Leviticus
Leviticus 1
Leviticus 1:1-2
Yahweh
Hili ndilo jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
kutoka kweye hema la kukutania, akisema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtu yeyote
Hapa Yahweh anaanza kuzungumza na Musa. Hotuba hii inamalizikia katika 3:17. Hii inaweza kufasiriwa bila nukuu ndani ya nukuu. :"Kutoka kwenye hema la kukutania na akamwambia Musa kuzungumza na watu wa Israeli: 'Mtu yeyote aletapo"
'Mtu yeyote kutoka miongoni mwenu
"mmoja wenu yeyote" au "yeyote wa kwenu"
Leviticus 1:3-4
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendele kumwambia Musa yawapasayo watu wa Israeli kufsny ili kwa mba sadaka zao zitakuwa zenye kubalika kwa Yahweh.
.Iwapo toleo lake ... naye itambidi kutoa
Hapa "yake" na "naye" humaanisha mtu aletaye sadaka kwa Yahweh. laweza kufasiriwa katika nafsi ya pili kama lilivyo katika 1:1 : iwapo toleo lako...yapasa utoe
ili iweze kukubalika mbele za Yahweh
Hili linaweza kufasiriwa katika muundo tendaji: :Ili kwamba Yahweh aikubali"
Ataweka mikono yake
Hiki ni kitendo cha kiishara kinachomfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Katika njia hii mtu anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kwa kupitia mnyama, ili kwamba Mungu atasamehe dahambi za mtu huyo wanapomuua mnyama.
ndipo itakuwa imekubalika badala yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe
Hii inaweza kufasiriwa katika muundo tendaji: "Kisha Yahweh ataikubali machini pake na kuzisamehe dhambi zake"
Leviticus 1:5-6
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa watu wanachotakiwa kufanya.
Naye yampasa kumchinja huyo fahali
Hapa "naye" humaanisha yule anayetoa hiyo sadaka. linaweza kutamkwa katika nafsi ya pili. : "Nawe yakupasa kumchinja huyo fahali"
mbele za Yahweh
"Katika uwepo wa Yahweh"
wataileta hiyo damu
Inadokeza kwamba makuhani wangeikinga damu kwenye bakuli ilipotiririka kutoka kwa mnyama. Kisha wangelileta hillo bakuli lenye damu ndani yake na kuliwasilisha kwaYahweh kwenye madhabahu.
Kisha ataichuna ngozi hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikatakata vipande.
Kama ilivyoonyeshwa kwenye 1:9, Mtu alilazimiika pia kuosha matumbo na miguu ya mnyama kwenye maji. Mhisika mwenyewe alilazimika kufanya hivyo kabla hajawapa makuhani vile vipande ili kwamba wangeweza kuviweka juu ya madhabahu. Unaweza kuyatamka hayo maelekeza kuwa yalikuwa ni matumbo na miguu.
Naye ataichuna ngozi
Hapa neno "naye" humaanisha yule anayetoa hiyo sadaka.
Leviticus 1:7-9
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda ili matoleo yatakubalika kwa kwake.
wataweka moto juu ya madhabahu na kuweka kuni ili kuuchochea huo moto
Hili laweza kumaanisha kwamba makuhani mkaa wa moto juu ya madhabahu, kisha wakaweka kuni juu ya mkaa. : wataweka kunu juu ya madhabahu na kuwasha moto"
kuuchochea huo moto
Hii ni nahau inayomaanisha kuendelea kuweka kuni kwenye moto. Moto juu ya madhabahu nilazima uendelee kuwaka bila kuzimika
Lakini matumbo yake na miguu ataiosha kwa maji
Mtu huyo angefanya hivi kabla hajavitoa vipande kwa makuhani waviweke juu moto. U naweza kutamka hivi mwishoni mwa 1:5
Mtumbo
Ni hilo tumbo na utumbo
naye ataiosha
Hapa neno "naye" humaanisha anayetoa hiyo sadaka.
nayo italeta harufu ya kupendeza kwangu
Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unamezungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu.
sadaka iliyofanywa kwangu kwa moto.
Yahweh anamwambia Musa kwamba ni lazima matoleo yawe yanachomwa kwa moto. Hili laweza kutamkwa katika muundo tendaji. : "sadaka ya kuteketezwa kwangu"
Leviticus 1:10-11
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa liwapasalo watu kutenda
mbele za Yahweh
"katika uwepo wa Yahweh"
Leviticus 1:12-13
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa liwapasalo watu kutenda
Naye ataikata...iliyofanywa Kwake kwa moto.
Ajili ya 1:12-13, tazama 1:7 ili uone wingi wa maneno haya yalivyofasiriwa
Naye ataikata
Hapa neno "naye" humaanisha mtu anayetoa dhabihu. Laweza kufasiriwa katika nafsi ya pili. :"Nawe utaikata"
italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unamezungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu.
itakuwa sadaka ya iliyofanywa...kwa moto.
Yahweh anamwambia Musa kwamba ni lazima makuhani wazichome sadaka zao kwa moto. Sentensi hii inaweza kufasiriwa kwenye muundo tendaji. :"itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu" au "itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh"
Leviticus 1:14-15
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda
nyonga shingo na kukinyoa kichwa chake,
popotoa/songonyoa kichwa chake na kuking'oa kutoka mwilini
Kisha damu yake itachuruzishwa
Sentensi hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji: "Kisha itampasa kuhani kuichuruzisha damu yake"
Leviticus 1:16-17
Ni lazima akiondoe
"Ni lazima kuhani"
kibofu chake pamoja na uchafu wake
Kibofu ni kwenye koromeo la ndege mahali ambapo chakula ambacho hakijameng'enywa hutunzwa.
nacho atakitupa...kando ya madhabahu
Neno "nacho" hapa humaanisha kibofu pamoja na uchafu wake
italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unazungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu. Tazama lilivyotafsiriwa hili katika 1:7
nayo itakuwa sadaka iliyofanywa Kwake kwa moto.
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu" au "itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh"
Leviticus 2
Leviticus 2:1-3
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumbia Musa liwapasalo watu kutenda.
liwe unga safi
"Iiwe unga safi kabisa" au "uwe unga uliobora"
unga
ngano ilinyosagwa
Itampasa kuipeleka
itampasa kuuchukua
atatwaa konzi
"atachukua unga anaoweza kuubeba mkononi mwake
sadaka ya kuwakilisha
konzi ya sadaka ya nafaka huwakilisha sadakanzima ya nafaka. Hii inamaanisha kwamba sadaka nzima ni ya Mungu.
Nayo itatoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unazungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu. Tazama lilivyotafsiriwa katika 1:7
Ni kitakatifu sana kwa Yahweh kutoka kwenye sadaka iliyofanywe kwa Yahweh kwa moto.
Hili laweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "itakuwa sadaka ya kuteketezwa Kwake"
Leviticus 2:4-5
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao pamoja na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake.
uliookwa kweye tanuru
Sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "uliouoka kwenye tanuru"
tanuru
Huenda hiki kilikuwa ni chombo kilichotengenezwa kwa udongo chenye uwazi shimo katikati. Moto uliwashwa chini ya tanuru, na joto lingeoka donge la unga ndani ya tanuru.
mkate laini wa unga safi
yaeleweka kwamba mkate laini haukuwa na hamira.
uliopakwa mafuta
Tafsiri kirai hiki kuonesha kwamba mafuta ni lazima yapakwe kwenye mkate. :"pamoja na mafuta juu ya mkate"
Iwapo toleo lako la nafaka limeokwa kwa kikaango cha chuma
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : Iwapo unaioka sadaka yako ya nafaka katika kiaango cha chuma"
kikaango cha chuma
Hii ni sahani nzito iliyotengenezwa ama kwa udongo au chuma. Sahani iliwekwa juu ya moto, na donge la ungu lilipikwa juu ya sahani.
Leviticus 2:6-7
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
utaigawanya
Hapa "inayogawanywa" ni sadaka ya nafaka iliyopikwa kwenye kikaaongo cha chuma.
Iwapo sadaka yako ya nafaka imepikwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Ikiwa unaipika sadaka yako ya nafaka"
katika sufuria
Sufuria ilikuwa sahani yenye kingo zikiizunguka. Bonde la unga lilidumbuzwa ndani ya sufuria na kupikwa juu ya moto.
lazima iwe imeandaliwa
Yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Ni lazima uiandae"
Leviticus 2:8-10
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
ililofanywa kwa vitu hivi
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "ulioutengeneza kutokana na unga na mafuta"
nayo itawasilishwa
Yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Utaiwasilisha"
Ndipo kuhani... ifanywayo kwa moto.
Kwa ajili ya2:9-10 tazama maelezo ya sura ya 2:1
sadaka ya kuwakilisha
Tazama maelezo ya sura ya 2:1
Itakuwa sadaka kuiliyofanywa kwa moto
Hii inaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Itakuwa sadaka ya kuiteketeza"
italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
Tazama maelezo ya sura 1:7
kutoka kwenye sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kutoka kwenye sadaka ya kuiteketeza kwa Yahweh"
Leviticus 2:11-13
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
Hakutakuwa na sadaka ya nafaka utoayo kwa Yahweh itakayofanyizwa kwa hamira
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Usitumie hamira kwenye sadaka ya nafaka uitoayo kwa Yahweh"
kuwa sadaka ifanywayo kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kuwa sadaka ya kuteketeza
Nawe utazitoa
"Nawe utazitoa sadaka za nafaka zilizo na hamira au asali"
hazitatumika kuleta harufu ya kupendeza itolewayo juu ya madhabahu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. ; "utazitumia kuleta harufu ya kupendeaza juu ya madhabahu" au "hutaziteketeza juu ya madhabu"
chumvi ya agano la Mungu wako
Huashiria kwamba chumvi ni ishara inayowakilisha agano la Mungu.
Leviticus 2:14-16
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
iliyobanikwa kenye moto, na kupondwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Ile uliyoipika kwenye moto na kisha kusagwa"
sadaka ya kuwakilisha
Tazama maelezo katika sura ya 2:1
Hii ni sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Hii ni sadaka ya kutekezwa kwa Yahweh"
Leviticus 3
Leviticus 3:1-2
Taarifa kwa ujumla
Musa anaendelea kuwaambia watu kile ambacho Yahweh anataka wao wafanye.
mbele za Yahweh
"katika uwepo wa Yahweh" au "kwa Yahweh"
Ataweka mikono yake
Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Katika njia hii mtu huyo anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kwa kupitia mnyama. Tazama lilivyotafsiriwa katika sura ya 1:3
wana wa Aroni watainyunyiza damu yake
Inaashiria kwamba kabla hawajainyunyiza damu ,waliikinga kwanza hiyo damu katika bakuli walipokuwa akiichuruzisha kutoka kwa Munyama.
Leviticus 3:3-5
Matumbo
Hili ni tumbo na utumbo
ya kiununi
Hii ni sehemu ya mwili wa mnyama kwenye maeneo ya ndani ya uti wa mgongo kati ya mbavu na mfupa wa nyonga.
kitambi cha ini
Hii ni sehemu ya ini iliyojikunja au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa ni sehemu ya ini iliyobora kabisa kwa kula. : "Sehemu ya ini iliyobora"
Hii italeta harufu ya kupendeza mbele za Yahweh
Tazama ufafanuzi uliotolewa katika sura ya 1:7
itakuwa sadaka itolewayo Kwake kwa moto.
Hili laweza kutafsiriwa katika mtindo tendaji. : "nayo itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh"
Leviticus 3:6-8
amtoe mbele za Yahweh
"amtoe mkatika uwepo wa Yahweh" au "amte kwa Yahweh"
Ataweka mkono wake juu ya kichwa
Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Kwa njia hii mtu huyo atakuwa anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kupitia mnyama.
wana wa Aroni watanyunyiza damu
Inaashiria kwamba kabla hawajanyunyiza hiyo damu, waliikinga kwanza kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa mnyama
Leviticus 3:9-11
sadaka ifanywayo kwa moto
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "kuwa sadaka ya kuteketezwa"
Yale mafuta, mafuta yote...na hizo figo —ataiondoa hii yote.
Lile tamko "ataiondoa hii yote" laweza kuwekwa mwanzoni mwa sentensi. : "Atayaondoa mafuta, hayo mafuta yote...hizo figo"
matumbo
Sehemu hizi ni tumbo na utumbo.
yaliyo karibu na matumbo, na figo zote mbili
Sentensi mpya yaweza kuanzia hapa. : "iliyo karibu na mbatumbo. Ni lazima ataziondoa hizo figo"
karibu na kiuno
Hii ni sehemu ya mwiili kwenye sehemu ndani ya uti kati ya mbavu na mfupa wa nyonga.
kitambi cha ini
Hii ni sehemu ya ini yenyekupinda au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa bora sana kwa kula. : "ile sehemu ya ini iliyobora kabisa"
ataiteketeza yote juu ya madhabahu kuwa sadaka ya chakula ya kuteketezwa kwa Yahweh
Hapa haikukusudiwa kumaanisha kwamba Yahweh hula chakula. : "ataviteketeza vitu hivyo juu ya madhabahu viwe sadaka kwa Yahweh. Vitu hivyo vitatokana na mazao yako ya chakula"
Leviticus 3:12-14
mbele za Yahweh
"katika uwepo wa Yahweh" au "kwa Yahweh"
Ataweka mikono yake juu ya kichw
Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Kwa njia hii mtu huyo atakuwa anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kupitia mnyama.Tazama maelezo katika 1:3
wana wa Aroni watainyunyiza damu yake
Inaashiria kwamba kabla hawajainyunyiza hiyo damu, waliikinga kwanza kwenye bakuli ilipokuwa ikichuruzika kutoka kwa mnyama.
atatoa dhabihu yake iliyofanywa kwa mot
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ataitoa sdhabihu yake kwa moto" au "ataichoma dhabihu yake"
Leviticus 3:15-17
Naye ataziondoa pia
Neno "naye" hapa humaanisha mtu anayetoa dhabihu.
ataiteketeza hiyo yote juu ya madhabahu kuwa matoleo ya chakula ya kuteketezwa
Hapa haikukusudiwa kumaanisha kwamba Yahweh hula chakula. : "ataviteketeza vitu hivyo juu ya madhabahu viwe sadaka kwa Yahweh. Kitakuwa ni chakula chao alichopwa Yahweh"
kutoa harufu ya kupendeza
Yahweh hupendezwa na harufu ya nyama iliyochomwa anapopendezwa na usafi wa aabuduye. Tazama lilivyotafsiriwa katika 1:7
Itakuwa ni amri ya kudumu kwa vizazi vya watu wako
Hii humaanisha kwamba wao pamoja na vizazi vyao lazima waitii amri hii.
au damu
"au kutumia damu"
Leviticus 4
Leviticus 4:1-3
Yahweh akazungumza na Musa akisema, "Waambie watu wa Israeli, 'mtu yeyote atendapo dhambi
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu halisi yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa iliyotajwa. : Yahweh akazungumza na Musa na akamwambia awaambie watu wa Israeli hivi: 'Mtu yeyote atendapo dhambi"
ambayo Yahweh ameagiza yasitendwe
Hili laweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Ambayo Yahweh amewaamru watu wastende"
endapo anafanya jambo fulani lililokatazwa,
Hili laweza kufasriwa katika mtindo tendaji. : "iwapo anafanya jambo ambalo Yahweh aliruhusu"
yafuatayo lazima yafanyike
Hiii yaaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "yapasa afanye yafuatayo"
na kuleta hatia juu ya watu
Ile nomono dhahania "hatia" yaweza kutamkwa kama kivumishi. : "kwa kiasi cha kusababisha watu kujisikia wenye hatia"
Leviticus 4:4-5
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda.
Atamleta huyo fahali
"Kuhani atamleta huyo fahali"
ataweka mikono yake juu ya kichwa chake
Tazama maelezo ya sura 1:3 uone lilifasiriwa.
Kuhani mpakwa mafuta atachukua sehemu ya damu
Inaonyesha kwamba kuhani aliikinga kwanza damu kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa huyo mnyama.
Leviticus 4:6-7
kuinyunyiza
"kutiririsha sehemu yake" au "kudondosha sehemu yake"
pembe za madhabahu
hii humaanisha kwenye kona za madhabahu. Zimesongoka kama pembe za makisai. : "Michomozo iliyo kwenye kona za madhabahu"
ataimwaga chini
"ataitupa nje damu iliyobaki"
kwenye kitako cha madhabahu
chini ya madhabahu
Leviticus 4:8-10
Naye atayakata
"Kuhani atayakata"
yale mafuta yanayofunika matumbo. ..pamoja na figo—ataikata hii yote
Yale maelezo "ataikata hii yote" yaweza kuwekwa mwanzoni mwa sentensi. : "Atayakata mafuta yote yafunikayo matumbo...pamoja na hizo figo"
matumbo.
Haya ni tumbo na utumbo
karibu na kiuno
Hii ni sehemu ya mwili juu ya upande wa ndani wa uti wa mgongo kati ya mbavu na mfupa wa nyonga.
kitambi cha in
Hii ni sehemu ya ini iliyojikunja au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa ni sehemu ya ini iliyobora kabisa kwa kula. : "Sehemu ya ini iliyobora"
Leviticus 4:11-12
Ngozi ... mabaki yoyote ya nyama, atazipeleka hizo zote nje
Yale maelezo "atazipeleka hizi zote" Yaweza kuweka mwanzoni mwa sentensi. : "Kuhani atapeleka nje hiyo ngozi..mabaki ya fahali"
eneo ambalo wamelisafisha kwa ajili yangu
Eneo kuwa safi kiibada na pa kufaa kutumia katika kumtumikia Mungu linasemwa kuwa lilikuwa safi kimaumbile.
wamelisafisha kwa ajili yangu
"Wamelisafisha" hapa humaanisha hao makuhani na "Mimi" humaanisha Yahweh.
Leviticus 4:13-15
bila kukusudia
"bila kujua"
ameamru yasitendwe
Hili laweza kuutamkwa katika mtindo tendaji. : "alichowaamru wasikitende"
hiyo dhambi waliyoitenda ikawa imejulikana
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "wanapotambua kwamba wametenda dhambi"
wataweka mikono yao juu ya kichwa
Tazama maelezo katika sura 1:3 uone lilivyofasiriwa
huyo fahali atachinjwa
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Nao watamuua huyo fahali"
Leviticus 4:16-17
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Munsa yawapasayo watu kutenda.
Kuhani aliyepakwa mafuta ataleta damu
Inamaanisha kwamba huyo kuhani aliikinga damu kwenye bakuli ilipotiririka
mbele ya pazia.
Inamaanisha kwamba hili ni pazia mbele ya patakatifu pa patakatifu
Leviticus 4:18-19
Ataweka
"Naye kuhani ataweka"
pembe za madhabahu
hii hurejelea kona za madhabahu. Zimechongwa kama pembe za ng'ombe. Tazama lilivyofasiriwa katika Sura ya 4:6
ataimwaga damu yote
Ataimwaga damu iliyosalia
mafuta yote kutoka kwake
"mafuta yote kutoka kwa mnyama na kuyachoma hayo mafuta"
Leviticus 4:20-21
inavyompasa kumfanyia
"Ni lazima kuhani afanye"
kuhani atawafanyia watu upatanisho
Nomino dhahania "upatanisho" yaweza kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya kwa ajili ya dhambi za watu"
nao watakuwa wamesahewa
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Naye Yahweh atawasamehe wao"
Leviticus 4:22-23
Yahweh Mungu wake ameamru yasitendwe
hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Mungu amewaamru watu wasitenda"
Nayo dhambi yake aliyoitenda imefahamisha kwake
hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. ; "kisha naye ameshatambua kwamba katenda dhambi"
Leviticus 4:24-25
Naye ataweka
"Mtawala ataweka"
ataweka mkono wake juu ya kichwa
Tazama lilivyofassiriwa katika sura ya 1:3
mahali ambapo huchinja
"makuhani wanapochinja"
mbele za Yahweh
"katika uwepo wa Yahweh" au kwa Yahweh"
Kuhani ataichukua damu
Inamaanisha kwamba kuhani aliikinga damu kwenye bakuli damu ilipotirirka kutoka kwa mbuzi.
pembe za madhabahu
Tazama maelezo kwenye sura ya 4:6 uone linavyofasiriwa
Leviticus 4:26
Naye atateketeza
"Kuhani atateketeza
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtawala
Ile nomino dhahania "upatanisho"yaweza kutaamkwa kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya mtawala"
naye mtawala kulingana
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtawala"
Leviticus 4:27-28
Yahweh amemwamru yeye yasitendwe
Watu wote wa Israeli waliamriwa wasitende dhambi. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh aliwaamru watu wasiyatende"
dhambi yake aliyoitenda itakuwa imejulikana kwake
Hili laweza kutmkwa katika mtindo tendaji. : "naye amekuwa na ufahamu juu ya dhambi aliyoitenda.
Leviticus 4:29-30
Ataweka mkono wake juu ya kichwa
Tazama mafafanuzi katika sura ya 1:3 uone lilivyofasiriwa
Kuhani atachukua kiasi cha damu
Inamaanisha kwamba kuhani aliikinga damu ya kwenye bakuli wakati ilipotiririka kutoka kwa mnyama
pembe za madhabahu
Tazama katika sura ya 4:6 uone lilivyofasiriwa.
Damu yote iliyobaki
Damu yote iliyobaki kwenye bakuli.
Leviticus 4:31
Naye atayakata
"Naye'" hapa humaanisha yule mtu anayetoa sadaka
yanvyokatwa hayo mafuta
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ni kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta"
ataiteketeza
"atayachoma mafuta"
ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
Tazama maelezo yaliyotolewa kwenye sura 1:7 ili uone maneno hayo yalivyofafanuliwa
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtu hyo
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi za mtu huyo"
naye atakuwa amesamehewa.
Hili laweza kutamkwa katika mtingo tendaji. : "Yahweh atazisamehe dhambi za mtu huyo"
Leviticus 4:32-33
Ataweka mkono juu ya kichwa
Tazama maelezo ya sura ya 1:3 ili kuona lilivyofasiriwa.
mahali wanapochinja s
"mahali makuhani wachinjapo"
Leviticus 4:34-35
pembe za madhabahu
Tazama maelezo ya sura ya 4:6 ili kuona linavyofasiriwa.
naye ataimwaga damu yake yote
"Naye ataimwaga damu yake yote iliyobaki"
Naye tayakata mafuta
"Naye" hapa humrejelea mtu anayetoa hiyo dhabihu.
kama tu vile yakatwavyo mafuta ya mwana-kondoo
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta ya Mwana-kondoo"
matoleo ya Yahweh yafanywayo kwa moto
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Matoleo ya kuteketezwa kwa Yahweh
atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoifanya
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. :atapatanisha kwa ajili ya dhambi aliyotenda huyo mtu"
na mtu huyo atakuwa amesahewa.
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atasameha dhambi ya mtu huyo"
Leviticus 5
Leviticus 5:1-2
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendlea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda
ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa kushudia
Sheria na viongozi wa kiyahudi viliwataka watu kushuhudia iwapo walikuwa mashahidi kwa uharifu. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "jambo fulani ambalo hakimu amemtaka yeye kushuhudia"
Mungu amekitaja kuwa ni najisi
Kitu fulani ambacho Mungu amekita kuwa hakiwafai watu kukigusa au kukila kimesemwa kuwa kana kwamba kilikuwa kichafu kwa mwonekano.
mzoga
"maiti"
yeye ni najisi
Mtu asiyekubalika katika makusudi ya Munngu husemwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa mchafu kimwili.
Leviticus 5:3-4
ikiwa agusa unajisi wa mtu fulani, haijalishi ni unajisi wa aina gani
Ile nomino dhahania "unajisi" yaweza kutamkwa kama kivumishi. : "iwapo nagusa kitu chochote ambacho humfanya mtu najisi"
unajisi
Kitu fulani ambacho Yahweh amekitamka kuwa hkifai kwa mtu kukigusa au kukila huzungumziwa kana kwamba kilikuwa najisi kwa monekao.
hakuwa na habari juu yake
"yeye ahitambui" au "hajui juu yake"
anaapa kwa midomo yake
Hapa "midomo" huwakilisha mtu mzima. : "iwapo mtu yeyote anaapa bila kujali"
mtu huapa bila kujali,
Hii humaanisha kuapa kiapo bila kufikiri kwa kumaanisha juu yake. Inamaanisha kwamba baada ya mtu kuwa anaapa kiapo ambacho ama hawezi kukitimiza au hataki hasa kukitimiza.
Leviticus 5:5-6
Maelezo kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
naye kuhani atafanya upatanisho
Ile nomino dhahania "Upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili yake"
Leviticus 5:7-9
Iwapo hataweza kununua mwana-kondoo
Iwapo hana fedha ya kutosha kununua mwana-kondoo
naye atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake
"naye atamuua kwa kukipindua kichwa chake na kuivunja shingo yake, lakini hatakiondoa hichwa"
Leviticus 5:10
kama ilivyoelezwa kwenye maelekezo
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "kama alivyoelekeza Yhweh"
naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi aliyotenda
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "Naye kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi ile ambayo ametenda
naye huyo mtu atakuwa amesamehewa
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe mtu huyo"
Leviticus 5:11
sehemu ya kumi ya efa
Efa moja ni sawa sawa na lita 22. Sehemu ya kumi ni kama lita 2 hivi
sehemu ya kumi
Hii ni sehemu moja ya kumi zilizo sawa
Leviticus 5:12-13
Naye atauleta
"Naye yampasa kuleta unga safi"
sadaka ya kuwakilisha
konzi kuhani chomayo juu ya madhabahu huwakakilisha matoleo yote. Hii humaanisha matoleo yote ni ya Yahweh, tazama sura ya 2:1
atafanya upatanisho
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama tendo. : "atamatanisha"
juu ya madhabahu, na juu ya matoleo yafanywayo kwa Yahweh
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : " Yahweh. : "juu ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahweh"
naye mtu huyo atakuwa amesahewa.
Hili laweza kutamkwa kama mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtu huyo"
Leviticus 5:14-16
dhambi dhidi ya vitu ambavyo ni vya Yahweh
Hii inamaanisha kwamba mtu aliyefanya dhambi kwa kutotoa kwa Yahweh kile alichomwamru Yahweh kutoa. : "Natenda dhambi kwa kushindwa kutoa kwa Yahweh kilicho cha Yahweh"
thamani yake halisi itatathminiwa kulingana na shekeli za fedha
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji: "Naye yapasa kuamua ni shekeli ngapi huyo kondoo dume anastahili"
shekeli
Sheli ni kama gramu 11 hivi katika uzito.
shekeli za patakatifu
Labda huenda hii humaanisha kulikuwa angalau na njia mbili za kupima shekeli. Hii humaanisha namna kuhani wa patakatifu alivyopima shekeli. : ""kipimo rasimi katika hema takatifu"
patakatifu
Hili ni jina lingine la hema takatifu
ataongeza moja ya tano
ya tano** - Hii inamaanisha mtu huyo alilazimika kulipa ziada ya moja ya tano ya thamani ya alichodaiwa na Yahweh.
moja ya tano
ya tano** - Hii ni sehemu moja kutokana na sehemu tano zilizosawa.
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "kuhani atapatanisha kwa ajili yake"
naye mtu huyo atakuwa amesamehewa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "yahweh atamsamehe mtu huyo"
Leviticus 5:17-19
ameagiza lisitendwe
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : ": "amewaamuru watu wasitende
atachukua hatia yake mwenyewe
Ile hatia ya mtu imezungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoonekana ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha kwa hatia hiyo. : "naye anawajibika kwa hatia yake mwenyewe" au "Yahweh atamwadhibu yeye kwa dhambi zake"
mwenye thamani ya fedha iliyopo
Hii humaanisha kuwa mtu huyo ni lazima aamue kwa kutumia kipimo rasimi cha kwenye hema takatifu ni kiasi gani cha shekeli huyo kondoo dume anastahili.
naye atakuwa amesamehewa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe yeye"
na kwa hakika amekuwa na hatia mbele za Yahweh."
