1 Thessalonians
1 Thessalonians 1
1 Thessalonians 1:1
Maelezo ya Jumla
Paulo anajitambulisha kama mwandishi wa barua na analisalimu kanisa la Watheselonike.
Paulo, Silivanus na Timotheo kwa kanisa.
Paulo ndiye mwandishi wa barua hii
Neema na amani iwe kwenu
Neno "neema" na "amani" ni maumbo kwa mtu anayeishi na watu kwa ukarimu na amani. "Mungu awe mkarimu kwenu na awape amani"
Amani iwe nanyi.
Neno "Nanyi" linaelezea waumini wa Thesalonike.
1 Thessalonians 1:2-3
Maelezo ya jumla
Katika hii barua "tu" ya husu Paulo Silvana, na Timotheo, isipo kuwa tu imeelezwa vinginevyo.
Huwa tunamshukuru Mungu.
Tunamshukuru Mungu kila wakati.
Tumekuwa tukiwa taja katika maombi yetu.
" Tunawaombea"
Kazi ya Imani
"Matendo ya Imani" au "Kazi yenu kwa Mungu kwa sababu mnamwamini yeye"
1 Thessalonians 1:4-5
sentensi unganishi
Paulo anaendelea kutoa shukurani kwa waamini walio Theselonike na ana washukuru kwa imani yao kwa Mungu
Ndugu.
"Waumini"
Tunajuaa.
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio Waumini wa Thesalonike.
si kwa neno tu
si kwa kupitia kuhubiri tu
Ila kwa nguvu za Roho Mtakatifu.
Maana halisi zinaweza kuwa, 1. " Paulo na rafiki zake walihubiri kwa nguvu kwa kuwezesha na Roho Mtakatifu" au " 2. Injili inamatokeo makubwa kwa waaminio kupitia kazi ya Roho Mtakatifu".
Wanaume wa namna gani.
"Kwa namna ambavyo tulijitoa kwenu".
1 Thessalonians 1:6-7
Mmekuwa mfano wa kuigwa.
Kuiga maana yaake ni kutenda kama au kufataa. " mlituiga sisi".
"kulipokea neno"
"kuyapokea mafundisho" au "kuyakubali mafundisho".
Kwa taabu nyingi.
"katika wakati wa mateso makali" au " katika maudhi mengi".
Akaiya
Hii ilikuwa ni wilaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki.
1 Thessalonians 1:8-10
Limeenea kote
"Limesambaa pote"
Akaiya
Hii ilikuwa ni walaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki.
Kila mahali.
"Sehemu nyingi na kila Mikoa"
Kwa wao wenyewe.
Paulo anaelezea makanisa ambayo yaliwahi kuwapo katika Mikoa iliyokuwa karibu, waliokuwa wamesikia juu ya Waumini wa Thesalonike.
Wao wenyewe.
Kwa hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza wale watu waliokuwa wamesikia juu ya waumini wa Thesalonike.
Namna gani ya mapokezi tuliyokuwa nayo pamoja nanyi.
"Kwa namna ya ukalimu mliyotukaribisha".
Mwanae
Hii ni anwani mhimu ya Yesu inayoeleza mahusiano yake na Mungu.
Aliemuinua.
"Ambaye Mungu alimuinua"
Alietuokoa
Paulo anawahusisha waumini aliokuwa akiwaandikia kwenye neno "sisi"
1 Thessalonians 2
1 Thessalonians 2:1-2
sentensi unganishi
Paulo aeleza waamini huduma yao na thawabu.
ninyi wenyewe
neno 'wewe' inahusu wa Wathesalonike wauminio.
ndugu
Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu waumini wote katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.
ujio wetu
neno 'wetu' inahusu Paul, Silvanusi na Timotheo lakini si waumini wa Wathesalonike.
haikuwa haina maana
ilikuwa na thamani sana
mateso na walikuwa jeuri
Paulo alipigwa na kuweka katika jela la Filipi. 'walikuwa wakinyanyaswa na kutukanwa.
