33-01
Siku moja
hii aya, inatambulisha tukio lililotokea wakati wa nyuma, lakini haioneshi wakati maalumu. Lugha nyingi zina namna moja ya kusimulia habari ya kweli.
33-02
Kumwaga mbegu kwa mkono
Hii ni, "Kutupa mbegu kwenye udongo" au, "kufunika mbegu zake zote kwa udongo." Hii ndiyo njia kwa wakulima wa kale Mashariki ya kati walivyopanda nafaka zao kuzalisha mazao.
33-03
ardhi yenye mawe
hii ni, "ardhi ambayo imejaa miamba."
33-04
Miiba
Hii ni, "Miti ya miiba" au, "Kichaka cha miiba."
ikaisonga
Hii pia inaweza kutafsiriwa kama, "ikazifunikana na kivuli" au, "Kuibana."
Ardhi ya miiba
hii ni, "Ardhi ambayo imefunikwa na kichaka la miiba."
33-05
udongo mzuri
Hii ni, "udongo wenye rutuba" au, "udongo ambao ni mzuri kuotesha mmea."
mwenye masikio, na asikie!
msemo huu unamaanisha, "Kila mmoja anayesikia ninachosema anapaswa kunisikiliza kwa makini" au, "kama kila mmoja amesikia nilichosema anapaswa kuwa makini kwa kile nilichomaanisha." hii pia inaweza kutafsiriwa kama amri. "Ikiwa una masikio ya kusikia, sikiliza kwa makini kwa kile ninachomanisha."
33-06
Habari hii iliwachanganya wale wanafunzi.
Hii ni, "wanafunzi hawakuelewa habari hii."
Ni mtu
Huu mlinganisho unaweza kutafsiriwa kama, "ni kama mtu" au, "Inawakilisha mtu" au, "Inahusiana na mtu" au "anaongelea kuhusu mtu."
hulichua neno kutoka kwake
Hii inaweza kutafsiriwa kama, Huchukua neno la Mungu, anasababisha kulisahau" au, "huiba neno kutoka moyoni mwake ili kwamba hawezi kuliamini neno na kuokolewa." unaweza kuongeza pia haya yafuatayo: ndege walikula mbegu zilizoanguka kwenye njia."
33-07
ardhi yenye miamba
Onyesha ni jinsi gani unaweza kutafsili
ni mtu
Angalia jinsi unaweza kutafsili maelezo haya
analipokea kwa furaha
Hiyo ni, "Wanaamini kwa furaha" au Kukubali kwa furaha kuwa ni kweli."
huangukia mbali
Hiyo ni, "Hamfuati Mungu au kumtii yeye" au, "Kuacha kumfuata au kumtii Mungu"
33-08
ardhi ya miiba
Angalia jinsi unaweza kutafsili hii
ni mtu
Ona jinsi gani unaweza kutafsili hii
kujali
hiyo ni, "Wasiwasi" au "Mahitaji" au Matatizo."
utajiri
hiyo ni, "Tamaa ya utajiri."
Anasa za maisha
Hii pia inaweza kutafsiriwa kama "Kufanya vitu flani ili kupata anasa" au "Kushughulika na vitu ambavyo zitakupa anasa."
hulisonga
hii ni, "Vuruga" au, "Haribu" au kushinda." haya maneno yanaweza pia kutafsiriwa kama, "Humsababisha kuacha kumpenda Mungu."
haikuweza kuzaa matunda
Hii ni, "Hawezi kuzaa matunda ya kiroho" au, "haonyeshi hali ya Roho wa Mungu ambaye anafanya kazi ndani yake."
33-09
udongo mzuri
Angalia jinsi unaweza kutafsili hii
ni mtu
Angalia jinsi unaweza kutafsili maelezo haya
zaa matunda
...Angalia jinsi unaweza kutafsili kipengele hiki