"Hakika Yahweh ataiangalia hatia yake"
Leviticus 6
Leviticus 6:1-4
kuvunja amri dhidi ya Yahweh
"aasiye mojawapo ya amri za Mungu"
kujishughulisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani kilichowekwa amana kwake
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "akidanganya kwa jirani yake kuhusu kitu fulani alichomwazimisha yeye
jirani yake
"Jirani yake" humaanisha Mwisraeli yeyote, siyo yeyote aishiye karibu naye.
alichokichukua kwa dhuluma kutoka kwake
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "bila kurudisha kitu fulani alichokiazima"
Leviticus 6:5-7
kwa ukamilifu
"kikamilifu" au "kabisa"
kuongeza moja ya tano
Tazama lilivyotafsiriwa katika 5:15
kumlipa anayedai
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. :"kulipa mtu anayemdai"
anayopatikana na hatia
Mtu aliyeiba yapasa kuletwa mbele ya mwamuzi na kutangazwa mwanyehatia. : "sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. "hakimu anamtangaza kuwa mwenye hatia"
inayolinga na thamani ya sasa
Tazama 5:14 uone lilivyofasiriwa
Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kuhani atapatanisha kwa ajili yake"
mbele ya Yahweh,
katika uwepo wa Yahweh"
naye atakuwa amesamehewa
Hii humaanisha Yahweh atamsamehe mtu huyo, siyo kuhani. Hii yaweza kutafasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mungu atamsamehe yeye"
Leviticus 6:8-9
Kisha Yahweh akazungumza na Musa akisema, "Mwagize Aroni na wanawe, kusema, 'hii ndiyo sheria
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : "Kisha Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia kumwamru Aroni na wanawe, akisema, 'Hii ndiyo sheria'"
juu ya meko ya madhabahu
"Lazima iwe juu ya madhabahu"
nao moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa uufanye moto wa madhabuni uendelee kuwaka"
Leviticus 6:10-11
nguo zake za kitani,
Kitani ni nguo nyeupe. : "nguo zake nyeupe"
Naye atayachukua hayo majivu
"Naye atayakusanya hayo majivu"
baada ya moto kuwa umetekeza sadaka ya kuteketezwa
Moto kuteketeza kabisa sadaka umezunguzwa kana kwamba umeitafuna au kuitumia sadaka ya kutekezwa
mpaka mahali palipo safi
Mahali panapofaa kutumika kwa makusudi ya Mungu pameongelewa kana kwamba palikuwa safi kimaumbile.
Leviticus 6:12-13
Huo moto ulio juu ya madhabahu utaendelea kuwaka.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kuhani atautunza moto ulio juu ya madhabahu ili uendelee kuwaka"
kama inavyotakiwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "juu yake kama Yahweh anavyotaka"
Leviticus 6:14-15
kuleta harufu ya kupendeza
Tazama sura 1:7 lilivyofasiriwa kama kirai kile kile.
sadaka ya kuwakilisha
Tazama lilivyotafsiriwa sura ya 2:1
Leviticus 6:16-18
ni lazima iliwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Yawapasa kuila"
Haitaokwa pamoja na hamira
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "msiioke na hamira"
matoleo... yafanywayo kwa moto
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "sadaka za kuteketeza"
Yeyote ayagusaye atakuwa mtakatifu."
Hili ni onyo limaanishalo kwamba hao walio wa uzao wa Aroni wasio wanaume haikuwapasa kuigusa hiyo sadaka. Maana kamili ya kauli hii yaweza kuwa wazi.
Leviticus 6:19-20
ambayo kila mwana atapakwa mafuta
hii inamaanisha kwamba watapakwa mafuta watakapokuwa makuhani. Maana ya kamili ya kauli yaweza kuwekwa wazi. Hii pia yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Anapompaka mafuta kila mwana, akiwaweka wakfu kuwa makuhani"
sehemu ya kumi ya efa
Efa moja ni sawasawa na lita 22. moja ya kumi ya efa ni kama lita 2 hivi.
sehemu ya kumi
Hii ni sehemu ya kumi sehemu zilizosawa.
Leviticus 6:21-23
Nayo Itatengenezwa
hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Nawe utaitengeneza"
katika kikaango
Tazama sura ya 2:4 uone lilivyofasiriwa.
Itakapokuwa imelowekwa
"Unga unapokuwa umeloana kabisa kwa mafuta"
utaileta ndani
Hapa "Nawe" humrejelea mtu anayetoa sadaka.
ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
Tazama maelezo katika sura ya 1:7 kwa ufafanuzi.
Kama ilivyoamriwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Kama vile ambayo Yahweh amekuamru"
yote itateketezwa
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "yapasa aiteketeze yote"
itateketezwa yote kabisa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yapasa aiteketeze yote kabisa"
Haitaliwa kamwe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hakuna apaswaye kuila"
Leviticus 6:24-26
Yahweh akazungumza tena na Musa, akisema, "Sema na Aroni na wanawe uwaambie kwamba, 'Hii ndiyo sheria
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : "Yahweh alizungumza na Musa na akamwambia kuzungumza na Aroni na wanawe, akimwambia, 'Hii ndiyo sheria'"
Sema na Aroni na wanawe
Yahweh anazungumza na Aroni na wanawe, lakini kanuni hizi zinatekelezeka kwa makuhani. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kufanywa wazi.
Sadaka ya dhambi lazima ichinjwe... mbele za Yahweh
Yaweza kuwekwa wazi kwamba hii hurejelea upande wa kaskazini wa madhabahu. Tazama 1:10
inapochinjwa sadaka ya kuteketezwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji:. : "Yakupasa kuichinjwa sadaka"
Sadaka ya dhambi lazima ichinjwe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "mahali unapomchinjia mnyama wa sadaka ya kuteketezwa"
mbele za Yahweh
"kwa Yahweh"
Nayo yapasa kuliwa
Hii yaweza kutmkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yampasa kuila"
Leviticus 6:27-28
Chochot kigusacho nyama yake kitakuwa kitakatifu
Hili ni onyo linalomaanisha kwamba zaidi ya makuhani hakuna impasaye kugusa nyama ya sadaka ya dhambi. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuweka wazi.
kama damu yake inanyunyizwa juu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "iwapo damu yake inanyunyizwa juu"
chungu ambamo inachemshiwa lazima kivunjwe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yakupasa kukivunja chungu ambacho ndani yake uliichemshia"
kama imechemshwa ndani ya chombo cha shaba, lazima kisuguliwe na kusafishwa kwa maji
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kama ulichemsha nyama kwenye kwenye sufuria ya shaba, hivyo itakupasa kuisugua sufuria na kuisuuza kwa maji safi"
Leviticus 6:29-30
sadaka ya dhambi...haitaliwa
Hii yaweza kutamkwa ktika mtindo wa utendaji. "Hakuna hata mmoja atakayeila sadaka ya dhambi"
ambayo damu yake inaletwa kwenye hema la kukutania
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. ; Amabayo kutoka kwayo kuhanai anatoa damu ya kuleta kwenye hema la kukutania"
Ni lazima iteketezwe.
Hii yaweza kutamkwa ktika mtindo wa utendaji. : "lazima Kuhani ataiteketeza"
Leviticus 7
Leviticus 7:1-4
Taarifa kwa Ujumla:
Yahweh anaendelea kumwambia Munsa kile anachopaswa kumwambia Aroni na wanawe.
mahali panapostali kuchinjwa
Panaweza kuwekwa wazi kwamba hapa panamaanisha Mahali ambapo wanyama watolewao kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa huchinjwa. Tazama 1:10
Mafuta yote yaliyomo ndani yake yatatolewa:
Hii yaweza kufasiriwa katika mtido wa utendaji. : "Yule kuhani atayatoa mafuta yote yaliyomo ndani yake"
sehamu za ndani
Hili ni tumbo pamoja na Matumbo
Ini...figo
maneno haya yamefasiriwa katika mtindo ule ule uliotumika kwenye sura ya 3:3
karibu na kiuno
Hii ni sehemu ya mwili kwenye pande za uti wa mgonngo kati ya mbavu na mifupa ya nyonga. Tazama 3:3
hii yote lazima iondolewe
Hili linaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : Huyo Kuhani aiondoa hii yote.
Leviticus 7:5-6
viwe dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "viwe sadaka ya kuteketezwa"
lazima iliwe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni lazima waile"
Leviticus 7:7-8
Ni sheria ileile hutumika kwa zote mbili
"Sheria ni ileile kwa zote mbili"
ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho.
Ile nomino dhahania "Upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kwa kuhani aitoaye dhabihu ili kupatanisha kwa aji;li ya dhambi za mtu fulani"
ngozi
Vazi au ngozo ya mnyama
Leviticus 7:9-10
inayookwa mekoni... ipikwayo kaangoni
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ile ambayo mtufulani anaioka mekoni... ile ambayo mtu fulani huipika mekoni"
Meko
Tazama maelezo katika sura 2:3
Kaango
Tazama maelezo katika 2:6 ili uone neno "kaango" lilivyotafsiriwa
Sufuria
Tazama sura ya 2:4 uone neno "sufuria" lilivyofasiriwa
Leviticus 7:11-12
mikate isiyotiwa hamira, bali iliyochanganywa na mafuta ya zeituni
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ya mikate aliyoifanya pasipo kutia hamira bali kwa kuchanganya na mafuta.
vipande vya mkate...iliyochanganywa na mafuta ya zeituni
"Vipande vya mkate" hapa humaanisha mkate mnene
kaki zisizotiwa hamira, lakini ziwe zimefanywa kwa mafuta ya zeituni yaliyopakwa juu yake
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji: : ya mikate miembamba aliyoifanya bila hamira bali kwa kuipaka mafuta"
kaki...zilizopakwa mafuta
"Kaki" hapa humaanisha mkate mwembamba.
mikate iliyofanywa kwa unga laini uliochanganywa vema na mafuta
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ya mikate aliyoitengeneza kwa unga laini uliochanganywa na mafuta"
mikate iliyofanywa kwa unga laini
"Mikate'" hapa humaanisha mkate mnene. Hufanana na aina ya ule mkate wa kwanza isipokuwa wenyewe unafanywa kwa unga uliolaini zaidi
Leviticus 7:13-14
vipande vya mikate iliyotiwa hamira
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji: : : "vipande vya mkate alioufanya kwa kutia hamira"
vipande vya mkate
Hii humaanisha mkate mnene.
Leviticus 7:15-16
Mtu anayeleta
"Mtu anayetoa"
kwa kusudi la kutoa shukrani
Ile nomino dhahania "shukurani" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kwa kusudi la kumshukuru Yahweh"
lazima nyama italiwa...kinaweza kuliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni lazima aile hiyo nyama...anaweza kuila"
Leviticus 7:17-18
katika siku ya tatu
ya tatu hii ni namba ya kawaida kwa tatu. : "baada ya siku mbili"
lazima ichomwe moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. " : "mtu anayepaswa uiteketeza"
Iwapo kipande chochote cha nyama hiyo ya dhabihu kinachobaki kinaliwa katika siku ya tatu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "iwapo mtu yeyote anakula nyama yake ya sadaka
hakitakubalika
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh hataikubali"
wala hakitatolewa kwa aliyeitoa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "wala Yahweh hataiheshimu dhabihu ambayo huyo mtu aliitoa"
atabeba hatia ya dhambi mwenyewe yake
Mtu anayewajibika kwa dhambi aliyoitenda anazungumziwa kana kwamba anapaswa kubeba kimaumbile hiyo hatia.
Leviticus 7:19-20
9Nyama yoyote igusayo kitu kilicho najisi haitaliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Hakuna awezaye kula nyama inayogusa kitu fulani kilichonajisi"
kitu kilicho najisi
Kitu fulani ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kukigusa au kukila kinasungumziwa kana kwamba kilikuwa najisi kimaumbile.
Ni lazima iteketezwe kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa uiteketeze kwa moto"
yeyote aliye safi
Mtu mwenye kukubalika kwa kusudi la Mungu anazungumziwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa safi kimaumbile.
mtu yeyote aliyenajisi
Mtu asiyekukubalika kwa kusudi la Mungu anazungumziwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa mchafu kimaumbile.
yapasa mtu huyu akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
Mtu anayetengwa kutoka kwa jamii yake anazungumziwa kana kwamba amkwisha kukatwa kutoka kwa watu wake, kama vile mtu akatavyo kipande cha nguo au tawi kutoka kwenye mti. : "mtu huyo hawezi kuishi miongoni mwa watu wake" au "yapasa umtenge mtu huyo kutoka kwa watu wake"
Leviticus 7:21
kitu chochote kilichonajisi
Kitu fulani ambacho Yahweh amekitaja kuwa hakifai kugusa au kula kinazungumziwa kana kwamba kilikuwa si safi kimaumbile.
iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi,
"Mtu" hapa mumaanisha wanadamu kwa ujumla. : "ikiwa wa mtu au wa mnyama
au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza
au wa unajisi fulani wa kitu ambacho humchukiza Yahweh
lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
Tazama maelezo katia sura ya 7:19. Hii pia yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji.
Leviticus 7:22-24
Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. "Kisha Yahweh na akamwambia Musa kumbia kuwaambia watu wa Israeli kwamba: "Hamtakula mafuta"
afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu
"aliyekufa peke yake lakini hakuwa dhabihu"
mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mafuta ya mnyama yule ambaye mnyamapori alimuua"
Leviticus 7:25-27
dhabihu iliyofanywa...kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka ya kutekeza"
mtu huyo lazima atakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake
Tazama katika sura ya 7:19
Hamtakula damu
"Hamtatumia damu"
katika mojawapo ya nyumba zenu
"katika masikani yenu" au "popote mwishipo"
Leviticus 7:28-30
Kwa hiyo Yahweh akazungumza na Musa na akasema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Yeye atoaye
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : Kisha Yahweh akazungumza na Musa na akamwambia awaambie watu wa Israeli kwamba: 'Yeye atoaye"
Mikono yake mwenyewe lazima iilete hiyo sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto
Kile kirai "ifanywayo kwa moto" yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yeye mwenyewe analazimika kuileta sadaka anayopanga kuiteketeza kama dhabihu kwa Yahweh"
Mikono yake mwenyewe
"Mikono" humwakilisha mtu mzima. : "yeye mwenyewe anapaswa kuileta"
kidari
Sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama iliyoko chini ya shingo
ili kwamba kidari kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ili kwamba kuhani aweze kuiwasilisha kwa Yahweh kama sadaka ya kutikiswa"
kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
Kuiinua juu sadaka ni mfano wa ishara unaoonyesha kwamba mtu anaiweka wakfu dhabihu kwa Yahweh.
Leviticus 7:31-32
Paja
Sehemu ya juu ya mguu juu ya goti
kama sadaka iliyotokana
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "nawe uitoe kama sadaka"
Leviticus 7:33-34
Kwa kuwa nimetwaa
"Nime..." hapa humrejelea Yahweh.
uwe mchango
hiyo ninaitoa kama sadaka"
Leviticus 7:35-36
sadaka zilizofanywa kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sandaka za kuteketezwa kwa ajili ya Yahweh"
ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israel
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "aliyowaamru Yahweh watu wa Israeli kuitoa kwao"
hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani
ambayo Musa aliwapaka mafuta makuhani".
katika vizazi vyote
Hii yaweza kufasiriwa kama katia sura ya 3:15
Leviticus 7:37-38
Maelezo Unganishi
Huu ni mwisho wa hotuba iliyoanzia katika 7:28
Leviticus 8
Leviticus 8:1-3
Taarifa kwa ujumla
Katia sura ya 8 Musa anawaweka wakfu Aroni na wanawe wawe makuhani kulingana na aagizo ya Yahweh ambayo aliyaamru katika kitabu cha Kutoka
mavazi
"Mavazi ya kikuhani" au "nguo walizavaa makuhani"
Leviticus 8:4-5
Haya ndiyo Yahweh amegiza yatendwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh alituamru sisi kutenda"
Leviticus 8:6-7
na kuwaosha kwa maji
Hili ni tendo la kiishara. Ni usafishaji wa kiibada ambao huwandaa wao kuwa makuhani.
kanzu... ukumbuu...joho...kizibao...mshipi uliosokotwa kwa ustadi
mshipi uliosokotwa kwa ustadi** - Haya ni mavazi ambayo Yahweh aliwaamru watu kutengeneza kwa ajili ya makuhani.
ukumbuu`
kipande cha nguo kirefu ambacho kinafungwa kuzunguka kiuno au kifua.
kukikaza mwilini mwake
"alikifunga kumzunguka"
Leviticus 8:8-9
akaweka kifuko kifuani mwa Aroni
"Musa aliweka kifuko juu ys |Aroni"
kifuko kifuani..kiremba...bamba la dhahabu... taji takatifu
Haya yote ni mavazi maalum ambayo Yahweh aliwaamru watu kutengeneza kwa ajili ya makuhani.
Urimu na Thumimu
Hivi havikujulikana wazi vilikuwa ni vitu gani. Vilikuwa vitu ambavyo kwa kuhani alivitumia kwa namna fulani kupambanua mapenzi ya Mungu.
kiremba
kifuniko cha kicho cha mtu ambapo kilikuwa ni kitambaa cha nguo kirefu kilichofungwa kukizunguka kichwa
bamba la dhahabu; liwe taji takatifu
Virai hivi viwili hurejelea kitu kile kilekile. Lilikuwa ni mamba la dhahabu tupu lililoambatanishwa na kiremba.
Leviticus 8:10-11
vyombo vyake vyote
Hivi vyote ni vyungu, masufuria, makoleo, na nyuma vilivyotukaka kwenye madhabahu.
sinia la kunawia
Hili ni besenni la shaba liliowekwa kati ya madhabahu na hema.
kitako chake
Hiki ni kinara cha shaba ambacho juu yake sinia la kunawia liliwekwa.
Leviticus 8:12-13
Akamimina
"Musa alimimina"
ukumbuu
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 8:6
Leviticus 8:14-15
wakaweka mikono yao juu ya kichwa
Tazama jinsi lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3
mpembe za madhabahu
Tazama jinsi lilivyofasiriwa katika sura ya 4:6
kuitenga kwa Mungu
"tenga madhabahu kwa ajili ya Mungu"
kufaa kwa kufanyia upatanisho.
"Upatanisho" hapa humaanisha kuifanya madhabahu ifae katika kumtumikia Mungu. : "ili kuifanya mahali pa kufaa kwa ajili ya kuteketezea dhabihui ya dhambi"
Leviticus 8:16-17
sehemu za ndani
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
ini...figo
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 3:3
ngozi
Hili ni vazi au nyama ya juu yenye manyoya ya mwili wa mnyama wa kundini
Leviticus 8:18-19
wakaweka mikono yao juu ya kichwa
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3
Leviticus 8:20-21
Naye akamkatakata kondoo
"Musa akamkata kondoo"
ilitoa harufu ya kupendeza
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka aliyoiteketeza kwa Yahweh"
Leviticus 8:22-24
kondoo wa kuwekwa wakfu
Neno "kuweka wakfu" ni nomino dhahania. : "kondoo kwa ajili ya kuwatenga Aroni na wanawe kwa ajili ya huduma ya Mungu"
wakaweka mikono yao juu ya kichwa
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3
naye akaweka sehemu ya damu ya kondoo
Inaonesha kwamba Musa aliikinga damu kwenye bakuli wakati ilipochuruzika kutoka kwa mnyama. Maana yake yaweza kuwekwa wazi
Leviticus 8:25-27
sehemu za ndani
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
ini...figo
Limefasiriwa kama ilivyofanyika katika sura ya 3:3
paja la kulia
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 7:31.
kikapu cha mikate isiyo na hamira ambayoo ilikuwa mbele za Yahweh
Hii haimaanishi mahali pa kikapu cha mikate. humaanisha kwamba huu ni mkate ambao Musa amishauweka wakfu kwa Yahweh.
weka mikoni mwa Aroni na katika mikono ya wanawe
"Mikono" hapa huwakilisha nafsi nzima. : "aliitoa yote kwa Aroni na wanawe"
kuvitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa
Inaashiria kwamba Aroni na wanawe waliiwasilisha sadaka. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa ya kueleweka. :"Walivitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa"
kuitikisa
Hili ni tendo la kiishara linaloweka wakfu sadaka kwa Yahweh.
Leviticus 8:28-29
Musa akaichukua
sherehe rasmi inayomfanya mtu kuwa kuhani
kutoka mikononi mwao
"Mikono" hapa huwakilisha nafsi nzima. : "kutoka kwa Aroni na wanawe"
Zilikuwa ni sadaka ya kuwekwa wakfu
"Zilikuwa sadaka za kuwatenga Aroni na wanawe kwa ajili ya huduma kwa Yahweh"
sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh kwa moto
ilitoa harufu ya kupendeza
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
kidari
Sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo
kuwekewa mikono
Sherehe rasmi inayomfanya mtu kuwa kuhani
Leviticus 8:30
Musa
Musa alikuwa nabii na kiongozi wa watu wa
Musa alipokuwa mtoto, wasazi wake Musa walimweka kwennye kikapu kwenye mianzi ya mto Nile ili kumficha kutoka kwa Pharao wa Misri. Miriamu, dada yake Musa alimwangalia huko. Maisha ya Musa yalilindwa tu pale binti Farao alipomwona na kumpeleka ikulu kumlea kama mwanawe.
Mungu allimchagua Musa kuwaokoa Waisraeli kutoka utumwani Misri na kuwaongoza mpaka nchi ya ahadi.
Baada kuundoka kwa Waisraeli huko Misri, na wakiwa wanarunguka jangwani, Mungu alimpa Musa mbao mbili za mawe zilizoandikwa Amri za Mungu juu yake.
Karibu na mwisho wa uhai wake, Musa aliitazama tu nchi ya ahadi, lakini hakuingia kuishi humo kwa sababu hakumtii Mungu.
Paka mafuta, mpakwa mafuta
Neno "paka mafuta" humaanisha kusugua au mimina mafuta juu ya mtu au chombo, Wakati mwingine mafuta yalichanganywa na viungo, vikiyapa harufu yenye manukato. Neno pia limetumika kitamathari kumaanisha Roho Mtakatifu kumchaguwa na kumwezesha tu.
Katika Agano la Kale, makuhani, wafalme na manabii walipakwa mafuta ili kutenga kwa huduma maalum kwa Mungu.
Vyombo kama vile madhababhuau hema, vilipakwa mafuta kuonyesha kwamba vilikuwa vitumike kumwabudia na kumtukuza Mungu.
Katika Agano Jipya, wagonjwa walipakwa mafuta kwa uponyaji wao.
Agano Jipya hutaarifu mara mbili amabapo Yesu alipopakwa yenye manukato na wanawake, kama tendo la ibada. Wakati mmoja Yesu alisifia kwamba kwa kufanya hivi mwanamke huyo alikuwa akiandaa maziko Yake ya baadaye.
Yesu alipokufa, rafiki zake waliuandaa mwili wake kwa maziko kwa kuupaka mafuta na uvumba.
Vyeo "Mesiya" (Kiebrania) na "Kristo" (Kiyunani) humaanisha "Mpakwa mafuta"
MAPENDEKEZO YA UFASIRI Kutegemeana na muktadha, neno "paka mafuta" laweza kufasiriwa kama "mimina mafuta juu ya" au "weka mafuta juu ya" au "weka wakfu kwa kumminia mafuta yaliyotiwa manukato."
"Kupakwa mafuta" laweza kufasiriwa kama "wekwa wakfu kwa kupakwa mafuta." au "teuliwa" au "wekwa wakfu."
Katika baadhi ya mazingira neno "paka mafutaa" linaweza kufasiriwa kama "teuwa."
Kirai kama "kuhani mpakwa mafuta," laweza kufasiriwa kama "kuhani aliyewekwa wakfu kwa mafuta" au kuhani aliyetengwa kwa miminiwa mafuta juu yake."
damu
Neno "damu" humaanisha kimiminika chekundu ambacho hutoka katika ngozi ya mtu kunapoukuwa na jeraha au kovu. Damu hutoa virutubisho viletavyo uhai katika mwili mzima wa mtu.
Damu huashiria uhai na inapomwagwa, huashiria kupoteza maisha au kifo.
Watu walipofanya dhabihu kwa Mungu, waliua mnyama na walimimina damu juu ya madhabahu. Hii iliifananisha dhabihu ya uhai wa damu ya mnyama
Mafuta
Mafuta ni kimiminika kizito, safi kilichotokana na mimea au matunda fulani. Kwa kawaida katika nyakati za Biblia yalitokana na mizeituni.
Mafuta ya zeituni yalitumika kwa kupikia, kupaka, dhabihu, taa, na dawa.
katika nyakati za kale, mafuta ya zeituni yalikuwa na gharama kubwa na umiliki wa mafuta ulihesabika kama kipimo cha utajiri.
Madhabahu
Madhabahu ni muundo ulionuliwa juu ambao juu yake Waisrali waliteketeza wanyama na nafaka kama sadaka kwa Mungu.
Nyakati za Biblia, mara kwa mara watu walitengeneza madhabahu rahisi kwa kuumba rundo la undongo uliofungashwa au kwa kupanga mawe makubwa kwa ungalifu ili kufanya rundo imara.
Baadhi ya madhabahu zilitengenezwa kwa kuunda makasha maalum kwa mbao zilizofunikwa kwa metali kama vile dhahabu, shaba nyeupe au shaba nyekundu.
Baadhi ya makundi mengine ya watu jirani na Israeli pia walijenga madhabahu ili kutoa dhabihu kwa miungu yao.
tenga
Neno "tenga" humaanisha kutengwa na jambo fulani ili kutimiza kusudi fulani.
Waisraeli walitengwa kwa huduma ya Mungu.
Roho Mtakatifu aliwaamru Wakristo wa Antiokia kuwatenga Paulo na Barnaba kwa kazi ya Mungu aliyowataka wao waifanye.
Mwamini "aliyetengwa" kwa kazi ya Mungu "amewekwa wakfu" kutimiza mapenzi ya Mungu.
Moja ya maana ya "mtakatifu" ni kutekwa kuwa wa Mungu na kuwa umetengwa kutoka katika njia za dhambi za ulimwengu.
\Ule msamiati "takasa" humaanisha kumtenga mtu kwa huduma ya Mungu.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI Njia za kufasiri "kutenga" zaweza kujumuisha, "kuchagua mahususi" au kutenga kutoka miongoni mwenu" au "kuweka kando ili kufanya kazi maalum."
"Kutengwa" kwaweza kufasiriwa "kuwekwa kando
Vaa, vikwa
Neno "kuvikwa na" linapotumika kitamathli kwenye Biblia, humaanisha kuruzukiwa au kuandaliwa kwa kitu fulani. "Kujivika" mwanyewe na kitu fulani humaanisha kutafuta kuwa na tabia yenye sifa fulani.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI Kama inawezekana, ni vema kuitunza tamathali ya usemi, "jivike na." Njia nyingine ya kufasiri hili ni yaweza kuwa "vaa" kama hii ingemaanisha kuvaa nguo.
Kama hii haileti maana sahihi, njia nyingine ya kuifasiri tamathali "kuvikwa na" yaweza kuwa "kuonyesha" au "kudhihirisha" au kujazwa na" au kuwa na sifa ya."
Neno "jivike na" laweza pia kufsiriwa kama "jifunike na" au "enenda katika njia ambayo huonyesha."
mwana, mwana wa
Neno "mwana" hurejelea mvulana au katika uhusiano kwa wazazi. Laweza pia kumaanisha ama mzao mwanaume wa mtu fulani au kwa mwana aliyeasiliwa.
"Mwana," mara kwa mara limetumika kimafumbo katika Biblia kumaanisha mzao yeyote wa kiume, kama vile mjukuu au kitukuu.
Neno "mwana" pia linaweza kutumika kama muundo wa kistaraabu wa kumwita mvalana au mtu aliye kijana.
