2 Corinthians
2 Corinthians 1
2 Corinthians 1:1-2
Sentensi unganishi
Baada ya salamu za Paulo kwa Kanisa la Korintho, anaandika kuhusu mateso yake na faraja yake kupitia Yesu Kristo. Timotheo yuko pamoja naye pia.
Maelezo ya jumla
Neno "ninyi" katika barua hii ina maanisha watu wa kanisa la Korintho na kwa wakristo wengine katika eneo hilo. Inawezekana Timotheo anaandika kwenye karatasi iliyotengenezwa kwa ngozi mameno anayoyasema Paulo.
Huyu Paulo
Lugha yako inaweza kuwa hasa njia ya kumtambulisha mwandishi wa barua. AT: "Mimi, Paulo, niliandika barua hii."
kaka
Katika Agano Jipya, mtume Paulo mara nyingi alitumia neno "kaka" kumaanisha kwa wakristo wenzangu, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni watu wa familia moja ya kiroho, na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.
Akaya
Hili ni jina la jimbo la Kirumi kusini mwa sehemu iitwayo Ugiriki kwa sasa.
Neema iwe kwenu na amani
Neno "kwenu" ina maanisha watu wa kanisa la Koritho na kwa wakristo wengine katika eneo hilo. Hii nisalamu ya kawaida ya Paulo katika barua hizi.
2 Corinthians 1:3-4
Mungu na baba wa Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe
Hii inaweza kusemwa katika hali tendaji. Tumtukuze Mungu na baba wa Bwana wetu Yesu Kristo daima"
Mungu na Baba
"Mungu, ambaye ni Baba"
Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote
Tungo hizi mbili zinaelezea wazo linalofanana katika njia mbili tofauti. Kwa pamoja tungo zinamwelezea Mungu.
Baba wa rehema na Mungu wa rehema na Mungu wa faraja yote
Maana zake zaweza kuwa 1) maneno "rehema" "faraja yote" yanaelezea tabia ya "Baba" na "Mungu" au 2) kwamba maneno "Baba" na "Mungu" yanamwelezea mmoja aliye asili ya "rehema" na "faraja yote."
hutufariji katika mateso yote
Hapa "sisi" na "yetu" hujumlisha Wakorintho.
2 Corinthians 1:5-7
Kama vile mateso ya Kristo yalivyoongezeka kwa faida yetu
Paulo anazungumzia mateso ya Kristo kama vile yalivyokuwa kielelezo ambacho kingeongezeka katika idadi "Kama vile Kristo alivyoteswa sana kwa faida yetu"
Mateso ya Kristo
Maana zake zaweza kuwa 1) kwamba hii ina maanisha mateso ya Paulo na Timotheo waliyoyapitia kwa sababu wanahubiri ujumbe unaomhusu Kristo au 2) inamaanisha mateso ya Kristo aliyoyapitia kwa niaba yao.
Faraja yetu inadumu
Paulo anazungumza kuhusu faraja kwa vile kama mfano ambao ungeweza kuongezeka ukubwa wake.
lakini kama tukiteswa
hapa neno "sisi" lina maanisha Paulo na Timotheo, lakini siyo Wakorintho. Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji "Lakini hata kama watu wakitutesa"
Kama tukitiwa faraja
Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji badala yake " Kama Mungu akitufariji"
Faraja yenu inafanya kazi vizuri
"Mnapitia faraja timilifu"
2 Corinthians 1:8-10
hatutaki mwe wajinga
Hii inaweza kuelezwa kwa msamiati chanya "tunataka mfahamu"
Tuliteswa sana zaidi ya vile ambavyo tungeweza kuvumilia
Paulo na Timotheo wanaelezea hisia zao za kukata tamaa kama mzigo mzito waliopaswa kuubeba.
Tulikuwa tumekatishwa tamaa kabisa
neno "katishwa tamaa" linaeleza hisia za kuvujwa moyo. Hii inaweza kuelezwa katika muundo wa utendaji. " taabu tulizozipitia zimetukatisha tamaa kabisa" au "Tulikuwa katika kukatishwa tamaa kabisa"
Tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu
Paulo na Timotheo wanalinganisha hisia zao za kuvujwa moyo kama mtu ambaye ametiwa hatiani kufa." " Tulikuwa katika kukata tamaa kama mtu aliyehukumiwa kufa"
lakini badala yake katika Mungu
Maneno "weka tumaini letu" yameachwa katika sentensi hii. "lakini badala yake, weka tumaini letu katika Mungu"
anaye wafufua wafu
"anaye waleta wafu kurudi katika uhai tena"
maafa ya mauti
Paulo na Timotheo wanafananisha hisia yao ya kukata tamaa na maafa ya mauti au hatari ya kutisha. (UDB) AT: "kukata tamaa."
2 Corinthians 1:11
Atafanya hivi kama ninyi pia mlivyotusaidia
"Mungu atatuokoa kutoka hatarini kama ninyi, watu wa kanisa la Korintho, mtusaidia na sisi pia"
Upendeleo wa utukufu umetolewa kweyu
Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji. "Upendeleo wa utukufu ambao uliotolewa kwetu"
2 Corinthians 1:12-14
Tunaona fahari juu ya hili..sababu yenu ya kujisifu
"Maneno "kujisifu" na kuona fahari " yametumika hapa katika mtazamo chanya wa utoshelevu wa hisia kubwa na furaha katka kitu fulani.
ushuhuda wa dhamiri zetu
Fikra za Paulo na Timotheo kuhusu matendo yao yashuhudia kwamba wameishi katika njia impendezayo Mungu.
siyo katika hekima ya kidunia
Neno "ya kidunia" linaeleza kile kinachotambulisha jamii ya wanadamu ambayo haimchi Mungu. "siyo kwa kufuata hekima ya kibinadamu"
hatuwaandikii chochote msichoweza kukisoma au kukielewa
Hii inaweza kuelezwa kuwa "Mnaweza kukisoma na kukielewa kila kitu tunachowaandikieni"
kama vile mtakavyokuwa wetu
"Unaweza kuyagawa maneno "Sababu yetu kuona fahari" kujaza duaradufu. "kama mtakavyokuwa sababu yetu ya kuona fahari"
2 Corinthians 1:15-16
Sentensi unganishi
Paulo anaeleza matumaini yake ya hakika kwa hamasa safi kuja kuwaona waumini katika Korintho baada ya barua yake ya kwanza.
Maelezo ya jumla
Paulo aliandika takribani barua 3 kwa Wakorintho.barua 2 tu kwa Korintho zimeandikwa katika Biblia.
Kwa sababu nilikuwa mwenye ujasiri kuhusu hili
Neno "hili" linaelezea maneno ya mwanzo ya Paulo kuhusu Wakorintho.
mtaweza kupokea faida ya ziara zangu mbili
mtaweza kunufaika kutoka kwangu nitakapowatembelea mara ya pili.
mnitume kwa safari yangu ya Uyahudi
Mniwezeshe kwa safari yangu ya Uyahudi
2 Corinthians 1:17-18
nilikuwa mashaka?
Paulo anatumia swali hili kusisitiza alikuwa na uhakika uamuzi wake kuwatembelea Wakorintho. Jibu lililotarajiwa kwa swali hili lilikuwa "Nilikuwa sina mashaka" au " Nilikuwa na ujasiri katika uamuzi wangu"
Je, ninapanga vitu kwa mujibu wa vigezo vya kibinadamu kwa wakati mmoja?
Hii ina maanisha kuwa Paulo hakusema kwa pamoja kwamba angetembelea na kwamba asingetembelea. Maneno "ndiyo" na " hapana" yamerudiwa kwa msisitizo. "Kwa hiyo nitasema "Ndiyo" wakati nitakapojuwa kwa hakika kuwa nitatembelea na "Hapana" pale tu ninapojua kuwa sina uhakika wa kutembelea kwa wakati mmoja"
2 Corinthians 1:19-20
Kwa maana Mwana wa Mungu... siyo "Ndiyo" na "Hapana." Badala yake yeye ni "Ndiyo" daima."
Yesu husema "Ndiyo" daima kuhusiana na ahadi za Mungu, ambazo zinamaanisha kwamba anathibitisha kwamba wako sahihi . Kwa kuwa Mwana wa Mungu ...hasemi " Ndiyo" na " Hapana "kuhusina na ahadi za Mungu. Badala yake husema "Ndiyo" daima
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu cha Yesu ambacho kinaelezea uhusano kwa Mungu
ahadi zote za Mungu ni "ndiyo" katika yeye
Hii ni kumaanisha kwamba Yesu anahakikisha anatimiza yote yale ambayo Mungu ameahidi katika Kristo Yesu. "Ahadi zote za Mungu zinathibitishwa katika Yesu Kristo"
"Ndiyo" katika yeye...kupitia yeye
Neno "yeye" linarejea kwa Yesu Kristo.
2 Corinthians 1:21-22
Mungu hututhibitisha sisi na ninyi
Maana zake zaweza kuwa 1)" Mungu ambaye huthibitisha uhusiano wetu na kila mmoja wetu kwa sababu tiko ndani ya Kristo" au 2)"Mungjambaye huthibitisha pamoja uhusiano wetu na wenu pamoja na Kristo."
Ameweka muhuri wake juu yetu
Hii Ina maanisha kwamba Mungu ametutia amewawekea alama wakristo kama miliki yake ."Ametuwekea alama kuwa mali yake"
Ametupa Roho ndani ya mioyo yetu
Hapa neno "Roho" linaeleza utu wa ndani wa mwanadamu. " Ametupa :Roho" kuishi ndani mwa kila mmoja wetu"
Roho ...kama uthibitisho
Roho amezungumzwa kama malipo kuelekea uzima wa milele.
2 Corinthians 1:23-24
Ninamwita Mungu kubeba ushahidi kwa ajili yangu
Maneno haya "kubeba ushahidi" yana rejea kwa mtu anayesema ambacho wameona au kusikia ili kwamba kutuliza hoja. "Namuuliza Mungu kuonyesha kile ninachosema ni kweli"
Ili kwamba niwahifadhi ninyi
"Ili kwamba nisije kuwafanya kuteseka zaidi"
Tunatenda kazi paoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu"
"Tunatenda kazi [aoja nanyi ilikwamba muwe na furaha"
Simameni katika imani
Neno "Simameni" linaweza kumaanisha kitu ambacho hakiwei kubadilika. "iweni thabiti katika imani yenu"
2 Corinthians 2
2 Corinthians 2:1-2
Sentensi unganishi
Kwa sababu ya pendo kuu kwa ajili yao, Paulo anaweka wazi kwamba hilo onyo lake katika barua yake ya kwanza kwao(onyo la kukiri dhambi ya uzinzi) ilimsababishia yeye maumivu kama yalivyo maumivu kwa watu wa kanisa katika Korintho na watu wasio na maadili.
Niliamua kwa upande wangu
"Nilifanya uamuzi"
kama niliwasababisha maumivu, ni nani atakayenifurahisha isipokuwa yule niliye muumiza?
Paulo anatumia swali hili la kujihoji kusisitiza kuwa siyo yeye au wao wangenufaika kama kuja kwake kwao kungewasababishia maumivu. " Kama niliwasababishia maumivu , mmoja pekee ambaye angenifurahisha angekuwa ni yule ambaye ambaye aliumizwa nami"
Mmoja pekee aliyeumizwa nami
Hii inaweza kufafanuliwa katika kauli tendaji "yule ambaye aliumizwa nami"
2 Corinthians 2:3-4
Niliandika kama nilivyofanya
Hiki kinarejea barua nyingine ya Paulo aliyokuwa ameiandika kwa wakristo wa Korintho ambaye haipo." Niliandika kama nilivyofanya katika barua zangu za awali"
Nisingeumizwa na wale waliopaswa kunifanya mimi nifurahi
Paulo anazungumzia kuhusu mwenendo wa baaadhi ya wakristo wa Korintho waliomsababishia yeye maumivu ya kisaikolojia .Hiki kinaweza kuelezwa kwajinsi ya kauli tendaji " wale wliopaswa kunifanya mimi nifurahi wasingeniumiza"
fuaha yangu ni ni furaha ile ile mliyo nayo nyote
"Kile kinachonipa mimi kufurahi ni kile kile kinachowapa ninyi furaha pia"
kutoka katika "mateso" makubwa
Hapa neno "mateso" linaelezea maumivu ya hisia
kwa dhiki ya moyo
Sehemu hii neno "moyo" linamaanisha mahali pa hisia." na huzuni kubwa"
na kwa machozi mengi
"na kwa kulia kwingi"
2 Corinthians 2:5-7
katika vipimo vingine
"katika baadhi ya sehemu"
bila kuweka uchungu zaidi
" maana zinazopendekezwa ni 1) "Sipendi niseme kwa ukali sana" au 2) Sipendi kulikuza."
