
"mtumishi hawezi"
atamchukia
"mtumishi chuki"
kujitoa
"kujitolea." Hii ina maana kimsingi ni sawa na "upendo" katika kifungu uliopita.
kumdharau huyu
"kushikilia mmoja katika dharau" au "chukia mwingine"
Huwezi kumtumikia
Yesu alikuwa akizungumza na kundi la watu, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" bila kutumia hiyo.
kutumika
"kuwa mtumwa"
kutumikia mabwana wawili
"kutumikia mabwana wawili tofauti kwa wakati mmoja"
kwa maana ata ... au pengine ata
Vifungu hivi viwili ni vinafanana tofauti kubwa ni kwamba bwana kwanza amechukiwa katika kifungu cha kwanza, lakini bwana wa pili amechukiwa katika kifungu cha pili.
kumdharau
Hii ina maana kimsingi ni sawa na "chuki" katika kifungu kilichopita.
Luke 16:14-15
Sasa
neno hili lina weka alama ya kuhama kutoka katika taarifa ya awali.
ambao walikuwa wanapenda sana fedha
"aliyependa kuwa na fedha" au "ambaye alikua na tamaa ya fedha"
wao wakamdharau
"Mafarisayo wakamdharau Yesu"
Naye akawaambia
"Na Yesu aliwaambia Mafarisayo"
Nyie mnajihalalisha wenyewe mbele ya watu
"wewe unajaribu kujifanya kuonekana vizuri kwa watu"
Mungu anaijua mioyo yenu
Hapa "mioyo" inahusu tamaa za watu."Mungu anaelewa tamaa yako kweli" au "Mungu anajua nia yako"
Iyo iliyotukuka miongoni mwa watu
hii inaweza semwa kama "Yale mambo ambayo watu wanadhani ni muhimu sana"
ni machukizo mbele za Mungu
"Mungu anachukia" au "ni mambo ambayo Mungu anayachukia"
Taarifa kuu:
Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 unatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anawajibu Mafarisayo.
Luke 16:16-17
sheria na manabii
Hii inahusu maneno yote ya Mungu kwamba yalikuwa yameandikwa hadi wakati huo.
Yohana alikuja
Hii ina maana ya Yohana Mbatizaji. "Yohana mbatizaji alikuja"
injili ya ufalme wa Mungu hutangazwa
Hii inaweza semwa kama: "Mimi nafundisha watu kuhusu habari njema ya ufalme wa Mungu"
kila mmoja anajaribu kulazimisha njia yao ndani yake
Hii ina maana ya watu ambao walikuwa wakisikiliza na kukubali mafundisho ya Yesu. "Watu wengi wanafanya kila liwezekanalo kuingia"
ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita, kuliko
"kama unavyo jua kuwa mbingu na ardhi hawezi kupita, unaweza kuwa na uhakika kwamba"
kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane
maneno "herufi moja ya sheria" maana yake ni sehemu ndogo ya barua. Ni inahusu kitu katika sheria ambayo inaweza kuonekana kuwa haina umuhimu saana. "kuliko kwa mtu kuondoa hata undani ndogo ya sheria."
ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita kuliko hata herufi moja ya barua ya sheria kukosekana
Hii inaweza kusemwa kama, "hata herufi ndogo ya barua ya sheria itadumu saana kuliko mbingu na nchi kuwepo"
kuliko hata herufi moja ya barua
"Herufi" ni sehemu ndogo ya barua. Ni inahusu kitu katika sheria ambacho kinaweza kuonekana kuwa hakina umuhimu saana. "kuliko kwa hata undani mdogo wa sheria"
kuwa batili
"mwisho" au "kusitisha kuwepo"
Luke 16:18
Kila mtu amwachaye mkewe
"Anayemwacha mkewe" au "Mtu yeyote anayemtalaka mke wake"
anazini
"ni hatia ya kufanya uzinzi"
naye amwoaye moja
"mtu yeyote anayemwoa mwanamke"
Luke 16:19-21
Kuunganisha kauli:
Wakati Yesu akiendelea kufundisha watu akaanza kuwaambia mfano. Ni kuhusu tajiri na Lazaro.
Taarifa kuu:
Hii nistari inatoa taarifa kuhusu hadithi. Yesu anaanza kueleza kuhusu tajiri na Lazaro.
ambaye alikuwa amevaa nguo ya zambarau na kitani safi
"ambao walivaa mavazi yaliyo tengenezwa na kitani safi" au "ambao walivaa nguo ghali sana." rangi ya zambarau na kitani safi zilikua nguo ghali sana.
alikua akifurahia kila siku utajiri wake
"kufurahia kula chakula cha gharama kila siku" au "alitumia fedha nyingi na kununua chochote akitakacho"
maskini mmoja jina lake Lazaro, aliwekwa mlangoni pake
Hii inaweza semwakama "Watu walikuwa wamemlaza maskini mmoja jina lake Lazaro kwenye lango lake"
kwenye lango lake
"katika lango la nyumba ya tajiri" au "katika mlango wa kuingia kwenye mali ya tajiri"
kufunikwa na vidonda
"na vidonda yote juu ya mwili wake"
yeye alitamani sana kulishwa na kile kilichoanguka kutoka meza ya tajiri
Hii inaweza semwa kama: "alitamana tajiri ampe makombo ya chakula ambayo atayatuma"
kando na hayo
hii inaonyesha kwamba kile kifuatavyo ni kibaya zaidi kuliko yale ambayo tayari yameelezwa kuhusu Lazaro. "katika nyiongez ya hayo" au "hata"
Mbwa
Wayahudi huchukuliwa mbwa kuwa wanyama wasio safi. Lazaro ni mgonjwa sana na dhaifu hata kufukuza mbwa wasimlambe vidonda vyake.
Luke 16:22-23
Ikawa kwamba
maneno haya yametumika hapa kuadhimisha tukio katika hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
akachukuliwa na malaika
Hii inaweza alisema katika fomu ya kazi. AT: "Malaika wakamchukua mbali"
Upande wa Ibrahamu
Inavyoonekana Ibrahim na Lazaro walikuwa wameketi karibu wakati wa sikukuu mbinguni. Hii ilikuwa ni desturi ya Kigiriki kualika wageni katika karamu. "kukaa karibu na Ibrahimu" au "uketi karibu na Ibrahimu."
na alizikwa
"na watu walimzika"
na katika kuzimu, alipokuwa katika mateso
"naye akaenda kuzimu ambapo alikuwa akiteseka katika maumivu ya kutisha"
Akainua macho yake
"akaangalia juu"
na Lazaro dhidi ya kifua chake
"Lazaro na ameketi karibu na Ibrahimu" au "na Lazaro pamoja naye"
Upande wa Ibrahimu.... dhidi ya kifua chake
Hii inaonyesha kwamba Ibrahimu na Lazaro walikua wameketi karibu, katika utamadunu wa kigiriki.
alizikwa
"Watu walimzika"
katika kuzimu, alipokuwa katika mateso
"alikwenda kuzimu, ambapo aliteseka katika maumivu ya kutisha"
Lazaro dhidi ya kifua chake
"Lazaro ameketi karibu na Ibrahimu" au "Lazaro karibu naye"
Luke 16:24
Naye akasema kwa sauti
"na tajiri aliita na kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu"
Baba Ibrahimu
Ibrahimu alikuwa babu wa Wayahudi wote, ikiwa ni pamoja na mtu mmoja tajiri.
nihurumie
"tafadhali nihurumie" au "tafadhali uniwie radhi mimi"
umtume Lazaro
"kwa kumtuma Lazaro" au "na kuwaambia Lazaro kuja kwangu"
achovye ncha ya kidole chake
Hii inaonyesha udogo wa kiasi alichoomba. "aweze kuloanisha ncha ya kidole chake"
Niko kwenye mateso katika moto huu
"Niko kwenye mateso katika moto huu " au "Mimi naumia sana katika moto huu"
alipiga kelele na kusema
"tajiri alilia kwa kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu"
Luke 16:25-26
Mtoto
tajiri alikuwa mmoja wa kizazi cha Ibrahimu.
mambo mema
"mambo mazuri"
katika njia hiyohiyo mambo mabaya
"katika njia hiyohiyo alipokea mambo mabaya" au "vivyo alipata mambo ambayo yalimfanya ateseke"
yeye anatulizwa
"yeye anatulizwa hapa" au "yeye anafuraha hapa"
kwa uchungu
"mateso"
Zaidi ya hayo yote
"kwa kuongeza sababu hii"
shimo kubwa imara limewekwa
Hii inaweza kusemwa kama. "Mungu ameweka bonde kubwa kati ya wewe na sisi"
shimo kubwa
"mwinuko, kina na bonde kubwa" au "kujitenga kubwa" au "bonde kubwa"
wale ambao wanataka kuvuka
"watu wale ambao wanataka kuvuka shimo" au "kama kuna mtu anataka kuvuka"
wenyeji wake walifanya kama
hii inahusu ukweli kwamba wao wote hupokea kitu wakati wao waliishi duniani. Si kusema kwamba kile walikipata mara moja. "wakati alipokuwa hai kupokea"
Zaidi ya hayo yote
"kwa kuongeza sababu hii"
Luke 16:27-28
kuwa wewe umtume aende nyumbani kwa baba yangu
"kwamba utamwambia Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu" au "tafadhali, umtume aende nyumbani kwa baba yangu"
nyumba ya baba yangu
hii inahusu watu katika nyumba. "familia yangu"
ili apate kuwaonya
"ili Lazaro inaweza kuwaonya"
mahali hapa pa mateso
"mahali hapa ambapo sisi kuteseka kwa adhabu" au "mahali hapa ambapo sisi tunateswa maumivu ya kutisha"
kwa hofu kwamba
Hii ina maana yeye hataki hili litokee "ili kwamba wao wasi"
Luke 16:29-31
Kuunganisha kauli:
Yesu alimaliza kusimulia hadithi kuhusu tajiri na Lazaro.
Wanao Musa na manabii
Ina onyesha kuwa Abraham alikataa kumtuma Lazaro kwa ndugu wa tajiri. Hii inaweza kuwa alisema. "Hapana, sitaweza kufanya ivyo, kwa sababu ya ndugu zenu na yale ambayo Musa na manabii waliandika mda mrefu uliopita"
waache wawasikilize
"ndugu zako lazima wawe makini na Musa na Manabii"
kama mtu aliamua kwenda kwao kutoka katika wafu
"kama mtu ambaye amefariki aliamua kwenda kwao" au "kama mtu ambaye amefariki aliamua kwenda na kuwaonya"
Kama hawata wasikiliza Musa na Manabii
"Kama hawatakuwa makini kwa kilicho andikwa na Musa na manabii"
wala hawataweza kushawishiwa kama mtu angefufuka kutoka wafu
"Wala mtu ambaye atakuja kutoka kwa wafua atakua na uwezo wa kuwashawishi" au "hawatamini hata kama mtu angefufuka kutoka wafu"
Musa na manabii
Hii ina maana ya maandiko yao. "nini Musa na manabii aliandika"
Luke 17
Luke 17:1-2
Kuunganisha kauli:
Yesu anaendelea kufundisha, lakini yeye ataelekeza nia yake kwa wanafunzi wake. Hii bado ni sehemu moja ya hadithi na siku hiyo hiyo ambayo ilianza
Ni hakika kutakuwa na mambo ambayo yanaweza kutufanya kutenda dhambi
"Mambo ambayo huwajaribu watu kutenda dhambi bila ya shaka vitatokea"
kwa mtu huyo atakayevisababisha
"kwa mtu yeyote ambaye husababisha majaribu kuja" au "kwa mtu yeyote ambaye anasababisha watu kujaribiwa"
kama jiwe la kusagia likiwekwa shingoni kwake na angetupwa
Hii inaweza kusemwa: "kama walikuwa waweka jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa" au "kama mtu alikua awekewe jiwe zito shingoni mwake na kumsukuma"
jiwe la kusagia
Hili ni kubwa sana, jiwe zito la mviringo linalotumika kusaga nafaka za ngano kuwa unga" "jiwe nzito"
hawa wadogo
Hii hapa inahusu watu ambao imani bado ni dhaifu. "Watu hawa ambao imani yao ni ndogo"
na mashaka
Hii ilikua njia ya kumaanisha dhambi za kutokudhamiria. "dhambi"
Itakuwa bora kwa ajili yake kama
Ina maana kwamba adhabu ya mtu huyu kwa kusababisha watu kutenda dhambi itakua mbaya zaidi ya wazima baharini.
kwa ajili yake ... shingo yake ... yeye walikuwa ... anapaswa
Maneno haya rejea wanawake ikiwa ni pamoja na wanaume.
Luke 17:3-4
Kama ndugu yako akikosa
Hii kauli inaonyesha kwamba tukio hilo pengine litatokea katika siku zijazo.
ndugu yako
"ndugu" hapa limetumika kwa maana ya mtu aliye na imani sawa. "mwamini mwenzetu"
Mkemee
"kumwambia kwanguvu kwamba aliyoyafanya ilikuwa ni makosa" au "msahishe"
Na kama akikukosea mara saba
Hii inaonyesha inaweza isitokee ila kama ikitokea Yesu anawaambia watu wasamehe.
mara saba kwa siku
namba saba katika Biblia ni ishara ya ukamilifu. "mara nyingi katika siku"
Luke 17:5-6
Habari kwa ujumla:
Kuna mapumziko mafupi katika mafundisho ya Yesu wakati wanafunzi wakizungumza nae. Kisha Yesu anaendelea kufundisha.
Kuongeza imani yetu
"Tafadhali tuongezee imani"
Kama imani yenu ingekuwa kama mbegu ya haradali
"haradali" ni mbegu ndogo sana. Yesu ana maana kwamba hawakuwa na hata kiasi kidogo cha imani.
mti huu wa mkuyu
"mtini" au "mti"
Kungooka na kupandwa baharini
hii inaweza semwa kama: "kujing'oa mwenyewe na kujipanda mwenyewe baharini" au "Chukua mizizi yako nje ya ardhi, na kuweka mizizi yako ndani ya bahari"
ungewatii
"mti ungewatii." Matokeo haya ni masharti. ingeweza kutokea tu kama walikuwa na imani.
mti huu wa mkuyu
Kama aina hii ya mti haufahamiki, inaweza kuwa na manufaa mbadala aina nyingine ya mti. "mtini" au "mti"
Luke 17:7-8
Lakini ni nani katika yenu, ambaye ana mtumishi
Yesu anauliza kundi kuhukumu hali fulani na mtumishi.
mtumishi anaelima au kutunza kondoo
"mtumishi anaelima shamba lako au analinda kondoo wako"
Je hatambiambia
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi.
jifunge mkanda na unitumikie
"funga nguo yako katika kiuno chako na unitumikie mimi" au "vaa vizuri kisha unitumikie." Watu hufunga nguo zao karibu na viuno vyao ili nguo zao wakati wa kazi zisiwasumbue.
Kisha baada ya hayo
"Kisha baada ya kunitumikia"
Lakini ni nani kati yenu ... atamwambiya ... kaa chini kula '?
Yesu anauliza wanafunzi wake swali kuwasaidia kufikiri juu ya jukumu la mtumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Lakini mtu yeyote kati yenu ... siwezi kusema kwake ... kaa chini kula '"
Je, yeye hatamwambia ... kula na kunywa?
Yesu anatumia swali la pili kueleza jinsi wafuasi wangewa fanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Naye hakika humwambia ... kula na kunywa '"
Luke 17:9-10
Kuunganisha kauli:
Yesu alimaliza kufundisha. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi hii.
Yeye hashukuru
"Yeye hakutaka kuwashukuru" au "Wewe hutashukuru"
mambo yaliyo amuriwa
Hii inaweza kusemwa "Mambo uliyo muagiza afanye"
gani?
"haki?" au "ni hii si kweli?"
wewe pia
Yesu alikuwa akizungumza na wanafunzi wake, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" itakuwa matumizi yake.
yale uliyo amuriwa
Hii inaweza kusemwa kama "kwamba Mungu alikuamuru"
usema
"ukusema kwa Mungu"
Sisi ni watumishi tusiostahili
Hii ni kueleza kuwa wao hawakufanya kitu cha kustaili kusifiwa. "Sisi watumishi wa kawaida" au "Sisi watumishi hatustahili sifa yako"
Hamshukuru mtumishi ... alivyoamuru, je anafanya?
Yesu anatumia swali hili ili kuonyesha jinsi watu wanavyo wafanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Yeye hakutaka kumshukuru mtumishi ... aliamuru"
Luke 17:11-13
Habari kwa ujumla:
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Yesu anaponya watu 10 wa ukoma. Mstari wa 11 na 12 unatoa taarifa za msingi na mazingira ya hadithi.
Ikawa kwamba
maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
na walipokua njiani kuelekea Yerusalemu
"kama Yesu na wanafunzi walipokuwa wakisafiri kwenda Yerusalemu"
huko alikutana na watu kumi wenye ukoma
Hii inaweza semwa kama. "watu kumi wenye ukoma walikutana naye" au "watu kumi waliokuwa na ukoma walikutana naye"
wakapaza sauti zao
kauli hii ina maana kusema kwa sauti kubwa. "wakamwita kwa sauti kubwa" au "wao kuita kwa sauti"
Bwana
neno lililotafsiriwa hapa kama "Bwana" siyo neno la kawaida kwa "Bwana." Hii moja inahusu mtu ambaye ana mamlaka, na si kwa mtu ambaye anamiliki mtu mwingine.
utuhurumie
Walikuwa hasa wanaomba kuponywa. "tafadhali tuonyeshe huruma na utuponye"
alipokuwa akisafiri kwenda Yerusalemu
"kama Yesu na wanafunzi walikuwa wakisafiri kwenda Yerusalemu"
kijiji kimoja
maneno haya haya elezei hicho kijiji.