Wakati mwingine "wana wa Mungu" limetumika kwenye kumaanisha waaminio katika Kristo.
Mungu anaiita Israeli "mwanawe mzaliwa wa kwanza." Hii hurejelea uchaguzia wa Mungu wa taifa la Israeli kuwa watu maalum wa Mungu. Ni kwa kupitia kwao kwamba ujumbe wa ukombozi na wokovu ulikuja, ukiwa na matokeo yake kwamba watu wengi wamefanyika watoto wa kiroho.
Kirai "mwana wa" mara kwa mara limekuwa na maana ya kimafumbo, "kikiwa na sifa bainishi za." Mifono ya hiki hujumuisha wana wa nuru," "wana wa amani," na "wana wa ngurumo."
Kirai "mwana wa" pia kimetumika kuzungumzia ni nani aliye baba wa mtu. Kirai hiki hutumika kuelezea vizazi na maeneo mengine mengi.
Kwa kutumia "mwana wa" kwa kutoa jina la baba mara mara husaidia kutofautisha watu wenye majina yenye kufanana. Kwa mfano, "Azaria, mwana wa Sadoki" na Azaria, mwana wa katika 1 Wafalme 4, na "Azaria, mwana wa Amazia" katika 2 Wafalme 15 ni watu watatu waliotofauti.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI Kwenye muktadha wa kukiri kwamba kitu fulani ni kweli, "kiri" laweza kufasiriwa kama "kubali" au "tangaza" au "ungama" kuwa ni kweli au "amini."
Linapomaanisha kumtambua mtu, neneo hili laweza kufasiriwa kama "pokea" au "tambua" uthamni wa" au ambia wengine kwamba
Leviticus 8:31-33
kikapu cha kuwekwa wakfu
Hii humaanisha kikapu kilicho na matoleo yatumikayo wakati wa kuwaweka wakfu Aroni na wanawe. : "kile kikapu"
kama nilivyoamru, kusema, 'Aroni na wanawe wataila
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. " kama nilivyokuagiza kufanya"
hata zitakapotimia siku za kuwekwa mikono kwenu
Hii yaweza kufasiriwa katiika mtindo wa utendaji. : "mpaka mkamilishe siku zenu za kuwekewa mikono.
kuwekwa mikono
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 8:28
Leviticus 8:34-36
Kitendeke
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "sisi tutende"
Kufanya upatanisho kwa ajili yenu
Ile Nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : " Kupatanisha kwa ajili ya dhaambi zenu"
hivi ndivyo nimeamriwa
Hii yaweza kufasiriwakatika mtindo wa utendaji. "hivi ndivyo ameniamru"
Leviticus 9
Leviticus 9:1-2
siku ya nane
Neno "ya nane" ni namba ya kawaida kwa nane.
Mbele za Yahweh
"kwa Yahweh" au "katika uwepo wa Yahweh"
Leviticus 9:3-5
Maelzo jumla:
Musa anaendelea kumwambia Aroni'
Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Twaeni beberu...atajidhihirisha kwenu
Musa anaendelea kumwambia Aroni. Sentensi hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa iliyotwa. : "na waambie watu Israeli watwae beberu...atajidhihirisha kwa watu wote"
wa umri wa mwaka moja
"mwenye umri wa miezi kumi na miwili"
ilikuwatoa mbele za Yahweh
"kutoa kwa Yahweh"
Leviticus 9:6-7
amewaamru nyinyi mfanye
"Nyinyi" hapa humaanisha watu wa Israeli.
ili kwamba utukufu wake uweze kuonekana kwenu
"Utukufu" hapa huwakilisha uwepo wa Yahweh. : ""ili kwamba aweze kuonyesha utukufu wa uwepo wake"
kufanya upatanisho kwa ajili yako mwenyewe.. na kwa ajili ya watu ili kufanya upatanisho kwa ajili yao
Hizi ni dhabihu mbili tofauti. Dhabihu ya kwanza ni kupatanisha kwa ajili ya dhambi za kuhani mkuu. Kuhani mkuu anapotenda dhambi, hiyo dhambi huwafanya watu wawe na hatia. (Tazama 4:1) Dhabihu ya pili ni kupatanisha dhambi za watu wanazotenda wenyewe.
Leviticus 9:8-9
wana wa Aroni wakamletea hiyo damu
Hii inaonyesha kwamba waliikinga damu kwenye bakuli wakati damu ilipokuwa ikichuruzika kutoka kwa mnyama. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi wazi
pembe za madhabahu
Tamza maelezo ya sura ya 4:6
chini ya kitako cha madhabahu
"chini ya madhabahu"
Leviticus 9:10-11
aliyateketeza
"Aroni aliiteketeza"
figo...ini
Tazama maelezo ya sura ya 3:3
ngozi
Tazama maelezo ya sura ya 7:7
Leviticus 9:12-14
wanawe wakampa hiyo damu
Tazama maelezo ya sura ya 9:8
sehamu za ndani
Tazama maelezo ya sura ya 1:7
Leviticus 9:15-17
mbuzi wa kwanza
Neno "wa kwanza" ni namba ya mpango kwa ajili ya namba moja. : "mbuzi kwa ajili ya sadaka yake mwenyewe.
pamoja na sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa
Hii humaanisha dhabihu ya kwanza ya kila siku. kuhani angieitoa dhabihu hii ya kuteketezwa asuhubi kabla ya dhabihu nyingine yot yote. Maana kamili yaweza kufanywa wazi.
Leviticus 9:18-19
Akamchinja
"Aroni alichinja"
wana wa Aronni wakampa damu
Inamaanisha kwamba damu ilikuwa kwenye bakuli. Maana kamili yaweza kufanywa wazi.
Sehemu za ndani
Tazama maelezo ya sura ya 1:7
figo...ini
Tazama maelezo ya sura ya 3:3
Leviticus 9:20-21
Wakazichukua hizi sehemu
"wana wa Aroni walizichukua hizo sehemu"
wakaziweka hizi
Neno "hizi" hurejelea mafuta na sehemu zilizoorodheshwa hapo awali.
vidari
Tazama amaelezo ya sura ya 7:28
paja la kulia
Tazama amaelezo ya suru ya 7:31
mbele za Yahweh
"kwa Yahweh"
Leviticus 9:22-24
kisha akashuka chini
Kirai "akashuka chini" kimetumika kwa sababu mahali pa madhabahu palikuwa juu zaidi ya mahali watu walipokuwa wanasimama.
utukufu wa Yahweh ukaonekana kwa watu wote
"Utukufu" hapa huwakilisha uwepo wa Yahweh. : "Yahweh akawaonyesha watu wote utukufu wa uwepo wake"
Moto ukashuka kutoka kwa Yahweh na ukairamba
"Yahweh alituma moto ulioiramba"
ukairamba sadaka ya kuteketezwa
Moto ukiitekeza kabisa sadaka umezungumziwa kana kwamba moto uiitafuna au kuitumia sadaka ya kutekezwa.
wakala wakiinamisha nyuso zao chini
"walilala wakaelekeza nyuso zao ardhini." Hii ni ishara ya heshima na adhama.
Leviticus 10
Leviticus 10:1-2
Nadabu na Abihu
Haya ni majina ya wana wa Aroni
kifukizo
chombo cha metali chenye kina kifupi ambacho makuhani walikitumia kubebea makaa ya moto au uvumba
wakakaweka moto ndani yake
"akaweka makaa yaliyowaka moto ndani yake"
wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa
"Lakini Yahweh hakuikubali sadaka yao kwa sababu haikuendana na kile ambacho aliwaamru kukitoa"
moto usiokuabalika mbele za Yahweh
"moto usiokubalika kwa Yahweh"
Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh
"Kwa hiyo Yahweh akatuma moto"
ukashuka chini mbele za Yahweh
"ulikuja kutoka kwa Yahweh"
na kuwala
Moto ukiwaunguza kabisa watu unazungumziwa kana kwamba uliwala au uliwatumia kabisa.
nao wakafa mbele za Yahweh
"walikufa katika uwepo wa Yahweh"
Leviticus 10:3-4
"Hiki ndicho Yahweh alichokuwa akikiongelea aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu... mbele za watu wote'"
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu halisi yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa iliyotajwa. : "Hiki ndicho Yahweh alichokuwa akiongelea alliposema kwamba angefunua takatifu wake...wamkaribiao yeye, na ya kwamba yeye atatukuzwa...watu
Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wanikaribiao
Kile kirai "wale wanikaribiao" humaanisha makuhani wamtumikiao Yahweh. "Nitawaonyesha wale ambao hukaribia kunitumikia kwamba Mimi ni mtakatifu" au "Wale wanaokuja karibu ili kunitumikia lazima wanitendee kama mtakatifu.
Nami nitatukuzwa mbele za watu wote
Sehemu hii ya pili ya tamko la Yahweh bado linamhusu kuhani, ambaye ni mmoja wa wanaomkaribia Yahweh. "Laazima wanitukuze mbele za watu wote" au "Lazima waniheshimu katika uwepo wa watu wote"
Mishaeli...Elzafani...Uzieli
Haya ni majina ya watu
ndugu zenu
Hii haimanishi kwamba walikuwa ndugu halisi. "Ndugu" hapa humaanisha jamaa au binamu.
Leviticus 10:5-7
Hivyo wakakaribia
"Kwa hiyo Mishaeli na Elzafani wakakaribia"
kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani
Waliibeba miili ya Nadabu na Abihu, ambayo ilikuwa ingali kwenye kanzu za kikuhani
Eliezari...Ithamari
Haya ni majina ya wana wa Aroni.
Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu,
Yahweh anawaambia Aroni na wanawe wasionyeshe ishara yoyote ya nje ya huzuni au kuomboleza.
ili kwamba msije mkafa
"ili kwamba msife"
asilikasirikie kusanyiko zima
"Kusanyiko" hapa humaanisha kutaniko zima la Israeli, siyo kikundi cha viongozi tu. : "asiwakasirikie watu wote wa Israeli"
nyumba yote ya Israeli
"Nyumba" hapa huwakilisha watu wa Israeli. "watu wote wa Israeli"
kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto
"kwa ajili ya wale ambao Yahweh aliwaua kwa moto wake"
Leviticus 10:8-11
Hii itakuwa
"Hii" hapa hurejea nyuma kwenye amri kwa ajili ya makuhani ya kutokunywa mvinyo na kinywaji kikali waingiapo kwenye hema la kukutania.
amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu
Tazama maelezo ya sura ya 3:15.
ili kupaambanua
Unaweza kuanza sentensi mpya hapa. "Yawapasa mfanye hivyo ili kwamba muweze kutofautisha"
kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida
Yale majina vumishi "mataktifu" na "ya kawaida" yaweza kutamkwa kama vivumishi. : "Kati ya kilicho kitakatifu na "cha kawaida" au "kati ya kilichowekwa wakufu kwa Mungu na kilicho cha kawaida
kati ya kilichonajisi na kilichosafi
Yale majina vumishi "kilichonajisi|" na "kisichosafi" yaweza kutamkwa kama vivumishi. : "Kati ya kinajisi na kisafi" au "kati ya kile Mungu ambacho Mungu hatakikubali na kile ambacho atakikubali"
Kilichonajisi
Mtu au kitu ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kuguswa yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa kichafu kimaumbile.
kilichosafi
Mtu au kitu ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kuguswa yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa safi kimaumbile.
Leviticus 10:12-13
sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka za kuteketezwa kwa Yahweh"
kwa kuwa ni takatifu sana
"kwa kuwa sadaka ya nafaka ni takatifu sana"
hivi ndivyo nimeamriwa kuwaambia ninyi
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa tendakji. : "hivi ndivyo Yahweh ameniamru kuwaambia ninyi"
Leviticus 10:14-15
Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kile kidali na paja ambalo mtu alilitikisa na kuipeleka kwa Yahweh"
kidari
ile sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo
paja
ile sehemu ya juu mguu juu ya goti
Wewe mwenyewe, wanao na binti zako
"Wewe" hapa humaanisha Aroni
Nazo zitakuwa zako wewe na wanao uwe mgao wenu daima
Hii ijulikane kwamba sehemu hiyo ni ya Aroni na wanawe. : "Sehemu hii daima itakuwa kwa ajili yako na wanao"
Leviticus 10:16-18
ametekezwa kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kuhani alikuwa ameiteketeza yote"
Eleazari and Ithamari
Yafasiri majina haya kama yalivyofasiriwa katika sura ya 10:5
Kwa nini hamjaila ... mbele zake?
Musa anatumia swali kuwakemea Eleazari na Ithamari. swahili hili lenye ufsaha laweza kufasiriwa tamko. : "Iliwapasa kuwa mmeila...mbele zake."
kwa kuwa ni takatifu sana
"kwa kuwa sadaka ya dhambi ni takatifu sana"
kuchukua uovu wa kusanyiko
Ikimsababisha Yahweh kuwasamehe watu wa Israeli kunazungumziwa kana kwamba uovu ulikuwa kitu ambacho Yahweh hukichukua kutoka kwa watu.
mbele zake
"katika uwepo wake"
Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "hukuileta damu yake"
Leviticus 10:19-20
jambo hili vilevile limetendeka kwangu
Aroni anarejea kwa kifo cha wanawe wawili.
Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?
Dhabihu hizi zilikuwa za kuliwa kwa shangwe na furaha. Aroni anatumia swali kusisitiza kwamba Yahweh asingekuwa amependezwa naye kwa kula dhabihu kwa kuwa anahuzuni kwa sababu ya vifo vya wanawe. Swali hili laweza kufasiriwa kama tamko. : "hakika Yahweh asingekuwa amependezwa."
Leviticus 11
Leviticus 11:1-2
miongoni mwa wanyama
"kutoka kwa wanyama wote"
Leviticus 11:3-4
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile anawachoruhusu watu kula na kile ambacho anawazuia kula.
kwato zenye kugawanyika
Hii humaanisha kwamba kwato zilizogawanyika sehemu mbili badala ya kuwa wayo mmoja
hucheua.
Hii humaanisha mnyama anayeleta chakula kinywani kutoka tumboni mwake na hukitafuna tena.
aadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika
Yaani kwamba, wana moja au nyingine, lakini siyo yote mawili.
ngamia ni najisi kwenu
Ngamia kuwa hafai kwa watu kumla amaezungumziwa kana kwmaba alikuwa mchafu kimaumbile.
Leviticus 11:5-8
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula.
Pimbi
Mnyama mdogo aishiye maeneo ya miamba.
najisi kwenu
wanyama hawa ambao Mungu amewatamka hawafai kwa watu kuwala wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile.
Sungura
Mnyama mdogo mwenye manyoya marefu ambaye kwa kwaida huishi kwenye mashimo chini ardhini.
wala msiiguse mizoga yao
"wala msiguse miili yao iliyokufa"
Leviticus 11:9-10
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
Mapezi
pezi , ni sehemu iliyobapa ambayo samaki huitumia kuogelea majini.
Magamba
Ni mabamba madogo madogo yanayoufunika mwili wa samaki.
viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni
"wanyama wote waishio baharini au mitoni wasio na mapezi na magamba"
watakuwa chukizo kwenu
Yahweh anawaamru watu kuwakataa na kudharau kuwal a viumbe hawa. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapsa mwawachukie hao" au "lazima mukatae kabisakabisa"
Leviticus 11:11-12
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
Kwa kuwa watakuwa chukizo
"kuchukia" ni kukitaa na kukidharamu kitu. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo" wa utendaji. : "kwa kuwa yawapasa kuwachukia hao au kwa kuwa ni lazima muwakatae kabisakabisa"
mizoga yao sharti itakuwa chukizo
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ywapasa kuichukia miili yao iliyokufa" au "msiguse miili yao iliyokufa"
Chochote kisichokuwa na mapezi au magamba kilichomo majin
"Chocote kilichomo majini kisichokuwa na mapezi na magamba"
lazima kiwe chukizo kwenu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima mvichukie" au "lazima mvikatae kabisa kabisa"
Leviticus 11:13-16
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
tai, furukombe, kipungu, mwewe mwekundu, aina yoyote ya kipanga, kila aina ya kunguru, 16kiruka-njia, kipasuasanda, Shakwe..aina yoyote ya mwewe.
Kuna ndege ambao ama hukaa macho usiku au hula panya na wanyama waliokufa.
Leviticus 11:17-19
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
bundi mdogo...bundi mkubwa...chukizo, mnandi, bundi mweupe na mwari, korongo...ina zote za koikoi, huduhudi...popo
Hawa ndege walao panya na wadudu na aghalabu hukaa macho usiku
bundi mkuu
""bundi mkubwa"
Koikoi...huduhudi
Hawa ni ndege walao panya na mijusi.
popo
Ingawaje popo si ndege, kwenye orodh hii popo ni najisi kwa sababu ana mabawa na huruka. ana mwili wa manyoya na hasa hukaa macho usiku. Yeye hula wadudu na panya
Leviticus 11:20-23
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
Wadudu wote wenye mabawa wanaotembea kwa miguu minne ni machukizo kwenu
Neno hili "chukuzo" laweza kufasiriwa na kirai che kitenzi. : "Mtawachukia wadudu wote wenye mabawa wanaotembeao kwa miguu yao miine"
Wadudu watembeao kwa miguu minne
Kirai "miguu miine" hapa ni nahau inayomaanisha kutambaa juu ya ardhi na huwatenga wadudu hawa na vitu vingine virukavyo, kama vile ndege, ambao wana miguu miwili tu. : "wadudu wataambao juu ya ardhi"
nzige, senene, parare, au panzi.
Hawa ni wadudu wadogo ambao hula mimea na wanaweza kurukaruka.
wadudu warukao wenye miguu minne
"wadudu warukao walio na miguu miine"
Leviticus 11:24-25
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaanza kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu wanatakiwa kuwaona najisi.
Nanyi mtakuwa najisi hata jioni kutokana na wanyama hawa endapo mtagusa mizogo yao
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Miili ya wanya wanyama hawa waliokufa itawafanya nyinyi kuwa najisi kama mtagusa mmojawapo.
mtakuwa najisi
Mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu kwa sababu amegusa mojawapo ya miili ya wanyama waliokufa anazungumziwa kana kwamba amekuwa si mchafu kimaumbile.
wanyama hawa
Hii hurejelea wanyama anaotaka kuwaorodheshaa katika mistari inayofuata.
Leviticus 11:26-28
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
Kila myama...ni najisi kwenu
Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kutofaa kwa kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile.
kwato zilizogawanyika
Tazama amelezo ya sura ya 11:3.
Cheuwa
Tazama maelezo ya sura ya 11:3
Kiala awagusaye atakuwa najisi
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu kwa sababu ya amegusa mmojawapo wa wanyama hawa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
vitanga
Miuguu ya mnyama yenye makucha
hata jioni
"hata macheo"
Leviticus 11:29-30
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni wanyama ambao watu walitakiwa kuwaona najisi
hawa ndiyo walio najisi kwen
Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kuwa hawafai kuguswa au kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile
kicheche
mnyama mdogo mwenye manyoya ya kahawia anayekula ndege na wanyama wadogo.
mijusi mikubwa, guruguru, 30kenge, mijusi ya ukutani...na kinyonga
Hizi ni aina mbali mabali za wanyama wenye damu baridi walio na miguu minne.
goromoe
"Mjusi wa ni"
Leviticus 11:31-33
Taarifa kwa Ujmla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aruni wanyama ambao watu walitakiwa kuwaona najisi
hawa ndiyo watakuwa najisi kw
Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kuwa hawafai kuguswa au kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile
Yeyeote awagusaye...atakuwa najisi
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu kwa sababu amegusa mmojawapo wa wanyama hawa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile
hata jioni
"hata macheo"
chombo hicho kitakuwa najisi
Chombo amacho Mungu amekitaja kuwa hakifai kwa watu kukigusa kwa sababu mwili wa mmojawapo wa myama hawa aliyekufa umeangua juu yake kimezungumziwa kana kwamba klikuwa kichafu kimaumbile. Kimezungumziwa kufaa baada ya kuwa kimeoshwa.
Kisha kitakuwa safi.
Kitu flani ambacho Mungu amekitaja kuwa kinafaa kwa watu kukiguza baada ya kuwa kimeoshwa kimeangumziwa kana kwamba kilikuwa safi kimaumbile.
lazima kitalowekwa katika maji
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "na vyovyote utakavyokitumia, itakupasa kukiloweka kwenye maji.
Leviticus 11:34-35
Vyakula vyote ambavyo ni safi
Vyakula ambavyo Mungu amevitaja kuwa vimekubalika kwa watu kula kimezumgumziwa kana kwamba kilikuwa safi kimaumbile.
na kilichoruhusiwa kuliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambacho waweza kukila"
.nacho kitakuwa najisi
Chakula kisichokubalika kwa watu kukila kwa sababu maji yaliyonajisi yamemwagikia juu yake kimezungumziwa kana kwamba kilikuwa kichafu kimaumbile
kinachoweza kunywewa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "waweza kunywa"
cha mzoga
"cha maiti"
Ni lazima kivunjwevunjwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni lazima ukivunje vipandevipand"e au "Yakupasa kukisambaratisha"
Leviticus 11:36-38
Taariifa kwa Ujumla
Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi
Chemchemi au kisima...patabaki kuwa safi
Maji yale ambayo watu wameruhusiwa kunywa kutoka chemchemi au kisima yanapokusanyika pamezungumziwa kana kwamba palikuwa safi kimaumbile.
kisima cha maji ya kunywa yanapokusanyika
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kisima kinachokusanya maji ya kunywa"
mzoga wa mnyama aliye najisi
maiti ya mnyama ambaye Mungu amamtaja kuwa hafai kwa watu kumgusa au kumla amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile
yeye atakuwa najisi
Yule mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu kwa sababu kagusa mzogo wa mmojawapo wa wanyama amazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
mbegu...kwa ajili ya kupanda
"mbugu ambazo mnatarajia kupanda"
Mbegu hizo zitakuwa bado zingali safi...zitakuwa najisi
Mbegu ambazo Mungu amezitaja kuwa zimekubalika kwa watu kupanda zimezungumziwa kana kwamba zilikuwa safi kimaumbile na zile ambazo hazikubaki zimezungumziwa kana kwamba zilikuwa chafu
Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "Lakini kama mtaweka juu ya mbengu"
Leviticus 11:39-40
naye yeyote amgusaye atakuwa najisi hata jioni
Tazama maelezo ya sura ya 11:31
Hata jioni
Hata machweo
Leviticus 11:41-42
atakua chukizo
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa mmchukie" au "yapasa mkatae"
Taariifa kwa Ujumla
Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi
hatakuwa wa kuliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Haipasi kumla"
watakuwa machukizo.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuwachukia" au "Lazima muwakate"
Leviticus 11:43-45
Taariifa kwa Ujumla
Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi
Msijitie unajisi... msije mkachafuliwa navyo.
Yahweh anarudia wazo lilelile mara mbili ili kutia nguvu amri kwamba haiwapasi kula mnyama yeyote aliyenajisi.
msijitie unasi kwavyo
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kiasi kwamba mnakosa kuwa safi kwa sababu ya hivyo"
Leviticus 11:46-47
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anamaliza kuwaambia Musa na Aroni kile anachowaruhusu watu kula na kilea nachowakataza kula.
kwa jili ya kile kinachopaswa kutofautishwa kati
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"kwa ajili ya kupambanua baina ya"
kutofautishwa kati ya kilicho najisi na kilicho safi
Wale wanyama ambao MUngu aliwataja kuwa hawafai kwa watu kuwa gusa au kuwala wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile, nwa wale aliowataja kukubalika kwa watu kuwagusa na kuwala wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wasafi kimaumbile.
ambavyo vyaweza...visivyoweza kuliwa."
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambacho mwaeza kula...amcho hamwezi kula"
Leviticus 12
Leviticus 12:1-3
naye atakuwa najisi
Mwanamke ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa kwa sababu anatokwa ujauzito wake anazungumziwa kana kwamba alikuwa najisi kimaumbile.
katika siku za kipindi chake kwa mwezi
Hii hurejealea kipindi cha mwezi mwanamke anapotokwa na kutokana na ujauzito wake.
nyama ya govi la mtoto mvulana itatahiriwa
Ni kuhani tu pekee angeweza kufanya tendo hili. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kuhani ndiye apaswaye kumtahiri mtoto mvulana"
Leviticus 12:4-5
utakaso wa mama wa kutokwa damu yake utaendelea kwa muda wa siku thelathini na tatu
Siku tatu** - Hii humaanisha kwmba mama atabakia najisi kwa siku sitini na tatu.
muda wa thelathini na tatu
siku tatu** - "siku 33"
naye atakuwa najisi kwa muda wa majuma mawili
Mwanamke ambaye watu wengiine haiwapasi kumgusa kwa sababu anatokwa damu kutokana na mimba yake amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
kwa mud wa majuma mawili
"kwa siku 14"
wakati wa kipindi chake
Tazama maelezo ya sura ya 12:1
siku sitini na sita
siku sita** - "siku 66"
Leviticus 12:6
Siku za kutakaswa kwake zitakapomalizika
Siku za mwezi za utakaso wake zitakapokamilika"
kwa ajili ya mwana au bint
Hii hurejelea idadi tofauti ya siku za utakaso kutegemeana na jinsia ya mtoto anayemzaa; mwana au binti.
Leviticus 12:7-8
naye atatakaswa kutokana kutiririka kwa damu yake
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "na hili litamtakasa kutoka katika kutokwa na damu kwake kunaoendelea wakati wa kuzaliwa kwa mtoto.
kama hana uwezo wa kutoa mwana-kondoo
Fasiri sentensi hii ili kuweka wazi kutokuweza kwa mwanamke kununua dhabihu ya mnyama. : "Iwapo hana fedha ya kutosha kukunulia mwana-kondoo"
naye atakuwa safi
Mwanamke ambaye watu wengine wangeweza kumgusa anazungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile.
Leviticus 13
Leviticus 13:1-2
lazima aletwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kisha yapasa mmoja kumleta yeye" au "kisha yapasa yeye aende"
kwa mmoja wa wanawe
"kwa mmoja wa watoto wa Aroni"
Leviticus 13:3-4
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni juu ya kile watu wafanye.
ngozi ya mwili wake
"Wake" hapa humrejelea mtu mwenye ugonjwa wa ngozi.
ugonjwa wa kuambukiza
ugonjwa ambao unaweza kuenea kwa urahisi kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine.
atamtangaza kuwa ni najisi
"ni lazima kuhani amtangaze najisi mtu huyo." Mtule yule ambaye watu wengine hawapaswi kungusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
kwa siku saba.
"kwa siku 7"
Leviticus 13:5-6
huyo kuhani itambidi kumchunguza
Anayechunguzwa hapa ni yule mtu aliye na ugonjwa wa ngozi
kama haujaenea kwenye ngozi
Hii inamaanisha kwamba kama ugonjwa wa ngozi haujaongozeka katika ukubwa au haujasogea kwenye sehemu zingine za mwili.
siku ya saba
"Ya saba" ni idadi kwa 7. : "siku ya 7"
siku saba
"Siku 7"
Naye kuhani atamtangaza safi ...yeye ni safi.
Yule mtu ambaye wengine wangemgusa amezungumziwa kana kwamba ni safi kimbaumbile.
upele
Hii ili eneo la ngozi lililoumbuliwa, lakini upele upele hataenea kwa watu wengine.
Leviticus 13:7-8
amejionyesha
Hii hurejea moja kwa moja kwa mtu aliye na ugonjwa wa ngozi.
kuhani atamtangaza kuwa najisi
Yule mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile
ugonjwa wa kuambukiza
Tazama maelezo ya sura 13:3.
Leviticus 13:9-11
huyo yapasa aletwe kwa kuhani
Kuhani aliamua iwapo ugonjwa ulikuwa umesambaa. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mmoja nanweza kumleta kwa kuhani" au "anapaswa kumwendea kuhani"
endapo...kumekuwa na nyama mbichi kwenye uvimbe.
