Exodus
Exodus 1
Exodus 1:1-5
jamii
Hii inahusu watu wote wanao ishi katika nyumba pamoja, hususani familia kubwa yenye watumishi.
sabini
"70"
yusufu alikuwa Misri tayari
"Yusufu aliishi Misri kabla ya kaka zake"
Exodus 1:6-7
kaka zake wote
kaka zake wakubwa 10 na mdogo 1.
Walikuwa wamatunda
Uzao wa watoto kwa Waisraeli unasemekana kama vile mimea inayo zaa matunda.
nchi ili jazwa nao
Hii ya weza wekwa kwenye tensi tendaji. "Walijaza nchi"
pamoja nao
Neno "wao" la husu Waisraeli.
Exodus 1:8-10
akainuka juu ya Misri
Hapa "Misri" ya husu watu wa Misri.
Akasema kwa watu wake
"Mfalme akasema kwa watu wake"
watu wake
Hawa walikuwa watu waliyo ishi Misri, Wamisri.
na tufanye
Neno "sisi" lina jumuisha na kuhusu mfalme na watu wake, Wamisri.
Vita vikalipuka
Hapa vita vinatajwa kama mtu anaye weza kufanya matendo.
kuondoka nchini
"kuondoka Misri"
Exodus 1:11-12
mabwana wa kazi
"waendesha watumwa." Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kulazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.
kuwa kandamiza kwa kazi ngumu
"kuwa lazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu ya Wamisri"
miji ya ghala
Hizi zilikuwa sehemu viongozi walipo weka chakula na vitu vingine muhimu kuviweka salama.
Exodus 1:13-14
kufanya ... kazi kwa juhudi
"kufanya ... fanya kazi kwa nguvu" au "kwa vikali fanya ... kazi"
walifanya maisha yao machungu
Maisha magumu ya Waisraeli yanazungumzwa kama vile yalikuwa chakula kichungu ambacho kili kuwa kigumu kula.
chokaa
Hii ilikuwa gundi ya maji au matope kati ya matofali au mawe yaliyo yashika pamoja yalipo kauka.
Kazi zao zote zilikuwa ngumu
"Wamisri waliwafanya wafanye kazi kwa nguvu sana" au "Wamisri waliwalimizimisha kufanya kazi kwa ngumu"
Exodus 1:15-17
mfalme wa Misri
Wafalme wa Misri aliitwa Farao.
wakunga
Hawalikuwa wanawake waliyo wasaidia mwanawake kuzaa mtoto.
Shifira ... Pua
Haya ni majina ya wanawake wa Kiebrania.
katika kiti cha kujifungulia
Wanawake waliketi kwenye ichi kiti walipo jifungua. Hivyo basi, ina hashiriwa na kujifungua.
Exodus 1:18-19
wakunga
Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:15
Kwanini umefanya hivyo, na kuwaacha watoto kuishi?
Farao aliuliza hili swali kukemea wakunga kwa kuruhusu watoto kuishi.
Wanawake wa Kiebrania hawapo kama wanawake wa Kimisri
Wakungu walijibu kwa hekima kuridhisha hasira ya Farao.
Exodus 1:20-22
Nini Farao aliagiza watu wake kufanya kwa watoto wa kiume?
Farao aliagiza watu wake wote, "Lazima mtupe kila mtoto wa kiume anaye zaliwa kwenye mto."
Exodus 2
Exodus 2:1-2
Sasa
Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya mapumziko katika matukio muhimu. Hapa mwandishi anaanza kusimulia sehemu mpya.
tatu
"3"
Exodus 2:3-4
kisafina cha manyasi
Hichi ni chombo kilicho tengenezwa kutokana nyasi inayo ota kando ya Mto wa Misri.
akakipaka sifa na lami
Unaeza elezea kuwa hii ilikuwa kwa ajili ya kuzuuia maji.
sifa
Hii ni gundi iliyo tengenezwa kwa petroli. Yaweza kutumika kuzuia maji.
lami
Hii ni gundi ya rangi kawia au nyeusi inayo weza kutengenezwa kwa utomvu wa mti au petroli. Hivyo basi "lami" itajumuisha sio tu "sifa" bali pia mimea yenye utomvu. Yaweza tumika kuzuia maji.
majani
Haya "majani" yalikuwa haina ya nyasi ndefu yaliyo ota sehemu nyevu na tambarare.
akasimama mbali
Hii ina maana ya kuwa alisimama umbali ambao hakuweza kuonekana, lakini kwa ukaribu ambao aliweza kuona sanduku.
Exodus 2:5-6
vijakazi
"watumishi"
Tazama
Neno "Tazama" la hashiria maelezo yanayo shangaza yafuatayo.
Exodus 2:7-8
akunyonyeshe
"kunyonyesha"
Exodus 2:9-10
akamleta
"mwanamke wa Kiebrania akamleta"
akawa mwana wake
"akawa mwana wa kupanga wa binti wa Farao"
Kwasababu nilimtoa kwenye maji
Watafsiri wanaweza kuongeza alama inayo sema "Jina Musa linaeleweka kama jina la Kiebrania linalo maanisha "kuvuta."
nilimtoa
"kumvuta"
Exodus 2:11-12
akampiga
"kumgonga"
Akatazama huko na huko
Haya maeneo tofauti yana maana moja ya "kila sehemu."
Exodus 2:13-14
Akatoka
"Musa akatoka"
Tazama
Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba Musa alishangazwa kwa alicho kiona.
yeye aliye kuwa na makosa
Hii ilikuwa ni namna ya kusema "yeye alianza pambano"
nani aliye kufanya kiongozi na muamuzi juu yetu?
Mtu aliye tumia hili swali kumkemea Musa kwa kuingilia pambano.
Unataka kuniua kama ulivyo muua yule Mmisri?
Mwanaume huyu alitumia swali kwa kejeli.
Exodus 2:15-17
Sasa Farao alipo sikia kuhusu hili
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya tukio.
Sasa kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaeleza watu wapya katika simulizi.
chota maji
Hii ina maana walichota maji kwenye kisima.
birika
chombo kirefu cha wazi, chemba, kinacho wanacho tumia wanyama kulia au kunywea.
kuwafukuza
"kuwakimbiza"
akawasaidia
"akawaokoa"
Exodus 2:18-20
Kwanini ulimuacha mwanaume?
Hili swali ni kemeo kwa mabinti kwa kutomkaribisha Musa nyumbani kwao kwa kadiri ya mapokezi ya utamaduni.
Exodus 2:21-22
Musa akakubali kukaa na huyo mwanaume
"Musa akakubali kuishi na Reueli"
Zipora
Huyu ni binti wa Reueli.
Gerishomu
Huyu ni mwana wa Musa
wakazi katika nchi ya kigeni
"wageni katika nchi ya kigeni"
Exodus 2:23-25
sononeka
Walifanya hivi kwasababu ya uzuni na mateso yao.
maombi yao yakaenda kwa Mungu
kilio chao Waisraeli kikaenda kinazungumziwa kama ni mtu na anaweza kwenda Mungu alipo.
Mungu akakumbuka agano lake
Hii ilikuwa namna ya kitamaduni yakusema Mungu aliwaza kuhusu alicho kiahidi.
Exodus 3
Exodus 3:1-3
malaika wa Yahweh
Huyu alikuwa Yahweh mwenyewe aliyekuwa anajitokeza kama malaika, na sio kama malaika Yahweh aliye mtuma.
Yahweh
Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale.
Tazama
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Musa aliona kitu kilicho kuwa cha tofauti na alicho tegemea.
Exodus 3:4-6
kutengwa
"kilicho fanywa takatifu"
Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo
Hawa wanaume wote walimuabudu Mungu mmoja.
baba yako
Maana inayo wezekana ni 1) "babu yako" au 2) "baba yako." Kama ina maana babu yako," kisha basi maneno yafuatayo ya fafananua nani "baba yako" ina muhusu: ina muhusu Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Kama ina maana ya "baba yako," kisha basi ina muhusu baba yake Musa.
Exodus 3:7-8
wasimamizi
"waendesha watumwa." Hawa walikuwa wa Misri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi.
nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali
"nchi ambayo maziwa na asali yatiririka." Mungu akazungumza kwa habari ya nchi kuwa nzuri kwa ajili ya wanyama na mimea kama maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama na mimea ilikuwa ya tiririka kwenye nchi.
tiririka kwa
"imejawa na" au "na utele wa"
maziwa
Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii yawakilisha chakula kinacho tokana na mifugo.
asali
Kwa maana asali yatokana na mau, hii ya wakilisha chakula cha mazao.
Exodus 3:9-10
kelele za watu Waisraeli zimekuja kwangu
Hapa neno "kelele" inazungumziwa kama ni watu wanao weza kusogea mwenyewe.
Exodus 3:11-12
Mimi ni nani, hadi niende kwa Farao ... Misri?
Musa anatumia hili swali kumuambia Mungu kwamba Musa sio kitu na hakuna atakaye msikiliza.
Exodus 3:13-15
Mungu akamwambia Musa, "MIMI NIKO AMBAYE NIKO."
Hili ndilo jibu la Mungu kwa swali la Musa kuhusu jina la Mungu.
MIMI NIKO AMBAYE NIKO
Maana inayo wezekana hapa ni 1) hii sentesi yote ni jina la Mungu au 2) Mungu hasemi jina lake lakini kitu kuhusu yeye. Kwa kusema hili, Mungu anafundisha kuwa yeye ni wa milele; aliishi na ataishi.
Exodus 3:16-18
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kuzungumza na Musa.
Mungu wa mababu zako, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo
Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja.
Hakika nimekutathimini
Neno "wewe" la husu watu wa Israeli.
nchi inayo tiririka maziwa na asali
Mungu aliongelea nchi kuwa nzuri kwa wanyama na mimea kana kwamba maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama yalikuwa ya tiririka kwenye nchi.
tiririka
"iliyo jawa" au kwa utele wa"
maziwa
Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mifugo.
asali
Kwa maana asali yanatoka kwenye mau, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mazao.
Watakusikiliza wewe
Neno "wewe" la muhusu Musa.
Exodus 3:19-22
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kusema na Musa.
hadi mkono wake ulazimishwe
Hii yaweza andikwa katika tenzi tendaji. Neno "mkono" linasimama katika nafasi ya nguvu ya mwenye mkono. Maana inayo wezekana ni 1) "pale tu atakapoona hana nguvu ya kufanya kitu kingine chochote" 2) "pale tu nitakapo mlazimisha kuacha muende" au 3) "ata kama nitamlazimisha kuwaacha muende"
Nitanyoosha mkono wangu na kushambulia
Hapa "mkono" wa husu nguvu ya Mungu.
sitaenda mikono mitupu
Hapa neno "mikono mitupu" linatumika kueleza maana tofauti.
wanawake wowote wanao ishi nyumbani kwa jirani
"Misri yeyote anaye ishi nyumbani kwa jirani yake wa Kimisri"
Exodus 4
Exodus 4:1-3
kama wasipo amini
"kama Waisraeli wasipo amini"
Exodus 4:4-5
shika kwenye mkia
"nyanyua kwenye mkia" au "chukuwa kwenye mkia"
likawa gongo
"geuka kuwa gongo" au "badilika kuwa gongo"
Mungu wa mababu zao, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo
Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja.
Exodus 4:6-7
tazama
Hili neno linatumika kuweka mshangao
nyeupe kama theluji
Neno "kama" hapa linatumika kulinganisha mkono wa Musa ulivyo onekana. Ukoma una sababisha ngozi kuonekana nyeupe.
Exodus 4:8-9
kuwa makini
"tambua" au "kubali"
Exodus 4:10-13
mnenaji hodari
"mnenaji mzuri"
mimi ni mtaratibu wa kuongea na mtaratibu wa ulimi
Haya maneno "mtaratibu wa kuongea" na "mtaratibu wa ulimi" yana maana moja. Musa alitumia kuwe mkazo kuwa sio msemaji mzuri.
mtaratibu wa ulimi
Hapa "ulimi" wa husu Musa na uwezo wake wa kuongea.
Nani aliye ufanya mdomo wa mwanadamu?
Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ni muumbaji anaye wezesha watu kuzungumza.
Nani anaye mfanya mtu bubu au kiziwi au kuona au kipofu?
Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ndiye anaye amua kama watu wataongea na kusikia, na kama wataona.
Siye mimi, Yahweh?
Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ndiye mwenye maamuzi haya.
nitakuwa na mdomo wako
Hapa "mdomo" wa husu Musa na uwezo wake wakuongea.
Exodus 4:14-17
ata kuwa na furaha moyoni mwake
Hapa "moyo" wa husu mawazo ya ndani na hisia.
eka maneno ya kusema modomoni mwake
Maneno hapa yanazungumzwa kama ni vitu vinavyo weza kuwekwa mdomoni mwa mtu. Hapa maneno yana maana ya ujumbe.
nitakuwa na mdomo wako
Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Musa.
mdomo wake
Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Aruni.
Ata kuwa na mdomo wako
Neno "mdomo" hapa lina wakilisha marudio ya yale Aruni aliyo ambiwa na Musa.
utakuwa kwake kama kwangu, Mungu
Neno "kama" hapa la maanisha Musa ata wakilisha mamlaka hayo kwa Aruni kama Mungu alivyo fanya kwa Musa.
Exodus 4:18-20
baba mkwe
Hii ya husu baba wa mke wa Musa.
Exodus 4:21-23
ata fanya moyo wake mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungmziwa kama moyo wake ni mgumu.
Israeli ni mwana wangu
Neno "Israeli" hapa lina wakilisha watu wote wa Israeli.
ni mwana wangu, mzaliwa wangu wa kwanza
Hapa watu wa Israeli wanazungumziwa kama wazaliwa wa kwanza anaye sababisha furaha na kiburi.
Nitaua mwanao hakika, mzaliwa wako wa kwanza
Neno "mwana" hapa la husu mwana halisi wa Farao
Exodus 4:24-26
Yahweh alikutana na Musa na akajaribu kumuua
Hii yaweza kuwa kwasababu Musa hakumtairi mwanae.
Zipora
Hili ni jina la mke wa Musa
kisu cha jiwe
Hichi kilikuwa kisu kliicho undwa kwa jiwe.
kwenye miguu yake
Ina wezekana kuwa neno "miguu" hapa limetumika kama namna ya heshima ya kutaja sehemu zake za siri za mwili.
wewe ni bwana arusi kwangu kwa damu
Maana ya umbo hili sio wazi. Yaweza kuwa ulikuwa msemo unao fahamika kwenye utamaduni wao.
Exodus 4:27-28
Yahweh akamwambia Aruni
Unaweza taka kuongeza neno linalo weza kuweka alama mwanzo wa sehemu mpya wa hadithi.
katika mlima wa Mungu
Huu waweza kuwa mlima wa Sinai, lakini ukurasa hauelezi maelezo haya.
alimtuma yeye kusema
Neno "yeye" lamuhusu Yahweh.
Exodus 4:29-31
katika macho ya watu
"mbele ya watu" au "katika uwepo wa watu"
aliwatathimini Waisraeli
"aliwaona Waisraeli" au "alijali kuhusu Waisraeli"
waliinamisha vichwa vyao
Maana zinazo wezakana ni 1) "aliinamisha vichwa vyao kwa mshangao" au 2) "aliinama chini kwa kuabudu"
Exodus 5
Exodus 5:1-2
Baada ya hivi vitu kutokea
Sio wazi muda gani ambao Musa na Aruni walisubiri mpaka walipo muuona Farao.
sherehe kwa ajili yangu
Hii ni sherehe ya kumuabudu Yahweh.
Yahweh ni nani?
Farao anatumia hili swali kuonyesha kuwa hamtambui Yahweh kama mungu halali.
Kwanini mimi ... ach Israeli iende?
Farao anatumia hili swali kuonyesha kwamba anatamanio la kumtii Yahweh au kuwaacha Waisraeli waende kumuabudu Mungu.
sikiliza sauti yako
Maneno "sauti yako" yana wakilisha Mungu aliyo ya sema.
Exodus 5:3-5
Mungu wa Waebrania
Hili ni neno linalo tumika kwa ajili ya Mungu wa Waisraeli au Yahweh.
au kwa upanga
Hapa "upanga" ya wakilisha vita au shambulizi la maadui.
kwanini unachukuwa watu kutoka kazini kwao?
Farao anatumia swali hili kuonyesha hasira yake kwa Musa na Aruni kuwatoa Waisraeli kwenye kazi yao.
Exodus 5:6-9
wasimamizi
"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.
wewe haupaswi kutoa tena
Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu wasimamizi na mabwana.
Exodus 5:10-11
wasimamizi
"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.
sitakupatia wewe mrija wowote tena .. pata mriji popote utakapo upata
Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu watu wa Israeli.
nyinyi wenyewe lazima muende
Hapa "wenyewe" la tilia mkazo kuwa Wamisri hawata wasaidia.
mzigo wa kazi zenu hazitapunguzwa
Hii yaweza andikwa katika mfumo endelevu.
Exodus 5:12-14
nchi yote ya Misri
Huu ni msisitizo wa kuonyesha juhudi la ziada
wasimamizi
"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.
kapi
sehemu ya mmea ambayo inabaki baada ya mavunop
kwanini ujatengeneza matofali yote yanayo kupasa ... hapo awali?
Wasimamizi walitumia maswali kuonyesha wana hasira kwa upungufu wa matofali.
Exodus 5:15-18
wakalia
"wakalalamika"
bado wanatuambia 'tengeneza matofali!'
Hapa "wana" ya husu wasimamizi wa Kimisri.