Nao wakasimama mbali mbali na yeye
Hii ilikuwa ishara ya heshima , kwa sababu wenye ukoma hawakuruhusiwa kukaribia watu wengine.
Luke 17:14-16
mkajionyeshe kwa makuhani
wenye ukoma walikuwa wanatakiwa kuthibitishwa na makuhani kwamba ukoma wao umepona. "jionyesheni wenyewe kwa makuhani ili waweze kuwachunguza"
Na ikawa kwamba
maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
wakatakasika
Wakati watu waliponywa, wao hawakuwa tena najisi. Hii inaweza kufanywa wazi. "wakawa safi wakati walipo ponywa ukoma wao" au "walikuwa wametibiwa ukoma wao"
alipoona kwamba ameponywa
"kuona kwamba ameponywa" au "alitambua kwamba Yesu aliyemponya"
akarudi
"alirudi Yesu"
kwa sauti kubwa akimtukuza Mungu
"nakumtukuza Mungu kwa sauti kubwa"
Akainama miguuni pa Yesu
"akapiga magoti na kuweka uso wake karibu na miguu ya Yesu." Alifanya hivi kwa kumheshimu Yesu.
Luke 17:17-19
Kuunganisha kauli:
Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi kuhusu Yesu alivyo ponya wenye ukoma.
Yesu akajibu, akisema
Yesu alijibu kulingana na kile mtu alichokifanya, lakini alikuwa akizungumza na kundi la watu karibu naye. "Basi Yesu akawaambia ule umati"
Je hawakutakasika wote kumi?
Hii ni moja ya maswali matatu. Yesu aliyatumia kwa kuonyesha watu walio karibu naye jinsi alivyo shangazwa na kukatishwa tamaa kwamba moja tu ya watu kumi alirudi kumtukuza Mungu. "Watu kumi waliponywa" au "Mungu akamponya watu kumi"
Wale tisa wako wapi?
"Kwa nini wengine tisa hawakurudi?" Hii inaweza kuwa kauli kwenye. "Watu wengine tisa wanapaswa kurudi, pia"
Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumtukuza Mungu, isipokuwa huyu mgeni?
Hii inaweza kuwa kauli kwenye. "Hakuna mtu isipokuwa huyu mgeni akarudi kumtukuza Mungu" au "Mungu akaponya watu kumi, lakini tu huyu mgeni akarudi kumtukuza Mungu"
huyu mgeni
Wasamaria walikuwa hawana mababu Wayahudi na hawakuwa wakimwabudu Mungu kwa njia ile ile ambayo Wayahudi walivyofanya.
imani yako imekuponya
"Kwa sababu ya imani yeko umekuwa vizuri." "Imani" yaweza tajwa kama tendo "Kwa sababu unaamini, umeponywa"
Luke 17:20-21
Habari kwa ujumla:
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui ambapo hili limetokea; ni siku moja wakati Yesu akizungumza na Mafarisayo.
Alipoulizwa na mafarisayo ufalme wa Mungu utakuja lini, Yesu akawajibu akisema,
Hii inaweza semwa kama: "wakamuuliza 'Lini Utawala wa Mungu utakuja?"
Alipoulizwa na Mafarisayo
Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Baadhi ya tafsiri huanza kwa "Siku moja" au "Mara."
Ufalme wa Mungu sio kitu ambacho kinaweza kuonekana
Hii inaweza kusemwa: "Ufalme wa Mungu si kitu ambacho unaweza kuona kwa macho yako" au "Ingawa unanngalia Ufalme wa Mungu, huwezi kuuona"
Utawala wa Mungu uko kati yenu
"Utawala wa Mungu uko hapa" au "Mungu tayari ameanza kutawala kati yenu"
Luke 17:22-24
Kuunganisha kauli:
Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake.
wakati utafika ambapo
"wakati utafika ambapo" au "Labda siku moja"
mtatamani kuona
"wewe utataka sana kuona" au "utakuwa wataka uzoefu"
mojawapo ya siku za Mwana wa Adamu
Hii ina maana ya Utawala wa Mungu. "moja ya siku wakati Mwana wa Adamu atatawala akiwa mfalme"
wala msiwafuate
"na wala kwenda pamoja nao ili kuona"
maana kama vile radi uonekanavyo
"kwa maana kama vile radi ni wazi kwa kila mtu wakati unaonekana na" au "maana kama vile umeme unaonekana ghafla"
ndivyo naye Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku yake
hii inahusu ufalme ujao wa Mungu. "itakuwa kana kwamba siku ile Mwana wa Adamu atafika kutawala"
Mwana wa Adamu
Yesu anazungumza juu yake mwenyewe.
lakini huwezi kuiona
"hutaweza kuihisi"
Angalia, pale! Angalia, hapa!
Hii ina maana ya kumtafuta Masihi. "Angalia, Masihi yuko pale! yuko huku!"
maana kama vile radi huangaza
Mwana wa Adamu ajae itakuwa wazi na ghafla, kama muonekano wa radi. "kwa maana kama vile radi ni wazi kwa kila mtu wakati unaonekana na" au "maana kama vile umeme unaonekana ghafla"
Luke 17:25-27
Lakini kwanza lazimu ateswe
"Lakini kwanza Mwana wa Adamu lazima ateswe." Yesu anazungumza juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu.
na kukataliwa na kizazi hiki
"na kizazi hiki lazima kitamkataa"
Kama ilivyotokea katika siku za Nuhu
"siku za Nuhu" inahusu wakati wa maisha ya Nuhu kabla ya Mungu kuwaadhibu watu wa dunia. "Kama watu walivyokua wakifanya katika siku za Nuhu" au "Kama watu walivyokua wakifanya wakati Nuhu alivyokua akiishi"
hata hivyo itakuwa pia kutokea katika siku za Mwana wa Adamu
"siku za Mwana wa Adamu" inahusu kipindi kabla Mwana wa Adamu atakuja. "Watu watakuwa wakifanya mambo sawa katika siku za Mwana wa Adamu" au "watu watakuwa wakifanya mambo sawa wakati Mwana wa Adamu akikaribia kuja"
Walikula, walikunywa, kuoa, na walipewa katika ndoa
Watu walikuwa wanafanya mambo ya kawaida. Hawakujua au kujali ya kwamba Mungu alikuwa karibu kuwahukumu.
walipewa katika ndoa
hii inaweza semwa kama "Wazazi walikuwa wakiruhusu binti zao kuolewa na wanaume"
Safina
"meli" au "majahazi"
kukataliwa na kizazi hiki
Hii inaweza semwa kama "watu wa kizazi hiki lazima watamkataa"
kuwaangamiza wote
Hii sio pamoja na Nuhu na familia yake waliokuwepo katika safina. "kuharibiwa wale wote ambao hawakuwa katika meli"
Luke 17:28-29
Ndivyo ilivyokua katika siku za Lutu
"siku za Lutu" inahusu wakati tu kabla ya Mungu haja adhibu miji wa Sodoma na Gomora. "Mfano mwingine ni jinsi ilivyotokea wakati wa Lutu" au "Kama watu walikuwa wakifanya wakati Lutu akiishi"
nao wakala
"watu wa Sodoma walikula"
kulinyesha moto na kiberiti kutoka mbinguni
"moto na kiberiti ukaanguka kutoka mbinguni kama mvua"
kuwaangamiza wote
hii haina ni pamoja Lutu na familia yake. "kuharibiwa wale wote ambao walikaa katika mji"
Luke 17:30-31
Baada ya namna hiyo itakuwa
"Itakuwa kama hiyo." "Kwa njia hiyo hiyo watu hawtakuwa tayari"
siku ile Mwana wa Adamu atakapofunuliwa
Hii inaweza semwa kama "wakati Mwana wa Adamu ataonekana" au "wakati Mwana wa Adamu anakuja"
usimlete aliye kwenye dari ya nyumba ashuke chini
"yeyote alie juu ya nyumba asishuke" au "mtu akiwa darini kwake, ni lazima asiende chini"
juu ya dari
dari zao zilikuwa bapa na watu kuweza kutembea au kukaa juu zao.
vitu vyake
"mali zake" au "mambo yake"
kurudi
Walikua wasirudi nyumbani kuchukua kitu chochote
Mwana wa Adamu
Yesu anazungumza juu yake mwenyewe. "Mimi, Mwana wa Adamu"
Luke 17:32-33
Mkumbuke mke wa Lutu
"Kumbuka kile kilichotokea kwa mke wa Lutu!" Hili ni onyo. Yeye aligeuka na kuangalia Sodoma na Mungu akamuadhibu pamoja na watu wa Sodoma. "Msifanye kile mke wa Lutu alichokifanya"
Ye yote anaejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza
"Watu ambao hujaribu kuokoa maisha yao watayapoteza" au "Yeyote anajaribu kuokoa njia yake za zamani za maisha atapoteza maisha yake"
lakini ye yote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa.
"lakini watu ambao kupoteza maisha yao atawalinda" au "lakini mwenye kukataa njia yake ya zamani ya maisha kuokoa maisha yake"
Luke 17:34-36
Nawaambia
Kama Yesu anaendelea kuhutubia wanafunzi wake, anasisitiza umuhimu wa nini alichokua akiwaambia.
katika usiku huo
Hii inahusu nini kitatokea kama yeye, Mwana wa Adamu, atakuja wakati wa usiku.
kutakuwa na watu wawili katika kitanda kimoja
mkazo si juu ya watu hawa wawili, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa.
kitanda
"kochi"
Mmoja atachukuliwa, na mwingine ataachwa
"Mtu mmoja atachukuliwa na mtu mwingine ataachwa." Hii inaweza semwa kama "Mungu atachukua mtu mmoja na kumuacha mwingine" au "Malaika atachukua mmoja na kumuacha mwingine"
Kutakuwa na wanawake wawili wakisaga nafaka pamoja
mkazo si juu ya hawa wanawake wawili au shughuli zao, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa.
kusaga pamoja
"wakisaga nafaka pamoja"
Luke 17:37
Habari kwa ujumla:
wanafunzi walilomwuliza swali kuhusu mafundisho yake na akawajibu
Ni wapi Bwana?
"Bwana, wapi hii itatokea?"
Ambapo kuna mzoga, ndipo tai hukusanyika pamoja
Inavyoonekana huu ni msemo ukimaanisha "Itakuwa dhahiri" au "Mtaijua ni pale yanapotokea." "Kama tai mkutano inaonyesha kwamba kuna maiti, hivyo mambo hayo kuonyesha kwamba Mwana wa Adamu atakuja"
Tai
Tai ni ndege wakubwa ambao wanaruka pamoja na kula nyama za wanyama waliokufa wakiwapata. Unaweza kuelezea ndege kwa njia hii au kutumia neno kwa ndege wa kawaida wanaofanya hivi.
Luke 18
Luke 18:1-2
Maelezo yanayounganisha"
Yesu anaanza kuwaambia mfano akiendelea kuwafundisha wanafunzi wake. Hii ni sehemu ile ile ya simulizi. Mstari wa 1 unatupa maelezo ya mfano ambao Yesu anataka kuusema.
Kisha
"Kisha Yesu"
Wanapaswa kusali daima wala wasikate tamaa
Sentensi hizi mbili zina maana sawa ambayo Yesu aliitumia ili kusisitiza. Lugha zingine zina namna tofauti za kusisitiza. "Daima muendelee kuomba."
akasema
Hii pia inaweza kuanza kwenye sentensi mpya "Akasema"
Kulikuwa na hakimu katika mji fulani
Neno "fulani" imetumika kuonyesha kuwa hii ilitokea, lakini bila kumuonyesha hakimu au mji.
Kuogopa
Ogopa
Haeshimu watu
"Hajali watu"
Luke 18:3-5
Sasa kulikuwa na mjane
Yesu alitumia neno hili kumtambulisha mtu mwingine kwenye simulizi.
Mjane
Ni mwanamke ambaye mume wake amekufa. Watu waliomsikiliza Yesu watafikiri kuwa ni mtu ambaye hamna mtu wa kumlinda kutoka kwa wale wanaotaka kumuumiza.
Alimwendea mara nyingi
Neno "yeye" linamaanisha hakimu.
Nisaidie kupata haki dhidi
"waadhibu" au "nisaidie"
Mpinzani wangu
"adui yangu" au "mtu anayejaribu kuniumiza." Huyu ni mpinzani katika mabo ya sheria. Hipo wazi kuwa mwanamke anamshitaki yule mtu au yule mtu anamshitaki mwanamke.
Kumwogopa Mungu
"ogopa Mungu"
Mtu
Hii inamaanisha "watu" kwa ujumla.
Ananisababishia matatizo
"Ananisumbua"
Asinichoshe
"asije akanisumbua"
Kwa kunijia mara kwa mara
"kwa kuja kwangu mara kwa mara"
Luke 18:6-8
Taarifa ya jumla:
Yesu anamaliza kuwaambia mfano wake na anatoa maelezo kwa wanafunzi wake.
Sikiliza alivyosema huyu hakimu mmbaya
"Fikiri jinsi alivyosema huyu hakimu mmbaya.: Tafsiri kwa namna ambayo watu wataelewa kwamba Yesu tayari aliwaambia alichokisema jaji.
Sasa
Hili neno linaonyesha kuwa Yesu alimaliza kutoa mfano na akaanza kutoa maana yake.
Mungu pia hataleta... usiku?
Yesu alitumia swali kuwafundisha wanafunzi wale.
Wateule wake
"Watu aliowachagua"
Hatakuwa mvumilivu kwao?
Yesu alitumia swali kuwafundisha wanafunzi wake.
Mwana wa Adamu
Yesu alikuwa anajizungumzia mwenyewe.
Atakuta imani duniani?
Dhumuni la mfano huu ni kuwatia moyo wanafunzi wake waendelee kuamini na kuomba. Yesu hapa anatumia swali lingine anayotegemea jibu hasi. "Lakini najua mimi, Mwana wa Adamu, nikirejea, nitawakuta watu wasioniamini."
Luke 18:9-10
Taarifa ya jumla:
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine kwa watu wengine waliojiona kuwa wenye haki.
Ndipo yeye
"Ndipo Yesu"
Baadhi
"Baadhi ya watu"
Ambao walijiona wenyewe kuwa wenye haki
"waliokuwa na haki wenyewe" au "waliodhani kuwa wana haki"
kuwadharau
"Kutothamini" au "kudhani kuwa ni bora zaidi ya"
Hekaluni
"kwenye eneo la hekalu"
Luke 18:11-12
Mfarisayo akasimama, akasali mambo haya juu yake mwenyewe
Maana kwenye maneno ya Kigiriki haipo wazi. inaweza kuwa na maana 1) "Mfarisayo alisimama akaomba juu yake mwenyewe kwa njia hii" au 2) Mfarisayo alisimama pekeyake na akasali."
Majambazi
Jambazi ni mtu anayeiba vitu kwa kumlazimisha mtu ampe au kwa kumtishia kwa nguvu.
Ninayopata
"Ninayopokea"
Luke 18:13-14
Maelezo yanayounganisha:
Yesu alimaliza kuwaambia mfano. kwenye mstari wa 14, alitoa maelezo kuhusu maana ya mfano huo.
Akainua macho yake juu
"Akaangalia mbinguni" au "akaanalia mbele"
Akapiga kifua chake
Hii ni ishara ya nje ya masikitiko makuu, na kuonyesha namna huyu mtu anavyotubu na unyenyekevu.
Mungu nirehemu mimi, mwenye dhambi
Mungu nakuomba nirehemu mimi, japokuwa ni mtenda dhambi" Mungu, nakuomba unirehemu mimi. Ni mtenda dhambi"
Huyu mtu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki.
"Mungu alimsamehe yule mtoza ushuru"
Kuliko yule mwingine
"Kuliko yule mtu mwingine" au "na sio yule mtu mwingine." ' Lakini Mungu hakumsamehe Mfarisayo"
Kwa sabau kila mtu atakayejikweza
Kwenye sentensi hii, Yesu anahama kwenye simulizi na kutoa maelezo ya simulizi.
Atashushwa
"Mungu atamshusha"
Atakwezwa
"Mungu atampa heshima"
Luke 18:15-17
Maelezo ya kuunganisha:
Hili ni tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi inayoanza Yesu anawakaribisha watoto na anazungumza nao.
Akawagusa, lakini
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi tofauti. "akawagusa. Lakini"
Wakawazuia
"Wanafunzi walijaribu kuwakataza wazazi wasiwalete watoto kwa Yesu"
waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie
Hizi sentensi mbili zina maana inayofanana na zimewekwa pamoja ili kutia msisistizo. Lugha nyingine zinasisitiza kwa namna tofauti. "Mnatakiwa muwaache watoto wadogo waje kwangu."
Ni wa kwao
"Ni wa watu waliokama hawa watoto"
Amini nawaambia
"Hakika nawaambia." Yesu alitumia maelezo haya kusisitiza umuhimu wa alichokuwa anataka kukisema.
mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hataingia
Mungu anataka watu wapokee ufalme wake kwa kuamini na unyenyekevu. "Yeyote anayetaka kuingia kwenye ufalme wa Munguataupokea kwa kuamini na unyenyekevu kama mtoto mdogo."
Luke 18:18-21
Maelezo yanayounganisha:
Hii ni tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi inayoanza. Yesu akaanza kuongea na kiongozi kuhusu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Nifanye nini
"Ni kitu gani natakiwa kufanya" au "Ni kipi kinahitajika kwangu"
Kurithi
"kuwa mmiliki halali wa." Hii ina maanisha mali ya mtu aliyekufa. Luka anatumia neno hili kuonyesha kuwa mtawala anafahamu kuwa uzima wa milele hauwezi kuuchuma, na sio kila mtu ataishi milele.
Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake
"Hakuna mtu aliye mwema kabisa. Mungu pekee ndo mwema"
Usiue
"Usifanye mauaji"
Mambo haya yote
"Amri zote hizi"
Luke 18:22-23
Yesu aliposikia hayo
"Yesu aliposikia yule mtu akisema hayo"
Akamwambia
"akamjibu"
Umepungukiwa jambo moja
"Bado unatakiwa kufanya jambo moja" au "Kuna jambo moja bado hujalifanya"
Uza vyote ulivyonavyo
"Uza mali zako zote" au "uza vyote unavyomiliki"
Wagawie masikini
"Wape hizo pesa masikini"
Utakuwa na hazina mbinguni
"Utakuwa na baraka za Mungu mbinguni"
Luke 18:24-25
Kisha Yesu akamwona alivyohuzunika sana
Kifungu hiki hakipo kwenye maneno mengi ya Kigiriki na mara kadhaa huondolewa kwenye tafsiri za kiingereza.
Ngamia kupita katika tundu la sindano
Haiwezekani ngamia kuenea katika tundu la sindano. Kwa hiyo Yesu alitumia mafumbo kuonyesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kabisa kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Tundu la sindano
Tundu la sindano ni shimo katika sindano ya kushonea ambapo uzi hupita.
Luke 18:26-27
Waliosikia wakasema
"Watu waliomsikiliza Yesu wakasema"
Je nani atakayeokoka?
Inawezekana kuwa walikuwa wanataka jibu. Lakini ni dhahiri kwamba walitumia swali kuonyesha mshangao wao kwa alichokisema Yesu. "Hivyo hakuna atakayeokoka na dhambi" au "Hivyo Mungu hatamuokoa hata mmoja"
Yanawezekana kwa Mungu
"inawezekana kwa Mungu kufanya"
Luke 18:28-30
Maelezo yanayounganisha
Huu ni mwisho wa mazungumzo kuhusu kuingia kwenye ufalme wa Mungu.
Kila kitu kilicho chetu
"utajiri wetu wote" au "Mali zetu zote"
Amini, nawaambia
Yesu anatumia maelezo haya kuonyesha umuhimu wa kile anachotaka kukisema.
Hakuna mtu aliyeacha....... ambaye hatapokea
"kila aliyeacha... atapokea"
Na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele
"na pia uzima wa milele katika ulimwengu ujao"
Luke 18:31-33
Maelezo yanayounganisha:
Hii ni sehemu inayofuata ya sehemu ya simulizi inayoanza Yesu haongei tuu na wanafunzi wake tuu.
Tazama
Inaonyesha umuhimu wa mabadiliko katika huduma ya Yesu alivyokuwa akienda Yerusalemu kwa mara ya mwisho.
Yaliyoandikwa na manabii
"ambayo manabii waliandika"
Manabii
Hii inamaanisha Manabii wa Agano la kale.
Mwana wa Adamu
Yesu alikuwa anajielezea mwenyewe kama "mwana wa Adamu" na akatumia "yeye" kujielezea mwenyewe.
Yatatimizwa
"yatatokea" au "yatatimia"
Atatiwa mikononi mwa Mataifa
"Viongozi wa Kiyahudi watamkabidhi kwa Mataifa"
watamtendea dhihaka na jeuri, na kutemewa mate
"watamdhihaki, watamtendea vibaya na kumtemea mate"
Siku ya tatu
Hii inaelezea siku ya tatu baada ya kufufuka. Japokuwa wanafunzi wake hawakumuelewa, hivyo ni vizuri kutokuongeza maelezo haya unapotafsiri mstari huu.
Luke 18:34
Maelezo ya jumla:
Mstari huu sio sehemu ya simulizi lakini ni mawazo kuhusu sehemu ya simulizi hii.
Hawakuelewa mambo haya
"Hawakuelewa kabisa mambo haya"
Mambo haya
Hii inaelezea namna ambavyo Yesu atateseka na kufa Yerusalemu, na atafufuka toka kwa wafu.
Neno hili lilikuwa limefichwa kwao
"Mungu aliwafanya wasielewe maana ya kile alichokuwa akiwaambia"
Mambo ambayo aliyasema
"Mambo ambayo Yesu aliyasema"
Luke 18:35-37
Taarifa ya jumla
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anamponya kipofu alipokuwa anakaribia Yeriko. Mistari hii inatupa historia kuhusu simulizi hii.
Ikawa
Neno hili linatumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya.
Alipokaribia
"Alipokuwa karibu"
Mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi
"kulikuwa na mtu kipofu ameketi" Hapa "mmoja" inaonyesha kuwa mtu huyu alikuwa wa muhimu katika simulizi hii lakini Luka hakutaja jina lale.
Akiomba, na akasikia
"Aliomba. aliposikia"
Wakamwambia
"Makutano wakamwambia kipofu"
Yesu wa Nazareti
Yeso toka mji wa Nazareti uliopo Galilaya.
Anapiata
"Alikuwa akimpita"
Luke 18:38-39
Hivyo
Neno hili linaweka alama ya tukio limetokea kwa sababu kitu fulani kilitokea kwanza. Kwa hivyo makutano walimwambia kipofu kuwa Yesu anapita.
Akalia kwa sauti
"akaita kwa sauti" au "akapiga kelele"
Mwana wa Daudi
Yesu alikuwa uzao wa Daudi, Mfalme muhimu kwa Israeli.
Nihurumie
"nionee huruma" au "nihurumie"
Wale
"watu"
Anyamaze
"awe kimya" au "asipige kelele"
Akazidi kulia kwa sauti
Hii inaweza kumaanisha alilia kwa sauti zaidi au alilia zaidi kwa kusisitiza.
Luke 18:40-41
Kwamba mtu yule aletwe kwake
"watu wamlete kipofu kwake"
nataka kuona
aweze kuona tena
Luke 18:42-43
Imani yako imekuponya
"Nimekuponya kwa sababu umeniamini"
Akamfuata
"Akaanza kumfuata"
Akamtukuza Mungu
"Akampa Mungu utukufu" au "Akamsifu Mungu"
Luke 19
Luke 19:1-2
Taarifa ya jumla
Hii ni sehemu iliyofuata ya simulizi. Zakayo anatambulishwa kwenye simulizi. mstari wa kwanza unaonyesha historia ya safari ya Yesu.
Tazama kulikuwa na mtu pale
Neno "tazama" linatuonyesha mtu mpya kwenye simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na na njia ya kufanya hivi. "Kulikuwa na mtu ambaye alikuwa"
Alikuwa mkuu wa watoza ushuru na alikuwa tajiri.
Hii ni historia ya Zakayo.
Luke 19:3-4
Alijaribu
"Zakayo alijaribu"
Kwa sababu alikuwa mfupi wa kimo
"kwa kuwa alikuwa mfupi"
Mti wa mkuyu
"Mti wa mkuyu." unazalisha matunda madogo ya duara yenye sentimita zipatazo 2.5.
Luke 19:5-7
Mahali
"kwenye mtui" au "alipokuwa Zakaria"
Alikwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi
"Yesu alikwenda kwenye nyumba ya mwenye dhambi kumtembelea"
Mwenye dhambi
"mwenye dhambi hasa"
Luke 19:8-10
Bwana
Hii inamzungumzia Yesu
Wokovu umekuja katika nyumba hii
"Mungu ameokoa nyumba hii"
Nyumba hii
neno "nyumba" inamaanisha watu waishio kwenye nyumba hiyo au familia.
Yeye pia
"huyu mtu pia" au "Zakayo pia"
Mwana wa Ibrahimu
Inamaanisha 1)"kizazi cha Ibrahimu" na 2)"mtu aliyekuwa na imani kama ya Ibrahimu."
Watu waliopotea
"watu waliokua mbali na Mungu" au "wale ambao kutokana na dhambi wako mbali na Mungu"
Luke 19:11-12
Taarifa ya jumla
Yesu alianza kuwaambia makutano mfano. mstari wa kumi na moja unaonyesha historia kwa nini Yesu aliwaambia mfano huo.
kwamba ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
"kwamba Yesu ataanza kumiliki maramoja kwenye ufalme wa Mungu"
Ofisa mmoja
"Mtu mmoja ambaye alikuwa mmoja wa viongozi" au "mtu mmoja toka kwenye familia ya muhimu." "Mtu wa muhimu"
Kupokea ufalme
Hii ni picha ya mfalme mdogo kumwendea mfalme mkubwa. Mfalme mkubwa atampa mfalme mdogo mamlaka ya kuongoza nchi yake mwenyewe.
Luke 19:13-15
Aliwaita
Ofisa aliwaita
Akawapa mafungu kumi
"akawapa kila mtu fungu moja"
Mafungu kumi
Fungu ni gramu 600. kila fungu linathamani ya malipo ya miezi minne ya mtu, "Sarafu kumi" au "kiasi kikubwa cha pesa"
Fanya biashara
"fanya biashara na pesa hizi" au "tumia hizi pesa ili upate zaidi"
Wananchi wake
Watu wa nchi yake"
Mabalozi
"wawakilishi" au "wajumbe"
Ikawa
Neno hili limetumika kuonyesha umuhimu wa tukio kwenye simulizi. Kama lugha yako ina namna nyingine ya kufanya hivi unaweza ukaitumia hapa.
Baada ya kuupokea ufalme
"Baada ya kuwa Mfalme"
Waitwe kwake
"kwenda kwake"
Mmetengeneza faida kiasi gani
"ni pesa kiasi gani waliipata"
Luke 19:16-17
Wa kwanza
"Mtumishi wa kwanza"
Akaja mbele yake
"Akaja mbele ya Afisa"
Umefanya vyema
"wewe umefanya vyema" Lugha yako inaweza kutafsiri kifungu hiki kwamba mwajiri anatumia kuonyesha kiridhika, kama vile "kazi nzuri."
Luke 19:18-19
Fungu lako, Bwana, limefanya mafungu matano.
"Bwana kwa pesa ulizonipa, nimezalisha mara tano"
Chukua mamlaka juu ya miji mitano
"Utakuwa na mamlaka juu ya miji mitano"
Luke 19:20-21
Mtu mkali
'Mtu wakali' au 'mtu ambaye anatarajia mengi toka kwa watumishi wake'
Unachukua kile usichokiweka
Ni fumbo linaloelezea mtu mkorofi. "unaondoa kitu asichokiweka" au "unachukua kitu ambacho sio chako."
Kuvuna kile usichopanda
"Kuvuna usichokipanda." Mtumishi alikuwa anamfananisha bwana wake na mkulima anayechukua chakula ambacho mtu mwingine alikipanda.
Kuvuna
"kukusanya" au "kuweka"
Luke 19:22-23
Kwa maneno yako mwenyewe
"Kutokana na ulichokisema"
Kwamba mimi ni mtu mbaya, nachukua
Afisa alirudia maneno aliyoyasema mtumishi juu yake. Hakusema kuwa ilikuwa kweli.
Mtu mkali
"mtu mkorofi"
Kwa nini hukuweka pesa yangu...... faida?
Afisa alitumia swali ili kumkemea Mtumishi dhalimu. "Ungeweka pesa yangu..... faida."
Weka pesa yangu benki
"Kopesha pesa zangu benki" Tamaduni ambazo hazina benki zaweka kutafsiri kuwa "Acha mtu aazime pesa zangu."
Benki
Benki ni biashara salama ya kuweka pesa za watu. Benki huwakopesha watu pesa kwa faida. Hivyo inalipa pesa ya ziada au faida kwa watu wanaoweka pesa zao benki.
Nitakusanya na faida
"Ningekusanya kiasi hicho cha fedha pamoja na faida iliyopatikana" au "ningepata faida"
Faida
Faida ni pesa ambayo benki humlipa mtu anayeweka pesa zake katika benki.
Luke 19:24-25
Afisa
Afisa aliyekujakuwa mfalme. Tafsiri hivi kwa maneno ambayo yataeleweka kwa wasomaji.
Waliokuwa wamesimama hapo
"Watu waliokua wamesimama karibu nao"
Luke 19:26-27
Taarifa ya jumla
Yesu amemaliza kuwaambia mfano wake na sasa anatoa mawazo juu ya makutano nyumbani kwa Zakayo.
Nawaambia
Hii ilikuwa kauli ya mfalme. Watafsiri wengine wanaweza kutaka kuanza mstari huu kwa kusema "Na mfalme akajibu, 'Nawaambia ninyi" au Lakini mfalme akasema, Namwaambia hivi"
Kila aliyenacho
"kila mtu atakayetumia vizuri alichopewa" au "kila mtu atakayetumia vizuri vitu nilivyompa"
Atapewa zaidi
"Ntampa zaidi"
Toka kwake ambaye hana
"Toka kwa mtu ambaye hatumii vizuri kile nilichompa"
Kitaondolewa
"Nitakichukua kutoka kwake"
Hawa adui zangu
Kwa kuwa adui zake hawakuwepo pale, lugha nyingine zawezasema "wale adui zangu."
Luke 19:28
Maelezo yanayounganisha
Huu ni mwisho wa simulizi kuhusu Zakaria. Mstari huu unaelezea aliyoyafanya Yesu baada ya simulizi hii.
Alipomaliza kusema maneno haya
"Yesu alipomaliza kusema maneno haya"
Kwenda Yerusalemu
Yerusalemu ilikuwa kama mita 975 juu ya Yeriko.
Luke 19:29-31
Maelezo ya Jumla
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anakaribia Yerusalemu.
Ikawa
Aya hii imetumika kuonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kama lungha yako ina njia nyingine ya kusema hivi unaweza ukatumia hivyo.
Alipofika karibu
Neno "yeye" linamaanisha Yesu. Wanafunzi wake walisafiri pamoja naye.
Bethfage
Bethfage kilikuwa kijiji kwenye mlima wa Mizeituni, ambayo imepita katikati ya bonde la Kidron toka Yerusalemu.
Mlima ulioitwa Mizeituni
"Mlima ulioitwa Mlima wa Mizeituni" au Mlima ulioitwa "mlima wa mti wa Mizeituni"
Mwanapunda
"Punda mdogo" au "myama mdogo wa kumuendesha"
Ambaye hajapandwa bado
"ambae hamna mtu aliyemtumia"
Luke 19:32-36
Wale waliotumwa
"Wale waliotumwa na Yesu" au "Wanafunzi wawili waliotumwa na Yesu"
Walitandika mavazi yao juu ya mwanapunda
"waliweka nguo zao juu ya mwanapunda." Mavazi ni nguo. Hapa inamaanisha mavazi ya nje au nguo.
Walitandaza mavazi yapo
"watu walitandaza mavazi yao" au "wengine walitandaza mavazi yao." Hii ni ishara ya kuonyesha heshima kwa mtu fulani.
Luke 19:37-38
Alipokuwa nateremka katibu
"Yesu alipokaribia" au "Yesu alipokuwa anakaribia." Wanafunzi wa Yesu walikuwa wakisafiri pamoja naye.
Mambo makubwa waliyoyaona
"Mambo makubwa waliyoyaona yakifanywa na Yesu"
Amebarikiwa Mfalme
Walisema haya kuhusu Yesu
Kwa jina la Bwana
Hapa "jina" linaelezea nguvu na mamlaka. Pia "Bwana" linamaanisha Mungu
Utukufu juu
"Acha kila mtu amtukuze yeye aliye juu sana" au "acha kila mtu amsifu aliye juu"
Luke 19:39-40
Wanyamazishe wanafunzi wako
"waambie wanafunzi wako waache kufanya mambo haya"
Nawaambieni
Yesu alisema hivi kuonyesha msisitizo wa alichotaka kukisema baadae.
Hawa wakinyamaza
Tafsiri zingine zinahitaji kuweka wazi kile ambacho Yesu alikuwa ikimaanisha pale aliposema 'Hapana, mimi sitawakemea, kwa maana hwa watu wakikaa kimya.'
Mawe yatapaza sauti
"Mawe yatasifu"
Luke 19:41-42
Kukaribia
"Kusogelea" au "kuwa karibu"
Mji
Hii inamaanisha Yerusalemu.
Aliulilia
Neno "ule" linamaanisha mji wa Yerusalemu, lakini linawakilisha watu wanaoishi ndani ya mji huo.
Laiti ungelijua
Huu ni mshangao. Yesu alionyesha huzuni yake kwamba watu wa Yerusalemu hawakujua mambo haya. Maelezo haya yanaweza kuongezwa mwishoni mwa sentensi "hivyo mngeweza kuwa na amani." "Natamani mtambue au "nina huzuni kwa kuwa hamjui."
Wewe
Neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji.
Yanmefichwa machoni pako
"Hamuawezi kuona tena" au "hamkuweza kufahamu"
Luke 19:43-44
Maelezo yanayounganisha
Yesu akaendelea kuongea.
Kwa
Kilichofuata ni sababu ya Yesu kuhuzunika.
Siku zinakuja juu yako
Hii inaonyesha kwamba wangepitia nyakati ngumu. Baadhi ya lugha hawaongelei juu ya wakati ujao. 'Katika siku zijazo mambo haya yatatokea kwako' au 'hivi karibuni utavumilia wakati mgumu.'
Wewe
neno 'wewe' ni umoja kwa sababu Yesu alikuwa akizungumza na mji. Lakini kama hii haitakuwa na uhalisia katika lugha yako, unaweza kutumia wingi wa "wewe" kwa kutaja watu wa mji.
Boma
Boma ni ukuta unaolinda watu wasitoke nje ya mji.
Watakuangusha chini kwenye ardhi
Kwa kuwa Yesu alikuwa akiongea na mji, hii inaelezea ukuta na wajenzi wa ukuta wa mji. "Wataharibu kuta zako" au "Wataharibu kuta zako."
Na watoto wako pamoja nawe
Hii inaelezea watu wanaoishi kwenye mji. "na watawaua watu wa kwenye mji."
