Numbers
Numbers 1
Numbers 1:1-3
Je, BWANA alimwambia Musa kuwahebau watu gani kwenye sensa?
Alimwambia Musa kuwahesabu wanaume wote wa Israeli, Kila mwanamume aliyekuwa na umri wa miaka Ishirini na zaidi
Je, BWANA alimwambia Musa kuwahebau watu gani kwenye sensa?
Alimwambia Musa kuwahesabu wanaume wote wa Israeli, Kila mwanamume aliyekuwa na umri wa miaka Ishirini na zaidi
Numbers 1:4-16
Ni nani aliyepaswa kutumika na Musa kama kiongozi wa kabila?
Kila mwanamume kutoka kila kabila, kichwa cha ukoo, alipaswa kutumika kama kiongozi wa kabila
Numbers 1:17-43
Je, kila mwanamume alitambuaje ukoo wake?
Kila mwanamume alipaswa kutaja ukoo wake, na familia yake anayotoka
Numbers 1:44-46
Ni wanaume wangapi kutoka yale makabila waliokuwa na umri wa miaka ishirini au na zaidi ambao wangeliweza kupigana katika vita waliohesabiwa?
Kulikuwa na wanaume 603,550
Numbers 1:47-49
Ni wanaume kutoka kabila gani ambao hawakutakiwa kuhesabiwa
Wanaume kutoka kabila la Lawi hawakuhesabiwa.
Numbers 1:50
Je, Walawi walikuwa wamepangiwa kufanya nini?
Wao walipangiwa kufanya kazi kwenye Masikani, mapambo ya kwenye masikani na kila kitu ndani yake.
Numbers 1:51-52
Walawiwalitakiwa kumfanya nini mgeni aliyekaribia masikani?
Walitakiwa kumwua
Waisraeli walitkiwa kuweka wapi hema zao?
Kila mtu alitkiwa kuweka hema yake karibu na bango la jeshi lake.
Numbers 1:53-54
Je, Walawi walitakiwa kuweka wapi hema zao?
Walitakiwa kuweka hema zao kuzunguka masikani ya agano.
Je,watu walifanya kile ambacho BWANA alikuwa amewaamuru?
Ndiyo, walifanya kila kitu walichokuwa wameamuriwa na BWANA kupitia kinywa cha Musa.
Numbers 2
Numbers 2:1-2
Je, BWANA alimwambia Musa na Haruni kuwa makabila wataweka wapi hema zao?
BWANA aliwaambia makabila kuweka hema zao kuzunguka bango la jeshi lao na kuzunguka bendera inayoonyesha kabila lao. Kambi zao zilitakiwa kuwa mkabala na hema ya kukutania.
Je, BWANA alimwambia Musa na Haruni kuwa makabila wataweka wapi hema zao?
BWANA aliwaambia makabila kuweka hema zao kuzunguka bango la jeshi lao na kuzunguka bendera inayoonyesha kabila lao. Kambi zao zilitakiwa kuwa mkabala na hema ya kukutania.
Numbers 2:3-4
Je, Musa alisema kuwa wale wanaume 74,600 wa jeshi la kabila la Yuda kuwa wataweka kambi yao wapi, na kuwa jeshi hilo litaongozwa na nani?
Alisemakuwa wataweka kambi yao kuzunguka bango la Yuda ambayo ilikuwa mashariki mwa hema ambako jua hutokea, na kwamba Nashoni ndiye atakayeoongoza jeshi hilo.
Je, Musa alisema kuwa wale wanaume 74,600 wa jeshi la kabila la Yuda kuwa wataweka kambi yao wapi, na kuwa jeshi hilo litaongozwa na nani?
Alisemakuwa wataweka kambi yao kuzunguka bango la Yuda ambayo ilikuwa mashariki mwa hema ambako jua hutokea, na kwamba Nashoni ndiye atakayeoongoza jeshi hilo.
Numbers 2:5-6
Je wale wanaume 54,400 wa kabila la Isakari walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na nani alitakiwa kuliongoza hilo jeshi?
Walitakiwa kuweka kambi yao baada ya kambi ya Yuda, na Nathanieli ndiye alitakiwa kuwa kiongozi wa hilo jeshi.
Je wale wanaume 54,400 wa kabila la Isakari walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na nani alitakiwa kuliongoza hilo jeshi?
Walitakiwa kuweka kambi yao baada ya kambi ya Yuda, Na Natahanieli ndiye alitakiwa kuwa kiongozi wa hilo jesho.
Numbers 2:7-8
Je, wale wanaume 57,400 wa kabila ya Zabuloni walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na wataongozwa na nani?
Walitakiwa kuweka kambi yao mbele ya kambi ya Isakari, na Eliabu ndiye alitakiwa kuwaongoza
Je, wale wanaume 57,400 wa kabila ya Zabuloni walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na wataongozwa na nani?
Walitakiwa kuweka kambi yao mbele ya kambi ya Isakari, n a Eliabu ndie alitakiwa kuwaongoza
Numbers 2:9
Ni nani walitakiwa kuodoka kwanza kambini?
Jeshi lote lililokuwa limeweka kambi na Yuda ndilo lililotakiwa kuwa la kwanza kuondoka.
Numbers 2:10-11
Je, wale wanaume 46.500 wa kabila ya Reubeni walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na walitakiwa kuongozwa na nani?
alitakiwa kuweka kabi yao kuzunguka bango la Reubeni lililokuwa upande wa kusini wa, na Elizurikuwa kiongozi wa jeshi hilo.
Je, wale wanaume 46.500 wa kabila ya Reubeni walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na walitakiwa kuongozwa na nani?
alitakiwa kuweka kabi yao kuzunguka bango la Reubeni lililokuwa upande wa kusini wa, na Elizurikuwa kiongozi wa jeshi hilo.
Numbers 2:12-13
Je, wale wanaume 59,300 wa kabila ya Simeoni walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na nani alitakiwa kuliongoza jeshi hilo?
