Ezra
Ezra 1
Ezra 1:1-2
mwaka wa kwanza
inarejea mwaka wa kwanza wa kutawala mfalme Koreshi
Yahwe
Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika agano la kale. Angalia neno la tafsiri kwenye ukurasa unaouhusu Yahwe kuhusiana na jinsi ya kutafsiri.
Yahwe akatimiza neno lake
"Yahwe akafanya kile alichokisema kuwa atakifanya"
ambalo lilikuja kwa kusemwa na Yeremia
Ambacho Yeremia alikiandika au kukiongea kuhusu.
Yahwe..... kuinua roho ya Koreshi
Kuinua roho ni msemo wa kumfanya mtu atake kutenda "Yahwe .....akamfanya Koreshi atake kutenda"
Sauti ya Koreshi ikasambaa kote kwenye ufalme wake
Sauti ni aina msemo wa ujumbe sauti inaongea, na ufalme ni msemo kwa watu ambao mfalme anawaongoza. AT: "Koreshi akatuma ujumbe kwa kila mmoja ambao anawaongoza"
Kitu gani kiliandikwa na kuongelewa
Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai. Itakuwa vizuri kutafsiri ili kwamba wasomaji waelewe kwamba watu wengine walimsaidia Koreshi kupata ujumbe kwa watu ambao anawaongoza. AT:"Kile alichokiandika Koreshi na kile wajumbe wake walikisoma ili watu waweze kuwasikia wao"
Ufalme wote wa dunia
Hii ni kukiuka, kana kwamba kulikuwa na ufalme ambao Koreshi alikuwa hauongozi
kwa yeye nyumba katika..... Yuda
Ungependa kufanya........... kwamba nyumba ilikuwa kwa ajili ya watu kumwabudu Yahwe. AT:"nyumba katika....... Yuda ambapo watu wanaweza kumwabudu yeye"
Ezra 1:3-4
watu wake
watu walio katika umiliki wa Yahwe
waliosalia katika nchi........ walipaswa kuwapa wao
Wale waisraeli waliochagua kubaki pale walipo walipaswa kuwasaidia wale waliochagua kwenda Yerusalem kimwili na kiuchumi.
Ezra 1:5-6
kazi zao
Hii inarejea kazi ya watu katika mstari uliopita iliyohimizwa na Mungu.
kila mmoja ambaye roho wa Mungu alimwinua kwenda
Kuinua Roho ni msemo kwa kumfamya mtu atake kufanya. AT: "kila mmoja ambaye Mungu alimfanya aweze kwenda"
Ezra 1:7-8
Mithredathi......... Sheshbaza
Haya ni majina ya wanaume
akaviweka katika mikono ya Mithredathi mtunza fedha
Kuweka kitu katika mikono ya mtu ni fumbo la kumruhusu mtu kufanya kile anachotaka kwa kitu ulichompa. Hapa wasomaji waelewe kwamba Koreshi alitegemea Methredathi kufanya ambacho Koreshi alimtaka akifanye.AT:"kumweka Methredathi mtunza fedha kiongozi wao" au "kumweka Methredathi mtunza fedha kuwajibika kwa ajili yao"
mtunza fedha
kiongozi mhusika wa fedha
akavitoa na kuvihesabu kwa Sheshbaza
kuhakikisha kwamba Sheshbaza anafahamu kwa uhakika vitu vyote vilivyo
Ezra 1:9-11
Taarifa kwa ujumla
Hii ni orodha ya idadi ya vitu
Therasini ....... moja elfu....... ishirini -tisa
tisa** - "30..... 1,000.... 29"
beseni......mabakuli
vyombo vilivyotumika kutunzia maji ya kunawia
5,400 dhahabu na vitu vya fedha vyote
jumla ya idadi ya vitu vilivyorudi Yerusalem kutoka Babeli, vimeorodheshwa hapo juu kwa kutenganishwa.
Ezra 2
Ezra 2:1-2
Taarifa kwa ujumla
Hii ni mwanzo wa orodha ya majina ya watu waliorudi kutoka mateka
kwenda
Hii ni idom ambayo inarejea kutembea kuelekea Yerusalem. AT:"kurudi" au "kurudi tena"
Seraya,Reelaya,Mordekai,Bilshani,Mispari,Bigwai,Rehumu na Baana
Haya ni majina ya wanaume
Ezra 2:3-6
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu waliorudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kundi
Paloshi..... Shefatia..... Ara.....PathMoabu...... Yeshua
Haya ni majina ya wanaume
Ezra 2:7-10
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi
Zatu....Zakai......Binui
Haya ni majina ya wanaume
Ezra 2:11-14
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi
Bebai.....Azgadi......Adonikamu
Haya ni majina ya wanaume
Bigwai
jina la mtu tafsiri kama ulivyofanya katika 2:1
Ezra 2:15-18
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi
Adini....Ateri........Besai
Haya ni majina ya wanaume
tisini-nane
nane** "98"
Ezra 2:19-22
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi
Hashimu.....Gibeoni
Haya ni majina ya wanaume
tisini-tano.......hamsini-sita
tano........hamsini-sita** - "95......56"
Wanaume wa Bethlehemu
Hii inaanza orodha ya idadi ya watu ambao watangulizi wao waliishi katika mji wa Yuda
Netofa
Hii ni jina la mji katika Yuda
Ezra 2:23-26
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi ambao watagulizi walikuja kutoka sehemu zilizo orozeshwa
Anathothi.....Azmawethi....Kiriath- Yearimu....Kefira.......Beeerothi......Geba
majina ya maeneo
arobaini - mbili
mbili** - "42"
Ezra 2:27-30
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea pamoja na idadi ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi ambao watangulizi walikuja kutoka sehemu zilizoorodheshwa.
Mikmashi.....Nebo..Magbishi
majina ya maeneo
hamsini-mbili
mbili** - "52"
Ezra 2:31-33
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na orodha ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi katika kila kikundi ambacho watangulizi walikuja kutoka maeneo yaliyo orodheshwa
Harimu.....Lodi......Hadidi........Ono
majina ya maeneo
Ezra 2:34-35
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea pamoja na idadi ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja idadi katika kila kikundi ambao watangulizi walikuja kutoka maeneo yaliyo orodheshwa
Senaa
majina ya maeneo
Ezra 2:36-39
Taarifa kwa ujumla
Sehemu hii inaorodhesha majina ya makuhani ambao wana wao walirudi kutoka matekani pamoja na idadi ya kila kikundi.
Yedaya.....Imeri.......Pashuri......Harimu
majina ya wanaume
Yeshua
jina la mtu
Harimu
Harimu 2:31 ni jina la eneo, lakini hapa "Harimu" ni jina la mtu
Ezra 2:40-42
Taarifa kwa ujumla
Hii sehemu inaonyesha idadi ya majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi
Kadmiel...Hodavia...Shalumu...Talmoni,Akubu,Hatita, na Shobai
majina ya wanaume
Sabini na nne
nne** "74"
walinzi
wale wahusika ambao huenda kupitia geti la Hekalu
Ateri
jina la mtu
Ezra 2:43-46
Taarifa kwa ujumla
Hii sehemu inaendelea kuoorodhesha majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka .
Siha,Hasufa,Tabothi,Keros,Siaha,Padoni,Hagaba...Hagaba,Salmai, na Hanani
majina ya wanaume
Akubu
Tafsiri kama ilivyo katika 2:40
Ezra 2:47-50
Taarifa kwa ujumla
Hii sehemu inaendelea kuorodhesha majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka. Haya ni majina yote ya wanaume
Ezra 2:51-54
Taarifa kwa ujumla
Hii sehemu inaendelea kuorodhesha majina ya walawi ambao walirudi kutoka mateka.Haya ni majina yote ya wanaume
Ezra 2:55-58
Taarifa kwa ujumla
Hii sehemu inaendelea kuoorodhesha majina ya Walawi ambao wana wao walirudi kutoka mateka
walikuwa wapatao 392 jumla ya wana
Hii ni idadi ya watu wote katika hili kundi ambao walirudi kutoka mateka
Ezra 2:59-60
Taarifa kwa ujumla
Hii ni orodha ya watu ambao walirudi Israeli kutoka baadhi ya miji ya Babeli lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao.
