Deuteronomy
Deuteronomy 1
Deuteronomy 1:1-2
zaidi ya Yordani
Hii urejea kwa nchi kuvuka mto wa Yordani, mashariki mwa Israel. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati alipozungumza na wanaIsraeli.
Sufu...Parani...Tofeli...Labani...Hazarothi...DiZahabu
Haya ni majina ya sehemu.
Ni safari ya siku kumi na moja kutoka Horebu... kwenda Kadeshi ya Barnea.
"Huchukua siku kumi na moja kutembea kutoka Horebu...kwenda Kadeshi ya Barnea"
Kumi na moja
11
Deuteronomy 1:3-4
Ilitokea katika mwaka wa arobaini, katika mwezi wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, ambayo Musa alizungumza.
"Walikuwa wameishi jangwani miaka 40, miezi 11, na 1 siku, wakati Musa alipozungumza"
Arobaini
40th
katika mwezi wa kumi na moja, katika siku ya kwanza ya mwezi.
Huu ni mwezi wa kumi na moja wa Kiabrania. Siku ya kwanza iko karibu katikati mwa mwezi Januari kwa kalenda za Magharibi.
kumi na moja
11th
Yahwe alikuwa amevamia
"Yahwe alikuwa amewawezesha wanaisraeli kushinda"
Sihon...Og
Haya ni majina ya wafalme.
Heshbon... Ashtarothi ya Edrei
Haya ni majina ya miji
Deuteronomy 1:5-6
Zaidi ya Yordani
Hii urejea kwa nchi kuvuka mto wa Yordani, mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani aliposema hivi.
kuzunguma nasi
Neno "nasi" urejea kwa Musa na watu wengine wa Israel.
Umeishi muda wa kutosha katika nchi ya mlima
Hii ni nahau. "Hauhitaji kukaa karibu na mlima zaidi tenda.
Deuteronomy 1:7-8
Taarifa ya jumla
Musa anaendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile alichosema Yahwe kwao.
Geuka na anza safari yako
"Anza tena safari yako"
nchi ya mlima...Euphrates
Yahwe anaeleza maeneo katika nchi kwamba ameahidi kuwapa wanaisraeli.
nchi ya mlima
Hili ni eneo katika milima karibu na eneo ambapo Wamorites waliishi.
nchi ya chini
eneo la nchi ambayo liko chini na tambarare
Tazama
"Zingatia yale ninayoenda kusema"
Nimeweka nchi mbele yako
"Sasa naenda kukupa nchi hii"
kwamba Yahwe aliapa
Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine.
baba
Neno "baba" ni neno lenye maana sawa na mababu.
Deuteronomy 1:9-11
Taarifa ya jumla
Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israeli ambayo Yahwe alivyosema nao.
Niliongea nanyi kwa watkia huo
Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Maneno "kwa wakati huo" urejea kwa wakati wanaisrael walipokuwa Horebu, ambayo ni sawa kama mlima Sinai.
Siwezi kuwabeba mimi peke yangu
Hapa "kuwabeba" umaanisha "kuwaongoza ninyi" au kuwatawala ninyi." "Hii ni zaidi kwangu kuwaongoza mwenyewe"
kama umati wa nyota za mbinguni
Hii ni kutia chumvi ambako kunamaanisha Mungu ameongeza idadi ya wanaisraeli
mara elfu
Maneno "mara elfu" ni fumbo la "nyingi sana"
elfu
1000
Deuteronomy 1:12-14
Taarifa ya jumla
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli
Lakini ni kwa namna gani mimi peke yangu nibebe shehena zenu, mizigo yenu, na mizozo yenu?
Musa anatumia swali kusisitiza kwamba hawezi kutatua shida zao yeye mwenyewe. Swali hili la kejeli linaweza kutofasiriwa kama taarifa.
beba shehena zenu, mizigo yenu
Musa anazungumza kama shida za watu na malalamiko aliyohitaji kushughulikia vilikuwa vitu vizito ambavyo alikuwa amebeba.
migogoro yenu
"mabishano yenu" au "kutokubaliana kwenu"
watu wa tabia nzuri kutoka kila kabila
"watu ambayo watu wa kila kabila la Israeli huwatii"
Deuteronomy 1:15-16
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli.
na watu wa tabia nzuri
"na watu ambao watu wako waliwaheshimu."
maelfu...mamia...hamsini...makumi
"ya makundi ya 1,000... ya makundi ya 100...ya makundi ya hamsini... na makundi ya 10"
nahodha...,maafisa
Hivi ni vyeo kwa viongozi tofauti katika serikali ya Israeli.
kabila kwa kabila
"kutoka kila kabila lenu"
hukumu kwa haki kati ya mtu na ndugu yake
"fanya sawa na maamuzi ya haki kuhusu migogoro wanaisraeli walio nayo wao kwa wao"
Deuteronomy 1:17-18
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na waamuzi, basi amri ni wingi.
Hautaonesha upendeleo
"Usioneshe upendeleo"
utasikia madogo na makubwa sawasawa
Huku kulikokithiri kuwili "madogo" na "makubwa" uwakilisha watu wote.
Hautaogopa uso wa mtu
Hapa neno "uso" ni neno badala ya mtu kamili. "Hauta" ni amri. "Usimuogope yeyote"
kwa wakati ule
Hii umaanisha wakati walipokuwa huko Horebu, katika mlima wa Sinai.
Deuteronomy 1:19
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israel walifanya.
jangwa la ajabu mliloliona
"jangwa kubwa na hatari ambalo mlivuka"
Deuteronomy 1:20-21
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel ambacho kizazi cha awali cha wanaisrael walifanya.
Tazama...Mungu wenu...mbele yenu;nenda juu, miliki...baba zenu...kwenu; usiogope, wala kukatishwa tamaa.
Musa anazungumza na wanaisraeli kama alikuwa anazungumza na mtu mmoja, basi fomu hizi zinapaswa kuwa umoja, siyo wingi.
ametayarisha nchi mbele yenu
"sasa anawapa nchi hii kwenu."
Deuteronomy 1:22-24
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya.
watu kumi na mbili
"12 wanaume"
Waligeuka na kwenda
"Waliondoka eneo hilo na kwenda"
bonde la Eshcoli
Hili ni bonde katika mji wa Hebroni, ambao uko kusini mwa Yerusalemu.
waliutafuta
"walitazama kwa ajili ya maeneo wataweza kuvamia"
Deuteronomy 1:25
Taarifa ya ujumla:
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya
Walichukua
"Wanaume 12 walichukua"
walichukua baadhi ya mazao ya nchi katika mikono yao
"walichukua baadhi ya mazao ya nchi"
walileta kwetu neno na kusema
Msemaji anazungumza kama vile "neno" vilikuwa vitu halisi ambavyo mtu fulani angeweza kuleta.
walisema, Ni nchi nzuri ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi!
Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutofasiriwa kama nukuu ambayo siyo ya moja kwa moja. "kusema kuwa nchi ambayo Yahwe Mungu wetu alikuwa anatupa ilikuwa nzuri"
Deuteronomy 1:26-28
Taarifa ya ujumla:
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya.
Bado mlikataa kuvamia
Mungu aliwaamuru wanaisraeli kuvamia na kuwamaliza Wamorites, lakini wanaisraeli waliwaogopa na kukataa kupigana nao.
katika mkono wa Wamorites
Hapa "katika mkono" anamaanisha kuwapa Wamorites nguvu juu yao.
Tuende wapi sasa?
Hapa swali hili linasisitiza namna gani walikuwa wameogopa. Swali hili la fumbo linaweza kutofasiriwa kama maelezo.
kufanya mioyo yetu kusinyaa
Hii inamaanisha kwamba waliogopa.
na yenye boma kuelekea mbinguni
Huku ni kutia chumvi ambako kunasisitiza namna ya watu waliovyotishwa walivyokuwa kwa sababu miji ilikuwa mipana na imara.
yenye boma kuelekea juu
"kuwa na kuta ambazo ziko juu kama"
wana wa Anakimu
Hawa ni wazao wa Anak watu ambayo walikuwa wakubwa na katili
Deuteronomy 1:29-31
Taarifa ya ujumla
Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi kilichopita cha Israel kilivyofanya.
Nilikuambia
"Niliwambia mababu zenu"
mbele ya macho yenu
Hapa maneno haya "mbele ya macho yenu" urejea kile walichokiona.
ulichokiona...Yahwe Mungu wenu aliwabeba...mlienda...mlikuja
Musa anazungumza na wana Israel kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano ya "wewe" na "vyako" ni umoja.
Yahwe Mungu wenu aliwabeba, kama mtu anavyombeba mtoto wake.
Hapa kujali kwa Yahwe kwa watu wake kunalinganishwa kama kwa baba. "Yahwe Mungu wenu amewajali, kama baba anavyomjali mtoto wake"
mpaka ulipokuja katika eneo hili
"mpaka ulipokuja katika nchi hii ambayo Mungu ameahidi kukupa"
Deuteronomy 1:32-33
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israel kilivyofanya.
Yahwe Mungu wenu...yupi alienda mbele yenu
Musa anawakumbusha wao kwa njia za Yahwe alivyoenda mbele ya Israel wakati ya safair zao wakati zamani.
tengeneza kambi
"weka mahema yenu"
Deuteronomy 1:34-36
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini Yahwe alivyosema nao.
alisikia sauti ya maneno yao
"alisikia kile mlikuwa mnasema"
aliapa na kusema
Mungu alifanya kiapo si kuwaruhusu wale walioasi dhidi yake kuingia nchi aliyowaahidia kuwapa.
utaona
"utaingia"
muokoe Kalebu
"isopokuwa Kalebu"
Jephunnehi
Hili ni jina la baba yake na Kalebu.
alimfuata kikamilifu Yahwe
Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine.
Deuteronomy 1:37-38
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya.
Yahwe alikuwa na hasira nami kwa sababu yako
Hii urejea kwa wakati Musa aliposhindwa kutii kile Yahwe alichokuwa amemwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa na hasira na watu wa Israel.
Nun
Hili ni jina la baba yake Yoshua
yupi asimamae mbele yako
Kwanini Yoshua anasimama mbele ya Musa kunaweza kutajwa kwa ufasaha. "yupi anasimama mbele yako kama mtumishi" au "yupi anayekusaidia"
Deuteronomy 1:39-40
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha Israel kilichofanya.
hakuna maarifa mazuri au mabaya
Hawajui bado kipi kizuri na kipi kibaya.
geuka na anza safari yako
"geuka nyuma na uende tena kwa njia uliopitia"
Deuteronomy 1:41-42
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya
kufanya dhambi dhidi ya Yahwe
"tumeasi dhidi ya Yahwe kwa kutomtii yeye"
tutamfuata
"tutamtii"
kuvamia nchi ya mlima
Hapa maneno "nchi ya mlima" uwakilisha watu ambao wanaishi huko. "kuwavamia watu wanaoshi kwenye nchi ya mlima."
kwa kuwa sitakuwa na wewe, na utashindwa na adui zako
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. "maadui zako watakushinda kwa sababu sitakuwa pamoja nawe."
Deuteronomy 1:43-44
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
kuvamia nchi ya mlima
Haya maneno "nchi ya mlima" husimama kwa ajili ya watu ambao wanaishi huko. "wavamie watu ambayo wanaoishi kwenye nchi ya mlima"
kuwafukuza kama nyuki
Nyuki ni mdudu mdogo, arukae kwa kundi kubwa na kuuma watu wanaowatishia. Hii inamaanisha kwamba Wamorites wengi waliwavamia askari wa Israeli kwamba wanapaswa kuacha vita.
kukupiga chini huko Seir, mbali kama Hormah
"kukupiga wewe chini katika nchi ya Seir na kukufukuza wewe mbali kama mji wa Hormah"
kukupiga wewe chini
"kuua askari wengi wako"
Deuteronomy 1:45-46
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya.
kurudi
"kurudi Kadeshi"
Deuteronomy 2
Deuteronomy 2:1-3
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya.
Kisha tuligeuka na kuanza safari yetu
"Kisha tuligeuka nyuma na kwenda"
tulienda nyuma Mlima wa Seir kwa siku nyingi
Maana zinazowekana ni 1) Wanaisraeli walisafiri karibu na mlima wa unaoitwa Seir kwa muda mrefu 2) Wanaisraeli walitangatanga katika mkoa unaoitwa Mlima wa Seir kwa muda mrefu.
Mlima Seir
Hili ni eneo la mlima kusuni mwa bahari mvu. Hii eneo linaitwa Edom.
siku nyingi
Lugha baadhi zinatofasiri hii kama "usiku mwingi"
Deuteronomy 2:4-5
Taarifa ya ujumla
Yahwe aendelea kuzungumza na Musa
wa ndugu zako, wazao wa Esau
"wa ndugu zako, wazao wa Esau"
Nimeutoa mlima Seir kwa Esau kama miliki
Yahwe anawakumbusha wanaisraeli kwamba amewapa eneo hili kwa wazao wa Esau.
Deuteronomy 2:6-7
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuelekeza Israel kwa namna watakavyowatendea wazao wa Esau
Utanunua chakula toka kwao
Yahwe anawapa ruhusa au maelekezo, siyo amri, na anawambia wasiibe. "Ninakuamuru kununua chakula kutoka kwao" au "kama unahitaji chakula, utanunua kutoka kwao"
kutoka kwao
"kutoka uzao wa Esau"
kwa pesa
Kama haya maneno hayaitajiki au kufanya tofasiri kutokuwa sahihi, unaweza kuyatoa.
Mungu wenu amewabariki ninyi...mikono yenu...kutembea kwenu...Mungu wenu...pamoja nanyi, na hamjapungukiwa.
Musa azungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano "wewe" na "vyao" ni umoja
nyie katika kazi zenu za mkono
Hii "kazi za mkono yenu" urejea kwa kazi yote waliofanya.
amejua kutembea kwenu
Hili ni neno lenye maana sawa kwa "anajua kile kilichotokea kwenu wakati mlipokuwa mnatembea."
miaka arobaini
40 miaka
hamjapungukiwa kitu chochote
Hii inatumika kama takwimu ya hotuba "umekuwa na kila kitu ulichohitaji."
Deuteronomy 2:8
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israel.
kwa ndugu zetu
"kwa ndugu zetu"
Elathi...Ezioni Geberi
Haya ni majina ya miji
tuligeuka
"tuliendelea kwenda"
Deuteronomy 2:9
Taarifa ya ujumla
Huu ni mwisho wa sehemu wa hotuba ya Musa akiwakumbusha wanaisraeli kwa namna Yahwe alivyowaongoza jangwani.
Usiwasumbue Moabu
Neno "Moabu" ni neno lenye maana sawa na watu wa Moabu.
Ar
Hili ni jina la mji huko Moabu
uzao wa Lutu
Watu wa Israel walihusiana na uzao wa Maobu. Maobu alikuwa mtoto wa Lutu. Lutu alikuwa mpwa wa Abrahamu
Deuteronomy 2:10-11
Taarifa ya ujumla
Mwandishi anaanza kutoa taarifa za nyumba kuhusu watu wa nchi. Haya maneno siyo sehemu hotuba ya Musa kwa wanaisraeli.
Emim aliishi...kuwaita wao Emim
Haya maneno yanatoa taarifa ya nyuma kuhusu watu wa Emim, walioishi kwenye nchi kabla ya Moabites. Lugha yako inaweza kuwa na njia maalumu ya kuweka alama ya taarifa ya nyuma.
Emim...Rephaimu
Haya ni majina ya watu wa makundi ambayo yalijulikana kama watu wakubwa
Anakimu
Hawa ni wazao wa Anak watu waliokuwa wakubwa na katili.
Deuteronomy 2:12
Taarifa ya ujumla
Hii inaendeleza taarifa ya nyuma kuhusu watu wa makundi tofauti walioishi katika nchi.
Horites
Hili ni jina la kundi la watu
kuwateketeza wao kutoka mbele zao
"Kuwaua wote hivyo hakuna yeyote kati yao waliobaki kuishi nao" au "kuwaondoa kutoka katika uwepo wao kwa kuwaua wote"
Deuteronomy 2:13-15
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli nini kilitokea kwao jangwani.
'Sasa inuka...Zeredi! hivyo
"Kisha Yahwe alisema, "Sasa inuka...Zeredi! hivyo" Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu ambayo siyo ya moja kwa moja. Kisha Yahwe alituambia kuinuka...Zeredi. Hivyo"
inuka
anza kufanya jambo fulani
kijito cha Zeredi
Mkondo huu utiririka kuelekea bahari iliyokufa kutoka kusini mashariki na utengeneza mpaka kati ya Edomu na Moabu.
Sasa siku
Neno "sasa" uweka alama ya badiliko kutoka hadithi kwenda taarifa ya nyuma kuhusu namna ya umbali wa watu wa Israel walivyotembea na kuhusu hasira ya Mungu kwa kizazi hicho. Kama lugha yenu ina njia ya kuonesha kwamba kile kifuatacho ni taarifa ya nyuma, unapaswa kuitumia hapa.
miaka thelasini na nane
miaka minane""- miaka 38
walikwisha enda kutoka kwa watu
Hii ni njia ya kusema kwa upole "amekwisha kufa."
mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume
Hapa "mkono wa Yahwe" urejea kwa nguvu ya Yahwe. "Yahwe alitumia nguvu zake kinyume" au Yahwe aliadhibu
Deuteronomy 2:16-19
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kwa kile kilichotokea nyuma
Wewe...umekuja...usihangaike...nakupa
Musa anazungumza kwa wanaisrael kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote "wewe" na amri "usihangaike" ni umoja
pita juu ya Ar
Hili ni jina la mji wa Moabu.
uzao wa Lutu
Hawa watu wa Israel walihusiana na uzao wa Ammoni. Ammoni alikuwa mtoto wa Lutu. Lutu alikuwa mpwa wa Abrahamu.
Deuteronomy 2:20-22
Taarifa ya ujumla
Hii mistari inaanza kutoa taarifa ya nyuma kuhusu makundi ya watu yaliyokwisha ishi kwenye nchi hiyo. Kama lugha yenu ina njia ya kuonesha kwamba kile kifuatacho ni taarifa ya nyuma, inapaswa itumiwe hapa.
Hilo pia linafikiriwa
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji.
Rephaimu
Hili ni jina la kikundi cha watu.
Zamzummim
Hili ni jina jingine la kikundi cha watu wa Rephaim.
Anakimu
Hili ni jina la kikundi cha watu
uwaharibu wao mbele ya Ammonites
"waliruhusu Ammonites kuwashinda wao" au "waliruhusu Ammonite kuwaua wote"
waliwaondoa na kuishi katika nchi yao
"Ammonites walichukua kila kitu Rephaim walivyokuwa wamemiliki na kuishi walikoishi Rephaim"
Horites
Hili ni jina la kikundi cha watu
waliwaondoa na kuishi katika eneo lao
"kuchukua kila kitu cha watu wa Horites walivyomiliki na kuishi ambako waliishi Horites"
Deuteronomy 2:23
Taarifa ya ujumla
Mwandishi anamalizia kufafanua namna Mungu alivyomuwezesha Esau kuchukua nchi ambayo Esau anaishi kwa sasa
Avvites...Caphtorim
Haya ni majina ya makundi ya watu
Caphtor
Hili ni jina la eneo. Inaweza kuwa jina jingine la kisiwa cha Krete kinachopatikana katika bahari ya Mediterranean.
kuwaangamiza
"kuwaangamiza Avvim"
waliishi kwenye eneo lao
"waliishi ambako Avvim waliwahi kuishi"
Deuteronomy 2:24-25
Taarifa ya ujumla
Mwandishi amemaliza kutoa taarifa za nyuma na sasa tena anaeleza kile Musa alisema kwa wanaisraeli
Sasa inuka
Yahwe anamwambia Musa nini watu wanapaswa kufanya. "Sasa inuka" au "Sasa nenda"
nenda katika njia yako
"endelea safari yako"
bonde la Arnon
Hili ni jina la bonde la mto wa Arnon. Utengeneza mpaka kati ya Moabu na Amorites.
Nimejiweka katika mkono wako
Haya maneno "katika mkono wako" unamaanisha "kwenye utawala au nguvu yako" "Nimekupa nguvu ya kushinda"
mkono wako...Kuanza kumiliki...kupigana...kukutisha...habari kuhusu wewe...kwa sababu yako
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama alikuwa mtu mmoja, hivyo mifano mingi ya "wewe" na "yako" na amri " kuanza kumiliki" na "kupigana" ni umoja.
Sihoni
Hili ni jina la mfalme.
Heshboni
Hili ni jina la mji.
pigana naye
"pigana dhidi yake na jeshi lake"
weka uoga na utisho
Haya maneno "uoga" na "utisho" unamaanisha kwa msingi kitu kile kile na kusisitiza kwamba uoga ni mkubwa
watu ambao wako chini ya anga lote
Hii ni nahau "watu katika kila nchi"
kutetemeka na kuwa katika uchungu
Haya ni maelezo ya wazo moja katika maneno mawili na kusisitiza kwamba watu wata "ogopa kwa uchungu"
Deuteronomy 2:26-27
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israel.
Nakutuma
Hapa "na" urejea kwa Musa
jangwa la Kedemoth
Hili ni jina la eneo karibu na bonde la Arnon.
Sihon...Heshbon
Haya ni majina ya mwanaume na eneo.
pamoja na maneno ya amani
Hapa "maneno ya amani" umaanisha "pamoja na toleo la amani" au "pamoja na ujumbe kutoka kwangu kuuliza kwa ajili ya amani."
Nitageuka wala kwa mkono wa kulia wala wa kushoto.
Haya maneno yanasisitiza kwamba wakati wote wataenda kwa upande uleule. Inaweza kutajwa katika kauli chanja. "Nitageuza uelekeo" au "Nita wakati wote katika njia"
Deuteronomy 2:28-29
Taarifa ya ujumla
Hii inaendeleza ujumbe wa Musa kwa mfalme Sihoni
Utaniuzia chakula mimi kwa pesa, ili kwamba niweze kula; nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa.
Musa anamwambia Sihon kwamba wanaisraeli hawataiba kutoka kwa Amorite na maombi kwamba Sihon na watu wake wanauza chakula na maji kwa wanaisraeli; hawapi amri. "Nategemea kulipa kwa ajili ya chakula ili kwamba niweze kula na kulipa kwa ajili ya maji ili niweze kunywa"
niuzie mimi...niweze kula...nime mimi...niweze kunywa
Musa anarejea kwa watu wa Israel kama walikuwa Musa mwenyewe. "Niuzie maji na watu wangu...tuweze kula...tupe...tuweze kunywa"
pekee niruhusu nipite kwa miguu yangu
"pekee niruhusu kutembea kupitia mkono wako"
Ar
Hili ni jina la eneo.
Deuteronomy 2:30-31
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu kwa kile kilichotokea nyuma.
Sihoni...Heshbon
Haya ni majina ya mwanaume na eneo
Mungu wako...uwezo wako
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" viko katika umoja
kufanya akili yake kuwa ngumu na kufanya moyo wake wa ukaidi
Ote maneno yanamaanisha kitu kilekile na kusisitiza kwamba Yahwe "alisababisha afanyike kaida sana."
kuwaokoa Sihon na nchi yake mbele yako
"kukupa Sihoni na nchi yake kwako"
anza kuimiliki, ili kwamba uweze kuirithi nchi yake
"chukua miliki ya nchi yake, ili kwamba uweze kuimiliki"
Deuteronomy 2:32-33
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kuhusu kile kilichotokea hapo nyuma
Sihoni
Hili ni jina la mwanaume.
Jahazi
Hili ni jina la mji wa Moabu
Deuteronomy 2:34-35
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu kuhusu kile kilichotokea hapo nyuma.
Tulichukua miji yake yote
"Tuliiteka miji yote ya mfalme Sihoni.
kuharibu kabisa kila mji
"kuua watu wote walioishi kwenye kila mji"
Deuteronomy 2:36-37
Aroer
Hili ni jina la mji ulioko kaskazini ukingoni mwa mto Arnon.
bonde la Arnon
"Arnon: ni jina la mto.
hapakuwa na mji mrefu kwetu
Taarifa hii iliyo chanya inatumika kusisitiza mafanikio yao kwenye vita. Hii inaweza kutajwa katika hali ya chanya. "tuliweza kuwashinda watu wa kila mji hata kama mji ulikuwa na kuta ndefu kuizunguka."
haukuenda
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo "wewe" ni umoja
Mto Jabboki
Hili ni jina la mto ambao ulitengeneza mpaka kati ya nchi ya Sihoni na nchi ya Ammonites.
Deuteronomy 3
Deuteronomy 3:1-2
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kwa kile kilichotokea hapo nyuma.
Ogi...Sihoni
Haya ni majina ya wafalme
Edrei...Heshbon
Haya ni majina ya miji.
Yahwe alisema nami, 'Usimuogope; ...nimekupa...chini ya utawala wako...Utafanya...kama ulivyofanya...huko Heshbon.'
Yahwe anazungumza na Musa kama Musa alikuwa mwanaisraeli, hivyo amri "usiogope" na mifano yote ya "wewe" na "yako" viko katika wingi.
muogope yeye...juu yake...watu wake na nchi yake
Hapa maneno "yeye" na "yake" urejea kwa Ogi
Nimekwisha kukupa ushindi
Yahwe anazungumza kwa kile atakachofanya kama vile amekwisha fanya.
Utafanya kwake kama ulivyofanya kwa Sihoni
Neno "kwake" ni neno la badala la "watu wake." "Utamharibu Ogi na watu wake kama ulivyofanya kwa Sihoni"
Deuteronomy 3:3-4
na watu wake wote waliwekwa chini ya utawala wetu
Hii inaweza kutajwa katika hali tendaji. "na Yahwe aliwaweka watu wa Ogi chini ya utawala wetu"
tulimpiga kufa
Neno "tu" urejea kwa neno badala la watu wake wote. "tuliwauwa watu wake wote"
hakuna hata mmoja wa watu wake walibaki
Hii ni neno rahisi linalotumika kusisitiza kwamba wanasraeli hawakuacha yeyote kuishi. "watu wake wote waliuwawa"
hapakuwa na mji mmoja ambao hatukuuchukua
Hii ni maradufu ya hasi ambayo inasisitiza kwamba walichukua miji 60 yote. "tulichukua kila mmoja ya miji"
miji sitini
"60 miji"
mkoa wa Argobi
Hili ni jina la mkoa ndani ya Bashani
Deuteronomy 3:5-7
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kwa kile kilichotokea hapo nyuma.
Hii ilikuwa ni miji yenye ngome yote
"Hii ilikuwa miji iliyolindwa yote"
badala ya
"kwa nyongeza" au "si pamoja"
Sihoni
Hili ni jina la mfalme.
Heshbon
Hili ni jina la mji.
kuharibu kikamilifu kila mji
"kuua watu wote walioishi kwenye kila mji"
Deuteronomy 3:8-10
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
nje ya mkono wa wafalme wawili
Hapa maneno "nje ya mkono wa" unamaanisha 'kutoka utawala wa." "kutoka utawala wa wafalme wawili" au "toka kwa wafalme wawili"
Amorites...Bashani...Edrei...Ogi
"Watu wa Amorite...nchi ya Bashani...mji wa Edrei...mfalme wa Ogi:
ng'ambo ya pili ya Yordani
Hii urejea kwa nchi kuvuka mto Yordani kuelekea mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati aliposema hivi: "mashariki mwa mto Yordani"
Mlima wa Hermoni...Sirioni...Seniri
Haya ni majina ya mlima ule ule ambao uko kaskazini mwa mpaka wa Bashani.
ya tambarare
Hii ni juu, nchi tambarare kati ya mto Arnon na Mlima Gileadi.
Salekah
Hili ni jina la mji uliokaribu na Edrei.
Deuteronomy 3:11
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
Kwa masalio...namna watu wanavyopima
Hii ni taarifa ya nyumba kuhusu mfalme Ogi
Tazama!
"Zingatia mambo muhimu ambayo naenda kukuambia"
Haikuwa kwa Rabbah..kuishi?
Mwandishi anatumia swali kuwakumbusha watu wa Israel kwamba wataweza kwenda Rabbab na kuona namna alivyofikia ukubwa Ogi. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo . Maana zinazowezekana ni 1) "Ilikuwa ni huko Rabbah, ...kuishi." 2)"Ni huko Rabbah... kuishi."
thiraa
Thiraa ni sentimeta 46
namna watu wanapima
"kulingana na thiraa watu wengi wanatumia"
Deuteronomy 3:12-13
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu kile kilichotokea hapo nyuma.
Ni eneo lilelile linaitwa nchi ya Rephaim
Mwandishi anaanza kuwasilisha taarifa ya nyuma kuhusu nchi ambayo watu wa Israeli waliiteka. Kama lugha yenu ina namna ya kuonesha kwamba kile kinachofuata ni taarifa ya nyuma, unapaswa kuitumia hapa.
Deuteronomy 3:14
Taarifa ya ujumla
Hii inaendeleza taarifa ya nyuma kuhusu nchi ambayo watu wa Israeli waliiteka.
Jair
Hili ni jina la mwanaume.
Geshunites na Maacathites
Haya ni makundi ya watu walioishi magharibi mwa Bashani.
Havvoth Jair
Mtofasiri anaweza kuweka maelezo haya kwa kusema: "Jina la 'Havvoth Jair' linamaanisha 'mahema ya kijijini Jair' au 'ulimwengu wa Jair"
Deuteronomy 3:15-16
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Nilimpa
Hapa "Ni" urejea kwa Musa.
kwa Machir
"kwa uzao wa Machir." Huyu ni mwana wa Manasseh. Alikufa kabla Musa hajatoa nchi hii.
bonde la Arnon
Hili ni jina la bonde la mto wa Arnon. Inatengeneza mpaka kati ya Moabu na Amorites.
Mto Jabbok
Hili ni jina la mto ambao ulitengeneza mpaka kati ya nchi ya Sihoni na nchi ya Ammonites.
Deuteronomy 3:17
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
Moja ya mipaka mingine pia
"Mpaka wa magharibi wa Rubeni na wilaya ya Gadi"
Chinnerethi
"bahari ya mchumvi." Hili ni eneo sawa kama "Bahari ya Galilaya" au "Ziwa la Genesareti"
Mlima Pisgah
Hili ni jina la mlima huko sehemu ya kaskazini wa mlima Abarimu
Deuteronomy 3:18
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Nilikuamuru kwa wakati huo
Musa anawakumbusha kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manasseh kwamba wanapaswa kuwasaidia waisraeli wengine kushinda nchi ambayo Mungu aliwaahidi.
tutapita tukiwa na silaha mbele
"tutachukua silaha zao na kuvuka mto Yordani mbele yao"
ndugu zenu, watu wa Israeli
"ndugu zenu wanaisraeli"
Deuteronomy 3:19-20
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza kwa makabila ya Reuben na Gadi na nusu ya kabila la Manasseh.
Yahwe awapa ndugu zenu pumziko
Mwandishi anazungumza kama uwezo wa kupumzika ulikuwa ni suala la kimwili ambalo linaweza kutolewa kama zawadi. Neno "pumziko" pia ni mfano kwa maisha ya amani ambayo hayana vita. "Yahwe awaruhusu ndugu zenu kupumzika" au "Yahwe awaruhusu ndugu zenu kuacha kupigana vita na kuishi kwa amani"
ng'ambo ya Yordani
Hii inarejea kwa nchi kuvuka mto Yordani, mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati aliposema hiki. "mashariki mwa mto Yordani."
kisha utarudi
Musa anasisitiza kwamba makabila mengine yanapaswa kumiliki maeneo yao kabla ya Yahwe ataruhusu haya makabila matatu kumili nchi yao. "kisha mtarudi peke yenu."
Deuteronomy 3:21-22
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea huko nyuma.
Macho yako yameona
Hapa "macho" urejea kwa Yoshua.
Deuteronomy 3:23-25
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu kuhusu kile kilichotokea huko nyuma
Niliwasihi
Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Hii inamaanisha alimuuliza Mungu kwa uhodari kabisa, kihisia.
kumuonesha mtumwa wako
Hapa "mtumwa wako" ni njia ya utulivu kuzungumza kwa mwingine na mamlaka makubwa.
mkono wako wa nguvu
Hapa neno "mkono" umaanisha utawala au nguvu.
kwa mungu yupi hapo...matendo?
Musa anatumia swali kusisitiza kwamba Yahwe ni Mungu pekee aliye na nguvu kufanya kazi alizozifanya. Swali hili linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "kwa kuwa hakuna mungu...matendo."
huko mbinguni au duniani
Huku kulikothiri mara mbili kwa pamoja unamaanisha "popote."
Ng'ambo ya Yordani
"magharibi mwa mto Yordani." Wakati Musa alizungumza haya maneno kwa Yahwe, alikuwa mashariki mwa mto Yordani huko Moabu.
Deuteronomy 3:26-27
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israel kile kilichotokea huko nyuma
Yahwe alikasirika juu yangu kwa sababu
Hii inarejea kwa wakati Musa hakutii kile Yahwe alimwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa amewakasirikia watu wa Israeli.
inua macho yako
Haya maneno "Inua macho yako" yako ni maneno ambayo yana maanisha kutazama.
Deuteronomy 3:28-29
Taarifa ya ujumla
Yahwe aendelea kuzungumza na Musa
Betho Peor
Hili ni jina la mji huko Moab karibu na mlima Pisgah
Deuteronomy 4
Deuteronomy 4:1-2
Ni karibu kukufundisha
Musa anawambia watu wa Israeli kile Mungu anataka wao kufanya.
kuwafanyia
"na kuwatii"
Hautayaongeza maneno ...wala kuyapunguza
Yahwe hataki watu wake kutengeneza sheria mpya, au kupuzia zile alizowapa tayari.
Deuteronomy 4:3-4
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
Macho yako yameona
Hapa "macho" urejea kwa watu wa Israeli
Kwa sababu ya Baali Peor
Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi. "kwa sababu ya dhambi ulifanya kwa Baali Peor"
Yahwe Mungu wako amewaangamiza kutoka kwenu
Musa anazungumza kwa watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo "yako" na "wewe" ni umoja.
wewe ulimshikilia Yahwe
Mwandishi anazungumza kama kumtegemea Yahwe na kumtii yeye kulikuwa kama kumshikilia mtu kimwili.
Deuteronomy 4:5-6
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Tazama
"Zingatia"
kwamba ufanye hivyo katikati mwa nchi
"kwamba uwatii wakati unaishi kwenye nchi"
zishike na kuzifanya
Haya makundi mawili ya maneno kwa msingi yana maanisha vilevile na kusisitiza kwamba watawaitii.
hii ni hekima yako na uelewa wako kwa mtazamo wa watu
Maneno "hekima" na "uelewa" ni maneno mbadala wa imani ya watu kwamba wanaisraeli walikuwa na hekima na uelewa kwa kile cha umuhimu. "hiki ndicho kitaonesha watu hekima yako na uelewa wako"
machoni pa watu
Maneno "machoni pa" unamaanisha "kwa mtazamo wa." Hii inamaanisha watu wengine watawatazama watu wa Israel kuwa na hekima.
hili taifa kubwa ni la watu wa hekima na uelewa.
Neno "taifa" ni neno kwa kwa ajili ya watu wa taifa hilo.
Deuteronomy 4:7-8
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
Kuna taifa gani jingine la vile liko hapo ...yeye? Kuna taifa gani jingine kubwa la vile liko hapo...leo?
Haya maswali yanaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Kwa kuwa hakuna taifa kubwa jingine...yeye. Hakuna taifa kubwa jingine leo."
Deuteronomy 4:9-10
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Zingatia peke na kuwa makini ... kujilinda, usisahau ... macho yako... moyo wako ... maisha yako... yafanye yajulikane kwa watoto wako na wana watoto wako ... uliyosimama mbele ya Yahwe Mungu wako
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama alikuwa mtu mmoja, hivyo mifano ya "wewe", "yako" na "mwenyewe," "linda," na "fanya ujulikane" ni umoja.
Zingatia kwa pekee na kwa makini ujilinda,
"Zingatia kwa makini na uwe na uhakika kukumbuka haya mambo daima"
usisahau...haziuwachi moyo wako
Haya maneno umaanisha kitu kilekile na kusisitiza kwamba watu wa Israel wanapaswa kukumbuka kile walichokiona.
macho yako yameoana
Hapa "macho " inasimama kwa nafsi.
Nikusanyie watu
"Walete watu kwa pamoja na walete kwangu"
Deuteronomy 4:11-12
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli historia yao.
pamoja na moto kwa moyo wa mbinguni
Haya maneno "Moyo wa" unamaanisha " katikati ya" au "sehemu ya ndani zaidi," na "mbingu" hapa urejea kwa anga. "pamoja na moto ambao ulienda angani"
kwa giza, mawingu, na giza nene
Hapa "giza nene" uelezea mawingu. "kwa nene, wingu la giza"
giza nene
Maana nyingine ni "wingu zito"
Deuteronomy 4:13-14
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli.
Alitangaza
"Yahwe alitangaza"
kwako
Hapa "kwako" urejea kwa wanaisraeli walioenda kwenye mlima Horebu.
katika nchi ambayo ulikuwa unavuka kuchukua miliki ya
"baada ya kuvuka mto wa Yordani na kuchukua miliki ya nchi"
Deuteronomy 4:15-18
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu Israeli
Kwa hiyo chukua tahadhari kubwa mwenyewe
Maana 1) "Kwa hiyo unahitaji kuwa makini namna unavyotenda" au 2) "Linda nafsi yako kwa makini."
usiwe fisadi mwenyewe
"usifanye kile kilichokibaya"
huenda kwa ardhi
tambaa juu ya ardhi"
Deuteronomy 4:19-20
Hautainua macho yako...na kutazama... na kusogezwa... Yahwe Mungu wako
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" na maneno "inua," "tazama," na "kusogezwa" ni umoja.
Hautainua ... na kusogezwa mbali kuabudu
Hii inaweza kutofasiri katika kauli. "Usi... na usimwaache yoyote akufanye uabudu" au " Usi...na usikubali mwenyewe kuabudu"
jeshi lote la mbinguni
"chochote unachoweza kuona angani." Hii ni njia nyingine wa kurejesha kwa jua, mwezi, na nyota.
ambayo Yahwe Mungu wenu amewapa ushiriki watu wote
Hii ni nahau. Musa anazungumza juu ya nyota kama zilikuwa vitu vidogo kama chakula ambacho Yahwe alikuwa anagawa na kuwapa makundi ya watu. "kwamba Yahwe Mungu wenu ameweka hapo kusaidia makundi yote ya watu."
aliwatoa kutoka tanuru la chuma
Musa anazungumza juu ya Misri na kazi ngumu wanaisraeli walifanya huko kama vile oveni ambayo chuma kinachomwa na wanaisraeli walikuwa ni chuma.
Deuteronomy 4:21-22
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli.
Yahwe alikuwa amekasirika juu yangu kwa sababu
Hii inarejea wakati Musa alishindwa kutii kile Yahwe alimwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa amekasirika juu ya watu wa Israeli. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi.
Yahwe Mungu wenu anawapa
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo "wewe" na "wako" ni umoja.
Deuteronomy 4:23-24
Zingatia mwenyewe
"Zingatia kwa makini"
Yahwe Mungu wenu amewakataza... Yahwe Mungu wenu
Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno, "wewe" na "wako" ni umoja.
Yahwe Mungu wenu ni Mungu wa moto wa mawindo, wivu.