miongoni mwa mgogoro uliyokithiri
"pindi mkutano ukiwa na upinzani mkubwa"
1 Thessalonians 2:3-4
wala hayatoki kwa Ubaya, wala kwa uchafu, wala kwa udanganyifu
Alikuwa mkweli, safi na mwaminifu
tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa
Paulo alijaribiwa na kithibitishwa mwaminifu na Mungu
tunanena
Paulo azungumza kuhubiri injili
"Mungu, ambaye huipima mioyo yetu
"Mungu, ambaye huchunguza mawazo na matendo yetu"
1 Thessalonians 2:5-6
maelezo ya jumla
Paulo anawambia Watheselonike waamini kuwa mwenendo wake haukuwa katika maneno ya kujipendekeza, ulafi, au kujitukuza
tumia maneno ya kujipendekeza
"Kuongea na wewe kwa sifa za uongo
wala kama kisingizio cha tamaa
"wala sisi hakutumia maneno kama kisingio cha uchoyo ili wewe utupatie vitu
inaweza kudai upendeleo
inaweza kuwa alifanya wewe kutupatia vitu
1 Thessalonians 2:7-9
kama mama awezavyo kuwafariji watoto wake mwenyewe.
Kama vile mama mpole anavyowafariji watoto wake, hivyo Paulo, Silvanusi na Timotheo alizungumza kwa upole kwa Wathesalonike
tulikuwa na shauku na wewe
"sisi tulikupenda wewe"
Wewe umekuja kuwa mpenzi mwema kwetu
sisi tunamjali kwa ajili yenu kiundani
Ndugu
Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa ni pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu wote waaminio katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.
Kazi yetu na taabu
Maneno "kazi" na "tabu" kimsingi inamaana moja. Paulo ametumia hayo kusisitiza jinsi gani walifanya kazi ngumu "jinsi walifanya kazi ngumu"
Sisi tulifanya usiku na mchana ili tusiweze kuwa mzigo kwa yeyote kati yenu
"Sisi tulifanya kazi ngumu kufnya maisha yetu wenyewe hivyo haukuwa na haja ya kutusaidia sisi
1 Thessalonians 2:10-12
Takatifu, haki, na bila lawama
Paulo ametumia maneno matatu ambayo kimsingi ni kitu kimoja na kusisitiza kwamba wao tulipokuwa njia nzuri sana.
Baba na watoto wake mwenyewe
Paulo analinganisha jinsi baba kuwafundisha watoto wake kuishi na jinsi wao kuwahimiza na kuwahamasisha waumini kutembea kwa namna ambayo inamstahili Mungu
sisi kukuhimiza na kukuhamasisha wewe
Maneno "kuwahimiza" na "kukuhamasisha" kimsingia ni kitu kimoja. Paulo anayatumia kusisitiza (passionately) wamewahamasisha Wathesalonike "sisi ni nguvu kukuhamasisha wewe
kwenye ufalme na utukufu wake.
Neno "utukufu" inaelezea neno "Ufalme." "kwa ufalme wake mtukufu".
1 Thessalonians 2:13
maelezo ya jumla
Paulo anaendela kutumia "twa" kumaanisha yeye na anao safiri nao.
Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu kila wakati, kwa
"Sisi tunaendelea kumshukuru Mungu kila wakati kwa sababu"
Mlipokea kama kweli ilivyo neno la Mungu
Wathessalonike waliamini ujumbe wa Paulo aliohubiri kuwa ulikuja kutoka kwa Mungu na sio kutoka kwenye mamlaka ya Paulo mwenyewe
ni hili neno linalo fanya kazi kwenu mnao amini
Paulo anazungumzia injili kana kwamba ni mtu anaye fanya kazi
1 Thessalonians 2:14-16
ndugu
Hapa hii inamaanisha Wakristo wenzetu
mlikuwa wafuasi wa makanisa
Wao wanauzoefu sawa wa uadui kutoka baadhi yaWathessalonike kama vile waamini wa kwanza wazoefu wa mateso kutoka kwa viongozi wa Wayahudi "Ikawa kama makanisa"
kutoka kwa watu wa Taifa lenu wenyewe
"kutoka kwa Wathessalonike
Nao walituzuia sisi tusiseme
"Wao walijaribu kutufanya kuacha kusema"
daima walitimiza dhambi zao
"kuendelea kutenda dhambi"
Ghadhabu imewawajia kwao
"Adhabu ya Mungu imewajia ndani yao" au"'hasira ya Mungu imewajia ndani yao'
1 Thessalonians 2:17-20
ndugu
Hapa hii inamaanisha Wakristo wenzetu
katika uso, si kwa moyo
"Kimwili lakini sisi tunaendelea kuomba kwa ajiri yenu"
kuona uso wako
"Kukuona wewe" au "kuwa na wewe"
Mimi Paulo mara moja na tena
"Mimi Paulo, alijalibu mara mbili"
Kwa nini ni matumaini yetu ... wakati wa kuja kwake?
"Kujiamin kwetu kwa baadae, furaha, na taji ya utukufu ni wewe na wengine wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu.'
1 Thessalonians 3
1 Thessalonians 3:1-3
sentensi unganishi
Paulo anawambia waamini amemtuma Timotheo kuimarisha imani zao.
Hatukuweza kuvumilia.
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike. au " hatukuweza kuwa na uvumilivu tukihofu juu yenu"
Ilikuwa vyema kubaki kule Atheni peke yake.
"Ilikuwa vyema kwangu na Silivanus kubaki Atheni.
Vyema
"Vizuri" au "yenye mantiki"
Atheni
Huu ni Mji katika jimbo la Akaiya, ambapo kwa sasa huitwa Ugiriki.
Ndugu yetu.
"Mkristo mwenzetu"
Hakuna ambaye atasumbuliwa
"Hakuna atakayekuwa na matatizo" au hakuna atakaye ondolewa"
Tumeteuliwa.
"Tumekusudiwa"
1 Thessalonians 3:4-5
Ukweli dhabiti.
"bila shaka" au " uhakika"
Tulikuwa na wewe
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus naTimotheo lakini sio waumini wa thesalonike.
Kupata mateso.
"kutendewa mabaya na wengine"
Sikuweza kuvumilia.
Kwa hapa " mimi" inamuelezea Paulo: nilitaka kujua.
Nilimtuma.
"Nilimtuma Timotheo"
Bure.
" Isiyofaa"
1 Thessalonians 3:6-7
sentensi unganishi
Paulo anawambia wasomaji kuhusu taarifa ya Timotheo baada ya kutoka kuwasalimu
Alikuja kwetu
Neno " kwetu" linawaelezea Paulo na Silivanus lakini sio waumini wa thesalonike.
Habari njema ya Imani yako
" Taarifa nzuri juu ya Imani yako"
Mmekuwa na kumbukumbu nzuri
"Mmekuwa na kumbukumbu nzuri mara kwa mara"
Mnatamani kutuona sisi
"Mnashauku ya kutuona sisi"
Ndugu
" kwa hapa " ndugu inamaanisha wakristo wenzao.
Kupitia Imani yenu.
"kupitia imani yenu katika kristo" au "kupitia maendeleo yenu katika kristo"
1 Thessalonians 3:8-10
kwa sasa tunaishi.
Neno " sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa thesalonike.
Msimame imara.
"Mnaamini kwa sana"
Ni shukurani zipi tumrudishie Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha yote tulinayo juu yenu kwa Mungu wetu?
Swali hili rhetorical huonyesha shukrani. AT 'Hatuwezi kumshukuru Mungu ya kutosha kwa ajili matendo yake kwa ajili yako! Sisi sana kufurahi juu yako wakati sisi kuomba kwa Mungu wetu!