Tel-mela,Tel charsha,Kerubu,Adani,na Imeri
ni maeneo katika Babeli ambayo hayapo kwa sasa.
Delaya,Tobia, na Nekoda
majina ya wanaume
Ezra 2:61-63
Habaya....Hakosi....Barzilai
majina ya wanaume
kumbukumbu ya kizazi chao
kumbukumbu ambayo ilielezea watangulizi walivyokuwa
hawakuweza kupatikana
"hawakuweza kuyaona majina yao katika kumbukumbu ya makuhani"
waliweza kutolewa kutoka kwa makuhani kama wasiosafi
Hii inaweza kutafsiliwa katika mfumo hai. Majina "Ukuhani" linaweza kutafsiliwa kama kitenzi "kazi kama ya kuhani." AT: makuhani wengine waliwachukulia wao kama wasio safi hawakuwaruhusu kufanya kazi kama makuhani"
wasiosafi
kutokuwa sawa kuwa kuhani
Urimu na Thumimu
vitu viwili kama dai ambavyo kuhani alivitumia kuamua kitu gani ambacho Mungu anataka wao wakifanye
Ezra 2:64-65
kundi lote
kundi lote ambalo lilirudi tena kwenye ardhi ya Yuda kutoka mateka
wasaidizi wao
"watumishi wao wa kike"
mia mbili
"200"
Ezra 2:66-67
Taarifa kwa ujumla
Hii ni orodha ya wanyama pamoja na idadi ya kila aina ambao walirudi pamoja na watu kutoka mateka.
Ezra 2:68-69
sitini-moja elfu...elfu tano...elfu moja
elfu moja...elfu tano...mia moja** "61,000...5,000...100"
dhahabu za darkoni
"darkoni" ilikuwa ni salafu ndogo ya dhahabu iliyotumika katika utawala wa uajemi
mane
Mane ni kipimo cha uzito. mane moja ni sawa na gramu 550. mane kawaida ilihusishwa na vipimo vya fedha.
mavazi
mavazi yaliyovaliwa juu ya ngozi
Ezra 2:70
watu wote katika Israeli walikuwa katika miji yao
Kila mmoja alirudi tena kwenye mji wa nyumbani Yuda. Si kila mmoja alikaa katika Yerusalem.
Ezra 3
Ezra 3:1-2
mwezi wa saba
huu ni mwezi wa saba katika kalenda ya kiebrania.Ni kipindi cha mwisho cha kiangazi na mwanzoni mwa nyakati za mvua. Ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa tisa na kipindi cha mwanzo wa mwezi wa kumi kwa kalenda ya watu wa magharibi.
kama mtu mmoja
mtu mmoja yuko katika sehemu moja na ana kusudi moja. AT: "kwa kusudi moja"
Yeshua
Hili ni jina la mtu.Litafsiri kama katika 2:36
Sheatieli
Hili ni jina la mtu.
kuinuka na kujenga
Kuinuka juu ni msemo wa kuanza kutenda. AT: "kuanza kutenda na kujenga"
kama ilivyoamliwa katika sheria ya Musa
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. Unatakiwa kufanya kile ambacho Yahwe alikiagiza. AT: "kama vile Yahwe alivyoagiza wao wafanye kama vile sheria ya Musa"
Ezra 3:3-5
wakaanzisha nadhabahu juu ya msingi
"wakaunganisha madhabahu juu ya nguzo" au "wakaweka madhabahu juu ya nguzo ili ibaki pale"
hofu waliokuwa nayo
huu ni msemo. AT"walikuwa na woga sana"
kwa sababu ya watu wa nchi
Unapaswa kufanya uchunguzi kitu gani kiliwahusu watu wa nchi ambacho kiliwafanya wayahudi kuogopa. AT: "kwa sababu walifikiri watu nchi walitaka kuwavamia wao"
walitoa sadaka ya kuteketezwa kwa yahwe asubuhi na jioni
kitu cha kwanza walichokifanya watu ni kuanza kutoa sadaka ya kujitoa. Hii ilikuwa kabla ya Hekalu kujengwa.
siku kuu ya vibanda
Hii ilikuwa ni sherehe ambayo ilisheherekewa kwa siku nane katika kipindi cha mwezi wa saba wa kalenda ya kiebrania. ilikuwa ikihusiana na kipindi cha kutika wakati Waisraeli wakiiishi katika mahema.
Ezra 3:6-7
siku ya kwanza ya mwezi wa saba
Huu ni mwezi wa saba kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza ilikaribia katikati ya mwezi wa tisa kwa kalenda ya watu wa magharibi.
hekalu lilikuwa bado halijapatikana
Wayahudi walianza kusherehekea kwa ibada hata kabla hawajaanza kujenga hekalu. AT:"walikuwa bado hawajaanza msingi kwa ajili ya hekalu"
kama walivyoamriwa wao kwa Koreshi mfalme wa Uajemi
Barua ilitumwa na Koreshi kuwapa wayahudi ruhusa ya kununua vifaa na kujenga hekalu.
Ezra 3:8-9
mwezi wa pili
Huu ni mwezi wa pili kwa kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha kiangazi wakati watu wanavuna mazao. Ni kipindi cha mwisho mwezi wa nne na sehemu ya kwanza kwa mwezi wa tano kwa kalenda ya magharibi.
mwaka wa pili
Hii ilikuwa ni kipindi cha mwaka ambacho baadae walirudi
kwa nyumba ya Mungu
Unapaswa kufanya uchunguzi kwamba kulikuwa hakuna nyumba ya mungu iliyokuwepo wakati wanafika.AT:"ni wapi nyumba ya Mungu ilisimamishwa" au "ni wapi walipotaka kujenga nyumba ya Mungu"
Yeshua...Yosadaki...Henadadi
Haya ni majina ya wanaume
miaka ishirini
"20 miaka"
Kadmiel
Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:40
Ezra 3:10-11
kuweka msingi
"msingi" kwa mantiki hiyo ilikuwa zaidi si matofali ya mawe kwa ajili ya kusaidia ukuta wa hekalu. Ilijumuisha sakafu yote ya hekalu iliwekewa mawe. Hii iliwawezesha wanaosifu hekaluni kuvaa mavazi lasmi na yaliwaweka kuwasafi.
nguo zao
"mavazi yao maaalum"
mkono wa Daudi... uliagiza
Mkono wa mfalme ni picha ya kumpa nguvu kutoa amri. AT:"kama Daudi alivyoagiza"
Shukrani
Hisia na kujisikia kupongeza kwa ajili ya ukarimu wa mwingine.
Ezra 3:12-13
nyumba ya kwanza
Hii inarejea hekalu la kwanza ambalo Selemani alijenga, nyumba ya Mungu.
mbele ya macho yao
Macho yanawakilisha kuona.AT:"katika kuona kwao" au "na walitazama"
kulia kwa sauti
Hii inaonyesha hisia ya uzuni ikiambatana na machozi na sauti ya kulia.
Ezra 4
Ezra 4:1-2
Taarifa kwa ujumla
Watu wasio wayahudi kujitoa kusaidia kujenga hekalu
wale waliokuwa kifungoni
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"wale ambao wababeli waliwachukua kifungoni"
Esar-hadoni,mfalme wa Ashuru
Alitawala Ashuru kabla ya Koreshi kutawala katika Uajemi
Zerubabeli
Jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:1
Esar-hadoni, mfalme wa Ashuru
Alitawala katika Ashuru kabla ya Koreshi kutawala Uajemi.
Ezra 4:3
Yoshua
Jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:3
Sio wewe, lakini sisindio lazima tujenge
Maana yake inaweza kuwa 1)viongozi wa kiyahudi walifikiri kwamba Koreshi aliwaamuru wao peke yao kujenga hekalu au 2) ujenzi wa hekalu ilikuwa ni kazi iliyowatenga wayahudi na wasio wayahudi ndio watakaoruhusiwa kuchanga kwa ajili ya kazi.