Kuhukumiwa kawa mtu yule na watu wengi inatosha
Hii inawea kuelezwa kwa kwa kauli tendaji. Neno " hukumu" linaweza kutafsiriwa kutumia kitenzi. " Kwa jinsi watu wengi walivyomwadhibu mtu huyu inatosha"
inatosha
ni ya kuridhisha
hajatetereshwa na wingi wa huzuni
Ina maanisha kuwa na mwitikio dhabiti wa hisia kwa huzuni nyingi. "huzuni nyingi haziwezi kumwogopesha"
2 Corinthians 2:8-9
Sentensi Unganishi
Paulo analitia moyo kanisa katika Korintho kuonyesha pendo na kuwasamehe watu wale ambao wamewahukumu. Anaandika kwamba, yeye pia amemsamehe yeye.
thibitisheni pendo lenu hadharani kwa kwa ajili yake
Ina maanisha kwamba wanapaswa kuthibitisha pendo lao kwa ajili ya mtu huyu mbele ya wakristo wote.
ninyi ni watii katika kila jambo
maana pendekezwa ni hizi 1)" ninyi ni watii kwa Mungu katika kila kila kitu" au 2) "ninyi mna utii katika kila jambo nililo wafundisha"
2 Corinthians 2:10-11
mmesamehewa kwa ajili yenu
"nisamehewa kwa faida yenu." au "mmesamehewa kwa faida yenu"
mmesamehewa kwa faida yenu
"nimesamehewa mbali na upendo wangu kwa ajili yenu" au "mmesamehewa kwa kwa faida yenu"
2 Corinthians 2:12-13
Sentensi unganishi
Paulo anawatia moyo wakristo katika Korintho kwa kuwaambia kuhusu fursa aliyokuwa nayo kuihubiri injili katika Troa na Makedonia.
Bwana alikuwa amenifungulia mlango ...kuihubiri Injili
Paulo anazungumza juu ya fursa yake ya kuhubiri injili kama ilivyokuwa mlango kupitia ambao alikuwa amekubaliwa kuupitia. " Bwana alimfungulia mlango ...kuhubri injili" au " Bwana alimpatia fursa ....kuhubiri injili"
Sikuwa na amani moyoni
"Moyo wangu ulifadhaishwa " au "Nilitiwa hofu"
ndugu yangu Timotheo
Paulo anazungumza kuhusu Timotheo kama kiongozi wake wa kiroho.
"Hivyo niliondoka"
"Hivyo niligana na watu wa Troa"
2 Corinthians 2:14-15
Mungu , ambaye ni Kristo daima hutuongoza katika ushindi
Paulo anazungumza kuhusu Mungu kama vile angekuwa askari mshindi anayeongoza jeshi na kwa yeye mwenyewe na watenda kazi pamoja naye kama wale wanaoshiriki katika jeshi lile. " Mungu, ambaye ni Kristo daima hutufanya sisi tushiriki katika ushindi au " Mungu, ambaye ni Kristo daima hutuongoza sisi katika ushindi kama vile wale walio juu yeye kama vile alivyopata ushindi"
Kupitia sisi husambaza harufu nzuri ya manukato ya maarifa yake kila mahali
"" Paulo anazungumza juu ya maarifa ya Kristo kama vile manukato yaliyo na harufu nzuri " "Huyafanya maarifa ya Kristo kuenea kwa kila mtu anayetusikia sisi, kama vile manukato mazuri ya ubani uliounguzwa humfikia kila mmoja aliye karibu"
kila mahali
kila mahali tuendako
kwa Mungu tu manukato mazuri ya kristo
Paulo anazungumza juu ya huduma yake ilikuwa kama sadaka ya kuteketezwa ambayo mtu fulani hutoa kwa Mungu.
manukato mazuri ya Kristo
"manukato mazuri ni maarifa ya Kristo" au "manukato mazuri ya ambayo Kristo hutoa"
wale waliookolewa
"wale ambao Mungu amewaokoa"
2 Corinthians 2:16-17
ni harufu
"maarifa ya Kristo ni manukato ."
harufu kutoka kifo hadi kifo
hili neno "kifo" limerudiwa kuweka msisitizo na tungo ina maanisha " harufu ya manukato inasababisha kifo" au "harufu ya manukato ya kifo ambayo husababisha wau kufa"
mmoja anayeokolewa
"mmoja ambaye kwake Mungu anamwokoa"
harufu ya manukato kutoka uhai hadi uhai
neno "uhai" limerudiwa kutoa msisitizo na tungo ina maanisha" harufu nzuri ya manukato inayotoa uhai" au " harufu nzuri ya maisha inayowafanya watu waishi"
nani anayestahili vitu hivi
"hakuna anayestahili vitu hivi"
usafi wa nia
"nia iliyo safi"
Tunazungumza katika Kristo
Tunazungumza kama watu waliounganishwa kwa Kristo" au " tunazungumza kwa mamlaka ya Kristo"
kama tulivyotumwa kutoka kwa Mungu
"kama watu ambao Mungu amewatuma"
mbele za uso wa Mungu
"tunazungumza mbele za uwepo wa Mungu"
2 Corinthians 3
2 Corinthians 3:1-3
Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha kuwa hajisifu kwa vile anavyowaambia kuhusu kile alichokifanya kuhusu Kristo.
Tunaanza kujisifu wenyewe tena ?
" Hatujaanza kujisifu wenyewe tena"
hatuhitaji barua za utambulisho kwenu au kutoka kwenu, kama watu wengine, tunafanya hivyo?
"Kwa hakika hatuhitaji barua za uthibitisho kwenu au kutoka kwenu, kama watu wengine wanavyofanya"
Barua za uthibitisho
Hii ni barua mtu huandika kujitambulisha na kutoa uthibitisho wa mtu mwingine.
Ninyi wenyewe ni barua yetu ya utambulisho wetu
Ninyi wenyewe ni sawa na barua ya utambulisho wetu"
Imeandikwa ndani ya mioyoni mwetu
"ambayo Kristo ameiandika mioyoni mwetu"
imejulikana na kusomwa na watu wote
"ambayo watu wote wanaweza kuifahamu na kuisoma"
ninyi ni barua kutoka kwa Kristo
" ninyi ni barua ambayo Kristo ameiandika"
imetolewa na sisi
"ambayo tuliitoa"
Imeandikwa siyo kwa wino...katika vibao vya mioyo ya watu
Paulo anafafanua kwamba Wakorintho ni sawa na barua ya kiroho, siyo sawa na barua ambayo wanandamu huandika kwa vifaa vinavoonekana.
Imeandikwa si kwa wino...bali kwa roho wa Mungu anyeishi
"siyo barua ambayo watu huandika kwa wino, bali ni barua ambayo imeandikwa na Mungu anayeishi"
Haikuandikwa juu ya mbao za mawe, bali imeandikwa juu ya mbao za mioyo ya wanadamu
"siyo barua ambayo watu huchonga juu ya mbao za mawe bali ni barua ambayo Roho wa Mungu anayeishi ameiandika juu ya mbao za mioyo ya watu"
mbao za mioyo ya watu
Paulo anazungumza kuhusu mioyo yao ambayo imekuwa kama vipande bapa vya mawe au udongo wa mfinyanzi juu yake watu wamechora barua.
2 Corinthians 3:4-6
huu ndiyo ujasiri
Inaelezea kwa kile ambacho Paulo amekisema. .Ujasiri wake unatoka katika kufahamu kwamba Wakorintho ni uthibitisho wa huduma yake mbele za Mungu.
Uhodari ndani yetu wenyewe
"Kustahili kwetu ndani yetu sisi wenyewe" au "Utoshelevu ndani yetu sisi wenyewe"
kudai kitu chochote kuwa kinatoka kwetu
kudai kuwa kitu chochote ambacho tumefanya katika huduma huduma huja kwa juhudi zetu sisi wenyewe"
Uhodari wetu unatoka kwa Mungu
"Mungu hutupa utoshelevu"
Agano lisilo la barua
"agano ambalo halijajikita juu ya sheria ambazo zimeandikwa na wanandamu.
lakini la Roho
"lakini ni agano ambalo limejikita juu ya kile ambacho Roho anafanya"
barua inaua
"sheria iliyoandikwa hupelekea kifo"
2 Corinthians 3:7-8
Sentensi Unganishi
Paulo anatofautisha utukufu unaofifia wa patano la kale na ubora na uhuru wa patano jipya. Anatofautisha utando wa Musa na ubayana wa ufunuo wa sasa. Wakati wa Musa haukuwa picha ya wazi ya kile ambacho asa kimewekwa wazi.
Sasa huduma ambayo imeleta kifo ...ilikuja katika utukufu kama huo
Paulo anasisitiza kwamba ingawa sheria hupelekea huongoza katika kifo, Bado ilikujwa na ya utukufu mwingi.
huduma ambayo ilileta kifo
"huduma ambayo imesababisha kifo ka sababu imejikita juu ya sheria"
imechora katika barua juu ya mawe
"kwamba Mungu ameichonga kwenye mawe pamoja na barua"
Katika utukufu huo
"katika utukufu mwingi"
Hii ni kwa sababu
"wasingeweza kutazama kwa sababu"
ni kwa kiwango gani utukufu mwingi utakuwa huduma ambayo Roho huifanya?
Paulo anatumia swali hili kusisitiza kuwa "huduma ambayo Roho huitenda" ni lazima iwe ya utukufu kuliko "huduma ambayo ilitolewa" kwa sababu huongoza katika uzima "
huduma ambayo Roho huitenda
"huduma ya Roho." Hii inaelezea patano jipya, ambalo Paulo ni mtumishi wake.
2 Corinthians 3:9-11
kazi ya hukumu
"Kaziya hukumu ."Hii inarejea kwenye sheria ya Agano la Kale.
ni mara ngapi zaidi huduma ya haki huzidi sana katika utukufu!
Hapa neno "jinsi gani" linaonyesha tungo hii kama mshangao, siyo kama vile swali.
huduma ya uadilifu huzidi sana katika utukufu
Paulo anazungumza juu ya "huduma ya haki" kama ilivyokuwa taswira ammbayo ingeweza kutoa au kuongeza taswira nyingine. Anamaanisha kuwa " huduma ya uadilifu" ni ya utukufu zaidi kuliko sheria , ambayopia ilikuwa na utukufu.
huduma ya uadilifu
"huduma ya uadilifu" Inarejea kwenye agano jipya , ambalo paulo ni mtumishi wake.
kile kilichofanywa utukufu kwanza hakina utukufu tena katika heshima hii, kwa sababu ya utukufu unaozidi.
Sheria ya Agano la Kale haionekani tena kutukuzwa inapolinganishwa na Agano jipya, ambalo lina utukufu zaidi.
kile kilichofanywa utukufu kwanza
"kile kinachoweza kutafsiriwa katika kauli tendaji" "sheria ambayo Mungu aliifanya utukufu"
katika heshima hii
"kwa njia hii"
kile ambacho kilikuwa kinapita
IHii inamaanisha "huduma ya hukumu" ambayo Paulo anazungumza juu yake iliyokuwa kama taswira yenye uwezo wa kutoonekana.
2 Corinthians 3:12-13
Kwa kuwa tunaujasiri sana.
Hii ina maanisha kwamba Paulo tayari amesema. Ujasiri wake unatoka katika kufahamu kuwa agano jipya lina utukufu wa milele.
mwisho wa utukufu ambao ulikuwa unatoweka
Ni marejeo ya utukufu ambao ulinga'ra juu ya uso wa Musa kama ulivyofifia mbali kabisa.
2 Corinthians 3:14-16
Lakini fahamu zao zilikuwa zimefungwa
"Lakini mioyo yao ilikuwa migumu." Paulo anazungumza juu ya mioyo ya watu wa Israeli kama kifaa ambacho chaweza kufungwa au kufanywa kigumu. Ufafanuzi huu humaanisha kwamba walikuwa hawawezi kuelewa kile wanacho kiona.
Hata mpaka siku hii
Tungo hizi zinarejea akati ambao Paulo alikuwa akiandika kwa Wakorintho.
utaji uleule bado unabaki juu ya usomaji wa agano la kale
kama ilivyo kwa Waisraeli wasingeweza kuona utukufu juu ya uso wa Musa kwa sababu alifunika uso wake na utaji , kuna utaji wa kiroho unaowazuia watu kutoelewa wanaposema agano la kale.
juu ya usomaji wa agano la kale
"Wakati mtu anaposema agano la kale" au " Wakati wanaposikia mtu fulani anaposoma agano la kale"
Haijawekwa wazi, kwa sababu ni katika Kristo pekee inaondolewa mbali.
Hapa inajumuisha usahihi wa neno "hilo" inarejea "utaji uleule"
wakati wowote Musa asomwapo
Hapa neno " Musa" linarejea kwenye sheria ya agano la kale.
utaji hukaa juu ya mioyo yao
hapa neno "mioyo"linarejea kwenye moyo na mawazo. Utaji wa kiroho hufunika mioyo yao, kuwazuia wasiweze kuelewa agano la kale.
utaji unaondolewa.
Hii ina maanisha kwamba sasa wamepewa uwezo wa kufahamu.