Walitakiwa kuweka kambi yao mbele ya kambi ya Reubeni, na Shelumei ndiye aliyeliongoza jeshi hilo.
Je, wale wanaume 59,300 wa kabila ya Simeoni walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na nani alitakiwa kuliongoza jeshi hilo?
Walitakiwa kuweka kambi yao mbele ya kambi ya Reubeni, na Shelumei ndiye aliyeliongoza jeshi hilo.
Numbers 2:14-15
Je, wale wanaume 45,650 wa kabila ya Gadi walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na nani alitakiwa kuliongoza jeshi hilo?
Walitakiwa kuweka kambi yao mbele Simeoni, na na Eliasafu ndiye aliyekuwa kiongozi wa jeshi hilo?
Je, wale wanaume 45,650 wa kabila ya Gadi walitakiwa kuweka kambi yao wapi, na nani alitakiwa kuliongoza jeshi hilo?
Walitakiwa kuweka kambi yao mbele ya Simeoni, na Eliasafu ndiye aliyekuwa kiongozi wa jeshi hilo?
Numbers 2:16-23
Ni akina nani waliotakiwa kuwa wa pili kuondoka?
Majeshi yote yaliyokuwa yameweka kambi pamoja na Reubeni yalitakiwa kuwa ya pili kuondoka.
Numbers 2:24
Ni watu wangapi walihesabiwa katiakkambi ya Efraimu?
Walikuwa watu 108,100 katika kambi ya Efraimu
Je, ni wakati gani ambapo kambi ya Eraimu ilitakiwa kuondoka kwa kufuata mpangilio wa kambi zingine?
Kambi ya Efraimu ilitakiwa kuwa kambi ya tatu kuondoka.
Numbers 2:25-31
Ni nani aliyekuwa kiongozi wa watu wa Dani?
Kiongozi wa watu wa Dani alikuwa Ahiezeri mwana wa Amishadai
Numbers 2:32-33
Ni watu gani ambao Musa na Haruni hawakuwahesabu kati ya watu wa Israeli, na kwa nini ilikuwa hivyo?
Musa hakuwahesabu Walawi kuwa miongoni mwa Waisraeli kwa sababu ya amri ya BWANA kama alivyomwamuru Musa
Ni watu gani ambao Musa na Haruni hawakuwahesabu kati ya watu wa Israeli, na kwa nini ilikuwa hivyo?
Musa hakuwahesabu Walawi kuwa miongoni mwa Waisraeli kwa sababu ya amri ya BWANA kama alivyomwamuru Musa
Numbers 2:34
Je, watu wa Israeli walifanya nini?
Watu wa Israeli walifanya kila kitu ambacho BWANA alimwamuru Musa - waliweka kambi zao kufuata mabango yao na waliondoka kambini kwa kufuata koo zao na kwa kufuata mpangilio unaotaokana na jamii zao
Numbers 3
Numbers 3:1-2
Hii historia ilikuwa inahusu nin?
Hii ilikuwa historia ya uzao wa Musa na Haruni
Wana wa Haruni walikuwa ni akiina nani?
Walikuwa na Nadabu, Aabihu, Eliezeri, na Thimari.
Numbers 3:3-4
Kwa nini Abihu na Nadabu walianguka wakafa mbele za BWANA?
Nadabu na Abihu walianguka wakafa mbele za BWANA walipotoa moto usiokubalika kwake.
N watoto wapi wa Haruni waliotumika pamoja na Haruni kama makuhani?
Ni Eliezari na Ithimari walitumika na Haruni kama makuhani.
Numbers 3:5-6
Ni kabila gani ambalo BWANA alisema kuwa watamsaidia Haruni kutoa huduma ya ukuhsni
Kabila la Lawi.
Numbers 3:7-8
Je, majukumu ya watu wa kabila la Lawi yalikuwa yapi?
Hawa walitakiwa kufaanya majukumu kwa niaba ya Haruni na jumuiya yote, kuyatunza mapambo yote, na kuwasaidia makabila kwenye huduma ya kwenye masikani.
Je, majukumu ya watu wa kabila la Lawi yalikuwa yapi?
Hawa walitakiwa kufaanya majukumu kwa niaba ya Haruni na jumuiya yote, kuyatunza mapambo yote, na kuwasaidia makabila kwenye huduma ya kwenye masikani.
Numbers 3:9-10
Ni nani ambaye BWANA alimtoa ili kuwasaidia Haruni na wanawe?
BWANA aliwatoa Walawi kwa Haruni na kwa wanawe ili kutumika kama makuhani kwa ajili ya watu wa Israeli.
Ni nani ambaye BWANA alimtoa ili kuwasaidia Haruni na wanawe?
BWANA aliwatoa Walawi kwa Haruni na kwa wanawe ili kutumika kama makuhani kwa ajili ya watu wa Israeli.
Numbers 3:11-13
Je, ni watu gani ambao BWANA aliwatenga kwa ajili yake mwenyewe?
BWANA aliwataenga Walawi kwa ajili yake mwenyewe na wazaliwa wote wa kwanza wa Israeli, watu na wa wanyama.
Je, ni watu gani ambao BWANA aliwatenga kwa ajili yake mwenyewe?
BWANA aliwataenga Walawi kwa ajili yake mwenyewe na wazaliwa wote wa kwanza wa Israeli, watu na wa wanyama.
Je, lini ambapo BWANA aliwatenga wazaliwa wote wa Israeli?
Aliwatenga wazaliwa wa kwanza wa Israeli siku ile alipowaangamiza wazaliwa wa kwanza wa Misri.
Numbers 3:14-16
BWANA alimwamuru Musa kuwahesabu watu gani katika Kabila la Walawi?
BWANA alimwamuru Musa kuwahesbau Walawi wote waliokuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi.
BWANA alimwamuru Musa kuwahesabu watu gani katika Kabila la Walawi?
BWANA alimwamuru Musa kuwahesbau Walawi wote waliokuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi.
Numbers 3:17-20
Wana wa Lawi walikuwa akina nani?