Ezra 4:4-6
watu katika nchi
"watu ambao walikuwa wakiishi katika nchi wakati ule" ambao ilihusisha wasio wayahudi na wayahundi ambao jamii haikuchukuliwa na Wababeli kifungoni
wakaifanya mikono ya wayahudi kudhoofika
wakawavunja nguvu wayahudi
Wayahudi
watu waliorudi kutoka Babeli na wakaweka makazi katika nchi ya Yuda
kuvuruga mipango yao
"ili kutimiza hilo wayahudi hawakujenga hekalu kama walivyokuwa wamepanga.
waliandika mashitaka dhidi ya wenyeji wa Yuda na Yerusalem
jina "mashitaka" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kushitaki" na kitendo "kuishi ndani" kuheshimika. Inakupasa kufanya uchunguzi kitu gani ambacho maadui waliwashitaki wayahudi kwa walichokifanya. AT: "waliandika barua ambayo waliwashitaki wale walioishi Yudana Yerusalem kwa kutomtii mfalme"
Ezra 4:7-8
Bishlamu.....Mithredathi...Tabeeli.....Shimshai
majina ya wanaume
Barua
Hii ni barua iliyoongelewa katika $:4
Kiaramu
lugha iliyokuwa inatumika katika eneo hilo kwa wakati ule maalum kwa biashara
na kutafsiriwa
katika Uajemi
Rehumu
jina la mwanaume tafsiriwa kama katika
Ezra 4:9-10
Waelemi.....Asur
majina ya miji
Elamu
jina la mji mkubwa katika nchi
Asurbanipal
Hili ni jina la mtu
Jimbo ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Flati
Ezra 4:11-12
Hii ni nakala
Ezra alijumuisha katika maandishi yake ujumbe wa barua kutuma kwa mfalme Artashasta
mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambalo lilikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9
mji wa uasi
Mji ni kwa watu wanaoishi hapo. AT:"mji ambao walipanga kuishi na kuwapinga ninyi"
wamekarabati msingi
"kukamilisha msingi" au "kurekebisha msingi"
Ezra 4:13
ikiwa mji utajengwa na ukuta utakamilika
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Ikiwa watajenga mji na kukamilisha ukuta"
lakini watawadhuru wafalme
Neno "kudhuru" linamaanisha kwa wayahudi kutoendelea kutoa fedha kwa wafalme.
Ezra 4:14-16
tumekula chumvi ya Ikulu
Maana inayowezekana ni kwamab 1)mwandishi kuwa mtiifu kwa mfalme au 2)mfalme kumpa mwandishi heshima maalum. AT:"sisi ni watiifu kwako" au "umetuheshimu sisi kwa kutufanya kuwa maofisa wako"
mji wa uhalibifu
Mji ni kwa watu ambao wanaishi ndani yake.AT:"mji wanaoishi watu waliopingana dhidi ya baba yako"
mji uliharibiwa
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai, ambapo itakulazimu kutaka kujua nani ambaye akiharibu mji. AT:"Wababeli waliharibu mji"
ikiwa mji huu na ukuta utajengwa
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Ikiwa watajenga mji na ukuta" maneno haya yameonekana katika 4:13
hakuna kitakachokua kimebakia kwa ajili yako
Hii ni kumchanganya na kumfanya mfalme kufikiri kwamba hatakosa fedha nyingi za kodi iwapo wayahudi watampinga.
Mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambalo lilikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:(
Ezra 4:17-19
Mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto Efrati. ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9
Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai ambapo utatakiwa kufanya utafiti nani aliyetafsiri na kusoma barua kwa mfalme. AT:"Ninaye mtumishi kutafsiri na kusoma barua ambayo ulituma kwangu"
Rehumu
jina la mtu tafsiri kama katika 2:1
Shimshai
jina la mtu. Tafsiri kama katika 4:7
Mto
mto Efrati
Ezra 4:20-22
Mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambalo liko magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9
Ada na kodi walilipwa wao
hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:'Watu katika Yerusalem walilipa ada na kodi kwa wale wafalme" au "Wale wafalme waliweza kukusanya ada na kodi"
kuweka agizo
"kuweka amri"
Uwe mwangalifu usipuuze hili
"Uwe mwangalifu kufanya hili"
Kwa nini kuruhusu tishio hili kuongezeka na kusababisha hasara kwa matakwa ya mfalme?
Artashasta alitumia swali kuwaambia wao kwamba anafahamu ya kuwa atapoteza kodi na heshima ikiwa mji utajengwa. AT:"Unapaswa kuhakikisha kwamba hili tishio halikuhi na kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme"
tishio kukua
Hatari imeongelewa kana kwamba ulikuwa mmea ambao ungekuwa na kuongezeka kwa kimo. AT:"hatari ya kuja kuwa balaa"
kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme
neno "matakwa ya ufalme" ni msemo kwa mfalme mwenyewe. AT:"kusababisha mabaya mengi kutokea kwa mfalme"
Ezra 4:23-24
Amri ya mfalme Artashasta ilisomwa
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. ambapo utakiwa kufanya utafiti nani alisoma amri kutoka kwa mfalme kwa maofisa. AT:"Wajumbe kutoka kwa mfalme Artashasta walisoma amri"
Rehumu
Tafsiri kama katika
Shimshai
Tafsiri kama katika
kazi ya nyumba ya Mungu ikasitishwa Yerusalem mpaka kutawala mara ya oili kwa mfalme Dario
Huu uchelewaji ulikoma takribani miaka 16
Ezra 5
Ezra 5:1-2
Ido...Yoshua ...Yosadaki
majina ya wanaume
Sheatieli
jina la mtu.Kama ilivyotafsiriwa
kujenga nyumba ya Mungu
Hili lilikuwa hekalu la mungu.
Ezra 5:3-5
Tatenai...Shethar-Bozenai
majina ya wanaume
mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambalo ilikuwa magharibi ya mto efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto katika mji wa Susa. Angalia kama ulivyotafsiri katika 4:9
Ezra 5:6-7
Hii ni nakala ya barua
Ezra anahusisha ujumbe wa barua kwa mfalme Dario kuhusiana na kazi ya hekalu.
mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambalo ulikuwa magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto katika mji wa Susa. Angalia kama ilivyotafsiriwa katika 4:9
Ezra 5:8-10
Taarifa kwa ujumla
Barua kutoka kwa Tatenai kwenda kwa mfalme ambayo imeanza katika 5:6
mbao
ubao kwa ajili ya kujengea
nani aliyewapa waraka
"nani aliyewapa ruhusa"
Ezra 5:11
Taarifa kwa ujumla
Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambaye alianza katika 5:6 inaendelea
Sisi tu watumishi wa mmoja
Maana yake inawezekana ikiwa 1)walikuwa wakiwaita wayahudi watu wa Mungu au 2) wale waliokuwa wakijibu walikuwa wakitokea kabila la Lawi na Haruni, ambao ndio walikuwa wakiwajibika hekaluni kwa kuabudu na kutoa sadaka.
ambalo lilikuwa limejengwa miaka mingi iliyopita wakati ambapo mfalme mkuuu wa Israeli alipoujenga na kukamilisha hilo.
