Numbers
Numbers 1
Numbers 1:1-3
Siku ya kwanza ya mwezi wa pili
Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na katikati ya mwezi wa Aprili kwa kalenda ya nchi za Kimagharinbi.
Mwaka wa pili
"Mwaka wa 2"
Wahesabu kwa majina
Kuwahesabu wanaume kwa kunakiri majina yao.
Umri wa miaka ishirini
"Umri wa miaka 20"
Unakiri majina ya wanaume kwa katika makundi yao ya kijeshi
Kuwaandika wanaume kufuata vikosi vya kijeshi.
Numbers 1:4-6
Kichwa cha ukoo
"kiongozi wa ukoo"
Kutumika pamoja na wewe
"kukusaidia"
Elizuri ... Shedeuri ... Shelumieli ... Zurishadai
Haya ni majina ya wanaume.
Numbers 1:7-9
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila.
Numbers 1:10-11
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila.
Numbers 1:12-15
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila.
Numbers 1:16
Wale wanaume waliokuwa waliokuwa wameandikwa.
"Wale wanaume ambao BWANA amewchagua"
Numbers 1:17-19
Wakawachukua wale wanaume
"Wakawakusanya wale wanaume pamoja"
Waliokuwa wameandikwa kwa majina
"Ambao majina yao walikuwa wameyaandika"
Siku ya kwanza ya mwezi wa pili
"Siku ya 1 ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na siku ya katikati ya mwezi wa Apili katika kalenda ya kimagharibi.
Kishsa kila mwanamume ... alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na familia kutoka katika ukoo
Sentensi ya pili inafanana na sentensi ya kwanza ila imetumika kuongeza ufafanuzi.
Alitakiwa kutaja
"Kutaja" inamaanisha "kusema." "Kila mwanamume alitakiwa kusema"
Numbers 1:20-21
Yalihesabiwa majina yote
"waliheabau majina yote"
wenye uwezo wa kwenda vitani
"waliokuwa na uwezo wa kwenda viatani"
wanaume 46,500
"wanaume elfu arobaini na sita, n a mia tano"
Numbers 1:22-23
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:24-25
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:26-27
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:28-29
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:30-31
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:32-33
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:34-35
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:36-37
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:38-39
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:40-41
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:42-43
yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia
Tazama 1:20
Numbers 1:44-46
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli ... walihesabiwa kutoka kwenye familia zao
Tazama 1:20
Numbers 1:47-49
wanaume toka ukoo wa Lawi hawakuhesabiwa
"Musa na Haruni hawakuwahesabu wale wanaume waliokuwa wakitoka ukoo wa Lawi
waliokuwa wakitoka ukoo wa Lawi
"waliokuwa wakitoka kwenye kabila la Lawi
usiwahesabu wale wa kabila la Lawi
"kabila la Lawi" inamaanisha wanaume wote wa akbila la Lawi". "usiwahesabu wanaume wote wa kabila la Lawi"
Numbers 1:50
Hema la amri za agano
Lile hema pia lilitwa kwa jina hili kwa sababu lile sanduku lenye sheria liliwekwa ndani yake.
vyote vilivyomo
Neno "mo" inamaanisha masikani
Walawi watalazimika kuibeba masikani
Mtakaposafari, Walawi wataibebba masikani
Kuzitengeneza kambi zinazoizunguka
Wataweka kambi zao kuizunguka.
Numbers 1:51-52
Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa
"wakati wa kuisimamisha masikani utakapofika"
Na mgeni ... atauawa
"Mtamwua kila mgeni atakayeisogelea masikani"
bango
bendera kubwa
jeshi lake
"kikosi chake cha kijeshi"
Numbers 1:53-54
Masikani ya amriza agano
Tazama 1:50
Ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli
"ili kwamba katika hasira yangu nisije nikawaadhibu watu wa Israeli"
BWANA aliagiza kupitia Musa
BWANA alikuwa amemwagiza Musa mambo yote ambayo Waisraeli walipaswa kufanya, na ndipo Musa alipowaagiza Waisraeli.
Numbers 2
Numbers 2:1-2
kulingana na mahali pake
Kulikuwa na makundi makubwa manne ambayo makabila yalikuwa yamegawanyika. Kila kundi liliamuliwa kukaa mahali pamoja. Kila kundi lilitambulishwa na bango.
pamoja na mabango ya baba zao
Kila ukoo ulikuwa na bango lao hapo kambini, ambalo lilikuwa ndani ya eneo kufuata mahali pao.
mabango
bango ni bendera kubwa.
Numbers 2:3-4
katika kuundi lao
Tazama 2:1
Nashono mwana wa Aminadab
Tazama 1:7
74,600
"elfu sabini na nne, na mia sita.
Numbers 2:5-6
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Nathaniel mwana wa Zuari
Tazama 1:7
Kikosi
Hili ni neno la kijedshi lenye maana ya kundi kubwa la wanajeshi. Kila kabila lilikuwa na "kikosi chake."
Numbers 2:7-8
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Eliabu mwana wa Heloni
Tazama 1:7
57,400
wanaume 57,400
Numbers 2:9
Idadi yote ya kambi ya Yuda ni 186,400
Idadi hii inajumuisha wanaume wote katika makabila ambayo yalikuwa yameweka kambi kufuata mahali pa Yuda. "Idadi ya wanaume waliokuwa wameweka kambi ya Yuda ni 186,400.
Watakuwa wa kwanza kuondoka
Hii inamaanisha kuwa watakuwa wa kwanza wakati kambi za Waisraeali zitakapoondoka. "Wakati wa kusafiri watakuwa wa kwanza kuondoka.
wa kwanza
"wa 1"
Numbers 2:10-11
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Katika kundi lao
Tazama 2:1
Elizuri mwana wa Shedeuri
Tazama 1:4
46,500
"wanaume 46,500"
Numbers 2:12-13
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Shelumieli mwana wa Zurishadai
Tazama 1:4
59,300
"wanaume 59,300
Numbers 2:14-15
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Eliasafu mwana wa Deuli
Tazama 1:12
45,650
"wanaume 45,650"
Numbers 2:16
Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na vikosi vyao, ni 151,450
Idadi ya wanaume wote waliokuwa wameweka kambi mahali pa Reubeni kwa kufuata vikosi vyao ni 151,450"
wa pili
"wa 2"
Numbers 2:17
hema ya kukutania kuondoka kambini .. katikati ya kambi zote
Hii inamaanisha kuwa hema ya kukutania lazima libebwe na Walawi katikati ya makabila wakati wa safari.
Lazima waondoke
neno "wa" inamaanishsa makabila kumi na mbili.
kwa kufuata bango lake
"Kwa bango la kabila lake"
Numbers 2:18-19
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Kufuata mahali pao
Tazama 2:1
40,500
wanaume 40,500
Numbers 2:20-21
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Baada ya hao
Hii inamaanisha kuwa kabila na Manase ndilo litakalofuatia.
32,200
wanaume 32,000
Numbers 2:22-23
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Kabila litakalofuata
Hii inamaanishsakuwa kabila la Manase ndilo litakalofuata, baada ya kabila la Efraimu.
35,400
Wanaume 35,400
Numbers 2:24
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108,100
Idadi ya wanaume waliokuwa wameweka kambi mahali pa Efraimu ni 108,100.
wa tatu
"wa 3"
Numbers 2:25-26
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
kambi ya kikosi cha Dani
Hii inamaanisha kikosi kizima cha Dani, Asheri, na Naftali ambao wako mahali pa Dani. "Kikosi ambacho kinaweka kambi mahali pa Dani.
Ahiezeri mwana wa Amishadai
Tazama 1:12.
62,700
Wanaume 62,700
Numbers 2:27-28
Taarifa kwaujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
PAgieli mwana wa Okirani
Tazama 1:12
41,500
Wanaume 41,500
Numbers 2:29-30
Taarifa kwaujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Ahira mwana wa Enani
Tazama 1:12
53,400
Wanaume 53,400
Numbers 2:31
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania.
Wote waliohesabiwa kwenye kambiya Dani walikuwa 157,600
"Idadai ya wanaume waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157.600
Numbers 2:32-33
wote waliohesabiwa
Musa na Haruni waliwahesabu wote
kwa kufuata vikosi vyao
Neno "vyao" inamaanisha wana wa Israeli
Numbers 2:34
Walisafiri kutoka kambini
"Waliposafiri waliondoka kambini"
Numbers 3
Numbers 3:1-2
Sasa
Mwandishi analitumia neno "sasa" ili kuonyesha anavyoanza kueleza habari nyingine.
Nadabu, mzaliwa wa kwanza
"Nadabu, aliyekuwa mzaliwa wa kwanza"
Nadabu ... Abihu ... Ithamari
Haya ni majina ya wanaume
Numbers 3:3-4
Wale makuhani waliokuwa wametiwa mafuta na kuwekwa wakfu.
"wale makuhani ambao Musa aliwatia mafuta na kuwaweka wakfu"
Nadabu ... Abihu ... Ithamari.
Tazama 3:1
walikufa mbele za BWANA
Kirai cha "walikufa" kinamaanishsa kufa ghafula. "Walikufa ghafula mbele za BWANA"
Mbele za BWANA
iNamaanisha uwepo wa BWANA, kwa maana ya kwamba BWANA aliona kila kitu kilichokuwa kikitokea. Au "Katika uwepo wa BWANA"
Walipomtolea moto usiokubalika
Neno "moto" limetumika kumaanisha "uvumba wa kufukiza." Walichoma uvumba wa kufukiza ambao BWANA hakuukubali."
Numbers 3:5-6
Walete kabila ya Lawi
Hapa neno "kabila" inamaanisha wanaume walio katika kabila hiyo
Numbers 3:7-8
badala ya
"kwa." Hii inamaanisha kufanya kazi ya mwingine kama mwakilishi wa wengine.
watayatumikia makabila ya Israeli
Hapa "makabila ya Israeli inamaanisha watu wa Israeli. "Kuwatumika watu wa Israeli"
watawatumikia makabila ya Israeli kwa huduma ya hemani
Kirai cha "kwa huduma" kinamaanisha kutumika." "Wtawasaidia Waisraeli kwa kutoa huduma ya hemani"
kwa huduma ya hemani
"kazi ya hemani."
Numbers 3:9-10
Uwaweke
"U" inammaanisha Musa.
Nimewatoa kikamilifu
Nimewatoa kwa vyote
mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe
"lazima mmuue mgeni yeyote atakayesogea karibu.
lakini mgeni yeyote atakayekaribia
"lakini mgeni yeyote atakayeikaribia masikani"
Numbers 3:11-13
Tazama
"Sikiliza" au "Uwe msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia"
Nimewachukua Walawi
"Nimewachagua Walawi"
Numbers 3:14-16
Wahesabu uzao
"Wahesabu wazao wa kiume"
katika nyumba za koo zao
Neno "nyumba za koo zao" linamaanisha "wazao wa ukoo" nineno lingine lenye maana ya koo zao." au kwa kufuata koo zao.
Kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.
Kimsingi virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekilke na vimetumika pamoja ili kutia msisitizo kuwa alimtii BWANA.
Numbers 3:17-20
Taarifa kwa ujumla
Hii ni orodha ya uzao wa Lawi
Ukoo uliotokana na
Hapa mwandishi anamaanisha ukoo "unaotoka" kwa
Numbers 3:21-23
Zilitokana na Gerishoni
Hapa mwandishio anatumia neno "kutokana" na kuonyesha kama unaotoka kwa. "Zinatoka kwa Gerishoni"
Walibini ... Washimei ... Wagerishoni
Walibini n a Washimei ni majina ya koo waliotajwa kwa kufuata vichwa vya familia zao. Wagerishoni ni jina la watu wanaotokanana Gerishoni.
Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa
Musa aliwahesabu wanaume wote kuanzia wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi.
7,500
elfu saba na mia tano
Numbers 3:24-26
Elisfu ... Laeli
Haya ni majina ya wanaume
Lile pazia la lango
"pazia la kwenye ua"
ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu
"huo ni ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu"
Numbers 3:27-29
Taarifa kwa ujumla
Hii niorodha ya koo zilizotokana na Kohathi
Kohathi
Tazama 3:17
Wanaume 8,600 walihesabiwa
Musa aliwahesabu wanaume 8,600
wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi
"Kuanzia mwenzi mmoja na zaidi"
Numbers 3:30-32
Taarifa kwa ujumla
Mistari hii inatupatia taarifa zinahusiana na koo ambazo zinatokana na Kohathi.
vitu vitakatifu ambavyo hutumika katika huduma yao
"vitu vitakatifu ambavyo makuhani hutumia katika huduma"
Numbers 3:33-35
Taarifa kwa ujumla
Hii ni orodha ya ukoo u naotokana na Merari
Wanaume 6,200 walihesabiwa
"Musa aliwahesabu wanaume 6,200"
Numbers 3:36-37
Mbao za hema
Hizi ni mbao zinazotenegenezwa kwa kuunganisha vipande viwili vya mbao.
mataruma
Hii ni mihimili inayolifanya jengo kuwa na imara.
nguzo
Nguzo ni ubao imara unaosimamishwa wima ili kushikilia kitu.
makalishio
hivi ni vitu ambavyo viliwekwa mahali ambapo nguzo zilisimikwa.
vifaa vya ujenzi
Hii inamaanishsa kila kitu ambacho kilitumika kwa kuunganishia mataruma, nguzo na makalishio
pamoja na vigingi vyake
kiwakilishi "vyake" inamaanisha mihimili na nguzo.
vitundu, vigingi na kamba zake
Hivi ni vifaa ambavyo vilitumika ili kuunganisha mbao zilizolazwa kwenye nguzo.
Numbers 3:38-39
watoto wake
Neno "wake" inamhusu Haruni
kuelekea mawio ya jua
huu ni upande wa mashariki wa masikani. "upande ule wa mashariki kwenye mawio ya jua"
wataajibika na majukumu
neno "majukumu" ni nomino zahania inayoweza kuelezeka kama kitenzi, "kufanya majukumu"
mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe"
Utamwua kila mgeni atakayekaribia mahali patakatifu
wanaume ishirini na mbili elfu
wanaume 22,000
Numbers 3:40-41
utwae wanyama wa Walawi
"utanitwalia wanyama wote wa Walawi.
Numbers 3:42-43
wazaliwa wote wa kwanza
"wana wote wa kwanza"
Numbers 3:44-45
BWANA
Neno "BWANA" ni jina la Mungu ambalo alilitumia wakati alipojifunua kwa Musa kwenye kile kichaka kilichowaka moto. Jina "BWANA" linatokana na neno ambalo linamaanisha, "kuwa" au "kuwepo." Linaweza kumaanisha "Yeye ndiye" au "Mimi ndiye" au "Yeye anayewezesha vitu kuwepo". Jina hili linafunua ukweli wa Mungu kuwa alikuwepo na ataendelea kuwepo daima. Jina hili linaandikwa kwa herufi kubwa kubwa ili kulitofautisha na neno Bwana ili kuonyesha heshima.
Musa
Musa alikuwa nabiina kiongozi wa Waisraeli kwa zaidi yamiaka 40. WakatiMusa alipokuwa mtoto mchanga: wazazi wake walimweka kwenye kikapu kisha kumtupa kwenye majani ya Mto Naili ili kumficha ili Farao Mmisiri asimwone. Umbu lake Miriamu alimtazama pale. Maishsa ya Musa yalisalimika pale binti wa Farao alipomwona na umchukua kisha akampeleka ikulu kulelewa. Mungu alimchagua Musa kuwaokoa wana wa Israeli kutoka utumwani na kuwapeleka kwenye nchi ya ahadi. Baada ya Waisraeli kutoka Misri; wakati wakizungukazunguka jangwani,Mungu alimpatia Musa vidonge viwili vya mawe vilivyokuwa vimeandikwa amri kumi za Mungu. Karibu na mwisho wa maisha yake, Musa aliona ile nchi ya ahadi, lakini Mungu hakumruhusu kuingia pale kwa sababu alishindwa kutii.
Mlawi, Lawi
Lawi alikuwa mmoja wa wana kumi n a mbili wa Yakobo au Israeli. Neno "Mlawi" linamaanisha mtu ambaye anatoka kwenye ukoo wa Lawi. Walawi waliajibika kulitunza hekalu na kuendesha ibaada za kidini, ambazo zilijumuisha sadaka na dhabihu na maombi. Makuhani wote wa Kiyahudi walikuwa Walawi, waliokuwa wametokana na Lawi. Lakini si Walawi wote walikuwa makuhani. Makuhani wa Kilawi walikuwa wametengwa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kazi maalumu ya kumtumikia Mungu hekaluni. Kuna watu wawili pia waliojulikana kwa jina la "Lawi" wanaonekana kwenye ukoo wa Yesu katika injili ya Luka. Mwanafunzi wa Yesu aitwaye Mathayo pia aliitwa Lawi.
Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli
Jina "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpatia Yakobo. Linamaanisha, "aliyemng'ang'ania Mungu. Wana wa uzao wa Yakobo walijulikna kama "Watu wa Israeli," "taifa la Israeli," au "Waisraeli"
Numbers 3:46-51
za wokovu kwa
Nomino ya "wokovu" lnaweza kutafsiriwa kwa tendo la "okoa." "Kuokoa"
wazaliwa wa kwanza wa Israeli
"wana wa kwanza wa Israeli"
shekeli tano
shekeli moja sawa na gramu 11. Kwa hiyoni sawa na gramu 55 za fedha
wanaozidi idadi ya Waisraeli
Hii inamaanisha kuwa kulikuwa na wazaliwa wa kwanza wa kiume zaidi ya 273 miongoni mwa makabila mengine ya Israeli zaidi ya idadi yao ya Walawi wa kiume.
Utazitumia hizo shekeli kwa kipimo cha mahali patakatifu
Hii inamaanisha kuwa shekeli itapimwa kwa kwa kipimo sawa na kile cha shekeli za mahali patakatifu. "Utatumia kipimo cha shekeli za mahali patakatifu"
gera ishirini
"gera 20."Gera ni kipimo kilicho sawa na kilogramu 0.57
kwa kipimo cha wokovu ulicholipa.
Hapa neno "bei" linamaanisha shekeli ambazo Musa alikuwa amekusanya, "zile pesa ambazo umekusanya kwa ajili ya wokovu"
Numbers 4
Numbers 4:1-4
Kohathi
Tazama 3:17
kati ya miaka thelathini na hamsini
"kati ya miaka 30 hadi 50"
wataungana na kundi
Neno "kundi"linamaanisha wale watu wengine wanaofanya kazi kwenye hema ya kukutania.
vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu
"ambavyo nimevichagua kwa ajili yangu"
Numbers 4:5-6
Wakati kambi inajiandaa
Neno "kambi" linamaanisha watu wote waliokambini. "Wakati watu wanapojiandaa"
kusonga mbele
"kwenda kwenye eneo lingne"
kulifunika sanduku la ushuhuda kwa .. hilo
Kiwakilishi "hilo" kinamaanisha pazia ambalo lilitenganisha kati ya mahali patakatifu na patakatifu pa patakatifu.
watachomeka hiyo miti
"chomeka hiyo miti kwenye hizo peete pembeni za sanduku.
Numbers 4:7-8
mikate ya wonyesho
Mikate hii inawakilisha uwepo wa BWANA. "mikate ya uwepo wa BWANA"
Juu yake wataweka
Kiwakilishi cha "yake" kinamaanisha ile nguo ya rangi ya samawi.
sahani, vijiko, mabakuli ya kumiminia
"mabakuli navikombe vinavyotumka kwa kumiminia sadaka ya vinywaji"
Watavifunika
Neno "vi" inamaanisha yale masahani, vijiko, mabakuli na vikombe."
Mikate itakuwepo daima
"Lazima kuwepo na mikate daima"
kitambaa cha rangi nyekundu
"kitambaa chekundu"
kuweka miti ya kubebea
"kuweka miti kwenye pete pembezoni mwa meza"
Numbers 4:9-11
Wataweka ... vikiwa vimefunikwa na ngozi za pomboo"
"Lazima wavifunika ...na ngozi za pomboo"
Wataviweka kwenye miti ya kukibebea
"wataviweka vitu vyote hivi juu ya miti ya kubebea"
kuweka ile miti ya kubebea
"kuweka miti ya kubebea kwenye zile pete zilizo pembezoni mwa madhabahu"
Numbers 4:12-14
miti ya kubebea
Hiki ni chombo cha miti chenye umbo la mstatili kilicho na nguzo za kubebea vitu.
kwa kazi ya madhababahuni
"vinavyotumika wakati wa kutoa huduma ya BWANA mahali patakatifu"
katika kazi ya madhabahuni
"wakati wa kutoa huduma madhabahuni"
kuweka ile mitiy a kubebea
"Weka ile miti ya kubebea kwenye zile pete zilizo pembezoni mwa madhabahu"
Numbers 4:15-16
kubeba vitu vya mahali patakataifu
"kubeba vitu vyote vya mahali patakatifu"
kambi itakapoanza kuendelea mbele
"wakati watu watakapoende mbele"
Kohathi
TAzama 3:17
vyombo vitakatifu
"vifaa vitakatifu
mafuta ya taa
"mafuta kwa ajiliya taa"
atasimamia u,inzi
"wale wanaolinda"
Numbers 4:17-20
Wakohathi
Tazama 3:27
Kuondolewa kati ya Walawi
"kufanya chochote ambacho kitanifanya mimi kuwatoa kabisa miongoni mwa Walawi."
kwa kufanya hivi
Kirahi hiki kinalenga kitu ambacho BWANA atasma baadaye. Musa atawalinda Wakohathi kwa kutowaruhusukuingia ndani na kuona mahali patakatifu.
kazi maalumu ya kufanya, kila mmoja
virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile na vimeunganishwa ili kutoa msisitizo.
Numbers 4:21-23
kwa wana wa Gerishoni
kwa wana wa kiume wa Gerishoni
Gerishoni
Tazama 3:17
kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini
"kuanzia miaka 30 hadi miaka 50"
kuungana na wala wanaotumika katika hema ya kukutania
Tazama 4:1
Numbers 4:24-26
Hii ndiyo kazi ya koo za ... wanachotumikia na wanachobeba
Hi ni sentensi inayofafanua kile kinachoelezwa na mistari inayofuata.
Wagerishoni
Tazama 3:21
vifuniko vvya ngozi ya pomboo ambavyo vipo juu yake
"ni kifuniko cha nje kiinachotengenezwa kwa ngozi za pomboo"
Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi
"kazi yeyote ambyo inahitajika kwa ajili ya kazi hii."
Numbers 4:27-28
watakaoongoza
"kusimamia"
Huu ndio utumishi wa Wagerishoni ... hema ya kukutania
Neno "utumishi" ni nomino zahania ambayo inaweza kuelezekakwa kutumia kitenzi. na neno hili linamaanisha kile ambacho BWANA alikuwa amesema. "Hii ndiyo namna ya utumishi wa wana wa ukoo wa kizazi cha Wagerishoni ambavyo watatumika katika hema ya kukutnia"
Ithamari
Tazama 3:1
Numbers 4:29-30
Uzao wa Merari
"uzao wa wana wa kiume wa Merari"
Merari
Tazama 3:17
uwapange
"uwaorodheshe"
umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini
"umri wa miaka 30 hadi umri wa miaka 50"
atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania
Tazama 4:1
Numbers 4:31-32
Huu ndio wajibu wao
"Huu" inamaanisha kile ambacho BWANA atasema baadaye.
mbao za masikani, mataruma, ... na vifaa vyake.