Wana wa Lawi walikuwa akina Gerishoni, Kohathi na Merari.
Numbers 3:21-23
Je, ukoo wa Wagerishoni walipaswa kuweka kambi yao wapi?
Ukoowa Wagerishoni walitakiwa kuweka kambi yao upande wa magharibi wa masikani.
Numbers 3:24-29
Ni nani aliyetakiwa kuwaongoza wana wa ukoo wa Wagerishoni?
Eliasafu mwana wa Laeli ndiye alitakiwa kuwaongoza wana wa ukoo wa Wagerishoni.
Je, ni nani aliyetakiwa kuyalinda mapazia ya kwenye masikani, hema, vifuniko vyake, mapazia ya kwenye lango la hema, pazia la ua, kamba, na vyote vile vilivyokuwa kwenye hema ya kukutania.
Ukoo wa Wagerishoni waliokuwa wameweka kambi yao upande wa magharibi wa masikani walitakiwa kuvilinda vifuniko wa masikani, mapazia na kamba.
Je, ni nani aliyetakiwa kuyalinda mapazia ya kwenye masikani, hema, vifuniko vyake, mapazia ya kwenye lango la hema, pazia la ua, kamba, na vyote vile vilivyokuwa kwenye hema ya kukutania.
Ukoo wa Wagerishoni waliokuwa wameweka kambi yao upande wa magharibi wa masikani walitakiwa kuvilinda vifuniko wa masikani, mapazia na kamba.
Numbers 3:30-32
Je, watu wa ukoo wa Wakohathi waliokuwa wameweka kambi yao upande wa kusini wa masikani walichotakiwa kufanya ?
Walitakiwa kupalinda mahali patakatifu, mapazi ya mahali patakatifu, na vitu vyote vilivyo mahali patakatifu.
Je, Eliazeri mwana Haruni alitakiwa kuwasimamia watu gani?
Alitakiwa kuwasimamia watu waliokuwa wanawasimamia Walawi na wale wanaume waliotunza mahali patakatifu.
Numbers 3:33-35
Je, ni nani aliyetakiwa kuwasimamia watu wa ukoo wa Merari waliokuwa wameweka kambi yao upande wa kaskazini mwa masikani?
Zurieli mwana Abihaili ndiye aliyetakiwa kuwaongoza wana wa ukoo wa Merari.
Numbers 3:36-37
Je, wana wa ukko wa Merari waliokuwa wameweka kambi yao upande wa kaskazini wa maskani walipaswa kufanya nini?
Walipaswa kuzitunza mbao za kwenye masikani, mataruma, nguzo, makalishio, vifaa vya ujenzi na vitu vyote vilivyoambatana navyo.
Je, wana wa ukko wa Merari waliokuwa wameweka kambi yao upande wa kaskazini wa maskani walipaswa kufanya nini?
Walipaswa kuzitunza mbao za kwenye masikani, mataruma, nguzo, makalishio, vifaa vya ujenzi na vitu vyote vilivyoambatana navyo.
Numbers 3:38-39
Je, Musa na Haruuni na wana waliokuwa wameweka kambi yao mashariki mwa masikani walitakiwa kufanya nini?
Walitakiwa kufanya majukumu ya mahali patakatifu na majukumu ya watu wa Israeli.
Ni kitu gani kitakachompata mgeni atakaye karibia mahali patakatifu?
Mgeni yeyote ambaye alikaribia mahali patakatifu alitakiwa kuuawa.
Je, Musa na Haruni waliwahesabu watu gani?
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote katika ukoo wa Walawi waliokuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi.
Numbers 3:40-41
Je, Musa aliwapeleka watu gani kwa BWANA badala ya wazaliwa wa kwanza na badala ya wanyama wao?
Musa aliwapeleka Walawi na wanyama wao badala ya Wazaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli na wanyama wao.
Numbers 3:42-43
Je, Musa aliwahesabu watu gani?
Musa aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa Israeli kwa majina yao, waliokuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi.
Numbers 3:44-45
Je, Walawi wote walikuwa mali ya nani?
Walawi walikuwa mali ya BWANA.
Numbers 3:46-51
Je, ni kiasi gani cha shekeli za mahali patakatifu ambazo Musa alikusanya kwa ajii ya mzaliwa wa kwanza ili kumnunua kila mzaliwa wa kwanza wa watu wa Israeli ambao walizidi idadi ya Walawi?
Musa alikusanya shekeki 5 kwa ajili ya kuwanunua wale wazaliwa wa kwanza 273 wa hao watu wa Israeli ambao walizidi idadi ya Walawi.
Je, Musa alimpatia nani zile fedha za kuwanunua wazaliwa wa kwanza wa Israeli?
Zile pesa alimpatia Haruni na wana wake kama vile BWANA alivyokuwa ameamuru.
Je, Musa alifanya kwa kiasi gani ukilinganisha na jinsi alivyokuwa ameamuriwa na neno la BWANA?
Musa alifanya kila kitu kufanya alichokuwa ameamuriwa na neno la BWANA.
Numbers 4
Numbers 4:1-4
Musa na Haruni walitakiwa kuefanya kazi gani?
Musa na Haruni walitakiwa kufanya sensa ya wana wa uzao wa Kohathi kutoka kati ya Walawi ambao walikuwa na umri wa miaka kuanzia miaka 30 hadi 50.
Musa na Haruni walitakiwa kuefanya kazi gani?
Musa na Haruni walitakiwa kufanya sensa ya wana wa uzao wa Kohathi kutoka kati ya Walawi ambao walikuwa na umri wa miaka kuanzia miaka 30 hadi 50.
Je, wana wa uzao wa Kohathi walitakiwa kufanya nini ili kutumika kwenye hema ya kukutania?
Walitakiwa kuvitunza vile vitu vitakatifu sana ambavyo vilikuwa vimewekwa kwa ajili ya BWANA katika hema ya kukutania.
Numbers 4:5-6
Je, ni kitu gani ambacho Haruni na wanawe walichotakiwa kushusha wakati kambi ilipotakiwa kuendelea mbele?
