Jeremiah
Jeremiah 1
Jeremiah 1:1-3
Hilikia ... Amoni
majinaya wanaume
Anatothi
jina la mji
Neno la BWANA lilimjia
"BWANA alinena neno lake"
lilimjia
"lilimjia Yeremia"
wa kumi na tatu ... wa kumi na moja
"wa 13...11"
utawala wake
"utawala wa Yosia
pia lilimjia
"neno la BWANA lilimjija"
wa Zedekia
"utawala wa Zedekia"
Jeremiah 1:4-6
Neno la BWANA lilimjia
Tazama 1:1
lilinijia
"lilimjia Yeremia
sijakuumba
"sijakutengeneza"
Jeremiah 1:7-8
BWANA asema
"kile ambacho BWANA amesema"
Jeremiah 1:9-10
nimeweka maneno yangu kinywani mwako
"nimekupa ujumbe wangu ili uwaambie watu
kung''oa
kuvuta mmea kutoka ardhini "kinyume cha kupanda"
kuvunja
kinyume cha kujenga
kuharibu na kutupa
kuangamiza kabisa
Jeremiah 1:11-12
Neno la BWANA lilinijia
Tazama 1:1
Ninaona tawi la mlozi
BWANA anamuonesha Yeremia maono ya kiroho
mlozi
mti unaotoa mbegu
kwa kuwa ninaliangalia neno langu
Nenol a Kihebarania la "mlozi" na "kuangalia" yanafanana kwa sauti. Mungu anamtaka Yeremeia kukumbuka kuwa anataka neno lake lilitimie kila anapoona tawi la mlozi.
Jeremiah 1:13-14
Neno la BWANA lilinijia
Tazama 1:1
Jeremiah 1:15-16
kila mmoja
wale viongozi wa ufame wa kaskazini
atasimika enzi yake katika malango ya Yerusalemu
"atasimamisha hukumu zake kwenye malango ya mji"
nitatamka hukumu dhidi yao
"nitatangaza jinsi nitakvyowaadhibu"
Jeremiah 1:17-19
Usifadhaike ... nisije nikakufadhaisha
"usiogope sana ... nisije nikakuogofya"
kuvunja
kupasua katika vipande vidogo vidogo
Tazama
"uwe tayari"
chuma ... shaba
zana ngumu zilivyofahamika nyakati zile
BWANA asema
Tazama 1:7
Jeremiah 2
Jeremiah 2:1-3
Neno la BWANA lilinijia
Tazama 1:1
nijia
kwa Yeremia
Nenda ukanene katiaka masikio ya Yerusalemu
"Nenda ukawaambie watu wa Yerusalemu"
ujana wako
"kwa ajili ya faida yako" au "kwa utashi wako"
tumechumbiana
"tulipokubaliana kwa mara ya kwanza kuwa tutaoana"
katka nchi ambayo ilikuwa haijapandwa
"nchi ambayo hakuna aliyepanda" au "nchi ambayo chakula hakistawi"
BWANA asema
Tazama 1:7
Jeremiah 2:4-6
nyumbaya ya Yakobo na kila famila katika nyumba ya Israeli
"enyi kizazi chote cha Yakobo"
Ni makosa gani ambayo ... nao si kitu?
"Sikufanya baya lolote kwa baba zenu, kwa hiyo wamenikoseakwa kutonitii na kuanza kuabudu miungu isiyo na kitu chochote na wao kuwa si kchochote!"
si chochote
isiyo na thamani
BWANA yuko wapi, ambaye alitutoa ... Misri? BWANA yuko wapi, ambaye alituongoza ...anayeishi humo?
"Tunapaswa kujifunza kujua kile ambacho BWANA anatutaka kufanya. Yeye ndiye aliyetuleta ... Misri naye ndiya alituongoza ...anayeishi humo."
Jeremiah 2:7-8
Lakini mlipokuja, mliitia unajisi nchi yangu, mlifanya urithi wangu kuwa chukizo!
Kule mlifanya dhambi na kuichafua nchi nilyowapa!"
Hata makuhani hawakusema . 'BWANA yuko wapi?' na watalaamu wa sheria hawakunijali mimi!
"Makuhani na viongozi wengine wa dini hawakutaka kunifahamu."
BWANA yuko wapi?
"Tunahitaji kumtii BWANA"
Wachungaji wametenda dhambi dhidi yangu
"Viongozi wao wamenitenda dhambi"
wachungaji
"viongozi"
na kuvitafuta vitu ambavyo havina faida
"na kuomba kwa miungu ambayo haiwezi kuwasaidia"
kuvitafauta
"kuitii"
Jeremiah 2:9-11
Kwa hiyo nitaendelea kuwashitaki
"Kwa hiyo nitaendelea kuwashitaki nyumba ya Israeli"
BWANA asema
Tazama 1:7
watoto wa watoto wenu
"kizazi chenu kijacho"
Kwa kuvuka kwenda hadi pwani ya Kitimu
"kusafiri kwa kuvuka bahari hadi kisiwa cha Kitimu"
Kitimu
Siprusi
Kedari
nchi iliyo mbali mashariki mwa Israeli
Je, taifa limebadilisha miungu ... miungu
"Mtaona kuwa hakuna taifa ambalo limebadilisha ... miungu"
haiwezi kuwasadia
"miungu ambayo haiwezi kuwasaidia"
Jeremiah 2:12-13
Sitajabuni, enyi mbingu kwa sababu ya hili! Tetemekeni na kuogopa
Msemamaji anageuka na kuziambia mbingu kama vile anaongea na mtu.
wameziacha chemichemi za maji
"wameniacha mimi, chemichemi yao"
kwa kuchimba mabirika kwa ajili yao
"kwa kuabudu miungu isiyokuwa chochote
Jeremiah 2:14-17
Je, Israeli ni mtumwa? kwani hakuzaliwa nyumbani? kwa nini sasa amekuwa nyara?
"Ninyi watu wa Israeli hamkuzaliwa watumwa; lakini sasa mmetekwa nyara na aduoi zenu."
kwa nini sasa amekuwa nyara?
"Kila kitu mlichomiliki kimechukuliwa kwa nguvu"
Wana simba wameunguruma zdhidi yake ... na kubaki bila watu
"Adui zenu wamewavamia wakiunguruma kama simba. Wameharibu nchi yenu na kuichoma miji yenu. ili kwamba hakuna awezaye kuishi ndani yake"
Wanasimba wameunguruma
"Muungurumo ni sauti kali inayofanywa na wanyama wa wakali"
wakazi
watu wanoishi katika eneo fulani
Nufu na Tahapanesi
Ni miji ya Misri
Watakinyoa kichwa chako
"watafanya kichwa chako kiwe na nyufa"
Je, hamkufanya haya kwa ajili yenu mlipomwacha BWANA Mungu, wakati Mungu wenu alipokuwa akiwaongoza njiani?
"Mmeyasababisha haya ninyi wenyewe kwa kumwacha BWANA Mungu wenu wakati alipokuwa akiwaongoza njiani."
Jeremiah 2:18-19
Kwa hiyo ... ya Mto Frati?
Msisafiri kwenda Shihorikufanya ushirika na watawala wa Misri. Msisafri kwenda Frati kufanya ushirika na Ashuru!
Shihori
Ni mpaka wa Kanaani uliio kusni magharibbi ya Kanaani, kwenye mto uliokauka.
Uovu wako unakukukemea na maasi yako yatakuadhibu.
"Kwa sababu umekuwa mwovu na mwasi, Nitakuadhibu."
ni uovu na uchungu
"ni uovu uliokithiri"
hofu
hofu kuu
Jeremiah 2:20-22
Kwa kuwa nilivunja nira yenu mliyokuwa nayo wakati wa kale; Nilivichana vifungo vyako kutoka kwako Lakini bado ulisema, 'Sitamtumikia!'
"Hapo zamani niliwakomboa kutoka utumwani, lakini mlikataa kuniheshimu mimi!"
tangu ulipopiga magoti katika kila kilima na kuusogelea kila mti wenye majani mabichi, enyi makahaba.
Mlizipigia magoti sanamu na kuziabudu kama mwanamke mzinzi anavyomfanyia mume wake"
Vifungo
ni minyoror inayotumika kumfunga mtu au mnyama
kusogelea
kuwa chini
Lakini mimi mwenyewe niliwapanda kama mzabibu, mbegu iliyokamilika.
Mimi, BWANA, ndiye nilikuanzisha kwa mwanzo mwema."
niliwapanda
kuweka kwenye ardhi ili kukua
na kuwa mzabibu usiofaa na mzabibu pori
"umekuwa kama maozea, divai isiyofaa"
usiofaa
msaliti, mwasi
dhambi yako ni madoa
"bado una hatia ya kutenda dhambi
madoa
madoa yanawakilisha ukumbusho wa mara kwa mara wa dhambi ya Waisraeli
Asema BWANA
Tazama 1:17
Jeremiah 2:23-25
sijaeanda
"sijaabudu"
Tazama tabia zako zilivyokuwa bondeni! ...njia yake!
"Lazima uyatazame matendo uliyofanya katika bonde nje ya Yerusalemu. Unakimbia mbele na nyuma ukifukuza huyu na yule kama ngamia mwepesi asiyejua kule anakoelekea."
mwepesi
"kasi" au " haraka"
Wewe ni punda wa mwitu .... wakatai wa mwezi wa kupandwa
"Wewe ni kama punda jike mchanga anapokuwa katika wakati wa kupandwa huwa hawezi kujizuia na mara kwa mara hubadilishi maeneo akitafuta dume la kumpanda. Punda dume wala hawafukuzi kwa sababu punda jike hujipeleleka,"
anapotafuta
"tamaa kali"
avutaye pumzi za upepo
"kupumua kwa nguvu na kwa haraka"
Lazima uizuie miguuyakoisikose kiatu ... huwatafuta
"Nimekuambiauache kukimbiakimbia hapa na pale ukimbilia Miungu ya uongo, kwa sababu matokeo yakae ni kumaliza viatu n akukufanya uwe na kiu. Lakini unaniambia, 'Hatuwezi kujizuia. Lazima tuifuate hii miungu ya Baali na kuiabudu!"
kiu
hitaji lamaji
wageni
watu ambao hatujawahi kukutana nao
Jeremiah 2:26-28
anapokuwa amekamatwa
"anapokamatwa"
wao
"watu"
hawa ndiowale waiambiayo miti, ninyi ndi baba zangu; na mawe, 'ninyi ndio mlionizaa,'
"hawa ndio watu wanaoimbia miti iliyochongwa, "ninyi ndio baba zangu," na mawe yaliyochongwa, :ninyi ndio mlionizaa." "
kwa kuwa migongo yao hunitazama na siyo nyuso zao
"hugeuka na hawaniabudu" au "hugeuka na kwa hiyo mimi huona migongo yao tu, wala si nyuso zao."
Amka utuokoe
"BWANA njoo utuokoe."
Jeremiah 2:29-31
Kwa nini kunituhumu kwa kufanya makosa? Ninyi nyote mmeniasi
"Ninyi Israeli mnadai kuwa mimi nilikosea pale niliposhindwa kuwaokoa mliponiita, hata kama mnaendelea kunitenda dhambi."
umewaangamiza
"uko tayari kuleta maangamizi makubwa"
Enyi watu wa kizazi hiki! Sikilizeni neno langu, neno la BWANA
"Enyi nyumba ya Yuda, silikizeni neno ninalowaambia."
Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza nene?
"Sikuwatelekeza jangwani wala kuwaacha kwenye nchi yenye giza nene"
Kwa nini watu wanguhusema, 'Acha tuzungukezunguke hatutakuja kwako tena'?
"Kwa niin masema, "Tunaweza kwenda kule tutakako kwenda na wala kumwabudu BWANA tena.'
Jeremiah 2:32-34
Je, mwanamwali anaweza kusahu mapambo yake, na bibi arusi mavazi yake?
"BWANA anaanza kuwakemea watu wake kwa kumsahau"
kwa siku nyingi
"muda mrefu sana"
Jinsi mlivyotengeneza njia zenu vizuri ili kutafuta mapenzi. Hata mmewafundisha njia zenu wanawake waovu,
BWANA anasema kuwa Waisraeli wamekuwa wazuri wa kutafuta miungu ya uongo kiasi kwamba wanaweza kumwosha kahaba namna ya kuwakaribisha wateja.
Damu ambayo ilikuwa ndio uhai wa watu wasio na hatia, imeonekana katika mavazi yenu
Mnahatia ya kuwaua watu masikini na watu wasiokuwa na hatia, watu ambao hawakufanya chocote kuwaumiza."
Hawa watu hawajawahi kuonekana katika matendo maovu.
"Hmkuwaona hawa watu watu wakiiba"
Jeremiah 2:35-37
Mimi
"sisi"
Kwa hakika hasira ya BWANA itageuka kutoka kwangu
"Kwa hakika BWANA hatakuwa mwenye hasira tena
utahukumiwa
"utakukumiwa vikali"
Tangu
"kwa sababu"
sikutenda
"hatukutenda"
kwa nini mnatangatanga kwa urahisi katika njia zenu
BWANA anawatania Waisraeli kwa sababu ya kubadilisha kutoka ufame mwingine hadi mwingine kutafuta msaada lakini hawakumtegemea Mungu kwa ajili ya kupata msaada
kwa urahisi
bila kujali
mmehuzunika
kujisikia kuwa na huzuni au kutokuwa na furaha kwa sababu mfalme wa Misri alikataa kuwasaidia.
Mtaondoka hapo mkiwa
"Mtaondoka hapo kutoka Misri"
mmehuzunika
kwa huzuni kwa sababu hamkupata msaada wa Wamisiri.
mikono vichwani mwenu
Hii inaonesha watu wakiwa katika maombolezo
Jeremiah 3
Jeremiah 3:1-2
Taarif kwa ujumla
BWANA bado anaendelea kuongea kama ilivyokuwa kwenye sura 2
Je, huyo si najisi kabisa
"Ni najisi kabisa"
Huyo mwanamke ndiyo hii nchi
Nchi hii ni kama huyo mwanamke
Mmetenda kama kahaba
Mmetoa upendo wenu kwa sanamu ka vile kahaba atoavyo mwili wake kwa mwanamume ambaye si mume wake"
na sasa mnataka kurudi kwangu tena
"Sitawapokea tena kama mtajaribu kurudi tena kwangu."
Asema BWANA
Tazama 1:7
inua macho yako
"Tazama juu"
Je, kuna mahali ambapo hukufanya ukahaba?
"Wewe ni kama mwanamke ambaye huenda kila mahali na wanaume humkamata na kulala naye
Mwarabu
gege la wanyang'anyi
Jeremiah 3:3-5
mwanamke kahaba
anayelala na wapenzi wengi
Tazama
"sikiliza kwa makini"
Jeremiah 3:6-7
Yeye anaenda
Watu wa Israeli huenda
kila kilima na katika kila mti wenye majani mabichi,
Juu ya viliima na chini ya miti yenye vivuliilikuwa nia maeneo kwa ajili ya kuabudia
Kisha dada yake ambaye ni mwasi
"Watu wa Yuda, ambao pia hawakunitii"
Jeremiah 3:8-10
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea
Israeli aliyeasi
Ewe Israeli, umeaacha kabisa kunitii"
mwenye hana
"asiyestahili"
Asema BWANA
Tazama 1:7
Jeremiah 3:11-12
mwenye haki, haki
Neno "haki" na "mwenye haki" linamlenga Mungu ambaye yeye ni mwema, mwenye hukumu sahihi, mwaminifu, na mwenye upendo, na kwa sabab yeye ni mwenye haki; basi ataihukumu dhambi.
Neno
Neno linamaanishsa kitu ambacho mtu amesema.
mwaminifu
Kuwa mwaminifu kwa Muungu maana yake ni kuishi kulingana na mafundisho ya Mungu.
Jeremiah 3:13-15
Wachungaji niwapendao
Wapendao kile ninachopenda
Jeremiah 3:16
utaongezeka nakuzaa maatunda
"Utatongezeka sana kwa idadi"
Jeremiah 3:17-18
Nyumba ya Yuda itaishi na nyyumba ya Israeli
"Watu wa Yuda wataishi pamoja na nyumba ya Israeli.
Jeremiah 3:19-20
Lakini mimi
Neno "mimi" linamaanisha BWANA
kukuheshimu kama mwangu ... kama mwanamke
Mabadiliko haya ya kutoka kwa mwanmume kwenda kwa mwanamke ni kwa ajili ya msisitizo mkubwa.
Asema BWANA
Tazama 1:7
Jeremiah 3:21-22
Sauti ilisikika
"Watu walisikia sauti"
Kilio na kusihi
"kulia kuomba kwa sauti ya juu"
Tazama
Neno "tazam"a hapa linatupa angalizo la kusikiliza kwa makini kwa ajili ya taarifa za kushangaza zinazofuata.
Jeremiah 3:23-25
Uongo hutoka kwenye vilima
Watu hutegemea mwongozo na kutoka kwenye ibaada za sanamu lakinni huambulia uongo
Na tulale chini kwa aibu. Aibu yetu na itufunike
"Acha tuaibike kabisa"
Wakati wa ujana wetu
"kuanza kwa taifa"
Sauti ya BWANA
"kile ambacho BWANA asemacho"
Jeremiah 4
Jeremiah 4:1-3
Kama utarudi, Israeli
"Kama utanirudida, au kama mtabadilisha tabia zenu, enyi watu wa Israeli"
ikiwa kwangu kwamba umerudi.
"kisha ukaanza kuniabudu"
Asema BWANA
Tazama 1:7
Kama utaondoa hayo mabao yachukizayo mbele yangu
"Ondoa hizo sanamu zichukizazo mbele yangu"
na ukaacha kunikimbia mimi tena
"ukabaki mwaminifu kwangu"
Limeni shamba zenu na msipande kwenye miiba
BWANA anawaambia watu wake kuandaa maisha yao kama mkulima aandavyo shamba kwa ajili ya kupanda
Jeremiah 4:4-6
Mtahiriwe kwa BWANA nakuondoa goviza mioyo yenu
"Mjitoa kikamilifu kwa BWANA"
Mtahiriwe kwa BWANA
"Tahiriweni kwa BWANA"
hasira yangu itawaka kama moto
"vitu ambavyo nafanya kwa sababu nina hasira vitakuwa kama moto
Waambie Yuda na Yerusalemu isikie
"wafanye watu wa Yerusalemu wasikie"
na Yerusalemu isikie
"ifanye Yerusalaemu isikie"
majanga ... angukokubwa
"anguko kubwa" inaeleza jinsi janga litakavyokuwa
kutokea kaskazini
jeshi la adui litatokea kaskazini
Jeremiah 4:7-8
Simba anakuja
"jeshi lenye nguvu na kali linakuja"
kichaka
ni jumla ya mimea inayokua pamoja
ameanza kuja
"ameanza kusogea"
hofu
kuogopa, kutetemeka
lieni
kilio cha sauti na na huzuni na toba kwa sababu ya kutenda dhambi
Jeremiah 4:9-10
Asema BWANA
Tazama 1:7
upanga unawaangukia dhidi ya maisha yao
"adui zetu wako tayari kutuchinja kwa panga zao"
Jeremiah 4:11-12
itasemwa
"BWANA atasema"
Upepo uwakao kutoka katika nyanda ... upepoulio na nguvu
Moto na adui asiyekuwa na msamaha anakuja
binti wa watu wngu
Taifa limelinganishwa na bibi arusi maalumu katika mahusiano ya kimahaba
Hautapepetwa wala kuwatakasa
"sitaziondoa dhambizao"
Upepo ... utakuja kwa amri yangu
"Upepo huo utaamriwa na Mungu kuja.
kwa amri yangu
"kutoka kwangu"
sasa napitisha hukumu dhid iyao
"natangaza hukumu"
Jeremiah 4:13-15
Tazama anavamia kama wingu, na magari yake ni kama dhoruba
"jeshi la adui ni haribifu kama upepo mkali"
Ole wetu kwa kuwa tutaharibiwa
"Watu wanasema, 'kwa hakika tutaangamizwa.'"
Itakaseni mioyo yenu kutoka uovu wenu
BWANA anawaambia watu waishio Yerusalemu, '"Bora mbadilishe tabia zenu."
kuna sauti iletayo
"wajumbe wanahubiri"
na janga lijalo linasikikka
"watu walilisikia hilo janga"
kutokea Dani ... milima ya Efraimu
watu walitambua kuwa wale watu waliokuwa wakitangaza onyo hili walikuwa wanakaribia
Jeremiah 4:16-18
Watakuwa kama walinzi wa shamba lililolimwa pande zote
"watauzingira mji wote"
Asema BWANA
Tazama 1:7
Itakupiga moyo wako
"itapiga kila kitu ukipendacho"
Jeremiah 4:19-20
Moyo wagu! moyo wangu! Niko katika maumivu ya moyo. Moyo wangu umefadhaika ndani yangu.
"Niko katika maumivu makali, Nimezidiwa"
misukosuko
kuchanganyikiwa
Anguko baada ya anguko limetangazwa
"watu wanaambizana kutoka mji mmojahadi mwingine kuwa wameharibiwa"
nchi yote imeharibiwa mara
"adaui wameiharibu nchi"
masikani yangu na hema yangu
neno "maskani" na "hema" yanamaanisha kitu kimoja. Maana yake yaweza kuwa "hema yangu na mapazia yaliyo ndani yake" au "mahali niishipo"
Jeremiah 4:21-22
Vita hivi vitaendelea mpaka lini? Ni mpaka lini nitasikiliza sauti za pembe?
"Natamani kama hivi vita vingeisha haraka"
watu wajinga
watu wapumbavu"
Jeremiah 4:23-26
Niliiona nchi, na kuiona
Huu ni mwaliko kwa Yeremia kuyatazama maono ambayo Mungu anampatia
ilikuwa ukiwa na utupu
Huu ni unabiiwa jinsi nchiya Israeli it akavyokuwa baada ya watu wote kupelekwa katika utumwa.
Tazama
Neno "tazama" linatuashiria kuwa tayari ili kupokea taarifa zinazofuata
Jeremiah 4:27-29
nchi itaomboleza, na mbingu kule juu itatiwa giza
Yeremia anasisitiza hukumu ya BWANA kwa kusema kuwa dunia yote pia inaonyesha huzuni yake.
Kila mji utakimbia ... kila mji utapanda
Huu ni msisitizokuwa watu wote watakuwa wakikimbia.
Miji itatelekezwa, kwa kuwa hakutakuwa na mtu wa kuishi katika miji hiyo
"hakutakuwa na mtu atakayebakizwa katika hiyo miji"
Jeremiah 4:30-31
unavaa mavazi mekundu ...mapambo ... macho ... ya maumivu
"unavaa kama kahaba"
mapambo
"kujipamba" au "kuongeza vitu vinavyomfanya mtu avutie au aonekane wa gaharam zaidi"
wanaume waliokutamani sasa wanakukataa
Hii inasisitiza kuwa mataifa mengine ambayo Israeli alwataegemea kwa utajiri na biashara sasa watamkataa watakapaoiona hukumu ya Mungu.
Utungu kama wa mwanamke
"huzuni na utungu kama wa mwanamke anoupata wakati wa kujifungua"
Atwetaye
"uhai wangu umechanika kwa sababu ya huzuni"
Jeremiah 5
Jeremiah 5:1-3
Taarifa kwa ujumla
Yeremia anawaambia atu wa Yerusalemu.
Kimbieini mkapite
"Fanyeni haraka"
kama mtaweza kumpata
"tazameni mkatafute"
viwanja vayke
eneo wazi kubwa ambapo watu hukusanyika
kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja
"kama mtapata hata mtu mmoja"
anayetenda kwa haki
"anayefanya kile kilicho sahihi"
hata kama wana
Kiwakiishi "wa" kinawakilisha watu wa Yerusalemu
Kama BWANA aishivyo
Tazama 4:1
macho yako hayatazami uaminifu
"unataka watu wawe waaminifu"
unawapia watu, lakini hawasikii maumivu
"unawaadhibu watu lakini bado, hawasikii"
umewaangamiza kabisa
"umewateketeza kabisa"
kuwa waadilifu
"kujifunza"
Wanafanya nyuso zao kuwa ngumu kama mwamba
"wanakuwa wasumbufu sana"
Jeremiah 5:4-6
Kwa hiyo nilisema
"Yeremia anaongea
Lakini wote wanvunja nira yao pamoja; wote wanaivunja ile minyororo inayowafunga kwa ajili ya Mungu.
Nira na minyororo inawakilisha sheria inamfunga mtu na Mungu wake.
Kwa hiyo simba ... mbweha ... chui ..
maana yake yaweza kuwa 1) "Wanyama wa mwituni wakuja na kuwaua watu" au 2) "jeshi la adui litkuja na kuwaua watu"
kichaka
ni miti mingi ambayo imekwa kwa pamoja na iko karibu
mbweha
"mbwa mwitu"
anawasubri
anasubiria
chui
mnyama wa mwitu mkali
hayana ukomo
yasiyoweza kuhesabika
Jeremiah 5:7-9
kwa nini niwasamehe hawa watu
"Kwa sababu ya mambo wanayofanya, siwezi kuwasamehe hawa watu"
hwa watu
Watu wa Yerusalemu
awana wenu
watu wa Yerusalemu
Niliwalisha vya kutosha
"Niliwapatia kila kitu walichohitaji"
na kuchukua alama za nyumba za uzinzi
"na kwenda katika makundi makubaw kwenye nyumba za uzinzi"
katika joto
"aliye tayari kupandwa"
kupandwa
wakati wanyama wanapolala pamoja ili kuazlisha
Kila mume alimkaribia mke wa jirani yake
"kila mwanume alikuwa anajaribu kulala na mke wa jirani yake."
kwa hiyo kwa nini nisiwaadhibu ... na kwa nini nisijilipizie kisasi juu ya taifa kama hili
"Kwa sababu wanafanya mambo haya, Nitawaadhhibu ... kwa hakika lazima nilipe kisasi changu dhidi yao."
Asema BWANA
Tazama 1:7
Jeremiah 5:10-13
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea
Nenda hadi kwenye shamba lake la mizabibu
Pandeni juu ya kuta zake. "BWANA anaulinganisha mji wa Yerusalemu na na shamba la mizabibu ambao una ukuta unaozunguka.
Panden juu
BWANA anawaambia adaui za watu wanaoishi Yerusalemu
msiwaharibu kaisa
"msiiwaangamize kabisa"
Ondoeni matawi kwa sababu hayatoki kwa BWANA
"Waondoeni watu wote waovu kwa sababu hawatoki kwa BWANA"
Kwa sababu ya nyumba za Yuda na Israeli
Kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda
Asema BWANA
Tazama 1:7
wamenikataa
"wamedanganya juu yangu"
Yeye si halsi
"Hawezi kufanya mambo haya
Maovu ahayawezi kutupata, wala hatutaona upanga wala njaa
Virai hivi viwili vunaongelea jambao moja tu, jamabo la pili liko wazi zaidi kuliko la kwanza.
wala hatutaona upanga wala njaa
"hatutakuwa na vita wala njaa"
Jeremiah 5:14-15
Kwa sababu ume
Kiwakilshi cha "u" kinawakilisha watu wa Israeli
asema hivi
Tazama 5:10
tazama
"Sikiliza"
nataka kuweka maneno yangu kwenye kinywa chako.. Yatakuwa kama moto
"Nataka kutengeneza maneno amabyo wewe utayasema kwa kwa niaba yangu kwa moto"
katiak kinywa cahcako
kiwakilishi cha "chako" kinamaanisha Yeremia."wewe uyaseme"
watu hawa
watu wa Israeli
kwa kuwa utawaramba
Kwa sababu utawaharibu watu wa Israeli utakaposema maneno yangu."
dhidi yenu
"kuwashambulia ninyi"
nyumba ya Israeli
Tazama 2:4
ni taifa linalodumu, ni taifa la kale!
ni taifa la miaka mingi na lenye kuvumilia
ni taifa ambalo lugha yake hamuijui, wala hamutaelewa wasemacho
"Ni taifa ambalo lugha yake hamutielewa."
Jeremiah 5:16-17
Podo lao ni kaburi wazi
"Taifa hili litatumia mshale kuuwa watu wengi sana"
Podo lao
neno "lao" inawakilisha taifa ambalo BWANA atalileta kuwangamiza Waisraeli.
podo
"chombo cha kuwekea mishale"
kwa hiyo mavuno yako yataliwa
"Kwa hiyo jedshi la taifa hlo litakula kile mnachotegemea kuvuna"
Watakula
kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha jeshi la taifa lile.
Waiangusha chini kwa upanga miji yenu na boma zake
Watatumia silaha zao kuingamiza miji yenu"
ambazo mnazitumainia
"ambazo mnadani kuwa ziko imara kuwalinda"
Jeremiah 5:18-19
katika siku hizo
Kirai "siku hizo" kinamaanisha wakati ambapo hilo taifa litakuja kuwavamia watu wa Israeli.
asema BWANA
Tazama 1:7
sikusudii kuwaharibu
"sitawaangamiza"
itatokea kwenu
"itakapotokea kwamba .."
haya yote
BWANA atatuma jeshi geni kuiangamiza Israeli.
kuabudu miungu migeni
"kuwatumikia miungu migeni"
Jeremiah 5:20-22
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaongea na watu wa Israeli.
Waambie haya
"sema haya"
nyumba ya Yakobo
Tazama 1:7
yasikike katika Yuda
"yatangaze katika Yuda"
watu wapumbavu! Sanamu hazina matakwa
"watu ambao hawawezi kuelewa"
zina amaaaacho lakiniahaziwezi kuona.
"mna macho lakini hamwezi kuelewa ninachofanya"
zina masikio lakiini haziwezi kusikia
"mna nasikio lakiini hamuelewi kile ninachowaelezeni"
asema BWANA
Tazama 1:7
Je, hamnihofu mimi
"ni upumbavukwamba hamnihofu...uso
au kutetemeka mbele ya uso wangu
"kutetemeka kwa hofu kwa sababu yangu"
Nimeweka mpaka wa mchanga kwenye bahari
"Niliweka mchanga kuwa mpaka wa habari"
ni agizo la kudumu ambalo halibomoki
"ni ukomo wa kudumu ambao hauwezi kuvukwa"
kupwa na kujaa
"huinuka juu na kurudi chini"
hayawezi kuvuka
"hayawezi kufanikiwa kuvuka mpaka"
Jeremiah 5:23-25
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuwaambia wana wa Israeli.
mioyo ya usumbufu
"ni msumbufu na mpinzani"
Hugeuka kuwa wapinzani na kuondoka
"hawatii wala kusikliza."
hawasemi mioyoni mwao
"hawafikirii wao wenyewe"
ambaye hutunza majumaya mavuno ka ajili yetu
"nakuhakikisha kwa ajili yetu kuwa majuma ya mavuno yawepo kwa wakati wake"
uovu wako
Neno "wako" linamaanisha kizazi chaYakobo na watu wa Yuda. "dhambi zako"
mambo mema
mvua na mavuno
Jeremiah 5:26-29
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaenedelea kuongea
watu wao wamo kati ya watu wangu
"kwa kuwa nimewaona watu waovu kati ya watu wangu
wanaweka mtego na kukamata watu
"wanapanga vitu ili kwamba wapate nafasi ya kupata watu"
wanakua na kutajirika
"wanakuwa na nguvu pia matajiri"
wanang'aa nakupendeza
"wana ngozi laini na wene kupendeza"
wamepitiliza hata mipika ya maovu
"wanafanya vitu ambavyo viko zaidi ya uovu"
Sababuy a kuwepo kwa watu yatima
"hawawajali kusadaia mashauri yanayoletwa na yatiima
kwa nini nisiwaadhibu ... taifa la namna hii
Tazama 5:7
Jeremiah 5:30-31
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea
Jambo la ajabu la kuchukiza limetokea
"Jambo la kuogofya na la kusikitisha limetokea"
katika nchi hii
"katika nchi ya Israeli"
Manabii wanatabiri kwa uongo
"wanatabiri uongo"
wanatawala kwa masaada wao
"kutokana na uongozi wa manabii"
lakini mwisho kitatokea nini?
lakini utakuwa katika tabu na majuto kwa sababu ya tabia hii ya uovu itakapoishia kuhukumiwa?"
mwisho
neno "mwisho" linamaanisha adhabu ambayo ni matokeo ya uovu ambao watu wamefanya"
Jeremiah 6
Jeremiah 6:1-3
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaongea
Tafuteni mahali salama
"iweni wakimbizi"
Pigenji tarumbeta
"enyi watu mnaoishi katika mji wa Tekoa jiandaeni kuangamizwa"
Tekoa
hili ni jinala mji ulio kilomita 18 kusini mwa Yerusalemu. Maana ya jina ni "pembe la kupuliza"
Simamisheni ishara juu ya Beth-Hakeremu,
"Enyi watu mnaoishi katika mji wa Beth-Hakeremu; jiandaeni kuzingirwa"
Beth-Hakeremu
Hili nij ina mji ulio kilomita 10kusini mwa Yerusalemu. Jna linamaanisha "mahali pa mizabibu."
ishara
"ishara ya kuwaonya watu kuwa kuna inakuja
kwa uovu unaoonekana
"kwa kuwa watu wanona kuwa kuna janga linalokuja"
pigo kubwa linakuja
"maangamizi makubwa"
Binti za Sayuni, warembo na mwororo
"Binti za Syuni ambao ni kama warembo na mwororo"
Binti za Sayuni
Tazama 4:30
wachungaji na kondoo wao watawaendea
"Wafame na wanajeshi wataizingira Yerusalemu
zikiwazunguka pande zote
"karibu naye pande zote
kila mtu atachunga kwa mkono wake
"kila mfalme ataangamiza akiwa na askari wake"
Jeremiah 6:4-5
Taarifa kwa ujumla
Mflame toka jeshi litaloangamiza anaongea na wanaume walio chiniya mamlaka yake.
Jitakaseni wenyewe kwa miungu kwa ajil ya vita
"Jiandeni kwa vita kwa kujitakasa na kutoa sadaka kwa miungu"
Twendeni
"inukeni"
adhuhuri
"adhuhuri bila kujali kuwa joto ni kali"
mchana unatoweka
"mchana unafika mwisho
vinakuja
"vinachomoza"
usiku
"wakati wa usiku hata kama kuna giza"
ngome zake
"majengo imara ya Yerusalemu"
Jeremiah 6:6-8
Kateni miti yake
"Ikateni miti yake" BWANA anawaambia lile jeshi ambalo litaivamia Yerusalemu.
vifusi vya kuitekea
"vifus." Hivi ni vifisi vya takataka ambavyo vitawawezesha wanajeshi kuziangamiza kuta za Yerusalemu
kwa sababu umejaa ukandamizaji
"kwa sababu watu wake wanaoneana wao kwa wao"
Kama vile kisima kitoavyo maji, vivyo hivyo mji huu uzaavyo uovu
Kama vile kisima kinavyobaki na maji, Yerusalemu imebaki na uovu, hata kama BWANA anaiadhibu.
uharibifu na jeuri vimesikika kwake
"Ninasikia uharibifu na ujambazi kwake."
Mateso na jeuri viko mbele yangu daima
Daima ninaona ugonjwa na mateso."
Uadhibishwe, ee Yerusalelmu
"Jifunzeni kutoka kwenye hiyo adhabu yenu, enyi watu wa Yerusalemu.
nchi isiyokariwa na watu
"nchi ambayo hakuna watu wanaoishi ndani yake"
Jeremiah 6:9-10
Hakika wataokota mabaki ya Israeli waliobaki kama zabibu
"Watarudikuwaangamiza Waisraeli waliobaki Israeli baada ya kuwa wamewaanagamiza."
Hakika wata
Kiwakilishi "wa" kinawakilisha lile jeshi ambalo BWANA analituma kuiangmiza Israeli.
Nyosha mkono wako
BWANA anaongea na adaui wanaowangamiza Israeli.
Nyosha mkono wako ili uchume Zabibu
"Njoni muwaangamize Waisraeli."
Nitamwambia nani
Yeremia anaongea
Nitamwambaia nani na kumwonya nani ili wasikilize
"Hakunaaliyebaki kwangu wa kumwambian a kumwonya ili anisikilize."
Tazama
BWANA anatumia neno hili "tazama" ili kusisitiza anachokisema.
Masikio yao hayakutahiriwa
"Wanakataa kusikiliza" au "Wanakataa kutii"
Masikio yao
"Kiwakilishi "yao" kinamaanisha Waisraeli.
Jeremiah 6:11-12
Lakini nimejazwa
Anayeongea na Yeremia
nimejazwa na hasira za BWANA
"nina hasira sana pamoja na BWANA."
Nimechoka kuizuia
"Nimechoka kutoisema hasira ya BWANA"
Imwage mbele ya watoto mitaani
"watoto mitani" inamaanisha watoto wote katika mji. "Iseme hasira yangu kwa watoto wa mji"
Kwa kuwa kila mume atachukuliwa pamoja na mke wake
"Kwa sababu adui watakamata mume na mke wake."
kila mzee mwenye miaka mingi
"mwenye miaka mingi" inamaanisha "mzee sana" "kila mzee sana"
watapewa watu wengine
"itakuwa mali ya mtu mwingne"
mashamba yao na wake zao pamoja
"mashamba yao na wake zao pamoja"
Kwa kuwa nitaangamiza wakazi wa mji kwa mkono wangu
"Kwa kuwa nitatumia nguvu zangu kuwaangamiza watu wanaoishi katika nchi"
asema BWANA
Tazama 1:7
Jeremiah 6:13-15
kutoka kwa mdogo hadi kwa mkubwa
"watau wote wa Israeli waliobaki kutoka kwa mtu dahaifu kabisa hadi mwenye nguvu."
anatamani mapato ya udanganyifu
"anayefanya mambo mabaya kwa wengine ili apate fedha"
vidonda vya watu wangu
"matatizo makubwa amabayo watu wangu wanayo"
kwa juu juu
"kama vile havikuwa vinvauma"
'Amani! Amani! na kumbe amani haipo
"Yote yako sawa! kumbe hayako sawa"
Je, waliona aibu walipofanya machukizo?