Kwa shukrani tunaweza kutoa kwa Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha ile yote kwamba tuna mbele ya Mungu juu yako?
Swali hili rhetorical huonyesha shukrani. AT 'Hatuwezi kumshukuru Mungu ya kutosha kwa ajili matendo yake kwa ajili yako! Sisi sana kufurahi juu yako wakati sisi kuomba kwa Mungu wetu!
Usiku na Mchana.
"Mara kwa mara"
Ni ngumu
Bidii
Kuuona uso wako.
"Kukutembelea"
1 Thessalonians 3:11-13
maelezo ya jumla
katika hii mistari, neno "wetu" halielezei watu wa aina moja kila wakati.
Na Mungu wetu
"Tunaomba ya kuwa Mungu wetu"
Na Mungu wetu...Bwana wetu Yesu.
Neno "wetu' linaelezea waumini wote.
Baba mwenyewe.
"mwenyewe" inamuelezea "Baba" kwa msisitizo.
Zielekeze njia zetu kwako
Neno "zetu" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike.
Pia sisi tunafanya
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanusi na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike.
Na afanye hivyo
"Tunaomba ya kuwa Mungu atatenda"
Katika ujio wa Bwana wetu Yesu
" wakati Yesu atakapokuja tena duniani"
Na utakatifu wake wote
"Na wale wote waliowakwake"
1 Thessalonians 4
1 Thessalonians 4:1-2
Ndugu
hapa "ndugu" inamaanisha mkristo mwenzako
Tunawatia moyo na kuwasihi
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timothy lakini sio waamini wa Thesalonike. Neno "kutia moyo" na "kusihi" inamaana moja. Paulo aliyatumia ili kusisitiza ni kwa jinsi gani wanawatia moyo waamini.
Mlipokea maelekezo toka
"mlifundishwa na"
Lazima mtembee
Hapa neno "kutembea" inaelezea namna ambavyo mtu anatakiwa kuishi.
1 Thessalonians 4:3-6
Epuka tamaa za mwili
"kaa mbali na tamaa za mwili"
Namna ya kumiliki
"kujua namna ya kuishi na"
Tamaa za mwili
"tamaa mbaya za mwili"
Asiwepo mtu
"asowepo yeyote" au "asiwepo mtu"
Atakayevuka mpaka na kumkosea
Hii ni maelezo zaidi inayoelezea wazo lile lile kwa namna mbili.
Bwana ndiye mwenye kulipa kisasi
"Bwana atamuadhibu yule atakayevuka mipaka na atamtetea yule atakayekosewa"
Tulivyowaonya na kuwashuhudia
"Tulivyowaambia kabla ba kuwaonya kwa nguvu"
1 Thessalonians 4:7-8
Mungu hakutuita kwa uchafu bali kwa utakatifu
Mungu alituita kuwa wasafi na watakatifu.
Mungu hakutuita sisi
Neno "sisi" linamaanisha waamini wote.
Yeye anayelikataa hili
"Yeyote asiyezingatia mafundisho haya" au "yeyote anayeyapuuzia mafundisho haya"
1 Thessalonians 4:9-12
Upendo wa ndugu
"upendo kwa waamini wenzako"
Mlifanya yote kwa ndugu walioko Makedonia yote.
"mlionesha upendo kwa waamini wa Makedonia"
Ndugu
Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako
Mtamani
"Kujiingiza" au "kujitahidi kwa bidii"
Fanya shughuli zako
Hii inamaanisha usiingilie mambo ya watu wengine.
Fanya kazi kwa mikono yako
"mfanye kazi zenu wenyewe ili mpate kile mnachookiitaji"
Tembea kwa usahihi
"Ishi kwa heshima na tabia njema"
Wale walioko nje ya imani
"wale ambao sio waamini wa Kristo"
Usihitaji kitu chochote
"Usipungukiwe na hitaji lolote"
1 Thessalonians 4:13-15
Maelezo ya jumla
Paulo anaongelea waamini walio kufa, walio hai, na ao watakao ishi Kristo akirudi.