Exodus 5:19-21
walipo ambiwa
Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.
jumba
Hii ni nyumba kubwa sana mfalme anayo ishi.
mmetufanya chukizo
Wamisri wali wajibu Waisraeli kama walivyo kuwa wakijibu wanapo sikia harafu chafu.
wameweka upanga mkononi mwetu kutuua
Hapa "upanga" wawakilisha nafasi ya kuteketeza maadui.
Exodus 5:22-23
Bwana kwanini umesababisha matatizo kwa hawa watu?
Hili swali la onyesha jinisi alivyo kata tamaa kuwa Wamisri wana wa tendea vibaya Waisraeli kwa ukali zaidi sasa.
kwanini ulinituma mimi kwanza?
Hili swali la onyesha jinsi Musa alivyo kata tamaa kuwa Mungu alimtuma Misri.
ongea nae kwa jina lake
Neno "jina" hapa la wakilisha ujumbe wa Mungu.
Exodus 6
Exodus 6:1
mkono wangu hodari
Neno "mkono" hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi.
Exodus 6:2-5
Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo
"Nilijionyesha kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo"
sikujuliikana kwao
Hii yaweza andikwa katika sentensi tendeaji.
kilio
Hii ina maana ya kufanya sauti za uzuni kwasababu ya maumivu na mateso.
Exodus 6:6-7
sema kwa Waisraeli
Hii ni amri kutoka kwa Yahweh kwa Musa.
Exodus 6:8-9
muahidi
"apa" au "niliyo sema nita"
Exodus 6:10-13
Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi , kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?
Musa aliuliza hili swali akitumaini Mungu atabadilisha nia yake ya kumtumia Musa.
Exodus 6:14-15
vichwa wa nyumba za baba yao
Hapa "vivhwa" ya husu mababu wa hasili wa ukoo.
Hanoki ... Shauli
Haya ni majina ya wanaume.
Exodus 6:16-19
Gerishoni ... Merari
Haya ni majina ya wanaume.
Amramu ... Uzieli
Haya ni majina ya wanaume.
Exodus 6:20-22
Izhari ... Kora ... Zikri
Haya ni majina ya wanaume.
Uzieli .. Mishaeli ... Sithri
Haya ni majina ya wanaume.
Exodus 6:23-25
Nadabu ... Ithamari
Haya ni majina ya wanaume.
Fineazi
Haya ni majina ya wanaume.
Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao
Neno "vichwa" ya wakilisha viongozi wa familia.
Exodus 6:26-27
kwa makundi ya wanaume wapiganaji
"kabila moja kwa wakati" au "kundi la familia moja baada ya lingine"
Exodus 6:28-30
Mimi sio mzuri ... kwanini Farao anisikilize mimi?
Musa anauliza hili swali akitumaini kubadilisha nia ya Mungu.
Exodus 7
Exodus 7:1-2
nimekufanya kama mungu
"nitamsabisha Farao akuchukulie kama mungu"
Exodus 7:3-5
moyo wa Farao mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo mgumu.
ishara nyingi ... maajabu mengi
Maneno "ishara" na "maajabu" yana maana moja. Mungu anatumia kukazia ukuu wa atakayo ya fanya Misri.
nitaueka mkono wangu juu ya ... nyoosha mkono wangu kwa
Maneno "mkono wangu" ya wakilisha nguvu kubwa ya Mungu.
Exodus 7:6-7
na miaka themanini na tatu
"na Aruni alikuwa na miaka themanini na tatu
Exodus 7:8-10
Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
Exodus 7:11-13
lilimeza
"lilikula" au "liliharibu"
Moyo wa Farao ulikuwa mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ulikuwa mgumu.
Exodus 7:14-15
Moyo wa Farao ni mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi ya zungumziwa kama moyo wake ulikuwa mgumu.
anapoenda kwenye maji
Maana kamili ya sentesi yaweza fanya halisi.
Exodus 7:16-18
Mwambie
"Sema kwa Farao"
piga maji
"gonga maji"
Exodus 7:19
nzima
"kila sehemu"
Exodus 7:20-22
moyo wa Farao ukawa mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi ya zungumziwa kama moyo mgumu.
kwenye mto
Jina la mto la weza fanywa alisi.
Exodus 7:23-25
Wamisri wote
Neno "wote" hapa la ni msisitizo wa kukazia jinsi tatizo lilivyo kuwa kubwa.
Exodus 8
Exodus 8:1-7
Mto
"Mto Nile"
vyombo vya kukandia mkate
Hivi ni vyombo vya mkate watengenezewa
Exodus 8:8-12
Kisha Farao akawaita Musa na Aruni
"Kisha Farao akawatuma Musa na Aruni"
Unaweza chukuwa fursa ya kuniambia lini nikuombee wewe
"Unaweza chagua lini ni kuombee wewe" au "Unaweza chagua muda wa kukuombea"
Exodus 8:13-17
aliufanya moyo wake kuwa mgumu
"Farao akaufanya moyo wake mgumu." Hapa "mgumu" ya maanisha akawa na kiburi.
kama Yahweh alivyo sema
"kama Yahweh alivyo sema Musa ata fanya"
Exodus 8:18-19
Hichi ni kidole cha Mungu
Maneno "kdiole cha Mungu" ya wakilisha nguvu ya Mungu.
moyo wa Farao ulikuwa Mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao.
Exodus 8:20-21
usimame mbele ya Farao
"jiwakilishe kwa Farao"
Acha watu wangu waende
"waeke watu wangu huru"
Exodus 8:22-24
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungumza na Farao kupitia Musa.
nchi iliharibiwa na makundi ya nzi
Hii yaweza tafsiriwa katika tensi tendaji.
Exodus 8:25-27
mbele ya macho yao
Hii ilikuwa desturi ya kusema "mbele ya uwepo wa mtu"
hawata tupiga mawe?
Musa ana uliza hili swali kumuonyesha Farao kuwa Wamisri wata waruhusu Waisraeli kumuabudu Yahweh.
Exodus 8:28-29
usifanye udhalimu tena kwa kutowaacha watu wetu waende
Hii yaweza andikwa katika mfumo halisi.
Lakini usifanye udhalimu
"Lakini husitudanganye sisi"
Exodus 8:30-32
Farao aliufanya moyo wake mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao.
Exodus 9
Exodus 9:1-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa kuhusu kushughulika na Farao na kuwaleta watu Waebrania njee ya Misri.
ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma
Hii mistari miwili ina maana moja. Watamsisitiza Farao nini kitakacho watokea Farao akifanya hivi.
basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi
Neno "mkono" hapa wa wakilisha nguvu ya Yahweh ya kuwa dhuru wanyama kwa magonjwa.
ya mifugo yako
Neno "yako" hapa la husu watu wote wa Misri waliyo miliki mifugo.
mifugo ya Israeli
Hapa "Israeli" ya husu watu wa Israeli.
mifugo Misri
Neno "Misri" hapa la husu watu wa Misri
Exodus 9:5-7
ametenga muda
"ameeka muda" au "ameandaa muda"
mifugo yote ya Misri ikafa
Hii iwe ongezewa kukazia umakini wa tukio.
mifugo ya Misri
Hapa "Misri" ya husu watu wa Misri.
Farao akafanya utafiti
Farao akakusanya ukweli kuhusu hali.
tazama
Neno "tazama" hapa laonyesha kwamba Farao alishangazwa kwa alicho kiona.
moyo wake ulikuwa mjeuri
Hapa "moyo" wa husu Farao.
Exodus 9:8-10
tanuru
"shimo la moto"
safi
"kidogo sana"
kutokea kwa
"kutokea kwa haraka kwa watu"
Exodus 9:11-12
Yahweh akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
Exodus 9:13-14
kwako wewe
Hii ina maana kuwa ata Farao ata umizwa kwa mapigo.
Nitafanya hivi ili ujue
Neno "hivi" la husu mapigo ambayo Musa alimwambia Farao kuhusu.
Exodus 9:15-17
ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe
Hapa "mkono wangu" wa husu nguvu ya Mungu.
ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima
Hapa "jina langu" la wakilisha sifa ya Yahweh.
unajiinua dhidi ya watu wangu
Upinzani wa Farao kuto waachia wa Israeli kwenda kumuabudu Yahweh unazungumziwa kama anajiinua yeye kuwa kikwazo kwao.
Exodus 9:18-26
Sikiliza!
"Kuwa makini kwa kitu muhimu ninacho kuambia"
Exodus 9:27-28
waite
"kuita"
Exodus 9:29-30
Musa akamwambia
"Musa akasema kwa Farao"
nitaitanua mikono yangu kwa Yahweh
Hili tendo la ishara la ambatana na maombi.
mheshimu Yahweh Mungu
Kumheshimu Mungu kwa husu kumtii na kuishi kwa namna inayoonyesha jinsi alivyo mkuu.
Exodus 9:31-33
kitani
Huu ni mmea unao zalisha nyuzi zinazo tengeneza nguo.
shayiri
Hii ni aina ya mbegu inayo tumika kutengeneza mkate; pia ya tumika kulisha mifugo.
kusemethu
Hii ni aina ya ngano
alitanua mikono yake kwa Yahweh
Hii ishara ya ambatana na maombi
Exodus 9:34-35
kufanya moyo wake kuwa mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
Moyo wa Farao ulikuwa mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
Exodus 10
Exodus 10:1-2
nimeufanya moyo wake mgumu na moyo wa watumishi wake
Yahweh anazungumza kuhusu kumfanya Farao na watumishi wake kuwa na kiburi kama alikuwa anafanya mioyo yao migumu.
tofauti
"aina mbali mbali"
Exodus 10:3-4
sikiliza
Hili neno la tilia mkazo kwa alicho sema mbeleni
Exodus 10:5-6
mvua ya barafu ya mawe
mvua ya barafu ya mawe ni mtone ya mvua yanayo ganda mawinguni.
halikuwai shuhudiwa
Hii yaweza wekwa katika tensi tendaji.
Exodus 10:7-8
msumbufu
Mtu "msumbufu" ni mtu anaye leta shida au madhara.
Mpaka lini huyu mwanaume ata kuwa msumbufu kwetu?
Watumishi wa Farao wanauliza hili swali kumuonyesha Farao kiasi cha uharibifu wa Misri.
Bado haujatambua kuwa Misri imeharibiwa?
Watumishi wa Farao wanauliza hili swali kumleta Farao atambue anacho kataa kuona.
Misri imeharibiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 10:9-13
kama nitawaacha muende na wadogo zenu waende
Farao anasema hivi kukazia kwamba hata muacha Musa awachukuwe watoto kwenda muabudu Yahweh.
Kisha Musa na Aruni wakaondolewa uweponi mwa Farao
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 10:14-15
ikawa giza
kulikuwa na nzige wengi nchi ikaonekana kuwa giza. Kisha hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 10:16-18
wakati huu
"mara ingine tena"
aondoe hichi kifo kwangu
Neno "kifo" hapa la eleza uharibifu wa nzige kwa mimea yote Misri, ambayo hatimae itapelekea vifo vya watu kwasababu hakuna mazao. Maana yote ya hii sentesi yaweza andikwa kwa uhalisi.
Exodus 10:19-20
wachukuwa wale nzige
"kuwapeleka nzige juu"
Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
Exodus 10:21-23
giza linalo weza kuhisiwa
Yahweh anazungumzia giza lililo pitiliza kana kwamba ni nene sana hadi watu wanaweza shika mikononi mwao. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 10:24-26
ata mmoja hawezi kubaki
Hapa "ata mmoja" ya husu wanyama wote. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 10:27-29
Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
hakuwaacha waende
"Farao hakuwaacha waende"
Kuwa muangalifu na jambo moja
"Hakikisha jambo moja" au "Kuwa na uhakika kuhusu jambo moja"
uona uso wangu
Hapa neno "uso" la husu mtu wote"
Wewe mwenyewe umesema
Kwa haya maneno, Musa anakazia kuwa Farao amesema ukweli.
Exodus 11
Exodus 11:1-3
atakuacha uondoke hapa
Kila muonekano wa neno "ataku" katika huu mstari ni katika wingi na la husu Musa na Waisraeli wote.
Exodus 11:4-5
manane
Huu ni muda kati ya saa 6 usiku
Wazaliwa wa kwanza ... mzaliwa wa kwanza wa Farao ... mzaliwa wa kwanza wa misichana mtumwa ... wazaliwa wa kwanza wa mifugo
"Mzaliwa wa kwanza" mara zote wa husu mzao mkubwa wa kiume.
anaye keti kiti chake cha enzi
Hii ya husu Farao
anaye saga mbegu
"anaye saga katika jiwe la kusagia"
Exodus 11:6-8
Baada ya hapo nitaondoka
Hii ina maana ya kuwa Musa na watu wa Israeli wataondoka Misri.
Exodus 11:9-10
Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
Exodus 12
Exodus 12:1-2
Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako
Hii mistari miwili ina maana moja na kukazia kuwa mwezi ambao haya matukio yana tokea ndio utakuwa mwanzo wa mwaka wa wao wa kalenda.
mwezi wa kwanza wa mwaka
Mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania ya jumuisha sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili katika kalenda za Magharibi. Ina weka alama wakati Yahweh alipo waokoa Waisraeli kutoka Misri.
Exodus 12:3-4
Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo
Hii ina maana hakuna watu wakutosha katika familia kula mwana kondo mzima.
mwanaume na jirani yake
Hapa "mwanaume" ya husu mwanaume aliye kiongozi wa familia.
Exodus 12:5-8
jioni
Hii ya husu muda wa jioni baada ya jua kuzama lakini bado pakiwa na mwanga.
kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango
"pembeni na juu ya njia ya kuingia"
Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mimea michungu
Haya ni majani madogo yenye ladha kali na mbaya.
Exodus 12:9-11
Usiile mbichi
"Usile mwana kondo au mbuzi bila kupika"
Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mkanda
Hii ya husu mshipi wa ngozi au kitambaa cha kufunga kiunoni.
ule kwa haraka
"kula kwa haraka"
Ni Pasaka ya Yahweh
Hapa neno "ni" la husu kula mnyama siku ya kumi ya mwezi.
Exodus 12:12-14
Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri.
Hii yaweza andikwa katika kwa tensi nenaji
ya kuja kwangu
Hii ya hashiria kwamba Yahweh ataona damu ambayo yaonyesha nyumba ya Misraeli.
nitapita
Neno "kupita" ilikuwa desturi ya kusema husitembelee au kuingia.
kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu
"kwako wewe na vizazi vyote vya uzao wako"
Exodus 12:15-16
huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli
Mafumbo "akatwe" ina maana kama tatu zinazo wezekana. Inaweza elezewa katika tensi tendaji: 1)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 2) "sitamuhesabu kuwa mmoja wa watu wa Israeli" au 3) "watu wa Israeli lazima wamuue"
kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 12:17-18
makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha
Neno lilotumika kwa haya makundi ni neno la kijeshi ikimaanisha idadi kubwa ya wanajeshi.
jiono
Hii ina maana ya muda ambao jua limezama wakati bado kuna mwanga.
siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne ni karibu na mwanzo wa Aprili katika Kalenda za Magharibi.
siku ya ishirini na moja ya mwezi
siku ya ishirini na moja ya mwezi wa kwanza. Hii ni karibu na katikati ya Aprili kwa Kalenda za Magharibi.
Exodus 12:19-20
nyumbani mwenu kusipatikane na hamira
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli
Mafumbo "akatwe" ina maana kama tatu zinazo wezekana. Inaweza elezewa katika tensi tendaji: 1)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 2) "sitamuhesabu kuwa mmoja wa watu wa Israeli" au 3) "watu wa Israeli lazima wamuue"
mkate usio na hamira
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji
Exodus 12:21-22
waita
"kuwaita rasmi"
hisopu
Huu ni mmea katika jamii ya mnaa,
juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango
"pembeni na juu ya njia ya kuingia nyumbani"
Exodus 12:23
atapita mlango wako
Hapa neno "mlango" una maana ya nyumba nzima. Hii ina maana kwamba Mungu ata wanusuru Waisraeli wenye damu mlangoni.
Exodus 12:24-25
hili tukio ... hili tendo la ibada
Hii mistari ya husu Pasaka au Sherehe ya Mikate isiyo tiwachachu. Kuadhimisha Pasaka ilikkuwa tendo la kumuabudu Yahweh.
Exodus 12:26-28
Aliweka nyumba zetu huru
Hii ina maana kwamba Yahweh alinusuru wana wa kwanza wa kuzaliwa wa Waisraeli.
kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni
"kila kitu Yahweh alicho mwambia Musa na Aruni kufanya"
Exodus 12:29-30
usiku wa manane
"katikati ya usiku"
wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri
Hapa "wazaliwa wa kwanza" mara zote ina maana ya mzao mkubwa wa kiume.
aliye keti kiti chake cha enzi
Hii ya husu Farao.
mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani
Hii ya husu wafungwa, kwa ujumla, na sio mtu maalumu gerezani.
Palikuwa na kelele za maombolezo Misri
Hii yaweza andikwa katika tensi nenaji.
kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa
Hii hasi mbili ina sisitiza chanya.
Exodus 12:31-33
Sisi ni watu tuliokufa
Wamisri wanatumia tensi endelevu kusisitiza kuwa watakufa hakika kama Waisraeli hawata ondoka Misri.
Exodus 12:34-36
Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 12:37-40
Ramesi
Ramesi ulikuwa mji mkuu sana Misri ambapo mbegu zilihifadhiwa.