2 Corinthians 3:17-18
Sasa sisi sote
Hapa neno "sisi" lina maanisha kwa wakristo wote, akiwemo na Paulona Wakorintho.
pamoja na nyuso zisizo wekewa utaji, huona utukufu wa Bwana
Sivyo kama Waisraeli amabao wasingeweza kuuona utukufu wa Mungu kwenye uso wa Musa kwa sababu alikuwa ameufunika kwa utaji, hakuna kitu chochote cha uwazuia waamini kuuona na kuufahamu utukufu wa Mungu.
Tunabadilishwa ndani ya muonekano uleule
Roho anawabadilisha waamini kuwa wenye utukufu kama yeye
kutoka shahada moja ya utukufu kwenda nyingine
"kutoka katika kipimo kimoja cha utukufu kwenda kwenye kipimo kingine cha utukufu.
kama ilivyo kutoka kwa Bwana
"kama vile ilivyo kutoka kwa Bwana"
2 Corinthians 4
2 Corinthians 4:1-2
Sentensi Unganishi
Paulo anaandika kuwa yeye ni mwaminifu katika huduma yake kwa kumhubiri Kristo, siyo kujisifia yeye mwenyewe. Anaonyesha kifo na maisha ya Yesu kwa jinsi alivyoishi ili kwamba maisha yafanye kazi katika maisha ya wakorintho.
Tuna huduma hii
Hapa neno"sisi" linamwakilisha Paulo na watenda kazi wenzake, lakini sasa kwa Wakorintho kwa vile ambavyo Mungu anatuhudumia na anatuonyesha rehema kwa kutubadilisha sisi tuwe zaidi kama yeye.
na kama ambavyo tumeipokea rehema
Tungo hii inaeleza jinsi Paulo na watumishi wenzake wanayo huduma hii" "Ni zawadi ambayo Mungu ameitoa kwao kwa njia ya rehema yake."
tumekataa njia zote za aibu na zilizofichika.
Hii inamaainisha kwamba Paulo na watumishi wenzake walikatataa kufanya "vitu vinavyo aibisha na vilivyofichwa." Haina maana kwamba walikuwa wamevifanya vitu hivi huko nyuma.
njia zote za aibu na zilizofichika
neno "zilizofichika" hufafanua vitu ambavyo ni vya "kuaibisha"
Hatuishi kwa hila
"ishi kwa udanganyifu"
hatulitumii vibaya neno la Mungu
Tungo hii inatumia mawazo mawili yenye ukanusho kuelezea wazo chanya
tunajionyesha wenyewe kwa dhamiri ya kila mtu
Maana yake kwamba wanatoa ushahidi wakutosha kwa kila mtu anayewasikiliza kuamua ikiwa wako sahihi au hapana.
mbele ya Mungu.
Ina maanisha kwenye uwepo wa Mungu. Ufahamu wa Mungu na uthibitisho wa ukweli wa Paulo umetafsiriwa kama Mungu kuweza kuwaona.
2 Corinthians 4:3-4
Lakini kama injili yetu imefichika, imefichika kwa wale tu wanaoangamia
Hiki marejeo ya nyuma 3:14 mahali ambapo Paulo anaeleza kuwa kuna utaji wa kiroho amabao unawazuia watu wasielewe wakati wanaposoma agano la kale. Kwa njia hiyo, watu hawawezi kuifahamu injili.
Ikiwa injili yetu imetiwa utaji, imetiwa utaji
Hii inaweza kuelezwa katika muundo wa utendaji" ikiwa utaji unaifunika injili yetu, utaji huo huifunika"
Injili yetu
"Injili ambayo tunaihubiri"
mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini.
Paulo anazungumza juu ya mioyo yao ikiwa kama mioyo yao haiwezi kuona "mungu wa ulimwengu amewazuia wasioamini kuelewa"
mungu wa ulimwengu huu
"mungu anayetwala dunia," Tungo hii ina maanisha shetani.
hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo
Kama vile waisraeli walivyoshindwa kuuona utukufu wa Mungu uliong'ara juu ya uso wa Musa kwa sababu aliufunika kwa utaji.Wasio amini hawawezi kuuona utukufu wa Kristo unao ng'ara katika injili.
nuru ya injili
"nuru ambayo inakuja kutoka katika injili"
injili ya utukufu wa Kristo
"injili inayohusu utukufu wa Kristo"
2 Corinthians 4:5-6
Bali Kristo Yesu kama Bwana, na sisi wenyewe kama watumishi wenu
Unaweza ukaligawa tendo katika tungo hizi"Bali twamtangaza Kristo Yesu kuwa Bwana na tunatangaza sisi wenyewe kama watumishi wenu.
Kwa faida ya Kristo
"kwa sababu ya Yesu"
Nuru itang'aa toka gizani
Kwa sentensi hii, Paulo anarejea kwa Mungu kuumba nuru, kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Mwanzo.
Ameangaza katika mioyo yetu, kutoa mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu
Hapa neno "nuru" lina maanisha uwezo wa kuelewa.Kama vile Mungu alivyoumba nuru, yeye pia huumba ufahamu kwa waamini.
katika mioyo yetu
Hapa neno " mioyo" lina maanisha akili na mawazo
mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu
"nuru , ambayo ni maarifa ya utukufu wa Mungu"
utukufu wa Mungu katika uwepo wa Yesu Kristo.
"utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo."
2 Corinthians 4:7-10
Lakini tuna
Hapa neno "tuna" lina maanisha Paulo na watenda kazi pamoja naye, lakini siyo kwa Wakorintho.
tuna hazina hii katika vyombo vya udongo
Paulo anazungumzia injili ilivyokua kama hazina na miili yao ilivyokuwa kama chupa za udongo zinazoweza kuvunjika. Hii inasisitiza kuwa wana thamani ndogo ukilinganisha na thamani ya injili ambayo wanaihubiri.
ili kwamba ieleweke
" ya kwamba iko dhahiri kwa watu" au "ya kwamba watu wanatambua wazi wazi"
Tunataabika katika kila hali
Hiki kinaweza kuelezwa katika kauli tendaji. "Watu hututaabisha kwa njia mbali mbali"
Tunateswa lakini hatujatelekezwa
. " Watu hututesa lakini Mungu hajatutelelkeza"
Twatupwa chini lakini hatuangamizwi
hututupa chini lakini hawatuangamizi"
Twatupwa chini
"twaumizwa vibaya"
iku zote tunabeba katika mwili wetu kifo cha Yesu
Paulo anazungumza juu ya mateso yake kuwa kama vile ni uzoefu wa kifo cha Yesu Kristo.
uzima wa Yesu uonekane pia katika miili yetu.
Maana zaweza kuwa "miili yetu itaishi tena, kwa sababu Yesu yu hai au " maisha ya kiroho ambaye Yesu hutoa pia yaonekane katika miili yetu."
uzima wa Yesu uonekane pia katika miili yetu.
Yaweza kueleza katika kauli tendaji " watu wengine wanaweza kuyaona maisha ya Yesu katika miili yetu"
2 Corinthians 4:11-12
Sisi tulio hai siku zote tumetolewa kufa kwa ajili ya Yesu
Kubeba kifo cha Yesu huwakilisha kuwa katika hatari ya kufa kwa sababu ya kuwa mwaminifu kwa Yesu.
ili kwamba uhai wa Yesu uonekane katika miili yetu ya kibinadamu
Mungu anahitaji maisha ya Yesu yaonekane kwetu. Maana pendekezwa zaweza kuwa "miili yetu itaishi tena, kwa sababu Yesu yu hai. au "maisha ya kiroho ambayo Yesu hutoa pia yaweza kuonyeshwa katika miili yetu"
ili kwamba uhai wa Yesu uonekane katika miili yetu ya kibinadamu
Sentensi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji. "ya kwamba watu wengine wanan weza kuyaona maisha ya Yesu katika miili yetu"
kifo kinafanya kazi ndani yetu, bali uzima unafanya kazi ndani yenu.
Paulo anazungumzia kifo na uzima kama watu ambao wanaweza kufanyakazi. Hii ina maana kwamba daima wako katika hatari ya kifo cha mwili kwa hiyo Wakorintho wapate uzima wa kiroho.
2 Corinthians 4:13-15
roho ileile ya imani
'nia ileile ya imani"Hapa neno" roho" linamaanisha nia ya mtu na silika.
kulingana na kile kilicho andikwa
Sentensi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji." kama mmoja yule anayeandika maneno haya"
Niliamini, na hivyo nilinena
Hii ni rejea ktoka katika kitabu cha Zaburi.
yule aliye mfufua Bwana Yesu pia atatufufua sisi pamoja naye
Neno "yuleyule"linamaanisha Mungu"
atatufufua sisi pamoja naye
Neno "sisi" linawatenga Wakorintho.
Kila kitu ni kwa ajili yenu
Neno "kila kitu" linamaanisha mateso yote ambayo Paulo aliyoyaelelza katika mistari iliyotangulia.
neema inavyo enea kwa watu wengi
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii "kama Mungu anavyoeneza neema yake kwa watu wengi"
shukurani zizidi kuongezeka
Paulo anazungumzia shukrani kuwa kama kitu ambacho kingekuja kuwa kikubwa kwa chenyewe.
2 Corinthians 4:16-18
Sentensi Unganishi
Paulo anaandika kwamba changamoto za Wakorintho ni ndogo na hazitadumu wakati zikilinganishwa na vitu vya milele visivyoonekana.
Hivyo hatukati tamaa
"Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii" hivyo tunabakia wajasiri"
kwa nje tunachakaa,
Hii ina maanisha miili yao inaharibika na kufa.
kwa ndani tunafanywa upya siku hadi siku.
Ina maanisha utu wao wa ndani, kiroho maisha yanazidi kuimarika.
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu
Paulo anazungumzia mateso yake na utukufu ambaoMungu atampa kuwa vilikuwa vitu vinavyoweza kupimika.
uzidio vipimo vyote
Utukufu wa uzoefu ambao Paulo ataupata ni mzito sana ambao hakuna awezaje kuupima.
Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii. " vitu ambavyo twaweza kuviona...vitu ambavyo hatuwezi kuviona"
bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana
Unaweza kuligawa tendo kwa tungo hizi. "lakini twangojea vitu ambavyo havionekani"
2 Corinthians 5
2 Corinthians 5:1-3
Sentensi Unganishi
Paulo anazidi kuitofautisha miili ya duniani ya waamini na ile ya mbinguni ambayo Mungu atawapa.
kam maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu.
Paulo anazungumzia mwili wake unaoonekana ni kama ulikuwa wa muda "makao ya duniani" na ya ufufuo wa mwili Mungu atatoa kama vile miili ya kudumu " jengo"
Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu
Hii ina maanisha " jengo kutoka kwa Mungu" Hii inaweza kuelezwa ka jinsi hii. " ni nyumba ambayo haikutengenezwa na wanandamu"
katika hema hii tunaugua
Neno "hema" linaelezea " makao ya duniani ambayo tunaishi." Neno tunaugua ni sauti ya mtu anayoitoa pindi wanapokuwa wanatamani kuwa na kitu fulani ambacho ni kizuri.
tukitamani kuvikwa kwa maskani yetu mbinguni
Maneno " makao yetu ya mbinguni" yana maanisha "jengo kutoka kwa Mungu." Paulo anazungumzia ufufuo wa mwili kama vile ulikuwa pamoja jengo na kipande cha nguo ambacho mtu anaweza kuvaa.
kwa kuivaa
"kwa kuivaa makao yetu ya mbinguni"
hatutaonekana kuwa tu uchi.
Hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "hatutakuwa uchi" au "Mungu hatatukuta tukiwa uchi"
2 Corinthians 5:4-5
tuko ndani ya hema hii
Paulo anazungumzia mwili unaoonekana kama vile ulikuwa "hema."
ndani ya hema hii, twaugua tukilemewa
Neno " hema" linamaanisha makao ya duniani ambayo tunaishi ndani yake." Neno " ugua" ni sauti anayoitoa mtu wakati wanapohitaji kutamani kuwa na kitu ambacho ni kizuri.
tukilemewa
Paulo anarejea kwenye changamoto ambazo mwili hupitia kama vile zilikuwa vitu ambavyo ni vizito kuvibeba.
Hatutaki kuvuliwa badala yake, tunataka kuvalishwa
Paulo anazungumzia mwili kama vile ulikuwa umevikwa.Hapa "kuvuliwa" lina maanisha kifo ccha mwili; " kuvalishwa" lina maanisha kuwa na ufufuo wa mwili ambao Mungu atautoa.
kuvuliwa
"kutokuwa na nguo" au "kuwa uchi"
ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima
Paulo anazungumzia maisha kama vile yalikuwa mnyama ambaye hula " ambaye hufa." Mwiliunaoonekana ambaomutakufa utahuishwa kwa njia ya ufufuo wa mwili ambao utaishi milele.
ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima
Hii inaweza kusemwa kwa jinsi hii: "ili kwamba uhai utaki meza kile ambacho ni cha kufa"
ambaye alitupa sisi Roho kama ahadi ya kile kitakacho kuja.
Roho anayezungumzwa alikuwa kama malipo ya chini ya muda kuhusu uzima wa milele.