"Walifanya dhambi mbaya sana, lakini hawakuna aibu"
Hawakuona aibu, hawakuwa na aibu
"hawakuona aibu kwa kile walichofanya"
wataanguka
"watauawa"
wataangushwa
"watajikwaa" au "watapoteza nguvu zao na kuwa dhaifu"
Jeremiah 6:16-19
Simama kwenye njia panda
BWANA anaongea na watu wa Israeli.
Simama kwenye njia panda ...Htutaenda
Haya mabarabara na njia inamaanisha aina ya maisha ambyo watu wanaishi. BWANA anataka watu wa Israeli waulize aina ya maisha mazuri kwao kuishi.
uliza njia za zamani
"uliza mababu zao waliishije"
Niliweka walinzi juu yenu ... Hatutasikia
BWANA anawaeleza manabii kama walinzi ambao walitumwa kuwaonya watu katika hatari.
niliwaweka.. juu yenu
Kiwakilishi "yenu" kinamaanisha Israeli
wasikilize tarumbeta
"kusiliza sauti za tarumbeta" BWANAanawaamuru watu wasikilize maonyo ambayao aliwapatia kupitia kwa manabii.
Kwa hiyo, sikilizeni, enyi mataifa! Tazamaeni enyi mashahidi, muone kile kitakachowapata. Sikia wewe dunia, Tazama.
Virai hivi vitatu vyote viinawaambia watu wa mataifa mengine kushudia kile ambacho BWANA atafanya kwa hili taifa pinzanij la Yuda.
Niko tayari kuleta janga kwa watu hawa
"kwa haraka nitawaadhibu watu hawa"
enyi mashahidi
"enyi ambao mtashuhudia"
kitakachowapata
"neno "wa" linamaanisha watu wa Israeli.
sikia wewe, dunia
"Sikia, watu wanaoishi katika dunia."
matunda ya fikra zao
"janga ni matokeo ya fikra zao."
Hwakusikiliza neno langu wala sheria zangu badala yake walizikataa.
"Hawakusikiliza nilichowaambia kufanya"
Jeremiah 6:20-22
Huu ubani unaopanda kutoka Sheba una maana gani kwangu? au huu udi kutoka nchi ya mbali?
Sihitaji ubani kutoka Sheba au harufu nzuri ya mafuta kutoka nchi ya mbali?
huu udi
Hii harufu nzuri ilitumiKa kumwabudu Mungu hekaluni
hazikubaliki kwangu
"havinifurahishi"
Tazama
neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kiinachofuata, "kwa kweli"
Niko tayari kuweka kikwazo dhidi ya watu hawa
""Niko tayari kuweka kikwazo mbele ya watu hawa"
kikwazo
magumu
juu yake
"juu yao"
baba na watoto wao
"baba na watoto wote watajikwaa"
wakazi na jirani zao
"majirani na marafiki"
limechochewa kutoka nchi ya mbali
"limehuhishwa ili lije kutoka maeneo ya mbali"
Jeremiah 6:23-24
Watachukua
"Watashikilia" kiwakilshi cha "wa" kinamanisha wale wanajeshi wale watakaotoka kasazini.
Sauti zao ni kama muungurumo wa bahari
"sauti ile wanayoifanya ni ya muunagurumo mkali kama ya bahari
katika mfumo wa wanaume wa vita
"lile jeshi limejipanga vizuri ili kwamba wale wanaume waingie vitani"
enyi binti wa Sayuni
Tazama 4:30
Tumesikia
Kiwakilishi "tu" yawezekana kinamwakilisha Yeremia akiongea na watu wote wa Yuda.
inalegea kwa dhiki
"imelegea kwa sababu tuna mashaka"
maumivu yametukmata
"Tuko kwenye maumivu"
kama utungu wa mwanamke
"kama mwana mke anayezaa"
Jeremiah 6:25-26
Taarifa kwa ujumla
Hii yawezekana BWANA anaongea na binti wa Yerusalemu wanaowakilisha watu wote w a Yerusalemu
Binti za watu wangu
Tazama 4:11
jivikeni magunia nakugaagaa kwenye majivu ya ya maombolezo ya mwana pekee.
"iweni wenye huzuni"
kwa kuwa anayewaangamiza anakuja kwetu ghafla juu yetu
"kwa sababu jeshi la adui linakuja ghafla kutuangamiza"
Jeremiah 6:27-30
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaongea
kuwajaribu watu wangu kama mtu anyepima fedha.
"mtu atakayewapima watu wangu" BWANA anamfananisha Yeremia na mtu anyepima fedha ili kutambua ni safi kiasi gani. Watu ni kama fedha ambayo Yeremia anaipima na dhambi zao ndiyo uchafu katika zile fedha.
utachunguza
"utagundua"
njia zao
"vitu wanavyofanya."
wanaoenda huko na kule wakiwasingizia wengine
"na daima huwasingizia watu"
Mifuo inafukuta kwa moto unaozunguka; risasi inaunguzwa na moto
virai hivi vinasisitiza kuwa mpimaji anafanya kazi kwa bidii kuipima fedha
Risasi tu ndiyo inyotoka kati yake
"mpimaji anendelea kupima"
kwa sababu uovu haujaondolewa
"kwasababu sehemu mbovu hazijaondolewa"
Wataitwa taka za fedha
"watu wataita 'fedha isiyo na thamani'"
Jeremiah 7
Jeremiah 7:1-2
Hili ni neno la BWANA lililomjia Yeremia
"Huu ni ujumbe ambao BWANA aliutuma kwa Yeremia
ndilo neno
"ujumbe ambao BWANA yuko tayari kuutoa kwa Yeremia
Simama ukaseme
"BWANA anatoa amri hii kwa Yeremia
kumwabudu BWANA
"kwa sababu ya kumwabudu BWANA"
Jeremiah 7:3-4
Taarifa kwa ujumla
Huu ndio ujumbe ambao BWANA antaka kumpa Yerermia kwa ajili ya watu wa Yuda.
Tengenezeni njia zenu na kufanya mema
"Ongozeni kwa maisha mema na matendo mema"
muishi hapa
katika nchi ya Israeli. ambayo ina hekalu ambalo ni kitovu chake
msitumainie maneno ya uongo mkisema
"Msitumainie maneno yanuongo kwa kusema"
Hekalu la BWANA! Hekalu la BWANA! hekalu la BWANA!
"Hili ni hekalu la BWANA kwa hiyo kuna uhakika wa kwamba hakuna atakayeliharibu."
Jeremiah 7:5-7
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA kwa watu wa Yuda.
kama mtatoa hukumu ya haki kabia
"kama mtafanya kabisa"
kama mtazitengeneza njia zenu na kufanya mema
Tazama 7:3
kama mtatoa hukumu ya haki
"kama mtawatendea watu kwa haki
kama hamtamnyonya ayekaa katika nchi
"kuwatendea vyema wageni wanaokaa katika nchi"''
yatima
watoto ambao baba zao wameshafariki
hamtamwaga damu ya mtu asiye na hatia
"hamtaua watu wasio na hatia."
kama hataenda
"hamtaabudu"
kwa ajili ya maumivu yenu
"ili kwamba vitu vibaya vkataokea kwako"
mahali hapa
katika nchi ya Israeli
nitawaacha mkae
"nitawaacha muishi"
hata milele
"na milele"
Jeremiah 7:8-11
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea na watu wa Yuda kupitia kwa nabii Yeremia.
Tazama!
Neno "tazama" linaonyesha kuwa maswali yafuatayo yana umuhimu
Mnatumainia maneno ya uongo ambayo hayawasaidii
"Mnadhdani kuwa nitaiokoa Yerusalemu kwa kwa sababu nitlilinda hekalu langu. Lakini huo ni uongo!"
Je, mnau, mnaiba, mnafanya uzinzi?
"Mnaua, mnaiba, mnafanya uzinzi"
Mnaapa kwa uongona kufukiza uvumba kwa Baali na kwenda kwa miungu mingine ambayo hamkuijua?
"Mnadanganya hata katika viapo vyenu na kumwabudu Baali na miungu mingine."
Je, mnakuja na kusimama ... kufanya machukizo yote haya?
"Kisha mnakuja kwenye nyumba yangu na kusema, ''BWANA atatuokoa" ili kwamba ninyi muendelee kufanya dhambi."
Je, hii ndiyo nyumba inyobeba jina langu, pango la wanyang'nyi mbele ya macho yenu?
"Nyumba hii ni pango la wanyang'anyi mbele ya macho yenu!"
wanyang'anyi
"wezi" au "watu wanaoiba vitu toka kwa watu"
BWANA asema
Tazama 1:7
Jeremiah 7:12-15
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kumwambia Yuda kupitia kupitia kwa nabii Yeremia
kwa hiyo uende
"kwa hiyo ukumbuke" au "tafakari"
kwa hiyo sasa kwa sabasbu ya matendo yako haya yote
"kwa sababu ulikuwa unafanya mambo haya yote"
mara kadhaa
"tena na tena"
Jeremiah 7:16-18
Usiwaombee watu hawa ... na usinisihi
"usiniombe mimi ukisema niwabariki watu hawa"
usiinue maombolezo ya kilio
"usilie kwa huzuni"
kwa niba yao
"kwa ajili ya faiada yao"
usinisihi
"usiniombe"
ili kunikasirisha
"kunikasirisha"
Jeremiah 7:19-20
Ni kweli wananikasirisha ... wananikasirisha
"kweli wananisumbua ... wananisumbua"
Ni kweli wananikasirisha mimi?
"Ni kweli hawanisumbui?
Je, si wao wanaojikasirisha? ... ili kwamba aibu iwe juu yao?
"Wanajitaabisha wenyewe kwatabia zao za aibu"
Tazama
Neno hili linavuta usikivu kwa kile kinachofuata. "Sikiliza kwa makini kwa sababu hili ni la muhimu
hasira na ghadhabu zangu zitamwagwa mahali hapa
"Nitawadhibu watu wa mahali hapa."
Hasira na ghadhabu
Maneno haya yana maana moja. Yametumika kusisitiza ukali wa hasira yake
itawaka
kiwakilishi "i" kietumika kuonesha hasira za BWANA."
nayo haitazimishwa
"haitazuiliwa kuwaka" au "sitazuiliwa kuwa na hasira"
Jeremiah 7:21-23
Jiongezeeni sadaka za kuteketezwa katika dhabihu zenu na nyama zake.
Ingwa BWANA hutaka sadaka, hakutaka tena sadaka zao kwa sababu walibaki kuwa waasi baada ya kutoka hekaluni
Jeremiah 7:24-26
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuwakumbusha wa Yuda jinsi watu wa Israeli walivyoasi
kwa kufuata mipango yao ya uasi ya mioyo ya maovu
"kwa kufuata mipango yao kwa sababu walikuwa waovu na wasumbufu
kwa hiyo walirudi nyuma badala ya kuendelea mbele
"kwa hiyo walikataa kunisikiliza mimi, badala ya kunisikiliza kwa makini"
watumishi wangu
"watumishi wangu wote
Niliendelea kuwatuma
"kwa bidii niliwatuma kila siku"
manabii wangu, kwenu
neno "kwenu" linamaanisha watu wa Yuda na mababu zao wote.
Hawakunisikiliza
neno "ha" linamaanisha watu wa Israeli walioishi tangu mababu zao kutoka Misri.
walishupaza shingo zao
"kwa ukatili walikataakunisikiliza"
waikuwa waovu zaidi
"kila kizazi kilikuwa cha uovu"
Jeremiah 7:27-28
Kwa yatangaze maneno haya ... Tatangaze mabo haya ...
Virai hivi vinamaanisha kitu kimoja. "Waambieni ujumbe wangu lakini hawatanisikiliza na kubadili njia zao mbaya."
sauti ya BWANA
Tazama 3:23
Ukweli umeharibiwa na kukatwa kutoka kwenye vinywa vyao
"watu hongea uongo tu"
Jeremiah 7:29-30
wana wa Yuda
"kizazi cha Yuda"
amekikataa na kukitupa
manano haya yana maana moja, Yanasisitiza kuwa BWANA hatakuwa na jambo lingine la kufanya kwa watu wa Israeli.
Kuzitupa
"kuziacha pekee yake" au "kupuuzia"
mbele ya macho yangu
"na mimi nikiona" au "katika fikra zangu"
Jeremiah 7:31-32
Taarifa kwa ujumla
BWANAanaendelea kuelezea maovu ambayo watuwa Yuda wamefanya.
Mahali palipoinuka pa Tofethi
Hili ni neno la mahali ambapo wana wa Israeli walienda kuwatoa sadaka watoto wao kwa miungu ya uongo kwa kuwateketeza kwa moto.
Kwenye bonde la Ben Hinomu
Hili ni jina la binde ambalo liko kusini mwa mji wa Yerusalemu, mahali ambapo watu walitoa sadaka kwa miungu ya uongo.
kwenye moto
"kwenye moto kama sadaka"
katika akili zangu
"na kikuwahi kufikiri hata kuliamuru jambo hili"
kwa hiyo tazama
neno "tazama"linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata."
siku zinakuja
"katika siku za usoni"
asema BWANA
Tazama 1:7
hapataitwa tena
"watu hawatapaita"
bonde la machinjio
"bonde la mauaji"
watazika maiti
"watu wa Yuda watazika wafu"
mpka eneo lote lienee
"hakuna eneo litalobaki"
Jeremiah 7:33-34
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea
Mizoga
"watu waliokufa"
watu hawa
"watu wa Yuda"
ndege wa angani
Tazama 4:23
wanayama wa duniani
"wanyama wa mwituni"
wa kuwafukuza
"wa kuwatisha ili wakimbie"
Nitazikomesha
"Nitaziondoa kutoka
sauti za kuinuliwa na vicheko
"sauti za watu wanaofurahia"
sauti ya bwana arusi na ya bibi arusi
"watu kuona"
Jeremiah 8
Jeremiah 8:1-3
Taarifa kwa ujumla
Yeremia amemaliza kuwaambia watu wa Yuda kitakachotokea katika nchi.
Wakati huo
Tazama 7:31, 7:33
asema BWANA
Tazama 1:7
wataleta
neno "wa" linamaanisha watu watakaoiangamiza Yerusalemu.
wakuu wake
"wafalme wa Yuda"
wataitandaza
"neno "wa" linamaanisha mifupa ya watu wa Yuda
hivi vitu katika anga vimenifuata na kunitumikia
"vitu hivi katika anga ambavyo vilinipenda na kunitumikia," kiwakilishi "vi" kinamaanisha watu wa Yuda.
kwamba vimetembea na kutafuta
Tazama 2:23
na kutafuta
"na kwamba wameuliza juu ya"
mifupa haitakusanywa na kuzikwa
"hakuna atakayekusanya mifupa na kuizika."
watakuwa kama mavi
"BWANA anaonesha jinsi ambavyo watakuwa si wa kupendeza."
kama mavi
"kama mbolea"
juuya uso wa dunia
"katika ardhi yote"
ambalo nimewafukuza
kiwakilishi "me" kinawakilisha watu wa Yuda
watachagua mauti badala ya uzima kwa ajili yao, wote ambao watasalia kutokana na taifa hili ovu
"wale ambao bado wamebaki kutoka katika familia hii y a waovu watataka kufa badala ya kuishi"
Jeremiah 8:4-5
Kwa hiyo uwaambie
BWANA anaongeana Yeremia
uwaambie
"kwa watu wa Yuda"
Je, kuna mtu anayeanguka na hasimami?
"Mnajua kuwa mtu anapoanguka, husimama."
Je, kuna mtu anayepote na hajaribu kurudi?
"mtuu anapopotea, hujaribu kurudi kwenye njia sahihi
Kwa nini hawa watu, Yerusalemu, wamegeukia uasi daima?
"Haiingii akilini kwamba hawa watu wa Yerusalemu wamegeukia uasi daima."
Jeremiah 8:6-7
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaongea juu ya watu wa Yuda
hawakuongea kilicho sahihi
"hawakusema kilicho sahihi"
uovu wake
"kwa sababu ya uovu wake"
Nimefanya nini
"Nimefanya jambo baya sana"
kila mmoja wao huenda anakotaka
"watu wote wanaendelea kwa bidii kufanya uovu huohuo."
kama farsi aendaye kasi vitani
Watu wanatamani sana kufanya maouvu kama vile farasi hukimbia kwakasi kwenda vitani kwa sababu hutamani kufika kule.
farasi dume
huyu ni farasi dume
Hata koikoi angani hujua wakati sahihi; na njiwa pori, na mbayuwayu, na korongo
Ndege hujua wakati sahihi wakuondoka kwenye nchi ya baridi kwenda kwenye nchi ya joto.
koikoi, njiwa, mbayuwayu na korongo
Hawa ni ndege tofauti ambao hurukka kwenda kwenye maeneo ya joto kabla maeneo yaohayajawa na baridi
huhama kwa wakati sahihi
"huhama kutoka nchi ya baridi kwenda kwenye nchi ya joto"
Jeremiah 8:8-10
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA kwa watu wa Yuda.
Kwa nini mnasema, "sisi tuna hekima! na sheria ya BWANA tunayo?"
"Msisema kuwa mna hekima, na sheria ya BWANA mnayo."
Kwa nini mnasema
kiwakilishi cha "mna" kinawakilisha watu wa Yuda.
Kalamu yenye uongo ya mwandishi imefanya uongo
"Mambo ya uongo ambaYo walimu wa sheria wamekuwa wakiandika yamewapeni mawazo ya uongo juu ya sheria za BWANA "
Wenye hekima wataabishwa
"Hawa watu wanofikiri kuwa wanahekima watajisikia kuaibika"
Wameyeyuka na kunaswa
"Aduii watawateka na kuwachukua"
hekima yao ni kwa ajili ya matumizi gani?
"kwa hiyo hicho kinachoitwa hekima hakina kazi yeyote njema kwao"
kwa wale watakaowamiliki
"watu watakaoitawala nchi yao"
kwakuwa kuanzia kijana ... wote wanasema uongo
Tazama 6:13
Jeremiah 8:11-13
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA kwa watu wa Yuda
Kwa kuwa wameitibu jeraha ya binti za watu wangu ... asema BWANA
Tazama 6:13
jani litanyauka
"jani litakauka"
na chote nilichowapatia kitaisha
Hi inaweza kumaanisha 1) "Niliwapa maelekezo watu wangu, lakini watu wangu hawakutii hayo maelekezo. 2) "kwa hiyo, nimewatoa hawa watu kwa adui zao, ili adui zao wawakanyage."
Jeremiah 8:14-15
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea na ujumbe wake kwa kutuambia kile watu wa Yuda watakachosema wakati huo wa adhabu.
Kwa nini tunakaa hapa
"Hatupswi kukaa hapa."
Njono pamoja; twendeni kwenye hiyo miji yenye maboma
Tazama 4:4
miji yenye maboma
"miji yenye kuta imara na askari wa kuilinda
na tutakaakimya kule katika kifo
"nasi tutafia huko"
BWANA Mungu wetu atatunyamazisha
"kwa sababu BWANA Mungu wetu atatuua"
Atatufanya tunywe sumu
"Ataufanya tunywe sumu" inamaanisha hukumu ya Mungu.
lakini tazama, kutakuwa na
"lakini eleweni, kutakuwana"
lakini hakutakuwa na jema
"lakini hakna jema litakalotokea"
Jeremiah 8:16-17
Taarifa kwa ujumla
BWANA anendeleza ujumbe wake juu ya adhabu inayokuja kwa watu wa Yuda
Mkoromo wa farasi wake umesikika kutoka Dani
"Watu wa Dani wanaiasikia sauti ya jeshi la adui likija kuivamia Yuda,"
farasi
farasi dume
Dunia nzima inatikisika
"watu wa nchi wanatikisika kwa hofu"
kwa sababu ya sauti ya kukaribia kwa farasi wake wenye nguvu
"watakaposikia sauti ya farasi mwenye nguvu wa adaui"
sauti ya farasi
sauti ambayo farasi huitoa
kwa kuwa watakuja
Kiwakilishi "wa" kinmaanisha jeshi linalovamia
kuiangamiza nchi
"na kuiharibu nchi."
Ninawatuma nyoka kati yenu
"Ninawatuma askari wa adui ili kuwapigeni ninyi."
fira ambao hawawezi kuzuiliwa kwa uganga
Fira ambao huwezi kuwafukuza kwa uchawi
watawauma
"watawashambulia" au "watawaangamiza"
asema BWANA
Tazama1:7
Jeremiah 8:18-19
Taarifa kwa ujumla
Yeremia na BWANA wana mazungumzo juu ya watu wa Yuda.
Huzuni yangu haina ukomo, na moyo wangu unaugaua
Aya hii kwa Kihebrania inatafsiriwa tofauti sana leo.
Huzuni yangu haina ukomo
kiwakilishi "yangu" kinamwakilisha Yeremia. "Nina huzuni sana"
na moyo wangu unaugua
kiwakilishi cha "wangu" kinamwakilisha Yeremia. "Ninajihisi kuugua ndani yangu."
Sikia sauti ya mauivu ya binti wa watu wangu kutoka mbali!
Hii inaweza kumaanisha1) "watu wa Yudsa wanaita wakiwa utumwani mbali sana 2)"Watu wa Yuda wanaita kutoka katika nchi ya Israeli yote."
binti wa watu wangu
Israeli ni kama binti
Je, BWANA hayumo sayuni?
Yerusalemu inaitwa Sayuni pia
Je, BWANA hayumo Sayuni? Mfalme wake hayumo ndani yake?
"Kwa nini BWANA hatuokoi kama ndiye mfalme wa Yerusalemu?
Kwa nini sasa wananichukiza kwa vitu vya kuchongwa na sanamu za kigeni zilizo batili?
"Kama wanataka niwaokoe, basi wasinichukize kwa kuabudu sananmu zao."
Jeremiah 8:20-22
Taarifa kwa ujumla
Yeremia anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda
Mavuno yamepita
"wakati wa mavuno umeisha
Lakini sisi hatujaokoka
"Lakini BWANA hajatuokoa,"
Nimeumia kwa sababu ya binti wa watu wangu
"Ninajisikia vibaya kwa sabau watu wa Yuda wanapitia mambo mabaya sana."
Je, kule Gileadi hakuna dawa? Je, huko hayuko mponyaji?
"Kuna dawa Gileadi! Kuna daktari Gileadi!"
Kwa nini uponyaji wa binti wa watu wangu hauatokei?
"Lakini watu wangu wana vidonda vya kirohokiasi kwamba hiyo dawa na hao waganga hawaezi kuviponya."
Jeremiah 9
Jeremiah 9:1-3
Taarifa kwa ujumla
BWANA na Yeremia wanaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda
Kama kichwa changu kingetoa maji, na macho yangu kuwa chemichemi ya machozi
"Natamani kama ningetengeneza machozi zaidi!"
usiku na mchana
"muda wote."
binti wa watu wangu
Tazama 4:11
ambao wameuawa
"ambao adui amewaua."
Kama mtu angenipatia
"Natamani kama mtu angnipatia"
mahali pa wasafari nyikani nikae
Hii inamaanisha jengo la watu wanaosafairi nyikani, amabalo wanaweza kutulia na kulala wakati wa Usiku.
kuwatelekeza watu wangu
"kuwaacha watu wangu"
kundi la webye hiana
"kundi la watu wanaoweza kusaliti watu
asema BWANA
Tazama 1:7
Huupinda ulmi wao kana kwamba ni upinde ili wapate kuongea uongo
Kuongea uongo hufanywa na ndimi za waovu.
lakini si kwa uaminifu wao
"si waaminifu kwa BWANA."
si kwa uaminifu wao
"hawana nguvu katika kweli."
wanatoka uovu mmoja hadi mwingine
"wanaaendelea kufanya mambo maovu."
Jeremiah 9:4-6
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea na Yeremia juu ya watu wa Yuda.
Kila mmoja wenu
neno "wenu" linawawakilisha watu wa Yuda
awe mlinzi wa jirani yake na usimwamini hata ndugu yako yeyote
"uwemwangalifu kwa kutowaamini ndugu zako Waisraeli, na usimwamini hata ndugu yako"
kila jirani anatembea akilaghai
Tabia ya kuongea uongo juu ya kila mmoja ni ulagahai.
Kila mwanamuume anamkejeli jirani yake na haongei ukweli
"Watu wote wanakejeliana na hawasemei ukweli"
Ndimi zao hufundisha vitu vya uongo
"wanafundisha vitu ambavyo si vya ukweli."
Hujidhofisha ili kusema uongo
"wamechoka kwa sababu ya kutenda maovu mengi"
makazi yenu yako kati ya udanganyifu
kuishi na miongoni mwa waongo ni sawa na kuishi katikati ya uongo.
kwa uongo wao wanakataa kunitambua mimi
"Kwa kusema uongo huu wote, watu wa Yuda wameshindwa kunitii mimi kama Mungu."
asema BWANA
Tazama 1:7
Jeremiah 9:7-9
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda.
binti wa watu wangu
Tazama 4:11
Ndimi zao ni mishale iliyochongoka
Ndimi huumiza watu kwa uongo katika njia sawa na mishale iliyochongoka inavyoumiza
Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao
"Wanasema kwa maneno yao kuwa wanataka amani na majirani zao."
lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubiri
"lakini katika uhalisia wanataka kuwaangamiza jirani zao."
Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya ... kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
Tazama 5:7
Jeremiah 9:10-12
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda. Katika mstari wa 12, Yeremia anatoa maoni yake.
Nitaimba wimbo ...kwa ajili ya milima
BWANA anaomboleza kwa ajili ya nchi ya Israeli kana kwamba mtu amekufa.
milima
mahali ambapo wanyama hupata malisho
kwa kuwa wameteketezwa
"kwa kuwa kuna mtu ambaye ameyateketeza hayo malisho
Hawatasikia sauti ya ngombe yeyote
"Hakuna ambaye atasikia sauti ya ng'ombe
maficho ya mbweha
"mahali ambapo mbweha hujificha"
mbweha
mbwa wakali
isiyokaliwa na watu
"mahali ambapo watu hawakai
Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya
"kama manabii wenu ni wenye hekima kweli, wanapaswa kuelewa kwa nini nchi imeharibiwa
Je, kinywa cha BWANA kinatanga nini kwake ili awaeze kuyasema
"Kama kweli BWANA anasema na manabii wenu, basi wanapaswa kuwaambia kile ambacho BWANA anasema juu ya uharibifu wa nchi."
kwa nini nchi imepotea
"Lakini manabii wenu hawana hekima na BWANA hasemi nao, kwa hio hawajui kwa nini nchi imeharibika"
Jeremiah 9:13-14
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuonge juu ya watu wa Yuda
Ni kwa sababu wameziacha
"Nchi imeharibiwa kwa sabasbu watu wa Yuda hawakutii"
hawaisikilizi sauti yangu
""hawatilii maanani kwa vitu ambavyo ninawaambia."
kwa kuifuata
"au kuishi kwa namna ambayo nawataka waishi"
wameishi kwa ushupavu wa mioyo yao
"wamekuwa wasumbufu na wameishi kwa jinsi wanavyotaka kuishi"
na wamewafuata Mabaali
"na wameabudu miungu ya uongo"
Jeremiah 9:15-16
Taarifa kwa ujumla
BWANA anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda.
pakanga
"mmea ulio na radha chungu"
Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa
"Kisha nitawalzimisha kuondoka hapa na kuishi katika nchi nyingi"
Nitatuma upanga kwa ajiliyao
"Nitatuma jeshi la askari kuwapiga."
Jeremiah 9:17-18
Taarifa kwa ujumla
BWANA anawaambia watu wa Yuda kuomboleza kwa ajili ya uharibifu wa nchi ujao.
Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza juu yetu, waje.
"Tafuteni wanawake waliofunzwa kuomboleza na muwaleta wanawake hao hapa."
Waiteni waliaji
"Waiteni wanawake wenye taaluma ya kulia"
waje
"waambieni wanawake waje"
Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza
"Temeni watu waende kuwatafuta wanawake wenye taaluma ya kuomboleza."
Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu.
"waambieni wanawake waje haraka na waimbe wimbo wa kuomboleza kwa ajili yetu"
ili kope zetu zitokwe na machozi na macho yetu yabubujikwe na maji
"ili kwamba tulie kwa bidii"
Jeremiah 9:19-20
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA juu ya watu wa Yuda
Kwa kuwa sauti ya kilio imesikika Sayuni
"Watu wanalia kwa sauti Yerusalemu"
Jinsi tulivyoharibiwa
"Tunasikitika sana"
Tumeaibishwa sana, kwa kuwa tumeitelekeza nchi tangu walipoangusha nyumba zetu
"aibu yetu ni kubwa, kwa sababu adui wameharibu nyumba zetu, na tulipaswa kuiacha nchi ya Israeli"
sikieni neno la BWANA zingatieni ujumbe unaokuja toka kinywani mwake.
Sentensi hizi mbili zinasisitiza amri ya kusikiliza kile ambacho BWANA anasema.
Kisha wafundisheni binti zenu wimbo wa maombolezo, na kila mwanamke wa jirani wimbo wa kilio.
Kisha wafundisheni watu wengine jinsi ya kuomboleza."
Jeremiah 9:21-22
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA juu ya nyumba ya Yuda.
Kwa kuwa vifo vimekuja kupitia dirishani
BWANA anasema kuwa BWANA atakapowaangamiza watu wa Israeli watalinganisha kifo na mtu anayeingia kuptia dirishani kwa lengo la kuangamiza watu waliojificha ndani yake
mahali petu
Nyumba zenye maboma ambapo wafalme huishi. Kifo kinachokuja kwa tajiri na masikini kinafanana.
vinaharibu watoto kutoka nje
"Kifo kinaua watoto mitaani."
na vijana kweye viwanja vya mji
"na kifo kinaua vijana kwenye viwanja vya mjij."
viwanja vya mji
"maeneo ya maasoko"
asema BWANA
Tazama 1:7
mizoga ya wanaume itaanguka mavi kwenye mashamba, na kama mabua baadaya mvunaji
"maiti zitatapakaa maeneo yote."
na kama mabua baada ya mvunaji
"na kama mabua yaangukapo kila mahali baada ya mkulima kuyakata."
na hapakuwa namtu wa kuyakusanya
"na hapatakuwa namtu wa kukusanya maiti"
Jeremiah 9:23-24
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA
Usimwache mtu mwenye busara ajivuna kwa ajili ya hekima yake
"Mtu mwenye busara asijivune kwa sababu yeye ni mwenye hekima"
Usimwache mtu tajiri ajivunie utajiri wake
"Mtu tajiri asijivune kwa sababu ni tajiri"
acha iwe hivi, yeye awe na busara na kunijua mimi
"kwamba anajua kuwa mimi ni nani na kuishi katika njia ambazo zinanipendeza mimi"
Kwa kuwa momi ni BWANA
"Kwa sababu watu wanapaswa kujua kuwa mimi ni BWANA"
Ni katika hili kwamba ninafurahia
"Na inanifurahisha mimi watu wanapoishi kwa uaminifu katika agano, kwa haki na katika hukumu za haki
asema BWANA
Tazama1:7
Jeremiah 9:25-26
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA
siku zinakuja
"kutatokea wakati"
asema BWANA
Tazama 1:7
nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao
Hii inamaanisha watu wa Israeli ambao wameingia katika agano la BWANA kwa kutahiriwa ki mwili, lakini hawakufuata sheria zake.
Na watu wote wanaonyoa denge
Hii inawezekana kumaanisha wale watu wanaokata nywele zao kuwa fupi kwa lengo la kuabudu miungu ya kipagani.
Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa
"Kwa sababu mataifa yote haya hayajaingia kwenye agano na BWANA kwa njia ya tohara."
na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujtahiriwa.
"na nyumba yote ya Israeli hawajalinda agano LA BWANA kwa kumtii."
Jeremiah 10
Jeremiah 10:1-2
Taarifa kwa ujumla
BWANA amemaliza kuwakumbusha watu wa Yuda, pamoja na Misri, Edomu, Amoni, Moabu, na watu wote ambao wataadhibiwa
msijifunze njia za mataifa
"Msifuate imani ya mataifa ya Kipagani "
msishangazwe
"kuwa na mashaka" au "kuogopa"
na ishara za mbinguni
"kwa vitu vigeni angani"
kwa kuwa mataifa hushangazwa na haya
"kwa kuwa watu wa mataifa huogopa vitu vigeni wanavyoviona angani"
Jeremiah 10:3-5
Taarifa kwa ujumla
BWANA amemaliza kuwakumbusha kuwa wasijifunze njia za matiafa wala kutishwa na vitu wanavyoviona angani.
fundi
"mtu mwenye ujuzi wa kazi za mikono"
sanamu za kutisha ndege
Hii ni sanamu yenye sura ya mtu iliyotengenezsa ili kutisha ndege ili kuzuiza kula mazo
matango
Ni ainaya mboga za majani ambayo huwa na umbo refu, na rangi ya kijani na nofu nyeupe nayo huwa na maji mengi.
Jeremiah 10:6-7
Taarifa kwa ujumla
Yeremia alikuwa akiongelea ibaada za sanamu
Ni nani asiyekuwa na hofu juu yako, mfalme wa mataifa?
"Kila mmoja lazima akuogope, mfalme wa mataifa"
ndicho unachostahili
"kile ulichovunva"
Jeremiah 10:8-10
wote wako sawa, ni kama wanayama na wapumbavu
"kila mmoja wao ni mpumbavu"
wanafunzi wa sanamu ambazo si chochote isipokuwa miti tu
"wanajaribu kujifunza toka kwa sanamu ambayo ni kipande cha mti"
sonara
"mtu mwenye ujuzi wa kazi za mikono"
Tarshishi ... ufazi
Ni maeneo ambayo dhahabu na fedha zinapatikana
dhahabu kutoka Ufazi ilyotengenezwa na sonara,ni kazi ya ustadi
"dhahabu kutoka Ufazi amabyo sonara mwenye ujuzi ameitengeneza"
mavazi yao ni rangi y samawi na urujuani
"watu waliivalisha sanamu kwa mavazi mazuri
matetemeko
"mtikisiko"
Jeremiah 10:11-13
Taarifa kwa ujumla
Mungu anamwambia Yeremia
Aliyeiumba dunia kwa nguvu zake ... kwa fahamu zake
"Muumbaji yuko imara na mwenye hekima. Alitengeneza dunia na anga."
Sauti yake ndiyoitengenezayo muungurumo wa maji
"Yeye hutawala dhoruba angani kwa kuongea"
naye huzileta mbingu katika mwisho wa dunia
"Hutengeneza mawingu dunianikote"
hazuna yake
ni jengo ambalo vitu hutunzwa
Jeremiah 10:14-16
amekuwa mjinga
"anapungukiwa maarifa" au "hajui"
Fungu la Yakobo
"ambaye watu wa Israeli humwabudu"
yeye ndiye aliyeviumba
"muumbaji wa vitu vyote" au "ambaye aliumba vitu vyote"
Jeremiah 10:17-18
Kusanya vitu vyako
"Kusanya mali zako"
Tazama
neno "tazama" limetumika kusisitiza yale yanayofuata
Ni tayari kuwatupa wakazi wa nchi nje wakati huu
"Nitawafanya watu wanaoishi kwenye nchi kuiacha nchi"
wakazi wa nchi
"watu wanaoishi katika nchi"
huzuni
"maumivumakubwa"
Jeremiah 10:19-20
Taarifa kwa ujumla
Yeremia anaongea kana kwamba yeye ndiye kabila yote ya Israeli.
Ole wangu! kwa sababu ya mifupa yangu iliyovunjia, jeraha zangu zimeumia
"Tuko katika huzuni kubwa kama mtu ambaye mifupa yake imevunjika na kuumia"
Hema yangu imeharibiwa, na kamba za hema yangu zote zimekatwa.
"adaui ameuharibu mji kabisa"
Wamewachukua
"adaui wamechukua"
Hakuna tena mtu wa kuitandaza hema yangu au wa kuziinua pazia za hema yangu
"Hakuna mtu wa kuujenga tena mji wetu"
Jeremiah 10:21-22
wamesambaa
"wametenganishwa na kuwa na uelekeo tofauti
mbweha
mbwa waakli wa mwitu wanaopatikana Afrika
Jeremiah 10:23-25
Mwaga hasira zako kwa mataifa
"Waadhibu vikali watu wa mataifa"
wamemla Yakobo na kumwangamiza kabisa na kuyafanya makao yake kuwa ukiwa
Neno "kumla" na "kumwangamiza" yanamaanisha kitu kilekile yanayomaanisha "kumwangamiza kabisa" Tametumika kuonesha uharibifumkubwa kwa Israeli.
kuyafanya makao yake kuwa ukiwa
"kuharibu nchi ambayo hukaa"
Jeremiah 11
Jeremiah 11:1-2
wenyeji wa Yerusalemu.
"watu wanaoishi Yerusalemu"
Jeremiah 11:3-5
tanuru
inapokanzwa chuma kwa fomu ya maji
nchi iliyojaa maziwa na asali
Hii inamaanisha kwamba ardhi itakuwa tajiri na yenye mazao, kwa hiyo kutakuwa na chakula cha kutosha kwa kila mtu. AT "ardhi ambayo ni bora kwa ng'ombe na kilimo"
Jeremiah 11:6-8
nzuri
"mbaya"
Kila mtu amekuwa akitembea katika ukaidi wa moyo wake mbaya.
"Kila mtu amekataa kubadili na kuendelea kufanya mambo mabaya ambayo wanataka kufanya"
Jeremiah 11:9-10
njama
mpango wa siri wa kufanya kitu ambacho ni hatari au kinyume cha sheria
wenyeji wa Yerusalemu
"watu wanaoishi Yerusalemu"
Jeremiah 11:11-13
Tazama
"Kusikiliza" au "Jihadharini na kile ninachokuambia"
Jeremiah 11:14-16
Kwa hiyo wewe ... kwa niaba yao
Tafsiri hii kwa njia ile ile uliyetafsiriwa "Na wewe ... kwa niaba yao" katika 7:16.
Lazima usiomboleze
"Usifanye kilio kikubwa cha huzuni"
Mpendwa wangu anafanya nini nyumbani kwangu?
Swali hili linaweza kufanywa kama taarifa ya kukemea. "Mpendwa wangu, ambaye amekuwa na nia mbaya sana, haipaswi kuwa nyumbani kwangu."