Walipaswa kuingia Hemani ili kushusha mapazia ambayo yalitenganishsa mahali patakatifu sana na mahali patakatifu, kulifunika sanduku la agano kwa ngozi za pomboo na nguo za rangi ya samawi, na kisha kuchomeka ile miti ya kuibebea heama.
Je, ni kitu gani ambacho Haruni na wanawe walichotakiwa kushusha wakati kambi ilipotakiwa kuendelea mbele?
Walipaswa kuingia Hemani ili kushusha mapazia ambayo yalitenganishsa mahali patakatifu sana na mahali patakatifu, kulifunika sanduku la agano kwa ngozi za pomboo na nguo za rangi ya samawi, na kisha kuchomeka ile miti ya kuibebea heama.
Numbers 4:7-8
Haruni na wana wake walitakiwa kutandika nguo ya samawi kwenye nini na kisja kuweka juu yake sahani, vijiko, mabakuli na vikombe vya kumiminia?
Walitakiwa kuifunika mikate ya wonyesho kwa nguo za rangi za samawi na kisha kuweka juu yake sahani, vijiko, mabakuli, na vikombe vya kumiminia.
Ni kitu gani kilitakiwa kuwa juu ya meza daima
Mikate ya wonyesho ilitakiwa kuwa juu ya meza.
Numbers 4:9-11
Ni kwa namna gani vile vinara na vitu yake vilitakiwa kuandaliwa kwa ajili ya kuendelea na safari?
Walifunika nguo ya rangi ya samawi juu ya vinara na vitu vyake vyote, pia walifunika kwa ngozi za pomboo, na kuziweka kwenye ile miti ya kuibebea.
Ni kwa namna gani vile vinara na vitu yake vilitakiwa kuandaliwa kwa ajili ya kuendelea na safari?
Walifunika nguo ya rangi ya samawi juu ya vinara na vitu vyake vyote, pia walifunika kwa ngozi za pomboo, na kuziweka kwenye ile miti ya kuibebea.
Je, walitakiwa kutumia nini kuifunika ile mikate ya wonyesho na walitakiwa kuchomeka kitu gani kwa ajili ya kuibeba ile meza?
Walitakiwa kuifunika mkikate ya wonyesho kwa nguo za rangi ya samawi pamoja na ngozi za pomboo na kisha walitakiwa kuweka miti ya kuibebea
Je, madhabahu ya dhahabu na vyombo vyake viliandaliwaje kwa ajili ya kusafirishwa?
Ile madhabahu ya dhahabu na vyombo vyake vyote vilitakiwa kufunikwa kwa ngozi za samawi, na kufunikwa ngozi za pomboo na kisha kuweka miti ya kubebea.
Numbers 4:12-14
Je, vifaa vya kutumia katika kazi ya mahali patakatifu vilitakiwa kuandaliwaje?
Vitu vyote vya mahali patakatifu vilitakiwa kuzongwa kwenye nguo za rangi ya samawi, na kufunikwa kwa ngozi za pomboo, na kuwekwa kwenye ile miti ya kubebea
Je, kwenye madhabhu waliondoa kitu gani, na wanlitakiwa kutandaza nini madhabahuni?
Waliondoa yale majivu toka madhabahuni na kutandaza nguoa ya rangi ya zambarau juu yake.
Je, vifaa vyote vilivyotumika kwa kazi ya madhabahuni viliwekwa wapi?
Vifaa vyote vilivyotumika kwa kazi ya madhabahuni viliwekwa kwenye ili miti ya kubebea.
Je, ile madhabahu iliweza kufunikwa kwa kitu gani kabla ya kuweka ile miti ya kuibebebea?
Ile madhabahu ilifunikwa kwa ngozi za pomboo kabla ya kuweka ile miti ya kubebea
Numbers 4:15-16
Ni nani aliyetakiwa kuja kubebe mahali patakatifu baada ya Haruni na wanawe kumaliza kupafunika mahali patakatifu n a vifaa vyake vyote wakati kambi ilipotakiwa kuendelea mbele?
Wana wa uzao wa Kohathi walikuja kuibeba vitu vya mahali patakatifu baad ya Haruni na wanawe kumaliza kupafunika na kambi ilikuwa tayari kuondoka.
Je, Eliazeri mwana wa Haruni alitakiwa kuangalia na kusimamia jambo gani?
Alipaswa kusimamia mafuta na mwanga pamoja na kusimamia uangalizi wa uvumba mzuri, na sadaka ya unga ya kawaida, mafuta ya utakaso, masikani yote na vyote vilivyokuwa ndani yake.
Numbers 4:17-20
Je, ni kutoka kwanani ambako ukoo wa Wakohathi hawataondolewa na kwamba hawatakufa bali wataishi?
Wasiondolewe kati ya Walawi na kwamba waishi wasije wakafa.
Je, ni kutoka kwanani ambako ukoo wa Wakohathi hawataondolewa na kwamba hawatakufa bali wataishi?
Wasiondolewe kati ya Walawi na kwamba waishi wasije wakafa.
Ni kuhusiana na nini ambacho BWANA alimwonya Musa na Haruni kwamba kabila la Wakohathi wasije wakaingia ndani kukiona wasije wakafa?
Kabila la Wakohathi wasije wakaingia ndani kupaona mahali patakatifu wasije wakafa.
Ni nani pekee aliyekuwa akiruhusiwa kuingia mahali aptakatifu?
Ni Haruni pekee na wanawe ndiyo waliruhusiwa kuingia mahali patakatifu.
Numbers 4:21-23
Je, BWANA anamwambia Musa kufanya nini juu ya kuwahesabu wale wanaohudumia kwenye hema ya kukutania kutoka kwenye ukoo wa Gerishoni?
Musa alitakiwa kuwahesabu kwenye sensa wale wote waliokuwa na umri wa kuanzia miaka thelathini hadi miaka hamsini.