Kiwakilishi cha "zake" kinamaanisha nguzo za ua.
nguzo za ua zinazozunguka, nguzo, mbao ... na kamba zake
Tazama 4:31
Waoredhesha kwa majina na majukumu yao
"Uorodheshe kila jina la mtu na jukumu lake"
Numbers 4:33
chini ya uongozi wa Ithimari mwana wa Haruni kuhani mkuu
"Kama Ithimari nwana wa Haruni atkavyokuwa akiwaongoza"
Ithimari
Tazama 3:1
Numbers 4:34-37
Wana wa uzao wa Wakohathi
Hii inamaainsha wale wana wa kiume. "Wana wa wa kiume wa uzao w a Wakohathi"
Wakohathi
Tazama 3:27
Wenye umri wa miaka thelathini hadi umri wa wa miaka hamsini
"Miaka 30 umri wa miaka 50"
kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi
"kila mmoja aliyekuwa ameamriwa kuunagana na kundi"
kuungana na kundi linalotoa huduma y a utumishi kwenye hema ya kukutania
Tazama 4:1
2,750
"elfu mbili, mia saba na hamsini"
Numbers 4:38-40
Uzao wa Gerishoni
"Wana wa kiume wa uzao wa Gerishoni"
Uzao wa Gerishoni walihesabiwa
"Musa na Haruni waliwahesabi wana wa uzao wa Gerishoni
Kuanzia umri wa miaka thelathini hadi umri wa miaka hamsini
"kuanzia umri wa miaka 30 hadi umri wa miaka 50"
kwa kila mmoja anayetakiwa kuungana na kundi
Kila mmoja aliyetakiwa kuungana na kundi"
walihesabiwa kufuata koo zao
"ambao Musa na Hruni waliwahesabu kwa kufuata koo zao"
2,600
"wanaume 2600"
Numbers 4:41
walifanya hivi ili kutii
Kiwakilishi "wa" kinamwakilisha Musa na Haruni
Numbers 4:42-44
Uzao wa Merari walihesabiwa
"Musa na Haruni waliwahesabu uzao wa Merari"
Kuanzia umri wa miaka thelathini hadi umri wa miaka hamsini"
"kuanzia miaka 30 hadi miaka 50"
kila anayepaswa kuunga na na kundi
"kila mmoja aliyekuwa amepangiwa kuungana na kundi"
kuungana na watu wanotumika kwenye hema ya kukutania
tazama 4:1
waliohesabiwa kupitia koo zao
"ambao Musa na Haruni waliwahesabu kpitia koo zao"
Numbers 4:45
walitii
Kiwakilishi "wa" kinamwakilisha Musa na Haruni
Numbers 4:46-48
kuanzia thelathini hadi hamsini
Hii inamaanishsa wanaume. "wanaumekuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini"
kuanzia thelathini hadi hamsini
Hii inamaanishsa wanaume. "wanaumekuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini"
Numbers 4:49
Kwa agizo la BWANA
"Kama vile BWANA alivyoagiza"
na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya.alimwesabu kila mwanaume kwa jukumu alilofanya
Virai hivi viwili vinamaanishakitu kimoja na vimetumka pamoja ili kusisitiza jinsi Musa alivyowahesabu wanaume wote.
kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya
"kwa aina ya kazi ambayo alikuwa amemwagiza kila mmoja kufanya"
anaweza kufanya
"ambayo angekuwa nayo"
walitii ambacho BWANA alikuwa amewaagiza
kiwakilishi cha "wa" na "me" kinamlenga Musa na Haruni.
Numbers 5
Numbers 5:1-4
wenye magonjwa ya ngozi
Hii inamaanisha ukoma, huu ni ugonjwa unaoathiri ngozi na unasambaa kwa wengine kwa urahisi.
vidonda vinavyotoa harufu
Hii inamaanisha vidonda vya wazi vinavyotoa usaha.
ambaye amenajisika kwa kugusa maiti
Mtu alipogusa maiti alionekana kuwa najisi. Mtu ambaye alikuwa hakubariki kwa matumizi ya kazi ya Mungu alionekana ki mwili kuwa najisi.
umtoe kambini
kiwakilishi cha "u" ni cha wingi na kinamanisha watu wa Israeli.
Watu wa Israeli walifanya hivyo
Watu wa Israeli waliwatoa kambini watu waliokuwa najisi.
Numbers 5:5-7
dhambi yeyote ambayo watu hufanyiana
"dhambi yeyote ambayo watu hufanya dhidi ya mwingine"
mtu huyo atakuwa na hatia kwangu
"mtu huyo atakuwa amenikosea mimi pia"
malipo ya hatia yake
"kiwango sahihi cha fedha kwa dhambi yake"
na kuongeza kwenye malipo hayo sehemu ya tano zaidi
sehemu ya tano zaidi. Hii inamaanisha kuwa mtu atalipa sehemu ya tano zaidi ya malipo anayotakiwa kulipa.
sehemu ya tano
Sehemu ya tano ni sehemu moja kati ya vitu vitano.
Numbers 5:8-10
Lakini k ama mtu huyu aliyetendewa kosa hana ndugu wa kupokea hayo malipo
Lakini kama mtu aliyetendewa kosa amekufa na hana ndugu wa karibu wa kupokea malipo hayo"
kama mtu aliyetendewa kosa
"kama mtu ambaye mtu mwenye hatia amemtendea kosa"
basi atalipa hayo malipo ya hatia kwangu kupitia kwa kuhani.
kama mtu atalipa malipo hayo kwa kuhani kulipia hatia yake ni sawa na kulipa malipo hayo kwa BWANA.
kutoa fidia kwa ajili yake
"kutoa fidia kwa ajili ya dhambi yake"
vitu ambavyo vimetengwa na vikaletwa kwa kuhani na watu wa Israeli
"vitu ambavyo watu wa Israeli wamevitenga na kuvileta kwa kuhani"
sadaka ya kila mtu itakuwa ya kuhani; kama mtu yeyote atatoa kitu chochote kwa kuhani, kitakuwa chake
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vinaweza kuunganishwa ili visomeke kuwa, 'sadaka ambayo mtu hutoa huwa mali ya kuhani ambaye wamepewa.
Numbers 5:11-12
kama mke wa mtu ataasi na kuafanya dhambi dhidi ya mume wake
Hiki ni kituambacho kinaweza kutokea, BWANA anamwambia Musa jinsi ya kufanya iwapo kama kitu hiki kitatokea.
Mke wa mtu ataasi
kama mke wa mtu si mwamiinifu
na kufanya dhdambi dhidi ya mume wake
"akafanya dhambi dhidi ya mume wake kwa kulala na mwanamume mwingine"
Numbers 5:13-14
Halafu mtu mwingine akalala naye
na mtu mwingine akalala naye
atakuwa amenajisika ... mke wake amenajisika ... mke wake hajanajisika
"amejinajisi mwenyewe ... mke wake amejinajisi mwenyewe ... mke wake hajajinajisi mwenyewe"
katika tendo
"katika tendo la uzinzi" au "kulala naye"
ile roho ya wifu itaendelea kumjulisha yule mume.
Hapa neno "roho" linamaanisha mtazamo na hisia za mtu. Wivu wake umeongolewa kama kuna mtu ambaye anamwambia, "Yule mtu anaweza kujihisi wivu na kuanza kumhofia"
roho ya wivu inaweza kumdanganya yule mwanamume
mwanamume anaweza kuwa na wivu bila sababu.
Numbers 5:15
sehemu ya kumi
hii ni sehemu moja kati ya kumi
sehemu ya kumi ya efa
sehemu ya kumi ya efa ni karibu sawa na lita 2.
ni sadaka ya unga ya wivu
"ni sadaka ya unga inayotolewa kwa ajili ya wivu"
dalili ya dhambi
"Dalili" ni kitu kinachoonyesha uhakika wa jambo fulani. kwa ahali hiyo alitoa sadaka inayoonyesha kama mke wake kweli alifanya uzinzi au la.
Numbers 5:16-17
karibu na kumweka mbele ya BWANA
"Katika uwepo wa BWANA." Kuhani atamleta karibu na madhabahu. "Karibu na madhabahu na kumweka karibu mbele za uwepo wa BWANA."
Numbers 5:18-19
mbeleza BWANA
"katika uwepo wa BWANA"
sadaka ya unga kwa ajili ya wivu
Tazama 5:15
kama hujafanya uzinzi
"kama haujaonyesha kutokuwa mwaminifu kwa mme wako"
na kufanya uovu
"kwa kufanya uovu maana yake ni kufanya uzinzi."
utakuwa huru na maji haya machungu
"haya maji machungu hayakuletea madhara"
haya maji machungu yanaweza kuleta laana
maji machungu yanaelezwa kama maji yanayoweza kuleta laana. Maana yake ni kwamba yule mwanamke atakapoyanywa maji haya yanaweza kumfanya asizae watoto,, hasa kama ana hatia.
Numbers 5:20-22
chini ya mume wako
"chini ya mamlaka ya mume wake"
umekengeuka
"hakuwa mwaminifu kwa mume wake"
umenajisika
"umejinajisi mwenyewe"
kinachoweza kuleta laana kwake
"ambacho kinaweza kusababisha laana kuja"
BWANA atakufanya wewe kuwa laana ... kuwa hivyo kwa watu wako
Kwa sababu BWANA anakulaani, watu wengine watakulaani pia, na BWANA atawaonyesha watu kuwa umelaaniwa kabisa"
itakayooneshwa kuwa hivyo kwa watu wako
"atakayoionesha kwa watu wako kuwa laana"
na kulifanya tumbo lako kuvimba na mapaja yako kuoza
Maana ya sentensi hii yaweza kuwa: 1) mwanamke hataweza kuzaa watoto. 2) mimba ya mwanamke itakooma mapema na yule mtoto atakufa.
mapaja yako kuoza
Neno mapaja, ni tafsida inayoonesha tumbo la mwanamke au sehemu zake za siri. "tumbo lako kuwa si kitu"
Numbers 5:23
na kisha kuzifuata laana zilizoandikwa
Hii inamaanisha kufuta wino ulio kwenye gombo
laana zilizoanadikwa
laana alizoziandika
Numbers 5:24-26
Taarifa kwa ujumla
Mpangilio wa matukio ulio kwenye hii mistari unachangaya sana, umeandikwa kwa mfumo huu ili kuonesha jinsi yale maji yawezavyo kuleta laana. Inaonekana kuwa mwanamke anapoyanywa yale maji; kuhani naye anateketeza ile sadaka, kisha yule mwanamke anayanywa yale maji tena. Anayanywa yale mara moja.
Naye kuhani atamwelekeza yule mwanamke kunywa yale maji ... yale maji yaletayo laana yataingia na kuwa machungu
Inaweza kusaidia kama mpangilio utatengenezwa upya kwa kuuweka mstari wa 24 unaoelezea habari ya mwanamke kunywa yale maji, baada ya mstari wa 26.
sadaka ya kuwakilisha
kiasi cha konzi ya unga kinawakilisha sadaka yote ya unga. Na maana yake halisi ni kwamba sadaka yote ni ya BWANA.
sadaka ya unga ya wivu
Tazama 5:15
Numbers 5:27-28
kama alinajisika kwa sababu alifanya uovu
"kama alikwa amejinajisi mwenyewe kwa sababu ya kufanya uovu"
alifanya uovu
"alifanya uzinzi"
Tumbo lake litavimba na paja lake litavimba
Tazama 5:20
Yule mwanamke atalaaniwa kati ya watu wake
"Watu wake watamlaani"
hajanajisika
"hajajinajisi mwenyewe"
na kama ni msafi
"hana hatia"
basi atakuwa huru
yaweza kumaanisha 1)"basi hatalaaniwa 2) "basi yuko huru katika hatia"
atabeba ujauzito
"atakuwa mjamzito"
Numbers 5:29-30
sheria ya wivu
"sheria inayoshughulikia maswala ya wivu"
anayekengeuka kwa mume wake
"ambaye si mwaminifu kwa mumewe"
na kunajisika
"na kujinajisi mwenyewe"
ile roho ya wivu
tazama 5:13
mwenye roho ya wivu kwa mkewe
"kumwonea wivu mke wake kuwa si mwaminifu kwake"
mbele ya BWANA
"katika uwepo wa BWANA"
Numbers 5:31
Atakuwa hana hatia ya kumleta mke wake kwa kuhani
"atakuwa hana hatia ya kufanya jambo lenye makosa kwa kumleta mke wake kwa kuhani"
atauchukua"
"atavumilia"
Numbers 6
Numbers 6:1-4
ataweka nadhiri ... kwa kuwa ni mnadhiri
"kuwa mnadhiri" maana yake ni kujiweka wakfu"
atajiepusha
Hii nahau inamaanisha kuwa mtu huyo lazima asinywe hivyo vinywaji wala chakula kilichokatazwa.
kilio kiinachotengenezwa na siki
"kileo ambacho watu hutengeneza kutokana na siki"
siki
ni kinywaji kinachotokana na divai ilichachushwa kwa muda mrefu na kuwa kinywaji kikali na kichungu
kilevi
"au siki iliyotengenezwa kutokana na divai kali"
zabibu zilizokauka
"zabibu zilizokaushwa"
ambazo amejitenga
"amejitenga kwa ajili yangu"
asile chochote kinachotokana na zabibu
"asile chochote ambacho watu huetengeneza kutokana na zabibu"
wala kitu chochote kitokanacho na makokwa hadi maganda
"kutokana na kitu chochote cha mizabibu"
Numbers 6:5
Nadhiri yake
Neno nadhiri humaanisha "kuwekwa wakfu"
wembe usipite kichwani mwake
"asipatikane mtu wa kutumia wembe juu ya kichwa chake"
siku za nadhiri yake kwa BWANA
Neno "nadhiri" ni "nomino zahania ambalo linweza kutumika kama kitenzi. Neno "nadhiri" hapa hapa linamaanisha kuwekwa wakfu. "siku ambazoamejiweka wakfu kwa BWANA"
kwa BWANA zitimilike
kwa BWANA zitimilike
Lazima ajitenge kwa BWANA
Lazima ajitenge mwenyewe kwa BWANA
Numbers 6:6-8
Kujidhiri ... amejitenga ...kujidhiri
Kujidhiri ni kujiweka wakfu.
Asijinajisi
Unajisi ni hali ya kutokukubalika kwa ajili ya matumizi ya BWANA.
ametengwa
amejitenga mwenyewe
wakati wa kujidhiri kwake
kwamba amejitenga mwenyewe
alijitunza kwa ajili ya BWANA
amejitunza kwa ajili ya BWANA.
Numbers 6:9
kukitia unajisi kichwa chake
Neno "kichwa"linamaanisha nywele za mnadhiri ambazo ni ishara ya kiapo chake. "amezinajisi nywele zake ambazo zinamwosha kila mtu kuwa kuwa amejitenga kwa ajili ya Mungu"
katika siku ya kujitakasa
"katika siku ambayo mwenyewe anajiweka kukubalika kwa Mungu"
siku ya saba
"siku YA 7"
Numbers 6:10-11
Siku ya nane
"Siku ya 8"
Numbers 6:12
katika siku hizo za utakaso
"katika siku hizo ambazo atawekwa wakfu"
Atalaetea kondoo mume kama ... sadaka ya hatia
"Ataleta kondoo mume wa mwaka mmoja kwa kuhani kuwa sadaka ya hatia"
Zile siku za kabla ya kunajisika hazitahesabiwa
"Hatazihesabu zile siku za kabla ya kunajisika"
kujiweka wakfu kwake kulinajisika
"alijifanya mwenyewe kutokukubalika kwa BWANA"
Numbers 6:13-15
muda wa kujidhiri kwake
"kujidhiri" kunamaanisha "kuwa wakfu". "kuwekwa kwake wakfu"
Ataletwa
"ataletwa na mtu"
Ataleta sadaka yake kwa BWANA
"ataleta sadaka yake kwa BWANA kupitia kwa kuhani ambaye ndiye ataitoa hiyo sadaka"
mikate iliyotengenezwa bila amira
"mikate iliyotengenezwa bila chachu"
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
"unga mwembamba aliouchanganya na mafuta"
mikate ya kaki isiyo na amira iliyopakwa mafuta,
mikate ya kaki isiyo na chachu ambayo aliipaka mafuta
mikate ya kai isiyo na amira
"vipande vidogovidogo vya mikate"
pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji
"pamoja na na sadaka za unga ambazo BWANA alitaka ziambatane na sadaka zingine.
Numbers 6:16-17
Atazitoa sadaka zake za dhambi
kiwakilishi "a" kinamaanisha kuhani. Na kiwakilishizake "zake" kinamlenga yule mtu anayetoa kiapo.
sadaka ya amani
"kuwa sadaka ya amani"
Pia kuhani atatoa ... sadaka ya vinywaji
"Pia kuhani atazitoa ... sadaka za vinywaji kwa BWANA"
Numbers 6:18
kama ishara ya kujitenga
"Ishara ya kuwa wakfu"
Numbers 6:19-20
bega la kondoo mume lililotokoswa
"lile bega la kondoo ambalo amelitakasa"
ishara ya kijidhiri
ishara ya kuwa wakfu" au "ishara inayoonyesha kuwa amaejiweka wakfu kwa BWANA"
Kisha kuhani atavitikisa
"kisha kuhani atavirudisha nyuma na kuvititsa"
pamoja na
"pia akiwa na"
cha kutikiswa
"ambacho kuhani alikitikisa"
lilitolewa
"ambalo alilitoa"
Numbers 6:21
kujidhiri kwake
"kujiweka kwake wakfu"
chochote atakachotoa
"kama ataamua kutoa sadaka yeyote ya nyongeza"
lazima atafanya kama alivyoapa
"Lazima aendelee kutii matakwa ya kiapo alichoaapa"
lazima atafanya kama alivyoapa ... kulinda ahadi yake kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri.
Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja. Vimetumika kuonyesha msisitizo kuwa lazima atii sheria za kiapo.
kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri
"kama ahadi ya sheria ya mnadhiri inavyoainisha"
Numbers 6:22-24
Mtawabariki wana wa Israeli
kiwakilishi "m" ni cha wingi
BWANA na awabariki na kuwatunza
Kiwakilshi cha "wa" ni cha umoja
na kuwatunza
neno "kuwatunza" linamaanisha "kuwalinda"
Numbers 6:25-27
awaangazie nuru ya uso wake
Hii ninahau inayomanisha "BWANA atoe tabasamu lake"
awatazame kwa neema
"akuonyeshe neema"
BWANA awaangazie nuru ya uso wake ...na awape amani
Kiwakilishi cha "a" ni cha umoja
wanaweza kuwapa jina langu
"watawafanya watu wa Israeli wajue kuwa wao ni wangu"
Numbers 7
Numbers 7:1-3
Musa alikamilisha masikini
"Musa alikamilisha ujenzi wa masikani"
viongozi wa israeli na wale vichwa vya familia
"viongozi wa Israeli ambao pia ni vichwa vya familia za mababu zao"
vichwa vya familia za mababu zao
"viongozi wa familia za mababu zao"
WAlisaidia kuwahesabu watu kwenye ile sensa
"walimsaidia Haruni na Musa kuwahesabu wale wanaume"
Walileta sadaka zao kwa BWANA ... Walileta vitu hivi mbele za masikani.
"Walileta sadaka zao kwa BWANA wkazikabidhi kwake mbele ya masikani"
Wlileta magari sita yaliyofunikwa na mafahri kumi na sita
"magari sita na mafahari 12"
Numbers 7:4-5
kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake
"kwa kila mwanamume kama alivyowahitaji kwa kazi yake"
Numbers 7:6-8
Gerishono ... Merari
Tazama 3:17
kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji
"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi yao"
chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani
"chini ya usimamizi wa Kuhani Ithamari mwana Haruni" au "Ithamri mwana wa Haruni kuhani alisimamia kazi yao"
Ithamri
Tazama 3:1
Alifanya hivi kwa sababu
Kiwakilishi "a" kinamwakilishsa Musa
kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao
"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi zao"
Numbers 7:9
hakuwapa chochote
Inamaanisha yale magari na wale mafahari
Kohathi
Tazama 3:17
wao waliangalia
"kazi yao ilikuwa"
vitu vitakatifu
"vitu ambavyo BWANA aliviweka kwa ajili ya masikani"
Numbers 7:10-11
walitoa bidhaa zao
"walitoa sadaka"
kila kiongozi alitoa sadaka kwa siku yake
"Kila siku, kiongozi mmoja alitoa sadaka yake"
Numbers 7:12-14
Siku ya kwanza
"siku ya 1"
Nashoni mwana wa Amiinadabu
Tazama 1:7
sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130
sahani moja ya fedha inayokaribiauzito wa kiligramu moa na nusu" au sahani moa ya fedha yenye uzani wa kiligramu moja na gramu 430"
bakuli moa yafedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini
"bakuli moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 70" au "bakuli moja ya fedha yenye uzito wa garamu 770"
kwa kipimo cha mahali patakatifu
"iliyopimwa kwa kipimo kinachotumika mahali patakatifu"
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
"unga mwembamba ambao umechanganywa na mafuta"
bakuli moja la dhahbu lenye uzani wa shekeli kumi
"bakuli moja la dhahabu ambalo uzani wake ni gramu 110"
Numbers 7:15-17
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"
"Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana Aminadabu"
"Hii ndiyo Nashoni mwana wa Aminadabu aliyotoa"
Nashoni mwana wa Aminadabu
Tazama 1:7
Numbers 7:18-19
siku ya pili
"siku ya 2"
Nathanieli mwana wa Zuari
Tazzama 1:7
sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja ya fedha yenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
"unga mwemba ambao aliuchanganya na mafuta"
Numbers 7:20-23
Bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi.
Tazama 7:12
wa umri wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja'
Hii ilikuwa sadaka y Nathanieli mwana wa Zuari
"Hii ndiyo Nathanieli mwana wa Zuari alichotoa"
Nathaniel mwana wa Zuari
Tazama 1:7
Numbers 7:24-26
sikuta tatu
"siku ya 3"
Eliabu mwana wa Heloni
Tazama 1:7
sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja la fedha lenye uza ni wa sheli sabini
Taza 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamaba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
Numbers 7:27-29
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja walikuwa na umri wa mwaka mmoja.
Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni
"Hii ndiyo sadaka ambayo Eliabu mwana wa Heloni alitoa"
Eliabu mwana wa Heloni
Tazama 1:7
Numbers 7:30-32
Siku ya nne
"siku ya 4"
Elizuri mwana wa Shedeuri
Tazama 1:4
Sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
Bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
Kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:33-35
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja walikuwa na umri wa mwaka mmoja.
Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri
"Hii ndiyo Elizuri mwana wa Shedeuri alichotoa kama sdaka"
Elizuri mwana wa Shedeuri
Tazama 1:4
Numbers 7:36-38
Siku ya tano
"Sikuy a 5"
Shelumieli mwana wa Zurishadai
Tazama 1:4
Sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
Bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
Kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
Bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:39-41
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja alikuwa naumri wa mwaka mmoja"
Hii ndiyo sadaka ya Shelumieli mwana wa Zurishadai
"Hii ndiyo Shelumieli mwana wa Zurishadai alitoa kuwa sadaka"
Shelumieli mwana wa Zurishadai
Tazama 1:4
Numbers 7:42-44
siku ya sita
"siku ya 6"
Elisafu mwana wa Deuli
Tazama 1:12
sahani moja ya fedha yenye uzani shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:45-47
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"
Hii ndiyo Elisafu mwana wa Deuli alichotoa kuwa sadaka
"Hii ndiyo ambayo Elisafu mwana wa Deuli alitoa kuwa sadaka"
Elisafu mwana wa Deuli
Tazama 1:12
Numbers 7:48-50
siku ya saba
"siku ya 7"
Elishama mwana wa Amihudi
Tazama 1:10
Sahani moja ya edha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba
Tazama 7:19
bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:51-53
wa mwaka mmoja
"ambao walikuwa na umri wa mwaka wa mmoja kila mmoja"
Hii ndiyo iliopkuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi
"Hii ndiyo Elishama mwana wa Amihudi alichotoa"
Elishama mwana wa Amihudi
Tazama 1:10
Numbers 7:54-56
Siku ya nane
"siku ya 8"
Gamalieli mwana wa Pedazuri
Tazama 1:10
sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:130
bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:57-59
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"
Hiki ndicho Gamlieli mwana wa Pedazuri alitoa kuwa sadaka
"hiki ndicho Gamalieli mwana wa Pedazuri alitoa kuwa sadaka"
Gamalieli mwana wa Pedazuri
Tazama 1:10
Numbers 7:60-62
siku ya tisa
"siku ya 9"
Abidani mwana wa Gidioni
Tazama 1:10
sahani moja ya fdha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:12
bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:63-65
wa mwaka mmoja
"ambao kla mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"
"Hiki ndicho Abidani mwana wa Gidioini alitoa kuwa sadaka"
Hiki ndicho Aabidani mwana wa Gidioni alitoa kuwa sadaka"
Abidani mwana wa Gidioni
Tazama 1:10
Numbers 7:66-68
siku ya kumi
"siku ya 10"
Ahiezeri mwana wa Amishadai
Tazama 1:12
sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:69-71
wa mwaka mmoja
"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja"
Hii ndio ilikuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai
"Hiki ndicho Ahizeri mwana wa Amishadai alitoa kuwa sadaka"
Ahizeri mwana wa Amishadai
Tazama 1:12
Numbers 7:72-74
siku ya kumi na moja
"siku ya 11"
Pagieli mwana wa Okrani
Tazama 1:12
sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuata
Tazama 7:19
bakuli mojala dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:75-77
wa mwaka mmoja
wenye umri wa mwaka mmoja
Hii ndio sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani
Hii ndiyo sadaka ambayo Pagieli mwana wa Okrani alitoa
Pagieli mwana wa Okrani
Tzama 1:12
Numbers 7:78-80
siku ya kumi na mbili
"siku ya 12"
Ahira mwana wa Enani
Tazama 1:12
sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130
Tazama 7:12
bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazma 7:12
unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
Tazama 7:19
Bakuli moja la dhahabu lenye uzaniwa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:81-83
wa mwaka mmoja
Ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja
Hii ndio ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani
"Hiki ndicho Ahira mwana wa Enani alitoa kuwa sadaka"
Ahira mwana Enani
Tazama 1:12
Numbers 7:84-86
walivitenga hivi vitu
kutenga ni kuweka wakfu. Maana yake ni kwamba sadaka hizi waliziweka wakfu kwa ajili ya BWANA
siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu
neno "siku" linamaanishsa kipindi chote cha wakati huo. Viongoziwa Israeli waliviweka wakfu vitu hivi kwa muda wa siku 12. "Musa alipomimiina mafuta kwenye madhabahu"
kila sahani ya fedha ailikuwa na uzani wa shekeli 130.
Tazama 7:12
kila bakuli lilikuwa nanuzani wa shekeli 70
Tazama 7:12
kwa kipimo cha mahali patakatifu
Tazama 7:12
vyombo vyote vya fedha vilikuwa na uzani wa ... vyombo vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa
"vyombo vyote vya fedha kwa pamoja... vyombo vyote vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na uzani wa"
vyombo vya fedha
Hii inamaanisha sadaka zote zile zilizokuwa zimetengenezwa kwa fedha, sahanizote na mabakuli.
Kila yale mabakuli kumi na mbili vya dhahabu... yalikuwa na uzani wa shekeli kumi
Tazama 7:12
Numbers 7:87-88
kumi na mbili ... ishirini na nne ... sitini
"12 ... 24 ... 60"
wa mwaka mmoja
"walikuwa na umri wa mwaka mmoja"
baada ya kumiminiwa mafuta
"Baada ya Musa kuimiminia mafuta"
Numbers 7:89
aliisikia sauti yake ikimwambia
"sauti yake" inamaanisha sauati ya BWANA. "alimsikia BWANA akimwambia"
kutoka juu ya kiti cha rehema ... kutoka kati kati ya makerubi.
Virai hivi viwili vinafafanua eneo moja
sanduku la ushahidi
Tazama 4:5
Alinena naye
"BWANA alinena na Musa"
Numbers 8
Numbers 8:1-2
lazima zimulike mbele
"lazima ziing'ae kuelekea mbele"
Numbers 8:3-6
ili ziangaze
"kuangaza"
kinara kilitengenezwa
"walikuwa wametengeneza kinara"
kutengenezwa kwa vikombe na kwa maua hadi juu
"kwa vikombe vilivyofuliwa vinavyofanana na maua"
Numbers 8:7-8
ili kuwatakasa
kiwakilishi "wa" kinawawakilisha Walawi.
uwanyunyizie maji ya takaso juu yao
"uwanyunyizie maji yanayoashiria utakaso"
wafue nguo zao
"waambie wafue nguo zao"
fahari mchanga na sadaka ya unga
Wakati wa kutoa sadaka ya fahari mchanga, sadaka ya unga ilitakiwa kuambatana nayo.
ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta
"ya unga mwembamba ambao wameuchanganya na mafuta"
Numbers 8:9-11
uwakusanye jamii yote
"wakusanye jamii yote"
mbele yangu, BWANA
BWANA imetumika kwa jina lake Mungu
Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi
"Watu wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi, wakiwaweka wakfu kwangu"
kuwa sadaka ya kutikiswa
Haruni alitakiwa kuwatoa Walawi kwa BWANA kwa kiwango sawa cha kuwaweka wakfu kama ilivyo sadaka inayotolewa kwa BWANA. "kama ilivyo sadaka ya kutikiswa"
Numbers 8:12-13
Walawi wataweka mikono yao juu ya hao fahari
Hiki ni kitendo cha ishara kiniachowatambulisha Walawi kuwa sawa na wanyama wanaotolewa sadaka. Kwa namna hii mtu anajitoa mwenyewe kwa BWANA kupitia wanyama.
uwainue kuwa sadaka ya kutikiswa kwa ajili yangu
"uwaweke wakfu kwangu, kama vile unavyoinua sadaka ya kutikiswa"
Numbers 8:14-15
Uwatakase. Uwatoe kuwasadaka ya kutikiswa
"Lakini uwatakase kwanza, utawatakasa. utawatoa kama sadaka ya kutikiswa"
Utawatoa kuwa sadaka ya kutikiswa
"Utawaweka wakfu kwangu kuwa sadaka ya kutikiswa,kama vile unavyofanya wakati wa kutoa sadaka ya kutikiswa"
Numbers 8:16-17
kila mzaliwa wa kwanza afunguaye tumbo, mzaliwa wa kwanza.
Virai hivi viwili vinamaanisha jamabo lilelile ili kutoa msisitizo wa mzaliwa wa kwanza.
mtoto wa kiume afunguaye tumbo
"mtoto wa kiume ambaye ni mzaliwa wa kwanza kwa mama"
nilipowachukua
Hii ni tafsida inayotumika kuonyesha kitendo cha mtu anapomwua mtu. "Nilipomwua"
Niliwatenga
Kiwakilishi "wa" kinawawakilisha wazaliwa wa kwanza wa Israeli."
Numbers 8:18-19
Nimewatoa Walawi kuwa zawadi kwa Haruni na wanawe
Kitendo cha BWANA chca kuwatoa Walawi ili kumsaidia Haruni kinachukuliwa kuwa sawa na kuwa zawadi kwake ambayo BWANA aliitoa kwa Haruni na kwa wanae
Nimewachukua ... Nimewatoa
Kiwakilishi cha "wa" kinamaanishsa Walawi.
badala ya wazaliwa wa kwanza
"badala ya kuchukua wazaliwa wa kwanza"
wanapokaribia
"kiwakilishi cha "wa" kinawakilishsa wana wa Israeli.
Numbers 8:20-21
Musa, Haruni, na jamii ya Waisraeli wote ... waliwafanya Walawi hivi
"Musa, Haruni na watu wote wa Israeli waliwafanya Walawi kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwagiza Musa kuhusiana na Walaawi"
Numbers 8:22
kufanya utumishi wao
Neno "huduma" ni nomino zahania amabyo inaweza kutumika kama kitenzi "kuhudumia"
mbele ya Haruni na mbele ya wanawe
"katika uwepo wa Haruni na wanawe"
Kama BWANA
"Kile walichofanya kilikuwa"
Waliwahudumia Walawi wote kwa jinsi hii
"Waliwafanyia Walawi kile ambacho BWANA alikuwa amewaamuru. "Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha watu wa Israeli.
Numbers 8:23-24
Haya yote ni kwa ajili ya Walawi
"Amri zote hizi ni kwa ajili ya Walawi"
umri wa miaka ishirini na mitano
"miaka 25"
Wataungana wa wale wanaohudumia kwenye hema ya kukutania
Tazama 4:1
Numbers 8:25-26
Watakapokuwa na umri wa miaka hamsini
"katika umri wa miaka 50"
Numbers 9
Numbers 9:1-3
mwezi wa kwanza
"katika mwezi wa. 1" Huu ni mweziwa kwanza wa Kalenda ya Kihebrania. Inaanzia pale Mungu alipowatoa Wana wa Israeli kutoka Misri
mwaka wa pili
"mwaka wa 2"
baada ya kutoka katika nchi ya Misri
Kirai cha "kutoka katika" kinamaanisha kuondoka. "Baada ya kuondoka katika nchi ya Misri"
Wana wa Israeli ... katika wakati wake
Neno "wakati wake" linamaanisha wakati uliopangwa "muda wa nyuma". Hii inamaanisha watakapokuwa wakiimbuka kila mwaka.
Siku ya kum na nne ... kwa muda uliopangwa
Huu ni wakati wa uliopangwa kwa mwaka ili waisherehekeePasaka. "katika siku ya kumi na nne ... wataikumbuka, kwa kuwa huu ndio muda wa kuisherehekea kwa kila mwaka"
siku ya kumi na nne
"siku ya 14"
fuata sheria zake zote na ufuate taratibu zake zote
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja, Vimetumika kuonyesha msisitizo wa kuzitii amri.
utaikumbuka
neno "ku" itunza" ni nahau inayomaanisha kuikumbuka. "mtaikumbuka" au "mtaisherehekea"
Numbers 9:4-5
wataishika sikukuu ya Pasaka
Neno "wataishika" linamaanisha kuikumbuka. "kuikumbuka sikukuu ya Pasaka" au "Kuisherehekea sikukuu ya Pasaka"'
katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza
"katika siku ya 14 ya mwezi wa 1"
Numbers 9:6-8
walionajisika kwa sababu ya maiti
"walinajisika kwa sababu ya kugusa maiti"
kunajisika
Mtu ambaye Mungu anamwona hakubaliki kiroho ni yule ambaye katika hali ya mwili alikuwa amenajisika.
kuishika Pasaka
Tazama 9:4
kwa sababu ya maiti
"kwa sababu tumegusa maiti"
kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka ... wana wa Israeli?
Si sahihi kutuzuia kutoa sadaka ... kati ya wana wa Israeli.
uliopangwa
"ulioamriwa"
Numbers 9:9-10
amenajisika
Tazama 9:7
kwa sababu ya maiti
"kwa sababu umegusa maiti"
Kuishika Pasaka
Tazama 9:4
Numbers 9:11-12
Watishika Pasaka
Tazama 9:4
Sikuy a kumi na nne ya mwezi wa pili
"siku ya 14 ya mwezi wa 2"
wa jioni
"wakati wa jua kuzama"
Wataila
"Watamla mwanakondoo wa Pasaka"
kwa mikate isiyotiwa chachu
"kwa mikate iliyotengenezwa bila amira" au "kwa mikate ambayo haina amira"
mboga chungu
hii ni mimea midogo midogo ambayo ina radha mbaya
kuvuunja mifupa yake
"wasivunje mifupa yake yeyote"
Numbers 9:13-14
mtu yeyote asiye najisi
Mtu ambaye anakubalika kwa Mungu kiroho ni yule ambaye anaonekana kuwa kimwili ni msafi
kuishika Pasaka
Tazama 9:4
huyo mtu lazima aondolewe
Neno "kuondolewa" linamaanisha kukatiliwa mbali.
uliopangwa
ulioamriwa
Huyo mtu lazima abebe dhambi yake
"Mtuhuyo lazima abebe adhabu ya dhambi yake"
anayeishi kati yenu
kiwakilishi cha "yenu" kinamaanisha watu wa Israeli
ataishika na kufuata amri zote
"huyo mgeni ataishika na kufuata yote ambayo BWANA ameamuru"
ataishika na kufuata amri zote , na kufuata taratibu zake
Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile, vimetumika kutia msisitzo wa kwamba huyo mgeni atazitii sheria zote na kuishika Pasaka.
katika nchi
"katika nchi ya Israeli"
Numbers 9:15-17
masikani iliposimamishwa
"Walawi walipoisimamisha ile masikani"
ile hema ya amri ya agano
Tazama 1:50
Lilionekana kama moto mpaka asubuhi
"Wakati wa usiku lile wingu lilionekana kama moto mkubwa mpaka asubuhi"
Liliendelea hivyo hivyo
"Lile wingu lilibaki hivyohivyo juu ya masikani"
na kuonekana kama moto wakati wa usiku
"lilionekana kama moto mkubwa wakati wa usiku."
Na kila wingu lilipochukuliwa
"lilipoondolewa" au "BWANA alipoliondoa wingu"
wingu liliposimama
"Wingu liliposimama kuendelea"
Numbers 9:18-19
kwa amri ya BWANA
"BWANA alipotoa amri"
Numbers 9:20-21
kwenye masikani
"juu ya masikani
waliweka kambi
"walipoweka kambi yao"
kuanzia jioni mpaka asubuhi
"kuanzia jioni mpakasubuhi tu"
kama liliendelea
"kama wingu lilibaki juu ya masikani"
ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo waliendelea
"kisha baada ya wingu kuondolewa ndipo waliposafiri"
Numbers 9:22-23
pale wingu liliponyanyuliwa
"BWANA alipolinyanyua wingu"
kwa amri ya BWANA
"kile ambacho BWANA alikuwa ameamuru"
amri ya BWANA ilyotolewa kupitia kwa Musa
amari ambazo BWANA alikuwa ametoa kupitia kwa Musa
Numbers 10
Numbers 10:1-2
tengeneza tarumbeta mbili za fedha
"mwambie mtu mmoja atengeneze tarumbeta mbili za fedha"
utazitumia hizo tarumbeta
Siye Musa atakayepiga hizo tatrumbeta bali atawaagiz amakuhani kuzipiga.
Numbers 10:3-5
mbele yako
"wakati ukiwepo." Yaani Musa akiwepo wakati Makuhani watakapozipiga hizo taraumbeta.
basi viongozi, vichwa vya koo za za Israeli
virai hivi viwili vinamaanishsa kitu kilekile. Kirai cha pili kinatumika kufafanua kirai cha kwanza. "Viongozi ambao ni vichwa vya koo za za Israeli"
Utakapopiga tarumbeta ya sauti kuu
"utakapopiga ishara kuu"
Numbers 10:6-8
utakapopiga tarumbeta kwa ishara kuu
"watakapopiga ishara kuu"
watu wote watakapokutana
"kuwakusanya watu pamoja"
mara ya pili
"mara ya 2"
watapiga tarumeta kwa sauti kuu ili kuanza safari
"kiwakilishi cha "wa" kinawawakilisha makuhani wa Israeli.
huu ndio utakuwa utaratibu wa watu
"utakuwa utaratibu wenu." "wenu" ni kiwakilishi cha wengi kinachomaanisha Waisraeli.
Numbers 10:9
Nanyi mtakapoenda vitani ... wanaowakandamiza
"Waisraeli wanapokuwa vitani ... kwa wale wanaowakandamiza Waisraeli"
ndipo mtakapotoa sauti ya ishara ya tarumbeta
"basi utawaamuru makuhani kupiga sauati ya tarumbeta "
nitawaita na kuwakumbuka
Kirai cha " kuwaita" kinamanisha kuwakumbuka. "Nitawakumbuka"
Numbers 10:10
wa kusherehekea
"mtakaposherehekea"
mtapiga tarumbet zenu
"utawaamuru makuhani kupigahizo tarumbeta"
katika miandamo ya miezi
Kalenda ya Kihebrania ina miezi kumi na mbili. wakatiwa mwezi kuanza ukiwa na ule mwanga rangi ya fedha unaonyesha mwanzo wa wa mwezi katika kalenda ya Kihebrania.
sadaka zenu za kuteketezwa na kwa sadaka zenu za amani ... kwangu
kiwakilishi "zenu" ni cha wingi kikimaanisha Waisraeli.
kwa heshima ya sadaka zenu
""kwa heshima ya sadaka"
Huu utakuwa ukumbusho wenu kwangu."
Hii itakuwa kumbukumbu yanagu kwenu". au "daima itanikumbusha."
Huu utakuwa
Neno "huu" linamaanisha zile tarumbeta na zile sadaka.
Numbers 10:11-13
mwaka wa pili
"katika mwaka wa 2." Huu ni mwaka wa pili baada ya BWANA kuwatoa Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
Katika siku ya ishirini, mwezi wa pili.
"katika siku ya 20, ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa Kalenda ya Kihebrania.
wingu liliinuliwa
"BWANA aliliinua wingu"
masikani ya amri za maagano
Tazama 1:50
amri ya BWANA ilitolewa kupitia kwa Musa
"amri ambayo BWANA aliamuru kupitia kwa Musa"
Numbers 10:14-16
Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda
Kambi hii inajumuisha makabila matatu chini ya kikosi cha Yuda: Yuda, Isakari na Zabuloni.
iliondoka ya kwanza
"iliondoka ya 1". Kirai cha w"aliondoka" kinamaanisha walifungasha vitu vya kambi yao na kuanza safari.
Nashoni mwana wa Aminadabu
Tazama 1:7
Nathanaeli mwana wa Zuari
Tazama 1:7
Eliabu mwana wa Heloni
Tazama 1:7
Numbers 10:17-20
Gerishoni ... Merari
Tazama 3:17
jeshi la mahali pa kambi ya Reubeni
Hii inamaanisha majeshi ya kabila yaliyo chini ya kikosi cha Reubeni: Yaani Reubeni, Simioni, na Gadi.
Elizuri m wana wa Shedeuri
Tazama 1:4
Shelumieli mwana wa Zurishadai
Tazama 1:4
Elisafu
Tazama 1:4
Numbers 10:21-24
Wakohathi
Tazama 3:27
Majeshi ya kabila la uzao wa Efraimu
Haya ni majeshi yaliyokuwa chini ya kikosi cha Efaimu: Efraimu, Manase, na Benyamini.
Elishama mwana wa Amihudi
Tazama 1:10
Gamalieli mwana wa Pedazuri
Tazama 1:10
Abidani mwana wa Gidioni
Tazama 1:10
Numbers 10:25-28
Jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la Uzao wa Dani
Hii k ambi ilikjumuisha kabila la Dani ambalo ni: Dani, Asheri, na Naftali.
Ahizeri mwana wa Aminadamu
Tazma 1:12
Pagieli mwana wa Okrani
Tazama 1:12
Ahira mwana wa Enani
Tazama 1:12
Numbers 10:29-30
Hobibu mwana wa Reuli
Hili ni jina la mwanamume
ambalo BWANA ametuahidi
"ambalo BWANA ametuahidi sisi"
tutawatendea mema
"tutawakarimu vizuri"
Numbers 10:31-32
Tafadhali msituache
"mtatuongoza na kutonyesha jinsi ya kuishi jangwani"
Numbers 10:33-34
Walisafiri
"kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha Waisraeli
mlima wa BWANA
Huu ni mlima Sinai. "Mlima Sinai ni mlima wa BWANA"
Sandukula agano la BWANA liliwatangulia
"wale wanaume walilibeba sanduku la agano la BWANA mbele yao wakatiwote waliposafiri"
muda wote wa mchana
"kila mchana" au "wakati wa mchana"
Numbers 10:35-36
Kila hilo sanduku liliposafiri
"Kila wakati wale watu waliokuwa wamebeba sanduku walipoondoka"
Inuka BWANA
Kirai cha "inuka" ni ombi la BWANA kumtaka atende. Kwa hiyo Musa anamwomba BWANA awasambaze maadui wake.
Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia
"uwafanye wale wanokuchukia kukimbia mbele ya sanduku lako na mbele ya watu wako"
na kila lile sanduku liliposimama
"kila watu wanobeba lile sanduku waliposimama"
hawa Waisraeli makumi elfu
Hii inamaanisha watu." hawa walio makumi elfu"
Numbers 11
Numbers 11:1-3
Moto kutoka kwa BWANA ukawaka
"BWANA alituma moto uliowaka"
Mahali pale paliitwa
"wakapaita mahali pale"
Numbers 11:4-6
Ni nani atakayetupatia nyama za kula?
"Tunatamani kama tungepata nyama tule"
na sasa hatuna hamuya kula
"hatutaki kula" au "hatuwezi kula"
Numbers 11:7-8
punje ya mtama
mbegu hii hutumika kama kiungo inapokuwa imekauka
bedola
hii ni kitu chenye rangi inayofanana na kijivu
Numbers 11:9-10
macho ya Musa
"katika fikra za Musa"
Numbers 11:11-12
Taarifa kwa ujumla
Musa anamlalamikia BWANA akitumia maswali mengi yasitotaka majibu.
Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna? kwa nini hujapendezwa na mimi?
"usinitendee mimi, mtumishi wako, vibaya namna hiyo." au "usiwe na hasira dhidi yangu."
Umenifanya kubeba mizigo ya hawa watu
"umenifanya niajibike kwa ajili ya hawa watu"
Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia?
"Mimi si baba wa hawa watu. Kwa hiyo si sahihi kuniambia mimi."
wabebe kwa ukaribu vifufani mwako kama baba abebavyo mtoto wake
Maana yake ni kwamba Musa analazimika kuajibika kwa watu ambao hawawezi kujilinda wenyewe, kama vile mzazi alindavyo kichanga.
Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ... mababu zao kuwapa?
""Usinitegeme mimi kuwabeba... mpaka kwenye uliyowaahidi mababu zao kuwapa" au "siwezi kuwabeba... mpaka kwenye nchi uliyowaahidi mababu zao."
Numbers 11:13-15
Naweza kupata wapi nyama za kuwapa watu wote hawa?
"siwezi kupata uwezekenio wa kupata nyama za kuwapatia watu wote hawa."
Mimi pekee yangu siwezi kuwabeba watu wote hawa
"Siwezi kuwapatia mahitaji yao watu wote hawa."
Ni wengi sana kwangu
"Wajibu huu ni mzito sana kwanagu"
Numbers 11:16-17
Sehemu ya roho iliyo ndani kwako
Neno "roho" linamaanisha mamlaka ambayo Roho wa Mungu alikuwa amempatia Musa ili kwamba Musa aweze kufanya yale amabyo Mungu alikuwa amemwamuru. "baadhi ya mamlaka ambayo Roho amekupatia wewe"
Nao watabeba mzigo wa watu pamoja na wewe
"Watakusaidia kuwaangalia watu hawa"
Na hautaubeba pekee yako
"Hautawaangalia pekee yako"
Numbers 11:18-20
Taarifa kw aujumla
BWANA anaendelea kuongea a Musa
nani atakayetupa nyama tule?
"Tunatamani kama tungepata nyama tule"
mpaka zitakapowatokea puani
Inaweza kumaanisha 1) Mungu anamaanishsa kutapika kupitia puani au mpaka mtaugua na kutapika 2)watakula nyama nyingi sana kama itakavyokuwa pale zitakapowatokea puani. au "mpaka mtaanza kujisikia kuwa zinataka kutokea puani"
kwa nini tulitoka Misri?