Mpendwa wangu anafanya nini nyumbani kwangu?
Kifungu hiki kwa Kiebrania ni ngumu sana, na matoleo mengi yanatafsiri kwa njia tofauti.
nyumba
hekaru
mpendwa wangu
Watu wa Israeli wanazungumzwa kama kwamba walikuwa mwanamke mmoja aliyependwa sana.
Katika siku za nyuma Bwana alikuita mti wa mzeituni wenye majani
Katika Agano la Kale, watu mara nyingi walitamka kama miti au mimea
atawasha moto juu yake
Maneno haya yanaendelea mfano wa mti. Moto unasimamia kama uharibifu wa watu.
Jeremiah 11:17
yeye aliyekupanda
"aliyekuweka wewe kuishi katika nchi ya Israeli na Yuda"
Jeremiah 11:18-20
unayeongozwa na mchinjaji
"kwamba adui zangu walikuwa wakiongoza kwa mchinjaji"
ili jina lake lisikumbukwe tena
"Watu hawatakumbuka tena jina lake"
Jeremiah 11:21-23
Anathothi
mji maalum kwa ajili ya makuhani kuishi
Vijana wao wenye nguvu
wanaume wakati wa nguvu zaidi ya maisha yao
Hakuna hata mmoja atakayeachwa
"Sitawaacha hata mmoja wao"
Jeremiah 12
Jeremiah 12:1-2
Taarifa za jumla
Yeremia anaongea na Bwana.
mbali na mioyo yao
hawakukupendi au kukuheshimu wewe
Jeremiah 12:3-4
Taarifa za jumla
Yeremia anaendelea kusema na Bwana.
Waondoe kama kondoo wa kuchinjwa
"Tayari kuwaadhibu watu waovu"
Je! Nchi itakauka kwa muda gani.....sababu ya uovu wa wenyeji wake?
"Rasimu ya sababu kwa uovu wa watu imechukua muda mrefu sana."
Wanyama pori na ndege wamekufa kutoka ukame.
Wanyama na ndege wameondolewa
kuota
"kausha"
Jeremiah 12:5-6
unawezaje kushindana dhidi ya farasi?....utafanyaje katika misitu karibu na Yordani?
Maswali haya mawili yanalenga kutoa taarifa. AT "huwezi kushindana vizuri dhidi ya farasi ... utashindwa katika misitu karibu na Yordani."
Ikiwa unashuka chini ya nchi iliyo salama
Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri kifungu hiki kwa Kiebrania kama 'Ikiwa unajisikia salama katika nchi ya salama.'
nchi iliyo salama
Hii inahusu nchi ya wazi, ambapo ni rahisi kusafiri haraka, kinyume na vichaka vilivyomo karibu na Mto Yordani, ambako ni vigumu kuhamia.
misitu
vichaka vingi au miti midogo inakua karibu
Jeremiah 12:7-9
Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.
Sentensi hizi tatu zina maana sawa. Kwanza na ya pili huimarisha mawazo ya tatu. (Angalia "Ulinganifu) "Nimewaacha adui za watu wangu kuwashinda."
hiena
aina ya mbwa kutoka Asia na Afrika ambayo inakula mwili wa wanyama waliokufa
ndege wa mawindo
ndege ambazo wanashambulia na kula wanyama
Jeremiah 12:10-11
Wamevunja juu ya
'"wamevunja chini ya miguu yao" au "wameharibu"
sehemu yangu ardhi
"ardhi niliipanda"
Wamemfanya
Neno "yake" linamaanisha Nchi ya Ahadi
yeye ni ukiwa
Neno "yeye" linamaanisha Nchi ya Ahadi
haya moyoni mwake
"kujali" au "kulipa kipaumbele"
Jeremiah 12:12-13
wazi
"sio kufunikwa" au "tupu"
Upanga wa Bwana unakula
Bwana anatumia majeshi haya kuwaadhibu watu wake
upande mmoja wa nchi hadi mwingine
Hii inahusu nchi yote ya Ahadi
Wana
"Watu wangu wana"
miiba
mimea mikubwa ambayo inafunikwa kwa pointi kali
wamechoka
"huvaliwa" au "amechoka"
Jeremiah 12:14-15
wanaopiga
kushambulia na kukamata
aliwafanya watu wangu wa Israeli wamiliki
"aliwapa watu wangu Israeli kama warithi"
kuamgamiza
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 9.
nami nitainua nyumba ya Yuda kutoka kati yao
kuruhusu watu wa Yuda kuondoka nchi zao za adui na kurudi kwa Yuda
futa
au "kupoteza"
Ninataangamiza mataifa hayo
"nawafanya mataifa hayo kutoka nchi zao na kuhamia maeneo tofauti"
Jeremiah 12:16-17
Taarifa za jumla
Neno la Mungu kuhusu majirani ya Yuda.
Kisha itakuwa ikiwa.... Baali, basi wao
"Hiyo ndiyo itafanyika ... Baali wao" au "Ikiwa ... Baali, basi hii ndiyo itafanyika"
katikati
katikati
basi watajengwa katikati ya watu wangu
"Nitawafanya kuwa tajiri na wataishi kati ya watu wangu"
nitaling'oa taifa hilo. Kwa hakika litang'olewa na kuharibiwa
"Mimi hakika na kabisa kuondolewa na kuharibu taifa hilo"
hili ndilo tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
Jeremiah 13
Jeremiah 13:1-4
kitani
aina ya nguo nzuri sana
nguo
nguo ambazo watu huvaa chini ya nguo zao; chupi
kiuno
sehemu ya kati ya mwili, kwa kawaida nyembamba, kati ya mapaja na kifua
neno la Bwana lilifika kwa
Tazama jinsi ilivyotafasiri hii katika 1:1.
mwamba wa jabali
nafasi kati ya miamba au ufa katika mwamba, kubwa ya kutosha kuweka kitu ndani yake
Jeremiah 13:5-7
Je! Ubora wa nguo ulikuwa nini wakati Yeremia alipokwenda kutoa mahali alipoficha?
Haikuwa nzuri kabisa.
Jeremiah 13:8-11
neno la Bwana lilifika
Tazama jinsi ilivyotafasiri hii katika 1:1.
kiburi
"kiburi"
wa Yuda na Yerusalemu
"watu wa Yuda na Yerusalemu"
mbao huenda katika ugumu wa mioyo yao
"ambao wanaendeleza ukaidi"
nyumba zote za
"watu wote wa"
fungwa kwangu
'kukaa karibu na mimi'
hili ndilo tamko la Bwana
Angalia jinsi ilivyotafasiri hii katika 1:7.
Jeremiah 13:12-14
kujaza ulevi kila mwenyeji wa nchi hii
"kwa sababu watu wote wa nchi hii kunywa"
wafalme wanaokaa kiti cha Daudi
"wafalme wa taifa la Yuda"
gonganisha kila mtu na mwenzake baba na watoto wao pamoja
"kila mtu atapigana na mwingine; hata wazazi na watoto watapigana dhidi ya kila mmoja"
Sitakuwa na huruma
"Siwezi kusikia samahani kwa"
sitawarehemu kutoka kwenye uharibifu
"hautazuia adhabu" au "itawawezesha kuangamizwa" au "itawawezesha kukabiliana na uharibifu"
Jeremiah 13:15-17
Msiwe na kiburi
"Usihisi kuwa wewe ni bora, mwenye busara, au muhimu zaidi kuliko wengine"
huleta giza
"husababisha giza kuja" Giza linaashiria shida kubwa na kukata tamaa. "Yeye huleta shida kubwa"
kabla ya kuifanya miguu yako kuwa na mashaka
"kabla ya kukusababisha mguu wako juu ya kitu fulani huku ukitembea au kukimbia ili uweke"
ataigeuza sehemu kuwa giza nene
"atasababisha sehemu hiyo kuwa nyeusi kabisa" AT "atakufanya uvunjike moyo"
Jeremiah 13:18-19
Taarifa za jumla
Bwana anaendelea kuzungumza na Yeremia. Anamwambia Yeremia nini cha kumwambia mfalme wa Yuda na mama wa mfalme
kwa maana taji juu ya kichwa chako, kiburi chako na utukufu wako, umeanguka
"Huwezi tena kuwa mfalme na mama wa malkia" (Angalia hatua ya mfano)
mama wa malkia,
mama wa mfalme.
Miji ya Negebu itafungwa
"Adui zako watafunga miji ya Negebu juu"
Yuda watachukuliwa mateka
"Maadui watachukua Yuda mateka"
Jeremiah 13:20-21
Taarifa za jumla
Bwana anaongea na watu wa Yerusalemu.
Inua macho yako
"kuelewa nini kitakachotendeka kwako"
Je, ni kundi gani alilokupa, kundi ambalo lilikuwa zuri sana kwako?
"Watu wote wameondolewa."
Je, unasema nini wakati Mungu anawaweka wale ambao uliwafundisha kuwa marafiki?
"Watu ambao ulifikiri walikuwa marafiki wako watawashinda na kutawala juu yenu."
Je, huu si mwanzo wa maumivu ya utungu ambayo yatakuchukua kama mwanamke aliye katika kuzaa?
Bwana anawaambia kwamba kukamata yao ni mwanzo wa maumivu watakayopitia.
Jeremiah 13:22-24
Taarifa za jumla
Bwana anaendelea kuzungumza na Yeremia. Anamwambia Yeremia nini cha kumwambia mfalme wa Yuda na mama wa mfalme
sketi imefunuliwa
"askari wa majeshi ya kuivamia watainua sketi za wanawake wako". Nguo za wanawake wa Yudea zitavunjwa ili askari wa Babeli waweze kuwashika na kulala nao.
e, watu wa Kushi hubadilisha rangi yao ya ngozi
"Watu wa Kushi hawawezi kubadili rangi yao ya ngozi"
chui hubadilisha madoa yake
"Chui hawezi kubadilisha matangazo yake"
Ikiwa ndivyo, basi wewe mwenyewe, ingawa unazoea uovu, utaweza kufanya mema.
"Huwezi kufanya mema kwa sababu ya uovu wako."
nitawaangamiza kama makapi ambayo yanaangamia katika upepo wa jangwa.
Bwana anasema atawaangamiza watu Wake duniani kote.
Jeremiah 13:25-27
Hii ndiyo niliyokupa, sehemu ambayo nimekuagiza kwako
"Hivi ndivyo ninavyokufanya kutokea kwako"
hili ndilo tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
imi mwenyewe nitaondoa nguo zako, na sehemu zako za siri zitaonekana.
"Nitafunua uovu wako."
ubembe
Hii ni sauti ya farasi wa kiume anayetaka farasi wa kike. AT "tamaa."
Je! Hili litaendelea kwa muda gani
Je, itakuwa muda gani kabla ya kusafisha tena
Jeremiah 14
Jeremiah 14:1-3
Taarifa ya jumla
Bwana, kupitia nabii Yeremia, anazungumzia kuhusu uzinzi wa watu.
neno la Bwana lililomjia
"ujumbe ambao Mungu alizungumza na" Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
kuanguka mbali
"kuanguka vipande vipande"
Kilio chao kwa Yerusalemu kimepaa juu
"Wanatoa wito kwa sauti kubwa kwa ajili ya Yerusalemu"
Jeremiah 14:4-6
Taarifa ya jumla
Bwana, kupitia nabii Yeremia, anazungumzia kuhusu uzinzi wa watu.
Kunguru huwaacha wanawe wake katika mashamba na kuachakuwaacha
"Kunguru huwaacha wanawe wake katika shamba"
mbweha
mkali, mbwa mwitu
Jeremiah 14:7-9
Taarifa ya jumla
Bwana, kupitia nabii Yeremia, anazungumzia kuhusu uzinzi wa watu.
kwa ajili ya jina lako
"ili kila mtu aweze kuona kwamba wewe ni mzuri sana na unaweka ahadi zako."
tumaini la Israeli
Hii ni jina jingine kwa Bwana.
yeye anayemwokoa
"mwokozi" au "yule anayemwokoa"
kwa nini utakuwa kama ... kama shujaa ambaye hawezi kuokoa mtu yeyote?
Neno "kama" hapa linamaanisha "sawa na."
aliyechanganyikiwa
hawawezi kuelewa au kufikiri wazi
Jeremiah 14:10-12
Taarifa za Jumla
Yeremia amekuwa akisali na kumwomba Bwana asiwaache peke yao
wanapenda kutanga tanga
"wanapenda kutenda kwa njia iliyo kinyume na mapenzi ya Mungu"
kukumbuka
"anakumbuka" au "anakumbuka"
kwa niaba ya
"kusaidia" au "kusaidia"
kulia
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 14:1
Jeremiah 14:13-14
Taarifa za Jumla
Bwana amemwambia Yeremia sio kuwaombea watu wa Yuda.
Huwezi kuona upanga
Hapa "upanga" unasimama vita, na "kuona" inamaanisha "uzoefu" au "kuteseka." "Huwezi kupata vita yoyote"
ulinzi
Kuishi katika ustawi na kutokuwepo kwa adui wenye kutishia husemwa kama kama kitu ambacho mtu anaweza kumpa mtu mwingine.
wanatabiri uongo
Ubora unaothibitisha unabii wa uwongo unasemwa kama kama yenyewe unabii. AT "kutabiri kwa udanganyifu"
sikuweza kuwafukuza
Watafsiri wanaweza kuamua kuingiza marudio yasiyo na uhakika na madhumuni ya hatua hii. AT "Sikuwapeleka kutabiri kwa watu wengine"
maono ya udanganyifu na ubatili, uongo unaotokana na mawazo yao wenyewe
Hapa maono na uchawi vinasemwa kama kwamba walikuwa vitu ambavyo vinaweza kwenda kutoka sehemu moja hadi nyingine. Katika 'maono ya udanganyifu na ya maana, uongo wa uongo ambao manabii hao wenyewe wamefikiri'
maono.......uvumbuzi
Maneno haya yanasimama kwa vitendo ambavyo vinasemwa kama ni vitu.
mawazo yao wenyewe
Hapa mawazo yanasemwa kama kwamba walikuwa mahali badala ya uwezo wa kufikiria mawazo.
Jeremiah 14:15-16
Taarifa za jumla
Yeremia amekwisha kuzungumza na Bwana juu ya mambo ambayo manabii wa uongo wamekuwa wanatabiri
wanatabiri kwa jina langu
Hapa "jina" linawakilisha mawazo ya mamlaka. AT "kutabiri wakati wa kudai mamlaka yangu ya kufanya hivyo"
hakutakuwa na upanga
Hapa "upanga" unamaanisha wazo la vita. AT "hakutakuwa na vita"
nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao
Tabia za uadili kama vile uovu mara nyingi huzungumzwa kwa Kiebrania kama kwamba walikuwa maji. Pia, ubora wa uovu umesimama hapa kwa adhabu inayostahiliwa na watu waovu. AT "Nitawaadhibu njia ambayo inastahili kuadhibiwa".
Jeremiah 14:17-18
kubwa lisilotibika
kukata au kuchumbuka kwenye ngozi ambako hakuwezi kutibika
wanatembea
kuzunguka karibu bila kusudi
Jeremiah 14:19-20
kukataa
Ili "kukataa" mtu au kitu kinamaanisha kukataa kukubali mtu huyo au kitu. Neno "kukataa" linaweza pia kumaanisha "kukataa kuamini" kitu. Kumkataa Mungu pia inamaanisha kukataa kumtii
Sayuni....Mlima Sayuni
Mwanzo, neno "Sayuni" au "Mlima Sayuni" limeelezea ngome au ngome ambayo Mfalme Daudi alitekwa kutoka kwa Wayebusi. Maneno haya yote yalikuwa njia nyingine za kutaja Yerusalemu.
Mateso
Mateso ni kitendo cha kumsababishia mtu mateso. Mateso ni ugonjwa, huzuni ya kihisia au majanga mengine yatokanayo na mateso. - Mungu aliwapa mateso watu wake kupitia magonjwa na tabu zingine ili kuwasababisha watubu dhambi zao na wamrudie yeye. - Mungu alisababisha mateso au mapigo kwa wana wa Israeli kwa sababu mfalme wao alikataa kumtii Mungu.
kuponya,tiba
Neno "kuponya" na "tiba" zote inamaanisha kumfanya mtu mgonjwa, kujeruhiwa, au ulemavu awe na afya tena.
amani
Neno "amani" linamaanisha hali ya kuwa au hisia ya kuwa hakuna mgogoro, wasiwasi, au hofu. Mtu ambaye ni 'amani' anahisi utulivu na uhakika wa kuwa salama.
hofu
Neno "hofu" linamaanisha hisia ya hofu kali. Ili 'kutisha' mtu ina maana kumfanya mtu huyo awe na hofu sana "Hofu" (au "hofu") ni kitu au mtu anachochea hofu kubwa au hofu. Mfano wa hofu inaweza kuwa jeshi la adui la kushambulia au pigo au magonjwa ambayo yameenea, na kuua watu wengi.
uovu
Neno "uovu" ni neno ambalo ni sawa na maana ya neno "dhambi," lakini inaweza zaidi kutaja matendo ya uovu au uovu mkubwa. Neno "uovu" literally lina maana ya kupotosha au kupotosha (ya sheria). Inahusu uovu mkubwa.
dhambi
Neno "dhambi" linamaanisha vitendo, mawazo, na maneno yanayopinga mapenzi ya Mungu na sheria. Dhambi inaweza pia kutaja kutofanya kitu ambacho Mungu anataka tufanye. Dhambi inajumuisha chochote tunachofanya ambacho hakiitii au kumpendeza Mungu, hata mambo ambayo watu wengine hawajui. Mawazo na vitendo ambavyo haviii mapenzi ya Mungu huitwa "dhambi."
Jeremiah 14:21-22
Ttaarifa za jumla
Yeremia anaendeleza maombi yake kwa Bwana.
Jeremiah 15
Jeremiah 15:1-2
Taarifa za jumla
Yeremia amekuwa akimwomba Bwana.
Watoe mbele yangu, ili waweze kuondoka
"watoe mbali nami! Waache wapate! Anarudia wazo hili kwa msisitizo.
Wale wanaotakiwa kufa
"Watu ambao Mungu alisema lazima wafe" au "wale wanaokufa"
Jeremiah 15:3-4
Taarifa za jumla
Bwana amewaambia kuwa atawatuma baadhi yao kufa, wengine kufa kwa upanga, wengine kufa kwa njaa, na wengine kuwa mateka.
tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 7.
Nitawafanyia jambo lenye kutisha kwa falme zote za dunia, kwa sababu Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, alifanya huko Yerusalemu.
Nami nitawafanya kuwa ufalme wa nchi zote kwa sababu ya Manase, mwana wa Hezekia mfalme wa Yuda, huko Yerusalemu.
nitawaweka katika makundi manne
"Nitawaweka makundi manne juu yao"
Jeremiah 15:5-7
Taarifa ya jumla
Bwana amewaambia kuwa atawapa makundi manne kuwaua-upanga, mbwa, ndege, na wanyama.
Kwa maana ni nani atakayewahurumia, Yerusalemu? Ni nani atakayeomboleza kwa ajili yako? Nani atakayegeuka kuuliza kuhusu ustawi wako?
"Hakuna mtu atakayewahurumia ninyi, watu wanaoishi Yerusalemu. Hakuna mtu anayeweza kuomboleza kwa uharibifu wako. Hakuna mtu anayepaswa kuuliza kwa nini umekuwa watu wenye kusikitisha. "
Umeniacha ... umepata kutoka kwangu
Maneno haya mawili yanamaanisha jambo sawa na kusisitiza kuwa watu wamemwacha Bwana.
kipepeo
chombo cha shamba na kushughulikia kwa muda mrefu na vijiko vya chuma vya mkali, vilivyotumiwa hasa kwa kuinua nafaka kwenye hewa kwa ajili ya kupata.
Nitawafukuza
"Nitawafanya watoto wao afe" au "Nitawaacha maadui wao kuua watoto wao"
Jeremiah 15:8-9
Taarifa za jumla
Bwana amewaambia kamwe hakuna mtu atakayejali juu yao na kwamba atawaangamiza watu wake kwa sababu hawatageuka njia zao mbaya.
wajane
wanawake ambao waume zao wamekufa
zaidi ya mchanga wa bahari
zaidi ya unavyoweza kuhesabu
kuanguka juu yao
yaliyo wapata
Yeye atakuwa na aibu na kufedheheka
Maneno "aibu" na "kufedheheka" inamaanisha kimsingi kitu kimoja na kusisitiza ukubwa wa aibu. AT "Atakuwa na aibu kabisa."
Jeremiah 15:10-12
Taarifa za jumla
Katika aya hii, Yeremia anaongea na Bwana juu ya mateso yake, na Bwana anamjibu
Ole wangu, mama yangu
Yeremia anajifanya kuwaambia mama yake kama njia ya kusisitiza jinsi yeye alivyo na huzuni.
mtu wa kushindana na hoja
Maneno '"kushindana" na "hoja" husema kimsingi kitu kimoja. Pamoja wanasisitiza jinsi Yeremia anavyopinga. AT "mtu ambaye kila mtu anasema wakati wote."
kulipa
kutoa mkopo kwa mtu
Je sitakuokoa kwa manufaa?
Jibu thabiti kwa swali hili ni "ndiyo". AT "Nitakuokoa kwa uzuri!"
maadui zako
Wale ni maadui wa Yeremia ambao hawakukubaliana na unabii wake
wakati wa msiba na dhiki
Hapa maneno "msiba" na "dhiki" inamaanisha kimsingi kitu kimoja. Wanasisitiza kiasi au ukubwa wa msiba. AT "wakati wa msiba mkubwa."
Je, mtu anaweza kusaga chuma?
Jibu linalojulikana ni "hapana". Pia, chuma kinawakilisha uamuzi wa hukumu ya Mungu. AT "Hukumu yangu haiwezi kuvunjika, kama vile chuma haiwezi kupasuka"
Hasa chuma kutoka kaskazini iliyochanganywa na shaba?
Swali hili la pili hufanya kwanza kuwa na nguvu zaidi, na hutumia chuma cha nguvu zaidi katika mfano. AT "Zaidi zaidi, hukumu yangu ni kama chuma chenye kigumu"
Jeremiah 15:13-14
Taarifa za jumla
Katika aya hii, Bwana anasema na taifa la Israeli kama ni mtu mmoja.
utajiri na hazina
Maneno "utajiri" na "hazina" yanamaanisha kitu kimoja na kutaja kitu chochote ambacho watu wanadhani wana thamani.
nyara
vitu ambavyo huiba kutoka mji baada ya kushinda
nchi ambayo huijui
kwa nchi ambayo ni ya ajabu kwako
maana moto utawaka, ukawaka katika ghadhabu yangu juu yako.
Hasira ya Mungu inazungumzwa kama kama ilikuwa moto unaoharibu. AT "Nitawaangamiza kwa sababu nimekasirika sana na wewe"
Jeremiah 15:15-16
Taarifa za jumla
Yelemia anaongea na Bwana.
Unikumbuke
"Kumbuka mimi" au "Fikiria mimi na hali yangu"
wafuasi wangu
"wale wanaonitafuta kunidhuru"
Katika uvumilivu wako usiniondoe.
"Tafadhali usiendelee kuwavumilia na usiruhusu nife sasa."
Maneno yako yamepatikana
Nimesikia ujumbe wako.
Niliwaangamiza
Nilielewa ujumbe wako
jina lako limetangazwa juu yangu
watu walinitambua kuwa ni mmoja wenu
Jeremiah 15:17-18
Sikuketi katika mkutano wa
"Sikuwa na muda na"
Kwa nini maumivu yangu yanaendelea na jeraha langu halitibiki, linakataa kuponywa?
"Maumivu yangu yanaendelea na jeraha langu haliwezekani. Siwezi kuponywa."
Je, utakuwa kama maji ya udanganyifu kwangu, maji yanayokauka?
"Ahadi zako kwangu ni kama mkondo ninakwenda kwa ajili ya kunywa tu ili upate kukauka?"
Jeremiah 15:19-21
utakuwa kama kinywa changu
Yeremia anafananishwa na kinywa cha Bwana kwa sababu atatumiwa kuzungumza ujumbe wa Yahweh. AT "utasema kwa ajili yangu"
wewe mwenyewe
Kitaja, "mwenyewe", kinatumiwa hapa ili kusisitiza amri ilikuwa hasa kwa Yeremia.
kama ukuta wa shaba usiowezekana kwa watu hawa
Bwana anafananisha Yeremia na ukuta kwa sababu watu hawawezi kumshinda.
watapigana vita dhidi yako. Lakini hawatakushinda
"Watapigana nawe, lakini hawatakushinda."
kuokoa......kuwaokoa
Maneno "kuokoa" na "kuwaokoa" yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza usalama ambao Mungu anaahidi.
hili ndilo tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 7.
kukuokoa kutoka ... na kukukomboa kutoka
Maneno haya yana maana sawa na hutumiwa pamoja ili kusisitiza usalama ambao Mungu hutoa.
mshindani
mtawala ambaye anadai utii kamili na si wa kirafiki kwa watu chini ya utawala wake
Jeremiah 16
Jeremiah 16:1-4
neno la Bwana lilifika kwa
Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 1 1.
Watakuwa kama samadi juu ya nchi
Wanaume na binti waliozaliwa katika nchi hulinganishwa na ndovu kwa sababu hawatazikwa baada ya kufa.
Kwa maana wataangamizwa
Hii ni njia nyepesi ya kusema kwamba watakufa.
kwa upanga
Neno "upanga" linamaanisha jeshi la adui.
Jeremiah 16:5-6
Nimekusanya amani yangu, uaminifu wa agano, na matendo ya huruma huruma
Bwana hukusanya njia tofauti ambazo amewabariki watu wa Israeli kumaanisha kwamba hawatabariki tena watu wa Israeli.
Tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
wakuu na wadogo
Hii inahusu kila aina ya watu na hutumia ukubwa ili kutaja umuhimu wao. Ama umuhimu mkubwa au umuhimu mdogo.
wala mtu yeyote atawaomboleza. Hakuna mtu atakayejikata au kunyoa vichwa vyao kwa ajili yao
Maneno haya mawili yana maana sawa. Jambo la pili linaimarisha mawazo ya kwanza. AT "Hakuna mtu atakayewaomboleza kwa njia yoyote."
atakayejikata-kata au kunyoa vichwa vyao kwa ajili yao.
Hizi ni desturi ambazo watu walitumia kuonyesha kuwa walikuwa na huzuni sana.
Jeremiah 16:7-9
Hakuna mtu anayepaswa kugawa chakula chochote wakati wa kuomboleza ili kuwafariji kwa sababu ya vifo, na hawatawapa kikombe cha faraja kwa baba yake au mama yake
Sentensi hizi mbili zina maana sawa. Ilikuwa ni desturi ya kuchukua chakula au divai kwa watu ambao jamaa yao imekufa. Bwana ameondoa faraja yote kutoka kwa watu kwa sababu ya dhambi zao. AT "Usifariji watu wakati wa jamaa wao akifa"
Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 7:3.
Tazama
"Sikiliza" au "Jihadharini na kile nitakachokuambia"
mbele ya macho yako
Hapa neno "yako" ni wingi na linamaanisha watu wa Israeli. AT "mbele yako" au "wapi unaweza kuona"
katika siku zako
""wakati wa maisha yako
sauti ya bwana na bibi
Hii inahusu watu kuadhimisha ndoa.
Jeremiah 16:10-11
hili ni tamko la bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
Maneno "akainama chini" yanamaanisha kimsingi kitu kimoja kama "kuabudu" na inaelezea mkao ambao watu walitumia katika ibada.
Maneno "akainama chini" yanamaanisha kimsingi kitu kimoja kama "kuabudu" na inaelezea mkao ambao watu walitumia katika ibada.
Jeremiah 16:12-13
Tazama
Neno "tazama" hapa linaongeza mkazo kwa kifuatacho. AT "Kweli"
ukaidi wa moyo wake mbaya
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 11 6.
ambaye anisikiliza
"ambaye anafanya kile ninachomwambia kufanya"
nitawafukuza kutoka nchi hii
"kukufanya uondoke nchi hii"
mchana na usiku
"wakati wote "au" daima "
Jeremiah 16:14-15
Tazama
Neno "kuona" hapa linaongeza mkazo kwa kifuatacho. AT "kweli"
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
ambapo hawatasema tena
"wakati watu hawatasema tena"
Kama Bwana aishivyo
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 12:16.
Jeremiah 16:16-18
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
wavuvi wengi.....wawindaji wengi
Bwana anawafananisha watu ambao watawachukua Waisraeli kuwa mateka kwa watu wenye ujuzi wa kunyang'anya mawindo yao.
macho yangu yapo juu ya njia zao zote
"Ninaangalia kila kitu wanachofanya"
hawawezi kujificha mbele yangu
Hapa neno "wao" linaweza kutaja kwa watu au kwa matendo yao. AT "hawawezi kujificha njia zao kutoka kwangu" au "naona yote wanayofanya"
Uovu wao hauwezi kufichika mbele ya macho yangu
"Naona dhambi zao zote"
kujaza urithi wangu na sanamu zao za machukizo
Kifungu hiki kinaelezea "uovu na dhambi" ule ambao watu walifanya.
urithi wangu
Hii inahusu nchi ya Israeli.
Jeremiah 16:19-21
Bwana, wewe ndiwe ngome yangu
Hapa Yeremia anaanza kuzungumza na Bwana.
ngome yangu, na kimbilio langu, na mahali pa usalama
Yeremia anazungumza juu ya Bwana kama mahali ambako adui hawezi kumshambulia. Anarudia wazo sawa mara tatu.
mwisho wa Dunia
"kila mahali duniani"
baba zetu walirithi udanganyifu
Hapa neno "udanganyifu" linamaanisha miungu ya uongo.
Ubatili mtupu; hakuna faida ndani yao
Hapa maneno "Wao" na "wao" yanataja miungu ya uongo ambayo mababu waliwafundisha kuamini. Maneno mawili yanamaanisha kuwa ni sawa, na pili kuelezea jinsi 'ni tupu.'
Watu hufanya miungu kwa ajili yao wenyewe?
Yeremia anauliza swali hili kusisitiza kwamba watu hawawezi kufanya miungu kwa ajili yao wenyewe. AT "Watu hawawezi kufanya miungu kwa ajili yao wenyewe."
Kwa hiyo tazama!
Hapa Bwana huanza kusema. Neno "tazama" linaongeza mkazo kwa ifuatavyo. AT "Kwa hiyo, kwa kweli,"
Nitawafanya wajue
Hapa neno "wao" linamaanisha watu kutoka mataifa. Bwana anarudia maneno haya kwa msisitizo.
mkono wangu na nguvu zangu
Hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu na mamlaka. Maneno mawili yanamaanisha jambo sawa na kusisitiza nguvu kubwa za Bwana. AT "nguvu yangu kubwa."
watajua kwamba Yahweh ni jina langu
Hapa neno "jina" linahusu mtu mzima wa Yahweh. AT "watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wa kweli"
Jeremiah 17
Jeremiah 17:1-2
Taarifa za jumla
Tazama
Dhambi ya Yuda imeandikwa.....kwenye pembe za madhabahu zako
Ukweli kwamba watu hawaachi kamwe kutenda dhambi hizo hufanya hivyo inaonekana kama rekodi ya dhambi hizo imefunikwa kwenye mioyo yao na madhabahu zao za sanamu.
Dhambi ya Yuda imeandikwa
Hii inaweza kuonyeshwa kwa fomu ya kazi. AT "Watu wa Yuda wameandika dhambi zao"
Imechongwa
Hii inaweza kuonyeshwa kwa fomu ya kazi. AT "Wameiga picha hiyo"
mechongwa kwenye kibao cha mioyo yao
Tabia za dhambi zilizoingizwa za watu zinasemekana kama dhambi zao zimeandikwa kwenye mioyo na akili zao wenyewe. Neno "mioyo" linamaanisha mtu mzima, mawazo yao, hisia, na vitendo. AT "kuchonga katika viumbe vyao"
kwenye pembe za madhabahu zako
Neno "pembe" linamaanisha makadirio kwenye pembe za madhabahu.
kwenye milima ya juu
Baadhi ya matoleo ya kisasa huongeza maneno ya kwanza ya aya ifuatayo kwa maneno haya, kutafsiri "kwenye milima ya juu na milima katika nchi ya wazi."
Jeremiah 17:3-4
mali yako yote pamoja na hazina zako zote
Maneno "mali" na "hazina" yanamaanisha kitu kimoja na kutaja kitu chochote ambacho wanaona kuwa cha thamani.
nyara
Hii inahusu mambo ambayo watu huiba au kuchukua kwa nguvu.
dhambi iliyo katika maeneo yako yote
"umetenda kila mahali"
urithi
Hii inahusu nchi ya Israeli.
umewasha moto katika ghadhabu yangu, ambao utakawaka milele
Bwana anafananisha hukumu yake na moto unaoharibu. AT "kwa kunifanya niwe mwenye hasira, ni kama umeanza moto ambao utakuunguza"
Jeremiah 17:5-6
Mtu anayemtegemea mwanadamu amelaaniwa
Mimi nitamlaani mtu yeyote anayeamini kwa wanadamu
amfanyaye mwanadamu kuwa nguvu
Hapa neno "mwili" linamaanisha watu. AT "anamtegemea wanadamu tu kwa nguvu"
kugeuza moyo wake mbali na Bwana
Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia. AT "anageuza kujitoa kwake mbali na Bwana"
kama kichaka kidogo
Mtu anayemtegemea mwanadamu badala ya Bwana atakuwa kama mmea unaojitahidi kuishi katika ardhi isiyo na rutuba.
nchi isiyozaa
atakuwa bure kama msitu jangwani
Jeremiah 17:7-8
atakuwa kama mmea karibu na maji
Mtu anayemtegemea Bwana atafanikiwa, kama vile mti unavyofanya wakati unapandwa na mto. Haiathiri wakati hakuna mvua.
Hatawezi kuona joto hilo linalokuja
"Yeye hatasumbuliwa na hali ya hewa ya joto inayokuja"
hawezi kuwa na wasiwasi
hatakuwa na wasiwasi
Jeremiah 17:9-11
Moyo ni mdanganyifu
Hapa neno "moyo" linamaanisha akili na mawazo ya watu. AT "akili ya binadamu ni udanganyifu zaidi"
ni nani anayeweza kuelewa?
Spika hutumia swali hili kusisitiza kwamba hakuna mtu anayeweza kuelewa moyo wa mwanadamu. AT "hakuna mtu anayeweza kuielewa."
ambaye anajaribu figo
Hisia zinasemwa kama zimezingatia kwenye figo. AT "ambaye hujaribu tamaa za watu"
njia zake
Hapa tabia ya mtu inazungumziwa kama ilivyokuwa njia ambazo anazifuata.
matunda ya matendo yake
Hapa matokeo ya vitendo vya mtu yanazungumzwa kama kwamba yalikuwa matunda ya mti. AT "kile alichofanya"
kama Kware akusanyaye mayai........kuwa tajiri kwa udhalimu
Mfano huu wa ndege unaokwisha mayai ya ndege mwingine una maana ya kuonyesha mtu tajiri ambaye hufanya fedha zake kwa kuiba wengine.
wakati nusu ya siku zake ukipita
Hapa "siku" zinasimama kwa maisha yote ya mtu. AT "wakati aliishi nusu tu ya maisha yake"
utajiri huo utamuacha
Utajiri huzungumzwa kama watumishi ambao wangemuacha mmiliki wao. AT "atafungua utajiri wake"
mwishowe
"mwisho wa maisha yake"
atakuwa mpumbavu
"ataonyeshwa kuwa mpumbavu"
Jeremiah 17:12-14
Mahali pa hekalu letu ni kiti cha enzi
Yeremia anafananisha hekalu na "kiti cha enzi cha utukufu" kwa sababu kuna pale ambapo Bwana anakaa na kutawala.
Mahali pa hekalu letu
Hii inamaanisha Sayuni huko Yerusalemu.
Wote ambao wanakuacha
Hapa neno "wewe" linamaanisha Bwana.
Wale walio katika nchi ambao wanageuka kutoka kwakowatauliwa
"Wewe utawaangamiza wale walio katika nchi ambao hugeuka kutoka kwako"
chemchemi ya maji yaliyo hai
Yeremia anafananisha Bwana na chemchemi ya maji safi. AT "chemchemi ya maji safi, ya maji" au "chanzo cha maisha yote"
Nitaponywa ... Nitaokolewa
"hakika utaniponya ... utakuwa umenipenda"
wimbo wangu wa sifa
"ambaye nitamsifu"
Jeremiah 17:15-16
tazama
"Angalia" au "Sikiliza" au "Jihadharini na kile ninachokuambia"
wao wananiambia
Hapa neno "mimi" linamaanisha Yeremia na neno 'wao' kwa adui zake.
Neno la Bwana liko wapi?
Watu wanatumia swali hili kumtukana Yeremia kwa sababu mambo ambayo alisema hakujawahi kutokea. AT "Ambapo ni vitu gani ambavyo Bwana alikuambia utatokea?" au "Mambo ambayo Bwana alikuambia utatokea hayakufanyika."
Hebu lije
"Waache wapate"
mchungaji akufuatae
Bwana alimuita Yeremia kuwaongoza watu, kama mchungaji anavyoongoza kondoo wake.
Sikuitamani
Sikuhitaji
matangazo yaliyotoka midomoni mwangu
"maagizo niliyosema" au "mambo niliyotangaza"
Yalifanyika
"Nimewafanya"
Jeremiah 17:17-18
siku ya msiba
"Siku" inawakilisha muda wa hukumu ya Mungu kufanyika. AT "wakati wa msiba"
Waaibike watu wanaoniudhi, lakini nisiaibike mimi
"Kuniitia aibu juu ya wafuasi wangu, lakini usinitie aibu"
Watafadhaika, lakini usiache nifadhaike
Kifungu hiki kimamaanisha kimsingi kitu kimoja na kilichopita na kinatumika kwa msisitizo. AT "Kuwafanya wawe na hofu sana, lakini usinifanye kuwa hofu"
kuwaangamiza maradufu
"kuwaangamiza kwa uharibifu kamili" au "kuwaangamiza mara mbili zaidi"
Jeremiah 17:19-20
Bwana
Neno "Bwana" ni jina la Mungu ambalo lilifunua wakati alipoongea na Musa kwenye kichaka kilichowaka. Jina "Bwana" linatokana na neno linamaanisha, "kuwa" au "kuwepo." Maana iwezekanavyo ya "Bwana" ni pamoja na, "yeye ni" au "Mimi" au "yule anayefanya kuwa."