"Nyama mbichi" hapa inaweza kumaanisha vidonda vilivyowazi juu ya ngozi au yaweza kumaanisha ngozi mpya imemea, lakini eneeo kukizunguka badao inaugonjwa. ama mojawapo inanyesha kwamba ugonjwa wa ngozi yenye hauponi sawasawa.
ugonjwa sugu wa ngozi
Huu ni ugonjwa ambao au unapona kwa muda wakati mrefu.
naye kuhani atamtangaza kuwa najisi...yeye tayari ni najisi
Yule Mungu ambaye watu wengine hawapasi kumgusa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
Leviticus 13:12-14
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni yawapasayo watu kufanya mtu anapokuwa na ugonjwa wa ngozi.
kuhani atamtangaza mtu huyo...safi...naye atakuwa safi
Mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile na mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
Leviticus 13:15-17
Kuhani atamtangaza...najisi kwa sababu hiyo nyama yake mbichi ni najisi
Tazama maelezo ya hapo juu 13:6
kumtangaza kuwa najisi
Anayetangazwa hapa ni yule mwenye ugonjwa wa ngozi
nyama mbichi
Tazama mafafanuzi yaliyo kwenye 13:9
ugonjwa wa kuambukiza
Imefasiriwa kama ilivyofanyika katia 13:3
kuhani atatangaza kwamba mtu huyo kuwa safi
Yule mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba akuwa safi kimaumbile.
Leviticus 13:18-20
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
Jipu
Eneo juu ya ngozi iliyoambukizwa lenye maumivu makali.
yapasa kuonyeshwa kwa kuhani.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa alionyeshe kwa kuhani"
kuhani atamtangaza kuwa najisi
Mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumzwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
Leviticus 13:21-23
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
analichunguza
Kinachochunguzwa hapa ni ule uvimbe au doa ling'aalo juu ya ngozi.
kuhani atamtangaza kuwa najisi.
Tazama maelezo ya sura ya 13:20
naye kuhani atamtangaza kuwa safi
Mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile.
Leviticus 13:24-25
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
Ugonjwa wa kuambukiza
Tazama maelezo sura ya 13:3
naye kuhani atamtangaza kuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 13:26-28
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
analichunguza
Kinachochunguzwa hapa ni lile jeraha la moto juu ya ngozi ya mtu.
naye kuhani atamtangaza kuwa najisi
Tazama amaelezo ya sura 13:20
Ugonjwa wa kuambukiza
Tazama maelezo ya sura 13:3
, naye kuhani atamtangaza kuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 13:29-30
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
kuhani atamtangaza kuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 13:31
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
Leviticus 13:32-33
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
basi, yapasa mtu huyo kunyolewa., lakini sehemu yenye ugonjwa haitanyolewa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu huyo atalazimika kunyoa nywele zilizokaribu na jipu lakini siyo zile nywele zilizojuu ya jipu"
Leviticus 13:34
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
ule ugonjwa
"Ugonjwa" hapa humaanisha ule ugonjwa juu ya kichwa au kidevu cha mtu.
kuhani atamtangaza kuwa safi. Mtu huyo yapasa kufua nguo zake, na kisha atakuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 13:35-37
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
baada ya kuhani kutangaza kuwa alikuwa safi...Yeye ni safi, naye kuhani atamtangaza safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Mtu huyo ni najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 13:38-39
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
meupe kwa kufifia
kovu jeupe
Kovu
Tazama maelezo ya 13:5
Yeye yu safi.
"Mtu huyo yu safi"
Yeye yu safi.
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 13:40-41
aelezo kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
yeye yu safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 13:42-44
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
Ugonjwa wa kuambukiza
Tazama maelezo ya sura 13:3
naye ni najisi...atamtangaza kuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 13:45-46
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
nje ya kambi
Kambi ni eneo ambao Waisraeli wengi wailiishi. Mtu najisi alikuwa haruhusiwi kuishi miongoni mwao kwa sababu ugonjwa wake unaweza kuenea kwa wengine.
Najisi, najisi
Tazama aelezo ya sura 13:20
Leviticus 13:47-49
vazi la mtu huchafuliwa na ukungu
"Vazi lenye ukungu juu yake" au Vazi ambalo linaukungu"
kuchafuliwa
Kuwa chafu kwa sababukitu fulani chenye madhara kimeongezwa kwake.
ukungu
Kuvu, mala kwa mara huwa na rangi nyeupe, ambayo hukua juu ya vitu vilivyovichafu au vyenye unyevunyevu
au kitu chochote kilichosukwa au kufu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji' : : "au kitu chochote ambacho mtu aliye amekisokota au kukisuka"
Iwapo sehemu iliyochafuliwa ina rangi ya kijani au nyekundu katika vazi
"kama kuna uchafu wa kijani au wenye wekundo kwenye vazi"
kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kitu chochote kile ambacho mtu amekitengeneza kutoka na na ngozi"
lazima kionyeshwe kwa kuhani
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mmiliki wake yapasa kukionyesha kwa kuhani"
Leviticus 13:50-52
siku saba
Tazama maelezo ya sura 13:5
siku ya saba
Tazama maelezo ya sura 13:6
kitu chochote ambacho ngozi imetumika
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kitu chochote ambacho mtu anatumia ngozi"
kifaa chochote kilichoonekana na ukungu ndani yake
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Chochote ambacho kinapatika na ukungu wenye kudhuru juu yake"
kifaa hicho ni najisi
Maelezo yake yaweza kufanana na ya sura 13:20
huo ukungu unaweza kusababisha ugonjwa
Huo ukungu wenyekudhuru waweza kusababisha ugonjwa ndani ya mtu anayekikaribia kifaa.
Chombo hicho lazima kiteketezwe kabisa kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa akiteketeze hicho chombo kabisakabisa
Leviticus 13:53-55
basi atawaamru
"kisha kuhani atamwamru mmiliki" Hapa kuhani anawaambia watu namna ya kuvitendea vyombo vya nymbani ambavyo yamkini vilikuwa vimembukizwa.
hicho kifaa kilichopatikana na ukungu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambamo wamegundua mna ukungu"
baada ya kuwa kimesafishwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "baada ya kukiosha kifaa"
kifaa hicho ni najisi
Kitu ambacho Mungu amekitangaza kuwa hakifai kwa watu kukigusa kimezungumziwa kana kwamba kilikuwa kichafu kimaumbile.
Yapasa ukichome kifaa hicho
"ukichome" hapa haimaanishi kuhani hasa. Inamaanisha tu mtu impasaye kukichoma kifaa.
Leviticus 13:56-58
baada ya kuwa umeoshwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Baada ya miliki kuwa amekiosha"
lazima utakichoma moto
Anayelazimika hapa haimaanishi kuhani hasa. bali inamaanisha tu yule anayepaswa kukichoma hicho chombo.
iwapo unakisafisha kifaa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : Endapo mmiliki anakiosha"
nao ukungu ukawa umetoka, nacho kifaa lazima kisafishwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kisha huyo mmiliki lazima akioshe"
kisha kitakuwa safi.
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 13:59
ukungu katika vazi....lilotengenezwa kwa ngozi
Tazama linavyofasireiwa katika sura 13:47
ili kwamba mweze kuvitangaza
"ili kwamba kuhani aweze kukitangaza"
safi au najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20-23
Leviticus 14
Leviticus 14:1-2
Maelezo kwa Ujumla
Yahweh aHii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji.nawaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi.
siku yake ya utakaso
Hii hurejelea siku ya ambayo kuhani anamtangaza mtu kuwa ni safi kwa kanuni za kidini
Ni lazima aletwe kwa kuhani
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu mmoja anaweza kumleta kwa k"uhani au "Yeye anaweza kwenda kwa kuhani"
Leviticus 14:3-5
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ambacho watu wafanye mtu anapotakaswa ugonjwa wake wa ngozi.
madhara ya ugonjwa wa ngozi
Tazama maelezo ya sura ya 13:3
mtu wa kutakaswa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu anayemtakasa"
ndege safi
Tazama maelezo ya sura ya 13:23
kitani nyekundu
"uzi mwekundo"
Leviticus 14:6-7
Taarifa kwa Ujumla
Tazama maelezo ya sura 14:3
ndege aliyechinjiwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ndenge ambaye mtu alimuua"
mtu ambaye amekuwa akitakaswa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa"
atamtangaza kuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 14:8-9
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anawaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wafanye mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi
ambaye amekuwa akitakasw
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu ambaye kuhani anamtakasa"
naye atakuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 14:10-11
itambidi kuchukua
Hapa anayepaswa kuchukua ni yule aliyetakaswa.
efa
Efa moja ni sawasawa na lita 22.
logi
Logi moja ni sawasawa na lita 0.31
yeye atakaswaye
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa"
Leviticus 14:12-13
Logi
Logi mmoja ni sawasawa na lita 0.31
katika eneo la hema
Kirai hiki kinafafanua kirai kilichotangulia na kutoa maelezo zaidi juu ama kuhani aliyekuwa amchinje huyo mwana-kondoo
Leviticus 14:14-16
mtu wa kutakaswa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa"
Logi
Logi moja ni sawasawa na lita 0.31
kunyunyiza sehemu ya mafuta...mbele za Yahweh.
"kunyunyizia sehemu ya mafuta... mbele za Yahweh" hakuna kiashiria cha kile ambacho kuhani alinyinyizia mafuta juu yake.
Leviticus 14:17-18
mafuta yaliyobaki mkononi mwake
"mafuta yaliyobaki yaliyomo mkononi mwake
Mtu anayetakaswa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : " mtu anayemtakasa"
mbele za Yahweh
"katika uwepo wa Yahweh"
Leviticus 14:19-20
yake yeye wa kutakaswa
Hii yaweza kufasiriwe katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa"
naye atakuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 14:21-23
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi.
hawezi kumudu
"hana fedha ya kutosha kununua"
kutikiswa...kwa ajili yake
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye kuhani atamtikisa...kwa ajili ywke"
moja ya kumi ya efa
kumi ya efa ni **- moja ya kumi ya efa ni swaswa na lita 22.
Logi
Logi moja ni swasawa na lita 0.31
Leviticus 14:24-25
Logi
Logi moja ni swasawa na lita 0.31
anayemtakasa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yule anayemtakasa"
Leviticus 14:26-27
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi.
sehemu ya mafuta...atanyunyizia...mbele za Yahweh
"sehemu ya mafuta...nyunyizia...mbele za Yahweh." Hakuna kiashiria cha kile ambacho kuhani aliyanyunyizia mafuta juu yake.
Leviticus 14:28-29
yule wa kutakaswa
Tazama maelezo ya sura 14:19
Leviticus 14:30-32
Atatoa
"Kuhani atatoa"
yule wa kutakaswa
Tazama ameleo ya sura 14:19
Ugonjwa wa kuambukiza
Tazama maelezo ya sura 13:3
asiye mudu
: "asiyekuwa na fedha ya kuutosha kuweza kununua"
Leviticus 14:33-35
Mtakapoingia
"mtakapoingia" hapa inamaanisha watu wa sraeli.
ukungu
Tazama maelezo ya sura 13:42
katika nchi ya milki yenu
Neno "milki" laweza kufasiriwa kama kitenzi. : "katika nchi mnayoimiliki"
Leviticus 14:36-38
ili kwamba kusiwe na kitu ndani ya nyumba kitakachonajisika
mara tu kuhani alipoitangaza nyumba najis, kila kitu kilichokuwa kwenye nyumba kilikuwa najisi pia. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kiasi kwamba hahitaji kutangaza kitu cho chote kilichosalia ndani ya nyumba kuwa najisi"
ndani ya nyumba kitakachonajisika
Tazama maelezo ya sura 13:20
katika bonde za kuta.
Hii inamaanisha kwamba kuhani ndiye atakayeamua iwapo ukungu umeingi ndani ya nyuso za kuta tu.
Leviticus 14:39-40
ambayo kwayo ukungu umepatikana
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambamo ukungu liuona"
mahali palipo najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 14:41-42
Naye atataka
"Naye" hapa humaanisha kuhani.
zikwanguliwe kuta zote za ndani ya hiyo nyumba
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwamba mmiliki anazikwangua kuta zote za nadani"
vilivyochafuliwa na hivyo vifaa vilivyokwanguliwa
Hii humaanisha vifaa vyenye ukungu juu yake. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : KIfaa kilichochafuliwa kile walichokikwangua"
mahali paliponajis
Tazama maelezo ya 13:20
mawe yaliyoondolewa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yale mawe waliyoyaondoa"
lazima watumie udongo mpya kuipiga lipu hiyo nyumba
"lazimz wayafunike hayo kwa udongo mpya"
Leviticus 14:43-44
katika nyumba...na kupigwa lipu upya
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "katika nyumba baada ya mmiliki kuyaondoa mawe, amezikwangua kuta, na kuyafunika mawe kwa udongo.
nyumba hiyo ni najisi
Taama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 14:45-47
Yapasa hiyo nyumba ibomolewe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa waiangushea nyumba chini"
Na hayo mawe, na udongo wa lipu vitachukuliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa waondowe mawe, mbao, na lipu yote katika nyumba"
yeyote aingiaye ndani ya nyumba....atakuwa najis
Tazama maelezo ya sura ya 13:20
hata jioni
"mpaka machweo"
Leviticus 14:48
nyumba kuwa imepigwa lipu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mmiliki anaweka udongo mpya juu ya nyumba"
ndipo atatangaza kuwa nyumba hiyo ni safi
Tazama maelezo ya sur 13:23
Leviticus 14:49-51
mti wa mwerezi , hisopo, kitambaa chekundu ... damu ya ndege aliyeuawa
Tazama maelezo ya sura ya 14:3
damu ya ndege aliyeuawa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ile damu ya ndege ambaye yeye limuua"
Leviticus 14:52-53
Atalitakaza nyumba
"Kuhani ataifanya safi nyumba kwa kawaida za kidini"
nayo itakuwa safi
Tazama maelzo ya sura 13:23
Leviticus 14:54-57
athari ya ugonjwa wa ngozi
Tazama maelezo ya sura13:3
Ukungu
Tazama maelezo ya 13:47
vipele
Tazama amelezo ya sura 13:5
najisi...safi
Tama maelezo ya sura13:20 na 23
Leviticus 15
Leviticus 15:1-3
unaotoka mwilini mwake
Hii hurejelea semhemu nyeti za mtu.
huwa najis
Tazama maelezo ya sura 13:20
ni najisi
"mwili wake ni najisi" au "yeye ni najisi"
Leviticus 15:4-5
najisi
Tazama maelezozo ya sura 13:20
Yeyote agusaye kitanda....na atakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura ya 13:23
Hata jioni
Mpaka machweo.
Leviticus 15:6-7
naye atakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
hata jioni
"paka machweo"
agusaye mwili
"yeye agusaye sehemu yoyote ya mwaili"
Leviticus 15:8-9
mtu mwingine aliyesafi
Tazama maelezo ya sura 13:23
atakuwa najisi
Tazama maelezo 13:20
Tandiko
Tandiko ni kiti cha ngozi ambacho mtu hukiweka mgongoni mwa farasi ili kumpanda aende safari
Tandiko lolote...litakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 15:10-12
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kiwapasacho watu kutenda ili kuzuia maabukuizi.
mtu huyo
Hii humrejelea mtu aliye maambukizi ya ugiligili.
atakuwa najisi
Tanzama maelezo ya sura 13:20
hata jioni
"mpaka macheo"
Yeyote yule aliye na mtiririko kama huo anamgusa
Yeyote aguswaye na mtu mwenye mtiririko"
Chungu chochote cha udongo anachokigusa mwenye kutiririkwa na ugiligili kama huo yapasa kivunjwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu yeyote anaweza kuweza kukuvunja chungu chochote cha udongo ambacho amekigusa mtu mwenye mtirirko kama huo"
kila chombo cha mti lazima kisafishwe kwenye maji
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni lazima mtu asuuze kwenye maji kila chombo cha mbao"
Leviticus 15:13-15
anapotakaswa kutoka kwnye kutiririkwa kwake
Tazama maelezo ya sura 13:23. Na hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "aponapo kutka kwenye kutiririka kwake"
Naye atakuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Leviticus 15:16-18
najisi hata jioni
Tazama amelezo ya 13:20
hata jioni
"mpaka macheo"
Kila vazi...lazama ifuliwe kwa maji
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu atalazimika kufua kila vazi au ngozi ambayo juu yake kuna shahawa
Leviticus 15:19-20
hedhi...kipindi chake
Haya yote mawili hurejelea kwenye kipindi cha kutirirka kwa damu kutoka kwenye tumbo la mwanamke.
uchafu kutengwa kwake kutaendelea
"ataendelea kuwa mchafu"
kitakuwa najisi
Yazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 15:21-23
Kitanda chake
Hii humrejelea mwanamke aliyeingia damuni"
mtu huyo atakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:23
Hata jioni
"mpaka macheo"
Leviticus 15:24
uchafu wake utiririkao
"mtirirkiko wake najisi" au "damu yake itokayo kwenye mji wa mimba"
atakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 15:25-27
atakuwa kama alivyokuwa kwenye siku zake za hedhi
Hii humaanisha kwamba mwanamke atokwaye damu kutoka kwenye mji wake wa mimba wakati mwingine wowote badala ya ule wa hedhi yake ya kawaida, yeye bado ni najisi kama tu wakati wa hedhi yake.
Yeye ni najisi...yeyote amgusaye...atakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
a kila kitu akaacho juu yake kitakuwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 15:28-30
Lakini yeye
Neno "yeye" humaanisha mwanamke aliyedamuni"
ametakaswa kutoka kwenye kutokwa na damu kwake
kwa maelezo ta awali tazama 13:23. Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. "aponapo kutoka kwenye kutirirkwa kwake kwa damu"
atakuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
atajitwalia
"atachuku kwa ajili yake mwenyewe"
unajisi wa wake wa kutokwa na damu
"mtirirko wake wa damu umfanyao yeye najis"i
Leviticus 15:31
Hivi ndivyo inavyokupasa kuwatenga watu wa Israeli kutoka katika unajisi wao
Yahweh anazungumzia juu ya kuwalinda watu dhidi ya kuwa najisi kana kwamba ilikuwa ni kuwaweka watu salama mbali kutoka kwenye uchafu. "Hivi ndivyo iwapasavyo kuwakinga watu wa Israeli dhidi ya kuwa najisi"
unajisi wao
Tazama maelezo ya sura ya 13;@0
Leviticus 15:32-33
Hizi ndizo kanuni
"haya ndiyo mambo yapasayo kutendeka"
kumfanya najisi...humfanya najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
aliye katika kipindi cha hedh
"aliyedamuni" au "ananyetokwa damu kutoka kwenye mji wake wa mimba"
Leviticus 16
Leviticus 16:1-2
Aroni wanwanawe
Hii huwarejelea Nadabu na Abihu. Walikufa kwa sababu walileta kwa Yahweh moto ambao hakuukubali. (Tazama 10:1)
Leviticus 16:3-5
Hapa ndipo impasapo
"Hivi ndivyo"
kanzu yake ya ndani ya kitani
"Vazi la ndani." Hii ni nguo iliyovaliwa yapili kutoka kwenye ngozi chini ya nguo za nje.
mshipi
Kipande cha nguo ambacho hufungwa kuzunguka kiuno kifua
kilemba
kipande cha nguo ambacho hungwa kuzunguka kiuno au kifua
kutoka kwenye kusanyiko
Hiki ni kifuniko cha kichwani kilichofnywa kutoka na vitambaa vya nguo vilivyoringishwa
kutoka kwenye kusanyiko
"kutoka kwenye mkutano wa watu"
Leviticus 16:6-7
sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwa ajili yake mwenyewe,
"sadaaka ya dhambi kwa ajili yake"
Leviticus 16:8-10
Mbuzi wa azazeli
"yule mbuzi anayepelekwa mbali." iAroni alitakiwa kuwa na mtu wa kumwacha huru huyo mbuzi aende nyikani.
kura imemwangukia
"yule ambaye kura imeteuliwa"
Lakini mbuzi...lazima aletwe mbele za Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Aroni atamleta huyo mbuuzi...mbele za Yahweh akiwa hai.
Leviticus 16:11
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kile ambacho Aroni anapaswa kufanya siku ile ya upatanisho.
amchinje huyo fahali
Aroni angeikusanya damu ya fahali kwenye bakuli ili kwamba baadaye ainyunyize juu ya kiduniko cha upatanisho. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuwekwa wazi.
Leviticus 16:12-13
chetezo
chombo kilichokuwa ajili ya moto na ubani, kilitumiwa na makuhani.
ubani...wenye harufu ya kupendeza
"ubani ulinukia vizuri." Hii ilimaanisha harufu na siyo ladha ya ubani.
Leviticus 16:14
damu ya fahali
Tazama maelezo ya sura 16:11
kuinyunyiza kwa kidole chake
Alitumia kidole chake kurushia damu
upande wa mbele wa kifuniko cha upatanisho
Aliiweka hiyo damu upande wa juu wa kifuniko. pia aliiweka upande wa pembeni mwa kifuniko uliomwelekea alipoingia eneo la patakatifu pa patakatifu
mbele za kifuniko cha upatanisho
Maana zinazo wezekani ni 1) "chini ya kifuniko cha upatanisho kenye sanduku" au 2) ardhini chini ya mbele ya kifuniko cha upatanisho."
Leviticus 16:15-16
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kile ambacho Aroni anapaswa kufanya siku ile ya upatanisho.
lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho
Tazama maelezo ya sura 16:14
Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli
Tahambi za watu wa Israeli zilipanajisi patakatifu.
matendo ya unajisi...uasi...dhambi
Maneno haya kimsingi ni yale yale. Nayasisitiza kwamba watu wametenda aina zote za dhambi.
Matendo ya unajisi
Tazama amelezo ya sura 13:20
katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
Kile kirai "matendo yao ya unajisi" huwakilisha watu wafanyao matendo ya dhambi. : "katika uwepo wa watu wafanyao matendo ya dhambi"
Leviticus 16:17-19
Yapasa atoke kwenda nje na kwenda kwenye madhabahu hapo mbele za Yahweh
Hii ni madhabahu ya dhabihu iliyo ndani ya uwanda wa hema
kufanya upatanisho kwa ajili ya hiyo
Kama lilivyo eneo la hema la kukutania, madhabahu nayo ni najisi kwa sababu ya dhambi za watu.
pembe za madhabahu
Tazama maelzo ya sura 4:6
ili kuitakasa
Tazama maelezo ya sura 13:23
kuitenga kwa ajili ya Yahweh, mbali na matendo ya unajisi ya watu wa Israeli.
Madhabahu kuwa imetengwa kwa imezungumziwa kana kwamba ilikuwa imetengwa na dhambi za watu kimaumbile
matendo ya unajisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
Leviticus 16:20-22
lazima atamleata huyo mbuzi aliyehai
Mbuzi hyu anaitwa wa azazeli katika 16:8
kukiri juu yak
"kukiri juu ya mbuzi"
ataweka hizo dhambi juu ya kichwa cha huyo mbuzi
Hapa matendoya Aroni yalikuwa ishara ya uhamisho wa dhambi za watu kwenda kwa mbuzi kama ishara kwamba huyo mbuzi angebeba adhabu kwa ajili ya hatia yao.
maovu...uasi...dhambi
Haya yote kimsingi yanamaanisha jambo moja. Aroni anaungama kila aina ya dhambi watu waliyoitenda.
Leviticus 16:23-24
na kuvua mavazi ya kitani
Haya yalikuwa mavazi maalum aliyovaa Aroni pekee alipoingi patakatifu pa patakatifu.
Yapasa aoge mwili wake kwa maji mahali patakatifu
"Mahali Pataktifu" haimaanishi kwenye hema la kukutania. Hili lilikuwa ni eneo tofauti lililotengwa kwa ajili yake kuoga humo.
kuvaa nguo zake za kawaida
Haya ni mavazi ambayo Aroni alivaa kwa ajili ya majukumu yake ya kawaida.
Leviticus 16:25-26
Naye yapasa kuyatekeza
"Aroni yapasa yateketeze"
Huyu mtu anayemwachia mbuzi wa azazeli huru, lazima afue nguo zake na kuoga mwili wake katika maji
Mtu huyu alikuwa najisi kwa sababu kugusana na na huyo mbuzi wa azazeli, aliyebeba dhambi ya watu.
mbuzi wa azazeli
Tazama maelezo ya sura 16:8
Leviticus 16:27-28
ambaye damu yake ililetwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye damu yake Aroni aliileta"
lazima wapelekwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa mtu fulani ambebe"
ngozi zao
"ngozi zao" "zao" hapa humaanibsha fahali na mbuzi
Leviticus 16:29-31
kwa ajili yenu
Neno "yenu" humaanisha watu wa Israeli.
katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi,
Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwisho wa mwezi wa septemba kwenye kalenda ya kimagharibi.
upatanisho utafanywa kwa ajili yenu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Aroni atafanya upatanisho kwa ajili yenu"
kuwatakasa ninyi...ili muwe safi
Tazama maelezo ya sura ya 13:23
kwa ajili ya kusanyiko la watu.
"kwa ajili ya watu wote wa Israeli"
Leviticus 16:32-33
ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "watakayempaka mafuta na kumweka wakfu.
katika nafasi ya baba yake
Kuhani mkuu alipokufa , mmoja wa wanawe angechukua nafasi yake.
mavazi matakatifu
Hizi ni nguo maalum alizopaswa kuzivaa kuhani mkuu alipoingia mahali patakatifu pa patakatifu
kwa ajili ya kusanyiko la watu.
"kwa ajili ya watu wote wa Israeli"
Leviticus 16:34
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anamaliza kumwambia Aroni kile ambacho watu yawapasa kufanya.
Hili lilifanyika kama Yahweh alivyomwamuru Musa.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utengaji. : "Naye Musa akafanya kama alivyoamru Yahweh" au "Naye Aroni akafanya kama Yahweh alivyomwamru Musa"
Leviticus 17
Leviticus 17:1-4
mbele za hema
"mbele za hema la Yahweh"
mtu huyo ni sharti akatiliwe mabali kutoka miongoni mwa watu wake
Tazama amelezo ya sura 7:19. : "mtu huyo yawezekana asiishi miongoni mwa watu wke" au yapasa mmtenge mtu huyo na watu wake"
Leviticus 17:5-6
kwa kuhani ziweze kutolewa kuwa sadaka
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa kuhani ili kwamba aweze kuwatoa dhabihu"
Leviticus 17:7
ambazo kwazo hutenda kama makahaba
Watu ambao wamekuwa siyo waaminifu kwa Yahweh kwa kuabudu miungu ya uongo wamezungumziwa kana kwamba walikuwa akitenda kama mwanaume anayemsaliti mkewe kwa kufanya uzinzi. : "ambayo kwa ajili yake siyo waaminifu kwa Yahweh"
Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote
Tazama maelezo ya sura 3:15
Leviticus 17:8-9
mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake
Tazama maelezo ya sura 7:19 na ya suara 17:4
Leviticus 17:10-11
Nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo
Neno "uso" huwakilisha nafsi. Nahu hii humaanisha kumkataa mtu au kitu fulani. : "Nitakuwa nyume na mtu huyo" au "nitamkataa mtu huyo" au "Nitamkataa huyu mtu"
kumkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake
Mtu aliyeondolewa kwenye jamii yake anazungumziwa kana kwamba amekatwa kwa watu wake, kama mtu akatavyo tawi kutoka kwenye mti. : "Sitamruhusu mtu huyu aendelee kuishi miongoni mwa watu wake tena"au "Nitamtenga mtu huyo kutoka kwa watu wake"
Kwa kuwa uhai wa mnyama yeyote umo katika damu yake...ipatanishayo kwa ajili ya uhai
Hii humaanisha MUngu huitumia damu kupatanisha kwa ajili ya dhambi za watu kwa sababu damu ni uhai. Watu wasinywe damu kwa sanbabu ina kusudi hili maalum.