Musa analinganisha namna Yahwe anafanya wakati anakasirika kwa njia ya moto unavyoharibu vitu. " Yahwe Mungu wenu atawahukumu kwa ukali na kuwaharibu kama moto ufanyavyo kwa sababu hataki muwabudu miungu mingine"
Deuteronomy 4:25-26
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
unazaa... Yahwe Mungu wenu
Maneno "wewe" na "wako" ni umoja hapa.
kuzaa
unakuwa baba wa, au unakuwa babu wa
kama mnakuwa na tabia mbaya wenyewe
"kama mnafanya vibaya." maneno ya kufanana yanaonekana katika 4:15
na fanya kile kilicho kibaya mbele ya Yahwe Mungu wenu, kumkasirisha hasira yake
Hii ni nahau. "na unamfanya Yahwe Mungu wenu kukasirika kwa kufanya kile anachosema ni kiovu"
Naita mbingu na dunia kushuhudia
Maana zinazowezekana ni 1) Musa anaita wote wale wanaoishi mbinguni na duniani kuwa mashahidi kwa kile anachosema au 2) Musa anazungumza na mbingu na dunia kama walikuwa watu, na anawaita kuwa mashahidi kwa kile anachokisema.
utaziongeza siku zako
Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu.
lakini utaangamiza kabisa
Kama inavyoonyeshwa katika 4:27, si kila mwisraeli atauwawa. Hapa "kuharibu kabisa" ni kusisitiza kwamba wanaisraeli wengi watakufa. "lakini Yahwe atawaangamiza wengi wao"
Deuteronomy 4:27-28
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Yahwe atawatawanyisha miongoni mwa watu
Musa anazungumza kama watu walikuwa mbegu ambayo Yahwe ataitawanyisha kuzunguka eneo. "Yahwe atawatuma ninyi kwa maeneo mengi tofauti na kuwalazimisha kuishi huko"
atawaongoza mbali
"atawatuma" au "atasababisha adui zenu kuwapeleka mbali"
kazi ya mikono ya watu, mbao na mawe
Hapa "mikono ya watu" urejea kwa wanaume wenyewe, na "kazi...mbao na mawe" kwa sanamu ambazo wamezichonga. "sanamu za mbao na mawe ambazo wanaume wamefanya"
Deuteronomy 4:29
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. Anazungumza kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "wako" ni umoja.
Lakini kutoka huko
"Lakini wakati mlipokuwa katika mataifa yale mengine"
utatafuta
Neno "u" hapa ni wingi.
wakati utakapo nitafuta
"wakati unapojaribu kumtafuta yeye" au " wakati unajaribu kumjua yeye"
kwa moyo wako na nafsi yako
Hii ni nahau "kwa ote....moyo" unamaanisha "kabisa" na pamoja na ote...nafsi" umaanisha "na utu wetu wote." Haya maneno yana maana ile ile.
Deuteronomy 4:30-31
yatakuwa yamekuja
"yametokea kwa"
katika siku zile
"baada ya hapo" au "kisha"
sikiliza sauti yake
Hapa "sikiliza" ina maana kusikia na kutii, na "sauti yake" urejea kwa Yahwe na kile anachosema. "tii kile anachosema"
Deuteronomy 4:32-33
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na amri "uliza sasa" ni umoja.
Imeshawahi watu kusikia ya Mungu anazungumza katikati mwa moto, kama umekwisha sikia, na kuishi?
Hapa watu wa Israeli wanakumbushwa kwa namna Yahwe amezungumza nao kwa njia ya ajabu siku za nyuma. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo.
sikiliza sauti ya Mungu anazungumza
Neno "sauti" ni maneno kwa ajili ya Mungu, alikuwa anazungumza. "Sikiliza sauti ya Mungu azungumzapo"
Deuteronomy 4:34
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
na kwa mkono wa ushujaa, na kwa mkono ulionyoshwa
Hapa "mkono wa ushujaa" na "mkono kunyoshwa" ni mifano ya nguvu ya Yahwe.
mbele ya macho yenu
Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima
Deuteronomy 4:35-36
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "wako" ni umoja.
Kwako mambo haya yalionyeshwa
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. "Yahwe aliwaonyesha mambo haya"
aliwafanya kusikia...aliwafanya kuona
"alihakikisha mnasikia...alihakikisha mmeona"
kuwafanya ... mlisikia
Musa anazungumza kama watu waliokuwa anaongea nao walikuwa ni watu alioongea nao kwenye mlima Sinai miaka mingi ya mwanzoni. Watu katika mlima Sinai kwa uhalisia walikuwa baba wa watu ambayo alikuwa anaongea maneno haya.
Deuteronomy 4:37-38
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja.
baba zako
Hii inarejea kwa Abraham, Isaka, Yakobo, na wana wa Yakobo.
pamoja na uwepo wake, pamoja na nguvu zake kuu
"pamoja na nguvu kuu ambayo huja kutoka kwenye uwepo wake" au "pamoja na nguvu kuu"
Deuteronomy 4:39-40
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja
iweke juu ya moyo wako
Hii ni nahau. "ikumbuke"
mbinguni zaidi na chini ya dunia
Haya maneno "mbinguni" na "duniani" uonyesha kukubwa kuwili na ina maanisha "kila sehemu."
kuongoza siku zako
Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. "kuweza kuishi maisha marefu."
Deuteronomy 4:41-43
Taarifa ya ujumla
Hotuba ya Musa, ambayo inaanza katika 1:5, imekwisha,na mwandishi aendelea na simulizi ambayo inakoma katika 1:5
Bezeri... Ramothi... Golani
Haya ni majina ya miji
Deuteronomy 4:44-46
Hii ni sheria
Hii inarejea kwa sheria za Musa zitakazotelewa katika sura zifuatazo.
Beth Peori
Hili ni jina la mji huko Moabu karibu na mlima Pisgah.
Sihoni...Amorites... Heshboni
"Mfalme Sihoni...watu wa Amorite...mji wa Heshboni."
Deuteronomy 4:47-49
nchi yake
nchi ya mfalme Sihoni
ng'ambo ya Yordani kuelekea mashariki...upande wa mashariki ng'ambo ya Yordani
Hii inarejea kwa nchi kuvuka mto Yordani, kuelekea mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa Mashariki mwa Yordani wakati aliposema hivi. "kutoka upande wa mto Yordani kuelekea mashariki... upande wa mashariki kutoka upande wa mto Yordani"
Aroeri
Hili ni jina la mji.
bonde la Arnon
Hili ni jina la eneo.
Mlima Sioni...Mlima Hermoni
Haya ni majina ya milima.
Deuteronomy 5
Deuteronomy 5:1-3
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
kuitwa kwa Israeli yote
Musa alitaka kila mmoja Israeli kusikiliza na kutii maneno yake, lakini sauti yake inawezekana haikuwa kubwa kwamba kila mmoja kumsikia.
kwamba nitazungumza katika masikio yenu leo
Hapa "masikio" urejea kwa mtu ote. Huu mfano unasisitiza kwamba watu wanajua kile Musa alichosema kwao, ili kwamba wasitende dhambi na kisha wasiseme hawakujua kuwa walikuwa wanafanya dhambi.
Yahwe hakufanya agano hili na baba zenu
Maana zinawezekana ni 1) Yahwe hakufanya pekee agano na wale waliokuwa huko Horebu; agano pia lilikuwa na kizazi cha badae cha Israeli au 2) Yahwe hakufanya agano hili na baba zenu wa mbali, kama vile Abrahamu, Isaka, na Yakobo; badala yake, agano hili lilianza na wanaisraeli huko Horebu.
Deuteronomy 5:4-6
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
ana kwa ana
Tumia lugha ya mifano kwa watu wawili ambao wana karibiana na kutazamana wakati wanazungumza wao kwao wao.
juu ya mlima
"juu ya mlima"
kwa wakati huo
Musa anarejea kwa tukio ambalo lilitokea yapata miaka 40 ya mapema.
nje ya nyumba ya utumwa
Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri ambako watu wa Israeli walikuwa watumwa.
Deuteronomy 5:7-8
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu kile Yahwe amewaamuru. Maneno "uta" na "hauta" amriwa. Anazungumza na wanaisraeli kama vile walikuwa mtu mmoja.
Hamtakuwa na miungu mingine mbele zangu
"Haupaswi kuabudu miungu yoyote lakini mimi"
hiyo iko chini ya dunia, au hiyo iko chini ya maji
Hii inaweza kufanywa kwa uwazi. "kwamba iko katika dunia chini ya miguu, au iko kwenye mahi chini ya dunia"
Deuteronomy 5:9-10
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja.
Hautavipigia magoti au kuvitumia
"Hautaabudu sanamu za kuchonga au fanya kama wanavyowa waamrisha"
Hauta
"Hapana"
Mimi...ni Mungu wa wivu
"Mimi...nataka mniabudu mimi pekee"
kwa maelfu, kwa wale wanapendao
Tofasiri zingine usoma " kwa vizazi elfu ambao wananipenda." Neno "elfu" ni mfano wa namba inayozidi kuhesabu.
Deuteronomy 5:11
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano ya "wewe" na "yako" ni umoja
Hautalichukua jina la Yahwe
"Hautalitumia jina la Yahwe"
kwa utupu
"kutojali" au "kutokuwa na heshima sahihi" au "kwa kusudi baya"
Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia
Hii inaweza kutajwa katika hali chanya. "Yahwe atamchukulia kuwa ana hatia" au "Yahwe atamhukumu"
Deuteronomy 5:12-14
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja
kuiweka takatifu
"weka wakfu kwa Mungu"
fanya kazi yako yote
"fanya majukumu yako za kawaida"
siku ya saba
"Siku ya 7" Hapa "siku ya saba" ni namba ya kawaida kwa ajili ya saba
Juu yake hautafanya
"Siku ile usifanye"
ndani ya malango yako
Hapa "malango" ni rejeo ya mji wenyewe. "ndani ya jamii yako" au " ndani mji wako" au "kuishi pamoja nanyi"
Deuteronomy 5:15
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja
Utaita akilini
Huu ni mfano. "Unapaswa kukumbuka"
kuwa mkono hodari na mkono ulionyoshwa
Hapa "mkono hodari" na "mkono uluonyoshwa" ni mifano ya nguvu za Yahwe. Tofasiri hii kama ilivyo katika 4:34.
Deuteronomy 5:16
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja
Deuteronomy 5:17-20
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja
Hautazini
"Hautalala na yoyote tofauti na mwenzi wako"
Hautashuhudia uongo dhidi ya jirani yako
"Hautasema uongo kuhusu mtu yeyote"
Deuteronomy 5:21
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja
Deuteronomy 5:22
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile alichosema Yahwe.
Deuteronomy 5:23-24
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile kilichotokea nyuma
kusikia sauti
Neno "sauti" ni maneno kwa ajili ya mlio wa sauti au kwa ajili ya mtu aliyekuwa anazungumza. "kusikia mlio wa sauti" au "kusikia Yahwe anazungumza"
Deuteronomy 5:25-27
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli kile walichokuwa wamesema kwa Musa
Lakini tufe?
Walikuwa wameogopa kwamba watakufa kama alizungumza nao. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Tunaogopa kuwa tutakufa"
Nani badala yetu yuko hapo...amefanya?
Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Hakuna watu badala yetu...wamefanya"
nyama yote
Hili ni neno kwa ajili ya "watu wote" au "viumbe vyote."
Deuteronomy 5:28-30
wakati ulipozungumza na mimi
Hapa "mimi" urejea kwa Musa
Oh, kwamba walikuwa
Kama lugha yako ina maneno ya kueleza hamu ya nguvu kwa ajili ya kitu fulani, unaweza kutumia hapa.
Deuteronomy 5:31
Taarifa ya ujumla
Yahwe aendelea kuzungumza na Musa
utawafundisha
"utawafundisha watu wa Israeli"
Deuteronomy 5:32-33
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Utaishika
Musa anawapa amri watu wa Israeli.
hautageukia mkono wa kulia wala kushota
Hii inalinganisha mtu kutomtii Mungu na mtu kuiacha njia sahihi.
kuongeza siku zako
Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu.
Deuteronomy 6
Deuteronomy 6:1-2
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea na hotuba kwa watu wa Israeli anaanza 5:1. Kuanzia mstari wa 2, anazungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja.
kushika kwa nguvu...kushika
"utii kwa nguvu...kutii"
kwenda zaidi ya Yordani
"kwenda upande mwingine wa mto Yordani"
kwamba siku zako ziweze kuongezeka
Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. Hii inaweza kutofasiriwa sawasawa na "kuongeza siku zako" 4:25 "kwamba niweze kuongeza siku zako" au "kwamba nikusababishe uishi muda mrefu"
Deuteronomy 6:3
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli walikuwa mtu mmoja.
wasikilize wao
Hapa "wasikilize" ina maana kutii, na "wao" urejea kwa amri za Yahwe. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanya wazi. "sikiliza amri za Yahwe, sheria na amri"
kuwatii wao
"watii wao"
nchi itiririkayo maziwa na asali
Hii ni nahau. "nchi ambako maziwa na asali ya wingi utiririka" au " nchi ambayo iko vizuri kwa mifugo na kilimo"
Deuteronomy 6:4-5
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Yahwe Mungu wetu ni mmoja
"Mungu Yahwe wetu ni mmoja na pekee Mungu"
kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, na nguvu zako zote
Haya maneno yaliounganishwa yanasisitiza kwamba mtu anapaswa kumpenda Mungu kabisa na kwa ukamilifu kujitoa kwake.
Deuteronomy 6:6-7
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli walikuwa mtu mmoja.
Ninakuamuru wewe
Musa anazungumza amri za Mungu kwa watu wa Israeli
itakuwa katika moyo wako
Hii ni nahau. "unapaswa daima kukumbuka"
utafundisha kwa bidii... utaongea
"Ninakuamuru wewe kufundisha kwa bidii...Ninakuamuru wewe kuongea." Msomaji anapaswa kuelewa haya kama amri.
Deuteronomy 6:8-9
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
yafunge
Hii ni neno kwa ajili ya "andika haya maneno kwenye ngozi, weka ngozi kwenye mkoba, na ufunge mkoba." Hili ni neno kwa nyogeza linaweza kuwa mfano kwa ajili ya "kutii haya maneno ili iwe kama yalikuwa kimwili hapo."
kama ishara juu ya mkono wako
"kama kitu fulani kufanya wewe kukumbuka sheria zangu"
nazo zitatumika kama utepe
Hii ni neno kwa ajili ya "andika haya maneno kwenye ngozi, weka ngozi kwenye mkoba, na ufunge mkoba kwenye kichwa chako ili ukae." Hili ni neno kinyume linaweza kuwa mfano kwa ajili ya "kutii haya maneno ili kwamba iwe kama vile vilikuwa katika uhalisia hapo."
utepe
mapambo mtu uvaa kwenye paji la uso
Utaandika
Hii ni amri
Deuteronomy 6:10-12
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
kubwa na miji mizuri sana ambayo hamkujenga
Miji hii yote itakuwa ya watu wa Israeli wakati wanawateka watu wa Canaan.
nje ya nyumba ya utumwa
Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri, eneo ambalo watu wa Israeli walikuwa watumwa.
Deuteronomy 6:13-15
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Utamheshimu Yahwe Mungu wako; yeye utamwabudu, na utaapa kwa jina lake
"Ni Yahwe Mungu wenu na hakuna mmoja mwingine ambaye mtaheshimu; ni yeye peke yake ambaye mtamwabudu, na ni kwa jina lake na jina lake pekee mtaapa." Lugha yenu inaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza kwamba Yahwe anawaambia wanaisraeli kutomwabudu au kumtumikia mungu mwingine.
utaapa kwa jina lake
Kuapa kwa jina la Yahwe ina maana kumfanya Yahwe msingi au nguvu ambayo inatumiwa kufanya kiapo. Maneno "jina lake" urejea kwa Yahwe mwenyewe.
katikati yenu
"ambaye anaishi miongoni mwenu"
hasira ya Yahwe Mungu wenu itawashwa dhidi yenu
Musa analinganisha hasira ya Yahwe na yeyote anawasha moto kuharibu vitu. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. Kuwasha hasira ni mfano wa kuwa na hasira sana.
kuwaharibu ninyi toka
"kuwaharibu ili kwamba hakuna chochote kilichobaki kwenu popote"
Deuteronomy 6:16-17
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Hauta mjaribu Yahwe
Hapa "kujaribu" ina maana kutoa changamoto kwa Yahwe na kumlazimisha kujithibitisha.
Massah
Hili ni jina la eneo huko jangwani. Mtofasiri anaweza kuongeza maneno kusema: "Jina la 'Massah' umaanisha 'kujaribu'
Deuteronomy 6:18-19
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Utafanya kilicho sawa na kizuri mbele ya Yahwe
Hii nahau ni amri na baraka. Kama wanaisraeli wanamtii Yahwe, watapokea baraka kutoka kwa Yahwe.
Deuteronomy 6:20-23
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja
Ni zipi amri za agano...amrisha ninyi
Hili swali ni maneno. "Nini amri za agano...aliamuru umaanisha kwako" au "Kwanini tunapaswa kutii amri za agano...amrisha ninyi"
mwana wako
Hii urejea kwa watoto wa watu wakubwa wa Israeli ambao Musa alikuwa anazungumza maneno ya Yahwe.
na mkono hodari
Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe/
na juu ya nyumba yake yote
Hapa maneno "nyuma yake" urejea kwa watu wa Yahwe.
mbele za macho yenu
Hapa neno "macho" urejea kwa mtu kamili
kuweza kutuleta sisi ndani
Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi.
Deuteronomy 6:24-25
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. Anawaambia kile wanachopaswa kuwaambia watoto wao kuhusu amri za Yahwe.
mbele ya Yahwe
"katika uwepo wa Yahwe" au "wapi Yahwe anaweza kutuon sisi"
shika
"tii"
hii itakuwa haki yetu
Hili ni neno. "atatuangalia sisi wenye haki"
Deuteronomy 7
Deuteronomy 7:1
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Deuteronomy 7:2-3
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
anawapa ninyi ushindi juu yenu
Musa anazungumza ushindi kama vile ulikuwa kitu halisi mtu mmoja angeweza kumpa mwingine.
juu yao
Hapa "wao" urejea kwa mataifa saba kutoka
Deuteronomy 7:4-5
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Kwa watakuwa
"Kama mtaruhusu watoto wenu kuoa watu kutoka mataifa mengine, watu kutoka mataifa watakuwa"
Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu
Musa analinganisha hasira ya Yahwe kwa yeyote anawasha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Yahwe kuharibu kile kimsababisha yeye kukasirika. Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji.
dhidi yenu
Neno "wewe" urejea kwa wanaisraeli wote na kwa hiyo ni wingi.
utashughulika...utavunja...kata..choma
Musa anazungumza na wanaisraeli wote, kwa hiyo haya maneno ni wingi.
Deuteronomy 7:6
Taarifa ya ujumla
Musa awaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
u taifa lililowekwa wakfu
Yahwe kuchagua watu wa Israeli kuwa watu wake katika njia maalumu inazungumzwa kama Yahwe kuwatenga toka mataifa mengine.
ambao wako juu wa uso wa dunia
Hii ni nahau. "ambao uishi juu ya dunia"
Deuteronomy 7:7-8
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Mifano yote ya "wewe" na "yako" ni uwingi.
hakuweka upendo wake juu yenu
"hakuwapenda ninyi"
pamoja na mkono hodari
Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe.
kuwakomboa toka nyumba ya utumwa
Musa anazungumza juu ya Yahwe kuwakomboa watu wa Israeli kutoka katika utumwa kama vile Yahwe amelipa pesa kwa mmiliki wa mtumwa.
nyumba ya utumwa
Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri, eneo ambalo watu wa Israeli walikuwa watumwa.
mkono wa Farao
Hapa "mkono" una maana "utawala wa" "utawala wa Farao"
Deuteronomy 7:9-11
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
kwa vizazi elfu
"kwa 1,000 kizazi"
walipe wale wanaomchukia kwenye uso wao
Hii nahau ina maanisha "kuwalipa kwa haraka na uwazi ili kwamba wajue Mungu amewaadhibu."
hatakuwa na huruma kwa yeyote anayemchukia
"Yahwe atawahukumu kwa ukali wowote wanaomchukia"
Deuteronomy 7:12-13
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Anazungumza kama vile wanaisraeli wako mtu mmoja katika mstari wa 12 na kwa wote wale kama kundi katika mstari 13.
na kuwazidisha
"na kuongeza idadi ya watu wako"
matunda ya mwili wako
Hii ni nahau kwa ajili ya "watoto wako"
matunda ya ardhi yako
Hii ni nahau kwa "mazao yako"
kuzidisha kwa mifugo yako
"mifugo yako hivyo itakuwa mingi"
Deuteronomy 7:14-15
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama vile wanaisraeli wako mtu mmoja.
Utabarikiwa zaidi kuliko watu wengine wote
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. "Nitakubariki zaidi kuliko ninavyowabariki watu wengine wowote."
hapatakuwa na utasa wa kiume au wa kike miongoni mwenu au miongoni mwa mifugo yenu
Musa atumia maelezo hasi kusisitiza kwamba wote wataweza kuwa na watoto. Hii inaweza kutajwa katika hali chanya. "Wote ninyi mtaweza kuwa na watoto na mifugo wataweza kuzaa"
miongoni mwenu...mifugo
Maneno haya "wewe" na "yako" viko katika wingi.
chukua mbali na magonjwa yako yote
"hakikisha haumwi" au "jiweke kabisa na afya"
hakuna hata magonjwa mabaya ... atakayoweka juu yenu, lakini atayaweka juu ya wale wanaomchukia.
Musa anazungumza kama ugonjwa ulikuwa kitu kizito ambacho Yahwe angeweka juu ya watu. "
Deuteronomy 7:16
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Mtaondoa makundi ya watu wote
"Ninakuamuru kuharibu kabisa makundi ya watu wote"
jicho lako halitawaonea huruma
Hii ni amri. Musa azungumza kama vile jicho lionavyo lilikuwa jicho lenyewe. "Usiruhusu kile unachoona kusababisha kuwahurumia" au "usiwe na huruma kwa sababu ya kile unachofanya kinawaumiza"
hautaabudu
"kamwe kuabudu"
kwamba itakuwa mtego kwako
Kama watu wanaabudu miungu mingine, watakuwa kama mnyama aliyeshikwa kwenye mtengo wa mawindo, na hawataweza kutoroka.
Deuteronomy 7:17-19
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Kama unasema kwenye moyo wako... usiogope
Watu hawapaswi kuogopa hata kama wanagundua kwamba mataifa yako na nguvu kuliko wao. "Hata kama mnasema moyoni mwenu"
sema kwenye moyo wako
"fikiri"
namna gani ataweza kuwafukuza wao?
Musa atumia swali kusisitiza kwamba watu wataweza kujihisi kuogopa mataifa mengine. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Siwezi kuwashinda wao"
mtafikiri akilini
Hii ni nahau. "unapaswa kukumbuka"
kile macho yenu yameona
Hapa "macho" urejea kwa watu walichoona.
mkono hodaru, na mkono ulionyoka
Hapa "mkono hodari" na "mkono ulionyoka" ni mifano ya nguvu ya Yahwe
Deuteronomy 7:20-22
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
Zaidi ya hayo
"Na pia"
tuma nyigu
Yamkini maana ni 1)Mungu atatuma wadudu walikuo ambao wanauuma watu na kusababisha maumivu, au 2) Mungu atasababisha watu kuogopa na kutaka kukimbia.
kuangamia kutoka uweponi mwako
"kufa ili usiwaone tena"
Hautakuwa
"Kamwe"
mkuu na Mungu wa kutisha
"mkuu na Mungu wa kutisha" au "Mungu mkuu asababishae watu kuogopa"
kidogo kwa kidogo
"polepole"
Deuteronomy 7:23-24
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
kuwapa ninyi ushindi
"kuwawezesha ninyi kushinda"
ushindi juu yao
Ushindi juu ya majeshi toka mataifa mengine"
atawachanganya kabisa
"atawafanya wao ili wasiweze kufikiri vizuri"
mpaka waangamizwe
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji.
utafanya jina lao kuangamia toka chini ya mbingu
Wanaisraeli kabisa watawaangamiza watu toka mataifa hayo, na mbeleni hakuna atakayewakumbuka.
kusimama mbele yenu
"kusimama dhidi yako" au "kujitetea wao dhidi yenu"
Deuteronomy 7:25-26
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Katika mstari wa 25 azungumza na makundi kama makundi, kwa hiyo mifumo ya "wewe" viko kwa wingi, lakini mstari wa 26 azungumza kama wanaisraeli wako mtu mmoja, kwa hiyo mifumo iko kwa umoja.
Utachoma
Hii ni amri
miungu yao
"miungu ya mataifa mengine"
usitamani...utanaswa nayo
Haya maneno yaongeze kwa maelekezo ya kuchoma sanamu.
utanaswa nayo
Hata kama kuchukua dhahabu na fedha kwenye sinamu kungesababisha watu kuanza kuiabudu. Kwa kufanya hivyo watakuwa kama mnyama aliyeshikwa kwenye mtego. Hii inaweza kutajwa katika mfumo tendaji.
kwa kuwa ni chukizo kwa Yahwe Mungu wenu
Haya maneno uwambia kwanini Yahwe ataka watu kuchoma sanamu. "fanya hivi kwa sababu Yahwe Mungu achukua sana"
Kwa hakika utachukizwa na kuzuia
Maneno "kuchukiza" na "chukia" kwa msingi umaanisha kitu kile kilie na kusisitiza kiwango cha chukizo.
kwa kuwa imetengwa kwa ajili ya uharibifu
Yahwe analaani kitu fulani na kuahidi kukiharibu kama ilinavyozungumzwa kama Yahwe alikuwa anaweka kitu fulani tofauti na kila kitu. Hii inaweza kutajwa kwa mfumo tendaji. :"kwa kuwa Yahew amekwisha tenga kwa maangamizi"
Deuteronomy 8
Deuteronomy 8:1-2
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja
Unapaswa kushika...uweze kuishi na kuongozeka, na kuingia ndani na kumiliki...baba zenu
Mifano yote ya "wewe" na "yako" na vitendo viko kwa wingi
miaka arobaini
"miaka 40"
apate kuwanyenyekeza
"apate kuwaonyesha ninyi namna mlivyo dhaifu na wenye dhambi"
Utafakari akilini
Hii ni nahau. "Unapaswa kukumbuka"
kujua
"kudhihirisha" au "kuonyesha"
nini kilikuwa katika moyo wenu
Moyo ni ishara ya tabia ya mtu.
Deuteronomy 8:3
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. Aendelea kuwakumbusha nini wanapaswa "kutafakari akilini"
Aliwanyenyekeza
"Yahwe aliwaonyesha namna mlivyo dhaifu na wenye dhambi" Ona namna "anaweza kuwanyenyekeza" imetofasiriwa katika 8:1
aliwalisha kwa manna
"aliwapa manna kula"
si kwa mkata tu kwamba watu waishi
Hapa "mkate" uwakilisha chakula. "chakula si kitu pekee watu wanahitaji ili waishi"
ni kwa kila kitu ambacho hutoka kinywani mwa Yahwe ambacho watu wanaishi
Hapa "kinywani mwa Yahwe" ni maneno ya Yahwe anayosema. "watu wanapaswa kutii amri za Yahwe ili kwamba waweze kuishi" au " watu wanapaswa kufanya kila Yahwe awaambia kufanya ili kwamba waweze kuishi"
Deuteronomy 8:4-6
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
Mavazi yenu...miaka arobaini
Hiki ni kifungu cha mwisho wanapaswa kukumbuka "tafakari akilini"
miaka arobaini
"miaka 40"
Utafikiri...Utashika... tembea katika njia zake na kumheshimu
Hii yaendeleza orodha ya amri ambazo zimeanza katika 8:1
Utafikiri kuhusu katika moyo wako
Hapa neno "moyo" uwakilisha mawazo na uelewa wa mtu.
Deuteronomy 8:7-8
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja
nchi ya
"nchi pamoja" au "nchi ambayo ina"
Deuteronomy 8:9-10
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
nchi ambayo mtakula mkate pasipo kupungukiwa
"nchi ambapo kutakuwa chakula kingi kwa ajili yenu"
ambapo hautaenda pasipo kuwa na kitu
Hii inaweza kutajwa katika mfumo chanya. "ambapo utakuwa na kila kitu unachohitaji"
mawe yaliyotengenezwa kwa chuma
Mawe yaliyojaa madini ya chuma. Chuma ni kigumu utumika kwa upanga na plau.
chimba shaba
"mgodi wa shaba." Shaba chuma kiliani utumika kwa kutengenezea vyombo vya nyumbani.
Mtakula na kushiba
"Mtakuwa na chakula cha kutosha kula mpaka mnashiba"
mtabariki
"mtasifu" au "mtatoa shukrani kwa"
Deuteronomy 8:11-12
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumzza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
usipuuzie amri zake
"usiache kutii amri zake" au "kuendelea kutii amri zake"
Uwe makini kwamba, wakati unakula... ishi kwazo
Musa aanza kuwaambia kitu cha pili wanachohitaji kuwa makini nacho. Hii ni orodha ndefu ambayo inaendelea katika mistari ifuatayo.
Uwe makini kwamba, wakati unakula na kushiba, na wakati unajenga
Yamkini maana nyingine ni kwamba hizi si "wakati" vishazi lakini ni mbadala ya mwanzo wa orodha ya matokeo ya kuupuzia amri za Yahwe: "Kama unapuuzia amri zake, utakula na kushiba na kujenga."
wakati unapokula na unashiba
"wakati unakuwa na chakula cha kutosha kula"
Deuteronomy 8:13-14
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
wakati kundi la wanyama...dhahabu inaongezeka
Haya maneno ni ya mwisho katika orodha ya "wakati" vishazi ambavyo huanza pamoja na "wakati unakula" 8:11
kundi la wanyama wako na mifugo yako
"kundi la ng'ombe wako na kundi la kondoo wako na mbuzi"
kuongezeka
"kuongezeka kwa namba" au "kuwa wengi"
vyote ambavyo umezidisha
"una vitu vingi zaidi" au "una umiliki mwingi zaidi"
kwamba wakati ule moyo wako ulipoiunuliwa... ulimsahau Yahwe
Musa ambia mambo mawili ambayo yatatokea kama wote "wakati" maelezo 8:11 yanakuwa kweli.
moyo wako umefanyika kuinuliwa juu
Hii ni nahau "unaweza kuwa na kiburi"
nani alikuleta nje
Musa anaanza kuwakumbusha wanaisraeli kwa kile wanachojua kuhusu Yahwe.
nje ya nyuma ya utumwa
Huu ni mfano wa wakati walipokuwa watumwa huko Misri.
Deuteronomy 8:15-17
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
nani aliwaongoza...huko mwishoni
Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli kwa kile wanachojua kuhusu Yahwe
na kupitia
"na kuwaongoza kupitia"
nyoka wa moto
"nyoka wa sumu"
ardhi ya kiu
Haya maneno yanaelezea ardhi kuwa na kiu kama vile mtu anavyokuwa na kiu wakati anapohitaji maji. "ardhi kavu"
nani aliongoza...nani alileta...nani alimlisha
"Yahwe, ndiye aliongoza...Yahwe,ndiye aliyeleta...Yahwe, ndiye alimlisha"
kukufanya wewe vizuri
"kukusaidia wewe" au "kwasababu itakuwa vizuri kwako"
na unasema moyoni mwako
Hili ni jambo la tatu watu wanaweza kufanya wakati mioyo yao "kuinuliwa juu" na wana "msahau Yahwe" 8:13. Hapa "moyo" ni maneno mbadala wa mawazo ya ndani ya mtu.
Nguvu yangu na mkono hodari wangu umepata utajiri wote huu.
Hapa "mkono" urejea kwa nguvu za mtu au uwezo. "Nimepata utajiri huu kwa sababu niko imara na nguvu" au "Nimepata vitu hivi vyote kwa nguvu zangu na uwezo wangu"
Deuteronomy 8:18-20
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
Lakini utafikiri akilini
Hii nahau ni amri. "Lakini kumbuka"
kwamba aweze
"kwa hiyo anaweza"
kwamba aweze kuanzisha
Yamkini maana ni 1) "kwa njia hii anaanzisha" au 2) "kwa njia hii ni mwaminifu kuanzisha."
kuanzisha
"kutimiza" au "kushika"
kama ilivyo leo
"kama anavyofanya sasa" au "kama anavyoanzisha agano lako sasa"
tembea baada ya miungu mengine
kutembea ni mfano wa kutii. "tumikia miungu mingine"
dhidi yako...uta...mbele yako...utaangamia...usinge...Mungu wako
Hii ni mifano ya "wewe" viko kwenye uwingi.
Nashuhudia dhidi yako
"Ninakuonya" au "Nakwambia mbele ya mashahidi "
utaangamia hakika
"hakika utakufa"
mbele yako
"mbele yako wewe"
hautasikiliza sauti ya Yahwe
Hapa "sauti ya Yahwe" ina maana kwamba Yahwe awambia watu wako kufanya.
Deuteronomy 9
Deuteronomy 9:1-2
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
Sikia, Israeli
"Sikiliza, watu wa Israeli." Neno "Israeli" ni maneno kwa ajili ya watu wa Israeli.
kuwafukuza
"kuchukua ardhi toka"
kuimarisha juu ya mbingu
Huku ni kutia chumvi ambako kunasisitiza namna watu waliogopa walivyokuwa kwa sababu miji ilikuwa mkubwa na imara. "ilikuwa na kuta ndefu"
Mwana wa Anakimu
Wazao wa Anak watu waliokuwa wakubwa na wakali.
Nani anaweza kusimama mbele ya wana wa Anak?
Hii ina maana kwamba wana wa Anak walikuwa na nguvu na watu waliwaogopa. Hili ni swali la kejeli linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Hakuna yeyote anayeweza kutetea mwenyewe dhidi ya wana wa Anaki."
Deuteronomy 9:3
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
leo
"sasa"
kama moto ulao
Yahwe ana nguvu na kuweza kuharibu majeshi ya mataifa mengine.
kuwaitiisha mbele zenu
"kuwafanya kuwa dhaifu ili muweze kuwatawala"
Deuteronomy 9:4
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
Usiseme katika moyo wako
Hapa "katika moyo wako" ina maana "katika mawazo yako"
amewatupa nje
"amewaondoa watu wengine nje"
Deuteronomy 9:5
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
unyofu wa moyo wako
"kwa sababu daima unafikiri na kutamani vitu sahihi"
ili kwamba aweze kufanya kuwa kweli neno
Hapa ni maneno "neno" urejea kwa kile Mungu ameahidi."ili kwamba aweze kutimiza ahadi"
babu zenu, Abrahamu, Isaka, na Yakobo
Abrahamu, Isaka, na Yakobo ni "mababu" ambao Musa anazungumza
Deuteronomy 9:6
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
Deuteronomy 9:7-8
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
Kumbuka na usisahau
Musa arudia amri ile ile vyote kwa chanya na hasi kusisitiza umuhimu wa kukumbuka.
namna mlivyomchochea Yahwe
Hapa "wewe" urejea kwa wanaisraeli ambao wako pamoja na Musa na pia wanaisraeli wa kizazi cha nyuma.
mlikuja eneo hili, mmekuwa waasi...mmechochea...pamoja na wewe kuharibu wewe
Mifano ya "wewe" ni uwingi.
kwenye eneo hili
Hii irejea kwenye mto Yordani wa bondeni.
Deuteronomy 9:9-10
Taarifa ya ujumla
Musa anawakumbusha watu wa Israeli nini kilitokea nyuma.
mbao za jiwe, mbao za agano ambalo Yahwe alifanya na ninyi
Hapa kikundi cha maneno ya pili ufafanua kwamba "mbao za jiwe" ni zile Mungu aliandika amri kumi.
siku arobaini na usiku arobaini
"siku 40 na usiku 40"
juu yake ziliandikwa kila kitu kama maneno yote ambayo Yahwe alitangaza kwenu
Hii inaweza kutofasiriwa katika kauli tendaji. "Yahwe aliandika juu yake maneno yale yale aliyosema kwenu"
Yahwe alitangaza...nje katikati ya moto
Ilikuwa kama Yahwe alikuwa mtu anasimama katikati mwa moto na kuzungumza kwa sauti kubwa.
katika siku ya kusanyiko
Nomino kufikirika "kusanyiko" inaweza kuelezwa kama tendo "kusanya kwa pamoja." "katika siku wakati ninyi wanaisraeli wote mlikuja na kukutana pamoja eneo moja"
Deuteronomy 9:11-12
siku arobaini na usiku arobaini
"siku 40 na usiku arobaini"
mbao mbili za jiwe, mbao za agano
Kundi la maneno la pili ufafanua kwamba "mbao mbili za jiwe" ni zile ambazo Mungu aliandikwa amri kumi .
watu wako...wamekuwa wafisadi wenyewe
"watu wako...wanafanya kile kilichokibaya."
Wamegeuka kwa haraka kando nje ya njia amgayo niliwaamuru
Musa azungumza kama kutii amri za Mungu walikuwa wanatembea kando ya njia. "Tayari wameshindwa kutii amri zangu"
Deuteronomy 9:13-14
kuyafuta majina yao toka chini ya mbingu
"kufanya majina yao kupotea kabisa" au "kuwauwa wote ili asiwepo mmoja atakayewakumbuka."
Deuteronomy 9:15-16
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile kilichotokea nyuma
tazama
Neno "tazama" hapa uonesha kwamba Musa alishangazwa kwa kile alichokiona
mmejitengenezea wenyewe ndama
Wanaisraeli wa kizazi cha mwanzo walikuwa wamemuuliza Aaaroni kutengeneza ndama wa chuma ili wamwabudu. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kuwekwa wazi.
Umegeuka kwa haraka kando nje ya njia ambayo Yahwe alikuwa amekuamuru.
Musa azungumza kama kutii amri za Mungu kulikuwa kutembea kando ya njia. "Kwa haraka umeshindwa kutii kile Yahwe alichokuwa amekuamuru."
Deuteronomy 9:17-18
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani.
Niliwavunjwa mbele ya macho yenu
Hapa "macho yenu" ni neno lenye maana sawa na watu wa Israeli.
kulala kifudifudi
"kulala pamoja na uso wangu kuelekea kwenye ardhi." Hii ni njia ya kuonesha kwamba Yahwe alikuwa mkuu na Musa hakuwa.
siku arobaini na usiku arobaini
"siku 40 na usiku 40"
Deuteronomy 9:19-20
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile kilichotokea zamani.
Kwa kuwa nilikuwa nimeogopa hasira na gadhabu kali ambayo Yahwe alikuwa amekasirika vya kutosha dhidi yenu kuwaangamiza
Maneno "hasira na gadhabu kali" ni mbadala wa kile Yahwe atafanya kwa sababu ya hasira na kuchukizwa. "Yahwe aliwakasirikia ninyi - alichukizwa sana nanyi-- alikasirika vya kutosha kuwaangamiza ninyi, na kwa hiyo niliogopa kwa kile atakifanya"
Deuteronomy 9:21
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani
Nilichukua...kuchoma...kupiga....arhini...kuwatupa
Yamkini Musa aliwaamuru watu wengine kufanya kazi halisi.
dhambi zenu
ndama wa dhahabu. "sanamu mlifanya dhambi kwa kumtengeneza"
Deuteronomy 9:22-24
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani
Taberah...Massah...Kibrothi...Hattaavah
Haya ni majina ya maeneo ambayo watu wa Israeli walipita wakati wakiwa jangwani.
Nenda juu
Walikuwa kwenye nchi ya chini, na nchi Yahwe alikuwa amekwisha waambia kuichukua ilikuwa kwenye mlima, kwa hiyo walipaswa kwenda juu ya mlima kuichukua.
waliasi dhidi ya amri
Neno "amri" ni mbadala wa Yahwe mwenyewe. "Mliasi dhidi ya Yahwe; hamkutii amri"
sikiliza sauti yake
Hapa "sauti yake" ina maana kile Mungu alikwisha sema.
kutoka siku ambayo nilikujua
"kutoka muda nilianza kukuongoza wewe." Tofasiri zingine usoma "kutoka siku ambayo nilikujua wewe," siku ambayo Yahwe kwanza aliwajua.