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"ambapo mfalme mkuu wa Israeli aliujenga na kusambaza vifaa vyote kwa "
Ezra 5:12-13
Taarifa kwa ujumla
Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia kuanzia katika 5:11
kumchukiza Mungu wa mbinguni
"kumfanya Mungu wa mbinguni kuwa mkali kwetu sisi"
aawatia katika mikono ya mfalme Nebukadineza wa Babeli, ambaye alivunja nyumba na kuwachukua watu
Mkono ni mfano wa nguvu au kuongoza. Pia, "kuruhusu Nebukadineza mfalme wa Babeli na jeshi lake kuvunja hii nyumba na kuwachukua watu"
Ezra 5:14-15
Taarifa kwa ujumla
Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalmeambayo ilianza katika 5:6 inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia yeye mwanzoni katika 5:11
Sheshbaza
Tafsiri kama katika
Yeye akavitunza vile
Mfalme Koreshi akavirudisha vitu vya hekalu
Na nyumba ya Mungu iweze kujengwa
Hii inaweza ktafsiriwa katika mfumo hai. AT:"ninataka wayahudi wajenge nyumba ya Mungu"
Ezra 5:16
Taarifa kwa ujumla
Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambayo ilianza katika 5:6 inaendelea. Tetai inaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi wamemwambia yeye mwanzoni katika 5:11
imeshajengwa, lakini bado haijakamilika
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"watu sasa wanajenga, lakini bado hajakamilisha kazi yote"
kujengwa
kujenga
Ezra 5:17
Taarifa kwa ujumla
Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambayo inaanza katika 5:6 inaendelea. Tetai amemaliza kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi wamemwambia yeye na sasa anamwuliza mfalme kuona kwamba kile wayahudi wamemwambia yeye ni kweli.
ikiwa hukumu ya mfalme Koreshi iko pale
"ikiwa kuna kumbukumbu kule ambapo mfalme Koreshi alitoa amri"
Ezra 6
Ezra 6:1-2
akaamuru uchunguzi ufanyike
Neno "uchunguzi" inaweza kuelezeka pamoja na kitenzi "kuchunguza" au "kutafuta"AT:"aliamuru maofisa wake kutafuta"
aliamuru uchunguzi
Waliambiwa kuchunguza nini inaelezwa wazi.AT:aliagiza maofisa wake kuchunguza kumbukumbu" au "aliamuru maofisa kutafuta na kujua kama kuna kumbukumbu ya mfalme Koreshi inayosema wayahudi kujenga nyumba ya Mungu katika Yerusalem"
nyumba ya kumbukumbu
Hii ni nyumba ambayo mfalme alitunza kumbukumbu muhimu za kiserikali.
Akmetha
Hili ni jina la mji
chuo kilionekana
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"waliona chuo" au "waliona chuo ambacho kinaeleza kuhusu Dario na Yerusalem"
Ezra 6:3-5
Taarifa kwa ujumla
Hii inaanza na kumbukumbu Mfalme Koreshi akiamuru kwamba wayahudi wajenge hekalu la Mungu katika Yerusalem.
Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi
Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa kwanza wa kutawala. AT:"Katika mwaka 1 wa kutawala Mfalme Koreshi"
Na nyumba iweze kujengwa
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Na wayahudi wajenge nyumba" au "Wayahudi lazima wajenge nyumba"
upana sitini
"60 upana" unaweza kuibadilisha kwa vipimo vya kisasa" AT:mita ishirini na saba"
sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu ya mbao
Maana inayowezekana ni 1) hii inaonyesha jinsi ya kujenga msingi. AT:"Ijengwe katika sehemu tatu za mawe makubwa ikizungukwa na sehemu za mbao" au 2) hii inaonyesha jinsi ya kujenga ukuta. AT:"Kujenga kuta zake kwa sehemu tatu zikiwa na mawe makubwa pamoja na sehemu moja inayozunguka ya miti"
Na gharama zilipwe na nyumba ya mfalme
Msemo"nyumba ya mfalme" inamaanisha mali za mfalme Koreshi katika hazina ya ikulu. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT: "Nitalipa fedha hizo kutoka katika mfuko wa hazina"
Ezra 6:6-7
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendeleza kumbukumbu za mfalme Koreshi kuagiza wayahudi kujenga hekalu la mungu katika Yerusalem, ambayo ilianza katika 6:3.
Tetanai...Shethar Bozenai
Dario anaandika mja kwa moja kwa huyu mtu. Tafsiri majina yao kama katika 5:3
mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto eflati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa.
Ezra 6:8-10
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendeleza kumbukumbu za Mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambapo kilianza katika 6:3
Mchango kutoka kwa mfalme ngambo ya mto utatumika katika kuwalipa hawa wanaume.
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT:"Kutumia mfuko kutoka kwa mfalme ngambo ya mto utalipa hawa wanaume"
Mfuko kutoka hazina ya mfalme ngambo ya mto
"Hazina ya mfalme" inaamanisha kodi wanazolipa watu kwa mfalme. AT:"Pesa ktoka kwenye kodi ambazo mfalme anakusanya kutoka kwa watu ngambo ya mto"
Chochote kinachohitajika
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"chochote wanachohitaji"
Ezra 6:11-12
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendelea na kumbukumbu ya mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambalo lilianza katika 6:3
nguzo lazima itolewe katika nyumba yake na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa katika takataka.
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Niliagiza maofisa wangu kutolewa vyuma katika nyumba na iwekwe juu yake. Na baadaye itabadilishwa nyumba kuwa katika takataka"
nguzo
kipande kirefu cha mbao, kinachosaidia paa la nyumba
ambaye amenyosha mkono kubadilisha... au kuharibu
Kunyoosha mkono inamaanisha kujaribu kufanya kitu fulani. AT:"ambaye anajaribu kubadilisha... au kuharibu"anayetaka kubadili au kuharibu"
kubadilisha hili agizo
neno "agizo" linaweza kuelezwa hivi "kitu gani nilichoagiza" AT:"kubadili kitu nilichoagiza" au "kusema kwamba nimeagiza kitu kingine kabisa"
Ezra 6:13-15
Tatenai...Sheshthar-Bozenai
Tafsiri majina ya hawa wanaume kama ulivyofanya katika 5:3
Nyumba ikawa imekamilika
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. Unatakiwa kuweka maelezo nyumba ipi iliyokamilika. AT:"Walikamilisha nyumba ya Mungu" au "Walimaliza kujenga hekalu"
siku ya tatu ya mwezi wa adari
"adari" ni jina la kumi na mbili na mwezi wa mwisho katika kalenda ya kiebrania. Ni kipindi cha majira ya baridi. Siku ya tatu ni karibu ya katikati ya mwezi wa pili wa kalenda ya magharibi.
mwaka wa sita
Mfalme dario amekuwa akiongoza kwa miaka mitano, hivyo sasa katika mwaka wa sita wa kutawala kwake.
Ezra 6:16-18
waliobaki wa uamisho
Hawa watu wameshikwa na kupelekwa Babeli. lakini walirudi Yerusalem. AT:"baadhi ya watu waliochukuliwa mateka kwenda Babeli na waliorudi yerusalem" au "baadhi ya watu waliorudi kutoka matekani"
ngombe mia moja...kondoo mia nne
"100 ngombe...400 kondoo
kuwapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo
jina "mgawanyo wa kazi" unaweza kuelezewa katika msemo "kugawanya kazi katika vikundi" AT: "kugawanya makuhani na walawi katika vikundi vya kazi"
mgawanyo wa kazi
"vikundi ambavyo vinafanya kazi pamoja"
Ezra 6:19-20
siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne ni karibu ya mwanzo wa mwezi wa nne kwa kalenda ya magharibi
wakajitakasa wenyewe
"wakajiweka kuwa safi wenyewe" kuwa safi inaonyesha kukubaliwa na Mungu. AT:"wakajiweka kukubalika kwa Mungu"
Ezra 6:21-22
wakajitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi
Kujitenga wenyewe kutoka kwa wasio safi inaonyesha kukataa kufanya vitu ambavyo mtu kutokuwa safi. AT:"Kukataa kufanya vitu ambavyo watu wa nchi wakifanya huwafanya wao kutokuwa safi"
kutokuwa safi kwa watu wa nchi
Hapa"kutokuwa safi" inawakilisha kutokukubaliwa na Mungu. AT:"vitu ambavyo watu wa nchi walivifanya na ikawafanya wasikubaliwe na Mungu"
kumchagua Yahwe
Kumtafuta Yahwe inaonyesha kuchagua kumjua, kuabudu na kumtii yeye. AT:"kuchagua kumtii Yahwe"
kubadilisha moyo wa mfalme wa Ashuru
Kubadilisha moyo wa Mfalme inaonyesha kumfanya yeye kufikiri tofauti kuhusu kazi ya hekalu. AT:"kubadilisha tabia ya mfalme wa Ashuru" au "kufanya mfalme wa Ashuru ku kutenda"
kuwatia nguvu mikono katika kazi ya nyumba yake
kuwatia nguvu mikono yao katika kazi inaonyesha kuwasaidia wao kufanya kazi.Mfalme wa Ashuru alifanya hivi kwa kuwaabia wao kufanya kazi na kutoa fedha kwa ajili hiyo.AT:"kuwasaidia wao kufanya kazi ya nyumba yake" au "kufanya iwezekane kazi ya nyumba yake"
kazi ya nyumba yake
Hii inamaanisha kujenga hekalu
Ezra 7
Ezra 7:1-5
Taarifa kwa ujumla
ukoo wa Ezra unaenda mpaka kwa kuhani wa kwanza Haruna
Ezra akaja kutoka Babeli
Ezra kuja juu inaweza kutafsiriwa vizuri. AT:"Ezra akaja Yerusalem kutoka Babeli"
Seraya
Tafsiri jina hili kama ulivyofanya katika 2:1
Shalumu
Tafsiri jina la mtu huyu kama ilivyofanya katika 2:40
azaria,Hilkia,...Sadoki,Ahitubu,Amaria,Azaria,Merayothi,Zerahia,Uzi,Buki,Abishua,Fineasi,eliazari
Hii orodha ni majina wanaume wote.