Walikuwa na idadi ya wanaume 600,000
"Idadi ya jumla ya wanaume ilikuwa 600,000"
waliondolewa Misri
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 12:41-42
majeshi yote ya Yahweh yalio jiami
Hii ina husu makabila ya Israeli.
kuadhimishwa na Waisraeli wote
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote
"Waisraeli wote na vizazi vya uzao wao"
Exodus 12:43-44
hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila
"kuila" ina husu chukula cha Pasaka.
kila mtumwa wa Misraeli
"mtumwa yeyote wa Muisraeli"
nunuliwa kwa pesa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 12:45-46
Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 12:47-48
ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
watu walio zaliwa kwenye nchi
Hapa neno "nchi" ya husu Kanani. Msemo "walio zaliwa katika nchi' ina maana ya Misraeli halisi.
hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 12:49-51
kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
"kila kitu Yahweh alicho mwambia Musa na Aruni kufanya"
Ikaja kuwa
Huu mstari unatumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu katika adithi.
kwa makundi yalio jiami
Neno lilotumika kwa haya makundi ni msemo wa kijeshi unao husu idadi kubwa ya wanajeshi.
Exodus 13
Exodus 13:1-2
Nitengee ... kila mzaliwa wa kwanza
Mungu anataka kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atengwe kwa ajili yake.
Exodus 13:3-5
kumbukeni hii siku,
Hii ilikuwa ni namna ya kidesturi ya kumwambia mtu azingatie.
nyumba ya utumwa
Musa anazungumzia Misri kama nyumba watu wanapo hifadhia watumwa.
mkono hodari wa Yahweh
Hapa neno "mkono" ya husu nguvu.
Hakuna mkate wa hamira waruhusiwa kuliwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mwezi wa Abibu
Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.
nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali
Tangu maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, "maziwa" uwakilisha chakula kizalishwacho na mifugo. Kwasababu asali utengenezwa na maua, "asali" uwakilisha chakula cha mazao.
wapaswa kuadhimisha hili tendo la ibada
Wakati Waisraeli watakapo ishi Kanani, lazima wa shereheke Pasaka hii siku kila mwaka.
Exodus 13:6-7
Maelezo ya Jumla
Musa anaendelea kuongea na watu wa Israeli.
Kwa siku saba
"Kwa siku 7"
Mkate usio na hamira wapaswa kuliwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
hakuna mkate ulio na hamira wapaswa kuliwa miongoni mwenu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Hakuna hamira yapaswa kuonekana
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kwenye mipaka yenu
"katika mipaka yenu yeyote ya nchi"
Exodus 13:8-10
Hiyo siku utasema kwa watoto wako, 'Hii ni kwasababu ya kile Yahweh alichofanya kwangu nilipo taka Misri.'
Nukuu yaweza kwa namna isiyo ya moja kwa moja.
Hii itakuwa kumbukumbu mkononi mwako, na kumbukumbu kwenye paji la uso wako
Hii ni kumbukumbu mbili za mwilini ili watu wasisahau kitu muhimu.
kumbukumbu mkononi mwako
Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya.
kumbukumbu kwenye paji la uso wako
Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya.
ili sheria ya Yahweh iwe kinywani mwako
Maneno "kinywani mwako" hapa ya husu maneno wanayo sema.
mkono hodari
Neno "mkono hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi.
Exodus 13:11-13
na atakapo wapa nchi ninyi
"na atakapo wapa nchi ya Wakanani ninyi"
Kila mzaliwa wa kwanza wa punda
Israeli inapewa uchaguzi wa kuua mzaliwa wa kwanza wa punda au kumnunua tena kwa mwana kondoo.
kila mzaliwa wa kwanza wakiume miongoni mwenu
Kila mtu Israeli aliye kuwa na mwana wa kwanza kuzaliwa, lazima amnunue tena.
Exodus 13:14-16
Mwanae atakapo kuuliza baadae, 'Hii ina maana gani?' kisha utamwambia
Nukuu ya kwanza yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
mkono hodari
Neno "mkono" hapa ya wakilisha matendo ya Mungu au kazi.
nyumba ya utumwa
Musa ana i zungumzia Misri kama ni nyumba watu wana hifadhia watumwa.
kumbukumbu mikononi mwako na kumbukumbu kwenye paji lako la uso
Hii ni kumbukumbu mbili ili watu wasisahau kitu muhimu.
Exodus 13:17-18
karibu
"karibu na eneo walilo kuwepo"
watu watabadili nia zao ... na ... watarudi Misri
Tangu Waisraeli waliishi utumwani maisha yao yote, walizoea amani zaidi ya vita na radhi wa rudi utumwani kuliko kupigana.
Exodus 13:19-22
kuweka kambi Ethamu
Ethamu ipo kusini mwa njia ya kuelekea kwa Wafilisti, katika mpaka wa nyikani.
nguzo ya wingu ... nguzo ya moto
"wingu kwa mfumo wa mnara ... moto kwa mfumo wa mnara." Mungu yupo nao kwa wingu mchana na moto usiku.
Exodus 14
Exodus 14:1-3
Pi Hahirothi ... Migdoli ..Baali Zefoni
Hii ni miji ya mashriki ya mipaka ya Misri.
Wapaswa kueka kambi
Hapa neno "wapaswa" ni wingi na la husu Musa na Waisraeli.
Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
Hii ya weza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
Nyikani imewafunika
Farao anaingelea nyikani kama mtu aliye wakamata Waisraeli.
Exodus 14:4-5
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwelekeza Musa wapi pa kwenda na nini Yahweh atafanya.
Nitaufanya moyo wa Farao mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabai yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ni mgumu.
yeye ata wakimbiza
"Farao ata wakimbiza Waisraeli"
Nitapata utukufu
"Watu watani heshimu"
Wamisri watajua mimi ni Yahweh
"Wamisri wataelewa kwamba mimi ni Yahweh, Mungu mmoja wa kweli"
Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Mfalme wa Misri alipo ambiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Mfalme wa Misri
Hii ya husu Farao.
wametoroka
"wamekimbia"
, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu
Hapa neno "nia" ya husu tabia zao kwa Waisraeli.
Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?
Waliuliza hili swali wakidhani kuwa wamefanya kitu cha kijinga.
Exodus 14:6-9
Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara
"Alichukuwa magari yake ya farasi 600 bora"
Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumizwa kama moyo wake mgumu.
Pi Hahirothi ... Baali Zefoni
Hii miji mashariki mwa mipaka ya Misri.
Exodus 14:10-12
Farao alipo kuja karibu
Neno "Farao" hapa ya wakilisha jeshi lote la Misri.
waliogopa
"Waisraeli waliogopa"
Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani?
Waisraeli wanauliza hili swali kuonyesha uchovu wao hofu ya kufa.
Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
Waisreali wanauliza hili swali kumkemea Musa kwa kuwaleta kwenye jangwa kufa.
Hili si ndilo tulilo kwambia Misri?
Waisreali wanauliza hili swali kusisitiza kwamba hili ndilo walillo mwambia Musa.
Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.'
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
Exodus 14:13-14
Musa akawaambia watu
Musa anajibu hofu za Waisraeli.
atakao uleta kwenu
"kwenu" ya husu Waisraeli wote
Kwa maana hamtawaona tena Wamisri
Musa alitumia lugha ya busara kusema Mungu anaenda kuangamiza jeshi la Wamisri.
Exodus 14:15-18
Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi?
Musa ni wazi alikuwa akiomba kwa Mungu kwa msaada hivyo Mungu anatumia hili swali kumshawishi Musa kutenda.
uigawanye sehemu mbili
"gawanya bahari katika sehemu mbili"
Jitahadharishe
"jua"
nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu
Hapa "mioyo" ya husu Wamisri wenyewe. Tabia zao za kiburi zinatajwa kama mioyo yao migumu.
ili wawafuate
"ili kwamba Wamisri wataenda kwenye bahari baada ya Waisraeli"
Exodus 14:19-20
kambi ya Misri na kambi ya Israeli
"jeshi la Wamisri na watu wa Israeli"
hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine
Hii ina maana kuwa Wamisri na Waisraeli hawakuweza fikiana.
Exodus 14:21-22
upepo mkali wa mashariki
Upepo wa mashariki watoka mashariki na wapiga magharibi.
mashariki
jua linapo chomoza
maji yaligawanyika
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto
"kila upande wao" au "pande zao mbili"
Exodus 14:23-25
Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri
Hofu ni pale mtu anapo ogopa hadi hawezi fikiri kawaida.
Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi
Hii yaweza anadikwa katika tensi tendaji.
Exodus 14:26-28
Yahweh akamwambia Musa, "Nyoosha mkono ... na wapanda farasi wao."
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
yawarudie
"kuwaangukia"
Wamisri walikimbilia ndani ya bahari
Tangu bahari ilikuwa inafunga juu ya Wamisri, badala ya kutoroka, walikuwa wanakimbia ndani ya maji.
Yahweh akawaingiza Wamisri
"Yahweh akawasukuma Wamisri" au "Yahweh akawatupa Wamisri"
Exodus 14:29-31
Israeli
Kila tokeo la "Israeli" ya husu watu wa Israeli.
kutoka mkono wa Wamisri
Hapa neno "mkono" ya husu nguvu.
ufukweni
"katika nchi kando ya bahari"
Exodus 15
Exodus 15:1
Maelezo ya Jumla
Huu ni wimbo wa matukio yaliyo tokea 14:16
farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari
Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na dereva kana kwamba Mungu kawatupa baharini.
farasi na dereva wake
Hii inahusu wote au farasi wengi wa Wamisri na madereva waliyo kuwa wakiwafukuzia Waisraeli.
dereva
Huyu ni mtu anaye keti kwenye farasi au ana safiri kwa gari la farasi linalo vutwa na farasi.
Exodus 15:2-3
Yahweh ni uweza wangu
Maana zinazo wezekana ni 1) "Yahweh ndiye anaye nipa uweza" au 2) "Yahweh ndiye mwenye nguvu anaye ni linda mimi."
na nyimbo
Musa anamuita Yahweh nyimbo yake kwasababu Yahweh ndiye anaye imba kuhusu.
amekuwa wokovu wangu
Musa anamuita Mungu wakovu wake kwasababu Mungu amemuokoa.
Yahweh ni shujaa
Musa anamuita Mungu shujaa kwasababu Mungu kwa nguvu alipigana dhidi ya Wamisri na kushinda.
Exodus 15:4-5
Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari
Musa anaimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika magari ya Farao na jeshi kana kwamba Mungu amewatupa baharini.
walienda kwenye kina kama jiwe
Kama jiwe lisivyo elea lakini la zama chini ya bahari, majeshi ya maadui yamezama chini ya bahari.
Exodus 15:6-8
Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu
Musa anamzungumzia Mungu kama Mungu ana mikono. Mkono wa kulia wa husu nguvu ya Mungu au vitu Mungu anavyo fanya kwa nguvu.
mkono wako, Yahweh, umewavunja adui
Musa anamzungumzia Mungu kama Mungu ana mikono. Mkono wa kulia wa husu nguvu ya Mungu.
umewavunja adui
Musa anazungumzia adui kana kwamba ni dhahifu na waweza vunjwa kama kio au chungu.
walio inuka dhidi yako
Kuasi dhidi ya Mungu kuna zungumziwa kama kujiinua dhidi yake.
Umetuma gadhabu
Musa anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni mtumishi aliye mtuma kufanya kitu
imewateketeza kama karatasi
Musa anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni moto unao weza kuchoma vitu. Maadui zake waliharibiwa kabisa kama karatasi.
Kwa pumzi ya pua yako
Musa anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu ana pua, na upepo kana kwamba Mungu kapuliza upepo kwa kutoka puani mwake.
Exodus 15:9-11
tamanio langu litatimizwa kwao
Hii yaweza elezwa katika tensi tendaji.
mkono wangu utawaharibu wao
Maadui wanaongea kuwaharibu Waisraeli kwa nguvu ya mkono wao kana kwamba ni mikono itakyo waharibu.
Lakini ulipuliza kwa upepo wako
Musa aliongea kuhusu Mungu kufanya upepo upulize kana kwamba Mungu alipuliza upepo kupitia pua au mdomo.
walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi
Chuma ni kifaa kizito kinacho tumika kawaida kufanya vitu vizame majini. Neno "chuma" linatumika hapa kuonyesha jinsi Mungu alivyo haribu maadui zake.
Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu?
Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu.
Nani kama ... fanya miujiza?
Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu.
Exodus 15:12-13
mkono wako wa kulia
Maneno "mkono wakulia" ya wakilisha nguvu kuu ya Mungu.
Ulinyoosha mkono wako wa kulia
Musa anaongea kuhusu Mungu kusababisha kitu kitokee kana kwamba Mungu alinyoosha mkono wake.
dunia ikawameza
Musa ana nafsisha dunia kana kwamba inaweza kumeza au kurarua kwa mdomo wake.
Exodus 15:14-15
tetemeka
Hii ina maana kutikisika kwasababu una ogopa.
hofu itawakumba wakazi wa Filistia
Musa anaongelea hofu kana kwamba ni mtu anaye weza kuchukuwa kwa nguvu mtu na kumfanya aogope sana.
watayayuka
Musa anaongelea watu kuwa wadhaifu kutokana na hofu ya kuyayuka.
Exodus 15:16
Sentensi Unganishi
Musa anaendelea kuimba kuhusu jinsi watu wa mataifa mengine watajisikia watakapo waona watu wa Mungu.
Mshituko na hofu vitawaangukia
Haya maneno mawili yana maana hofu itakuja juu yao.
hofu
Hofu ni uwoga au wasiwasi kuhusu kitu kinachoenda tokea au kilicho tokea.
Kwasababu ya nguvu ya mkono wako
Mkono wa Mungu wa wakilisha uweza wake mkuu.
watakuwa kimya kama jiwe
Maana zinazo wezekana ni 1) "Watakuwa tulivu kama jiwe" au 2) "Hawata sogea kama jiwe"
Exodus 15:17-18
Utawaleta
Pale Mungu atakapo waleta yaweza andikwa wazi. Tangu Musa bado hakuwa Kanani, baadhi ya lugha zitatumia "chukuwa" badala ya "leta"
kuwapanda kwenye mlima
Musa anaongelea kuhusu Mungu kuwapa watu wake nchi ya kuishi kana kwamba wao ni mti ambao Mungu anaupanda.
mlima wa urithi wako
Hii ya husu Mlima Sayuni katika nchi ya Kanani.
wa urithi wako
Musa anaongelea kuhusu Mungu kuahidi kuwapa watu mlima milele kana kwamba alikuwa anawapa urithi.
mikono yako iliyo jenga
Maneno "mikono yako" ya husu nguvu ya Mungu.
Exodus 15:19-21
Miriamu .. Aruni
Miriamu alikuwa dada wa kwanza wa Musa na Aruni.
tari
Hichi ni chombo cha muziki kama ngoma ndogo yenye vipande vya chuma pembeni vinavyo toa sauti vikitikizwa
ameshinda kwa utukufu
"ameshinda kwa utukufu juu ya maadui zake"
Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini
Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na madereva kana kwamba Mungu aliwatupa baharini.
Exodus 15:22-23
Musa akaongoza Israeli
Neno "Israeli" la wakilisha watu wa Israeli.
nyikani ya Shuri ...Mara
Hatujui maeno ya hizi sehemu.
Exodus 15:24-26
wakamlalamikia Musa na kusema
"hawakufurahi na kumwambia Musa" au "kwa hasira wa kamwambia Musa"
sauti ya Yahweh Mungu wako
Yahweh anazungumza kuhusu sauti yake.
kufanya yalio sahihi machoni pake
Maneno "machoni pake" hapa ya wakilisha kile Mungu alicho amini au kuamua.
sitawaekea ninyi magonjwa
Mungu anaongea kusababisha watu kuwa na magonjwa kam kuweka magonjwa juu yao.
Exodus 15:27
Elimu
Hii ni sehemu ya mapumziko jangwani, sehemu yenye maji na vivuli vya miti.
kumi na mbili
"12"
sabini
"70"
Exodus 16
Exodus 16:1-3
nyikani mwa Sinu
Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi"
siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili
Huu muda unaingiliana na mwisho wa Aprili na mwanzo wa Mei katika kalenda za Magharibi.
Jamii yote ya Waisraeli
"Waisraeli woe" Huu ni ujumla. Musa na Aruni hawakulalamika.
lalamika
"walikuwa na hasira na kusema"
Kama tu tungekufa
Hii ni namna ya kusema wangetamani kufa.
kwa mkono wa Yahweh
Manaeno "mkono wa Yahweh" wa wakilisha matendo ya Yahweh.
Exodus 16:4-5
Nitakunyeshea mvua ya mkate.
Mungu anaongelea chakula kutoka mbinguni kana kwamba ni mvua.
mkate
Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.
wataendelea kushika sheria yangu
Mungu anaongelea kutii sheria yake kama kutembea ndani yake.
sheria yangu
"amri yangu"
Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba wata
"itatokea siku ya sita kwamba wata" au "siku ya sita wata"
siku ya sita
"siku ya 6"
Exodus 16:6-8
Sisi ni nani hadi mtulalamikie?
Musa na Aruni walitumia hili swali kuonyesha watu kwamba ilikuwa ni upumbavu kuwalalamikia wao.
mkate
Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.
Nani ni Aruni na mimi?
Musa anatumia hili swali kuwaonyesha watu kuwa yeye na Aruni hawakuwa na nguvu yakuwapa walicho taka.
Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh
Watu walikuwa wana lalamika dhidi ya Musa na Aruni, ambao walikuwa watumishi wa Yahweh. Hivyo kwa kulalamika dhidi yao, watu kihalisi walikuwa wana lalamika dhidi ya Yahweh.
Exodus 16:9-12
Ikawa
Hili neno linatumika kuweka alama ya tukio muhimu katika historia. Tukio muhimu hapa ni watu kuona utukufu wa Yahweh.
tazama
Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba watu waliona kitu cha kuvutia.
mkate
Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.