Deuteronomy 9:25-26
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani.
lala kifudifudi mbele ya Yahwe
"lala pamoja na uso kuelekea kwenye ardhi."
siku arobaini na usiku arobaini
"siku 40 na usiku 40"
umekwisha okoa
Musa azungumza kama Yahwe amekwisha kuwaokoa wanaisraeli kwa kulipa pesa kuwaweka huru kutoka utumwani.
kupitia ukuu wako
Neno "ukuuu" ni mbadala wa maneno kwa ajili ya nguvu kuu ya Yahwe.
kwa mkono hodari
Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe.
Deuteronomy 9:27-29
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuomba kwa Yahwe ili aweze kuwaharibu watu wa Israeli.
Akilini
Hii ni nahau. "Kumbuka"
ili kwamba nchi ambayo ulitutoa
Maneno "nchi" ni maneno kwa ajili ya watu wa Israeli.
wapate kusema
"waweze kusema"
kwa nguvu zako kuu na kwa kuonesha mamlaka yako,
Haya maneno kwa msingi umaanisha kitu kile kile na kusisitiza ukuu wa nguvu za Yahwe ambao aliutumia kuwaokoa watu wake.
Deuteronomy 10
Deuteronomy 10:1-2
Taarifa ya ujumla:
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani.
Kwa wakati ule
"Baada ya kumaliza kuomba"
kwanza
"kwanza: ni namba ya makutano kwa moja. Urejea kwa seti ya kwanza ya mbao ambazo Musa alizokuwa amevunja.
juu ya ule mlima
Hapa "mlima ule" urejea kwa mlima Sinai.
Deuteronomy 10:3-4
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani
kama kwanza
Hapa "kwanza" urejea kwa mbao za kwanza za jiwe. "kama mbao mbili za kwanza za jiwe"
alienda juu ya mlima
"alienda juu ya mlima Sinai"
nje katikati ya moto
Ilikuwa kama Yahwe alikuwa mtu anasimama katikati mwa moto na kuzungumza kwa sauti kubwa.
kwenye siku ya kusanyiko
Nomino ya kufikiri "kusanyiko" inaweza kuelezwa kama tendo "kusanya pamoja"
Deuteronomy 10:5
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani.
Niligeuka
Hapa "Ni" urejea kwa Musa.
kuja chini kutoka kwenye mlima
kuja chini kutoka kwenye mlima Sinai"
kwenye safina
"kwenye boksi" au "kwenye kifua"
Deuteronomy 10:6-7
Taarifa ya ujumla
Mwandishi atoa sababu fupi wapi wanaisraeli walikuwa wamesafiri.
Watu wa Israeli...nchi yenye vijito vya maji
Hii utupa taarifa ya nyuma kuhusu wapi watu wa Israeli walisafiri. Pia inagusa kifo cha asili cha Moserathi.
Beerothi Bene Jaakani kwa Moserathi...Gudgodah...Jotbathah
Haya ni majina ya maeneno tofauti watu wa Israeli walipita wakati wakiwa jangwani.
Beerothi Bene Jaakan
Mtofasiri anaweza kuongeza maelezo: "Jina 'Beerothi Bene Jaakan' umaanisha "visima ambavyo vilikuwa vya watu wa Jaakan."
huko alizikwa
Hii ina kutofasiriwa kwa kauli tendaji. "Huko ndiko walikomzika" au wanaisraeli walimzika huko"
Eleazari
Hili ni jina la mwana wa Aaroni
Deuteronomy 10:8-9
Taarifa ya ujumla
Mwandishi atoa taarifa ya nyumba kuhusu kabila la Lawi.
kusimama mbele ya Yahwe kumtumikia
"kutoa dhabihu ambayo Yahwe anahitaji"
katika jina lake
"kwa mamlaka ya Yahwe" au "kama mwakilishi wa Yahwe"
kama leo
"kama wanavyofanya leo"
hakuna sehumu wala urithi wa nchi
Kabila la Lawi hawakupokea sehemu ya ahadi ya nchi wakati walipofika huko. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwekwa wazi.
Yahwe ni mrithi wake
Yahwe azungumza kwa mahusiano maalamu ambayo Aaron na uzao wake watakuwa pamoja naye kama Yahwe alikuwa kitu watakachoridhi.
Yahwe Mungu wenu
Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo neno "wewe" hapa ni umoja.
kuzungumzwa kwake
"kuzungumzwa kwa kablia la Lawi."
Deuteronomy 10:10-11
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani.
kama kwa wakati wa kwanza
"kwanza" ni namba ya makutano kwa ajili ya moja. Hapa urejea kwa wakati wa kwanza Musa alienda juu kwenye mlima wa Sinai kupokea mbao mbili toka Yahwe. "kama nilivyofanya kwanza"
siku arobaini na usiku arobaini
"siku 40 na usiku 40"
kuwaharibu
Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo neno "wewe" hapa ni umoja.
kumiliki nchi
"chukua nchi" au "chukua miliki ya nchi"
mababu wenu
Hii inarejea kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo
kuwapa wao
"ambacho nitawapa ninyi, wazao wao"
Deuteronomy 10:12-13
Taarifa ya ujumla
Musa anazungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
Sasa, Israeli
Hapa neno "Israeli" urejea kwa watu wa Israeli.
nini Yahwe Mungu wenu uhitaji kwenu, isopokuwa kumuogopa...kwa uzuri wenu
Musa atumia swali kuwafundisha watu wa Israeli. Hili swali la kejeli linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "hiki ndicho Yahwe Mungu wenu uhitaji ninyi kufanya: kumuogopa...kwa uzuri wenu
kutembea katika njia zake zote
Musa azungumza kama kumtii Yahwe kulikuwa kutembea kwenye njia.
kwa moyo wenu wote na roho yenu yote
Hii nahau "kwa moyo wenu wote" umaanisha "kabisa" na "kwa roho yenu" umaanisha "kwa utu wenu wote." Haya maneno yana maana ileile.
Deuteronomy 10:14-15
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
Tazama
Neno "tazama" usisitiza kwamba kile kilichosemwa badae ni muhimu. "Zingatia" au "Tazama" au "Sikiliza"
mbingu...ardhi
Haya maneno yanaonyesha kubwa mbili, na yameunganishwa kumaanisha kwamba vitu vyote popote ni mali ya Yahwe.
mbingu za mbingu
Hii urejea kwa maeneo ya juu zaidi huko mbinguni. Kila kitu mbinguni ni mali ya Mungu.
alikuchagua wewe
Hapa neno "wewe" urejea kwa wanaisraeli wote na liko kwa wingi.
Deuteronomy 10:16-17
Kwa hiyo
"Kwa sababu hii"
kutaili govi la moyo wako
Neno "govi" urejea kwa ngozi iliyojikunja kwa sehemu ya siri ya mwanaume ambayo uondolewa wakati wa kutaili. Hapa Musa anarejea kwa utalili wa kiroho. Hii ina maana watu wanapaswa kuiondoa dhambi toka maishani mwao.
Mungu wa miungu
"Mungu mkuu" au "Mungu pekee wa kweli"
Bwana wa bwana
"Bwana mkuu" au "Bwana mkuu"
wa kutisha
"yeye anayesababisha watu kuogopa"
Deuteronomy 10:18-19
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Nitafanya haki kwa yatima
"Yahwe anahakikisha kwamba watu wanafanyia haki yatima"
yatima
Hawa ni watoto ambao wazazi wote wamekwisha kufa na hawana ndugu wa kuwajali.
mjane
Mjane wa kweli ni mwanamke ambaye mme amekwisha kufa na hana watoto wa kumjali kwa umri wake wa uzee.
Kwa hiyo
"Kwa sababu hii"
Deuteronomy 10:20-21
Taarifa ya ujumla
Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo mifano yote "wewe" na "wako" ni umoja.
yeye mtamwabudu
"ni yeye mnayepaswa kumwabudu"
Kwake mnapaswa kushikamana
Kuwa na uhisiano mzuri pamoja na Yahwe na kumtegemea kabisa yeye aliyezungumzwa kama watu walikuwa wanashikama kwa Yahwe. "Unapaswa kumtegemea" au "Ni yeye unayepaswa kumtegemea"
kwa jina lake utaapa
Kuaapa kwa jina la Yahwe kuna maanisha kumfanya Yahwe msingi au nguvu ambayo kiapo kitafanywa.
ambacho macho yako yameona
Hapa "macho" urejea kwa mtu kamili.
Yeye ni sifa yenu
Yamkini maana ni 1) "Ni yeye unapaswa kumsifu" au 2) "Ni kwa sababu unamwabudu yeye kwamba watu wengine watamsifu yeye"
Deuteronomy 10:22
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama wako mtu mmoja, hivyo "wewe" na "wako" viko kwa umoja.
alienda chini Misri
"alisafiri kusini mwa Misri" au "alienda Misri"
watu sabini
"watu 70"
nyingi kama nyota za mbinguni
Hii inasisitiza namba kubwa wanaisraeli ambao walikuwa na Musa.
Deuteronomy 11
Deuteronomy 11:1
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
daima shika
"daima tii"
Deuteronomy 11:2-3
ambao hawajui wala hawajaona
"ambao hawajapata uzoefu"
mkono wako hodari, au mkono wake ulionyoshwa
Hapa "mkono hodari" na "mkono ulionyoshwa" ni mifano kwa ajili ya nguvu ya Yahwe. Maneno yaleyale yanaonekana katika 4:34.
katikati mwa Misri
"katika Misri"
kwa nchi yake yote
Hapa "nchi" uwakilisha watu. "kwa watu wake wote"
Deuteronomy 11:4-5
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza kwa wanaisraeli wakubwa ambao walikuwa na umri wa kutosha kuona yale Mungu alifanya huko Misri.
Wala hawakuona kile alichofanya
"Wala hawakuona watoto wao kile alichofanya Yahwe"
jeshi la Misri
"Wanajeshi wa kimisri"
waliwashawishi baada yao
Hapa "yao" umaanisha wanaisraeli ambao waliishi miaka 40 mapema.
kwa eneo hili
Hii inamaanisha tambarare ya bonde la mto Yordani ambako Musa anazungumza nao kabla ya kuvuka kuingia Kanani
Deuteronomy 11:6-7
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wakubwa kuwafundisha watoto wao matendo makubwa ya Mungu.
Dathani na Abiramu, wana Eliabu
Musa anarejea kwa tukio la zamani wakati Dathani na Abiramu waliasi dhidi ya MUsa na Aaroni. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi.
Dathani...Abiramu...Eliabu
Haya ni majina ya wanaume
mwana wa Reubeni
"uzao wa Reubeni"
ardhi ilifungua mdomo wake na kuwameza
Yahwe anasababisha nchi kugawanyika kufungua ili kwamba watu waanguke ndani ilizungumzwa kama nchi ilikuwa na mdomo na uwezo wa kumeza watu.
kila kiumbe hai kilichowafuata
Hii urejea kwa watumishi wao na wanyama
katikati mwa Isralie yote
Hii ina maanisha watu wote wa Israeli walishuhudia kile kilichotokea kwa Dathani, Abiramu, familia zao, na miliki zao.
Lakini macho yenu yameona
Hapa "macho" uwakikilisha mtu kamili
Deuteronomy 11:8-9
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
kumiliki nchi
"chukua nchi"
kule unaenda katika kuimiliki
Maneno haya "unaenda katika" inatumika kwa sababu ya watu wa Israeli watapaswa kuvuka mto Yordani kuingia Kanani.
kuongeza siku zenu
Siku ndefu ni mifano ya maisha marefu.
nchi imiminikayo maziwa na asali
Hii ni nahau. "nchi ambayo maziwa na asali ya kutosha yanamiminika" au "nchi ambayo iko vizuri kwa mifugo na kilimo"
Deuteronomy 11:10-12
kuimwagilizia kwa mguu yao
Yamkini maana ni 1) "mguu" ni neno ambalo linawakilisha kazi ngumu ya kutembea kubeba maji kwa mashamba au 2) wangeweza kutumia miguu yao kugeuza gurudumu la maji ambalo linatoa maji kwa mashamba.
bustani ya mimea
"bustani ya mboga" au "bustani ya mboga mboga"
kunywa maji ya mvua ya mbiguni
Nchi inapokea na kufyonza vya kutosha mvua inazungumzwa kama nchi inakunywa maji.
macho ya Yahwe Mungu wenu daima yako juu yake
Hapa "macho" uwakilisha uangalifu na utunzaji
tokea mwanzo wa mwaka kwenda mwishoni mwa mwaka
Hapa kubwa hizi mbili "mwanzo" na "mwisho" zinatumiwa kwa pamoja kumaanisha mwaka mzima.
Deuteronomy 11:13-15
Itatokea, kama
Hii ina maana kwamba kile Yahwe anachoahidi kitatokea kama wanaisraeli wanatii amri zake.
ambayo nakuamuru
Hapa "na" urejeaa kwa Musa.
kwa moyo wako wote na roho yako yote
Hii nahau "kwa moyo wako wote" umaanisha "kabisa" na "kwa ...roho" umaanisha "na utu wako wote" Haya makundi ya maneno yana maana ileile.
Nitatoa mvua kwa nchi yenu kwa majira yake
"Nitasababisha inyeshe kwenye nchi yenu kwa majira sahihi"
Nitatoa
Hapa "ni" urejea kwa Yahwe. Hii inaweza kutajwa katika nafsi ya tatu.
mvua ya awali na mvua ya badae
Hii urejea kwa mvua za mwanzo wa majira ya kupanda na mvua za kukomaza mazao kwa ajili ya mavuno.
Deuteronomy 11:16-17
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
Zingatia mwenyewe
"Uwe makini" au "jihadhari"
ili kwamba moyo wako usidanganywe
Hapa "moyo" uwakilisha hamu ya mtu au mawazo. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji.
unageuka upande na kuabudu miungu mingine
Kumkataa Yahwe na kuabudu miungu mingine inazungumzwa kama mtu anayeweza kugeuka kimwili na kwenda mwelekeo mwingine mbali na Yahwe.
ili kwamba hasira ya Yahwe iwashwe dhidi yenu
Mungu kuwa na hasira inazungumzwa kama ilikuwa ni moto ambao unaanza. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "ili kwamba Yahwe asiwe na hasira nanyi"
ili kwamba asifunge mbingu ili kwamba hapatakuwa na mvua, na nchi haitazaa matunda
Mungu anasababisha kukosekana mvua kudondoka toka angani inazungumzwa kama alikuwa anafunga anga.
Deuteronomy 11:18-19
yaweke haya maneno yangu ndani ya moyo na roho yako
Mtu daima ufikiri kuhusu na kuzingatia kile Musa aamuru inazungumzwa kama vile moyo na roho vilikuwa ni chombo cha maneno ya Musa yalikuwa ni maudhui kujaza chombo
haya maneno yangu
Hapa "maneno" uwakilisha amri za Musa ambazo anazungumza.
moyo wako na roho
Hapa "moyo: na "roho" uwakilisha akili ya mtu au mawazo.
zifunge
"yafunge haya maneno" Neno hili uwakilisha mtu akiandika maneno kwenye ngozi, kuweka ngozi kwenye mkoba, na kuufunga mkoba. Hili neno linaweza kuwa mfano kumaanisha watu wanapaswa kuwa waangalifu kutii amri za Musa.
kama ishara kwenye mkono wako
"kama kitu cha kukufanya wewe kukumbuka sheria zangu"
yawe utepe katikati ya macho yako
"yawe utepe katikati ya macho yako." Haya ni maneno badala ambayo uwakilisha mtu kuandika maneno ya Musa kwenye ngozi, kuweka ngozi kwenye mkoba, na kuifunga ili ikae kati ya macho yako. Mbadala huu unaweza kuwa mfano ambao unamaanisha mtu anapaswa kuwa mwangalifu kutii amri zote za Musa.
utepe
urembo mtu uvaa kwenye paji la uso
wakati unapoketi kwenye nyumba yako, wakati unapotembea njiani, wakati unapo lala chini, na wakati unapo nyanyuka.
Kutumia maeneo tofauti "kwenye nyumba" na "njiani," na kinyume "wakati unapo lala" na "kunyanyuka," uwakilisha popote, wakati wowote. Watu wa Israeli walipaswa kujadili amri za Mungu na kuzifundisha kwa watoto wao wakati wowote na popote.
Deuteronomy 11:20-21
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
kwamba siku zenu na siku za watoto wenu ziweze kuongezeka
Hapa "siku" uwakilisha muda mrefu wa wakati. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "ili kwamba Yahwe aweze kuwasababisha ninyi na watoto wenu kuishi muda mrefu"
kwa mababu zenu
Hii urejea kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo.
kuwapa maadamu mbingu ziko juu ya ardhi.
Hii ulinganisha kwa muda kiasi gani watu hawa wataweza kuishi katika nchi kwa muda kiasi anga litakuwepo juu ya ardhi. Hii ni njia ya kusema "milele"
Deuteronomy 11:22-23
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli
Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye
"Kama mnakuwa makini kufanya kila kitu nilichokuamuru"
tembea katika njia zake zote
Namna gani Yahwe anahitaji mtu aishi na kutenda inazungumza kama walikuwa njia au barabara ya Yahwe. Mtu kumtii Yahwe kunasemwa kama alikuwa anatembea kwenye njia au barabara ya Yahwe.
kushikama naye
Kuwa na ushirika na Yahwe na kumtegemea yeye kunazungumza kama mtu anayeshikamana na Yahwe.
yote haya mataifa toka mbele yako,na utawafukuza mataifa
Hapa "mataifa" uwakilisha makundi ya watu tayari yanaishi huko Kanaani. "Yote haya makundi ya watu kutoka mbele yako, na utachukua ardhi kutoka makundi ya watu"
Kubwa na nguvu zaidi kuliko ninyi
Ingawa jeshi la Israeli ni dogo na dhaifu zaidi kuliko vikundi vya watu wanaoishi Kanaani, Yahwe atawawezesha watu wa Israeli kuwashinda.
Deuteronomy 11:24-25
Habari za jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Kila mahali ambapo unyao wa mguu wako utaenda
Hapa "unyao wa mguu wako" uwakilisha mtu mzima.
kutoka kwenye mto, mto Euphrates
"kutoka kwenye mto Euphrates"
Hakuna mwanaume ataweza kusimama mbele yako.
Maneno "kusimama mbele yako" ni nahau. "hakuna mtu ataweza kukusimamisha" au "hakuna mtu ataweza kukupinga wewe"
Yahwe Mungu wako ataiweka hofu yako na hofu yako juu ya nchi yote unayoenda.
Yahwe anasababisha watu kuwa waoga sana inazungumwa kama kuogopa na hofu kilikuwa kitu ambacho ataweka juu ya watu.
kuogopa kwako na hofu yako
Maneno "kuogopa" na "hofu" umaanisha kitu kile kile na kusisitiza kiwango cha hofu.
juu ya nchi yote unayoiendea
Hapa "nchi" ni kielezo cha watu wote katika nchi.
Deuteronomy 11:26-28
Habari ya jumla
Hapa Musa afanya muhtasari wa chaguzi mbili za watu wa Israeli wanaweza kuchagua. Wanaweza kuchagua kumtii na kupokea baraka za Mungu au wanaweza kuchagua kutomtii na kupokea adhabu ya Mungu.
Tazama, naweka mbele yako leo baraka na laana.
Kuwapa watu chaguzi kama wao wanahitaji kubarikiwa au kulaaniwa huzungumzwa kwama baraka na laana ni vitu ambavyo Musa anaweka mbele yenu.
Baraka
Kitambulisho hiki kinaweza kutajwa kama kitenzi. "Mungu atawabariki ninyi"
laana
Kitambulisho hiki kinaweza kutajwa kama kitenzi. "Mungu atawalaani ninyi"
Lakini jiepushe na njia ambayo ninakuagiza leo, kufuata miungu mingine
Hizi amri za Yahwe ambazo Musa anawaambia watu huzungumzwa kama ilikuwa njia au barabara ya Mungu. Kutotii amri za Mungu husemwa kama mtu hugeuka kimwili mbali na Yahwe kufuata miungu mingine.
kufuata miungu mingine ambayo hujui
Maneno "miungu ambayo hujui" urejea kwa miungu ambayo makundi mengine uabudu. Waisraeli wanamjua Yahwe kwa sababu amejifunua mwenyewe kwao na wamepata uwezo wako.
Deuteronomy 11:29-30
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
utaweka baraka juu ya mlima Gerizimu, na laana juu ya Mlima Ebali
Baraka na laana huzungumzwa kama vilikuwa vitu ambavyo mtu ataweka kwenye milima. "baadhi yenu wanapaswa kusimama juu ya Mlima wa Gerazimu na kutangaza nini kitakachomfanya Yahwe awabariki, and wengine wanapaswa kusimama juu ya Mlima wa Ebali na kutangaza nini kitamsababisha Yahwe kuwalaani"
Mlima Gerizimu...Mlima Ebali
Haya ni majina ya milima huko upande wa mashariki mwa mto Yordani.
Je, si zaidi ya Yordani..Moreh?
Waisraeli wkao upande wa mashariki mwa mto Yordai. Musa atumia swali kuwakumsha watu ambapo milima hii iko wapi. Swali hili linaweza kutajwa kama taarifa.
zaidi ya Yordani
"upande wa magharibi wa Mto Yordani"
magharibi ya barabra ya magharibi
"magharibi"
juu ya Gilgal
"karibu na Gilgal" Hii inaweza kuwa si sawa na mji karibu na Jeriko. Musa anaweza kuwa akimaanisha mahali karibu na Schechem.
Oaks ya Moreh
Hii ni miti takatifu karibu na Gilgali.
Deuteronomy 11:31-32
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
amri zote na amri
Hizi ni amri na amri Musa atawapa katika Kumbukumbu la Torati 12-26
Ninaweka mbele yenu leo
Hii haina maana hizi ni mpya. Musa anatazama amri sawa na amri ambazo alitoa miaka 40 mapema.
Ninaweka mbele yenu
Amri za Mungu na amri, ambazo Musa anawaambia watu, huzungumzwa kama vilikuwa ambavyo Musa anaweka mbele ya watu.
Deuteronomy 12
Deuteronomy 12:1-2
Habari ya jumla
Musa bado anaongea na watu wa Israeli.
utazishika
"unapaswa kutii"
siku zote ambazo unaishi juu ya ardhi
Hapa "siku"uwakilisha muda mrefu zaidi. Pia, "kuishi juu ya ardhi" ni nahau ambayo inamaanisha muda mrefu mtu anaishi.
hakika utaangamiza
"Unapaswa kuangamiza"
mataifa utakayofukuza
Hapa "mataifa" uwakilisha makundi ya watu ambayo wanaishi huko Kanaani.
Deuteronomy 12:3-4
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
utavunja madhabahu zao
"lazima uondoe madhabahu ya mataifa hayo" au lazima uharibu madhabahu ya mataifa hayo"
vunja katika vipande vipande
"vunja vipande vipande au kupasua"
utakata chini
"unapaswa kukata"
haribu majina yao
Hapa "majina yao" uwakilisha "kumbukumbu zao.
mahali hapo
Hii urejea kwa kila eneo ambapo mataifa waliabudu miungu mingine.
Hutamwabudu Yahwe Mungu wako kama hivyo
"Haupaswi kumwabudu Yahwe Mungu wako kama vile haya matiafa mengine waliabudu miungu yao"
Deuteronomy 12:5-6
mahali ambapo Yahwe Mungu wako atachagua katika kabila zako zote ili kuweka jina lake
Hapa "jina lake" urejea kwa Mungu mwenyewe. Yahwe atachagua eneo moja ambako atakaa na watu watakuja kumwabudu huko.
ni huko mtaende
Wataenda kumwabudu ambako Mungu ameamua.
sadaka iliyotolewa kwa mkono wako
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima.
"sadaka zako kwa ajili ya viapo, sadaka zako za uhuru
"sadaka zako hutimiza kiapo, sadaka zako za hiari. Hizi ni aina za sadaka.
mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe zako na kondoo
Mungu anahitaji kwamba watu wampe kila mwanaume wa kwanza mazaliwa wa mifugo yao.
Deuteronomy 12:7
Ni pale
Hii urejea kwa eneo ambalo Yahwe atachagua kwa watoto wa Israeli kuabudu.
furahia juu ya kila kitu ambacho umeweka mkono wako
Hapa "umeweka mkono wako" uwakilisha mtu mzima na kazi aliyofanya.
Deuteronomy 12:8-9
Hauwezi kufanya mambo yote tunayofanya leo leo.
"Huwezzi kufanya kama tunavyofanya hapa leo." Hii ina maana kwamba wangeabudu katika nchi iliyoahidiwa tofauti na jinsi walivyokuwa wanaabudu wakati huo.
sasa kila mtu anafanya chochote kilicho sahihi machoni pake mwenyewe.
Hapa "machoni" uwakilisha mawazo ya mtu au maoni.
kwa wengine
Jina hili "kwa wengine" linaweza kutajwa kama tendo.
kwa urithi ambao Yahwe Mungu wenu anawapa ninyi
Nchi ambayo Mungu anawapa watu wa Israeli huzungumzwa kama miliki ambayo baba huacha kama urithi kwa watoto wake.
Deuteronomy 12:10-11
na kuishi katika nchi
Hii urejea kwa nchi ya Kanani.
katika nchi ambayo Yahwe Mungu anawasababisha kurithi
Mungu anawapa nchi ya Kanani kwa watu wa Israeli huzungumzwa kama walikuwa baba anawapa kama urithi watoto wake.
wakati anawapa ninyi pumziko toka maadui zenu wote waliowazunguka
wakati anawapa ninyi amani toka maadui zenu wote waliowazunguka"
kisha itakuwa kwamba kwa eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kusababisha jina lake kuishi
Hapa "jina" uwakilisha Mungu mwenyewe.
sadaka iliyotolewa kwa mkono wako
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima
matoleo yako yote ya kuchagua kwa ajili ya viapo
"sadaka zako zote za hiari ili kutimiza ahadi
Deuteronomy 12:12
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
furahi mbele za Yahwe
"furahi katika uwepo wa Yahwe"
Walawi ambao wako ndani ya lango lako
Hapa " malango" kumbukumbu ya mji wenyewe.
kwa sababu hana sehemu au urithi miongoni mwenu
Ukweli kwamba Yahwe hawezi kutoa yoyote ya ardhi kwa Walawi huzungumzwa kama baba hakuwa anawapa urithi.
yeye hana sehemu
Hapa "yeye" urejea kwa Mlawi. Mlawi uwakilisha watoto wake
Deuteronomy 12:13-14
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Jihadhari wewe mwenyewe
kuwa mwangalifu
kila eneo ambalo unaloliona
"eneo lolote ambalo linakubariki wewe" au " popote unataka"
lakini ni mahali ambapo Yahwe atachagua
Sadaka za kuteketeza zinapaswa kufanywa hekaluni. Yahwe mwenyewe atachagua wapi hekalu liwekwe.
Deuteronomy 12:15-16
Hata hivyo, unaweza kuua na kula nyama ndani ya milango yako yote
Watu wataweza peke kuua wanyama kama dhabihu katika eneo ambalo Yahwe atachagua. Wangeweza kuua wanyama kwa ajili ya chakula popote wangetaka. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi.
ndani ya malango yako
Hapa "malango" uwakilisha mji wote.
si mfsafi...watu
Watu ambao hapokelewi kwa makusudi ya Mungu huzungumzwa kama mtu ambaye si msafi.
watu safi
Mtu ambaye anapokelewa kwa makusudi ya Mungu huzungumzwa kama mtu ambaye ni msafi.
kulungu na paa
Hawa ni wanyama wa mwitu wenye miguu mrefu mwembamba ambayo inaweza kukimbia haraka
Lakini hautakula damu
Damu uwakilisha maisha na Mungu hakuruhusu watu kula damu sambamba na nyama.
Deuteronomy 12:17
Habari ya jumla
Musa anaelezea kwa watu sadaka zote maalumu na dhabihu ambazo zinapaswa kufanywa hekaluni.
ndani ya malango
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
wala ile ya sadaka uliyoitoa kwa mkono wako
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima.
Deuteronomy 12:18-19
Habari ya jumla
Yahwe aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli.
utakula
"utakula sadaka zako"
mbele ya Yahwe
"katika uwepo wa Yahwe
Mlawi aliyeko ndani ya malango yako
Hapa "mlango" uwakilisha mji mzima.
kila kitu ambacho unaweka mkono wako
Hapa "kuweka mkono wako" uwakilisha mtu mzima na kazi ambayo umefanya.
Uwe makini mwenyewe
"uwe mwangalifu"
kwamba usiache
Hii inaweza kutajwa kwa kauli chanya
Deuteronomy 12:20
kuza mipaka yako
"kuza eneo lako" au "jipe eneo kubwa zaidi"
unasema, 'nitakula nyama; kwa sababu ya hamu ya kula nyama
hii ni nukuu ndani ya nukuu. Hii ni nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu ya siyo ya moja kwa moja.
kama hamu za royo yako
Hapa "roho" urejea kwa mtu mzima
Deuteronomy 12:21-22
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli.
anachagua kuweka jina lake
Hapa "jina" urejea kwa Mungu mwenyewe. Yahwe angeweza kuchagua eneo ambapo ataishi na watu watakuja kumwabudu yeye.
ndani ya malango yako
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima
kama hamu ya nafsi yako
Hapa "nafsi" urejea kwa mtu mzima
Kama paa na kulungu wanaliwa
Hii inaweza kutofasiriwa kwa kauli tendaji.
paa na kulungu
Hawa ni wanyama wa mwituni mwenye miguu mirefu miembamba ambayo ukimbia kwa haraka.
asiye mfsafi...watu
Mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu imesemwa kama mtu huyo alikuwa najisi kimwili.
watu safi
Mtu anayekubalika kwa kusudi la Mungu imesemwa kama mtu huyo alikuwa msafi kimwili.
Deuteronomy 12:23-25
damu ni uhai
hapa njia ambayo damu huimarisha uhai inazungumzwa kama kama damu ilikuwa maisha yenyewe.
hautakula maisha pamoja na nyama
Neno "maisha" hapa uwakilisha damu ambayo inaimarisha maisha.
kipi ni sawa machoni pa Yahwe
Hapa "macho" uwakilisha mawazo na maoni.
Deuteronomy 12:26-27
sadaka za viapo vyako
"sadaka kutimiza viapo" au "sadaka ya kiapo"
damu ya dhabihu zako itamwangwa nje
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kuhani atamwanga damu ya dhabihu"
utakula nyama
Sheria ya Mungu inafafanua sehemu za mnyama ni za sadaka za kuteketezwa, ambayo sehemu ni za kuhani na ni sehemu gani za mtoaji.
Deuteronomy 12:28
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumzwa kwa watu wa Israeli.
Chungunza na kusikiliza kwa maneno haya ambayo ninakuamuru
Hapa "maneno" uwakilisha nini Musa anasema.
ili iweze kukufanya vizuri wewe na watoto wako baada yako
Hapa "watoto" umaanisha watoto wako wote.
wakati unafanya kile kizuri na sawa
Maneno "uzuri" na "sawa" yana maana ya kufanana na msisitizo wa umuhimu wa tabia nzuri.
katika macho ya Yahwe
Hapa "macho" uwakilisha mawazo na maoni
Deuteronomy 12:29-30
hukataa mataifa
Yahwe kuwaharibu makundi ya watu huko Kanani huzungumza kama alikuwa akiwakata, kama mmoja angeweza kukata kwa vipande ngua au kukata tawi toka kwenye mti.
mataifa
Hapa "mataifa" uwakilisha watu kuishi huko Kanani.
wakati unapoenda kuwaondoa, na kuwaondoa
"wakati mnachukua vyote toka kwao"
uwa makini mwenywe
"uwe mwangalifu"
kwamba hujaingizwa katika kufuata...waliingia ndani ya kuchunguza miungu yao, kuuliza
Mtu kujifunza kuhusu na kuabudu miungu mingine huzungumzwa kama wameshikwa mtego wa mawindo. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji.
si kuingizwa ndani ya kufuata
Waisraeli kuabudu sanamu kama makundi ya watu Kanani kuabudu sanamu huzungumzwa kama Waisraeli walikuwa wanafuata nyuma ya makundi mengine ya watu.
baada ya kuharibiwa toka mbele yako
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "baada Yahwe awaharibu mbele yako"
katika kuuliza, "mataifa haya yanaabudu miungu yao? nitafanya hivyo'
Hii nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu ambayo si ya moja kwa moja.
Deuteronomy 12:31-32
Usiongeze au usiondoe
Hawapaswi kutengeneza sheria zaidi wala hawapaswi kupuuzia sheria ambazo Mungu amewapa.
Deuteronomy 13
Deuteronomy 13:1-3
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli.
Ikiwa inainuka kati yenu
"Ikiwa inatokea miongoni mwenu" au "Ikiwa mmoja miongonu mwenu anadai kuwa"
mwotaji wa ndoto
Huyu ni yeyote ambaye anapokea ujumbe toka kwa Mungu kupitia ndoto.
ishara au maajabu
Haya ni maneno mawili yaliyo na maana ya kufanana na urejea kwa miujiza tofauti.
inakuja kuhusu
"inafanyika" au "hutokea"
ambayo alikuambia na akasema, 'hebu tufuate miungu mingine ambayo hamjui na tuiabudu.
Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
Hebu tufuate miungu mingine.
Kuabudu miungu mingine huzungumzwa kama walikuwa wanaifuata au kufuata miungu mingine.
kufuata miungu mingine, ambayo hamjaijua
Maneno "miungu, ambayo hamjaijua" urejea kwa miungu ambayo makundi mengine ya watu kuabudu. Waisraeli wamjua Yahwe kwa sababu amejifunua mwenyewe kwao na wamepata udhoefu wa nguvu zake.
usisikilize maneno ya nabii, wala ya mwotaji wa ndoto
Hapa "maneno" uwakilisha kilichosemwa.
kwa moyo wako wote na roho yako yote
Hii ni nahau "kwa moyo wako wote" inamaanisha "kabisa" na "kwa ...roho" inamaanisha "kwa uzima wako wote. Haya maneno yana maana ileile.
Deuteronomy 13:4-5
Utakwenda kumfuata Yahwe Mungu wako
Kumtii na kumwabudu Yahwe huzungumzwa kama watu walikuwa wanatembea au kumfuata Yahwe.
tii sauti yake
Hapa 'sauti' uwakilisha nini Yahwe asema.
kuambatana naye
Kuwa na mahusiano mazuri pamoja na Yahwe na kabisa kumtegemea huzungumzwa kama mtu ameshikamana kwa Yahwe.
utauawa
Hii inaweza kutajwa kwa kauli kazi
amezungumza uasi
Jina "uasi" linaweza kutajwa kama kitenzi
aliyekukomboa katika nyumba ya utumwa
Yahwe kuokoa watu wa Israeli toka utumwa huko Misri huzungumzwa kama Yahwe alilipa pesa kuwaokoa watu wako toka utumwani.
nyumba ya utumwa
Hapa "nyumba ya utumwa" uwakilisha Misri ambapo watu wa Yahwe walikuwa watumwa.
kukuchochea njia ambayo Yahwe Mungu wako alikuamuru uende.
Jinsi Mungu anataka mtu kuishi au kuzungumwa kama kama njia au barabara ambalo Mungu wake watembee. Mtu anayejaribu kumfanya mtu mwingine ache kumtii Mungu huzungumzwa kama mtu huyo alikuwa anajaribu kumfanya mtu mwingine aende njia ya Mungu au barabara.
Basi weka mbali uovu mbali miongoni mwenu
Hapa "uovu" urejea kwa mtu muovu au tabia mbaya. Hili jina kivumushi linaweza kutajwa kama kivumishi. "Unapaswa kumwondoa miongoni mwa watu wa Israeli mtu anayefanya kitu kiovu" au " Unapaswa kumuuwa mtu huyu muovu"
Deuteronomy 13:6-7
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
mke wa kifua chako
Kifua ni kifua cha mtu. Hii ni nahau ambayo anashikilia karibu na kifua chake, ambayo inamaanisha anampenda na kumthamini.
rafiki ambaye kwako ni kama nafsi yako
Hapa "nafsi" uwakilisha maisha ya mtu. Hii ina maana mtu anamjali rafiki wake zaidi kama anavyojali maisha yake mwenye.
kwa siri hukushawishi na kusema, hebu tuende na kuabudu mwisho mwingine wa dunia
Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "kwa siri ujaribu kukushawishi uende na kuabudu... mwisho mwingine wa dunia."
ambayo ni pande zote karibu nawe
ambayo ni karibu nawe
kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia
Hii ni kumbukumbu ya kutaja juu ya mambo makuu mawili ya dunia inamaanisha kila mahali duniani.
Deuteronomy 13:8-9
usimkubali
"Usikukabali kwa kile anataka "
Wala jicho lako lisimhurumie
Hapa "jicho lako" urejea kwa mtu mzima.
wala hautamzuia au kumficha
"wala hautamuonyesha huruma au kujificha kutoka kwa wengine kile alichokifanya"
mkono wako utakuwa wa kwanza kumuawa
Hii inamaanisha kwamba alikuwa wa kutupa jiwe la kwanza kwa mtu aliye na hatia. Neno "mkono" uwakilisha mtu mzima.
mkono wa watu wote
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. "watu wengine wataungana nawe"
Deuteronomy 13:10-11
amejaribu kukuchochea kutoka kwa Yahwe
"kugeuka mbali toka kwa Yahwe." Mtu anajaribu kusababisha mtu mwingine ache kumtii Yahwe husemwa kama mtu alikuwa anajaribu kumsababisha mtu kimwili kugeuka na kumwacha Yahwe.
nje na nyumba ya utumwa
Hapa "nyumba ya utumwa" uwakilisha Misri ambapo watu wa Yahwe walikuwa watumwa.
Israeli yote atasikia na kuogopa
Ilimaanisha kwamba wakati watu wanasikia kuhusu mtu aliyeuawa, watakuwa na hofu ya kutenda kama alivyofanya.
Deuteronomy 13:12-14
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Wenzake wengine waovu wamekwenda kati yenu
Maneno haya "kati yenu" umaanisha kwamba wanaume hawa waovu walikuwa Waisraeli walioishi kwenye jamii zao.
wamewaondoa wenyeji wa jiji lao na kusema tuache na kuabudu miungu mingine ambayo hamjui
Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
amewaondoa wenyeji mbali na mji wao
Mtu anasababisha mtu mwingine kuacha kumtii Yahwe husemwa kama mtu aliyemsababisha mtu mwingine kimwili kugeuka na kumwacha Yahwe
kuchunguza ushahidi, kufanya utafutaji, na kuchunguza vizuri
Haya maneno yote umaanisha kimsingi kitu kilekile. Musa anasisitiza kwamba wanapaswa kwa umakini kujua nini kilichotokea kweli katika mji
kwamba kitu hicho cha machukizo kimefanyika kati yenu
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kwamba watu wa mji wamefanya kitu kibaya"
Deuteronomy 13:15-16
kwa makali ya upanga
Hapa "makali" uwakilisha upanga mzima.
nyara zote
"nyara zote." Hii urejea kwa milki na hazina ambazo jeshi linakusanya baada ya kushinda vita
chungu cha uharibifu
"rundo la uharibifu"
kwamwe isijengwe tena
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "hakuna mmoja anapaswa kujenga mji huu"
Deuteronomy 13:17-18
Hakuna vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu lazima viingie mkononi mwako
Yahwe alaani kitu fulani na kuahidi kukiharibu husemwa kama Yahwe alikuwa anaweka kitu mbali na vitu vingine. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji.
lazima viingine mkononi mwako
Hii ni nahau. "Unapaswa kuishika"
Yahwe atageuka kutoka kwa hasira yake kali
Yahwe hana hasira tana inaelezewa kuwa hasira yake ilikuwa kitu na Yahwe kimwili anageuka mbali nayo"
kwa baba zako
Hapa "baba" umaanisha babu ua baba waliotangulia.
unasikiliza sauti ya Yahwe
Hapa "sauti" uwakilisha nini Yahwe asema. "unatii kile Yahwe asema"
ambacho ni sahihi machoni pa Yahwe Mungu wenu
Hapa "machoni" uwakilisha mawazo au maoni.