Ezra 7:6-7
Mfalme akampa kila kitu alichoomba
"Mfalme akampa Ezra chochote alichoomba kwake"
mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye
"mkono" wa Yahwe unawakilisha baraka za Yahwe au kusaidia. AT:"baraka za Yahwe zilikuwa pamoja na Ezra" au "Yahwe alikuwa akimbariki Ezra"
katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta
Hii inarejea mwaka wa saba wa kutawala kwake. AT:"katika mwaka wa saba ambao mfalme alikuwa Artashasta"
Ezra 7:8-10
mwezi wa tano
Huu ni mwezi wa tano kalenda ya Kiebrania. ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa saba na sehemu ya awali ya mwezi wa nane katika kalenda ya Magharibi
siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza
Hii ni karibu katikati ya mwezi wa tatu katika kalenda ya Magharibi
siku ya kwanza ya mwezi wa tano
Hii ni karibu ya katikati ya mwezi wa sabakatika kalenda ya magharibi
mkono mzuri wa Mungu
"mkono" inaonyesha nguvu au uongozi ambao Mungu anatumia kwa matokeo mazuri.
Ezra akaendeleza moyo wa kujisomea
Kuendeleza moyo inamaanisha kuamua au kujitoa yeye binafsi kufanya kitu fulani. AT:"ezra alijitoa maisha yake katika kusoma"
kutoa nje
"kutii"
maagizo na sheria za Yahwe
Hizi ni sheria ambazo Mungu alizileta kwa Waisrael kwa kumtumia Musa
Ezra 7:11-13
Hili lilikuwa agizo
ujumbe uliofuata maelezo lilikuwa agizo lililotolewa na mfalme Artashasta
Mfalme wa wafalme Artashasta
"Mfalme wa wafalme" ulikuwa ni wasifu, ukiwa unamaanisha kwamba alikuwa mkuu wa wafalme, mfalme ambaye wafalme wengine walimtii. AT:"Mfalme mkuu Artashasta" au "Artashasta, mkuu mfalme"
Ninatoa amri kwamba mtu yeyote....ambaye anatamani kwenda Yerusalem
Katika siku zile watu walipenda ruhusa kutoka kwa mfalme kurekebisha na kujenga katika eneo zamani liliharibiwa na wavamizi wa taifa jingine.
wanaweza kwenda pamoja na wewe
Neno "wewe" linamaanisha Ezra.
Ezra 7:14-16
Maelezo ya kuhusisha
Hii inaendelea na agizo la mfalme Artashasta alilompa ezra
Mimi, mfalme, na washauri wangu saba
neno "mimi" na msemo "Mfalme" linamaanisha mtu huyo huyo. Mfalme anakumbusha watu ambao watasikia barua kwamba yeye ndio mhusika wa hiyo barua.
kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu
kitu ambacho walitakiwa kuhulizia kinaweza kuelezewa vizuri zaidi. AT:"kuchunguza mwenendo katika Yuda na Yerusalem, ili kujifunza endapo au awatii sheria za Mungu"
Inakupasa kuleta dhahabu na fedha
Kitu walichoambiwa kuleta kinaweza kuelezwa vizuri.AT:"Inakupasa kuleta Yerusalem fedha na dhahabu"
fedha na dhahabu ambazo walitoa kwa hiari
"Hiari" inamaanisha hawakulazimishwa kutoa fedha. Walitoa kwa sababu walitaka. AT:"dhahabu na fedha ambazo walihiari kutoa"
Kitu gani cha hiari kilichotolewa na watu pamoja na makuhani
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Kitu gani watu na makuhani walitoa kwa hiari"
Ezra 7:17-18
maelezo ya kuhusisha
Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra
Basi ununue vyote...sadaka
msemo"vyote" inamaanisha vingi na vya muhimu kumalizia kazi. Walipaswa kutumia dhahabu na fedha kununua vyote vinavyohitajika ili kumwabudu mungu katiak hekalu. AT:"Nunua vingi kondoo, beberu,unga na sadaka ya vinywaji kama inavyohitajika"
wewena ndugu zako
Msemo "ndugu zako" inamaanisha watu ambao walifanya kazi pamoja na Ezra. AT:"watumishi wenzako" au "washirika wako"
Ezra 7:19-20
Maelezo ya kuhusisha
hii inaendeleza agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra.
vitu ambavyo ulipewa kwa hiari wew
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Vitu ambavyo tumevitoa kwa hiari kwako"
Viweke vitu...mbele yake yeye
Neno "yeye" linamaanisha Mungu
kwa huduma ya nyumba ya Mungu wako
Neno "huduma" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuhudumia" au "kutumia" "kazi" au "kuabudu" AT:"kutumia katika nyumba ya Mungu wako" au :kutumika katika nyumba ya Mungu wako"
hazina
sehemu ya usalama ambapo fedha inatunzwa
Ezra 7:21-23
Maelezo ya kuhusisha
Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra
mji ngambo ya mto
Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Angalia ulivyotafsiri katika 4:9
Chochote ambacho Ezra ataomba kwenu anapaswa kupewa chote
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. "Mpeni Ezra chote anacjooomba kwenu"
anapaswa kupewa chote
Msemo "chote" hapa inamaanisha vyovyote muhimu vya kufanyia kazi. AT:"anapaswa kupewa vingi kadri anavyohitaji"
talanta mia moja za fedha
"talanta 100 za fedha" Unaweza kuthamanisha hii kwa kiwango cha sasa. AT:"3,400 talanta za fedha" au "tani tatu na nusu"
vipimo miavya ngano
Unaweza kuthamnisha katika kipimo cha sasa. 22,000 lita za ngano" au "ishirini na mbili elfu lita za ngano"
bathi mia za mafuta
Unaweza kuzibadilisha katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 lita za mafuta" au "lita elfu mbili za mafuta"
nyumba yake
Hii inamaanisha hekalu la Mungu
Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?
Mfalme anatumia swali hili kusema kwamba hataki hasira ya mungu ifike kwao. Hii inaonyesha kwamba wasipompa ezra kile ambacho ametaka, ndipo Mungu ataupiga ufalme. AT:"Kwa kuwa hatutaki hasira ya Mungu ije kwetu katika ufalme wangu na watoto" au "kwa kuwa usipofanya vitu hivi , hasira ya Mungu itakuja juu ya ufalme wako na watoto wako"
Kwa nini hasira yake ije ufalme wangu na watoto wangu
Hasira ya Mungu inamaanisha Mungu kuwaadhibu wao.AT:"Kwa nini Mungu kuadhibu ufalme wangu na watoto" au :Kwa kuwa usipofanya vitu hivi, Mungu ataadhibu ufalme wangu na watoto"
Ezra 7:24
Maelezo ya kuhusisha
Hii inaendelea kuhusisha agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra.
Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru au kodi
"Tumewaambia wao wasiwatoze ushuru au kodi"
mwanamuziki
watu wanaopiga vifaa vya muziki
Ezra 7:25-26
Maelezo ya kuhusisha
Huu ni mwisho wa agizo la mfalme Artashasta alimpa Ezra
kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa
Jina "hekima" inaweza kuelezwa kwa neno "busara" na "hekima" AT:"Mungu amekupa hekima, hivyo hekima utateua waamuzi na mtu muelewa"
ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. AT:"uenda kwa kuwaua wao,kuwahamisha,kutowesha vitu vyao, au kuwafunga wao" "unaweza kuwaua wao, kuwafukuza wao, kuchukua vitu wanavyomiliki au kuwaweka gerezani"
Ezra 7:27-28
Maelezo ya kuhusisha
Ezra anamtukuza Mungu kwa sababu ya agizo la mfalme Artashasta
aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem
kuweka vitu ndani ya moyo wa mfalme inamaaanisha kusababisha yeye kuwa mawazo na matakwa. AT:"kusababisha mfalme kutaka kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem
Nyumba ya Yahwe
Hii inamaanisha hekalu la Yahwe
Nilitiwa nguvu
kutiwa nguvu inamaanisha kutiwa moyo. AT"Nimetiwa moyo"
kwa mkono wa Yahwe Mungu wangu
Hapa mkono wa Mungu inamaanisha alichokifanya kumsaidia Ezra. AT:"kwa sababu Yahwe amenisaidia mimi"
Ezra 8
Ezra 8:1-3
Taarifa kwa ujumla
Kuna badiliko la umiliki kuanzia hapa. Sura ya 1 - 7 iliandikwa kana kwamba mhusika alikuwa akiandika kuhusu Ezra. Sura ya 8 iliandikwa kana kwamba mhusika ni Ezra
Taarifa kwa ujumla
Mstari 2 - 14 ni orodha ya viongozi na watangulizi wao. Wote walikuwa ni wanaume
mwana wa Finehasi, Gershoni
Hii ni kitu cha kwanza katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Finehasi alikuwa Gershoni" au "Gershoni alikuwa kiongozi wa wana wa Finehasi"
wana wa Ithamari,Daniel
Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa kwa kitendo "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Ithamari alikuwa Daniel" au "Daniel alikuwa kiongozi wa wana wa Ithamari"
Paroshi
Tafsiri jina la huyu mtu kama ulivyofanya katika 2:3
mwana wa Daudi, ambao walikuwa... Paroshi na Zakaria
Hii ni kitu cha tatu katika orodha. inaweza kuandikwa kama kitendo "walikuwa" AT:"Viongozi wa wana wa Daudi walikuwa Hatishu ambaye alikuwa Paroshi na Zakaria" au "Kiongozi wa wana wa Daudi walikuwa Hatishu na Zakaria. Hatishu alikuwa kutoka ...Paroshi"
pamoja na yeye walikuwa 150 wanaume waliorodheshwa katika kumbukumbu ya ukoo.
"pamoja na Zakaria walikuwa 150 wanaume waliorodheshwa katika kumbukumbu ya ukoo"
Ezra 8:4-7
Taarifa kwa ujumla
Orodha ya majina ya wanaume yanaendelea
wana wa Pahath-Moab,Eliehoenai mwana wa Zerahia
"Elihoenai mwana wa Zerahia alikuwa kiongozi wa wana wa Pahath Moab"
na pamoja naye kulikuwa wanaume mia mbili
"na pamoja Eliehoenai kulikuwa wanaume mia mbili"
Zerahia
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 7:1
Shekania
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:1
adini
Tafsiri jina hili kama ulivyofanya katika2:15
mia mbili...mia tatu...hamsini...sabini
"200...300...50...70"
Ezra 8:8-11
Taarifa kwa ujumla
Orodha ya majina ya wanaume inaendelea
wana wa Shephatia,Zebadia mwana wa Mikaeli
Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa pamoja na kitendo "ilikuwa." AT:"Kiongozi wa wana wa Shephatia alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli" au "Zebadia mwana wa Mikaeli alikuwa ni kiongozi wa wana wa Shephatia"
Shephatia
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3
Mikaeli
Hili ni jina la mtu.
na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini
"na pamoja na Zebadia walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini"
Bebai
Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 2:11
themanini...ishirini...nane
nane**- "80...28"
Ezra 8:12-14
Taarifa kwa ujumla
Huu ni mwisho wa orodha ya majina ya wanaume
wana wa Azgadi,Yohana mwana wa Hakatani
Hii ni kitu kinachofuata katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Azgadi alikuwa Yohana mwana wa Hakatani" au "Yohana mwana wa Hakkatani alikuwa kiongozi wa wana wa Azgadi"
na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume 110
"na pamoja na Yohana waliorodheshwa wanaume 110"
Wale wa wana wa adinikamu
Neno "wale" linamaanisha viongozi. AT:"Viongozi wa wana wa Adonikamu"
AZgadi
Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11
Adonikamu
Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11
Bigvai
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:1
sitini...sabini
"60...70"
Ezra 8:15-16
Taarifa kwa ujumla
Neno "mimi" katika sura 8 linamaanisha Ezra. Yeye ni mhusika.
Taarifa kwa ujumla
Mstari 16 unajumuisha orodha ya majina ya wanaume
mto uliyokuwa unaelekea Ahava
Maana inaweza kuwa kwamba "bandari" ilkuwa 1)njia ya maji ambayo watu walitengeneza au 2) mto wa kawaida. Inaweza kutafsiriwa kwa njia moja ya ujumla. AT:"njia ya maji ambayo inaelekea Ahava"
Ahava
Hili ni jina la eneo
Shemaya
Tafssiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:12
Elnathani...Elnathani...Elnathani
Kulikuwa na uwezekano wanaume watatu pamoja waliofanana majina.
Ezra 8:17
Ido
hili ni jina la mtu
Kilichofuata niliwatuma wao kwa Ido
Neno "wao" linamaanisha viongozi tisa na walimu wawili walioandikwa katika 8:15. AT:"kilichofuata niliwatuma wale wanaume kwa Ido"
Kasifia
Hili ni jina la eneo
niliwaambia wao chakusema kwa Ido..kwamba , kutumakwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu
Neno "kwamba" linaonyesha kuwa aliwaambia wao kusema. AT:"Niliwaambia wao kumwambia Ido...kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu"
Ezra 8:18-20
sherebiah...Mali...Hashabiah...Yeshaya...Merari
Haya ni majina ya wanaume
Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu
Mungu "mkono mzuri" unawakilisha ukarimu wake katika kuwapatia wao. AT:"Kwa sababu Mungu alikuwa mwema kwetu,walituma kwetu mtu"
mtu makini
huyu ni mtu mwenye ufahamu na hekima.
mwana wa Levi mtoto wa Israeli
Hapa "Israel" ni jina la mtu. Ni jina ambalo Mungu alimpa Yakobo.
kumi na nane...ishirini
18,20.