Lango, Bango la lango
"Lango" ni kizuizi kinachotiwa nguzo kwenye eneo la kufikia kwenye uzio au ukuta unaozunguka nyumba au jiji. "Bango la lango" linamaanisha mbao ya mbao au ya chuma ambayo inaweza kuhamishwa mahali pa kufunga lango. Lango la jiji linaweza kufunguliwa ili kuruhusu watu, wanyama, na mizigo kusafiri na nje ya mji.
mfalme
Neno "mfalme" linamaanisha mtu ambaye ndiye mtawala mkuu wa mji, serikali, au nchi. Mfalme huchaguliwa kutawala kwa sababu ya uhusiano wa familia na wafalme wa zamani. Wakati mfalme akifa, huwa ni mwanawe mkubwa ambaye huwa mfalme wa pili.
Yuda, Ufalme wa Yuda
Kabila la Yuda ilikuwa kubwa zaidi katika kabila kumi na mbili za Israeli. Ufalme wa Yuda ulijengwa na kabila za Yuda na Benyamini. Mji mkuu wa ufalme wa Yuda ulikuwa Yerusalemu. Wafalme nane wa Yuda walimtii Bwana na kuwaongoza watu kumwabudu. Wafalme wengine wa Yuda walikuwa wabaya na wakawaongoza watu kuabudu sanamu
Yerusalemu
Yerusalemu ilikuwa ni mji wa kale wa Wakanaani ambao baadaye ulikuwa mji la muhimu sana katika Israeli. Iko karibu kilomita 34 magharibi ya Bahari ya Chumvi na kaskazini mwa Bethlehemu. Bado ni mji mkuu wa Israeli wa sasa. Jina, "Yerusalemu" linalotajwa kwanza katika kitabu cha Yoshua. Majina mengine ya Agano la Kale kwa mji huu ni pamoja na 'Salem', "jiji la Jebus," na "Sayuni." "Yerusalemu" na "Salem" wote wana maana ya "amani." Yerusalemu ilikuwa awali ngome ya Yebusi inayoitwa "Sayuni" ambayo Mfalme Daudi alitekwa na kuiweka katika jiji lake kuu.
neno la Mungu, neno la Bwana, neno la Bwana, maandiko
Katika Biblia, neno "neno la Mungu" linamaanisha chochote ambacho Mungu amewaelezea watu. Hii ni pamoja na ujumbe uliozungumzwa na ulioandikwa. Yesu pia huitwa "Neno la Mungu." Neno "maandiko" linamaanisha "maandiko." Inatumika tu katika Agano Jipya na inahusu maandiko ya Kiebrania au "Agano la Kale." Maandishi haya yalikuwa ujumbe wa Mungu kwamba alikuwa amewaambia watu kuandika ili miaka mingi katika siku zijazo watu waweze kuisoma. Maneno yanayohusiana ya "Yahweh" na "neno la Bwana" mara nyingi hutaja ujumbe maalum kutoka kwa Mungu ambao ulitolewa kwa nabii au mtu mwingine katika Biblia.
Jeremiah 17:21-23
kwa ajili ya maisha yenu
"kulinda maisha yako" au "ikiwa unathamini maisha yako"
Hawakusikiliza wala kutaega masikio yao
Maneno haya mawili yanamaanisha jambo sawa na kusisitiza kuwa watu walikataa kusikiliza. AT "Walikataa kusikiliza" au "Walikataa kutii."
Jeremiah 17:24-25
Hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
ambae amekaa kiti cha Daudi
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 13:12.
mji huu utakaa milele
Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "watu watakaa jiji hili milele"
Jeremiah 17:26-27
nitawasha moto katika malango yake
"Nitaanza moto katika milango ya Yerusalemu"
ambayo hayawezi kuzima
kwamba watu hawawezi kuzima
Jeremiah 18
Jeremiah 18:1-4
Hii ndio neno la Bwana ambalo lilikuja
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
nyumba ya mfinyanzi
Mfinyanzi ni mtu ambaye hufanya sufuria na vitu vingine muhimu, vidogo kutoka kwenye udongo. AT "semina ya mfinyanzi"
tazama
Neno "tazama" linatujulisha mtu mpya katika hadithi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivyo.
gurudumu la mfinyanzi
Gurudumu la mfinyanzi ni meza ndogo ambayo inazunguka, mtungi hutumia kutengeneza sufuria. AT "kwenye meza yake" au "kutengeneza sufuria"
kutengeneza
"kutengeneza" au "kuunda"
iliharibika mkononi mwake
"akaanguka mkononi mwake"
kwa hiyo alibadili mawazo yake
hivyo alifanya uchaguzi tofauti
nzuri machoni pake
Macho husimama kwa mfinyanzi mwenyewe. AT "mzuri kwake"
Jeremiah 18:5-8
neno la Bwana lilikuja
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
Je, siwezi kuwa kama huyu mfinyanzi kwenu, nyumba ya Israeli?
Kwa swali hili, Bwana anasisitiza mamlaka yake ya kufanya kama yeye apendezwavyo na Israeli. AT "Naruhusiwa kutenda kwako, nyumba ya Israeli, kama mfinyanzi anafanyavyo juu ya udongo"
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
Angalia
Neno "kuona" hapa linaongeza mkazo kwa ifuatavyo. AT "Hakika!"
Kama udongo katika mkono wa mfinyanzi-ndivyo ulivyo mkononi mwangu
Kifungu hiki kinarudia kile kilichoingizwa katika maneno ya awali kwa namna ya mfano.
ninaweza kutangaza jambo
"labda mimi kutangaza kitu" au "kwa mfano, mimi kutangaza kitu"
kuuvunja, au kuuharibu
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza jinsi hukumu ya Mungu itaharibika.
nitaondoka
"kuzuia" "kuacha"
Jeremiah 18:9-10
nitaujenga au kuupanda
Hizi vitenzi viwili kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitiza baraka za Mungu.
kuupanda
Kifungu hiki kinalinganisha baraka za Mungu kwa kuuweka kwa makini mmea katika bustani
mabaya machoni pangu
Macho ya Bwana hutaja kwa Yahweh mwenyewe. AT "mambo ambayo nadhani ni mabaya" au "mabaya kulingana na mimi"
kutosikiliza sauti yangu
"wasioti amri zangu" au "wasiozingatia kile nilichosema"
Jeremiah 18:11-12
Angalia
"Angalia" au "Sikiliza" au "Jihadharini na kile ninachokuambia"
Mimi ni karibu kuunda maafa dhidi yako. Mimi ni karibu kupanga mpango dhidi yenu
Maneno haya yote yanaelezea kitu kimoja ili kusisitiza ni hatari gani ya onyo hili.
fanya maafa
Bwana anaelezea maafa kama kitu ambacho anapanga kama mtu atakavyofanya udongo. AT "sura" au "kuunda"
kupanga
"fikiria" au "mpango" au "kuunda"
njia zake mbaya
"njia yake mbaya ya kuishi"
jia zako na matendo yako
Maneno "njia" na "matendo" kimsingi yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba njia yao yote ya maisha inabadilika.
Lakini watasema
Neno "wao" linamaanisha wenyeji wa Yuda na Yerusalemu.
Hili halina maana
Hatuna matumaini
uovu wake, matamanio ya moyo
Mtu huyu anatambulika na sehemu ya mwili wake unaohusishwa na hisia. AT "kwa tamaa zake mbaya"
Jeremiah 18:13-14
Uliza watu wa mataifa, ambao wamewahi kusikia habari kama hii?
Swali hili linamaanisha taarifa. AT "Hakuna mahali popote duniani ambaye mtu yeyote amewahi kusikia jambo kama hili."
Bikira wa Israeli
Ilikuwa ya kawaida kutaja mataifa kama kama walikuwa wanawake. Hata hivyo, "bikira" hufanya mtu kufikiri juu ya mwanamke mdogo ambaye hajawahi kuolewa na hivyo hakuwahi kuwa na nafasi ya kuwa na imani kwa mumewe. Kwa hiyo, kumwita Israeli bikira ni matumizi ya ajabu ya lugha. AT "Israeli, ambaye hujifanya uongo kuwa kikamilifu kujitoa kwa Mungu"
Je, theluji ya Lebanoni imetoka milima yenye miamba juu ya pande zake?
Swali hili linamaanisha taarifa. AT "theluji ya Lebanoni hakika kamwe huacha milima yenye miamba juu ya pande zake"
Je, mito ya mlima inayotoka mbali iliharibiwa
Swali hili linamaanisha taarifa. AT "Hakuna chochote kinachoweza kuharibu mito hiyo ya mlima inayotoka mbali."
Jeremiah 18:15-17
mashaka katika njia zao
Hapa neno "yao" linamaanisha "watu wangu."
itakuwa ya hofu
"itakuwa kitu ambacho kinatisha watu"
kupiga kelele
Hii ni sauti inayoonyesha kukataa kwa nguvu.
atakayepita karibu naye
Hapa neno "yake" linamaanisha "Nchi yao."
Nitawaangamiza mbele ya adui zao kama upepo wa mashariki.
Bwana anajilinganisha na upepo kutoka mashariki ambayo hugawa majivu na uchafu.
Nitawaangamiza
Hapa neno "yao" linamaanisha "watu wangu."
Nitawageuzia kisogo, wala sio uso wangu
Hatua hii inaashiria kwamba Mungu atakataa kuwasaidia watu wake.
Jeremiah 18:18-20
tufanye njama dhidi ya Yeremia
"hebu tufanye mipango ya kumdhuru Yeremia"
maana sheria haitapotea kabisa kwa makuhani, wala ushauri kutoka kwa wenye hekima, au maneno ya manabii
"makuhani watawa na sheria daima, watu wenye busara watawapa ushauri daima, na manabii daima watazungumza"
shambulie kwa maneno yetu
"sema mambo ambayo yatamdhuru"
Nisikilizeni
Hapa Yeremia anaanza kuzungumza na Bwana.
Je, maafa kutoka kwao itakuwa malipo yangu kwa kuwa mema kwao?
Yeremia anauliza swali hili kusisitiza kwamba vitendo vyema havipaswi kulipwa kwa mambo mabaya. AT "Maafa kutoka kwao hawapaswi kuwa tuzo yangu kwa kuwa mazuri kwao."
wamenichimbia shimo
"chimba shimo kunipiga na kuniua"
ili kusababisha hasira yako kugeuka mbali nao
"ili usiwaadhibu kwa hasira yako"
Jeremiah 18:21-23
uwatie mikononi mwa wale wanaotumia upanga
"Upanga" unawakilisha vita. "Kwa sababu ya kufa katika vita"
waache wanawake wao wafiwe na kuwa wajane
"waache watoto na waume wa wake zao wafe"
watu wao watauawa, na vijana wao wauawe kwa upanga
"watu huua watu wao, na kuwaua vijana wao kwa upanga"
Kelele ya kusikitisha isikiwe
"watu husikia sauti ya shida"
Kwa kuwa wamechimba shimo kunikamata na wameficha mitego katika miguu yangu
Adui wa Yeremia wanajaribu kumkamata kama mtu angeweza kukamata wanyama wa mwitu. Yeremia anarudia wazo sawa mara mbili kwa msisitizo.
wamechimba shimo
Angali jinsi ulivyotafasiri hii katika 18:18.
Usiondoe dhambi zao mbali nawe
Maneno haya inamaanisha kitu kimoja kama maneno ya awali.
waache waangamizwe mbele yako
"watu wawaangamizwe mbele yako"
Jeremiah 19
Jeremiah 19:1-3
Bonde la Ben Hinomu
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 7:31.
Angalia
"Sikiliza" au "Jihadharini na kile nitakachokuambia"
masikio ya kila mtu anayesikia yatawaka
"itamshangaza kila mtu anayeisikia"
Jeremiah 19:4-5
wameniacha
Hapa neno "wao" linamaanisha watu wa Yuda.
wamejaza mahali damu isiyo na hatia
""aliuawa watu wengi wasio na hatia mahali hapa"
kitu ambacho sijawaamuru
"kitu ambacho ninawazuia kufanya"
wala hakuingia ndani ya akili yangu
Hapa neno "akili" linamaanisha mawazo ya Bwana. AT "wala sijawahi kufikiri juu yake"
Jeremiah 19:6-9
Angalia
"kusikiliza" au "kuwa makini na kile ninachokuambia"
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
mahali hapa hapataitwa tena
"watu hawataita tena mahali hapa"
Tofethi....bonde la Ben Hinomu....bonde la machinjo
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 7:31.
Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao
"Nitawafanya maadui wao kuwaua kwa mapanga"
kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao
Maneno haya yanamaanisha kimsingi kitu kimoja kama maneno ya awali. AT "Nitawawezesha wale ambao wanataka kuwaua kuwaua"
milele
"S" sauti, ambayo inaonyesha kukataa kwa nguvu.
Nitawafanya kula
"Nitawafanya watu wanaokaa Yerusalemu kula"
Jeremiah 19:10-11
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
isiweze isiweze kutengenezwa tena tena
"hakuna mtu anayeweza isiweze kutengeneza tena"
Jeremiah 19:12-13
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
wafalme wa Yuda
"na nyumba za wafalme wa Yuda"
Jeremiah 19:14-15
Angalia
"Sikiliza" au "Jihadharini na kile nitakachokuambia"
walishupaza shingo zao na kukataa kusikiliza
Maneno "kukataa kusikiliza" ina maana kimsingi kitu kama "shingo la shingo" na kuelezea jinsi watu walivyofanya hivyo.
Jeremiah 20
Jeremiah 20:1-2
Taarifa za jumla
Angalia
alikuwa msimamizi mkuu
Hapa neno "yeye" linamaanisha Pashuri.
Pashuri akampiga Yeremia
Inawezekana maana ni 1) kwamba Pashuri mwenyewe alimpiga Yeremia au 2) Pashuri aliwaamuru watu wengine kumpiga Yeremia.
masanduku
Hifadhi ni sura ya mbao na mashimo ambayo watu hutumia kuifunga mikono, miguu, na kichwa cha mfungwa.
Lango la juu la Benyamini
Lango hili ni tofauti na lango katika ukuta wa jiji ambalo lilikuwa na jina sawa.
Jeremiah 20:3-4
Ikawa
Kifungu hiki kinatumiwa hapa kuonyeshwa ambapo hatua huanza. Ikiwa lugha yako ina njia ya kufanya hivyo, unaweza kufikiria kuitumia hapa.
wewe ni Magor-Misabibu
Jina hili linamaanisha "hofu kwa kila upande" au "kuzungukwa na hofu."
Tazama
"Jihadharini na kile nitakachokuambia"
wataanguka kwa upanga wa adui zao
"adui zao watawaua kwa mapanga"
macho yako yataona
"utaiona"
Nitawatia Yuda mkononi mwa mfalme wa Babeli
Hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu. AT "Nitamuwezesha mfalme wa Babeli kuishinda Yuda wote"
Jeremiah 20:5-6
Nitampa
Hapa neno "yeye" linamaanisha mfalme wa Babeli.
utajiri wote ... utajiri wake wote, vitu vyote vya thamani na hazina zote
Bwana anarudia wazo moja la msingi mara nne kwa msisitizo. Hiyo ni Babeli itachukua utajiri wote wa Israeli, ikiwa ni pamoja na mali ya Mfalme.
Nitaweka vitu hivi mikononi mwa adui zako
Hapa neno "mkono" linamaanisha kuwa milki. AT "Nitawaacha maadui wako kuchukua milki ya vitu hivi" au "Nitawapa vitu hivi kwa adui zenu"
Wewe na wapendwa wako wote ambao uliwatabiria maneno ya uongo mtazikwa huko
"Huko, watu watakuzika wewe na wapendwa wako wote ambao uliwatabiria mambo ya uongo"
Jeremiah 20:7-9
Taarifa za jumla
Yeremia anaongea na Bwana
hakika nilikuwa nimedanganywa
Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Wewe hakika umenidanganya" (UDB) au "umenidanganya"
Wewe umenidanganya, Bwana. Kwa hakika nilikuwa nimedanganywa
Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri maneno haya ya Kiebrania kama "Wewe umenishawishi, Bwana. Kwa hakika nilikuwa na ushawishi.
kuchekesha
Huyu ni mtu ambaye wengine wanamcheka na kumchukiza.
Watu wananidharau kila siku, siku zote
Maneno haya yanamaanisha kimsingi kitu kimoja kama maneno ya awali.
nimeita na kutangaza
Maneno haya mawili yanamaanisha jambo sawa na kusisitiza kwamba alitangaza ujumbe wa Bwana kwa ujasiri. AT "alitangazwa kwa wazi" au "alitangaza kwa sauti kubwa"
neno la Bwana limefanywa shutumu na dhihaka kwangu kila siku
Hapa "neno" linamaanisha ujumbe wa Bwana. AT "Watu wana nishutumu na kunidhihaki kila siku kwa sababu mimi hutangaza ujumbe wa Bwana"
shutumu na dhihaka
Maneno "kutukana" na "kunyosha" inamaanisha kuwa sawa na kusisitiza kwamba watu wamemcheka Yeremia kwa kutangaza ujumbe wa Bwana. AT "sababu ya watu kunidharau"
Sitatangaza tena jina lake
Inawezekana maana ni 1) "Sitasema tena juu yake" (UDB) au 2) "Sitasema tena kama mjumbe wake"
Ni kama moto moyoni mwangu, uliofanyika ndani ya mifupa yangu
Yeremia anazungumzia ujumbe wa Bwana kama ni moto usio na udhibiti. AT "neno la Bwana ni kama moto unaowaka ndani yangu"
Jeremiah 20:10-11
Lazima tumshitaki
Adui wa Yeremia wanasema maneno haya.
Labda anaweza kudanganywa.....kujilipiza kisasi kwake
Adui wa Yeremia wanasema maneno haya.
Labda anaweza kudanganywa
"Pengine tunaweza kumdanganya"
Bwana yu pamoja nami kama mpiganaji mwenye nguvu
Bwana ni kama shujaa mwenye nguvu ambaye humlinda Yeremia na kuwashinda adui zake.
hawawezi kusahau kamwe
"watu hawatasahau kamwe"
Jeremiah 20:12-13
ambao wanaona akili na moyo
"ni nani ajuaye watu wanadhani na wanataka"
ameokoa maisha ya wale waliokandamizwa
"aliwaokoa watu waliokandamizwa"
kutoka kwenye mikono ya waovu
Hapa neno mkono linamaanisha nguvu. AT "kutoka kwa nguvu ya waovu"
Jeremiah 20:14-15
Taarifa za jumla
Yeremia anaendelea kuzungumza na Bwana.
Na ilaaniwe siku niliyozaliwa
"Laana siku nilipozaliwa"
Usiruhusu siku ambayo mama yangu alinizaa ibarikiwe
"Usiibariki siku ambayo mama yangu alinizaa."
Na alaaniwe mtu aliyemwambia baba yangu
"Mlaani mtu aliyemwambia baba yangu"
Jeremiah 20:16-18
mtu yule
Hii inahusu mtu aliyemwambia baba wa Yeremia ya kuzaliwa kwa Yeremia.
miji ambayo Bwana aliiangamiza
Hii inahusu Sodoma na Gomora.
hakuwa na huruma
Hapa neno "yeye" linamaanisha Bwana.
Yeye kusikia sauti ya msaada
apa neno "yeye" linamaanisha "mtu yule"
kumfanya mama yangu kaburi langu
Tumbo la mama yake Yeremia lingekuwa limehifadhi mwili wake mfu kama kaburi linavyoweka mwili wa marehemu.
Kwa nini nilitoka tumboni ili kuona matatizo na uchungu.....aibu?
Yeremia anatumia swali hili kulalamika kwamba hapakuwa na sababu nzuri ya kuzaliwa. AT "Hakukuwa na sababu ya mimi kuzaliwa tu kuona matatizo na uchungu ... aibu."
kuona matatizo na uchungu
Maneno "matatizo" na "uchungu" inamaanisha kuwa ni sawa na kusisitiza kiasi na ukali wa mateso. AT "kupata uzoefu mkubwa wa mateso."
siku zangu zimejaa aibu
"maisha yangu yamejaa aibu"
Jeremiah 21
Jeremiah 21:1-2
Taarifa za jumla
Angalia
Pashuri
Hii sio Pashuri ambae ameetajwa katika 20:1
Pata ushauri kutoka kwa Bwana kwa ajili yetu
"Tafadhali sema na Bwana kwa ajili yetu. Mwambie kama atatusaidia "
kama zamani
"kama alivyofanya zamani"
kumfanya aondoke kwetu
"atamfanya aende"
Jeremiah 21:3-5
vyombo vya vita vilivyo mkononi mwenu
"askari unaowaamuru"
kukufunga
"kuja karibu na wewe"
kwa mkono ulioinua na mkono wenye nguvu
Maneno haya yote ni maneno ya kiidioma ambayo yanataja nguvu kubwa. AT "na nguvu kubwa sana."
ukali, ghadhabu, na hasira kubwa
Maneno haya yote yanamaanisha kimsingi kitu kimoja. Pamoja wanasisitiza ukubwa mkubwa wa hasira yake. AT "kwa hasira kubwa sana."
Jeremiah 21:6-7
Taarifa za jumla
Angalia
wenyeji wa mji huu
"wale wanaoishi Yerusalemu"
Jeremiah 21:8-10
watu hawa
"watu wa Yerusalemu"
nitaweka mbele yako njia ya uzima na njia ya mauti.
Bwana anawapa watu wa Yerusalemu uchaguzi ambao utaamua kama wanaishi au kufa.
kuanguka kwa magoti mbele
"kujisalimisha kwa "
imefungwa kinyume
"kushambuliwa kutoka pande zote"
Nimeweka uso wangu kinyume
"Nimekataa kupinga" au "nimegeukia"
Yeye ataokoka na maisha yake
Yule anayejisalimisha kwa Wababiloni ataokoka na maisha yake, ingawa atapoteza mali zake zote.
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
Jeremiah 21:11-12
Kuhusu nyumba ya mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Bwana
"Sikiliza yale Bwana asema juu ya mfalme wa Yuda, familia yake, na watumishi wake."
Hukumuni kwa haki asubuhi
"Daima uwatendee watu ambao unatawala juu ya haki"
mkono wa mwenye kuonea
"nguvu ya yule anaonea"
"Nitawaadhibu na kuharibu katika ghadhabu yangu haraka na kabisa"
"Nitawaadhibu na kuharibu katika ghadhabu yangu haraka na kabisa"
Jeremiah 21:13-14
Mimi ni juu yako, mwamba wa bahari
"Ninakupinga, Yerusalemu" au "Nitawaadhibu, watu wa Yerusalemu"
hili ni tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
'Ni nani atashuka kutupiga?...Ni nani atakayeingia kwenye nyumba zetu?
"Hakuna yeyote atushambulia na hakuna mtu atakayeingia nyumba zetu"
Nitawaadhibu kutokana na matunda ya matendo yako
"Nitakudhibu kama unavyostahiki kwa sababu ya mambo uliyoyatenda"
matokeo ya matendo yako
"matokeo ya matendo yako"
Jeremiah 22
Jeremiah 22:1-3
kiti cha Daudi
Hii ina maana ya kuwa na mamlaka ya kifalme, kama vile Daudi alivyokuwa nayo. AT "kutawala kama mfalme, kama Daudi mbele yenu"
kusikiliza neno la Bwana
"kuwa makini kwa neno la Bwana"
wewe na watumishi wako, na watu wako
"wewe na watumishi wako, na watu wako wanaoishi katika nchi yake"
mnaokuja kwa malango haya
Haya ni malango ya jumba la mfalme. AT "ambaye anakuja kumtembelea mfalme"
mkono wa mshindani
Neno "mkono" linamaanisha nguvu au udhibiti wa mtu.
Usimtendee mabaya
Usimtendee mtu vibaya
yatima
mtoto ambaye hana wazazi
Usifanye......kumwaga damu isiyo na hatia
"Usifanye ... kuwaua watu wasio na hatia"
mahali hapa
"mahali hapa" linamaanisha Yerusalemu, au hata nchi nzima ya Yuda. Hii haina maana kuwa ni vizuri kuua watu katika maeneo mengine.
Jeremiah 22:4-5
wafalme wanaoketi kiti cha Daudi
Hii inahusu wafalme wenye mamlaka kama Daudi. Wafalme, wanatawala kama Daudi mbele yao
wakiendesha gari na farasi
Maneno haya yanaelezea wafalme kama wenye nguvu na matajiri.
yeye, watumishi wake, na watu wake
Sentensi hii inaorodhesha wote ambao watakuwa na nguvu na matajiri. "yeye, watumishi wake, na watu wake watapanda ngome juu ya magari na farasi"
ikiwa husikiliza
"ikiwa husikiliza" (UDB) au "ikiwa hutii"
hili ni tamko la bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
Jeremiah 22:6-7
nyumba ya mfalme wa Yuda
Hii pia inaweza kutafsiriwa kama "nyumba ya mfalme wa Yuda" na inahusu familia na wazao wa Mfalme wa Yuda.
Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni
Bwana anaelezea hisia zake nzuri kwa familia na wazao wa Mfalme wa Yuda
nitakugeuza kuwa jangwa
"kwa sababu miji yako kuwa tupu au isiyoishi"
Jeremiah 22:8-9
Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu
"Kisha watu wengi kutoka mataifa mbalimbali watapita kwenye mji huu."
wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kimoja. Maneno "akainama chini" yanaelezea mkao ambao watu walitumia katika kuabudu.
Jeremiah 22:10
Taarifa za jumla
Msemaji wa Bwana amebadilishana na kumwambia mfalme wa Yuda na sasa anazungumza na wasikilizaji kwa ujumla.
kuiona nchi aliyozaliwa tena
"angalia nchi ya Israeli tena" au "kuangalia nchi yake tena"
Jeremiah 22:11-12
Yehoahazi
Jina kwa Kiebrania ni "Shalum," lakini anajulikana zaidi kama Yehoahazi.
Jeremiah 22:13-14
nyumba
Nyumba inatumika hapa kuelezea Yehoyakimu na familia yake.
Jeremiah 22:15-16
e, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi
"Kuwa na nyumba ya mwerezi haifanyi iwe mfalme mzuri"
Je baba yako hakula na kunywa..... haki?
"Mfalme Yosia alifurahia maisha yake ... haki."
Je! Hii sio maana ya kunijua?
"Hii ndiyo maana ya kunijua mimi."
Jeremiah 22:17-19
hakuna kitu katika mmacho na moyo wako
"hakuna kitu katika mawazo yako na hisia"
faida yako
Hii ni kupata pesa kwa kudanganya au kwa kutumia njia zisizofaa.
kumwaga damu isiyo na hatia
"kuua watu wasio na hatia"
kuwafanyia jeuri wengine
"kufanya vurugu kwa wengine ili kupata fedha"
Ole, ndugu yangu! ...... Ole, dada yangu!.....Ole, bwana!....Ole, utukufu!
Bwana hutumia neno "Ole" mara kadhaa kwa msisitizo. Anawaambia watu mbalimbali ambao kwa kawaida wataonyesha huzuni kubwa wakati mtu anapokufa.
Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje
"Watauzika mwili wa marehemu kama ambavyo wanaweza kumzika punda aliyekufa; watauburuza na kuutupa nje"
Jeremiah 22:20-21
Paza sauti yako
"Piga kelele Bashani"
milima ya Abarimu
Angalia
Nilinena nawe wakati ulioko salama
"Nilinena na wewe unapokuwa ukifanya vizuri"
Hii ilikuwa desturi yako
"Hii ndiyo njia yako ya maisha"
hukusikiliza sauti yangu
"hamkunitii"
Jeremiah 22:22-23
Upepo utawalisha wachungaji wako wote
"Viongozi wako wataondolewa"
Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe ambaye ni kiota kati ya mierezi
"nyumba iliyotengenezwa kutoka kwa mierezi ya Lebanoni"
jinsi utakavyohurumiwa wakati uchungu wa maumivu ya huzuni yanavyokujia kama unatakakuzaa
"utasihi kwa sababu ya maumivu yako"
Jeremiah 22:24-26
Kama mimi niishivyo
"Hakika"
ata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu....ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha
"Ikiwa wewe, Yehoyakini ... ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuchota mkono wangu" au "Yehoyakimu ... hata kama wewe ndio mfalme niliyechagua kama uonyesho wa nguvu zangu, mimi ingekuwa bado adhabu yenu"
Nimekutia mikononi mwa wale wanaotafuta maisha yako
"Nimewafanya iwezekanavyo kwa wale wanaotaka maisha yako kukupeleka"
Jeremiah 22:27-28
nchi hii ambayo watataka kurudi
Inaelezea nchi ya Yuda
Je! Hii ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, mtu huyu Yehoyakini ni chombo kisichomfurasha mtu?
"Yehoyakini haufai na hakuna mtu anayefurahi naye."
Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
"Watu wanapaswa kuwaondoa Yehoyakini na familia yake kutoka nchi"
Jeremiah 22:29-30
Nchi, Nchi, Nchi
Bwana anaongea ujumbe wake kwa watu wote wa nchi kwa kuitaja nchi wanayoishi.
Sikieni neno la Bwana
"tii neno la Bwana"
Jeremiah 23
Jeremiah 23:1-2
wachungaji ambao huangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu
Bwana anaelezea Israeli kama malisho yake, watu wa Israeli kama kondoo wake na viongozi wao katika Israeli kama wachungaji.
Tamko la Bwana
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
mnawatawanya kundi langu na kuwafukuza
Maneno haya mawili yana maana sawa. Jambo la pili linaimarisha mawazo ya kwanza.
kulipa kwa uovu
Bwana inahusu matendo mabaya kama mkopo uliopatiwa na unaweza kulipwa. AT "kulipiza kisasi kwa uovu"
Jeremiah 23:3-4
Taarifa za jumla
Bwana anaendelea kusema juu ya watu wa Israeli kama kondoo wake na viongozi wa Israeli kama wachungaji
kwenye eneo la malisho
"ambapo mahitaji yao yote yatatolewa"
ambako watazaa na kuongezeka
Neno "ongezeko" linaelezea jinsi watakavyokuwa "wenye kuzaa." AT "wataongezeka kwa idadi kubwa."
hivyo hawataogopa tena au kupotezwa
Maneno "yamevunjwa" inamaanisha kwamba mtu amewafanya waogope na maana yake ni sawa na "hofu." "Hakuna mtu atakayewaogopa tena."
Hakuna hata mmoja
"Hakuna kati ya watu wangu"
Jeremiah 23:5-6
siku zinakuja
Wakati ujao unasemwa kama ni kitu kinachoja kwa msemaji au wasikilizaji. AT "wakati utafanyika"
Tamko la Bwana
"nini Bwana ametangaza" au "nini Bwana amesema." Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
tawi la haki
Mfalme huyu wa baadaye alitoka kwa Daudi anazungumzwa kama kwamba alikuwa tawi iliyopandwa kwenye mti. AT "mwana wa haki"
tawi la haki
Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "mrithi halali wa kiti cha enzi."
hukumu na haki katika nchi
"hukuimu" na "haki" husimama kwa watu wanaofanya kwa haki na kwa haki. "Kwa sababu watu kutenda kwa haki na kwa haki "
katika nchi
Hapa "nchi" inawakilisha watu wote katika taifa hilo. AT "kwa watu wote katika taifa"
Yuda ataokolewa, na Israeli wataishi kwa usalama
Sentensi hizi mbili zina maana sawa.
Yuda ataokolewa
Hii inaweza kuweka katika fomu ya kazi. "atamuokoa Yuda kutoka kwa adui zao"
Jeremiah 23:7-8
Kama Bwana aishivyo
Hili ndilo neno linalotumiwa kwa kiapo.
kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote walizofukuzwa
Hii inahusu njia ya makabila kumi ya kaskazini ya Israeli yaliyotumwa na kuenea kati ya nchi zote.
Jeremiah 23:9-10
Taarifa za jumla
Msemaji amebadilika kutoka kwa Bwana hadi Yeremia.
Kuhusu manabii, moyo wangu umevunjika ndani yangu, na mifupa yangu yote imetetemeka.
Moyo wa nabii umevunjika na mifupa hutetemeka kwa sababu anaogopa hukumu ambayo itatoka kwa uongo wa manabii wa uongo. AT "Nina hofu kubwa nini kitatokea kwa sababu ya manabii wa uongo"
moyo wangu umevunjika ndani
Hisia za nabii zinazungumzwa kama kwamba walikuwa moyo wake. AT "nimesikitika sana"
mifupa yangu yote imetetemeka
Hapa hisia ya hofu inazungumzwa kama kama mifupa ya nabii yalitetemeka. AT "Mimi ninaogopa sana"
Nimekuwa kama mlevi, kama mtu ambaye ameshindwa na divai
Hapa kuna huzuni sana na hofu inazungumzwa kama kama mgonjwa huyo alikuwa kama mtu mlevi. AT "Mimi ni kama mtu mlevi; Siwezi kujidhibiti"
nchi imejaa wazinzi
Kuenea huu hutumiwa kuonyesha kiwango cha dhambi ambacho kilikuwapo wakati wa Yeremia.
wazinzi
Neno hili labda linasimama hapa kwa wazo la kweli ambalo watu wengi katika taifa hilo wamefanya uzinzi dhidi ya wake zao, na pia, kama ilivyo kawaida katika lugha ya kibiblia, kwa wazo la kwamba wamemwacha Bwana ili kuabudu sanamu.
nchi imekauka
Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri maneno haya ya Kiebrania kama "nchi huomboleza."
Jeremiah 23:11-12
Taarifa ya jumla
Mjumbe hubadilika kutoka Yeremia kwenda kwa Bwana.
makuhani wote wamekufuru
"makuhani ni wenye dhambi"
katika nyumba yangu
Hapa hekalu la Bwana linalinganishwa na nyumba, mahali ambako Bwana anasemekana kuishi kati ya watu wake.
tamko la Bwana
"nini Bwana ametangaza" au "kile Bwana amesema"
kama mahali pa kupumzika katika giza
"si imara, au hatari"
katika mwaka wa adhabu yao
"ikiwa wakati wao wa adhabu unakuja"
Jeremiah 23:13-15
huenda kwa udanganyifu
"wanaishi katika kutokuwaminifu"
Wanaimarisha mikono ya waovu
"huwaimarisha wale wanaofanya mabaya"
hakuna mtu anarejea na kuacha uovu wake
"Wanaendelea katika dhambi zao"
Wote wamekuwa kama Sodoma....kama Gomora.
"Walikuwa waovu sana"
wormwood was something that was bitter and unpleasant to eat. This phrase describes the punishment that Yahweh was going to bring about on the evil prophets. In the same way, wormwood was bitter and the water was poisonous, so would Yaweh's judgment be on the evil prophets.
Magugu ni kitu kilichokuwa kichungu na kisichofurahisha kula. Maneno haya yanaelezea adhabu ambayo Bwana angeenda kuleta juu ya manabii mabaya. Kwa njia hiyo hiyo, mchanga ulikuwa uchungu na maji yalikuwa yenye sumu, basi hukumu ya Yaweh ingekuwa juu ya manabii waovu.
kufuru imetoka kwa manabii
"Uovu umetoka kwa manabii "
Jeremiah 23:16-18
Wamekudanganya
"Manabii wamekufanya uamini kitu ambacho si kweli!"
maono kutoka kwenye mawazo yao wenyewe
"maono waliyofikiria"
si kwa kinywa cha Bwana
sio kutoka kwa Bwana
Lakini nani amesimama katika mkutano wa baraza la Bwana? Ni nani anayeona na kusikia neno lake? Ni nani anayezingatia maneno yake na kusikiliza?
Hakuna mtu anayemshauri Bwana. Hakuna mtu anayeelewa kile Bwana anasema. Hakuna mtu anayetii amri za Bwana.
Jeremiah 23:19-20
dhoruba inazunguka
"ni kama dhoruba kubwa"
Inazunguka vichwa vya waovu
"Inakuja juu ya waovu"
zitakapotimiza nia ya moyo
"Ghadhabu ya Bwana italeta adhabu yote ambayo amepanga"
Jeremiah 23:21-22
Kwa kuwa kama walisimama katika mkutano wangu wa baraza
"ikiwa wangenisikiliza kweli"
Jeremiah 23:23-24
Mimi ni Mungu aliye karibu....mimi sio Mungu aliye mbali?
"Mimi ni Mungu ambaye ni wa karibu na mbali."
Je, kuna mtu yeyote anayejificha mahali penye siri ili nisiweze kumwona?
"Hakuna mtu anayeweza kujificha mahali pa siri ili nisiweze kumwona."
Je, sikuijaza Mbingu na Dunia?
"Na mimi niko kila mahali, mbinguni na duniani."
Jeremiah 23:25-27
Nilikuwa na ndoto!' Je, hii itaendelea mpaka lini, manabii wanaotabiri uongo kutoka kwa akili zao, na wanasema nini kutokana na udanganyifu mioyoni mwao?
"Hii haipaswi kuendelea, manabii wanaotangaza uwongo ambao wao wenyewe wametengeneza."
kuwafanya watu wangu kusahau jina langu..... kwa ajili ya jina la Baali
"kuwaongoza watu wangu wamwabudu Baali badala ya mimi"
Jeremiah 23:28-30
e, majani yanahusiana na nafaka?
"Majani na nafaka ni vitu viwili tofauti kabisa."
Na neno langu si kama moto? -Hili ni tamko la Bwana-na kama mwamba wenye kupiga nyundo?
"Maneno yangu ni kama moto unaovuna na wenye nguvu," asema Bwana, "na kama nyundo inayovunja mwamba vipande vipande."
kama nyundo inayovunja mwamba vipande vipande
"kama nguvu kama nyundo ambayo inaweza kuponda mwamba"
Jeremiah 23:31-32
wanaoota ndoto
" ni nani ambao wanadai kuwa na ndoto kutoka kwa Mungu, lakini sio kutoka kwa Mungu.