Deuteronomy 14
Deuteronomy 14:1-2
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Ninyi ni watu...ninyi ni taifa...amewachagua
tukio lote la "wewe" urejea kwa watu wa Israeli. Musa alijumuishwa kama sehemu ya watu.
Msijivunue, wala msiweke sehemu yoyote ya uso wako kwa wafu
Hizi zilikuwa njia za makundi ya watu waishio Kanani walionyesha kwamba walikuwa wakihuzunika juu ya watu walio kufa. Musa anawambia watu wa Israeli wasifanya kama wao. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwa wazi.
wala kunyoa sehemu ya uso wao
"wala kunyoa mbele ya kichwa chako"
wewe ni taifa ambalo limetengwa kwa Yahwe Mungu wako.
Yahwe anachagua watu wa Israeli kuwa wake katika njia maalumu husemwa kama Yahwe aliwatenga kutoka mataifa mengine yote.
Yahwe amewachagua ninyi kuwa watu kwa ajili ya miliki yake.
Hii humaanisha kimsingi kitu kile kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Vyote humaanisha watu wa Israeli kuwa sehemu ya Yahwe kwa njia maalumu.
watu kwa ajili ya miliki yake
"watu kwa ajili ya miliki ya hazina" au "watu wake"
zaidi ya watu wote ambao wako juu wa uso wa ardhi.
nje ya makundi wa watu katika ulimwengu.
Deuteronomy 14:3-5
Haupaswi kula kitu chochote chukizo
Watu wa Israeli hakuwapaswa kula kitu chochote ambacho Mungu alisema hakikua kizuri kwa kuliwa.
paa, kulungu na kulungu wa kiume
Hizi ni aina za paa. Kama katika lugha yako hauna neno kwa kila mnyama inaweza kutofasiriwa kama "aina yote ya paa"
Kulungu
Huyu ni mnyama wa mwituni akiwa na miguu mirefu mwembamba ambayo inaweza kukumbia kwa haraka.
Kulungu wa kiume
aina ya paa
bebe, na swala
Wote hawa ni aina ya swala. Kama lugha yako haina neno kwa ajili ya mnyama inaweza kutofasiriwa kama "aina yote ya swala."
Deuteronomy 14:6-7
sehemu hiyo ya kwato
"ambayo wamegawanyika kwato" Hii ni kwato ambayo imegawanyika katika sehemu mbili badala ya kuwa moja kamili.
utafuna macheuo
Hii umaanisha wanyama uleta chakula chake juu toka tumboni na kutafuna tena.
sungura
Huyu ni mnyama mdogo mwenye masikio marefu ambaye huishi kwenye mashimu ya ardhi.
pomono
Huyu ni mnyama mdogo ambaye huishi kwenye maeneo ya miamba.
wako najisi kwenu
Kitu chochote Yahwe usema hakifai kwa watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.
Deuteronomy 14:8
Nguruwe ni najisi kwenu
Kitu chochote Yahwe usema hakifai kwa watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.
Deuteronomy 14:9-10
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Kwa vitu hivi ambavyo viko kwenye maji mnaweza kula
"Mnaweza kula aina hii ya wanyama ambayo huishia kwenye maji"
mapesi
mapesi, sehemu tambarare ambayo samaki hutumia kwenda kupitia maji
magamba
sahani ndogo zinazofunika mwili wa samaki
wao ni najisi kwa ajili yenu
Kitu Yahwe usema hakifai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.
Deuteronomy 14:11-13
ndege wote safi
Mnyama ambaye Mungu usema anafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama mnyama aliye msafi kimwili.
tai...tumbusi...kipungu...mwewe mwekundu na mweusi...kipanga.
Hizi ni ndege ambazo zinaweza kuamka usiku au kula wanyama wadogo na wanyama waliokufa.
Deuteronomy 14:14-17
kunguru...mnandio
Hizi ni aina yote ya ndege ambao wanaweza kuamka usiku au kula wanyama wadogo na wanyama waliokufa.
Deuteronomy 14:18-20
korongo...kongoti, hudihudi
Hizi ni aina za ndege ambao hula wanyama wadogo na mijusi.
popo
mnyama aliye na mabawa na mwili wa manyoya ambao umeamka hasa usiku na hula wadudu na panya.
vitu vyote vilivyo na mabawa, vyema
Hii umaanisha wadudu wote warukao ambao utembea kwa makundi makubwa.
wao ni najisi kwenu
Wanyama ambao Mungu usema hawafai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio najisi kimwili.
hawapaswi kuliwa
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "haupaswi kuwala"
vitu vyote visafi virukavyo
Wanyama ambayo Mungu husema wanafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio safi kimwili.
Deuteronomy 14:21
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli
kitu chochote ambacho hufa chenyewe
Hii ina maanisha mnyama ambaye hufa kwa kifo cha kawaida.
Kwa kawa u taifa ambalo limewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu.
Yahwe kuchagua watu wa Israeli kuwa ni wake kwa anjia maalumu husemwa kama Yahwe amewatenga toka mataifa mengine.
Deuteronomy 14:22-23
toa sehemu ya kum ya mazaoa ya mbegu yako
Hii umaanisha wanapaswa kutoa moja ya sehemu nje ya kila kumi sawa na sehemu toka mazaoa yao.
miaka baada ya miaka
"kila mwaka"
mbele ya Yahwe
"kwenye uwepo wa Yahwe"
Deuteronomy 14:24-25
ibebbe
Hapa "i" urejea kwa kumi ya mazao na mifugo.
utabadilisha sadaka kwa fedha
"utauza sadaka yako kwa fedha"
funga fedha katika mkono wako, uende
"weka fedha kwenye mkoba na uchukue pamoja nawe"
Deuteronomy 14:26-27
kwa chochote utamanicho
"kwa chochote unataka"
mbele ya Yahwe
"kwenye uwepo wa Yahwe"
Mlawi aliye ndani ya malango yako
Hapa "lango" uwakilisha mji wote.
usimsahau yeye
Hii inaweza kutajwa kwa kauli chanya. "hakikisha unatoa moja ya kumi yako kwa Mlawi"
kwa kawa hana sehemu wala urithi pamoja nawe
Kabila la Lawi halikupokea sehemu ya ardhi kama urithi. Mgao wao wa urithi ulikuwa heshima ya kumtumikia Yahwe kama makuhani wake. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwafanywa wazi.
hakuna sehemu wala urithi pamoja nawe
Mungu hakutoa ardhi kwa Walawi husemwa kama hakuwapa urithi.
Deuteronomy 14:28-29
kila baada miaka mitatu utawasilisha sehemu ya kumi ya mazao yako
Mara moja kwa kila miaka mitatu Waisraeli walipaswa kutunza moja ya kumi zao ndani ya miji yao ingetumika kutoa kwa Walawi, yatima, wajane na wageni.
ndani ya malango yenu
Hapa "malango" uwakilisha mji wote
kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nawe
Mungu hawapi ardhi yoyote Walawi husemwa kama hakuwapa urithi.
yatima
Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote wamekufa na hawana ndugu wa kuwajali.
mjane
Huyu ni mwanamke ambaye mme wake amekwisha kufa na hana watoto wa kumjali katika umri wake wa uzee.
kwa kazi yote mkon wako ambayo unafanya.
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. HIi inaweza kurejea kwa kazi ya mtu hufanya.
Deuteronomy 15
Deuteronomy 15:1-3
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
miaka saba
"miaka 7"
unapaswa kufuta madeni
"msamehe kila kitu ambacho watu bado wanadaiwa"
Hii ndiyo njia ya kutolewa
"Hii ni namna ya kufuta madeni"
mkopaji
mtu anayekopesha watu wengine fedha.
jirani yake au ndugu yake
Maneno "jirani" na "ndugu" kushiriki maana zilezile na msisitizo wa uhusiano wa karibu ambao wana nao na Waisraeli wenzake.
kwa sababu kufuta kwa madeni ya Yahwe kumetangazwa
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kwa sababu Yahwe amehitaji kwamba kufutwe madeni"
mkono wako unapaswa kutolewa
Hii ni nahau. "unapaswa kudai tena" au " unapaswa ulipaji"
Deuteronomy 15:4-6
hakuna masikini
Kitenzi cha jina "masikini" kinaweza kutajwa kama kitenzi. "hakuna watu masikini" au "hakuna mmoja ambaye ni masikini"
ardhi ambayo ametoa
Hii urejea kwa nchi ya Kanani.
anawapa ninyi kama urithi wa kumiliki
Nchi ambayo Yahwe anawapa watu wake husemwa kama ilikuwa ni urithi ambao Yahwe anawapa.
kama peke kwa bidii unasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile Yahwe mwenyewe asema. "kama peke unakuwa mwangalifu kutii kile Yahwe Mungu wako anasema"
utakopesha mikopo...huwezi kukopa
Neno "pesa" linaeleweka. Unaweza kufanya maana kamili ya maelezo haya wazi.
kwa mataifa mengi...juu ya mataifa mengi
Hapa "mataifa" uwakilisha watu. "kwa watu wa mataifa mengi...juu ya watu wa mataifa mengi"
utaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hawatawaongoza juu yenu
Hapa "juu yenu" umaanisha kuwa mkuu wa kifedha. Hii umaanisha kimsingi kitu kile kama sehemu ya awali ya sentensi.
Deuteronomy 15:7-8
Kama kuna mtu maskini
Hapa "mtu" umaanisha mtu kwa ujumla.
moja wa ndugu zenu
"mmoja wa Waisraeli wenzako"
ndani ya malango yako
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
haupaswi kuufanya mgumu moyo wako
Kuwa mkaidi husemwa kama mtu huyo alifanya mgumu moyo wao.
wala usifungi mkono wako kutoa kwa ndugu yako masikini.
Mtu ambaye akataa kuto kwa mtu maskini husemwa kama anafunga mkono wake kwamba mtu masikini hawezi kupata chochote toka kwake.
lakini unapaswa kwa uhakika kuufungua mkono wako kwake
Mtu anamsaidia mtu masikini husemwa kama alifungua mkono wake kwake.
Deuteronomy 15:9-10
hapana kuwa na mawazo maovu ndani ya moyo wako, kusema
Hapa "moyo" uwakilisha akili ya mtu. "usifikiri mawazi maovu"
Mwaka wa saba, mwaka wa kutolewa, u karibu
Ina maana kuwa kwa haraka mtu anafikiria hii atakuwa na wasiwasi kumsaidia mtu maskini kwa sababu inawezekana kwamba mtu maskini hatastahili kulipa tena. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi.
Mwaka wa saba
Neno "saba" ni namba ya upeo ya saba.
mwaka wa kutolewa
"mwaka wa kufuta madeni"
u karibu
Kitu fulani kitatokea mapema husemwa kama kilikuwa karibu kimwili.
ili usiwe na uchungu juu ya ndugu yako maskini na usimpe kitu
"ili usije ukaidi na kukataa kutoa chochote kwa Waisraeli wenzako"
lila kwa Yahwe
"piga kelele kwa Yahwe kwa ajili ya msaada"
itkauwa dhambi kwako
"Yahwe atachunguza yale uliyoyatenda kuwa ya dhambi
moyo wako lazima usiwe na huruma
Hapa "moyo" uwakilisha mtu mzima
katika yote ambayo unaweka mkono wako
Hapa "kuweka mkono wako" uwakilisha mtu mzima na kazi ambazo amefanya.
Deuteronomy 15:11
Kwa kuwa masikini kamwe wataacha kuishi kwenye nchi
Hii inaweza kutajwa kwa mfumo chanya. "Kwa kuwa daima kutakuwa na watu maskini katika nchi"
kwa masikini
Jina kitenzi "maskini" linaweza kutajwa kama kitenzi.
Nakuamuru na kusema, "Unapaswa hakika kufungua mkono wako...kwenye nchi yako.'
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
fungua mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji, na masikini wako
Mtu ambaye ana utayari kumsaidia mtu mwingine husemwa kama mkono wake uko wazi.
ndugu yako, kwa mhitaji wako, na masikini wako
Maneno "mhitaji" na "masikini" umaanisha kimsingi kitu kile kile na kusisitiza kwamba hawa ni watu ambao hawezi kujisaidia wenyewe.
Deuteronomy 15:12-14
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Kama ndugu yako
Hapa "ndugu" umaanisha Mwisraeli kwa ujumla, kama ni mwanaume au mwanamke.
imeuzwa kwako
Kama watu wasingeweza kulipa madeni, kwa wakati mwingine wanajiuza wenyewe kwa biashara ya utumwa kuplipa kile walichodaiwa.
miaka sita
"miaka 6"
mwaka wa saba
"mwaka wa saba." Huu "mwaka wa sabab ni namba ya upeo ya saba.
usiruhu aende zako mkono tupu
Mtu ambaye hana mali ya kujitolea mwenyewe au familia yake inazungumzwa kama kama mikono yake ilikuwa tupu.
kutoa kwa hiari
"hiari utoa kwake"
Deuteronomy 15:15-17
kumbuka ulikuwa mtumwa
Hapa "u" inajumuisha babu ambao walikuwa watumwa kwa miaka mingi.
kwamba Yahwe Mungu wenu aliwakomboa
Yahwe kuwaokoa watu wa Israeli kutoka utumwa huko Misri husemwa kama Yahwe alilipa pesa kuwaokoa watu wake kutoka utumwani.
kama anasema kwenu, "Sitaenda mbali nanyi"
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
nyumba yako
Hapa "nyumba" uwakilisha familia ya mtu.
basi unapaswa kuchukua uma na kuifanya kupitia sikio lake kwa mlango
"basi utaweka mkono wako karibu na fremu ya mlango wa mbao kwenye nyumba yako, na kisha weka fikra za uma kupitia sikio ndani ya kuni"
uma
kikali, kifaa chenye ncha utumiwa kufanya shimo
milele
"mpaka mwisho wa maisha yake" au "mpaka afe"
Deuteronomy 15:18
Haipaswi kuonekana ngume kwenu kumruhusu yeye aende huru toka kwenu
Hii ina maana kwamba hawapendi wakati wa kuruhusu mtu aende huru.
kupewa mara mbili thamani ya mtu aliyeajiriwa
Hii ina maana mmiliki peke alipaswa kulipa ana kiasi kwa ajili ya mtumwa huyu kufanya kazi kuliko angemwajiri mtu kufanya kazi.
mtu kuajiriwa
Huyu ni mtu anayefanya kazi kwa malipo.
Deuteronomy 15:19-21
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
kumnyoa
kukata pamba au nywele
mbele ya Yahwe
"kwenye uwepo wa Yahwe"
mwaka kwa mwaka
"kila mwaka" au "kila mwaka"
kipofu
walemavu au asiyejiweza kimwili.
Deuteronomy 15:22-23
ndani ya malango
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
najisi... watu
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu najisi kimwili.
watu wasafi
Mtu ambaye anakubalika kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu msafi kimwili.
paa na kulungu
Hawa ni wanyama wa mwitu wakiwa na miguu mirefu na mwembamba ambao hukimbia kwa haraka.
haupaswi kula damu yake
"haupaswi kula damu yake." Yahwe hakuwaruhusu waisraeli kula damu kwa sababu damu iliwakilisha uhai.
Deuteronomy 16
Deuteronomy 16:1-2
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
mwezi wa Abibu
Huu ni mwezi wa kwanzza wa kalenda ya Kiebrania. Inaonyesha wakati Mungu aliwatoa watu wa Israeli toka Misri. Ni wakati wa sehemu ya mwisho wa mwezi wa tatu na sehemu ya kwanza ya mwezi wa nne kwa kalenda ya Magharibi.
ishike pasaka
Inamaanisha kwa "kushika pasaka" ambayo walikuwa wanasherehekea na kula chakula cha pasaka.
utatoa dhabihu ya pasaka
Hapa "Pasaka" uwakilisha mnyama ambaye anatolewa dhabihu kwa ajili ya sherehe.
Deuteronomy 16:3-4
nayo
Hapa "nayo" urejea kwa mnyama atakayetolewa dhabihu na kuliwa.
siku saba
"siku 7"
mkate wa taabu
Hii ilikuwa jina la mkate usiotiwa chachu.Maana kamili inaweza kutajwa kwa waziwazi.
nje ya ardhi ya Misri kwa haraka
Watu walipaswa kuondoka Misri kwa haraka ambako hakuwa na muda wa kutosha kufanya mkate wa amila.
Fanya hili kwa siku zote za maisha yako
"Fanya hili kwa muda mrefu unapoishi"
kumbuka akilini
Hii ni nahau. "kumbuka"
Hakuna chachu lazima ionekane kati yenu
Hii inaweza kutajwa kwa mfumo tendaji. "Haupaswi kuwa na chachu yoyote miongoni mwenu"
ndani ya mipaka yenu
"ndani ya wilaya yako yote" au "katika nchi yako yote"
siku ya kwanza
Hii "kwanza" ni namba ya upeo kwa moja.
Deuteronomy 16:5-6
Huwezi kutoa dhabihu Pasaka
Hapa "Pasaka" uwakilisha mnyama ambaye atatolewa dhabihu.
ndani ya milango yako yote ya jiji
Hapa "milango" uwakilisha miji
wakati wa jua kwenda chini
"wakati wa jua kwenda chini"
Deuteronomy 16:7-8
lazima uipike
"Unapaswa kuipika"
siku sita
"siku 6"
siku ya saba
"saba" ni namba ya upeo kwa saba
mkusanyiko mzuri
"mkusanyiko maalumu"
Deuteronomy 16:9-10
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
hesabu wiki saba
"hesabu wiki 7"
tangu wakati unapoanza kuweka sungura kwenye nafaka zilizosimama.
Haya maneno "kuweka mundu kwenye nafaka" ni njia ya kurejea mwanzo wa muda wa kuvuna.
mundu
ni kifaa kilicho na wembe iliyopigwa kwa kukata nyasi, nafaka, na mizabibu.
pamoja na mchango wa sadaka ya kujitolea kutoka kwa mkono wako ambao utakupa
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima.
kulingana na Yahwe Mungu wako amekubariki
"kulingana na mavuno ambayo Yahwe Mungu amekupa" Hii inamaanisha kwamba watu itatokana na kiasi ambacho wanatoa juu ya kiasi gani walichovuna mwaka huo.
Deuteronomy 16:11-12
mwana wako, binti yako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi
Hawa hawarejei kwa mtu maalumu. Ina maana hawa ni aina ya watu kwa jumla.
ndani ya malango yako
Hapa "malango" uwakilisha miji
mgeni, yatima na mjane
Hii urejea kwa aina ya watu hawa kwa jumla
yatima
Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote walifuga na hawana ndugu wa kuwajali.
mjane
Hii ina maana ya mwanamke ambaye mme wake amekufa na hana watoto wa kumjali kwa umri wa uzeeni.
kumbuka akilini
Hii ni nahau. "kumbuka"
Deuteronomy 16:13-14
Sherehe ya vipanda
Majina mengine ya sherehe ni "Sikukuu ya mahema," Sherehe ya vibanda," na "Sikukuu ya kukusanya." Wakati wa mavuno, wakulima wanategeneza vibanda vya muda kwenye mashamba. Hii sikukuu ilifanyika baada ya mavuno ya mwisho wa mwaka.
siku saba
"siku 7"
ndani ya malango
Hapa neno "malango" uwakilisha miji au mji.
Deuteronomy 16:15
sikukuu
"sikukuu ya vibanda"
kazi yote ya mikono yenu
Hapa "mikono" uwakilisha mtu mzima.
Deuteronomy 16:16-17
wanaume wote wanapaswa kuonekana mbele ya Yahwe
Wanawake waliruhusiwa, lakini Yahwe hakuwahitaji kwamba waje. Wanaume wangeweza kuwakilisha familia zao zote.
wanapaswa kuonekana mbele ya Yahwe
"wanapaswa kuja na kusimama kwenye uwepo wa Yahwe"
hawataonekana mbele ya Yahwe mikono mitupu; badala yake, kila mtu
mitupu; badala yake, kila mtu- hawatakuja mbele ya Yahwe bila kuwa na sadaka; badala yake, kila mtu." Hizi sentensi mbili hasi kwa pamoja zina maana chanya.
Deuteronomy 16:18-20
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Mnapaswa kuwa na majaji
"Mnapaswa kuteua majaji" au " Mnapaswa kuchagua majaji"
ndani ya malango ya mji wenu
Hapa "malango" uwakilisha mji. "ndani ya miji yenu yote"
watachukuliwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo tendaji. "utawachagua"
wahukumu watu kwa hukumu ya haki
"hukumu watu kwa haki"
Usiondoe haki kwa nguvu
Musa azungumzia haki kama kilikuwa kitu halisi ambacho mtu mwenye nguvu anaweza kwa ukali kutoa kwa mtu dhaifu. "Haupaswi kuwa na upendeleo wakati unahukumu. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo chanya. Lugha yako inaweza kuwa na neno moja ambalo lina maanisha "tumia nguvu kuondoa." "Unapaswa kufanya maamuzi ya haki"
hampaswi
Hapa "m" urejea kwa wale watateuliwa kama majaji na maafisa.
kwa kuwa rusha upofusha macho ya hekima na kupotosha maneno ya wenye haki
Kuchukua rusha husemwa kama rushwa uwaharibu watu. "kwa kuwa hata mtu wa hekima ambaye apokea rushwa atakuwa kipofu, na hata mtu mwenye haki apokea rushwa atasema uongo"
rushwa upofusha macho ya mwenye hekima
Mtu wa hekima apokeae rushwa ili asiongee dhidi ya kitu kiovu husemwa kama amekuwa kipofu.
mwenye hekima
Kivumishi jina "mwenye hekima" kinaweza kutofasiriwa kama kivumishi.
na kupotoshwa maneno ya mwenye haki
Kivumishi jina "haki" kinaweza kutofasiriwa kama kivumishi.
kufuata baada ya haki, baada ya haki pekee
haki husemwa kama mtu ambaye anatembea. Mtu ambaye anafanya kile kilicho sawa na haki husemwa kama alikuwa anafuta kwa karibu nyuma ya haki.
urithi nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa
Kupokea nchi ambayo Mungu anawapa watu husemwa kama watu walikuwa wanarithi nchi kutoka kwa Mungu.
Deuteronomy 16:21-22
hampaswi
Hapa "m" urejea kwa watu wote wa Israeli.
nguzo yoyote ya jiwe takatifu, ambayo Yahwe Mungu wako huchukia.
Maneno "ambayo Yahwe Mungu wako huchukia" inakupa taarifa zaidi kuhusu jiwe takatifu.
nguzo ya jiwe takatifu
Hii urejea kwa nguzo ambazo ni sanamu hutumiwa kuabudu miungu wa uongo.
Deuteronomy 17
Deuteronomy 17:1
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
ambayo ni kosa lolote
"ambayo ina kosa" au "ambayo ina kitu kibaya" Mnyama anapaswa kuonekana mwenye afya pasipo kuwa na ulemavu.
hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe
"ambayo itakuwa machukizo kwa Yahwe"
Deuteronomy 17:2-4
kama kunapatikana miongoni mwenu
Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. "Kama unampata mtu" au "Kama kuna mtu yeyote miongoni mwenu"
ndani ya malango ya mji wenu wowote
Hapa "malango" uwakilisha miji. "kuishi kwenye moja ya miji yenu"
Je, ni jambo baya machoni pa Yahwe Mungu wako
Hapa, "machoni pa Yahwe" umaanisha nini Yahwe azingatia au kufikiri kuhusu kitu fulani. "kitu fulani ambacho Yahwe Mungu hufikiri ni kiovu"
huvujika kwa agano lake
"kutotii agano lake"
yeyote ambaye ameshaenda
"kama unamkuta yoyote ambaye ameshaenda"
yeyote wa jeshi la mbinguni
"nyota yoyote"
hakuna kitu nilichokuamuru
"ambayo sijamwamuru yoyote kufanya"
ikiwa umeambiwa juu ya hili
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo tendaji. "kama mtu anakuambia kuhusu hili tendo la kutotii"
fanya uchunguzi wa makini
Jina dhahania "uchunguzi" inaweza kusemwa kama kitenzi. "unapaswa kwa uangalifu uchunguzi kilichotokea"
Hitilafu hiyo imefanywa nchini Israeli.
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi.
Deuteronomy 17:5-7
Kwa kinywa cya mashahidi wawili, au watatu, yeye atakayekufa atauawa
Hapa "kinywa" uwakilisha ushuhuda wa mashahidi. Hii inaweza kutofasiriwa kwa mfumo kazi.
lakini kwa kinywa cha shahidi moja peke hapaswi kuawa
Hapa "kinywa" uwakilisha ushuhuda wa shahidi. Hii inaweza kutofasiriwa kwa mfumo kazi. "kama mtu mmoja peke anazungumza dhidi yake, basi unapaswa kumuawa"
Mkono wa shahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuawa, na baada ya hapo mkono wa watu wote
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. "Mashahidi wenyewe wanapaswa kuwa wa kwanza kumponda mawe. Basi watu wote watamuawa kwa mponda mawe"
na utaondoa uovu kutoka miongonu mwenu
Jina kuvumshi "uovu" inaweza kusemwa kama kuvumishi. "unapaswa kumuondoa miongoni mwa Waisraeli mtu huyu ambaye afanya uovu huu" au unapaswa kumuawa mtu huyu muovu"
Deuteronomy 17:8-9
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
ikiwa jambo linatokea
"kama kuna jambo" au "kama kuna hali"
haki ya mtu mmoja na mwingine
"haki" ni mamlaka ya kisheria kufanya kitu fulani au kumiliki kitu fulani.
ndani ya malango ya mji wako
Hapa "malango ya mji" uwakilisha miji. "ndani ya miji yenu"
utatafuta ushauri wako
Jina "ushauri" inaweza kusemwa kama kitenzi. "utawauliza wakushauri"
watakupa uamuzi
Jina "uamuzi" inaweza kusemwa kama kitenzi. "watafanya maaumuzi juu ya mambo"
Deuteronomy 17:10-11
Unapaswa kufuata sheria uliyokupa
Mtu kutii kile makuhani na mwamuzi wanachoamua husemwa kama mtu kimwili anafuata kwa nyuma sheria. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Unapaswa kutii kile mwamuzi na makuhani wanamua kuhusu jambo"
Usigeuke kwa kile wanachokuambia, kwa mkono wa kulia au kushoto.
Mtu asipofanya hasa kila mwamuzi na makuhani wanasema anasemwa kama alikuwa ameiacha njia sahihi/
Deuteronomy 17:12-13
kwa kutomsikiliza kuhani...wala kwa kutomsikiliza mwamuzi
"na hakuna kumtii kuhani...wala hakuna kumtii mwamuzi"
utaondoa mbali uovu toka Israeli.
Jina kivumushi "uovu" inaweza kutofasiriwa kama kivumushi. "unapaswa kumwondoa mtu toka miongoni mwa Waisraeli mtu afanyae kitu kiovu" au "unapaswa kumuawa mtu huyu muovu"
Watu wote wanapaswa kusikiliza na kuogopa, na kutotenda kwa kiburi tena
Inamaanisha kwamba wakati watu wanasikia kuhusu mtu aliyeuawa kwa kufanya kwa kiburi, wataogopa na hawatafanya kwa kiburi wenyewe.
Deuteronomy 17:14-15
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Wakati ulipokuja kwenye nchi
Neno "kuja kwenye" linaweza kutofasiriwa kama "kwenda kwa" au "kuingia."
basi unasema, 'Nitaweka mfalme juu yangu, kama mataifa yote ambayo yananizunguka'
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kusemwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "basi unaweza kuamua kwamba unahitaji mfalme kama wa watu wa mataifa ambayo yana wafalme"
weka mfalme juu yangu
Kumpa mtu mamlaka kutawala kama mfalme huko Israeli husemwa kama watu walikuwa wanamweka mtu katika sehemu iliyo juu yao.
kama matiafa yote ambayo yananizunguka mimi
"kama mataifa yaliozunguka"
mataifa yote
mataifa yote Hapa "matiafa" uwakilisha mtu anaishi kwenye mataifa.
moja kutoka miongoni mwa ndugu zenu
"moja ya Waisraeli wenzako"
mgeni, ambaye siyo ndugu yako
Yote haya makundi ya maneno umaanisha kitu kile. Ote urejea kwa mtu ambaye siyo Mwiisraeli.
Deuteronomy 17:16-17
kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, "Haupaswi kuanzia sasa kamwe usirudi njia hiyo tena'
Hii imekuwa nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kusemwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "kwa kuwa Yahwe amekwisha sema kwamba haupaswi kamwe kurudi Misri tena"
ili moyo wake usiondoke kutoka kwa Yahwe
Hapa "moyo" urejea kwa mtu mzima. Wafalme mara nyingi walioa wanawake kutoka mataifa mengine ambayo yaliabudi miungu tofauti. Mfalme wa Israeli ambaye anaanza kuabudu miungu ya uongo wa mke wake husemwa kama moyo wake umegeuka mbali kutoka Yahwe.
Deuteronomy 17:18-19
Wakati akaapo kwenye kiti cha enzi chake cha ufalme
Hapa "kiti cha enzi" uwakilisha ngu ya mtu na mamlaka kama mfalme. Kukaa kwneye kiti cha enzi umaanisha kuwa mfalem.
kutoka sheria ambayo ilikuwa mbele ya makuhani, ambao ni Walawi
"kutoka kwenye nakala ya sheria ambayo makuhani wa kilawi walitunza"
ili kuyashika yote maneno ya sheria na amri hizi, kuzitama
Haya makundi ya maneno umaanisha kimsingi kitu kilekile na kusisitiza kwamba mfalme anapaswa kutii sheria zote za Mungu.
Deuteronomy 17:20
ili kwamba moyo wako haujainuliwa zaid ya ndugu zake
Hapa "moyo wake" ujrea kwa mtu mzima. Mfalme kuwa na kiburi inasemwa kama moyo uliinuliwa
ili kwamba asiache njia kutoka kwa amri, kwa mkono wa kulia na wa kushoto.
Mfalem kutotii amri za Mungu husemwa kama mtu anaiacha njia sahihi.
kuongoze maisha yake
Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. Hii inaweza kutofasiriwa sawasawa na "kuzidisha siku yako" katika 4"25
Deuteronomy 18
Deuteronomy 18:1-2
Habari ya jumla
Musa aendelea kuwambia watu kile Yahwe anahitaji wao wafanye.
hatutakuwa na sehemu wala urithi pamoja na Israeli.
Walawi hawapokei ardhi yoyote kutoka kwa Yahwe husemwa kama hawatapokea urithi.
hakuna sehemu
"hakuna sehemu" au "hakuna sehemu"
miongoni mwa ndugu zake
"miongoni mwa makabila mengine ya Israeli" au miongoni mwa Waisraeli"
Yahwe ni urithi wao
Musa azungumza kwa heshima kwa Aroni na wazao wake watakuwa kwa kumtumikia Yahwe kama makuhani kama Yahwe alikuwa kitu watakachorithi.
Deuteronomy 18:3-5
yu kuhani
"madai ya makuhani" au "kushiriki kwa makuhani"
sehemu za ndani zaidi
Hii ni tumbo na matumbo.
unapaswa kumpa
"unapaswa kutoa kwa kuhani"
amemchagua yeye
Hapa "yeye" uwakilisha Walawi wote
kusimama kwa kutumika kwa jina la Yahwe
Hapa "jina la Yahwe" usimama kwa Yahwe mwenyewe na mamlaka yake. "kuwa watumishi wake maalumu" au " kutumika kama wawakilishi wa Yahwe"
yeye na watoto wake milele
Hapa "yeye" uwakilisha Walawi wote.
Deuteronomy 18:6-8
kutamani kwa roho yake yote
Hii ni nahau. "anatamani sani" au "anataka kweli"
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake
Hapa "jina" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "kisha anapaswa kumtumikia Yahwe na Mungu wake kama kuhani"
anasimama huko mbele ya Yahwe
"ambaye anatumika kwenye mahali patakatifu kwa uwepo wa Yahwe"
urithi wa familia yake
Hiki ndicho kuhani angeweza kurithi kutoka kwa baba yake
Deuteronomy 18:9-11
Wakati unapokuja
Hapa "kuja" kunaweza kutofasiriwa kama "kwenda" au "kuingia"
haupaswi kujifunza kuchunguza machukizo ya mataifa hayo
Mungu achukia shughuli za kidini za watu kwa mataifa yanayowazunguka. Anawazingatia kuwa mbaya sana. Hapa "mataifa" uwakilisha watu.
haipaswi kupatikana kati yenu yeyote
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Pasiwepo miongoni mwenu"
kumweka kijana wake au binti wake kwenye moto
"kutoa dhabihu watoto wake kwenye moto juu ya madhabahu"
yoyote atumiae uchawi ...aongea na roho
Hawa ni watu tofauti wanaotumia uchawi. Mungu amekataza kila aina ya uchawi. Kama hauna neno kwa aina hii ya watu, inaweza kusemwa kwa ujumla. "yeyote atumiae uchawi kujaribu kungundua nini kitatokea badae, kuelezea, au kuongea na roho wafu"
kufungua
kutumia uchawi kutabili baadaye
Deuteronomy 18:12-14
kuwaondoa
Hapa "wao" urejea kwa watu tayari wanaishi huko Kanani.
Kwa mataifa haya
Hapa "mataifa" usimama kwa ajili ya makundi ya watu ambao wanaishi Kanani.
kuwaondoa
"kuwaondoa" au kuwatoa nje"
Deuteronomy 18:15-16
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii
Yahwe kuteua mtu kuwa nabii husemwa kama Yahwe uinua mtu juu.
moja ya ndugu zenu
"moja ya ndugu Waisraeli"
Hiki ndicho ulichouliza
Hapa "wewe" urejea kwa Waisraeli huko kwenye Mlima Horebu kuhusu miaka 40 ya awali.
huko Horebu siku ile ya kusanyiko
"siku ile mlipokusanyika pamoja huko Horebu"
siku ya kusanyiko, kusema, "Hebu tuache kusikia tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto wake mkuu tena, au tutakufa'
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kusemwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "siku ya kusanyiko wakati uliposema kwamba haukutaka kusikia sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, kwa sababu uliogopa kwamba utakufa"
Hebu tuache kusikia tena sauti ya Yahwe Mungu wetu
Hapa "sauti" uwakilisha Yahwe anazungumza. "Hebu tuache kumsikia Yahwe Mungu wetu anazungumza tena"
Deuteronomy 18:17-19
Nitaunua nabii kwa ajili yenu
Yahwe kuteua mtu kuwa nabii husemwa kama Yahwe angeinua mtu juu.
kutoka miongoni mwa ndugu zenu
"kutoka miongoni wenzenu Waisraeli"
Nitaweka maneno yangu kwenye kinywa chake
Yahwe kumwambia nabii nini cha kusema husemwa kama Yahwe angeweka maneno kwenye kinywa cha nabii.
zungumza nao
"zungumza na watu wa Israeli"
usisikilize maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu
Hapa "maneno" uwakilisha nini Yahwe asema. Hapa maneno "jina langu" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "usimsikilize wakati azungumzapo ujumbe wangu"
kuhitaji hivyo
"Mimi nitamshikilia kuwajibika" au "Nitamwadhibu." Hapa "yeye" urejea kwa mtu asiyemsikiliza nabii.
Deuteronomy 18:20-21
Habari ya jumla
Yahwe aendelea kuzungumza
ambaye aongea neno kwa kiburi
Hapa "neno" uwakilisha ujumbe.
kwa jina langu
Hapa "jina langu" urejea kwa Yahwe mwenye na mamlaka yake.
neno ambalo sijakuamuru
Hapa "neno" uwakilisha ujumbe "ujumbe ambao sijakuamuru"
ambaye azungumza kwa jina la miungu mingine
Hapa "jina" uwakilisha miungu yenyewe au mamlaka yao. Hii inamaanisha nabii adai kwamba miungu ya uongo alimwambia kuzungumza ujumbe fulani.
Hivi ndivyo unapaswa kusema kwenye moyo wako
Hapa "moyo" uwakilisha mawazo ya mtu. "Unazungumza mwenywe" au "Unapaswa kusema mwenywe"
Tutagundua je ujumbe wa Yahwe ambao hajazungumza?
"Namna gani tunaweza kujua kama ujumbe ambao nabii amezungumza umetoka kwa Yahwe? Hapa "tu" urejea kwa watu wa Israeli.
Deuteronomy 18:22
Habari ya jumla
Yahwe aendelea kuzungumza
nabii azungumza kwa jina la Yahwe
Hapa "jina la Yahwe" urejea kwa Yahwe mwenyewe na mamlaka yake. "nabii adai kuzungumza nami" au "nabii adai kuzungumza na mamlka yangu"
nabii amezungumza kwa kiburi
"nabii amezungumza ujumbe huu pasipo mamlaka yangu"
Deuteronomy 19
Deuteronomy 19:1-3
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
Wakati Yahwe Mungu wenu huyapunguza mataifa
Yahwe kuwaharibu watu wanaoishi Kanani husemwa kama wamepungunzwa, kama mmoja angewapungunza kwa vipande vya nguo au kupungunza tawi la mti
mataifa
Hii uwakilisha makundi ya watu ambayo huishi huko Kanani.
wale ambao nchi Yahwe Mungu wenu anawapa
"yale mataifa ambayo yalikuwa yanaishi katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa"
kuja baada yao
"chukua nchi kutoka mataifa yale" au "miliki nchi baada ya yale mataifa yaliyoenda"
chagua miji mitatu
"chagua miji 3"
Unapaswa kujenga barabara
Walikuwa wanajenga barabara ili kwamba iwe rahisi kwa watu kusafiri kwa miji hii.
gawa mipaka ya ardhi yako kwa sehemu tatu
Ina maanisha kwamba moja ya miji waliochagua unapaswa kuwa kila sehemu ya nchi.
nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anasababisha ninyi kurithi
Yahwe atoa nchi kwa watu wa Israeli husemwa kama watu walikuwa wanarithi nchi.
Deuteronomy 19:4-5
Hii sheria mpya
"Haya ni maelekezo" au "Huu ni mwelekeo"
kwa yeyote anayemuuwa mwingine
Neno "mtu" linaeleweka. "kwa mtu ambaye anamuuwa mtu mwingine"
na ambaye anakimbilia huko
"na ambaye hutorokea kwa moja ya miji hii" au "na ambaye akimbilia kwa moja ya miji hii"
kuishi
"kuokoa maisha yake." Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "ili familia ya mtu aliyekufa hamuuwi kwa kulipiza kisasi"
yeyote anayemwua jirani yake hajui
Hapa "jiran" umaanisha mtu kwa jumla. "mtu yeyote ambaye anamwua mtu mwingine kwa ajali"
na hakumchukia hapo awali
"lakini hakumchukia jirani yako kabla hajamuuwa." Hii inamaanisha hapakuwa na kisababishio cha yeye kumuuwa jirani yake kwa makusudi.
kama wakati mtu huenda kwenye msitu...kukata kuni
Mwandishi hutoa hali ya kufikiri ambapo mtu amuuwa mtu mwingine kwa ajali.
kichwa kinapiga kutoka shimoni
sehemu ya chuma ya shoka hutoka kwenye kushughulikia.
kumpiga jirani yake ili afe
Hii inamaanisha kichwa cha shoka hugonga na kumuuwa jirani.
kwa moja ya miji hii na kuishi
"kwa moja ya miji hii kuokoa maisha yake." Inamaanisha kwamba familia ya mtu aliyekufa yaweza kulipisa kisasi. Mtu aliyemuuwa anayeweza kukimbilia kwa moja ya miji hii, na watu wa huko watamlinda.