Hawataacha jiwe moja juu ya lingine
Huu ni mfano unaoelezea namna ambavyo maadui wataharibu kabisa mji uliojengwa kwa mawe. "Hawataacha jiwe lolote kwenye eneo hilo."
Haukulitambua hilo
"haukulijua"
Luke 19:45-46
Maelezo yanayounganisha:
Hili ni tukio lingine kwenye sehemu hii ya simulizi. Yesu aliingia hekaluni.
Kufukuza
"Kutoa nje" au "kutoa kwa nguvu nje"
Imeandikwa
Hii imenukuliwa toka Isaya. "Maandiko yanasema" au "Nabii aliandika maneno haya kwenye maandiko"
Nyumba yangu
Neno "yangu" inamuelezea Mungu na "nyumba" linaelezea hekalu.
Nyumba ya sala
"sehemu ambayo watu wananiomba"
Pango la wanyang'anyi
"sehemu ambayo wanyang'anyi wanajificha." "Kama pango la wanyang'anyi."
Luke 19:47-48
Maelezo yanayounganisha.
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi hii. Aya hizi zinaelezea kuhusu hatua inayoendelea baada ya sehemu kuu ya simulizi kuisha.
Hekaluni
'Hekaluni' au 'kwenye hekalu'
Makuhani wakuu
'Mwenye cheo cha juu cha makuhani' 'makuhani muhimu zaidi '
Walikuwa wakisikiliza kwa makini
"Walisikiliza kwa makini kile alichokuwa akikisema Yesu"
Luke 20
Luke 20:1-2
Maelezo yanayounganisha
Makuhani wakuu, mafarisayo na wazee walimuuliza Yesu hekaluni.
Ikawa
neno hili linaonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Luke 20:3-4
Taarifa ya jumla
Yesu anawajibu wakuu wa makuhani, mafarisayo na wazee.
aliwajibu na kuwaambia
"Yesu akawajibu"
Ilitoka mbinguni au kwa watu?
Yesu alijua mamlaka ya Yohana ilitoka mbinguni, Aliuliza swali ili vingozi wa kiyahudi waseme wanavyofikiri kwa wote waliowasikiliza. "mnafikiri mamlaka ya Yohana yalitoka mbinguni au kwa wanadamu?" au "mnadhani Mungu alimwambia Yohana abatize watu au watu walimwambia afanye hivyo?"
Toka mbingini
"toka kwa Mungu" Wayahudi waliepuka kumtaja Mungu kama "Yawe". Mara nyingi wanatumia neno "Mbingu" kumuelezea
Luke 20:5-6
Walijadiliana
"Walijadili" au "walitafakari jibu lao"
"tukisema imetoka mbinguni'
Lugha nyingine zinatumia nukuu ya moja kwa moja. "Kama tukisema mamlaka ya Yohana yalitoka Mbinguni"
Toka mbinguni
"Toka kwa Mungu" inategemea na namna ambavyo swali lilitafsiriwa kwenye mistari iliyopita, hii inaweza kutafsiriwa kama "Mungu alifanya" au "Mungu alimpa mamlaka"
Atasema
Yesu atasema
kutupia mawe
"Kutuua kwa kutupiga mawe" Sheria ya Mungu imeamuru watu wake kuwapiga mawe watu wanaomdhihaki yeye au manabii zake.
Luke 20:7-8
Ndipo wakamjibu
"ndipo wakuu wa makuhani na mafarisayo na wazee wakamjibu" Neno "ndipo" linaonyesha tukio limetokea kutokana na tukio limgine lililotokea kabla.
Walijibu kuwa hawakujua ilikotoka
Wakasema, "hatujui ilipotoka"
Imetoka wapi
"Yohana mbatizaji alitoka wapi." Mamlaka aliyokuwa nayo Yohana ya kubatiza yalitoka wapi" au "nani alimpa mamlaka Yohana ya kubatiza watu."
Nami sitawaambia
"Na sitawaambia" au "kama ambavyo hamniambii basi na mimi siwaambii"
Luke 20:9-10
Taarifa ya jumla
Yesu alaanza kuwaambia mfano watu waliokuwa hekaluni
Aliwakodisha wakulima wa mzabibu
"aliwaruhusu baadhi ya wakulima wa mizabibu watumie kwa mabadilishano ya pesa" au "aliwaruhusu wakulima wa mizabibu walitumie ba baadae wamlipe pesa"
Wakulima wa mizabibu
Watu ambao hupanda na kukuza mizabibu. "wakulima wa mizabibu"
matunda ya shambani
"Baadhi ya mizabibu" au "baadhi ya walichozalisha kwenye shamba." Pia inaweza kuelezea vitu amabavyo vinatokana na zabibu au pesa zinazotokana na mauzo ya zabibu
Wakamrudisha mikono mitupu
"wakamrudisha bila kumlipa" au "wakamrudisha bila mizabibu"
Luke 20:11-12
Wakamtendea vibaya
"Wakamdhalilisha"
Wakamjeruhi
"wakamsababishia majeraha"
Na wa tatu
Hata mtumishi wa tatu au na mtumishi mwingine. Neno
Luke 20:13-14
Wakati Wakulima wa mizabibu walipomuona
"wakati wakulima walipomuona mtoto wa mwenye shamba"
Tumuue
Walisema hivyo ili kutiana moyo kuua
Luke 20:15-16
Maelezo yanayounganisha
Yesu alimaliza kuwaambia mfano wake kwa makutano.
Walimtupa nje ya shamba
"Wakulima wa mzabibu walimtoa kwa nguvu mwana wa mwenye shamba nje ya shamba
Je bwana shamba atawafanya nini?
Yesu alitumia maswali ili wasikilizaji wake wawe makinijuu ya atakayoyafanya mwenye shamba. "sasa sikilizeni je Bwana shamba atawafanya nini."
Yasitokee haya
"Mungu ayaepushe yasitokee haya" au "Isitokee kamwe" Watu wanaelewa mfano huu kuwa unamaanisha kuwa Mungu atawaondoa Yerusalemu kwa kuwa wamemkataa Mesia. Wanaelezea kwa nguvu shauku yao kuwa jambo hili baya lisitokee.
Luke 20:17-18
Maelezo yanayounganisha
Yesu anaendelea kuwafundisha makutano
Yesu akawaangalia
"Lakini yesu akawatazama" au "Lakini Yesu akawaangalia moja kwa moja." Alifanya hivi ili wamuelewe alichokuwa anakisema.
Andiko hili lina maana gani?
"Andiko hili linaelezea nini?" Yesu alitumia maswali kuwauliza makutano. "Mnatakiwa kuwa na uwezo kuelewa aandiko hili"
Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la msingi
Fumbo hili ni unabii toka kitabu cha Zaburi kuhusu namna watu watakavyomkataa Masiha.
Jiwe walilolikataa
"Jiwe walilolikataa waashi wakisema halikuwa zuri kwa ajili ya ujenzi." Kipindi hicho watu walijenga kuta za nyumba na majengo mengine kwa kutumia mawe.
Limekuwa jiwe la msingi
Hili lilikuwa jiawe la muhimu kwa kufanya jengo liwe imara. "Limekuwa jiwe la Msingi" au "limekuwa jiwe la Muhimu"
Kila atakayeanguka kwenye jiwe hilo.
"Yeyote atakayeanguka kwenye jiwe hilo". Fumbo hili ni unabii kuhusu kitakachotokea kwa wote watakaomkataa Mesia.
Atavunjika vipande vipande
"Atavunjika vipande vipande." Haya ni matokeo ya kuanguka kwenye jiwe.
Lakini kwa yeyote ambaye litamwangukia
"Lakini kwa yeyote ambaye jiwe litamwangukia." Fumbo hili linaonyesha unabii kuhusu Mesia atakapowahukumu waliomkataa.
Luke 20:19-20
Walitaka kumkamata
"walitafta njia ya kumkamata Yesu"
Wakati huo huo
Mda huo huo
Walikuwa wanawaogopa watu
Hii ndiyo sanbabu hawakumkamata Yesu moja kwa moja. Watu walimuheshimu Yesu na viongozi wa dini waliogopa kile ambacho watu wangekifanya ikiwa wangemkamata Yesu. "Lakini hawakumkamata kwa kuwa waliwaogopa watu."
Walituma wapelelezi
"Mafarisayo na Makuhani wakuu walituma wapelelezi kumuangalia Yesu"
Kama watapata kosa kwenye hotuba zake
"kwa kuwa walitaka kumtuhumu Yesu kwa kusema jambo baya"
ili kumpeleka
"ili kumpeleka kwa" au "ili kumkabidhi kwa"
Kwa uongozi na mamlaka ya Gavana
Kuongoza na mamlaka ni njia mbili za kuelezea kitu kimoja.
Luke 20:21-22
Maelezo yanayounganisha.
Hapa ni mwanzo wa tukio linalofuata kwenye sehemu ya simulizi hii. Muda sasa umepita tangu Yesu alipoulizwa maswali hekaluni na Makuhani wakuu. Wapelelezi sasa wanamuuliza Yesu.
Hawakushawishiwa na mtu yeyote.
Inamaanisha 1)wewe sema ukweli hata kama watu wa muhimu hwatapenda" au 2)"usimpendelee mtu mmoja juu ya mwingine."
Lakini fundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu
Hii ni sehemu waliyosema wapelelezi kwamba wanafahamu kuhusu Yesu.
Je ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari.
Walitegemea kuwa Yesu atasema "ndio" au "hapana." Angesema "ndio" Wayahudi wangemkasirikia kwa kusema walipe kodi kwa serikali ya kigeni. Angesema "hapana" viongozi wa dini wangewaambia warumi kuwa Yesu aliawafundisha watu kuvunja sheria za warumi.
Ni halali
Walimuuliza Yesu kuhusu sheria za Mungu na sio sheria za Kaisari. "shheria zetu zinaruhusu."
Kaisari
kwa sababu kaisari alikuwa kiongozi wa serikali ya Roma hivyo wanaielezea serikali ya Roma kwa jina la Kaisari.
Luke 20:23-24
Yesu alielewa mtego wao
"lakini Yesu alitambua mtego wao ulivyokuwa" au " lakini Yesu alione kuwa walikuwa wanajaribu wanamtega" neno "wao" linamaanisha wapelelezi"
Dinari
Hii ni sarafu ya Kirumi yenye thamani ya mshahara wa siku.
Ni sura na chapa ya nani ipo juu yake
Yesu alitumia swali kuwajibu waliokuwa wanamtega.
Sura na chapa
"picha na jina"
Luke 20:25-26
Maelezo yanayounganisha
Hapa ni mwisho wa tukio hili kuhusu wapelelezi na sehemu ya simulizi inayoanza
Aliwaambia
"Kisha Yesu akawaambia"
Kaisari
Hapa "Kaisari" anamaanisha serikali ya Rumi
Hatukuweza kukosoa alichokisema
"hatukuweza kupata chochote kibaya kwa aliyoyasema"
Wakastaajabu
"Walishangaa" au wali
Luke 20:27-28
Taarifa ya jumla
Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. hatufahamu ilitokea wapi, japo inaweza kuwa wapo hekaluni. Yesu anaongea na Masadukayo.
Waliokuwa wanasema kuwa hamna ufufo
Maneno haya yanatambulisha Mawadukayo ambao ni kundi la Wayahudi wanaosema hakuna atakayefufuliwa toka kwa wafu. Haimaanishi kuwa baadhi ya masadukayo wanaamini kuwa kuna ufufuo na wengine hawaamini.
Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake aliyekuwa na mke na hana mtoto.
"Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake wakati ana mke lakini hawana watoto"
mtu atamchukua mke wa kaka yake
"mtu atamuoa mjane aliyefiwa na mume wake"
Luke 20:29-33
Maelezo yanayounganisha
Masadukayo wakamaliza kumuuliza Yesu maswali.
Taarifa ya jumla
Masadukayo walimwambia Yesu simulizi fupi kwenye mstari wa 29-32. Hii ni simulizi waliyoiweka kama mfano. kwenye mstari wa 33, walimuuliza Yesua swali kuhusu simulizi hiyo.
Walikuwepo ndugu saba
Hii inaweza kuwa imetokea au ni simulizi iliyotengenezwa ili kumjaribu Yesu.
Walikufa bila kuwa na watoto
"kufa bila kuwa na mtoto" au "na kufa lakini hawakuwa na mtoto yeyote"
Na wa pili pia
"wa pili alimuoa na kitu kilekile kikatokea" au "ndugu wa pili akamuoa na akafa bila kupata watoto"
Wa tatu akamchukua
"wa tatu akamuoa"
vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa
"kwa njia ileile kama ndugu wote saba walimuoa na hawakupata watoto wa wakafa.
Kwenye ufufuo
"wakati watu watafufuliwa toka kwa wafu" au "wakati waliokufa wanakuwa hai tena." Baadhi ya lugha wananjia ya kuonyesha kuwa masadukayo hawaamini kuwa kuna ufufuo.
Luke 20:34-36
Maelezo yanayounganisha
Yesu anaanza kuwajibu Masadukayo
Wana wa ulimwengu huu
"Watu wa ulimwengu huu" au "watu wa nyakati hizi." Hii inapingana na wale walioko mbingini na watu watakaoishi baada ya ufufuo.
Kuoa na kuolewa
Kwa tamaduni hiyo wanaongelea juu ya mwanaume kumuoa mwanamke na mwanamke kupelekwa kwenye ndoa kwa mume wake "kuolewa."
Wao wanaostahili
"watu ambao Mungu anawaona kuwa wanastahili"
Kupokea ufufuo toka kwa waliokufa
"kufufuliwa toka kwa wafu" au "kufufuka toka kwa wafu"
Hawataoa wala hawataolewa
"Hawataoa." Hii ni baada ya ufufuo.
Hawatakufa tena
Hii ni baada ya ufufuo. "Hawatakuwa na uwezo wa kufa tena."
na wana wa Mungu watakuw wana wa ufufuo
"ni watoto wa Mungu maana amewatoa toka kwenye kifo"
Luke 20:37-38
Maelezo yanayounganisha.
Yesu alimaliza kuwajibu Masadukayo.
Lakini wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyeshwa.
Neno "hata" lipo hapo kwa sababu Masadukayo hawakushangazwa na baadhi ya maandiko kuwa wafu wanafufuliwa, ila hawakutegemea kama Musa angeandika kitu kama hicho. "Lakini hata Musa alionyeshwa kuwa wafu wanafufuliwa"
Mahali panapohusu kichaka
"kwenye sehemu ya maandiko ameandika kuhusu kichaka kinachowaka moto" au "kwenye maandiko kuhusu kichaka kinachowaka moto"
Alipomuita Bwana
Ambapo Musa alimuita Bwana
Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo
"Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo" walimuabudu Mungu huyuhuyu.
Sasa
Neno hili limetumika kuonesha ukomo wa mafundisho makuu. hapa Yesu anaelezzea namna ambavyo simulizi hii inathibitisha kuwa watu wanafufuliwa.
Sio Mungu wa waliokufa bali wa waliohai
Sentensi hizi zina maana moja lakini ni mbili kwa ajili ya kusisitiza. Lugha nyingine zina namna tofauti ya kuonyesha msisitizo. " Bwana ni Mungu wa walio hai katika uzima wa milele"
Kwa sababu wote wanaishi kwake
"kwa sababu kwenye macho ya Mungu wote wapo hai." "kwa sababu Mungu anajua ruho zao zipo hai"
Luke 20:39-40
Baadhi ya mafarisayo wakajibu
"Baadhi ya mafarisayo wakamwambia Yesu." walikuwepo mafarisayo wakati Masadikayo walipokuwa wakimuuliza Yesu maswali.
Hawakuthubutu kumuuliza
"waliogopa kumuuliza" au hawakujitoa kumuuliza." hawakuendelea kumuuliza maswali ya mitego maana waliogopa majibu yake yenye hekima yatawafanya waonekane wajinga tena."
Luke 20:41-44
Taarifa ya jumla
Yesu aliwauliza Mafarisayo swali.
"Kwa nini wanasema.... mwanangu"?
Yesu alitumia swali kuwafanya mafarisayo wafikiri alichokuwa anakisema. "Tuwafikirie walivyosema... mwanangu" au "Nitaongea kuhusu wao wakisema... mwanangu"
Mwana wa Daudi.
"Kizazi cha Mfalme Daudi" Neno "mwana" limetumika kuelezea kizazi. Kwa sababu hii inamuelezea atakayetawala juu ya ufalme wa Mungu.
Bwana akasema kwa Bwana wangu
Hii imenukuliwa kutoka katika kitabu cha zaburi inasema "Yaweh" na mara nyingine inasema "Bwana" "Bwana Mungu akasema kwa Bwana wangu" au "Mungu akasema kwa Bwana wangu"
Bwana wangu
Daudi alikuwa akimuelezea Kristo kama "Bwana wake"
Mkono wangu wa kulia
upande wa kulia ni sehemu ya heshima. Mungu alimuheshimu Mesiya kwa kusema "keti upende wangu wa kulia"
Mpaka nitakapowaweka adui zako chini yako
Mpaka nitakapowashinda adui zako
Amekuwaje mwana wa Daudi?
"Imekuwaje Kristo akaawa mwana wa Daudi" "hii inaonyesha kuwa Kristo sio
Luke 20:45-47
Maelezo yanayounganisha
Sasa Yesu alikuwa anaelekeza umakini wake kwa wanafunzi wake na kuzungumza nao.