Exodus 16:13-15
Ikaja kuwa kwamba
Hili neno linatumika kuweka alama ya tukio muhimu.
kware
Hawa ni ndege wadogo na wanene.
kama barafu
Wasomaji wa mwanzo walijua barafu ilivyo kuwa, hivyo neno hili litawasaidia kuelewa nini hiyo theluji ilivyo kuwa. Theluji ni umande ulio ganda unao undika kwenye ardhi. Ni nyeupe sana.
mkate
Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.
Exodus 16:16-21
Sentensi Unganishi
Musa anaendelea kuwaambia watu kuhusu chakula Mungu anacho wapa.
lita
"lita mbili"
hawakuwa na kilicho salia
"hawakukosa chochote" au "walitosheka"
Exodus 16:22-23
siku ya sita
"siku ya 6"
mkate
Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.
kujiliwaza
"umakini" au "tulivu na kuwaza"
Exodus 16:24-25
Haikuharibika
"haikunuka vibaya"
leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh
"leo ni Sabato na itumike tu kwa kumtukuza Yahweh.
Exodus 16:26-27
lakini siku ya saba
lakini katika siku ya saba"
manna
Hili lilikuwa jina Waisraeli walilipa mkate Yahweh aliyo usababisha utokea kila asubui.
hawakukuta
"hawakukuta mana yeyote"
Exodus 16:28-30
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaongea na Musa, lakini neno "wewe" la husu watu wote wa Israeli.
Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?
Mungu anatumia hili swali kuwa kemea watu maana hawakutii sheria zake.
kushika amri zangu na sheria zangu
"kutii amri zangu na sheria zangu"
Yahweh amekupa Sabato
Yahweh anaongea kuhusu kufundisha watu kupumzika Sabato kana kwamba Sabato ni zawadi.
siku ya sita ... siku mbili ... siku ya saba
"siku ya 6 ... siku 2 ... siku ya 7"
mkate
Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.
Exodus 16:31-32
manna
Hili likuwa jina Waisraeli walilo lipa mkate ambao Yahweh alisababisha kutokea kila asubui.
mbegu ya mgiligani
Watu wanakausha mbegu na kusaga katika unga na kuweka kwenye chakula kuleta ladha.
maandazi
membamba kama biskuti
lita
"lita mbili"
mkate
Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.
Exodus 16:33-36
Lita mbili ni makumi ya efa
Hivi ni vyombo vya vipimo. Wasomi wa kwanza waliweza jua kiasi gani efa ilikuwa. Hii sentensi ya weza saidia kujua kiasi gani lita ilikuwa.
lita
"lita mbili"
Exodus 17
Exodus 17:1-3
nyikani ya Sinu
Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi"
Refidimu
Hii ina maana ya "sehemu ya kupumzika" sehemu ya kupumzika katika safari ndefu nyikani.
Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh?
Musa anatumia haya maneno kukemea watu.
Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu?
Watu wanatumia hili swali kumshitaki Musa kwa kutaka kuwaua.
Exodus 17:4-7
Massa
"sehemu katika jangwa ambalo jina lake la maanisha "jaribu"
Meriba
"sehemu katika jangwa ambalo jina lake la maanisha "lalamika"
Exodus 17:8-10
Refidimu
Hii ilikuwa sehemu jangwani.
Hivyo Yoshua akapigana na Ameleki
Yoshua ana wakilisha Waisraeli aliyo waongoza kwenye pambano.
Huri
Huri alikuwa rafiki wa Musa na Aruni.
Exodus 17:11-13
Israeli ilikuwa yashinda ... Ameleki alianza kushinda
Maneno "Israeli" na "Ameleki" wana wakilisha wapiganaji kutoka hizo sehemu.
Mikono ya Musa alipo kuwa mizito
Mwandishi ana andika mikono ya Musa kuchoka kana kwamba mikono yake imekuwa mizito.
kwa upanga
Upanga wawakilisha pambano.
Exodus 17:14-16
nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki
Mungu anaongea kuharibu Ameleki kana kwamba anaondoa kumbukumbu ya watu kuhusu Ameleki. Wakati kundi la watu linapo haribiwa, hakuna cha kuwakumbusha watu kuhusu wao.
mkono ulinyanyuliwa juu
Watu waliinua mkono wao wakati walipo weka ahadi au deni.
mkono ulinyanyuliwa juu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Ameleki
Hii ya husu Waameleki.
Exodus 18
Exodus 18:1-4
baba mkwe wake Musa
Hii ya husu baba wa mke wa Musa.
akamchukuwa Zipora, mke wa Musa ... na wana wake wawili
Maana zinazo wezekana ni 1) Yethro alimchukuwa Zipora na wana wake wawili kwa Musa, au 2) Yethro alimkaribisha awali Zipora na wana wake wawili.
baada ya kumpeleka nyumbani
Hichi ni kitu Musa alicho fanya hapo awali. Maana yote yaweza fanywa wazi.
Gershomu
Huyu ni mwana wa Musa na Zipora, ambaye jina lake lina maana ya "mgeni"
Eliezeri
Huyu ni mwana wa Musa na Zipora ambaye jina lake lina maana ya "Mungu ndiye anaye ni saidia"
Exodus 18:5-6
alipo eka kambi
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 18:7-8
akamwinamia, na kumbusu
Haya matendo ya ishara yalikuwa namna ya kawaida watu walionyesha heshima kubwa na upendo katika huo utamaduni
kwa ajili ya Waisraeli
Neno "Israeli" la wakilisha watu wa Israeli.
magumu yote yaliyo watokea
Musa ana andika magumu kuwa tokea kana kwamba magumu yamewatokea.
Exodus 18:9-12
mkono wa Wamisri ... mkono wa Farao
Mkono una maana ya nguvu ya mtu kufanya kitu.
Exodus 18:13-16
Ni nini unachofanya na watu?
Yethro anatumia hili swali kumuonyesha Musa kwamba alicho kuwa anafanya si sawa?
Kwanini unaketi peke yako ... asubui hadi jioni?
Yethro anatumia swali kumuonyesha Musa alikuwa anafanya sana.
unaketi peke yako
Neno "keti" hapa ni mbadala wa "hukumu" Waamuzi walikuwa wana keti wanapo sikiliza malalamishi ya watu.
Exodus 18:17-20
Hakika utajichosha
"utajifanya kuchoka sana"
Huu mzigo ni mzito sana kwako
Yethro anazungumzia kazi ngumu Musa anayo fanya kana kwamba ni kazi ya mwili Musa alikuwa anabeba.
ushauri
"mwongozo" au "maelekezo"
Mungu ata kuwa na wew
Yethro anaongelea Mungu kumsaidia Musa kana kwamba Mungu ata kuwa na Musa.
leta malumbano yao kwake
Yethro anaongelea Musa kumwambia Mungu kuhusu malumbano kana kwamba Musa ana leta malumbano yao kwa Mungu.
Lazima uwafundishe njia yakutembea
Yethro anaongelea kuishi au kutenda kama kutembea.
Exodus 18:21-23
Sentensi Unganishi
Yethro anaendelea kuongea na Musa.
Mbali zaidi, lazima uchague
"kwa niongeza, lazima uchague"
maelfu, mamia, hamsini, na makumi
"makundi ya 1,000, makundi ya 100, makundi ya 50, na makundi ya 10"
Lazima uwaeke juu ya watu
Yethro anaongelea kuwapa mamlaka juu ya watu kama kuwaweka juu ya watu.
kesi za kawaida
"kesi rahisi"
kesi ngumu wataleta kwako
Yethro anaongelea kumwambia Musa kuhusu kesi ngumu kama kumletea kesi ngumu.
watabeba mzigo na wewe
Yethro anaongelea kazi ngumu ambayo watafanya kana kwamba ni mzigo watao beba.
kuvumilia
kila watakaacho vumilia cha weza wekwa wazi.
Exodus 18:24-27
vichwa juu ya watu
Musa ana andika viongozi wa watu kana kwamba ni kichwa cha mwili.
wanaume wenye uwezo
Kilicho kuwa wanaweza kufanywa cha weza andikwa wazi.
hali
"mazingira"
Kesi ngumu walimletea Musa
Mwandishi ana andika kumwambia Musa kuhusu kesi ngumu kama kumletea kesi ngumu.
kesi ndogo
"kesi zilizo rahisi"
Exodus 19
Exodus 19:1-2
Katika mwezi wa tatu ... siku hiyo
Hii ina maana walifika nyikani siku ya kwanza ya mwezi kama walivyo ondoka Misri siku ya kwanza ya mwezi. Siku ya kwanza ya mwezi wa tatu kwenye kalenda ya Kiebrania ni karibu na katikati ya Mei katika kalenda za Magharibi.
kutoka
"waliondoka"
Refidimu
Hii ni sehemu kando ya nyikani ya Sinai ambapo watu wa Israeli walikuwa kambini.
Exodus 19:3-6
nyumba ya Yakobo
Neno "nyumba" hapa la wakilisha familia na uzao wa Yakobo.
nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli
Neno "watu wa Israeli" ina eleza nini "nyumba ya Yakobo" ina maanisha.
Uliona
Neno "Uliona" hapa linawakilisha Waisraeli. Yahweh anamwambia Musa nini cha kuwaambia Waisraeli.
nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai
Mungu anaongelea kujali watu wake wakati walipo safiri kana kwamba yeye alikuwa tai na kuwabeba kwa mabawa yake.
ukinisikiliza kwa utii
Utii yaweza andikwa kama kitenzi.
sauti yangu
Sauti ya Munguya wakilisha anachosema.
kushika agano langu
"fanya kile agano langu linataka mfanye"
mali yangu ya pekee
"hazina"
ufalme wa kikuhani
Mungu anaongelea watu wake kana kwamba ni makuhani.
Exodus 19:7-9
Aliweke mbele yao maneno yote
Mwandishi ana andika kuhusu Musa kuwaambia watu vitu kana kwamba alikuwa ana weka maneno mbele yao.
maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru
Neno "maneno" ya husu kile Yahweh alicho sema.
musa akaja kutoa taarifa
Pale Musa alipo enda pa weza andikwa wazi.
maneno ya watu
Neno "maneno" ya husu kile watu walicho sema.
Exodus 19:10-11
lazima uwatenge
Hii inaweza kuwa "waambie wajitoe kwangu" au "waambie wajitakase"
mavazi
"nguo"
Kuwa tayari
Hili lilikuwa amri kwa watu wa Israeli.
Exodus 19:12-13
Maeleo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa
Yeyote atakaye shika mlima ata uawa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Yeyote atakaye shika
"Mtu yeyote atakaye gusa"
mtu huyu
"ambaye atafanya hivi"
lazima apigwe mawe au kuchomwa mshale
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kuchomwa
Hii ya husu kufa kwa mtu anaye piga mishale kutoka kwenye upinde au jiwe kwenye manati.
Exodus 19:14-15
msiwakaribie wake zenu
Hii ni njia ya kistarabu ya kusema usilale na mke wako.
Exodus 19:16-18
waliogopa
"walitetemeka kwa hofu"
alishuka
"teremka chini"
kama moshi wa tanuru
Hii yaonyesha ni moshi mkubwa sana ulikuwa.
tanuru
shimo linalo weza fanywa kali sana kwa moto
Exodus 19:19-22
ongezeka na zaidi
"ikaendelea kuwa kubwa na kubwa"
kwa sauti
Neno "sauti" hapa ya husu sauti Mungu aliyo fanya. Maana inayo wezekana ni 1) kwa kuongea kwangu kama radi" au 2) "kwa kuongea" au 3) "kusababisha radi iongee"
akamuita Musa
"alimuita Musa kuja juu"
wasipite
Mungu aliongea kuhusu kupita mipaka kana kwamba wataweza vunja kizuio na kupita.
Exodus 19:23-25
shuka chini
"nenda chini"
kupita vizuizi
Mungu aliongea kuhusu kupita mipaka kana kwamba wataweza vunja kizuio na kupita.
Exodus 20
Exodus 20:1-3
nyumba ya utumwa
"sehemu mlliyo kuwa watumwa"
Msiwe na miungu mingine ila mimi tu
"Msiabudu miungu mingine zaidi yangu"
Exodus 20:4-6
kufananisha
"na usitengeneze cha kufanana"
wivu
Mungu anataka watu wake wamuabudu yeye tu.
Nitaadhibu uovu wa mabubu kwa kuleta adhabu juu ya kizazi
Mungu ata hadhibu watu kwa dhambi za wazazi wao
cha tatu hadi kizazi cha nne
"kizazi ch 3 na cha 4"
agano la uaminifu kwa maelfu
"kwasababu ya agano langu, ni mwaminifu kwa maelfu" au "napenda maelfu kwa uaminifu"
kwa maelfu watakao
"vizazi vingi vya hao"
Exodus 20:7
Usilitaje bure jina
"kutumia jina langu"
bure
"bila kujali" au "bila heshimu"
Exodus 20:8-11
ufanye kazi zako
"fanye kazi za kila siku"
malango yako
Miji mara nyingi ilikuwa na ukuta ikizunguka kuweka mbali maadui, na milango watu kuingia na kutoka.
siku ya saba
Hapa "saba" ni namba "7"
aliibariki siku ya Sabato
Maana zinazo wezekana ni 1) Mungu alisababisha Sababto kuzalisha matokea mazuri, au 2) Mungu alisema siku ya Sabato ni nzuri.
kuitenga
"kuitenga kwa kusudi maalumu"
Exodus 20:12-14
Usifanye uasherati
"usifanye ngono na mtu yeyote zaidi ya mpenzi wako"
Exodus 20:15-17
Usishuhudie uongo
"usiongea taarifa ya uongo"
Usitamani
"usitamani kuwa nacho sana" au "usitake kuchukuwa"
Exodus 20:18-21
mlima ukitoa moshi
"moshi ukitoka mlimani"
walitetemeka
"walitetemeka kwa hofu"
walisimama mbali
"walisimama kando"
ili heshima yake iwe ndani yenu, kwa hiyo msitende dhambi
"ili mumheshimu yeye na msitende dhambi"
alikaribia
"alisogea karibu na"
Exodus 20:22-23
Ni lazima uwaambie hili Waisraeli
"Waambie Waisraeli hili"
Wewe mwenyewe umeona niliongea na wewe kutoka mbinguni
"Umesikia nikiongea na wewe kutoka mbinguni"
Misjitengenezee miungu mingine pamoja nami
"Usifanye sanamu kama miungu mingine zaidi yangu"
miungu ya fedha au miungu ya dhahabu
"miungu iliyo tengenezwa kwa fedha au dhahabu"
Exodus 20:24-26
madhabahu ya udongo
madhabahu iliyo tengenezwa kwa vitu vya ardhini, kama mawe, mchanga, au udogo
ntakapotaka jina langu liheshimiwe
Hapa "jina" linasimama kwa niaba ya utu wa Mungu.
msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu
"Msitengeneze madhabahu yenye ngazi"
msioneshe sehemu zenu za siri
"kuonyesha mwili wenu wa uchi"
Exodus 21
Exodus 21:1
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa
utakazoweka kabla yao
"lazima uwape" au "utawaambia"
Exodus 21:2-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anamwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Kama alikuja mwenyewe, ataenda huru kwa ridhaa yake
"Mwenyewe" inaweza andikwa wazi.
mwenyewe
"pekee yake" au "bila mke"
Exodus 21:5-6
atasema waziwazi
"kusema wazi"
sitaenda nje huru
"sitaki bwana wangu aniachie huru"
atatoboe sikio lake
"kuweka tobo sikioni"
sindano
kipini kinacho tumika kueka shimo
maisha yake yote
"mpaka mwisho wa maisha yake'
Exodus 21:7-8
aliye mtenga
"aliye chague"
lazima amnunue tena
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Hana ruhusa ya kumuuza
"hana mamlaka ya kumuuza"
amemtendea kwa hila
"kamadanganya"
Exodus 21:9-11
aliyetenga
"chagua"
apaswi kupunguza chakula chake, mavazi, au haki za ndoa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
punguza
"kuchukuwa"
haki za ndoa
Hii ina husisha vitu mme wake anapaswa kufanya kwa ajili ya mke wake, pamoja na kulala naye.
Exodus 21:12-14
piga
"shambulia"
huyo mtu lazima auwawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kufanya pasipo kukusudia
"hakupanga kufanya" au "hakufanya kwa kusudia"
nitaanda sehemu ya yeye kukimbilia
Kusudi la kuchagua sehemu laweza andikwa wazi hapa.
kwa kadiri ya mbinu erevu
"baada ya kufikiria kwa uangalifu"
Hili afe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 21:15-17
Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
lazima
"hakika"
mali yake
"pamoja naye"
huyo mtekaji lazima auawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
eyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 21:18-19
alazwe kitandani
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
akapona
"akapata nafuu"
gongo
Hii ni fimbo inayo weza egemewa wakati wakutembea.
muda aliye mpotezea
Hii ya husu hali wakati mtu hawezi pata pesa.
alipe matibabu yake yote
"gharama za matibabu"
Exodus 21:20-21
kwa madhara ya pigo
"kwasababu ya majeraha"
huyo mtu lazima ahadhibiwe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kwa kuwa atateseka kupoteza mtumishi huy
Waweza eleza wazi katika tafsiri mtumishi alikuwa na dhamani kwa bwana wake.
Exodus 21:22-25
mimba na kuiharibu
"mtoto akafa tumboni mwake"
mwanaume mwenye hatia lazima alipe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kama hakimu anavyo kusudia
"alicho amuua muamuzi"
lazima utoe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho
Hii ina maana kama kaumia, mtu aliye muumiza lazima aumizwe vivyo hivyo.