Leviticus 17:12-13
Niliwaambia
"Niliwambia" hapa humaanisha Yahweh
asiwepo miongoni mwenu impasaye kula damu
"asiwepo mingoni mwenu awezaye kula nyama pamoja na damu ndani yake"
awezaye kuliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambao nilisemba wanaweza kuwala"
na kuifukia kwa udongo hiyo damu
"na kuifunika damu mavumbi"
Leviticus 17:14
uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake
Hii humaanisha kwamba damu ndiyo ikiwezeshayo kiumbe kuishi. Maana kamili ya kauli hii yaweza kufanywa wazi. "kila kiumbe chaweza kuishi kwa sababu ya damu yake"
Yeyote ailaye ni lazima akatiliwe
Mtu aliyeondolewa kwa jamii yake anazungumziwa kana kwamba amekwisha kukatwa kutoka kwa watu wake, kama vile mtu angeweza kipande cha nguo au tawi la mti kutoka kwenye mti. : "yeyote alaye damu hataweza kuishi tena miongoni mwa watu wake" au "yeyote alaye damu sharti mmtenge na watu wake"
Leviticus 17:15-16
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuzungumza.
ambaye amelaruliwa na wanyama pori
Mnyama anayeuawa na wanyama pori anazungumziwa kana kwamba hao wanya pori wamchana vipande vipande huyo mnyama. Hii yaweza katika mtindo wa utendaji. : ""yule ambaye wanyamapori wamemuua"
ni mwenyeji wa kuzaliwa
"ni Mwisraeli"
naye atakuwa...Kisha ndipo atakuwa safi
Tazama maelezo ya 13:20 na 23
Hata Jioni
"mpaka macheo"
sharti yeye aichukue hatia yake
Hatia ya mtu imezungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha adhabu kwa hatia hiyo. : "Hivyo anawajibika kwa hatia yake mwenyewe" au "kisha nitamwadhibu yeye kwa ajili ya dhambi yake"
Leviticus 18
Leviticus 18:1-3
Yahweh
Hili ni jina Mungu ambalo alimwambia Musa kwenye kicha kilichowaka moto. Mungu alisema kwamba hili ndilo lilikuwa jina lake milele.
Musa
Musa alikuwa nabii na kiongozi wa watu wa Waisraeli kwa zaidi ya miaka 40.
Alipokuwa mtoto, wazazi wake Musa, walimweka yeye kwenye kikapu cha mianzi ya Mto Nile ili kumficha kwa Farao wa Misri. Dada yake Miriamu dada yake Musa, Alimwangalia yeye huko. Maisha ya Musa yaliokolewa tu binti alipomwona na kumchukua kwenda naye Ikulu ili kumlea kama mwanae.
Mungu alimchagua Musa kuwaweka huru Waisraeli kutoka utumwani Misri na kuwaongoza kwenda katika Nchi ya Ahadi.
Baada ya kutoka kwa Waisraeli Misri na walipokuwa wangali wakizunguka jangwani, Mungu alimpa Musa mbao mbili za mawe zilioandikwa Amri Kumi juu yake.
Karibu kabisa na mwisho wa maisha yake, Musa aliiona tu Nchi ya Ahadi, lakini haingia kuishi humo kwa sababu hakumtii Mungu.
Kikundi cha watu, watu, watu wa,
Ule usemi "watu" au "vikundi vya watu" humaanisha vikundi vya watu wanaoshiriki lugha na utamaduni mmoja. Kile kirai "watu wa" mara kwa mara humaanisha kusanyanika la watu katika eneo fulani au katika tukio maalum.
Mungu anapotenga "kikundi cha watu" kwa ajili yake, humaanisha alichagua watu fulani ili wawe wake na kumtumikia yeye.
Katika nyakiti za Biblia, washirika wa kikundi cha watu kwa kawaida walikuwa na wazazi au mababu wamoja na waliishi mahali pamoja katika taifa au eneo maalum la nchi.
Kwa utegemeana na muktadha, kirai kama vile "watu wako" chaweza kumaanisaha "kikundi cha watu wako" au "famikia yako" au "jamaa zako."
Ule usemo "watu" mara kwa mara limetumika kumaanisha vikundi vyote vya watu juu ya nchi." Wakati mwingine zaidi lilimaanisha hasa kwa watu wasio Waisraeli au wasiomtumikia Yahweh. Katika tafasiri zingine za kiingereza ule msemo "mataifa" pia umetumika katika njia hii.
MAPENDAKEZO YA UFASIRI. Ule msemo "kikundi cha watu" waweza kufasiriwa kwa neno au kirai chenye kumaanisha, "kundi kubwa la kifamilia" au "ukoo" au "kikundi cha kikabila."
Kirai kama vile "watu wangu" chaweza kufasiriwa kama "jamaa zangu" au "Waisraeli wenzangu" au "familia yangu" au "watu wa kikundi changu," kutegemeana na muktadha.
Yale maelezo "nitawatawanya miongoni mwa watu" pia yaweza kufasiriwa "nitasababisha kwenda na kuishi pamoja na vikundi mbali mbali vya watu wengi" au "sababisha kutengana ninyi kwa ninyi na kwenda kuishi katika mikoa mingi tofauti ya ulimwengu.
Ule msemo "watu" waweza kufasiriwa "watu ulimwenguni" au "vikundi vya watu," kutegemeana na muktadha.
Kile kirai "watu wa" chaweza kufasiriw kama, "kila mmoja aishie katika" au "watu wa kutoka uzao wa" au "familia ya," kutegeana na ama linafuatiwa na jina la mahali au mtu.
"watu wote wa ulimwengu" yaweza kufasiriwa kama, "kila nafsi ulimwenguni" au "watu wote."
Kile kirai "watu" pia chaweza kufasiriwa kama "kikundi cha watu" au "watu fulani" au "kikundi cha watu" au "jamii ya watu" au "familia ya watu"
Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli
Ule msemo "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpa Yakobo. Humaanisha, "yeye hushindana na Mungu."
Wazao wa Yakobo walikuja kujulikana kama "watu wa Israeli," "taifa la Israeli," au "Wasraeli." Taifa la Israeli
Mungu alitengeneza agano lake watu wa Israeli. Walikuwa watu wake wateule.
Taifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na mbili.
Mara tu baada ya kufa kwa mfalme Sulemani, Isrseli iligawanyika katika falme mbili: Ufalme wa kusuni, uliitwa "Yuda" na ule ufalme wa kaskazini ukaitwa "Israeli."
Mara kwa mara ule msemo "Israeli" waweza kufasiriliwa kama, "watu wa Israeli" au "taifa la Israeli," kwa kutegemeana na muktatha.
Mungu
Kwenye Biblia Neno "Mungu" humaanisha nafsi ya milele aliyeumba ulimwengu pasipo kitu. Mungu huishi kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. jina binafsi la Mungu ni "Yahweh"
. Siku zote Mungu alikuwapo; alikuwapo kabla
ya kabla ya kitu chochote kuwapo. Naye
ataendelea kuwako milele
. Yeye ndiye Mungu wa kweli na ana mamlaka
juu ya vitu vyote hulimwenguni.
. Mungu ni mwenye haki kwa ukamilifu, ni
mwenye hakima pasipo na kikomo, mtakatifu,
bila dhambi, mwenye haki, rehema,
na upendo.
. Yeye ni Mungu atunzaye agano, ambaye
hutimiza ahadi zake.
. Watu waliumbwa ili wamwambudu Mungu naye ndiye Yeye pekee imewapasa wao kumwabudu.
. Mungu lilifunua jina lake kuwa ni "Yahweh" ambalo humaanisha, " yeye ndiye" au "Mimi ndimi" au "Yule aliyopo (siku zote)"
. Pia Biblia hufundisha juu ya "miungu ya uongo" ambayoo ni sanamu zisizo na uhai ambayo watu huiabudu kimakosa.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
. Njia za kufasiri "Mungu zingejumuisha maneno kama "Uungu" au "Muumba" au "Mwenye Mamlaka yote"
. Njia zingine za kufasiri "Mungu" zaweza kuwa, "Muumbaji wa vyote" au "Bwana Mwenye mamlaka isiyo na mipaka" au "Mwenye Mamlaka yote milele."
Zingatia jinsi Mungu anavyotajwa katika lugha ya kieneo au kitaifa. Yawezekana kuwa tayari lipo neno kuhusu "Mungu" katika lugha inayotafsiriwa. Kama ndivyo, ni muhimu kuhakikisha kwamba neno hili linafaa kwa sifa baishi za Mungu wa kweli kama anavyoelezwa hapo juu.
Lugha nyingi huanza na herifu kubwa ya neno kwa Mungu aliye wa kweli ili kulitofautisha na neno kwa mungu wa uongo.
Njia nyingine ya kuonesha tofauti hizi ingetumika misemo miwili tofauti kwa "Mungu" na "muungu"
Kile kirai, "nitakuwa Mungu wao nao watakuwa atu wangu" pia chaweza kufasiriwa kama, "Mimi, Mungu, nitatawala juu ya watu nao wataniabudu mimi."
Misri, Mmisri
Misri ni taifa lililoko upande wa kaskazini mashariki mwa Africa, kusini magharibi mwa nchi ya Kanaani. Mmisri ni mtu anayetoka katika nchi ya Misri.
. Zamani za kale, Misri lilikuwa taifa lenye nguvu na tajiri.
. Misri ya zamani iligawanyika katika sehemu mbili, Misri ya chini (sehemu ya kaskazini mahali ambapo mto Nile ulitiririka kuelekea Baharini) na Misri ya juu (sehemu ya kusini). Katika Agano la Kale, sehamu hizi zilitajwa kama "Misri" na "Pathrosi" katika lugha ya asili.
Mara nyingi kilipokosekana chakula huko Kanaani, mababa wa Israeli walisafiri kwenda Misri ili kununua chakula kwa ajili aya familia zao.
Kwa muda wa mamia ya miaka, Waisraeli walikuwa watumwa huko Misri.
Yusufu na Mariamu waliterekia Misri pamoja na mtoto mchanga Yesu ili kumtoroka Herode Mkuu.
Maisha, ishi, kuishi, -wa mzima
Misemo hii yote humaanisha kuwa mzima kimaumbile, siyo mfu. Pia yametuka kiishara kumaanisha kuwa hai kiroho. Ifuatayo inazungumzia inavyomaanisha kuwa na "uhai wa kimwili" na "Uhai wa Kiroho"
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
. Kwa utegemeana na muktadha, "maisha yaweza kufasiriwa kama "uwepo" au "nafsi" au "moyo" au "aishie" au "uzoefu"
. Ule msemo "ishi" waweza kufasiriwa "kaa" au "kuwepo."
Yale amelezo "mwisho wa maisha" yangeweza kufasiriwa kama, "alipokoma kuishi."
Yale maelezo "alitunza uhai wao" yangeweza kufasiriwa kama, "aliwaruhusu kuishi" au "hakuwaua wao."
Ule usemi "walihatarisha maisha yao" ungeweza kufasiriwa kama, "walijiweka wenyewe hatarini" au walifanya jambo fulani ambalo lingekuwa limishawaua wao."
Kifungu cha Biblia kinapozungumzia kuwa hai kiroho, "uhai"pia ungefasiriwa kama, "maisha ya kiroho" au "Uzima wa milele" kutegemeana na muktatha"
Wazo la "maisha ya kiroho" lingeweza kufasiriwa pia kama "Mungu anatufanya hai katika roho zetu" au "maisha mpya yatolewayo na Roho wa Mungu" au "kufanywa hai katika utu wetu wa ndani."
Kwa kutegemeana na muktatha, neno "-pa maisha" laweza pia kufasiriwa kama "sababisha kuwa hai" au -pa maisha mapya" au "sababisha kuishi milele."
Leviticus 18:4-5
Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika
Virai hivi viwili kimsingi humaanisha kitu kile kile na vinasisitiza kwamba ni sharti watu watii kila jambo ambalo Mungu amewaamru wao walitende. Msambamba huu waweza kufasiriwa kwaiti kauli moja inayowasilisha matakwa ya kutunza amri zote za Yahweh. : "Yapasa mzitii sheria na namri zote"
Ili kwamba mpate kutembea katika hizo
Kutii amri za Yahweh kumezunguziwa kana kwamba kulikuwa njia ambayo juu yake mtu hutembea. : "ili kwamba mweze kusimamia mwenendo yenu kulingana na hizo.
Leviticus 18:6-8
wake za baba yako
Wakati mwingine wanaume walikwa na zaidi ya mke mmoja. Mungu hakumruhusu mwana kulala na mwanamke yeyote aliyeolewa na baba yake.
Leviticus 18:9-11
ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako
Hii humaanisha mwanaume hawezi kulala na iwapo wa mazazi wale wale hata kama ana mama au baba tofauti.
ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ama alikulia nyumbani kwenu au mbali"
Usilale na binti ya mke wa baba yako,
Maana mbili zinazowezekana ni 1) "usilale na dada yako wa kambo au 2) "usilale na dada yako wa kunyonya." Hapa mwanaume hana baba au mama mmoja na mwanamke. walikuwa kaka na dada wazazi wao walipooana.
Leviticus 18:12-14
Usimkaribie kwa kusudi hilo
"Usimwendee kwa kusudi la kulala naye"
Leviticus 18:15-16
usilale naye
Yahweh analirudiia hili ili kuisisitiza amri hii.
Leviticus 18:17-18
uovu, ufisadi, upotovu
Ile misemo "uovu" na "ufisadi" yote mawili humaanisha jambo lolote linalopingana na tabia na mapenzi matakatifu ya Mungu.
Neno "uovu" linapoweza kuelezea tabia ya mtu, neno, ufisadi linaweza kuhusiana na tabia tabia ya mtu, Hata hivyo, misemo yote miwili hufanana katika maana.
Ule msemo" upotovu" humaanisha ile hali ya kuwawepo watu wafanyapo mambo maovu.
Yale matokeo ya uovu huonyeshwa wazi katika namna watu wanavyotendea vibaya wengine kwa kuua, kuiba, kulahgai, au kuwa wakatili na kutokuwa na huruma.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI Kwa kutegemea namuktatha, ile msemo "ovu" na "fisadi" yaweza kufairiwa "baya" au"-enye dhambi" au "-siyo adilifu."
Njia nyingine za kufasiri haya zaweza kujumuisha, "siyo -ema, "isiyo nyofu" au "isiyo adilifu."
Hakikisha kwamba yale maneno au virai vinavyotumika kufasiri misemo hii ni vyenye kufaa kwenye muktadha vilivyo vya asili katika lugha lengwa.
uhai, ishi, maisha, -wa hai
Tazama maelezo ya sura 18:3
Leviticus 18:19-20
hedhi
Hiki ni kipindi cha majira ambapo mwanamke anapotokwa damu kutoka kwenye mji wake wa mimba.
yeye ni najisi
Tazama maelzo ya sura ya 13:20
mke wa jirai yako
"muke wa mwanaume yeyote"
Leviticus 18:21
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa watu kisichowapasa kukifanya ambacho kingewachafua wao.
Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto
Kile kirai "kuwapitisha kwenye moto" humaanisha kuwachoma kitu kwa moto kwa dhabihu. : "Msiwachome moto wato wenu wangali hai"
msije mkalikufuru jina la Mungu wenu
"KNeno "kukufu" hapa ni kufedhehesha. Neno "jina" humwakilisha Mungu mwenyewe. : "msimfedheheshe MUngu wenu."
Leviticus 18:22-23
hili lingekuwa uovu
"Uovu" hapa hurejelea ukiukaji wa mfumo wa vitu vya asili kama Yahew alivyovitarajia viwe.
Leviticus 18:24-25
mataifa yamechafuliwa
Hii humaanisha vikundi vya watu vinavyoishi huko Kanaani. Hii inafaa kufasiriwa ili kwamba ule msemo "mataifa" uwekwe wazi kuwa ni "watu." : "watu wa mataifa walijichafua wenyewe"
Nayo nchi imenajisiwa
"Watu waliichafua nchi"
nayo nchi ikawatapika wakazi wake
Yahweh akiwawaondoa watu kwa nguvu kutoka katika kunazungumziwa kana kwamba nchi ilikuwa mtu ambaye aliwatapika watu. : "Ikiwa aliwaondowa watu kwa nguvu kutoka katika nchi, kama vile mtu atapikavyo chakula"
Leviticus 18:26-28
aina yoyote ya mambo haya ya machukizo
"lolote haya mambo ya kuchukiza"
haya ya machukizo
Hii iinamaanisha "mambo haya ya machukizo."
Kwa hiyo, muwe waangalifu
"Kwa hiyo basi iwenu waangalifu"
ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu
Tazama maelezo ya sura 18:24. : "ili kwamba ninawaondoa kwa nguvu mtoke katika nchi...kama nilivyowaondoa kwa nguvu hao watu"
Leviticus 18:29-30
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anamaziliza kumwambia Musa kinachowapasa watu kunda.
watu...watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao
Tazama lilifasiwa katrika sura zilizotangulia.
ambazo zilitendwa hapo kabla yenu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"ambayo watu waliyatenda hapa kabla yenu"
kwazo
"Kwazo" hapa hurejelea desturi zenye machukizo
Leviticus 19
Leviticus 19:1-4
muzishike Sabato zangu
"tunza Sabato zagu" au "heshimu siku yangu ya mapumziko"
Msizigeukie sanamu zisizo na thaman
Kule kuabudu sanamu kumezunguzungumziwa kana kwamba ilikuwa ni kugeukia kwao kimaumbile
Leviticus 19:5-8
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kinachowapasa watu kukifanya
utatoa ili kupata kibali.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. Maana zinazowezekana ni 1) Yahweh atampokea mtu atoaye hiyo dhabihu. : "yapasa uilitoe ili kwamba huenda atakupokea" au 2) Yahweh ataikubali dhabihu kutoka kwa huyo mtu. : "yakupasa kuitoa ili kwamba huenda Yahweh ataipokea dhabihu yako."
sharti iliwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sharti muile"
lazima kiteketezwe kwa moto
Tazama maelezo ya 19:6
Endapo kitaliwa hata kidogo
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ikiwa utakula hata sehemu hata yake yoyote"
Hakitakubalika
Kula sadaka baada ya wakati ulioteuliwa ni kwenda kinyume na Mungu na huongeza hatia ambayo dhambi ilikuwa iifunike. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "usiikubali hiyo kwa ulaji"
kila akilaye ni lazima atachukua hatia yake
Ile hati ya mtu imezungumziwa kana kwamba illikuwa kitu chenye maumbile ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha ile adhabu kwa hatia hiyo. : Kila mmoja...anawajika kwa hatia yake mwenyewe" au Yahweh atamwadhibu kila mmoja...kutokana na dhambi zake mwenyewe
Mtu huyo sharti atakatiliwa mbali na watu wake
Tazama lilivyofasiriwa katika 7:19 : "inawezekana mtu huyo asiendelee kuishi kuishi miongoni mwa watu wake" au "ni lazima mmtenge mtu huyo na wa watu wake"
Leviticus 19:9-10
Unapovuna mavuno ya ardhi yako, usivune hata pembezo mwa shamba lako kabisa
"Unapokusanya mazao yako, usiyakusanye yote hata mipakani mwa mashamba yako"
wala hutakusanya mabaki ya mavuno yako yote
Hii hurejelea ile desturi ya kurudia kuvuna shambani kama kipindi cha pili cha kukusanya mazao yaliyobaki baada ya kipindi cha kwanza. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuwekwa wazi. : "na usirudi nyuma uvunapo shambani na kuokota masalio yote uliyoyaachia nyuma"
Leviticus 19:11-12
Usiape kwa jina langu kwa uongo
"Usilitumia jina lwangu kuapa juu ya jambo fulani ambalo siyo la kweli.
Leviticus 19:13-14
Usimgandamize jirani yako wala kumwibia
"Jirani" hapa humaanisha "yeyote"Maana ya hili yaweza kuwekwa wazi. : "usimuumize wala kumwibia yeyote"
Usishikilie malipo ya kibarua usiku kucha hata asubuhi
Yahweh anamwamru mwajiri kumlipa kwa haraka mtumshi wake mara kazi yake inapokamilika siku hiyo hiyo. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi.
Leviticus 19:15-16
Usisababishe hukumu ikawa ya uongo
Hii hasi ya maradufu imetumika kusisitiza. Inaweza kuelezwa katika nji chanya. : "Hukumu kwa haki siku zote"
Usionyeshe upendeleo kwa mtu fulani eti kwa kuwa tu yeye ni masikini na usionyeshe upendeleo kwa mtu fulani eti kwa kuwa tu yeye ni mtu muhimu
Yale maneno "masikini" na "muhimu" ni mambo mawili yenye kukithiri, ambayo kwa pamoja humaanisha "yeyote." : "Haikupasi kuonyesha upendeleo kwa yeyote kwa msingi wa kiasi cha wingi wa fedha walizo nazo.
amua juu ya jirani yako kwa haki
""mhukumu kila mmoja kwa kulingana na haki"
Usiende huku na huko ukisema habari za uchochezi
"Usiende huku na huko kwa watu wengine huku ukisengenya"
Leviticus 19:17-18
Usimchukie ndugu yako moyoni mwako
Kule kumchukia ndugu yako kwa kuendelea kumezungumziwa kana kwamba kulikuwa kumchukia mtu ndani ya moyo. : "Ussimchukie ndugu yako wa kuendelea"
Mkemee jirani yako kwa heshima
"Yapasa umrekebishe anayetenda dhambi"
Leviticus 19:19
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
vazi lililofumwa kwa kutumia nyuzi za rangi mbili tofauti zilizochanganywa pamoja
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "vazi ambalo mwingine alilitengeneza kutokana na nyuzi za aina mbili"
Leviticus 19:20-22
aliyeposwa na mume mwingine
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "liyeahidiwa kuolewa na mwanamume mwingine"
lakini ambaye hajakombolewa au hajaachwa huru
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye mume wake mtarajiwa hajamkomboa au kumpa uhuru"
lazima waadhibiwe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "niyapasa kumwadhibu huyo msichana mtumwa na hyuo mwanaume aliyelala naye"
Hawatauawa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Haiwapasi kuwaua"
mtu huyo alete sadaka yake ya hatia kwenye ingilio la hema la kukutania—kondoo dume iwe sadaka ya hatia
Huyo mwanaume atalazimika kuleta kondoo dume kwenye ingili la hema ya kukutania kuwa sadaka ya hatia kwa Yahweh"
Nayo dhambi iliyotendwa itasamehewa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Naye Yahweh ataisameheme dhambi aliyoitenda"
Leviticus 19:23-25
Taarifa kwa Ujulma
Yahe anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
kisha mtayahesabu matunda yatakayozaliwa kuwa yamekatazwa kuliwa. Halitaliwa
Yahweh analirudia katazo ili kulikazia na kuweka wazi kwamba ni lazima kwa miaka mitatu ya kwanza ya mti kuzaa matunda. Ni lazima kuwe na kipindi maalum kwa miti kuachwa peke yake. : "nawe hutakula matunda ya miti kwa miaka mitatu ya kwanza"
Tunda litakatazwa kwako
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Nimelikataza tunda kwako"
Nalo alitaliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sharti usilile"
Leviticus 19:26-28
damu
Msemo "damu" humaanisha kimiminika chekundu kinachotoka kwenye ngozi ya mtu panapokuwa na jeraha au kovu. Damu huleta virutubisho vitoavyo uhai kwa mwili mzima wa mtu.
- Damu hutoa ishara ya uhai na
inapomwagwa au kutolewa nje, hutoa ishara ya kupoteza maisha, au kifo
- Watu waliotoa dhabihu kwa Mungu, waliua
mnyama na waliimimina damu yake juu ya madhabahu. Hili lilitoa ishara ya dhabihu ya uhai wa mnyama kulipa dhambi za mtu.
- Kwa kupitia kifo chake msabani, kiishara
damu ya Yesu iliwasafisha watu kutoka
katika dhambi zao na hulipa ile adhabu
wanayostari kwa ajili ya dhambi hizo
dhambi zao
- Yale maelezo "nyama na damu" humaanisha
wanadamu
- Yale maelezo "mwili na damu yako
mwenyewe" humaanisha watu wanaohusiana kizazi
MAELEZO YA UFASIRI
- Msemo huu sharti ufasiriwe na msemo
unaotumika kwa damu katika lugha lengwa
- Yale maelezo "mwili na damu" yangeliweza
kufasiriwa kama "watu" au viumbe vyenye uhai."
- Kulinga na muktatha, yale maelezo "nyama
na damua yangu mwenyewe "waweza kufasiriwa kama "familia yangu mwenyewe" au "jamaa yangu mwenyewe" au watu wangu mwenyewe."
- Endapo kutakuwa na maelezo yoyote katika
lugha lengwa yanayotumika pamoja na maana hii, yangeweza kufasiri "mwili na damu"
roho, -a kiroho
Msemo roho hulenga sehemu ya watu isiyo na maumbile isiyoweza kuonekana. Mtu anapokufa, roho yake huuacha mwili wake. Pia "roho" yaweza kumaanisha tabia au hali ya kujisikia.
- Ule msemo "roho" waweza kumaanisha
kiumbe kisicho na mwili unaoonekana,
hasa roho ovu.
- Roho ya mtu ni sehemu yake inayoweza
kumjua Mungu na kuamini katika Yeye.
- Kwa ujumla msemo "-a kiroho" hukielezea
chochote katika ulimwengu usio na maumbile
- Kwenye Biblia, hasa hulenga chochote kile
kinachohusiana na Mungu, moja kwa moja kwa Roho Mtakatifu.
- Kwa mfano, "chakula cha kiroho" huhusiana
na mafundisho ya Mungu yatoayo lishe kwa
roho ya mtu, "Ile "hekima ya kiroho"
humaanisha ufahamu na tabia adilifu
inayotokana na uweza wa Roho Mtakatifu.
- Mungu ni Roho naye aliumba viumbe roho
wengine wasio na miili ya kuonekana.
- Malaika ni viumbe roho, pamoja na wale
walioasi dhidi ya Mungu na wakawa roho waovu.
- Ule msemo "roho ya" pia waweza
kumaanisha "kuwa na tabia bainishi za,"
kama vile katika, "roho ya hekima" au {"katika
roho ya Eliya."
- Mifano ya "roho" kama nia au hisia
ungejumuisha "roho ya woga" au "roho ya wivu"
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
- Kwa kutegeana na muktadha, baadhi ya njia
za kufasiri "roho" zinaweza kuhusisha,
"kiumbe kisicho na maumbile" au "sehemu za
ndani" au "utu wa ndani."
- Katika mazingira mengine, ule msemo "roho"
waweza kufasiriwa kama "roho ovu" au "kiumbe roho ovu"
- Wakati mwingine ule musemo "roho"
umetumika kuelezea hisia ya mtu aka vile,
"roho yangu ilihuzunishwa katika utu wangu
wa ndani." Hii pia yaweza kufasiriwa kama,
"nilijisikia kuhuzunishwa rohoni mwangu" au
"nilisikia kuhuzunishwa mno."
- Kile kirai roho ya" chaweza kufasiriwa kama,
"mwenendo wa, au ushawishi wa," au "nia ya" au fikira"
uweza, weuzo
Ule msemo "uweza" humaanisha uwezo wa kufanya mambo au kusababisha mambo yatokee, mara kwa mara kwa kutumia nguvu kubwa. "Uwezo" humaanisha watu au roho zenye uwezo wa kusababisha mambo kutokea.
- Ule "uweza" wa Mungu hurejelea uwezon
wa Mungu wa kufanya mambo yatokee,
hasa mambo yasiyowezekana kwa watu
kuyatenda.
- Mungu anauweza kamili juu ya kila kitu
ambacho amekiumba
- ungu huwapa watu wake uwezo wa
kufanya kile atakacho, ili kwamba
wanapoponya watu au kutenda miujiza,
wawe wanafanya hivi kwa uweza wa
Mungu.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
- Kwa kutegemeana na muktadha, ule
msemo "uweza" pia wawweza kufasiriwa
kama "uwezo" au "nguvu" au "bidii" au
"uwezo wa kutenda miujiza au kudhibiti."