2 Corinthians 5:6-8
Sentensi Unganishi
Kwa sababu waamini watakuwa na miili mipya na kuwa na Roho Mtakatifu kama ahadi, Paulo anawakumbusha kuishi kwa imani ili waweze kumfurahisha Bwana. Anaendelea kuwakumbusha kuwavuta na wengine kwa sababu waamini wataonekana katika kiti cha hukumu cha Kristo na kwa sababu ya pendo la Kristo aliyekufa kwa ajili ya waamini.
wakati tuko nyumbani katika mwili
Paulo anazungumza juu ya miili inayoonekana kama vile ilikuwa mahali ambapo mtu hukaa.
tuko mbali na Bwana.
"hatuko nyumbani pamoja na Bwana " au " hatuko mbinguni pamoja na Bwana"
tunatembea kwa imani, sio kwa kuona
"tunaishi kwa imani, na siyo kwa mujibu wa kile tunachokiona"
Ni bora tuwe mbali kutoka kwenye mwili
Hapa neno "mwili" lina maanisha "mwili unaoonekana"
nyumbani pamoja na Bwana.
"nyumbani pamoja na Bwana mbinguni"
2 Corinthians 5:9-10
tukiwa nyumbani au mbali
Neno " Bwana" huenda limetokana na mistari iliyotangulia. " ikiwa tukiwa numbani pamoja na Bwana au mbali na Bwana"
tumpendeze yeye
"kumpendeza Bwana"
mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo
"mbele za Kristo kuhukumiwa"
kila mmoja aweze kupokea kile kinachostahili
"kilamtu aweze kupokea kile anacholstahili"
mambo yaliyotendwa katika mwili
Sentensi yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "vitu ambavyo amevifanya katika mwili unaoonekana"
ikiwa ni kwa uzuri au kwa ubaya.
"ikiwa vitu hivyo vilikuwa vizuri au vibaya"
2 Corinthians 5:11-12
kuijua hofu ya Bwana
"kuijua nini maana ya kumhofu Mungu"
Jinsi tulivyo, inaonekana wazi na Mungu
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "Mungu hutuona dhahiri wanadamu jinsi tulivyo"
hivyo mnaweza kuwa na majibu
"hivyo mnaweza kuwa na kitu cha kusema juu yake"
inaeleweka pia kwenye dhamiri zenu
"kwamba pia mmedhihirishwa kwayo"
ili kwamba muweze kuwa na jibu
"ili kwamba muweze kuwa na kitu cha kusema"
wale wanaojivunia kuhusu mwonekano lakini sio kile kilicho ndani ya moyo
Katika sentesi hii Neno "kuonekana" linaelezea mwonekano wa nje wa vitu kama vile uwezo, na hali.Neno "moyo" lina maanisha utu wa tabia ya ndani ya mtu.
2 Corinthians 5:13-15
ikiwa kama tumerukwa na akili
Paulo anazungumza kuhusu namna wengine wanavyomfikiria yeyey na watenda kazi pamoja naye.
Pendo la Kristo
Maana zinazowezekana ni: "Upendo wetu kwa Krist" au Pendeo la Kristo kwetu."
alikufa kwa ajili ya wote
"alikufa kwa ajili ya watu wote"
yeye mwenyewe alikufa na alifufuka
Katika sentensi hii neno " yeye" linamaanisha "Kristo"
2 Corinthians 5:16-17
Sentensi Unganishi
Kutokana na pendo la Kristo, na kifo chake, hatupaswi kuhukumu kwa vigezo vya kibinadamu.Tumechaguliwa kuwafundisha wengine jinsi ya kuungamanishwa pamoja na kuwa na amani pamoja na Mungu kwa njia ya kifo cha Kristo na kupokea uadilifu kwa njia ya Kristo.
Kwa sababu hii
Ina maanisha kile ambacho Paujlo amekisema kuhusu kuishi kwa ajili ya Kristo badala ya kuishi kwa ajili ya nafsi.
yeye ni kiumbe kipya.
Paulo anazungumza juu ya mtu anyeamini katika Kristo kama vile ameumba mtu mpya
Mambo ya kale yamepit
"mambo ya kale" ina maanisha vitu vinavyoelezea tabia ya mtu kabla ya kumwamini Yesu Kristo.
2 Corinthians 5:18-19
vitu vyote
"Mungu amefanya vitu hivi vyote." Ina maanishna kile ambacho Paulo alikisema katika mistari iliyotangulia kuhusu vitu vipya kushika nafasi ya vitu vya kale.
huduma ya upatanisho
Yaweza kutasiriwa na tungo tendo " huduma ya kuwapatanisha watu kwake"
Hiyo ni kusema
"hii ina maansha"
katika Kristo, Mungu anaupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe
Katika sentensi hii neno" ulimwengu" lina maana ya watu walionmo duniani.
Anawekeza kwetu ujumbe wa upatanisho
Mungu amempa Paulo wajibu wa kueneza ujumbe kwamba Mungu anawapatanisha watu kwa yeye.
Ujumbe wa upatanisho
"ujumbe kuhusu uapatanisho"
2 Corinthians 5:20-21
tunateuliwa kama wawakilishi wa Kristo,
Sentensi hiiyaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " Mungu ametuchagua kama wawakilishi wa Kristo.
wawakilishi wa Kristo
"wale waanao mhubiri Kristo
Mpatanishwe kwa Mungu
Ina maanisha "Mungu na awapatanishe kwake"
Alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu
"Mungu alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu"
dhambi zetu...ili tuweze kufanyika
Neno "yetu" na "sisi" tumejumuishwa na inamaanisha waamini wote.
Yeye ndiye ambaye hakutenda dhambi
"Kristo ni yeye pekee ambaye hakuwahi kutenda dhambi"
Alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye
"Mungu alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu kaika Kristo"
li tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye.
Tungo "haki ya Mungu" inamaanisha haki ambayo Munguanaihitaji na ambayo inatoka kwa Mungu.
2 Corinthians 6
2 Corinthians 6:1-3
Sentensi Unganishi
Paulo anajumuisha jinsi gani kufanya kazi kwa pamoja inavyopaswa kuwa.
Habari za Jumla
Katika mstari wa pili Paulo an nukuu kifungu kutoka kwa nabii Isaya.
Kufanya kazi Pamoja
Paulo anamaanisha kuwa yeye na Timotheo wanatumika pamoja na Mungu
tunawasihi ninyi msiipokee neema ya Mungu pasipo matokeo
Paulo anawasihi paoja nao kuiruhusu neema ya Mungu kufanya kazi katika maisha yao.
Kwa kuwa anasema
"Kwa kuwa Mugu anasema" Hii inatambulisha nukuu kutoka kwa nabii Isaya. "Kwa kuwa Mungu anasema katika maandiko"
Tazama
Neno "Tazama" mahali hapa linatukumbusha kuwa wasikivu kwa habari zijazo zinazostajabisha.
Hatuweki jiwe la kizuizi mbele ya mtu yeyote,
Paulo anazungumzia juu ya kitu chochote ambacho kinaweza kumzuia mtu kutotumaini katika Kristo kama vile ilivyokuwa kifaa cha mwili juu ya kile ambacho mtu yule huteleza na kuanguka.
kwa kuwa hatuitakii huduma yetu iletwe katika sifa mbaya.
Neno "sifa mbaya " lina maanisha watu kusema vibaya kuhusu huduma ya Paulo .
2 Corinthians 6:4-7
Habari za Jumla
Wakati Paulo anapotumia neno " sisi", ana maanisha yeye mwenyewe na Timotheo.
Tunajihakiki wenyewe kwa matendo yetu yote, kwamba tu watumishi wa Mungu.
"Tunathibitisha kjwa sisi ni watumishi wa Mungu kwa kila kile tulifanyalo"
Tu watumishi wake katika wingi wa ustahimilivu.... katika kukosa usingizi usiku, katika njaa
Paulo anataja maeneo mbali mbali ya mazingira magumu katika hayo wanathibitisha kuwa ni watumishi wa Mungu.
katika usafi...katika upendo halisi.
Paulo anaorodhesha mambo mbalimbali ya uadilifu ambayo waliyatunza wakati wa mazingira magumu na inathibisha kuwa ni watumishi wa Mungu.
Tu watumishi wake katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu
Kuwekwwakfu kwao kuihubiri injili katika nguvu za Mungu inathibitisha kuwa ni watumishi wa Mungu.
katika neno la kweli
"katika kuhubiri neno la kweli la Mungu"
Tuna silaha ya haki kwa ajili ya mkono wa kuume na wa kushoto
Paulo anazungumza juu ya uadilifu wao kama vile silama wanazozitumia kupigana vita vya kiroho.
Tuna silaha ya haki kwa ajili ya mkono wa kuuume na wa kushoto.
"uadilifu kama silaha yetu " au "uadilifu kama silaha zetu"
kwa mkono wa kuume na wa kushoto
Maana zaweza kuwa hizi: "kuwa kuna silaha katika mkono mmoja na ngao mkono mwingine" au "wamewezeshwa kikamilifu kwa vita , tayari kujilinda na mashambulizi kutoka sehemu yoyote."
2 Corinthians 6:8-10
Habari za Jumla
Paulo anaorodhesha mitazamo mingi jinsi watu wanavyofikiri juu yake na huduma yake.
Tunatuhumiwa kuwa wadanganyifu
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "watu hutushtaki kwa kuwa wadanganyifu"
kana kwamba hatujulikani na bado tunajulikana vizuri.
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "ikiwa kama watu hawakututambua sisi na bado watu wanatutambua vizuri"
Tazama!
Neno "Tazama" linatukumbusha kusikiliza kwa makini habari za kushangaza zinazofuata.
Tunafanya kazi kama tunaoadhibiwa kwa ajili ya matendo yetu lakini sio kama vile waliohukumiwa hata kufa.
Sentensi hii inaweza kuelezwa hivi": "tunatemda kazi kama vile watu wanatuadhibu kwa matendo yetulakini siyo kama vile wametuhukumu kufa"
2 Corinthians 6:11-13
Sentensi Unganishi
Paulo anawatia moyo waamini wa Korintho kujitenga na miungu naa kuishi maisha kwa ajili ya Mungu.
Tumezungumza ukweli wote kwenu,
"tumezungumza ukweli kwenu"
mioyo yetu imefunguka kwa upana.
paulo anazungumza alivyowaathiri Wakorintho kwa kuwa na moyo uliofunguka.
mioyo yenu haizuiliwi na sisi, bali mnazuiliwa na hisia
Paulo anazungumzia Wakorintho kwa kukosa upendo kwake kama vile mioyo yao ilikuwa imesongwa katika nafasi finyi.
mioyo yenu haizuiliwi na sisi,
Sentensi hi yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " Hatujaizuia mioyo yenu" au " hatujawapa mioyo yenu sababu yoyote kuacha kutupenda sisi"
mnazuiliwa na hisia zenu wenyewe
Sentensi hii yaweza kuelezwa katika hali tendaji: " hisia zenu zinawazuia " au : mmeacha kutupenda sisi kwa sababu zenu"
katika kubadilishana kwa haki
"kama mwitikio halisi
ninaongea kama kwa watoto
Paulo anawaeleza Wakorintho kama watoto wake w kiroho.
fungueni mioyo yenu kwa upana.
Paulo anawasihi Wakorintho kumpenda yeye kama yee alivyowapenda wao.
2 Corinthians 6:14-16
Habari za Jumla
Katika mstari wa 16, Paulo anachukua wazo la vifungu vingi kutoka manabii wa Agano la Kale "Musa, Zekaria, Amosi, na huenda na wengine.
Msifungamanishwe pamoja na wasioamini
Sentensi hii aweza kuelezwa kwa jinsi ya kukubali: "mfungamanishwe pamoja na waaamini peke yake"
lakini mfungamanishwe pamoja na
Paulo anazungumzia juu ya kufanya kazi pamoja kuelekea kusudi la pamoja kama vile ilivyo kwa wanyama wawili waliofungwa pamoja kuvuta jembe au mkokoteni.
kuna uhusiano gani kati ya haki na uasi?
Hili ni swali la kujihoji ambalo hutegemea jibu hasi.
Na kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
Paulo anauliza swali hili kusisitiza kuwa nuru na giza haviwezi kuchangamana maana nuru huondoa giza. Maneno "nuru" na "giza"? yanaelezea uboro wa maadili ya mwili na kiroho kwa waamini na wasioamini.
Ni makubaliano gani Kristo anaweza kuwa nayo na Beliari?
Hili ni swali la kujihoji ambalo linategemea jibu hasi.
Beliari
Hili ni jina jingine la mwovu.
Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini?
Sentensi hii aweza kuelezwa kwa jinsi ya kukubali: "mfungamanishwe pamoja na wasamini peke yake"
Na kuna makubaliano gani yapo kati ya hekalu la Mungu na sanamu?
Hili ni swali la kujihoji ambalo linategemea jibu hasi.
sisi ni hekalu la Mungu aliye hai
Paulo ana anamaanisha wakristo wote kuwa wanatengeneza hekalu ili Mungu kuishi ndani yake.