Exodus 21:26-27
Kama mwanaume
Hapa "mwanaume" ya husu mmiliki wa mtumwa.
fidia
Fidia ni kitu mtu anafanya kwa mtu mwingine au anampa mtu mwingine kwa kile alicho sababisha kupoteza.
Exodus 21:28-30
ng'ombe lazima apigwe mawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
nyama yake hairuhusiwi kuliwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mmiliki wa ng'ombe lazima awe huru
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mmiliki wake lazima auawe pia
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Kama malipo ya uhai yanaitajika
Kama mmiliki wa ng'ombe anaweza kulipa gharama ya kuokoa maisha yake, kisha anapaswa kulipa chochote waamuzi wanachotaka.
Exodus 21:31-32
ng'ombe amempiga
"kajeruhi kwa pembe zake"
shekeli thelathini za fedha
"gramu 330 za fedha"
ng'ombe lazima apigwe mawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 21:33-34
akifungua shimo
"funua shimo kwenye ardhi"
alipe madhara
Mmiliki lazima alipe kwa madhara ya mnyama.
atakuwa wake
Aliye lipa madhara ya mnyama atakuwa mmliki wa mnyama aliye kufa na anaweza fanya ancho taka.
Exodus 21:35-36
kugawana gharama
"gawanya pesa"
kama ilijulikana
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
tabia ya kupiga hapo awali
"kapiga wanyama wengine kabla"
mmiliki wake hakumfunga ndani
Hii ina maana mmiliki hakumhifadhi ng'ombe kwa usalama ndani ya uzio.
lazima alipe ng'ombe kwa ng'ombe
Mmiliki wa ng'ombe aliye ua lazima atoe ng'ombe kwa aliye poteza ng'ombe wake.
Exodus 22
Exodus 22:1-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli.
Kama mwizi akikutwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
anavunja ndani
"akitumia nguvu kuingia ndani ya nyumba"
kama akipigwa na kufa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
hakutakuwa na hatia ya mauaji hayatakuwa juu ya mtu yeyote
"hakuna atakaye kuwa na hatia ya kumuua"
kama jua limechomoza kabla ya yeye kuvunja ndani
"kama kuna mwanga kabla hajaingia"
hatia ya mauaji itakuwa juu ya aliyemuua.
"huyo mtu atakaye muua akatakuwa na hatia ya mauaji"
lazima auzwe kwa uwizi wake
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Kama mnyama amekutwa hai eneo lake
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 22:5
Kama mwanaume akiwapeleka malishoni mifugo yake
"kama mwanaume akimuacha mnyama wake kulala mimea"
malishoni
"inapo kula mimea"
lazima afanye malipo
Lazima amlipe mmiliki wa hilo shamba"
Exodus 22:6
Kama moto ukitokea na kusambaa kwenye miba
"Kama mtu akianza moto na kusambaa kwenye miba"
kusambaa kwenye miba
"kupita kwenye mimea iliyo kauka"
shamba kuteketezwa
"moto kuteketeza shamba"
lazima afanye malipo
"lazima alipe mbegu moto ulizo haribu"
Exodus 22:7-9
amtunzie
"kuangaliza" au "kuweka salama"
kama itaibiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mwizi
mtu anaye iba
kama mwizi akipatikana
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kuja mbele za waamuzi
"kuja mbele za waamuzi ili waweze jua kama"
ameeka mkono wake kwenye mali za jirani yake
Huu ni msemo. Kama namna ya kusema hivi katika lugha yako, waweza sema hapa.
malalamiko ya pande zote lazima zije kwa waamuzi
Waamuzi lazima wasikilize watu wote wawili wanao dai vitu ni vyao na waamuzi wataamua nani ana hatia.
Exodus 22:10-13
kiapo kwa Yahweh lazima wafanye wote wawili
Mtu aliye shutumiwa kuiba mnyama lazima aape kiapo. Mmiliki wa mnyama aliye potea lazima akubali kiapo kilicho apiwa.
Lakini kama iliibwa kwake
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Kama mnyama alikatwa vipande
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Hatalipa kwa ajili ya vile vipande
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 22:14-15
lazima afanya malipo
"lazima alipe kwa mnyama mwingine"
kama mnyama aliazimwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
atalipwa kwa gharama ya kuazima
Aliye azima mnyama hata mlipa mmiliki zaidi ya ada au gharama ya kukodisha. Hii ada italipa kwa nyama aliye potea.
gharama ya kuazima
"ada ya kukodisha" au "pesa iliyo lipwa kukodisha mnyama"
Exodus 22:16-17
akimtongoza
"kushawishi"
hana mchumba
"haja ahidiwa kuolewa"
akilala naye
Kulala na mtu ni tafsida ya kufanya ngono.
gharama za bibi arusi
"mahari"
Exodus 22:18-19
Yeyote atakaye lala na mnyama lazima auawe
Hapa "lala na mnyama" ni tafsida yenye maana ya kufanya ngono na mnyama.
Exodus 22:20-21
Yahweh lazima auawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mkosea mgeni
"kutendea vibaya mgeni"
Exodus 22:22-24
Hauruhusiwi kumtendea vibaya mjane au mtoto asiye kuwa na baba
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mjane
"mwanamke aliye poteza mme wake"
mtoto asiye kuwa na baba
"yatima"
nitakuua kwa upanga
Kuuawa "kwa upanga" ni mbadala yenye maana mtu atakufa vibaya sana.
Exodus 22:25-27
kutoza faida
"kulipisha kwa pesa ya faida kwa kuazima"
funiko lake
"koti pekee"
Nini tena ambacho anaweza kulalia?
Hili swali latilia msisitizo.
mwenye huruma
"rehema" au "neema"
Exodus 22:28
Husinikufuru mimi, Mungu
"Husimtukane Mungu"
wala kumtukana mtawala
"na usimuombe Mungu kufanya kitu kibaya kwa mtawala"
Exodus 22:29-31
Husizuie sadaka
Hii yaweza andikwa katika tensi chanya.
unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako
"waweke wakfu wazaliwa wenu wa kwanza kwangu"
ufanye hivyo hivyo kwa
"niwekee wakfu wazaliwa wa kwanza wa"
Kwa siku saba
Hii yaweza andikwa kama namba
siku ya nane
Hii yaweza andikwa kama namba.
unipe mimi
"waweke wakfu kwangu"
Exodus 23
Exodus 23:1-3
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumuambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
taarifa ya uongo
Hii ni sawa na kudanganya au shuhuda ya uongo
wala kutoa ushahidi
"na wewe husizungumze"
ukiwa na umati
Hili ni fumbo linalo eleza mtu kukubaliana na kundi la watu kana kwamba alienda na kusimama na hilo kundi.
kupotosha haki
fanya yasio halali au matendo yasio ya kijamii yenye matokeo ya uwamuzi usio haki
Exodus 23:4-5
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Exodus 23:6-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Haupaswi kupotosha haki
"Husifanye matendo yanayo zalisha matokea yasio halali" ambayo uleta uhuru kwa mwenye hatia au hukumu kwa hasiye na hatia.
sitamuacha muovu
"sitampata muovu bila hatia"
rushwa inawapofusha ... kupotosha
Hapa "rushwa" inaelezwa kama ni mtu.
Exodus 23:10-11
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
mazao
"chakula kutoka kwenye mimea"
hakujalimwa
"hakujapaliliwa"
ili kwamba maskini miongoni mwenu wale
Maskini wale chakula chochote kinacho ota chenyewe shamba lisilo paliliwa.
Exodus 23:12-13
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Kuwa makini kwa
"fanya" au "tii"
ng'ombe na punda wako
"wanyama wa kazi zako"
wageni wapumzike na kupata hauweni
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Husitaje majina ya miungu mingine
Hapa "majina" ni mbadala wa kuomba kwa miungu mingine.
Exodus 23:14-15
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Abibu
Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.
Exodus 23:16-17
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Lazima uadhimishe
"Lazima uheshimu"
Sherehe ya Ukusanyaji
Hii sherehe ya sherekewa mwishoni mwa mavuno ya mazao ya mwaka.
Wanaume wote wako lazima wajitokeze
Hapa "kujitokeza" kuna maana ya kukusanyika kwa ibada.
Exodus 23:18-19
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Mafuta kutoka kwa dhabihu
Mafuta yalichomwa kama sadaka kwa Yahweh na hayakuliwa.
matunda ya kwanza bora
"bora na mazao ya kwanza ya mavuno"
Haupaswi kumchemsha mbuzi mtoto akiwa bado ananyonya
Hii ilikuwa zoezi la kishirikina miongoni mwa Wakanani, ambalo Waisraeli hawakuruhusiwa kushiriki.
Exodus 23:20-22
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Kuwa makini naye
"Msikilize"
Husimkasirishe, kwa kuwa hatasamehe
"hukimkasirisha, hatasamehe"
Jina langu liko kwake
Hapa "jina" la husu mamlaka ya Mungu.
hakika ukimtii sauti yake
Hapa "sauti" ya wakilisha kile malaika anasema.
adui kwa adui zako na mpinzani kwa wapinzani wako
Hii mistari miwili ina maana ya kitu kimoja na yana tumika kuweka mkazo.
Exodus 23:23-25
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Haupaswi ... kufanya wanavyo fanya
Waisraeli hawapaswi kuishi kama watu wanao muabudu Mungu mwingine.
Exodus 23:26-29
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Hakuna mwanamke atakaye kuwa tasa au mimba kuharibika katika nchi yako
Hii yaweza andikwa katika tensi chanya.
mimba kuharibika
mimba kufika mwisho mapema na pasipo tarajia
mavu
mdudu anaye paa na anaweza uma watu na kusababisha maumivu
au nchi itakuwa imetelekezwa
"kwasababu hakuna atakaye kuwa anaishi nchini"
Exodus 23:30-33
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli.
hakika watakuwa mtego kwako
Hii ina maana ya kuabudu miungu mingine itawapeleka watu wa Israeli kwa uharibifu.
Exodus 24
Exodus 24:1-2
Nadabu ... Abihu
Haya ni majina ya wanaume.
wazee sabini wa Israeli
"wazee 70 wa Israeli"
Exodus 24:3-4
kwa sauti moja
Huu ni msemok wenye maana watu walikubaliana.
mguu wa mlima
"tako la mlima"
Exodus 24:5-6
Musa allichukuwa nusu ya damu na kuweka kwenye mabeseni
Musa alikusanya nusu ya damu kwenye mabesini ili kuwanyunyuzia watu 24:7. Hii itawathibitishia watu ushiriki wao katika agano kati ya watu wa Israeli na Mungu.
alinyunyuzia nusu ingine kwenye madhabahu
Hapa madhabahu ya wakilisha Mungu. Hii itathibitisha ushiriki wa kati ya Mungu na watu wa Israeli.
Exodus 24:7-8
Tutakuwa watiifu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Kisha Musa akachukuwa damu
Hii ya husu damu ambayo Musa aliweka kwenye bakuli.
Exodus 24:9-11
Nadabu ... Abihu
Haya ni majina ya wanaume.
Chini ya miguu
Hii ina muongelea Mungu kana kwamba alikuwa na miguu ya mwanadamu.
sakafu iliyo jengwa kwa jiwe la yakuti samawi
"sakafu iliyo tengenezwa kwa mawe ya buluu yanayo itwa yakuti samawi"
sakafu
ardhi ngumu iliyo tengenezwa kwa kutembelea au kuendeshea
jiwe la yakuti samawi
Hii ni dini ambalo ni buluu kwa rangi.
safi kama mbingu yenyewe
Hili ni fumbo.
Mungu hakugusa na mkono kwa hasira viongozi Waisraeli
Hii ina maana kuwa Mungu hakujeruhi viongozi.
Exodus 24:12-13
saani za mawe na sheria na amri
Mungu aliandika sheria na amri katika saani za mawe.
na msaidizi wake Yoshua
"na Yoshua aliye msaidia"
Exodus 24:14-15
mtusubiri
"msubiri Yoshua na mimi"
Huri
Huri alikuwa mwanaume aliye kuwa rafiki wa Musa na Aruni.
Exodus 24:16-18
Utukufu wa Yahweh
Huu ulikuwa mwanga mzuri wa uwepo wa Mungu.
kama moto ulao
Hii ina maana ya utukufu wa Yahweh ulikuwa mkubwa una ulionekana kuwaka kwa mwanga kama moto.
kwenye macho ya Waisraeli
Hapa "macho" ya husu mawazo ya kuhusu walicho kiona
siku arobaini na usiku arobaini
"siku 40 na usiku 40"
Exodus 25
Exodus 25:1-2
atakayetoa kwa moyo mkunjufu
Huu ni msemo unao hashiria tamanio la mtu kutoa sadaka.
Lazima upokee
Neno "upokee" la husu Musa na viongozi.
Exodus 25:3-7
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa ni watu wafanye.
buluu, zambarau na nyekundu
Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu iliyo tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau na nyekundu" kupaka kitambaaa.
pomboo
mnyama mkubwa anaye ishi baharini na kula mimea
shohamu
jiwe la thamani lenye miisho meupe na meusi, nyekundu au kijivu.
mawe mengine ya kutiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 25:8-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa ni watu wafanye.
patakatifum ... maskani
Haya maneno yana maana moja.
Lazima ufanye
Hapa "ufanye" ni wingi na ya husu Musa na watu wa Israeli.
nikuoneshayo mfano
"kukuonyesha katika mpango wake" au "nikuonyeshayo katika ramani"
Exodus 25:10-11
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu
"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5"
Exodus 25:12-14
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
viduara vinne vya dhahabu
Hii ilikuwa namna dhahabu ya yayushwa, ilikuwa ya miminwa katika chombo cha mviringo, kisha kuwachwa kuwa ngumu.
ili kulichukua hilo sanduku
"ili uweze kubeba sanduku"
Exodus 25:15-18
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kifuniko cha dhahabu
Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika.
dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu
"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5"
Exodus 25:19-21
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kifuniko cha dhahabu
Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika.
Lazima uweke
Hapa "uweke" ya husu Musa na watu wa Israeli.
Exodus 25:22
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
nitaonana nawe hapo katika sanduku
"Nitakutana na wewe katika sanduku"
kifuniko cha dhahabu
Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika.
Exodus 25:23-24
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu
"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5"
Exodus 25:25-27
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
fremu ya kuizunguka
"fremu ya meza"
ilipo kuwa
"ilipo"
kuichukulia
"ili kubeba"
Exodus 25:28-30
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
ile meza ichukuliwe kwayo
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
vya kumiminia
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mikate ya wonyesho
Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu.
Exodus 25:31-32
dhahabu safi
"dhahabu iliyo gongwa"
kinara na kifanywe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kitako chake, na mti wake, vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vitakuwa vya kitu kimoja nacho
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 25:33-34
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. Yahwe anaelezea kinara cha taa.
maua ya mlozi
nyeupe au maua ya pinki yenye majani matano
Exodus 25:35-36
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kitu kimoja nacho
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 25:37-40
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
zitoe nuru mbele yake
"hivyo watoa mwangaa"
Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
talanta moja
Talanta ina kilogramu 34
na vyombo
makoleo na visahani
uliooneshwa mlimani
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 26
Exodus 26:1-3
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
Lazima ufanye
Yahweh anaongea na Musa, hivyo neno "ufanye" la husu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi.
mapazia
Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu.
dhiraa ishirini na nane ... dhiraa nne
"dhiraa 28 ... dhiraa 4." Dhiraa ni sentimita 46.
Mapazia matano yataungwa pamoja ... yataungwa pamoja
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 26:4-6
tanzi ... vifungo
Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja.
fungu
"fungu moja la mapazia matano"
fungu la pili
"fungu la pili la mapazia matano"
Exodus 26:7-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kumi na moja ... thelethini ... nne
"11 ... 30 ... 4"
dhiraa
Dhiraa ni sentimita 46
Exodus 26:10-11
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
tanzi ... vifungo
Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja.
Exodus 26:12-14
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
dhiraa
Dhiraa ni sentimita 46
Exodus 26:15-18
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
fremu
Hii ya husu fremu walizo tengeneza kwa kuunganisha mbao ndogo vya vipande.
dhiraa kumi ... dhiraa moja na nusu
"dhiraa 10 ... dhiraa 1.5"
Exodus 26:19-21
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
vitako vya fedha
Hivi vilikuwa vitofali vya fedha vyenye mpangilio kuweza ustahimili.
Lazima kuwe na vitako viwili
Hii ina weza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 26:22-25
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja
Hii ya weza andika katika tensi tendaji.
vitako vya fedha
Haya yalikuwa matofali yenye mpangilio kuweka fremu sehemu yake.
Exodus 26:26-28
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
mataruma
Hizi ni nguzo zinazo weka imara jengo.
maskani ulio nyuma kuelekea magharibi
Mbele ya maskani ili elekea mashariki.
Exodus 26:29-30
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe.
kuwa kama vishikizo
"vitakavyo shika mataruma"
mataruma
Hizi ni nguzo zinazo weka imara jengo.
uliooneshwa mlimani
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 26:31-33
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe.
Nawe fanya
Yahweh anazungumza na Musa, hivyo neno "nawe" la muhusu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi.
vifungo
Vifungo vintoshea kwenye tanzi kushikilia pazia pamoja.
nawe lete lile sanduku la ushuhuda
Sanduku la agano ni chombo linalo hifadhi amri.
Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 26:34-35
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
juu ya lile sanduku la ushuhuda
"kwenye chombo chenye amri"
Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.
Hii ni meza inayo shikilia mkate unao wakilisha uwepo wa Mungu.