Hatutaki msielewe.
"Tunataka muelewe"
Hatutaki
"Sisi" inawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike.
Ndugu
Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako.
Kulala
Hapa inamaanisha "kufa."
Msiomboleze
"Msisikitike"
Kama hao wasiojua mambo yajayo
"Kama watu wasioamini"
Kama tukiamini
Hapa "sisi" linawaelezea Paulo na hadhira yake.
Kufufuka tena
"kufufuka na kuishi tena"
Atawaleta pamoja na Yesu hao waliolala mauti.
"akirudi atawafufua waamini waliokufa wakimwamini Yesu"
Kwa ajili ya hayo twasema
"Sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike.
Hakika hatutawatangulia
"hakika hatutakwenda mbele yao"
1 Thessalonians 4:16-18
Bwana mwenyewe atashuka.
"Bwana mwenyewe atakuja chini"
Malaika mkuu
Malaika mkuu
Waliokufa katika Kristo watafufuka kwanza
Hapa anamaanisha kifo cha kimwili. "wale waliomwamini Yesu Kristo lakini walikufa watafufuka kwanza"
Sisi tulio hai
Hapa "sisi" linamaanisha waamini wote.
Pamoja nao
Neno "wao" linawaelezea waamini waliokufa.
Tutaungana hewani ili kumlaki Bwana mawinguni.
Kumlaki Bwana Yesu
1 Thessalonians 5
1 Thessalonians 5:1-3
sentensi unganishi
Paulo anazidi kuongelea siku Yesu ata rudi
muda na nyakati
"muda ambayo Bwana Yesu atarudu tena "
Ndugu
Her "ndugu" inamaanisha Wakiristo wengine
mwajua ya kuwa
"kufahamu kabisa" au "kuwa na ufahamu"
kama mwizi ajapo usiku
kama vile ambavyo mtu hajui ni usiku gani mwivi atakuja kuvunja na kuiba, sisi hatujui siku ya Bwana itakuja lini. "bilakutazamia"
Pale wasemapo
"Watu watakaposema"
ndipo uharibifu
"ndipo uharibifu usiotegemewa"
kama utungu umjiavyo mama mwenye mimba.
Kama vile mwanamke mjamzito maumivu ya kujifungua mtoto huja ghafla na wala haichi mpaka kuzaliwa itakapokamilika, ndivyo uharibifu huja na watu hawataweza kuepuka.
1 Thessalonians 5:4-7
ninyi, ndugu hampo kwenye giza
Hapa "ndugu" inamaanisha Wakristo wenzake. "Ninyi si wa dunia hii ya uovu, ambayo ni kama kuwa katika giza"
hata ile siku iwajie kama mwizi
Siku ambayo Bwana atakuja haitakuwa ya kushitukisha kama vile mwizi anavyo mshitukisha mtu. "Isiwapate pasipo kujiandaa"
ninyi nyote ni wana wa mchana...siyo wana wa usiku
Hapa "wana wa mchana" inamaanisha wafuasi wa Kiristo. "wana wa usiku" inamaanisha wale wote wengine wanaofuata dunia.
tusilale kama wengine wafanyavyo
Paulo anafananisha kulala na ile hali ya kutokujua kuwa Yesu atarudi kuhukumu ulimwengu. " tusiwe kama wengine ambao hawajui kuwa Yesu anarudi tena"
tusilale
neno "tu"inarejea kwa waumii wote .
bali tuendelee kukesha na kuwa na kiasi
Walioamini katika Kristo wanatakiwa wawe katika hali ya tahadhari kwa kurudi kwake na kuwa na kuweza kujizuia,
Kwa kuwa wale walalao hufanya hivyo usiku
Kama ilivyo usiku wakati watu wamelala na hawajui nini kinachotokea, ndivyo itakavyokuwa kwa dunia, ambao hawajui kuwa Kiristo atarudi.