"Bora tusingelitoka Misri."
Numbers 11:21-23
Je, tutayachinja haya makundi ya ng'ombe na kondoo ili kuyatosheleza? Je tutawakamaata hawa samamki wote wa baharini ili kuwatosheleza?
"Tutatakiwa kuwachinja makundi yote ya ng'ombe na kuwakama samaki wote wa baharini ili kuwatosheleza!"
Ng'ombe na makundi
Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja. Yametumika kuonyesha msisitizo wa kundi kubwa la wanyama
Smamki wote wa baharini
Musa ametumia mfano huu ili kuonyesha kuwa ilivyokuwa vigumu kuwapatia chakula watu wa Israeli.
ilikuwatosheleza
"kuwatosheleza njaa yao"
Je, mkono wangu ni mfupi?
"Je, mnadhani kuwa sina uwezowa kuyafanya haya?" au "manapaswa kujua kuwa mimi nina uwezo zaidi wa kuyafanya haya."
Numbers 11:24-25
Maneno ya BWANA
"Kile ambacho BWANA amesema"
Sehemu ya Roho aliyekuwa kwa Musa
Tazama 11:16
na kuiweka kwa wale wazee sabini
Tazama 11:16
Roho alipowashukia
"Walipokuwa na nguvu kutoka kwa Roho"
Numbers 11:26-27
Roho aliwashukia pia
"Roho ali[pa nguvu pia"
Majina yao yalikuwa yameandikwa kwenye orodha
"Musa alikuwa ameandika majina yao kwenye orodha"
Numbers 11:28-30
wazuie
"waambie waache kutoa unabii"
una wivu kwa niaba yangu
"unapaswa kutokuwa na wivu"
una wivu kwa niaba yangu
"Unadhani kuwa wanaweza kuwa wanacchukua kitu kutoka kwangu?"
angeweka Roho yake juu yao
"Kwsamba Roo ya BWANA angewapatia uwezo."
Numbers 11:31-32
kware
ndege mdogo
kiasi cha umabli wa safari ya siku moja upande huu na umbali wa siku moja upande mwingine
"ni umbali wa siku moja ambao mtu anaweza kwenda katika uelekeo wowotde.
kiasi cha mita moja toka uso wa dunia
"kiasi cha sentimita 92" au "mita moja"
hakuna aliyekusanya pungufu ya mita mbili
"kila mmoja alikusanya si chini ya mita mbili za ujazo"
mita mbii za ujazo
mita moja ya ujazo ni saw na lita 220."lita 2,200"
Numbers 11:33-35
wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno, wakiwa bado wanatafuna
Sentensi hizi zinamaanishakitu kimoja. "wakati walipokuwa bado wanakula ile nyama"
Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava
"walipaita mahali pale Kibroti Hataava"
Hazeroti
Hili ni eneo la mahali fulani jangwani
Numbers 12
Numbers 12:1-3
Hivi BWANA amesema na Musa tu? Ni kweli hajawahi kusema nasi pia?
"BWANA hajasema na Musa tu. Pia amesema na sisi."
sasa BWANA akasikia
Neno "sasa" linavuta usikivu kwa kile ambacho kinafuata baadaye.
Sasa Musa alikuwa mtu
"Neno "sasa" limetumika kuonyesha mwanzo wa habari kuu. Msimuliaji anaeleza historia ya Musa kuhusu tabia zake.
Numbers 12:4-5
nguzo ya wingu
umbo la wingu linaongolewa kama vile ni nguzo. "wingu lenye umbo kama nguzo" au "wingu refu"
Numbers 12:6-8
Lakini si hivyo kwa mtumishi wangu Musa
"Siongei na Musa kwa namna hiyo"
Yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu
Nyumba hapa inamaanisha taifa la Israeli. Musa amawaongoza watu wangu kwa uamiinifu" au Musa ndiye ninayemwamini kuwaongoza watu wangu Usraeli"
Kwa nini hamuogopi kumnenea kinyume mtumishi wangu Musa?
"Mnapaswa kuogopa kumnenea kinyume mtumishi wangu, dhidi ya Musa"
kinyume, cha mtumishi wangu Musa
kinyume cha mtumishi wangu, Musa
Numbers 12:9-10
Hasira ya BWANA ikawawakia
Hasira ya BWANA inafananishwa na moto."BWANA akawakasirikia sana"
"akawa mweupe kama ukokoma"
"akawa mweupe sana"
Numbers 12:11-12
usituadhibu kwa sababu ya uovu wetu huu
Hii inamaanisha usituadhibu kwa sababu ya dhambi zetu
Tafadhali usimwache akawa kama mtoto mchanga aliyekufa amabye nusu ya nyama yake imeoza
"Tafadhali usimwache akawa kama mtoto mchanga ambaye nusu ya nyamya yake imeoza"
Numbers 12:13-15
Mungu ninakusihi umponye tafadhali
neno "tafadhali" limerudiwa ili kuonyesha msisitizo
kama baba yake angemtemea usoni
kumtemetemea mtu usoni ilikuwa udhi baya
Miriamu akafungiwa nje ya kambi
"Miriamu alitengwa nje ya kambi"
Miriamu akafungiwa nje ya kambi
"Musa alimfungia Miriamu nje ya kambi"
Numbers 12:16
Hazeroti
Tazama 11:13
Numbers 13
Numbers 13:1-2
ambayo nimewapa
"ambayo nimeamua kuwapeni
Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake
"Kila mwanamume ambaye ulimtuma lazima awe kiongozi miongoni mwa kabila yake"
Numbers 13:3-4
Shamua mwana wa Zakuri
Haya ni majiina ya wanaume
Numbers 13:5-8
Shafati ... Hori ... Yefune ... Igali ... Yusufu ... Nuni
Haya ni majina ya wanaume
Numbers 13:9-12
Paliti ... Rafu ... Gadieli ... Sodi ... Gadi ... Susi ... Amieli ... Gemali
Haya ni majina ya wanaume
Kutoka kabila la Yusufu (Hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase)
Kutoka kwenye kabila la Mananse mwana wa Yusufu.
Numbers 13:13-16
Setu ... Mikaili ...Nabi ... Vofsi ... Geuli ... Machi
Haya yote ni majina ya wanaume
Hoshea mwana wa Nuni
Tazama 13:5
Numbers 13:17-20
Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje iko kama kambi au ni miji yeneye ngome?
"Mkaone kama nchi ni nzuri au mbaya. ni aina gani ya miji iliyoko huko, na kama miji hiyo ni kama kambi au imezungushiwa ngome za ulinzi"
Je, iko kama kambi au ni miji yenye ngome
Miji yenye ngome ilikuwa na kuta imara zinazozunguka ili kuwalinda na majeshi ya maadui. Kambi hazikuwa na kuta za namna hii.
Numbers 13:21-22
Sini ... Rehobi ... Zoani
Haya ni majina ya maeneo
jangwa la Sini
Neno "Sini" ni jina la Kihebrania lenye maana ya jangwa.
Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba kabla ya Zoani ya Misri
"Wakanaani walikuwa wameijenga Hebroni miaka 7 kabla ya kuijenga Zoani"
Ahimani ... Sheshai ... Talmai
Haya ni majinia ya koo zilizokuwa zimeitwa kufuata mababu zao.
Anaki
Hili ni jina la mwanamume
Numbers 13:23-24
Eshikoli
Hili ni jina la mahali
Na makundi mawili ya wapelelezi
"kati ya watu wawili wa makundi hayo"
Mhali pale paliitwa
"walipaita mahali pale"
Numbers 13:25-26
Baada ya siku arobaini
"Baada ya siku 40"
Wakaleta taarifa kwao
"wakaleta taarifa" au "wakaleta taarifa ya kile walichokiona"
Numbers 13:27-29
kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali
"kwa hakika ni nchi nzuri kwa ufugaji na kilimo cha mazao" au " kwa hakika ni nchi yenye rutuba"
maziwa
"mazao ya yatokanayo na wanyama"
asali
"chakula kitokanacho na mazao"
Numbers 13:30-31
Kalebu
Kalebu alikuwa mmoja wa wapelelzi kumi na mbili ambao Musa aliwatumakuipelelza Kanaani.
tia moyo ... kutia moyo
Neno tia moyo au kutia moyo ni maneno ya kuwafariji na kuwahamasisha waendelee kufanya jambo fulani kwa ujasiri.
Numbers 13:32-33
wakasambaza taarifa ... waksema
Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha wale wanaume walioipelelza nchi isipokuwa Kalebu na Joshua.
Ile nchi waliyoipeleleza
Neno "wa" linamaanishawanaume wote walioipeleleza nchi akiwemo Joshua na Kalebu
nchi inayowala watu wake
"ni nchi ya hatari sana" au ni nchi ambayo hao watu watatuua"
Anaki
Hili ni jina la mwanaume
tulionekana ... machoni pao
"katika maoni yetu"
tulionekana kama mapanzi machoni mwao
"tulikuwa wadogo kama mapanzi ukitulinganisha nao"
Numbers 14
Numbers 14:1-3
Kwa nini BWANA alituleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga?
"BWANA asingetuleta kwenye nchi hii ili tufe kwa upanga"
tufe kwa upanga
"tufe pale watu watakapotuvamia kwa upanga"
Je, si bora kwetu kurudi Misri?
Ingekuwa heri kwetu turudi Misri kuliko kujaribu kuwapiga Wakanaani"
Numbers 14:4-5
Wakasemezana wao kwa wao
Hii in amaanisha watu wa Israeli
kifudifudi
"wakalal kifudifudi ili kuonyesha unyenyekevu kwa Mungu" au "walilala kifudifudi ili kumwomba Mungu"
Numbers 14:6-8
Nuni .. Yefune
Haya ni majina ya wanaume
amabo walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wametumwa
Ambaowalikuwa miongonimwa wale ambao Musa alikuwa amewatuma
wakachana mavazi yao
kuchana mavazi ilikuwa ishara ya kuonyesha kuwa mtu huyo ametabika sana na anaomboleza
Ni nchi inayotiririka maziwa na asali
Tazama 13:27
Numbers 14:9-10
Sentensi unganishi
Joshua na Kalebu wanaendelea kuongea na watu
Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula
"Tutawatekeza kwa urahisi kama tuwezavyo kula chakula
Ulinzi wao utakuwa umeondolewa
"BWANA atawaondolea ulinzi wao"
Ulinzi wao
"Yeyote ambaye atajaribu kuwalinda"
Numbers 14:11-12
Watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kutoniamini mpaka lini? nijapokuwa nimefanya ishara kwa nguvu zangu kati yao?
"Watu hawa wamenidhrau kwa muda mrefu. Wameshindwa kuniamiini kwa muda mrefukati, japokuwa nimefanya ishara ... kati yao
kuwaondolea urithi
"kuwakataa akuwa siwatu wangu" Hii inawez akumaanisha kuwa atawaangamiza.
kutoka kwenye ukoo wako
Kiwakilishi "wako" kinamaanisha Musa.
Numbers 14:13-14
uso wako umeonekana
Yaweza kumaanisha 1)Musa anaoakijionyesha kwa watu wake kama vile Mungunggea habari za Mungu amewaruhusu kuuona uso wake. "wamekuona" 2) Musa anaongelea ukaribu wa uhusiano wake na Mungu kama vile Musa humwona Mungu pale Mungu anapoongea naye. "wewe huongea moja kwa moja na mimi."
Numbers 14:15-16
kama mtu mmoja
kuwaua wote kwa wakati mmoja inaonekana kama kumwua mtu mmoja. "wote kwa wakati mmoja"
Numbers 14:17-19
kwa vyovyote vile atafutilia hatia
"yeye ataadhibu kwa sababu ya hatia"
atakapoleta hukumu ya dhambi za mababu juu ya wazao wao
"atakapoadhibu uzao wa watu wenye hatia kwa sababu ya hatia ya dhambi ya watu"
Numbers 14:20-22
dunia yoe itakapojazwa na utukufu wangu
"utukufu wangu utaijaza duia yote"
bado wamenijaribu
"wameendelea kunijaribu"
mara kumi
namba kumi inaonyesha mara nyingi. "mara nyingi sana"
hawakuisikiliza sauti yangu
"hawakutii kile nilichosema"
Numbers 14:23-25
Sentensi unganishi
BWSANA anaendelea kuongea na Musa
kwa sababu alikuwa na roho nyingine
neno "roho" linawakilisha mtazamo. "kwasababu alikuwa tayari kumtii Mungu" au "kwa sababu alikuwa na mtazamo tofauti."
Numbers 14:26-27
Nitaivumilia jamii ya watu hawa waovu wanaoninung'unikia mpaka lini
"Nimeivumilia jamii ya watu hawa waovu wanaoninung'unikia kwa muda mrefu."
Nimeyasikia malalamiko ya wana wa Israeli dhidi yangu
"Nimewasikia wana awa Israeli wakilalamika
Numbers 14:28-30
kama vile mlivyosema katika masikio yangu
"kama nilivyowasikia mkisema"
Maiti zenu zitaanguka
"mtakufa"
ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa
"Ninyi ambao Musa aliwahesabu kwenye ile sensa"
kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea
"umri wa miaka ishirini na zaidi"
Numbers 14:31-33
maiti zenu zitaanguka
"mtakufa"
Watoto wenu watakuwa wachungaji kwenye jangwa hili
"watoto wenu watazungukazunguka kwenye jangwa hili" kwa sababu wachungaji huzungukazunguka wakitafuta malisho.
Lazima watabeba madhara ya matendo yenu
"Lazima wapate mateso kwa sababu ya matendo yenu"
mpaka mwisho wa maiti ya mwisho
"mpaka wote mtakapokufa"
Numbers 14:34-35
mtabeba madhara ya dhambi zenu
"mtapokea madhara ya dhambi zenu"
Wao watakatwa kabisa
"wote wataangamizwa"
Numbers 14:36-38
Kwa hiyo wale wanume ... waliomlalamikia Musa
Matukio y a yaliyo kwenye 14:36 yamepangwa ili kwamba maana ieleweke kwa urahisi zaidi.
walikufa kwa tauni mbele ya BWANA
"walikufa mbele ya BWANA kwa tauni ambayo aliileta"
Numbers 14:39-40
Tazama
"Tazama" neno hili linaongeza msisitizo
Numbers 14:41-43
Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA?
"Hampaswi kuwa mnapinga amri ya BWANA tena"
BWANA hayuko pamoja nayi
"BWANA hatawasaidia"
kuwalinda dhidi ya maadui zenu
"kuwalinda ili maadui zenu wasiwaangamize"
mtakufa kwa upnga.
"watawaua mtakapopigana nao"
mlimtega mgongo BWANA
"mliacha kumtii BWANA"
Hatakuwa pmoja nanyi
"hatawasaidia"
Numbers 14:44-45
walithubutu kukwea mlimani
"walithubutu kwenda mlimani hata kam ungu hakuwaruhusu"
mlimani
Sehemu kubwa ya nchi ya Israeli ni ya milima.Waisraeli walipovuka bonde Mto Yorodani ili kuivamia nchi ya Wakanaani, kulikuwa na milima ambayo walilazimika kuikwea ili waweze kwenda mbali zaidi ndani ya nchi ya Kanaani.
Numbers 15
Numbers 15:1-3
Taarifa kwa ujumla
Hesabu 15:1 -32 inaelezea kile ambacho Mungu alimwambia Musa awaambie wana wa Israeli
ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo
"kumfurahisha BWANA kwa kuteketeza sadaka ya ng'ombe au ya kondoo"
Numbers 15:4-5
sadaka ya kuteketezwa
Tazama 15:4
Sehemu ya kumi ya efa
"lita 2"
robo ya hini
"takribani lita moja" au "lita 1"
Numbers 15:6-7
sehemu za kumi mbili za efa
efa moja ni kipimo kilicho sawa na lita 22. "lita 4" au "lita nne na nusu"
sehemu ya kumi ya efa
"karibu lita 2" au "lita mbili"
itatoa harufu nzuri kwa BWANA
"Mtampendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo"
Numbers 15:8-10
sehemu za kumi tatu
"lita tatu na nusu"
nusu ya hini
"lita mbili"
ilyotengenezwa kwa moto.
"ambayo mliiwekwa kwenye moto"
Ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA
Kumpendezsha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo
Numbers 15:11-13
itafanyika hivi
"Lazima uifanye"
itafanyika kama ilivyoaanishwa
Lazma uifanye kama nilivyoainisha
iliyotengenezwa kwa moto
"ilitoteketezwa madhabhuni"
ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA
"kumpendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo"
Numbers 15:14-16
lazima atoe sadaka iliyotengenezwa kwa moto
"Lazima ateketeza sadka madhabahuni"
ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA
"Kumpendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo.
Ninyi mlivyo, ndivyo atakvyokuwa mgeni
maana yake yaweza kuwa 1) "Wewe na mgeni anayeishi na wewe mtakuwa sawa mbele ya BWANA" 2)"Sheria moja itakayotumika kw mgeni na kwako pia."
Atafanya kama mnavyofanya kwa BWANA
"atafanya kama mnavyofanya na kutii maagizo yote ya BWANA "
Numbers 15:17-19
chakula kitakachozalishwa katika nchi
"chakula kile ambcho nchi itazalishwa"
Numbers 15:20-21
mikate yenu ya kwanza
yaweza kumaanisha 1) mazao ya kwanza watakayokusanya wakati wa mavuno 2) Mikate ambayo itatengenezwa kutoka kwenye mavuno yao ya kwanza.
mkate
inapoitwa mkate mmoja ina maana kuwa walioka mkate kwanza
mtaiinua kwanza kama sadaka ya kuinuliwa
"kuiinua kama sadaka"
sadaka iloiyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka.
Sadaka hii inafanywa kuwa sadaka kutoka mahali pa kupuria nafaka kwa sababu hapo ndipo mahali ambapo nafaka hutenganishwa na sehemu zingine za mmea.
Numbers 15:22-24
Sentensi unganishi
Mungu anendelea kumwmbia Musa kitu cha kuwaambia watu.
Taarifa kwa ujumla
Neno "m" linawakilisha waisraeli
ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA
Kumpendezsha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo.
lazima itengenezwe sadaka ya unga nasadaka ya vinywaji
"lazima mtengeneze sadakaya unga na sadaka ya vinywaji"
kama ilivyoagizwa katika amri
"kama amri inavyoagiza"
Numbers 15:25-26
Watasamehewa
"Nitawasamehe"
iliyotengenezwa kwa moto
"ambayo waliitengeneza kwa moto"
Ndipo watu wte wa Israeli watasamehewa"
"Nitawasamehe jamii yote ya watu wa Israeli"
Numbers 15:27-29
mbuzi jike wa umri wa mwka mmoja
"mbuzi jike wa umri wa mwka 1"
Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika
"Nitamsamehe mtu yule baada ya kuhani kufanya upatanisho"
Numbers 15:30-31
Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake
Yaweza kumaanisha 1)" watu wake watamfukuza 2) "sitamtambua tena kuwa sehemu ya watu wa Israeli 3) "watu wake lazima watamwua."
amevunja amri yangu
"ameshindwa kutii amri yangu"
Dhambi yake itakuwa juu yake
Hapa "dhambi" inamaanisha 1) adhabu kwa ajili ya dhambi 2) hatia ya dhambi hiyo. dhambi kuwa juu yake ni sitisri inayomaanisha 1) kuadhibiwa 2) kuwa na hatia. kwa hiyo, Nitamwadhibu kwa sababu ya 1)dhambi zake au 2) Nitamwonw kuwa ni mwenye hatia.
Numbers 15:32-34
kwa sababu ilikuwa haijamriwa atakchotendewa
"BWANAalikua hajatamka cha kumfanya huyo mtu"
Numbers 15:35-36
Yule mwanamume lazima auawe
"kwa hakika lama mwue mtu huyo"
Numbers 15:37-39
wana wa Israeli
Israeli lilikuwa jina jingine la Yakobo. "watu wa Israeli"
na kuzishika
"kuzitii"
ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo yenu na macho yenu
"ili kwamba msije mkafikiria chochote manchokitaka"
na kuwa waasherati kwa hayo
"na kwa aibu mkashindwa kuw waaminifu kwangu"
Numbers 15:40-41
Sentensi unganishi
Mungu anaendeles kumwambia Musa vitu vya kuwawambia Waisraeli. Neno "fa" linawahusu Waisraeli.
kukumbuka
"kukumbuka
Mimi ndimi BWANA Mungu wenu
Kirai hiki kinajirudiaili kutoa msisitizo
Numbers 16
Numbers 16:1-3
Kohathi
Tazama 3:17
Wakamwinukia Musa
"walimpinga Musa"
mia mbili na hamsini
"250"
waliokuwa wakifahamika katika ile jamii
"watu wa muhimu katika ile jamii"
mnatumia mamlaka zaidi ya uwezo wenu
"Mmefanya zaidi ya kile manchotakiwa kufanya"
Kwa ini mnajiinua sana juu ya watu wengine wa BWANA?
"Mmekoswa kujiinua wenyewe juu ya watu wengine wa BWANA"
mnajiinua sana juu ya watu wengine
"mnajiona wenyewe kuwa wa mhimu kulikowengine"
Numbers 16:4-5
akalala kifudifudi
Hii inamanisha kuw Musa alikuwa akinyenyekeza kwa Mungu. Musa aliogopa kuwa Mungu angewaadhibu watu waliokuwa wanampingaMungu na viongozi wake aliokuwa amewachagua
aliyetengwa kwa ajili yake
"ambaye BWANA amemtenga kwa ajili yake"
Numbers 16:6-7
Sentensi unganishi
Musa anaendelea kuongea na Kora na wale wanaume waliokuwa na kora
vyetezo
vyombo vya kufukizia uvumba
mbele za BWANA
"katika uwepo wa BWANA"
yule ambye BWANA atamchagua atamtenga kwa BWANA
"BWANA atamenga mtu huyo kwa ajili yake"
Mmeenda mbele zaidi
"Mmefanya za"idi ya kile mnachotakiwa kufanya" au "Mmechukua mamlaka zaidi ya kiasi mnachotakiwa
Numbers 16:8-11
Je, ni jambo dogo kwenu... ili muwatumikie
"mnaishi kana kwamba ni jambo dogo kwenu ... kuwatumikia"
ni jambo dogo kwenu
"haitoshi kwenu" au "siyo mhimu kwenu"
mnataka na ukuhani pia
"mnataka na huduma ya ukuhani pia" au "mnataka kuwa makuhani pia"
kwa nini mnalalamika juu ya Haruni, ambaye anamtii BWANA?
"Kiuhalisia hamumlalamikii Haruuni, bali BWANA, ambaye Haruni anamtii"
Numbers 16:12-14
Kwani ni jambodogo kwamba umetuleta mpaka ... ili kutuua kwenye jangwa
"mnadhani ni jambo dogo kwamba umetuleta ... ili kutuua katika jangwa hili."
ni jambo dogo
"haitoshi" au "isiyo na umhimu"
nchi ya kutiririka maziwa na asali
tazama 14:6
kutupa urithi
Inahusisha kile ambacho Mungu atawapa kuwa mali yao milele kama urithi wao
Sasa unataka kutuposha na ahadi hewa?
"Sasa unataka kutuposha na ahadi hewa."
kutupofusha
"kutudanganya"
kwa ahadi hewa
"kwa ahadi ambazo huwezi kuzitimiza"
Numbers 16:15-17
Sijachukua punda mmoja kutoka kwao
"Sijachukua chochote kutoka kwao, wala hata punda mmoja"
vyetezo
vyombo vya kufukizi uvumba
Numbers 16:18-19
moto
moto ni joto, mwanga, miali ambayo hutokea wakati kitu fulani kinapochomwa. Moto pia hutumika kwa maana ya utakaso au hukumu.
hema ya kukutania
Hii ni hema ambayo ya mud ambayo Mungu aliitumia kukutana na Musa kabla ya kujengwa ile masikani. Hema ya kukutania iliwekwa nje ya kambi. Wakati mwiingine neno "hema ya kukutania" ilitumika kumaanisha masikani. Baada ya Waisraeli kujenga masikani; ile hema ya kukutania haikuwepo tena.