- Njia zinazowezekana kufasiri msemo
"uweza" yaweza kuhusisha "wenye uhai walio na uwezo mkubwa" au roho zenye kutawala" au "wale wanaotawala wengine"
- Yale maelezo kama vile "utuokoe kutoka
katika nguvu za adui zetu" waweza kufasiriwa kama, "utuokoe kutokana na kugandamizwa na adui zetu" au "utuokoe kutoka katika kutawaliwa na adui zetu." Katika hali hii, "uweza" una maana ya kutumia nguvu za mwingine kudhibiti na kugandamiza wangine.
Leviticus 19:29-30
Usimwaibishe binti yako kwa kumfanya kahaba, la sivyo taifa litaangukia kwenye ukahaba na nchi itajawa na uovu
Yale maneno "taifa" na "nchi" huwakilisha watu wakaao humo. Watu wengi wanaotenda ukahaba na wale wengine wanaotenda matendo ya uovu wamezungumziwa kana kwamba wameangukia au wamejawa na mambo hayo. : "Watu wataanza kufanya ukahaba na mambo mengi maovu"
Leviticus 19:31
wafu au roho wachafu
Maana zinazowezekana ni 1) wale "waf" ana "roho" ni vitu viwili tofauti 2)kwamba huku ni kujirudiarudia kunakomaanisha "roho za watu waliokufa"
msiwatafute, la sivyo watawanajisi ninyi
"Msiwatafute hao watu. kama mtafanya hivyo, watawachauweni nyinyi"
Leviticus 19:32
Ni lazima usimame
Kusimama mbele za ya mtu mwingine ni ishara ya kuheshimu.
mtu mwenye mv
mtu mwenye mvi**- Hii humrejelea mtu ambaye nywele zake zimekuwa nyeupe kutokana na umri, au mtu mzee."
Leviticus 19:33-34
Mgeni, -a kigeni, mpitaji
Ule msemo "mgeni" humrejelea mtu anayeishi katika taifa lisilo lake mwenyewe. Jina lingine la mgeni ni "mpitaji"
Katika Agano la Kale, musemo huu hasa humlenga yeyote anayetoka katika kikundi cha watu walio tofauti ya watu aliokuwa akiishi miongoni mwao.
Mgeni pia ni mtu ambaye lugha na utamaduni wake ni tofauti na ule wa kwako
Mathalani, Naomi na familia walipohamia Moabu, walikuwa wageni huko. Naomi na binti mkwe wake Ruthu walipohamia baadaye Israeli, Ruthu aliitwa :"mgeni" huko kwa sababu kwa asili hakutokea Israelli.
Mtume Paulo anawaambi Waefeso kwamba kabla hawajamjua Kristo, walikuwa "wageni" kwa Agano la Mungu.
Wakati mwingine "mgeni" hutafriwa kama "mpitaji," lakini, haliwezi kumlenga tu mtu fulani asiyejulikana au asiyefahamika.
Mpende, penda .
Kumpenda mtu mwingine ni kumjali mtu huyo na kufanya mambo yatakayomnufaisha yeye. Kuna maana mbali mbali za "upendo" ambazo baadhi ya lugha zinaweza kuuelza kwa kutumia maneno tofauti: 1. Upendo unaotoka kwa Mungu wenyewe hulenga juu mema kwa ajili ya wengine, hata kama haujinufashi wenyewe. Iana hii ya upendo hujali wengine, haijalishi wanafanya nini. Mungu mwenyewe ni pendo na ndiye asili ya upendo wa kweli.
. Yesu alionyesha aina hii ya upendo kwa
kujitoa dhabihu uhai wake ili kutokoa sisi
kutoka dhambini na kifoni. Yeye
aliwafundisha pia wanafunzi wake
kuwapenda wengine kwa kujitoa dhabihu.
. Watu wanapowapenda wengine kwa aina hii
ya upendo, huhusisha matendo
yanaoonyesha kwamba mtu mwingine
anafikiri juu ya kitakachosababisha mtu
mwingi kufanikiwa. Upendo wa aina hii hasa
huhusisha kuwasamehe wengine.
. Katika toleo la ULB, neno "upendo"
humaanisha upendo wa kujito dhabihu,
isipokuwa maelezo yanapoashiria kuleta
maana nyingine
- Neno lingine katika Agano Jipya humaanisha upendo wa ndugu au upendo wa kirafiki au wa mmoja wa wanafamilia.
. Msemo huu hulenga upendo wa kibinadamu baina ya marafiki au ndugu.
. Linaweza kutumiwa pia katika mazingira
kama vile, "wanapenda kukaa kwenye viti
vya mbele katika karamu." Hii
inamaanisha kwamba "wanapenda sana"
au wanatamani sana kufanya hivyo.
- Neno "upendo" pia laweza kumaanisha mapenzi baina ya mwanaumme na mwanamke. 4. Katika maelezo ya kitamathali , "Yakobo nimempenda, lakini Esau nimemchukia," ule msemo "nimempenda" humaanisha Mungu kumchagua Yakobo kuwa katika uhusiano naye wa kimaagano. Hili pia laweza kufasiriwa kama "aliyechaguliwa." Ingawaje Esau pia alibarikiwa na Mungu, hakupewa upendeleo wa kuwa katika agano. Ule msemo "nimemchukia" hapa umetumka kitamathali kumaanisha "aliyekataliwa" au "asiyechaguliwa."
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
. Isipokuwa imeashiria vinginevyo kwenye
maelezo ya kiufasirineno "upendo katka
kwenye toleo la ULB humaanisha aina ya
upendo wa kujitoa dhabihu ambao
hutoka kwa Mungu
. Baadhi ya lugha zaweza kuwa na neno maalum kwa upendo usio wa kibinafsi waenye kujitoa dhabihu alionao Mungu. Njia za kuufasiri upendo huuzaweza kuwa pamoja na, "ungalizi wa kujitolea kwa uaminifu" au "jali kwa bila uchoyo" au "upendo kutoka kwa Mungu." Hakikisha kwamba neno linalotumika kufasiri upendo wa Mungu linawez kujumuisha kutupilia mbali masilahi ya mtu ili kunufaisha wengine na kupenda watu bila kujali wanachofanya
. Wakati mwingine neno "upendo" la Kiingereza huelezea uangalizi wa ndani walionao watu kwa ajili ya marafiki na wanafamilia. Baadhi ya lugha zingeweza kulifasiri neno au kirai hiki
. Baadhi ya lugha zinaweza kuwa na
Leviticus 19:35-37
usitumie vipimo vya udanganyifu
Hii hukataza desturi ya utuumiaji wa makusudi wa zana zinzosababisha usomaji usio sahihi wakati wa kupima vitu.
Efa
Hiki kilikuwa kipimo cha nafaka.
hini
Hiki kilikuwa kipimo kwa ajili ya vimiminika
Sharti uyatii...na kuyatenda
Virai hivi humaanisha kitu kile kile na husisitiza amri ya kutii.
Leviticus 20
Leviticus 20:1-2
atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki
Wale waliomwabudu Moleki waliwatoa dhabihu watoto wao kwake kwa njia ya moto. Maana kamili yaweza kuwekwa wazi. : "auaye watoto wake kama sadaka kwa Moleki"
hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa maw
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Watu katika nchi watamponda kwa mawe mpaka kufa
Leviticus 20:3-5
Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo
KIle kirai "kaza uso wangu dhidi" ni nahau inayomaanisha "kumkata." : "Pia Nitamkataa" au "kumpinga vikali'
amemtoa mtoto wake
"amemtoa dhabihu mtoto wake"
ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu
"na kwa kufanya hivyo, ampachafua mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu.
najisi jina langu takatifu
Jina la Mungu humwakilisha Mungu na heshima yake. : "dunisha heshima yangu" au "kiunivunjia heshima mimi"
watayafumba macho yao kwa
Kile kirai "kufumba macho yao" huashiria "hawawezi kuona" na huwakilisha kutokuwa na uwezo wa kuelewa kwao. : "kutojali" au "puuzia"
ajifanyaye kahaba ili kufanya umalaya na Molek
Kirai hiki huwafananisha na kahaba wale wasiokuwa waaminifu kwa Yahweh. ; "yeye asiyekuwa mwaminifu kwa Yahweh"
Leviticus 20:6-7
ili kufanya ukahaba na
Kirai hiki huwalinganisha na kahaba wale watu wasiowaaminifu. : "kwa kufanya hivyo, wanatafuta ushauri kwa roho badala ya kuutafuta kwangu
kaza uso wangu dhidi
Tazama maelezo ya sura20:3
Leviticus 20:8-9
Maelezo kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayao watu kutenda.
Mtazitunza amari zangu na kuzifuta
Yale maneno "tunza" na "fuata" kimsingi humaanisha kitu kimoja. Yametumika pamoja ili kusisitiza kwamba ni lazima watu wamtii Mungu.
hakika mtu huyo atauawa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"Yapasa kuua hakika"
Leviticus 20:10-12
Mwanaume yeyote afanyaye uzinzi na mke wa mwanaume mwingine, yaani, yeyote anayezini na mke wa jirani yake
Maana kamili sentensi hii yaweza kuwekwa wazi. : "Yule mwanaume aziniye na mke wa mtu mwingi"
lazima wote wawili wauawe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "sharti mtawaua wote wawili"
anayelala na mke wa baba yake ili kukutana naye kimwili
Hii ni ni njia ya upole ya kusema kwamba anafanya ngono na mke wa baba yake. Kuna baadhi ya lugha hutumi virai vya moja kwa moja kama vile "kufanya ngono na mke wa baba yake."
Wametenda upotovu
Hapa Mungu anamwita mwanawume anayelala na mke wa mwanae "potovu" , kuw ni dhambi mbaya sana. Tanzama katika sura 18:22 lilivyotafasiriwa ne "uovu"
Leviticus 20:13-14
mwanaume analala na
Tazama ililivyofasiriwa katika 20:11-12
kama alalavyo na mwanamke
Namana anavyomtendea mwanaume ndivyo angemtendea mwanamke. : "ni kama vile tu angelifanya na mwamke"
jambo lililo ovu.
"jambo la aibu" au "jambo la kuchukiza"
Hakika watauawa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuwaua hakika"
mwanaume huyo na manamke huyo
Tazama maelezo ya sura 20:12
Leviticus 20:15-16
hakika atauawa
Tazama maelezo ya sura 20:12
ni lazima mmuuwe mwanamke huyo pamoja na mnyama. Kwa hakika ni lazima wauawe
VIshazi vyote viwili humaanisha kitu kimoja. Vina sisitiza kwamba mwanamke an mnyama sharti wauawe.
Kwa hakika ni lazima wauawe
Tazama maelezoya sura 20:12
Leviticus 20:17-18
mwanaume analala na
Tazama maelezo hapo juu
ama ni binti ya baba yake au binti ya mama yake
Tazama katika sura zilizotangulia
Ni lazima wakatiliwe mbali watoke
Tazama maelezo ya sura 7:19
Ni lazima aibebe hatia yake
Kirai hiki humaanisha kwamba mtu anawajibika kwa thambi yale. : "Yeye anawajibika kwa dhambi yake" au "Ywawapasa kumwadhibu yeye"
kipindi cha hedhi
wakati ambapo mwanamke anatokwa damu kutoka katika tumbo lake la uzazi
atakuwa amefunua mtiririko wa damu yake, chanzo cha damu yake.
Kirai hiki kinafananisha kule kufanya ngono na mwanamke wakati akiwa kwenye kipindi chake hedhi kuwa ni sawasawa na kufunua kitu mambacho kilipaswa kubakia kimefichwa. Ule uhalisia kwamba hili liliikuwa ni jambo la aibu kukifanya linaweza kuwekwa wazi. : "amefanya jambo la aibu kwa kufunua kmtirirrko wake wa damu"
Ni lizima wote wawili wakatiliwe mbali
Yaweza kuwekwa wazi kwanini hili yapasa litendeke. : "kwa sababu wamefanya jambo hili la aibu, ni lazima wote wawili, mwanaume na mwanamke wakatiliwe mbali"
Leviticus 20:19-21
alalaye na
Tazama lilivyofasiriwa hapo juu
Ni lazima utabeba hatia yako mwenyewe
Tazama lilivyofasiriwa hapo juu
nitaondolea mbali mali yoyote amabayo watoto wao wangerithi kutoka kwa wazazi wao
Matleo mengi ya Biblia hulifasiri hili kama "watakufa bila kuzaa watoto."
Leviticus 20:22-23
ile nchi ambayo ninawaleta kuishi isiwatapike nyinyi
Tazama maelezo ya sura ya 18:24
Msienende katika
Kufanya matendo ya waabudu sanamu kumezungumziwa kana kwama ni kutembea katika njia zao. : "haiwapsi kufuata"
nitayafukuza
"ondoa"
Leviticus 20:24-25
nchi itiririkayo amaziwa na asal
Kile kirai itirirkayo maziwa na asali" humaanisha "iliyotajiri na yenye mazo yenye chakula cha kutosha kwa kila mmoja." : "nchi iliyonzuri kwa mifugo na kilimo" au "nchi yenye mazao"
Leviticus 20:26
nimewatenga nyinyi
"Nimewatofautisha nynyi" au "Nimewaweka kando"
Leviticus 20:27
anayeongea
Ajaribuye kuwasiliana na"
hakika atauawa
Angalia maelezo yaliyotolewa kwenye misitari mingine kwanye sura zilizotanguli.
Leviticus 21
Leviticus 21:1-3
Jitia unajisi mweneyewe
Tazama maelezo ta sura 13:20
miongoni mwa watu wake
"miongoni mwa Waisraeli"
bikira
Hii yaweza pia kufasiriwa mwanamke kijana"
Leviticus 21:4-6
pembe
"ncha"au "sehemu yoyote"
Watakuwa watakatifu
"sharti watengwe"
hawataliaibisha jina la Mungu wao
Neno "jina" limetumika kuwakilisha tabia ya Yahweh. : "wasije wakalitia aibu heshima ya Mungu" au wasije wakamfedhehesha Mungu wao"
Leviticus 21:7-9
Hawataoa
"Makuhani hawataoa"
kwa sababu wametengwa
"kwa sababu wamewekwa kando" (UDB)
Utamtenga
"nyinyi watu itawapasa kuwatendea makuhani kama watakatifu"
kwa sababu yeye ndiye anayetoa mkate kwa Mungu wako
"Mkate" huwakilisha chakula kwa ujumla. Yahweh huwa hali hasa matoleo haya. Yahweh huwa hali chakula isipokuwa wakuhani ndiyo walikula chakula hicho.
Ni lazima ateketezwe kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni sharti mmcho moto hata kufa"
Leviticus 21:10-12
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia kile ambachi makuhani kinachowapasa kufanya.
Mafuta ya upako
Hii ni kumbukumbu kwa mafuta ya upako yaliyotumika kwenye ibada ya ya kumweka wakfu kuhani mkuu mpya. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi.
ambaye mafuta ya upako yamekwisha kumiminwa kichwani pake, na ambaye amekwisha kuwekwa wakfu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "amabye juu ya kichwa chake walimimina mafuta ya upako na kumweka wakfu"
kamwe hataziacha wazi nywele zake wala hatazirarua nguo zake
Kuacha nywele wazi na kurarua nguo zilikuwa ni ishara ya kuomboleza. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi.
hataondoka eneo takatifu la hema la kukutania
Hii haminishi kwamba kuhani mkuu asingeweza kuondoka . Mungu hakumruhusukuondoka ili kuzunka kwa ajili ya mtu mwingine aliyekufa'
Leviticus 21:13-15
kutoka mipoongoni mwa watu wake
"kutoka miopngoni mwa kabila lake mwenyewe, kabila la Lawi"
asiwatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake
Kwa kuoa mwanake asiyemtkatifu au asiye na hofu ya Mungu, kuhani angeweza kuwa na watoto wasiofaa kuwa makuhani. : "ili kwamba asiwe na watoto wasiostahili kwa njia ya kuoa mwanamke asiyemcha Mungu.
Leviticus 21:16-17
asisogee kutoa chakula kwa Mungu wake
Ile maana kamili ya kauli huii inaweza kufanywa wazi. : "impasi kuja mbele ili kuteketeza sadaka ya kuteketeswa ya chakula cha Mungu juu ya madhabahu.
Leviticus 21:18-21
asimkaribie Yahweh
Ilipasa kuhani awe na viwango maalum vya kimaumbile ili kumkaribia Yahweh. Hii haimaanishi kwamba kasoro za kimaumbile yalikuwa ni matokeo ya kutokuwa mwadilifu au kwamba watu alio na kasoro za kimaumbile hawana uwezo wa kumkaribia Yahweh.
aliyeharibiwa uso au kupungukiwa na viungo mwilini,
"ambaye mwili au uso wake umeharibiwa"
kutoa mkate wa Mungu wake
"Mkate" hapa huwakilisha chakula kwa ujumla. : "kufanya matoleo ya chakula juu ya madhabahu ya Mungu"
Leviticus 21:22-24
Anaweza
"Anayeweza" hapa ni yule kuhani aliye na kasoro za kimwili.
Kula chakula cha Mungu wake
"kula matoleo ya chakula ya Mungu wake." sehemu ya dhabihu ilikuwa ya makuhani na ingeweza kuliwa.
Wanawe
"Wana wa Aroni"
Leviticus 22
Leviticus 22:1-3
waambie wajiepushe na vitu vitakatifu
"waambie wakati wanaotakiwa kujiepusha na vitu vitakatifu." Yahweh anataka kuelezea mazingira ambayo kuhani huwa najisi na haruhusiwi kugusa vitu vitakatifu.
katika vizazi vyenu
"tangu sasa na kuendelea"
wakati akiwa najisi
Tazama maelezo ya sura 13:20
sharti mtu huyo akatiliwe mbali atoke mbele zangu
Yule kuhani asiyeweza tena kumtumika Yahweh amezungumziwa kana kwamba mtu huyo amekatwa kutoka mbele za Yahweh, kama mtu angekata kipande cha nguo au tawi mti kutoka kwenye mti. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "Mtu huyo hataweza kamwe kutumika kama kuhani"
Leviticus 22:4-6
ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza
ugonjwa ujuu ya ngozi unaosambaa kwa urahisi kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine
kutoka mwilini mwake
Tazama maellezo ya sura 15:1
mpaka atakapotakasika
Tama maelezo ya sura ya 13:23
yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi
Tazama maelzo ya sura ya 13:20"
wa njia ya kugusa maiti,
"kwa kugusa mwili wa mfu"
dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wautendaji. : "dhabihu ambayo mtu mwingine ameitoa kwa Yahweh"
au yeyote agusaye mnyama atambaaye atakayemtia yeye unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya nyeye kuwa ajisi
Hii yaeza kfanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa manyama ataambaye au kutokana na kugusa mtu aliyenajisi"
yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi
Hii yaweza kufanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa mnyama aliye mlemavu au kutokana na kugusa mtu aliye najisi"
hata jioni
"mpaka machweo"
kuhani ... atakuwa najisi
Tazama maezo ya sura ya 13:23
Leviticus 22:7-9
ndipo atakuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23
uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori
Hii aweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye mtu mwingine amemwokota akiwa amekufa au yule ambaye mnyama pori kamrarua"
Leviticus 22:10-11
Maelezo kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasyo Aroni na wanawe kutenda.
Leviticus 22:12-13
mchango wa matoleo matakatifu
Neno "mchango" laweza kufasiriwa kirai che kitenzi. : "matole matakatifu ambayo watu wamechangia"
Leviticus 22:14-16
naye atamlipa kuahani kwa ajili ya hicho; itampasa kuongeza moja ya tano juu yake
moja ya tano juu yake**- maana zinazowe kuwa ni 1) kwamba mtu alipaswa kureje chakula kilicholiwa pamoja na chakula cha aina ile ile au 2) kwamba mtu huyo alipwa kulipa fedha kwa kuhani kawa jili ya chakula alikila yeye.
moja ya tano juu ya tano
moja ya tano juu yake**- Hii ni sehemu moja kutoka kwenye sehemu matano zilizosawa.
kutoheshimu vitu vitakatifu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kukuvitendea kwa heshima hivyo vitu vitakatifu"
ambavyo vimeinuliwa juu na kuletwa
Kile kirai "vimeinuwa juu" hurejelea ile ishara ya heshima ninayowakilisha utoaji wa kitu fulani kwa Yahweh. Kimsingi humaanisha kitu kile kile kama "kilichotolewa." : "kile walichokitoa"
wakajisababishia wenyewe kuchukua dhambi amabyo ingewafanya kuwa na hatia
Dhambi imezungumziwa kana kwamba kilikuwa chombo ambacho watu wanaweza kukibeba. Maana za weza kuwa 1)Wangeweza kuwajibika kwa dhambi na kuwa na hatia. : "Wangekuwa na hatia kwa ajili ya dhambi waliyoitenda" au 2)neno "dhambi" kibadala cha cha adhabu kwa ajili ya dhambi waliyoitenda. : "Wangepokea adhabu kwa sababu ni wenye hatia"
Leviticus 22:17-19
mgeni
"mpitaji"
ikubalike,
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa kiutendaji.: "iwapo Yahweh ataikubali" au "iwapo, Mimi, Yahweh, nitaikubali"
Leviticus 22:20-21
ili ikubalike
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa Mimi kuikubali" au "kwa Yahweh kuikubali"
Leviticus 22:22-23
waliojeruhiwa, wala waliotiwa kilema
Maneno haya humaanisha kasoro zilizosababishwa na ajali.
wenye upele, vidonda vitokavyo usaha, wala wenye vigaga
Haya humaanisha aina za magonjwa ya ngozi.
haitapokelewa.
"Yahweh ataikubali"
mlemavu au aliyedumaa
Maneno haya yanamaanisha kasoro ambazo mnyama anazo tangu kuzaliwa
Leviticus 22:24-25
Usilete mkate wa Mungu wako
"Kate" hapa huwakilisha chakula kwa ujumla. Mungu hakula dhabihu hasa. Makuhani wangetoa dhabihu juu ya madhabahu ya Mungu, na wangekula sehemu ya nyama. : "hataleta mnyama kuwa matoleo ya chakula kwa Mungu wenu"
Kutoka mkononi mwa mgeni
Neno "mkono" huwakilisha mtu mzima. Inaonyeshwa kwamba Waisraeli wasingeweza kutumia wanyama kama dhabihu iwapo wangewanunua kutokwa wageni ambao walihasi wanyama wao wakifanya wasikubalikekwa Mungu. : "ambaye mgeni amewapa , kwa sababu wao huhasi wanyamaa wao"
hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh hatawapokea kutoka kwenu"
Leviticus 22:26-27
anaweza kupokelewa
"unaweza kuikubali"
iliyofanywa kwa moto
"kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza"
Leviticus 22:28-30
Ni lazima iliwe
"Ni lazima uile"
iyo hiyo inayotolewa
"uliyoitoa dhabiihu"
Leviticus 22:31-33
kuzishika amri zangu na kuzifuata
Yale maneno "Shika"na "fuata" humaanisha kitu kilekile. Nayo husisitiza kwamba ni lazima watu watii ammri za Mungu, : "tii amri zangu"
2Msiliabishe jina langu takatifu
Neno "jina" hapa humwakilisha Yahweh mwenyewe na sifa zake njema. : "msiniabishes mimi Au "msiiabishe sifa yangu njema"
Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli
: "Watu wa Israeli wanitambue kwamba mimi ni mtakattifu"
Leviticus 23
Leviticus 23:1-2
sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh
Hizi ndizo zilikuwa sikuu ambazo Bwana aliamru majira yake. Watu walikuwa wamwabudu yeye kwenye sikukuu hizi. : "Sikukuunkwa ajili ya Yahweh" au sikukuu za Yahweh"
Leviticus 23:3
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapayo watu kutenda katika nyakati za ssiku maalum.
siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa
hili ni jambo ambalo watu yawapasa kulifanya kuwa mazoea yao. Kila baada ya siku sita katika watakazofaanya kazi, nilazima wapumzike katika siku ya saba.
kusaniko takatifu
Yale makwa ambayo watu walikusanyika kumwabudu Mungu katika siku hiyo yamezungumziwa kana kwamba siku hiyo ilikuwa ni kusanyiko. : "siku taktifu, ambayo yawapasa kukusanyika kuniabudu mimi"
Leviticus 23:4-6
nyakati zilioamriwa
"katika nyakati zake mwafaka"
mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi ... Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule
Mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiebrania huitia alama siku Yahweh alipowatoa Wasraeli katika nchi ya Misri. siku ya kumi na nne na ya kumi na tano ziko kariru na mwanzo wa mwezi wa Aprili katika kalenda ya Magharibi.
kwenye machweo.
"wakati wa jua kuzama"
Leviticus 23:7-8
Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja
"Yawapasa kuitenga siku ya kwa kwanza ili kukusanyika pamoja" au "Ni lazima muione siku ya kwanza kuwa tofauti na kukusanyika pamoja.
mtamletea Yahweh matoleo ya chakula
Wataiwasilisha kwa Yahweh kwa kuteketeza juu ya madhabahu.
Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh
Yale matakwa ambayo watu wanayakusanyikia katika siku hiyo yamezungumziwa kana kwamba siku hiyo ilikuwa kusanyiko. Kuwa umetengwa kwa Yahweh humaanisha kwamba wanapokusanyika, ni lazima wamwabudu Yahweh. : "Siku ya saba ni ambayo yawapasa kukusanyika pamoja ili kumwabudu Yahweh.
Leviticus 23:9-11
mganda wa nafaka wa matunda yake ya kwanza
"mganda wa kwanza" au "kitita cha kwanza cha nafaka."mganda" ni fungu moja la nafaka ambalo mtu amelifunga pamoja.
kwa kuwa litakubalika
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa ajili yaaa kupokelewa na Yahweh" au "Nami nitalipokea"
Leviticus 23:12-14
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
sehemu mbili za kumi ya efa
Efa moja ni sawasawa na lita 22. "lita nne na nusu"
Moja ya nne ya hini
Hini moja ni sawasawa na lita 3.7. : "lita moja"
wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya
wala nafaka iliyopikwa au isiyopikwa
Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu
Tazama lilivyofafanuliwa katika 3:15
Leviticus 23:15-16
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
siku hamsini
"siku 50"
ya saba
Hii ni ya kwaida kwa namba saba
Leviticus 23:17-21
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumbia Musa yawapasayo watu kutenda
iliyotengenezwa kutokana na mbili ya kumi ya efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. ; "uliyoitengenza kutokana na mbili ya kumi ya efa ya unga na ulioumliwa kwa hamira"
mbili ya kumi ya efa.