Exodus 26:36-37
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi ya kutengeneza patakatifu.
kisitiri
Hili lilikuwa pazia kubwa lilo tengenezwa kwa kitambaa.
buluu, zambarau, na nyekundu
Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu iliyo tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau na nyekundu" kupaka kitambaaa.
kitani nzuri yenye kusokotwa
Hii ilikuwa kitambaa kilicho tengenezwa kutokana uzi ambao mtu alizokota pamoja kufanya uzi mgumu.
mshonaji
"mtu anaye shona michoro ya vitambaa"
Exodus 27
Exodus 27:1-2
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
urefu wake dhiraa tano na upana wake dhiraa tano
"mita 2.2 kila upande"
madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu
"madhabahu itakuwa mraba na mita 1.3 kwenda juu"
dhiraa
dhiraa ni sentimita 46
Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe
"Nawe fanya muonekano wake kama pembe za ng'ombe katika miisho yake"
pembe zitakuwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji
utayafunika
" lazima ifunike madhabahu na pembe"
Exodus 27:3-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
mabakuli
"mabeseni"
meko
Kulikuwa na meko iliyo shika makaa kutoka madhabahuni.
Vyombo
Haya yalikuwa vifaa au vitu vilivyo tumika kwa kusudi.
Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba
"Nawe ufanye wavu wa shaba kwa ajili ya madhabahu"
Exodus 27:5-6
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu
Wavu uliwekwa ndani ya madhabahu.
Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu
Hii miti ilitumika kubeba madhabahu.
Exodus 27:7-8
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua
Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.
ulivyooneshwa mlimani
Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.
Exodus 27:9-10
kutakuwa na chandarua ya nguo
Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.
chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa
chandarua ilikuwa pazia kubwa lilio tengenezwa na kitambaa
kitani nzuri yenye kusokotwa
Hichi kilikuwa kitambaa kutokana na nyuzi mtu alizo zokota pamoja kufanya uzi mgumu.
dhiraa mia moja
"mita 44"
nguzo
kipande kigumu cha mbao kilicho nyooshwa na kutumika kushikilia
Exodus 27:11-13
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
hiyo chandarua utakuwa
Hii yaweza andikwa kama amri.
nguzo zake kumi
Hii yaweza andikwa kama amri.
Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini
Hii yaweza andikwa kama amri.
Exodus 27:14-16
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Chandarua
Hii ilikuwa pazia lililo tengenezwa kwa kitambaa.
nguzo
Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa juu.
vitako
Hizi zilikuwa matofali ya chuma yenye nafasi ya kushikilia nguzo
dhiraa kumi na tano
kiasi cha mita saba
Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini
Hii yaweza andikwa kama amri.
kitakuwa cha nguo ... kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa
Maana inayo wezekana ni 1) "kitambaa kilicho tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau, na nyekundu"
mshonaji
mtu anaye shona mishono kwenye nguo
Exodus 27:17-19
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
dhiraa mia moja
"dhiraa 100"
yawe ya nguo ya kitani nzuri
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliye sokota kufanya uzi mgumu.
Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 27:20-21
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
hema ya kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
itakuwa ni amri ya milele
"nianataka watu wafanye hii kama amri ya kudumu"
Exodus 28
Exodus 28:1-3
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
Umuite
Neno "Umuite" lina husu Musa.
Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamar
Haya ni majina ya wanaume.
Nawe utamfanyia
Hapa "Nawe" ya husu watu.
Exodus 28:4-5
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kanzu ya kazi ya urembo
"kanzu iliyo shoneshewa urembo"
kilemba
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
mshipi
kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua
Exodus 28:6-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kitani nzuri yenye kusokotwa
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.
kazi ya mstadi
mtu anaye weza kufanya vitu vizuri kwa mkono
ya vitu vile vile
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
shohamu
Haya ni mawe yenye miisho meupe na meusi, nyekundu au kahawia.
Exodus 28:10-12
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo
"Jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri"
mtu mwenye kuchora
mtu anaye kata michoro kwenye vitu vigumu kama mbao, jiwe, au chuma
vijalizo
vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera
Exodus 28:13-14
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
vijalizo
vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera
mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba
"mikufu miwili ya dhahabu yenye kusokotwa kama kamba"
Exodus 28:15-16
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera
"fundi stadi atafanya kama ile naivera"
shibiri
Shibiri ni sentimita 22.
Exodus 28:17-20
vito
"madini ya dhamani" au "madini ya hazina"
akiki ... yaspi
Haya ni madini ya thamani.
yakuti
Hili ni jiwe la dini lenye rangi ya buluu
shohamu
Hili ni jiwe la thamani lenye miisho meupe na meusi, nyukundu au kahawia.
Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 28:21-24
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
Na vile vito vitakuwa sawasawa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi
"mikufu iliyo fanywa kwa dhahabu safi na imesokotwa kama kamba"
Exodus 28:25-26
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
mikufu miwili ya kusokotwa
"mikufu iliyo sokotwa kama kamba"
vile vijalizo viwili
Hizi ni vijalizo viwili vinavyo funga mawe.
Exodus 28:27-28
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi
Huu ulikuwa mkanda wa kitambaa uliyo tengenezwa kwa nyuzi nyembamba mtu alizo zokota kufanya uzi mgumu.
ili kwamba kikae
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 28:29-30
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani
Hii ya husu majina ya makabila yaliyo chorwa katika mawe kumi na mbili.
cha kifuani
"katika moyo wa Aruni" au "kifuani mwake"
hizo Urimu na Thumimu ... atachukua hukumu ya
Huu mstari wapili unaeleza hizo Urimu na Thumimu na kusudi lake.
hizo Urimu na Thumimu
Haiko wazi hizi ni nini. Vilikuwa vitu, labda mawe, ambayo makuhani walitumia kufahamu mapenzi ya Mungu.
Exodus 28:31-32
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
Exodus 28:33-35
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
komamanga
Komamanga ni tunda la mviringo lenye ganda jekundu.
Kengele ya dhahabu na komamanga
Huu mstari umerudiwa kuonyesha ramani ya mchoro kwenye kanzu.
na sauti ya hizo kengele itasikilikana
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
ili kwamba asife
Ina hashiriwa kwamba ata kufa kwasababu hakumtii Yahweh.
Exodus 28:36-38
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye.
kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri
"andika juu yake jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri"
kilemba
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
alo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 28:39
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
kilemba
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
mshipi
Mshipi ni kipande cha kitambaa ambacho mtu anavaa kwenye kiuno chake au kwenye kifua.
kazi ya mwenye kutia taraza
Mtia taraza ni mtu anaye shona michoro kwenye kitambaa.
Exodus 28:40-41
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
mshipi
kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua
kofia
Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.
Nawe mvike huyo nduguye Aruni
Aruni alikuwa kaka mkubwa wa Musa.
Exodus 28:42-43
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
suruali za nguo ya kitani
Hizi zilikuwa nguo za ndani, nguo zinazo valia njee ya nguo za njee, karibu na ngozi.
hema ya kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
amri ya milele
"sheria hisiyo kwisha"
Exodus 29
Exodus 29:1-2
Sasa
Neno "sasa" linaeka alama katika somo kutoka mavazi ya makuhani kwenda kutengwa kwa makuhani.
wapaswa kufanya
Hapa "wapaswa" ya husu Musa.
kuwatenga
"kumtenga Aruni na wana wake"
wanitumikie
Hii ya husu Yahweh.
mtoto wa ng'ombe dume
ng'ombe dume
Pia chukuwa maandazi bila hamira yalio pakwa mafuta
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mkate ... keki ... maandazi
Hivi ni aina tofauti vya vyakula vya ngano.
Exodus 29:3-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa
Lazima uweke
"Lazima uweke mkate, keki, na maandazi"
na kuleta pamoja na ng'ombe dume na wana kondoo wawili
Hpa "kuleta" ina maana ya kutoa dhabihu. Maana kamili ya hii yaweza tafsiriwa kwa wazi.
hema la kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
Exodus 29:5-7
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
kanzu
Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.
mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.
kilemba
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
taji takatifu
Hili taji limeelezewa katika 29:5 kuwa limechorwa kwa maneno "tolewa kwa ajili ya Yahweh"
Exodus 29:8-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
walete hao wanawe
"walete wana wa Aruni"
kanzu
Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.
mshipi
kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua.
kofia
Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.
kwa kazi takatifu
"wajibu wa kuwa makuhani"
watakuwa na huo
Wajibu wa kuwa makuhani pia utakuwa na zao la wana wa Aruni.
amri ya milele
"sheria isiyo na mwisho"
Exodus 29:10-11
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
hema ya kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
Kisha utamchinja huyo ng’ombe
Sadaka ya ng'ombe ilikuwa ichinjwe na Musa, na sio makuhani, njiani mwa mlango, sio ndani ya hema la kukutania.
Exodus 29:12-14
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kungea na Musa.
pembe
Hii ilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizokuwa zimewekwa kwenye miisho minne ya madhabahu.
damu yote
"damu iliyo baki"
yafunikayo matumbo
"yanayofunika viungo vya ndani"
ini ... figo
Hivi ni viungo mwilini.
Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake
"Lakini kwa viungo vilivyo baki vya ng'ombe"
Exodus 29:15-18
Pia mtwae kondoo
Kwa hizi dhabihu za kutengwa za makuhani, alikuwa Musa, sio Aruni wala wana wake, aliye hua wanyama.
katika madhabahu
Tofauti na sadaka ya ng'ombe iliyo chomwa nje ya hema, kondoo allichomwa katika madhabahu ya ndani.
matumbo yake
"viungo vya ndani"
Exodus 29:19-20
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Kisha utamchinja kondoo
Kondoo aliuliwa kwa kukata koromeo lake.
Exodus 29:21
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Exodus 29:22-23
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
matumbo ... ini ... figo
Hivi ni viungo vya ndani.
Utwae na mkate mmoja ... mbele ya Yahweh
Kwa ajili ya 29:23 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno kama hayo 29:1
Exodus 29:24-25
Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kuongea na Musa.
Nawe utavitia hivi
Hapa "hivi" lina husu sehemu za dhabihu vilivyo tajwa katika mistari ya awali.
ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 29:26-28
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
kondoo wa kuwekwa
"kondoo uliye mtoa" au "kondoo uliye muua"
kondoo wa kuwekwa kwake Haruni
"kondoo uliye kuwa ukimwekea Aruni"
Exodus 29:29-30
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake
Haya mavazi yalikuwa ni ya kikuhani ni sio ya Aruni peke yake.
wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
hema ya kukutania
Hili ni jina llingine la maskani.
Exodus 29:31-34
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
kondoo mume aliyekuwa wa kuwekwa kwa kazi takatifu
"kondoo uliye muua kwa kazi takatifu"
katika mahali patakatifu
Hii sio mahali patakatifu njee na mahali patakatifu
hema ya kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
havitaliwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
maana, ni vitu vitakatifu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 29:35-37
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Ni hivyo utakavyowatendea Aruni na wanawe kama nilivyo kuagiza
"Nimekuamuru kumtendea Aruni na wana wake hivi"
Exodus 29:38-39
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Lazima utoe kwenye madhabahu wana-kondoo wa mwaka mmoja wawili siku baada ya siku
"Kila siku utoe sadaka katika madhabahu"
Exodus 29:40
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
vibaba vitatu ... kibaba na robo
"1/10 ... 1/4"
kibaba
kibaba ni lita 22.
Exodus 29:41-42
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
ni dhabihu ya kusongezwa kwangu kwa njia ya moto
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
katika vizazi vyenu vyote
"katika vizazi vyote vya uzao wenu"
hema ya kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
Exodus 29:43-44
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
na hiyo hema itafanywa takatifu na utukufu wangu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 29:45-46
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Exodus 30
Exodus 30:1-2
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi ya kujenga vifaa vya kuabuduia.
Nawe fanya
Hapa "nawe" ya husu Musa na watu wa Israeli.
pembe zake zitakuwa
Hizi zilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizo wekwa kwenye miisho ya madhabahu.
Exodus 30:3-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wake wafanye.
utazifanya
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 30:5-6
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
sanduku la ushuhuda
Sanduku ni chombo chenye zile amri.
nitakapokutana nawe
Hapa "nawe" ya husu Musa.
Exodus 30:7-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
katika vizazi vyenu vyote
"katika vizazi vya uzao wenu wote"
Exodus 30:10
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
pembe
Hizi zilikuwa mifano iliyo onekana kama pembe za ng'ombe zilizo katika miisho minne ya madhabahu.
katika vizazi vyenu vyote
"katika vizazi vyote vya uzao wenu"
Exodus 30:11-14
Utakapowahesabu wana wa Israeli
Viongozi waliwahesabu wanaume tu.
Kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. Walihesabu wanaume tu.
nusu shekeli
"1/2 shekeli"
gera ishirini
"20 gera"
miaka ishirini, au zaidi
Namba kubwa zinaongelewa kwa kuwa juu au juu ya namba ndogo.
Exodus 30:15-16
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Watu
Wanaume tu walifanya hii sadaka.
Ili kwamba ziwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele yangu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu
Maana zinazo wezekana ni 1) "itawakumbusha Waisraeli kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zao" au 2) "itawakumbusha Waisraeli wamefanya upatanisho kwa ajili ya roho zao"
Exodus 30:17-18
birika
"bakuli"
tako lake la shaba
Hili ndilo litakalo wekewa bakuli.
ili kuogea
Hili neno la elezea nini makuhani walitumia bakuli kubwa kwa ajili gani.
madhabahu
madhababu ya sadaka
Exodus 30:19-21
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote
"kwa Aruni na vizazi vyote vya uzao wake"
Exodus 30:22-25
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
manukato
mimea iliyo kauka watu wanayo kausha kuwa unga na kuweka kwenye mafuta au chakula kutoa harufu nzuri au ladha.
shekeli mia tano ... shekeli 250
"shekeli 500 ... shekeli 250" Shekeli ni kama gramu 11.
mdalasini ... kane ... kida
Haya ni manukato mazuri.
kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu
Dhahiri kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho.
kazi ya ustadi ya mtengezaji manukato
Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alikuwa na mtengeneza manakuto afanye hii kazi au 2) Musa alikuwa afanye hii kazi kama mtengeneza manukatao anavyo fanya.
mtengezaji manukato
mtu mwenye utaalamu wa kuchanganya manukato na mafuta
Exodus 30:26-28
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Nawe utaipaka
Hapa "nawe" ya husu Musa.
sanduku la ushuhuda
Sanduku ni chombo chenye amri.
madhabahu ya kufukizia uvumba
"madhabahu ambayo sadaka ziliteketezwa"
Exodus 30:29-31
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
utavitakasa
Hii ya husu vitu vilivyo orodheshwa 30:26
katika vizazi vyenu vyote
"vizazi vyote vya uzao wenu"
Exodus 30:32-33
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Hayatamiminwa katika kiwiliwili cha binadamu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
mfano wa haya
"kwa viungo hivyo" au "kwa vitu hivyo"
mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake
Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue"
Exodus 30:34-36
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini cha kufanya. Yahweh anampa amri Musa tu.
natafi, na shekelethi, na kelbena
Haya ni manukato.
Nawe utafanya uvumba wa vitu hivyo, manukato ya kazi ya ustadi wa mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea
Neno "yamekolea" la weza tafsiriwa katika tensi tendaji.
mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea
Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alipaswa kumpa mtengeneza manukato kufanya kazi au 2) Musa alipaswa kufanya kazi peke yake.
utayaponda
"utasaga"
Exodus 30:37-38
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
hamtajifanyia
Hii ya husu watu wa Israeli.
sawasawa
"kwa viungo kama hivyo"
utakuwa kwenu mtakatifu
"Utahesabu kuwa takatifu"
atakatiliwa mbali na watu wake
Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue"
Exodus 31
Exodus 31:1-2
nimemwita kwa jina
Mungu anzungumza kuchagua watu maalumu kwa kuwaita majina yao.
Bezaleli ... Uri ... Huri
Haya ni majina ya wanaume.
Exodus 31:3-5
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa.
nimemjaza Bezaleli na roho ya Mungu
Yahweh anazungumza kumpa Bezaleli Roho yake kana kwamba Bezaleli ni birika na Roho ya Mungu ni maji.
Exodus 31:6-9
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungmza na Musa.
Oholiabu ... Ahisamaki
Haya ni majina ya wanaume.
Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima
Mungu anazungumza kufanya watu kuweza kutengeneza vitu kana kwamba uwezo alikuwa anaweka kwenye mioyo yao.
hema la kukutania
Hili ni jina lingine la maskani.
sanduku la ushuhuda
Sanduku ni chombo kinacho hifadhi amri.
madhabahu ya kufukizia uvumba
"madhabahu ya kuteketeza uvumba"
madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa
"madhabahu ambayo sadaka ili teketezwa"
Exodus 31:10-11
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa.
mavazi yenye kufumwa kwa uzuri
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.
Exodus 31:12-15
Hakika mtazishika Sabato zangu
Mungu anazungumza kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato.
kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote
"kwa vizazi vyote vya uzao wenu"
niwatakasaye ninyi
Mungu anaongelea kuchagua kuwa wake kwa kuwatenga kwake.
ni takatifu kwenu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kila mtu atakayeitia unajisi
Mungu anazungmzia kutoheshimu Sababto kama kuinajisi.
hakika yake atauawa
"lazima hakika auawe" Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
itakatiliwa mbali na watu wake
Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue"
lakini siku ya saba
"lakini siku ya 7"
Exodus 31:16-17
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini awaambie watu wa Israeli.
wataishika Sabato
Mungu anaongelea kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato.
Kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote
"Wao na vizazi vyote vya watu wao wa itunze"
agano la milele
"sheria isiona mwisho"
Exodus 31:18
zilizoandikwa kwa mkono wake
Hii yaweza tafsiriwa kwa tensi tendaji.