Musa
Huyu alikuwa nabii na kiongozi wa Waisraeli kwa muda wa miaka 40
Haruni
Huyu alikuwa kaka mkubwa wa Musa. Mungu alimchagua Haruni kuwa kuhani mkuu wa kwanza wa watu wa Israeli
Kora
Kora ni jina la wanaume watatu katika Agano la kale. Wa kwanza ni yule mwana wa Esau ambaye baadaye alikuja kuwa kiongoziwa watu wake. Wa pili ni yule aliyekuwa wa uzao wa Lawi ambaye pia alitumika kwenye masikani kuhani na baadaye kumwonea wivu Musa naHaruni na alikuwa nakundi la wanaume waliowapinga. Wa tatu ni yule alyeorodheshwa kama kwenye ukoo wa Yuda.
BWANA (YAHWEH)
BWANA ni jina binafsi la Mungu ambalo alilifunua wakati aliapoongea na Musa kwenye kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto. Neno hili YAHWEH linatokana na neno linalomaanisha "kuwepo" au "kuishi." Maana halisiy aweza kuwa "Yeye ndiye" au "Mimi ndiye" au "Yeye anyewezesha kuwepo."
utukufu
Neno "utukufu" linamanisha heshima, fahari, na ukuu uliotukuka. Wakati mwingine utukufu humaanisha kitu chenye thamani kubwa na cha muhimu. na Kwa mukhutadha mwingine inaweza kumaanisha mng'ao au hukumu.
Numbers 16:20-22
ili nipate kuwaangamiza
"ili niweze kuwatekeketeza"
wakalala kifudifudi
Hii inaonyesha kuwa Musa na Harunu walikuwa wnajinyenyekeza
Mungu wa wote wenye mwili
"Mungu anayewpa watu uhai"
kama mtu akitenda dhambi, ni lazima uwe na hasira na watu wote?
"tafadhali usiwe na hasira na watu wote kwa sababu ya dhambi ya mtu mmoja."
Numbers 16:23-24
hema
Hema ni kibanda kinachobebeka amacho kimetengenezwa kwa nyuzi zilizosukwa na zinazowezwa kuunganishwa na nguzo ndogo ndogo pamoja. hema zinaweza kuwa ndogo ndogo au kubwa kubwa.
Numbers 16:25-27
mtaangamizwa
"mtateketezwa"
mtataanganizwa na dhambi zao
"mtateketezwa kwa sababu ya dhamabi zao zote"
mtataanganizwa na dhambi zao
"mtateketezwa kwa sababu ya dhamabi zao zote"
Numbers 16:28-30
ndipo mtakapojua
"ndipo" inamaanisha kile ambcho Musa atakisema baadaye
ambye huwameza kama mdomo mkubwa
"na wataangui ndani yake na kufunikwa ndani yake"
Numbers 16:31-32
Dunia ikafungua makanwa yake na kuwameza
"Dunia ikafungua makanwa yake naowkaangukia ndani yake na kuwafunika"
Numbers 16:33-35
wakaingia ndani shimoni wakiwa hai
tazama 16:28
wakashangaa
kiwakilishi "wa" kinawakilishsa Waisraeli"
Nchi isije kutumeza na sisi pia
"Nchi inaweza kufunguka na sisi pia tukaangukia ndani yake na kufunikwa" au "Nchi ikifunguka tena na sisi tutangukia ndani yake tukaangukia ndani yake"
Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250
"Moto ukawaka kutoka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250"
Numbers 16:36-38
kutoka ule moto
Hii inamaanisha ule moto uliowaangamiza wale wanaume 250
wale waliopoteza maisha
"wale waliokufa"
Na vifanyike
"Na Eliezeri atavifanya"
ni vitakatifu. Vitakuwa ishara
"vi" na "vi" inamaanishsa vile vyetezo
Numbers 16:39-40
vilikuwa vimetumiwa na wale watu walioungua
"vile ambavyo wale wanaume walioungua kwa moto walikuwa wamevitumia."
ili wasje kuwa kama Kora na kundi lake
"wakafa kama Kora na kundi lake walivyokufa"
Numbers 16:41-43
Kisha ikatokea
Kirai hiki kimetumika hapa kuonyesha tukiola muhimu sana katika simulizi hili.
walipokuwa wamekusanyika kinyume na Musa.
"walikuwa wamekusanyika ili kumnung'unikia Musa na Haruni"
tazama
"ghafla." Neno hili limetumika ili kuonyesha kuwa watu walishangazwa na kile walichokiona.
Numbers 16:44-46
ili niwaangamize
"ili kwamba niweze kuwaangamkiza"
wakalala chini kifudifudi
Hii inaonyesha kuwa Musa na haruni walijinyenyekeza mbela za Mungu.
hasira hii inatoka kwa BWANA
"BWANA antuonyesha hasira zake"
Numbers 16:47-48
akaweka ndani yake uvumba
"akachoma uvumba"
ile tauni ikazuiwa
"ile tauni ikazuiawa kuenea"
Numbers 16:49-50
Kora
Tazama 16:19
Hema ya kukutania
Tazama 16:18
Numbers 17
Numbers 17:1-2
kumbi na mbili
"12"
Numbers 17:3-5
Sentensi unganishi
BWANA anaendelea kuongea na Musa
Fimbo ya Lawi
"Jina la Lawi hapa linamanisha kabila ya Lawi
kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zao
kiwakilishi "zao" kinamaanisha "kwa kila kiongozi"
amri za agano
Kirai cha "amri za agano" inamaanisha "sanduku la amri za agano" au "sanduku la amri za agano"
fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua
"machipukizi yataanza kukua katika fimbo ya mtu yule nitakayemchagua"
Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao ambao wanaongea kinyume na wewe
"nitawafanya watu wa Israeli waache kulalamika dhidi na yako"
Numbers 17:6-7
aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila
"ambaye Musa alimchagua kutoka kwenye kabila la mababu"
katika hema ya amri ya agano
"hama ya sanduku la agano"
Numbers 17:8-9
na tazama
Neno "tazama" linaonyesha kuwa kuna kitu cha muhimu kimetokea.
Numbers 17:10-11
amri za agano
"sanduku la agano"
ili ukomeshe malalamiko
"ili kwamba uwazuie kukulalamikia"
vinginevyo watakufa
"ili wasijekufa"
Numbers 17:12-13
tutakufa hapa. Wote tutaangamia
Virai vyote viwili vinvamaanisha kitu kile kile na vimetumika ili kuonyesha msisitizo.
Numbers 18
Numbers 18:1-2
dhambi zote zilizotendwa mahali patakatifu
"dhambi zote ambazo mtu amezifanya dhidi ya mahali patakatifu"
kwa uovu wowote uliofanywa na yeyote mahali patakatifu
"dhambi zote ambazo mtu huzifanya akiwa mahali patakatifu"
yeyote mahali patakatifu
"kuhani yeyote"
Numbers 18:3-5
Sentensi unganishi
BWANA anaendelea kuongea na Haruni.
Watakutumikia ... Wataungana na wewe
kiwakailiashi "wa" kinamaanisha Walawi. Na kiwakilishi "wewe" kinamwakilisha Haruni.
vinginevyo wewe na wao mtakufa
kiwakilish "wao kinamaanisha mtu yeyote katika kabilla Walawi anayesogelea kitu chochote mahali patakatifu. Kiwakailishi "wewe" kinamaanisha"Haruni" na Walawia wengine wanaotumika katika maeneo yaliyoidhinishwa.
asikusogelee. Wewe utaajibika.
kiwakilishi cha "wewe" ni cha wingi kinachomwakilisha Haruni na walawi wengine.
ili kwamba hasira yangu isiwajilie watuwa Israeli tena.
"ili kwamba nisije nikwaadhibu Waisraeli tena."
Numbers 18:6-7
Sentensi unganishi
BWANA anaendelea kuongea na Musa tena
Wao ni zawadi kwako
"Wao ni kama zawadi kwako.
waliotolewa kwangu
Neno "waliotolewa" kwa Mungu inamaanisha waliotengwa ili wamtumikie Mungu. "Ambao nimewatenga kwa ajili yangu"
wewe pekee yako na wanao
Kiwakilishi "wewe" na "yako" vinamaanisha Haruni na wanawe
kufanya kazi ya ukuhani
"kufanya kazi ya ukuhani"
kitu chchote ndani ya ukuhani
"kitu chochote chumbani nyuma ya lile pazia"
Mgeni yeyote anayekaribia atauawa
"Mgeni yeyote anayekaribia atakufa" au "mtamwua kila mgani anayekaribia"
anayekaribia
"anayekaribia maeneo matakatifu"
Numbers 18:8-9
Sadaka za kuinuliwa kwangu
Kirai cha "Kuinuliwa kawngu" knamaaisha kutoa kitu kwa Mungu. "Sadaka ambazo watu hutoa kwangu"
Nimekupa sadaka hizi wewe
"Nimeshazitoa sadaka hizi kwako"
kuwa haki yako milele
"kuwa sehsmu ya urithi ambayo utaendelea kupata"
visiteketezwe kwa moto
"amabvyo havitateketezwa kabisa kwa moto madhabahuni"
ni vitu vitakatifu sana
"vitu hivi ni vitskstifu sana"
Numbers 18:10-11
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kuongea na Haruni.
ambaye ni msafi
"anayekubalika kwangu"
Numbers 18:12-13
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kuongea na Haruni
Mavuno ya kwanza
Hii inamaanisha mafuta yale mazuri ya kwanza
Kila mtu aliyemzuri kwenye familia yako
"Kila mtu kwenye familia yako anayekubalika kwangu"
Numbers 18:14-16
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kuongea na Haruni
Kila kitu kinachofungua tumbo, kila limbuko
"kila mzaliwa wa kwanza wa kiume"
Kila kitu kinachofungua tumbo
Nahau hii ya "kufungua tumbo" mzaliwa wa kwanza wa kiume ambaye mama huzaa"
watu lazima wawakomboe wazaliwa wa kwanza wa kiume
Badala ya kutoa sadaka wazaliwa wao wa kwanza, watu walitakiwa kuwalipa makuhani kwa ajili ya wana wao.
Wale ambao wanahitaji kukombolewa na watu watakombolewa wakiwa na umri wa mwezi mmoja
"watu watawakomboa wakiwa na umri wa mwezi mmoja."
Wale wanaohitaji kukombolewa
Hii inamaanisha watu ambao wanatakiwa kukombolewa na wala si wale wanyama ambao ni wazaliwa wa kwanza wasiosafi
shekeli tano .... ambazo ni sawa na gera ishirini
""vipande vitano vya fedha ... ambvyo kila kimoja ni sawa na gramu ishirini za fedha" au "gramu hamsini za fedha kwa kipimo cha mahali patakatifu"
shekeli tano
Shekeli moja ni kipimo cha uzani. "shekeli tano za fedha"
shekeli za mahali patakatifu
Hizi ni shekeli zenye uzani tofauti. Ni kipimo ambacho kilitumikaa kwa mahali patakatifu hemani. Uzani wake ulikuwa gera ishirini sawa na gramu 11.
Numbers 18:17-18
Sentensi unganishi
Mungu an endelea kuongea na Haruni
Utanyunyizia damu yake
"mtawachinja na kunyunyizia damu yake"
sadaka ya moto
"ambayo imetengenezwa kwa moto"
harufu nzuri ya kumpendeza BWANA
"BWANA atapendezwa nanyi"
kidali cha kuinuliwa na paja la kulia
"kidali na paja la kulia ambalo utaliinua kama sadaka kwangu"
Numbers 18:19-20
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kuongea na Haruni
nimekupa wewe
"Ninakupatia wewe"
Kama gawio la kudumu
"Kama sehemu ambayo mtaendelea kupata"
Hili ni agano la milele la chumvi. Agano linalofunga milele
"mapatano aya milele"
agano la milele la chumvi
"agano lililotengenezwa kwa chumvi." Chumvi inawakilisha kitu cha kudumu na ilitumika kwa ajili ya sadaka kwenye chakula cha maagano. "agano la kudumu" au " agano la milele"
wala hautakuwa na gawio miongoni mwa watu
"Hautamilikishwa ardhi ya watu" au " au hauatapokea chochotekatika ardhi ambayo Waisraeli wataimiliki"
Mimi ndio gawio lenu na urithi wenu
"Badala yake Mimi ndio nitakuwa kile matakachohitaji" au " Badala yake, Mimi nitawaruhusu kunitumikia na nitatoa kwa ajili yenu kupitia huduma hiyo"
Numbers 18:21-22
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kuongea na Haruni
Tazama, Nimewapatia
"Neno "tazama" linaongeza msisitzo wa kile kinachofuata. "kwa hakika, Nimwewapeni"
kuwa urithi wao
"kama sehemu ay kile ninachowapatia Waisreali wote"
Numbers 18:23-24
Sentensi unganishi
Muungu anaendelea kuongea na Haruni
Na miongoni mwa watu wa Israeli hawa hawatakuwa na urithi.
"Hawatakuwa na ardhi yeyote ambayo watu wengine wa Israeli watapewa"
kuwa urithi wao
"kama sehemu ambayo ninawapa Waisraeli wote"
Numbers 18:25-27
Mnapopokea zaka tokakwa watu ambayo BWANA amewapa
Watu wa Israeli walikuwa wakimtolea BWANA ehehemu ya kumi ya mazao na ya wanyama, na BWANA aliwapatia hiyo Walawi
kuwa urithi
"kama seheelimu ya kile ninachowapita Waisraeli wote"
Zakayenu itahesabika kama moja ya mapato
"mkumbuke kutoa"
Numbers 18:28-29
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kumwambia Musa kile anachopaswa kuwaambia watu
mtatoa mchango wenu kwa Haruni yule kuhani
"mtampa Haruni yule kuhani mchango ambao BWANA anawadai"
ambavyo mmepewa
"vile ambvyo watu wa Israeli wamewapeni"
Numbers 18:30-32
Sentensi unganishi
Mungu anaendelea kuongea na Musa
hayo matoleo mazuri
"hayo matoleo m azuri ambayo mmepokea toka kwa watu wa Israeli"
nafaka zote zinazobaki
"nafaka" haya nimatoleo ambayo watu wa Israeli humpa Mungu na Walawi huzipokea.
Hamtakuwa na hatia yeyote kwa kuvila na kuvinywa
"hamtakuwa na hatia pale mtakapovila na kuvinywa"
Numbers 19
Numbers 19:1-2
ni amri, ni sheria
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. "Ni amri za kimahakama"
wakuletee
Neno "wa" inamlenga Musa
kipaku wala waa
maneno haya yana maana ileile, yametumikaa pamoja kuongeza msisitizo kuwa mnyama huyu anatakiwa kutokuwa na dosari yeyote"
Numbers 19:3-6
mbele ya macho yake
"akiwa anaona" au "mbele yake"
yule kuhani atachukua mtia wa mwerezi
kuhania anayesemwa hapa ni Eliezeri
sufu
"sufu nyekundu"
Numbers 19:7-8
atafua nguo zake
"neno "a" linamwakilisha Eliezeri yule kuhani
Naye atabaki najisi
Hatakubalika kwa Mungu asiyefaa kufanya kazi yeyote. Mtu wa jinsi hii ni najisi.
Numbers 19:9-10
mtu aliyesafi
Mtu aliyesafi na anayeweza kufanya takatifu alihesabiwa kuwa ni msafi.
Majivu haya yatatunzwa
"Mtatayatunza haya majivu"
kwenye eneo safi
Kukubalika kwa kunamaanisha kuwa msafi. "Eneo linalokubalika"
atabaki najisi
Kutokukubalika kwa Mungukulionyesha kutoruhusiwa kufanyakazi yeyote takatifu. Ni ile hali ya kutokuwa msafi.
Numbers 19:11-13
Taarifa kwa ujumla
wazo la "usafi" na "Utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu
Taarifa kwa ujummla
wazo la "unajisi" na "uchafu," "kutokuwa msafi"linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu.
maiti
"mwiliya mtu aliyekufa"
lakini kama hajajitakasa
"aomba mtu wa kumtakasa"
lakini kama hajajitasa mwenyewe katika siku ya tatu, basi hatakuwa safi katika siku ya saba
"atakuwa safi siku ya saba tu iwapo kama atajitakasa siku ya tatu"
mtu huyo ataondolewa
tazama 9:13
maji ya farakano yalikuwa hayajanyunyiziwa kwake
"hakuna alimnyunyizia maji ya farakano"
Atabaki najisi; na unajisi wake utabaki kwake
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kwa pamoja kuonesha msisitizo
Numbers 19:14-16
Taarfa kwa ujumla
Lile wazo la "unajisi" linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayri kwa matumizi.
Kila chombo ambacho hakiina kifuniko kinanjisika
"vyombo amabvyo havina vifuniko vitabaki kuwa najisi kama havina vifuniko"
mtu aliyeuawa kwa upanga
"mtu ambaye aliuawa kwa upanga na mtu mwingine"
Numbers 19:17-19
Taarifa kwa ujumla
Lile wazo la "unajisi ni ile hali ya kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayari kwa matumizi
Taarifa kwa ujumla
Lile wazo la "usafi" na "utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu
Numbers 19:20-22
Taarfa kwa ujumla
Lile wazo la "unajisi ni ile hali ya kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayari kwa matumizi
Taarifa kwa ujumla
Lile wazo la "usafi" na "utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu
Huyi mtu ataondolewa
Tazama 9:13
Hajanyunyiziwa maji ya utakaso
"hakuna alimnyunyizia maji ya utakaso"
maji ya ufarakano
Tazama 19"11
Numbers 20
Numbers 20:1
Jangwa la Sini
Neno "Sini" ni neno la Kihebrania la jangwa.
mwezi wa kwanza
Huu ni mwezi wa kwanza wa Kalenda ya Kihebrania. unaoanza wakati Mungu aliwakomboa kutoka kwa Wamisri. Mwezi huu ulikuwa kati ya mwezi Machi na mweziwa Aprili katika Kalenda yetu ya Kimagharibi
alipozikwa
"na wakamzika"
Numbers 20:2-3
wakakusanyika
"kiwakilishi "wa"kinamaanisha watu wote
wakakusanyika pamoja
"walikuja pamoja kama kundi"
mbele ya BWANA
Hii inamaanisha kuwa mbele ya hema ya BWANA
Numbers 20:4-5
Sentensi unganishi
Watu wa Israeli wanaendelea kulalamika mbele ya Musa na Haruni
Kwaa nini umewaleta watuwa BWANA ... sisi na wanayama wetu?
"ni bora kama watu wa BWANA katika jangwahili ili kufa,hapa, sisi na wanyama wetu."
Kwa nini ulitutoa Misri ukatuleta katika eneo hili baya?
"Ni bora kama usingetutoa Misrina kutuleta katiaka eneo hili baya."
Numbers 20:6
wakalala kifufudifudi
Hii inaonesha kuwa Musa na Haruni walikuwa wakijinyenyekeza kwa BWANA.
Numbers 20:7-9
mbele ya macho yao
kiwakilishi cha "yao" kinaonesha watu waliona kile ambacho Musa alifanya. "wakati wakiona"
akachukua hiyo fimbo mbele ya BWANA
"mbele ya hema ya BWANA"
Numbers 20:10-11
Lazima tuwape amaji kutoka kwenye huu mwamba?
"Hamkufurahi ingawa tuliufanya mwamba huu kutoa maji, hata hivyo nitafanya"
Lazima tulete
"Kiwakilishi "tu" kinamwakilisha Musa na Haruni na kiaweza kumjumuisha BWANA, hakijumuishi wale watu wengine.
Numbers 20:12-13
Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya macho ya Israeli
"Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya macho ya Israeli kama mtakatifu, lakini niliumpiga ule mwamba badala ya kuuambia kama nilivyoawaambia"
mbele ya watu wa Israeli
"wakati watu wa Israeli wakikutazama wewe"
Mahali hapa paliitwa
"watu walipaita mahali hapa"
Numbers 20:14-16
Ndugu yako Israeli
Musa anatumia Kiraihiki ili kusisitiza kuwa Waisraeli na Waedomu walikuwa na uhusiano kwa sababu mababu zao Yakobo na Esau walikuwa ndugu.
Tulipomlilia BWANA
"Tulipomwomba BWANA atusaidie"
akatusikia sauti zetu
Neno "sauti" linawakilisha kilio au kile ambacho watu walimwambia. "alisikia kilio chetu" au "alitusikia kile tulichomwomba"
Tazam
Neno "Tazama" hapa linamaanisha kubadilisha mada. Walikuwa wanaongelea mambo yao ya nyuma na sasa wanaongelea mambo yao ya sasa ili wakati wanajiandaa kumwomba mfalme ili afanye kitu.
Numbers 20:17
Sentensi unganishi
Wale watumishi wanaendelea kuongea na mfalme wa Edomu
Hatutageuka upande wa kulia wala wa kushoto
Neno "kugeuka" linamaanisha kuiacha barabara, "Hatutaiacha barabara kwa uelekeo wowote"
nia kuu ya mfalme
Hii ni barabara kuu inayounganisha mpaka Dameski hadi Kaskazini kwenye ghuba ya Akabahi.
Numbers 20:18-19
Msipite hapa ... nitakuja na upanga na kukuvamia
"watu wako wasipite hapa ... kuwavamia"
Nitakuja na upanga
"Nitatuma jeshi langu"
Watu wa Israeli
Hii inamaanishsa wale watu wa Israeli waliokuwa wametumwa
tukitembea kwa miguu
Inamaanisha kuwa watapita kwenye hilo eneo wakitembea.
Numbers 20:20-21
kwa hiyo mfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana.
"mfalme wa Edomu akatuma jeshi kubwalenye askari wengi ili kuwavamia Waisraeli"
kupita kwenye mipaka yake
Neno "yake" linamaanisha Waedomu
Numbers 20:22-24
Wana wa Israeli, watu wote
Kirai cha "watu wote" kinasisitiza kuwa kia mtu aliyekuwa sehemu ya Waisraeli alikuwepo bila kuwa na udhuru
Haruni kukusanyika na watu wake
Hii ni tafsida ya kusema kuwa Haruni atakufa. Ni wakati wa Haruni kufa na roho yakae kwenda mahali walipo mababu zake. "Haruni atakufa"
hamkutii sauti yangu
"sauti yangu" inamaanisha kile ambacho Mungu alikuwa amesema," Mlikataa kufanya nilichokuwa nimeema"
Numbers 20:25-26
Sentensi unganishi
Muungu anaendelea kuongea na Musa
atakufa na kulazwa pamoja na watu wake
Ni wakati wa Haruni kufa na roho yake kwenda walipo mababu zake
Numbers 20:27-29
siku thelathini
"siku 30"
Numbers 21
Numbers 21:1-3
akapigana dhidi ya Israeli
"Majeshi yake yakapigana dhidi ya Waisraeli"
Israeli akaapa
"watu wa Israeli wakaapa" au "Waisraeli wakafanya kiapo"
BWANA akaisikia sauti ya Israeli
"alifanya kile Israeli alichoomba"
sauti ya Israeli
ambacho Israeli aliomba
Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao
"Watuwa Israeli wakaliangamiza kabisa jeshi la Wakanaani na miji yao"
Mahali pale paliitwa Horima
"Wakapaita mahali pale Horima"
Numbers 21:4-5
Kwa nini umetutoa Misri ili tufe katika jangwa hili?