Jeremiah 23:33-34
Tamko gani
Swali hili lina maana ya kufanya kazi kama taarifa AT "Hakuna tamko."
Jeremiah 23:35-36
umepotosha maneno ya Mungu aliye hai
"umebadilisha maneno ya Mungu kusema nini unataka wanasema"
Jeremiah 23:37-40
Taarifa za jumla
Angalia...
Je, Bwana alisema nini?
"Bwana alisema nini"
Kwa hiyo, angalia
"Kwa hiyo kuwa makini"
nitawachukua na kukutupa mbali na mimi
"Nitawafukuza mbali na mimi"
ambayo haitasahauliwa
"ambayo itaendelea milele"
Jeremiah 24
Jeremiah 24:1-3
Tazama
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Yeremia aliona kitu cha kuvutia.
Maono haya yalitokea......nao Babeli
Sehemu hii ya hadithi hutumiwa kutoa maelezo ya kihistoria kuonyesha wakati matukio yalivyotokea.
mafundi
watu wenye ujuzi wa kutengeneza vitu.
wafua vyuma
watu wenye ujuzi wa kutengeneza vitu kutokana na chuma.
Jeremiah 24:4-7
neno la Bwana lilikuja
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
kama vile tini hizi nzuri
Tini nzuri ni wale waliohamishwa wa Yuda waliotumwa kwenda nchi ya Wakaldayo.
Nitaweka macho yangu kwao wapate mema
"Nitawabariki."
Nitawajenga, wala sitawaangamiza. Nitawapanda, wala sitawang'oa.
Sentensi hizi mbili zina maana sawa. Jambo la pili linaimarisha mawazo ya kwanza. "Nitawasaidia kufanikiwa katika Wakaldayo."
Nitawajenga, wala sitawaangamiza
Neno hili linawafananisha wahamisho na jengo ambalo Bwana atajenga na si kuvunja. AT "Nitawasaidia kufanikiwa katika nchi, na si kuwaangamiza."
Nitawapanda, wala sitawang'oa
"Nitawaweka katika nchi, wala siwaondoe."
hivyo watanirudia kwa moyo wao yote.
"watanirudia kwa uzima wao wote"
Jeremiah 24:8-10
Lakini kama vile tini mbaya ambazo ni hazifai kuliwa
Maneno haya yanafananisha tini mbaya kwa watu waovu. Tini mbaya ni tini ambazo haziwezi kula na hazifai, watu mbaya hawatamfuata Bwana na pia hawana maana.
Nitawafanya kuwa kitu cha kutisha, wapate maafa
Bwana inalinganisha hukumu ya kuja juu ya watu wa Yerusalemu kwa kitu ambacho kitatisha watu wengine wanapoiona.
Nitatuma upanga, njaa, na tauni dhidi yao
"Nitawaua kwa vita, njaa na magonjwa."
Nitatuma upanga
"Nitawatuma majeshi ya adui"
Jeremiah 25
Jeremiah 25:1-2
wa nne ... wa kwanza
Angalia
watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu.
Hawa ndio wa mwisho wa Waisraeli. Ufalme wa kaskazini ulikuwa umeanguka tayari.
Jeremiah 25:3-4
Amoni
(Angalia: tafasili ya majina)
hata leo
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 7:24.
maneno ya Bwana yamekuja kwangu
"Bwana amenipa maneno yake ili kukuhubiri"
Walikuwa na nia ya kwenda nje
"Walikuwa na shauku ya kushiriki maneno ya Mungu na wewe"
kusikiliza au kutega masikio
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 11:6.
Jeremiah 25:5-6
njia zake mbaya na udhalimu wa matendo yake
Neno "njia mbaya" na "udhalimu wa matendo yake" inamaanisha kitu kimoja na kutaja kila kitu cha dhambi ambacho wanafanya.
kurudi kwenye nchi ambayo Bwana aliitoa wakati wa zamanai kwa ajili ya babu zenu na ninyi, kama zawadi ya kudumu
"ili uweze kurudi nchi ambayo Bwana alikuahidi na kuishi ndani yake milele"
msimkasirishe kwa kazi ya mikono yenu ili kwamba awaumize
"msimfanye Bwana kukasilika kwa kazi zenu za uovu hivyo atakuadhibu"
Jeremiah 25:7-9
hamkunisikiliza
"hamkunitii"
kuwaleta juu ya nchi hii
Mungu ana mpango wa kutumia Nebukadreza na mikono yake kuwaadhibu Israeli na mataifa ya jirani kwa uasi wao dhidi ya Bwana.
Angalia
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:17.
kupiga kelele
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 18:15
Jeremiah 25:10-11
mawe ya kusagia
Haya ni mawili makubwa, mawe ya mviringo yanayotumika hupanda nafaka.
Nitafanya mambo haya yote kutoweka kutoka kwa mataifa haya
Haya ni kumbukumbu ya mataifa kuharibiwa.
mataifa haya watamtumikia mfalme wa Babeli
Ulazimishwe kulipa kodi na kuuzwa utumwani.
Jeremiah 25:12-14
imekamilika
"wakati adhabu yao iko kamili"
kuifanya kuwa ukiwa milele
Mungu ameahidi kuigeuza Babiloni kuwa jangwa kama jangwa.
Nitawalipa kwa matendo yao na kazi za mikono yao
Mungu atawafanya wapate adhabu sawa na waliyoifanya juu ya mataifa waliyoyashinda.
matendo yao na kazi za mikono yao
Maneno haya mawili yanamaanisha jambo sawa na kusisitiza kuwa Yahweh inazungumzia kila kitu ambacho wamefanya kwa mataifa mengine. AT "kila kitu ambacho wamefanya."
Jeremiah 25:15-16
kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, ukawanyweshe mataifa yote niliyokutuma
Bwana anaamuru adhabu kuanza.
ukawanyweshe mataifa yote niliyokutuma
"kufanya mataifa kuwa na uzoefu"
watakunywa na kisha watalewa na kufanya wazimu mbele ya upanga ambao nitaupeleka kati yao
Wale wanaopata matokeo ya adhabu kali ya Bwana watatenda kama watu walichanganyikiwa.
Jeremiah 25:17-18
Taarifa za jumla
Kifungu hiki kinaendelea mfano wa hasira ya Bwana kama kinywaji kumwagika.
nikawanywesha mataifa yote ambayo Bwana alinituma
Kazi ya kunywa kutoka kikombe cha divai ilikuwa mfano wa hukumu ya Mungu.
kuwafanya kuwa ukiwa na kitu cha kutisha
"kuwaangamiza"
cha kuzomewa na laana
"kupuuzwa au kulaaniwa"
kama ilivyo hata leo
Kulikuwa na kipindi cha muda kati ya wakati hii imeandikwa na wakati ilitokea kweli.
Jeremiah 25:19-21
Taarifa za jumla
Yeremia anaweka orodha ya mataifa yote ambayo yatahukumiwa
watu wa urithi mchanganyiko
Hii ni kumbukumbu kwa watu wenye wazazi wawili kutoka mataifa mawili tofauti. AT "watu waliochanganywa"
Jeremiah 25:22-23
Taarifa zajumla
Yeremia anaendelea kuandika mataifa yote yaliyo chini ya hukumu ya Mungu.
Bahari
Hii ni kumbukumbu ya Bahari ya Mediterane.
wale wanyoao nywele zao upande wa pili wa vichwa vya
Hii inawezekana inazungumzia Waarabu ambao waliishi jangwani, watu ambao hukata nywele zao ili waweze kuheshimu mungu wa kipagani.
Jeremiah 25:24-26
Kunywa
Hii inahusu kikombe cha divai katika maono ya Yeremia ambayo ni mfano wa hukumu ya Mungu.
Zimri
Angalia: tafasiri ya majina
wafalme wa kaskazini
"wafalme kutoka kaskazini"
Jeremiah 25:27-29
Taarifa za jumla
Maono ambayo Mungu alimpa nabii Yeremia inaendelea.
kunywa na kulewa, kisha tapika, uanguke, wala usisimame mbele ya upanga nitakaoutuma kati yenu
Hii inaonyesha kutokuwepo kwa adhabu ya kuja na ubatili wa kujaribu kuepuka.
kikombe mkononi mwako ili kunywa
"adhabu yao"
lazima mnywe
Hiki si kikombe ambacho mataifa yanaweza kukataa kunywa. Mataifa hawawezi kukataa hukumu za Mungu za vita na majanga ya asili.
kunywa
"kuadhibiwa"
mji unaoitwa na jina langu
"watu wa Yerusalemu"
je ninyi mtaachiliwa msiadhibiwe?
"unapaswa kuadhibiwa."
nitaita upanga juu ya wenyeji wote wa nchi
"Ninawaadhibu wale wanaoishi katika nchi"
Jeremiah 25:30-31
kuleta mashtaka
"kuwahukumu mataifa" au "kuhukumu na kuadhibu mataifa"
Ataleta haki kwa wote wenye mwili
Mataifa yote inayojulikana atapata hukumu ya Mungu.
wote wenye mwili
"kwa wanadamu wote" au "kwa watu wote"
atawatia waovu katika upanga
"kuwaua watu waovu"
Jeremiah 25:32-33
Angalia
"Jihadharini na hii!" Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 5:14
dhoruba kubwa itatokea toka pande za mwisho za dunia
"uharibifu unakuja"
watakuja kutoka upande mmoja wa dunia hadi mwingine
"je, siku hiyo itafunika dunia nzima"
Watakuwa kama samadi chini.
Maana iwezekanavyo ni 1) kulikuwa na watu wachache au hakuna watu waliokubali kuzika wale ambao Bwana aliwaua au 2) kulikuwa na ukosefu wa wasiwasi wa miili ya wafu.
Jeremiah 25:34-36
Wachungaji
Hii ni kumbukumbu kwa viongozi wa Israeli.
Gaagaa katika ardhi
Hii ni ishara ya huzuni, maombolezo au dhiki.
Suku yako
Kwa muda wako" au "wakati wa wewe"
Utaanguka kama kondoo waliochaguliwa.
"Wewe utaangamizwa kwa urahisi"
Mtumwa wa wachungaji waliokwenda
Hakutakuwa na nafasi ya kujificha ili kuepuka hukumu hii au uharibifu.
Yahweh anayaharibu malisho yao
Hukumu ya Mungu ni juu ya viongozi wote na watu, hakuna mtu atakayeokolewa.
Jeremiah 25:37-38
Hivyo malisho ya amani yataharibiwa
Hapa "malisho" inasimama taifa zima.
yataharibiwa
Hii inaweza kuweka katika fomu ya kazi. AT "ataharibu taifa lote"
ghadhabu ya hasira
Ukweli kwamba Bwana amekasirika husemwa kama kitu. AT "Bwana amekasirika"
Kama simba, ameacha shimo lake, kwa kuwa ardhi yao itakuwa na hofu
Tofauti na marejeo mengine ambako Mungu anaonekana kama simba la kulinda kwa Israeli, katika kifungu hiki Mungu anafanya kama simba ili awaadhibu Israeli. AT "Bwana anakuja kama simba mdogo kuifanya nchi ya watu kuwa hofu"
ardhi yao itakuwa hofu
Hapa "hofu" inasimama ubora. AT "nchi yao itakuwa ya kutisha" au "nchi yao itakuwa kitu cha kutisha kuona"
hasira ya muonevu
Hii inahusu hasira ya maadui wa Israeli.
Jeremiah 26
Jeremiah 26:1-3
Miji ya Yuda.
"Watu kutoka miji ya Yuda."
Usipunguze neno lolote!
"Usiache kufanya kitu chochote nilichokuambia!"
Ili kwamba nighairi majanga ninayotaka kuyafanya.
Haya ni maelekezo yenye masharti. Kama Yuda watatubu, basi Mungu hatawaangamiza, bali atawaponya.
Jeremiah 26:4-6
Kama hamtanisikiliza ili mtembee katika sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu.
"Kama hamtanitii mimi na sheria yangu niliyowapa."
Kisha nitaifanya nyumba hii kuwa kama Shilo.
"Kisha nitaliharibu hekalu."
Nitaifanya nyumba hii kuwa laana.
Hii ni adhabu ya Yahwe ambayo ataileta Yerusalemu.
Katika macho ya mataifa yote juu ya dunia.
"Mataifa yote kwa ajili ya kushuhudia."
Jeremiah 26:7-9
Nyumba ya Yahwe.
"Hekalu."
Watu wote wakamsimamisha na kusema, "Hakika utakufa!"
Maana zinazowezekana ni 1) Watu waliachagua kuamaini uongo wa amani ya uongo na hawalutaka kukosorewa kwa ukweli 2) Watu waliwaamini manabii wengine wakitangaza amani na kumwona Yeremia kama nabii wa uongo ambaye alistahili kupigwa mawe kwa kuwapotosha watu.
Kwa nini umetabiri kwa jina la Yahwe kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa , bila wakaaji.
Hili ni karipio. "Hupaswi kutabiri katika jina la Yahwe kwamba hekalu lake litaharibiwa."
Jeremiah 26:10-12
Wakuu.
Mkuu ni mtu mwenye nafasi ya mamlaka.
Lango jipya.
Hili lilikuwa langu mahususi la kuingilia kwenye hekalu.
Mlivyosikia kwa masikio yenu.
"Mmesikia."
Nyumba hii na mji huu.
Watu katika hekalu la Yahwe na mji wa yerusalemu.
Jeremiah 26:13-15
Kwa hiyo, sasa imarisheni njia zenu na matendo yenu.
Watu walikuwa walikuwa wamejito kumtolea Yahwe sadaka ili kumpendeza. Lakini hawakuwa wanapenda kuifuata sheri ya Yahwe wala kumjua Yeye.
Sikilizenu sauti ya Yahwe.
"Mtiini Yahwe."
Nitendeeni yaliyomema na sahihi katika macho yenu.
Maneno "mema" na "sahihi" yana maana moja.
Kwa ajili ya masikio yenu.
"Kwa ajili yenu kusikia."
Jeremiah 26:16-17
Si vyema kwa huyu kufa.
Wazee walikili kwamba ujumbe wa Yeremia ulitoka kwa Mungu, nao waliufuata.
Katika jina la Yahwe Mungu wetu.
"Kwa mamlaka ya Yahwe Mungu wetu."
Jeremiah 26:18-19
Maelezo ya jumla:
Mikaya alikuwa nabii wa Mungu na alifanya huduma ya unabii huko Yuda katika kipindi cha utawala wa Hezekia.
Sayuni utalimwa kama shamba.
"Sayuni utaharibiwa."
Mlima wa hekalu.
Huu ni mlima ambako hekalu lilikuwa limejengwa.
Vichaka.
Neno hili lina maana ya makundi ya vichaka au miti midogo midogo inayokua pamoja karibu karibu.
Je, mfalme Hezekia na watu wote wa Yuda walimua Mikaya?
"Hezekia, mfalme wa Yuda na watu wa Yuda hawakumuua Mikaya."
Je, hakumwogopa Yahwe na kuutaka radhi uso wa Yahwe ili kwamba Yahwe angeghairi kuhusu janga alilotangaza kwao?
Alimwogopa Yahwe na kumfanya Yahwe apunguze hasira ili kwamba Yahwe abadili mtazamo wake kuhusu janga alikuwa amesema atatuma.
Kuutaka radhi uso wa Yahwe.
"Kuifanya hasira ya Yahwe ipungue."
Kwa hiyo tutafanya maovu makubwa juu ya maisha yetu sisi wenyewe?
"Kamaa tutamuua Yeremia, tutaleta uovu mkubwa juu yetu sisi wenyewe."
Jeremiah 26:20-21
Maelezo ya jumla:
Nabii wa pili, Uria, anathibitisha maneno ya Yeremia.
Katika jina la Yahwe.
Angalia sura ya 26:16.
Wakuu wakasikia maneno yake.
"Wakuu walisikiliza maneno aliyoasema Uria.
Jeremiah 26:22-24
Maelezo ya jumla:
Uria alikufa kifo cha kinabii katika Yerusalemu.
Maiti.
"Mwili uliokufa."
Mkono wa Ahikamu.
Ahakimu alimsaidia Yeremia na kumlinda.
Elnathani mwana wa Achbori ... Ahikamu mwana wa Shapni.
Haya ni majina ya kiume.
Hivyo hakutiwa mikononi mwa watu ili wamuue.
"Kwa hiyo watu hawakuweza kumuua."
Jeremiah 27
Jeremiah 27:1-4
Vifungo.
Hiki ni kitu kinachomfunga mtu asitembee au kwenda kwa uhuru.
Kisha akawatuma.
Yeremia ilikuwa atume jozi za vifungo na nira kwa kila mfalme aliyetajwa.
Kwa mkono wa wajumbe hao wa wafalme.
Hapa "mkono" unasimama kuonesha uwakilishi wa hawa wajumbe.
Toa ammri kwao kwa ajili ya mabwana zao.
Yeremia alikjuwa ameelekezwa kutoa jozi za vifungo na nira kwa kila mjumbe na ujumbe ujumbe kwa kila mfalme bila kujali vifungo na nira.
Jeremiah 27:5-7
Kwa nguvu zangu kuu na mkono wangu ulioinuka.
Kirai "mkono ulionuka" una maana ya nguvu kuu na kina afafanua kiri cha kwanza; "kwa nguvu zangu kuu sana."
Nikawatoa kwa yeyote aliyesahihi katika macho yangu.
"Nampa yeyote ninayetaka kumpa."
Watamtiisha.
Tutakuwa na nguvu na kuwashinda Babeli.
Jeremiah 27:8
Ule usioweka shingo yake chini ya nira ya mfalme.
Wale wasio apa kwa uaminifu kwa mfalme Nebukadreza na kulipa kodi kwa mfalme.
Kwa mkono wake.
Kirai hiki kinamtataja Nebukadreza na majeshi yake.
Hili ni tangazo la Yahwe.
"Hiki ndicho anachosema Yahwe kuwa kitatokea."
Jeremiah 27:9-11
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema na watu wa Yuda kupitia Yeremia.
Watambuzi.
Mtambuzi ni mtu anayefanya utabiri kuhusu mambo yajayo.
Lakini taifa ambalo wataweka shingo zao chini ya nira ya mfalme.
"Lakini taifa watakalomtumikia mfalme."
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1:7
Watailima.
Hii ina maana ya kuandaa na kutumia ardhi kwa ajili ya kupanda mazao ya chakula.
Kufanya nyumba zao humo.
"Kuifanya Babeli kuwa nyumba yao."
Jeremiah 27:12-13
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema na watu wa Yuda kupitia Yeremia.
Niwekeni shingo zenu chini ya nira ya mfalme wa Babeli.
Mungu anawataka Yuda kumtii na kumtumikia Babeli kama mfalme wao.
Kwa nini mfa-wewe na watu wako-kwa upanga, njaa, na pigo, kama vile nilivyotangaza kuhusu taifa ambalo watapuuza kumtumikia mfalme wa Babeli?
"Utakufa, wewe na watu wako, kwa upanga, njaa, na pigo, kama avile nilivyotangaza kama hamtamtumikia mfalme wa Babeli.
Jeremiah 27:14-15
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema na watu wa Yuda kupitia Yeremia.
Msisikilize maneno.
Yahwe anawaonya watu dhidi ya manabii wa uongo ambao wanawadanganya wakati yeye hata hajawatuma kwao.
Kwa maana mimi sikuwatuma.
"Kwa maanaa mimi sikuwatuma."
Kwa jina langu.
Kirai hiki kina maana ya kuzungumza kwa nguvu za Yahwe na mamlaka au kuzungumza kama mwakilishi wa Yahwe.
Niwafukuze.
"Nowapeleke nje na nchi yenu."
Jeremiah 27:16-18
Maelezo ya jumla:
Yeremia anaendela kusema neno la Yahwe.
Vyombo vya nyumba ya Yahwe vinarudishwa kutoka Babeli sasa!
Watu kutoka Babeli wanavirudisha vyombo vyote vya dhahabu ambavyo waalivichukua kutoka kwenye hekalu la Yahwe.
Kwa nini mji huu uangamizwe?
"Mji wote utaangamizwa."
Kama ni manabii.
Kama kweli wanachosema ni kweli, basi wangekuwa wanaomba kwamba maneno yangu yasitimie na kwamba vyombo vya hekalu na viongozi wanabaki katika Yerusalemu.
Jeremiah 27:19-20
Nguzo, bahari, na kitako.
Hivi vilikuwa vifaaa ambavyo vilikuwa hekaluni. "Bahari," lilikuwa beseni la chuma iliyoyeyushwa.
Yehoyakimu.
Maandishi ya Kiebrania yanasema "Yekonia," huu ni utofauti wa jina "Yehoyakimu" ili kuweka wazi kuwa huyu ni mfalme mmoja anayetajwa kwa majina haya.
Jeremiah 27:21-22
Melezo ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza neno la Yahwe.
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1:7
Jeremiah 28
Jeremiah 28:1-2
Taarifa za jumla:
Hanania anajidai kuwa anasema ujumbe wa Mungu.
Katika mwaka wa nne na mwaka mwezi wa tano.
Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Uko katika kipindi cha kiangazi, kati kati ya nusu ya pili ya mwezi Julai na nusu ya kwanza ya mwezi wa Nane katika kalenda ya magharibi.
Azuri
Jina la kiume.
Nimeivunja nira iliyokuwa imewekwa na mfalme wa Babeli.
"Nimestisha mamlaka ya mfalme wa Babeli."
Jeremiah 28:3-7
Maelezo ya jumla:
Hanania anaendelea kusema.
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1:7.
Yehoyakimu
Angalia ufafanuzi wa sura ya 27:20.
Jeremiah 28:8-11
Manabii ambao walikuwepo mbele yangu na mbele yenu
"Manabii walioishi kabla yangu na kabla yenu."
Basi itajulikana kwamba yeye ni nabii kweli aliyetumwa na Yahwe.
"Kisha utajua kweli kwamba yeye ni nabii wa kweli wa Yahwe."
Jeremiah 28:12-14
Neno la Yahwe likamjia.
Angalia ufafanuzi wa sura ya 1:1.
Ulivunja nira ya mbao, lakini badala yake nitafanya nira ya chuma.
"Mliivunja nira laini lakini sasa nitafanya nira ngumu ambayo hamtaweza akuivunja."
Jeremiah 28:15-17
Katika mwezzi wa saba.
Huu ni mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. uko kati kati ya nusu ya mwisho ya mwezi Septemba na nusu ya kwanza ya mwezi Octoba katika kalenda za Magharibi.
Jeremiah 29
Jeremiah 29:1-3
Alituma kutoka Yerusalemu.
"Alitangaza kutoka Yerusalemu."
Yehoyakimu.
Maandishi ya Kiebrania "Yekonia," amabayo ni utofauti wa jina "Yehoyakimu." Matoleo mengi ya kisasa yanasema "Yehoyakimu ili kutoa ufafanuzi kwamba anayetajwa ni mfalme yule yule.
Mama yake mfalme.
Hiki ni cheo anachopewa mama wa mfale.
Watumishi wakuu.
Hawa ni viongozi au wakuu muhimu sana.
Elasa mwana wa Shafani na Gemaria mwana wa Hilkia.
Haya ni majina ya kiume.
Jeremiah 29:4-5
Ambao niliwasababisha.
"Ambaye aliwasababisha" au "ambao Yahwe aliwasababisha."
Jengeni nyumba na musishi ndani yake, pandeni busitani na mle mataunda yake.
Yahwe anawaambia au kuwahakikishia kwamba watakuwemo humo au wataishi humo kwa muda mrefu.
Jeremiah 29:6-7
Chukueni wake ajili ya wanawenu.
"Waozeni wana wene."
Wapatieni waume binti zenu.
"Waruhusuni binti zenu kuolewa."
Kama mji uko katika amani.
Huu unatajwa mji wa Babeli.
Itafuteni amani ya mji.
Tafuteni kuishi kwa amani na watu wote. Inamaana kwamba wasisababishe shida na kuasi dhidi ya mamlaka.
Jeremiah 29:8-9
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaetelea kusema na mateka wa Isreali.
Tangazo la Yahwe.
Angalia ufafanuzi katika sura ya 1:7.
Jeremiah 29:10-11
Maelezo ya jumla:
Yaahwe anaendelea kusema yale yatakayotokea kwa Waisraeli mateka.
Ninyi.
Hawa ni Waisraeli ambao ni mateka katika Babeli.
Miaka sabini.
"Miaka 70."
Jeremiah 29:12-14
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema kitakachowapa waisraeli ambao ni mateka huko Babeli.
Mtaniita ... kunioma.
Maneno haya mawili yana maana moja na yanatoa msisitizo kwamba Yahwe atawajibu maombi yao.
Nitawasikiliza.
Hii ina maana kwamba Yahwe atawapa wanachokihitaji.
Nitwarudisha watu wenu waliofungwa.
"Nitayafanya mambo yenu yaende vizuri."
Jeremiah 29:15-17
Melezo ya jumla:
Yeremia anazungumza na Waisraeli mateka.
Aliyeketi katika kiti cha enzi cha Daudi.
Hapa anatajwa mfalme wa Yuda, ambaye pia ni mmoja wa wazawa wa Daudi.
Ona.
"Angalia" auaa sikiliza" au zingatia."
Niko karibu kutuma upanga, njaa, na ugonjwa juu yao.
"Upanga" unawakilisha vita. "Ninakwenda kuwaadhibu."
Kwa maana nitawafanya kuwa kama tini mbovu ambazo ni mbaya sana hazifai kuliwa.
"Nitawaadhibu kwa ukatili" au nitayaharibu maisha yao."
Jeremiah 29:18-19
Kushangaza, kitu cha kulaaniwa na kuzomewa, na kitu cha aibu.
Maneno haya yote kwa pamoja yana maana moja na yanaelezea jinsi watu wa mataifa mengine watakavyoitikia watakapoona alichofanya Yahwe kwa watu wa Yuda.
Kulaaniwa na kuzomewa.
Neno "kuzomewa" yana maana aya sauati kubwa za kukataliwa ambayo watu huyasema wanaposema jambo baya kuhusu wengine. Kirai kimsingi kina maana moja na neno kama "laana."
Kusikiliza
"kutii."
Jeremiah 29:20-21
Kolaya ... Maaseya
Haya ni majina ya kiume.
Ona.
"Angalia" au "sikiliza" au "toa usikivu kwa kilie kinachosemwa."
Niko karibu kuwaweka katika mkono wa Nebukadreza.
"Nitamruhusu Nebukadreza kuwavamia."
Jeremiah 29:22-23
Laana itatamkwa na wafungwa wote wa Yuda.
Hii inaweza kuandikwa kataika mfumo wa moja kwa moja:"Mateka wa Yuda watasema laana juu watu hawa."
Aliwaoka kwenye moto
"Aliwachoma hadi kufa."
Mimi ndiye nijuaye; mimi ni shahidi
Virai hivi wiwili vina maana moja, na Yahwe anavirudia kwa ajili ya kuweka msisitizo.
Jeremiah 29:24-26
Shemaya ... Maaseya ... Yehoyada.
Haya ni majina ya kiume.
Mnehelami.
Hili ni jina la kabila la watu.
Kwa jina lako.
"Jina" linamaana ya mamlaka ya mtu na ushuhuda wake. Kwa kuzingatia mamlaka na ushuhuda wako."
Mkatale
Huu ni ubao uliochongwa kwa ajili ya kumuadhibia mtu kwa kushikilia miguu, mikono au kichwa.
Jeremiah 29:27-29
Maelezo ya jumla:
Hii inamaliza waraka wa Shemaiya ambao aliwatumia watu wa Yerusalemu.
Kwa nini hamkumkemea Yeremia wa Anathothi, ambaye hujifanya mwenyewe nabii nabii juu yenu?
"Mlipaswa kumkemea Yeremia wa Anathothi, ambaye hujifanya mwenyewe nabii huku akisema maneno yalikinyume nanyi."
PJengeni nyummba na musdhinndani yake, na pandeni busitani na kuleni matunda yake.
Angalia ufafanuzi katika sura ya 29:4.
Jeremiah 29:30-32
Shemaya Mnehelami.
Angalia sura ya 29: 4.
Neno la Yahwe likaja kwa.
Angalia sura aya 1:1.
Tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1:7.
Jeremiah 30
Jeremiah 30:1-3
jiandikie mwenyewe katika barua maneno yote niliyotangaza kwako.
"Uandike katika barua ujumbe niliousema kwako."
Maana ona.
"Tazama sikiliza kwa amakini." Hiki ni kiria kinachodai usikivu kwa kile ambacho Yahwe anaenda kukifanya.
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia ufafanuzi katika sura ya 1:7.
Nitakapowarudisha mateka wa watu wangu.
"Nitafanya mambo yaende vyema kwa watu wangu."
Jeremiah 30:4-5
Tumesikia.
Neno "tu" lina maana ya Yahwe. Mara kwa mara hujitaja mwenyewe kwa nafisi hii ya wingi, yaani "tu."
Sauti ya kutetemesha na ya hofu na siyo ya amani.
Maana zinazowezakuwa ni 1) Watu walikuwa wakilia kwa sauti kwa sababu hapakuwa na amani" 2) "mnalia kwa sauti ..kwa kuwa hakuna amani."
Jeremiah 30:6-7
Ulizeni na muone kama mwanaume anazaa mtoto.
"Hakuna mwanaume aliyewahi kujifungua mtoto."
Utakuwa wakati wa huzzuni kwa Yakobo, lakini ataokolewa.
"Kwa vizazi vya Yakobo, lakini nitawaokoa."
Mbona ninamwona kila mwanaume kijana ameshika mikono yake juu ya kiuno chake? Kama mwanamke anayejifungua mtoto, Kwa nini nyuso zao zote zimegeuka rangi?
Yahwe anatumia maswali haya ili kusisitiza jinsi wanaume walivyoogopa. "Bado wanaume vijana wanshikilia vitovu vyao kama mwanamke anayejifungua; wote wanaonekana wagonjwa kwa sababu wameogopa."
Jeremiah 30:8-9
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema kwa Waisraeli.
Nitaivunja nira ya shingo zenu, na Nitaisambaza minyororo yenu.
Maneno haya yote yanaonesha kwamba Yahwe atawaweka huru watu wake wa Israeli dhidi ya utumwa.
Watamwabudu Yahwe.
Neno "wata" linataja watu wa uzao wa Yakobo.
kumtumikia Daudi mfalme wao.
Hapa anatajwa mmoja wa wazawa wa Daudi.
Jeremiah 30:10-11
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema kwa watu wa Israeli.
Mtumishi wangu Yakobo, usiogope ... na usikate tamaa, Israeli.
Virai vyote vina maana moja. Cha pili kinakipa nguvu cha kwanza.
Maana ona.
"Sikilizeni kwa makini."
Na usikate tamaa.
"Na usihuzunike."
Niko karibu kukurudisha kutoka mbali, na uzao wako kutoka nchi ya utumwa.
Virai hivi via maana moja; cha pili kinakipa nguvu cha kwanza.
Kutoka nchi ya utumwa.
"Kutoka sehemu ambako mlikuwa mateka."
Yakobo atarudi.
"Watu watarudi kwenye nchi yao."
Ataokolewa.
"Watu watakuwa salama."
Ambako nimewatawanya.
"Niliko watuma."
lakini hakika sitakuacha.
"Lakini sitakuharibu kabisa kabisa."
Sitakuacha bila kukuadhibu.
"hakika nitakuadhibu."
Jeremiah 30:12-13
Maelezo ya jumla:
Yeremia ansema ujumbe wa Mungu kwa Waisraeli.
Jeraha lako si lakupona ... kidondda chako ili upone
Hii ina maana akuwa Yahwe amewaadhibu sana na kwamba hakuna mtu wa Kuwasaidia.
Hakuna mtu wa kukutetea kesi yako.
"Hakuna yeyote anayeniomba niwoneshe huruma."
Jeremiah 30:14-15
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema kwa watu wa Israeli.
Wapenzi wako wote.
Yahwe anawaelezea watu wa Israeli kama mke asiyemwaminifu ambaye huchukua wapenzi wengine tofauti na mme wake. Hapa, neno "wapenzi" lina maana ya mataifa mengine. Waisraeli walifanya mapatano nao na kuibudu miungu yao badala ya kumtegemea Yahwe pekee.
Hawatakuangalia.
"Hawataki kuwa arafiki zako tena."
Nimekujeruhi kwa jeraha la adui.
Hii ina maana kwamba Yahwe amewatendea watu wake kama vile anawatendea adui zake.
Kwa nini unaita msaada kwa ajili ya jeraha lako?
Yahwe aliuliza swali hili hapa ili kuwafanya watu wake wajiulize kwa nini wanautafute msaada wake sasa
Dhambi zako zisizohesabika.
"Dhambi zako ambazo ni nyingi sana."
Jeremiah 30:16-17
Kila mtu akulaye ataliwa, na adui zako wote watend utumwani.
Sentensi hizi mbil zina maana moja. Sentensi ya pili inaimarisha wazo lililosemwa katika sentensi ya kwanza. "Mataifa yote waliowafanya watumwa watafanywa kuwa watumwa."
Kila akulaye ataliwa.
"Wanaowaangamizi ninyi, wataangamizwa na adui zao."
Kwa maana kila aliyekuteka nyara atatekwa, na nitawafanya wote wanaokuwinda kuwa mawindo.
Sentensi hizi mbili zina maana moja. Sentensi ya pili inalipa nguvu wazo la kwanza."Nitawafanya adui za wale walioiba vitu kutoka kwenu katika vita, kuiba vitu kutoka kwao.
Walikuita:Mwenye kutupwa.
Aliyetupwa au aliyetengwa ni mtu ambaye hakubaliwi na watu wengine wala kuruhusiwa kushirikiana na wengine: "waliwaita: 'waliokataliwa au 'walisema, 'hakuna mtu anayekutaka."
Hakuna mtu anayeujali Sayuni.
"Hakuna mtu anayejali kuhusu Sayuni."
Jeremiah 30:18-19
Taarifa za jumla:
Yahwe anaendelea kusema na watu wa Israeli.
Ona.
"Sikiliza kwa makini."
Niko karibu kuwarudisha mateka wa Hema za Yakobo na kuwa na huruma juu ya nyumba zake.
"Niko karibu kuwafanya uzao wa Yakobo kufanikiwa na nitakuwa na huruma juu yao."
Kisha mji utajengwa juu ya lundo la magofu.
"Kisha wataujenga Yerusalemu juu ya magofu yake"
Kisha wimbo wa kusifu na sauti ya shangwe itasikika kutoka kwao.
"Kisha wataimba wimbo wa kusifu na furaha."
Kwa maana nitawaongeza na wala sitawapunguza.
Virai hivi vyote vinamaana kwamba Mungu ataisababisha idadi ya watu wa Israeli kuongezeka.
Ili kwamba wasifanywe wanyonge.
"Ili kwamba asiwepo mtu wa asiwepo mtu wa kuwashusha."
Jeremiah 30:20-22
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kuzungumza.
Kusanyiko lao litaanzishwa mbele yangu.
"Nitawaanzisha kama kundi la watu mbele yangu."
Kiongozi wao atatoka miongoni mwao. Atatokeza kutoka kati yao.
Sentensi hizi mbili zina maana moja. sentensi ya pili inaimarisha au kufafanua wazo lililo katika sentensi ya kwanza; "Kiongozi wao atachaguliwa kutoka kwa watu."
Ni nani atakayethubutu kunisogelea?
Yahwe anatumia swali kuweka msisitizo kwamba hakuna mtu mwenye ujasiri wa kumkaribia mpaka Yahwe mwenyewwe amruhusu.
Jeremiah 30:23-24
Ona, tufni ya Yahwe, ghadhabuyake, imekwenda nje.
Maneno haya yanailinganisha adhabu na ghadhabu au hasira ya Mungu na tufani.Hii inaweka msisitizo kuhusu nguvu na uwezo wake wa kuwaharibu watu waovu.
Jeremiah 31
Jeremiah 31:1-3
Katika wakati huo
Huu ni wakati ambapo Mungu atawaadhibu waovu.
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia tafsiri kutoka sura ya 1:7.
Yahwe alinitokea.
Nafsi inayotajwa hapa, "alinitokea", inawakilisha watu wa Israeli.
Jeremiah 31:4-6
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema kwa watu wa Israeli.
Nitakujenga tena kwa hiyo utakuwa umejengwa.
"Nitakufanya imara tena" au nitakufanikisha tena."
Bikra Israeli.
Angalia sura ya 1
Ngoma.
Chombo cha muziki ambacho hutoa sauti kinapopigwa pembeni kwa vipande vya chuma.
Jeremiah 31:7
Sifa zisikike.
"Kila mtu na asikie kusifu kwenu."
Masalia wa Israeli.
"Watu ambao bado hai."
Jeremiah 31:8-9
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema.
Ona.
"Sikilizeni" au "iweni wasikivu."
Kuwaleta.
Neno "kuwaleta" linawataja Waisraeli.
Nitakuwa baba kwa Israeli, na Efraimu atakuwa mzaliwa wangu wa kwanza.
Hapa, "Efraimu" ni jina jingine la "Israeli". 'Nitakuwa kama baba kwa watu wa Israeli, na watakuwa kama mtoto wangu wa kwanza"
Mzaliwa wangu wa kwanza.
Mzaliwa wa kwanza anaheshima na jukumu maalumu.
Jeremiah 31:10-11
Yule aliyemtawanya Israeli anamkusanya tena.
"Niliwafanya watu wangu kutawanyika kati ya mataifa, lakini nawarudisha nyumbani sasa."
Kama mchungaji alindavyo kondoo zake.
Hii inamaana akuwa Mungu anatunza na kulinda watu wake kama vile mchungaji alindavyo kondoo zake.
Kwa maana Yahwe amemfidia Yakobo na kumkomboa kutoka mkono ambao ulikuwa na nguvu sana kwake.
Virai hivi viwili vina maana ya kitu kimoja, na visisitiza kwamba Yahwe ndiye aliyewaokoa watu wa Israeli: "Maana Yahwe amewaokoa watu wa Israeli dhidi ya adui yao ambaye alikuwa na nguvu sana kuliko wao."