Yeshaya
Tafsiri jina hili kama ukatika 8:4
maofisa
watu ambao wana mamlaka maalum katika muundo wa Serikali
Ezra 8:21-23
mto wa Ahava
Hili ni jina la bandari ambayo elekeza maji eneo linaloitwa Ahava. Angalia ulivyotafsiri Ahava na bandari katika 8:15.
kutafuta njia ilinyooka kutoka kwakwe kwa ajili yetu,watoto wadogo na mali zetu zote
Neno "kutafuta" inamaanisha kumwomba Mungu afanye kitu kwa ajili yao. Hapa "njia iliyonyooka" inawakilisha usalama wakati wanasafiri. AT:"tunapomwomba Mungu kutupa sisi, wadogo zetu, na mali zetu usalama wakati wa safari" au "Kumwomba Mungu kutulinda sisi, wadogo zetu na mali zetu zote wakati tunasafiri"
Mkono wa Mungu wetu uko pamoja na wale wanaomtafuta
mkono wa Mungu unapokuwa pamoja na watu ni msemo kuwa Mungu husaidia watu. Kumtafuta Mungu ni msemo kuwa kumtumikia yeye" AT:"Mungu husaidi wote a,bao wanamtumikia yeye"
lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye
Uwezo wa Mungu na gjazabu kuwa juu ya watu ni msemo kwake kuwa atawaadhibu watu. kumsahau Mungu ni msemo kwamba kukataa kumtumikia yeye. AT:"lakini yeye hutoa adhabu kwa wote ambao wanakataa kumtumikia yeye"
Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hili
Hapa kumtafuta mungu ni msemo wa kumwomba mungu afanye kitu kwa ajili yao. AT:"Hivyo tulifunga na kumwomba Mungu atusaidie sisi"
Ezra 8:24-25
Sherabia,Hashabia
Tafsiri majina haya ya wanaume kama ulivyofanya katika 8:18
Ezra 8:26-27
650 talanta za fedha
"650 talanta za fedha," Unaweza kuibadilisha hii katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 kilogram za fedha" au "ishirini na mbili elfu kilogram za fedha"
talanta mia moja za vyombo vya fedha
Unaweza kubadilisha hii katika kipimo cha sasa. AT:"3,400 kilogram vyombo vya fedha"
talanta mia moja za dhahabu
Unaweza kuibadili hii katika kipimo cha sasa. AT:"3,400 kilogram ya dhahabu"
elfu moja darkoni
"darkoni"ilikuwa ni salafu ndogo ya dhahabu ambayo watu wa utawala uajemi waliitumia. Unaweza kutafsiri kwa idadi ya salafu au kwa uzito wake. AT:"Salafu elfu moja za dhahabu ya Uajemi au "kilogram nane na nusu za dhahabu"
vyombo vilivonakshiwa
Vyombo vilivyonakshiwa ni mchanganyiko wa shaba na chuma. Ina uimara zaidi ya shaba
Ezra 8:28-30
Ndipo nikasema kwao
"Ndipo nikawaambia maofisa kumi na mbili wa kikuhani"
ndipo mtakapovipima mbele ya makuhani,walawi na viongozi
Walipofika Yerusalem , walipima fedha, dhahabu na vyombo ili kuonyesha kwamba hawakuchukua chochote kwa ajili yao binafsi.
Makuhani na Walawi
Kulingana na sheria ya Musa, kabila la Levi walikuwa na kazi ya kutunza hekalu, mali zake pamoja na sadaka.
Ezra 8:31-32
Tukatoka kwenda mto Ahava
"Tuliuacha mto Ahava" au "Tulianza kusafiri kutoka mto Ahava"
Mto Ahava
hili ni jina la mto ambao unaosafiri kwenda sehemu inayoitwa ahava. Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 8:21
siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza
Hii ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya kiebrania. Siku ya kumi na mbili ya karibu ya mwisho wa mwezi wa tatu kalenda ya magharibi.
Mkono wa Mungu ulikuwa juu yetu
Mkono wa Mungu kuwa juu ya watu ni msemo wa Mungu kusaidia watu. AT:"Mungu alikuwa akitusaidia sisi"
alitulinda kutoka kwenye mikono ya adui na wale...njiani
Mkono unawakilisha kile ambacho watu wangefanya. Inawalenga wao kuvamia kikundi ambacho walikuwa wanasafiri. AT:"alitulinda sisi kutokana na uvamizi wa adui na wale ambao walitaka kutuzuru tukiwa njiani" au " Aliwazuia maadui kutuvamia sisi na aliwazuia wanyanganyi kutotuzuru sisi tukiwa njiani"
wale waliotaka kutunfanyia fujo sisi
Hii inamaanisha wezi na wanyanganyi ambao walitaka kuwavamia wao kwa kuchukua fedha.
Ezra 8:33-34
fedha,dhahabu na vyombo vilipimmwa nje
Hii inweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"maofisa kumi na wawili wa kikuhani walipima fedha,dhahabu na vyombo.
waliweza kupima nje...kwamkono wa Meremothi
waliweza kupima nje..kwa mkono wa meremothi
Meremothi...Uriah...Eleazari...Phineasi...Yozabadi...Yoshuhua....Noadia..Binui
Haya ni majina ya wanaume
Yoshua
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3
Ezra 8:35-36
Wale waliorudi kutoka mateka...watu wa kifungoni
Hii misemo miwili inamaanisha wayahudi ambao walikuwa wakiishi Babeli utumwani na ambao walitoka Babeli na kurudi Yerusalem katika Yuda. AT:"wale waliorudi Yerusale kutoka kifungoni Babeli, watu wa matekani"
kumi na mbili...tisini...sita...sabini na saba...kumi na mbili
sita...sabini-saba...kumi na mbili** "12...96...77...12"
maofisa katika mji ngambo ya mto
Hawa walikuwa ni maofisa wa Babeli waliokuwa wakiongoza watu magharibi ya mto Efrati, pamoja na watu walioishi Yuda.
mji ngambo ya mto
hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Ilijumuisha Yuda. angalia ulivyotafsiri katika 4:9
Nyumba ya Mungu
hekalu
Ezra 9
Ezra 9:1-2
hawakuweza kujitenga wenyewe
wameoana na watu kutoka nchi nyingine na wamefuata dini zao
Ezra 9:3-4
Niliposikia haya
Ezra aliposikia kwamba Waisraeli wengi wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wakiabudu miungu yao
nikachana nguo zangu na kanzu yangu na kunyoa nwele kichwani na ndevu
Ezra alikuwa akionyesha kila mmoja jinsi asivyopendezwa na watu walivyofanya mamboyaliyomchukiza Mungu
sadaka za jioni
sadaka ambayo makuhani wangeitoa kipindi ambacho jua linazama
Ezra 9:5-6
nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu
njia nyingine ya kusema yeye alikuwa "alikaa na aibu"(9:3). "nilipokuwa nimekaa kwenye kiwanja chini kuonyesha aibu niliyokuwa nayo"
nikapiga na kunyooosha mikono yangu
"nikatoka na magoti yangu na kujinyoosha viungo nikiwa nimenyoosha mikono kuelekea angani
makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni
Haya maneno yana jinsi mbili ya kuyaongea makosa na maovu kana kwamba ni mwili abao unaweza kukuwa na kuongezeka kama watu. Majina "makosa" na "maovu" yanaweza kuelezekeza kama jina na kivumishi. AT:"sisi tumetenda maovu na tuna makosa"
Ezra 9:7
siku za watangulizi wetu
"wakati ambapo watangulizi wetu walikuwa hai"
katika maovu makuu...katika makosa yetu
Neno "maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama kitenzi na kitendo, respectively. AT:"maovukweli...Kwa sababu ya uovu tulioufanya:
sisi...tulikabidhiwa kwenye mikono ya mfalme
Hii inaweza kutafsiriwa kwenye mfumo hai.AT:ulitupa sisi...kwenye mikono ya mfalme"
kwa upanga
Upanga ni msemo wa watu kuua watu wengine. Mungu aliruhusu watu kuwaua wayahudi.
matekani
Hili jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. Mungu aliruhusu watu kuwakamata wayahudi na kuwachukua na kuwapeleka.