Takribani lita 4.5. : "lita nne na nusu"
na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh
Furaha ya Mungu kwa manukato huwakilisha fura furaha yake kwa watu wanaoteketeza matoleo hayo. : "naye Yahweh atapendezwa nanyi" au "impendezayo Yahweh"
Leviticus 23:22
Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu
"Mkusanyapo mazao yenu, msiyakusanye yote hata kufika mipakani mwa mashamba yenu"
Leviticus 23:23-25
Katika mwezi wa saba., siku ya kwanza ya mwezi huo
Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrani. Siku ya kwanza ni karibu na katikati ya mwezi wa Septemba kwenye kalenda ya Magharibi.
pumzika makini
kipindi cha wakati ambacho kilikuwa cha ibada na siyo kwa ajili ya kazi.
lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kutoa dhabihu mnayoifanya kwa mto kwa Yahweh" au "ni sharti mteketeze sadaka kwa Yahweh juu ya madhabahu"
Leviticus 23:26-27
siku ya kumi ya mwezi huu wa saba
Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Ebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwisho wa mwezi wa Septemba katika kalenda ya Magharibi.
siku ya upatanisho
Katika siku hii kila mwaka kuhani mkuu alifanya dhabihu kwa Yahweh ili kwamba Yahweh angeweza kusamehe dhambi zote za watu wa Israeli. : "siku ya dhabihu kwa ajili ya msamaha"
Leviticus 23:28-29
Maelezo Unganishi
Yahweh anaedelea kumwambia Musa yawapasayo watu kufanya kila mwaka.
azima akatiliwe mbali na watu wake
Tazama maelezo ya sura ya 7:19
Leviticus 23:30-32
Maelezo ya Kuunganisha
Yahweh anaendelea kumwambia mMusa yawapasayowatun kutenda.
katika siku hiyo
"katika siku ya upatanisho"
Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu
Tazama katika sura ya 3:15
Sabato ya pumziko makini
Hii haikuwa Sabato ile ambayo waliishika kila juma katika siku ya saba. Hii ilikuwa ni sabato maalum katika siku ya upatanisho.
yapasa mjinyenyekeze
katika jambo hili, kujinyeyekeza wenyewe kulimaanisha kwamba wasingeku *la chakula chochote. Hii yweza kutmkwa wazi. : "Yapasa kujinyenyekeza wenyewe na msile kitu cho chote.
siku ya tisa ya mwezi
hii humaanisha mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. Siku ya tisa ni karibu na mwishoni mwa mwezi wa Septemba katika kalenda ya Magharibi. Hii yaweza kufanywa wazi. : "siku ya tisa ya mwezi wa saba"
Tangu jioni hata jioni
"Tangu machweo mpaka machweo kwenye siku inayofuata"
Leviticus 23:33-36
siku ya kumi natano ya mwezi wa saba
Hii ni karibu na mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba katka lenda ya Magharibu.
Sikukuu ya Vibanda
Hii ni sherehe wakati ambao watu wa Israeli waliishi katika vibanda vya muda kwa siku saba kama njia ya kukumbuka muda walioutumia wakiishi kwenye jangwani baada ya kutoka Misri.
Leviticus 23:37-38
Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa
Sikukuu hizi zimetajwa katika 23:1-36
Leviticus 23:39
Kuhusu Sikukuu ya vibanda
Tazama katika sura ya 23:33
siku ya kumi natano ya mwezi
Huu ni mwaka wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na tano ni karibu na mwanzoni na mwezi wa Oktoba kwenye kalenda Magharibi.
mmeyakusanya ndani matunda
"baada ya kuwa mmeyakusanya mazao"
Leviticus 23:40-41
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea na maelekezo yake juu ya sikukuu ya vibanda.
makuti ya mtende ... matawi ya mierebi kutoka chemchemi za maji
Matumizi ya matawi yanayoweza kuwa ni 1) kujenga vibanda vya muda au 2) kuyapunga kama sehemu ya kusherehekea kwa kwa shangwe, Baadhi ya tafsiri hutamkwa wazi matumizi yake; matoleomengine huacha kuesema uwazi wake.
Mierebi
Miti yenye majani marefu, membamba, ambayo huota karibu na maji.
Leviticus 23:42-44
wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza
"kizazi baada ya kizazi" ni nahau inayomaanisha kwa kila kizazi kinachoishi baada ya kingine. "wazao wenu wa kizazi kijacho wwaweze kujifunza" au "wazao wenu wote waweze kujifunza daima"
Leviticus 24
Leviticus 24:1-2
Taarifa kwa Ujumla
Mungu anampa Musa maelekezo kuhusu vitu vya hekaluni
mafuta halisi yaliyokamliwa kutokana na mizeituni
"mafuta halisi ya zeituni
taa
Hii humaanisha ile taa au zile taa kwenye hema takatifu la Yahweh. hili laweza kufasiriwa kwa uwazi. : "ile taa katika hema la kukutania
Leviticus 24:3-4
Kauli Unganishi
Mungu anaendelea kumpa Musa maelekezo juu ya vitu katika hema la kukutania
Nje ya pazia lililoko mbele ya sanduku la maamzi
Kile kirai "sanduku la maamzi" huwakilisha ama zile mbao ziliandikwa juu yake au lile sanduka ambalo hizo mbao ziliwekwa ndani yake. Hivi vilitunzwa vema humo mahali patakatifu pa patakatifu, am bacho kilikuwa ni chumba nyma ya pazia ndani ya hema la kukutania. : "Nje ya pazia lililoko mbele ya mbao za sanduku la maamzi" au "Nje ya pazia
pazia
Hiki kilikuwa ni kitambaa kinene kilichoning;inizwa kama ukuta . hakikuwa kama pazia la dirishani la kitambaa chepesi.
tangu asubuhi hata jioni
tangu mawio mpaka machweo" au "usiku mzima"
Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu
Tazama maelezo ya sura 3:15
Leviticus 24:5-6
Maelezo Ungajishi
Mungu anaendea kumwelekeza Musa juu ya vitu kwenye hema la kukutania
mbili za kumi za efa
Hizi ni kama lita 4.5. : "lita nne na nusu"
meza ya dhahabu safi mbele za Yahweh
Meza hii ilikuwa mahali pa takatifu, ambayo ilikuwa kabla ya patakatifu pa patakatifu.
Leviticus 24:7-9
Maelezo Ungajishi
Mungu anaendea kumwelekeza Musa juu ya vitu kwenye hema la kukutania
Mtaweka uvumba safi kando ya kila safu
Uvumba labda ulifuata baada ya mikate. : "yapasa muweke uvumba safi katika kila safu"
kuwa sadaka ya kuwakilish
Kile uvumba uliwakilishwa cha weza kutamkwa kwa uwazi> "ili kuwakilisha mikate kama sadaka" au kuwa sadak iwakilishayo mikate"
kwa kuwa ni sehemu ya matoleo
"kwa kuwa waliichukua kutoka kwenye matoleo"
matoleo kwa Yahweh yaliyofanywa kwa moto
"sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh" au "sadaka mnayoichoma kwa ajili ya Yahweh"
Leviticus 24:10-12
Sasa ilitokea
Kirai hiki kianunda sehemu mpya ya kitabu.
akalikufuru jina la Yahweh na kumlaani Mungu
Vilai vyote viwili kimsingi humaanisha kitu kimoja. "akamfufuru Yahweh kwa kumalaani" au alisema mambo maovu kumhusu Yahweh"
Shelomithi
Hili ni jina la mwanamke.
Dibri
Hili ni jina la mwaume.
Leviticus 24:13-14
Wale wote waliomskia wataweka mikono yao juu ya kichwa chake
Walikuwa waweke mikono yao juu ya kichwa chake kuonyesha kwamba alikuwa mwenye hatia.
Leviticus 24:15-16
Maelezo Unganishi
Mungu anaendelea kumwambia Musa walichopaswa kumtendea mtu aliyemkufuru Mungu
imempasa kubeba hatia yake mwenyewe
Kuteseka kwa ajili ya dhambi kumezungumziwa kana kwamba alikuwa mtu abebaye hatia yake. : "Sherti ateseke kwa ajili ya dhambi zake" au "ni lazima aadhibiwe"
lazima auawe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni sharti watu watamuua" au "hakika yawapasa watu kumuua"
Leviticus 24:17-18
Maelezo Unganishi
Mungu anaendelea kumwambia Musa yawasayo watu kutenda mtu mwingine anapofanya mambo mabaya
ni lazima kwa hakika auewe
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "hakika yawapasa kumuua yeyote anayemuua mtu mwingine"
sharti amfidie
Jinsi anavyomfidia kwa weza kutamkwa wazi. : "yapasa amfidie kwa kumpa mwenye mali mnyama aliyehai"
uhai kwa uhai
Hii ni nahau inayomaanisha uhai mmoja ungechukua nafasi ya uhai mwingine. : "uhai mmoja kuchukua nafasi ya uhai mwingine" au "kumfidia yule aliyemuua"
Leviticus 24:19-21
Maelezo Unganishi
Mungu anaendelea kumwambia Musa yawasayo watu kutenda mtu mwingine anapofanya mambo mabaya
lazima atendewe vivyo hivyo
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "sharti mtende hivyo kwake"
Mvunjiko kwa mvunjiko
Virai hivi vinasisitiza kwamba mtu anapaswa kupokea madhara yale yalele ambayo yeye aliyafanya kwa mwingine.
jicho kwa jicho, jino kwa jin
Tazama aelezo ya sura 24:20
Jino kwa jino
Hii humaanisha jino lililong'olewa kutoka kinywani. : "kama anang'oa jino la mtu mwingine, mojawapo la meno yake litang'olewa" au iwapo anang'oa jino la mtu mwingine, nao watang'oa mojawapo ya meno yake"
Yera kwa jeraha
Hii humaanisha mifupa yenyekuvunjika. : Mfupa uliovunjika kaw amfupa uliovunkia" au "kamaanavunja mfupa wa , mmojawapo wa mifupa yake lazima uvunjwe " au "kama anavunja mfupa wa mtu mwingine, nao watavunja mmojawapo wa mifupa yake"
yeyote auaye mtu lazima auawe
Hii yaweza kutamkwa katika mtingo wa utendaji. : "nao sharti wamuue yeyote auaye mtu"
Leviticus 24:22-23
wakaitekeleza amri
"wakaitii amri"
Leviticus 25
Leviticus 25:1-2
hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh
Nchi inazunguziwa kana kwamba ilikuwa mtu ambaye angeweza kuitii sabato kwa kupumzika. Ni kama vile tu watu wanavyopaswa kupumzika kila siku ya saba, watu walikuwa waheshimu Mungu kwa kutoilima ardhi katika kila mwaka wa saba.: "yawapasa kuitii sheria ya Sabato kwa kuiacha ardhi ipumzike kila mwaka wa saba kwa ajili ya Yahweh" au "yawapasa uitii Sabato ya Yahweh kwa kutoilima ardhi kila mwaka wa saba"
Leviticus 25:3-4
mtaikatia matawi mizabibu yenu
Kuikatia matawi mizabibu ni kuyawezesha matunda kukua vizuri.
Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa
Kutoilima ardhi nikumezungumziwa kana kwamba ni pumziko la nchi. Hii yawweza kukutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuishika Sabato ya pumziko makini kwa ajili ya nchi" au "yakupasa kuitii sheria ya Sabato kwa kutoilima ardhi kila mwaka wa saba"
Leviticus 25:5-7
Hamtasimamia ... wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula
Katika a 25:5-6 Yahweh anamaanisha hatamruhusu mmiliki wa shamba kuwasimamia wafanya kazi wake na kuivuna nchi kama afanyav miaka mingine sita. Hata hivyo, Yahweh atawaruhusu mtu mmoja mmoja kwenda shambani ili kuokota na kula mda wapatayo.
mizabibu yenu isiyokatiwa matawi
Hii humaanisha kwamba hayupo aliye angaliamizabibu na kukatia matawi kama wafanyavyo katika miaka sita mingine. Hii yaweza kutamkwa atika mtindo wa utendaji. : "mizabibu yenu msiyoikatia matawi"
Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa
Chochote kipukacho juu ya ardhi isiyofanyiwa kazi"
ardhi isiyofanyiwa kazi
Hii humaanisha kwamba hakuna mtu aliyeziangalia bustani au mashamba kama wafanyavyo katika miaka sita mingine. Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "bustani zenu msizozitunza"
Chochote ardhi ... itakachotoa
"chochote kiotacho juu ya ardhi"
Leviticus 25:8-9
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapassacho watu kutenda.
kutakuwa na Sabato za miaka saba.
"kutakuwa na seti ya miaka saba"
miaka arobaini na tisa
miaka tisa** - "miaka 49"
kumi ya mwezi wa saba
Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwaisho mwezi wa Septemba katka kalenda ya Magharibi.
Siku ya Upatanisho
Tazama lilivyofasiriwa katia sura ya 23:26
Leviticus 25:10
mwaka wa hamsini
Hii ni namba ya mpango. : "mwaka wa 50"
Yubile kwa ajili yenu
Yubile ulikuwa mwaka ambao Wayahudi walipaswa kurejesha ardhi kwa wamiliki wake wa asili na kuwaacha huru watumwa. : "mwaka wa urejesho kwa ajili yenu" au "mwaka kwenu wa kurudisha ardhi na kuacha huru watumwa"
mali na watumwa ni lazima warejeshwe
Hii yweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kurudisha mali na watumwa"
Leviticus 25:11-12
Yubile kwenu
Tazama maelezo ya sura 25:10. Nayo yaweza kutamkwa wazi kwa waliyekuwa wakiirejesha hiyo ardhi. : "mwaka ambao mnapaswa kuirejesha ardhi kwangu"
Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani
azama maelezo katika 25:5-7
Leviticus 25:13-14
mwaka huu wa Yubile
"mwaka huu wa urejesho" au "mwaka huu kurudisha ardhi na kuweka huru watumwa|"
Leviticus 25:15-17
Taarifa kwa Ujumla
MUngu anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
ambayo yaweza kuvunwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "nayowea kuyavuna"
Yubile nyingine
"mwaka mwingine wa urejesho" au "mwakamwingine wa kurudisha ardhi"
Leviticus 25:18-19
muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza
Virai hivi vyote humaanisha kitu kimoja. Zinasisitiza kwamba watu wanapaswa kutii kila asemalo Yahweh.
nanyi mtakula kiasi cha shibe yenu
Hii humaanisha kwamba wangekula vya kutosha mpaka matumbo yao yajae. : "mtakuala mpaka mjazwe" au mtakula tele"
Leviticus 25:20-22
Labda mtasema
"Mtasema" hapa humaanisha watu wa Israeli.
Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu
Mungu anaiongelea baraka yake kana kwamba ilikuwa mtu amabye angeweza kumtii yeye. "Nami nitaituma baraka yangu juu yenu" au "Nami nitawabariki ninyi"
kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kutoka katika chakula mlichohifadhi"
Leviticus 25:23-25
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuzungumza
Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu,
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. ; "Haipasi kuiuza ardhi yenu kwa kudumu kwa mtu mwingine"
lazima muitunze haki ya ukomboz
Jina "ukombozi" laweza kuelezwa na vitenzi "komboa" au "nunua tena ulichokiuza." : "yawapasa mkumbuke kwamba yule mmiliki wa asili anayo haki ya kuikomboa tena ardhi wakati wowote"
itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima muiruhusu familia ile ambayo mliinunua ardhi kwao kuinunua tena hiyo ardhi"
Leviticus 25:26-28
ardhi hiyo ilipouzwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "alipoiuza hiyo ardhi"
kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia
Hii yaweza kuwekwa wazi. : "kuilipa hiyo fedha kwa mnunuzi aliyeinunu hiyo ardhi ambayo angekuwa amishailipa"
mwaka wa Yubile
Tazama lilivyotafsiriwa katika sura 25:10
ardhi itarejeshwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yule aliyeinunua hiyo ardhi atairejesha"
atarejea kwenye mali yake
"atarudi kwenye ardhi yake"
Leviticus 25:29-30
baada ya kuuzwa
"baada ya yeye kuiuza"
haki ya ukombozi
Ile nomino "ukombozi" yawaeza kuelezwa na vitenzi "komboa" au "nunua tena ulichokiuza." : "haki ya kukikomboa"
Kama nyumba hiyo haitakombolewa
Hii yaweza kutmkkwa katika mtindo wa utendaji. : "kama yeye au familia yake hwaikomboi hiyo nyumba"
Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu aliyeinunua nyumba hiyo hatatakiwa kuirejesha"
Mwaka wa Yubile
Tazama livyotafsiriwa kwenye mistari iliyotangulia.
Leviticus 25:31-32
Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta
Baadhi ya vijiji havikuwa na ukuta kuvizunguka.
Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe
"Mnaweza kuzinunua tena nyumba mlizoziuza, na wale waliozinunua sharti wazirejeshe hizo nyumba"
mwaka wa Yubile
Tazama ulivyofafanuliwa ktika mistari iliyotangulia katika sura hii
nyumba zinazomilikiwa na Walawi katika miji yao
"zile nyumba wanazozimiliki Walawi katika miji yao"
zaweza kukombelewa wakati wowote
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Walawi wanaweza kuzikomboa wakati wowote"
Leviticus 25:33-34
nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yyule aliyeinunua hiyo nyuma iliyoko mjini sharti airudishe "
mwaka wa Yubile
"mwaka wa urejesho" au mwaka wa kurudisha ardhi na kuacha huru watumwa"
miongoni mwa watu wa ni mali yao
Nchi ya Kanaani iligawanywa miongoni mwa watu wa Israeli, lakini katika hiyo, Walawi walikuwa wamepewa miji 48 tu pamoja na mashamba kuizunguka miji hiyo. : "sehemu ya ardhi yao ambayo Waisraeli wanaimiliki" au "mali yao katika nchi ya Israeli"
Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa
"Lakini Walawi hawatauza hayo mashamba yanayozunguka miji yao"
Leviticus 25:35-38
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
Usimtoze riba
Usimfanya akulipe zaidi ya ulichomkopesha yeye"
Leviticus 25:39-41
hutamfanyisha kazi kama mtumwa. Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa.
Hii humaanisha kwamba mmiliki alikuwa amtendee Mwisraeli kwa heshima kuliko vile ambavyo angelimtendea mtumwa.
Mwaka wa Yubile
Tazama maelezo katika 25:33
Leviticus 25:42-44
Maelezo Unganishi
Mungu anaendelea kumwambia Musa yaliyompasa kuwaambia watu.
wao ni watumishi wangu
"wananchi wenzako ni watumishi wangu"
Hawatauzwa kama watumwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Haiwapasi kuwauza kama watumwa.
waweza kununua watumwa kutoka kwao.
"labda mwaweza kununua watumwa kutoka kwa mataifa hayo"
Leviticus 25:45-46
mgeni, -a kigeni, mpitaji
Tama maelezo katika sura zilizotangulia
Familia
Ule msemo "familia" humaanisha kikundi cha watu wanaohusiana kwa damu na kwa kawaida huhusisha baba, mama, na watoto wao. Mara kwa mara pia huhusisha ndugu wengine kama vile babu na bibi, wajuu, wajomba na shangazi.
. Familia ya Kiebrania ni jamii ya kidini
inayopitia chini ya mapokeo chini ya ibada
na maelekezo.
. Familia pia yaweza kujumuisha watumwa,
masuria, na hata wageni.
Baadhi ya lugha zaweza kuwa na
nenonpana kama vile "ukoo" au "kaya"
ambalo linaweza kufaa vema katika
mazingira ambayo huhusisha zaidi ya
wazazi, na watoto tu .
. Ule msemo "familia" pia umetumika
kumaanisha watu wanaohusiana kiroho,
kama vile watu waliosehemu ya familia ya
Mungu kwa sababu wanamwamini Yesu.
Watoto, mtoto
Katika Biblia ule msemo "mtoto" mara kwa mara umetuka kwa ujumla kumaanisha mtu mwingine aliye mdogo kiumri, pamoja na mtot mchanga. Ule msemo "watoto" ni mtindo wa wingi nao pia una maana nyingi za kitamathali.
. Katika Biblia, wale wanafunzi au wafuasi wakati mwingine wanaitwa "watoto" . Mara kwa mara ule msemo "watoto" limetumika kuamanisha mzao wa mtu . Kile kirai "wana wa" chaweza kumaanisha wale wanaoelezewa na kitu fulani. Baadhi ya mifano hii yaweza kuwa . watoto wa nuru . watoto wa kutii . watotowa mwovu . Msemo huu waweza pia kumaanisha watu ambao wako kama watoto wa kiroho. Kwa mfano, "watoto wa Mungu" humaanisha watu wa Mungu kupitia imani katika Yesu.
rithi, urithi, mirathi, mrithi.
Ile misemo "rithi" ana "urithi" humaanisha kupokea kitu fulani cha thamani kutoka kwa mzazi au mtu mwingine kwa sababu ya uhusiano maalum na mtu huyo. "Mrithi" ni mtu anayepokea urithi.
. Urithi wa kuonekana unaopokelewa waweza kuwa fedha, ardhi, au aina nyine ya mali. . Urithi wa kiroho ni kila kitu ambacho Mungu huwapa watu wanaoamini katika Yesu, ikiwa ni pamoja na baraka katika maisha haya pia na uzima wa mile na kukaa paoja naye.
. Pia Biblia inawaita watu wa Mungu kuwa ni hurithi wake, ambapo humaanisha kwamba wao ni wake yeye, wao ni miliki yake ya thamani.
. Mungu alimwahidi Abrahamu na wazao wake kwamba wangerithi nchi ya Kanaani, nayo ingekuwa yao milele.
. Pia kuna maana ya kitamthali au kiroho ambamo kwayo watu wa Mungu wametajwa kuwa "watairithi nchi." Hii humaanisha kwamba wao watastawi na kubarikiwa na Mungu katika njia zote mbwili kimwili na kiroro
. Katika Agano Jipya, Mungu anaahidi
kwamba wale wanaomtegemea Yesu
"watarithi wokovu" na "kurithi uzima wa
milele." Pia imeelezwa kuwa, ni kurithi
ufalme wa Mungu." Huu ni urithi wa kiroho
udumuo milele.
. Kuna maana nyingine za kitamathali za
misememo hii
. Biblia husema kwamba wale watu wenye hekima watarithi "utukufu" na watu waliowanyoofu "watarithi mambo mema"
. "Kurithi ahadi" humaanisha kupokea mambo mema ambayo Mungu ameahidi kuwapa watu wake.
. Musemo huu pia umetumika katika maana hasi ikiwarejelea watu wapumbavu au wasiotii "watakaorithi upepo" au watakorithi "upumbavu." Hii humaanisha kwamba wanapokea matokeo ya matendo yao maovu, pamoja na adhabu maisha yasiyo na maana.
ndugu
Msemo huu "ndugu" mara kwa mara humaanisha mtu mwanaume anayeshirikiana na mtu mwingine angalau mzazi mmoja kiukoo.
. Katika Agano la Kale, msule msemo "ndugu"
pia umetumika kama uhusiano wa jumla kwa
jamaa kama vile washirika wa kabila, ukoo,
au wa kikundi kimoja.
. Katika Agano Jipya, mara kwa mara Mitume waliutumia "ndugu" kumaanisha Mkriso mwenzako, likijumuisha wote wanaume na wanawake. kwa kuwa Waminio katika Kristo wote ni washirika wa familia moja ya kiroho, na Mungu akiwa Baba yao wa mbinguni.
. Mara chache katika Agano Jipya mitume
walitumia msemo "dada" walipomaanisha
Mkristo mwanamke moja kwa moja, au
kusisitiza kwamba wote, wanaume na
wanawake wamehusishwa. Kwa mfano,
Yakobo anasisitiza kwamba anaporejelea
"kaka" na "dada" anyehitaji chakula au nguo,
atakuwa nazungumzia waamini wote.
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
kikundi cha watu, watu, watu wa,
Tazama maelezo ya sura ya 18:1-3
Israeli, Waisraeli, taidfa la Israeli
Ule msemo "Israeli" in jina ambalo Mungu alimpa Yakobo, linamaana ya, "yule apambanaye na Mungu
. Wale wazao wa Yakobo walikuja kujulikana
kama "watu wa Israeli," taifa la Ireaweli," au
"Waisraeli."
. Mungu aliunda agano lake na watu wa Israeli. Walikuwa watu wake wateule.
. Tifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na mbili. . Mara tu baada ya mfale Sulemani kufa, Israeli iliganyika katika falme mbili: ufalme wa Kusini uliitwa "Yuda" na ule uflamue wa Kaskazini uliitwa Israeli.
. Mara zote ule msemo "Israeli" waweza kutafsiriwa kuwa, "watu wa Israeli," au ""taifa la Israeli," kulingana tu ma mazingira.
Leviticus 25:47-48
baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa, anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Mtu mwingine katika familia yake anaweza kumkomboa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Baada ya mgeni kumnunua Mwisraeli mwenzako mtu mwingine katika familia ya Mwisraeli aweza kumnunua tena aliyekuwa ameuzwa>
Leviticus 25:49-50
mpaka mwaka wa Yubile.
Mwisraeli angeweza kuwa mtumwa mpaka mwaka wa Yubile. Haya maelekezo ni kwa ajili ya Mwisiraeli alipotaka kuununua tene uhuru wake kabla ya mwaka wa Yubilee.
mwaka wa Yubile
Tazama maelezo katika sura zilizotangulia
kulingana na kiwango cha mendshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa
Endapo Mwisraeli anaununua tena uhuru wake, yule mgeni angeweza kukodi mtumishi ili kufanya zile kazi ambazo mwisraeli angekuwa amezifanya lakini haitakuwa hivyo. Vile vitenzi "kulipwa" na "ajiriwa" zaweza kuelezwa katika mtindo wa utendaji. : "kulingana na kiwango ambacho mtu angelipa ili kukodi mtumishi"
kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi
kwa idadi ya miaka kufikia Yubileeambayo huyo Mwisraeli angekuwa ameendelea kufanya lakini ameacha.
Leviticus 25:51-52
atalazimika kulipa
"huyo Mwisraeli atalazimika kurejesha"
Leviticus 25:53-55
:hatendewi kwa ukatili
"Huyo mgeni aliyemnunua yeye kama mtumwa itampasa kumtendea yeye."
hatendewi kwa ukali
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "hakuna amtendeaye yeye viba"
Iwapo hakukombolewa katika njia hizi
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaj, na ile naye ni lazima akombolewe kutoka yaweza kutamkwa wazi. : "Kama hayupo wa kumkomboa yeye kwa njia hizi kutoka kwa aliyemnunua kama mtumwa."
kwa njia hizi,
"katika njia hizi"
atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake
MWisraeli mtumwa pamoja na wa watoto wake watamtumikia mgeni mpaka mwaka wa Yubile., kisha huyo Mgeni angepaswa kumwacha huru Mwisraeli huyo pamoja na watoto wake.
Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi
"Kwa kuwa ni kwamba kwangu watu wa Israeli ni wa tumishi." Hii nis sababbu kwamba Mungu alitaka Waisraeli waachwe huru katika mwaka wa Yubile. Walikuwa watumishi wake. Walikuwa hawaruhusiwi kuwa wa tumwa wa mwingine wa kudumu pia.
Leviticus 26
Leviticus 26:1-2
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda.
muzitunze Sabato zangu
"tiini sheria kwa ajili ya Sabato zangu"
Leviticus 26:3-4
mtatembea katika sheria zangu na kuzishika amri zangu na kuzitii
Kuna njia tatu za kuseama jambo lile lile. Yote husisitiza kwamba ni lazima watu watii kila kitu anachowaamru Mungu kufanya. "kama mtazitii kwa uangalifu sheria na amri zangu"
mtatembea katika sheria zangu
Mwenendo kulingana na sheria umezungumziwa kana kwamba ulikuwa kutembea katika sheria. : "kama mtaenenda kulingana na sheria" au "kama mtaishi kulinga na sheria zangu"
Leviticus 26:5-6
mtakula mkate na kushiba na kuishi
Mkate hapa huwakilisha chakula. "Hata ukamilifu" humaanisha hata matumbo yao lijazwa kwa chakula. : "mtakula chakula mpaka mmejazwa" au "mtakuwa na chakula telea chakula"
Nami nitatoa amani katika nchi
"Huko nitasababisha kuwa amani katika nchi"
upanga hautapita katika nchi yenu
Hapa "upanga" huwakilisha majeshi ya adui" au "majeshi yatawashambulieni"
Leviticus 26:7-8
nao wataanguka mbele yenu kwa upanga
"Kuanguka" hapa huwakilisha kufa, na "upanga" huwakilisha ama kushambulia watu kwa upanga au vita kwa ujumla"
Watu wenu watano watafukuza adui mia moja, na watu wenu mia moja watafukuza adui elfu kumi
Hii humaanisha Waisraeli watakuwa na ushindi dhidi ya majeshi makubwa.
tano ... mia moja ... elfu kumi
"5 ... 100 ... 10,000"
Leviticus 26:9-10
Nitawatazama kwa upendeleo
"Nitawaonyesha upendeleo" au "Nitawabariki nyinyi"
kuwafanya nyinyi mzae na kuwazidisha nyinyi
Virai hivi viwili vinamrejerelea Mungu akiwasababisha wao kuwa na wazao wengi kwa hiyo wanakuwa kundi kubwa.
kuwafanya nyinyi mzae
Mungu anakuzungumzia kuwa na watoto kwao kana kwamba walikuwa miti izaayo matunda mengi. : "nitawasababisha kuwa na watoto wengi"
Mtakula chakula kilichotunzwa ghalani kwa muda mrefu
"Mtakuwa na chakula kilichohifadhiwa ghalani cha kutosha kula kwa muda mrefu" au "Mtakuwa na chakula cha kutosha kuhifadhi ghalani na kukila kwa muda mrefu"
Leviticus 26:11-13
Nitaliweka hema langu katikati yenu
"Nitaweka mahali pa makao yangu miongoni mwenu"
Nami sitachukizwa nanyi
"Nitawakubali ninyi"
Nitatembea miongoni mwenu
"Nami nitawakubali ninyi"
Nimevunja makomeo ya nira yenu
Mungu anauzungumzia utumwa wao kana kwamba kulikuwa ni kuvaa nira ambayo huivaa wanyama ili kufanya kazi ngumu. Kuvunja makomeo ya nira huwakilisha kuwaweka wao huru. : "Nimewaweka huru kutoka katika kazi ngumu walizowalazimisha kuzifinya"
Leviticus 26:14-15
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anamwambia Musa kitakachotokea endapo watu wazitii mamri zake.