Deuteronomy 19:6-7
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
mlipuko wa damu
Hapa "damu" uwakilisha mtu ambaye aliyeuwawa. "mlipuko wa damu" ni ndugu wa karibu wa mtu aliyeuwawa. Huyu ndugu anawajibika kwa kumwadhibu muuaji.
mmoja aliyechukua maisha
Hii ni nahau. "yule aliyemwua mtu mwingine"
kwa hasira kali
mtu aliye na hasira sana anazungumzwa kama hasira ni kitu kinachoweza kuwa moto.
Na anampiga
"Na mlipuko wa damu huwapiga mtu aliyemwua mtu mwingine"
ingawa mtu huyo hakuwastahili kufa, na hivyo hastahili adhabu ya kifo tangu hakumchukia jirani yake kabla ya hili kutokea
"ingawa mtu huyo hakuwastahili kufa tangu alimuuwa kwa ajali mtu mwingine na hakuwa adui wake"
Deuteronomy 19:8-10
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza kwa watu wa Israeli
kukuza mipaka yako
"ukupa ardhi zaidi kumiliki"
kama alivyowaapia baba zako kufanya
"kama alivyowaahidi babu zenu kwamba atafanya"
kama utayashika hizi amri kuzifanya
"kama unatii amri zote hizi"
daima kutembea kaitka njia zake
Namna Mungu anahitaji mtu aishi au kutenda husemwa kama ilikuwa njia ya Yahwe au barabara. Mtu ambaye anamtii Yahwe husemwa kama alikuwa anatembea kwenye njia ya Yahwe au barabara.
kisha unapaswa kuongeza miji mitatu au zaidi kwa ajili yako
Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "kisha unapaswa kuchagua miji mitatu zaidi kwa ajili ya mtu kutoroka kama amemuuwa mtu kwa ajili"
badala ya hii mitatu
"kwa nyongeza ya miji mitatu uliyoanzisha tayari"
Fanya hivi ili damu ya asiye na hatia isimwangwe.
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo wa kazi. "Fanya hivi ili kwamba ndugu wa familia wasiuwe mtu asiye na hatia"
katikati mwa nchi
"kwenye ardhi" au "kwenye wilaya"
Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi
Nchi ambayo Yahwe anawapa watu wa Israeli husemwa kama ilikuwa urithi.
ili usiwe na hatia ya damu kwako
Watu wa Israeli kuwa na hatia kwa ajili ya mtu kufa kwa sababu hawakujenga mji ambao angekuwa salama kutoka kwa "mlipizi wa damu" inasemwa kama hatia ya kifo chake kiko juu yao.
damu ya hatia
Hapa "damu" uwakilisha uhai na "hatia ya damu" urejea kwa hatia ya mtu aliyo nayo kwa kuuwa mtu asiye na hati.
labda iwe juu yenu
Hii ina maana ya kwamba ndugu wa familia anauwa mtu asiye na hati, basi watu wote wa Israeli watakuwa na hatia kwa kuruhusu hilo kufanyika.
Deuteronomy 19:11-13
jirani yake
Hapa "jirani" umaanisha mtu yeyote kwa jumla.
amelala kumngojea yeye
Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi. "jifiche na kusubiri kwa kusudi la kumuuwa" au " kupanga kumuwa yeye"
kuinuka dhidi yake
Hii ni nahau. "kumvamia yeye"
na kujeruhiwa na kufa
"na kuumiza yeye ili kwamba afe" au "na kumuuwa yeye"
unapaswa kutuma na kumleta nyuma kutoka huko
"unapaswa kutuma mtu kumchukua yeye na kumleta nyuma kutoka kwenye mji ambao alotorokea"
kumgeuza
Hii ni nahau "kumtoa yeye"
kwenye mkono wa ndugu wahusika
Hapa "mkono" uwakilisha mamlaka ya mtu.
anaweza kufa
"muuaji anaweza kufa" au " ndugu ahusikiae anaweza kumuuwa muuaji"
Macho yako hayapaswi kumuonea huruma
Hapa "macho yako" uwakilisha mtu mzima.
unapaswa kuondosha kutoka Israeli
Hapa "hatia ya damu" uwakilisha hatia kwa muuajia mtu asiye na hatia.
kutoka Israeli
Hapa "Israeli" urehea kwa watu wa Israeli.
Deuteronomy 19:14
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
Haupaswi kuondoa alama ya ardhi kwa jirani yako
Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "Haupaswi kuchukua ardhi kutoka kwa jirani yako kwa kuondoa alama kwenye mipaka ya ardhi yake"
wao kuweka mahali
"ambayo babu zenu waliweka"
muda mrefu uliopita
Musa anamaanisha kwamba wakati watu walipoishi kwenye nchi kwa muda mrefu, hawapaswi kuondoa mipaka ambayo babu zao walifanya wakati walipochukua nchi.
katika urithi wenu ambayo mtarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kumiliki
Yahwe kuwapa nchi kwa watu wa Israeli husemwa kama walikuwa wanarithi nchi.
Deuteronomy 19:15-16
Habari ya jumla
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
Shahidi mmoja pekee
"Shahidi mmoja" au "shahidi mmoja pekee"
hapaswi kuinuka dhidi ya mtu
Hapa "kuinuka" umaanisha kusimama mahakamani na kusema kinyume ya mtu kwa jaji. "haupaswi kusema kwa majaji kuhusu kibaya alichofanya mtu"
katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi
"wakati wowote ambao mtu ufanya kitu kibaya"
kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu
Hapa "kinywa" uwakilisha nini mashahidi wanasema. Inamaanisha kwamba kunapaswa angalau kuwa na mashahidi wawili au watatu.
lazima jambo lolote lihakikishwe
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "utahakikisha kwamba mtu ana hatia"
Kama hivyo
"Wakati" au "kama"
shahidi asiye wa haki
"shahidi ambaye anatarajia kumdhuru mtu mwingine"
kuinuka kinyume cha mtu yoyote kushuhudia kinyume cha uovu wake.
Hapa "kuinuka" umaanisha kusimama mahakamani na kusema kinyume cha mtu kwa jaji. "umwambia jaji kwamba mtu alifanya dhambi ili kumuingiza mtu kwenye shida" au "umwambia jaji kwamba mtu alifanya dhambi, ili kwamba jaji amhukumu"
Deuteronomy 19:17-19
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
mmoja kati ya yule utata upo
"mmoja kati hakubaliani na mwingine"
anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi
Hii inamaanisha watu wawili wanapaswa kwenda mahali patakatifu ambapo uwepo wa Yahwe ukaa. Mahali patakatifu wako makuhani na waamuzi ambao wana mamlaka kufanya maaumizi ya kisheria kwa Yahwe.
kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi
Maneno "kusimama mbele" ni nahau. Inamaanisha kwenda kwa mtu aliye na mamlaka na kumwacha afanye maamuzi ya kisheria kuhusu jambo.
Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu
"Waamuzi wanapaswa kufanya kazi kwa nguvu sana kuamua kilichotokea"
basi lazima umfanyie, kama alivyotaka kumfanyia ndugu yake
"basi unapaswa kumwadhibu shahidi muongo vilevile kama alivyokutaka wewe umwazibu mtu mwingine"
utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu
Hili jina"uovu" linaweza kusemwa kama kivumishi. "kwa kumwadhibu shahidi muongo, utaacha uovu huu ndani ya taifa lenu"
Deuteronomy 19:20-21
Basi wale wanaobaki
"Wakati unapomwadhibu shahidi muongo, watu wengine "
watasikia na kuogopa
Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "watasikia kuhusu adhabu na kuogopa kupata adhabu"
hawatafanya tena aina ya uovu
"kamwe tena hawatafanya uovu kama huo"
Macho yako hayapaswi kuona huruma
Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima. "Haupaswi kumuonea huruma" au "Haupaswi kumuonyesha huruma"
maisha yatalipa kwa maisha... mguu kwa mguu.
Hapa maneno yamefupishwa kwa sababu maana inaeleweka. Inamaanisha watu wanapaswa kumwadhibu mtu kwa njia ileile alivyo mfanyia mwingine.
Deuteronomy 20
Deuteronomy 20:1
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Pindi utokapo kwenda vitani kupigana dhidi ya adui zako
"Utakapokwenda kupigana katika vita dhidi ya adui zako"
na kuona farasi, vibandawazi
Watu walichukulia jeshi lenye farasi wengi na vibandawazi kuwa na nguvu sana. Maana kamili ya kauli hii yaweza kuwekwa wazi.
yeye aliyekuleta juu kutoka nchi ya Misri.
Yahwe aliwaleta watu kutoka Misri hadi Kaanani. Ilikuwa kawaida kutumia neno la "juu" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani. "Yahwe aliyekuongoza kutoka katika nchi ya Misri"
Deuteronomy 20:2-4
Taarifa ya Jumla:
Musa aliendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
kuongea na watu
"zungumza na maaskari wa Israeli"
Msidhofishe moyo wenu. Msiohofu au kutetemeka. Msiwaogope
Misemo hii minne yote ina maana moja na inasisitiza kwa nguvu ya kwamba hawapaswi kuogopa. Iwapo lugha yako haina njia nne ya kuelezea wazo hili, unaweza kutumia chini ya njia nne.
Msidhofishe moyo wenu
Hapa "moyo" inawakilisha ujasiri wa watu. Kwa moyo kudhoofika ni lugha nyingine inayomaanisha "Usiogope"
Yahwe Mungu wenu ndiye aendae pamoja nanyi kupigana kwa ajili yenu dhidi ya maadui zenu
Yahwe kuwashinda adui wa watu wa Israeli inazungumziwa kana kwamba Yawhe alikuwa mpiganaji ambaye angepigana pamoja na watu wa Israeli.
kuwaokoa
"kukupa ushindi"
Deuteronomy 20:5
Taarifa ya Jumla:
Musa anasema kile ambacho maakida wa jeshi wanapaswa kuzungumza kwa watu wa Israeli kabla ya vita.
Maakida wanapaswa kuzungumza
Moja ya kazi za maakida ilikuwa kuamua nani ataondoka jeshini. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.
Ni mtu yupi ... Acha aende na arudi nyumbani kwake
"Iwapo askari yeyote hapa amejenga nyumba mpya na hajaiweka wakfu, anapaswa kurudi katika nyumba yake"
ili kwamba asife vitani na mtu mwingine aiweke wakfu
Maafisa wanaelezea tukio ambalo lingeweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mtu mwingine hataweka wakfu nyumba yake badala yake"
Deuteronomy 20:6-7
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuelezea matukio yanayomruhusu mtu kuondoka jeshini.
Kuna yeyote ambaye amepanda ... Acha aende nyumbani
"Iwapo askari yeyote hapa ana shamba la mzabibu, lakini bado hajavuna matunda yake, anapaswa kurudi nyumbani kwake"
ili kwamba asife vitani na mtu mwingine afurahie matunda yake
Afisa anaelezea tukio ambalo linaweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mwanamume mwingine asivune matunda yake badala yake"
Ni mtu yupi aliyeposa kuoa mwanamke ... Acha aende nyumbani
"Iwapo askari yeyote hapa ameahidi kumuoa mwanamke, lakini bado hajamuoa, anapaswa kurudi nyumbani kwake"
ili kwamba asife vitani na mume mwingine amuoa
Afisa anaelezea tukio ambalo linaweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mwanamume mwingine asimuoe mwanamke badala yake"
Deuteronomy 20:8-9
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuelezea matukio yanayomruhusu mtu kuondoka jeshini.
Ni mwanaume gani aliye hapa ambaye ni mwenye hofu au mnyonge? Acha aende na arudi nyumbani kwake
"Kama askari yeyote hapa ana hofu na sio jasiri, anapaswa kurudi nyumbani kwake"
hofu au mnyonge
Maneno haya yote mawili yana maana moja. "anaogopa kupigana vitani"
moyo wa ndugu yake usiyeyuke kama moyo wake mwenyewe
Hii ni lahaja. "Muisraeli mwingine hawi na hofu kama anaogopa"
moyo wa ndugu yake ... moyo wake mwenyewe
Hapa "moyo" unawakilisha ujasiri wa mtu.
wanapaswa kuteua majemedari juu yao
"maafisa wanapaswa kuteua watu kuwa majemedari na kuwaongoza watu wa Israeli"
Deuteronomy 20:10-11
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Wakati mtokapo kushambulia mji
Hapa "mji" unawakilisha watu. "Utakapokwenda kushambulia watu wa mji"
wafanye watu hao toleo la amani
"wape watu wa mji fursa ya kujisalimisha"
kufungua malango yao kwako
Hapa "malango" yana maana ya malango ya mji. Msemo wa "kufungua malango yao kwako" inawakilisha watu kujisalimisha na kuruhusu Waisraeli kuingia katika mji. "kuruhusu kuingia mji wao kwa amani"
watu wote wanaopatikana ndani yake
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "watu wote katika mji"
wanapaswa kulazimishwa kukufanyia kazi na wanapaswa kukutumikia.
"wanapaswa kuwa watumwa wako"
Deuteronomy 20:12-13
Lakini kama haitengenezi amani kwenu
Hapa "haitengenezi" ina maana ya mji ambao unawakilisha watu. "Lakini kama watu wa mji hawatajisalimisha" au "Lakini kama watu wa mji hawatapokewa ahadi ya amani"
Deuteronomy 20:14-15
wadogo
"watoto"
na nyara zake zote
"na vitu vyote vya thamani"
mateka
Hivi ni vitu vya thamani ambavyo watu wanaoshinda vita huchukua kutoka kwa watu waliowashambulia.
miji yote
Hapa "miji" inawakilisha watu. "watu wote wanaoishi katika miji"
Deuteronomy 20:16-18
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Katika miji ya watu hawa ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi
Miji ya Kaanani ambayo Yahwe anawapa watu inazungumziwa kana kwamba miji ilikuwa urithi wa watu.
mnapaswa kutunza chochote kilicho na uhai
"hampaswi kuacha kiumbe chochote hai". Hii inaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "Mnapaswa kuua kila kiumbe hai"
mnapaswa kabisa kuwaangamiza
"mnapaswa kuwaangamiza kabisa makundi haya ya watu"
Fanya hivi ili kwamba
"Yaangamize mataifa haya ili kwamba"
kufanya katika njia za machukizo ... miungu yao
"kufanya katika njia za machukizo kama watu wa mataifa walivyofanya kwa miungu yao"
Kama mtafanya, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu
"Kama mtafanya kama watu hawa, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu"
Deuteronomy 20:19-20
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
mkipigana
"kupigana vitani"
kwa kushika shoka dhidi yao
"kwa kukata chini miti kwa shoka"
Kwa maana mti wa kondeni mtu ambaye atauzingira?
Swali hili la balagha linawakumbusha watu kile ambacho walipaswa kukijua. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kwa maana mti ya kondeni sio watu, kwa hiyo sio adui zako"
unaijua siyo miti ya chakula
"unajua sio miti ambayo huotesha matunda ya kula"
utajenga maburuji
Hivi ni vifaa na miundo, kama vile ngazi na minara, ambayo inahitajika kujenga maburuji kwa mji.
mpaka ianguke
Hii ni lahaja. "mpaka watu wa mji watakaposhindwa vita"
ianguke
Hapa "ianguke" ina maana ya mji ambao unawakilisha watu wa mji.
Deuteronomy 21
Deuteronomy 21:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Iwapo mtu amekutwa kauwawa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Iwapo mtu amemkuta mtu ambaye mtu mwingine amemuua"
kalala shambani
Mtu aliyekufa amelala shambani.
haijulikani aliyemshambulia
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na hakuna mtu anayejua aliyemshambulia"
wanapaswa kupima katika miji
"wanapaswa kupima urefu katika miji"
yule aliyeuawa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "yeye ambaye mtu amemuua" au "maiti"
Deuteronomy 21:3-4
hajawahi kubebeshwa nira
"hajawahi kuvaa nira"
litiririkalo maji
Hii ni lahaja ya maji yanayotiririka. "kijito"
bonde ambalo halijawahi kulimwa wala kupandwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "bonde ambalo hakuna mtu hajalima nchi wala kupandwa mbegu"
Deuteronomy 21:5
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
wanapaswa kuja mbele
"wanapaswa kuja bondeni"
kwa maana Yahwe Mungu wako amewachagua wamtumikie yeye
"kwa sababu makuhani ndio wao ambao Yahwe Mungu wako amewachagua kumtumikia"
Yahwe Mungu wako
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" ni katika umoja.
kutoa baraka kwa watu
"kubariki watu wa Israeli"
katika jina la Yahwe
Hapa lugha nyingine "katika jina la" ina maana ya Yahwe na mamlaka yake. "kama yule asemavyo na kufanya kile Yahwe mwenyewe angesema na kufanya"
sikiliza ushauri wao
"sikiliza kile makuhani wanachosema"
kwa maana neno lao litakuwa hukumu
Hapa lugha nyingine "neno lao" ina maana ya kile makuhani wanachosema. "kwa sababu chochote makuhani wanchosema, huo utakuwa uamuzi wao"
katika kila mtafaruku na ugomvi
"kila wakati watu wanapokuwa mahakamani kwa sababu ya kutokuelewana baina yao au mtu kudhuru mtu mwingine"
Deuteronomy 21:6-7
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
mtamba aliyevunjwa shingo
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtamba ambaye shingo yake ilivunjwa na makuhani"
na wanapaswa kutoa suhulisho juu ya jambo hilo
"na wanapaswa kushuhudia kwa Yahwe juu ya jambo hili"
Mikono yetu haijamwaga damu hii
Hapa "mikono" ni lugha nyingine ya mtu mzima na "kumwaga damu" ni lugha nyingine ya kumuua mtu asiye na hatia. "Hatukumuua mtu huyu asiyekuwa na hatia"
wala macho yetu hayajaona suala hili
Hapa "macho" yana maana ya mtu mzima. "na hatuona mtu yeyote akimuua mtu huyu"
Deuteronomy 21:8-9
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia viongozi kile wanachopaswa kusema watakapoosha mikono yao juu ya mtamba. Anazungumza nao kana kwamba anazungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "wako" na "kwao" ni katika umoja.
ambao umewakomboa
Yahwe kuwaokoa watu wa Israeli kutoka utumwani Misri inazungumziwa kana kwamba Yahwe alilipa pesa kuwakomboa watu wake kutoka utumwani.
na usiweke hatia juu ya umwagaji damu usio na kosa miongoni mwa watu wako Israeli
Hii ni lahaja. "na usiwafanye watu wa Israeli kana kwamba wana hatia ya kuua mtu asiyekuwa na hatia"
Kisha umwagaji damu utasamehewa kwao
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kisha Yahwe atasamehe watu wake Israeli kwa kifo cha mtu asiyekuwa na hatia"
utaweka mbali umwagaji damu usio na hatia miongoni mwenu
"hautakuwa na hatia tena kwa kuua mtu asiyekuwa na hatia"
yaliyo mema machoni pa Yahwe
Maneno "machoni pa Yahwe" ni lugha nyingine ya "kile Yahwe anachofikiri ni sahihi"
Deuteronomy 21:10-12
Taarifa ya Jumla
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja.
Utakapokwenda
"nyie ambao ni askari nendeni nje"
nawe ukamtamani
"Unataka kulala naye"
kutaka kujitwalia awe mke wako
"unataka kumuoa"
atanyoa nywele zake
"atanyoa nywele kutoka katika kichwa chake"
kukata kucha zake
"kukata kucha zake"
Deuteronomy 21:13-14
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja.
atazivua nguo alizokuwa amezivaa
Atafanya hivi baada ya mwanamume kumleta katika nyumba yake na atakaponyoa nywele na kukata kucha kama zilivyotajwa katika 21:10. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "atazivua nguo zake za watu wake na kuvaa nguo za Kiisraeli"
wakati alipochukuliwa mateka
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ulipomchukua mateka"
mwezi mzima
"mwezi mzima kamili" au "mwezi kamili"
Lakini usipofurahishwa naye
Unaweza kufanya hivi kuwa wazi ya kwamba mwanamume alilala na mwanamke. "Lakini ukilala naye na kisha kuamua ya kwamba haumtaki kama mkeo"
kumruhusu aondoke apendaye yeye
"mruhusu aondoke atakapo yeye"
kwa sababu umemdhalilisha
"kwa sababu umemuabisha kwa kulala naye na kisha kumfukuza"
Deuteronomy 21:15-17
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
a mmoja wao amempenda na mwingine kamchukia
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Maana zaweza kuwa 1) "na mwanamume anampenda mmoja wa wake zake na kumchukia mke mwingine" au 2) "na mwanamume anampenda mke mmoja zaidi ya anavyompenda mke mwingine"
na wote wamekwisha mzalia watoto
"na wake wote wawili wakapata watoto kupitia kwake"
kama mzawa wa kwanza ni wa mke asiyependwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kama mzawa wa kwanza ni wa mke ambaye mwanamume anamchukia"
basi katika siku ambayo mwanamume
"pale ambapo mwanamume"
mwanamume atakapowarithisha mali zake wanawe
"mwanamume akatoa mali yake kwa wanawe kama urithi"
hapaswi kumfanya mwana wa mke ampendaye kuwa mzawa wa kwanza kabla ya mwana wa mke amchukiaye
"hapaswi kumfanya mwana wa mke anayempenda kana kwamba alikuwa mwana wa kwanza badala ya mwana wa mke asiyempenda"
mara mbili ya sehemu
"mara mbili zaidi"
huyo mwana ni mwanzo wa nguvu zake
Hii ni lahaja. "mwana huyo ndiye anayeonyesha ya kwamba mwanamume huyo anaweza kuwa baba wa wanawe"
Deuteronomy 21:18-19
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
ambaye hatatii sauti ya baba yake au sauti ya mama yake
Hapa "sauti" ni lugha nyingine kwa kile mtu anachozungumza. "ambaye hatatii kile baba yake au mama yake anasema"
kurekebishwa
"wanamuadhibu kwa kutenda ubaya wake" au "wanamfundisha na kumuelekeza"
anapaswa kumshika na kumleta mbele
"wanapaswa kumlazimisha kutoka nje"
Deuteronomy 21:20-21
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja.
Huyu mwanetu
"Mwana wetu"
hataki kusikia sauti zetu
Hapa "sauti" ni lugha nyingine kwa kile mtu anasema au lugha nyingine ya mtu mzima. "hatafanya kile ambacho tunamwambia kufanya" au "hatatutii".
mwasherati
mtu ambaye hula na kunywa sana
mlevi
mtu ambaye hunywa sana kileo na kulewa mara kwa mara.
kumpiga kwa mawe hadi kufa
"kutupa mawe kwake mpaka afe"
mtaondoa uovu miongoni mwenu
Kivumishi "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kuondoa miongoni mwa Waisraeli mtu ambaye anafanya uovu huu" au "mnapaswa kumuua mtu huyu muovu"
Israeli yote
Neno "Israeli" ni lugha nyingine la watu wa Israeli. "Watu wote wa Israeli"
tasikia juu ya hili na kuogopa
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "atasikia juu ya kilichotokea kwa mwana na kuogopa ya kwamba watu watamuadhibu pia"
Deuteronomy 21:22-23
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja.
Iwapo mwanamume kafanya dhambi inayostahili kifo
"Iwapo mwanamume amefanya jambo baya sana hadi unahitajika kumuadhibu kwa kumuua"
akauwawa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kumuua" au "utamuua".
kwa kunyongwa juu ya mti
Maana zaweza kuwa 1) "na baada ya kufa unamnyonga ju ya mti" au 2) "na utamuua kwa kumyonga katika nguzo ya mbao"
unamzika siku hiyo
"mzike katika siku hiyo hiyo ambayo umemuua"
kwa maana yeyote anyongwaye amekwisha laaniwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Maana zaweza kuwa 1) "kwa sababu Mungu hulaani kila mtu ambaye watu humyonga kwenye miti" na 2) "watu huwanyonga mtini wale ambao Mungu amewalaani"
usitie najisi nchi
kwa kukiacha kitu ambacho Mungu amekilaani kikining'inia juu ya mti.
Deuteronomy 22
Deuteronomy 22:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja.
akikosea njia
"kutembea kutoka kwa mmiliki wake"
ukajificha kwao
Hii ni lahaja. "fanya kama vile hauwaoni" au "ondoka bila kutenda jambo lolote"
Iwapo Muisraeli mwenzako hayupo karibu nawe
"Kama Muisraeli mwenzako anaishi mbali na kwako"
au kama haumfahamu
"au kama haujui ni nani mmiliki wa mnyama ni nani"
na lazima uwe naye mpaka pale mwenyewe atakapomtafuta
"na unapaswa kukaa na mnyama mpaka pale mmiliki atakapokuja kumtafuta"
Deuteronomy 22:3-4
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "unapaswa" ni katika umoja
Unapaswa kufanya vivyo hivyo kwa punda wake
"Unapaswa kurudisha punda wake katika njia hiyo hiyo"
unapaswa kufanya vivyo hivyo na vazi lake
"Unapaswa kurudisha mavazi yake katika njia hiyo hiyo"
hautakiwi kujificha
Hii ni lahaja. "haupaswi kufanya kana kwamba hauoni ya kuwa amepoteza kitu" au "haupaswi kuondoka bila kufanya kitu"
hakika unapaswa kumsaidia kumwinua tena
"unapaswa kumsaidia Muisraeli mwenzako kumuinua mnyama asimame kwa miguu yake"
Deuteronomy 22:5
Taarifa ya Jumla:
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
kinachokusudiwa kwa mwanamume
"nguo za wanaume"
Deuteronomy 22:6-7
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" ni katika umoja.
kiota cha ndege
nyumba ambayo ndege hujitengenezea kwa kutumia vijiti, nyasi, mimea, na matope.
kikiwa na makinda ya ndege au mayai ndani mwake
"na watoto wa ndege aumayai ndani ya kiota"
na mama yao akiwa juu yao
"na mama wa ndege akikalia juu ya makinda ya ndege"
siku zako ziweze kurefushwa
Siku ndefu ni lugha nyingine kwa maisha marefu. "kuweza kuishi muda mrefu".
Deuteronomy 22:8
Taarifaya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
kitalu kwa ajili ya paa yako
uzio ulio chini ukizunguka ukingo wa paa ili watu wasianguke kutoka kwenye paa.
ili usilete damu juu ya nyumba yako
Damu ni alama ya kifo. "ili kwamba isiwe kosa ya nyumba yako iwapo mtu atakufa"
mtu akianguka kutoka pale
"kama mtu yeyote ataanguka kutoka kwenye paa kwa sababu haiukuweka kitalu"
Deuteronomy 22:9-11
Taarifaya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
ili kwamba mavuno yote yasichukuliwe na sehemu takatifu
Maneno "sehemu takatifu" ni lugha nyingine ya makuhani wanaofanya kazi katika sehemu takatifu. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili kwamba makuhani katika sehemu takatifu ya Yahwe wasichukue mavuno yote" au "ili kwamba usitie najisi mavuno yote na makuhani wasikuruhusu kuyatumia".
na matunda ya mzabibu
"na matunda ambayo huota katika shamba la mzabibu"
sufu
manyoya malaini, yalikunjika ambayo huota kwa kondoo
kitani
uzi unaotengezwa kutokana na mmea wa kitani
Deuteronomy 22:12
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
pembe
"manyamunyamu". Hizi ni nyuzi ambazo zimefungwa pamoja na kuning'inizwa kutoka kwenye pembe moja ya joho.
za nguo
Nguo ndefu ambalo mtu huvaa juu ya mavazi yake mengine.
Deuteronomy 22:13-14
Taarifaya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
na kisha kumtuhumu kwa vitu vya aibu
"na kisha kumtuhumu yeye kulala na mtu mwingine kabla hajaolewa"
na kumharibia sifa yake
Nomino inayojitegemea ya "sifa" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "na kufanya watu wengine kufikiri kuwa yeye ni mtu mbaya"
lakini nilipomkaribia
Hii ni njia ya upole ya kusema "kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu". "lakini nilipolala naye"
sikukuta ushahidi wa ubikira kwake
Nomino inayojitegemea ya "ushahidi" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "hakuweza kutoa ushahidi kwangu ya kwamba alikuwa bikira"
Deuteronomy 22:15
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
wanatakiwa kupeleka ushahidi wa ubikira wake
Nomino inayojitegemea ya "ushahidi" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "anapaswa kupeleka kitu ambacho kitakuwa ushahidi ya kwamba alikuwa bikira"
Deuteronomy 22:16-17
Taarifa ya Jumla:
Musa bado anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
amemtuhumu na vitu vya aibu
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "amemtuhumu kwa kulala na mtu mwingine kabla hajamuoa"
Sikukuta ushahidi wa ubikira kwa binti yako
Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikira" zinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "Binti yenu hakuweza kuthibitisha ya kuwa alikuwa bikira"
Lakini ushahidi huu hapa wa ubikira wa binti yangu
Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikra" vinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "Lakini hii inathibitisha ya kuwa binti yangu alikuwa bikira"
Kisha watatandaza shuka mbele ya wazee wa mji
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Na kisha mama na baba watatoa nguo yenye doa la damu kwa wazee kama ushahidi ya kuwa alikuwa bikira"
Deuteronomy 22:18-19
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
nao wanapaswa kumtoza faini
"na wanapaswa kumfanya alipe kama adhabu"
shekeli mia moja
"Shekeli 100"
na kumpatia baba wa binti
"na kumpa pesa kwa baba wa binti"
kasababisha sifa mbaya kwa bikra wa Israeli
Nomino inayojitegemea "sifa" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "amesababisha watu kufikiri ya kwamba bikira wa Israeli ni mtu mbaya"
hatakiwi kumfukuza
"usimruhusu amuache"
katika siku zake zote
Hii ni lahaja. "katika maisha yake yote"
Deuteronomy 22:20-21
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Ila kama jambo hili ni la kweli
"Lakini kama ni kweli" au "Lakini kama kile ambacho mwanamume anasema ni kweli"
kwamba ushahidi wa bikira ya binti haukupatikana kwa binti
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ya kwamba mwanamume hakupata ushahidi ya kwamba binti alikuwa bikira"
ushahidi wa bikra
Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikira" zinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "kitu kinachothibitisha ya kwamba binti alikuwa bikira"
basi wanapaswa kumpeleka binti
"kisha wazee wanapaswa kumtoa binti nje"
kumpiga kwa mawe hadi afe
"kutupa mawe kwake mpaka afe"
kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli
"kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli"
kwa kutenda kama kahaba chini ya nyumba ya baba yake
"kutenda kama kahaba angali akiishi katika nyumba ya baba yake"
mtakuwa mmeondoa uovu
Kivumishi "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kutoa miongoni mwa Waisraeli mtu ambaye anafanya jambo hili ovu" au "unapaswa kumuua mtu huyu muovu"
Deuteronomy 22:22
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
Iwapo mwanamume kakutwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama mtu anamkuta mwanamume"
anyi mtakuwa mmeondoa
"kwa njia hii utakuwa umetoa"
Deuteronomy 22:23-24
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
amechumbiwa na mwanamume
"'ambaye ameahidiwa kuolewa na mwanamume"
wachukueni ... kuwapiga mawe
Amri hizi zinatamkwa kwa Israeli kama kundi na kwa hiyo zipo katika wingi.
wachukueni wote wawili
"kisha unapaswa kuwaleta wote msichana na mwanamume aliyelala naye"
kwa sababu hakupaza sauti
"kwa sababu hakupaza sauti kuomba msaada"
kwa sababu amemwingilia mke wa jirani yake
Katika wakati huo Waisraeli walimchukulia mwanamume na mwanamke ambao walikuwa wamechumbiana kwa ajili ya ndia kama mume na mke. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kwa sababu alilala na msichana ambaye alikuwa wa Muisraeli mwenzake"
nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu
Kivumishi cha "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kuondoa miongoni mwa Israeli mtu ambaye anafanya jambo hili ovu" au "unapaswa kumuua mtu huyu muovu"
Deuteronomy 22:25-27
msichana aliyechumbiwa
Hii ina maana msichana ambaye wazazi wamekubali aolewe na mwanamume fulani, lakini msichana bado hajaolewa.
basi mwanamume pekee aliyelala naye ndiye lazima afe
"kisha unapaswa kumuua mwanamume tu ambaye alilala naye"
hakuna dhambi inayostahili kifo kwake msichana
"hautakiwi kumuadhibu kwa kumuua kwa kile alichofanya"
Kwa maana suala hili ni kama mwanamume amshambuliapo jirani yake na kumuua
"Kwa kwa sababu suala hili ni kama suala la mtu kumshambulia mtu mwingine na kumuua"
Kwa maana alimkuta shambani
"Kwa sababu mwanamume alimkuta msichana akifanya kazi shambani"
Deuteronomy 22:28-29
lakini hajachumbiwa
"lakini ambaye wazazi wake hawajamuahidi mwanamume mwingine ya kuwa ataolewa na yeye"
na kama wakagundulika
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na kama mtu akagundua kilichotokea"
shekeli hamsini za fedha
Shekeli ina uzito wa gramu kumi na moja. "vipande hamsini vya fedha" au "gramu 550 za fedha"
Hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote
Hii ni lahaja. "Hatakiwi kumpa talaka katika maisha yake yote"
Deuteronomy 22:30
hapaswi kumchukua mke wa baba yake kama wake
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hatakiwi kumuoa mke wa zamani wa baba yake, hata kama si mama yake"
Deuteronomy 23
Deuteronomy 23:1-2
Mwanamume aliyejeruhiwa kwa kupondwa au kukatwa
"mwanamume ambaye sehemu zake za siri zimepondwa au kukatwa"
kuingia katika kusanyiko la Yahwe
Hii ni lahaja. "anaweza kuwa mshiriki kamili wa jamii ya Israeli"
Mwana haramu
Maana zaweza kuwa 1) mtoto aliyezaliwa kwa wazazi ambao walijamiiana kwa maharimu au kuzini au 2) mtoto aliyezaliwa kwa kahaba.
kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake
Hii "kumi" ni nambari ya mpango ya kumi. "hata baada ya kizazi cha kumi cha vizazi vya mwana haramu"
hakuna kati yao
"hakuna kati ya vizazi hivi"
Deuteronomy 23:3-4
haruhusiwi kuwa miongoni mwa kusanyiko la Yahwe
Hii ni lahaja. "hawezi kuwa mshiriki kamili wa jamii ya Israeli"
kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake
Hii "kumi" ni mpangilio wa nambari kwa ajili ya kumi. "hata baada ya kizazi cha kumi cha uzao wake"
hawaku kutana nanyi kwa mkate na maji
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hawaku kukaribisha kwa kukuletea chakula na kinywaji"
dhidi yako ... awalaani
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Deuteronomy 23:5-6
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno ya "wako" na "yako" hapa ni katika umoja.
hakumsikiliza
Hii ni lahaja. "hakuwa msikivu"
aligeuza laana kuwa baraka
"akamfanya ambariki na kutokulaani"
Hamtakiwi kutafuta amani au mafanikio yao
Maana zaweza kuwa 1) "Haupaswi kufanya makubaliano ya amani na Waamori na Wamoabu" au 2) "Haupaswi kufanya jambo lolote kusababisha masuala kwenda vizuri kwa yale makundi mawili ya watu kuwawezesha wafanikiwe"
katika siku zenu zote
Hii ni lahaja. "ikiwa bado wewe ni taifa"
Deuteronomy 23:7-8
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja
Hutakiwi kumchukia Muedomi
"Usimchukie Muedomi"
kwa maana ni ndugu yako
"kwa sababu ni jamaa yako"
hutakiwi kumchukia Mmisri
"Usimchukie Mmisri"
Wazawa wa kizazi cha tatu wanaozaliwa kwao wanaweza kuwa katika kusanyiko la Yahwe
Hii "tatu" ni mpangilio wa nambari ya tatu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Kama Muedomi au Mmisri anakuja kuishi katika jamii ya Kiisraeli, wajukuu wake wanaweza kuwa washiriki kamili wa jamii"
Deuteronomy 23:9-11
Utakapotembea kijeshi dhidi ya maadui zako, basi unapaswa kujitenga
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
dhidi ya maadui zako
"kupigana dhidi ya maadui zako"
kujitenga na kila aina ya uovu
"jitenge na mambo yote mabaya"
mwanamume ambaye sio msafi kwa sababu ya jambo lililofanyika kwake usiku
Hii ni njia ya upole ya kusema ya kwamba alikuwa na kutokwa kwa shahawa . "mwanamume yeyote ambaye ni mchafu kwa sababu alikuwa akitokwa na shahawa alipokuwa amelala"
Deuteronomy 23:12-14
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
na utakuwa na kitu katika zana zako cha kuchimbia
"na unatakiwa kuwa na kifaa utakachotumia kuchimbia"
utakapochuchumaa kujisaidia
Hii ni njia ya upole ya kusema kunya. "unapochuchumaa chini kunya"
unapaswa kuchimbia nacho
"unapaswa kuchimba shimo kwa kifaa"
kufunika kile kilichotoka kwako
"funika kinyesi chako"
ili kwamba asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu
"ili kwamba Yahwe asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu"
Deuteronomy 23:15-16
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
mtumwa aliyetoroka kwa bwana wake
Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. "mtumwa kutoka katika nchi nyingine aliyetoroka kwa bwana wake na kuja Israeli"
Mruhusu aishi pamoja nawe
"Mruhusu mtumwa kusihi miongoni mwa watu wenu"
Deuteronomy 23:17-18
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
kahaba wa kidini ... kahaba wa kidini ... kahaba ... mbwa
Yahwe anatoa orodha kamili ya aina mbili za ukahaba za wanamume na wanawake kukataza ukahaba wa mtu kwa sababu yoyote ile.
kahaba wa kidini ... miongoni mwa mabinti ... miongoni mwa wana wa kiume
Maana zaweza kuwa ya kwamba Musa 1) alikataza wazi wanawake na wanamume kufanya matendo ya ngono kama sehemu ya ibaada hekaluni au 2) anatumia tasifida kukataza wanawake na wanamume kufanya matendo ya ngono kupokea pesa.
Hautakiwi kuleta mshahara wa kahaba ... katika nyumba
"Mwanamke anayepata pesa kama kahaba hatakiwi kuleta pesa hiyo ... katika nyumba"
mbwa
mwanamume ambaye anaruhusu wanamume kufanya ngono na yeye kwa pesa
katika nyumba ya Yahwe Mungu wako
"katika hekalu"
kwa kiapo chochote
"kutimiza kiapo"
vyote hivi
mshahara wa kahaba wa kike na kahaba wa kiume.