Je, BWANA anamwambia Musa kufanya nini juu ya kuwahesabu wale wanaohudumia kwenye hema ya kukutania kutoka kwenye ukoo wa Gerishoni?
Musa alitakiwa kuwahesabu kwenye sensa wale wote waliokuwa na umri wa kuanzia miaka thelathini hadi miaka hamsini.
Numbers 4:24-26
Je, Wagerishoni walikuwa na kazi gani?
Kazi ya Wagerishoni ilikuwa kubeba Mapazia yote na vifunikio vya masikani na vya hema ya kukutania na vifuniko vyvake vya ngozi za pomboo pamoja na vifuniko vya ua na vya malango yake na kamba zake na vifaa vyote vya huduma yao.
Je, Wagerishoni walikuwa na kazi gani?
Kazi ya Wagerishoni ilikuwa kubeba Mapazia yote na vifunikio vya masikani na vya hema ya kukutania na vifuniko vyvake vya ngozi za pomboo pamoja na vifuniko vya ua na vya malango yake na kamba zake na vifaa vyote vya huduma yao.
Numbers 4:27-30
Ni nani aliyetakiwa kusimamia huduma yote ya Wagerishoni ambao walikuwa akiongozwa na Ithamari kuhani?
Haruni na wanawe walitakiwa kusimamia huduma yote ya wana wa uzao wa Wagerishoni.
Ni nani aliyetakiwa kusimamia huduma yote ya Wagerishoni ambao walikuwa akiongozwa na Ithamari kuhani?
Haruni na wanawe walitakiwa kusimamia huduma yote ya wana wa uzao wa Wagerishoni.
Numbers 4:31-33
Je, Ukoo wa Merari walitakiwa kufanya huduma gani kwenye hema ya kukutania?
Walitkiwa kuzilinda mbao za masikani, mataruma yake, nguzo na makalishiio yake, vigigngi na kamba zake na vifaa vingine, pamoja na kuorodhesha vitu walivyotakiwa kuvibeba.
Je, Ukoo wa Merari walitakiwa kufanya huduma gani kwenye hema ya kukutania?
Walitkiwa kuzilinda mbao za masikani, mataruma yake, nguzo na makalishiio yake, vigigngi na kamba zake na vifaa vingine, pamoja na kuorodhesha vitu walivyotakiwa kuvibeba.
Numbers 4:34-40
Je, Musa, Haruni, na viongozi wa Israeli walifanya nini ili kumtii BWANA?
Waliwahesabu wanaume wote wa Wakohathi waliokuwa na umri wa miaka thelathini hadi hamsini kwa kufuata kazi ambayo kila mmoja alitakiwa kuifanya kwenye masikani, na walihesabu kila ambacho kila mtu alitakiwa kubeba katika vile vitu vya kwenye hema ya kukutania.
Je, Musa, Haruni, na viongozi wa Israeli walifanya nini ili kumtii BWANA?
Waliwahesabu wanaume wote wa Wakohathi waliokuwa na umri wa miaka thelathini hadi hamsini kwa kufuata kazi ambayo kila mmoja alitakiwa kuifanya kwenye masikani, na walihesabu kila ambacho kila mtu alitakiwa kubeba katika vile vitu vya kwenye hema ya kukutania.
Numbers 4:41
Je ni watu gani tena waiohesabiwa kwenye ukoo wao waliokuwa na umri wa miaka 30 - 50?
Uzao wa Gerishoni walihesabiwa katika ukoo wao.
Numbers 4:42-45
Je, ni watu gani pia ambao Musa na Haruni waliwahesabu katika ukoo huo walikuwa na umri wa mika 30 -50?
Uzao wa Merari walihesabiwa katika koo zao.
Je, ni watu gani pia ambao Musa na Haruni waliwahesabu katika ukoo huo walikuwa na umri wa mika 30 -50?
Uzao wa Merari walihesabiwa katika koo zao.
Numbers 4:46-49
Musa alipomhesabu kika Mlawi kwa kufuata ukoo mwenye umri wa miaka 30 - 50, aliendelea kujali kitu gani?
Musa lihesabu kila mwanamume aliyeweza kufanya kazi kwenye masikani na ambaye angeweza kutunza vifaa vya kwenye hema ya kukutania.
Numbers 5
Numbers 5:1-4
Je, na kwa matatizo gani ambayo BWANA alisema kuwa Musa atawaondoa wanaume na wanawake toka kambini?
BWANA alisema kuwa Musa atamwondoa kila mtu aliye na magonjwa ya ngozi yanayoambukiza na mwenye vidonda vianvyotoa harufu na kila mmoja aliyekuwa amegusa maiti kwa kuwa alikuwa amenajisika.
Je, na kwa matatizo gani ambayo BWANA alisema kuwa Musa atawaondoa wanaume na wanawake toka kambini?
BWANA alisema kuwa Musa atamwondoa kila mtu aliye na magonjwa ya ngozi yanayoambukiza na mwenye vidonda vianvyotoa harufu na kila mmoja aliyekuwa amegusa maiti kwa kuwa alikuwa amenajisika.
Numbers 5:5-7
Je, BWANA alimwambia Musa juu ya mume mke ambao watatenda dhambi dhidi ya mtu mwingine watafanywa nini?
Kila mtu atakayemtendea uovu mwenzake alitakiwa kukiri , na kumlipa kwa hatia aliyomkosea na kuongeza sehemu ya tano zaidi.
Numbers 5:8-14
Je, malipo yalikuwaje na alifanya nini na yale malipo pale iliotokea kuwa aliyetendewa makosa hakuwa na ndugu wa kuyapokea hayo malipo?
Alitakiwa kupeleka haya malipo pamoja na kondoo dume kwa kuhani ambaye ndiye angeyamiliki.
Je, malipo yalikuwaje na alifanya nini na yale malipo pale iliotokea kuwa aliyetendewa makosa hakuwa na ndugu wa kuyapokea hayo malipo?
Alitakiwa kupeleka haya malipo pamoja na kondoo dume kwa kuhani ambaye ndiye angeyamiliki.