Ezra 9:8-9
neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja
Mungu ameamua kuonyesha rehema imesemwa kwetu ikiwa neema angekuwa mtu ambaye anaweza kutembea. AT:"Yahwe Mungu wetu ameamua kuwa mwenyerehema kwetu na"
ameendeleza agano kwa uaminifu kwa ajili yetu
Agano la uaminifu limesemwa kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kukishirikilia mkononi mwake na kukigawa kwa mtu mwingine kukichukua. AT:"alitoa ili iwe uaminifu kwetu sisi na kutunza Agano lake"
mbele ya macho kwa mfalme wa Uajemi
Kiualisia mfalme asingeweza kuona hekalu, lakini alijua kuhusu kilichokuwa kinatokea katika Yerusalem. Hapa "macho" ni msemo kwa kile ambacho mtu anafahamu. AT:"Hivyo mfalme wa Uajemi alijua kuhusu hilo"
Nyumba ya Mungu
hekalu
atatupatia sisi msingi salama
Msingi ambao utawaweka watu salama ni fumbo kwa Yahwe atawalinda watu wake. AT:"atatulinda sisi salama"
Ezra 9:10-12
kwa wakati wote
"mpaka mwisho wa wakati"
Ezra 9:13-14
matendo yetu maovu na makosa yetu makuu
najina :maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama majina na kivumishi. AT:"kwa sababu ya mambo mabaya tuliyofanya na kwa sababu tulikuwa na makosa"
hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na kutuacha kama mabaki
"ulikuwa na haki kama ungetuangamiza sote, lakini ukutuadhibu na matokeo yake ukatuacha tukiwa hai"
tunaweza kuvunja tena amri zako na kufanya...watu?
Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT: "hili ni kosa kubwa sana kwamba baadhi tumevunja amri zako na kufanya ...watu."
huwezi kuwa na hasira....kutoroka?
Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT:"ninaogopa kwamba utachukia....kutoroka"
Ezra 9:15
Angalia
"Kuwa makini kwa kile ambacho nataka kusema"
Tuko mbele yako na makosa yetu
"Utaona kwamba sisi sote tuna makosa"
hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele yako
"hufikiri kwamba mtu yeyote ana kosa"
Ezra 10
Ezra 10:1-2
Akiwa Ezra anaomba na kutubu...akajirusha mwenyewe chini
Ezra anajiongelea mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine
akajirusha mwenyewe chini
upesi kutoka katika hali ya kusimama na kuwa hali ya kulala uso ukiangalia chini
mbele ya nyumba ya Mungu
mbele ya hekalu
Shekania
Kama ilivyotafsiriwa katika 8:4
Yehieli
Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8
Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu wetu
Hii ilifanywa kama toba ya hadharani, sio madai ya kujivuna
Ezra 10:3-4
Sisi tuko pamoja nawe
"sisi tutakusaidia wewe"
Ezra 10:5-6
Yehohanani...Eliashibu
Haya ni majina ya wanaume
Ezra 10:7-8
Yeyote ambaye hakuja...atachukuliwa mali zote na kutengwa
"<aofisa watachukua mali yote kutoka mtu yeyote asiyekuja... na watawatenga wao" au "Watu wa Yuda na Yerusalem watachukua mali yote kutoka kwa yeyote ambaye hakuja ... na watawatenga wao"
siku tatu
3 siku
Ezra 10:9-10
katika siku tatu
"siku tatu baadaye"
mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi
Huu ni mwezi wa tisa wa kalenda ya kiebrania. Siku ya ishirini ni karibu katikati ya mwezi wa kumi na mbili kwa kalenda ya watu wa magharibi.
katika mraba
sehemu kubwa ya uwazi mbele ya hekalu
Walijitoa kutetea
jina "kujitetea" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. AT: "kusaidia adui za watu wako"
na kama kuongeza makosa ya Waisraeli
'na sasa Mungu akatuona wenye makosa zaidi ya dhambi kuliko mwanzoni"
Ezra 10:11
mjitenge kutoka
kuondoka kutoka, kuwa tofauti kutokana
Ezra 10:12-13
hii sio siku moja au mbili za kazi
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo chanya. AT: Tutahitaji muda mrefu kufanya hii kazi yote"
Ezra 10:14-15
muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"muda ambao viongozi na waamuzi wa mji wataupanga"
Yonathani...Asaheli...Yazeya...Tikwa...Meshulamu.......Sh
majina ya wanaume
Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili
Maana inaweza kuwa 1) hawa watu hawakutaka wakuu wa mji kuchunguze maovu au 2) hawakutaka mtu yeyote kuchunguza ndoa za watu.
Ezra 10:16-17
walifanya hivi
watu walichunguza wale ambao walioa wasio wayahudi
siku ya kwanza ya mwezi wa kumi
Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza inakaribia katikati ya mwezi wa kumi na mbili kwa kalenda ya watu wa magharibi.
siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza
Hii ni katikati ya mwezi wa tatu kwa kalenda ya magharibi
Ezra 10:18-19
Yoshua
Kama ilvyotafsiriwa katika 2:1
Yosadaki
Kama ilivyotafsiriwa katika 3:1
Maasela...Gedaliah
majina ya wanaume
Eliazeri...Yaribu
Kama ilivyotafsiriwa katika 8:15
Ezra 10:20-22
Taarifa kwa ujumla
Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi
Imeri...Pashuri
majina ya wanaume
Hanani...Elionai...Nethanai...Elasa
majina ya wanaume
Zebadia
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8
Harimu
jina la mtu, Kama ilivyotafsiriwa katika 2:31
Maaseya
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 10:18
Shemaya...Yehieli
majina ya wanaume.Kama iilivyotafsiriwa katika 8:12
Yozabadi
jina la mtu. Kama iivyotafsiriwa katika 8:33
Ezra 10:23-25
Taarifa kwa ujumla
Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi
Yozabadi
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:33
Eliashibu
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:5
Shalumu
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2:40
Paroshi
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 2:3
Eliazari
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 7:1
Ezra 10:26-29
Taarifa kwa ujumla
Ezra anaendle akuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi
Elamu...Zatu...Bani
Majina ya wanaume.Kama ilivyotafsiriwa katika 2:7
Yehieli
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8
Elionai
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:20
Eliashibu...Yehohanani
majina ya wanaume. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:5
Bebai
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2:11
Yehohanani
jina la mtu. kam ilivyotafsiriwa katika 10:5
Meshulamu
jina la mtu. Kam ilivyotafsiriwa katika 8:15
Ezra 10:30-32
Taarifa kwa ujumla
Ezra anendelea kuorodhesha wanaume ambao wameoa wanawake wasio wayahudi
Pahathi Moabu
jina la mtu. Lama ilivyotafsiriwa katika 8:4
Benaya...Matania
Majina ya wanaume. kama ilivyotafsiriwa katika 10:23
Maaseya
jina la mtu. Kama ilvyotafsiriwa katika 10:18
Mattania
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26
Binui
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 8:33
Harimu
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2:31
Eliezeri
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:15
Maluki
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26
Ezra 10:33-36
Taarifa kwa ujumla
Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi
Hashumu
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 2L19
Zabadi
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26
Elifereti
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 8:12
Manase
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 10:30
Shimei...Benaya
majina ya wanaume. Kama ilivyotafsiriwa katika 10:23
Bani
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 2:7
Meremothi
jina la mtu. Kama ilivyotafsiriwa katika 8:33
Eliashibu
jina la mtu. kama ilivyotafsiriwa katika 10:5
Ezra 10:37-40
Taarifa kwa ujumla
Ezra anaendelea kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi
Matania...Adaya
majina ya wanaume.Kama ilivyotafsiriwa katika 10:26
Matenai
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10:33
Binui
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 8:33
Sheremiah
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10:23
Ezra 10:41-44
Taarifa kwa ujumla
Ezra anamaliza kuorodhesha wanaume ambao walioa wanawake wasio wayahudi
Sheremia
jina la mtu. kama lilivyotafsiriwa katika 10:37
Shalumu
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 2:40
Amaria
Jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 7:1
Nebo
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 2:27
Yeieli
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 8:12
Zabadi
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10:26
Ido
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 5:1
Benaya
jina la mtu. Kama lilivyotafsiriwa katika 10L23
Hawa wote
wanaume wote katika orodha kuanzia katika 10:20