Exodus 32
Exodus 32:1-2
watu walipoona
Hapa kuelewa kitu kuna zungumziwa kama kinaonekana.
Njoo, katufanyizie sanamu
Neno "njoo" lina imarisha nguvu ya agizo linalo fuata. Watu walikuwa wanataka Aruni awafanyie sanamu kwa ajili yao.
itakayokwenda mbele yetu
"tuongoza sisi" au "kuwa kiongozi wetu"
mkaniletee
Neno "wao" la husu pete za dhahabu.
Exodus 32:3-4
Watu wote
Hii ya husu watu wote waliyo mkataa Musa kama kiongozi wao na Mungu wa Musa kama Mungu wao.
akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha
Aruni aliyayusha dhahabu na kumimina kwenye patasi iliyo kuwa na umbo la ndama. Dhahabu ilipo kuwa ngumu, aliondoa patasi, na dhahabu iliyo ngumu ikawa na umbo la ndama.
Exodus 32:5-6
Haruni alipoona jambo hili
"Aruni alipoona kile watu walicho fanya"
wakaondoka wacheze
"kuwa na sherehe ya kukithiri." Watu yawezakana walifanya matendo ya kimapenzi ya kuchukiza.
Exodus 32:7-8
Wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru
Hapa Mungu anaongelea watu kutotii alicho waamuru kana kwamba aliwaambia waenende kwenye njia maalumu na wakaiacha.
wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha
"Wamefanya sanamu ya dhahabu iliyo kama ndama"
Exodus 32:9-11
Mimi nimewaona watu hawa
Hapa Yahweh analinganisha kuwajua watu na kuwaona.
watu wenye shingo ngumu
Yahweh anaongelea watu kuwa wajehuri kana kwamba wana shingo ngumu.
Basi sasa
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka pumziko kwa kile Yahweh alikuwa anamwambia Musa. Hapa Yahweh anasema nini ata wafanyia watu.
hasira zangu ziwake juu yao
Yahweh anazungumzia hasira yake kana kwamba ni moto unao weza waka sana.
wewe uwe
Neno "wewe" la husu Musa.
kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako
Musa alitumia ili swali kujaribu kumshawishi Yahweh asiwe na hasira sana na watu wake.
uweza mkuu ... mkono wenye nguvu
Hii mistari miwili ina maana moja na iwe ambatanishwa kwa mkazo.
Exodus 32:12-14
Maelezo ya Jumla
Musa anaendelea kujadiliana na Mungu asiharibu Israeli.
Kwa nini Wamisri kusema, 'Amewatoa ... kuwaondoa watoke juu ya uso wa nchi?'
Musa ametumia ili swali kumshawishi Mungu asiharibu watu wake.
uso wa nchi
"kutoka kwneye uso wa dunia" au "kutoka kwenye dunia"
Geuka katika hasira yako kali
"acha hasira yako kali" au "acha kuwa na hasira sana"
hasira yako kali
Musa anazungumzia hasira ya Mungu kana kwamba ni moto uliyo kuwa wa waka.
Mkumbuke Ibrahimu
"Fikiria kuhusu Ibrahimu"
kuwaambia
"alifanya nadhiri"
watairithi milele
Mungu anazungumzia kuhusu wao miliki nchi kana kwamba watairithi.
Exodus 32:15-16
mbao mbili za mawe
Hizi ni mbao mbili za mawe ambazo Mungu aliandika amri zake.
Na zile mbao zilikuwa kazi ya Mungu nayo maandiko yalikuwa maandiko ya Mungu
Hii mistari miwili ina maana moja. Wa pili waeleza jinsi hizi mbao zilikuwa "kazi pekee ya Mungu"
Exodus 32:17-18
akamwambia Musa
Ina kadiriwa kuwa Yoshua alikutana na Musa wakati Musa akirudi kambini.
Exodus 32:19-20
zile mbao
"zile mbao mbili Yahweh alizo ziandikia"
Exodus 32:21-24
Musa akamwambia Aruni, "Watu hawa ... dhambi hii kuu juu yao?
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
ukaleta dhambi hii kuu juu yao?
Musa aliongea kusababisha watu kufanya dhambi kana kwamba dhambi ni kitu na Aruni aliwawekea.
Hasira yako isiwake
Aruni aliongelea hasira ya Musa kana kwamba ni moto unao weza kuchoma. "Usiwe na hasira sana"
wamejielekeza kwa mabaya
Kupania kufanya uovu kunaongelewa kama kuwekwa kwenye uovu.
huyo Musa
Watu walionyesha kutoheshimu kwa kuweka "huyo" kabla ya jina lake, kana kwamba Musa laikuwa mtu wasio mjua na hawawezi muamini.
Nikawaambia, 'Mtu ye yote aliye na dhahabu na aivue
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
nikaitupa ndani ya moto, akatoka ndama huyu
Badala ya kuchukuwa umiliki wa kutengeneza ndama, Aruni anadai ndama alitoka kwenye moto kimuujiza.
Exodus 32:25-27
wameasi
"walikuwa wanatenda kinyama" au "hawakuwa wanajizuia"
Ndipo Musa akasimama katika mlango ... "Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh na aje kwangu."
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh
Musa anazungumza kwa mwaminifu kwa Yahweh kama kuwa upande wa Yahweh.
akapite huko na huko toka mlango hata mlango
"nenda ndani na nje kutoka mlango mmoja wa kambi kwenda mwingine"
Exodus 32:28-29
watu elfu tatu
"watu 3000"
kila mtu juu ya mwanawe na juu ya ndugu yake
Ukweli kwamba wamefanya hivi kwa kutomtii Mungu yaweza andikwa kwa wazi.
Exodus 32:30-32
Mmetenda dhambi kuu
Waliabudu sanamu.
Labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu
Musa aliongea kumshawishi Mungu kuwasamehe watu kana kwamba aliweza fanya upatanisho kwa ajili ya dhambi.
unifute, nakusihi, katika kitabu
Hapa Musa anaongelea jina lake.
kitabu chako ulichoandika
Mungu alicho andika katika kitabu cha weza andikwa wazi.
Exodus 32:33-35
Mtu ye yote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta katika kitabu changu
Maneno "mtu ye yote" ya wakilisha "hilo jina la mtu"
kitabu changu
Hii ya husu kitabu cha Yahweh Musa alicho zungumzia katika 32:30
Yahweh akawapiga hao watu
Hili pigo la weza kuwa ugonjwa mkali.
alivyoifanya ile ndama, ambayo Aruni aliifanya
Japo kuwa Aruni alifanya ndama, watu walikuwa na hatia kwasababu walimwambia Aruni afanye.
Exodus 33
Exodus 33:1-3
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa hasira yake.
hiyo nchi, inayo tiririka kwa maziwa na asali
Nchi ilikuwa nzuri kwa kufuga mifugo na kuotesha mazao.
inayo tiririka
"imejawa na" au "yenye utele wa"
maziwa
Sababu maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii inawakilisha chakula cha mifugo.
asali
Sababu asali inatokana na mahua, hii inawakilisha chakula cha mazao.
watu wajehuri
"watu wanao goma kubadilika"
Exodus 33:4-6
mikufu
nguo nzuri pamoja na mikufu na pete yenye madini ndani yake
watu wajehuri
"watu wanao goma kubadilika"
Exodus 33:7-9
nguzo ya wingu
Wingu lilikuwa na umbo la nguzo.
ilishuka chini
Lilipo shuka kutoka yaweza andikwa wazi.
Exodus 33:10-11
Yahweh alizungumza na Musa uso kwa uso
Kuzungumza moja kwa moja pasipo ndoto na maono, inaongelewa kana kwamba Musa na Mungu walionana uso walipo ongea.
kijana
mkubwa wakutosha kuwa mwanajeshi (17:8), lakini mdogo kwa Musa
Exodus 33:12-13
Ona
"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakalo kwambia."
Nina kujua kwa jina
Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vizuri.
umepata upendeleo kwangu
Hii ni moja ya ambacho Mungu alimwambia Musa.
Kama nimepata upendeleo machoni pako
Hii ni moja ya Musa aliyo mwambia Mungu.
nionyeshe njia zako
Maana inayo wezekana ni 1) "nionyeshe unacho kwenda kufanya mbeleni" au 2) "nionyeshe jinsi watu wanawezaje kufanya yanayo kupendeza"
Exodus 33:14-16
Uwepo wangu utaenda
"Uwepo wa Mungu una muwakilisha yeye"
utaenda nawe ... nitakupa
Neno "nawe" lina husu Musa.
nitakupa pumziko
"Nitaacha upumzike"
Au je
"Kama uwepo husipo enda nasi"
itajulikanaje
Hii yaweza elezwa kwa tensi tendaji.
itajulikanaje
Musa alitumia hili swali kusisitiza kwamba kama Mungu hasipo enda nao, hakuna mtu atakaye jua kuwa Musa kapata upendeleo machoni pa Mungu.
Haitakuwa kuwa tu kama
"Haitajulikana tu kuwa kama"
Exodus 33:17-18
Maelezo ya Jumla
Yahweh anapo tumia neno "nawe" katika huu mstari, ni katika uchache na lina husu Musa.
umepata upendeleo machoni mwangu
Huu ni msemo wenye maana kwamba Mungu kapendezwa naye.
nina kujua kwa jina
Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vyema.
Exodus 33:19-20
Nitafanya wema wangu wote ujulikani kwako
Mungu anaongelea kutembea mbele ya Musa ili Musa aone wema kana ni wema wake tu utakao pita kwa Musa.
Exodus 33:21-23
Ona
"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakacho kwambia"
utaona mgongo wangu
Hii ni kwasababu Yahweh atakuwa akiondoka kwa Musa.
ila uso wangu hautaonekana
Hii yaweza elezezwa katika tensi tendaji.
Exodus 34
Exodus 34:1-2
mbao
"mbao za mawe"
Exodus 34:3-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa
Usiruhusu mtu yeyote aonekana popote kwenye mlima
Kuonekana kufanya kitu ya wakilisha kufanya hicho kitu.
Hakuna kundi la mifugo wanao ruhusiwa ata kula mbele ya mlima
"Ata mifugo hawaruhusiwi kuja karibu na mlima kula"
Exodus 34:5-7
akasima mbele za Musa
"akasimama na Musa katika mlima"
akatamka jina "Yahweh"
Maana zinazo wezekana ni 1) "alitaja jina "Yahweh"' au 2) "alikiri Yahweh ni nani." Kwa maana ya pili, "jina" lina wakilisha Mungu ni nani.
Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema
Mungu anaongea kuhusu yeye.
anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu
"mara zote anaonyesha uwaminifu wa agano na uadilifu"
anadumu katika uwaminifu wa agano
"mara zote ni mwaminifu wa agano langu"
anadumu katika ... uadilifu
"mara zote uwa mwadilifu"
Lakini
Yahweh anazungmza kuhusu yeye.
hamsafishi mwenye hatia
Yahweh anazungmza kuhusu yeye.
hamsafishi mwenye hatia
"hakika hasafishi mwenye hatia" au "hakika hatasema kwamba mwenye hatia hana makosa" au "hata wa weka huru watu wenye hatia"
Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao
Kutoa hadhabu kuna ongelewa kana kwamba hadhabu ni kitu mtu anaweza kuleta kwa watu.
watoto wao
Neno "watoto" la wakilisha uzao.
Exodus 34:8-9
Kama sasa nimepata upendeleo machoni pako
Kumpendeza mtu kuna zungumziwa kama kupata upendeleo machoni pao.
maasi yetu na dhambi zetu
Maneno "maasi" na "dhambi" kimzingi ina maana moja na yame unganishwa kwa msisitizo.
utuchukuwe kama urithi wako
Kitu ambacho mtu ana miliki milele kina zungumziwa kana kwamba ni kitu mtu alirithi.
Exodus 34:10-11
watu wako
Hapa "wako" ya husu Musa.
ni kitu cha hofu ninacho fanya kwako
Kitu cha hofu ni kitu kinacho sababisha watu kuogopa. Katika hoja hii, watu watamuogopa Mungu watakapo ona anacho fanya.
ninacho fanya kwako
Hapa "kwako" ya husu Musa na watu wa Israeli.
Exodus 34:12-14
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa. Hapa ana mwambia nini Musa na watu wafanye.
wata kuwa mtego kwako
Watu wanao jaribu wengine kufanya dhambi wana zungumziwa kama ni mtego.
ambaye jina lake ni Uwivu
Neno "jina" hapa la wakilisha tabia ya Mungu.
Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu
Neno "Uwivu" hapa lina maana ya kuwa Mungu anajali kutunza hesima yake. Kama watu wake wakiabudu miungu mingine, ana poteza heshima, kwasababu watu wasipo muheshimu, watu wengine pia hawata muheshimu.
Exodus 34:15-17
Sentensi Unganishi
Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi watu wake wana paswa kutenda kwa watu wa njee.
kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao
Mungu anaongelea watu wengine kuabudu miungu mingine kana kwamba ni makahaba wanaenda kwa wanaume wengine.
na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake
Madhara ya kula chakula kilicho tolewa dhabihu kwa mungu mwingine yaweza andikwa wazi.
Exodus 34:18
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
siku saba
"siku 7"
mwezi wa Abibu
Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi.
Exodus 34:19-20
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
umnunue tena
Wazaliwa wa kwanza na wazaliwa wa kwanza wa punda walikuwa ni wa Yahweh, lakini Yahweh Yahweh hakutaka watolewe dhabihu kwake. Badala yake, Waisraeli walikuwa watoe dhabihu ya kondoo katika nafasi yake. Hii ili waruhusu Waisraeli kununua punda na wanao kutoka kwa Yahweh.
Hakuna ata mmoja atakye kuja kwangu mikono mitupu
Mungu anaongelea sadaka kana kwamba mtu alikuwa abebe mikononi mwake.
Exodus 34:21-22
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Ata wakati wakilimo na wa mavuno
"Ata unapo andaa ardhi au kukusanya mazao"
Sherehe ya Makusanyo
Sherehe ilijulikana kama pia Sherehe ya Mahifadhi au Sherehe ya Mabanda. Wazao lilikuja kutoka kwa walimaji walipo ishi kwenye vibanda vya muda mfupi, au nyumba za nyasi, nje kwenye mashamba kulinda mazao yanapo komaa. Neno "Makusanyo" ina maana wanapo vuna mazao yao.
Exodus 34:23-24
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
Exodus 34:25-26
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
damu ya dhabihu yangu
Ukweli kwamba damu ni ya wanyama ina weza andikwa wazi.
hamira yeyote
Ukweli kwamba hamira ye yote yaweza kuwa kwenye mkate yaweza andikwa wazi.
Exodus 34:27-28
Musa alikuwa huko
"Musa alikuwa kwenye mlima"
siku arobaini
"siku 40"
siku arobaini na usiku
"kwa siku arobaini, mchana na usiku"
Aliandika
"Musa aliandika"
Exodus 34:29-31
ulikuwa wa'ngaa
"ulianza kuwaka"
wakaja kwake
"wakamfuata" au "wakamuendea." Hawa kwenda kwenye mlima juu.
Exodus 34:32-33
amri zote Yahweh alizo mpa
Kutoa amri kuna zungumziwa kana kwamba amri zilikuwa ni vitu vinavyo weza kutolewa.
Exodus 34:34-35
aliondoa
"Musa aliondoa"
alicho amriwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 35
Exodus 35:1-3
siku ya saba
"siku ile ya saba" au "Juma mosi"
Yeyote atakaye fanya kazi hiyo siku lazima auawe
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 35:4-9
Maelezo ya Jumla
Musa akawambia Waisraeli wafanye vitu Yahweh alivyo muamuru katika 25:3
Chukuwa sadaka kwa ajili ya Yahweh
"Chukuwa matoleo kwa ajili ya Yahweh"
wote wenye moyo mkunjufu
Hapa "moyo" ya husu mtu anaye leta sadaka.
Exodus 35:10-12
Maelezo ya Jumla
Musa anaendelea kuwaambia watu nini Mungu kawaamuru kufanya.
Kila mwanaume mwenye ustadi
"Kila mwanaume aliye na ustadi"
vifungo
Vifungo vinatoshea kwenye vishimo vyake kushikilia pazia pamoja.
sakafu
Hivi ni vitu vizito vinavyo kaa chini na kuwezesha visisogee.
kiti cha rehema
Hichi ni kiti kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya upatanisho yatolewa.
Exodus 35:13-16
Walileta
"Watu wa Israeli walileta"
mkate wa wonyesho
Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu.
kitunzi cha shaba
Hii ni fremu ya chuma za shaba za kushikilia mbao zinapo chomeka.
Exodus 35:17-19
vishikizo
Hizi zilikuwa pazia kubwa zilizo tengenezwa kwa kitambaa.
nguzo
Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa na kutumika kama vishikizo.
sakafu
Hizi zilikuwa tofali zenye shikizo ndani yake kushikilia mbao.
misumari ya hema
vipande vikali vya mbao au chuma vilivyo tumika kuhifadhi miisho ya hema kwenye ardhi.
Exodus 35:20-22
makabila yote ya Israeli
Hii ya husu watu katika makabila.
mtu moyo wake ulimchochea
Hapa "moyo" wa husu mtu. Moyo uliyo mjibu Mungu unazungumziwa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko.
aliye andaliwa na roho yake
Hapa "roho" ya husu mtu.
wote waliokuwa na moyo wa utayari
Hapa "moyo" wa husu mtu.
madini, hereni, pete, na vitu vya thamani
Hizi ni aina ya mikufu.