wale wanao lewa hulewausiku
Paulo anataja kuwa ni usiku ambapo watu huwa wanalewa, hivyo kama watu hawana ufahamu kuwa Kiristo anarudi hawataishi maisha ya kujizuia
1 Thessalonians 5:8-11
maelezo ya jumla
katika mistari ya 8-10 "sisi" ya husu waamini wote
wana wa mchana
Hii inawakilisha waumini katika Kristo. "waumini katika Kristo" au "watu wa mwanga."
tuwe na kiasi
"tujizoeze katika kujizuia"
kuvaa dirii ya
kama askari anavyo vaa dree kuulinda mwili wake, Mkiristo aliyeamini anayeishi kwa imani na upendo atapata ulinzi. "tujilinde wenyewe kwa"
kofia ya chuma
kama kofia ya chuma inavyo mlinda askari kichwani, hivyo ndivyo uhakika wa waokovu inavyomlinda muumini. "na ujue"
kwamba tumacho au tumelala
"kwamba tuko hai au tumekufa"
kujengana ninyi kwa ninyi
"kufarijiana"
1 Thessalonians 5:12-14
Ndugu,
Hapa "Ndugu" humaanisha walioamini wenzake
tuwatambue wale wanaotumika
"Kuheshimu na kuthamini wale ambao wanashiriki katika kuongoza"
na wale wanaowaongoza katika Bwana
Hii inamaanisha wale watu ambao Mungu amewaweka kutumika kama viongozi katika vikundi vya waumini sehemu mbalimbali.
muwatambue na kuwapa heshima kwa upendo kwa sababu ya kazi yao
"Waheshimuni na kuwatii kwa kazi yao kwasababu mnawapenda wao"
1 Thessalonians 5:15-18
Furahini siku sote, Ombeni bila ukomo, Mshukuruni Mungu kwa kila jambo
Paulo anawatia moyo waumini kuendeleza tabia ya kiroho ya kufurahi kwa kila jambo, kuwa na juhudi katika maombi, na kutoa shukurani kwa mambo yote.
kila jambo
katika hali zote
Kwa kuwa haya ni mapenzi ya Mungu
Paulo anaeleza zile tabia alizo zitaja kuwa ni mapenzi ya Mungu kwa waamini wote.
1 Thessalonians 5:19-22
Msimzimishe Roho
"Msimzuie Roho Mtakatifu kufanya kazi ndani yenu"
Msiudharau unabii
"Msiwe na dharau kwa unabii" au "Msichukie chochote ambacho Roho Mtakatifu atamueleza mtu"
Jaribuni kila Jambo
"Kakikisha kuwa kila unabii ni kweli na unatoka kwa Mungu"
shikilia lililo jema
Paulo anazungumza ujumbe za Roho Mtakatifu kama ni vitu ambavyo mtu anaweza shika mikononi mwake.
1 Thessalonians 5:23-24
kuatenga kwa ajili yake kabisa
"awatenge" au "kufanya ninyi msiwe na kosa, hivyo kwamba msitende dhambi"
roho, nafsi na miili wote
Hii ni mfanano ambao neno "roho", "nafsi" na "mwili" kuwa na maana sawa lakini hutumiwa hapa kwa msisitizo.
itunzwe pasipo mawaa katika
"itunzwe isifanye dhambi mpaka"
Yeye aliyewaita ni mwaminifu
"Yeye ni Mwaminifu aliyewaita "
ndiye ambaye pia kutenda.
""atawasaidia ninyi"
1 Thessalonians 5:25-28
maelezo ya jumla
Paulo anatoa kauli zake za kufunga
ndugu
Hapa "ndugu" ya maanisha wa Kristo
nawasihi katika Bwana
"nawauliza, kama ni Bwana anazungumza nanyi"
barua hii isomwe
hii yawezwa tajwa katika kauli tendaji, "ninyi nyote msome hii barua"