Jeremiah 31:12
Kama busitani iliyomwagiliwa.
Hii ina maana kwamba watakuwa na nguvu na afaya, na watafanikiwa.
Hawatajisikia huzuni tena.
Hii ni inatia mkolozo wa furaha ambavyo watu wa Israeli watakuwa nayo.
Jeremiah 31:13-14
Nitayageuza.
Hapa, anayetajwa ni Yahwe mwenyewe.
Watu wangu watajijaza wenyewe kwa wema wangu.
"Wema wangu utawaridhisha watu watu wangu."
Jeremiah 31:15
Sauti imesikika katika Rama.
"Nasikia sauti katika Rama."
Ni Raheli akiomboleza kwa ajili ya watoto wake.
Hapa "Raheli" anawakilisha wanawake wa Israeli ambao wanawalilia watoto wao.
Hataki kufarijiwa juu yao, kwa maana hawako hai tena.
"Hatakubali mtu yeyote amfariji, kwa maana watoto wake wamekufa."
Jeremiah 31:16-17
Kwa nini watu waache kuomboleza?
Yahwe atawarudisha uzao wao kutoka nchi ya adui zao
Jeremiah 31:18-20
Uliniadhibu, nami nieadhibika.
Kurudiwa kwa maneno haya kunaashiria aidha ukali wa hasira ya Yahwe, au jinsi ilivyo na nguvu hasira yake: "Uliniadhibu sana" au "uliniadhibu, na nimejifunza kutokana na adhabu hiyo."
Nirudishe.
Efraimu anamwomba Mungu ampe moyo wa kufundishika kama ndama asiye na mafunzo.
Niliaibika na kudharirika.
Neno "kuaibika" na "kudharirika" kimsingi yana maana ya moja, na yanaweka mkazo kuhusu swala la kuaibika. "Niliaibika kweli kweli."
Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu nimpendaye?
"Efraaaimu ni mwanangu wa thamani. Ni mpendwwa wangu, mwanangu nimpedaye.
Jeremiah 31:21-22
Maelezo ya jumla:
Mungu anaendelea kusema tangu mstari wa saba.
Jiwekee alama za bara bara ... Weka matangazo ... Iweke akili yako ... Rudi.
Virai hivi vimeelekezwa kwa "bikra Israeli."
Iweke akili yako juu ya njia sahihi, njia unayopaswa kufuata.
"Jitahidi sana kukumbuka jinsi ulivyokuja kipindi ulipokuwa umechukuliwa mateka."
Rudi, bikra Israeli!
Mungu anamtaja Israeli aliyebadilika.
Utatanga tanga hadi lini, binti usiyemwaminifu?
Mungu anauliza kuwa mpaka lini watu wake watamuasi."Msisite site kuanza kunitii mimi."
Jeremiah 31:23-26
Watu.
Hapa hii inawataja watu wa Yuda.
Yahwe akubariki, wewe sehemu takatifu ambapo anaishi, ewe mlima mtakatifu.
Yerusalemu iko juu ya mlima, na hekalu lilijengwa kwenye kilele cha kilima hicho katika Yerusalemu. "Yahwe awabariki wanaoishi pamoja naye katika Yerusalemu, mahali lilipo hekalu lake."
Jeremiah 31:27-30
Nitakapoipanda nyumba ya Israeli na Yuda na wazawa wa wanadamu na wa wanyama.
"Niwaongeza wanadamu na wanyama kama mkulima apandavyo mazao" au "nitaiiongeza idadi ya wtu na wanyama katika falme za Israeli na Yuda."
Niliwaweka katika uangalizi ili kuwang'oa na kuwabomoa.
"Nilitafuta njia ya kuwang'oa."
Kuwang'oa ... kuwabomoa ... kuwaangusha ... kuwaharibu.
Kung'oa ni kuvuta na kutoa mmea kutoka ardhini; ni kinyume cha kupanda. Kuangusha ni kinyume cha kjenga..Yeremia anatumia maneno haya ambayo karibu yana maana sawa ili kuonesha kuwa kwa hakika mambo haya yatatokea.
Jeremiah 31:31-32
Angalia.
"Sikiliza" au "toa usikivu kwa kile ninachokwenda kuwaambia."
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1:7
Jeremiah 31:33-36
Nitaiweka sheria ya Mungu ndani yao na nitaiandika juu ya mioyo yao.
Virai hivi viwili vina maana moja na vinaweka msisitizo kwamba sheria ya Yahwe itakuwa sehemu yao, kulikio kuwa nayo ikiwa imeandikwa juu ya mawe tu. Hapa "moyo" unawakilisha "hisia" au "akili": Sheria yangu itakuwa sehemu ya mawazo na hisia zao."
Kuanzia mdogo wao hata mkubwa wao.
Kirai hiki kinamaana ya kila mtu, bila kujali umuhimu wao katika jamii.
Jeremiah 31:37
urefu wa mbingu ... misingi ya dunia.
Viraai hivi vina maanisha kwamba uumbaji wote unazungumziwa hapa.
Jeremiah 31:38-40
Angalia, siku zinauja.
"Zingatia! ambacho nataka kusema kuhusu kitakachotokea hivi karibuni."
Mnara wa Hananeli ... Lango la Pembeni ... Kilima cha Garebu ... Goa ... Bonde la Kidroni ... Lango la Farasi.
Haya ni majina ya shemu mabi mbali.
Litateuliwa.
"Litafanywa takatifu."
Jeremiah 32
Jeremiah 32:1-2
Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe.
"Hiki ndicho alichokisema Yeremia kwa Yahwe."
Alikuwa amefungwa katika uwanja wa walinzi.
"Walimfunga katika uwanja wa walinzi."
Katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
Hili lilikuwa eneo la wazi liloungana na ikulu ya mfalme.
Jeremiah 32:3-5
Kwa nini unatabiri na kusema.
Zakaria anatumia swali kumkemea Yeremia. ("Ni vibaya wewe kuendelea kutabiri na kusema.")
Katika mikono ya mfalme wa Babeli na atauteka
Hapa, "mikono" inamaana ya nguvu au umiliki.
Kwa maana hakika atatiwa.
"Kwa kweli nimeutia mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli.
Mdomo wake utazunguzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona mac ho ya mfalme.
"Sedekia mqenyewe atamuona Nebukadreza ana kwa ana na atazungumza naye."
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1:7
Unapigana.
Hapa wanatajwa watu wote katika Yerusalemu.
Jeremiah 32:6-7
Neno la Yahwe likaja kwangu.
Angalia
Hanameli ... Shalumu.
Haya ni majina ya wanaume.
Anathothi
Angalia sura ya 1:1
Jeremiah 32:8-9
Maelezo ya Jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza.
Shekeli kumi na saba.
"Shekeli kumi na saba." Shekeli 1 ni sawa na gramu 11.
Jeremiah 32:10-12
Maelezo ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza.
Niliandika katika barua na kuitia muhuri, na palikuwa na mashahidi waikaishuhudia.
Hii ni aina ya sahihi ambayo mtu alipaswa kusaini kwa ajili ya kununua ardhi. Watu wengine walipaswa kuwepo kwa ajili ya kushuhudia kwamba nimeinunua adrdhi hiyo.
Kulikuwa na mashahidi wakaishuhudia.
"Palaikuwa na mashahidi ili waone kwamba nimeinunu ardhi hiyo."
Ambayo ilikuwa imepigwa amuhuri.
"Niliyoipiga muhuri."
Baruku ... Neria ... Maaseya.
Haya ni majina ya kiume.
Uwanja wa walinzi.
Angalia ufafanuzi kutoka sura ya 32:1.
Jeremiah 32:13-15
Maelezo ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza.
Mbele yao.
Hapa "yao" anatajwa Hanameli, shahidi, na Wayudea.
Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuziiliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri.
"Chukua nyaraka ziliyopingwa muhuri na zile ambazo hazijapigwa muhuri."
Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
"Watu wa Israeli watanunua tena nyumba, bustani za mizabibu na mashamba katika nchi hii."
Jeremiah 32:16-18
Maelezo ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza.
Hati ya manunuzi.
Hii ina maana ya nyaraka au barua iliyotiwa muhuri na ile isiyo tiwa muhuri.
Ole.
"Huzuni"
Kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka.
Kirai "ulioinuka" ni namna ya kuelezea nguvu. Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja na vinaelezea ukuu wa Yahwe. "Kwa nguvu zako kuu."
Wewe huonesha agano l uaminifu.
"Unatunza ahadi zako na kuonesha uaminifu wa upendo wako."
Na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao.
"Na huwaadhibu watoto kwa sababu ya dhambi za baba zao."
Jeremiah 32:19-21
Maelezo ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza:
Kwa maana amacho yako yanaona njia zote za watu.
"Unaona kila kitu ambacho wanadamu wanafanya."
Ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
"Na utamlipa kila mtu kulingana matendo na tabia yake"
Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri.
Haya ni matukio yaliyopita mbapo Mungu alitumia nguvu zake ili kuwatoa utumwani watu wake wa Israeli huko Misiri.
Hata leo.
"Hadi siku ya leo."
Umelifanya jina lako kuwa maarufu.
Hapa "jina" linawakilisha tabia ya Mungu. ("Umejifanya mwenyewe kujulikana.")
Kwa mkono ulioinuka, kwa mkono wenye nguvu.
Virai hivi vyote vinaelezeaa nguvu. Kwa pamoja vinaulezea ukuu wa nguvu za Yahwe. "Kwa nguvu zako kuu."
Jeremiah 32:22-23
Maelezo ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza.
Utawapa.
"utawapa watu wa Israeli."
Nchi itiririkayo maziwa na asali.
Angalia
Lakini hawakuitii sauti yako.
"Lakini hawakutii ulichosema."
Jeremiah 32:24-25
Maelezo ya ajumla:
Yaremia anaendelea kumwomba Yahwe.
Kuuteka.
"Kwa hiyo jeshi la adu litauteka."
Kwa sababu ya upanga.
Hapa aupanga unamaanisha mapigano ya vita.
Mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo.
Hapa "mkono" unamaanisha nguvu au umiliki.
Na mashahidi wameshuhudia.
" Na watu wengine washuhudie jambo hili."
Mji huu unatwa mikononi mwa Wakaldayo.
"Ninautia mji huu mikononi mwa Wakaldayo."
Jeremiah 32:26-28
Neno la Mungu likaja kwa Yeremia likisema.
"Hiki ndicho alicho Yahwe alimwamabia Yeremia."
Kun kitu chochote kigumu sana kwangu kukifanya?
Yahwe anatumia swali kusisitiza kwamba anaweza kufanya chochote.
Kwenye mikono ya Wakaldayo.
Katika sentensi hii neno "mkono" linawakilisha nguvu au umiliki.
Jeremiah 32:29-30
Maelezo ya jumla:
yahwe anaendelea kusema kwa Yeremia.
Ili kunikasirisha.
"Kilichonifanya nikasirike sana."
Wanaofanya maovu mbele ya macho yangu.
"Wanaofanya kile ambacho nakihesabu kuwa uovu."
Tangu ujana wao.
"Tangu kipindi walipokuwa taifa."
Matendo ya mikono yao.
"Mambo maovu ambayo wamefanya."
Jeremiah 32:31-32
Sentensi kiunganishi:
Mstari huu ni mwendelezo wa mistari iliyotangulia.
Mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na gadhabu yangu tangu walipoujenga.
Maneno "hasira" na "gadhabu" kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ukuu wa hasira yake Mungu.
Umekuwa hivyo hata leo.
"Wanazidi kunifanya nikasirike hata sasa."
Mbele ya uso wangu.
"Kutoka kwenye uwepo wangu."
Jeremiah 32:33-35
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema kwa Yeremia.
Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao.
"Watu wangu wamenipuuza.
Kupokea marekebisho.
"Hakuna hata mmoja aliyekuwa tayari kujifunza kutoka kwangu."
Watafanya mambo maovu
"Sanamu zao ambazo nazichukia."
Nyumba inayoitwa kwa jina langu.
"Nyumba ambayo ni yangu kabisa."
Bonde la Ben Hinomu.
Angalia
Sikuweka akilini mwangu.
Hapa neno "akilini" linamaanisha mawazo ya Yahwe. Ni kitu ambacho hakuwa kukifiria kuwa watu wake watakifanya, lakini sasa wanakifanya.
Jeremiah 32:36-37
Ambayo mnasema.
Hapa "mnasema" ni wingi. Maana zilizopo ni 1)Huyu ni Yeremia pamoja na watu alionao, au 2) watu wote.
Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.
Hapa neno "mikono" lina maana ya nguvu au mamlaka. "Kwa hiyo Yahwe ameuweka mji katika mkono wa mfalme wa Babeli."
Kuwakusanya.
"Kuwakusanya watu wanagu."
Jeremiah 32:38-40
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema.
Moyo mmoja na njia moja ya kuniheshimu.
Hii ina maana kwamba kutakuwa na umoja miongoni mwa watu wa Israeli na watamwabudu Yahwe pekee.
Agano la milele.
"Makubaliano ya milele."
Nisiache kufanya mema kwa ajili yao.
"Siku zote nitawafanyia mema."
Ilikwamba wasiniache.
"Ili kwamba siku zote wanitii na kuniabudu."
Jeremiah 32:41-42
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kusema.
kufanya mema kwwa ajili yao.
Neno "yao", hapa linawataja watu wa Israeli.
Kwa uaminifu nitawapanda katika nchi hii.
"Nitaifanya nchi hii kuwa makazi ya kudumu ya watu wa Israeli."
Kwa moyo wangu wote na maisha yangu yote.
Kwa pamamoja virai hivi viwili vinataja utu kamaili wa mtu.
Jeremiah 32:43-44
Mashamba yatanunuliwa katika nchi hii.
"Basi watu watanunua mashamba akataika nchi hii."
Mnasema.
Hawa wanaozungumziwa hapa ni watu wa Israeli.
Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.
Hapa "mkono" ni nguvu au umiliki.
Na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri.Wtakusanya mshahidi.
Hii ni nyaraka ambayo mtu husaini kwa ajili ya kununua shamba. Watu wengine huwa mashahidi wa ununuzi huo.
Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao.
"Kwa maana nitawafanikisha tena."
Jeremiah 33
Jeremiah 33:1-3
Maelezo ya jumla:
Yahwe anaendelea kujifunua kwa Yeremia kupitia neno lake.
Jeremiah 33:4-5
Katika hasira na gadhabu yangu.
maneno "hasira" na "gadhabu" kimsingi yana maana moja, na yanaweka msisitizo kuhusu hasira ya Yahwe.
Nitakapouficha uso wangu.
Kirai hiki knaonesha akutoonekana kwa Yahwe katika mji.
Jeremiah 33:6-9
Nitawarudisha wafungwa.
"Nitayarudisha mafanikio yao."
Jeremiah 33:10-11
Bila mwanadamu wala mnyama kataika mji huu w Yuda na akatika mitaa ya Yerusalemu ambayo imetengwa bila wakazi, bila mwanadamu wala mnyama.
Mistari hii miwili ina maana amoja na inasisitiza kwamba Yuda imekuwa ukiwa.
Nyumba yangu.
Hekalu katika Yerusalemu.
Wafunwa.
"Mafanikio"
Jeremiah 33:12-13
Sehemu ya malisho
"Mashamba ya kuchungia makundi yao."
Jeremiah 33:14-16
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura ya 1: 7
Katika siku hizo na katika wakati huo.
Virai "katika siku hizo" na katika wakati huo" yana maana moja.
Nitachipua shina la haki kwa ajili ya Daudi.
Wazawa wa kiume wa Daudi. "Mtu mwenye haki atatoka katika uzao wa Daudi kama tawi linalostawi kwenye mti.
Nchi.
Taiafa la Israeli.
Jeremiah 33:17-18
Mtu kutoka Uzao wa Daudi.
"Mtu mwanaume wa uzao wa Mfalme Daudi."
Jeremiah 33:19-22
Neno la Yahwe lika kwa.
Angalia 1:1
Aganano langu la mchana na usiku ... agano langu na Daudi mtumishi wangu.
Yahwe analilinganisha na mchana na usiku agano lake na Daudi. Kama vile mtu asivyoweza kuubadilisha amchana na usiku, ndivyo pia mtu asivyoweza kulibadilisha agano la Mungu na Daudi.
Kuketi juu ya kiti chake cha enzi.
"Kuutawala ufalme aliopewa."
Kama vile majeshi ya mbinguni yasivyoweza kuhesabika, na kama vile mchanga wa ufukwe wa bahari usivyoweza kupimwa, ndivyo nitakavyouongeza uzao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi watumikao mbele zangu.
Sentensi hizi mbili kimsingi zina maana moja na zinaelezea wazo au kitu kimoja. Hivyo zimetumikakwa pamoja ili kuleta msisitizo kuhusu jambo analozungumza Mungu kuhusu Daudi na uzao wake.
Jeremiah 33:23-24
Neno la Yahwe likaja kwa.
Angalia sura ya 1:1
Hamkuzingatia walichotangaza watu hawa waliposema, "Zile familia mbili ambazo Yahwel alizichagua, sasa amezikataa'?
Swali hilimlimeuizwa kwa lengo la kuweka msisitizo. "Mlipaswa kutambua kuwa watu wanasema kuwa nimezikataa zile koo mbili ambazo nilizichagua."
Jeremiah 33:25-26
Ni lini Yahwe atawakataa wazao wa Yakobo?
Hatawakataa kamwe
Jeremiah 34
Jeremiah 34:1-3
Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe.
"Yahwe alisema neno lake kwa Yeremia."
Wanapigana vita.
"Walikuwa wakipigana."
Na miji yake yote.
Miji inayotajwa hapa ni miji yote jirani na Yerusalemu.
Kuutia mji huu mkono mwa ...
Angalia ufafanuzi kutaka sura ya 32:26.
Mkononi mwa mfalme wa Babel.
Hapa neno "mkono" lina maana ya umiliki. Katika mamlaka ya mfalme wa Babeli."
Hautapona kutoka mkono wake.
"Hautaweza kutoka kwenye mamlaka yake."
Macho yako yatayaangalia macho ya mfalme wa Babeli;atazunguza kwako moja kwa amoja ukiwa aunaenda Babeli.
Maneno haya yote yana maana moja, kwamba atamuona mfalme wa Babeli ana kwa ana.
Jeremiah 34:4-5
Hautakufa kwa upanga. Utakufa katika amani.
"Hautakufa katika vita, bali utakufa kwa amani.
Hili ni tangazo la Yahwe.
Angalia sura 1:7
Jeremiah 34:6-7
Lakishi na Azeka.
Haya ni maajina ya miji.
Miji hii ya Yuda ilisalia kama miji yenye ngome.
"Hii ilikuwa miji pekee ya Yuda yenye ngome, ambayo ilikuwa bado haijatekwa."
Jeremiah 34:8-11
Neno lilomjia Yeremia kutoka kwa Yahwe.
Ujumbe huu hasa hasa unaanzia mstari wa 12 katika sura hii hii.
Neno.
"Ujumbe."
Jeremiah 34:12-14
Neno la Mungu likaja likaja kwa.
Angaliai
Kila mtu lazima amwachie ndugu yake, Mwebrania mwenzakoaliyejiuza mwewe kwako ili kukutumikia.
"Kila mmoja wenu lazima amwache huru ndugu zake Waebrania ambao walijiuza kwake na kuwa watumwa."
Mwagize aende kwa uhuru.
"Waache wawe huru wasiwe watumishi wako tena."
Hawakunisikiliza wala kutega masikio yao.
Maneno haya yote yanasema kitu kimoja na kimsingi yametumika kwa ajili ya kuleta msisitizo.
Jeremiah 34:15-16
Yaliyomema katika macho yangu.
"Yalisahihi" au "yanayokubalika."
Kulichafua jina langu.
"Waliacha kufanya mema na kufanya mambo maovu ambayo yamewafanya watu wafikiri kwamba mimi ni mwovu."
Jeremiah 34:17-19
Kwa hiyo angalia! Niko karibu kutangaza uhuru kwenu ... uhuru wa upanga, tauni, na njaa.
"Kwa hiyo, kwa sababu hamjanitii, nitaruhusu muadhibiwe kwa upanga, tauni, na njaa."
Kwa hiyo angalia.
"Sikiliza" au kuwa makini kusikia kitu muhimu ambacho naenda kukisema."
Walilithibisha mbele zangu.
"Walikubalina nami."
Jeremiah 34:20-22
Wanaoutafuta uhai wao.
"Wanaotafuta kuwaua."
Hili ni tangazo la Yahwe.
Tangazo la Yahwe ambalo Yahwe ametangaza; au ni kile ambacho yahwe amessema
Ambayo yameinuka dhidi yenu.
"Yamekuja kupigana dhidi yenu."
Na nitawarudisha.
Hapa neno "wao" linamaana ya majeshi ya adui wa taifa la babeli.
Jeremiah 35
Jeremiah 35:1-2
Warekabi.
Hili ni kabila la watu.
Nyumba yangu
Kirai hiki kinataja hekalu la Yahwe.
Jeremiah 35:3-4
Yaazania ... Habasinia ... Hanani ... Igdalia ... Maaseya ... Shalumu.
Haya ni majina ya Yahwe.
Jeremiah 35:5-7
Warekabi.
Angalia ufafanuzi katika mstari wa kwanza wa sura hii ya 35.
Yonadabu ... Rekabu.
Haya ni majina ya kiume.
Ili kwamba muweze kuishi miaka mingi katika nchi.
Neno "Siku" , hapa linamaanisha kipindi cha maisha kirefu."
Jeremiah 35:8-11
Sauti ya Yonadabu.
Neno "sauti" hapa linamaana ya "amri". (Amri ya Yonadanu.")
Siku zetu zote.
Neno "siku", hapa lina maana ya kipindi kirefu cha maisha."
Jeremiah 35:12-14
Neno la Yahwe likaja kwa.
Nii ni namna ya kuweka utangulizi wa kile anachokwenda kusema Yahwe
Hamgtapokea maelekezo na kusikiliza neno langu?
Swali hili limeulizwa kwa ajili ya kuwakemea Israeli.
Yonadabu ... Rekabu.
Haya ni majina ya kiume.
Maneno ya Yonadabu mwana wa Rekabu aliyowapa wanawe kama amfri, wasinywe divai yoyote, yameheshimiwa.
Wana wa Yonadabu, wana wa Rekabu, waliishika amri ya baba yao ya kutokunywa divai."
Jeremiah 35:15-16
Kila mtu aache uovu wake na kutenda matendo mema.
Maneno haya yote yana maana moja na yameunganishwa kwa ajili ya kuweka mkazo.
Kuifuata miungu mingine na tena kuiabudu.
Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja, yameunganishwa pamoja kwa ajili ya kuweka mkazo.
Bado hamtanisikiliza wala kutegaa masikio yenu kwangu.
Maneno haya yana maana moja na yameunganishwa kwa ajili ya kuweka mkazo au msisitizo.
Jeremiah 35:17
Angalia.
Neno hili linatuandaa akutega masikio kwa makini ili kusikia jambo linaloenda kusemwa.
Jeremiah 35:18-19
Warekabi.
Hili ni jina la kabila la watu. Angalia ufafanuzi katika mstari wa kwanza katika sura hii ya 35.
Yonadabu ... Rekabu.
Haya ni majina ya kiume. Pia angalia mstari wa kwanza katika sura hii ya 35.
Jeremiah 36
Jeremiah 36:1-3
Taarifa ya jumla:
Tazama: uandishi wa shairi.
Ikawa
"ikatokea" Neno hili limetumika kuonesha kuwa ni mwanzo wa simulizi mpya.
Katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda
Tazama namna ulivyotafsiri katika sura ya 25:1
Kuwa neno hili
"neno hili"inaonesha ujumbe unaofuata.
Kila taifa
"mataifa yote"
Nimekwambia toka
"nimekwambia wewe toka"
Tangu siku za Yosia mpaka leo
"toka siku za Yosia mpaka leo"
Yamkini watu wa Yuda
"Labda watu wa Yuda"
Nimedhamiria kuwafanyia
"Nimepanga kuwafanyia"
Labda kila mtu
"ili kila mtu"
Toka kwenye njia yake ya uovu
"toka kwenye uovu wake"
Jeremiah 36:4-6
Baruku akaandika katika kitabu toka kwenye maneno aliyosomewa na Yeremia, maneno yote aliyoyasema Bwana kwake
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
Soma toka kwenye kitabu
"soma kwa nguvu toka kwenye kitabu"
kama ninavyokusomea
"kutokana na ninayoyasema"
lazima usome
"lazima usome kwa nguvu"
katika masikio ya watu wa nyumba yake
"Ili watu wa nyumba ya Bwana wasikie"
kwenye masikio ya Yuda wote waliokuja toka kwenye miji yao
"ili watu wote wa Yuda waliokuja toka kwenye miji yao wasikie"
Jeremiah 36:7-8
Taarifa ya jumla:
Yeremia anaendelea kumpa maelekezo Baruku.
Yamkini
"labda"
Wao wataomba rehema
"wao" inawakilisha watu wa nyumba ya Bwana na nyumba ya Yuda waliokuja katika nyumba ya Bwana toka kwenye miji yao.
wataomba rehema mbele za Bwana
"Bwana atasikiliza maombi yao ya Rehema"
Labda kila mtu ataacha njia yake mbaya
"Labda watatubu; kila mtu ataacha njia yake mbaya"
Njia yake mbaya
"njia yake mbaya"
Ghadhabu na hasira
"hasira"
Jeremiah 36:9-10
Ikawa
"ikatokea" Neno hili limetumika kuonesha kuwa ni mwanzo wa simulizi mpya.
katika mwaka wa tano na mwezi wa tisa
Huu ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Ni katika kipindi cha mwisho cha Novemba na mwanzo wa Disemba kwa kalenda ya Mashariki.
Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda
Tazama ulivyotafsiri katika sura ya 25:1
kutangaza mfungo
"kutoa wito kwa kila mtu kushiriki katika mfungo"
Gemaria mwana wa Shafani
Haya ni majina ya watu.
mwandishi
"aliyekuwa mwandishi"
katika lango la kuingilia nyumbani mwa Bwana
"katika lango jipya la kuingilia katika nyumba ya Bwana"
Alifanya hivi
Alisoma kwa nguvu maneno ya Yeremia.
katika masikio ya
"katika masikio ya Yerusalemu"
Jeremiah 36:11-12
Mikaya
Hili ni jina la mtu.
Mikaya mwana ya Gemaria mwana wa Shafani
"Mikaya ambaye ni mwana wa Gemaria, ambaye ni mwana wa Shafani"
Chumba cha karani
"chumba cha mwandishi"
Tazama
"tazama" inaongeza msisitizo kwenye jambo linalofuata.
Elishama ... Delaya
Haya ni majina ya watu.
Shemaya
Hili ni jina la mtu.
Elnathan mwana wa Akbori
Elnathani mtoto wa Akbori
Gemaria mwana wa Shafani
"Gemaria mtoto wa Shafari"
Sedekia
Hili ni jina la mtu.
Hanania
Hili ni jina la mtu.
Na wakuu wote
"na wakuu wengine wote"
Jeremiah 36:13-15
Mikaya
Hili ni jina la mtu.
Akawasili kwao
Neno "kwao" linamaanisha wakuu.
kwenye masikio ya watu
"ili watu wasikie"
Yehudi ... Nethania ... Shelemia ... Kushi
Haya ni majina ya watu.
soma kitabu
"soma kitabu kwa nguvu"
Jeremiah 36:16-19
Ikatokea kwamba
Maneno haya yanaonesha umuhimu wa tukio katika simulizi.
Wao waliposikia
Neno "wao" linamaanisha wakuu.
Maneno haya yote
maneno yote ambayo Baruku aliyasoma kwa nguvu toka kwenye kitabu.
Uliyaandikaje
"uliyaandika kwa namna gani"
Aliyosomewa na Yeremia
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
Kusema
Yeremia alizungumza kwa nguvu ili Baruku aandike maneno yake.
kuyaandika na wino
"alitumia wino kuandika"
wino
Wino mweusi unaotumika kuandikia
Na Yeremia pia
"Yeremia pia anatakiwa ajifiche."
Mko wapi
Maneno haya yanawaelezea Baruku na Yeremia.
Jeremiah 36:20-22
Kisha wao
Neno "wao" linawaelezea wakuu.
Wakakiweka kitabu katika chumba cha Elishama
"wakakiweka kitabu sehemu salama katika chumba cha Elishama"
Elishama karani
"Elishama aliyekuwa mwandishi"
Maneno haya
Maneno ya kwenye kitabu ambayo Yeremia alimsomea Baruku.
Yehudi
Hili ni jina la mtu.
katika mwezi wa tisa
Huu ni mwezi wa tisa kwa kalenda ya Kiebrania. Majira haya ni mwishoni mwa msimu wa kupanda na mwanzo wa kipindi cha baridi.
Na mkaa ulikuwa ukiwaka mbele yake
"Na mkaa ulikuwa mbele yake ukiwa unawaka"
Makaa
Ni sehemu ya moto ambayo mtu anaweza kuihamisha
Jeremiah 36:23-24
Ikatokea kwamba
Maneno haya yanaonesha umuhimu wa tukio katoka simulizi.
Yehudi
Hili ni jina la mtu.
Kurasa
Hizi ni kurasa za maneno katika kitabu.
itakatwa
"ile sehemu itakatwa"
na kisu
"kwa kutumia kisu cha mwandishi"
Makaa
Ni sehemu ya moto ambayo mtu anaweza kuihamisha
Mpaka kitabu chote kilipoharibiwa
"mpaka kitabu kilipokwisha kabisa"
maneno haya yote
Maneno toka kwenye kitabu ambacho Baruku alikiandika kwa kusomewa na Yeremia.
wakararua mavazi yao
Watu huchana mavazi yao wakiwa na huzuni sana.
Jeremiah 36:25-26
Elinathani ... Delaya na Gemaria
Haya ni majina ya watu.
Wakamsihi mfalme
"Wakamuomba mfalme"
Yerameeli ... Seraya ... Azrieli ... Shelemia ... Abdeeli
Haya ni majina ya watu.
ndugu
"ndugu wa mfalme"
Jeremiah 36:27-29
Neno la Bwana lilikuja
"Bwana alizungumza neno lake"
Kwa maneno ya Yeremia
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
Rudi, ukachukue kitabu kingine mwenyewe
"chukua kitabu kingine tena mwenyewe"
Kitabu cha awali
"kitabu cha kwanza"
Kwa nini umeandika juu yake
Yehoyakimu alitumia swali ili kusisitiza kuwa Yeremia hakupaswa kuandika kuwa mfalme wa Babeli atakuja na kuvamia.
kwa kuwa ataharibu
"na ataharibu"
Jeremiah 36:30-31
Hatakaa katika ufalme wa Daudu
"hatatawala kama mrithi wa Daudi"
Maiti yako itatupwa nje
"watu wataitupa maiti yako nje"
maiti yako
"mwili wako uliokufa"
kwenye siku ya jua
"ili itolewe katika siku yenye joto"
ninyi nyote
"ninyi nyote"
Jeremiah 36:32
Maneno ya Yeremia
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
Kilichochomwa moto na Yehoyakimu mfalme wa Yuda
"Ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikichoma kwa moto"
Hatahivyo, maneno mengine yaliyofanana yaliongezwa katika kitabu hiki
"Hatahivyo Yeremia na Baruku waliongeza maneno mengi yaliyofanana na maneno yaliyokuwa kwenye kitabu cha mwanzo."
Jeremiah 37
Jeremiah 37:1-2
Yehoyakimu
Katika maneno ya Kiebrania wana Konia.
wa nchi
"wa nchi ya Yuda"
Alitangaza
"Bwana alitangaza"
Kwa mkono wa nabii Yeremia
"kupitia Yeremia ambaye ni nabii."
Jeremiah 37:3-5
Yehukali
Hili ni jina la mtu.
Shelemia
Hili ni jina la mtu.
Sefania mwana wa Maaseya the Prist
Sefania mwana wa Maaseya aliyekuwa kuhani.
kwa niaba yetu
"kwa ajili yetu" Neno "yetu" linamuelezea mfalme Sedekia na watu wote wa Yuda.
Yeremia alikwenda na kutoka kati ya watu
"Yeremia aliweza kwenda kokote alipotaka na mtu yeyote"
Kwa kuwa hajawahi kuwekwa gerezani
"Kwa sababu hakuna mtu aliyemuweka gerezani"
kuja nje
"kuitoa nje"
Kuzingatia
Tazama ulivyotafsiri katika sura ya 32:1
Jeremiah 37:6-8
Neno la Bwana lilikuja
Bwana alizungumza neno lake
mtasema
Maneno haya yanazungumzwa na watu wawili ambao mfalme Sedekia aliwatuma kwa Yeremia.
Kuomba ushauri kwangu
Neno "kwangu" linamuelezea Bwana.
Tazama
Neno hili linaongeza msisitizo wa ktu kinachofuata.
Watapigana dhidi ya mji huu, wataukamata na kuuchoma moto.
"kupanga vita dhidi yao, kuuchukua na kuuchoma moto"
Jeremiah 37:9-10
Msijidanganye wenyewe
Neno "wenyewe" linawaelezea mfalme Sedekia na watu wote wa Yuda.
Hakika Wakaldayo wanatuacha
Watu wa Yuda wanafikiri kuwa watakuwa salama kwa sababu Wakaldayo wameondoka.
watainuka
"watu waliojeruhiwa watainuka"
Jeremiah 37:11-13
Ilikuwa
"Ikawa" Neno hili lilitumika kuonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Eneo la nchi
"sehemu ya nchi"
Kati ya watu wake
"kati ya ndugu zake" Yeremia alikua anatoka katika mji wa Anasosi katika nchi ya Benyamini.
Lango la Benyamini
Hili ni jina la mlango.
Yeria
Hili ni jina la mtu
Shelemia
Hili ni jina la mtu
Hanania
Hili ni jina la mtu.
Kuhamia kwa Wakaldayo
"Kukimbilia kwa Wakaldayo"
Jeremiah 37:14-15
Hiyo sio kweli
"Huo ni uongo"
kutohamina
"kutokukimbia"
Yeria
Hili ni jina la mtu.
Wakuu
Tazama ulivyotafsiri katika sura ya 1:17
Walikuwa na hasira
"walikuwa na hasira sana"
Yonathani mwandishi
"Yonathani aliyekuwa mwandishi"
Jeremiah 37:16-17
Yeremia aliwekwa katika gereza la chini
"wakuu walimuweka Yeremia katika chumba kilichokuwa chini"
wakamleta
"wakamleta Yeremia"
nyumba yake
"nyumba ya kifalme ya mfalme Sedekia"
utapewa
Maneno haya ni kwa ajili ya mfalme Sedekia na watu wake.
Kutiwa katika mikono ya mfalme wa Babeli.
Tazama ulivyotafsiri katika sura ya 32:3
Jeremiah 37:18-20
Namna nilivyofanya dhambi dhidi yako ... gerezani?
Yeremia alitumia swali kusisitiza kuwa hakufanya kosa lolote.
watu hawa
Watu wa ufalme wa Yuda
wameweka
"wameweka"
wako wapi manabii wako, waliokutolea unabii... dhidi ya nchi hii
Yeremia alitumia swali ili kusisitiza kuwa manabii wengine walikuwa waongo lakini yeye hakufanya kosa lolote kwa sababu aliwaambia ukweli.
Manabii wenu
Maneno haya yanaelekezwa kwa mfalme Sedekia na watu wa ufalme wa Yuda.
Hatakuja dhidi yako wala nchi hii
"hatakuvamia wewe wala nchi hii"
ombi langu limekuja mbele yako
Linganisha na namna ulivyotafsiri katika sura ya 36:7 "maombi yao ya rehema yakafika mbele za Bwana"
Nyumba ya Yonathani mwandishi.
Nyumba ya Yonathani aliyekuwa mwamndishi.
Jeremiah 37:21
ya walinzi
"ya watu waliokuwa wakilinda"
Alipewa mkate
"Mtumishi wake alimpa Yeremia mkate"
Toka kwenye mtaa wa waokaji
"toka kwenye mtaa ambao waokaji wanafanya kazi"
Jeremiah 38
Jeremiah 38:1-3
Shefatia ... Malkiya
Majina ya kwenye orodha hii ni majina ya wanaume.
watauawa kwa upanga, njaa na tauni
"watakufa kwa upanga, njaa na tauni"
Atakimbia kunusuru maisha yake
Waliojisalimisha Babeli watakimbia kuyanusuru maisha yao htakama watapoteza mali zao.
Mji huu utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli
"nitaliruhusu jeshi la mfalme wa Babeli kuiteka Yerusalemu"
ataikamata
"jeshi lake litaikamata"
Jeremiah 38:4-5
Atafanya mikono ya wapiganaji waliobaki mjini kuwa dhaifu, ma mikono ya watu wote
"atasababisha askari na watu wa mji kupotezaujasiri"
Kwa kuwa mtu huyu hawapi usalama watu hawa bali maafa
"kwa sababu Yeremia hawasaidii watu bali anawaumiza watu"
Tazama yuko mikononi mwenu
"Tazama, mna nguvu juu yake"
Jeremiah 38:6
Mtupeni katika birika
Birika ni sehemu iliyochimbwa chini ya ardhi inayotumika kuhifadhia maji ya mvua.
Wakamshusha chini Yeremia kwa kutumia kamba
Hii inaelleza namna walivyomtupa Yeremia katika shimo.
Jeremiah 38:7-9
Ebedi Meleki Mkushi
Hili ni jina la mtu kutoka Kushi.
Sasa mfalme
Neno "sasa" linasimamisha simulizi na mwandishi anatuelezea historia ya alichokua akikifanya mfalme.
Kukaa katika lango la Benyamini
Sedekia alikuwa akisikiliza na kuamua keshi za jinai.
Lango la Benyamini
Hili ni lango la kuingilia Yerusalemu ambapo watu waliliita Benyamini mwana wa Yakobo.
Jeremiah 38:10-11
Watu thelathini
"watu 30"
walitumia kamba kushuka chini
"walitumia kamba kushuka chini"
Jeremiah 38:12-13
na juu ya kamba
"na kuzunguka kamba"
Walimvuta Yeremia
Hawa ni baadhi ya watu thelathini waliokuwa na Ebedi Meleki.