2 Corinthians 6:17-18
Habari za Jumla
paulo ananukuu sehemu kutoka manabii wa Agano la Kale, Isaya na Ezekeieli.
mkatengwe
Sentensi hii yaweza kuelezwa katika kauli tendaji: " mkajitenge" au " mniruhusu mimi niwatenge"
Msiguse kitu kichafu,
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa namna ya kukubali: "Gusa vitu ambavyo ni visafi pekee"
2 Corinthians 7
2 Corinthians 7:1
Sentensi Unganishi
Paulo anaendelea kuwakumbusha wao kujitenga na dhambi na kutafuta utakatifu kwa makusudi.
Wapendwa wangu
"ninyi niwapendao" au rafiki wapenzi"
na tujitakase wenyewe
Katika sentensi hii Paulo anasema kujitenga mbali na dhambi ambayo yaweza kuathiri uhusiano wa kila mtu na Mungu.
Na tuutafute utakatifu
"na tujitahidi kuwa watakatifu"
katika hofu ya Mungu
"katika hofu ya ndani kwa Mungu"
2 Corinthians 7:2-4
Sentensi Unganishi
Akiwa tayri amewaonya watu wa Korintho kuhusu viongozi wengine ambao walikuwa wakijitahidi kuwavuta Wakorintho wawafuate wao, lakini Paulo anawakumbusha watu jinsi anavyowafikiria.
Fanyeni nafasi kwa ajili yetu
Inarejea kile ambacho Paulo alikisema awalikatika 6:11 kuhusu wao kufungua mioyo yao kwa yeye.
Siyo kuwahukumu ninyi kuwa nasema hili
"sisema hili kuwashitaki ninyi kwa kufanya vibaya." Neno "hili" linarejea kwa kila ambacho Paulo alikuwa amesema kuhusu ambavyo hakumkosea mtu yeyote.
mmo mioyoni mwetu
Paulo anazungumza kwa ajili yake na pendo kuu la washirika wake kwa ajili ya wakorintho kama vile wamefanyika ndani ya kioyo yao.
kwetu sisi kufa pamoja na kuishi pamoja
Hii ina maanisha kwamba Paulo na washirika wake wataendelea kuwapenda Wakorintho bila kujali kinachotokea.
kwetu sisi kufa
"sisi" inajumuisha waamini wa Korintho"
Nimejawa na faraja
Yaweza kuelezwa katika jinsi ya utendaji: : "Mnanijaza faraja"
Ninajawa na furaha
Pulo anazumzia furaha kama vile kimiminika ambacho humjaza yeye mpaka anajawa.
hata katikati ya mateso yetu yote.
"licha ya taabu zetu"
2 Corinthians 7:5-7
Tulikuja Makedonia
Neno "sisi"lina maanisha Paulo na Timotheo na siyo Wakorintho au Tito.
miili yetu haikuwa na pumzikO
neno "miili"linaelezea utu wote wa mwanadamu
Tulipata taabu kwa namna zote
Hii yaweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji: " tulipitia mateso katika kila njia"
tulipata taabu kwa namna zote kwa kupigwa vita upande wa nje na hofu upande wa ndani
Maana zinazopendekezwa kwa neno" nje" "ni nje ya miili yetu" au "nje ya kanisa." Neno "ndani" linaelezea hisia zao za ndani.
kwa faraja zile Tito alizopokea kutoka kwenu
Paulo alipokea faraja kwa katika kutambua kuwa Wakorintho walikuwa wamemfariji Tito
2 Corinthians 7:8-10
Sentensi Unganishi
Paulo anawasifu kwa huzuni yao ya ucha mungu, ari yao ya kutenda haki, na furaha ambayo ilimleta yeye na Tito.
Habari za Jumla:
Hii inarejea kwenye barua ya kwanza ya Paulo kwa hawa waamini wa Wakorintho ambapo aliwakemea wakristo kukubali mtu kufanya zinaa na mke wa baba yake.
wakati nilipoona waraka wangu
"wakati nilipojifunza waraka wangu"
si kwa sababu mlikuwa na shida
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji"siyokwa sababu kile nilichokisema katika barua yangu kiliwahizunisha ninyi"
mliteseka si kwa hasara kwa sababu yetu
"mliteseka si kwa hasara kwa sababu tuliwakemea" Hii ina maa kuwa barua hiyo iliwasababishia huzuni, haukupita muda mrefu walifaidika kutokana na barua ile kwa sababu iliwaongoza kwenye toba
Kwa kuwa huzuni ya kiungu huleta toba ambayo hukamilisha wokovu
Neno "toba" laweza kurudiwa kufafafnua uhusiano wake kwa kile kilichotangulia na kile kinachofuata.
bila kujuta
Maana zaweza kuwa " Paulo hajuti kwamba amewasababishia huzuni kwa sababu huzuni hiyo iliwaongoza kwenye toba na wokovu) au Wakorintho hawatajuta kupitia huzuni kwa sababu inawaongoza kwenye toba yao na wokovu.
Huzuni ya kidunia, hata hivyo, huleta mauti
Aina hii ya huzuni hupelekea kifo badala ya wokovu kwa sababu haileti toba
2 Corinthians 7:11-12
Angalieni
Neno hililinaweka msisitizo kwa kile kitakachozungumzwa baadaye.
Jinsi gani azma ilikuwa kubwa ndani yenu kuthibitisha kuwa hamkuwa na hatia
Neno " jinsi gani" linaifanya sentensi hii kuwa mshangao.
uchungu wenu
"hasira yenu"
kwamba haki inapaswa kutendeka
Yaweza kuelezwa kuwa: "mtu yule anapaswa kubeba uadilifu.
mkosaji
"yule aliyetenda mabaya"
ili kwamba udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu ifanywe kujulikana kwenu
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji kuwa: kwamba mmekuwa na udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu katika unyoofu.
mbele ya macho ya Mung
Hii inarejea kwenye uwepo wa Mungu na uthibitisho wa uaminifu wa Paulo umemaanishwa kama Mungu amekua aliwaona wao.
2 Corinthians 7:13-14
Ni kwa ajili ya hii kwamba tunafarijika
Hapa neno "hii" lina maanisha jinsi ambsvyo Wakorintho waliitikia kwa barua ya kwanza ya Paulo, kama alivyoeleza katika mistari ya mwanzo.
roho yake iliburudishwa na ninyi nyote
Hapa neno "roho" linaelezea silika ya mtu na mioyo yao .
Kwa kuwa kama nilijivuna kwake kuhusiana na ninyi
"kama ikiwa nilijivuna kwake kuhusu ninyi"
sikuwa na aibu
"hamkunikatisha tamaa"
Majivuno yetu kuhusu ninyi kwa Tito yalithibitisha kuwa kweli.
"ninyi mlithibitisha kuwa kujivuna kwetu kuhusu ninyi na Tito kulikuwa kweli."
2 Corinthians 7:15-16
utii wenu ninyi nyote
Hili jina "utii" linaweza kuelezwa pamoja na tendo "tii".
mlivyomkaribisha kwa hofu na kutetemeka
Neno "hofu" na "kutetemeka"hueleza maana ileile na kusisitiza ongezeko la hofu.
kwa hofu na kutetemeka.
Maana zaweza kuwa )" kwa hofu kubwa kwa Mungu ) au kwa hofu kubwa kwa Tito.
2 Corinthians 8
2 Corinthians 8:1-2
Sentensi Unganishi
Baada ya kuwa ameeleza mipango yake iliyobadilika na mwelekeo wa huduma yake, Paulo anazungumza kuhusu utoaji.
neema ya Mungu ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia
Mstari huu waweza kuelezwa kwa jinsi ya utendaji: "neema ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia.
wingi wa furaha yao na ongezeko la umaskini wao umezaa utajiri mkubwa wa utoaji.
Paulo anazungumzia "furaha" na " umaskini: kama vile vilikuwa viumbe hai ambavyo vinaweza kutoa ukarimu.
ongezeko la umaskini wao umezaa utjiri mkubwa wa ukarimu.
Ingawa makanisa ya Makedonia yameteseka kwa majaribu ya mateso na umaskini, kwa neema ya Mungu yameweza kukusanya fedha kwa ajili waamini walioko Yerusalamu.
utajiri mkubwa wa ukarimu
" ukarimu mkubwa sana." Maneno " utajiri mkubwa" yanasisitiza ukuu wa ukarimu wao.
2 Corinthians 8:3-5
walitoa
Hapa ina maanisha makanisa ya Makedonia.
kwa hiari yao wenyewe
'kujitolea"
kwa kutusihi kwingi
Maneno "kutusihi" na "walituomba" hueleza maana ileile na kusisitiza uhodari amnbayo kwao watu waliwasihi.
huduma hii kwa waumini
Paulo anarejea kutoa fedha kwa waamini wa Yerusalemu.
2 Corinthians 8:6-7
aliyekuwa tayari ameanzisha
Paulo anaongelea fedha iliyokusanywa huko Korintho kwa ajili ya wakristo wa Yerusalemu.
kuleta katika utimilifu tendo hili la ukarimu
Tito aliwakumbusha Wakorintho kukamilisha ukusanyaji wa fedha.
Lakini ninyi mna wingi katika kila kitu
Paulo anazungumza juu ya waamini wa Korintho kama vile walikuwa wanatoa matunda ya mwuli.
hakikisheni kwamba ninyi mnakuwa na wingi pia katika tendo hili la ukarimu.
Paulo anazungumzia waamini wa Korintho kama vile wanavyopaswa kutoa matunda ya mwili "hakikisheni mnafanya vyema katika kuwahudumia waamini katika Yerusalemu."
2 Corinthians 8:8-9
kwa kuupima uhalisi wa upendo wenu kwa kuulinganisha na shauku ya watu wengine
Paulo anawatia moyo Wakorintho kutoa kwa ukarimu wao kwa kuulinganisha na ukarimu wa makanisa ya Makedonia.
neema ya Bwana wetu
Katika mukutadha huu neno "neema" linasisitiza ukarimu wa Yesu Kristo amewabariki Wakorintho.
Hata kama alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikuwa maskini
Paulo anamzungumzia Yesu kabkla hajafanyika mwanadamu alivyokuwa tajiri, na kwa kufanyika mwanadamu kama kuwa maskini.
kupitia umaskini wake mweze kuwa tajiri.
Paulo anazungumzia Wakorintho kuwa matajiri kiroho kama matokeo ya Yesu kuwa mwanadamu.
2 Corinthians 8:10-12
jambo hili
hii inamaanisha kukusanya mfuko kwa ajili ya wakristo wa Yerusalemu.
2 Corinthians 8:13-15
kwa kazi hii
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "alikuwa na kila kitu alichohitaji"
kwamba wengine waweze kupata nafuu na ninyi mweze kulemew
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: : kuwa mtawaondolea wengine mzigo na kujitwisha wenyewe"
ni lazima kuwe na usawa
"lazima pawe na haki"
Hii ni hivyo pia ili kwamba wingi wao uweze kusaidia mahitaji yenu
Kwa maana Wakorintho wanatenda katika wakati uliopo, imehusishwa kuwa wakristo wa Yerusalemu kwa wakati mwingine ujao watawasaidia wao pia.
kama ilivyoandikwa
Mahali hapa Paulo ananukuu kwenye kitabu cha Kutoka.
hakupungukiwa na chochote
Sentensi hii yaweza kuelezwa hivi: "alikuwa na mahitaji yake yote"
2 Corinthians 8:16-17
aliyeweka ndani ya moyo wa Tito moyo uleule wa bidii ya kujali ambyo ninayo kwa ajili yenu
Neno " moyo" linamaanisha hisia. Hii ina maana kwamba Mungu alimtumia Tito kuwapenda.
moyo uleule wa bidii ya kujali
"shauku ileile au " kujihusiha kwa ndani"
Kwa kuwa si tu alipokea maombi yetu
Paulo ana maanisha ombi lake Tito kurejea Korintho na kukamilisha mchango wa fedha.
2 Corinthians 8:18-19
pamoja naye
"pamoja na Tito"
Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa yote.
ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa
Yaweza kusemwa hivi: "ndugu ambaye miongoni mwa waamini wa makanisa humsifu"
Si hivi tu
"Siyo waamini wote wa makanisa humsifu yeye"
lakini pia alichaguliwa na makanisa
Sentensi hii yaweza kusemwa: "yeye pia alichaguiwa na makanisa'
katika kulibeba sehemu mbalimbali tendo hili la ukarimu.
"kupeleka kwa wengine tendo hili la ukarimu " Hii ina maanisha kuchukua matoleo kupeleka Yerusalemu.
kwa shauku yetu ya kusaidia.
"kuonyesha kwa vitendo utayari kusaidia"
2 Corinthians 8:20-21
kuhusiana na huo ukarimu tunaoubeba
"kuhusiana na namna tunavyothibiti karama hii ya ukarimu" Hii ina maanisha kuchukua matoleo kuyapeleka Yerusalemu.
Tunachukua uangalifu kufanya kilicho cha heshima
'tunachukua uangalifu kutunza zawadi hii katika njia inayoheshimika"
mbele za Bwana, lakini pia mbele za watu.
