Kiswahili: Open Bible Stories Translation Notes

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

25-01

Roho Mtakatifu alimwongoza

Ni kwamba,"Roho Mtakatifu alimlinda" au," Roho Mtakatifu alisababisha yeye kwenda."

Nyikani

Hii inaweza kuwa imetafsiriwa hivi,"jangwa"au,"kijijini,eneo la kuzikia watu wachache."Hili eneo kwa hakika lilikuwa na miti michache au mimea mingine,hivyo watu wengi hawakuweza kuwa tayari kuishi.

Siku arobaini mchana na usiku

Hii inaanisha "siku arobaini, zote wakati wa mchana na wakati wa usiku ,"Akikisha kwamba tafsiri ya hiki kifungu hakitamkwi kama kipindi cha siku nane.

Alimjaribu yeye kufanya dhambi

Kabla Yesu hakufanya dhambi,akikisha kwamba unatumia maneno ambayo hayamfanyi shetani kufaulu katika kumshawishi Yesu kutenda dhambi.Kipengele hiki kinaweza kuwa kimetafsiriwa hivi, Alijaribu kushawishiatende dhambi."

25-02

Amuru mawe haya yawe mkate

Hii inaweza pia kuwa imetafsiriwa hivi,"tengeneza mawe haya yawe mkate"au muujiza kubadilisha mawe kuwa mkate."

Mkate

Hii inaweza kutafsiriwa hivi,"chakula"Kwa lugha ambapo mkate siyo chakula cha kawaida .Kwa tamaduni za Wayahudi mkate ulikuwa chakula kikuu.

25-03

Mkate

Hii inaweza kuwa imetafsiriwa hivi ,"kwa lugha ambapo mkate siyo chakula cha kawaida .Kwa tamaduni za Wayahudi mkate ulikuwa chakula kikuu.

Lakini wanahitaji kila neno lilosemwa na Mungu

Njia nyingine kutafsiri hii inaweza kuwa badala yake watu wanahitaji kusikiliza na kutii kila kitu kisemwacho na Mungu au badala yake watu

25-04

Jirushe mwenyewe chini

",Ni kwamba ,"Kuruka kutoka juu ya hili jengo hadi ardhini."

Imeandikwa

Ni kwamba,"nabii wa Mungu aliandikiwa miaka mingi."

Mguu wako hautagonga jiwe

Hii inamaanisha,"Kwamba hutaumizwa kwa yote ,hata hivyo mguu wako hatakuwa umejeruhiwa kwenye jiwe."Inaweza pia kuwa imetafsiriwa,"hata hivyo mguu wako hautagoma kinyume na jiwe hautakuwa umejeruhiwakwa yote."

25-05

Katika neno la Mungu ,anaagiza watu wake ,usimjaribu Bwana Mungu wako.

Hii inaweza kuwa imetafsiriwa moja kwa moja kwa nukuu:"Mungu anatuamuru kwenye neno lake kwamba tusiweze kumpima Bwana Mungu wetu."

Usimpime Bwana Mungu wako

Hii inaweza kuwa imetafsiriwa hivi," Usimfanya Bwana Mungu wako kuthibitishwa kwako"au,Usimfanya Bwana Mungu wako kuthibitisha kwamba yeye ni mwema"

Bwana Mungu wako

Ni kwamba,Yahwe,Mungu wako"au,Yahwe,ambaye ni Mungu na ana mamlaka juu yako."

25-06

Falme za ulimwengu

Hii inarejea kwa miji yote mikubwa ,nchi,na tawala za dunia

Utukufu wao

Ni kwamba,"nguvu na utajiri wao,"

Nitakupa hivi vyote

Hii inaweza kuwa imetafsiriwa kama,"nitakupa utajiri wote na nguvu wa hizi falme"au nitakufanya mtawala juu ya nchi,miji,na watu."

25-07

Ondoka kwangu

Hii inaweza pia kuwa imetafsiriwa kama,"Niache mimi "au,Niache peke yangu."

Katika maneno ya Mungu anaagiza watu wake ,"mwamudu peke yake Bwana Mungu wako na kumtumikia peke yake"

Hii inaweza kuwa imeandikwa kama siyo moja kwa moja kama nukuu, katika Maneno ya Mungu anatuagiza kwamba ni lazima tumwabudu na kumtumikia Bwana Mungu peke yake ambaye anatawala juu yetu."

Bwana Mungu wako

Hii inaweza kuwa kama Mungu anatuagiza kwamba ni lazima tumwabudu na kumtumikia Bwana Mungu peke yake ambaye anatawala juu yetu.

Na kumtumikia peke yake

Njia nyingine kusema hii itaweza kuwa ," Ni Yeye peke tunaweza kumtumikia".

25-08

Yesu hakujutia chini ya

Hii inaweza kuwa imetafsiriwa hivi,"hakufanya kitu ambacho shetani alikuwa anamjaribu afanye."