Numbers 5:15
BWANA alimwambia Musa kufanya nini kwa mwananmke ambaye mume wake anadhani kuwa amelela na mwanamume mwingine?
Yule mume ampeleke mke wake kwa kuhani akiwa na sadaka ya kinywaji kwa ajili yake pamoja na sadaka ya unga wa ulezi kama ishara ya dhambi.
Numbers 5:16-17
Je, kuhani alifanya nini kwanza?
Alimweka mwanamke mbele ya ya BWANA, kisha alichukua kikombe cha maji matakatifu na kuyachanganya na majivu ya kwenye masikani.
Je, kuhani alifanya nini kwanza?
Alimweka mwanamke mbele ya ya BWANA, kisha alichukua kikombe cha maji matakatifu na kuyachanganya na majivu ya kwenye masikani.
Numbers 5:18-19
Kisha kuhani alifanya nini?
Kisha kuhani atazifunua nywele zake na kuweka ile sadaka ya wivu katika mikono yake.Kuhani akiwa amebeba yale maji machungu, na kumfanya aape kiapo ambacho hushusha laana kwake kama kweli hakuwa mwaminifu.
Kisha kuhani alifanya nini?
Kisha kuhani atazifunua nywele zake na kuweka ile sadaka ya wivu katika mikono yake.Kuhani akiwa amebeba yale maji machungu, na kumfanya aape kiapo ambacho hushusha laana kwake kama kweli hakuwa mwaminifu.
Numbers 5:20-23
Je, ile laana ilisababisha kitu gani kama yule mwanamke alionekana kuwa na hatia?
Ile laana ilisababisha paja lake kuoza na tumbo lake kuvimba.
Numbers 5:24-26
Je, kuhani aliyafanyaje hayo maji machungu yaliyokuwa na laana ndani yake?
Kuhani alimtaka yule mwanmke kuyanywa hayo maji machungu.
Je, kuhani aliifanyaje hiyo sadaka ya unga?
Kuhani aliichukua hiyo sadaka ya unga kwenye mikono ya yule mwanamke, na kumwinulia BWANA, na kutoa sehemu yake kwa BWANA, na kuiteketeza madhabahuni.
Kuhani alimtaka yule mwanmke kuyanywa hayo maji machungu.
Kuhani aliichukua hiyo sadaka ya unga kwenye mikono ya yule mwanamke, na kumwinulia BWANA, na kutoa sehemu yake kwa BWANA, na kuiteketeza madhabahuni.
Je, kuhani aliyafanyaje hayo maji machungu?
Alimpatia hayomaji machungu yule mwanake ili ayanywe.
Numbers 5:27-28
Kilitokea nini kwa yule mwanamke kama kweli alikuwa amekosea mume wake?
Tumbo la yule mwanamke lilivimba, mapaja yake yalioza, na alilaaniwa kati ya watu wake.
Kilitokea nini kwa yule mwanamke kama alikuwa hajajinajisi?
Yule mwanamke aliwekwa huru na aliweza kubeba uja uzito tena.
Numbers 5:29-31
Sheria ya wivu ikoje?
Ni sheria inayomhusu mwanamke anayetoka nje ya mume wake na kujitia unajisi. Pia nisheria ya mwanamume aliye na roho ya wivu juu ya mke wake.
Sheria ya wivu ikoje?
Ni sheria inayomhusu mwanamke anayetoka nje ya mume wake na kujitia unajisi. Pia nisheria ya mwanamume aliye na roho ya wivu juu ya mke wake.
Numbers 6
Numbers 6:1-4
Ni nani anayejitenga na kiapo cha unaziri kwa BWANA?
Ni mwanamke au mwanamume anayeapa kiapo cha unaziri kwa BWANA.
Je, yule mtu aliyekuwa ameweka kiapo cha unaziri kwa BWANA hakutakiwa kula nini wakati wote wa unaziri wake kwa BWANA?
Hakunywa mvinyo, kinywaji kikali, kileo, siki itokanayo na divai, wala kula divai mbichi wala zilizokauka.
Je, yule mtu aliyekuwa ameweka kiapo cha unaziri kwa BWANA hakutakiwa kula nini wakati wote wa unaziri wake kwa BWANA?
Hakunywa mvinyo, kinywaji kikali, kileo, siki itokanayo na divai, wala kula divai mbichi wala zilizokauka.
Numbers 6:5
Je, hakutumia nini wakati wote wa kujidhiri?
Wakati wote wa kujidhiri wembe usipite kichwani mwake
Numbers 6:6-8
Je, yule mtu alifanya kiapao cha kijidhiri kwa BWANA hakutakiwa kusogelea nini?
Mtu yule alijidhiri kwa BWANA hakutakiwa kusogelea maiti.
Je, huyo mtu alijidhiri huwa amefanya hivyo kwa ajili ya nani?
Wakati wa kujidhiri mtu hujitoa kwa ajili ya BWANA.
Numbers 6:9
Manaziri alipaswa kufanya nini siku saba baada ya kunajisiwa na maiti?
Baada ya siku saba Manaziri alipaswa kunyoa kichwa chake.
Numbers 6:10-11
Je, Mnaziri aliyenajisika alitaliwa kuleta nini kwanza kwa ajili ya utakaso katika siku ya nane kwa kuhani kwenye lango la hema ya kukutania siku ya kujitakasa kwake
Siku ya nane alitakiwa kuleta kwa ajili ya utakaso huwa wawili au njiwa wawili kwa kuhani kwenye lango la hema ya kukutania. Kisha alitakiwa kujitakasa mwenyewe katika siku hiyo.
Je, Mnaziri aliyenajisika alitaliwa kuleta nini kwanza kwa ajili ya utakaso katika siku ya nane kwa kuhani kwenye lango la hema ya kukutania siku ya kujitakasa kwake
Siku ya nane alitakiwa kuleta kwa ajili ya utakaso huwa wawili au njiwa wawili kwa kuhani kwenye lango la hema ya kukutania. Kisha alitakiwa kujitakasa mwenyewe katika siku hiyo.