"katika utashi wa Mungu ....katika utashi wa watu"
2 Corinthians 8:22-24
pamoja nao
Neno "wao"linamaanisha Tito na ndugu wengine walioorodheshwa hapa kabla.
yeye ni mshirika mwenza wangu na mtendakazi mwenzangu kwa ajili yenu
"yeye ni mshirika mwenzangu anayetenda kazi pamoja nami kwa ajili yenu"
Kama kwa ndugu zetu
Ina maanisha kwa wanume wawili wengine ambao wataungana na Tito.
wanatumwa na makanisa.
Sentensi hii yaweza kusemwa katika kauli tendaji hivi: "makanisa yamewatuma wao"
Ni waheshima kwa Kristo
Sentensi hii yaweza kusemwa katika kauli tendaji hivi: "watawasababisha watu kumheshimu Kristo"
2 Corinthians 9
2 Corinthians 9:1-2
Sentensi Unganishi
Paulo anazidi kuzungumzia juu ya somo la utoaji. Anataka kuhakikisha kuwa hayo matoleo katika sadaka zao kwa waamini wahitaji katika Yerusalemu ifanyike kabla hajaja hivyo isije ikaonekana kana kwamba anachukua fursa yao. Anazungumzia kuhusu jinsi gani utoaji unavyombariki atoaye na kumtukuza Mungu.
Habari za Jumla:
Wakati Paulo anapozungumzia Akaya, anazungumzia jimbo la Rumi lililopo kusini mwa Ugiriki mahali Korintho ilipo.
huduma kwa ajili ya waamini
Sentesnsi hii ina maanisha ukusanyaji wa fedha kuwapatia wakristo wa Yerusalamu.
Akaya imekuwa tayari
Hapa neno "Akaya" lina maanisha watu wanaoishi katika jimbo hili, Na kwa uwazi kabisa ni kwa watu wa kanisa la korintho.
2 Corinthians 9:3-5
hao ndugu
Paulo anazungumzia Tito na wanaume wawili wanaungana naye.
ili kwamba majivuno yetu kuhusu ninyi yasiwe ya bure
Paulo hapendi wengine wafikiri kuwa vitu ambavyo amejivunia kuhusu Wakorintho hawakuwa sahihi.
kuwakuta hamjawa tayari
"kuwakuta hamjawa tayari kuto"
sisemi chochote kuhusu ninyi
Paulo antumia sentensi kanushi kusisitiza kwamba kitu kile kile kuwa kweli kuhusu Wakorintho.
ndugu kuja kwenu
Kutoka katika mtazama wa Paulo, ndugu wanakwenda .
si kama kitu kilichoamriwa
Yaweza kuelezwa hivi: " sivyo kama kitu ambacho tuliwalazimisha kutoa"
2 Corinthians 9:6-7
mtu apandaye haba pia atavuna haba, na yeyote apandaye kwa lengo la baraka pia atavuna baraka
Paulo anatumia mfano wa mkulima anayepanda mbegu kufafanua matokeo ya utoaji. Kama mavuno ya mkulima inavyotegemea kiasi anachopanda, hivyo Mungu atatoa baraka kidogo au nyingi kutegemea kiasi ambacho Wakorintho wanatoa.
atoe kama alivyopanga moyoni mwake
Hapa neno "moyo" linamaanisha fikra na hisia'
si kwa huzuni au kwa kulazimishwa
Yaweza kusemwa kuwa: "kwa sababu anajisikia hatia au mtu kulmazimisha"
Kwa kuwa Mungu humpenda yule atoaye kwa furaha.
Mungu anawataka watu kutoa kwa furaha kusaidia kuwahudumia ndugu waamini.
2 Corinthians 9:8-9
Mungu anaweza kuwapa baraka na kuwazidishia
"Mungu ataongeza baraka kwa ajili yenu" Mtu aanayewapatia mahitaji ya kifedha waamini wengine, Mungu pia hutoa baraka zaidi kwa anayetoa. hivyo anayetoa atapokuwa na kila kitu anachohitaji.
ili kwamba muweze kuzidisha kila tendo jema.
"ili kwamba muweze kufanya matendo mema zaidi na zaidi"
kama ilivyoandikwa
"Kama iivyoandikwa" Yaweza kusemwa hivi: " "Kama vile mwandishi alivyoandika"
2 Corinthians 9:10-11
Naye atoaye
"Mungu atoaye"
mkate kwa ajili ya chakula
Hapa nenp "mkate" lina maanisha chakula kwa ujumla"
pia atatoa na kuzidisha mbegu yenu kwa ajili ya kupanda
paulo anazungumza mali za Wakorintho kama vile zilikuwa mbegu za kuwapa wengine kama vile wanapanda mbegu.
Yeye ataongeza mavuno ya haki yenu.
paulo analinganisha faida ambazo Wakorintho watapokea kutokana na ukarimu wao kwa mavuno hayo.
mavuno ya haki yenu
"mavuno ambayo yanatokana na matendo ya haki." Hapa neno "haki" linamaanisha matendo ya haki ya Wakorintho kwa kutoa raslimali zao kwa waamini katika Yerusalemu.
Mtatajirishwa
"Mungu atawatajirisha"
Hii italeta shukrani kwa Mungu kupitia sisi.
Neno :hii" linamaanisha ukarimu wa Wakorintho"
2 Corinthians 9:12-15
kwa kupeleka huduma hii
"Kwa huduma mliyofanya ya kutoa sadaka"
mahitaji ya wakristo
"mahitaji ya wakristo huko Yerusalemu"
hii pia itaongeza shukrani nyingi
"Hii itakuwa pia sababu za kila mtu kumshukuru Mungu"
kwa sababu imeonekana kwa kufanya huduma hii imekuwa kipimo kwenu
"ukarimu wenu umekuwa kipimo cha utii na upendo mlionao"
pia mtamtukuza Mungu kwa utii wenu na ukiri wa injili ya Kristo. Pi mtamtukuza Mungu kwa ukarimu wa sadaka mliotoa kwao na kwa kila mmoja.
"mtamtukuza Mungu, sio tu kwa utii wenu kwa kile mlichosema, na mnachoamini kuhusiana naye, lakini pia kwa uamuzi wa ukarimu wa kutoa sadaka kwa wakristo wote"
kwa sadaka yake isiyoelezeka
"kwa sadaka isiyoelezeka, Yesu Kristo"
2 Corinthians 10
2 Corinthians 10:1-2
Sentensi Unganishi
Paulo anahamisha somo kutoa katika utoaji kwenda kwenye mamlaka yake ya kufundisha kama anavyofanya.
kwa unyenyekevu na upole wa Kristo
Neno " uvimilivu" na : upole" ni majina yaliyofupishwa, na yanawea kusemwa hivi: " Mimi ni mnyenyekevu na mpole kama nifanyavyo hivyo, kwa sababu Kristo amenifanya kuwa hivyo"
Anayesadikimkuwa
"anayefikiri kuwa"
tunaishi kwa jinsi ya mwili.
Neno "mwili" ni neno linalosimama kuelezea asili ya dhambi ya mwanadamu.
2 Corinthians 10:3-4
tunaenenda katika mwili
Neno mwili: " ni neno mbadala lililotumika kuelezea maisha ya kimwili"
hatupigani vita ...tunapigana
Paulo anazungumzakujaribu kuwashawishi Wakorintho kumwamini na siyo waalimu wa uongo ka vile alivyokuwa akipambana vita vya mwili.
pigana vita kwa jinsi ya mwili
Maana zawezakuwa hizi: neno " mwili" ni neno linalosimama kuwakilisha maisha ya mwili" au neno "/mwili" ni neno linalosimama badala ya asili ya mwandamu ya dhambi "
silaha tunazotumia kupigana...zinaondosha kabisa mijadala inayopotosha
Paulo anazungumzia hekima ya kimungu akionyesha hekima ya kibinadamu kuwa ya uongo na kama silaha ambayo kwayo alikuwa akiharibu nguvu za adui.
si za kimwili
Maana zawezakuwa hizi: neno " mwili" ni neno linalosimama kuwakilisha maisha ya mwili" au neno "/mwili" ni neno linalosimama badala ya asili ya mwandamu ya dhambi "
2 Corinthians 10:5-6
kila kinachojiinua
Paulo bado anazungumza kwa fumbo juu ya neno "vita" kama vile "maarifa ya Mungu" vilikuwa jeshi na " kila kijiinuacho" ulikuwa ukuta ambao waliutengeneza kuzuia vita.
kila kitu kinachojiinua
"kila kitu ambacho huwafanya watu wajivunie"
kijiinuacho dhidi ya maarifa ya Mungu
paulo anazungumzia hoja kama vile ukuta unaosimama juu dhidi ua vita. Maneno " inuka juu" ina maanisha "simaa kwa urefu" " siyo kwamba kitu cha juu kinakuja kutoka angani.
Tunalifanya mateka kila wazo katika utii kwa Kristo
Paulo anazungumza juu ya mawazo ya watu kama vile yalikuwa askari ambaye alimteka katika vita.
kuadhibu kila matendo lisilo na uti
Maneno haya "tendo lisilo na utii" yanasimama kuwakilisha watu ambao waliyatenda maatendo hayo.
2 Corinthians 10:7-8
Tazameni yale yaliyo wazi mbele yenu
maana zawezakuwa: Hii ni amri au hii ni maelezo.
hebu ajikumbushe yeye mwenyewe
"yeye anahitaji kukumbuka"
"kama vile alivyo ni wa Kristo; ; hivyo ndiyo na sisi pia tuko hivyo
"kwamba sisi ni wa Krsto kama vile kwa mengi afanyayo"
kuwajenga ninyi na siyo kuwaharibu, sitaona haya
Paulo anazungumza juu ya kuwasaidia Wakorintho kujua Kristo vizuri kama vile alikuwa akijenga jengo.
2 Corinthians 10:9-10
mimi nawatisha
"najaribu kuwatisha ninyi"
yenye uzito na nguvu,
"iyenye uhitaji na nguvu"
2 Corinthians 10:11-12
Hebu watu wa jinsi hiyo wafahamu
"nawataka watu kama hao kufahamu"
kile tusemacho kwa waraka wetu wakati tukiwa mbali ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pale
"kilie tulichokikandika katika barua yetu tulipokuwa mbali nanyi"ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pamoja nanyi"
tukiwa mbali, ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pale
"tutatenda hivyo wakati tukakapokuwapo pale pamoja nanyi tulichokiandika katika barua yetu tulipokuwa mbali nanyi"
sisi..yetu
Sentensi zote za maneno haya yanarejea kwenye timu ya huduma ya Paulo na siyo Wakorintho.
kujikusanya wenyewe au kujilinganisha
"kusema tuko vizuri kama"
wanapojipima wenyewe na kujilinganisha na kila mmoja wao
Paulo anasema vitu vingi mara mbili.
wanapojipima wenyewe na kila mmoja wao
Paulo anazungumzia wema kuwa kama kilikuwa kitu ambacho urefu wake watu wangeupima.
hawana akili
"huonyesha kila mtu wasichokifahamu"
2 Corinthians 10:13-14
Habari za Jumla
Paulo anazungumia mamlaka aliyo nayo kama vile yalikuwa ardhi juu yake aliyoimiki, vitu vile juu yake ambachomalikuwa na mamlaka, kama kuwa kwenye mpaka au ukomo wa nchi yake , na vitu hivyo haviko chini ya mamlaka yake kama vimekuwa mbali na mipaka.
hatutajivuna kupita mipaka
Hii ni nahau au lahaja " sitajivuna juu ya vitu ambavyo sina mamlaka navyo"
ndani ya mipaka ambayo Mungu
"kuhusu vitu chini ya mamlaka ambayo Mungu"
mipaka ambayo inayofika umbali kama wenu ulivyo.
Paulo anazungumzia mamlaka aliyo nayo ka vile ardhi ambayo juu yake anaitawala.
hatukujizidishia wenyewe
"hatukuwe nda nje ya mipaka yetu"
2 Corinthians 10:15-16
Hatujajivuna kupita mipaka
Hii ni nahau: "hatukujivuna juu vitu ambavyo hatukuwa na mamlaka navyo"
eneo letu la kazi litapanuliwa
Sentensi hii yaweza kueleza kwa namna ya utendaji: "Mungu atazidi kupanua eneo letu la kazi"
katika maeneo mengine.
"eneo ambalo Mungu amemtuma mtu fulani"
2 Corinthians 10:17-18
ajivunaye ndani ya Bwana
"kijivuna juu ya kile ambacho Bwana amefanya"
ajithibitishaye mwenyewe
Hii ina maana kuwamba yule atoaye humwuliza kilamtu anayemsikia kuamua ikiwa yuko sahihi au si sahihi.
yule ambaye Bwana humthibitisha
"ambaye Bwana humthibitisha"
ni yule ambaye Bwana humthibitisha.
Unaweza kuweka wazi ufahamu wa habari: "yule ambaye Bwana himthibitisha"
2 Corinthians 11
2 Corinthians 11:1-2
Sentensi Unganishi
Paulo anaendelea kuthibitisha utume wake.
mngevumiliana na mimi katika baadhi ya upumbavu.