Jihadharini na
Kujihadhari navyo
Ambao hupenda kupita wamevaa mavazi marefu
Mavazi marefu yanaonyesha kuwa walikuwa wa muhimu. walipenda kupitapita wakiwa wamevaa nguo zao za muhimu"
Ambao Pia hula nyumba za wajane
"Pia wanakula kwenye nyumba za wajane" "Pia wanachukua kile kinachomilikiwa na wajane"
Wanajifanya wanasali sala ndefu
"wanajifanya kuwa ni wenye haki na huomba maombi marefu" au "huomba maombi maraefu ili watu wawaone"
Kujifanya
hii inamaanisha Mafarisayo walifanya mambo yaliyowafanya waonekane wana umuhimu na wenye haki kuliko walivyo kiuhalisia.
Hawa watapokea adhabu kubwa.
"Watapokea adhabu kubwa kuliko wengine" au "Mungu atawaadhibu zaidi ya wengine"
Luke 21
Luke 21:1-4
mjane mmoja maskini
Hii ni namna ya kutambulisha mtu mpya katika hadithi
zawadi
"zawadi za fedha"
hazina
"sanduku la makusanyo" au "sanduku la fedha". Hili lilikuwa moja ya masanduku pale hekaluni ambapo watu huweka fedha kama zawadi kwa Mungu.
senti mbili
"sarafu mbili ndogo" au "sarafu za shaba ndogo sana". Hizi zilikuwa ni sarafu zenye thamani ndogo sana ambazo watu walizitumia siku hizo.
Nawaambieni
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo
Tafsiri mbadala:"kuwa na fedha nyingi na kutoa baadhi ya hizo"
katika umaskini wake, ametoa zote
Tafsiri mbadala:"alikuwa na vichache sana, na bado aliweka vyote"
Luke 21:5-6
matoleo
"vitu ambavyo watu walimpa Mungu"
siku zitakuja ambazo
"kutakuwa na nyakati ambapo" au "siku fulani"
hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine
"kila jiwe litatolewa mahali pake." Tafsiri mbadala: "adui hawataliacha jiwe juu ya jiwe juu ya jiwe jingine."
ambalo halitabomolewa
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Yote yatabomolewa chini" au " Adui watabomoa chini kila jiwe."
Luke 21:7-9
wakamuuliza
"wanafunzi wakamuuliza Yesu" au "Wanafunzi wa Yesu wakamuuliza"
mambo haya
Hii inarejea kile ambacho Yesu amesema kuhusu adui kuliharibu hekalu.
kwamba msidanganywe
Yesu alikuwa akiwaambia wanafunzi wake.Tafsiri mbadala: "kwamba msiamini uongo" au "kwamba hakuna mmoja wa kuwadanganya."
kwa jina langu
Tafsiri mbadala: "wanadai kuwa mimi" au "wanadai kuwa na mamlaka yangu"
msiogope
"Msiruhusu haya mambo yawaogofye" au "msiogope"
mwisho hautatokea upesi
Tafsiri Mbadala: "mwisho wa dunia hautatokea upesi baada ya vita na vurugu" au "dunia haitafikia mwisho upesi baada ya mambo hayo kutokea"
mwisho
" mwisho wa kila kitu" au "mwisho wa miaka"
Luke 21:10-11
Kisha akawaambia
"Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake." Kwa sababu huu ni mwendelezo wa kuongea kwa Yesu kutokea kwenye mstari wa nyumba, baadhi ya lugha zisingependelea kusema "Kisha akawaambia."
Taifa litainuka kupigana na taifa jingine
Tafsiri mbadala: "taifa moja litashambulia taifa jingine"
Taifa
Hii inamaanisha makundi ya watu ya kikabila kuliko nchi.
Ufalme juu ya ufalme mwingine
Tafsiri mbadala: "Ufalme utainuka juu ya ufalme mwingine" au "majeshi kutoka ufalme mmoja utashambulia majeshi kutoka ufalme mwingine"
njaa na tauni
"kutakuwa na njaa na tauni" au "nyakati za njaa na magonjwa yanayouwa watu wengi"
matukio ya kutisha
"matukio yanayotisha watu" au "matukio yanayosababisha watu kuogopa sana"
Luke 21:12-13
mambo haya
Hii inamaanisha mambo mabaya ya kutisha ambayo Yesu alisema yatatukia.
wataweka mikono yao juu yenu
Tafsiri mbadala: "watawakamata" au "watawashika"
wata...
"watu wata.." au "adui wata..."
yenu
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
kuwapeleka kwenye masinagogi
"kuwatoa ninyi kwa viongozi wa masinagogi." Viongozi wa masinagogi wangewakataza Wayahudi wengine wote kuingiliana na wanafunzi kwa sababu wanamfuata Yesu.
na magereza
"na kuwapeleka ninyi magerezani" au "na kuwaweka ninyi magerezani"
kwa sababu ya jina langu
Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi"
kwa ushuhuda wenu
"kwa ninyi kuwaambia wao ushuhuda wenu kunihusu mimi"
Luke 21:14-15
Kwahiyo
"Kwa sababu ya hili." Yesu anatumia neno hili hapa kurejea kwenye kila kitu alichokisema.
amueni mioyoni mwenu
Tafsiri mbadala: "zingatieni akilini mwenu" au "amua kiuthabiti"
kutoandaa utetezi wenu
"kutokufikiri nini ambacho mtasema ili kujitetea kinyume cha mashitaka yao"
nitawapa maneno na hekima
"Nitawaambia maneno gani ya hekima ya kusema"
maneno na hekima
Tafsiri mbadala: "maneno ya hekima"
ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikataa kwamba ni uongo.
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Adui zenu hawataweza kubishana na ninyi au kusema kwamba hamko sahihi" au "Adui zenu lazima wakubali kwamba mko sahihi."
Luke 21:16-19
mtatolewa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu.
Tafsiri mbadala: "wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu watawapeleka kwa wenye mamlaka"
watawaua baadhi yenu
"watawaua baadhi yenu." Pia inaweza kutafsiriwa kama 1) "wenye mamlaka watawaua baadhi yenu" au 2) "wale ambao watawaleta watawaua baadhi yenu." tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi.
kwa sababu ya jina langu
Tafsiri mbadala: "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mnanifuata mimi"
lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Hii inaonyesha sehemu ndogo sana ya kiungo cha mwanadamu kusisitiza kwamba mtu katika ukamilifu wake hatapotea. Yesu aliishasema kwamba baadhi yao wanaweza kuuwawa. Kwahiyo baadhi walielewa kwamba hawatadhurika kiroho. Tafsiri mbadala: "Lakini mambo haya hayawezi kweli kuwadhuru ninyi" au "Hata kila unywele juu ya vichwa vyenu utakuwa salama.
katika kuvumilia kwenu
"kwa kusimama thabiti." Tafsiri mbadala: "Kama hamtaacha."
mtaziponya nafsi zenu
"mtapokea uzima" au "mtaishi milele"
Luke 21:20-22
Yerusalemu imezungukwa na majeshi
Tafsiri mbadala: "Majeshi yanauzunguka Yerusalemu"
kwamba uharibifu wake umekaribia
"kwamba itaharibiwa hivi karibuni" au "kwamba watauharibu muda si mrefu"
kimbia
"kimbia mbali kutoka kwenye hatari"
hizi ni siku za kisasi
"hizi ni siku za adhabu" au "huu ni wakati ambapo Mungu atauadhibu mji"
mambo yote yaliyoandikwa
Tafsiri mbadala: "mambo yote ambayo manabii wameandika katika maandiko matakatifu zamani za kale"
yatatimilika
Tafsiri mbadala: "yatatokea"
Luke 21:23-24
kutakuwa na adha kuu juu ya nchi
Yaweza kutafsiriwa kama 1) watu wakaao katika nchi watadhikika au 2) kutatokea maafa kabisa katika nchi.
ghadhabu kwa watu hawa
"kutakuwa na ghadhabu kwa watu hawa." Tafsiri mbadala: "hawa watu watapata uzoefu wa hasira ya Mungu" au "God atakasirika sana na atawaadhibu watu hawa."
wataanguka kwa ncha ya upanga
"watauwawa kwa ncha ya upanga." Tafsiri mbadala: "maaskari maadui watawauwa.
watachukuliwa mateka kwa mataifa yote
Tafsiri mbadala: "Maadui zao watawakama na kuwapeleka nchi nyingine"
Yerusalemu itakanyagwa na watu wa mataifa
Inaweza kutafsiriwa kama 1) watu wa Mataifa wataushinda Yerusalemu na kuukalia au 2) watu wa Mataifa watauharibu mji wa Yerusalemu au 3) watu wa Mataifa watawaharibu watu wa Yerusalemu.
wakati wa watu wa Mataifa umekamilika
Tafsiri mbadala: "wakati wa watu wa Mataifa umefika mwisho"
Luke 21:25-26
kutakuwa na dhiki ya mataifa
Tafsiri mbadala: "watu wa mataifa mbalimbali watadhikika" au "watu wa mataifa mbalimbali watakuwa na fadhaa nyingi"
katika hofu kutokana na mlio wa bahari na mawimbi
"kwa sababu watachanganywa na mlio wa bahari na mawimbi" au "sauti kubwa ya bahari na machafuko yake yatawatisha watu." Hii inaoneka kumaanisha dhoruba isiyokuwa ya kawaida au machafuko yanayotokea baharini.
mambo yatakayotokea juu ya dunia
"mambo ambayo yatatokea duniani" au "mambo yatakayotokea kwa dunia"
nguvu za mbingu zitatikiswa
Inaweza kutafsiriwa kama 1) vitu vya huko angani kama jua, mwezi, na nyota hazitaenda kwa utaratibu wake wa kawaida au 2) roho zenye nguvu sana huko mbinguni zitafadhaishwa. Tafsiri ya kwanza inapendekezwa. Tafsiri mbadala: "Mungu atatikisa vitu vyenye nguvu huko mbinguni.
Luke 21:27-28
Mwana wa Adamu
Yesu anarejea kwake mwenyewe
akija mawinguni
Tafsiri mbadala: "akija chini katika mawingu"
katika nguvu na utukufu mkuu
Hapa "nguvu" inawezekana inarejea katika mamlaka yake kuuhukumu ulimwengu. Hapa "utukufu" unaweza kurejea mwanga angavu. Mungu wakati mwingine anaonyesha ukuu wake na mwanga angavu sana. Tafsiri mbadala: "a nguvu na utukufu" au "atakuwa na wa nguvu na wa utukufu sana."
simameni
Wakati mwingine watu wanapoogopa, hujiinamisha chini ili kuepuka kuonekana au kuumizwa. Wakati wanapokuwa hawaogopi tena, wananyanyuka. Tafsiri mbadala: "simameni na ujasiri."
inueni vichwa vyenu
Tafsiri mbadala: "tazameni juu." Kwa kutazama juu, wataweza kumuona mwokozi akija kwao.
kwa sababu ukombozi wenu unasogea karibu
Tafsiri mbadala: "kwa sababu mkombozi wenu anakuja kwenu" au "kwa sababu Mungu mara atawaokoa"
Luke 21:29-31
Inapopukutisha majani yake
"Wakati majani yake yaanzapo kukuwa"
mnajionea wenyewe na kutambua
Tafsiri mbadala: "watu wanajionea wenyewe na kutambua"
kiangazi tayari kiko karibu
"kiangazi kiko karibu kuanza." Kiangazi katika Israel ni wakati wa ukavu sana, hivyo mazao huvunwa mwanzo wa kiangazi. Tafsiri mbadala: "wakati wa mavuno u tayari kuanza."
ufalme wa Mungu u karibu
Mungu atausimamisha ufalme wake hivi karibuni" Tafsiri mbadala: Mungu atatawala kama Mfalme hivi karibuni."
Luke 21:32-33
kizazi hiki
Inaweza kutafsiriwa kama 1) kizazi ambazho kitaona moja ya ishara ambazo Yesu aliziongelea au 2) kizazi amacho Yesu alikuwa anakizungumzia. Tafsiri ya kwanza ni kama iko sahihi zaidi.
hakitapita, mpaka
Tafsiri mbadala: "kitakuwa bado hai wakati..."
Mbingu na nchi zitapita
"Mbingu na nchi zitakoma kuwepo." Neno "mbingu" hapa linamaanisha anga na ulimwengu mwingine juu yake.
maneno yangu hayatapita
"maneno yangu hayatakoma kuishi" au "maneno yangu hayatashindwa kamwe." Tafsiri mbadala: "Nikisemacho hakika kitatokea."
Luke 21:34-35
ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa
Tafsiri mbadala: "ili msije mkawa mmetingwa na"
ufisadi
"tamaa isiyoweza kuzuiwa" au " kujiweka kwenye kutamani na kutumia vitu ambavyo vinakufanya ujisikie vizuri." Tafsiri mbadala: "Anasa nyingi."
mahangaiko ya maisha haya
"kujitaabisha au kujihangaisha sana kuhusu maisha haya"
kwa sababu siku ile itawajia ghafula
Wengine wangependa kuongeza habari elekezi: "Kwamba kama hamtakuwa waangalifu ile siku itawajia ghafula." Ujio wa siku hiyo utaonekana kuwa wa ghafula na wakutotarajiwa kwa wale ambao hawako na hawaisubiri.
ile siku
Tafsiri mbadala: "siku ambayo Mwana wa Adamu atakuja"
ghafula kama mtego
Tafsiri mbadala: "wakati ambapo hamuitarajii, kama mtego unapofunga ghafula kwa mnyama"
itakuwa juu ya kila mmoja
"itamuathiri kila mmoja" au "tukio la siku hiyo litamuathiri kila mmoja"
katika uso wa dunia nzima
Tafsiri mbadala: "katika eneo la dunia nzima" au "juu ya dunia nzima"
Luke 21:36
imara vya kutosha kuyaepuka haya yote
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "imara vya kutosha kuyavumilia haya mambo" au 2) "kuweza kuyaepuka haya mambo."
haya yote yatakayotokea
"mambo haya yatakayotokea." Yesu alikuwa amewaambia si muda mrefu juu ya mambo mabaya ambayo yangetokea kama vile kuteswa, vita, na kuchukuliwa mateka.
kusimama mbele za Mwana wa Adamu
"Kusimama kwa ujasiri mbele ya Mwana wa Adamu." Hii inaweza kumaanisha wakati ambapo Mwana wa Adamu anamhukumu kila mmoja. Mtu ambaye hayuko tayari atamuogopa Mwana wa Adamu na hataweza kusimama kwa ujasiri.
Luke 21:37-38
wakati wa mchana alikuwa akifundisha
"wakati wa mchana angeweza kufundisha." Mistari inayofuata kuhusu vitu ambavyo Yesu na watu walifanya kila siku katika wiki kabla hajafa.
hekaluni
Tafsiri mbadala: "katika hekalu" au "kwenye uwanja wa ndani wa hekalu"
usiku alitoka nje
"usiku angeliweza kwenda nje ya mji" au "alikwenda nje kila usiku"
Watu wote
Tafsiri mbadala: "idadi ya watu wengi sana" au "karibu kila mmoja"
walimuijia asubuhi na mapema
"wangekuja asubuhi na mapema" au "walikuja mapema sana kila asubuhi"
kumsikiliza
"kumsikiliza akifundisha"
Luke 22
Luke 22:1-2
Maelezo ya ujumla:
Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. Yuda anakubali kumsaliti Yesu. Mistari hii inatupa taarifa za msingi kuhusu sehemu hii ya simulizi.
Basi
Neno hili linatumika hapa sehemu mpya ya simulizi
sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu
sikukuu hii ilikuwa inaitwa kwa jina hili kwa sababu wakati wa sikukuu, Wayahudi hawakula mkate ambao ulikuwa umetengenezwa na chachu. Tafsiri mbadala: "Sikukuu ambapo wangekula mkate usiyotiwa chachu"
Mkate usiyotiwa chachu
Huu ni mkate ambao hauna chachu au hamila ili kuufanya uumuke. Tafsiri mbadala: "Mkate bila Hamila."
ilikuwa imekaribia
"ilikuwa tayari sana kuanza"
namna ya kumuua Yesu
Makuhani na waandishi hawakuwa na mamlaka ya kumuua Yesu wao wenyewe, lakini walitegemea kupata watu wengine wa kumuua. Tafsiri mbadala: "Namna gani ambavyo wangesababisha Yesu kuuwawa" au "namna ambavyo wangesababisha mtu amuuwe Yesu."
waliwaogopa watu
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "walikuwa na wasiwasi wa kile ambacho watu wangefanya" au 2) "walikuwa na wasiwasi kwamba watu wangemfanya Yesu mfalme."
Luke 22:3-4
Maelezo ya ujumla:
Huu ndio mwanzo wa matukio katika sehemu hii ya simuli.
Yesu akaingia ndani ya Yuda Iskariote
Hii inawezekana ilikuwa sawa na kupagawa na pepo.
wakuu wa makuhani
"viongozi wa makuhani"
wakuu
'viongozi wa walinzi wa hekalu'"
namna ambavyo atamkabidhi Yesu kwao
Tafsiri mbadala: "namna ambavyo angewasaidia kumkamata Yesu"
Luke 22:5-6
Wali..
"Wakuu wa makuhani na wakuu"
kumpa fedha
"kumpa Yuda fedha"
alilidhia
"alikubali"
alitafuta fursa ya kumkabidhi Yesu kwao mbali na kundi la watu
hiki ni kitendo kinachoendelea baada ya sehemu hii ya simulizi kuisha.
kumkabidhi
"kuwasaidia kumkamata Yesu"
mbali na kundi la watu
"kwa usiri" au "wakati ambapo hakuna kundi la watu wakimzunguka"
Luke 22:7-9
Maelezo ya ujumla:
Hii ni sehemu nyingine ya simulizi. Yesu anawatuma Petro na Yohana kuandaa kwa ajili ya chakula cha Pasaka. Mstari wa saba utatupa habari au taarifa za msingi kuhusu simulizi inavyoanza.