Je, zile sadaka mbili zilikuwa kwa ajili ya nini?
Zile sadaka zilikuwa kwa ajili ya sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa.
Numbers 6:12
Je, ni sadaka gani ya hatia aliyoleta kwa ajili ya kujitakasa mwenyewe kwa BWANA kwa ajili ya muda wake kwa ajily a kuijidhiri?
Kwa ajilli ya kujitoa mwenyewe kwa BWANA kwa sababu ya kujidhiri kwake alipaswa kutoa mwanakondoo dume mwenye umri wa mwaka mmoja
Numbers 6:13-15
Je, ni sadaka gani ya dhdambi ambayo mnadhiri alihitaji alihihitajiili alete kwenye lango la hema ya kukutania pamoja na mwanakondoo dume kwa ajili ya sadaka ya hatia?
Alihitaji kuleta sadaka ya dhambi ya mwanakondoo jike wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari, kondoo dume mmoja asiyekuwa na dosari kama sadaka ya amani, kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa BWANA.
Je, ni sadaka gani ya dhdambi ambayo mnadhiri alihitaji alihihitajiili alete kwenye lango la hema ya kukutania pamoja na mwanakondoo dume kwa ajili ya sadaka ya hatia?
Alihitaji kuleta sadaka ya dhambi ya mwanakondoo jike wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari, kondoo dume mmoja asiyekuwa na dosari kama sadaka ya amani, kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa BWANA.
Numbers 6:16-17
Ni nani aliyetakiwa kuzileta zile sadaka za mnadhiri kwa BWANA?
Kuhani ndiye aliyetakiwa kuzileta kwa BWANA.
Ni nani aliyetakiwa kuzileta zile sadaka za mnadhiri kwa BWANA?
Kuhani ndiye aliyetakiwa kuzileta kwa BWANA.
Numbers 6:18
jE, Mnadhiri alitakiwa kuzifanyaje zile nywele alizonyoa kutoka kichwani pake?
Alitakiwa kuzichukua hizo nywele na kuziweka kwenye moto chini ya sdaka ya amani.
Numbers 6:19-24
Yule kuhani aliweka nini kwenye mikono ya Mnadhiri ili kuinua juu kama sadaka mbele ya BWANA ili kuileta kwa BWANA?
Kuhani aliweka bega la kondoo dume kwenye mikono ya Mnadhiri lililotokoswa, mkate mmoja usiotiwa chachu toka kwenye kile kikapu, na mkate mmoja wa kaki usiotiwa chachu wa kuleta kwa BWANA.
Yule kuhani aliweka nini kwenye mikono ya Mnadhiri ili kuinua juu kama sadaka mbele ya BWANA ili kuileta kwa BWANA?
Kuhani aliweka bega la kondoo dume kwenye mikono ya Mnadhiri lililotokoswa, mkate mmoja usiotiwa chachu toka kwenye kile kikapu, na mkate mmoja wa kaki usiotiwa chachu wa kuleta kwa BWANA.
Je, hii mikate na kidari na paja vilitunzwa na kuinuliwa kwa nani?.
Sadaka hizi, pamoja na kidari, ziliinuliwa na na kutunzwa kwa kuhani.
Je, baada ya hapo Mnadhiri alikunywa nini?
Mnadhiri alikuunywa divai.
Numbers 6:25-27
Je, ni baraka gani ambazo Haruni na wanawe walitakiwa kuwapa watu toka kwa BWANA?
Haruni na wanawe walitakiwa kuwapa watu baraka za amani na nuru.
Je, ni baraka gani ambazo Haruni na wanawe walitakiwa kuwapa watu toka kwa BWANA?
Haruni na wanawe walitakiwa kuwapa watu baraka za amani na nuru.
Numbers 7
Numbers 7:1-3
Je, ni kitu ganiambacho Musa alikitia mafuta na kukitakasa kwa ajili ya BWANA siku ile ambayo maskani na madhabahu ilikamilika?
Aliitia mafuta na kuitikasa masikani kwa ajili ya BWANA siku ambayo masikani na madhabahu zilikamilika.
Je, ni kitu ganiambacho Musa alikitia mafuta na kukitakasa kwa ajili ya BWANA siku ile ambayo maskani na madhabahu ilikamilika?
Aliitia mafuta na kuitikasa masikani kwa ajili ya BWANA siku ambayo masikani na madhabahu zilikamilika.
Numbers 7:4-5
Je, Musa alimpa nani hizo sadaka?
Musa aliwapa Walawi hizo sadaka, kila mmoja kadri ya kazi yake ilivyokuwa.
Numbers 7:6-8
Ni ktu gani ambacho Gerishoni na uzao wake walipokea kutokana na aina ya kazi yao?
Gerishoni na uzao wake walipokea magari mawili na makisai wanne.
Ni ktu gani ambacho Gerishoni na uzao wake walipokea kutokana na aina ya kazi yao?
Gerishoni na uzao wake walipokea magari mawili na makisai wanne.
Numbers 7:9
Kwa nini uzao wa Kohathi hawakupewa gari yeyote wala makisai wowote walaitolewa kama sadaka?
Uzao wa Kohathi hawakupokea magari yeyeyote wala makisai waliotolewa sadaka kwa sababuwalibeba vifaa vya kwenye masikani kwa sababu vilipaswa kubebwa mabegani mwao.
Numbers 7:10-11
Je, n lini ambapo kila kiongozi alipotakiwa kutoa kutoa vitu vyake kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhababu?
Kila kiongozi alitoa sadaka yake mbele ya madhabahu.
Numbers 7:12-17
Ni nani aliyekuwa wa kwanza katik ya makabila 12 ya Israeli kutoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu?
Yuda ndiye aliyekuwa wa kwanza kati ya makabila 12 ya Israeli waliotoa sadaka ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:18-23
Katika siku ya pili, ni kabila ipi kati ya hayo makabila 12 ya Israeli iliyotoa Sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu?
