Kiswahili: Open Bible Stories Translation Notes

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

12-01

Hawakuwa watumwa tena

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "hawakuwa watumwa tena."

Kwenda

Baadhi ya lugha hutumia baadhi ya maneno maalumu kama "kusafiri" tangu walipokuwa wakienda umbali mrefu kuelekea Nchi ya ahadi.

Nchi ya Ahadi

Hii ni Nchi ambayo Mungu aliahidi ya kwamba atawapatia kizazi cha Ibrahimu.

12-02

Nguzo ndefu ya Wingu

Hii inaweza kutafsiriwa kama "mawingu marefu" au "mawingu muundo wa nguzo."

Nguzo ndefu ya Moto

Hii ilikuwa safu ya moto kwamba ning'inia au pachikwa angani mbele ya Israeli.

Aliwaongoza

Mungu aliwaonyesha njia kwa kuweka nguzo kuelekea mbele yao ili waweze kuifuata.

12-03

Baada ya muda mfupi

Pengine angalau baada ya siku mbili walikuwa wamekwenda. Ili iweze kueleweka inaweza kutafsiriwa kama, "baada ya siku chache" au, "siku chache baada ya Waisraeli kuoindoka Misiri."

Badilisha mawazo yake

Msemo huu unamaanisha, "walianza kufikiri tofauti kuliko walivyokuwa kabla." Baadhi ya lugha haziwezi kuwa na maelezo ambayo hueleza hiyo maana moja kwa moja.

12-04

wao walikuwa wamenaswa kati ya Bahari Nyekundu

Njia nyingine ya kusema hii itakuwa, "hapakuwa na mahali wangeweza kwenda ili kutoroka huku nyuma yao Wamisri wanawafuata na mbele yao kuna Bahari Nyekundu."

Kwa nini tuliondoka Misri

Hii ina maana, "Hatukupaswa kuondoka Misri!" Hawakuwa sahihi kuuliza sababu. Kwa sababu walikuwa na hofu, katika wakati huu waliamini kuwa hawataondoka Misri, (ingawa kulikuwa kugumu sana kwa wao huko).

12-05

Mungu atakupigania wewe leo na kukuokoa

Njia nyingine ya kusema hii itakuwa, "Leo Mungu atawashindia Wamisri kwa ajili yenu, na kuwaweka ili wasiwadhuru ninyi."

Endelea

Baadhi ya lugha itakuwa maalum zaidi na kusema "endelea."

12-06

Hawakuweza kuona

Nguzo ya Wingu ilikuwa kubwa na nene kiasi kwamba Wamisri hawakuweza tena kuwaona Waisraeli. Kuona katika 12-2.

hakuweza kuona

Wingu nguzo ilikuwa hivyo kubwa na nene kwamba Wamisri hakuweza tena kumuona yoyote wa Israeli.

12-07

Aliinua mkono wake juu ya Bahari

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "alinyoosha mkono wake juu ya Bahari. Hii ilikuwa ishara ya kuonyesha kuwa Mungu alikuwa akifanya muujiza kupitia Musa.

12-08

Walitembea

Hii inaweza kutafsiriwa kama " walitembea" au, "walienda."

Na ukuta wa Maji kila upande wao

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "na maji katika pande zote yaliwazunguka yaliyosimama marefu na yaliyonyooka kama ukuta."

12-10

Katisha kwenye Bahari

Hili lilikuwa eneo kavu la ardhi lililokata chini ya Bahari na ukuta wa maji kila upande.

Kuwa na wasiwasi

Hii inaweza kutafsiriwa kama "kupata hofu na kuchanganyikiwa."

wakakwama

Magari yao ya farasi hayakuweza kuendelea na safari

12-11

Wakavuka salama kwenda upande mwingine

Hii inawezakutafsiriwa kama, "walitembea salama upande wa pili" au "walifika salama upande mwingine" au "walitembea upande mwingine na walikuwa salama kutoka kwa Wamisri na Bahari."

nyoosha mkono wake tena

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "nyoosha mkono wake kuelekea baharini tena" au "kama amri ya moja kwa moja, kama ilivyo katika "Mungu alimwambia Musa, 'Nyoosha mkono wako tena.'"

Kurudi kwenye nafasi yake ya kawaida

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "kujaza nafasi tena pale ambapo njia ilipokuwa," au "alijaza bahari yote tena" au "yalirudi kama yalivyokuwa kabla Mungu hajaigawanya."

jeshi lote la Wamisri

Hii inaweza kutafsiriwa kama "kila mmoja katika jeshi la Misri."

12-12

Kuamini katika Mungu

Kwa maneno mengine, watu sasa waliamini kwamba Mungu ana nguvu na angeweza kuwalinda wao.

12-13

walifurahi pamoja kwa msisimko sana

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "walikuwa na furaha na waliionesha kwa shauku," au "waliionesha kwa moyo wote" au "kwa nguvu zao zote."

kutoka katika kifo na utumwa

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "Kutoka katika kuuliwa au kufanywa watumwa na Wamisri."

huru kutumika

Mungu aliwaweka huru, au aliwaokoa, Waisraeli kutoka katika hali ya kuwa watumwa katika Misri ili kwamba waweze kumtumikia.

Mungu asifiwe

Katika baadhi ya lugha hii inaweza kutafsiriwa kama, 'kuinua jina la Mungu' au, 'kusema kwamba Mungu ni kubwa.'

12-14

Pasaka

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "shughuli ya Pasaka" au, "sikukuu ya Pasaka" au, "mlo wa Pasaka."

kukumbuka jinsi Mungu alivyowapa ushindi

Hii inaweza kutafsiriwa kama, "mara kwa mara kujikumbushaushindi wa Mungu." Neno 'kumbuka' hapa haina maana tu kwa kusahau; pia ina maana rasmi kuadhimisha kitu.

Kondoo Mkamilifu

Neno "kamili" hapa linahusu kondoo asiye na ugonjwa au kitu kingine chochote kibaya. Njia nyingine ya kusema hii inaweza kuwa, "Afya kamilifu na Kondoo aliyetakaswa."

Mkate uliotengenezwa bila chachu

Njia nyingine ya kusema hii ni, "Mkate usiotiwa chachu."