Deuteronomy 23:19-20
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Hutakiwi kumkopesha Muisraeli mwenzako kwa riba
"Kama utakopesha kitu kwa Muisraeli mwenzako, hautakiwi kumfanya alipe zaidi ya alivyokopa"
kukopesha kwa riba
kumkopesha mtu na kumlazimisha mtu huyo kulipa zaidi ya kile alichokopa
riba ya fedha ... kitu chochote kinachokopeshwa kwa riba
"hautakiwi kulipiza riba unapomkopesha mtu pesa, chakula, au kitu chochote"
kila jambo uwekalo mkono wako
Hii ni lahaja. "kila unachofanya"
Deuteronomy 23:21-23
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "kwako" na "wako" hapa ni katika umoja.
haupaswi kukawia kuikamilisha
"hautakiwi kutumia muda mrefu kukamilisha kiapo hiki"
maana Yahwe Mungu wako hakika atadai kiapo hicho
"kwa sababu Yahwe Mungu wako atakulaumu na kukuadhibu iwapo hautakamilisha kiapo chako"
Lakini iwapo utajizuia kutoa kiapo, haitakuwa dhambi kwako
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Lakini, kama hautatoa kiapo, hautakuwa umetenda dhambi kwa sababu hautakuwa na kiapo cha kutimiza"
Kile ambacho kimetoka kinywani mwako
Hii ni lahaja. "Maneno uliyozungumza"
kulingana na kiapo ulichotamka kwa Yahwe Mungu wako
"chochote ulichoapa kwa Yahwe Mungu wako ambacho utafanya"
chochote ulichotamka kwa hiari kwa kinywa chako
"chochote ambacho watu wamesikia ukiahidi kufanya kwa sababu ulitaka kukifanya"
kinywa chako
"ili kwamba watu wasikie ukikitamka"
Deuteronomy 23:24-25
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno ya "wako" na "yako" hapa ni katika umoja.
unaweza kula mizabibu idadi yoyote unayotaka
"kisha unaweza kufurahia kula mizabibu mpaka utosheke"
lakini usiweke yoyote katika kikapu chako
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "lakini haupaswi kuweka mizabibu yoyote katika kikapu chako kubeba pamoja nayo"
Utakapokwenda katika shamba la zao lililoiva la jirani yako
"Utakapokwenda katika shamba la jirani yako ambapo kuna zao linaota"
unaweza kuvuna kichwa cha mavuno kwa mkono wako
"kisha unaweza kula viini vya mbegu kwa mikono yako"
lakini haupaswi kutumia mundu kuvuna zao lililoiva la jirani yako
"lakini usikate chini mazao yalioiva ya jirani yako na kuchukua"
mundu
kifaa chenye ncha kali ambacho wakulima hutumia kuvuna ngano
Deuteronomy 24
Deuteronomy 24:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Mwanamume akimchukua mke na kumuoa
Misemo "kuchukua mke" na "kumuoa" ina maana moja. "Mwanamume anapomuoa mwanamke"
asipokubalika machoni pa mumewe
Hapa "machoni pake" ina maana ya mtu mzima. "akiamua ya kwamba hampendi"
kwa sababu kagundua jambo ambalo si jema kwake
"kwa sababu fulani ameamua ya kwamba hataki kukaa naye"
anatakiwa amwandikie talaka
"anapaswa kumpa mke wake karatasi rasmi inayosema ya kwamba hawajoana tena"
anaweza kwenda na kuwa mke wa mwanamume mwingine
"anaweza kuondoka na kuolewa na mwanamume mwingine"
Deuteronomy 24:3-4
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli juu ya mwanamume anayepata talaka na kuoa mwanamume mwingine.
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Iwapo mume wa pili akamchukia
"Kama mume wa pili akaamua ya kwamba anamchukia mwanamke huyu"
talaka
Hii ni karatasi rasmi inayosema ya kwamba mwanamume na mwanamke hawajaoana tena.
akaiweka mkononi mwake
"kumpatia mwanamke"
mwanamume aliyemchukua kuwa mke wake
"mwanamume wa pili aliyemuoa mwanamke"
baada ya yeye kuwa mchafu
Maana kamili ya kauli hii inawez akuwekwa wazi. "baada ya kuwa mchafu kwa talak na ndoa nyingine kwa mwanamume mwingine"
Hautakiwi kusababisha nchi iwe na hatia
Nchi inazungumziwa kana kwamba inaweza kutenda dhambi. "hautakiwi kusambaza hatia katika nchi"
Deuteronomy 24:5
Taarifa ya Jumla:
Musa bado anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Mwanamume atakapochukua mke mpya
"Mwanamume anapokuwa ameoa mke mpya"
na wala hataamrishwa kwenda kwenye shughuli yoyote ya kulazimishwa
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "na hakuna mtu wa kumlazimisha kuishi mbali na nyumba yake na kufanya aina yoyote ya kazi"
atakuwa huru kuwa nyumbani
"atakuwa huru kuishi nyumbani"
Deuteronomy 24:6
kinu
kifaa kinachotumika kutengeneza unga kwa kusaga mbegu katikati ya mawe mawili mazito.
jiwe la kinu
sehemu ya juu ya jiwe katika kinu
kwa maana hivyo itakuwa kuchukua maisha ya mtu kama dhamana
Neno "maisha" ni lugha nyingine ya kile mtu anachohitaji kuweza kuishi. "kwa sababu atakuwa amechukua kutoka kwa mtu kile ambacho mtu anahitaji kutengeneza chakula kwa ajili ya familia yake"
Deuteronomy 24:7
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Iwapo mwanamume kakutwa kamteka
Hii ni lahaja kwa ajili ya "Kama mwanamume anamteka". Inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "kama utamkuta mwanamume amemteka"
kamteka
kutumia nguvu kwa lazima kumchukua mtu asiye na hatia kutoka nyumbani kwake na kumfunga mateka
moja wa kaka zake miongoni mwa watu wa Israeli
"moja kati ya Waisraeli wenzake"
huyo mwizi lazima afe
"kisha Waisraeli wengine wanapaswa kumuua mwizi huyo kama adhabu ya kile alichofanya"
na utakuwa umeondoa uovu miongoni mwenu
Kivumishi cha "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "na unatakiwa kumtoa miongoni mwa Waisraeli mtu anayefanya uovu huu" au "nawe unapaswa kumuua mtu huyu muovu"
Deuteronomy 24:8-9
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Kuwa mwangalifu ... makini katika kuchunguza ... Kumbukeni nini Yahwe Mungu wako
Musa anazungumza na Waisraeli hapa kana kwamaba wao ni mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na amri "kuwa mwangalifu" na "kumbukeni" ni katika umoja.
Kuwa mwangalifu kuhusu kiini chochote cha ukoma
"kuwa makini iwapo utapata ukoma" au "Kuwa makini kama utakuwa na ukoma"
kila agizo linalopewa kwako ambalo makuhani, Walawi, wanakufundisha
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "maagizo yote ambayo nimekupatia na ambayo makuhani, ambao ni Walawi, wanakufundisha kufanya"
wanakufundisha ... utekeleze ... ulipokuwa ukitoka
Musa hapa anazungumza na Waisraeli kama kikundi kwa hiyo maneno "ukitoka" ni katika wingi.
kama nilivyowaamuru, ili utekeleze
"unapaswa kuhakikisha ya kwamba unafanya kama nilivyowaamuru wao"
nilivyowaamuru
Neno la "wao" lina maana ya makuhani, ambao ni makuhani.
Kumbukeni
Hii ni lahaja. "Kumbuka"
ulipokuwa ukitoka Misri
"katika kipindi ambacho ulikuwa unaondoka Misri"
Deuteronomy 24:10-11
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
Utoapo mkopo wa aina yoyote kwa jirani yako
"Unapotoa mkpo wa kitu kwa jirani yako"
kutafuta dhamana yake
"kuchukua dhamana yake"
dhamana yake
Hii ni lugha nyingine ya "kile alichoahidi angefanya kutoa kama angeshindwa kulipa kile alichokopa"
Utasimama nje
"unatakiwa kusubiri nje ya nyumba"
Deuteronomy 24:12-13
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
hautakiwi kulala na dhamana yake ikiwa mikononi mwako
"Hautakiwi kubaki na koti lake usiku wote"
dhamana yake
Hii ni lugha nyingine ya "kile alichoahidi angefanya kutoa kama angeshindwa kulipa kile alichokopa"
kumrejeshea dhamana yake
"umrudishie alichokupatia kukuonyesha ya kwamba atalipa mkopo wake"
ili aweze kulala ndani ya vazi lake na akubariki
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "ili kwamba aweze kuwa na koti lake kujipatia joto anapolala, na kuwa na shukurani kwako"
vazi
Koti au nguo nyingine ambayo humpatia mtu joto wakati wa usiku. Yawezekana hii ilikuwa "dhamana" ambayo Musa alikuwa akizungumzia katika 24:10.
itakuwa utakatifu kwako mbele za Yahwe Mungu wako
"Yahwe Mungu wako atatoa kibali kwa jinsi ulivyosimamia suala hili"
Deuteronomy 24:14-15
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
Hautakiwi kumuonea mtumishi wa kuajiriwa
"Hautakiwi kumtendea mtumishi wa kuajiriwa vibaya"
mtumishi wa kuajiriwa
mtu ambaye hulipwa kila siku kwa kazi yake
maskini na muhitaji
Maneno haya mawili yana maana za kufanana na husisitiza ya kwamba mtu huyu hawezi kujisaidia mwenyewe.
ndani ya malango ya mji wako
Hapa "malango ya mji" ina maana ya miji au mjini. "moja ya miji yenu"
Kila siku unapaswa kumlipa mshahara wake
"Unapaswa kumpatia mwanamume pesa anayopata kila siku"
jua halipaswi kuzama kabla ya suala hili kutatuliwa
Hii ni lahaja. Waisraeli walichukulia siku mpya kuanza pale jua linapozama. "unatakiwa kumlipa mtu katika siku hiyo anayofanya kazi"
kwa maana ni maskini na anautegemea
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kwa sababu ni maskini na anategemea mshahara wake kununua chakula chake cha siku inayofuata"
asilie dhidi yako kwa Yahwe
"asipaze sauti kwa Yawhe na kumuomba akuadhibu"
Deuteronomy 24:16
Wazazi hawapaswi kuuwawa kwa niaba ya watoto wao
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Haupaswi kuwaua wazazi kwa sababu ya jambo baya ambalo mmoja wa watoto wamefanya"
na wala watoto hawapaswi kuuawa kwa niaba ya wazazi wao
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "na haupaswi kuwaua watoto kwa sababu ya jambo baya ambalo wazazi wao wamefanya"
kila mtu anapaswa kuuwawa kwa dhambi yake mwenyewe
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "unapaswa kumuua mtu kwa sababa ya jambo baya alilofanya mwenyewe tu"
Deuteronomy 24:17-18
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Haupaswi kutumia nguvu kuchukua haki inayomhusu mgeni au yatima
Musa anazungumzia haki kana kwamba ilikuwa kitu halisi ambacho mtu mwenye nguzu zaidi anaweza kukivuta kwa nguvu kutoka kwa mtu mnyonge. "Haupaswi kumtendea mgeni au yatima kinyume na haki"
yatima
Hii ina maana ya watoto ambao wazazi wote wamefariki na hawana ndugu wa kuwatunza.
wala kuchukua vazi la mjane kama dhamana
Mkopeshaji huchukua kitu kutoka kwa mkopaji kuhakikisha ya kuwa angewez kumlipa. Hakuruhusiwa kuchukua vazi lake kwa maana alihitaji kumpatia joto. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "na usichukue vazi la mjane kama dhamana kwa sababu anahitaji kuwa na joto"
ukumbuke
Hii ni lahaja. "kumbuka"
Deuteronomy 24:19-20
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Utakapovuna zao lako shambani mwako
"Utakapokata zao la shamba lako"
tita
mazao ambayo mvunaji amezifunga pamoja
kinapaswa kuwa cha mgeni, cha yatima, au cha mjane
Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "unatakiwa kubakia tita ili kwamba mgeni, na yatima, au mjane anaweza kuchukua"
katika kazi ya mikono yako
Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "katika kazi yako yote unayofanya"
Utakapotikisa mti wako wa mzeituni
Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "Unapotikisa matawi ya mti wa mzeituni, kusababisha mzeituni kuanguka kwenye nchi ili uweze kuchukua"
haupaswi kupanda juu ya matawi tena
"usiokote kila tawi moja kutoka kwenye mti"
itakuwa kwa ajili ya mgeni, kwa yatima na kwa mjane
Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "mizeituni inayobaki katika matawi ni kwa ajili ya wageni, yatima, na wajane kuokota na kuondoka navyo"
Deuteronomy 24:21-22
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
kitakuwa cha mgeni, cha yatima na cha mjane
"mizabibu ambayo hautaokota itakuwa kwa ajili ya mgeni, yatima, na mjane kuokota"
cha mgeni, cha yatima na cha mjane
Hii ina maana yamakundi ya watu. "kwa ajili ya wageni, kwa wale yatima, au kwa wajane"
ukumbuke
Hii ni lahaja. "kumbuka"
Deuteronomy 25
Deuteronomy 25:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Kama muamuzi ataamuru wampige mtu mwenye hatia"
na kupigwa mbele zake
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na atawatazama wakimpiga"
kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake
"idadi ya namba aliyoamuru kwa sababu ya matendo mabaya aliyoyafanya"
Deuteronomy 25:3
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Muamuzi anaweza kumpatia mapigo arobaini
"Muamuzi anaweza kusema ya kwamba wanatakiwa kumpiga mtu mwenye hatia mara 40"
lakini hapaswi kuvuka idadi hiyo
"lakini muamuzi hapaswi kuwaamuru wampige zaidi ya mara 40"
kwa maana akivuka idadi hiyo na kumpiga kwa mapigo mengi zaidi
"kwa sababu kama muamuzi atawaamuru kumpiga zaidi ya mara 40"
basi Muisraeli mwenzako atakuwa kaaibishwa mbele ya macho yenu
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kisha muamuzi atamuaibisha Muisraeli mwenzako mbele ya watu wote wa Israeli"
kaaibishwa mbele ya macho yenu
Hapa lugha nyinginr ya "mbele ya macho yenu" ina maana ya kile watakachokiona. "kuaibishwa, nanyi wote mtaona". Maneno ya kufanana hujitokeza katika 1:7
Deuteronomy 25:4
Haupaswi kumfunga punda
"Hautakiwi kuweka kitu kwenye mdomo wa punda"
anapokuwa akilima shamba
wakati akitenganisha mazao na makapi kwa kutembea juu yake au kuburuza mbao nzito juu yake
Deuteronomy 25:5-6
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Iwapo kaka wanaishi pamoja
Maana zaweza kuwa 1) "kama ndugu wanaishi katika mahali pamoja" au 2) "kama ndugu wanaishi karibu na mwenzake".
basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kisha familia ya mtu aliyekufa anapaswa kumruhusu mjane aolewe na mtu"
na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake
"na kufanya kile ambacho kaka wa mume aliyefariki anatakiwa kufanya"
atarithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki
Neno "jina" ni lugha nyingine ya ukoo wa mtu. "ataendeleza ukoo wa kaka wa mtu aliyekufa"
ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli
Neno "jina" ni lugha nyingine ya ukoo wa mtu. "ili kwamba ukoo wake usipotee kutoka Israeli"
Deuteronomy 25:7-8
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
napaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "unapaswa kwenda juu katika malango ya mji ambapo wazee huamua masuala"
amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake
Hapa "jina" ina maana ya kumbukumbu ya mtu kupitia uzao wake. "anakataa kumpatia kaka yake mwana"
hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu
"hatafanya kile ambacho kaka wa mume wake anatakiwa kufanya na kunioa"
Sitaki kumchukua
"Sitaki kumuoa yeye"
Deuteronomy 25:9-10
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
anatakiwa kuja kwake mbele ya wazee
"anapaswa kutembea kwake huku wazee wakimuangalia"
asiyetaka kujenga nyumba ya kaka yake
Hapa "nyumba" ni lugha nyingine ya familia. "ambaye hampatii kaka yake mwana na kuendeleza ukoo wa kaka yake"
Jina lake Israeli litaitwa
"Watu wa Israeli watajua familia yake kama"
Nyumba ya mtu aliyevuliwa ndara zake
Hapa kutoa ndara inaashiria ya kwamba kaka asingepokea mali yoyote ya kaka yake aliyefariki. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nyumba ya yule ambaye ndara yake ilivuliwa na mjane wa kaka yake aliyekufa ambaye hakumuoa" au "familia ambayo kila mtu anaichukia" au "Familia ambayo ni ya aibu"
Deuteronomy 25:11-12
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "lako" hapa ni katika umoja.
kutoka mikononi mwa yule aliyempiga
Hapa "mkono" una maana ya nguvu au utawala. "kwa hiyo yule aliyempiga hatampiga tena" au "kutoka kwa mwanamume aliyempiga"
jicho lako halipaswi kuwa na huruma
Hapa "jicho" lina maana ya mtu mzima. "hautakiwi kumhurumia" au "hautakiwi kuonyesha huruma kwake"
Deuteronomy 25:13-14
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Haupaswi kuwa na mizani ya uzito tofauti katika mfuko wako, mkubwa na mdogo
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "Hautakiwi kudanganya watu kwa kutumia uzito ambao ni mkubwa kuliko jinsi ulivyosema ulikuwa unaponunua vitu na kwa kutumia uzito ambao ni mdogo zaidi ya ulivyosema ulikuwa unapouza vitu"
mizani
Mizani ni mawe yanayotumika juu ya usawa kuthibitisha jinsi gani kitu kina uzito
Hautakiwi kuwa na vipimo tofauti ndani ya nyumba yako, vikubwa na vidogo
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "Hautakiwi kudanganya watu kwa kutumia uzito ambao ni mkubwa kuliko jinsi ulivyosema ulikuwa unaponunua vitu na kwa kutumia uzito ambao ni mdogo zaidi ya ulivyosema ulikuwa unapouza vitu"
vipimo
Kipimo kilikuwa kikapu au chombo kingine cha kupimia jinsi gani kitu kilikuwa na ujazo.
Deuteronomy 25:15-16
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "wako" ni katika umoja.
kamili na wa haki
"sahihi na haki"
uzito ... vipimo
Uzito ni mawe yanayotumika juu ya usawa kuthibitisha jinsi gani kitu kina uzito. Kipimo kilikuwa kikapu au chombo kingine cha kupimia jinsi gani kitu kilikuwa na ujazo.
siku zako ziwe ndefu
Hii ni lahaja. "unaweza kuishi kwa muda mrefu"
Kwa maana wote wanaofanya vitu hivi, wote wanaovunja haki
"kwa sababu kila mtu anayedanganya watu kwa kutumia ukubwa tofauti wa uzito na vipimo.
Deuteronomy 25:17-19
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako
Hii ni lahaja, na "Amaleki" ni lugha nyingine kwa ajili ya watu wa Amaleki. "Kumbukeni kile Waamaleki walichowafanyia"
ulipokuwa ukitoka
Neno "ukitoka" hapa ni katika wingi.
jinsi alivyokutana na wewe barabarani
"jinsi walivyokutana na wewe njiani"
na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma
"na kushambulia wale watu wenu waliokuwa mstari wa nyuma"
wale waliokuwa wamelegea nyuma
"watu wote waliokuwa dhaifu nyuma ya mstari"
dhaifu na kuchoka
Maneno haya yana maana moja na yanasisitiza jinsi watu walivyokuwa wamechoka. "kuchoka na kuchoka kabisa"
hakumheshimu Mungu
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hakuwa anaogopa adhabu ya Mungu" au "hakumheshimu Mungu"
unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu
"unatakiwa kuwaua Waamaleki wote ili kwamba hakuna yeyote atakayewakumbuka tena"
Deuteronomy 26
Deuteronomy 26:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
baadhi ya mavuno yote ya kwanza
"baadhi ya matunda ya kwanza ya mavuno" au "baadhi ya mazao ya kwanza ya mavuno". Hii "kwanza" ni mpangilio wa nambari ya moja.
Deuteronomy 26:3-4
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Deuteronomy 26:5
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Babu yangu alikuwa Mwaremi mzururaji
Huu ni mwanzo wa kauli ya kwamba mwanamume wa Kiisraeli anatakiwa kutengeneza anapoleta kikapu chake.
Mwaremi mzururaji
Hii ina maana ya Yakobo, ambaye alikuwa baba wa Waisraeli wote. Aliishi miaka mingi katika Aramu-Nahairamu, eneo lililopo Shamu.
na kukaa kule
"na kuishi maisha yake yote kule"
Kule akawa
Neno "akawa" ni lugha nyingine kwa ajili ya "uzao wa Yakobo"
kubwa, lenye nguvu
Maneno haya kimsingi yana maana moja. Yanasisitiza ya kwamba Israeli ikawa taifa kubwa na lenye nguvu. "kubwa sana"
Deuteronomy 26:6-7
Taarifa ya Jumla:
Hii inaendeleza kile Muisraeli anapswa kulema anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe.
walitutendea vibaya na kututesa
Misemo hii miwili kimsingi inasema kitu kimoja. Inasisitiza ya kwamba Wamisri walitenda kwa ukatili sana.
walitutendea
Hapa "walitutendea" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumuisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la.
akasikia sauti yetu
Hapa "sauti" ina maana ya mtu mzima na kilio au maombi yake. "alisikia vilio vyetu" au "alisikia maombi yetu"
mateso yetu, kazi zetu na mateso yetu
"ya kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa, ya kwamba tulikuwa tukifanya kazi ngumu sana, na kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa"
Deuteronomy 26:8-9
Taarifa ya Jumla:
Hii inaendeleza kile ambacho Muisraeli anatakiwa kusema pale anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe.
Yahwe alituondoa
Hapa "alituondoa" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumlisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la.
kwa mkono wake mkuu, kwa mkono wake ulionyoshwa
Hapa "mkono mkuu" na "mkono ulionyoka" ni sitiari kwa nguvu ya Yahwe. "kwa kuonyesha nguvu yake" Maneno kama haya hujitokeza katika 4:34.
kwa hofu kuu
"kwa matendo ambayo yaliwatisha watu waliyoyaona"
nchi inayotiririka kwa maziwa na asali
Hii ni lahaja. "nchi yenye maziwa mengi na mtiririko wa asali" au "nchi ambayo inafaa kwa mifugo na ukulima"
Deuteronomy 26:10-11
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Waisraeli kile wanachotakiwa kusema pale watakapoleta mazao yao ya kwanza kwa Yahwe. Anazungumza kwao kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "yako" hapa ni katika umoja.
mavuno ya kwanza
"matunda ya kwanza ya mavuno" au "mazao ya kwanza ya mavuno"
Unapaswa kuweka chini
"Unapaswa kuweka kikapu chini"
unapaswa kufurahia katika mema yote ambayo Yahwe Mungu wako amekufanyia
"unapaswa kufurahi na kushukuru kwa mambo yote mazuri ambayo Yahwe Mungu wako amekufanyia"
Deuteronomy 26:12-13
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "yako" hapa ni katika umoja.
katika mwaka wa tatu
Hapa "tatu" ni mpangilio wa nambari ya tatu. Kila miaka mitatu watu wa Israeli walitoa moja ya kumi ya mavuno kwa maskini.
yatima
Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote wamefariki na hawana jamaa wa kuwatunza.
mjane
Hii ina maana mwanamke ambaye mume wake amefariki na hana watoto wa kumtunza sasa akiwa mzee.
kula ndani ya malango yenu ya mji na kujazilishwa
Hapa "malango" ina maana ya miji au mji. "ili kwamba wale wanaoishi ndani ya miji yenu wawe na chakula cha kutosha kwa kula"
Nimetoa kutoka
Haya ni maneno ya kwanza ya kauli nyingine ambayo Muisraeli alitakiwa kusema.
wala sijazisahau.
Hii ina maana ya kwamba ametii amri zote za Mungu.
Deuteronomy 26:14-15
Taarifa ya Jumla:
Hii inaendeleza kile ambacho Muisraeli anapaswa kusema kwa Yahwe anapotoa zaka yake kwa maskini.
Sijala kati yao wakati wa maombolezo yangu
"Sijala chochote katika zaka nilipokuwa nikiomboleza"
nilipokuwa mchafu
Hapa "mchafu" ina maana ya mtu ambaye sio msafi kulingana na Sheria. Mungu haruhusu mtu aliye mchafu kugusa zaka anayotoa kwa Mungu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "nilipokuwa mchafu kulingana na Sheria" au "sheria inaposema siwezi kuigusa"
Nimesikiliza sauti ya Yahwe Mungu wangu; Nimetii kila kitu ulichoniamuru kukifanya
Hapa "sauti ya Yahwe" ni lugha nyingine kwa kile Yahwe alichosema. Kauli hizi mbili zinatumia maana moja. Zinasisitiza ya kwamba mtu ametii amri zote za Mungu.
kutoka mahali patakatifu unapoishi, kutoka mbinguni
Misemo hii miwili ina maana moja. "kutoka mbinguni, sehemu yako takatifu"
nchi inayotiririka kwa maziwa na asali.
Hii ni lahaja. "nchi ambapo kuna maziwa na asali inayotiririka" au "nchi ambayo inafaa sana kwa mifugo na kilimo"
Deuteronomy 26:16-17
Taarifa ya Jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote
Lahaja ya "kwa moyo wako" ina maana "kikamilifu" na "kwa nafsi yote" ina maana ya "nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote".
kwamba utatembea katika njia zake na kushikilia sheria zake, maagizo yake na amri zake, na kwamba utaisikiliza sauti yake
Maneno "utatembea", "kushikilia", na "utasikiliza" ina maana ya kufanana hapa. Hapa "sauti" ina maana ya kile Mungu alichosema. "ya kwamba utatii kikamilifu kila kitu Yahwe anachoamuru"
Deuteronomy 26:18-19
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
watu ambao ni mali yake
"watu ambao ni wa kwake"
atawaweka juu zaidi
Hii ni lahaja. "atakufanya uwe wa muhimu zaidi kuliko" au "atakufanya uwe mkubwa zaidi ya"
atawaweka juu zaidi ya mataifa mengine aliyoyaumba nanyi mtapokea sifa, umaarufu na heshima
Maana zaweza kuwa 1) "atakusababisha uwe mkubwa kuliko taifa lingine lolote ambalo ameimarisha, naye atakuwezesha kumsifu na kumheshimu" au 2) "atakuwa na watu wakimsifu zaidi ya jinsi wanavyosifu taifa lingine ambalo alifanya; watu watasema ya kwamba wewe ni bora zaidi ya taifa lingine, nawe watakuheshimu"
Mtakuwa watu waliowekwa kando kwa Yahwe Mungu wako
Yahwe kuchagua watu wa Israeli wawe wake ni njia maalumu ambayo inazungumziwa kana kwamba Yahwe aliwaweka kando kutoka kwa matiafa mengine. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe Mungu wako atakuweka kando kutoka kwa mataifa mengine"
Deuteronomy 27
Deuteronomy 27:1-3
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo isipokuwa, maneno "yake" ni katika umoja.
ninazowaamuru leo ... mtakapopita
Musa anazungumza na Waisraeli kama kundi, kwa hiyo sehemu zote mbili za neno "wako" ni katika wingi.
ninazowaamuru
Hapa "ninazowaamuru" ina maana ya Musa. Wazee wapo pale kwa makubaliano na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza.
kuyachapa kwa lipu
Lipu mara kwa mara ni mchanganyiko wa chokaa, mchanga, na maji ambazo husambazwa juu ya kitu.
nchi inayotiririka kwa maziwa na asali
Hii ni lahaja. "nchi ambayo maziwa mengi na asali hutiririka" au "nchi ambayo ni sahihi kwa mifugo na kilimo"
Deuteronomy 27:4-5
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Mtakapovuka ... yapangane ... ninayowaamuru
Musa anawataarifu Waisraeli kama kundi, kwa hiyo sehemu za "wako" na amri "yapangane" ni katika wingi.
myapige kwa lipu
"sambaza lipu juu yao" au "zitengeneze ili kwamba uweze kuandika juu yao"
mlima wa Ebali
Huu ni mlima karibu na Shekemu.
hautakiwi kuinua chombo cha chuma kujenga mawe
Hii ina maana ya patasi ambayo zingetengeneza mawe kuwa laini, ili yaweze kutosha pamoja vizuri zaidi. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hautachonga mawe ya madhabahu kwa vifaa vya chuma"
Deuteronomy 27:6-8
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
mawe yasiyokuwa na kazi
mawe yaliyo katika maumbo yao ya asili ambayo hakuna mtu aliyeyachonga kwa vifaa vya chuma
Utaandika juu ya mawe
Hii ina maana ya mawe yaliyowekwa juu ya mlima wa Ebali na kufunikwa kwa lipu.
Deuteronomy 27:9-10
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
utii sauti ya Yahwe Mungu wako
Hapa lugha nyingine ya "sauti ya Yahwe" ina maana ya kile anachosema. "tii kile Yahwe Mungu wako anachosema"
ninawaamuru
Musa anawaamuru. Walawi wapo pale kukubaliana na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza.
Deuteronomy 27:11-12
Makabila haya
Hapa lugha nyingine ya "makabila" ina maana ya watu kutoka kwa makabila ya Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yusufu, na Benyamini. "Watu kutoka kwa makabila haya"
mlima Gerizimu
Mlima mdogo kaskazini mwa Mlima Ebali.
Yusufu
Hii inajumlisha makabila ya Efraimu na Manase, ambao ni vizazi vya Yusufu.
Deuteronomy 27:13-14
mlima Ebali
Haya ni maneno ya milima iliyo upande wa magharibi wa Mto Yordani.
kutamka laana
"kusema kwa sauti kuu jinsi Yahwe atakavyokulaani Israeli"
Deuteronomy 27:15
Alaaniwe mwanamume ... ataifanya sirini
Hii ni kauli ambayo Walawi wanapaswa kupaza sauti kwa watu wote wa Israeli. Inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe na alaani mtu ... kuwekwa kando sirini"
kazi ya mikono ya fundi
Hii ni lahaja. "jambo ambalo mtu amefanya"
fundi
mwanamume ambaye anajua kufanya mambo yawe bora
Deuteronomy 27:16-17
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachopaswa kusema.
Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe na alaani mwanamume"
anayetoa alama ya ardhi ya jirani yake
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "ambaye anachukua ardhi kutoka kwa jirani yake kwa kutoa alama za mipaka ya ardhi yake"
Deuteronomy 27:18-19
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachopaswa kusema.
Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe alaani mwanamume"
atumiaye nguvu kupokonya haki inayomstahili mgeni ... mjane
Musa anazungumzia haki kana kwamba ilikuwa kitu halisia ambayo mtu mwenye nguvu anaweza kuvuta kwa nguvu kutoka kwa mtu dhaifu. Lugha yako inaweza kuwa na neno moja yenye maana "kutumia nguvu kuchukua". Maana zingine zinajitokeza katika 24:17."kumtendea mgeni ... mjane bila haki"
yatima
Hawa ni watoto ambao wazazi wake wawili wamefariki na hawana jamaa wa kuwatunza.
mjane
Hii ina maana ya mwanamke ambaye mume wake amefariki na hana watoto ambao wanamtunza katika uzee wake.
Deuteronomy 27:20-21
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema.
Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe amlaani mtu"
mke wa baba yake
Hii haimaanishi mama wa mwanamume, lakini mke mwingine wa baba yake.
amechukua haki za baba yake
Mwanamume anapomuoa mwanamke, ni yeye pekee ana haki halali ya kulala naye. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "amechukua haki halali za baba yake"
atakayelala na aina yoyote ya mnyama
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "anayelala na aina yoyote ya mnyama kwa namna ambayo mwanamume hulala na mwanamke"
Deuteronomy 27:22-23
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema.
Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu"
binti wa baba yake, au binti wa mama yake
Hii ina maana mwanamume hatakiwi kulala na dada yake, hata kama ana mama au baba tofauti.
Deuteronomy 27:24-25
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema.
Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu
Deuteronomy 27:26
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema
Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu
Deuteronomy 28
Deuteronomy 28:1-2
Habari ya jumla
Musa uzungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "wewe" na "wako" hapa ni umoja
kwa sauti ya Yahwe Mungu wako
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile asemavyo. "Kwa kile Yahwe Mungu wenu asemavyo"
ili kushika
"na kutii"
jiweke juu
Musa uzungumza kuwa muhimu au kuwa kuu kama ilikuwa kubwa kimwili, kama juu ya mlima."kukufanya wewe muhimu zaidi kuliko" au kukufanya wewe mkuu kuliko"
Baraka hizo zote zitakuwa kwako na kukupita
Musa aelezea baraka kama mtu ambaye angeweza kukuwavamia kwa mshituo au nafasi na kuzishika. "Yahwe atakubariki kwa njia hizi ambazo zitakushitusha kabisa, na itakuwa kama hautakwepa yeye kukubariki"
Deuteronomy 28:3-4
Habari ya jumla
Musa uzungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "wako" hapa ni umoja.
Kubarikiwa itakuwa kwako
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atakubariki"
kwenye mji...kwenye shamba
Hii "merism" umaanisha kwamba Yahwe atawabariki popote.
matunda ya mwili wako, na matunda ya ardhi yako, na matunda ya wanyama
Hizi ni nahau kwa " watoto wako, na mazao yako, na wanyama wote wako" umbo la "merism" kwa kila kitu Waisraeli wathaminio.
matunda ya wanyama, ongezeko la mifugo yako, na kundi la wanyama wadogo
Kujirudiarudia mara mbili kuko katika njia tatu za kusema kwamba Yahwe atawafanya wanyama wa Waisraeli wengi na wenye nguvu. "wanyama wako wote pamoja na ndama wa ng'ombe na kundi la kondoo"
Deuteronomy 28:5-6
Habari ya jumla
Musa uzungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
Ubarikiwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atakubariki"
vikapu vyako na chombo cha kukandia
Waisraeli walitumia kikapu kubeba nafaka. Chombo cha kukandia lilikuwa bakuri walilotumia kuchanganyia nafaka na kutengeneza mkate.
wakati unakuja ndani...wakati unaenda nje
"merism" urejea kwa shughuli zote za maisha kila sehemu walipoenda.
Deuteronomy 28:7-8
Habari ya jumla
Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
kusababisha maadui zako wanaoinuka dhidi yako kupigwa chini mbele zako
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "kusababisha wewe kuwashinda majeshi ambayo yanawavamia"
lakini watakimbia mbele yako njia saba
"lakini watakimbia mbali kutoka kwako kwa njia saba"
njia saba
"kwa njia nyingi tofauti"
Yahwe ataamuru baraka kuja kwako katika maghala yako
Musa amwelezea Yahwe kuwabariki Waisraeli kama Yahwe alikuwa anamwamuru mtu kuwavamia kwa kumshangao.
na kwa yote ambayo unaweka mkono wako
Hii ni nahau. "na kila kitu unachofanya"
Deuteronomy 28:9-10
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
Yahwe atakuanzisha wewe kama watu ambao wametengwa kwa ajili yake
Yahwe kuchagua watu wa Israeli kuwa wake kwa njia maalumu husemwa kama Yahwe amewaweka katika eneo tofauati kutoka eneo la mataifa mengine yote yanaoishi humo. "Yahwe atakufamya wewe kuwa watu watakatifu ambao ni wake"
mnaitwa kwa jina la Yahwe
Hapa maneno "kuitwa kwa jina la Yahwe" inamaanisha kuwa wake. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe amewaita wake"
Deuteronomy 28:11-12
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
matunda ya mwili wako, katika matunda ya ng'ombe zako, katika matunda ya ardhi yako
Hii ni nahau. "pmaoja na watoto, wanyama, na mazao"
ghala lake la mbinguni
Musa anazungumza juu ya mawingu ambayo mvua huanguka kama walikuwa ni jengo ambao anatunzia mvua.
kwa mkono wa kulia
"wakati mazao uhitaji"
kazi zote za mikono yako
Neno "mkono" ni neno badala la mtu mzima.
Deuteronomy 28:13-14
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
kichwa, na wala siyo mkia
Hii uelezea taifa la Israeli kama mnyama na umaanisha Waisraeli daima watakuwa viongozi juu ya mataifa mengine na kamwe watumishi watawafuata kwa nyuma. Waisraeli watakuwa bora kwa nguvu, pesa, na heshima.
watakuwa pekee juu...kamwe hawatakuwa chini
Waisraeli wataongoza wengine lakini kamwe hawatawapa wengine kuwatawala.
Ninakuamuru wewe
Musa anazungumza na Waisraeli wote, hivyo maneno "wewe" ni wingi.
kama hautageuka mbali kutoka...kwenda mkono wa kulia au kwenda wa kushoto
"kama hautatii... kwa njia yoyote"
Deuteronomy 28:15
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja
lakini kama
Hapa Musa aanza kuelezea laana watu watapata kama hawatatii.
Sauti ya Yahwe Mungu wenu
Hapa maneno "sauti ya Yahwe"umaanisha kile Yahwe asemavyo. "nini Yahwe Mungu wenu anasema"
basi laana hizi zote zitakuja kwako na kukupita
Musa aelezea laana kama mtu anavyowavamia kwa mshituko au kwa nafasi na kuwashika. "Yahwe atakulaani hivi katika njia ambazo kabisa zitakushangaza, na itakuwa kama hautatoroka akulaanipo"
Deuteronomy 28:16-17
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kam walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
Habari ya jumla
Haya maneno yalitokea mapema katika sura.
Utalaaniwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atakulaana wewe"
katika mji...katika shamba
Hii "merism" umaanisha kwamba Yahwe atawabariki wao kila sehemu.
kikapu chako na chombo cha kukandia
Waisraeli walitumia kikapu kubeba nafaka. "chombo cha kukandia" kilikuwa ni bakuri walilotumia kuchanganyia nafaka na kutengeneza mkate.
Deuteronomy 28:18-19
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja.
Habari ya jumla
Haya maneno yalitokea mapema katika sura.
Utalaaniwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atawalaani"
matunda ya mwili wako, matunda ya ardhi yako
Hii ni nahauu kwa ajili "watoto wako, mazao yako"
ongezeko la ng'ombe wako, na kundi la kondoo wako
Kujirudiarudia mara mbili mbili kuko kwa njia mbili kusema kwamba Yahwe atawafanya wanyama wa Waisraeli wengi na imara.
wakati unakuja ndani...wakati unaenda nje
Hii "merism" urejea kwa shughuli zote za kimaisha popote waendako.
Deuteronomy 28:20-21
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja
laana, machafuko, kukemea
"maafa, hofu, na kukatisha tamaa"
kwa yote unayoweka mkono wako
Hii ni nahau. "kila kitu unachofanya"
mpaka uharibiwe
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mpaka maadui zako wakuharibu wewe"
kuniacha mimi
Hapa "mimi" urejea kwa Yahwe
kushikamana
kubaki kwako"
Deuteronomy 28:22
Habari ya jumla
Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja
magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe
Haya yote urejea kwa magonhwa ambayo husababisha watu kuwa wadhaifu na kufa. "magonjwa na kuwaka homa ambayo itawafanya kuwa dhaifu"
kwa kiangazi
"kwa upungufu wa mvua"
ukungu
ukungu ambao ukuwa kwenye mazao na kuyasababisha kuoza
Hivi vitakufukuza
Musa anazungumza kwa mambo mabaya ambayo yangeweza kutokea kwa Waisraeli kama walikuwa watu au wanyama ambayo wangewakimbiza baada ya Waisraeli.
Deuteronomy 28:23-24
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja.
mbingu...zitakuwa shaba
Musa anazungumza juu ya mbingu kuwa kama shaba kwa sababu hapatakuwa na mvua.
ardhi...itakuwa chuma
Musa anazungumza na ardhi kuwa kama chuma kwa sababu hakuna mazao yatakuuwa.
fanya mvua ya ardhi yako kuwa unga na vumbi
"badala ya mvua, kutakuwa na kivumbi"
hadi utakapoangamizwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mpaka ikuangamize"
Deuteronomy 28:25-26
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja.