Jeremiah 38:14-16
Ikiwa nitakujibu, je hautaniua?
Yeremia alitumia swali kuonesha uhakika wake kuwa mfalme atamuua endapo atasema ukweli.
Kama Bwana aishivyo, yeye aliyetuumba
Mfalme alizungumza haya ili kuonesha kuwa anayokwenda kuyasema ni kweli.
Mimi sita ... kutia katika mikono ya watu hawa
"mikono" inamaanisha nguvu ya kutawala. "Sitawaruhusu ... watu hawa kukukamata"
wanatafuta maisha yako
"wanajaribu kukuua"
Jeremiah 38:17-18
Mungu wa Israeli
"Mungu wa wana wa Israeli"
Mji huu hautachomwa moto
"jeshi la Babeli halitachoma moto mji huu"
mji huu utatiwa mikononi mwa Wakaldayo
"Nitaruhusu Wakaldayo wauteke mji huu"
Hamtakimbia toka kwenye mikono yao
"hamtakimbia toka kwenye nguvu yao"
Jeremiah 38:19
Nitawatia katika mikono yao
Hapa neno "mkono" linamaanisha "nguvu" au "utawala"
kwa wao kunitendea vibaya
Neno "wao" linamaanisha Watu wa Yuda.
Jeremiah 38:20-21
Hawatakutia kutika mikono yao
Wakaldayo hawatakutia katika mikono ya Yuda.
Hivi ndivyo alivyonionesha Bwana
Neno "hivi" linaonesha maneno ambayo Yeremia atayasema baadae.
Jeremiah 38:22-23
Taarifa ya Jumla:
Yeremia anaendelea kuongea na mfalme Sedekia.
Wanawake wote waliosalia ... watatolewa nje kwa wakuu wa mfalme wa Babeli
"askari watawatoa nje wanawake wote waliosalia ... nje kwa wakuu wa mfalme wa Babeli"
Umedanganywa na rafiki zako
"Rafiki zako wamekudanganya"
Miguu yako inazama katika matope
Hii inamaanisha kuwa mfalme yupo katika wakati mgumu.
Kwa kuwa wake zako na watoto wako wateletwa nje kwa Wakaldayo
"Askari watawaleta wake zako na watoto wako nje kwa Wakaldayo"
Hawatakimbia toka katika nchi yao
"hawatakimbia toka kwenye utawala wao"
Utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babeli, na mji huu utachomwa moto.
"Jeshi la mfalme wa Babeli litakukamata na kuuchoma moto mji.
Jeremiah 38:24-26
Yonathani
Hili ni jina la mtu.
Jeremiah 38:27-28
Mpaka siku Yerusalemu ilipokamatwa
"mpaka siku ambayo jeshi Babeli liliikamata Yerusalemu.
Jeremiah 39
Jeremiah 39:1-3
Katika mwaka wa tisa mwezi wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda
Huu ni mwaka wa kumi kwa kalenda ya Kiebrania. Ni mwishoni mwa mwezi wa Disemba na mwanzoni mwa mwezi wa Januari katika kalenda ya mashariki.
tisa ... kumi ... kumi na moja ... nne
tisa ... kumi ... kumi na moja ... nne
Katika mwaka wa kumi na moja mwezi wa nne wa Sedekia, siku ya tisa ya mwezi
Huu ni mwezi wa nne kwa Kalenda ya Kiebrania.
Nergal-Shareza, Samgari, Nebo na Sasechimu
Haya ni majina ya watu.
katika lango la katikati
"Katikati ya lango la kuingilia mjini" Ilikuwa ni kawaida kwa viongozi kukaa katika lango la mji na kujadili mambo mbalimbali.
Jeremiah 39:4-5
Wakaenda nje usiku toka mjini kwa njia ya bustani ya mfalme
"waliondoka mjini usiku wakaenda kupitia njia ya bustani ya mfalme"
Nchi tambarare ya Yeriko
Hii ni nchi iliyo tambarare iliyoko kusini mwa bonde.
Ribla katika nchi ya Hamathi
Ribla ulikuwa mji katika himaya ya Hamathi.
wakawafuata na kuwapata
"wakawafuata na kuwakamata"
Wakatoa hukumu juu yake
"wakaamua namna ya kumuhukumu"
Jeremiah 39:6-7
Mbele ya macho yake
"alipokuwa akitazama"
Aling'oa macho ya Sedekia
"watu wa mfalme walimpofusha Sedekia"
Jeremiah 39:8-10
Nebuzaradani
Hili ni jina la mwanaume.
Walinzi wa mfalme
"wanaomlinda mfalme"
Watu wengine waliobakia mjini
"watu waliosalia katika mji"
Jeremiah 39:11-14
Nebuzaradani ... Gedalia ... Ahikamu ... Shafani
Haya ni majina ya watu.
kuwatuma watu
"kuwatuma watu kwenda kumchukua Yeremia"
Kati ya watu
"kati ya watu waliosalia Yuda"
Jeremiah 39:15-16
Taarifa ya jumla:
Simulizi hii ilitokea kabla ya matukio ya mwanzoni.
Sasa
Hii inaonesha mwanzo wa simulizi.
neno la Bwana lilimjia Yeremia ... akasema
"Bwana akazungumza na Yeremia. Akisema"
Ebedi Meleki Mkushi
Ebedi Meleki mtu wa nchi ya Kushi.
Ninakaribia kutimiza maneno yangu juu ya mji huu sio kwa kuangamiza na sio kwa wema
"nitaleta maafa juu ya mji huu kama nilivyosema kuwa nitafanya"
Na yote yatakuwa kweli mbele yako siku hiyo
"kwa kuwa utayaona yakitokea siku hiyo"
Jeremiah 39:17-18
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuongea na Yeremia.
Siku hiyo
Hii ni siku ambayo watu wa Babeli watabomoa ukuta wa Yerusalemu na kuuharibu mji.
Asema Bwana
"aliyoyasema Bwana"
Hamtatiwa katika mikono ya watu mnaowaogopa
"Watu mnaowaogopa hawatawadhuru"
Hamtaanguka kwa upanga
"hakuna atakayewaua kwa upanga"
Mtakimbia na kuponya maisha yenu ikiwa mtaniamini
"kwa sababu ya kuniamini mimi hamtauawa"
Jeremiah 40
Jeremiah 40:1-2
Haya ni maneno yaliyokuja kwa Yeremia toka kwa Bwana
"haya ndiyo aliyoyasema Bwana kwa Yeremia"
Nebuzaradani, kiongozi wa askari wa mfalme
Nebuzaradani aliyekuwa kiongozi wa askari wa mfalme.
Hapo ndiko alikopelekwa Yeremia na alipokuwa amefungwa minyororo
"Hapo ndipo askari wa Babeli walipompeleka Yeremia na kumfunga minyororo"
waliotakiwa kupelekwa uhamishoni Babeli
"ambao askari waliwatuma Babeli"
Jeremiah 40:3-4
Bwana alikuja. na akafanya kama alivyosema
"Bwana alifanya kama alivyowaambia kuwa atafanya"
Kwa kuwa mmeasi mbele yake na hamkusikiliza sauti yake
"Kwa kuwa ninyi Yuda mmefanya dhambi juu ya Bwana na hamkusikiliza amri yake"
jambo hili limetokea
"uharibifu umetokea"
Basi tazama
Nebuzaradani alisema haya ili kumfanya Yeremia awe makini kumsikiliza kwa wakati huo.
ni njema machoni pako
"unayotaka"
Jeremiah 40:5-6
Gedalia ... Ahikamu ... Shafani
Haya ni majina ya watu
Kati ya watu
"kati ya Wayahudi"
Ni njema machoni pako
"unayofikiri ni nzuri"
Waliosalia katika nchi
"waliobaki Yuda"
Jeremiah 40:7-8
Sasa
Hii inaonesha kuwa ni mwanzo wa simulizi.
wale ambao hawakwenda uhamishoni Babeli
"wale ambao maadui hawakuwapeleka Babeli"
Ishmaeli ... na Yezania
Haya ni majina ya watu.
mwana wa Mmaaka
Huyu ni mtu wa dini ya Maka.
Jeremiah 40:9-10
akawaapia
"akaapa kwa makamanda wa yuda"
matunda ya wakati wa jua
Haya ni matunda ya msimu.
Kaeni katika miji yenu
"kaeni katika miji yenu"
Jeremiah 40:11-12
Wayahudi wote
Watu wote wa Yuda
Kati ya watu wa
"watu wote wa Yuda kati ya watu wa Amoni."
mabaki ya Yuda
"mabaki ya watu wa Yuda"
alimchagua ... juu yao
"alimuweka ... kuwa juu yao"
Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani
Haya ni majina ya watu.
juu yao
"juu ya watu wa Yuda"
ambako wametawanywa
"ambako Babeli waliwapeleka"
divai na matunda ya jua kwa wingi
"kiasi kikubwa cha zabibu na matunda ya jua"
matunda ya jua
Matunda ya msimu.
Jeremiah 40:13-14
Yohana ... Karea
Haya ni majina ya watu.
Gedalia
Hili ni jina la mtu.
Unafahamu kuwa mfalme Baalisi wa watu wa Amoni alimtuma Ishamaeli Mwana wa Nethania akuue?
"unapaswa kufahamu kuwa Baalisi Mfalme wa watu wa Amoni alimtuma Ishmaeli mwana wa Nethania ili akuue"
Baalisi
Hili ni jina la Mfalme
Ishmaeli mwana wa Nethania
Haya ni majina ya watu.
Ahikamu
Hili ni jina la mtu.
Jeremiah 40:15-16
Yohana ... Karea
Haya ni majina ya watu.
Kuongea na Gedalia pembeni
"kuongea na Gedalia kwa siri"
Gedalia
Hili ni jina la mtu.
Ishmaeli mwana wa Nethania
Haya ni majina ya watu.
Hakuna atakayenihisi mimi
"hakuna atakayejua"
Kwa nini akuue wewe
"usimruhusu akuue"
Kwa nini uruhusu Yuda wote
"Usiruhusu watu wengi wa Yuda"
Yuda wote waliokusanyika kwako
"watu wa Yuda waliokuja kwako"
kutawanyika
"kwenda mbali kwenye nchi tofauti"
Na waliosalia Yuda wataharibiwa
"na kuruhusu watu wa Yuda waharibiwe"
masalia wa Yuda
"waliosalia Yuda"
Ahikamu
Hili ni jina la mtu.
Jeremiah 41
Jeremiah 41:1-3
Ikatokea kuwa
Maneno haya yalitumika hapa kuonesha mwanzo wa simulizi mpya.
katika mwaka wa saba
Huu ni mwezi wa saba kwa Kalenda ya Kiebrania. ni mwishoni mwa mwezi wa Septemba na mwanzoni mwa mwezi octoba.
Ishmaeli ... Nethania ... Elishama ... Gedalia ... Ahikamu
Haya ni majina ya watu.
Jeremiah 41:4-5
Watu themanini "
"watu 80"
mikononi mwao
"mikono" inawakilisha watu. "katika umiliki wao"
Jeremiah 41:6-7
alipokuwa akiwakaribia
"Ishmaeli alipokuwa akiwakaribia watu 80"
Ikatokea kuwa
Maneno haya yametumika kuonesha umuhimu wa tukio katika simulizi.
Ishmaili mwana wa Nethania akawachinja na kuwatupa katika shimo, yeye pamoja na watu aliokuwa nao
"Ishmaeli mwana wa Nethania na watu aliokuwa nao, waliwaua watu 80 na kuwatupa katika shimo"
Jeremiah 41:8-9
watu kumi kati yao
Hawa ni kati ya wale watu 80
mahitaji
Ni vitu ambavyo vinatumika kwa mahitaji ya baadae.
Jeremiah 41:10
Ishmaeli ... Nebuzaradani ... Gedalia ... Ahikamu ... Nethania
Haya ni majina ya watu.
Jeremiah 41:11-12
Yohana ... Karea
Haya ni majina ya watu.
Wakampata
"wakampata Ishmaeli na watu wake"
Jeremiah 41:13-14
Kisha ikatokea kuwa
Maneno haya yalitumika kuonesha umuhimu wa tukio katika simulizi.
Ishmaeli ... Yohana ... Karea
Haya ni majina ya watu.
Jeremiah 41:15-16
Ishmaeli ... Nethania ... Gedalia ... Ahikamu
Haya ni majina ya watu.
Yohana ... Karea
Haya ni majina ya watu.
Wao waliokombolewa toka kwa Ishmaeli
"yeye na jeshi lake walikombolewa toka kwa Ishmaeli"
Hii ni baada ya Ishmaeli kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu.
Mwandishi anaacha kusimulia na kuonesha tukio lililopita ili mtiririko wa matukio ueleweke.
Jeremiah 41:17-18
Geruthu ... Kimhamu
Hili ni jina la mahali.
Kwa sababu ya Wakaldayo
"kwa sababu walifikiri kuwa wakalfayo watawavamia"
msimamizi wa ardhi
"msimamizi wa ardhi ya Yuda"
Jeremiah 42
Jeremiah 42:1-3
Taarifa ya jumla:
Tazama: uandishi wa shairi.
Yohana ... Karea ... Yezania ... Hoshia
Haya ni majina ya watu.
watu wote toka kuanzia wadogo mpaka wakubwa
Hii inaonesha kuwa ni watu toka katika madaraja yote.
Maombi yetu yakubaliwe mbele yako
"tuyawakilishe maombi yetu mbele yako"
Jeremiah 42:4-6
Tazama
"kuwa makini kwa kile ntakachokizungumza"
Sitabakiza chochote
"nitakwambia kilakitu ambacho Bwana ameniambia"
Kweli na aminifu
Maneno haya yana maana inayofanana katika muktadha huu. Yanamuelezea Bwana kama shahidi ambaye hakuna atakayeweza kumuingilia. "anayeaminika"
Ikiwa ni nzuri au mbaya
Watu wanasisitiza kuwa watatii jibu litakalotoka kwa Bwana. "jibu lolote"
Sauti ya Bwana Mungu wetu
Bwana anaelezewa kwa namna anavyowajibu maswali yao.
Jeremiah 42:7-10
Neno la Bwana lilikuja
"Bwana anazungumza neno lake"
Watu wote kuanzia wadogo mpaka wakubwa
Hii inaonesha kuwa ni watu toka katika madaraja yote.
Nitapeleka maombi yenu mbele yake
"Nitawasilisha maombi yenu mbele yake"
Nitawajenga na sio kuwabomoa
Bwana anawafananisha wana wa Israeli kama ukuta unaoweza kujengwa au kubomolewa. "niwawastawisha na sio kuwaangamiza"
Nitawapanda na sio kuwang'oa
Bwana anatumia mfano huu kuonesha kuwa atawastawisha wana wa Israeli na sio kuwaharibu"
Nitaondoa maafa niliyoyaleta kwenu
Hapa Maafa yamezungumziwa kama kitu ambacho mtu anaweza kuweka juu ya mtu mwingine.
Jeremiah 42:11-12
Kuwaokoa na kuwakomboa
"kuokoa" na "kuwakomboa" yana maana sawa kusisitiza kuwa Bwana atawakomboa.
Kuwakomboa toka kwenye mkono wao
Hapa "mkono" inamaanisha nguvu na mamlaka.
Jeremiah 42:13-14
Ikiwa hamtaisikia sauti yangu, sauti ya Bwana Mungu wenu
Kutokutii ni sawa na kutosikia amri za Bwana.
ambapo hatutaona vita tena, ambapo hatutasikia sauti ya tarumbeta
Sentensi hizi zinaonesha kuwa vitani kwa uwezo wa kuona na kusikia.
hatutapata njaa
Kupata njaa ya chakula inaelezea uhaba wa chakula.
Jeremiah 42:15-17
upanga mnaouogopa utawapata
"mtaona matokeo mabaya sana ya vita huko"
Njaa mliyokuwa mkiiogopa itawafuata Misri
"Mlikuwa na hofu juu ya njaa Israeli lakini mkienda Misri mtateseka kwa njaa huko"
watu wote
Hawa ni watu wote kwa kuwa ni viongozi katika familia zao"
Jeremiah 42:18-19
Ghadhabu na hasira yangu imemwagwa
"Nimeimwaga ghadhabu na hasira yangu"
ghadhabu yangu na hasira yangu
"ghadhabu" na "hasira" vina maana moja.
hasira yangu itamwagwa juu yenu
"nitaimwaga hasira yangu juu yenu"
chombo cha kulaani na hofu, chombo cha kusema laana na mambo ya aibu
Maneo haya yana maana inayofanana yakisisitiza namna ambavyo mataifa mengine watawafanyia watu wa Yuda baada ya Bwana kuwaadhibu.
Nimekuwa shahidi
Bwana ndiye anayehakikisha kuwa wana wa Israeli wanaadhibiwa ikiwa hawatatimiza ahadi tao ya kutii amri za Bwana.
Jeremiah 42:20-22
tutachukua
"tutafanya"
mmtakufa kwa upanga
Vita imeelezewa kwa kutumia silaha inayotumika katika mapigano. "Mtakufa vitani"
sehemu ambayo mlitamani kwenda kuishi
"Misri ambapo mlifikiri kuwa mtakuwa salama"
Jeremiah 43
Jeremiah 43:1-3
Taarifa ya jumla:
Tazama: uandishi wa shairi.
Ikatokea kuwa
Hii ilitumika kuonesha mwanzo wa simulizi mpya.
Hoshaya ... Yohana ... Karea ... Neria
Haya ni majina ya watu.
kuchochea
"kumsababisha mtu awadhuru watu wengine"
Jeremiah 43:4-7
kukataa kusikiliza sauti ya Bwana
"hawakutii amri za Bwana"
ambapo walikuwa wametawanyika
"ambapo Bwana alisababisha wakaenda na kutawanyika"
Nebuzaradani ... Gedalia ... Ahikamu ... Shafani
Haya ni majina ya watu.
Tahpanesi
Hili ni jina la mji.
Jeremiah 43:8-10
Neno la Bwana lilikuja
"Bwana anazungumza neno lake"
Nitaweka ufalme huu juu ya mawe haya ... hema yake juu yao
"ufalme" na "hema" vilitumika kuonesha mamlaka ya kifalme.
hema
hema kubwa
Jeremiah 43:11-13
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kusema ujumbe wake.
atakuja
"Nebukadreza atakuja"
walioandikiwa kufa watakufa
"watakufa wote ambao nimeamua wafe"
walioandikiwa kwenda mateka watakwenda mateka
"Babeli watawachukua mateka wale wote nitakaoamua waende mateka"
Na aliyeandikiwa upanga atakufa kwa upanga
"Watakufa wote vitani ambao nimeamua wafe vitani"
Atasafisha nchi ya Misri kama ambavyo wachungaji wanavyosafisha nguo zao
"Atachukua kila kitu cha thamani toka Misri kama ambavyo mchungaji anavyotoa kwa makini wadudu kwenye nguo yake"
Heliopolisi
Hili ni jina la mji, "mji wa jua"
Jeremiah 44
Jeremiah 44:1-3
Taarifa ya jumla:
Tazama: uandishi wa shairi.
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia
"Huu ndio ujumbe ambao Bwana alimpa Yeremia"
Mogdoli ... Tahpanesi ... Nofu ... Pathrosi
Haya ni majina ya miji.
Ninyi wenyewe mmeona
Neni "wenyewe" limetumika kusisitiza kuwa ni watu wa Yuda wanaoishi katika nchi ya Misri.
Tazama
"Sikiliza" au "kuwa makini" au "hakikisha unalielewa hili."
walitenda ili kuniudhi
"watu wa Yerusalemu na miji yote ya Yuda walitenda ili kuniudhi"
wao wenyewe
"watu wa miji iliyoharibiwa"
Jeremiah 44:4-6
Hivyo nikawatuma tena
Huyu ni Bwana.
hasiya yangu na ghadhabu yangu ilimwagika
Hii inaelezea hukumu ya Bwana kama maji ambayo ameyahifadhi kwenye maji lakini hasira yake inaweza kusababisha akaimwaga hasira yake kwa kuanza kuwahukumu wale wanaomkasirisha.
hasira yangu na ghadhabu yangu
"hasira" na "ghadhabu"yana maana moja yakiwa yanasisitiza uzito wa hasira yake.
Wakawa magofu na ukiwa
Maneno "magofu" na "ukiwa" yana maana sawa. yanasisitiza namna ambavyo Yuda na Yerusalemu itakuwa ukiwa.
Jeremiah 44:7-8
Kwa nini unafanya uovu mkuu juu yao? Kwa nini mnajikatilia wenyewe kati ya Yuda - wanaume, wanawake na watoto?
Bwana anatumia maswali haya kuwaambia wana wa Israeli kuwa wanapaswa kuacha kufanya mambo yatakayosababisha wahukumiwe.
matendo ya mikono yenu
"kwa mliyoyafanya"
mtaangamizwa
"mnasababisha niwaangamize"
Jeremiah 44:9-10
Mmesahau maovu yaliyofanywa na baba zenu na uovu uliofanywa na wafalme wa Yuda na wake zao?
"mmesahau uovu ambao baba zenu waliufanya! mmesahau uovu ambao wafalme wa Yuda na wake zao waliufanya."
Mmesahau uovu mlioufanya na wake zenu ... Yerusalemu?
"mmesahau uovu ambao ninyi na wake zenu mmeufanya ... Yerusalemu."
Mitaa ya Yerusalemu
Yerusalemu imezungumzwa kama sehemu ya mji ambapo watu hutembea.
Jeremiah 44:11-12
nitaelekeza uso wangu dhidi yenu
"kuamua kuwa kinyume nao"
wataanguka
Hii ni namna nyingine ya kusema kuwa watakufa.
Kwa upanga
Vita inaelezwa kwa kutumia silaha inayotumiwa mara nyingi na askari.
Toka mdogo mpaka mkubwa
Watu wote wasiokuwa na maana na wenye heshima katika jamii.
Jeremiah 44:13-14
upanga, njaa na tauni
Neno "upanga" linaelezea vita.
wakimbizi au waliopona
Haya maneno yote yanafanana. Mkimbizi ni mtu anayemtoroka mtu anayetaka kumuua au kumchukua mateka.
Jeremiah 44:15-17
Pathrosi
Hili ni jina la dini katika Misri.
Kuhusu neno ulilotuambia kwa jina la Bwana: Hatutakusikiliza
"Hatutatii amri ambayo ulitupa kwa mamlaka ya Bwana"
Malkia wa mbingu
Hiki ni cheo alichopewa mungu aliyeabudiwa Misri ambapo mungu huyo ni mwezi.
Kisha tutakuwa na chakula na kufanikiwa, bila kupata maafa yoyote
"katika siku hizo tulikua na chakula cha kutosha na mafanikio na hatutapata maafa"
Tutakuwa na chakula cha kutosha
"tutashibishwa vyema"
Kisha tutakuwa na chakula na kufanikiwa, bila kupata maafa yoyote
Watu wa Yuda walifikiri kuwa watafanikiwa kwa sababu malkia wa mbingu atawabariki ikiwa watamuabudu.
Jeremiah 44:18-19
Taarifa ya jumla:
Watu waliosalia waliokuwa wakiishi Misri wanaendelea kuongea.
Malkia wa mbingu
Hiki ni cheo alichopewa mungu aliyeabudiwa Misri ambapo mungu huyo ni mwezi.
je tunafanya mambo haya bila waume zetu kufahamu?
Wanawake wanajitetea kwa sababu wamepata ruhusa toka kwa waume zao.
Jeremiah 44:20-21
Bwana alikumbuka
"Bwana alikumbuka"
moyoni mwake
Hii ina maana kuwa Bwana alilikumbuka hili.
Jeremiah 44:22-23
Hwakuweza kuvumilia
"hawakuweza kuvumilia tena"
hakuna mwenyeji tena hata leo
"hakuna anayeishi huko sasa"
kufukiza uvumba
"kuteketeza sadaka kwa miungu ya uongo"
Hamtaisikia sauti yake
"sauti" ni amri za Bwana. "hamtatii amri zake"
Jeremiah 44:24-25
sema kwa kimywa chakeo na yabebe kwa mikono yako hayo uliyoyasema
"sema na utende kama ulivyosema"
Malkia wa mbingu
Hiki ni cheo alichopewa mungu aliyeabudiwa Misri ambapo mungu huyo ni mwezi.
Jeremiah 44:26-28
Tazama, niapa kwa jina kuu- asema Bwana
Jina kuu la Bwana linaonesha ukuu wake.
Kila mtu wa Yuda ... ataangamizwa
"Idadi kubwa ya watu wa Yuda ... wataangamizwa"
kwa uoanga na njaa
"upanga" inawakilisha watu watakaokufa vitani na "njaa" inawakilisha watu watakaokufa kwa njaa.
Jeremiah 44:29-30
Maneno yangu yatakuvamia kwa maafa
"ninayosema yatakupana na utapata maafa"
Nitamtia mfalme Farao Hofra mfalme wa Misri katika mikono ya adui zake
"nitawaruhusu maadui wa Farao Hofra wakukamate"
Hofra
Hili ni jina la mtu.
na wanaoyatafuta maisha yake
"na watu wanaotaka kumuua"
Jeremiah 45
Jeremiah 45:1-3
Taarifa ya jumla:
Tazama: uandishi wa shairi.
Baruki ... Neria
Haya ni majina ya watu.
aliyoambiwa na Yeremia
Baruku aliandika maneno ambayo Yeremia alisema.
Katika mwaka wa nne wa Yehoakimu
"wakati ambao Yehoakimu aliitawala Yuda kwa miaka minne"
alisema
"Yeremia alimwambia Baruku"
umeongeza uchungu katika maumivu yangu
"umenisababishia maumivu makubwa"
Nimechoka kuugua
"nimechoka kulia"
Jeremiah 45:4-5
Hivi ndivyo utakavyomwambia
Bwana anamwambia Yeremia jambo atakalomwambia Baruku.
Hii ni kweli juu ya dunia yote
"hili litatokea juu ya dunia yote"
Lakini je mmetegemea mambo makuu kwa ajili yenu wenyewe?
"mmetegemea kufanya mambo makuu kwa ajili yenu wenyewe"
Tazama
"kuwa makini"
nyara
Vitu vilivyoibiwa mahali kwa nguvu
maisha yako kama nyara
"Nitawaruhusu muishi. Hivyo ndivyo mtakavyotegemea.
Jeremiah 46
Jeremiah 46:1-4
Kwa ajili ya Misri
Hii inaonesha kuwa ujumbe ni kwa ajili ya taifa la Misri.
Karkemishi
Karkemishi ni mji ulioko mashariki mwa mto Efrate.
Lijamu
Hii inamaana ya kumuandaa farasi kwa ajili ya kuvuta gari.
Chepeo
Hii ni kofia ya kivita inayolinda kichwa katika vita.
Inoeni mikuki
Hii inamaana ya kuwa kuifanyia mikuku kuwa mikali.
Jeremiah 46:5-6
Taarifa ya jumla:
Maono ya Yeremia juu ya Misri yanaendelea.
Nini ninachokiona hapa?
Bwana anatumia swali kusisitiza kuwa anayoyasema juu ya Misri ni kweli.
wepesi hawawezi kukimbia na askari hawawezi kutoroka
Sentensi hizi mbili zina maana sawa zikisistiza kuwa hakuna anayeweza kukimbia awe mwenye nguvu au mwepesi.
Jeremiah 46:7-9
Taarifa ya jumla:
Yeremia anaendelea kunukuu maneno ya Bwana kwa taifa la Misri.
Huyu ni nani anayeinuka kama mto Nile
"Misri anainuka kama mto Nile." Bwana anauliza hili swali ili kuwafanya wasikilizaji wawe makini na taifa la Misri.
Misri imeinuka kama mto Nile
Jeshi la Misri linasababishwa na uharibifu unaosababishwa na mafuriko ya mto Nile.
Unasema
Hapa nchi ya Misri inazungumza kama mtu azungumzapo.
"Nitakwenda juu; nitaifunika nchi. Nitaharibu mji na wakaao ndani yake."
Hapa taifa la Misri linajisifu na kusema kuwa jeshi lake litaharibu dunia kama mafuriko.
kwenda juu, farasi. kukasirika, magari yenu.
Bwana anaamuri farasi na magari kama vile anaamuru watu. maneno haya "farasi" na "magari" yamezungumziwa kama sehemu ya vita.
Kushi ... Puti ... Ludimu
Haya ni majina ya biblia ya nchi za Ethiopia, Libya na Lydia.
kukunja pinde zao
Hiki ni kitendo cha kuupindisha upinde wenye mshale.
Jeremiah 46:10
Taarifa ya jumla:
Yeremia anaendelea kunukuu maneno ya Bwana kwa taifa la Misri.
Siku hiyo
Hii ni siku ambayo Wamisri watashindwa vita na Babeli.
maadui
Neno hili lina maanisha maadui wa Bwana.
upanga utateketeza na kuridhika. utakunywa damu yao
Hapa upanga unakula kama ambavyo mtu hula. sentensi hizi zinasisitiza kuwa kutakuwa na uharibifu kabisa.
upanga utateketeza
Neno "upanga" linawakilisha jeshi la taifa la Babeli.
Sadaka kwa Bwana
"Misri itakuwa sadaka kwa Bwana Mungu."
Jeremiah 46:11-12
Taarifa ya jumla:
Bwana anamaliza kusema ujumbe wake kwa Misri.
mabikira wa Misri
"wasioharibika wa Misri."
Kulaumiwa
Hii ni hali ya kujisikia aibu au kupoteza heshima yako.
Dunia imejawa na maombolezo yako
Kila mtu anasikia kilio chako.
Jeremiah 46:13-14
Migdoli ... Nofu ... Tahpanesi
Hii ni miji muhimu ya kivita. Nofu ulikuwa mji mkuu wa Misri.
Upanga umeteketeza wote
"jeshi la Babeli limesababisha uharibifu."
Jeremiah 46:15-17
kwa nini mungu wenu Api amekimbia?
"mungu wenu Api amekimbia."
Api
Huyu ni mmoja wa wakuu wamiungu ya Misri.
Kwa nini mungu wenu- ndama hasimami?
"mungu wenu ambaye ni ndama hawezi kusimama."
Bwana amemtupa chini
"Bwana amemshinda Api, mungu wenu wa ndama."
upanga huu umetupiga chini
"upanga" unawakilisha taifa la Babeli.
Farao mfalme wa Misri ni kelele tuu, ambeye aliacha nafasi ipite
Sentensi hii inasema kuwa taifa la Misri limepoteza umuhimu.
Jeremiah 46:18-19
mtu atakuja ambaye atakuwa kama mlima tabori na mlima Karmeli karibu na Bahari
Hili ni taifa la Babeli ambalo litaisonga taifa la Misri kama milima hii miwili.
Kusanya vitu vyako
"jiandae kusafiri.
Jeremiah 46:20-22
Misri ni ndama mzuri
Misri inafananishwa na ndama mzuri.
wadudu wakali
Hili ni jeshi la Babeli. Wadudu wakali watasababisha maumivu lakini sio maumivu ya kudumu.
askari ni kama ng'ombe aliyenona
Mwandishi anawafananisha askari kama "mg'ombe aliyenona" kwa sababu askari wanatunzwa vizuri.
Hawatasimama pamoja
Mwandishi anasema kuwa askari hawatapigana wakiwa na umoja lakini watakimbia wakifikiria kujiokoa wenyewe.
Misri wana sauti kama nyoka na hutambaa mbali
Mwandishi anasema kuwa taifa la Misri ni kama nyoka ambae hawezi kufanya chochote zaidi ya kutoa sauti na kutambaa kwa hofu wakata misitu wanapoingilia kiota chao.
Jeremiah 46:23-24
Watakata misitu
Jeshi la uvamizi litakuwa kama wakata mbao likikata msitu wote. "Jeshi la Babeli litaiangamiza miji ya Misri."
wao
Hili ni jeshi la taifa la Babeli likivamia Misri.
Hivi ndivyo alivyosema Bwana
"Alichokisema Bwana"
Ni nzito sana
Hii inaelezea idadi kubwa ya miji ya Misri.
Nzige
Hii ni aina ya wadudu wanaosafiri katika kundi kubwa na kusababisha uharibifu kwa kula mazao.
mabinti ... watapata aibu
Yeremia anasema kuwa watu wa Misri watapata aibu mbele ya mataifa hasa wanawake na mabinti watatendewa vibaya na askari wa Babeli.
mkono wa watu toka kaskazini
"nguvu ya taifa la Babeli lililotoka Kaskazini."
Jeremiah 46:25-26
Amoni wa Tabesi
Amoni ni mfalme wa miungu ya Misri. Tabesi ni mji mkuu wa Misri na hapa inawakilisha himaya yote ya Misri.
Ninawaweka ... kwenye mkono ya Nebukadreza na watumishi wake
Hapa Nebukadreza anawakilisha taifa zima la Babeli na "mkono" inawakilisha "kutawala"
Baada ya hayo Misri itakaliwa kama zamani
"Baada ya adhabu ya Bwana taifa la Misri litarudi na kuwa huru."
Hivi ndivyo alivyosema Bwana.
"Alichokisema Bwana"
Jeremiah 46:27-28
Mtumishi wangu Yakobo usiogope. Usifadhaike, Israeli
Sentensi hizi mbili zina maana moja. Pamoja zinawapa nguvu watu wa Yuda kuwa wasiogope.
Hivi ndivyo alivyosema Bwana
"Alichokisema Bwana"
Hatawaacha bila kuwaadhibu
"atawaadhibu ninyi"
Jeremiah 47
Jeremiah 47:1-2
Tazama
Neno "tazama" linatuonesha kuwa tunapaswa kuwa makini kusikiliza ambacho kinazungumzwa.
Mafuriki ya maji yanainuka toka kaskazini. Yatakuwa kama mto uliyojaa!
Sentensi hizi zinamaana moja. "maji" na "mto" vinawakilisha jeshi linalokuja toka kaskazini.
vitaijaza nchi
Hili ni jeshi linalotoka kaskazini.
Jeremiah 47:3-4
Kwa sauti za kukanyaga za farasi wao, kwa mwendo wa magari yao na sauti za magurudumu yao
Kwa pamoja vinawakilisha sauti za jeshi linalokuja.
mwendo wa magari yao na sauti za magurudumu yao
Maneno haya yametumika ili kuonesha msisitizo.
Kaftori
Hili ni jina la kisiwa kilichopo kaskazini mwa Wafilisti.
Jeremiah 47:5-7
upaa
Hiki ni kitendo cha kunyoa nywele zote za kichwani au sehemu ya nywele kama ishara ya maombolezo makubwa yanayofanywa na wanaoabudu sanamu wa mataifa kama Filisti.
watu ... watanyamaziswa.
"Watu ... watauawa."
Kwa muda gani mtajikata wenyewe kwa ajili ya kuomboleza
Kujikata ngozi ilikuwa inafanywa na wanaoabudu sanamu walipokuwa wakiomboleza msibani.
upanga wa Bwana
Hili ni jeshi ka kaskazini ambalo Bwana analitumia kuwaadhibu Wafilisti.
Itachukua muda gani mpaka mtakapokuwa kimya
Wafilisti walitumia swali hili kuonesha namna ambavyo walichanganyikiwa kutokana na uharibifu uliosababishwa na adui zao.
wewe
Hapa upanga wa Bwana unafananishwa na mtu.
ala
Ni kifaa kinachotumika kulindia makali ya upanga.
Ukuwaje kimya, kwa kuwa bwana amekuamuru
Hapa unazungumziwa upanga wa Bwana.
Jeremiah 48
Jeremiah 48:1-2
Mebo
Hili ni jina ;a moja ya Mlima huko Moabu.
Kiriathaimu
Hili ni jina la mji katika Moabu.
Kiriathaimu imekamatwa na kuaibishwa.
"Adui ameukamata mji wa Kiriathiamu na watu wake hawajivunii tena."
Heshima ya Moabu haipo tena
Hii ina maana kuwa heshima ya Moabu ambayo alikuwa akiifurahia imetoweka.
Heshboni
Hili ni jina la mji wa mfalme wa Waamori.
Madmena pia ataangamia
"madmena" ni mji uliopo Moabu. "Adui zao wataharibu mji wa Madmema."
Upanga utakufuata
Hii inmaanisha kuwa jeshi litaivamia Moabu.
Jeremiah 48:3-5
Taarifa ya jumla:
Yeremia anaendelea kuzungumza juu ya uharibifu wa Moabu.
Horonaimu
Hili ni jina la mji uliopo kusini mwa Moabu.
uharibifu na maangamizo makubwa
Maneno haya yana maana inayofanana. Yanasisitiza uharibifu.
Watoto wake
Hawa ni watu wa Moabu.
Luhithi
Hili ni jina la mahali huko Moabu.
Kwa sababu ya uharibifu
"kwa sababu ya uharibifu wa mji."
Jeremiah 48:6-7
Okoeni maisha yenu
Hapa wanazungumziwa watu wa Moabu.
mkawe kama mtu aliye mkiwa
Watu waliokimbia uharibifu katika mji wanafananishwa na kichaka kilichostahimili nyakati ngumu jangwani na chenye majani ya kijani mwaka mzima.
amini matendo yako
"kuishi kwa kufuata tamaduni na mafundisho ya dini yako"
Kemoshi
"Kemoshi" ni mungu mkuu wa Wamoabu. Hapa Kemoni inawakilisha taifa la Moabu.
Jeremiah 48:8-10
Basi bonde litaangamia na sehemu ya wazi itaharibiwa
Sentensi hizi zinafanana zikiwa zinasisitiza kuwa kila sehemu ya nchi itaharibiwa.
Mpe Moabu mbawa
"Wasaidie watu wa Moabu wakimbie."
kumwaga damu
"kuua watu"
Jeremiah 48:11-12
Moabu alijiona kuwa yuko salama tangu akiwa kijana
Hapa linazungumziwa taifa lote lla Moabu.
Yupo kama divai yake ambayo haijawekwa toka kwenye chombo kimoja hadi kingine
Hapa linazungumziwa taifa la Moabu ambalo linafananishwa na divai ambayo haikuhamishwa toka kwenye nchi yake.