Siku ya mkate usiyotiwa chachu
"Siku ya mkate bila hamila" au "Siku ya chapati." Hii ilikuwa ni siku ambayo Wayahudi wangetoa nje ya nyumba zao mikate yote ambayo ilikuwa imetengenezwa na hamila. Kisha wangesherehekea sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu au hamila kwa siku saba.
kondoo wa Pasaka lazima atolewe
Kila familia au kikundi cha watu wangemchinja kondoo na kumla pamoja, hivyo kondoo wengi sana walichinjwa. Tafsiri mbadala: "watu ilikuwa lazima wachinje kondoo kwa ajili ya chakula cha Pasaka."
ili tuje tukile
Yesu alikuwa anawajumuisha Petro na Yohana aliposema "tu.." Petro na Yohana wangekuwa sehemu ya kundi ambalo lingekula chakula kile.
mkatuandalie
Hili ni neno la kiujumla linalomaanisha "fanya tayari." Yesu si kwamba alikuwa akiwaambia Petro na Yohana kufanya mapishi yote.
unataka tufanyie hayo maandalizi
Neno "tu.." halimuhusishi Yesu. Yesu asingekuwa sehemu ya kundi ambalo lingeandaa chakula kile.
tufanye maandalizi
"kufanya maandalizi ya chakula" au "kuandaa chakula"
Luke 22:10-11
Akawajibu
"Yesu akawajibu Petro na Yohana"
mwanaume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi.
"mtamuona mtu amebeba mtungi wa maji"
amebeba mtungi wa maji
"amebeba mtungi wenye maji ndani yake." Inawezekana angekuwa amebeba mtungi begani mwake.
Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia
Tafsiri mbadala: "Mfuateni, na ingieni kwenye hiyo nyumba"
Mwalimu anakwambia
Hii inaanzisha nukuu elekezi ambapo Yesu aliwaambia wanafunzi wake nini cha kusema.
Mwalimu
Hii inaongela juu ya Yesu.
Kula Pasaka
"kula mlo wa Pasaka"
Luke 22:12-13
Atawaonyesha
"Mwenye nyumba atawaonyesha"
ghorofani
"vyumba vya juu ya nyumba"
Hivyo wakaenda
"Hivyo Petro na Yohana wakaenda"
Luke 22:14-16
Nina shauku kubwa
"Nimetaka sana"
Kwa maana nawaambieni
Hii sentensi inatumika kusisitiza umuhimu wa kile Yesu atakisema baada ya hicho.
mpaka itakapotimizwa
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "mpaka kusudi la Sikukuu ya Pasaka litakapokuwa limetimizwa" au 2) "mpaka tutakapokula na kushangilia Sikukuu ya mwisho ya Pasaka." Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoitimiliza" au "mpaka Mungu atakapolitimiliza kusudi la Sikukuu ya Pasaka."
Luke 22:17-18
alipokwisha kushukuru
"alipokwisha toa shukurani kwa Mungu"
akasema
"akasema kwa mitume wake"
mgawane ninyi kwa ninyi
Tafsiri mbadala: "mgawane divai miongoni mwenu" au "ninyi wote mnywe divai kidogo kutoka katika hiki"
kwa maana nawaambia
Hii sentensi inatumika kusisitiza wa kile ambacho Yesu atakisema baada ya hiki.
mzao wa mzabibu
Hii inarejea "jwisi" ambayo inakamuliwa kutoka katika zabibu inayoota kwenye shamba la mizabibu. Divai inatokana na "jwisi" ya zabibu iliyochacha.
mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja
Tafsiri mbadala: "Mpaka Mungu atakapoimarisha ufalme wake" au "mpaka Mungu atakapotawala katika ufalme wake.
Luke 22:19-20
mkate
Huu mkate ni ule ambao haukuwa na hamila ndani yake, hivyo ilikuwa na chapati.
akaumega
"akaukata" au "akauchana." Aliugawanya kwenye vipande vingi vingi au aliugawanya kwenye vipande viwili na akawapa mitume kugawana miongoni mwao.
Huu ni mwili wangu
Inaweza kutafsiriwa kama 1) "Huu mkate ni mwili wangu" au 2) "Huu mkate unawakilisha mwili wangu."
mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu
"mwili wangu ambao nitautoa kwa ajili yenu" au "mwili wangu ambao nitautoa sadaka kwa ajili yenu" Tafsiri mbadala: "mwili wangu, ambao nautoa kwa wenye mamlaka kuuuwa kwa ajili yenu."
Fanyeni hivi
"kula huu mkate"
kwa kunikumbuka mimi
"ili kunikumbuka mimi"
kikombe hiki
Neno "kikombe" linamaanisha au linarejea divai ndani ya kikombe. Tafsiri mbadala: "Divai kwenye kikombe hiki" au "Divai hii."
ni agano jipya katika damu yangu
"ni agano jipya, ambalo litatoa matunda kwa damu yangu" au "ni agano jipya ambalo litahalarishwa kwa damu yangu" au "linawakirisha agano jipya, ambalo Mungu ataliimarisha wakati damu yangu itakapomwagwa"
ambayo imemwagika kwa ajili yenu
"damu yangu, ambayo imemwagwa katika kifo kwa ajili yenu" au "damu yangu, ambayo itatoka katika vidonda vyangu kwa ajili yenu nitakapokufa." Yesu aliongea kuhusu kifo chake kwa kurejea mwili wake kuvunjwa na damu yake kumwagwa.
Luke 22:21-23
Yeye anisalitie
"Yeye atakaye nisaliti"
Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake
"Kwa kweli Mwana wa Adamu atakwenda" au "Kwa maana Mwana wa Adamu atakufa"
kama ilivyokwisha amuliwa
Tafsiri mbadala: "kama Mungu alivyokwisha amua" au "kama Mungu alivyokwisha kupanga"
Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa
Tafsiri mbadala: "Lakini ole kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!" au "Lakini ni hatari kiasi gani kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!"
Luke 22:24-25
Kisha yakatokea mabishano katikati yao
"Kisha mitume wakaanza kubishana wao kwa wao"
ni nani aliye mkubwa
Tafsiri mbadala: "watu wangefikiri ni wa muhimu sana"
Akawaambia
"Yesu akawaambia mitume"
wana ubwana juu yao
"wanatawala kwa ukatili juu yao" au "wanapenda kutumia nguvu juu yao"
wanaitwa
Watu inawezekana hawakuwafikiria wale watawala kama watawala wakuheshimiwa. Tafsiri mbadala: "walipenda kuitwa" au "walijiita wenyewe."
waheshimiwa watawala
Tafsiri mbadala: "wafadhili" au "viongozi wanaowasaidia watu"
Luke 22:26-27
haitakiwi kuwa hivi kwenu ninyi
"msifanye kama hivyo"
mdogo kabisa
Viongozi walikuwa mara nyingi watu wazima na waliitwa "wazee," "vijana wadogo" walikuwa na uwezekano mdogo wa kuongoza. Tafsiri mbadala: "enye umuhimu wa mwisho"
Kwa
Hii inaunganisha amri ya Yesu mstari wa 26 na mstari mzima wa 27. Inamaanisha kwamba mtu wa muhimu zaidi anatakiwa kutumika kwa sababu Yesu ni mtumishi.
yule anayetumika
"yule anayehudumia chakula" au "yule anayewahudumia waliokaa." Hii inamaanisha mtumishi.
yupi mkubwa....tumika?
"nani aliye wa muhimu....atumike?" Yesu anatumia swali kutambulisha jibu lake kwa swali la mitume kuhusu ukubwa. Tafsiri mbadala: "Nataka ninyi mfikiri kuhusu nani aliye mkubwa...atumike."
yule aketie mezani
"yule anayekula chakula"
si yule aketiye mezani?
Yesu anatumia swali jingine kuwafundisha wanafunzi. Tafsiri mbadala: "Bila shaka yule aketie mezani ni wa muhimu zaidi kuliko mtumishi!"
Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye
"Bado nawatumikia." Neno "bado" liko hapa kwasababu kunautofautishaji kati ya kile ambacho watu wangetegemea Yesu kuwa na kile ambacho kweli yuko.
Luke 22:28-30
mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu
"mmekaa nami katika mapito yangu"
Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme
Lugha nyingine zinaweza hitaji kubadilisha mpangilio. "Kama baba alivyonipa mimi ufalme, nami nawapeni."
Nawapa ninyi ufalme
"Nawafanya ninyi watawala katika Ufalme wa Mungu" au "Nawapa ninyi mamlaka kutawala katika ufalme" au "Nitawafanya ninyi wafalme"
kama Baba alivyonipa mimi ufalme
"kama Baba alivyonipa mimi mamlaka kutawala kama mfalme katika ufalme wake"
Mtakaa kwenye viti vya enzi
Tafsiri mbadala: "mtafanya kazi kama wafalme" au "mtafanya kazi za wafalme"
Viti vya enzi
Tafsiri mbadala: "Viti vya wafalme" au "viti vilivyotengenezwa kwa wafalme"
Luke 22:31-32
Taarifa ya kijumla:
Yesu anaongea moja kwa moja na Simoni.
Simon, Simon
Yesu alilisema jina lake mara mbili kuonyesha kwamba kile ambacho alikuwa akiseme kwake kilikuwa cha muhimu sana.
awapate, ili awapepete
Neno "awa" linaonyesha mitume wote.
awapepete kama ngano
Hii inamaanisha kwamba Shetani alitaka kuwajaribu mitume ili kupata makosa.
Lakini nimekuombea
Hapa inamaanisha amemuombea kipekee kabisa SImoni.
kwamba imani yako isishindwe
"kwamba utaendelea kuwa na imani" au "utaendelea kunitegemea mimi"
Baada ya kuwa umerudi tena
"Baada ya kuanza kunifuata tena" au "Baada ya kuanza kunitumikia mimi tena"
ndugu zako
Hii inamaanisha wanafunzi wengine wa Yesu. Tafsiri mbadala: "Waamini wenzako" au "mitume wengine."
Luke 22:33-34
Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana mara tatu kwamba unanijua
Mpangilio wa maneno unaweza kubadilishwa na kusomeka: "Utanikana mara tatu kwamba unanijua kabla jogoo hajawika siku hii ya leo"
Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana
Hii inaweza kuongelewa kwa namna chanya: "Jogoo atawika siku hii ya leo mara tu baada ya kunikana."
Jogoo hatawika
Hapa, kuwika kwa Jogoo kunaonyesha muda fulani katika siku. Jogoo mara nyingi huwika kabla ya jua kuchomoza asubuhi.
siku hii
Siku ya Kiyahudi huanza wakati wa kuzama kwa jua. Yesu alikuwa anaongea baada ya jua kuwa limezama. Jogoo angeliwika muda mchache kabla ya asubuhi. Asubuhi ilikuwa sehemu ya "siku hii." Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo" au "asubuhi."
Luke 22:35-36
Nilipowapeleka ninyi
Yesu alikuwa akiongelea kuhusu mitume wake.
mfuko
Mfuko ni begi la kuwekea fedha. Hapa inatumika kumaanisha "fedha."
kikapu cha vyakula
Tafsiri mbadala: "Begi la msafiri" au "chakula"
Je mlipungukiwa na kitu? Wakajibu, "Hapana."
Yesu anatumia swali kuwasaidia mitume kukumbuka namna ambavyo watu waliwahudumia vizuri walipokuwa wakisafiri. Tafsiri mbadala: Wakati ule...bado mlikuwa na kila kitu mlichokihitaji.' Na wanafunzi walikubali wakasema 'Ndiyo, tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji."
Hakuna
"Hatukupungukiwa na kitu" au "Tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji"
Yule ambaye hana upanga, imempasa auze joho lake.
Yesu alikuwa hamaanishi mtu falani kipekee ambaye hakuwa na upanga. Tafsiri mbadala:"Kama mtu hana upanga, anapaswa kuuza joho lake."
joho
"koti" au "nguo ya nje"
Luke 22:37-38
ambayo yameandikwa kwa ajili yangu
Tafsiri mbadala:"ambayo nabii ameandika kuhusu mimi katika maandiko"
lazima yatimilike
Mitume wangelimuelewa Mungu kwamba angesababisha yote yaliyoandikwa kwenye maandiko kutokea. Tafsiri mbadala: "Mungu atatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee."
alichukuliwa kama mtu ambaye anavunja torati
Hapa Yesu ananukuu maandiko. Tafsiri mbadala: " watu walimchukulia kama mtu ambaye hafuati au hana sheria."
Mvunja sheria
"Wale wanaovunja sheria" au "waharifu"
Kwa sababu kile kilichotabiriwa kwa ajili yangu
Inaweza kumaanisha 1) "Yale ambayo mtume ametabiri kuhusu mimi yako tayari kutokea" au 2) "Kwa kuwa maisha yangu yanafikia ukingoni."
wakasema
Hii inamaanisha angalau wawili wa mitume wa Yesu.
yatosha
Inaweza kumaanisha 1) "Hizo panga zinatosha" au 2) "Hiyo inatosha kuiongelea." Yesu aliposema wanatakiwa kununua panga, alikuwa hasa akiwaambia kuhusu hatari ambazo wote watazikabili. Inawezekana si kwamba aliwataka wanunue panga na wapigane.
Luke 22:39-40
Baada ya chakula cha usiku
Hii inamaanisha kukamilika kwa chakula cha Pasaka.
kwamba msiingie majaribuni
"kwamba hamjaribiwi" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya kutenda dhambi"
Luke 22:41-42
mrusho wa jiwe
"kama umbali wa mtu kurusha jiwe." Tafsiri mbadala: "umbali mfupi" au kwa kipimo cha kukadilia kama "umbali wa mita 30"
Baba, kama unataka
Yesu atabeba adhabu ya dhambi zote katika historia ya mwanadamu kwa adhabu ya msalabani. Anaomba kwa Baba yake akimuuliza kama kuna njia nyingine.
Baba
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
niondolee kikombe hiki
Yesu anamaanisha juu ya mateso ambayo yuko karibu kuyapitia kana kwamba yalikuwa ndani ya kikombe na kwamba alikuwa anakwenda kukinywa. Tafsiri mbadala: "niondolee hiki kikombe cha mateso" au "niondolee haya mateso" au "niokoe kutoka katika kuteseka kwa namna hii."
Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike."
Tafsiri mbadala: "Hata hivyo, nataka kufanya yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yako kuliko yale ambayo ni sawasawa na mapenzi yangu.
Luke 22:43-44
akamtokea
"akamtokea Yesu"
akamtia nguvu
"akamtia moyo"
Akiwa katika kuugua, akaomba
"Alikuwa katika kuugua, na akaomba"
Luke 22:45-46
Alipoamka kutoka katika maombi yake
Tafrisi mbadala: "Wakati Yesu alipoamka baada ya kuomba" au "Baada ya kuomba, Yesu aliamka na"
akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni nyingi
"aliwaona kwamba walikuwa wamelala kwa sababu walikuwa na huzuni sana"
Kwanini mnalala?
Inaweza kumaanisha 1) "Nashangazwa kwamba mnalala sasa" au 2) "Hampaswi kuwa mmelala sasa hivi!"
kwamba msiingie majaribuni
"msijaribiwe" au "hakuna kitu cha kuwajaribu na kuwafanya mtende dhambi"
Luke 22:47-48
tazama, kundi kubwa la watu likatokea
Neno "tazama" linatutazamisha kuhusu kundi jipya katika simulizi.
akiwaongoza
Yuda alikuwa akiwaonyesha watu Yesu alipo. Alikuwa hawaambii kundi la watu nini cha kufanya. Tafsiri mbadala: "akiwaongoza kwa Yesu."
ili ambusu
"kumsalimia kwa busu" au "kumsalimia kwa kumbusu." Wakati wanaume walipowasalimia wanaume wengine ambao walikuwa wa familia au marafiki, waliwakumbatia.
je unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu
Yesu anatumia swali kumkemea Yuda kwa kumsaliti kwa busu. Kwa kawaida busu ni ishara ya upendo. Tafsiri mbadala: "Ni busu unayotumia kumsaliti Mwana wa Adamu!"
Mwana wa Adamu
Yesu anatumia neno hili kujiongelea yeye.
Luke 22:49-51
wale waliokuwa karibu na Yesu
Hii inaonyesha wanafunzi wa Yesu.
hayo yanayotokea
Tafsiri mbadala: "kwamba makuhani na maaskari walikuwa na watu wa kumkamata Yesu"
akampiga mtumishi wa kuhani mkuu
"akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa panga"
akagusa sikio lake
Tafsiri mbadala: "akamgusa mahali ambapo sikio lake lilikuwa limekatwa"
Luke 22:52-53
Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga?
"Je mnakuja na marungu na mapanga kwa sababu mnafikiri mimi ni mnyang'anyi?" Yesu anatumia hili swali kuwa tahayarisha viongozi wa Kiyahudi. Tafsiri mbadala: "Mnajua kwamba mimi si mnyang'anyi, na bado mnanijia mkileta mapanga na marungu."
Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote
"Nilikuwa kati yenu kila siku"
hekalu
Tafsiri mbadala: "Uwanda wa ndani ya hekalu" au "katika hekalu"
kuweka mikono yenu juu yangu
Tafsiri mbadala: "kunikamata"
saa yako
"muda wako"
mamlaka ya giza
Hii inamaanisha mtawala muovu, Shetani. Tafsiri mbadala: "muda kwa mtawala wa giza" au "muda ambao Shetani anafanya mambo maovu kama anavyopenda kufanya"
Luke 22:54-55
wakamuongoza
"wakamuongoza Yesu kutoka kwenye bustani mahali ambapo walikuwa wamemkamata"
walikuwa wamewasha moto
Moto ulikuwa ni wakuwapa watu joto. Tafsiri mbadala: "baadhi ya watu walikuwa wamewasha moto."
katikati ya uwanda wa ndani
Huu ulikuwa uwanda katika nyumba ya kuhani mkuu. Ulikuwa na kuta pande zote, lakini bila paa.