Yahwe atakusababishia upigwe mbele ya maadu zako
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atasababisha maadui zako kukupiga wewe chini"
utakimbia mbele zao kwa njia saba
Hii ina maanisha Waisraeli wataogopa na hofu na kukimbia kutoka kwa maadui zao.
njia saba
"kwa pande nyingi tofauti"
Utapelekwa huku na kule miongoni mwa falme
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Watu wa mataifa mengine watawaondoa toka tafaifa moja kwa jingine"
Deuteronomy 28:27-29
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja
majipu ya Misri
"ugonjwa ule ule wa ngozi ambao niliwalaani Wamisri"
majipu...vidonda , kiseyeye
Haya ni aina ya magonjwa ya ngozi
ambazo hautapona
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "ambazo hakuna mmoja ataweza kuwaponya"
Utapapasa papasa mchana kama kipofu apapasavyo gizani
Waisraeli watakuwa na maisha magumu hata wakati kila mmoja anafurahia maisha. "watakuwa kama watu vipofu ambao upapasa gizani hata wakati wa mchana"
daima utakandamizwa na kuporwa
"watu wa nguvu sana daima watawakandamiza na kuwapora"
Deuteronomy 28:30-31
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Utashuhudia mtu fulani anamuawa ng'ombe wako"
punda wako atachukuliwa kwa nguvu mbele yako na hatarejeshwa kwako.
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mtu fulani atamchukua punda wako kwa nguvu na hatamrudisha"
Kondoo wako watapewa maadui zako
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Nitawapa kondoo zako maadui wako" au "Nitawaruhusu maadui zako kuchukua kondoo wako"
Deuteronomy 28:32
Habari ya jumla
Mus anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
Watoto wa kiume na mabinti zako watapewa kwa watu wengine
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Nitawapa watoto na binti zako kwa watu wengine" au " Maadui zako watawachukua watoto na binti zako"
macho yako yatawatafuta siku nzima, lakini yatashindwa kwa shauku juu yao.
Hapa "macho yako" urejea kwa mtu mzima. "utachoka wakati udumu kuwatazama na kutamani kuwaona tena."
Hakutakuwa na nguvu mikononi mwako.
Hapa "nguvu mkononi mwako" urejea kwa nguvu.
Deuteronomy 28:33-35
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
taifa
Hapa neno "taifa" umaanisha watu toka kwa taifa.
daima utaonewa na kugandamizwa
Maneno "kuonewa" na "kugandamizwa" kimsingi umaanisha kitu kile kile. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "daima wataonewa na kugandamizwa" au " watawaonea daima"
upatwe na wazimu kwa yale utakayoona yakitendeka
"kile unachoona kitakufanya kuwa wazimu"
ambayo hutaweza kupona
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "kwamba hakuna mmoja atakayeweza kuponya"
Deuteronomy 28:36-37
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
mithali, na uvumi, miongoni mwa watu wote ambako Yahwe atakupeleka.
Maneno "mithali" na "uvumi" kimsingi umaanisha kitu kile kile. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi mpya. "na watu watafanya mithali na uvumi kuhusu wewe" au "Yahwe atakutuma wewe kwa watu ambao watakucheka wewe na kukuziaki."
uvumi
neno au kikundu cha maneno ambayo watu utumia kuwaabisha wengine.
Deuteronomy 28:38-39
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja/
lakini utakusanya mbegu chache
"lakini utavuna chakula kidogo sana"
Deuteronomy 28:40-41
Habari ya jumla
Musa aendelea kuelezea laana za Mungu kama watu hawatamtii. Anazungumza na Waisraeli kam walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
lakini hautajipaka mafuta yoyote ju yako
Watu wangejipaka mafuta ya mizeituni juu yao kufanya ngozi yao kuwa na afya.
mti wako wa mzeituni utaangusha matunda yake
"mti wako wa mzeituni utaangusha matunda yake kabla hayajaiva" au "mzeituni utaanguka kwa miti ya mzeituni kabla hayajaiva"
Deuteronomy 28:42-44
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
atainuka juu zaidi yako juu na juu; wewe mwenyewe utashuka chini na chini.
Hii ni nahau inayomaanisha mgeni atakuwa zaidi na nguvu, pesa, na heshima kuliko Waisraeli.
atakuwa kichwa, nawe utakuwa mkia
Hii inamaanisha mgeni atakuwa kiongozi wa Waisraeli.
Deuteronomy 28:45-46
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
Laana hizi zote zitakujia juu yako na kukuandama na kukupita hadi utakapoangamizwa.
Musa aelezea laana kama mtu ambaye angewavamia kwa mshutuko au kuwakimbiza na kuwashika.
sauti ya Yahwe Mungu wako
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" ni maneno kwa kile Yahwe alisema.
amri na maagizo yake
Maneno "amri" na "maagizo" ni ya kujirudiarudia mara mbili mbili kwa "yote yale Yahwe amekuamuru kufanya."
Deuteronomy 28:47-48
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
shangwe na furaha moyoni
Hapa "shangwe" na "furaha moyoni" umaanisha kitu kile kile. Yanasisitiza kwamba watu wanapaswa kuwa na furaha kumwabudu Yahwe.
Ataweka mzigo wa chuma juu ya shingo yako
Huu ni mfano kwa ajili ya Yahwe kumruhusu adui kuwafanyia Waisraeli kwa ukatili na kuwafanya watumwa.
Deuteronomy 28:49-51
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yapo kwenye umoja.
kutoka mwisho wa ulimwengu
Haya makundi ya maneno umaanisha kitu kile kile na kusisitiza kwamba adui atatokea taifa ambalo liko mbali sana na Israeli.
kutoka mwisho wa ulimwengu
Hii ni nahau. "kutoka maeneo ambayo haujui kitu chochote kuhusu"
kama tai arukaye kwa mhanga wake
Hii umaanisha adui atakuja kwa ghafla na Waisraeli hawataweza kuwazuia.
taifa lenye sura katili ambayo haiheshimu wazee na haionyeshi fadhila
Neno "taifa" ni mfano wa neno kwa ajili ya watu wa taifa hilo.
hadi mmeangamizwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hadi waangamize" au " hadi wawaache bila kitu"
Deuteronomy 28:52-53
Habari ya jumla
Musa aendelea kueleza jeshi ambalo litawavamia Waisraeli kama hawatamtii Yahwe. Anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
malango ya mji yenu
Hapa kukindi cha maneno "malango ya mji" uwakilisha mji
tunda la mwili wako mwenyewe, nyama ya watoto wa kiume na binti zako
Hapa "nyama ya watoto wako na binti zako" uelezea mfano "tunda la mwili wako mwenyewe." Watu watakuwa na njaa baada ya jeshi la maadui kuuzunguka mji wao ambao watakula watoto wao.
tunda la mwili wako mwenyewe
Hii ni nahau. "watoto wako mwenyewe"
Deuteronomy 28:54-55
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
ambaye ni laini na mlegevu miongoni mwenu-a
Musa anasema kwamba si wale peke yao mmoja angetegemea kula watoto wao, lakini hata mtu wa mwisho angetegemea kula watoto wake mwenyewe atakula watoto wake. "ambaye ni laini na mlegevu sana miongoni mwenu - hata yeye"
miongoni mwenu
Musa anazungumza kwa Waisraeli wote kama kundi, hivyo maneno "wewe" hapa ni uwingi.
malango yote ya mji wenu
Hapa "malango ya mji" uwakilisha miji.
Deuteronomy 28:56-57
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
Mwanamke laini na mlegevu miongoni mwenu...maringo
Musa anasema kwamba siyo wale peke mmoja anategemea kula watoto wao, lakini hata wanawake wa uzao wa heshima na upole wa kawaida, ambao mmoja kamwe asingetegemea kula watoto wao, watakula watoto wao. Neno "wewe" hapa ni umoja.
ambaye hatadiriki kuweka tako la mguu wake ardhini kwa sababu ya ulaini na maringo yake
Musa anatia chumvi. Anasisitiza kwamba mwanamke wa heshima yuko tajiri sana na huishi katika kifahari kwamba hataweza kujiruhusu mwenyewe kuwa mchafu.
ulaini na maringo
Hii jina "ulaini" na "maringo" yanaweza kusemwa kama kishazi
ndani ya malango ya mji wako
Hapa "malango ya mji" uwakilisha miji yenyewe.
Deuteronomy 28:58-59
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
ambayo yalioandikwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "ambayo nimeyaandika"
hili tukufu na la kutisha jina, Yahwe Mungu wako
Hapa "jina" urejea kwa Yahwe mwenyewe. "Yahwe Mungu wako ni wa utukufu na wa kushangaza"
Yahwe atafanya mapigo yako kuwa ya kutisha, na yale ya wazao wako;
"Yahwe atatuma mapigo ya kutisha juu yako na uzao wako" au "Yahwe atahakikisha kwamba wewe na uzao wako utateseka kwa mapigo ya kutisha"
Deuteronomy 28:60-62
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
Ataleta juu yako mara nyingine magonjwa yote ya Misri
"Atahakikisha kuwa tena unateseka kwa magonjwa ya Misri"
yatakung'ang'ania
magonjwa hayataacha, na hakuna mmoja ataweza kukuponya kwayo"
kila ugonjwa na pigo ambalo halijaandikwa
Huku kupigwa chuku kunaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hata magonjwa na mapigo ambayo sijaandika"
hadi umeangamizwa
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hadi amewaangamiza"
Utabaki wachache kwa idadi... mlikuwa kama...hamkusikiliza
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi hivyo mifano yote ya "wewe" ni uwingi.
ulikuwa kama nyota wa mbinguni kwa idadi
Hii ina maanisha kwamba zamani kulikuwa na Waisraeli wengi.
sauti ya Yahwe
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile Yahwe asemavyo.
Deuteronomy 28:63-64
juu yako na kutenda mema, na kuwazidisha...atafurahia juu yako kwa kufanya upotee na kwa kukuangamiza. Utang’olewa
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi, hivyo mifano yote ya "wewe" ni uwingi.
utakayoenda...atakusambaza...utaabudu...ambayo hujawajua...wewe wala mababu zako
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja
Awali Yahwe alivyofurahia juu yako kwa kutenda mema, na kuwazidisha
"Yahwe awali alivyofurahia kutenda mema na kukusababisha wewe kuwa wengi"
atafurahia juu yako kwa kufanya upotee
"atafurahia kukufanya wewe kufa"
Utang’olewa katika nchi utakayoenda kuimiliki.
Musa anazungumza juu ya watu kama walikuwa matunda ambayo Yahwe atayaondoa kwa kichaka. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Atawaondoa kutoka kwenye nchi ambayo mnaingia kuimiliki"
kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine wa dunia;
Hizi kulikokithiri kuwili kwa pamoja umaanisha kila sehemu duniani.
Deuteronomy 28:65-66
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" ma "yako" hapa yako kwenye umoja.
hakutakuwa na pumziko chini ya miguu yako
Hapa kikundi cha maneno "chini ya miguu yako" urejea kwa mtu mzima.
Yahwe atakupatia huko moyo wa kutetemeka, macho yanayofeli na nafsi inayoomboleza.
Hii ni nahau. "Yahwe atakusababisha wewe kuogopa, pasipo tumaini, na huzuni"
Maisha yako yataning'inia kwa mashaka mbele yako
"Hautajua kama utaishi au kufa"
Deuteronomy 28:67-68
Habari ya jumla
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
kwa sababu ya hofu moyoni mwenu
Hii ni nahau. "kwa sababu ya hofu mliyonayo"
vitu ambavyo macho yako italazimu kuona
Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima.
nilikuambia
Hapa "ni" urejea kwa Yahwe.
utajitoa kuuzwa kwa maadui zako...kuwanunua
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako mwenyewe" ni uwingi.
Deuteronomy 29
Deuteronomy 29:1
Haya ni maneno ambayo Yahwe alimuamuru Musa kuwaambia
Hii ina maana ya maneno ambayo Musa anataka kuzungumza.
katika nchi ya Moabu
Hii ipo mashariki mwa upande wa Yordani ambapo Waisraeli walikuwa wakikaa kabla hawajaingia katika nchi ya Kaanani. "walipokuwa katika nchi ya Moabu"
maneno ambayo yaliongezwa katika agano ... kule Horebu
Hizi amri za ziada zilitolewa kufanya agano la Yahwe kueleweka vizuri zaidi kwa watu pale watakapokaa katika nchi yao mpya. Amri hizi mpya hazikuwa za agano jipya, lakini ongezeko kwa agano la awali.
Deuteronomy 29:2-4
Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu
Hapa "macho" yanasisitiza ya kwamba Yahwe alitarajia wao kukumbuka ya kwamba walikiona. "Mmeona yote ambayo Yahwe alifanya ili kwamba muone na kukumbuka alichofanya"
mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona
Hapa "macho" yanasisitiza ya kwamba Yahwe alitarajia wao kukumbuka ya kwamba walikiona. "mmeona wenyewe ya kwamba watu waliteseka vibaya"
macho yako
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa
Maneno "ishara" na "miujiza" yote ina maana ya mapigo ambayo Yahwe alituma juu ya Misri. "na vitu vyote vyenye uwezo ambavyo Yahwe alifanya"
Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia
Watu wana mioyo, macho, na masikio. Lugha hii inasema ya kwamba Yahwe hajawawezesha kuelewa kile walichokiona na kusikia kutoka kwa Yahwe, na kwa nini na namna gani wanapaswa kumtii"
hajawapatia moyo wa kufahamu
Hii ni lahaja. "kuwawezesha kuelewa"
Deuteronomy 29:5-6
Nimewaongoza
Yahwe anazungumza na watu wa Israeli.
miaka arobaini
"miaka 40"
ndala zako ... miguuni mwenu
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
kinywaji chochote chenye ulevi
Vinywaji vyenye vileo yawezekana vilivyotengenezwa kwa mazao ya kuvundikwa. havikuwa pombe iliyochujwa.
Deuteronomy 29:7-9
Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani
Haya ni majina ya wafalme.
walikuja dhidi yetu
Hapa "yetu" ina maana ya Musa na watu wa Israeli.
shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba watu walipaswa kutii amri za Mungu. "tii maneno yote ya agano hili"
Deuteronomy 29:10-11
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
miongoni mwa kambi yenu ... mbao zenu ... maji yako
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
mgeni ambaye yumo miongoni mwa kambi yenu, kutoka kwa yule anayekata mbao zenu mpaka kwa yule atekaye
Kulikuwa na wageni wengi miongoni wa Waisraeli. "wageni ambao wamo miongoni mwenu katika kambi yenu, kutoka kwao wale wanaokata mbao na wale wanaoteka maji"
Deuteronomy 29:12-13
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
muingie katika agano la Yahwe Mungu wenu na katika kiapo ambacho Yahwe Mungu wako anafanya na wewe leo
"kukubaliana na agano na kuapa ya kwamba utatii yote ambayo Yahwe Mungu wako anaamuru"
watu kwa ajili yake
"kikundi cha watu kinachokuwa cha kwake pekee"
Deuteronomy 29:14-16
ninafanya
Hapa "ninafanya" ina maana ya Yahwe. "Yahwe anafanya"
aliyesimama hapa pamoja nasi
Hapa "nasi" ina maana ya Musa na watu wa Israeli.
wale ambao hawapo hapa
"vizazi vya baadaye, ambavyo havipo hapa"
tulivyoishi
"tulikuwa watumwa"
Deuteronomy 29:17-19
moyo wake unamuacha Yahwe Mungu wetu leo
Hapa "moyo" ina maana ya mtu mzima, na "kumuacha" ina maana ya kukoma kutii. "ambaye hamtii Yahwe Mungu wetu tena"
mzizi wowote utakaozaa nyongo na pakanga
Musa anazungumza na mtu ambaye humsifu Mungu mwingine sirini kana kwamba alikuwa mzizi, na matendo ya uovu anayofanya kutumikia mungu huyo, na ambayo anamtia moyo wengine kufanya vile. "mtu yeyote anayeabudu miungu na kusababisha wengine kutomtii Yahwe"
mtu huyo
Mtu aliyeelezwa katika mstari wa 18.
atajifariji moyoni mwake
Hii ni lahaja. "akajipongeza" au "akajitia moyo"
ingawa natembea katika ukaidi wa moyo wangu
Hii ni lahaja. "ingawa bado ninakataa kumtii Yahwe"
Hii itaangamiza ubichi pamoja na ukavu
Hapa maneno "ubichi" na "ukavu" ni sitiari ya watu watakatifu na watu waovu. Hii inaunda mkusanyiko wa maneno yenye maana mbili tofauti ya "kila mmoja". "Hii ingesababisha Yahwe kuangamiza wote watakatifu na waovu katika nchi"
ubichi ... ukavu
Vivumishi hivi vya nambari vinaweza kutafsiriwa kama nomino. Kwa sababu mara kwa mara nchi ilikuwa kavu na watu walihitaji mvua ili mazao yao yaote, maneno haya ni sitiari kwa "kuishi ... kufa" au "mema ... mabaya". "vitu vibichi ... vitu vikavu" au "watu wema .. watu wabaya"
Deuteronomy 29:20-21
hasira ya Yahwe na wivu wake utambanika
Kama vile moto unavyokua katika makali, kwa hiyo hasira ya Mungu na wivu unakua katika makali. "hasira ya wivu ya Yahwe utaota kama moto"
hasira ya Yahwe na wivu wake
Hapa neno "wivu" inaelezea "hasira ya Yahwe". "Hasira ya wivu wa Yahwe"
zilizoandikwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeandika"
laana zilizoandikwa katika kitabu hiki vitakuwa juu yake
Musa anaeleza laana kama mtu atakayemshambulia kwa mshtuko. "Yahwe atamlaani na laana zilizoandikwa ndani ya kitabu hiki kwa njia ambazo zitamshangaza kabisa". Maneno yanayofanana yanajitokeza katika 28:15.
Yahwe ataliondoa jina lake kutoka mbinguni
Hii ina maana Mungu atawaangamiza kabisa mtu na familia yake. Baadaye watu hawatamkumbuka. Msemo wa kufanana unajitokeza katika 7:23.
Deuteronomy 29:22-24
Kizazi kifuatacho, watoto wako watakaoinuka baada yako
Maneno "watoto wako ...baada yako" kusema nani "kizazi kifuatacho" ni kipi.
mapigo juu ya nchi hii na magonjwa ambayo Yahwe ameyafanya yawe
"jinsi Mungu alivyolaani nchi ya Kaanani na mapigo na maradhi"
watakapoona kuwa nchi yote imekuwa salfa na chumvi ichomayo
Watu waliweka salfa na chumvi juu ya ardhi kuzuia kitu kuota. "watakapoona ya kwamba Yahwe amechoma nchi kwa salfa na chumvi"
ambapo hakuna kitu kipandwacho au kuzaa matunda
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "pale ambapo hakuna mtu awezaye kupanda mbegu na mazao hayawezi kuzaa matunda"
kama anguko la Sodoma na Gomora
Nomino inayojitegemea "anguko" inaweza kuwekwa kama ibara. "kama vile Yahwe alivyowaangamiza kabisa Sodoma na Gomora"
Adma na Seboimu
Haya ni majina ya miji ambayo Yahwe aliangamiza pamoja na Sodoma na Gomora.
katika ghadhabu na hasira yake
Nomino inayojitegemea "hasira" na "ghadhabu" kimsingi ina maana ya kitu kimoja na inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kivumishi. "alipokuwa na hasira sana"
watasema pamoja na mataifa mengine ... inamaanisha nini?
Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyokuwa moja kwa moja. "watauliza pamoja na mataifa mengine yote kwa nini Yahwe amefanya hili juu ya nchi, na maana ya joto la hasira hii kuu ina maana gani"
watasema pamoja na mataifa mengine
"vizazi vyako na watu wa mataifa mengine yote watasema"
Joto ya hasira hii kali inamaanisha nini?
Mwandishi anawasilisha wazo moja kutumia maneno mawili. "Hasira hii mbaya ina maana gani?"
Deuteronomy 29:25-26
Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao
Hili ni jibu la "Kwa nini Yahwe alifanya hivi katika nchi hii?" 29:22. "Yahwe amefanya hivi katika nchi kwa sababu Waisraeli hawakufuata ahadi na sheria za agano lake"
kutumikia miungu mingine na kuzisujudu
"walitii miungu mingine na kuiabudu"
Deuteronomy 29:27-28
hasira ya Yahwe imewaka dhidi ya nchi hii
Musa analinganisha Yahwe kuwa na hasira na mtu anayeanzisha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Mungu ya kuangamiza chochote kinachomkasirisha, na inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe amekuwa na hasira sana na nchi hii"
nchi hii, ili kuleta
Hapa "nchi" ni lugha nyingine inayowakilisha watu. "watu wa nchi hii, ili kwamba kuleta juu yao"
zilizoandikwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeandika"
Yahwe amewang’oa kutoka nchini ... na kuwatupa
Israeli analinganishwa na mmea mbaya ambao Yahwe ameong'oa na kuutupa nje ya bustani. "Yahwe amewaondoa kutoka katika nchi yao ... na amewalazimisha wao kuondoka"
kwa hasira, kwa ghadhanu, na kwa ghadhabu kali
Maneno "hasira" na "ghadhabu" kimsingi yana maana ya kitu kimoja na yanasisitiza ukubwa mpana wa hasira ya Yahwe. "katika hasira kubwa sana" au "kwa sababu alikuwa na hasira sana"
Deuteronomy 29:29
Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee
"Baadhi ya mambo Yahwe Mungu wetu hajayafunua, na ni yeye pekee anayajua"
yaliyofichuliwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo ameyafunua"
tufanye maneno yote ya sheria hii
Maneno "maneno" ni lugha nyingine kwa "amri". "tunaweza kufanya kila kitu ambacho sheria hii inatuamuru kufanya"
Deuteronomy 30
Deuteronomy 30:1-3
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Vitu hivi vitakavyokuja juu yako
Hapa "vitu hivi" ina maana ya baraka na laana inayoelezwa katika sura ya 28-29. Msemo "itakavyokuja juu yako" ni lahaja ambayo ina maana ya kutokea. "Vitu hivi vyote vitakavyotokea kwako"
ambazo nimeziweka mbele yako
Hii inazungumzia juu ya baraka na laana ambazo Musa aliwaambia watu kana kwamba walikuwa vyombo ambavyo aliviweka kando mbele yao. "ambayo nimekwisha kukuambia sasa hivi
utakapozirejea akilini
Hii ni lahaja. "kumbukeni"
miongoni mwa mataifa mengine
"utakapokuwa ukiishi katika mataifa mengine"
kawapeleka
"amekulazimisha kuondoka"
kutii sauti yake
Hapa "sauti" ina maana ya kile Yahwe anachosema. "tii kile anachosema"
kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote
Lahaja ya "kwa moyo .... wote" ina maana ya "yote" na "yako yot ... nafsi" ina maana "na nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote"
atageuza kutekwa kwako
"kuwaweka huru kutoka kifungoni kwako". Nomino inayojitegemea ya "kutekwa" inaweza kutafsiriwa kama kishazi. "kukuweka huru kutoka kwa yule aliyekukamata"
Deuteronomy 30:4-5
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Iwapo yeyote ya watu walio uhamishoni wapo katika sehemu za mbali sana
"Hata wale watu walio uhamishoni ambao wapo katika sehemu za mbali sana"
chini ya mbingu
"chini ya mbingu" au "juu ya dunia"
Deuteronomy 30:6-8
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
atatahiri moyo wako
Hii sio kutoa kwa nyama kihalisia. Ina maana ya kuwa Mungu atatoa dhambi yao na kuwawezesha kumpenda na kumtii yeye.
kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote
Hii lahaja ya "kwa moyo .... wote" ina maana ya "yote" na "yako yot ... nafsi" ina maana "na nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote"
kutii sauti ya Yahwe
Hapa "sauti" ina maana ya kile Yahwe anasema. "tii kile Yahwe anasema"
ataweka laana hizi zote kwa maadui zako
Musa anazungumzia laana kana kwamba walikuwa mzigo au kifuniko ambacho mtu angeweza kuweka kihalisia juu ya mtu. "atasababisha adui zako kuteseka kutokana na laana hizi"
Deuteronomy 30:9-10
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
kazi yote ya mkono wako
Hapa "mkono" ina maana ya mtu mzima. "katika kazi yako yote unayofanya"
katika matunda ya mwili wako ... katika matunda ya mifugo yako ... katika matunda ya nchi yako
Misemo hii mitatu ni lahaja ya "kwa watoto ... kwa ndama ... kwa mazao."
zilizoandikwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeandika"
kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote
Hii lahaja ya "kwa moyo .... wote" ina maana ya "yote" na "yako yot ... nafsi" ina maana "na nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote"
Deuteronomy 30:11-12
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
wala haipo nje ya uwezo wako kufikia
Musa anazungumza kuweza kuelewa amri inahitaji mtu afanye nini kana kwamba mtu huyo anaweza kufikia kitu halisia. "wala sio vigumu sana kwako kuelewa kile Yahwe anahitaji ufanye"
Nani atayekwenda kwa ajili yetu mbinguni na kutuletea kwetu na kutufanya tuisikie, ili tuweze kuifanya?
Hapa Musa anatumia swali la balagha kusisitiza ya kwamba watu wa Israeli wanafikiri kuwa amri za Yahwe ni ngumu sana kwao kuzifahamu. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mtu anaweza kusafiri kwenda mbinguni kujifunza amri za Mungu na kisha kurudi kutuambia walichokiona ili tuweze kukitii"
Deuteronomy 30:13-14
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
Nani atakwenda ng’ambo ya pili ya bahari kwa ajili yetu na kutuletea kwetu na kutufanya tuisikie, ili tuweze kuifanya?
Hili swali la balagha linaendeleza wazo ya kwamba watu wa Israeli wanafikiri amri za Yahwe ni ngumu sana kufahamu. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mtu anatakiwa kusafiri katika bahari kujifunza amri za Mungu na kisha kurudi na kutuambia zikoje"
katika kinywa chako na moyo wako
Hii ina maana watu tayari wanajua amri za Mungu na wanaweza kuzisema kwa wengine.
Deuteronomy 30:15-16
Taarifa ya Jumla
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
nimeweka mbele yako
Kuweka kitu pale ambapo mtu mwingine anawez kukona ni sitiari ya kumwambia mtu jambo. "nimekuambia kuhusu"
uzima na wema, mauti na uovu
Unaweza kuweka wazi maana inayojitokeza. "ni nini kizuri na kitasababisha uishi, na nini ni kiovu na kitasababisha ufe"
na kuongezeka
"na kuwa na vizazi vingi"
Deuteronomy 30:17-18
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "zako" hapa ni katika umoja.
Lakini moyo wako ukigeuka ... badala yake unavutwa na kusujudia miungu mingine na kuwaabudu
Hapa "moyo" una maana ya mtu mzima. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "ukiacha kuwa mwaminifu kwa Mungu .. na watu waishio katika nchi hiyo kukushawishi kuinama chini na kuabudu miungu mingine"
kwako leo ya kwamba ... siku zako hazitaongezeka
Musa anaongea na Waisraeli kama kundi.
siku zako hazitaongezeka
Siku kuongezeka ni sitiari ya maisha marefu. "uweze kuishi muda mrefu"
Deuteronomy 30:19-20
Taarifa ya Jumla:
Musa anaongea na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, isipokuwa pale inapoandikwa neno "yako" ni katika umoja.
Naziita mbingu na nchi kushuhudia
Maana zaweza kuwa 1) Musa anawaita wale wanaoishi mbinguni na duniani kwa mashahidi kwa kile anachosema, au 2) Musa anazungumza kwa mbingu na dunia kana kwamba ni watu, na kuziita kama mahsahidi kwa kile anachosema.
kushuhudia dhidi yako
"kuwa tayari kusema ya kwamba umefanya mambo maovu"
dhidi yako leo
Musa anazungumza na Waisraeli kama kundi.
kutii sauti yake
Hapa "sauti" ina maana ya kile Yahwe alischosema. "tii kile anachosema"
na kung’ang’ania kwake
"na kumtegemea yey"
Kwa maana yeye ni uzima wako na urefu wa siku zako
"Uzima wako" na "urefu wa siku zako" ni lugha nyingine kwa yule ambaye hutoa uhai na urefu wa siku. Unaweza kuunganisha misemo hii miwili ukihitaji. "Yahwe ni yeye pekee anayeweza kukuwezesha kuishi maisha marefu"
aliapa kwa mababu zako
udondoshaji wa maneno unaweza kujazwa. "aliapa ya kwamba angewapa mababu zako"
Deuteronomy 31
Deuteronomy 31:1-3
umri wa miaka mia moja na ishirini
"umri wa miaka 120"
Siwezi kutoka na kuingia tena
Hapa upeo wa "kutoka" na "kuingia" inatumika pamoja kumaanisha ya kwamba Musa hawezi tena kufanya kile ambacho mwenye afya anaweza kufanya. "Siwezi kwenda sehemu zote unazohitaji kwenda, kwa hiyo siwezi kuwa kiongozi wenu tena"
Mungu wako ... mbele yako ... mbele yako ... utawanyanganya ... mbele yako
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
utawanyanganya
"utachukua nchi yao"
Yoshua atakwenda kabla yako, kama Yahwe alivyonena
"Yoshua atawaongoza kupita mto, kama Yahwe alivyoahidi"
Deuteronomy 31:4-6
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli.
alivyofanya kwa Sihoni na kwa Ogu, wafalme wa Waamori
Hapa "Sihoni" na "Ogu" ina maana ya wafalme wawili wa Waamori na majeshi yao. "alifanya kwa Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, na kwa majeshi wake"
Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema
"uwe hodari na jasiri"
usiogope, na usiwaogope
"usiwaogope kabisa"
Yahwe Mungu wako ... pamoja nawe ... hatakuangusha wala kukuacha
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
hatakuangusha wala kukuacha
Hii inaweza kuwekwa kama tamshi poza na kutafsiriwa kwa chanya. "siku zote atatimiza ahadi zake kwako na atakuwa pamoja nawe siku zote"
Deuteronomy 31:7-8
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
machoni pa Israeli yote
Hii ina maana ya kwamba watu wote wa Israeli walikuwa pale. "katika uwepo wa Waisraeli wote"
Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema
"uwe hodari na jasiri"
utasababisha wairithi
"utawasaidia kuchukua nchi"
Deuteronomy 31:9-11
kuwapatia makuhani, wana wa Walawi
"kuwapatia Walawi, ambao ni makuhani"
miaka saba
"miaka 7"
wa kudumu kwa ajili ya kufuta madeni
"kwa kufuta madeni"
Sikukuu ya Vibanda
Majina mengine ya sikukuu hii ni "Sikukuu ya Tabenakulo", "Sikukuu ya Vibanda", na "Sikukuu ya Kusanyiko". Wakati wa mavuno, wakulima hutenga makazi ya muda shambani. Sikukuu hii ilifanyika baada ya mavuno ya mwisho ya mwaka.
Yahwe Mungu wako ... utasoma
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
katika kusikia kwao
"ili kwamba waweze kusikia"
Deuteronomy 31:12-13
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na makuhani na wazee.
mgeni wako aliye miongoni mwa malango yako
Hapa "malango ya mji" yanawakilisha wao wenyewe. Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu moja, kwa hiyo sehemu za "wao" hapa ni katika umoja. "mgeni wako anayeishi ndani ya miji yako"
kushika maneno yote ya sheria hii
"kutii kwa uangalifu amri zote katika sheria hii"
Deuteronomy 31:14-15
Tazama
"Vuta nadhari kwa kile ninachotaka kukuambia"
nguzo ya wingu
Hii ilikuwa wingu zito la moshi katika umbo la mnara uliosimama.
Deuteronomy 31:16
Tazama
"Vuta nadhari kwa kile ninachotaka kukuambia"
utalala na baba zako
Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa". "utakufa na kujiunga na mababu zako ambao wameshakufa kabla yako"
watainuka na kujifanya kama kahaba
Kuwa kahaba ni sitiari ya kuabudu miungu mingine tofauti na Yahwe. "kuanza kutokuwa mwaminifu kwangu"
Deuteronomy 31:17-18
Taarifa ya Jumla:
Yahwe anaendelea kuzungumza na Musa.
hasira yangu itawaka dhidi yao
Yahwe analinganisha hasira na mtu anayewasha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Mungu kuangamiza chochote kinachomkasirisha. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Nitawasha hasira yangu dhidi yao" au "Nitakuwa na hasira na wao"
Nitaficha uso wangu kwao
Hii ni lahaja. "Sitawasaidia"
watamezwa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitawameza" au "Nitaruhusu maadui zao kuwameza"
watamezwa
Hii ni sitiari ya "kuangamizwa kabisa".
Maafa na taabu nyingi zitawakumba
Hii inaelezea maafa na taabu kama yalikuwa binadamu. "Watapatwa na maafa na taabu nyingi"
Maafa haya hayajaja kwetu ... kati yetu?
Hii inaelezea maafa na taabu kama yalikuwa binadamu. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Maafa haya yananiangamiza .. kati yetu."
Mungu hayupo kati yetu
"Mungu hatulindi tena" au "Mungu ametuacha peke yetu"
Deuteronomy 31:19-20
Taarifa ya Jumla:
Yahwe anaendlea kuzungumza na Musa kuhusu Waisraeli.
Uweke vinywani mwao
Hii ni lahaja. "Wafanye wakariri na kuimba"
nchi inayotiririka kwa maziwa na asali
Hii ni lahaja. "nchi ambayo maziwa na asali zinatiririka kwa wingi" au "nchi ambayo ni sahihi kwa mifugo na kilimo".
Deuteronomy 31:21
Maovu na taabu nyingi zitakapokuja juu ya watu hawa
Hapa maovu na taabu zinaelezwa kana kwamba ni binadamu na inweza kuwapata watu. "Watu hawa watapopitia maovu na taabu nyingi"
wimbo huu utashuhudia mbele yao kama shahidi
Hii inazungumzia juu ya wimbo kana kwamba ilikuwa shahidi wa kibinadamu akishuhudia mahakamani dhidi ya Israeli.
hautasahaulika vinywani mwa uzao wao
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "vizazi vyake havitasahau kushika kinyani mwao"
hautasahaulika vinywani mwa uzao wao
Hii inaweza kuwekwa kama chanya. "uzao wao watakumbuka kushika kinywani mwao"
hautasahaulika vinywani mwa uzao wao
Lahaja ya "kusahau kutoka kinywani mwao" ina maana ya kuacha kuzungumzia juu yake. "uzao wao wataacha kuzungumzia juu yake baina yao"
mipango wanayotengeneza
Kile ambacho watu hupanga kufanya inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu halisia. "kile walichopanga kufanya"
nchi niliyowaahidi
"nchi ambayo nilikuahidi ningewapatia wao"
Deuteronomy 31:22-23
Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema
"Uwe hodari na jasiri"
Deuteronomy 31:24-26
ushahidi dhidi yako
Musa anazungumza na Walawi kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" ni katika umoja.
Deuteronomy 31:27-29
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na Walawi kuhusu watu wote wa Israeli.
uasi wako na shingo yako ngumu
Musa anazungumza na Walawi kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" ni katika umoja.
shingo yako ngumu
"mkaidi"
itakuaje baada ya kifo changu?
Swali hili la balagha linasisitiza jinsi watu walivyokuwa waasi. Inaweza kutafsiriwa kama kauli. "utakuwa muasi zaidi baada ya kufa kwangu"
ili nizungumze maneno haya masikioni mwao
Hapa "masikioni mwao" ina maana ya watu wenyewe. "ili kwamba niweze kuzungumza maneno ya wimbo huu kwao"
kuziita mbingu na nchi kushuhudia dhidi yao
Maana zaweza kuwa 1) Musa anawaita wale wote wanaoishi mbinguni na duniani kushuhudia kile asemacho au 2) Musa anazungumza na mbingu na dunia kana kwamba vilikuwa binadamu, na anawaita wawe mashahidi kwa kile asemacho. Msemo kama huu unajitokeza katika 30:19
mtajiharibu kabisa
"mtafanya kile ambacho ni kibaya kabisa"
kugeuka kuiacha njia niliyowaamuru
"acha kufuata maagizo niliyokupatia"
kwa sababu mtafanya yaliyo maovu machoni pa Yahwe
Hapa "machoni pa Yahwe" ina maana "kwa maoni ya Yahwe"
kwa mikono ya kazi yenu
Hapa "mikono yako" ina maana ya watu wenyewe. "kwa sababu ya kile ulichotengeneza"
Deuteronomy 31:30
Musa alinena masikioni mwa kusanyiko lote la Israeli
Hapa "masikio" ina maana ya mtu mzima. "Musa alinena kwa watu wote wa Israeli"
alinena
Maana zaweza kuwa 1) "aliimba" au 2) "alizungumza"
maneno yote ya wimbo huu
Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "maneno ya wimbo ambayo Yahwe alimfundisha"
Deuteronomy 32
Deuteronomy 32:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Tega sikio, enyi mbingu ... Acha dunia isikie
Yahwe anazungumza kwa mbingu na dunia kana kwamba zinasikiliza. Maana zaweza kuwa 1) Yahwe anazungumza na wakazi wa mbinguni na duniani au 2) Yahwe anazungumza na mbingu na dunia kana kwamba ni wanadamu.
Acha mafundisho yangu yamwagike chini kama mvua ... kama mvua tulivu juu ya majani laini
Hii ina maana Yahwe anataka watu kutaka kupokea fundisho lake lenye msaada.
udondoke
Kujitokeza kwa umande.
umande
maji yanajiunda juu ya majani na nyasi juu ya asubuhi baridi.
majani laini
"mimea mipya"
mvua tulivu
mvua nzito
Deuteronomy 32:3-4
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
nitatangaza jina la Yahwe
Hii ni lahaja. "kusema jinsi gani Yahwe ni mwema"
kumpatia ukuu Mungu wetu
"hakikisha watu wanajua ya kwamba Mungu wetu ni mkuu"
Mwamba
Hii ni jina sahihi ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ni mwenye nguvu na anaweza kulinda watu wake.
kazi yake
"kila kitu afanyacho"
njia zake zote ni za haki
"anafanya kila kitu kwa njia ya haki"
Yeye ni wa haki na mwadilifu
Maneno haya mawili kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ya kwamba Yahwe ni mwenye haki na anafanya kilicho sahihi.
Deuteronomy 32:5-6
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Musa anaendelea kutumia lugha ya kufanana kusisitiza kile anachosema.
Wamefanya yaliyo maovu dhidi yake
"alimzuia kwa kufanya kilicho kiovu" Maneno ya kufanana yanajitokeza katika 4:15.
kizazi kiovu na kilichopindika
Maneno "kiouvu" na "kilichopindika" kimsingi ina maana moja. Musa anazitumia kusisitiza jinsi kizazi kilivyokuwa kiovu. "kizazi kilicho kiovu kabisa"
Je! Unamzawadia Yahwe kwa njia hii ... watu?
Musa anatumia swali kukaripia watu. "Unatakiwa kumpatia yahwe sifastahiki ... watu"
enyi watu wapumbavu na msiojitambua
Maneno "wapumbavu" na "msiojitambua" ina maana ya kitu kimoja na inasisitiza jinsi watu walivyo wapumbavu kwa kutomtii Yahwe. "nyie watu wapumbavu kabisa"
baba yenu ... aliwaumba ... Aliwafanya na kuwaimarisha
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Je! yeye si baba yenu, yule ambaye aliwaumba?
Musa anatumia swali kukaripia watu. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Yahwe ni baba yako na yule aliyekuomba"
Deuteronomy 32:7-8
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Kumbukeni ... tafakari ... baba yako ... atakuonyesha ... wazee wako ... watakuambia
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Kumbukeni
Hii ni lahaja. "Kumbuka"
siku zile za zamani
"siku za zamani". Musa ana maana ya kipindi ambapo mababu wa watu wa Israeli walikuwa hai.
tafakari juu ya miaka mingi ya nyuma
Haya ni marudio ya kile ambacho Musa amemaliza kusema katika sehemu iliyopita. Musa anataka watu wa Israeli kulenga historia yao kama taifa.
atakuonyesha
"atafanya iwe wazi kwako" au "atakuwezesha kuelewa"
alipowapatia mataifa urithi wao
Hii ni lahaja. "kuweka mataifa katika sehemu ambazo wangeishi". Maneno yanayofanana, "kuwapatia kama urithi," inajitokeza katika 4:21.
na kuweka mipaka ya watu, na alipoimarisha idadi ya miungu yao
Mungu aliwapa kila kundi la watu, pamoja na miungu yao, eneo lake mwenyewe. Kwa njia hii, alipunguza ushawishi wa miungu ya kundi la watu.