Kwa hivyo analadha nzuri kuliko kawaida; ladha yake haibadiliki
Maneno haya yana maana moja.
Tazama, siku zinakuja
"Sikiliza kwa makini kwa sababu siku sio nyingi"
Hivi ndivyo alivyosema Bwana
"alichokisema Bwana"
watapiga juu yake na kumimina yote yaliyopo kwenye vyombo vyake na kuvunja mitungi yake
Maneni haya yanaonesha uharibifu unaokuja katika nchi ya Moabu.
Jeremiah 48:13-14
Mtasemaje
Hapa wanazungumziwa askari wa Moabu
Mtasemaje, 'sisi ni askari, wapiganaji wenye nguvu'"
"Hamuwezi kuendelea kusema, 'sisi ni askari wapiganaji wenye nguvu.'"
Jeremiah 48:15-17
vijana wake wazuri wamekwenda chini sehemu ya kuchinjwa.
"Vijana wao wazuri watachinjwa wote."
Uharibifu wa Moabu umekaribia kutokea; msiba unakuja haraka
"Maadui wa Moabu watawaangamiza haraka"
fimbo yenye nguvu, fimbo ya heshima, imevunjika
"Fimbo" imeelezewa kama nguvu na msaada wa kisiasa ambao Moabu aliutoa kwa mataifa mengine.
Jeremiah 48:18-20
Kaa katika nchi kavu, ewe binti unayeishi Diboni
Neno "binti" limetumika kuwaelezea watu wa Diboni.
ambaye ataharibu Moabu
"adui wa watu wa Moabu"
Waulize ambao
"waulize watu" au "waulize wanawake na wanaume"
Lia na kuomboleza
"lia kwa nguvu kwa maumivu na hasira"
Jeremiah 48:21-25
Holoni, Yasa, na ,Mefaasi ... Bozra
Hii ni miji ya Moabu.
Pembe ya Moabu imefungwa; jeshi lake limevunjwa
'pembe' na 'jeshi' vina maana moja. Inamaanisha kuwa Moabu amejeruhiwa.
Anachosema Bwana
Anachosema Bwana
Jeremiah 48:26-27
Kumfanya alewe
Adhabu ambayo Mungu ameituma kwa Moabu itawafanya wadharauliwe na adui zao, kama vile mlevi adharauliwavyo na kuchekwa.
Sasa Moabu atayaonea kinyaa matapishi yake, hivyo amekuwa kicheko
Mungu anaendelea kumfananisha Moabu na mlevi.
Je Israeli hajawa kicheko?
"Kwa kuwa mlikuwa mkiwacheka na kuwadharau watu wangu wa ufalme wa Israeli."
Je alikuwepo kati ya wezi, ambae ulikuwa unatikisa kichwa chako ulipokuwa ukizungumza kuhusu yeye?
"Japokuwa walikuwa wezi hawakukamatwa. Ulitikisa kichwa na kuwadharau.
Jeremiah 48:28-29
Maporomoko
Maporomoko ni sehemu yenye mteremko mkali katika mlima.
Kinywa cha shimo katika miamba
Huu ni uwazi uliopo katika miamba kama sehemu ya kuingilia katika pango.
Kiburi ... jeuri ... majivuno ... utukufu ... kujifurahisha moyoni mwake
Maneno haya yana maana inayofanana kwa pamoja yanasisitiza kiburi cha watu wa Moabu.
Jeremiah 48:30-32
Anachokisema Bwana
"alichokisema Bwana"
ukaidi
Ni kitendo cha kukataa kumtii mtu au maelekezo kwa sababu ya kiburi
Nitamlilia Moabu, na nitapiga kelele za huzuni kwa ajili ya Moabu wote
Yeremia anasema kitu kile kile kwa ajili ya kusisitiza.
Piga kelele
Kilio na huzuni ambacho mtu hufanya anapokuwa na uchungu.
Kir-heresi
Hili ni jina la mji wa zamani wa Moabu.
Jazeri ... Sibma
Haya ni majina ya miji miwili ya Moabu.
Jeremiah 48:33
sherehe na furaha vimeondolewa
"hakuna atakayekuwa na raha wala kufurahia huko Moabu"
Nimeufanya kuwa mwisho
"Nimesimamisha"
Hawatatembea
"hawatakanyaga" Hawa ni watengeneza mvinyo wa Moabu.
Jeremiah 48:34-35
Heshiboni
Hili ni jina la mji wa kifalme wa mfalme wa Moabu.
Eleale ... Yahasa ... Soari ... Horonaimu ... Eglath-Shelishia
Haya ni majina ya miji ya Moabu.
Nimrimu
Hili ni jina la mto karibu na bahari ya Shamu.
Analosema Bwana
"alilosema Bwana"
Jeremiah 48:36-37
Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi
Yeremia anafananisha hisia zake na wimbo wa huzuni.
Moyo wangu unaombileza
"moyo" inamaanisha hisia za ndani anazihisi Yeremia. "Nina huzuni sana kwa ajili yake."
Kir Heresi
Kir-Heresi ulikuwa mji wa zamani wa Moabu kama kilimeta 18 mashariki mwa bahari ya Shamu.
Kwa kila kichwa kuna kipara na ndevu zote zimenyolewa. Chale zipo katika kila mkono na magunia yanazunguka kiuno chake.
Haya ni mambo ambayo watu wa Moabu hufanya wanapoomboleza au kuwa na masikitiko.
Chale
Kukata ngozi
Jeremiah 48:38-39
Kila paa la gorofa
"kila paa"
uwanda
Ni sehemu ya wazi, kama vile sokoni.
kwa kuwa nimeiharibu
Bwana anazungumziwa mahali hapa.
Analosema Bwa
"Alilosema Bwana"
kuvunjwa
"kuharibiwa"
piga kelele
Sauti ya kilio ambayo huifanya mtu anapokuwa na maumivu.
Hivyo Moabu itakuwa kitu cha kudharauliwa
"Moabu itakuwa taifa ambalo mataifa ya jirani yatalicheka"
Jeremiah 48:40-41
Adui atapaa kama tai na kutandaza mabawa yake
Hii inalifananisha jeshi lenye nguvu litaivamia Moabu na kuiteka kama vile tai anaposhuka chini na kukamata mawindo.
Keriothi.
Ni mji katika Moabu.
Keriothi imekamatwa na ngome zake zimetekwa
"Adui wameikamata Keriothi na kuteka ngome zake"
siku ile moyo wa askari wa Moabu ... wanawake wenye uchungu
Sentensi hii inaonesha kuwa hofu itawapata askari wa Moabu kama hofu ambayo wanawake huipata wanapokaribia kuzaa.
Jeremiah 48:42-44
Hivyo Moabu itaharibiwa
"Hivyo adui atawaharibu watu wa Moabu"
katika mwaka wa
"Mwaka" inatafsiriwa kama "wakati" au "majira."
Analisema Bwana
"Alililosema Bwana"
Jeremiah 48:45
waliokwenda
Hawa ni watu walioweza kukimbia katika kipindi cha uharibifu wa Moabu.
Kivuli cha Heshiboni
sehemu salama katika mji wa Heshboni.
kwa kuwa moto utatoka Heshboni, miale toka katikati ya Sihoni
Hii ina maana kuwa uharibifu wa Moabu utaanza na kusambaa toka Heshiboni.
Paji la uso wa Moabu na juu ya vichwa vya watu wenye kujivuna
Hapa wanazungumziwa watu wa Heshboni na viongozi wao.
Paji la uso
Ni sehemu ya uso iliyoko juu ya macho. Ni ishara ya kujivuna.
Juu ya vichwa vya watu wenye majivuno.
Hapa wanazungumziwa watu muhimu wa Moabu kama wakuu na viongozi.
Jeremiah 48:46-47
Watu wa Kemoshi wameharibiwa
"Watu wa Kemoshi wameharibiwa na adui zao"
Kemoshi
"Kemoshi" ni mungu mkuu wa Wamoabu. Hapa Kemoni inawakilisha taifa la Moabu.
siku zijazo
Hizi ni siku za wakati ujao, zilizoitwa "siku za mwisho."
Analosema Bwana
"alilosema Bwana"
Jeremiah 49
Jeremiah 49:1-2
Taarifa ya jumla:
Tazama uandisi wa shairi.
Je Israeli hana watoto? Hakuna mrithi katika Israeli?Kwa nini Meloki ameitawala D=Gadi na watu wake waishio kwenye miji yake?
"Kuna Waisraeli wengi wa kurithi nchi ya Israeli. Watu waabuduo miungu ya uongo, Moleki hatakiwi kuishi Gadi."
Hivyo tazama
Hii inaongeza msisitizo wa jambo linalofuata. "Tazama na sikiliza"
Siku zinakuja
"Siku za baadae"
Anayosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Jeremiah 49:3-4
Piga kelele
Lia kwa nguvu
Binti za Raba
Wanawake katika mji wa Raba
Kwa nini unajisifu kwa nguvu zako?
"Hutakiwi kujisifu kwa sababu hauna nguvu."
Nani atakuja dhidi yangu?
"Mnafikiri kuwa hakuna atakayewashinda."
Jeremiah 49:5-6
Wewe
Hawa ni watu wa Amoni.
tawanyika
"kwenda kwa uelekeo tofauti"
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Jeremiah 49:7-8
Ana ushauri mzuri ... uelewa? Je hekima yao iliharibiwa?
Wazo moja linaelezewa katika njia mbili tofauti.
Je ushauri mzuri umepotea kwa wale wenye uelewa?
"Inaonesha kuwa hakuna tena watu wenye hekima Temana katika Edomu!"
Je hekima yao iliharibiwa?
"Ushauri wao hauna hekima tena."
Jeremiah 49:9-11
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu kitakachotokea Edomu.
Kama wavunaji wa zabibu watafika
"Wale wanaovuna zabibu huwa wanaacha baadhi kwenye mizabibu."
Wezi wakija
"Wezi wakija usiku, wataiba kwa kadiri wanavyohitaji"
Jeremiah 49:12-13
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu kitakachotokea Edomu.
Tazama
"Kuwa makini"
Kunywa kikombe
"pata adhabu"
Je unafikiri kuwa utakwenda bila kuadhibiwa?
"Unapaswa kufahamu kuwa utapata adhabu yangu kwa sababu ya dhambi zako."
wewe ... mwenyewe
Hawa ni watu wa Edomu.
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Jeremiah 49:14-15
Taarifa ya jumla:
Sasa Yeremia anazungumza na watu wa Edomu.
Nimesikia
Hapa Yeremia anazungumza.
Kumvamia
Hapa anazungumziwa Edomu.
Nimefanya
Huyu ni Bwana.
Wewe
Hili ni taifa la Edomu.
Jeremiah 49:16
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu kitakachotokea Edomu.
Kiota cha juu kama tai
"Kuishi sehemu salama kama tai juu ya milima mirefu"
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Jeremiah 49:17-18
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu kitakachotokea Edomu.
Tetemeka
"Kutetemeka kutokana na kuogopa na kuzungumza mambo yao yasiyopendeza"
Kama kupinduliwa kwa Sodoma na Gomora
"Kwa njia ambayo Sodoma na Gomora waliharibiwa"
Hakuna atakayeishi huko; hakuna atakayekaa pale
Bwana anazungumza jambo lilelile mara mbili kusisitiza kuwa Edomu Edomu haitakuwa na watu kabisa.
Jeremiah 49:19
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza kuhusu kitakachotokea Edomu.
Tazama
"Kuwa makini"
Kama simba
Hii ni namna nyingine ya kusema kuwa uvamizu utakuwa wa mkali na usiotarajiwa.
Je nani aliye kama mimi, na nani ataniita?
Bwana anatumia swali kuonesha udogo wa mwanadamu. "Hakuna aliye kama mimi, hakuna wa kuniamrisha."
kuita
"kumuamrisha mtu aje"
Ni mchungaji gani atakayeweza kuniamrisha mimi?
Bwana anatumia swali kuonesha kuwa hakuna wa kumshinda.
Jeremiah 49:20
Wenyeji wa Temana
Watu waishio Temana.
Watasukumwa nje hata kundi dogo
"Atawasukuma nje, hata kundi dogo"
Ardhi yenye malisho itakuwa sehemu iliyoharibiwa
"Atageuza sehemu zao wa malisho kuwa sehemu zilizoharibiwa"
Ardhi ya malisho
Hii ni sehemu yenye nyasi ambapo wanyama hula majani.
Jeremiah 49:21-22
Yao
Watu wa Edomu.
Kwenye sauti ya kuanguka kwaonchi ilitetemeka. Sauti ya dhiki ilisikika bahari ya Shamu
Hii inaonesha kuwa uharibifu wa Edomu utakuwa mbaya sana.
Tazama
"Kuwa makini"
kuvamia kama tai, kushambulia chini na kutandaza mbawa zake
Uvamizi utakuwa mbaya na usiotarajiwa.
Bozra
Huu ni mji.
Kuwa kama moyo wa mwanamke mwenye uchungu
"hisi kuharibiwa na hofu"
Jeremiah 49:23-25
Taarifa ya jumla:
Bwana anatuambia mambo yatakayotokea kwa watu wa Dameski.
Arpadi
Huu ni mji huko Sirya.
Waliyeyuka
"Walikuwa na hofu"
Wakawa wasumbufu kama bahari
Hisia zao zilifananishwa na bahari yenye mawimbi"
kama maumivu ya mwanamke anayejifungua
Namna mji unavyoteseka inafananishwa na mwanamke mwenye maumivu wakati wa kujifungua.
Kwa nini mji maarufu, mji ambao niliufurahia bado haujaondolewa?
"Haiwezekana mji maarufu, mji ambao ulikua na furaha bado una watu ndani yake."
Jeremiah 49:26-27
Taarifa ya jumla:
Bwana anatuambia mambo yatakayotokea kwa watu wa Dameski.
yake
"yake" inamaanisha Dameski.
Analosema Bwana wa majeshi.
"Alilosema Bwana"
Ben Hadadi
Hili ni jina la mfalme.
Jeremiah 49:28-29
Taarifa ya jumla:
Yeremia anazungumza juu ya mambo yatakayotokea kwa Kedari.
Kedari
Hili ni kundi la watu.
Hazori
Hii ni sehemu katika Biblia na ni Israeli ya sasa.
Jeremiah 49:30-31
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza juu ya mambo yatakatotokea kwa Kedari.
Kaa katika mashimo ya ardhini
"jifiche"
Wenyeji wa Hazori
"Watu wanaoishi Hazori"
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Kupanga mpango
"kuweka mpango"
Wao ... wao
Hawa ni watu walioona usalama.
Jeremiah 49:32-33
kutawanyika kwenye kila upepo
"kwenda katika uelekeo tofauti"
Nitawatawanya kwenye kila upepo wale wote wanyoao denge
"Kisha nitawatawanya katika uelekeo tofauti wale wasiotoo amri zangu"
Hakuna atakayeishi huko, hakuna binadamu atakayekaa huko
Maneno haya yanasisitiza kuwa Hazoro itaharibiwa kabisa.
Jeremiah 49:34-36
Taarifa ya jumla"
Bwana anazungumza juu ya mambo yatakayotokea kwa Elamu.
watu wa upinde
Ni watu ambao wana ujuzi wa upinde na mishale.
pepo nne toka kwenye kona nne
"pepo 4 toka kwenye kona 4"
kona nne za
"Pando zote, kila mahali".
Hakuna taifa ambalo wale waliotawanyika toka Elamu hawatakwenda.
"Wakimbizi toka Elamu watalazimika kutafuta makazi kila sehemu duniani."
Jeremiah 49:37-39
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza juu ya mambo yatakayotokea kwa Elamu.
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
tuma upanga
"tuma maadui ili wawaue"
Nitaweka ufalme wangu
"Nitaanzisha utawala wangu "
Jeremiah 50
Jeremiah 50:1-2
Taarifa ya jumla:
Tazama ushairi.
Kwa mkono wa Yeremia
"kwa matendo ya Yeremia"
wasababishe wasikie ... wasababishe wasikie
Kurudia huku kunasisitiza umuhimu wa amri hiyo.
Beli imeaibishwa, Merodaki imefadhaishwa. ,Mingu yao zimeaibishwa na sanamu zao zimefashaishwa
Sentensi hizi zinasisitiza kuwa Bwana ameiharibu miungu ya Babeli.
Beli ... Merodaki
Haya ni majina mawili ya miungu wakuu wa Babeli.
Jeremiah 50:3-5
Simama dhidi yao
Neno "yao" inamaanisha Babeli.
nchi yake
Neno "yake" inamaanisha Babeli.
Ishi ndani yake
Neno "yake" inamaanisha Babeli.
Siku hizo na wakati huo.
"siku hizi" au "wakati huo huo"
Watauliza
Hawa ni watu wa Israeli au Yuda.
tujiunge kwa Bwana
Hii lugha ya picha inayoonesha muunganiko wa kiroho kwa Bwana.
ambayo haitasahauliwa
"ambayo hakuna atakayeisahau"
Jeremiah 50:6-7
kundi la mwisho
Hii inawafananisha wana wa Israeli na kundi la kondoo waliopotea.
wakawameza wao
Hii inafananisha kuharibiwa na kuchukua kila kitu sawa na kitendo cha kula.
wamefanya dhambi
Hawa ni wana wa Israeli.
Jeremiah 50:8-10
Kama beberu anayeondoka
Hii inawafananisha wana wa Israeli ambao Bwana amewashauri waondoke mapema Babeli kama beberu anayeshangaa toka kwenye kundi.
Bebeli itakamatwa toka hapo
"Mataifa yataikamata Babeli"
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Jeremiah 50:11-13
Unaruka kama ndama anayekanyaga malisho yake
Hii inawafananisha watu wa Babeli kama ndama mwenye furaha.
Kukanyaga
sauti za jeshi linalokuja
Jirani yako kama farasi mwenye nguvu
Hii inafananisha furaha zao na furaha ambazo jirani zao wanapiga.
Hivyo mama yako ataaibika sana, aliyekuzaa anazalilika
Sentensi hizi zina maana moja zikisisitiza namna ambavyo aibu itakuwa kubwa.
jangwa, nchi kavu
Hii inasisitiza namna ambavyo nchi imekuwa tasa kabisa.
Tapatapa
Tetemeka kwa sababu ya hofu
Sonya
Kufanya sauti kama ya nyoka yenye maana ya kutokukubali.
Jeremiah 50:14-15
Taarifa ya jumla:
Bwana anawaambia maadui wa Babeli namna ya kuvamia.
Kila anayepindisha upinde
Hawa ni askari wanaopindisha upinde na mishale ili kupigana.
mpigeni
Hapa anazungumziwa Babeli.
Kuta zake zimeangushwa chini
"Mataifa yameangusha chini kuta zake"
Jeremiah 50:16
Taarifa ya jumla:
Bwana anawaambia maadui wa Babeli namna ya kuvamia.
yeye anayetumia mundu wakati wa mavuno.
"Mundu" ni kifaa kinachotumika wakati wa kuvuna nafaka. Bwana anasema kuwa kupanda na kuvuna hakutakuwepo Babeli.
Kila mtu arudi kwa watu wake ... warudi katika nchi yao
Maneno haya yanasisitiza kuwa wageni waende Babeli.
toka kwenye uoanga wa mtesi
Neno "upanga" linamaanisha adui ambao wataivamia Babeli.
Jeremiah 50:17-18
Israeli ni kondoo waliotawanyika na wamefukuzwa na simba
"Israeli ni kondoo ambao wametawanyishwa na simba"
mmeze
Hii inafananisha uharibifu wa Israeli kama kitendo cha kumeza.
alivunja mifupa yake
"Aliharibu Israeli"
Tazama, Ninataka
Neno "tazama" linamaanisha kuwa makini na kinachofuata.
Jeremiah 50:19-20
Nitarejesha
Bwana anazungumza.
atakula huko Karmeli na Bashani
"Israeli watakula chakula cha Karmeli na Bashani."
Siku hizo na wakati huo
"siku hizo" na "wakati huo huo"
uovu utaangaliwa katika Israeli lakini hautaonekana. Nitauliza juu ya dhambi za Yuda lakini hakuna atakayeziona
Sentensi hizi zina maana moja. Kwa pamoja zinasisitiza kuwa Bwana atasamehe kabisa maovu ya wana wa Israeli.
ovu utaangaliwa katika Israeli lakini hautaonekana.
"Bwana ataangalia uovu wa wana wa Israeli lakini hatauona"
Jeremiah 50:21-22
Merathaimu
Hili ni jina lingine la Babeli.
Pekodi
Hili ni jina lingine la Kaldayo.
Waweke kwenye upanga
"waue"
Analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
Jeremiah 50:23-24
Kwa namna gani nyundo ya mikono yote imekatwa vipande na kuharibiwa
"nyundo wa mikono yote" ni jeshi kubwa la Babeli ambalo litakwenda kuharibiwa.
Hofu
Ni hisia nzito ya uoga na mshtuko.
Ulikamatwa, Babeli
"Nilikukamata, Babeli"
Ulionekana na kukamatwa
"Nilikuona na kukukamata"
Jeremiah 50:25-26
Ghala
Majengo ambayo nafaka zinahifadhiwa.
kusanya juu yake kama chungu cha nafaka
"kusanya juu yake kile kilichobaki kama zinavyokusanywa nafaka"
Jeremiah 50:27-28
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza namna ya kuwaharibu watu wa Babeli na Kaldayo.
Ua ng'ombe zake wote
Askari vijana wanafanaishwa na ng'ombe kutokana na nguvu zao.
ng'ombe wao
"wao" inamaanisha Babeli.
wao ... yao
Hawa ni watu wa Babeli.
Wale
Hawa ni watu waliosalia toka Babeli ambao watawaambia wengine juu ya kisasi cha Bwana.
Jeremiah 50:29-30
Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza namna ya kuwaharibu watu wa Babeli na Kaldayo.
Yeye
Babeli anazungumziwa hapa.
Waoiganaji wake wataharibiwa
"Nitawaharibu wapiganaji wake"
Jeremiah 50:31-32
Tazama
Neno hili linatambulisha kitu hivyo umakini unahitajika.
Wanaojivuna
Bwana anawaelezea hivi watu wa Babeli.
Kwa kuwa siku yako imekuja ... muda ambao nitakuadhibu
Sentensi hizi zina maana inayofanana. "Kwa kuwa siku nitakayokuadhibu imefika"
Siku yako
Hii inaonesha muda ambao adhabu kubwa itakuja juu ya Babeli.
Nitaangaza
Bwana ataangaza
Moto katika miji yao
Hii inaonesha namna ambavyo uharibifu utatokea.
Jeremiah 50:33-34
Watu wa Israeli wamenyanyaswa
"Babeli wanawanyanyasa watu wa Israeli"
Kuwakamata
Hawa ni watu wa Israeli.
Walikataa
Hawa ni watu wa Babeli.
Kuwaacha waende
Hapa wanazungumziwa wana wa Israeli.
Jeremiah 50:35-37
Upanga uko juu ya Wakaldayo
"maadui wanakuja juu ya Wakaldayo"
Hili ndilo analosema Bwana
"Alilosema Bwana"
walijidhihirisha kama wapumbavu
Neno "kujidhihirisha" linaonesha kuwa matendo yao yalikuwa ya kipumbavu na watawekwa wazi ili kila mtu awaone.
watajawa na hofu
"hofu itawajaa"
watakuwa kama wanawake
"watakuwa dhaifu kama wanawake"
Chumba cha kuhifadhia
Chumba cha kuhifadhia ni sehemu ambayo vitu vya thamani vinawekwa.
Watachukuliwa nyara
"maadui watawateka nyara"
Jeremiah 50:38-40
maji yao
"maji" inawakilisha vyanzo vyote vya maji hasa mito inayopita kwenye mji.
Mbweha
Mbweha ni mbwa mwitu wanaopatikana Asia na Afrika.
Mbuni wataishi kwake
"mbuni" ni ndege mkubwa wa Afrika anayekimbia haraka lakini hawezi kupaa. Neno "kwake" linamaanisha Babeli.
Kwa muda wote hatakuwa mwenyeji. Kizazi hadi kizazi hakitaishi kwake.
Sentensi hizi zina maana inayofanana zikisisitiza kuwa Babeli haitakuwa na wenyeji kabisa.
Hataishi ndani yake
"hakuna atakayeishi kwake"
hakuna atakayeishi huko; hakuna atakayekaa kwake
Maneno haya yanamaana moja yakisisitiza kuwa Babeli haitakuwa na wenyeji kabisa.
Jeremiah 50:41-43
Tazama
Neno hili linaonesha kuwa makini kusikiliza anachosema Bwana.
taifa kubwa na wafalme wengi.
Hii inaonesha wakati ambao Medesi na Peru waliivamia Babeli katika mwaka wa 539 kabla ya Kristo.
kwa mpangilio kama watu wapambanaji
Namna ambavyo wapiganaji wanajipanga vitani.
Binti wa Babeli
Hawa ni watu wa Babeli.
Jeremiah 50:44
Tazama
Neno hili linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.
Walikwenda juu
Hawa ni wavamiaji toka kaskazini.
Kama simba
Hii ni jina nyingine ya kusema kuwa uvamizi ulikuwa wa nguvu na usiotarajiwa.
Kwa haraka nitawafanya waikimbie
Hapa wanazungumziwa watu wa Babeli ambao watawakimbia wavamizi.
ambaye atachaguliwa
"ambaye nitamchagua"
Nani kama mimi, na nani atakayeniita?
Bwana anatumia swali kuonesha udogo wa mwanadamu. "Hakuna kama mimi, hakuna wa kuniamuru."
kuita
Kumuamuru mtu aje
Ni mchungaji gani atakayepambana na mimi?
Bwana anatumia swali kuonesha kuwa hakuna kiongozi wa kumpinga au kumshinda.
Jeremiah 50:45-46
Maamuzi ambayo Bwana ameamua kwa ajili ya Babeli , maamuzi ambayo Bwana ameamua kwa ajili ya nchi ya Kaldayo
Sentensi hizi zina maana inayofanana. "Maamuzi ambayo Bwana ameamua kwa ajili ya Babeli na Kaldayo.
Watatolewa nje
Hii inamaanisha kuwa watu wa Babeli watatolewa kwenye nyumba zao wawe wanataka au hawataki.
Nchi zao zenye malisho zitaharibiwa
"Nitazigaribu nchi zao za malisho"
Sauti ya kuivamia Babeli itatikisa dunia
Sentensi hii inafananisha anguko la taifa lenye nguvu sa
Jeremiah 51
Jeremiah 51:1-2
upepo wa uharibifu
"uhasibifu usio na mwisho"
Leb- Kamai
Hili ni jina lingine la Babeli.
Kutawanyika
Kutawanyika ni kusambaratisha na kwenda uelekeo tofauti.
Siku ya maafa
"siku itakapoharibiwa"
Jeremiah 51:3-6
Usiwaruhusu wapiga mishale kupindisha upinde wao
"Usiwaruhusu wapiga mishale kuandaa upinde"
Jeremiah 51:7-8
Babeli ilikuwa kikombe cha dhahabu
"Babeli lilikuwa taifa lenye nguvu lililotumika kwa ajili ya hukumu"
wazimu
"kutokuwa na uwezo wa kufikiri vizuri"
Kuomboleza
Hiki ni kilio cha nguvu chenye huzuni.
Jeremiah 51:9-10
Hatia yao imefika mbinguni, imefikia mawingu
"Babeli ina hatia sana"
Bwana ametamka haki yetu
Bwana aliiadhibu Israeli kwa sababu ya makosa yao lakini sasa amewaacha wamrudie.
Jeremiah 51:11-12
Wenyeji
Hawa ni watu wanaoishi sehemu fulani.
Jeremiah 51:13-14
Kuishi katika vijito vingi vya maji
"wanafuraha na utajiri"
Uzi ... mfupi
"maisha yako yatakwisha haraka."
kama pigo la nzige
"kwa idadi kubwa ya askari"
kilio cha vita
Hizi ni kelele ambazo askari huzifanya anapokuwa vitani.
Jeremiah 51:15-16
anapopiga radi, kuna sauti ya maji katika mbingu
Maneno haya yanaifananisha sauti ya Bwana na sauti kubwa ya radi na mvua.
Ghala
Ghala ni sehemu ambayo vitu hihifadhiwa kwa ajili ya matumizi ya baadae.
Jeremiah 51:17-19
Kila mtu alikuwa kama mnyama bila maarifa
Hii inaonesha hisia za Yeremia kuwa watu wanaoamini sanamu ni wapumbavu.
Udanganyifu
Uongo
Jeremiah 51:20-21
Wewe
"Jeshi la Babeli"
Jeremiah 51:22-23
Wewe
"Jeshi la Babeli"
Jeremiah 51:24
Kwnye machi yako
"Ninyi watu wa Babeli mtaona"
Analosema Bwana
"ambalo Bwana alilisema"
Jeremiah 51:25-26
Mlima
Bwana anazungumza na Babeli kama vile ulikuwa mlima anaoweza kuzungumza nao kama mtu. "taifa lenye nguvu"
Wengine
Hawa ni watu wote ambao wamevamiwa na Babeli.
Maporomoko
Maporomoko ni mteremko mkali wa mlima au kilima.
Jeremiah 51:27-28
Bendera
Hii ni bendera kubwa ambayo askari huifuata katika vita.
Yeye
"Babeli"
Mini ... Ashkenazi
Hata ni majina ya mataifa au watu katika makundi.
Leteni farasi kama nzige
"Leteni farasi wengi na askari haraka."
Jeremiah 51:29
Nchi itatetemeka
Bwana aliahidi mapinduzi makubwa ambapo nchi nzima itatetemeka.
Kuwa katika maumivu
Babeli itakuwa katika maafa makubwa.
Jeremiah 51:30-32
Huu mji umechukuliza
"Adui wameumiliki mji wote."
Vivuko katika mito yalitekwa
Adui walimiliki sehemu zote za kuvukia.
Vivuko
Kivuko ni sehemu nyembamba katika mto ambayo watu hutumia kupita.
Kuchanganyikiwa
"Kutokuwa na uwezo wa kufikiri vizuri"
Jeremiah 51:33
Binti wa Babeli
Ni jina lingine linalowakilisha Babeli.
Kama sakafu ya kufikichia
Bwana analinganisha kufikichia na wakati wa starehe wa Babeli.
Muda wa kuvuna utakuja kwake
Kuvuna ni matokeo ya matendo ambayo watu waliyafanya mwanzo. "Babeli itaadhibiwa."
Jeremiah 51:34-35
Amenikausha na kunifanya kuwa bakuli tupu
Babeli amechukua kila kitu cha Israeli.
Amenimeza
Yerusalemu inafananisha uharibifu wake na kitendo cha kumezwa.
Kama Joka
Hii inamfanaisha Babeli na Joka.
Anashibisha tumbo lake kwa chakula kizuri.
Hii inaelezea kuwa Babeli amechukua kila kitu toka kwa Israeli.
Amenitoa nje.
Ambacho Babeli hakukipenda baada ya kuchukua kila kitu ni kutupa vyakula vya zamani toka kwenye chugu.
Wenyeji wa Kaldayo
"watu walioishi Kaldayo."
Jeremiah 51:36-37
Taarifa ya jumla:
Hapa Bwana anaanza kujibu ombi la Yeremia katika mstari wa 34 na 35.
Miundo ya saruji
Haya ni majengo ambayo yamekuwa kama uchafu.
Kundi la mbweha
"nyumba kwa ajili ya mbwa mwitu"
maafa
"sehemu mbaya ya kuishi"
Sonya
Hii ni sauti inayoonesha kutokukubali.
Jeremiah 51:38-40
Nguruma
Hii ni sauti ya juu anayoitoa simba.
Ngurumo
Hii ni sauti ya kitisho inayotengenezwa na wanyama.
Analosema Bwana
"ambalo alilisema Bwana"
Jeremiah 51:41-42
Bahari ... mawimbi yavumayo
Maadui wa Babeli wamewakamata. "Mawimbi" yanawakilisha watu wengi wanaoivamia Babeli.
Jeremiah 51:43-44
Miji yao
"Miji ya Babeli"
Nitamuadhibu Beli
Beli alikuwa mungu wa Babeli na anawakilisha nchi nzima na watu wanaoiabudu.
toka kwenye kinywa chake alichokimeza
Bwana analinganisha sadaka na kafara zote a Beli na vitu alivyovila.
Mataifa hayatakwenda tena
Bwana anayafananisha mataifa mengi yanayokwenda bBabeli kutoa sadaka kwa beli kama mto unatotembea.
Jeremiah 51:45-46
Taarifa zilizosikika
Taarifa walizozisikia watu.
Kiongozi atampinga kiongozi.
Viongozi wanawakilisha taifa lililo chini ya utawala wao.
Jeremiah 51:47-49
Tazama
"kuwa makini"
Nchi yake yote
"Wato wote wa Babeli"
Mbingu na nchi
Mbingu na nchi vimetazamwa kama watu.
Analosema Bwana
"ambalo Bwana alilisema"
waliouawa
"watu waliouawa"
Jeremiah 51:50-51
Taarifa ya jumla
Yeremia anazungumza na watu wa Israeli katika sura ya 50.
matukano
"maneno ya kuumiza"
Jeremiah 51:52-53
Kilio
Kulia kwa sababu ya maumivu au huzuni.
Hata ... kwake
Hii ni njia ya kusema kuwa ni vigumu Babeli kuepuka hukumu ya Bwana.
Jeremiah 51:54-56
Sauti ya dhiki inatoka Babeli, anguko kuu toka kwenye nchi ya Wakaldayo
Wazo moja linaelezewa kwa njia mbili ili kuonesha msisitizo.
Sauti ya adui ni kama mawimbi ya maji mengi
Sauti ya maadui wanaokuja itakuwa kubwa sana.
mashujaa wake wamekamatwa
"Wamewakamata mashujaa wake."
Jeremiah 51:57-58
Yeye ... wao
Hawa ni watu wa Babeli.
Jeremiah 51:59-60
Seraya ... Neria ... Maaseya
Haya ni majina ya watu.
Jeremiah 51:61-62
Hakutakuwa na wenyeji, watu au wanyama
Wanyama wanaozungumziwa hapa ni wanyama ambao wanaishi na watu.
Jeremiah 51:63-64
Babeli itazama kama hivi
"Babeli itapotea kama jiwe hili linavyopotea."
Jeremiah 52
Jeremiah 52:1-3
Hemutali
Hili ni jina la mwanamke.
Libna
Hili ni jina la mji.
Yeremia
Huyu ni Yeremia mwingine na sio nabii Yeremia aliyeandika kitabu hiki.
Yeye
Huyu ni Sedekia anazungumzwa hapa.
Jeremiah 52:4-5
Ikawa
Hii imetumika hapa kuonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
katika mwaka wa tisa
"katika mwaka wa tisa"
katika mwaka wa kumi, siku ya kumi ya mwezi
Huu ni mwaka wa kumi kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwanzo wa Januari katika kalenda ya magharibi.
Waliweka kambi juu uakr
"jeshi la Nebukadreza liliweka kambi juu ya Yerusalemu"
Mpaka mwaka wa kumi na moja
"mpaka mwaka wa kumi na moja"
Jeremiah 52:6-8
Katika mwaka wa nne, siku ya tisa ya mwaka huo
Huu ni mwezi wa nne kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tisa ni karibu na mwanzo wa Julai kwa kalenda ya Magharibi.
Mji
Huu ni mji wa Yerusalemu.
ulivunjwa
Watu wa Babeli waliubomoa ukuta uliozunguka mji.
kati ya kuta mbili
Hizi ni kuta mbili ukuta wa bustani ya mfalme na ukuta wa mji.
uwazi
"tambarare"
Jeremiah 52:9-11
Ribla
Huu ni mji.
mbele ya macho yake
"mbele yake"
Jeremiah 52:12-14
katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi
Huu ni mwezi wa tano kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwazo wa mwezi Agusti kwa kalenda ya Magharibi.
mwaka wa kumi na tisa
"katika mwaka wa kumi na tisa"
Nebuzaradani
Hili ni jina la mtu.
Walinzi
Hawa ni watu ambao kazi yao ni kumlinda mtu.
Jeremiah 52:15-16
Mafundi
Hawa ni watu ambao wanatengeneza vitu vizuri vinavyotumika katika kumuabudu Bwana.
Nebuzaradani
Hili ni jina la mtu.
watu masikini katika nchi
"watu masikini katika nchi"
Jeremiah 52:17-19
Bahari
Hivi ni vyombo vya maji vinavyotumika katika kumwabudu Bwana.
Jeremiah 52:20-21
Dhiraa
Dhiraa ni kipimo kinachotumika kupimia urefu au umbali.
Mashimo
Hii inamaanisha kuwa nguzo huwa na nafasi iliyowazi katikati.
Jeremiah 52:22-23
upande
Hii ni sehemu ya juu ya kila nguzo.
Jeremiah 52:24-25
Seraya
Hili ni jina la mtu.
Walinda lango
Mlinda lango ni mtu anayelinda katika lango.
uandaaji
"kujiandikisha" inamaana ya kwenda kwenye kazi.
Jeremiah 52:26-27
Nebuzaradani
Hili ni jina la mtu.
Ribla
Hili ni jina la mji.
Jeremiah 52:28-30
saba ... kumi na nane ... ishirini-tatu
7 ... 18 ... 20-3
Nebuzaradani
Hili ni jina la mtu.
3,023 ... 832 ...745 ... 4,600
elfu tatu na ishirini na tatu ... mia nane na thelathini na mbili ... mia saba na arobaini na tano ... elfu nne na mia sita.
Jeremiah 52:31
Katika mwaka wa thelathini na saba
mwaka wa saba
Katika mwezi wa kumi na mbili,siku ya ishirini na tano ya mwezi
Hii ni siku ya kumi na mbili na mwezi wa mwisho kwa kalenda ya Kienrania.
Ikawa
Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Evil Merodaki
Alikuwa mfalme wa Babeli baada ya Nebukadreza.
Jeremiah 52:32-34
Aliongea nae kwa ukarimu
"Evil Merodaki aliongea na Yehoyakini"
kiti kilicho na heshima sana
"kiti ambacho meza yake ilikuwa karibu na kiti cha Evil Merodaki."