Luke 22:56-58
akamtazama akamwambia
"akamtazama moja kwa moja Petro na kusema na watu wengine pale uwandani"
Huyu mtu pia alikuwa pamoja naye
Mwanamke alikuwa anawaambia watu kuhusu Petro kuwa na Yesu. Inawezekana kwamba hakulijua jina la Petro.
Lakini Petro akakana
"Lakini Petro akasema haikuwa kweli"
Mwanamke, mimi simjui
Petro hakulijua jina la yule mwanamke. Hivyo alikuwa hamtukani kwa kumuita "mwanamke".
Mwanaume, mimi siyo
Petro hakulijua jina la yule mwanaume. Hivyo alikuwa hamtukani kwa kumuita "mwanaume".
Luke 22:59-60
akasisitiza akasema
"alisema kwa msisitizo" au "alisema kwa sauti"
Kweli kabisa huyu mtu
Hapa "huyu mtu" inamaanisha Petro. Muongeaji inawezeka hakulijua jina Petro.
ni Mgalilaya
Mwanaume aliweza kuonyesha Petro alitokea Galilaya kutokana na jinsi alivyoongea.
sijui usemalo
Tafsiri mbadala: "kile ulichosema si kweli kabisa" au "kile ulichosema na uongo kabisa"
wakati akiongea
"wakati Petro alipokuwa akiongea"
Luke 22:61-62
neno la Bwana
Tafsiri mbadala: "Neno la Yesu" au "Kile ambacho Yesu alikuwa amekisema"
leo
Yesu alikuwa ameishaongea jioni iliyopita kile kitakacho tokea muda si mrefu kabla ya jua kuchomoza au katika kuchomoza kwa jua. Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo."
Luke 22:63-65
Baada ya kumfunika macho
"Baada ya kuwa wamemfunika macho yake ili kwamba asiweze kuona"
Tabiri! Ni nani aliyekupiga?
Wale walinzi hawakuamini kwamba Yesu ni nabii. Badala yake waliamini kwamba nabii wa ukweli angemjua aliyempiga hata kama alikuwa hawezi kuona. Walimuita Yesu nabii, lakini walitaka kuonyesha kwamba hakuwa nabii. Tafsiri mbadala: "Jionyeshe kwamba wewe ni nabii. Tuambie nani amekupiga? au "Haloo nabii, nani amekupiga?"
Tabiri
"Kuongea neno kutoka kwa Mungu!" Taarifa kutokana na ukweli huu ni kwamba Mungu angelimwambia Yesu nani alimpiga kwa sababu Yesu alikuwa amefunikwa macho na hakuweza kuona.
Luke 22:66-68
Wakampeleka kwenye Baraza
Inaweza kumaanisha 1) "Wazee walimleta Yesu kwenye baraza" au 2) "Walinzi walimpeleka Yesu mbele ya baraza la wazee."
wakisema
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Tafsiri mbadala: "Wazee wakamwambia Yesu"
tuambie
"tuambie kwamba wewe ni Kristo"
Kama nikiwaambia...Kama nikiwauliza
Yesu alisema kwamba haikuwa na maana kama angesema au angewauliza kusema, wasingejibu kwa ufasaha. Hizo sentensi mbili kwa pamoja zinaelezea mtazamo wa Yesu kwamba baraza lilikuwa kwa kweli halitafuti ukweli.
Kama nikiwaambia hamtaniamini
Hii ni moja ya maelezo ya kinadharia aliyoyatoa Yesu. Ilikuwa ni njia ya Yesu kujibu bila kuwapa sababu ya kusema kwamba alikuwa anahatia ya kukufuru.
kama nikiwauliza hamtanijibu
Haya yalikuwa maelezo ya pili ya kinadharia
Luke 22:69-71
kuanzia sasa
"kuanzia siku hii" au "kuanzia kutoka leo"
Mwana wa Adamu
Yesu alitumia sentensi hii kumaanisha Kristo. Alimaanisha kwamba alikuwa akijiongelea mwenyewe, lakini wazee iliwalazimu kuuliza kuona kama hivyo ndivyo kweli alikuwa akisema.
amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu
Wayahudi walielewa kwamba hakuna hata mmoja ambaye angeweza kukaa pale.Waliiona hii ni sawa na kusema "atakuwa na Mungu kama Mungu."
nguvu ya Mungu
"Mungu mwenye nguvu zote." Hapa "nguvu" inamaanisha mamlaka yake kuu.
Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?
Baraza lilimhukumu Yesu kusulubiwa kwa sababu alijithibitishia kwamba yeye alikuwa "Mwana wa Mungu," akijua Baraza litamhukumu kifo.
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
Ninyi mmesema mimi ndiye
"Ndiyo, ni kama mlivyosema"
Kwanini bado tunahitaji tena ushahidi?
Walitumia swali kwa kuweka msisitizo. Tafsiri mbadala: "Hatuna haja tena ya kuwa na ushahidi!"
tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe
Tafsiri mbadala: "tumesikia moja kwa moja kutoka kwake kwamba anaamini yeye ni Mwana wa Mungu"
Luke 23
Luke 23:1-2
Mkutano wote
"Viongozi wote wa Kiyahudi"
wakasimama
"kusimama" au "kusimama kwa miguu yao"
mbele ya Pilato
"kuwa mbele ya Pilato". Kusimama kwa kumuangalia Pilato"
akipotosha taifa letu
"kusababisha ghasia kwa kuelezea uongo kwa watu"
kwa kukataza tusitoe kodi
"kwa kuwaambia wasitoe kodi"
Luke 23:3-5
Pilato akamuuliza
"Pilato akamuuliza Yesu"
Wewe wasema
"Ulichokisema ni sawa" au " Ni kama ulivyo niuliza mimi"
makutano
"Mkusanyiko wa watu"
Sioni kosa kwa mtu huyu
"Sijaona kuwa mtu huyo ana hatia ya kitu chochote)
akiwachochea
"kusababisha ghasia miongoni"
kuanzia Galilaya na sasa yuko hapa
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Alianza kusababisha ghasia huko Galilaya na sasa anasababisha ghasia hapa"
Luke 23:6-7
aliposikia haya
"kusikia kuwa Yesu alianza kufundisha huko Galilaya"
kama
kama
mtu huyu
Hii inamaanisha Yesu
alipotambua
"Pilato akatambua"
alikuwa chini ya utawala wa Herode
Kifungu hiki hakitaji ukweli unaoelekea kuwa Herode alikuwa Mtawala wa Galilaya. "Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode kwasababu Herode alitawala Galilaya"
akatuma
"Pilato alituma"
ambaye mwenyewe
Hii inamaanisha Herode
kwa siku hizo
"Wakati wa sherehe za Pasaka"
Luke 23:8-10
alifurahi sana
"Herode alifurahi sana"
alitaka kumuona
"Herode alihitaji kumuona Yesu"
Alisikia habari zake
"Herode alisikia habari ya Yesu"
na alitamani
"Herode alitamani"
kuona baadhi ya miujiza anayoifanya
"kumuona yeye akifanya baadhi ya miujiza"
Herode alimhoji Yesu kwa maneno mengi
"Herode alimuuliza Yesu maswali mengi"
hakumjibu chochote
"Hakumjibu" au "hajampa Herode majibu"
walisimama
"walisimama pale"
kwa ukali kumshutumu
"walimshutumu Yesu kwa ukali" au "walimshutumu yeye kwa hasira"
Luke 23:11-12
na kumvika mavazi mazuri
Tafsiri hii haimaanishi walifanya hivyo ii kumuheshimu au kumjali Yesu. Walifanya hivyo kumdhalilisha na kumdhihak Yesui"
Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo
Maelezo yaha yana maanisha walianza urafiki kwasababu Herode alifurahia kitendo cha Pilato kumruhusu kumuhukumu Yesu. "Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo kwasababu Pilato alituma Yesu apelekwe kwa Herode ili akahukumiwe"
kabla
"kabla ya siku ile"
Luke 23:13-14
akawaita pomoja makuhani wakuu, watawala na umati wa watu
"Aliwaita Makuhani na watawala na umati wa watu kuja kukutana pamoja"
tazama nimemuhoji mbele yenu
"Nimemuuliza Yesu Mbele yenu". Nimemuhoji Yesu wakati ninyi mnashuhudia hapa"
na sikuona kosa
"Na sifikiri kwamba ana hatia"
Luke 23:15-17
Hapana, hata Herode hajaona
"Hata Herode hafikiri kwamba ana hatia" au "Hata Herode anafikiri kuwa hana hatia"
kwa
"kwasababu" au "tunjua hili ni kwasababu"
amemrudisha kwetu
"Herode alituma Yesu arudishwe kwetu" Neno "kwetu" linamaanisha Pilato na askari wake,na siyo makuhani na waandishi waliokwenda kwa Herode pamoja na Yesu, wala sio makutano.
hakuna chochote alichokifanya kinachostahili adhabu ya kifo
"hakufanya kitu chochote kinachostahili adhabu ya kifo"
Kwahiyo basi nitamuadhibu
Kwa sababu Pilato alikuwa hakuona kosa kwa Yesu anapaswa kumtoa bila adhabu. Siyo lazima kujaribu kufanya kauli hii iendane na tafsiri kifikra. Pilato alimuadhibu Yesu, ambaye alijua kuwa hana hatia, kwa sababu tu alikuwa na hofu ya umati wa watu.
Luke 23:18-19
wote wakapiga kelele pamoja
"Watu wote kwenye mkusanyiko walipiga kelele"
Mwondoe mtu huyu
"Mchukue mtu huyu mbali ". Mchukuwe mtu huyu mbali na kumnyonga"
ambaye amewekwa gerezani
"ambaye Warumi walimuweka gerezani"
kwa
"kwasababu ya kujihusisha" au " kwasababu ya uhalifu wake"
ya uasi fulani
"alijarubu kuwahamasisha watu wa mji kuasi dhidi ya serikali ya Kirumi"
Luke 23:20-22
akawaambia tena
"akaongea nao tena" au "aliongea tena na watu kwenye mkusanyiko"
akitamani kumuachilia Yesu
"kwasababu alitaka kumuachilia Yesu"
Akawaambia kwa maraya tatu
"Pilato akasema na mkutano tena, kwa mara ya tatu"
Luke 23:23-25
wakasisitiza
"Mkusanyo walisisitiza"
kwa sauti ya juu
"kwa kupiga kelele"
wakitaka asulubiwe
"Kwa Pilato kuwaamuru askari wake wamsulubishe Yesu"
Na sauti zao zikamshawishi Pilato
"Na umati wakandelea kupiga kelele hadi wakamshawishi Pilato"
kuwapa matakwa yao
"kufanya kile ambacho umati walitaka"
Akamuachilia yule waliyemtaka
"Pilato akamuachilia Barnaba ambaye umati walimuomba aachiliwe"
Aliyefungwa Jela
"ambaye Warumi walimuweka Jela"
Akamtoa Yesu kwa matakwa yao
"Pilato aliwaruhusu umati wafanye kwa Yesu chochote walivyotaka" au "Pilato alimtoa Yesu kwa umati wa watu na kuwaruhu umati kufanya kwa Yesu kile walicho kitaka."
Luke 23:26
Walipokuwa wakimpeleka
"wakati maaskari wakimpeleka Yesu mbali na alipokuwapo Pilato"
walimkamata Simon wa Ukirene
Maaskari wa Kirumi wana mamlaka ya kuwashurutisha watu kuwabebea mizigo yao". Usitafsiri kana kwamba Simoni amekamatwa au alifanya kosa fulani.
mmoja
"mtu aitwaye "
akitokea katika nchi
"aliyekuwa anakuja Yerusalemu akitokea nje ya mji"
wakamtwika msalaba
"kuweka msalaba juu ya mabega yake"
Luke 23:27-28
waliomboleza kwa ajili yake
"kuomboleza kwa ajili ya Yesu"
wakimfuata
"waliokuwa wakimfuata Yesu"
Mabinti wa Yerusalemu
"Mabinti" wa mji maana yake watu wa mji . "ninyi wanawake mliotoka Yerusalemu"
msinililie mimi
"kulia kwaajili ya hali yangu"
bali jililieni ninyi wenyewe na kwa ajili ya watoto weno
"badala yake mlie kwa ajili ya mambo yanayokwenda kutokea kwa ajili yenu na watoto wenu"
Luke 23:29-31
ambao watasema
"watu watakaposema"
waliotasa
"wanawake ambao hawakuzaa watoto"
ndipo
"Kwa wakati huo"
kuambia milima
"wataiambia milima"
Maana kama wakifanya mambo haya ikiwa mti mbichi, itakuwaje kwa mti uliokauka?
Yesu anatumia swali kusaidia umati kuelewa kwamba watu wanafanya mambo mabaya sasa katika nyakati nzuri, hivyo kwa hakika watafanya mambo mabaya zaidi katika nyakati mbaya siku zijazo. "Unaweza kuona kwamba wanafanya mambo hayo mabaya wakati mti ni mbichi, hivyo unaweza kuwa na uhakika kwamba watafanya mambo kuwa mabaya wakati mti ni kavu."
mti mbichi (kijani)
mti mbichi(kijani) ni mfano wa kitu kilichokizuri kwa sasa . Kama lugha yako ina mfano mzuri unaweza kutumia hapa.
uliokauka
"Mti uliokauka ni mfano wa kitu kibaya baadaye"
wakifanya
hapa alikuwa akimaanisha aidha Warumi au viongozi wa kiyahudi au hakuna aliyelengwa moja kwa moja "
Luke 23:32
wanaume wengine, wahalifu wawili, walipelekwa pamoja naye ili wauwawe
"Maaskari waliwapeleka wahalifu wengine wawili pamoja na Yesu ili wakauwawe pia.
Luke 23:33-34
walipofika
Neno "walipofika" inajumuisha maaskari, wahalifu na Yesu.
wakamsulunisha
"maaskari wakamsulubisha Yesu"
mmoja upande wa kulia
"mmoja wa wahalifu aliwekwa upande wa kulia wa Yesu"
na mwingine upande wa kushoto
" na muhalifu mwingine aliwekwa upande wa kushoto mwa Yesu"
Baba, uwasamehe wao
Neno "wao" inamaanisha wale wanao msulubisha Yesu. Yesu aliongea kwa huruma na Baba yake juu ya wanaume waliokuwa wanamsulubisha"
Baba
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
kwa kuwa hawajui watendalo
"kwasababu hawajui kile wanachokifanya". Maaskari hawakujua kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu. Kwasababu hakika hawamjui ni nani wanayemsulubisha"
wakapiga kura
Maaskari walifanya aina ya kamari "walifanya kamari"
kugawa mavazi yake
"kuamua nani kati ya maaskari atapeleka nyumbani sehemu ya mavazi ya Yesu"
Luke 23:35
walisimama
"walisimama pale"
Yeyey
Hii inamaanisa Yesu.
ajiokoe mwenyewe
"Yesu atakuwa na uwezo wa kujiokoa" au "Tunataka kuona akijionyesha yeye ni nani kwa kujiokoa mwenyewe kutoka msalabani"
aliyechaguliwa
"mmoja ambaye Mungu alimchagua"
Luke 23:36-38
yeye
"Yesu"
walimkaribia yeye
"kuja karibu na Yesu"
wakampa siki
" walimpa Yesu siki ili anywe" Siki ni aina ya kinyaji kirahisi ambayo watu wa kawaida hunywa. Maaskari walimdhihaki Yesu kwa kumpa siki mtu aliyesema yeye ni mfalme.
alama juu yake
" kitu kama ubao juu ya msalaba wa Yesu iliyoandikwa"
HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI
Watu walioweka alama juu ya Yesu walikuwa wakimdhihaki yeye. Hawakuamini kweli kuwa yeye ni mfalme.
Luke 23:39-41
Aliyesulubiwa
"aliyeangikwa pia msalabani"
alimtukana
"alimtukana Yesu"
Wewe si Kristo?
Muhalifu alitumia swali kumdhihaki Yesu."umedsi kuwa wewe ni Kristo"
Jiokoe mwenyewe na sisi pia
Muhalifu hakufikiri kweli kuwa Yesu angeweza kuwaokoa kutoka kwenye msalaba"
yule mwingine akajibu
"muhalifu mwingine alijibu"
akimkemea na kusema
"na kumkemea yule muhalifu akisema"
Je wewe humuogopi Mungu, kwani uko katika hukumu hiyo hiyo
Muhalifu alitumia swali kumkemea yule muhalifu mwingine. " Hauna hofu ya Mungu , kwani unamdhihaki Yesu wakati umetundikwa msalabani kama yeye.
sisi tupo hapa kwa haki
"Kiukweli sisi tunastahili adhabu hii"
mtu huyu
Hii inamaanisha Yesu.
Luke 23:42-43
Na akaongeza
"Muhalifu pia akasema "
utakapokuja katika ufalme wako
"Utakapo anza kutawa kama Mfalme"
Ukweli nakuambia
"Ukweli" inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu anaongea. "Nataka wewe uelewe kuwa"
Paradiso
Hii ni sehemu ambayo watu wema huenda wanapokufa. Yesu alikuwa akimthibitishia mtu yule kuwa atakuwa na Mungu na Mungu atamkubali yeye. "Ni mahali pa furaha" au 'Ni mahali pa watu wenye haki" au "Ni mahali ambapo watu wanaishi vizuri."