Deuteronomy 32:9-10
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anavyozungumza kwa Waisraeli, anaongea juu yao kana kwamba walikuwa mtu mwingine na kana kwamba walikuwa mtu mmoja.
Kwa maana fungu la Yahwe ni watu wake; Yakobo ni mgao wa urithi wake
Misemo hii miwili kimsingi ina maana moja na inaweza kuunganishwa. "Uzao wa Yakobo ni urithi wa Yahwe"
Alimpata ... alimkinga na kumtunza ... alimlinda
"Alimpata Yakobo ... alimkinga na kumtunza ... alimlinda" Unaweza kutafsiri hii kana kwamba Musa alikuwa akizungumza kuhusu Waisraeli kama watu wengi. "Aliwapata mababu zetu ... akawakinga na kuwatunza .. akawalinda"
jangwa kame na livumalo upepo
Hapa "livumalo" ina maana ya sauti ambayo upepo inafanya inapovuma katika nchi tupu.
alimlinda kama mboni ya jicho lake
Hii ni lahaja. Mboni ya jicho ina maana ya sehemu ya giza ya jicho ambayo humruhusu mtu kuona. Hii ni sehemu muhimu sana ya mwili. Hii ina maana ya kwamba watu wa Israeli ni muhimu sana kwa Mungu na kitu anachokilinda. "alimlinda kama kitu chenye thamani sana.
Deuteronomy 32:11-12
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Kama tai akichungaye kiota chake na kupiga piga mabawa juu ya makinda yake, Yahwe alitandaza mabawa yake na kuwachukua, na kuwabeba kwenye mapapatio yake
Hii ina maana Yahwe aliwachunga na kuwalinda Waisraeli walipokuwa jangwani.
mapapatio
sehemu ya nje ya ukingo wa mabawa ya ndege
alimuongoza ... pamoja naye
Musa anazungumza na Waisraeli tena kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kuhitaji kutafsiri kana kwamba Musa alikuwa akizungumza na Waisraeli kama watu wengi. "aliwaongoza .. pamoja nao"
Deuteronomy 32:13
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Alimfanya aendeshe katika maeneo ya juu ya nchi
Hii ni lahaja. Neno "alimfanya" ina maana ya watu wa Israeli. "Yahwe aliwafanya waendeshe juu sehemu za juu ya nchi" au "Yahwe aliwasaidia kuchukua na kukaa juu ya nchi"
Alimfanya aendeshe ... alimlisha ... alimrutubisha
Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kutafsiri hiki kana kwamba Musa alikuwa akizungumzia Waisraeli kama watu wengi. "alifanya mababu zetu kuendesha ... aliwalisha .. aliwarutubisha"
alimlisha matunda ya mbugani
"alimleta katika nchi ya mazao mengi awezavyo kula"
alimrutubisha kwa asali kutoka kwenye jiwe, na mafuta kutoka kwenye mwamba mgumu sana
Nchi ilikuwa na nyuki pori nyingi, ambazo hutoa asali, pamoja na mzinga wa nyuki ndani ya mashimo ya mawe. Kulikuwa na miti mingi ya mizeituni, ambayo hutoa mafuta, na huota juu ya mawe, vilima na milima.
alimrutubisha kwa asali
Hii ni kama mama akimpatia mchanga ziwa lake. "alimruhusu kunyonya asali"
Deuteronomy 32:14
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anazungumza kwa Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Alikula
Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kutafsiri hiki kana kwamba Musa alikuwa akizungumzia Waisraeli kama watu wengi. "Mababu zetu walikula"
mafuta ya wanakondoo, kondoo dume wa Bashani na mbuzi
Watu wa Israeli walikuwa na makundi mengi yenye afya ya wanyama.
Deuteronomy 32:15-16
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Yeshuruni
Musa anazungumzia Waisraeli kana kwamba walikuwa mnyama aliyelishwa vizuri ambaye mmiliki wake alimuita Yeshuruni. Unaweza kuongeza maandishi yanayosema, "Jina la "Yeshuruni" ina maana ya "mnyoofu". Kama lugha yako haiwezi kuzungumza juu ya Waisraeli kama Yeshuruni, unaweza kuwasema Waisraeli kama watu wengi.
akakua kwa unene na kupiga mateke
Yeshuruni, mnyama aliyelishwa vizuri ambaye hupiga mateke badala ya kuwa mpole ni sitiari ya Waisraeli, ambao waliasi ingawa Mungu aliwatunza.
ulikua kwa unene, ulikua mnene sana, na ulikuwa umekula ujazo wako
Musa anawakaripia Waisraeli kwa kuzungumza ndani ya wimbo kwa Yeshuruni. "ukawa mnene, ukwa mnene zaidi, na ukawa mnene kadri uwezavyo kuwa"
Mwamba wa wokovu wake
Hii ina maana Yahwe ana nguvu kama mwamba na anaweza kuwalinda watu wake.
Mwamba
Hii ni jina stahiki ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kuwalinda watu wake.
Walimfanya Yahwe apatwe wivu
Waisraeli walimfanya Yahwe awe na wivu.
Deuteronomy 32:17-18
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Walitoa sadaka
"Watu wa Israeli walitoa sadaka"
miungu ambayo imejitokeza hivi karibuni
Hii ina maana Waisraeli hivi karibuni walijua kuhusu miungu hawa.
baba zako
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika wingi.
Umetelekeza ... baba yako ... ukasahau ... aliyekuzaa
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
Umetelekeza Mwamba
Hapa Yahwe anaitwa mwamba kwa sababu ana nguvu na analinda. "Umeacha matunzo ya kilinzi ya Yahwe"
Mwamba
Hii ni jina stahiki ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kuwalinda watu wake.
ambao ulikuwa baba yako ... aliyekuzaa
Hii inamlinganisha Yahwe na baba na mama. Hii ina maana ya kwamba Mungu aliwasababisha waishi kuwa taifa. "aliyekuwa baba yako ... aliyekupa uhai kwako"
Deuteronomy 32:19-20
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
wana wake wa kiume na mabinti zake
Hii ina maana ya watu wa Israeli ambaye Yahwe aliwapa uzima na kuwafanya kuwa taifa.
Nitaficha uso wangu kwao
Hii ni lahaja. "Nitageuka kutoka kwao" au "Nitaacha kuwasaidia"
nitaona mwisho wao utakuaje
"Nitaona nini kitatokea kwao"
Deuteronomy 32:21
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Wamenifanya kuwa na wivu
Hapa "wamenifanya" ina maana ya Yahwe.
kile ambacho sio mungu
"ambayo ni miungu ya uongo"
mambo yao yasiyo na maana
Unaweza kuweka wazi ambayo "vitu" ni nini. "sanamu zisizo na maana"
wale ambao sio taifa
"watu ambao hawapo miongoni mwa kundi moja la watu"
taifa pumbavu
Maneno "wapumbavu" na "msiojitambua" ina maana ya kitu kimoja na inasisitiza jinsi watu walivyo wapumbavu kwa kutomtii Yahwe. "nyie watu wapumbavu kabisa"
Deuteronomy 32:22
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu ... misingi ya milima
Yahwe analinganisha hasira yake na moto. Hii inasisitiza nguvu yake ya kuangamiza kile kinachomkasirisha.
moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka ... inameza ... inawasha
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Ninaanza moto kwa sababu nimekasirika, na inachoma .. inameza ... inawasha" au "napokuwa nimekasirika, ninaangamiza adui zangu kama moto, na ninaangamiza kila kitu juu ya nchi na ndani .. ninameza ... ninawasha"
hadi chini mwa Sheoli
"hadi katika dunia ya wafu"
Deuteronomy 32:23-24
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Nitarundia maafa juu yao
Yahwe anazungumzia mambo mabaya ambayo yangetokea kwa Waisraeli kana kwamba ilikuwa kitu kama uchafu ambao unaweza kurundikana juu ya Waisraeli. "Nitahakikisha ya kuwa mambo mengi mabaya yanatokea kwao"
nitafyatua mishale yangu yote kwao
Hapa Yahwe analinganisha mambo mabaya ambayo atahakikisha yanatokea kwa Waisraeli kwa mtu anavyofyatua mishale kutoka kwenye upinde. "Nitafanya kila niwezalo kufanya kuwaua"
Watapotea kwa njaa
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Nomino inayojitegemea ya "njaa" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kuwa na njaa". "Watakuwa wadhaifu na kufa kwa sababu wana njaa"
Wata ... njaa na kumezwa kwa joto liwakalo na uharibifu mchungu
Labda maana ya "joto liwakalo" ni 1) Waisraeli watateseka kutokana na homa au 2) hali ya hewa itakuwa na joto ajabu wakati wa kiangazi na njaa. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Wata ... njaa, na joto liwakalo na maafa mabaya yatawameza" au "Wata ... njaa, na watakufa kutokana na joto lichomalo na maafa mabaya"
nitatuma kwao meno ya wanyama wa mwituni, pamoja na sumu ya vitu vitambaao mavumbini
Meno na sumu ni lugha nyingine ya wanyama wanaotumia vitu hivi kuua. "Nitatuma wanyama pori kuwauma, na vitu vitambaacho mavumbini kuwauma na kuwatia sumu"
Deuteronomy 32:25-26
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Nje panga litawatwaa
Hapa "panga" inawakilisha jeshi la maadui. "Waisraeli wanapokuwa nje, jeshi la adui litawaua"
hofu kuu itafanya hivyo
Yahwe anazungumzia kuwa na hofu kana kwamba ilikuwa mtu anayekuja ndani ya nyumba na kuua wale waishio ndani yake. "utakufa kwa sababu unaogopa"
mwanamume kijana na bikra nitawaangamiza, mchanga anyonyaye, na mwanamume mwenye mvi
Misemo hii inayoelezea watu wa umri tofauti imeunganishwa kumaanisha ya kuwa kila aina ya watu watakufa.
Nilisema nita ... mbali, kwamba nita ... wanadamu
Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu iliyo moja kwa moja. "Nilisema, "nita .. mbali, na nita... binadamu"
nitafanya kumbukumbu yao kukoma miongoni mwa wanadamu
"Nitawafanya watu wote kusahau kuhusu wao"
Deuteronomy 32:27
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Isingekuwa kwamba naogopa uchokozi wa adui
"Niliogopa uchokozi wa adui"
uchokozi wa adui
Nomino hii inayojitegemea inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "ya kwamba adui angenichokoza" au "ya kwamba adui angenifanya niwe na hasira"
adui
Yahwe anazungumzia kuhusu maadui wake kana kwamba walikuwa mtu mmoja. "adui wangu" au "maadui wangu"
wangehukumu kimakosa
"hawakueleweka"
Mkono wetu umeinuliwa
Hapa "mkono" inawakilisha nguvu na uwezo wa mtu. Kuinuliwa ni lahaja ya kumshinda adui. "Tumemshinda adui kwa sababu tuna nguvu zaidi"
Deuteronomy 32:28-29
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Laiti wangekuwa na hekima, wangeelewa hili, na kuzingatia ujio wa hatima yao
Musa anasema jambo ambalo anatamani lilikuwa kweli, lakini anajua ya kwamba hawana hekima na hawaelewi ya kuwa kutokutii kwao kutasababisha Yahwe kuleta maafa haya juu yao.
ujio wa hatima yao
Nomino inayojitegemea ya"hatima" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "kile kinachokwenda kutokea kwao"
Deuteronomy 32:30-31
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumzia wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendela kunukuu maneno ya Yahwe na kuwaambia zaidi ya yale waliyopaswa kuelewa iwapo wangekuwa na hekima (32:28).
Inawezekanaje mmoja kufukuza maelfu ... Yahwe hajawaachilia kwao?
Musa anatumia swali kukaripia watu kwa kutokuwa na hekima ya kutosha kuelewa kwa nini adui zao wanawashinda. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli.
Inawezekanaje mmoja kufukuza maelfu, na wawili kuweka makumi elfu mbioni
Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "Inawezekanaje askari adui mmoja kufukuza wanamume 1,000, na maaskari wawili adui kusababisha wanamume wako 10,000 kukimbia"
isipokuwa Mwamba wao hajawauza
Neno la "Mwamba" lina maana ya Yahwe amnaye ana nguvu na anaweza kulinda watu wake. "isipokuwa Yahwe, Mwamba wao, asingewapa kwao"
Mwamba wao ... Mwamba wetu
"Mwamba" ni jina stahiki ambalo Musa anamptia Yakwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kulinda watu wake.
mwamba wa maadui zetu si kama Mwamba wetu
Sanamu za maadui na miungu ya uongo havina nguvu kama za Yahwe.
kama vile maadui zetu wanavyokiri
"sio tu hatusemi hivyo, lakni adui wetu wanasema hivyo pia"
Deuteronomy 32:32
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Kwa maana mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma ... vishada vyao ni vichungu
Musa analinganisha adui ambao huabudu miungu ya uongo na watu waovu wanaoishi Sodoma na Gomora na mzabibu ambayo huzaa matunda ya sumu. Hii ina maana adui zao ni waovu na watasababisha Waisraeli kufa kama Waisraeli wataanza kutenda kama watu wanavyoishi ambao wanawazunguka.
mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma, na kwenye mashamba ya Gomorra
Mzabibu ni sitiari ya kundi la watu. Ni kana kwamba mzabibu wao ulikuwa tawi la mzabibu ambalo liliota katika shamba la Sodoma na Gomora. "wanafanya ouvu kwa njia hiyo hiyo ambayo watu walioishi Sodoma na Gomora walifanya"
vishada vyao
"vishada vyao vya mizabibu"
Deuteronomy 32:33-34
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
Mvinyo yao ni sumu ya nyoka na sumu katili ya nyoka
Musa anaendelea kulinganisha adui wa watu wa Israeli kwa mizabibu ambayo kuzaa matunda ya sumu na divai. Hii ina maana adui wao ni waovu.
nyoka
"nyoka"
Huu mpango haujafichwa kwangu kwa siri, na kufungwa kabisa katika hazina zangu?
Swali hili linasisitiza ya kwamba mipango ya Yahwe kwa watu wa Israeli inawekwa siri kama hazina ya thamani. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. Linaweza kuwekwa pia katika hali ya kutenda. "NInajua kile nilichopanga kufanya kwa watu wa Israeli na kwa adui zake, na nimefungia mipango hiyo kama mtu anavyofungia mali yake ya thamani"
Deuteronomy 32:35
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Huu ni mwisho wa nukuu ya Musa ya maneno ya Yahwe ambayo inaanza katika 32:19.
Kisasi ni changu kutoa, na fidia
Maneno "kisasi" na "fidia" kimsingi ina maana moja. "Nitakuwa na kisasi na kuadhibu adui wa Israeli"
fidia
kuadhibu au kuzawadia mtu kwa kile alichofanya
mguu wao utakapotereza
Jambo baya limefanyika kwao. "hawajiwezi"
siku ya maafa kwao
"wakati wangu kuwaangamiza"
na vitu vitakavyokuja juu yao vitaharakisha kutendeka
Yahwe anazungumzia kuhusu mambo mabaya yatakayotokea kwa adui zake kana kwamba mambo mabaya walikuwa watu wanaokimbia kwa shauku kuwaadhibu. "na nitawaadhibu haraka"
Deuteronomy 32:36
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Kwa maana Yahwe atatoa haki kwa watu wake
Nomino inayojitegemea ya "haki" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "Kwa Yahwe atatenda haki kwa watu wake"
atawahurumia watumishi wake
"atahisi ya kuwa anahitaji kusaidia watumishi wake"
Deuteronomy 32:37-38
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
wako wapi miungu yao, mwamba ambao wamekimbilia?
Yahwe anakaripia watu wa Israeli kwa kutafuta ulinzi kutoka kwa miungu mingine. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Tazama, miungu ambayo Waisraeli walifikiri ingewalinda haijaja kuwaokoa"
miungu iliyokula sadaka zao nene na kunywa mvinyo wa sadaka zao za kinywaji?
Hapa Yahwe anawadhihaki watu wa Israeli kwa kutoa sadaka kwa miungu mingine. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Miungu ambayo Waisraeli walitoa nyama na divai kwao hawajaja kuwasaidia"
Na wainuke na kukusaidia; na wawe ulinzi kwako.
Yahwe anasema hivi kuwadhihaki Waisraeli. Anajua kuwa miungu hawa hawawezi kuwasaidia. "Sanamu hizi hata hawawezi kusimama na kuwasaidia au kuwalinda"
Deuteronomy 32:39-40
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
mimi, hata mimi
"Mimi, mimi" au "mimi mwenyewe". Yahwe anarudia "mimi" kusisitiza ya kuwa yeye pekee ndiye Mungu.
ninainua mikono yangu mbinguni na kusema
"Ninainua mkono wangu mbinguni na kuapa" au "Nimetamka kiapo". Kwa kuinua juu mkono ni ishara ya kutoa kiapo.
Niishivyo milele
"Niishivyo milele" au "Ninaapa kwa maisha yangu ambayo hayana mwisho". Kauli hii inawahakikishia watu ya kwamba kile asemacho Mungu katika 32:41-32-42 kitatokea.
Deuteronomy 32:41
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Nitakaponoa panga langu lingaaro
Hii ina maana Mungu anaandaa kuhukumu na kuadhibu adui zake. "Ninaponoa panga langu ling'aaro" au "Nitakapokuwa tayari kuhukumu adui zangu"
mkono wangu utakapoanza kuleta haki
Hapa "mkono" inawakilisha mtu mzima. "nitakapokuwa tayari kuhukumu waovu"
Deuteronomy 32:42
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
Nitafanya mishale yangu kulewa na damu, na panga langu litameza nyama kwa damu
Yahwe anazungumzia mishale kana kwamba ni watu ambao angewapa kilevi na kuwafanya walewe, na kuhusu panga kana kwamba lilikuwa mtu ambaye alikuwa na njaa sana hadi aweze kula mnyama kabla ya kutoa damu nje. Sitiari hizi ni lugha nyingine kwa askari kutumia mishale na upanga kuwaua maadui wengi. Hii pia ni lugha nyingine ya Yahwe kuwaua adui zake vitani.
kutoka kwa vichwa vya viongozi wa adui
Maana yaweza kuwa "kutoka kwa vichwa vyenye nywele nyingi vya maadui"
Deuteronomy 32:43
Taarifa ya Jumla:
Huu ni mwisho wa wimbo wa Musa.
Furahi, enyi mataifa
Musa anaongea na watu wa mataifa yote kana kwamba walikuwa wakisikiliza.
kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake; atalipiza kisasi juu ya maadui zake
Hapa "damu ya watumishi wake" inawakilisha maisha ya watumishi wake wasio na hatia ambao waliuawa. "kwa maana atalipiza kisasi kwa adui zake, ambao waliwaua watumishi wake"
Deuteronomy 32:44-45
kunena ...ananena
Maana zaweza kuwa 1) "alizungumza ... kuzungumza" au 2) "aliimba ... kuimba"
masikioni mwa watu
Hapa "masikio" yanawakilisha watu wenyewe na yanasisitiza ya kwamba Musa alitaka kuhakikisha walisikia wimbo vizuri. "kwa watu ili waweze kuwa na uhakika wa kuusikia"
Deuteronomy 32:46-47
Aliwaambia
"Musa alisema kwa watu wa Israeli"
Imarisheni akili yenu kwa
Hii ni lahaja. "Vuta nadhari kwa" au "Fikiri kuhusu"
nimewashuhudia kwenu
Maana zaweza kuwa 1) "nimeshuhudia kwako" ikimaanisha kwa kile Yahwe alichosema atafanya kwa Waisraeli iwapo hawatatii, au 2) "Nimekuamuru" inamaana ya kile Yahwe alichowaamuru kufanya.
watoto wenu
"watoto na uzao wenu"
hili
"sheria hii ni"
jambo dogo
Tamshi poza hizi zinaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "jambo muhimu sana"
kwa sababu ni uzima wako
"kwa sababu utaishi kama utaitii"
utarefusha siku zako
Siku ndefu ni sitiari ya maisha marefu. "kuweza kuishi muda mrefu"
Deuteronomy 32:48-49
milima wa Abarimu
Hili ni jina la usawa wa mlima Moabu.
Abarimu, juu ya mlima wa Nebo
"Abarimu na kupanda juu wa mlima Nebo"
mlima wa Nebo
Hii ni sehemu ya juu kabisa katika milima ya Abarimu.
mkabala na Yeriko
"katika upande mwingine wa mto wa Yordani"
Deuteronomy 32:50-52
Taarifa ya Jumla:
Yahwe anamaliza kuzungumza na Musa.
utakusanywa kwa watu wako
Hii ni njia ya upole ya kusema roho ya Musa itaungana na roho za ndugu zake katika ulimwengu wa wafu. "jiunge na mababu zako ambao walikufa kabla yako"
mlima wa Hori
Hili ni jina la mlima katika mpaka wa Edomu.
Meriba
Hili ni jina la sehemu katika jangwa ambapo Musa hakumtii Mungu.
jangwa la Sini
Hili ni jina la nyika katika mpaka wa kusini wa Yuda.
Deuteronomy 33
Deuteronomy 33:1-2
Taarifa ya Jumla:
Musa anaanza kuwabariki makabila ya Israeli. Musa anazungumza baraka kwa njia ya shairi fupi.
Yahwe alikuja kutoka Sinai na akainuka kutoka Seiri juu yao. Alingara kutoka Mlima wa Paramu
Musa analinganisha Yahwe na kuchomoza kwa jua. "Yahwe anapokuja Sinai, aliwatazama kama jua linavyochomoza kutoka Seiri na kung'aa kutoka mlima Parani"
juu yao
"juuya watu wa Israeli"
elfu kumi ya watakatifu
"malaika 10,000"
katika mkono wake wa kuume radi zilimulika
Maana zingine zaweza kuwa 1) "katika mkono wake wa kuume kulikuwa miale ya moto" au 2) "Aliwapa sheria ya moto" au 3) "Alikuja kutoka kusini, chini ya miteremko ya mlima wake"
Deuteronomy 33:3-4
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; Musa anazungumza baraka kwa njia ya shairi fupi.
Taarifa ya Jumla:
Mistari hii ni migumu kuelewa.
watu
"watu wa Israeli"
watakatifu wake wote wapo mikononi mwako ... mguuni mwako ... maneno yako
Viwakilishi nomino "mwako" na "yako" ina maana ya Yahwe. "watakatifu wa Yahwe wote wapo mikononi mwake .. miguuni mwake ... maneno yake"
watakatifu wake wote wapo mikononi mwako
Mkononi ni lugha nyingine ya nguvu na ulinzi. "unalinda watakatifu wake wote"
urithi
"miliki" au "miliki ya thamani"
Deuteronomy 33:5-6
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
Taarifa ya Jumla:
Mstari wa 5 ni mgumu kuelewa.
pakawa na mfalme
"Yahwe akawa mfalme"
Yeshurumu
Hili ni jina lingine la Israeli.
Ruhusu Rubeni aishi
Hii inaanza baraka za Musa kwa kabila binafsi za Israeli.
lakini wanaume wake wawe wachache
Maana zingine zaweza kuwa 1) "na wanamume wake wawe wachache" au 2) "hata kama wanamume wake ni wachache"
Deuteronomy 33:7
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
sauti ya Yuda
Hapa "sauti ya Yuda" ina maana ya vilio na maombi ya watu wa Yuda. "watu wa Yuda watakapoomba kwako"
kuwa msaada
Nomino inayojitegema "msaada" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "msaidie kupigana"
Deuteronomy 33:8
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
Thumimu yako na Urimu yako
Haya yalikuwa mawe matakatifu ambayo kuhani wakuu alibeba kifuani kwake na kutumia mara zingine kuamua mapenzi ya Mungu. Hapa "yako" ina maana ya Yahwe.
ya mwaminifu wako
"mtakatifu wako" au "yule ambaye anatafuta kukufurahisha". Hii ina maana ya kabila la Lawi.
Masa
Jina la "Masa" lina maana ya "kujaribu".
Meriba
Jina la "Meriba" lina maana ya "bishana" au "ugomvi".
Deuteronomy 33:9
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kufafanua kabila la Lawi, ambapo alianza kufanya katika 33:8.
kwa maana alilinda neno lako
Hapa "neno" lina maana ya amri za Yahwe. "kwa maana walitii amri zako"
alilinda ... kushika
Maneno haya yote ina maana ya kuangalia na kulinda. Mara kwa mara zilikuwa sitiari kwa "kutii", lakini hapa zinaweza kutafsiriwa kwa sababu zinamaana ya muda ambapo Walawi waliwaua watu waliokuwa wakiasi dhidi ya Yahwe.
Deuteronomy 33:10
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la lawi, ambapo alianza kufanya katika 33:8.
yako ... lako ... yako ... lako
Musa anazungumza na Yahwe, kwa hiyo maneno haya yote ni katika umoja.
Deuteronomy 33:11
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Lawi, ambalo alianza kufanya katika 33:8.
kubali
"kufurahishwa na" au "kufurahia kupokea"
kazi ya mikono yake
Hapa neno "mikono" lina maana ya mtu mzima. "kazi yote ambayo anafanya"
Vunja viuno vya
Viuno vilichukuliwa kiini cha nguvu. "Kuondoa nguvu ya" au "Kuangamiza kabisa"
wanaoinuka ... wanaoinuka
Msemo huu unatumika mara mbili kama sitiari. "kuinuka kupigana ... kusababisha matatizo zaidi"
wanaoinuka dhidi
Hii ni lahaja. "kupigana dhidi"
Deuteronomy 33:12
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi.
Yule anayependwa na Yahwe anaishi
Hapa Musa anamaanisha ya washiriki wa kabila la Benyamini. Hii inaweza kuwekwa kwa hali ya kutenda. "Wale ambao Yahwe anawapenda anaishi"
anaishi kwa usalama
Nomino inayojitegemea "usalama" inaweza kutafsiriwa kutumia kitenzi. "anaishi ambapo hakuna mtu wa kumdhuru"
huishi katikati ya mikono ya Yahwe
Maana zaweza kuwa 1) Yahwe hulinda kabila la Benyamini kwa nguvu yake au 2) Yahwe anaishi katika eneo la mlima wa kabila la Benyamini. Katika tafsiri zote mbili, ina maana yahwe huwatunza.
Deuteronomy 33:13
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi.
Kuhusu Yusufu
Hii ina maana ya kabila la Efraimu na kabila la Manase. Kabila zote mbili zilitokana kwa Yusufu.
Nchi yake na ibarikiwe na Yahwe
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe abariki nchi yao"
na vitu vya thamani vya mbinguni, na umande
"kwa umande wa thamani kutoka mbinguni" au "kwa mvua ya thamani kutoka mbinguni"
umande
maji ambayo hujiunda juu ya majani na nyasi katika asubuhi za baridi.
kina kilalacho chini
Hii ina maana ya maji chini ya ardhi.
Deuteronomy 33:14-15
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Yusufu, ambalo alianza kufanya katika 33:13.
Nchi yake na ibarikiwe
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe abariki nchi yake".
na vitu vya thamani mavuno ya jua
"kwa mazao bora ambayo jua ilisababisha kuota"
na vitu vya thamani mazao ya miezi
"kwa mazao bora kabisa ambayo huota mwezi hadi mwezi"
vitu vizuri ... vitu vya thamani
Musa yawezekana anamaanisha mazao ya chakula. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "matunda bora kabisa ... matunda ya thamani"
milima ya zamani
"milima ambayo ilikuwepo zamani"
milima ya milele
"milima itakayokuwepo milele"
Deuteronomy 33:16
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Yusufu, ambalo alianza kufanya katika 33:13.
Nchi yake ibarikiwe
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe abariki mkono wake"
wingi wake
Nomino inayojitegemea "wingi" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "kile inachotoa kwa idadi kubwa"
yule aliyekuwa kichakani
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Yahwe, ambaye alizungumza na Musa kutoka katika kichaka kiwakacho moto"
Baraka na ifike juu ya kichwa cha Yusufu
Sitiari hii ni ya mtu anayeweka mkono wake juu ya kichwa cha mwana na kumuomba Mungu kumbariki mwana huyo. Mtu huyo hapa ni Yahwe. "Yahwe ambariki Yusufu kama baba anavyombariki mwanawe"
ifike juu ya kichwa cha Yusufu, na juu ya kichwa cha yule
Hapa "kichwa" na "juu ya kichwa" ina maana ya mtu mzima na inalenga uzao wa Yusufu. "iwe juu ya uzao wa Yusufu"
juu ya kichwa
Maana nyingine yaweza kuwa "nyusi" au "kipaji cha uso"
Deuteronomy 33:17
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Yusufu, ambalo alianza kufanya katika 33:13.
Mzawa wa kwanza wa ng’ombe, katika utukufu wake
Ng'ombe ni sitiari ya kitu kikubwa chenye nguvu. Neno "mzawa wa kwanza" ni sitiari ya heshima. "Watu wataheshimu uzao wa Yusufu, ambao ni wengi na wenye nguvu"
pembe zake ni pembe za
Pembe ni sitiari kwa nguvu. "ana nguvu kama"
kwa hawa atawasukuma
Kusukuma kwa pembe zake ni sitiari ya nguvu. "Ana nguvu kiasi kwamba atawasukuma"
maelfu makumi ya Efraimu ... maelfu wa Manase
Hii ina maana ya kabila la Efraimu litakuwa lenye nguvu kuliko kabila la Manase. "watu wa Efraimu, ambao huhesabika mara nyingi kama 10,000 ... watu wa Manase, ambao huhesabika mara nyingi kuwa 1,000"
Deuteronomy 33:18-19
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kila kabila la Israeli; baraka ni shairi fupi. Anazungumza na kabila za Zabuloni na Isakari kana kwamba wao ni mtu mmoja, kwa hiyo neno "kwako" na "yako" na amri "furahi" hapa ni katika umoja.
Furahi, Zabuloni, katika kutoka kwako, na wewe, Isakari, katika mahema yako
Watu wa Zabuloni walikuwa karibu na bahari kuu. Walisafiri kwa bahari na kufanya biashara na watu wengine. Watu wa Isakari walipendelea kuishi kwa amnai na kulima ardhi na kufuga mifugo. Unaweza kufanya wazi taarifa inayoeleweka.
Huko watatoa
"Ni huko ambako watatoa"
sadaka za utakatifu
"sadaka zinazokubalika" au "sadaka zinazofaa"
Maana watanyonya wingi wa bahari, na mchanga wa ufukweni
Maana zaweza kuwa 1) watafanya biashara na watu kutoka upande wa pili wa bahari au 2) walianza kutumia mchanga kutengeneza ufinyanzi"
Maana watanyonya wingi wa bahari
Neno la Kiebrania linalotafsiriwa "kunyonya" hapa lina maana ya namna mtoto ananyonya katika ziwa la mama yake. Ina maana ya watu watapata utajiri kutokana na bahari kama mtoto anavyopata maziwa kutoka kwa mama yake"
Deuteronomy 33:20
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi.
Abarikiwe yule amkuzaye Gadi
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe ambariki Gadi na kumpatia nchi kubwa kuishi ndani mwake" au 2) "Watu wanatakiwa kusema ya kwamba Yahwe ni mwema kwa sababu amempatia Gadi nchi kubwa ya kuishi"
Ataishi pale kama simba jike, naye atanyakua mkono au kichwa
Hii ina maana watu wa Gadi wana nguvu na wako salama, na watawashinda adui zao vitani"
Deuteronomy 33:21
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Gadi kama mtu mmoja, ambalo alianza kufanya katika 33:20.
fungu la kiongozi
Hii ina maana ya kipande kikubwa cha ardhi ambacho kiongozi mara nyingi alichukua.
Alikuja na vichwa vya watu
"Walikutana na viongozi wote wa Waisraeli"
Alitekeleza haki ya Yahwe na maagizo yake pamoja na Israeli
"Walitii yote ambayo Yahwe aliwaamuru Waisraeli"
Deuteronomy 33:22
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi.
Dani ni mwana wa simba arukaye kutoka Bashani
Watu wa Dani wana nguvu kama mwana wa simba, na wanashambulia adui zao waishio Bashani. Unaweza kuweka taarifa inayoeleweka wazi.
Deuteronomy 33:23
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anazungumza na uzao wa Naftali kana kwamba wao ni mtu mmoja.
aliyeridhika na fadhila
Yahwe kufurahishwa na Naftali inazungumziwa kama "fadhila" ilikuwa chakula ambacho Naftali alikuwa hadi akawa hana njaa tena. "ambaye ana mambo yote mazuri anayotamani kwa sababu Yahwe amefurahishwa naye"
kujaa kwa baraka za Yahwe
Baraka zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa chakula ambacho Naftali alikula mpaka hakuhitaji tena. "ambaye Yahwe alimbariki ili kwamba akawa na kila kitu anachohitaji"
miliki
Musa anazungumza kana kwamba kabila la Naftali ni mtu mmoja, kwa hiyo maneno haya ni katika umoja.
nchi iliyopo magharibi na kusini
Hii ina maana ya nchi inayozunguka ziwa la Galilaya. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.
Deuteronomy 33:24-25
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi.
achovye mguu wake ndani ya mafuta ya zeituni
Mafuta ya zeituni yalitumika kwa chakula na kwa ajili ya ngozi ya usoni na mikononi. Miguu ilikuwa michafu, kwa hiyo kuweka miguu katika mafuta ya zeituni ilikuwa kuharibu mafuta ya thamani. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kuwa na mafuta mengi ya zeituni hadi anaweza kuyapoteza"
Vyuma vya mji wako ... siku zako ... usalama wako
Musa anaendelea kuzungumza na kabila la Asheri kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Vyuma vya mji wako na viwe chuma na shaba
Miji ilikuwa na vyuma vikubwa katika malango yao kuwaweka adui nje. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Na uwe salama na mashambulizi ya adui zako"
Deuteronomy 33:26
Yeshurumu
Hili ni jina lingine la watu wa Israeli. Ina maana ya "mwenye haki".
anayeendesha katika mbingu ... juu ya mawingu
Hii ni picha ya Yahwe akiendesha juu ya mawingu katika mbingu kama mfalme juu ya kibandawazi katika kiwanja cha vita. "anaendesha katika mbingu kama mfalme anavyoendesha katika kiwanja cha vita ... juu ya mawingu kama mfalme juu ya kibandawazi chake"
kukusaidia
"kukusaidia". Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Deuteronomy 33:27
Mungu wa milele ni kimbilio
Nomino inayojitegemea ya "kimbilio" ambayo ina maana ya hifadhi au sehemu salama na hatari, inaweza kuwekwa kama kitenzi. "Mungu wa milele atalinda watu wake"
chini yake kuna mikono ya milele
Maneno "mikono ya milele" ni sitiari kwa ajili ya ahadi za Yahwe kulinda watu wake milele. "atawaimarisha na kuwatunza watu wake milele"
Husukuma ... naye alisema
Musa anazungumzia muda wa baadaye kana kwamba ilikuwa muda wa nyuma kusisitiza ya kwamba kile anachosema kitakuwa kweli. ""Atasukuma nje ... atasema"
mbele yako ... Angamiza
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na amri "angamiza" hapa ni katika umoja.
alisema, “Angamiza!”
Kama nukuu ya moja kwa moja haitafanya vizuri katia lugha yako, unaweza kuiweka kama nukuu isiyo moja kwa moja. "atakuambia kuwangamiza!"
Deuteronomy 33:28
Israeli waliishi ...Wana wa Yakobo walikuwa salama
Maana zaweza kuwa 1) Musa anazungumzia hapo baadaye kana kwamba ilikuwa zamani kusisitiza ya kwamba alichosema kitakuwa kweli, "Israeli ataishi ... uzao wa Yakobo watakuwa salama" au 2) Musa anambariki Israeli, "Israeli aishi ... na uzao wa Yakobo uweze kuwa salama"
Wana wa Yakobo
Maana zaweza kuwa 1) nyumba ya Yakobo au 2) vizazi vya Yakobo.
mbingu na idondoshe umande
Umande inazungumziwa kama kuwa mwingi sana hadi kuwa kana kwamba ilikuwa ikinyesha. Maana zaweza kuwa 1) Musa anabariki Israeli, "na umande mwingi ufunike nchi kama mvua" au 2) Musa anasema kitakachotokea hapo baadaye, "umande mwingi utafunika nchi kama mvua"
umande
maji ambayo hujiunda juu ya majani na nyasi katika asubuhi za baridi.
Deuteronomy 33:29
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "zako" hapa ni katika umoja.
Nani kama wewe, watu waliokombolewa na Yahwe ... utukufu?
Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. Linaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Hakuna kundi la watu wengine kama wewe ... utukufu"
ngao ...upanga
Lugha hii ya kujumlisha inamzungumzia Yahwe kuwatetea Waisraeli kutoka kwa adui zao na kuwawezesha kushambulia adui zao.
ngao ya msaada wako
Neno "ngao" ni sitiari ya Yahwe kulinda na kuteteta Waisraeli. Nomino inayojitegemea "msaada" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "yule ambaye anakulinda na kukusaidia"
upanga wa utukufu wako
Neno "upanga" ni sitiari kwa ajili ya nguvu ya kuua kwa upanga ili kushinda vita. "yule ambaye anakuwezesha kushinda vita na kuwa na utukufu"
utakanyanga sehemu zao zilizoinuka
Maana zaweza kuwa 1) Waisraeli wataangamiza sehemu ambazo watu wengine wanaabudu miungu ya uongo au 2) Waisraeli watatembea juu ya migongo ya adui zao Waisraeli watakapowashinda.
Deuteronomy 34
Deuteronomy 34:1-3
mlima wa Nebo
Hii ni sehemu ya juu ya mlima Pisga ambao upo sehemu ya magharibi ya usawa wa mlima wa Abarimu.
Pisga
Hili ni jina la mlima sehemu ya magharibi wa usawa wa mlima wa Abarimu.
mji wa mitende
Hili ni jina lingine la Yeriko
Deuteronomy 34:4-6
Beth-peori
Huu ulikuwa mji Moabu.
uitazame kwa macho yako
"jionee mwenyewe"
hadi leo hii
Hii ina maana ya muda ambao hii iliandikwa au kurekebishwa, sio kipindi cha sasa cha karne ya ishirini na moja.
Deuteronomy 34:7-8
miaka mia moja na ishirini ... siku thelathini
"miaka 120 .. siku 30"
macho yake hayakufifia, wala nguvu asili zake hazikupungua
Hii ina maana macho yake na mwili ulikuwa bado na nguvu na afya njema.
Deuteronomy 34:9
mwana wa Nuni
Hili ni jina la baba yake Yoshua.
Yoshua ... alikuwa amejaa na roho ya hekima
Mwandishi anazungumza kana kwamba Yoshua alikuwa chombo na roho ilikuwa kitu halisia ambacho kinaweza kuwekwa ndani ya chombo. "Yahwe alimwezesha Yoshua .. kuwa na hekima sana"
Musa alimwekea mkono juu yake
Maana kamili ya kauli inaweza kuwekwa wazi. "Musu aliweka mikono yake juu yake kumweka Yoshua kando ili Yoshua amtumikie Yahwe"
Deuteronomy 34:10-12
Yahwe alimjua uso kwa uso
Hii ni lahaja. Ina maana ya kwamba Yahwe na Musa walikuwa na uhusiano wa karibu sana.
mambo makubwa
"ambaye alifanya mambo yote makubwa"