"Usitutoe Misri ili tuje kufa katika jangwa hili"
Numbers 21:6-7
Tumemnung'unikia Musa na wewe
"Tumesema mabo mabya juu ya BWANA na wewe"
Tu
Kiwakilishi "tu" kinawakilisha watu wa Israeli bila kumjumuisha BWANA na Musa.
Numbers 21:8-9
Tengeneza nyoka
"Tengeneza mfano wa nyoka"
kila anayeumwa
"kila amabaye ataumwa na nyoka
nyoka wa shaba
"nyoka anayetokana na shaba"
na kumwanagalia huyo nyoka atapona
kiwakilishi "a" kinmwakilisha mtu yeyote aliyeumwa na nyoka.
Numbers 21:10-11
linalokabili Moabu
"ambalo linafuatia Moabu"
Numbers 21:12-13
ndio unaotengeneza mpaka wa Moabu na Amoni
Hii inamaanisha kuwa hawa watuwaliishi katika maeneo mwaili tofauti katika ule mto, amabayo mto ulikuwa mpaka wao.Wamoabu walishi kusini mwa mto na Waamori walishi upande ule wa Kusini.
Numbers 21:14-15
Wahebu katika Sufa
haya ni majina mawili ya mahali pale
mtelemko wa bonde linaloelekea katika mji wa Ari na kuelekea kwenye mpaka wa Moabu
"mtelemko unaoelekea kwenye mji wa Ari na mpaka wa nchi ya Moabu
Numbers 21:16
mpaka Beeri, hapo ndipo palipo na kisima ambacho
"mpaka Beeri. Hapo palikuwa na kisima"
ambacho BWANA almwambia Musa, "Wakusanye watu kwa ajili yangu ili uwape maji,"
"mahali ambapo BWANA alimwambia Musa kuwakusanya watu pamoja ili awape maji"
Numbers 21:17-18
enyi visima, yajazeni maji
"enyi maji, vijazeni visima"
Kisima ambacho viongozi wetu walichimba, kisima ambacho wenye hekima walichimba
Virai hivi viwili vivnamaanisha kitu kile kile, vimetumika kusisitiza wajibu wa viongozi kwa jukumu la kuchimba visima.
kwa fimbo ya kifalme na kwa fimbo ya kutembelea
"wakitumia hata fimbo zao za kifalme na za kutembelea"
Numbers 21:19-20
Nathalieli ... Bamothi
Haya ni majina ya maeneo
Mlima Piska
Hili ni jina la Mlima
kinapoonekana jangwani
"kinatokezea kutoka jangwani"
Numbers 21:21-23
Kisha Israeli
"Israeli" inamaanisha watu wa Israeli, hasa viongozi wao. "kisha Waisraeli"
Hatutapita kwenye shamba lolote au shamba la mizabibu
"Hatutaingia kwenye shamba lenu lolote au shamba la mizabibu"
njia kuu ya mfalme
Tazama 20:17
kupita kwenye mpaka wao
"kuvuka mpaka wao." Neno "wao" linamaanisha Waamori
Jahazi
Hili ni jina la mahali
alipigana dhidi ya Israeli
kiwakilishi "a" kina mwakilisha jeshi la Mfalme Sihoni, "jeshi lake lilipigana dhidi ya Israeli"
Numbers 21:24-26
Israeli akalivamia
Neno "Israeli" linamaanisha Waisraeli. "Waisraeli wakawavamia"
kwa nchaya uoanga
"na wakawaangamiza kabisa"
na kuchukua nci yao
"wakaitwaa nchi ya Waamori"
Watu wa Amoni ... Waamori
"Waamoni ... Waamori" au "watu wa Amoni ... watu wa Amori" majiina haya yanafanana lakinai yanamaanisha watu wa makundi mawili tofauti.
ulikuwa umefungwa
"ulikuwa na ulinzi imara"
Heshiboni na vijiji vyake vyote
"Hshiboni na vijiji jirani alivyovitawala"
Sihoni alikuwa ameteka ardhi yake yote
Neno "yake" linawakilisha mfalme wa Moabu.
Numbers 21:27-28
Heshiboni ... mji wa Sihoni
Haya ni majiina mawili yanayomaanisha mji uleule
Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena
"Mtu aujenge mji wa Sihoni na kuimarisha tena mji wa Sihoni"
Moto uliwaka toka mji wa Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni
"Mfalme Sihoni alikuwa na jeshi imara kutoka mji wa Heshiboni"
Uliteketeza Ari ya Moabu
"uliharibu mji wa Ari katika nchi ya Moabu"
Numbers 21:29-30
Moabu ... watu wa Chemoshi
Virai hivi vinamaanisha watu walewale
Watu wa Chemoshi
"Chemoshi" lilikuwa jina la mungu wa Uogo amabye aliabudiwa na Wamoabu. "watu waliomwabudu Chemoshi"
Amewafanya watu wake
kiwakilishi "a" na "wake" kinamaanisha Chemoshi
tumewapiga
kiwakilishi "tu" kinawawakilisha Waisraeli waliompiga Sihoni
Tumeiangamiza Heshiboni
"Tumeiangamiza Heshiboni"
Heshiboni ...mpaka Diboni. Mpaka Nofa ... Madeba
Maeneo yote haya yako kwenye ufalme wa Sihoni. Hii inamaanisha kuwa Waisraeli waliuangamiza utawala wote wa Sihoni.
Numbers 21:31-32
kuwafukuza
"waliwaondosha"
Numbers 21:33-35
akatofautiana nao
"aliwavamia"
Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni
"Mwangamizeni kama mlivyomwagamiza Sihoni mfalme wa Waamori"
Kwa wakamwua
"Kwa hyo jeshi la Israeli likamwua Ogu"
wote wakaisha na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai
"watu wake wote waliuawa"
wakaichukua nchi yake
"wakaitawala nchi yake"
Numbers 22
Numbers 22:1
kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule
Waisraeli walikuwa wameweka kambi uoande wa Mashariki wa mtoYorodani. Yeriko ilikuwa magaharibi mwa mto
Numbers 22:2-4
Baalaki mwana wa Zippori
Balaki alikuwa mfalme wa Moabu
Moabu aliwaogopa sana hao watu ... Moabu aliwahofia wana wa Israeli
Virai vyote viwili vinamaanisha kitu kilekile na vimetumika kuonesha jinsi Moabu alivyokuwa amaeogopa
Moabu aliogopa sana
"Wamoabu wote walikuwa wameogopa sana"
Kwa sababu walikuwa wengi sana
"Kwa sabau ya wingi wao"
Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani
Wamobau na Wamidiani walikuwa watu wa makundi mawili tofauti, lakini Wamidiani walikuwa wanishi kwenye nchi ya Moabu wakati ule.
Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho kama vile maksai walavyo nyasi za kondoni
Jinsi Waisraeli watavyowaangamiza maadui zao kumeongolewa kama vile makaisai wanavyokula nyasi za kondeni
Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu
Huu ndio wasifu wa Balaki katika habari hii
Numbers 22:5-6
Akatuma wajumbe
"Balaki akatuma wajumbe"
Beori
Hili ni jina la baba wa Balaam.
Pethori
Hili ni jina la mji
katika nchi ya taifa lake na watu wake
"wa taifa la Balaam na watu wake"
Akamwita
"Balaki akamwita Balaam."
Wanafunika uso wa dunia
"walikuwa wengi sana"
uso wa dunia
Hii inamaanisha sehemu ya juu ya dunia
kuwafukuza
"kuwaondosha"
Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa
"Najua unazo nguvu za kubariki na kulaani watu"
Numbers 22:7-8
malipo ya uganga
"Pesa ya kumlipa Balaamu ili awalaani Waisraeli"
Wakafiaka kwa Blaamu
"Walienda kwa Balaamu"
Wakamwambia maneno ya Balaki
"maneno" inamaanishaujumbe wa Balaki. "Wakamwambia ujumbe toka kwa Balaki"
nitawaletea
"Nitawaambia"
Numbers 22:9-11
Mungu akaja kwa Balaamu
"Mungu akaonenkana kwa Balaamu"
Ni akina nani hawa waliokuja kwako?
"Niambie juu ya watu hawa waliokuja kwako"
Tazama hawa watu ... kuwafukuza.
Tazama 22:5
Kuwafukuza
"kuwaondosha"
Numbers 22:12-14
kwa sababu wamwbarikiwa
"Kwa sababu Nimewabariki"
Numbers 22:15-17
Wakaja kwa Balaamu
"Walienda kwa Balaamu"
watu hawa
"kundi hili la watu"
Numbers 22:18-20
Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha
Balaamu anasisitiza kuwa hakuna kitakachomfanya avunje utii wake kwa BWANA
sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA... na kufanya pungufuau zaidi ya kile anachoniambia.
Inamaanishsa kuwa Balaamu hataacha kumtii BWANA kwa namna yeyote.
Numbers 22:21-23
akatandika punda wake
akamwanadaa punda wake tayari kwa safari
hasira za Mungu zikawaka
"Munga akajawa na hasira"
kama adui wa Balaamu
"ili aweze kumzuia Balaamu"
akiwa na upanga mkononi
"akiwa na upanga tayari kwa kushambulia
yule punda akageuka na kwenda shambani
"Yule punda alifanya hivi ili kumwepuka malaika wa BWANA"
ili arudi barabarani
"kumrudisha"
Numbers 22:24-25
Akasongea zaidi ukutani
Alifanya hivi ili kumwepuka malaika wa BWANA barabarani
Akasogea
"punda alisogea"
na kuubana mguu wa Balaalmu ukutani
"akaukandamiza mguu wa Balaamu na kumwumiza Balaamu"
Numbers 22:26-27
Hasira za Balaamu zikawaka
Tazama 22
Numbers 22:28-30
Kisha BWANA akafungua kinywa cha Punda na akaongea
"Kisaha BWANA akampa punda uwezo wa kuongea kama vile binadamu awezavyo kuongea"
Akamwabia Balaamu
"Yule punda akamwambia Balaamu"
Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa?
"Mimi ni punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote, mpka hivi sasa."
Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?
"sijawahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi"
Numbers 22:31-33
Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA
"Kisha BWANA akampa Baalamu uwezo wa kumwonamalaika wa BWANA"
akiwa na upanga mkononi mwake
Tazama 22:21
Balaamu akainamisha kichwa chake chini
Balaamu akajinyenyekeza
Kwa nini umempiga punda wako mara tatu
"usingempiga punda wako mara tatu
kama adui yako
"ili kukupinga"
Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu... ningekuwa nimekuua na yeye kumwacha hai
punda alimwokoa Balaamu
Numbers 22:34-35
kwa hiyo sasa, kama haikupendezi
"kwa hiyo kama hutaki mimi niendelee"
kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale viongozi
Tazama 22:2
Numbers 22:36-37
Amoni
Tazama 21:12
Je, mimi sikutuma watu kukuita?
"Kwa hakika nilituma watu kukuita"
Kwa nini hukuja kwangu
"ulipaswa kuja kwangu"
Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimiwe?
"kwa hakika unajua kuwa mimi ninauwezo wa kukulipa pesa kwa ajili ya ujio wako kwangu"
Numbers 22:38-40
Je, mimi sina mamlaka ya kusema chochote
"Lakini sinsa mamlaka yakusema chochote ninachotaka"
maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu
"ujumbe ambao Mungu ananitaka niuseme"
Kiriathi Huzothi
Haya ni mjina ya miji
baadhi ya hiyo nyama
"baadhi ya hiyo nyama kutoka kwenye ile sadaka"
Numbers 22:41
mpaka mahali pa juu pa Baali
Tazama 21:19
Numbers 23
Numbers 23:1-3
Balaki
Tazama 22:2
Uandae mafahri saba na kondoo dume saba
"uchinje mafahari saba na kondoo dume saba kuwa sadaka"
simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda
"baki hapa na sadaka yako ya kuteketetezwa na mimi nitaenda umbali kidogo"
Numbers 23:4-6
nimetoa sadaka ya fahari na kondoo dume
"Nimechinja fahari nakondoo dume na kuwateketeza kama sadak"
BWANA akaweka ujumbe kwenye kinywa cha Balaamu
"BWANA akamwambia Balaamu kile alichotaka akamwambie Balaki"
Numbers 23:7-8
Balaki amenileta kutoka Shamu ... mfalme wa Moabu kutoka katika milima ya mashariki,
Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile
Njoo, unilaanie Yakobo kwa ajili yangu; ... njoo umtie unajisi Israeli;
Virai vyote vinamaanishsa kitu kilekile vimetumika kuongeza msisitizo kwamba Balaki alitaka Balaamu kulaani Israeli.
Nawezaje kuwalaani wale ambaoMungu hajawalaani? Nawezaje kuwapinga wwale ambao Mungu hawapingi?
"Lakini siwezi kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani. Siwezi kuwapinga wale ambao Mungu hajawapinga"
Numbers 23:9
Kwa muwa kutoka juu ya miamba ninamwaona ... kutoka juu ya milima ninamtazama
Virai hivi viwili vinamaanishakitu kimoja. "Balaamu alimwona Israeli kutokea juu ya mlima."
Ninamwona ... ninamtazama
Kiwakilishi cha "mwo" na "m" kinawakilisha Waisraeli.
Kuna watu
"Kuna kundi la watu"
na hawajioni wenyewe kama ni taifa la kwaida
"wanajiona wenyewe kuwa taifa maalumu"
Numbers 23:10
Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au hata kuhesabu robo ya Israeli?
"Hawa Waisraeli ni wengi mno kuwahesabu. Hakuna awezaye kuwahesabu hata robo kwa sababu ni wengi mno"
kifo cha mtu mwenye haki
"kifo cha amani cha mtu mwenye haki"
mtu mwenye haki ... uwe kama wake
Hizi ni semi zinazowaongelea Waisraeli kuwa kama mtu mmoja.
Numbers 23:11-12
Balaki
Tazama 22:2
Umenifanyia nini?
"Siwezi kuamini ulichonifanyia!"
lakini ona
Hii inaonesha matukio ya kutisha yanayofuata
Kwa nini nisiwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA ameweka kinywani mwangu?
Lazima niwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA ananiambia kusema."
ameweka kinywani mwangu
Tazama 22:38
Numbers 23:13-15
Huko sasa unaweza kunilaania hawa watu
"Huko utanilaania Waisraeli"
Shamba la Zofimu
Neno "Zofimu" linamaanisha 'kutazama' au 'kupelelza'
Mlima Pisiga
Tazama 21:19
Numbers 23:16-18
na kumwekea ujumbe kinywani mwake
Tazama 22:38
Akasema
"Kisha BWANA akaksema"
Balaki, na usikilize ... Nisikilize mimi wewe mwana wa Zippori
Sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile na zimetumika kusisitiza umuhimu wa Balaki kuwa msikivu.
mwana wa Zippori
Tazama 22:2
Numbers 23:19-20
Je,alishawahi kuahidi kitu pasipo kukitekeleza? Je, alishawahi kusema kuwa atafanyakitu bila kufanya?
"Hajawahi kuahidi kitu pasipo kutimiza kile alichoahidi. Amekuwa akifanya kama alivyosema kuwa atafanya."
Nimeamuriwa kubariki
"Mungu ameniamuru kuwabariki Waisraeli"
Numbers 23:21-22
magumu katika Yeriko ... tabu katika Israeli
Virai hivi vinamaana moja ambayo yaweza kuwa 1) Mungu amempatia Israeli mambo mazuri tu 2) Hakuna dhdambi katika Israeli ambayo itamfanya awahukumu.
kelele za wafalme wao ziko pamoja nao
"Wanapiga kelele kwa furaha kwa sababu BWANA ni mfalme wao"
kwa nguvu kama za nyati
Mfano huu unamaanisha kuwa nguvu za BWANA ni sawa na nguvu za nyati
Numbers 23:23
Hakuna uganga utakaofanyika dhidi ya Yakobo ... hakuna uchawiutakaomwumiza Israeli
Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile kwamba; hakuna laana ambayo mtu yeyote ataifanya katika taifa la Israaeli itakayofanikiwa.
Itasemwa
"watu watasema"
Tazama kile ambacho Mungu amefanya
"Yatazame mambo mazuri ambayo Mungu amewafanyia!"
Numbers 23:24
watu wanainuka kama simba jike ... na kunywa damu ya windo lake
Israeli wanavyowaangamiza maadui ni kama simba anavyoshambulia windo lake.
Numbers 23:25-27
Balaki
Tazama 22:2
Sijakuambia kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema?
"Nilikuambia mapema kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema."
Numbers 23:28-30
ambalo ambalo unalitazama chini lile jangwa
"ambalo unalitazama lile jangwa ambapo Waisraeli walikuwapo"
Numbers 24
Numbers 24:1
kama hapo awali
"kama alivyofanya nyakatiza nyuma"
Numbers 24:2-3
Akayainua macho yake
"akatazama juu"
Roho wa Mungu akamjia
Roho wa Muungu alimtawala wakati wa kutoa unabii.
Akapokea huu unabii
"Mungu alimpatia huu unabii"
Balaamu mwana wa Beori
Tazama 22:5
ambaye macho yake yamefunuliwa
anaona na kuelewa
Numbers 24:4-5
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea kutoa unabii kwa kuwezeshwa na Mungu
Huongeae ... Huona ... humwinamia
Haya ni maneno ya Balaamu
humwinamia
Hili ni tendo la heshima
macho yake yakiwa yamefumbuliwa
"macho yakiwa yamefumbuliwa" inamaaniaha kuwa Balaamu alikuwa amepokea uwezo wa kufahamu kile ambacho Mungu alimtaka aseme.
Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli
Virai hivi vyote vina maana moja na vinaonesha jinsi kambi za Waisraeli zilivyokuwa nzuri kwa Balaamu.
Numbers 24:6
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu
Wamesambaa kama bonde
Balaamu anawaongelea Waisraeli kuwa walikuwa wengi kiasi cha kulijaza bonde lote
kama bustani zilizo pembezonimwa mto
Balaamu anawaongelea Waisraeli kama bustani iliyomwagiliwa maji na itoayo mavuno menegi.
kama miti ya mishubiri iliyopandwa na Mungu
"Mishubiri ambayo BWANA ameipanda"
kama mfano wa mierezi pembezoni mwa maji
Mierezi ilikuwa miti mierfu sana huko Israeli. Balaamu anawaongelea Waisraeli kama mierezi iliyokuwa sana na kuwa miti mikubwa kwa sababu ya maji mengi.
Numbers 24:7
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu.
Maji yanatirika ... zimemwagiwa maji
"Mungu ataibariki Israeli kwa maji mengi kwa ajili ya mazao"
mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri
"Watakuwa na maji mengi kwa ajili ya mbegu zao ili kusitawisha mazao"
Mfalme wao atakuwa juu ... na ufame wao utaheshimiwa
Sentensi hizi zinamaanisha kitu kimoja zinasisitiza kuwa Mungu atawabariki ukilinganisha na mataifa mengine.
Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi
Neno "juu" linamaanishsa heshima ya juu na mamlaka kuliko Agagi.
Ufalme wao utaheshimiwa
"watu wengine watauheshimu ufalme"
Numbers 24:8
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu.
Mungu anamtoa
Mungu anawaleta Waisraeli
na nguvu kama za nyati
Waisraeli watakuwa na nguvu
Atawameza mataifa
Watawaangamiza maadui wao
Numbers 24:9
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anamaliza kutoa unabii kwa uwezo wa Roho wa Mungu
Ananyatia kama siimba mume, na kama simba jike.
Inamaanisha kuwa wako tayari kushambulia.
Nani anayejaribu kumshambulia
"Hakuna anayethubutu kumsumbua"
Kila mmoja anayembarki na abarikiwe; na kila mmoja anayemlaani na alaaniwe
"Mungu awabariki wale wanawabariki Waisraeli; na awalaani wale wanowalaani Wasraeli"
Numbers 24:10-11
Hasira za Balaki zikawaka
"Balaki alijawa na hasira"
akaipiga mikono yake kwa pamoja
Hii ilikuwa ishara kubwa ya kuchanganyikiwa na hasira
Numbers 24:12-14
Hata kama Balaki atanipatia ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu
"Inaonesha kuwa hakuna kitu ambacho kitamfanya Balaamu kumkaidi Mungu
Je, sikuwaambia haya?
"Niliwaambia haya."
watu hawa
"Waisraeli"
Numbers 24:15-16
Balaamu mwana wa Beori
Tazama 22:5
ambaye macho yake yamefumbuliwa
Tazama 24:2
aliye na maaarifa toka kwake yeye aliye juu
"Anayejua vitu ambavyo Mungu aliye juu ameyafunua"
humpigia magoti
Hii ni ishara ya kujitoa kwa Mungu
Numbers 24:17
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anaendelea na unabii wake wa kwanza
Ninamwona, lakini hayuko karibu sasa. Ninamtazama, lakini siyo karibu
Virai hivi vinamaanisha kitu kimoja. Hapa Balaamu anatoa maona ya tukio la wakati ujao. Kiwakilishi "mwo" kinamaanisha kiongozi wa Israeli wa baadaye.
Nyota itatokea katika Yakobo
"Nyota" inaonesha mfalme wa Waisraeli ambaye atainuka katika mamlaka.
Katika Yakobo
"kutoka katika uzao wa Yakobo"
Na fimboya enzi itainuka katika Israeli
Neno "fimbo" linamaanisha mfalme mwenye mamlaka
Katika Israeli
Kutoka kwa Waisraeli hapo baadaye"
atawapigapiga viongozi wa Moabu
Yaweza kumaanisha 1) atavunja vichwa vya viongozi wa Moabu 2) atawaharibu viongozi wa Moabu.
uzao wa Sethi
Hii inamaanisha Wamoabu, waliokuwa uzao wa Sethi
Numbers 24:18-19
Taarifa kwa ujumla
Balaamu anamaliza unabii wake wa kwanza kati ya nabii nne alizotoa.
Edomu atakapokuwa miliki ya Israeli
"Waisraeli wataimilki Edomu"
Na Seiri pia itakuwa milki yao
"Israeli atawaangamiza watu wa Seiri"
Kutoka kwa Yakobo atatoka mfalme
"Yakobo" ni kiwakilishi cha watu wote wa Isreli
katika mji
"mji wa Ari ambao Balaki alikutana na Balaamu"
Numbers 24:20
Balamu akamtazama Amaleki
Amaleki inamaanisha watu wa Amaleki ambao pia aliwatolea unabii.
mwisho wake utakuwa
amametumia iwakilishi "wake" kwa sababu ametumia kiwakilishi cha mtu mmoja.
Numbers 24:21-22
Wakeni
Hili ni jina la kundi la watu walitokana na Kaini
Mahali unapoishi pana usalamu
"Mahali unapoishi panalindwa"
na viota vyake viko kwenye miamba
"mahali penu pana usalama kama vile kioyta kilivyo salama kinapokuwa kwenye miamba"
Lakini pamoja na hayo, Kaini ataharibiwa na Ashuru atakapowachukua mateka."
"Lakini Waashuru watawaharibu Wakeni na kuwachukua kama mateka"
Numbers 24:23-25
Ole wake atakayesalia Mungu atakapoyafanya haya?