Luke 23:44-45
ilikuwa karibu saa sita
"Ilipokaribi mchana" . Hii huonyesha desturi ambayo watu huanza kuhesabu saa kuanzia saa 12 asubuhi.
giza likaja juu ya ardhi yote
"ardhi yote ikawa giza"
hadi saa tisa
"Hadi 9 Mchana" Hii huonyesha desturi ambayo watu huanza kuhesabu saa kuanzia saa 12 asubuhi.
pazia la hekalu
"Pazia ndani ya Hekalu"
likagawanyika katikati
"ilichanika vipande viwili" . "Mungu alichana pazia la hekalu katika vipande viwili"
Luke 23:46-47
Akilia kwa sauti kuu, Yesu alisema, "Baba mikononi mwako naiweka roho yangu,"
Mungu Baba alikuwa amemtuma Mungu Mwana kufa msalaba ili afanyike sadaka ya mwisho kwa ajili ya dhambi za binadamu. Lakini, Mwana bado alimpenda Baba na kumkabidhi maisha yake kwa Baba yake
Akilia
"kupasa sauti"
Baba
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
mikononi mwako naiweka roho yangu
"Naiweka roho yangu kwako" au " Nakupa roho yangu, nikijua utaitunza"
baada ya kusema hivyo
"Baada ya Yesu kusema hivyo"
akafa
"Yesu akafa"
yaliyotendeka
"mambo yaliyotokea"
Luke 23:48-49
umati
"Mkusanyiko wa watu"
tukio
"tukio"au "kile kinachotokea"
waliokuja pamoja
"waliokusanyika pamoja"
mambo yaliyofanyika
"kitu kilichofanyika"
walirudi
"kurudi majumbani mwao"
wakipiga matiti yao
"wakipiga vifuani mwao wakionyesha jinsi walivyosikitika"
marafiki zake
"wale waliomjua Yesu" au "wale waliokutana na Yesu huko nyuma"
waliomfuata yeye
"walimfuata Yesu"
kwa mbali
"umbali fulani kutoka alipo Yesu"
hayo mambo
"yaliyotokea"
Luke 23:50-51
Tazama, palikuwa na mtu
Neno 'tazama' inatufanya tuweze kumuona mtu mpya katika hadithi. Lugha yako inaweza kuwa njia ya kufanya hili. "Kulikuwa na mtu ambaye alikuwa".
ambaye ni mmoja wa baraza
"na Yeye alikuwa mmoja wapo wa wajumbe wa baraza la Wayahudi"
mzuri na mwenye haki
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Yeye alikuwa mtu mzuri na mweye haki"
alikuwa hajakubaliana na maamuzi au matendo yao
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya." Joseph hakukubaliana na uamuzi wa baraza hilo kumuua Yesu na hatua ya baraza hilo"
kutoka Armathaya, Mji wa Kiyahudi
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya." Josefu alitokea kwenye mji wa kiyahudi ulioitwa Arimathaya"
ambaye alikua akisubiri
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya."Josefu alikuwa akisubiri"
Luke 23:52-53
Mtu huyu
"Josefu "
alimkaribia Pilato, akaomba
"alikwenda kwa Pilato na kuomba"
Alimshusha chini
"Josefu alichukua mwili wa Yesu kutoka msalabani"
akauzungushia sanda
"Akafunga mwili katika nguo nzuri ya kitani'
akamweka katika kaburi
"kuweka mwili wa Yesu kwenye kaburi" au "Kuweka mwili wa Yesu kwenye chumba cha kuzikia"
lililokuwa limechongwa katika jiwe
"Kaburi ambalo mtu alilichonga kwenye mwamba"
ambalo hakuna aliyewahi kulazwa
Hii inaweza ikatafsiriwa kama sentensi mpya. "Hakuna aliyewahi kuweka mwili katika kaburi hilo"
Luke 23:54-56
Ni siku ya maandalizi
"Ni siku ambayo watu wanajiandaa kwa siku ya Wayahudi kupumzika iitwayo Sabato"
Sabato inakaribia
"Inakaribia kuwa jioni, kuanza kwa Sabato" Alfajiri hapa ni mfano kwa ajili ya mwanzo wa siku. Kwa Wayahudi, siku ilianza jioni.
waliokuja nao kutoka Galilaya
"waliosafiri na Yesu kutoka jimbo la Galilaya"
walimfuata baada
"walimfuata Josefu na wanaume waliokuwa pamoja naye"
wakaona kaburi
"wanawake wakaona kaburi"
na jinsi mwili wake ulivyolazwa
"Wanawake waliona jinsi hao wanaume walivyomlaza mwili wa Yesu ndani ya kaburi"
walirudi
"wanawake walienda kwenye nyumba ambayo wanawake hao wanakaa"
kuandaa manukato na marashi
"kuandaa manukato na marashi ili kuandaa Mwili wa Yesu kwa ajili ya mazishi".
walipumzika
"wanawake wale hawakufanya kazi"
kulingana na amri
"Kulingana na sheria za Wayahudi" au "kama sheria ya Wayahudi inavyotaka"
Luke 24
Luke 24:1-3
Mapema sana siku ya kwanza ya wiki
"Kabla jua halijachomoza siku ya Jumapili"
walikuja
"wanawake walifika kwenye."
kaburini
Kaburi lilikuwa limechongwa katika mwamba wa karibu na bahari.
jiwe limeviringishwa
Tafsiri mbadala: "kwamba mtu fulani alikuwa ameriviringisha lile jiwe"
jiwe
Hili lilikuwa kubwa, limechongwa, jiwe la duara kubwa la kutosha kuweza kuziba kabisa mlango wa kuingilia kaburini. Lilihitaji watu wengi kulivingirisha.
Luke 24:4-5
Ilitokea
Hii sentensi ilitumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu katika simulizi.
mavazi ya kung'aa
"wamevaa angavu, mavazi yanayong'aa"
wamejaa hofu
"wakaogopa"
Kwanini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
Wale wanaume wanatumia swali kuwapinga wale wanawake kumtafuta kwenye kaburi mtu aliyehai. Tafsiri mbadala: " Mnamtafuta mtu aliye hai kati ya au miongoni mwao wafu" au "Hamtakiwi kumtafuta mtu ambaye yu hai katika sehemu wanapozika watu waliokufa!"
Kwanini mnamtafuta
Hapa inamaanisha wengi, inaongelea juu ya wanawake waliokuja.
Luke 24:6-7
Kumbukeni alivyo..
"Kumbukeni yale"
alivyosema nanyi
Yesu alikuwa amekwisha kusema haya wiki moja mapema.
nanyi
Neno "nanyi" linaonesha wingi. Inaongelea juu ya wale wanawake na wanafunzi wengine.
kwamba Mwana wa Adamu
Huu ni mwanzo wa kunukuu jambo si kwa njia ambayo imenyooka.
Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe.
Hii ni jamboa bila shaka lingetokea kwa sababu alikuwa ameamua kwamba litatokea. Tafsiri mbadala: "ilikuwa ni lazima wamtoe Mwana wa Adamu kwa watu wenye dhambi ili waweze kumsulubisha .
kwenye mikono
Hapa "mkono" unaonyesha nguvu au uthibiti.
Luke 24:8-10
wakakumbuka maneno yake
Tafsiri mbadala: "walikumbuka yale aliyoyasema Yesu"
wengine wote
"wanafunzi wengine wote waliokuwa na mitume kumi na mmoja"
Basi
Neno hili limetumika hapa kuonyesha pumziko katika simulizi kuu. Hapa Luka anatoa majina ya baadhi ya wanawake na kuelezea namna ambavyo mitume waliitikia kwa kile ambacho walisema.
Luke 24:11-12
Lakini ujumbe huu ukaonekana kama mzaa tu kwa mitume
"Lakini mitume walifikiri kwamba kile ambacho wanawake walisema yalikuwa ni maongezi yasiyo na maana"
akichungulia na kuangalia ndani
"akainama." Petro ilimlazimu ainame ili aweze kuangalia au kutazama kaburini.
sanda ziko peke yake
"sanda tu"
Luke 24:13-14
Tazama
Hii inaashiria mwanzo wa tukio jingine tofauti na lile linalowahusisha wale wanawake na Petro.
siku hiyo hiyo
"siku ile ile "
Emmau
Hili ni jina la mji
maili sitini
"kilometa kumi na moja."
Luke 24:15-16
Ikatokea kwamba
Hii sentensi inatumika hapa kuashiria pale ambapo kitendo kinaanza. Kinaanza na Yesu kuwasogelea karibu.
macho yao yalizuiliwa katika kumtambua yeye
Tafsiri mbadala: "Kuna kitu kiliwazuia hivyo hawakuweza kumtambua."
Luke 24:17-18
Cleopa
Hii ni jina la mwanamume
Je wewe ni mtu pekee ...siku hizi?
Cleopa anatumia swali kuonyesha mshangao wake kwamba huyu mtu anaonekana kutokujua juu ya mambo ambayo yametokea Yerusalemu.
Luke 24:19-20
Mambo gani?
"Mambo gani yametokea?" au "Mambo gani yaliyofanyika?"
muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote
Hii inamaanisha kwamba Mungu alimfanya Yesu kuwa mwenye nguvu na kwamba watu walimuona kwamba alikuwa muwez. Tafsiri mbadala: "na Mungu alimpa nguvu kufanya na kufundisha mambo makubwa ambayo yaliwashangaza watu wote."
walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha
Tafsiri mbadala: "walimtoa Yesu kwa kiongozi wa Kirumi ili kiongozi huyo aweze kumuua kwa kumsulubisha"
Luke 24:21
atakaye waweka huru Israel
Warumi walitawala juu ya Wayahudi. Tafsiri mbadala: "atakaye tuweka huru Waisraeli kutoka kwa adui zetu wa Kirumi."
tangu mambo haya yatokee
"tangu walipomuua"
Luke 24:22-24
Lakini pia
Wale wanaume waliichukulia taarifa ya wale wanawake kuwa ni kitu kizuri, siyo kitu kingine kibaya cha kuongezea juu ya kifo cha Yesu.
baada ya kuwapo kaburini
Wale wanawake ndiyo waliokuwa pale kaburini.
maono ya malaika
"malaika katika maono"
Luke 24:25-27
mioyo mizito ya kuamini
Tafsiri mbadala: "akili zenu ni nzito sana kuamini" au "ninyi ni wazito kuamini"
Je haikuwa lazima ...utukufu?
Yesu anatumia swali kuwakumbusha wanafunzi juu ya kile ambacho manabii walisema. Tafsiri mbadala: "Ilikuwa ni lazima...utukufu."
kuingia katika utukufu wake
Hii inamaanisha juu ya nyakati ambazo Yesu atamuonyesha kila mmoja uzuri wake na ukuu wake na kupokea heshima na ibada.
Luke 24:28-29
Walipokaribia
"Walipokuja karibu"
Yesu alifanya kana kwamba anaendelea mbele
Wale watu wawili walieelewa kutokana na kitendo chake kwamba alikuwa anaendelea kuelekea sehemu nyingine. Inawezekana labda aliendelea kutembea barabarani walipochipuka kuingia kwenye geti la kijiji. Hakuna kiashiria kwamba Yesu aliwadanganya kwa maneno.
Wakamsihi
"Walimuomba kwa nguvu sana." Neno la kiyunani linamaanisha kutumia nguvu za mwili juu ya muda wa ziada. Iliwachukua muda fulani na jitihada fulani kumshawishi.
Yesu akaingia
"Yesu akaingia ndani ya nyumba"
Luke 24:30-32
Ilitokea
Neno hili limetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika simulizi.
mkate
Hii inazungumzia juu ya mkate unaotengenezwa bila hamila. Haimaanishi chakula kwa ujumla.
akaubariki
"akashukuru kwa ajili ya huo mkate" au "Akamshukuru Mungu kwa ajili ya mkate"
Kisha macho yao yakafunguliwa
Tafsiri mbadala: "kisha wakaelewa" au "kisha wakatambua"
akatoweka ghafla mbele ya macho yao
Hii inamaanisha kwamba ghafula hakuwa tena pale. Haimaanishi kwamba akawa haonekani kwa macho.
Hivi mioyo yetu haikuwaka... maandiko?
Wanatumia swali kuweka msisitizo namna walivyo shangazwa juu ya kukutana kwao na Yesu. Tafsiri mbadala: "Mioyo yetu ilikuwa ikiwaka ndani yetu...maandiko."
ikiwaka ndani yetu
Hii ni lugha ya picha inayoelezea hisia kali walizokuwa nazo walipokuwa wakiongea na Yesu. Tafsiri mbadala: "Tulikuwa na hisia kali alipokuwa akiongea na sisi."
wakati alipotufungulia maandiko
Yesu hakufungua kitabu au gombo la chuo. Tafsiri mbadala: "wakati alipokuwa akituelezea maandiko.
Luke 24:33-35
Wakanyanyuka
Inahusiana na wale watu wawili
nyanyuka
"kuamka" au "kusimama"
wale kumi na moja
Hii inaongelea wale mitume wa Yesu. Yuda hakuwa pamoja nao.
wakisema, "Bwana amefufuka kwelikweli
Wale mitume kumi na moja na wale waliokuwa pamoja nao walisema hivyo.
Hivyo wakawaambia
"Hivyo wale watu wawili wakawaambia"
mambo yaliyotokea njiani
Hii inamaanisha Yesu alivyowatokea wakiwa njiani kuelekea kijiji cha Emmau.
namna Yesu alivyodhihirishwa kwao
Tafsiri mbadala: "namna walivyomtambua Yesu"
katika kuumega mkate
"wakati Yesu alipouvunja mkate" au "wakati Yesu alipouchana mkate"
Luke 24:36-37
Yesu mwenyewe
Neno "mwenyewe" linakazia juu ya Yesu na mshangao wa Yesu kiuhakika kuwatokea. Wengi wao walikuwa hawajamuona baada ya ufufuko wake.
katikati yao
Tafsiri mbadala: "mahali ambapo wote wanaweza kumuona"
Amani iwe kwenu
"Basi iweni na amani" au "Basi Mungu awape amani!"
waliogopa na kujawa na hofu
"walishikwa na mshangao na kuogopa"
wakafikiri kwamba waliona roho
Walikuwa hawajaelewa kiuhalisia kwamba Yesu kwelikweli yu hai.
roho
Hapa inamaanisha roho ya mtu aliyekufa.
Luke 24:38-40
Kwa nini mnafadhaika?
Yesu anatumia swali kuwatia moyo. Tafsiri mbadala: "Msiogopeshwe."
Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu?
Yesu anatumia swali kuwakemea kidogo. Yesu alikuwa anawaambia wasitie mashaka kwamba yu hai. Tafsiri mbadala: "Msitie mashaka katika akili zenu!" au "Acheni kutia mashaka!"
nyama na mifupa
Hii ni namna ya kumaanisha mwili
Luke 24:41-43
bado na furaha iliyochanganyikana na kutokuamini
"bado hawakuweza kuamini kwamba ni ukweli kabisa." Walikuwa na furaha sana, lakini wakati huohuo, ilikuwa ngumu kwao kuamini kwamba ni kweli kabisa imetukia.
na kustaajabu
"na walishangazwa" au "na kustaajabu hili laweza kutokeaje"
mbele yao
"mbele yao" au "wakiwa wanatazama"
Luke 24:44
Nilipokuwa nanyi
"Wakati bado nilipokuwa nanyi"
yote yaliyoandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na zaburi
Tafsiri mbadala: "yote ambayo Musa, manabii, na waandishi wa Zaburi waliandika kuhusu mimi"
lazima yatimilike
Tafsiri mbadala: "Mungu atayatimiliza" au "Mungu atayafanya yatokee"
Luke 24:45-47
Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko.
Tafsiri mbadala: "Kisha akawawezesha kuyaelewa maandiko"
Kwamba imeandikwa
Tafsiri mbadala: "Hivi ndivyo watu hapo zamani waliandika"
siku ya tatu
"baada ya usiku mbili"
toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe
Tafsiri mbadala: "wafuasi wa Kristo inawapasa kuhubiri kwamba watu wanahitaji kutubu ili Mungu awasamehe dhambi zao"
kwa jina lake
Tafsiri mbadala: "kama wawakilishi wake" au "na mamlaka yake"
mataifa yote
"makabila yote kwenye jamii" au "makundi yote ya watu"
Luke 24:48-49
Ninyi ni mashahidi
"Mnatakiwa kuwaambia wengine kwamba mliyoyaona kuhusu mimi ni kweli." Wanafunzi walikuwa wameyaona maisha ya Yesu, kufa kwake, kufufuka kwake, na waliweza kueleza kwa wengine kitu gani alifanya.
Nawapelekea ahadi ya Baba yangu juu yenu
"Nitawapa kile ambacho Baba yangu aliahidi kuwapa." Yesu, Mungu Mwana, atatoa kile Mungu Baba alikiahidi kwa wafuasi wake wote, ambacho ni Mungu Roho Mtakatifu.
Baba
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu
mtakapovishwa nguvu
Nguvu ya Mungu itawafunika kwa namna ileile nguo inavyomfunika mtu. Tafsiri mbadala: "mnapokea nguvu."
kutoka juu
"kutoka juu" au "kutoka kwa Mungu"
Luke 24:50-51
Ikatokea
"Ilitokea"
alipokuwa akiwabariki
"wakati Yesu alipokuwa anamuomba Mungu kuwatendea mema"
akabebwa
Kwa sababu Luka haelezei kiuwazi nani alimbeba Yesu kwenda juu, hatujui kama alikuwa Mungu mwenyewe au malaika mmoja au malaika wengi.
Luke 24:52-53
Taarifa za jumla:
Mistari hii inaelezea matendo ya Mitume
walimwabudu yeye
"Mitume walimwabudu Yesu"
na kurudi
kisha walirudi
waliendelea kubaki hekaluni
hii inamaanisha kuwa walienda hekaluni kila siku
hekaluni
makuhani peke yao ndio waliruhusiwa kuingia hekaluni
wakimbariki Mungu
wakimsifu Mungu