"mniruhusu kutenda kama mpumbavu"
wivu...wivu
Maneno haya yanazungumzia uzuri , shauku kubwa ambayo Wakorintho wawe waaminifu kwa Kristo na kwamba hakuna mmoja anayepaswa kuwashawishi kumwacha yeye.
nilipowaahidi ninyi kwenye ndoa ya mume mmoja. Niliahidi kuwaleta ninyi kwa Kristo kama bikra safi.
Paulo anazungumzia juu ya kujali kwake kwa Waamini wa Korintho kama vile ameahidi mtu mwingine yeye angemwandaa binti yake kuolewa na yeye na zaidi ameguswa sana kwamba aweze kuitunza ahadi yake kwa mtu yule.
2 Corinthians 11:3-4
Lakini nina hofu kwamba kwa namna fulani....ibada safi kwa Kristo
"Lakini nina hofu kwamba kwa namna fulani wasiwasi wenu ineweza kuwatoa katika kweli na ibada safi kwa Kristo kama nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila"
mawazo yenu yanaweza kupotoshwa mbali
Paulo anazungumza kama vile walikuwa wanyama ambao watu wanaweza kuwaongoza katika njia isiyo sahihi.
kwa mfano kwamba mtu fulani akaja na
"Wakati mtu yeyote akija na"
kwa mfano kwamba mkapokea roho mwingine tofauti na yule mliyempokea. Au kwa mfano kwamba mkapokea . Au kwa mfano kwamba mkapokea injili nyingine tofauti na ile mliyoipokea
"roho tofauti na Roho Mtakatifu, au injili tofauti na ile mliyopokeamktuoka kwetu"
Mkavumilia mambo haya
"shughulikia vitu hivi"
2 Corinthians 11:5-6
hao wanaoitwa mitume-bora
walioitwa mitume.....Paulo anatumia maneno ya kejeli hapa kuonyesha kwamba wana umuhimu mdogo kuliko na wanavyodai kuwa"
2 Corinthians 11:7-9
Je, nilifanya dhambi kwa kujinyenyekeza mwenyewe ili ninyi muweze kuinuliwa
Paulo anaanza kwa kudai kwamba aliwatendea Wakorintho kwa uzuri.Swali hili la kujihoji linaweza kutafsiriwa hivi: " Nadhani tunakubaliana kwamba sikufanya dhambi kwa akujinyenyekeza mwenyewe ili ya kwamba mpate kuinuliwa"
kwa uhuru
"bila kutegemea kurudishiwa chochote kutoka kwenu"
Nilinyang'anya makanisa mengine
Sentensi hii imeelezwa kwa kuikuza au kutia chumvi kusisitiza kwamba Paulo alichukua fedha kutoka makanisa mengine.
ningeweza kuwahudumia ninyi
Maaana kamili ya sentensi hii yaweza kuwa: "Naweza kuwatumikia ninyi bila gharama"
Katika kila kitu nimejizuia mwenyewe kutokuwa mzigo kwenu
"sijawahi kwa njia yoyote kuwa mzigo kwenu kifedha.
ndugu waliokuja
"Ndugu hawa" huenda walikuwa wanaume wote.
2 Corinthians 11:10-11
Kama kweli ya Kristo ilivyo ndani yangu, huki
Paulo anasisitiza hiki kwa sababu wasomaji wake wanajua kuwa anawaambia kweli ya Kristo, wanaweza kujua kuwa mahali hapa anawaambia ukweli.
huku kujisifu kwangu hakutanyamazishwa
Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "hakuna hata mmoja atakayeweza kunizuia kujisifu na kukaa kimya. "Paulo "anajivuna" kuwa yuko "huru kuhubiri injili"
sehemu za Akaya
"mikoa ya Akaya" Neno "sehemu" linazungumzia maeneo ya nchi , na siyo mgawanyo wa kisiasa.
Kwa nini? Kwa sababu siwapendi?
Paulo anatumia swalimla kujihoji kusisitiza upendo kwa Wakorintho.
Mungu anafahamu
Kwa kuweka wazi sentensi hii: "Mungu anajua Ninawapenda"
2 Corinthians 11:12-13
Sentensi Unganishi
Kwa kuwa Paulo anaendelea kuthibitisha kwamba utume wake, anazungumzia kuhusu mitume wa uongo.
ili kwamba niweze kuondoa madai
Paulo anazungumzia madai ya manabii wa uongo kuwa hali ya maadui wake kama ilikuwa kitu anachoweza kukiondoa"
wanataka kujivuna kwa lipi?
Wakati kujisifu kwa Paulo kulikuwa "uhuru kuhubiri injili"
wameonekana wakifanya kazi ile ile ambayo tunaitenda
Hii ina maana kwamba "wale watu watafikiri kuwa wako kama sisi"
kwa watu wa jinsi ile
"Ninafanya yale ninayoyafanya kwa sababu watu wanayapenda"
watendakazi wadanganyifu
"wafanya kazi wasio heshimiwa"
Wanajifanya wenyewe kama mitume
""siyo mitume, lakini wanajaribu wao wenyewe kuwa kama mitume"
2 Corinthians 11:14-15
Na hii haishangazi...Hii haina mshangao mkubwa kama
kwa kusema hivi, huu ni mtazamo hasi Paulo anasisitiza kuwa Wakorintho wanpaswa kutarajia kukutana na "mitume wengi wa uongo"
Shetani hujigeuza mwenyewe kama malaika wa nuru
"Shetani siyo malaika wa nuru, akini hujaribu kujifanya mwenyewe kuwa kama malaika wa nuru"
watumishi wake pia kujigeuza wenyewe kama watumishi wa haki.
"watumishi wake siyo watumishi wa haki, lakini hujaribu kujifanya wenyewe kuwa kama watumishi wa haki"
2 Corinthians 11:16-18
nipokeeni mimi kama mpumbavu ili niweze kujisifu kidog
"nipokee mii kama vile ungempokea mpumbavu:niache mimi nizungumze, na kufikiri kujivuna kwangu maneno ya mpumbavu"
Kile ninachosema kuhusu huku kujiamini kwa kujivuna hakuhukumiwi na Bwana
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " "Bwana hajifanyi kutoona ninacho kiongelea kuhusu ujasiri wa kujivuna" Bwana hajaniambia kuwa ana thibitisha kwa kile ninachokizungumza huu ujasiri wa kujisifu.
kwa jinsi ya mwili
Katika sentensi hii mbadala wa neno "mwili" una maanisha mtu katika asili yake yha dhambi na maendeleo yake.
2 Corinthians 11:19-21
mlichukuliana na wapumbavu
"nikubali mimi ninapotenda kama mpembavu"
ninyi wenyewe mna busara
Paulo ana waaibisha Wakorintho kwa ktumia kinyume au kejeli.
akikutia utumwani
Paulo anazungumzia juu ya sheria ambazo Mungu hakuzifanya lakini baadhi ya watuwaliwalazimisha wengine kutii kana kwamba ilikuwa utumwa.
yeye huwaharibu ninyi
Paulo anazungumzia juu ya utume ulio bora kuchukua raslimali ya vitu vya watu kana kwamba ilikuwa kuwala watu wenyewe.
akiwatumia ninyi kwa faida yake
Mtu anayechukua fursa ya mtu mwingine kwa kujua vitu ambavyo mtu mwingine havifahamu, na kuyatumia hayo maarifa kumsaidia yeye mwenyewe na kumwumiza mtu mwingine.
Nitasema kwa aibu yetu kwamba sisi tukuwa dhaifu sana kufanya hivyo
Kwa aibu ninakiri kwamba hatukuwa wenye nguvu vya kutosha kuwatendae ninyi hivyo. Paulo anatumia neno la kinyume kuonyesha kuwa siyo kwa sababu alikuwa dhaifu hivyo aliwatendea wao vizuri.
Na bado kama yeyote akijivuna.... mimi pia nitajivuna.
"vyovyote mtu akijisifu, juu ya....mimi pia sitaogopa kufanya hivyo"
2 Corinthians 11:22-23
Sentensi Unganishi
Vile Paulo anaendelea kuthibitisha utume wake, anazungumza vitu vya wazi ambavyo vimetokea kwake tangu alipo kuwa mwamini.
Je, wao ni Waisraeli?..Je, wao ni Waisraeli?..Je, wao ni uzao wa Abrahamu?...Je, wao ni watumishi wa Kristo?...(Nanena kama nilikuwa nimechanganyikiwa.) Mimi ni zaidi
Paulo anauliza maswal Wakorintho wanaweza kuwa walikuwa wanauliza na tena kuwajibu kusisitiza kuwa yeye ni myahudi zaidi -kama walivyo mitume bora.
kana kwamba kama nilikuwa nimechanganyikiwa
"kana kwamba nilikuwa siwezi kufikiri vizuri"
Mimi zaidi
Inaweza kuwekwa wazimkwa kusema "Mimi ni mtumishi wa Kristo zaidi kuliko walivyo"
hata katika kazi ngumu
"nimefanya kazi ngumu"
mbali zaidi ya kuwa vifungoni,
"nimekuwa vifungoni mara nyingi"
katika kupigwa kwingi
Hiki ni nahau na imetumika kuelezea kwa undani msisitizo mara ngapi yeye amepigwa,
katika kukabili hatari nyingi za kifo.
"na karibia nife mara nyingi"
2 Corinthians 11:24-26
mapigo arobaini kasoro moja
hii ilikuwa kawaida kueleza kuwa nimechapwa viboko 39. Viboko arobaini[40] inadhaniwa ni kuua mtu.
Nilipigwa kwa fimbo
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji hivi: "watu walinipiga kwa viboko vya miti"
"nilipigwa kwa mawe"
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii:"watu walinitupia mawe mpaka wakadhania kuwa nimekufa"
Nimetumia usiku na mchana katika bahari wazi
Paulo anazungumzia muda aliokuwa majini wakati meli ilipokuwa katika kuzama.
hatarini kwa ndugu za uongo
"na hatari toka kwa wanaojifanya kuwa ndugu katika Kristo, lakini ni wametusaliti"
2 Corinthians 11:27-29
na uchi
Katika sentensi ina maanisha "na kukosa nguo ya kunitia joto"
nani ni dhaifu, na mimi siyo dhaifu?
Hili ni swali la kujihoji linaloweza kutafiriwa kam ifuatavyo: Wakati mtu yeyote akiwa dhaifu, na mimi najisikia nina udhaifu pia."
kuna msukumo wa kila siku juu yangu wa wasiwasi wangu
Paulo anafahamu kwamba Mungu atamshikilia kuwajibika kwa jinsi makanisa yanavyomtii Mungu na anazungumza juu ya yale maarifa kama vile yalikuwa mzigo mzito wa kitu kinacho msukuma chini.
Nani ni dhaifu, na mimi siyo dhaifu?
Neno "dhaifu"huenda ni mfano kelezea hali ya kiroho. Lakini hakuna hata mmoja anajua kwa hakika paulo anazungumzia nini!
Nani amesababisha mwingine kuanguka
Paulo anatumia swali hili kuonyesha hasira yake wakati mmwamini amesababishwa kutenda dhaambi.
amesababisha kuanguka
Paulo anazungumzia juu ya dhambi ilikuwa kitu kitu fulani kinatchotembea na hatimaye kuanguka.
mimi siungui
Paulo anazungumzia kwa hasira juu ya dhambi kama vile alikuwa na moto ndani ya mwili wake.
2 Corinthians 11:30-31
kwamba inachoonyesha udhaifu wangu
"jinsi nilivyo na udhaifu"
"kinachoonyesha jinsi nilivyo dhaifu"
mimi sidanganyi
Paulo anatumia sentensi yenye nguvu na ya ukanusho kusisitiza maana katika mtazamo wa kukubali.
2 Corinthians 11:32-33
Kule Dameski, mkuu wa mkoa chini ya mfalme Areta alikuwa akiulinda mji
"mkuu wa mkoa ambaye aliteuliwa na mfalme Areta aliwaambia wanaume kuulinda mji"
kwa kunikamata mimi
"hivyo wanaweza kunivizia na kunikamata"
niliwekwa kwenye kikapu
Sentensi hii yaweza kuelezwa hivi: "watu baadhi waliniweka ndani ya kikapu na kunishusha chini"
kutoka mikononi mwake
Paulo anatumia mikono ya mkuu wa mkoa kama mfano kwa mkuu wa mkoa .
2 Corinthians 12
2 Corinthians 12:1-2
Sentensi Unganishi
Paulo anatetea utume wake kutoka kwa Mungu, paulo anaendelea kusema wazi mambo yale yaliyompata tangu awe mwamini.
Nitaendelea
"nitaendelea kuzungumza, hata sasa juu yake"
maono na mafunuo kutoka kwa Bwana
Maana zaweza kuwa hizi" Paulo anatumia maneno "maono" na "mafunuo" kumaanisha kitu kile kile kimeunganishwa kwa maneno tofauti ili kutoa msisitizo.
Namjua mtu mmoja katika Kristo
Paulo kwa hakika anajisema yeye mwenyewe kama vile alikuwa mtu mwingine, lakini hii ikiwezekana ni lazima itafsiriwe kama ilivyoandikwa.
ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui
Paulo anazidi kujieleza yeye mwenyewe kama ikiwa hii itatokea kwa mtummwingine.
Mungu anajua
"ni Mungu pekee ajuaye"
mbingu ya tatu
Hii inalelezea mahali anapokaa Mungu na siyo mbingu au nafasi wazi angani (sayari, nyota, na dunia)
2 Corinthians 12:3-5
Habari za Jumla:
Paulo anazidi kujizungumzia yeye mwenyewe ingawa kama vile alikuwa anazungumzia mtu mwingine
mtu huyu alichukuliwa juu hadi paradiso
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jini hii: Maana zinazowezekana: "Mungu tazama mtu huyu...katka paradiso" au "malaika alimchukua mtu huyu .
alichukuliwa juu
ghafla na kwa kulazimishwa alifanyika na kuchukuliwa
Paradiso
Maana zinazoezekana ni hizi" mbibuni au mbingu ya tatu au sehemu maalumu mbinguni.
kwa niaba ya mtu kama huyo
"kwa niaba ya mtu huyo"
sitajisifu, isipokuwa kuhusu udhaifu wangu
Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "Nitajivuna tu kwa udhaifu wangu"
2 Corinthians 12:6-7
Sentensi Unganishi
Kama vile Paulo anavyotetea utume wake kutoka kwa Mungu, anawaambia juu ya udhaifu ambao Mungu alimpa yeye kumfanya awe mnyenyekevu.
Habari za Jumla:
Wakati paulo anazungumza juu ya "mwiba katika mwili wake"; anaonyesha kuwa yeye ni "mwanadamu"
kusikika kutoka kwangu. Sitajivuna pia kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba
Maana nyingine ni hii;' " kusikia kutoka kwangu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi kwa sababu ya aina ya mafunuo hayo, mwiba."
kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba
Maana nyingine ni hii;' " kusikia kutoka kwangu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi kwa sababu ya aina ya mafunuo hayo, mwiba."
Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi,
"kunifanya mimimnisijawe na kiburi"
kijawa na
kujazwa na hewa na kuwa kubwa mno kuliko ilivyo kawaida
mwiba katika mwili
Haapa matatizo ya Paulo ya mwili yamelinganishwa na "mwiba" unaochoma "mwili wake"
mjumbe wa shetani
"mtumishi wa shetani"
kunishambulia mimi
"kunitesa mimi"
2 Corinthians 12:8-10
mara tatu
Paulo anayaweka maneo haya mwanzo wa sentensi kusisitiza kuwa ameomba mara nyingi kuhusu "mwiba wake"
Bwana kuhusu kuhusu hili
"Bwana kuhusu mwiba huu ndani ya mwili" au "Bwana kuhusu teso hili"
Neema Yangu yakutosha
"nitakuwa mnyenyevu kwako, na hivyo ndivyo unavyohitaji"
kwa kuwa nguvu hufanywa kamili katika udhaifu.
"kwa kuwa nguvu zangu zinafanya kazi vizuri wakati ukiwa dhaifu"
uweza wa Kristo uweze kukaa juu yangu
Paulo anazungumza juu ya "nguvu za Kristo" kuwa ilikuwa kama hnema lililojengwa juu yake."Watu wanaweza kuona kuwa ninazo nguvu za Kristo" au "Nitaweza kwa hakika kuwa na uweza wa Kristo."
ninatosheka kwa ajili ya Kristo, katika udhaifu, katika matukano, katika shida, katika mateso, katika hali ya masikitiko
Maana zawezakuwa"Nina utoshelevu katika udhaifu, katika matukano, katika shida, katika mateso, katika hali ya masikitiko kama vitu hivi vinakuja kwa sababu mimi ni wa Kristo" au "Nina utoshelevu katika udhaifu....kama vitu hivi vinawafanya watu kumjua Kristo"
katika udhaifu
"wakati ninapokuwa katika udhaifu"
katika matukano
"wakati watu wanapojaribu kunifanya nikasirike kwa kusema kwamba mimini mtu mbaya"
katika shida
"wakati ninapoteseka"
katika hali ya masikitiko
"wakati kuna mateso"
wakati nikiwa dhaifu, kisha nina nguvu
Paulo anasema hivyo wakati anapokuwa hana nguvu za kutosha kufanya yale ambayo anahitajika kuyafanya, Kristo aliye na nguvu zaidi kuliko Paulo angeweza kuwa, atafanya kazi kwa njia ya Paulokufaya yale anayohitaji kufanya.Hata hivyo, itakuwa vyema zaidi kuyatafsiri maneno haya kama yalivyoandikwa, kama lugha yako inaruhusu.
2 Corinthians 12:11-13
Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha waamini wa Korintho juu ya ishara za kweli za mtume na uvumilivu wake mbele zao kuwatia nguvu.
Mimi nimekuwa mpumbavu
"ninatenda kama mpumbavu"
mlinilazimisha kwa hili
"mlinilazimisha kuongea kwa njia hii"
nilipaswa kusimesifiwa na ninyi.
"ni sifa ambayo mlipaswa kunipa"
sifa
" Ina maanisha "sifa" na "kushuhudiwa"
Kwa kuwa sikuwa duni
"kwa kutumia kauli ya kukanusha, anasema kwa nguvu kwamba hao wakorintho wanaodhani kuwa yuko duni hawako sahihi.
mitume--bora
Mitume-Paulo anatumia neno hili kwa kejeli kuonyesha kuwa hawana umuhimu kama wanavyodai.
Ishara za kweli za mtume zilifanyika
Sentensi hii ionaweza kutafsiriwa katika kauli tendaji pamoja na msisitizo juu ya "ishara"
ishara....ishara
Tumia maneno yote kwa wakati mmoja
ishara na maajabu
Kuna ishara za "kweli za mitume" ambazo Paulo alizitenda kwa uvumilivu mwingi.
Kwa namna gani mlikuwa wa muhimu wa chini kuliko makanisa... isipokuwa ...ninyi
Paulo anasisitiza kuwa Wakorintho wanafanya makosa kumshitaki Paulo kwa kutaka kuwaumiza.
sikuwa mzigo kwenu
"sikuwaomba pesa au vitu vingine nilivyohitaji"
Mnisamehe kwa kosa hili
Paulo amekuwa mwenye kukejeli kuwaaibisha Wakorintho. Pia yeye na wao wanajua kuwa hajafanya baya lolote, lakini wanamfikiria kuwa kama amewakosea
kwa kosa hili
kuto waomba pesa na mahitaji mengine aliyohitaji
2 Corinthians 12:14-15
Nawataka ninyi
"Ninachihitaji ni kwamba mnipende na kunikubali"
watoto hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi.
Watoto wadogo hawawajibiki kutunza fedha kwa afya za wazazi wao.
Nitafurahi zaidi kutumia
Pailo anazungumzia kazi yake na maisha yake ya mwili kama vile ilikuwa fedha ambazo yeye au Mungu angetumia.
kwa ajili ya nafsi zenu
Neno 'roho" ni linawakilisha watu wenyeywe.
Kama ninawapenda zaidi, natakiwa kupendwa kidogo?
Swali hili lakujihoji linaweza kutafsiriwa hivi: "Kama niawapenda ninyi sana, ninyi hampaswi kunipenda mimi kidogo.
zaidi
Haiko bayana nini Paulo kusema " pendo la Paulo ni zaidi"
2 Corinthians 12:16-18
Lakini, kwa kuwa mimi ni mwerevu, nimekuwa ambaye niliwapata kwa udanganyifu
Paulo anatumia neno la kejeli kuwaaibisha Wakorintho wanaofikiri naliwadanganya hata kama hakuwaomba pesa.
Nilichukua kitu kwenu kupitia kwa mtu yeyote niliyemtuma?
"Hakuna mtu niliyemtuma akachukua kitu kwenu!"
Je Tito alichukua kitu kwenu?
"Tito hakuchukua kitu kwenu."
Hatukuenenda kwa mwenendo ule ule?
"Sote tulikuwa na tabia na maisha yanayofanana."
Hatukuenenda kwa namna ileile?
"Sote tulifanya kwa namna inayofanana."
2 Corinthians 12:19
Sasa mnafikiri kwa hayo yote tunajitetea kwenu?
Paulo alifafanua kwamba hajitetei kwao kwa tabia yake. "Msifikiri kwamba kwa hayo wakati huu najitetea mwenyewe kwenu."
Mbele za Mungu,
Paulo anazungumzia juu ya ufahamu wa Mungu kufahamu mambo yote Paulo anafahamu pia kama vile Mungu alikuwa pa kimwili na amechunguza kila kitu alichosema na kufanya Paulo.
kwa ajili ya kuwaimarisha ninyi
"ya kwamba muweza kumjua Mungu na kumtii yeye vizuri"
2 Corinthians 12:20-21
Naweza nisiwakute kama ninavyotaka
"Sitapenda vile nitakavyowakuta"
ninyi mnaweza msinikute kama mnavyotaka
"mnaweza msipende majibu yangu"
Nina hofu kwamba mnaweza msinipate mimi kama mnavyotamani. Nahofia kwamba kunaweza kuwa na majadiliano, wivu, milipuko ya hasira, tamaa ya ubinafsi, umbeya, kiburi, na ugomvi
"baadhi yenu mnaweza kuwa mnagombana na sisi, wenye wivu na sisi, ghafla wenye chuki na sisi, mnazungumza kuhusu mambo yetu ya binafsi, wenye kiburi, na kutupinga sisi tunapojaribu kuwaongoza". "baadi yenuwatakuwa wenye kugombana na kila mmoja, wenye wivu na kila mmoja, ghafla mnakuwa wenye hasira na kila mmoja wenye kiburi, na kuwapinga ambao Mungu amewachagua kuongoza"
Nitahuzunika kwa hao waliotenda dhambi tangu sasa
Nitakuwa na huzuni kwa sababu wengi wao hawakutubu dhambi zao za zamani"
hawakutubu kwa uchafu na uasherati na ufisadi na anasa waliokwisha zoea
"na hawakutubu kwa dhambi ile ya uasherati waliyoizoea" au "Paulo anazungumzia juu ya aina tatu za dhambi."
mambo ya uchafu
"ya mambo ya kufikiri kwa siri juu yake na kutamani vitu ambavyo havimpenfezi Mungu"
mambo ya uasherati
"kufanya mambo ya uzinzi"
mambo ya tamaa
"ya kufikiri mkwa siri juu yake na na kutamani vitu ambavyo havimpendzi Mungu"
2 Corinthians 13
2 Corinthians 13:1-2
Sentensi Unganishi
Paulo anathibitisha kuwa Kristo anazungumza kupitia yeye na kwamba Paulo anangojea kuwahuisha, kuwatiamoyo, na kuwaunganisha wao.
Kila shitaka
Amini kwamba mtu fulani amefanya vibaya ni watu wawili au watatu tu wameshuhudia jambo lile lile.
wote waliosalia
'ninyi watu wote wengine "
2 Corinthians 13:3-4
alisulibiwa
walimsulibisha
lakini tutaishi naye kwa nguvu za Mungu
Mungu hupa nguvu na uwezo wa kuishi maisha ndani yake pamoja naye.
2 Corinthians 13:5-6
Jipimeni wenyewe...hamjagundua...haijagundulika
Maneno "gundulika" na "haijagundulika" yanaweza kuwa na maana ya kupitisha au kutopitisha jaribu.
ninyi hamkubali kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu?
"ninyi mnapaswa kujua kuwa Yesu Kristo yumo ndani yenu"
ndani yenu
Inawezekana inamaanisha 1]anaishi ndani ya mtu binafsi[ au 2] "katikati yenu, "na sehemu muhimu zaidi ni wafuasi wa kundi.
sisi hatukukataliwa
"Hakika sisi tumekubaliwa."
2 Corinthians 13:7-8
kwamba msifanye neno lolote baya
"msitende dhambi kwa jambo lolote" "kwamba muweze kutenda mambo yote kwa haki."
muweze kushinda majaribu
"tuwe walimu na tuishi katika kweli"
hatuwezi kufanya jambo lolote kinyume na kweli
"hatuwezi kuwazuia watu katika kujifunza ukweli'
ukweli...lakini ni kwa ajili ya kweli tu.
"kila kitu tukifanyacho kitawasaidia watu kujifunza ukweli"
2 Corinthians 13:9-10
muweze kuwa timilifu
"muweze kukomaa kiroho"
katika kutumia mamlaka yangu
"wakati ninapotumia mamlaka yangu"
ya kwamba nipate kuwawajenge na siyo kuwaharibu chini
Paulo anazungu,zia juu ya kuwasaidia Wakorintho kumjua Kristo vizuri kama vile alikuwa akijenga jengo.
2 Corinthians 13:11-14
Sentensi Unganishi
Paulo anafunga barua hii kwa waamini Wakorintho.
fanyeni kazi kwa ajili ya urejesho
"tenda kazi kufikia ukomavu"
kubalianeni ninyi kwa ninyi
"muishi kwa mahusiano mazuri na kila mtu"
kwa busu takatifu
"kwa upendo wa Kikristo"