"Hakuna atakayesalia Mungu atakayefanya haya"
Kittimu
Hili ni jina la mji katika kisiwa kilicho katika bahari ya kati.
wao pia wataishia katika uharibifu
"Mungu atawaharibu pia"
Numbers 25
Numbers 25:1-3
Shittimu
Hili ni jina la mahali kule Moabu
kuisujudia
"hili ni tendo la ibaada"
Peori
Tazama 23:28
Hasira ya BWANA ikawaka
Tazama 21:19
Numbers 25:4-5
viongozi wote wa watu
"viongozi wote wa watu ambao wana hatia ya kuabudu sanamu"
ili waonekane wakati wa mchana
Viongozi wa Waisraeli watawaua watu hawa na kuacha maiti zao nje ili watu wote wawaone
Viongozi wa Israeli
"Kwa viongozi wa Israeli wasiokuwa na hatia ya kuabudu sanamu"
Numbers 25:6-7
akaleta mwanake mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake
"akaleta mwanamke wa Kimidiani kwenye kambi ya Waisraeli ili alale naye"
mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli
"mbele ya macho ya" ni nahau inayomaanisha walisikia juu yao, au walipata taarifa juu yao"
Eliezeri
Tazama 3:1
Numbers 25:8-9
Akamfuata
"Finehasi akamfuata"
Numbers 25:10-11
ameigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli
"Amesababisha mimi nisiwe na hasira juu ya wana wa Israeli"
sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu
"Sijawaangamiza wana wa Israeli kwa hasira yaku kali"
Numbers 25:12-13
Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, "Tazama, ninampa Finehasi agano langu la amani ... watu wa Israeli."
"Kwa hiyo mwambie Finehasi kuwa nitampatia ... wana wa Israeli."
Numbers 25:14-15
Sasa
Hii inatutoa kwenye habari nyingine na kutupeleka kwenye habari ya Zimri na Cozibi.
alyeuawa
"ambaye Finehasi alimwua"
Zimri ... Salu ... Zuri
Haya ni majina ya wanaume
Cozibi
Hili ni jina la mwanamke
Numbers 25:16-18
kwa kuwadanganya
"kwa kukudanganya wewe"
waliwaongoza katika uovu
"Waliwashawishi ninyi kufanya uovu huu"
swala la Peori ... kwa swala la Peori
Virai hivi vinamaanisha kuwa vitu hivi vyote vilitokea pale Peori.
Peori
Tazama 23:28
amabye aliuawa
"ambaye Finehasi alimwua"
Numbers 26
Numbers 26:1-2
Wahesabu watu wote
"Wahesabu wanaume wote katika jamii"
miaka ishirini na zaidi
"umri wa miaka 20 nazaidi"
Numbers 26:3-4
wakawaambia
"wakawaambia viongozi wa Waisraeli"
Uwanda
Uwanda ni eneo tambarare
miaka ishirini na zaidi
"umri wa miaka 20 na zaidi"
Numbers 26:5-7
Taarifa kwa ujumla
Viongozi wa Israeli wanawahesabu wanaume wenye umri wa miaka 20 na zaidi, kwa kufuata makabila yao na familia zao.
ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli
"Israeli" inamaanisha Yakobo
kutoka kwa mwana wake
Neno "wake" inamaanisha Reubeni
Numbers 26:8-9
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Eliabu ... Dathani ... Abiramu
Tazama 16:1
Numbers 26:10-11
Dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja
"BWANA ndiye aliyesababishaardhi ifunguke, n a wale wanaume wakaangukia shimoni"
moto uliteketeza wanaume 250
"BWANA alisababisha moto uwaue wanaume 250"
uzao wa Kora
"familia yote ya Kora
kufa
"mwisho"
Numbers 26:12-14
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:15-18
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:19-22
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:23-25
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:26-27
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:28-29
Taarifa kwa ujumla
Tazzama 26:5
Numbers 26:30-32
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:33-34
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:35-37
Taarifa kwa umumla
Tazama 26:5
Huu ndio uzao wa Yusufu
"Hawa walikuwa wazao wa Yusufu, wazao wa wana wakeambao ni Manase na Efraiimu"
uliohesabiwa toka kila koo
"waliwahesabu kutoka katika kila ukoo wao"
Numbers 26:38-41
Taarifa kwa ujumla
Tazzama 26:5
Numbers 26:42-43
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:44-47
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:48-50
Taarifa kwa ujumla
Tazama 26:5
Numbers 26:51
jumla kuu
"jumla"
601,730
Laki sita, elfu moja, mia sab na thelathini.
Numbers 26:52-53
Ile ardhi itagawanywa
"mtaigawa ardhi"
wanaume hawa
Tazama26:5
Kwa kufuata idadi ya majina yao
"kwa idadi ya watu katika kila ukoo"
Numbers 26:54-56
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea na Musa
utawagawia urithi mkubwa
"utawapa ardhi zaidi kuwa urithi"
waliohesabiwa
"ambao viongozi wa Israeli waliwahesabu
ardhi itagawiwa
"mtaigawa ardhi"
kwa kupigiwa kura
"kwa kupiga kura"
utagawiwa
"utaigawa"
watagawiwa
"na mtaigawa ardhi kwao"
Numbers 26:57-59
Taarifa kwa ujumla
Hii ni orodha ya ukoo wa Lawi. Musa aliwahesabu Walwi kwa namna tofauti na makabila mengine kwa sababu hawakupokea ardhi yeyote.
Zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo
"ambao viongozi waliwahesabu kwa kufuata ukoo"
Gerishoni ... Kohathi ... Merari ... Amramu
Tazama 3:17
Alimzalia Amramu watoto wao
"Yeye na Amramu walikuwa na watoto"
Numbers 26:60-62
Nadabu ... Abihu ... Ithamari
Tazama 3:1
Walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika
Tazama 3:3
waliohesabiwa
"ambao viongozi waliwahesabu"
Elfu ishirini na tatu
"23,000"
Umri wa mwezi mmoja na zaidi
"umri wamwezi mmoja na kuendelea"
hawakuhesabiwa
"lakini viongozi hawakuwahesabu"
hawakupewa urithi
"kwa sababu BWANA alisemawasipewe ardhi kama uriti wao"
Numbers 26:63-64
walihesabiwa na Musa na Eliezeri yule kuhani
"ambao Musa na Eliezeri waliwahesabu"
aliyehesabiwa na Musa na Haruni
"Ambaye Musa na Haruni waliwahesabu"
wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa
"walipowahesabu wana wa uzao wa Israeli"
Numbers 26:65
Hapakuwa na mtu aliyebaki, isipokuwa
"watu pekee waliokuwa walikuwa"
mwana wa Yefune
Tazam 13:5
mwana wa Nuni
Tazama 11:28
Numbers 27
Numbers 27:1
Kisha wakaja kwa Musa binti wa Zelofehadi ... wamana wa Yusufu
"Hawa ni mabinti wa uzao wa Zerofehadi waliomjia Musa"
Zelofehadi, mwana wa Hefa ... Mahlahi. Noha, Hogla, Milika, na Tiriza
Tazama 26:33
Gileadi ... Machiri
Tazama 26:28
Numbers 27:2-3
Walisimama
"Binti wa Zelofehadi walisimama"
Waliompinga BWANA katika lile kundi ka Kora
"Waliokufa kwa sababu walikuwa miongoni mwa wafuasi waliompinga BWANA"
kwa dhambi zake
"kwa sababu ya dhambi zake"
Numbers 27:4-5
Kwa nini jina la baba yetu liondolewe miongoni mwa ukoo wa jamaa za zake kwa sababu ya kukosa wana?
"Usiliondoe jina la baba yetu katika ukoo kwa sababu hakuwa na mwana"
Tupeni ardhi miongoni mwa ndugu wa baba zetu
"Tupeni ardhi kule ambako ndugu wa baba zetu wanaishi"
Numbers 27:6-8
miongoni mwa ndugu za baba zake
"mahali ambako ndugu za baba zake wanaishi"
Numbers 27:9-11
Taarifa kwa ujumla
Hii inaendeleza sheria za Mungu juu ya nani anapaswa kupokea ardhi kama mtu hakuwa na wana.
Hii itakuwa sheria iliyoanzishwa kwa amri kwa ajil ya watu wa Israeli
"Itakuwa sheria ambayo watu wote wa Israeli wataitii"
alivyoniamuru
kiwakilishi "ni" kinamaanisha Musa
Numbers 27:12-14
Milima ya Abarimu
Hii ni safu ya milima huko Moabu
ambayo nimewapa wana wa Israeli
ambayo nitawapa wana wa Israeli
pia lazima ukusanyike na watu wako
"lazima ufe"
Kama Haruni kaka yako
"kama Haruni kaka yako mkubwa"
ninyi wawili mlipinga amri yangu
"Hii inamaanisha Musa na Haruni"
Katika jangwa la Sini
Tazama 13:21
Pale ambapo maji yalitoka kwenye mwamba, katika hasira yako
Hii inamaanisha lile tukio ambalo Mungu alitengeneza maji kwa muujiza yakatoka kwenye mwamba. Mungu alimwambia Musa auambie mwamba, lakini badala yakae Musa akaupiga kwa sababu alikuwa na hasira dhidi ya watu
ulishindwa kuniheshimu mimi kama mtakatifu
"haukunichukulia kama mtakatifu"
mbele ya macho ya watu wote
"mbele ya kundi lote"
maji ya Meriba
Tazama 20:12
Numbers 27:15-17
Mungu wa wote wenye mwili
"Mungu awapaye wanadamu pumzi"
mtu awe juu ya watu
"mtu wa kuwaongoza watu"
mtu ambaye atatoka na kuingia kuja kwao na kuwatoa kisha kuwarudisha
mtu ambaye atawaongoza watu wote na kuongoza jeshi katika vita
ili kwamba watu wako wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji
Hii inamaanisha kuwa watu wasipokuwa na kiongozi watazungukazunguka
Numbers 27:18-19
Mchukue Joshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yangu hukaa
Roho ya BWANA yumo ndani ya Joshua, Hii inamaanisha kuwa Joshua humtii BWANA na kufuata amri zake.
umwekee mikono yako juu yake
"umwekee mikon yako juu yake ili umwagize"
umwamuru kuwaongoza mbele ya macho yao
"na mbele yao umwamuru Joshua kuwaongoza watu wa Israeli"
Numbers 27:20-21
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongeea na Musa juu ya Joshua
Utaweka baadhi ya mamlaka yako kwake
"utampa baadhi ya mamlaka yako"
Urimu
Hili lilikuwa jiwe la thamani ambalo kuhani mkuu alilivaa kifuani pake. Alilitumia kwa kutambua mapenzi ya Mungu.
Yeye pamoja na watu wa Israeli, ambao ni watu wote
"Wote yeye na taifa lote la Israeli"
Numbers 27:22-23
na kumweka mbele ya
"na akamwambia kusimama mbele ya"
Akaweka mikono yake juu yake na kumwamuru aongoze
kiwakilishi "a" kinamaanisha Musa, na kiwakilishi "ku" kinamwakilisha Joshua.
Akaweka mikono yake yake
Kitendo cha kuweka mikono ilikuwa njia ya kumweka mtu wakfu ili afanye kazi maalumu ya Mungu.
aongoze
"kuwa kiongozi wa Waisraeli"
kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya
kiwakilishi "mu" kinamwakilisha Musa
Numbers 28
Numbers 28:1-2
kwa wakati uliopangwa
"kwa wakati ambao nimeuchagua"
chakulacha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa
"chakula cha sadaka ambacho mtaiteketeza kwenye madhabahu"
kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu
"harufu ninayoifurahia"
Numbers 28:3-5
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya.
sadaka iliyotengenezwa kwa moto
"sadaka ya kuteketezwa"
iliyochanganywa na
"ambayo mmeichanganya na"
sehemu ya kumi ya efa
"lita 2"
robo ya hini
"lita moja"
mafuta yaliyokamuliwa
"mafuta safi ya mizeituni yaliyokamuliwa"
Numbers 28:6-8
ilyoamriwa mlima Sayuni
ambayo BWANA aliamuru pale mlima Sayuni
iliyotengenezwa kwa moto
uliyoiteketeza kwa moto kwenye madhabahu
robo ya hini
"lita moja"
utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA
"Lazima iwe sadaka, ya kinywaji n a lazima uimimine mahali patkatifu kwa ajili ya BWANA"
Alivyotolewa
"kama yule mliyemtoa"
Numbers 28:9-10
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya
sehemu ya kumi mbili ya efa
"takribani lita 4.5"
iliyochanganywa na mafuta
"ambayo mmeichanganya na mafuta"
na ile sadaka ya kinywaji
"ile sadaka ya kinywaji inayoambatana nayo"
Numbers 28:11-13
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya
sehemu ya kumi tatu
"lita sita"
sehemu za kumi mbili
"takribani lita 4.5"
sehemu ya kumi ya efa
"lita 2"
ilyochanganywa na mafuta
"ambayo mmeichanganya na mafuta"
iliyotengenezwa kwa moto
ambayo mmeiteketeza madhabahuni
Numbers 28:14-15
nusu ya hini
"lita 2"
sehemu ya tatu ta hini
"lita 1.2"
robo ya hini
"lita moja"
beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA.
"Lazima mtatoa beberu mmoja kwa BWANA kuwa sadaka ya dhambi"
Numbers 28:16-18
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya
siku ya kumi na nne, ya mwezi wa kwanza ... katika siku ya kumi na tano ya mwezi
siku ya 14, ya mwezi wa 1, ... siku ya 15 ya mwezi huu, "Hii inamaanisha mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiyahudi"
itakuwa Pasaka ya BWANA
"mtasherehekea Pasaka ya BWANA"
kutakuwa na sikukuu
"mtakuwa nasikukuu"
Mtakula mikate isiyokuwa na chachu
mtakula mikate isiyotiwa chachu
siku ya kwanza
siku ya 1
kutakuwa na kusanyiko takatifu l a kumheshimu BWANA
"Mtakusanyika pamja kumwabudu na kumheshimu BWANA." Kirai cha kusanyiko takatifu kinamaanishsa kuwa watu wanakusanyika kumwabudu BWANA. Kumwabudu BWANA ni kusanyiko takatifu.
Numbers 28:19-22
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya
mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto
mtateketeza sadaka madhabahuni
sehemu za tatu za efa
"lita sita"
iliyochanganywa na mafuta
"ambayo umeichanganya na mafuta"
sehemu za pili
takribani lita 4.5
sehemu ya kumi ya efa
"lita 2"
kufanya upatanisho
"kupatana"
Numbers 28:23-25
inayotakiwa kila asubuhi
"ambayo BWANA huitaka kila asubuhi"
kama ilivyofafanuliwa hapa
"kama Mimi, BWANA ilkivyofafanua hapa"
kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto
"mtateketeza chakula cha sadaka madhabahuni"
kuwa harufunzuri kwa BWANA
"kama harufu nzuri kwa BWANA"
hiki kitatolewa kuwa sadaka
"mtakitoa"
mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA
"Mkusanyike pamoja kumwabudu na kumheshimu BWANA:
Numbers 28:26-28
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
sikuya malimbuko
"Hii ni siku ya sikukuu ambayo wanatoa sadaka ya unga kwa BWANA.
Mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA
"Mtakusanyika pamoja kumwabudu na kumheshimu BWANA"
uliochanganywa na mafuta
ambao mmeuchanganya na mafuta
sehemu za kumi tatu za efa
"lita 6"
sehemu za kumi tatu za efa
"lita 6"
sehemu za kumi mbili
"Takribani lita 4.5"
Numbers 28:29-31
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
sehemu ya kumi moja
"lita 2"
unga mwembamba uliochanganywa na mfuta
unga mwembamba ambao mmeuchanganya na mafuta
kufanya upatanisho
"kupatana"
sadaka zake za vinywaji
sadaka za vinywaji vinavyoambatana nayo
Numbers 29
Numbers 29:1
Taarifa kwa uumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
siku ya kwanza ya mwezi wa saba
"siku ya 1, ya mwezi wa 7 ya mwezi, katika kalenda ya Kihebrania"
mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA
"Kusanyikeni pamoja ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"
Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta
"Itakuwa siku ambayo makuhani watapiga matarumbeta"
Numbers 29:2
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
Numbers 29:3-5
sadaka ya unga
sadaka ya unga inayotolewa pamoja navyo
uliochanganywa na mafuta
"ambao mmeuchanganya na mafuta"
shsmu ya kumi tatu ta efa
"lita 6"
sehemu ya kumi mbili
"lita4.5"
sehemu ya kumi
"lita 2"
ili kufanya upatanisho
"kupatana"
Numbers 29:6
katika mwezi wa saba ... mwanzo wa kila mwezi
"mwezi wa 7 ...mwanzo wa kila mwezi katka kalenda ya Kihebrania."
kilka mwezi ... pamoja na sadaka maalumu ... na sadaka zake
"kwa kila mwezi, sadaka maalumu za kuteketezwa ... pamoja nazo"
sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji.
"sadaka za kila siku za kuteketezwa pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji zinazoambatana nazo"
utakuwa ukitii kilichoamriwa
"utatii amri za BWANA"
sadaka iliyotengenezwa kwa moto
sadaka uliyoteketeza madhabahuni kwa BWANA"
Numbers 29:7-8
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
siku ya kumi ya mwezi wa saba
"siku ya 10 ya mwezi wa 7 kwa kalenda ya Kihebrania.
mtakuwa na kusanyiko takatifu
kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"
Numbers 29:9-11
uliochanganywa na mafuta
"ambao mmeuchanganya na mafuta"
sehemu ya kumi tatu
lita 6
sehemu ya kumi mbili
lita 4.5
sehemu ya kumi ya efa
lita 2
ya upatanisho
inayopatanisha
pamoja na sadaka za unga na sadaka zake za vinywaji
"pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji zinazoambatana nazo"
Numbers 29:12-13
Taarifa kwa uumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba
"siku ya 15, ya mwezi wa 7, ya kalenda ya Kihebrania"
mtakuwa na kusanyiko takatifu
"kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"
mtazitunza hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA.
"Mtazikumbuka hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA"
sadaka iliyotengenezwa kwa moto
"mtaiteketeza kwenye madhabahu"
mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne
mafahari wachanga 13, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14.
Numbers 29:14-16
uliochanganywa na mafuta
"ambao umeuchanganya na mafuta"
sehemu ya kumi tatu ta efa
lita 6
mafahari kumi na tatu ... wanakondoo waume kumi na nne
mafahari 13, wanakondoo 14
sehemu a kumi mbili
lita 4.5
sehemu ya kumi ya efa
lita 2
sadaka yake ya unga, na sdaka ya vinywaji
sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji inyoambatana na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa,
Numbers 29:17-19
siku ya pil ya kusanyiko
"siku ya 2 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma.
fahari wachanga kumi na mbili, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne
"fahari 12, kondoo waume 2, na wanakondoo waume14."
kama ilivyoamriwa
"kama BWANA alivyoamuru"
sadaka yake ya unga na sadaka yake ya vinywaji
"pamoja na sadaka yake yaunga na sadaka yake ya vinywaji inayoamabatana nayo"
Numbers 29:20-22
siku ya tatu ya kusanyiko
"siku ya 3 ya sikukuu. Neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu ya majuma
mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne
"mafahari 11, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14."
kama ilivyoamriwa
"kama BWANA alivyoamuru"
sadaka zakeza unga, na sadaka zaka za vinywaji
"pamoja na sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo."
Numbers 29:23-25
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba.
siku ya nne ya kusanyiko
"siku ya 4 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma.
wanakondoo wa kiume kumi na nne
"wanakondoo wa kiume 14"
kama ilivyoamriwa
"kama BWANA alivyoamuru"
sadaka zake za unga, na sadakazakae za vinywaji
"pamoja na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo."
Numbers 29:26-28
siku ya tano ya kusanyiko
"siku ya 5 ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma."
wanakondoo waume kumi na nne
"wanakondoo waume 14"
kama ilivyoamriwa
"Kama BWANA alivyoamuru"
sadaka zake za unga, na za vinywaji
"pamoja na sadaka zake za unga na za vinywaji zinazozambatana nazo."
Numbers 29:29-31
siku ya sita ya kusanyiko
"siku ya sita ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma."
wanakondoo waume kumi na nne
"wanakondoo waume 14."
kama ilivyoamriwa
"kama BWANA alivyoamuru"
sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
"pamoja nasdaka zake za unga, na sadaka zake za vimywaji zinazoambatana nazo."
Numbers 29:32-34
siku ya saba ya kusanyiko
"sikuy a7 ya kusanyiko." Neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma."
wanakndoo waume kumi na nne
"wanakondoo waume 14"
kama ilivyoamriwa
"kama BWANA alivyoamru"
sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
"pamoja nasadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo"
Numbers 29:35-36
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba.
siku ya nane
siku ya 8
mtakuwa na kusanyikok lingine makini
"kutaneni tena ili kumwabudu BWANA sawa na kusanyiko la siku ya kwanza "
Sadakailiyotengenezwa kwa moto
"mtaiteketeza kwenye madhabahu"
Numbers 29:37-38
sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji
"sadaka za unga na sadaka za vinywaji"
kama ilivyoamriwa
"kama BWANA alivyoamuru"
zadakazake za unga, na sadaka zake za vinywaji
"pamoja nasadaka zake za uunga , na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo"
Numbers 29:39-40
Hivi ndivyo utakavyotoa
"Hizi sadaka ndizo utakazotoa"
sikukuu za kila mwaka
"sikukuu zilizopangwa"
Numbers 30
Numbers 30:1-2
Mtu yeyote atakayefanya nadhiri, au kuapa kwa kiapo
Virai hivi viinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kuonesha unuhimu wa kiapo.
ili kufunga nafsi yake
"kujitoa ili kutimiza kiapo" au "kuahidi kufanya kitu fulani"
asivunje neno lake. HeAtafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake
"Lazima atimize ahadi yake"
asivunje neno lake
Lazima atimize ahadi zake"
sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake
"atafanya kila kitu anachosema kuwa atakifanya"
Numbers 30:3-4
na kufunga nafsi yake kwa kiapo
"anajitoa mwenyewe ili kutimiza ahadi" au "ahadi ya kufanya jambo fulani"
nadahari na ahadi
maneno haya yana maana moja "Nadhriri"
na kufunga nafsi yake
"ambacho ameahidi mwenyewe kukitimiza"
kumzuia
"kuahirisha alichoahidi"
ndipo nadhiri zake zitakuwa naguvu. kila ahadi ... itabaki kuwa naguvu.