Exodus 35:23-24
Kila mmoja alikuwa na ... walivileta
Kwa 35:23 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:3
Exodus 35:25-26
buluu, dhambarau, au sufu nyekundu
Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu vilivyo tiwa buluu, zambarau, na sufu nyekund," 2) "buluu, zambarau na iliyo tiwa sufu nyekundu"
wenye mioyo iliyochochewa
Hapa "mioyo" ya husu wanawake. Mioyo ya wanawake iliyo mjibu Mungu inazungumziwa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko.
Exodus 35:27-29
Viongozi walileta
Kwa 35:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:1 na 25:3
ambao mioyo yao ilikuwa tayari
Hapa "moyo" wa husu Musa.
Exodus 35:30-33
Aliijaza Bezaleli kwa Roho yake
Roho wa Mungu aliye mpa Bezaleli uwezo wa kufanya kazi una ongelewa kama kama kitu kilicho mjaza Bezaleli.
ubunifu na ujenzi
Kwa 35:30-33 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno.
Exodus 35:34-35
Maelezo ya Jumla
Musa anaendelea kuongea na watu.
Aliiweka kufundisha ndani ya moyo wake
Hapa "moyo" wa husu Bezaleli. Uwezo wa kufundisha unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuwekwa kwenye moyo.
Aliwajaza kwa ustadi
Ustadi wa kutengeneza vitu vizuri unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinacho weza kumjaza mtu.
Oholiabu mwana wa Ahisamaki, kutoka kabila la Dani
"Oholiabu" na "Ahimasaki" ni majina ya wanaume.
mwerevu
mtu anaye kata michora kwenye vitu vigumu kama mbao, mawe, au chuma
washonaji
mtu anaye tengeneza nguo kutumia uzi
wabunifu wa sanaa
mtu anaye tengeneza uzuri kwa vifaa
Exodus 36
Exodus 36:1
Maelezo ya Jumla
Musa anaendelea kuongea na watu.
Bezaleli
Hili ni jina la mwanaume.
Oholiabu
Hili ni jinala mwanaume
ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo
Hapa ustadi na uwezo unaongelewa kana kwamba ni kitu Yahweh anacho weza kuweka ndani ya mtu
kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru
"kama Yahweh alivyo amuru"
Exodus 36:2-4
Bezaleli
Hili ni jinala mwanaume
Oholiabu
Hili ni jinala mwanaume
ambaye moyoni mwake ulichochewa
Hapa "moyo" una husu mtu. Moyo uliyo mjibu Mungu unaongelewa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko.
Exodus 36:5-7
Wachonga mawe walimwabia Musa ... aliyo tuamuru
Hii yaweza andikwa kama nukuu ya moja kwa moja.
Wachonga mawe walimwabia Musa
"Wanaume walikuwa wanafanya kazi ndani ya hekalu walimwambia Musa"
Exodus 36:8-10
Hivyo wachonga mawe ... akaviunganisha pamoja
Kwa 38:8-10 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno kwenye 26:1
mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri
Haya mapazia ni vipande vya nguo vilivyo shonwa na pomaja ili viweze kuunda ukuta au hema
Bezaleli
Hili ni jinala mwanaume
Exodus 36:11-13
Kisha akafanya vitanzi ... ikawa maskani moja
Kwa 36:11-13 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno haya 26:4
vitanzi vya uzi wa bluu
vitanzi vya vitambaa vya bluu
kitambaa
Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu.
Akafanya
Hapa "akafnya" ya husu Bezaleli, lakini ina husisha wanaume wanao fanya kazi hekaluni.
kulabu hamsini za dhahabu
"kulabu 50 za dhahabu"
Exodus 36:14-17
Bezaleli akafanya vitambaa ...
Kwa 36:14-17 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:7 na 26:10
kumi na moja ndivyo alivyofanyiza
"alifanya 11"
mikono thelathini
"mikono 30"
vitanzi hamsini
"vitanzi 50"
Exodus 36:18-19
Bezaleli akafanya ... upande wa juu
Kwa 36:18-19 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:10 na 26:12
kulabu hamsini za shaba
"kulabu 50 za shaba"
Exodus 36:20-23
Bezaleli akafanya ... kwa ajili ya upande kuelekea kusini
Kwa 36:20-23ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:15
mikono kumi ... mkono mmoja na nusu
"mikono 10" ... 1.5"
ndimi mbili zilizounganishwa
Ndimi ni kipande kidogo cha mbao kinacho tokeza mwisho wa mbao ilikuwa salama
Exodus 36:24-26
Bezaleli akafanya ...
Kwa 36:24-26ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:19
vikalio arobaini vya fedha
"vikalio 40 vya fedha"
viunzi ishirini
"viunzi 20"
Exodus 36:27-28
Na kwa ajili ya zile pande za nyuma ... ya maskani
Kwa 36:27-28 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:22
kuelekea magharibi
upande uliyo magharibi
kwenye pande zake mbili za nyuma
kwenye pande za nyuma ya maskani
Exodus 36:29-30
Hizi zilikuwa ...
Kwa 36:29-30 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:22
vikalio vyake kumi na sita
"vikalio vyake 16"
Exodus 36:31-34
Bezaleli akafanya
Kwa 36:31-34 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:26 na 26:29
magharibi
katika upande wa magharibi
mwisho mmoja mpaka ule mwingine
upande mmoja wa maskani kwenda mwingine
Exodus 36:35-36
Bezaleli akafanya ... vikalio vinne vya fedha
Kwa 36:35-36 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:31
Exodus 36:37-38
Naye akafanya ... vilikuwa vya shaba
Kwa 36:37-38 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:36
Naye akafanya
Hapa "naye" ya husu Bezaleli na wanao mfanyia kazi. "Bezaleli na wanaume wake wakafanya"
kisitiri
pazia
Exodus 37
Exodus 37:1-3
Bezalel
Hili lilikuwa jina la mwanaume.
Mikono miwili na nusu urefu
"mikono 2.5 ... mikono 1.5"
miguu yake minne
Hivi vipande viwili vya mbao vilivyo saidia sanduku vinazungumziwa kama ni mwanadamu au miguu ya mnyama.
Exodus 37:4-6
Maelezo ya Jumla
Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake.
Kisha akafanya ... Mikono miwili na nusu
Kwa 37:4-6ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:12 na 25:15
Kisha akafanya
Japo "akafanya" ya husu Bezaleli, "akafanya" yaweza husisha wafanya kazi wote waliyo msaidia.
Mikono miwili na nusu ... mkono mmoja na nusu
"mikono 2.5" ... mikono 1.5"
Exodus 37:7-9
Maelezo ya Jumla
Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake.
Bezaleli akafanya ...
Kwa 37:7-9 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:15 na 25:19
Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri
Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema.
Nyuso za makerubi hao zilielekea
Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema.
Exodus 37:10-13
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Bezaleli akafanya ... ile miguu minne
Kwa 37:10-13 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:23 na 25:25
Mikono miwili ... mkono mmoja ... mkono mmoja na nusu
"mikono 2" ... mkono 1 ... 1.5"
upana wa kiganja
Huu ulikuwa upana wa mkono wa mwanaume na vidole vimetanuliwa
ile miguu minne
Hivi vipande vinne vya mbao vilivyo saidia sanduku vinazungumziwa kana kwamba ni mwanadamu au miguu ya mnyama.
Exodus 37:14-16
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Pete hizo ... kutokana na dhahabu safi
Kwa 37:14-16 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:25 na 25:28
Pete hizo zilikuwa karibu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo
Ni mabakuli pekee na mitungi inayo tumika kumimina matoleo.
Exodus 37:17-19
Sentensi Unganishi
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Kisha akafanya ... yakitoka katika kile kinara cha taa
Kwa 37:17-19 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:31 na 25:33
na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
maua ya mlozi
Maua ya mlozi ni meupe yenye mashina matano yanayo ota kwenye huo mti.
Exodus 37:20-22
Na kwenye kile kinara cha taa ... cha dhahabu safi.
Kwa 37:20-22 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:33 na 25:35
kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 37:23-24
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Kisha akafanya ... talanta ya dhahabu safi
Kwa 37:23-24 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:37
vyetezo
Hichi ni kifaa kilicho tengenezwa kwa mifombo mbili au chuma iliyo unganishwa mwisho na kutumika kunyanyulia vitu.
talanta
"kilogramu 34"
Exodus 37:25-26
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Sasa akafanya ... wa dhahabu
Kwa 37:25-26 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 30:1 na 30:3
Mkono
Mkono ni sentimita 46.
Pembe zake zilitoka kwake
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 37:27-29
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu ...
Kwa 37:27-28 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 30:3 na 30:5
kazi ya mtengenezaji wa marhamu
Mmarhamu ana ujuzi katika kuchanganya viungo na mafuta.
Exodus 38
Exodus 38:1-3
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Naye akafanya ... Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba
Kwa 38:1-3 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:1 na 27:3
Mikono
Mkona mmoja ni sentimita 46
Pembe zake zilitoka kwake
Hii yaweza andikwa tensi tendaji.
Exodus 38:4-5
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Tena akaifanyia ... ile miti
Kwa 38:4-5 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:3 na 27:5
mtandao wa shaba
Hii yaweza tensi tendaji.
Exodus 38:6-7
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Exodus 38:8
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
beseni ya shaba na kinara chake cha shaba
Kinara kilisaidia beseni ya shaba.
Kwa kutumia vioo
Shaba ilitoka kwa vioo.
vioo
Kioo ni kipande cha chuma kilicho ng'arishwa au glasi inayo onyesha umbo.
Exodus 38:9-10
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
Naye akafanya ... na viungo vyake vilikuwa vya fedha
Kwa 38:9-10 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:9
mia moja ... ishirini
"100 ... 20"
Mikono
Mkono ni sentimita 46.
Exodus 38:11-12
Pia, kwa ajili ya upande wa kaskazini ... viungo vyake vilikuwa vya fedha
Kwa 38:11-12 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:11
mikono mia ... ishirini ... hamsini ... kumi
"100 ... 20 ... 50 ... 10"
Mikono
Mkono ni sentimita 46
Exodus 38:13-16
hamsini ... kumi na mitano ... tatu
"50 ... 15 ... 3"
Mikono
Mkono ni sentimita 46
Mapazia yote ya ua kuzunguka pande zote yalikuwa ya kitani
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 38:17-20
Navyo vikalio ... maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba
Kwa 38:17-20 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:14 na 27:17
Navyo vikalio vya nguzo vilikuwa vya shaba
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Vibanio vya vikalio na viungo vyake vilikuwa vya fedha
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kulikuwa na viungo vya shaba kwa ajili ya nguzo zote za ua
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
ishirini ... tano ... nne
"20 ... 5 ... 4"
Mikono
Mkono ni sentimita 46
utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 38:21-23
Sentensi Unganishi
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
vilivyohesabiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Ithamari
Hili ni jina la mwanaume.
Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru
"Bezaleli" na "Uri" ni majina ya wanaume.
Yahweh alikuwa amemwamuru Musa
"kila kitu Yahweh alicho kuwa amemuamuru Musa kufanya"
Oholiabu mwana wa Ahisamaki
"Oholiabu" na "Ahisamaki" ni majina ya wanaume.
Exodus 38:24-26
Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
alanta ishirini na tisa ... talanta mia moja
"talanta 29 ... talanta 100." Talanta ni kilogramu 34.
shekeli 730 ... shekeli 1,775
Shekeli ni gramu 11.
kulingana na shekeli ya mahali patakatifu
Ni wazi kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho. Hii ili eleza ipi kutumika.
Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
nusu shekeli
"1/2 shekeli"
miaka ishirini
"miaka 20"
Exodus 38:27-29
Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza
Talanta ni kilogramu 34.
mia moja ... sabini
"100 ... 70"
shekeli
Shekeli ni gramu 11
Bezaleli
Hili ni jina la mwanaume.
Exodus 38:30-31
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa.
kiunzi
Hii ni fremu ya chuma ya kushikilia mbao inapo chomwa.
Exodus 39
Exodus 39:1
Maelezo ya Jumla
Bezaleli na kundi lake wanaanza kutengeneza mavazi ya kikuhani.
wakafanya
Neno "wakafanya" lina husu Bezaleli, Oholiabu, na wafanya kazi wingine.
kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa
"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"
Exodus 39:2-3
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Bezaleli
Hili ni jina la mwanaume.
Exodus 39:4-5
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
ulikuwa wa kitambaa kilekile, kitani bora kilichosokotwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa
"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"
Exodus 39:6-7
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
muhuri
Hili lilikuwa jiwe lilochorwa ambalo lilitumika kutia alama ya mchoro kwenye kitambaa kibichi.
kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa
"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"
Exodus 39:8-9
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Kisha akafanya
"Bezaleli akafanya" au "Bezaleli na wafanya kazi wakafanya"
shubiri
Shubiir ni sentimita 23.
Exodus 39:10-13
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Kisha wakakijaza
"Wafanya kazi wakaweka kwenye mshipi"
zabarijadi ... yaspi
Baadhi ya lugha zinaweza zisiwe na maneno ya baadhi ya haya mawe. Kitu cha muhimu ni kwamba yalikuwa na dhamani na yalitofautiana.
Yaliwekwa katika mapambo ya dhahabu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 39:14-16
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Na mawe hayo yalikuwa kulingana
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 39:17-18
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
kamba mbili
"kamba zilizo tengenezwa kwa dhahabu safi na kusokotwa kama waya"
Exodus 39:19-20
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
mshipi
Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu.
Exodus 39:21
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
ili kipate kuwa juu ya
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
kifuko cha kifuani kisiondoke juu ya efodi
"kifuko cha kifuani kitabaki kwenye efodi"
Exodus 39:22-24
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Bezaleli
Hili ni jina la mwanaume.
Exodus 39:25-26
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
kengele za dhahabu safi
Hizi zilikuwa kengele ndogo.
kengele na komamanga, kengele na komamanga
Hivi ndivyo mfumo una paswa kurudiwa chini ya pindo la joho.
Exodus 39:27-29
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
Kisha wakafanya ... amemwamuru Musa
Kwa 39:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 28:39 na 28:40 na 28:42
kilemba
Hichi ni kifuniko cha kichwa kinacho valiwa na wanaume kilicho tengenezwa na mistari mirefu ya kitambaa.
ukumbuu
Hichi ni kitambaa kirefu kinacho valiwa mabegani au kufungwa kiunoni.
Exodus 39:30-31
Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
ishara takatifu
Hichi kilikuwa ni taji lilo wafanya kwa dhahabu safi.
Exodus 39:32-35
Maelezo ya Jumla
Waisraeli wana maliza kufanya vitu Yahweh alivyo waamuru katika 35:4 na 35:10
Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake. Kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote
"Maskani" na "hema la kukutani" ni kitu kimoja. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
viunzi
Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja.
Exodus 39:36-39
Maelezo ya Jumla
Bezaleli na kundi lake wanaendelea kuonyesha yote waliyo mtengenezea Musa.
mkate wa wonyesho
Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu.
kiunzi
Hii ni fremu ya chuma iliyo shikilia mbao wakati inapo waka.
Exodus 39:40-41
Maelezo ya Jumla
Bezaleli na kundi lake wanaendelea kuonyesha yote waliyo mtengenezea Musa.
Wakaleta
"Watu wa Israeli wakaleta"
maskani, kwa ajili ya hema ya kukutania
Hii ina maana ya kitu kimoja.
Exodus 39:42-43
Kulingana na yote
"Na kisha watu"
tazama
Neno "tazama" hapa linaleta umakini wa maelezo yanayo fuata.
kama vile Yahweh alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya.
Walifanya kama Yahweh alivyo waamuru"
Exodus 40
Exodus 40:1-2
Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka
Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi.
Exodus 40:3-4
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye.
Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake
"weka sanduku la amri za agano katika kitunzi takatifu"
utaziba sanduku kwa pazia
"weka sanduku nyuma ya pazia"
Exodus 40:5-7
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye.
sanduku la ushuhuda
Hii ya husu "kitunzi takatifu"
Exodus 40:8-11
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye.
samani zake
"vitu vyote ambavyo ni sehemu yake"
Exodus 40:12-13
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
Umlete
Musa atafanya hivi vitu mwenyewe.
yaliyo tengwa kwa ajili yangu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Exodus 40:14-16
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa
vizazi vyote vya watu wao
"katika vizazi vyote vya uzao wao"
Exodus 40:17-20
Hivyo hema la kukutania liliandaliwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
siku ya kwanza ya mwezi
Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi.
mwaka wa pili
Huu ni mwaka wa pili Yahweh alipo watoa watu wake Misri.
Musa alianda
Musa alikuwa kiongozi. Watu walisaidia kuandaa maskani.
nguzo
kipande kigumu cha mbao kilicho nyooshwa wima kusaidia
Exodus 40:21-23
Aliichukuwa
Musa alikuwa kiongozi. Alikuwa na wafanya kazi wakimsaidia
ili lizibe
"mbele ya"
Exodus 40:24-25
Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania
Musa aliwaelekeza kusogeza kinara. Hii yaweza andikwa kwa wazi katika tafsiri.
Exodus 40:26-30
mbele ya pazia
Hili pazia lilitenganisha sehemu takatifu kutoka sehemu takatifu sana. Hii yaweza andikwa wazi katika tafsiri.
Exodus 40:31-33
waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni
Waliosha na maji kutoka kwenye beseni.
Katika hili
"Na kisha"
Exodus 40:34-35
tukufu wa Yahweh ukafunika
"Uwepo mzuri wa Yahweh ukafunika"
Exodus 40:36-38
lilipo chukuliwa juu kutoka
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
lilipo nyanyuliwa juu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.