30-01
Faragha
Hii inamaanisha mahali palipo na watu wachache ambapo wangelikuwa wao pekeyao.
30-02
Walipowasili
Hii ni kwamba, "walifika ng'ambo ya pili ya ziwa" au, "walifika pale."
30-03
bila kuhesabu wanawake na watoto
Hii ni kwamba, "bila kuhesabu wanawake na watoto waliokuwa nao" au " na pia walikuwepo wanawake na watoto zaidi kama ongezeko la idadi ya wanaume." Njia nyingine ya kutafsiri hii inaweza pia kuwa, zaidi ya wanaume, kulikuwa na wanawake na watoto."
Kwa Yesu
Hii ni kwamba, "Yesu alifahamu kwamba" au, Yesu alijua kwamba."
Kama kondoo wasio na mchungaji
Hii inaweza kutafsiriwa kuwa, "waliohatarini na waliopotea, kama vile kondoo wanavyokuwa wanapokuwa hawana mchungaji wa kuwaangalia."
30-04
Baadaye mchana
Hiiinaweza pia kutafsiliwa kama, "Wakati ilipokuwa karibu na jioni."
Watume watu waende zao
Hii inaweza kutafsiriwa kama, "Tafadhali waambie watu waende mjini" au kwa nini usiwambie watu kwenda mahali fulani?" au "Waache watu waende mjini." Hakikisha kwamba itasikika kama ombi la kumsihi mtu, si amri.
30-05
Ni jinsi gani tunaweza kufanya hivyo?
Hii inaweza kutafsiriwa kama, "Hatuwezi kufanya hivyo!" au "Haiwezekani kufanya hivyo!" Wanafunzi hawakuwa wanauliza swali halisi. Isipokuwa, walikuwa wanaeleza kwamba hawakudhani hili kuwa linawezekana.
30-08
Vunja mkate na samaki
Hiyo ni, "kuvunja mkate na samaki."
Haikumalizika
Njia nyingine ya kusema hii ingelikuwa, kulikuwa daima na ziada iliyosalia."
Alitosheka
Hii ni kwamba, "Hawakuwa na njaa tena" au, "hawakuwa na njaa kabisa,"