"atatakiwa kutimiza kile alichoahidi"
Numbers 30:5
nadhiri yake na ahadi yake
"nadhiri yake"
alizofanya
"ambazo alijitoa kufanya" au "zile alizofanya"
zitabaki kuwa nguvu
tazama 30:3
Numbers 30:6-7
ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake
"ahadi zake makini ambazo amejitoa mwenyewe kuzitimiza"
na kama atazitengua
"kama atazitengua ahadi zake"
hazitakuwa na nguvu
"hatalazikmika kuzitimiza"
BWANA atamsamehe
"BWANA atamsamaehe kwa kutotimiza ahadi zake"
angali katika hivyo viapo
"wakati bado amejitoa kutimiza viapo hivyo"
bila kufikiri
"kitu kilichofanywa pasipo kufikiri"
katika hivyo viapo
"vitu ambavyo mwenyee amehadi kuvifanya"
Numbers 30:8
kiapo alichofanya ... manenoya midomo yake ya bila kufikiri
sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile. Kirai cha pili kinafafanua kiapo ambacho yule mwanamke alifanya.
maneno ya midomo yake ya bila kufikiri
"Maneno aliyosema pasipo kufikiri" au "ahadi za bila kufikiri"
ambayo kwayo amefunga nafsi yake
"ambayo amejitoa mwenyewe kutimiza"
BWANA atamfungua
"BWANA atamsamehe"
Numbers 30:9-11
Taarifa kwa ujumla
Musa anaenedelea kuwaeleza vingozi wa makabila ambacho BWANA ameamuru
mwanamke aliyetalikiwa
"mwanamke aliyepewa talaka na mwanamume"
ambacho atakisema kufunga nafsi yake
"ambacho amejitoa mwenyewe kutimiza"
kitabaki na nguvu kinyume na yeye
Tazama 30:3
kama m mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake
"kama mwanamke aliyeolewa atafanya nadhiri"
basi viapo vyake vitasimama ... vitabaki na nguvu
Tazama 30:3
viapo vyakae vitasimama ... na vifungo alivyovifanya vitabaki na nguvu
"basi viapo vyake na ahadi zake ... vitabaki na nguvu"
Numbers 30:12
basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake
"basi chochote atakachosema"
Havitakuwa na nguvu
Tazama 30:6
BWANA atamfungua
"BWANA atamsamehe kwa kutotimiza viapo vyake"
Numbers 30:13-14
Kila kiapo ambacho ... kinaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake
"Mume wa yule mwanamke anaweza kuthibitisha au kubatilisha kiapo chochote alichofanya ambacho kinamfunga ili kujikana"
kinachomfunga
"ambacho ameahadi kukifanya"
ahadi zake zinazomfunga
"ahadi"
kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia
"kwa sababu hakumwambia chochote juu ya ahadi hizo"
Numbers 30:15-16
basi ataajibika kwa dhambi zake
"kama hatatimiza ahadi zake, hatakuwa na hatia ya dhambi zake, na badala yake mawanamume atakuwa na hatia badala yake"
Numbers 31
Numbers 31:1-2
Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanyia Waisraeli
BWANA alikuwa anawaadhibu Wamidiani kwa sababu waliwashawishi kuabudu masanamu
utakufa na kukusanyika nawatu wako
Ni tafsida ya Musa kufa n a roho yake kwenda kule ambako mababu zake waliko
Numbers 31:3-5
andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita
"Wapatie silaha baadhi ya wanaume"
wakawapige Wamidiani na kubeba kisasi cha BWANA
"Nenda upigane na Wamidiani na muwadhibu kwa ajili ya kile walichotutendea"
elfu moja ...elfu kumi na mbili
"1,000 ... 12,000"
maelefu elfu wa Israeli na nawanaume elfu
"wanaume wengi wa Israeli"
wanaume elfu kumi na mbili
makabila 12 walituma wanaume, pamoja na kabila la Lawi. Kila kabila lilituma wanaume 1,000 vitani"
wanaume elfu moja walitolewa kwa kila kabila kwa ajili ya vita
"kila kabila lilitoa wanaume 1,000 kwa ajili ya vita"
Numbers 31:6-8
Evi, Rekemu, Zuri, Huri, na Reba
Haya ni majinaya wafalme wa Midiani
Balaamu mwana wa Beori
Tazama 22:5
Numbers 31:9-10
likachukua mataeka
"walichukua vitu vya Wamidiani na kuvifanya kuwa vyao"
Walichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote
"Jeshi la Waisraeli walichoma moto miji yote ambamo Wamidiani waliishi na kambi zote za Wamidiani"
Numbers 31:11-12
Walichukua
"Jeshi la Israeli lilichukua"
Miliki
Hii inamaanishsa vile vitu walivyochukua baada ya kuwaua Wamidiani
uwanda
eneo kubwa tambarare
Numbers 31:13-15
majemadari wa maelfu
Hawa ni viongozi wa majeshi waliongoza wanaume zaidi ya 1,000 lakini pungufu ya wanaume 10,000.
wa maelfu ... maakida wa mamia
"maelfu ya maaskaari ... maaskari mamia"
maakida wa mamia
hawa ni viongozi wa majeshi walioongoza zaidi ya wanaume 1000 lkaini pungufu ya wanaume 1000.
Je, mmewaachca wanawake wote kuishi?
Jeshi lilivunja sheria kwa kuwaacha hai wanawake na watoto. Musa aliwakemea wanajeshi.
Numbers 31:16-17
Tazama
Hii ilikuwa ni kuwataka wasikilize na kuelewa ambacho msemaji alikuwa anawaambia wasikilizaji
aliyelala na mwanaume
aliyefanya ngono na mwanaume
Numbers 31:18-20
Taarifa kwa uumla
Musa anawaambia majemedari wa jeshi la Waisraeli juu ya kujitakasa mbele za BWANA.
ambao hawajalala na mwanaume
mabikra
Ninyi wote
Yeyote ambaye alipigana kwenye hivyo vita, si majemedari tu.
mtajitakasa wenyewe
Lazima wawesafi kiroho kabla hawajarudi kambini.
Kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao
"kila kitu ambacho mtu alitengeneza kwa kutumia ngozi za wanyama, manyoya ya mbuzi, au mbao"
Numbers 31:21-24
Taarifa kwa ujumla
Eliezeri anawafundisha maaskari taratibu za kujitakasa mbele ya BWANA baada ya kwenda vitani
Dhahabu, fedha, shaba,vyuma, bati, risasi
Hivi ni vyuma ambavyo vilikuwa vinatumika wakati ule
haviwezi kupita kwenye moto
"ambavyo haviwezi kuungua"
mtakiweka katika moto
"viwekeni motoni"
maji ya takaso
Tazama 19:17
ndipo mtakapokuwa safi
Huu ndio utaraibu wa kuwa safi mbele ya BWANA
Numbers 31:25-27
vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara
"vihesabu vitu vyote ambavyo maaskari wa wamevichukua"
Nyara
Hivi ni vitu vilivyochukuliwa na maaskari
viongozi wa watu kufuata ukoo
"vioingozi wa kila ukoo"
Numbers 31:28-29
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea na Musa
Taarifa kwsa ujumla
"kwangu" inamaanisha BWANA
Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani
"kusanya kodi kutoka kwenye nyara za wanajeshi na uzitoe kangu."
kati ya mia tano
"kila 500"
kutoka katika nusu yao
"kutoka katika nusu ya maaskari"
itakayotolewa kwangu
"ambavyo atavitoa kwangu"
Numbers 31:30-31
Taarifa ka ujumla
BWANA anaendelea kuongea na Musa
Pia kutoka katika nusu ya Waisraeli
"Pia kutoka katika nusu ya nyara za Waisrael."
kati ya hamsini
"kila 50"
wanaotumika
wale wanaosimamia masikani na sadaka kwa BWANA
Numbers 31:32-35
Sasa
Neno hili limetumika hapa ili kuonesha mwisho wa habari hii kuu. Pia Musa anaanza kusikiliza juu ya kiasi cha nyara na kiasi gani kilitolewa kwa maaskari, kwa watu, na kwa BWANA.
maksai elfu sabini na mbili, punda elfu sitina na moja, na wanawake elfu thelathini na mbili
"makisai 72,000, punda 61,000, na wanawake 32,000."
amabao walikuwa hawajalala na mwanaume
mabikra
Numbers 31:36-38
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.
ile nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajiai ya maaskari
"sehemu ya kondoo wa maaskari"
elfu thelathini na sita
36,000
sabaini na mbili
72
Numbers 31:39-41
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.
sitini na moja
61
elfu kumi na sita
16,000
thelathini na mbili
32
ilitakiwa kuwekwa sadaka ya BWANA
"kuwa sadaka ya BWANA"
Numbers 31:42-46
tarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.
makisai elfu thelathini n a sita
makisai 36,000
wanawake elfu kumi na sita
wanawake 16,000
Numbers 31:47
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA.
Taarifa kwa ujumla
Ile kodi ya sehemu ya watu iliuwa juu kodi ya maaskari
Numbers 31:48-49
majemedari wa maelfu
Tazama 31:13
juu ya maelfu ... juuya mamia
"maaskari zaidi ya maelfu ... maskari zaidi ya mamia"
Makaptateni wa mamia
Tazama 31:13
watumishi wako wamewahesabu
"watumishiwako." Hii ni njiaya kujinyenyekeza wakati wa kuongea na mtu mwenye mamlaka makubwa.
hakuna hata mmoja wao aliyekosa
"tunajua kwa uhakika kuwa kila mmoja yuko hapa"
Numbers 31:50-51
Taarifa kwa ujumla
Maofisa wa jeshi wanaendelea kuongea na Musa.
metali, timbi, pete za mhuri, vipini na kikuku
Hivi vyote ni vitu vya mapambo ambavyo watu huvaa.
ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA
"kumshukuru Mungu kwa kutuokoa maisha yetu"
dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi
"vitu vyote vya dhahabu"
Numbers 31:52-54
vitu vyote vya dhahabu ... kutoka kwa mamia vilikuwa na uzito ...
"dhahabu yote ambayo makamanda wa jeshi walitoa kwa BWANA ilikuwa na uzani wa"
16,750
"mia saba na hamsini"
shsekeli
shekeli 1 ni sawa na garamu 11
kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA
dhahabu itawakumbusha watu kuwa BWANA aliwapa ushindi, Pia itamkumbusha BWANA kuwa watu walitimiza kisasi kwa Wamidiani.
Numbers 32
Numbers 32:1-3
Sasa
Hili neno "sasa" linatumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Musa anaanza kueleza historia ya Kabila la Reubeni na Gadi.
Atarothi, Diboni, Jazeri, Nimrahi, Heshiboni, Elealehi, Sabamu, Nebo na Beoni
Haya ni majina ya miji
Numbers 32:4-5
Taarifa kwa ujumla
Watu kutoka kwa Reubeni na Gadi wanaendelea kuongea na Musa, Eliezeri, na viongozi wengine
Haya ni maeneno ambayo BWANA laichukua mbele ya watu wa Israeli
"ardhi ambayo BWANA ametuwezesha kuwaangamiza watu waishio ndani yake"
Sisi watumishi wako
watu wa Reubeni na Gadi wantumia lugha hii kuonesha unyenyekevu wao kwa mtu mwenye mamlaka ya juu.
kama tumepata kibali mbele ya macho yako
"kama tumepata kibali kwako" au "kamaumependezwa na sisi"
tunaomba ardhi hii tupewe
"utupe ardhi hii"
Usituvushe ng'ambo ya Yorodani
"Usituvushe ng'ambo ya Yorodani ili kupata umiliki wa ardhi kule"
Numbers 32:6-7
Je. mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
"Si sahihi kwenu kukaa hapa wakati ndugu zenu wanaenda vitani"
Kwa nini kuwafisha moyo wana .... kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
"Msikatishe tamaa mioyo ... ardhi ambayo BWANA amewapa"
kuwafisha moyo wa Israeli wasivuke
"kuwafisha moyo watu wa Israel ili wasivuke" "au "msiwasababishe watu wa Israeli ili wasitake kuvuka kwenda"
Numbers 32:8-9
Taarifa kwa ujumla
Musa anaendelea kuongea na watu wa Reubeni na Gadi
Bonde la Eskoli
Tazama 13:23
Waliiona ile ardhi
"Waliwaona wale watu hodari na ile miji katika hiyo ardhi"
wakawafisha moyo watu wa Israeli
Tazama 32:6
Numbers 32:10-12
hasira ya BWANA iliwaka
"BWANA akakasirika sana"
hakuna mtu
"hakuna mtu kati ya watu." Kirai hiki kinamaanishsa watu wote waume kwa wake
walionifuata kwa ukamilifu
"walinitii kwa ukamilifu"
Yefune ... Nuni
Haya ni majina ya wanaume
Mkenizi
Hili ni jina la kikundi cha watu
Numbers 32:13-15
Hasira za BWANA ziliwaka
"BWANA alikasirika sana
miaka arobaini
"miaka 40"
kile kizazi ... kilipoteketea
"kizazi chote ... macho yake kilipokufa"
kilichofanya maovu mbele za macho yake
"kilichofanya maovu mbele za macho ya BWANA"
mmetokea katika nafasi za baba zenu
"mmeanza kutenda kama babu zenu"
ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli
"kumfanya BWANA kuwa na hasira zaidi kwa Israeli"
watu hawa wote
"kizazi chote hiki cha watu"
Numbers 32:16-17
tutajipanga kijeshi
"tutakuwa tayari tukiwa na silaha" au "tutakuwa tayari kupigana vitani"
kwenye miji ya maboma
"katika miji salama"
Numbers 32:18-19
Taarifa kwa ujumla
Viongozi wa Reubeni na Gadi wanaendelea kuongea
apate urithi
"amechukua urithi wake wa ardhi"
Numbers 32:20-22
kama mtajipanga wenyewe
"kama mtachukua silaha zenu"
Mbele ya BWANA
"katika uwepo wa BWANA"
mpaka atakapowafukuza maadui zake
"mpaka BWANA atakapowawezesha maaskari kuwaangamiza maadui na kuwafu"kuza kutoka katika uwepo wake
na nchi itawaliwe na Israeli
"na katika uwepo wake Waisraeli watawatawala watu wanaoishi katika nchi hiyo"
mtaweza kurudi
"mtaweza kurudi katika nchi hii katika upande wa mashariki wa Yorodani
Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli
Inamaanisha 1) "mtakuwa mmekamilisha wajibu wenu kwa BWANA na kwa Israeli 2)"Hakutakuwa nalawama toka kwa BWANA au kwa Israeli"
Numbers 32:23-25
Mwe na hakika kuwadhambi yenu itaonekana
"Mjue kwa uhakika kuwa BWANA atawaadhibu kwa dhambi yenu"
watumishi wako
"hii ni namna ya kunyeyekea pale mtu anapoongea na mtu mwenye mamlaka ya juu"
Numbers 32:26-27
tutavuka
"tutavuka mto Yorodani"
kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita
"kila mtu aliyejiandaa kwa vita"
Numbers 32:28-30
kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani
"kila mwanamume aliyetayari akiwa na siilaha yake"
kama nchi mtaitawala mbele zenu
"kama BWANA atawatawala mbele yenu hao watu wanaoishi katika nchi hiyo"
basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani"
Basi kile kizazi cha Gadi na Reubeni watapokea ardhi pamoja nanyi kule Kanaani
Numbers 32:31-32
Tutavuka tukiwa na silaha zetu
"Tutavuka Yorodani tukiwa tayari kwa vita"
urithi wetu
"Sehemu ya ardhi ambayo tutaridhi"
utabaki upande huu
"utakuwa wetu"
Numbers 32:33
ufalme wa Sihoni ... na wa Ogu
"ufalme wa Sihoni ... na ufalme wa Ogu"
Numbers 32:34-36
Diboni, Aroeri ...
Haya ni majina ya miji
Numbers 32:37-39
Heshiboni, Elealehi ...
Haya ni majina ya miji.
baadaye waliyabadili majina yao
"baadaye watu walibadili majina ya miji hii"
Numbers 32:40-42
Jairi ... Nobaha
Haya ni majina ya wanaume
Havothi Jairi ... Kenathi
Haya ni majina ya miji
Numbers 33
Numbers 33:1-2
pamoja na makundi y ao ya kijeshi
Tazama 1:1
kama ilivyoamriwa na BWANA
"kama BWANA alivyoamuru"
kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka
"kutoka eneo moja hadi jingine"
Numbers 33:3-4
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayo Waisraeli walipita baada ya kutoka Msri.
mwezi wa kwanza, waliondoka siku ya kumi na tano
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kihebrania
Wana wa Israeli waliondoka waziwazi mbele ya macho ya Wamisri
"Waisraeli waliondoka wakati Wamisri wakiwaona"
wazaliwa wao wa kwanza
"wazaliwa wao wa kwanza wa kiume"
ka kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao
"kwa kuwa pia alikuwa amedhihirisha kuwa yeye ni mkuu kulikko miungu yao"
Numbers 33:5-7
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
walisafiri kutoka
"waliondokda"
mwisho wa nyika
"kwenye mpaka wa jangwa
Numbers 33:8-10
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
na kupita katikati ya bahari
Hii inamaanisha BWANA alipoigawa habari ya shamu ili kwamba Waisraeli waweza kutoroka toka jeshi la Wamisiri
chemichemi kumi na mbilu ... na mti sabin ya mitende
chemichemi 12 ... na mti 70 ya mitende
Numbers 33:11-14
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
ambapo watu walikoswa maji ya kunywa
" "ambapo watu hawakupata maji ya kunywa"
Numbers 33:15-18
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:19-22
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:23-26
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:27-30
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:31-34
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:35-37
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:38-39
mwaka wa araobaini baada ...
"baada ya miaka 40"
katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano
siku ya 1 y a mwezi wa 5 kwa kalenda ya Kihebrania.
Numbers 33:40
Wakaanani, mfalme wa Aradi
"Mkanaani mfalme wa Aradi"
Aradi
Hili lilikuwa jinala nji wa Kanaani.
walisikia juu ya ujio wa Israeli
"walisikia kuwa wana wa Israeli walikuwa wanakuja"
Numbers 33:41-43
Taarfa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:44-46
Taarifa kwa uumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Numbers 33:47-49
Taarifa kwa ujumla
Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri.
Nyanda
eneo kubwa lililotambarare
Numbers 33:50-52
na kuharibu mahali pao pote plipoinuka
"kuvunja mahali pao pote palipoinuka"
Numbers 33:53-54
Taarifa kwa uumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.
Mtairithi ardhi
Madai ya Waisraeli ya kuwa ile aradhi ni yao ndiko kunakofanya kusema kuwa watairithi ile ardhi.
Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhiitakuwa mali yake
"Kila ukoo utapata ardhi kulingana na kura itakavyokuwa"
Numbers 33:55-56
Tarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.
kama siindano machoni mwenu na miibakatika mbavu zenu
kama vile kitu idogo sana kinavyosababisha jicho kuuma ndivyo itakavyokuwa kwa Iwaisraeli kama watamwacha Mkanaani kukaa katika ile nchi.
Numbers 34
Numbers 34:1-3
jangwa l a Sini
Tazama 33:1
Numbers 34:4-5
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.
Numbers 34:6
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.
Numbers 34:7-9
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.
Mlima Hori
Tazama 20:22
Numbers 34:10-12
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli.
Numbers 34:13-15
kwa makabila tisa na nusu
Hii inamaanisha kuwsa yale makabila yanayobaki ambayo tataishi ule upande wa magharibi wa Mto Yorodani katika nchi ya Kanaani. Tle makabila ya Reubeni na Gadi na nusu ya Manase yamepata urithi wao upande wa Mashariki wa Mto Yorodani.
kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao
"Kwa kufuata jinsi BWANA alivyoigawa mali kwa makabila ya mababu
Yale makabila mawili na nusu
"Kabila la Reubeni la Gdi, na nusu ya Manase"
Numbers 34:16-18
Taarifa kwa ujumla
Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila
Numbers 34:19-20
Taarifa kwa ujumla
Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila
Numbers 34:21-23
Taarifa kwa ujumla
Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila
Numbers 34:24-26
Taarifa kwa ujumla
Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila
Numbers 34:27-29
Taarifa kwa ujumla
Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila
Numbers 35
Numbers 35:1-2
nyanda
eneo kubwa ambalo ni tambarare
wa ardhi yao kwa Walawi
BWANA hakuwapatia Walawi ardhi yao, kwa hiyo walitakiwa kuishi kwenye miji ambayo ilikuwa ya makabila mengine.
eneo la malisho
eneo la malisho ambalo mifugo kuchungiwa
Numbers 35:3-4
dhiraa elfu moja
"mita 457"
Numbers 35:5
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.
dhiraa elfu mbili
dhiraa moja ni sawa na sentimita 46
Numbers 35:6-7
kama mtu ameua mtu
Hii inawahusu watu walioua. Lakini bado haijaamuliwa kama waliua kwa makusdi.
arobaini na mbili ... arobaaini na nane
"42 ... 48"
Numbers 35:8
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya.
Numbers 35:9-11
pasipo kukusudia
"kwa bahati mbaya"
Numbers 35:12-13
mlipa kisasi
mtu anayetaka kulipa kisasi kwa kumwua mtuhumiwa
ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii
"ili kwamba mtu yeyote asije akamwua mtuhumiwa kabla jamii haijamhukumu barazani"
Numbers 35:14-15
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya.
Numbers 35:16-18
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya.
kwa hakika huyo anatakiwa kuuawa
"Lazima mwue"
Numbers 35:19-21
Mwenye kulipa kisasi cha damu
"Mtu yule ambaye anamlipizia mwuaji"
atamshinda mtu yeyoteyule anayemchukia
"atamzidi nguvu mtu fulani" au "amemtendea kwa ujeuri mtu fulani"
yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa
"mtuhumia lazima auawe"
Numbers 35:22-23
bila kukusudia
"bila kupanga kutokana na chuki hapa awali"
bila kumvizia
"bila kukusudia kujaribu kumwumiza"
Numbers 35:24-25
mlipa kisasi
Tazama 35:19
watu watamwokoa mtuhumiwa
jamiiitatakiwa kuamua kuwa kile kifo hakikusudiwa.
ambaye alipakwa mafuta matakatifu
ambaye mlimpaka mafuta matakatifu"
Numbers 35:26-28
mlipa kisasi
Tazama 35:19
Numbers 35:29-30
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya.
kwa kizazi chote
"na uzao wenu utakaoisi baada yenu"
mwuaji atauawa
"mtu fulani lazima amwua mwuaji"
kama neno la ushahidi litatolewa
kulingana n a ushahidi wa mashahidi"
Lakiniushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa
"Lakini neno l s mshahidi mmoja tu hautoshi kumfanya mtu auawe"
Numbers 35:31-32
kwa hakika lazima auawe
"Lazima mwue"
Msimruhusu ... kurudi kwenye mali zake
M"simruhusu ... kuondoka kwenye ule mji wa ukimbizi nakurudi nyumbani kuishi kwenye mali zake"
kwa namna yeyote
"kwa kupokea fidia"
Numbers 35:33-34
Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi.
Msiifanye nchi ile mnapoishi isikubalike kwangu kwa namna hii, kwa sababu damu ya mwuaji huifanye nchi isikubalike kwangu"
kwa namna hii
kwa kutokutii sheria inayohusiana na mtu anayeua mtu"
Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga.
"mtu anapokuwa amemwaga damu kwenye nchi, ni adhabu ya kifo cha mwuaji tu ndiyo inayoweza kufanyika kuwa fidia kwenye nchi hiyo"
Numbers 36
Numbers 36:1-2
Machiri
Tazama 26:28
BWANA alikuamuru
"BWANA alikuamuru"
Zelofehadi
Tazama 26:33
Numbers 36:3-4
utaondolewa kutoka kwenye mgao wa mababu zao
"kamwe hatutakuwa kwenye mgao wa Mababu zetu"
Utaongezwa
"Utakuwa mali ya"
utaondolewa kwenye mgao uliopangwa kwenye urithi wetu.
"Kamwe hautakuwa sehemu ya urithi wetu"
mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli
Hi ni sherehe inayotokea mara moja kila baada ya miaka hamsini. Katika sherehe hii, ardhi yote iliyouzwa lazima arudishiwe mmiliki wake wa kwanza.
mgao wao utaunganishwa
"mgao wao utakuwa mali ya..."
mgao wao utaondolewa kwenye mgao wa mababu zao
"watachukua mgao wa ardhi wa kabila letu"
Numbers 36:5-6
kwa neno l a BWANA
"kutokana na kile alichosema BWANA"
Acha waolewe na wale ambao wao wanafikiri ni vizuri
"Acha waolewe na wale wanaowataka"
lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao
"lakini ni laziima waolewe na mtu kutoka kwenye kabila la baba yao"
Numbers 36:7
Hakuna mgao
Hakuna sehemu ya ardhi"
Numbers 36:8-9
aliye na mgao kwenye kabila lake
"aliye na mgao wa ardhi kwenye kabila lake"
aweze kuwa na urithi
ardhi ambayo kila ukoo unaimiliki inaongolewa kama urithi waliopokea.
Hakuna mgao utakaobadilika kutoka kabila nyingine
"hakuna anayeweza kuhamisha umiliki wa mgao wowote wa ardhi kutoka kabila moja hadi nyingine"
Numbers 36:10-12
Mahilaha, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha
Tazama 26:33
urithi wao
"ardhi ile waliyopewa kama urithi"
Numbers 36:13
Nyanda
eneo kubwa amabalo ni tambarare