Leviticus 26:16-17
kama mtafanya mambo haya
Kila kirai "mambo haya" hurejelea mambo yaliyoorodheswa katika sura 26:14
Nitasababisha hofu juu yenu
Hapa "hofu" huwakilisha mambo yatakayowasababisha wao kuhofu. : "Nami nitatuma maafa yatayowaogofya ninyi"
kuondoa uhai wenu
"Nitayaondoa taratibu maisha yenu" auNitaninyi mfe pole pole" . Ni yale magonjwa na homa yatayofanya hivi.
Mtapanda mbegu zenu kwa hasara
Kile kirai "kwa hasara" humaanisha wasingepata kitu cho chote kutoka kwenye kazi zao. ; "Nanyi mtazipanda mbegu zenu bila faida" au "Nanyi mtazipanda mbegu zenu, lakini hamtapata kitu cho chote kutoka kwake"
Nitakaza uso wangu dhidi yenu
Hii humaanisha kwamba atakuwa kinyume nao. Uso wake utaonyesha ghadhabu yake naye atapigana dhidi yao.: "Nitakuwa mpinzani kwenu" au "nitakua kinyume chenu"
na mtashindwa na adui zenu
: "adui zeny watawashinda ninyi"
Leviticus 26:18-20
mara saba
Neno "saba" hapa siyo halisi. Humaanisha Yahweh atazidisha ukali wa adhabu yake.
Nami nitakivunja kiburi chenu
Kule kutumia nguvu lili kuwafanya wao wasiwe na kiburi kumezunguziwa kana kwamba alikuwa avunjje kiburi chao. : "Nami nitaadhibu na kwa hiyo nitakomesha kiburi unachojisikia kuusiana na nguvu zenu" na "nitawaadhibu ili kwamba msiwe na kiburi tena kwa sababu ya nguvu zenu.
Nitaifanya mbingu juu yenu iwe kama chuma na nchi yenu kama shaba
Hii humaanisaha Mungu ataizuia mvua isidondoke kutoka mawinguni. Hii itaifanya ardhi kuwa ngumu kiasi kwamba watu hawataweza kupanda mbegu au kukuza mazao.
Nguvu yenu itatumika bure
Kule kufanya kazi kwa nguvu kumezungumziwa kana kwamba kulikuwa kutumia nguvu zao ha hawa kuwa na nguvu tena. Kile kirai "bure" humaanisha kwamba wasingepata kitu kutokana na kazi kufanya kazi kwao kwa juhudi kubwa. : "Nanyi mtafanya kazi kwa juhudi sana bila mafanikio" au mtuafanya kazi kwa juhudi sana, lakini hamtapata kila kitu chema kutokana na kufanya kazi kwa juhudi sana"
Leviticus 26:21-22
enenda kinyume changu
Kuenenda huwakilisha tabia. Kuenenda kinyume na Mungu huwakilisha kumpinga au kumwasi Yeye. "Asi dhidi yangu"
nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu
Ile nomino dhahania "mapigo" yaweza kutamkwa kama kitenzi "gonga." "Nitawagonga kwa wingi zaidi mara saba
nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu
Kule Yahweh kusababisha maafa kutokea kwa Waisraeli kumezungumziwa kana kwamba angewapiga na mapigo au kuwagonga. : "Nitasabisha maafa mengi yaje mara saba dhidi yenu" au "Niitawaadhibu kwa ukali zaidi mara saba"
mara saba
Hapa "mara saba" siyo halisi, humaanisha Yahweh atazidisha ukali wa adhabu yake.
sawasawa na dhambi zenu
Ile nomino "dhambi" yaweza kuelezewa pamoja na kitenzi "tenda dhamb.i." : "kulingana na mara mlizotenda dhambi"
ambao watawaibia watoto wenu
Kuiba huwakilisha kuwavamia au kuvamia na kuwaburuta. : "watakaowavamia nyinyi na kuwaburuta watoto wenu"
Hivyo barabara zenu zitakuwa jangwa.
"Ili kwamba hatakuwepo wa kusafiri kwaenye barabara zenu." "Kuwa jangwa" humaanisha kwamba hakuna mtu yeyote huko.
Leviticus 26:23-24
Endapo pamoja na mambo haya
"Iwapo nitaadhibu ninyi kama hivi" au 'Iwapo nitawwadibisha ninyi kama hivi na"
msiyakubali marekebisho
Kukubali marekebisho yake huwakkilisha kuitikia kwake kwa usahihi. Katika jambo hili kuitika kwa usahihi kwake ni kuchagua kumtii Yeye. : "bado hamsikilizi marudi yangu" au "bado hamtaki kunitii Mimi"
kuenenda katika upinzani dhidi yangu
Kuenenda huwakilisha tabia. Kuenenda kinyume chake humaanisha kumpinga Yeye au kupigana dhidi Yake. : "kunipinga" au "pigana dhidi yangu"
nami pia nitaenenda kinyume chenu
Kuenenda huwakilisha tabia. Kuenenda kinyume chao humaanisha kuwapinga au kupigana dhidi yao. : "Pia Nami nitapigana dhidi yenu"
Mimi mwenyewe nitawaadhibu mara saba
Namba 7 huwakilisha ukamilifu. : "Mimi mwenyewe binafsi nitawaadhibu mara nyingi" au "Mimi mwenyewa nitawaadhibu kwa ukali wa hali ya juu"
kwa sababu ya dhambi zenu
le nomino dhambi yaweza kuelezewa na kitenzi "tenda dhambi." : "kwasababu mnaendelea kutenda dhambi dhidi yangu"
Leviticus 26:25-26
Nitaleta upanga juu yenu
Hapa "upanga" huwakilisha jeshi au shambulizi kutoka kwa jeshi. : "Nitaleta jeshi la adui dhidi yenu" au "nitasababisha jeshi la adui kuwavamia nyinyi"
utakaowaadhibu kwa kisasi
"amabao utawaadhibu nyinyi"
kwa sababu ya kulivunja agano
"kwa kutotii agano" au "kwa sababu hamlitii agano"
Nanyi mtakusanywa pamoja
Hii yaweza kutamkwa katika mtingo wa utendaji. : "Mtakusanyika pamoja" au "Mtajificha"
nanyi mtachukuliwa mikononi mwa adui yenu
Hapa " mikononi" humaanisha "kwenye udhibiti" na humaanisha kushindwa na adui. Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "adui zenu watawashindeni"
Nitakapokomesha mgao wa chakula,
Kule kukiharibu chakula ambacho watu wamikitunza au kuwafanya watu wasikipate kumezungumziwa kana kwamba kukata uwaji wa chakula. : "Nitakapoharibu chakula mlichokihifadhi" au "Nitakapowazuia msiweze kupata chakula"
wanawake kumi wataweza kuoka mkate wako kwenye chombo kimoja cha kuokea
Hii hudokeza kwamba kutakuwa na unga kidogo sana kiasi kwamba chombo kidogo sana cha kuokea kitaweza kubeba mikate yote ambayo wanawake wengi wateza kuweka ndani yake.
watakugawia mkate wako kwa uzani
Hii humaanisha kwamba kutakuwa na chakula kidogo sana watatakiwa kukipima ni kiasi gani kila mtu anapata.
Leviticus 26:27-28
Endapo hamtanisikiliza
Kusikliza huwakilisha yale aliyoyasema. : "kama hamnitii mimi"
kuenenda kinyume na mimi
Tazama maelezo katika mistari iliyotangulia katika sura hii.
nitakwenda kinyume nanyi
Tazama maelezo katika mistari iliyotangulia katika sura hii.
Nami nitawaadhibu hata mara saba
Tazama maelezo katika mistari iliyitangulia katia sura hii.
Leviticus 26:29-30
Nitapaangamiza ... kuziangusha ... kuzitupa maiti zenu
Kwa sababu Mungu atatuma jeshi kufanya mambo haya, anazungumzia kana kwamba atayafanya. : "Nitatuma jeshi ala adui ili kuangamiza ... kuangusha chini ... kutupa maiti zenu"
maiti zenu
"mizoga ya miili yenu"
maiti za sanamu zenu
Mungu anazungumzia sanazisizo na uhai kana kwamba zilikuwa na uhai na kisha zikafa. : "sananmu zenu zisizo na uhai"
Leviticus 26:31-33
Nitaigeuza miji yennu kuwa magofu na kupaharibu patakatifu penu
Kwa sababu Mungu angetuma majeshi kufanya mambo haya, anasungumza kana kwamba angeyafanya yeye mwenyewe. : "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuigeuza miji yenu magofu na kuziharibu madhabahu zenu"
patakatifu penu
Kullikuwa na mahali ambapo watu waliabudu sanamu badala ya Mungu.
Nami sitapendezwa na harufu nzuri ya matoleo yenu
Kwa kawaida Bwana kufurahisha na harufu nzuri huwakilisha kule kufurahishwa kwake na wanaoteketeza hizo sadaka, lakini katika hili, watu wangaliteketeza sadaka zao, lakini Mungu asingependezwa nao. : "Nanyi mteteketeza sadaka zenu, lakini stapendezwa nanyi"
Nitaufuta upanga wangu na kuwafuatia
Hii huwakilisha utumaji wa majeshi ili kuwavamia. "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuwashambulia nyinyi" au "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuwashambulia nyinyi kwa mapanga"
Nchi yenu itatelekezwa, na miji yenu itakuwa magofu
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "nany mtaitelekeza nchi yenu , nao adui zenu wataiharibu miji yenu"
Leviticus 26:34-36
Nayo nchi itazifurahia Sabato zake
Hao watu walipaswa kuitii sheria ya Sabato kwa kutoilima ardhi kila mwaka wa saba. Mungu anazungumzia juu ya hili kana kwamba ardhi ilikuwa mtu ambaye angalitii sheria ya Sabato na kupuzika. : "Kisha nchi itapumzika kulingana na sheria ya Sabato" au "Kisha, kama inavyotakiwa na sheria ya Sabato, ardhi haitalimwa"
nchi itapumzika
Mungu huzungumzia juu ya nchi kutolimwa kana kwamba alikuwa mtu ambaye angepumzika, : "haitalimwa"
Nitatuma hofu ndani ya mioyo yenu
Kutuma hofu myoyoni mwao huwakilisha kuwafanya wao waogope"
kana kwamba mlikuwa mkikimbia mbele za upanga
Upanga huwakilisha ama mtu mwingine aliyekuwa tayari kuua akitumia upanga au shambuzi kutoka kwa jeshi la adui. : "kana kwamba mlikuwa mkitoroka mtu mwingine aliyekuwa akiwafukuza na upanga" au kana kwamba mlikuwa mkilitorka jeshi la adui"
Leviticus 26:37-39
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuelezea kitachotokea kwa Waisraeli watakapolazimisha kwenda mataifa ya adui zao.
kana kwamba mlikuwa mkiukimbia upanga
Tazama maelezo kuhusu upanga na uwakilishi wake katika mistari iyotangulia
kusimama mbele za aduii zenu
Kusimama mbele za adui huwakilisha kuanguka adui wanawapovamia na kupigana dhidi yao. : "kuwazuia adui zenu wanawavamia ninyi" au "kujibu mapigo dhidi ya adui zenu"
nayo nchi ya adui zenu yenyewe itawamezeni
Yahweh anaongelea kuhusu nchi ya maadui kana kwamba ilikuwa mnyama pori ambaye angewala Waisraeli. Lile neno "meza" husisitiza kwamba wengi wa Waisraeli watafia huko. : "matfia katika nchi ya adui zenu"
Wale watakosalia miongoni mwenu
"Wale wa kwenu ambao wasiokufa"
wataangamia katika dhambi zao
Kuangamia katika dhambi zao huwakilisha kuangamia kwa sababu ya dhambi zao.
dhambi za baba zao
Hapa "za baba zao" huwakilisha wababu wao
Leviticus 26:40-42
kugeuka dhidi yao
Hii huwakilisha kuwapinga> : "kuwapinga wao"
iwapo mioyo yao isiyotahiriwa itanyenyekezwa
Hapa ule msemo "mioyo isiyotahiriwa" humaanisha nafsi nzima. : " kama wao watakuwa wanyenyekevu badala ya kukaidi kwa ushubavu"
nami nitalikumbuka agano langu na Yakobo, agano langu na Isaka, agano langu na Abrahamu
"Kukumbuka " ni nahau inayomaanisha kukumbuka kwa makusudi. Hapa inawakilisha kutimiza agano lake. : "kisha nitatimiza agano nililofanya na Yakobo, Isaka na Abrahamu"
nitaikumbuka nchi
"Kukumbuka " ni nahau inayomaanisha kukumbuka kwa makusudi." Hapalinawakilisha nchi. : "Nitatimiza ahadi yangu juu ya nchi"
Leviticus 26:43
Nayo nchi itakuwa imetelekezwa na wao
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Watu wa Israeli waitelekeza nchi yao"
Leviticus 26:44-45
nitalikumbuka agano langu na baba zao
: "Nitatimiza agano langu na babu zao.
Maelezo kwa Ujumla
Hili lina hitimisha ujumbe wa Yahweh kwa Musa katika mlima wa Sinai kuhusiana na baraka kwa utii na adhabu kwa kutotii.
machoni pa mataifa
Hii huwakilisha ufahamu wa mataifa. ": "katika ufahamu wa mataifa" au "nayo mataifa yajue kuhusu hili"
mataifa
Hili huwakilisha watu wa mataifa. "machoni pa watu wa mataifa"
Leviticus 26:46
amru, kuamru, amri
Ule msemo "amru" humaanisha kumwagiza mtu mwingine kufanya jambo fulani. "Agizo" au "amri ni kile mtu aliagizwa kufanya.
. Ingawaje misemo hii yote inamaana moja kimsingi, maraa kwa mara "amri" hurejelea maagizo fulani ya Mungu amabayo yako rasmi zaidi na ya kudumu, kama vile "amri kumi"
. agizo laweza kuwa chanya ("Heshimu wazazi wako") au hasi ("Usiibe")
. "Kuchukua amri" humaanisha "kuchukua udhibiti" au "shika madaraka" ya kitu kitu fulani au mtu mwingine.
Agizo
Agizo ni tangazo au sheria amabayo hutangazwa hadharani kwa watu wote. . Sheri za Mungu pia huitwa maagizo, masharti au amri. . kama vile sheria na amri, maagizo lazima yatiiwe
. Mfano wa agizo lililotolewa na mtawala mwanadamu ni lile tangazo lililotolewa na Kaisari Augusto kwamba kila aliyekuwa akiishi katika Dola la Kirumi lazima arudi katika mji wa nyumbani kwao apate kuhesabiwa kwenye sensa.
. Kuagia kitu fulani humaanisha kutoa amri
ambayo lazima itiiwe. Hii ingeliweza
kutafsiriwa kama, "kuagiza" au "kuamru" au "kudai kirasmi" au kutengeneza sheria hadharani."
. Jambo fulani "lililotangazwa" kutokea humaanisha kwamba hakika hili litatokea. au lililokwisha kusudiwa na halitabadilishwa" au "limetangazwa kabisa kabisa kwamba litatokea."
sheria, sheria ya Musa, sheria ya Mungu, sheria ya Yahweh
Misemo hii yote hurerjea amri na mfundisho ambayo Mungu alimpa Musa kwa ajili ya Waisraeli kuzitii. Ile misemo "sheria" na sheria ya Mungu" kwa ujumla pia imetumika kumaanisha kila kitu ambacho Mungu anawatakawatu wake kutii.
. Kwa kutegemeana na muktadha, sheria
yaweza kumaanisha:
. zile amri kumi ambazo aliziandika kwenye
mbao za mawekwa ajili ya Waisraeli.
. sheria zote alizopewa Musa
. vile vitabu vitano vya kwanza vya Agano la
Kale.
. Agano la Kale lote (pia hurejelewa kama
"maandiko" katika Agano Jipya.
. Mafundisho yote na maenzi ya Mungu
. Kile kirai" sheria na manabii" katika
Agano Jipya kimetumika kumaanisha
maandiko ya Kiebrania (Agano la Kale)
Sinai, Mlima Sinai
Mlima sSinai ni jina la mlima ambao huenda kulikuwa upande wa eneo linaitwa kwa sasa rasi ya Sinai. Pia lilijulikana "Mlima Horebu."
. Mlima Sinai ni sehemu kubwa ya jangwa
lenye miamba. Waisraeli walikuja kwenye
Mlima Siani walipokuwa wakisafiri kutoka
Misri kwenda kwenye Nchi ya Ahadi.
. Mungu alimpa Musa zile amri kumi juu ya
Mlima Siani
Leviticus 27
Leviticus 27:1-2
Iwapo mtu yeyote anatoa kiapo maalum cha kuwa mnathiri kwa Yahweh
Katika jambo hilikiapo kingehusisha kujito mwenyewe au mtu mwingine kwa Mungu. Hii yaweza kutamkwa wazi. : "Kiwa mtu fulani anaapa kmtoa mtu mwingine kwa Yahweh"
tumieni tathmini zifuatazo
Badala ya kumpa mtu, yeye ndiye angempa Bwana kiasi fulani cha cha fedha. : "Tumieni thamani fulani kama zawadi yenu kwa Bwana kwanya nafasi ya mtu" au mpeni Bwana kiasi kifuatacho cha fedha badala ya mtu"
Leviticus 27:3-4
tumieni tathmini zifuatazo viwe viiwango vyenu vya thamani
"Kiasi cha kulipa" au yapasa ulipe"
Ishirini ... sitini ... hamsini ... thelathini
"20 ... 60 ... 50 ... 30"
shekeli hamsini za fedha
Kama ni laziam kutumia vipimu vya uzani vya kisasa, hapa kuna nhia mbili kufanya hilo. "vipand hamsini vya fedha, ambacho kila kimoaja hupima gramu kumi" au "gramu mia tano za fedha"
kulingana na vipimo vya shekeli ya mahali pa patakatifu
Hizi zikikuwa shekeli za vipimo mbali mbali. Hii ni njia moja ambayo mtu alikuwa atumie kwenye hema takatifu. Kilipima gramu 11. : Tumie aina ya shekeli inayotumika kwenye hema la kukutania" au "mnapopima fedha, tumieni ni kipimo amabacho hutumika kwenye hema.
shekeli thelathini
: "vipande thelathini vya fedha, ampao kila kimoja hupima gramu kumi" au "shekeli thelathini sawasawa na gramu mia tatu"
Leviticus 27:5-6
tano ... ishirini ... kumi ... tatu
"5 .. 20 ... 10 ... 3"
viwango vyenu
"kiasi cha kulipa' au yapasa mlipe"
shekeli ishirini
: "vipande ishirini vya fedha" au "gramu mia mbili za fedha"
na kwa mwanamke ni shekeli kumi
Kirai "umri huo" na "viwango vyenu vya thamani vitakuwa" ni vimeachwa wazi viweze kuelekweka. : "naye mwanamke wa umri huo lazima viwango vyenu vya thamani viwe shekeli kumi"
shekeli kumi
"vipande kumi vya fedha" au gramu hamsini za fedha"
shekeli tano za fedha
"vipande vitano vya fedha" au gramu mia moja za fedha"
shsekeli tatu
"vipande vitatu vya fedha" au gramu thelethini za fedha"
Leviticus 27:7-8
miaka sitini na zaidi
"umri wa miaka sitini na wazee"
Sitin ..kumi na tano .. kumi
"60 ... 15 ... 10"
shekeli kumi na tano
"vipande kumi na tanovya fedha" au "gramu 150 za fedha"
huyo mtu anayetolewa lazima atapelekwa kwa kuhani
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "atampeleka kwa kuhani huyo mtu anayemtoa"
Leviticus 27:9-10
atatengwa kwake.
"atangwa kwa Yahweh"
hao wawili; yule anayetolewa na yule anayebadilishwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "wote wawili huyo aliyetolewa na yule anayembadilisha" au " mnyama naweza kumaanisha kuwa "wanyama wote wawili"
Leviticus 27:11-13
kwa uhalisia siyo kisafi, kwa hiyo, Yahweh hatakikubali
Mnnyama amezungumziwz kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbbile. Anaweza kuwa najisi kwa sababu ni anina fulni ya mnyama au kwa sababu ana kasoro. .: kwa uhalisia ni yule ambaye Yahweheh hatampokea"
thamani ya soko
Hii ni thamani ambayo mnyama huwa thamani tu anamnunua au kumuuza.
anapenda kumkomboa
anapena kumrejesha kwa kumnunua tena"
Leviticus 27:14-15
atalazimika kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake kwenye gharama ya
"ya tano ni sehemu ya kitu fulani iliyowanywa katika sehemu tano zilizo sawa kwa kila moja ya sehemu hizo, na kuilipa yote"
Leviticus 27:16
kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyo
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kile kiasi cha mbegu mtu angehitaji kupanda"
homeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa
Hapa "homeri moja ya shayiri huwakilisha kipande cha ardhi ambaho kingehitaji homeri moja ya shaiyiri ili kupandwa chote. : "kipanda cha ardhi kinachohitaji kudhamanishwa kwa homeri moja ya shayiri ili kuweza kupandwa chote" au " Thamani ya ardhiinayohitaji homeri moja ya shayiri itatakiwa"
homeri
homeri moja ni lita 220
shekeli hamsini za fedha
"vipande hamsini vya fedha , ambavyo kila kimoja bgramu kumi" au " gramu mia tano za fedha"
Leviticus 27:17-18
mwaka wa Yubile
Tazama maelezo ya sura 25:10
tathmini yake ya awali itabaki kuwa ileile
au "thamani yake itakuwa bei kamili
thamani yake lazima ishushwe.
"itamlazimu kupunguza thamani iliyokadiliwa"
Leviticus 27:19-21
haliwezi kukombolewa tena
Hii yaweza kumtakwa katika mtindo wa utendaji. : "hawezi kulirejesha kwa kulinunua tena"
Iwapo halikomboi shamba
Ule muda wa kukomboa shamba waweza kutamkwa wazi. : kama halikomboi shamba kabla ya mwak wa Yubile"
katika mwaka wa Yubile
AngTazama amaelezo ya sura ya 25:13
shamba lililotolewa kabisa kwa Yahweh
Hii yaweza kumtakwa katika mtindo wa utendaji. : "ambalo mtumwingie kalitoa kabisakabisa kwa Yahweh"
Leviticus 27:22-23
tenga
Ule msemo "tenga" humaanisha kutengwa kutoka kwenye kitu fula ili kutimiza kusudi fulani. . Waisraeli walitengwa kawa ajili ya huduma kwa Mungu. . Roho Mtakatifu aliwaagiza Wakristo huko Antiokia kuwatenga Paulo na Barnaba kwa kazi ambayo Mungu aliwataka wao waifanye . Mwamini "aliyetengwa" kwa ajili ya huduma kwa Mungu "kwakifishwa" kutimiza mapenzi ya Mungu. . maana mojawapo ya msemo "mtkatifu" ni kutengwa kuwa Mungu na kuwa umetengwa kutokanjia za dhambi za ulimwengu. . Ule msemo "takasa" humaanisha kutenga mtu kwa ajili ya huduma ya Mungu.
Leviticus 27:24-25
mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa ... mmiliki wa ardhi
Virai hivi viwili humrejelea mtu yule yule. Kwa kawaida ardhi ingenunuliwa kutoka kwa mmiliki wake.
mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu aliyeliuza"
Tathmani yote lazima ifanywe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kuahani ataamua ukadiliaji wa thamani"
kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu
Kulikuwa na shekeli za vipimo mbali mbali. Hiki kilikuwa ni kimojawapo ambacho watu ilikuwa watumie ndani ya hema takatifu.
Gera ishirini kwa shekeli moja.
Kusudi la sentensi hii ni kutamka ni kiasi gani shekeli ya patakatifu hupimwa. Gera ilikuwa ni uzani mdogo sana wa kipimo walichotumia Waisraeli: "Sharti shekeli moja iwe sawasawa na gera ishirini"
Gera ishirini kwa shekeli moja.
: "Shekeli moja yapasa ipime gramu kumi"
Leviticus 27:26-27
Asiwepo mtu atakayetenga
Hakuna awezaye kutenga kwa ajili ya Yahweh"
sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "naye atalzaimika kuongeza moja ya taon kwenye thamani hiyo"
Na kama mnyama hakombolewi
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Kama mtu hamtejeshi kwa kumnunua tena huyo mnyama"
naye atauzwa kwa thamani iliyowe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji : "kuhani atamuuza kwa thamani iliyowekwa"
Leviticus 27:28-29
Hakutakuwa na kitu amabacho mtu anakitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, iwe ni mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, ambacho chaweza kuuzwa au kukombolewa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hukuna wawezaye kuuza au kukomboa kitu chochote mtu alichokitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, ama awe ni mwanadamu, mnyama, au ardhi ya familia yake", au "iwapo mtu amatoa kwa Yahweh kitu chochote alichonacho, ama awe mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, hatakuwapo mtu anaweza kukiuza au kukikomboa"
Kila kitu kitolewacho ni kitakatifu sana kwa Yahwe
"Kila kitu mtu akitoacho ni kitakatifu sana kwa Yahweh"
Hakuna fidia inayoweza kulipwa
"hakuana akuwezaye kulipa fidia"
kwa kuwa mtu aliyelitolewa kwa ajili ya uangamizwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa kuwa mtu yeyote ambaye Yahweh kamtoa kwa ajili ya uangamivu"
Mtu huyo lazima auawe
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima mmuue mtu huyo" au "yawapasa kumuua mtu"
Leviticus 27:30-31
Iwapo mtu anakomboa chochote cha zaka yake
Kama mtu anataka kurejesha tena zaka yake kwa kuinunua"
Leviticus 27:32-33
yeyote anayepita chini ya fimbo ya mchungaji
Hii hurejea njia ambayo wangehesabu wanyama wao. : "unapohesabu wanyama wwako kwa kuinua fimbo ya mchungaji wako na huku wakipita chini ya fimbo hiyo kwenda upande mwingine" au "munapowahesabu wanyama"
wa kumi mmoja lazima atengwe kwa ajili ya Yahweh
wakumi lazima atengwe kwa ajili ya Yahweh** - sentensi yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa mumtenge wa kumi mmoja kwa ajili ya Yahweh"
mmoja wa kumi
ya kumi**- "kila mnyama wa kumi"
kisha wote wawili yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa
"kisha wanya wote wawili"
hawezi kukombolewa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hataweza kumkomboa" au "Hataweza kummrejesha kwa kumnunutena"
Leviticus 27:34
Hizi ndizo amri
Huu ndiyo Mhitasari wa maelezo. Hurejerea zile amri zilizotolewa kwenye sura zilizotangulia.