Katika siku yapili, Kabila ya Isakari kati kati ya makabila 12 ndiyo iliyotoa sadaka kawa ajli ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:24-29
Je, ni kabila ipi iliyotoa sadaka katika siku y a tatu kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu?
Ni kabila ya Zabuloni ndiyo waliotoa sadaka siku ya tatu kwa ajlli ya kuiweka wakfu madhabhu.
Numbers 7:30-35
Je, Katika siku ya nne, ni kabila gani waliotoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu?
Katika siku ya nne, Reubeni kati ya makabila12 ya Israeli ndiye aliyetoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:36-41
Je, katika siku ya tano, ni kabila ipi kati ya makabila 12 iliyotoa sadaka kwa ajili yakuiweka wakfu madhabau?
Katika siku ya tano, kabila ya Simeoni ndiyo iliyotoa sadaka kwa ajli ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:42-53
Je, katika siku ya sita, ni kabila ipi kati ya makabila 12 ya Israeli walitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhababu?
Katika siku ya sita, kabila ya Gadi kati ya kabila 12 za Israeli ndiyo iliyotoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:54-59
Je, katika siku ya nane, ni kabila ipi kati ya kabila 12 za Israeli ilitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu?
Katika sikuya nane, Kabila ya Mnanse kati ya kabila 12 za Israelindiyo iliyotoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:60-88
Je, katika ya tisa, ni kabila gani kati ya kabila 12 za Israeli ilitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabu?
Katika siku ya tisa, kabila ya Benjamini kati ya kabila12 za Israeli ndiyo walitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.
Je, katika ya kumi na moja, ni kabila gani kati ya kabila 12 za Israeli ilitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabu?
Katika siku ya kumi na moja, kabila ya Asheri kati ya kabila12 za Israeli ndiyo walitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.
Je, katika ya kumi na mbili, ni kabila gani kati ya kabila 12 za Israeli ilitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabu?
Katika siku ya kumi na mbili, kabila ya Naftali kati ya kabila12 za Israeli ndiyo walitoa sadaka kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.
Numbers 7:89
Je, BWANA aliongea na Musa akiwa wapi wakati Musa akiwa kwenye hema yakukutania?
BWANA aliongea na Musa tokea juu ya kiti cha rehema katika sanduku la ushahidi, kati ya makerubi mawili.
Numbers 8
Numbers 8:1-2
Je, amri ya BWANA kwa Haruni juu ya taa saba ilikuwaje?
BWANA aliamuru kuwa zile taa zitatoa mwanga mbele ya vinara.
Numbers 8:3-4
Ni nani aliyemwonyesha Musa muundo wa zile taa?
BWANA ndiye aliyemwonyesha Musa muundo wa zile taa.
Numbers 8:5-6
Je, BWANA alimwambia Musa awafanyeje Walawi?
BWANA alimwambia Musa awetwae Walwi kutoka miongoni Waisraeli na kuwatakasa.
Numbers 8:7-8
Je, Musa aliwafanya nini Walawi ili kuwatakasa?
Musa aliwanyunyizia maji ya utakaso, akawanyoa miili yao yote, na kufua mavazi yao.
Je, Walawi walileta sadaka gani?
Walawi walileta fahari wawili wachanga na sadaka ya unga na unga mwembamba uliiochanganywa na mafuta.
Numbers 8:9-11
Je, BWANA alimwambia nini Musa ili kuwaambia watu wa Israeli kitu cha kufanya kwa Walawi kwa ajili ya kuwatakasa?
BWANA aliwaambia watu wa Israeli kuwawekea mikono Walawi.
Kwa nini waliwatoa Walawi kama sadaka ya kuinuliwa mbele ya BWANA?
Waliwatoa Walawi badala ya watu ili kwamba Walawi wamtumikie BWANA.
Numbers 8:12-13
Je, wale fahari walikuwa sadaka ya aina gani kwa Walawi?
Wale fahari walikuwa sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya upatanisho wa Walawi.
Je, Walawi waliwekda mikono yao wapi?
Walawi waliweka mikono yao kwenye vichwa vya wale fahari.
Numbers 8:14-15
Je, ni kabila gani lililokuwa limetengwa, likatakaswa, na kuinuliwa kama sadaka kwa BWANA ili waweze kutumika kwenye hema ya kukutania?
Kabila la Walawi lilikuwa limetengwa, likatakaswa, na kuinuliwa kama sadaka kwa BWANA ili waweze kutumika kwenye hema ya kuktania.
Je, ni kabila gani lililokuwa limetengwa, likatakaswa, na kuinuliwa kama sadaka kwa BWANA ili waweze kutumika kwenye hema ya kukutania?
Kabila la Walawi lilikuwa limetengwa, likatakaswa, na kuinuliwa kama sadaka kwa BWANA ili waweze kutumika kwenye hema ya kuktania.
Numbers 8:16-17
Je, lini ambapo BWANA aliwatenga wazaliwa wote wa kwanza wa watu na wa wanyama kwa ajili yake?
BWANA aliwatenga wazaliwa wa kwanza wa watu na wa wanyama kwa ajili yake tangu siku alipowaua wazaliwa wa kwanza wa Wamisri katika nchi ya Misri.
Numbers 8:18-19
Je, BWANA aliwatoa watu gani kwa wana wa Israeli ili wawe upatanisho kwa watu ili kwamba wasipatwe na tauni watakapokaribia mahali patakatifu?
Aliwatoa Walawi, badala ya wazaliwa wa kwanza, kwa Haruni na wanawe ili waifanye kazi na kuwapatanisha watu katika hema ya kukutania.
Numbers 8:20-22
Je, Musa, Haruni na Watu wote wa Israeli walifanya kila kitu ambacho BWANA alikuwa amewaamuru kuhusiana na Walawi?
Ndiyo, walifanya kila kitu ambacho BWANA alikuwa amewaamuru kuhusiana na Walwi.
Numbers 8:23-24
Je, BWANA alimwambiaje Musa kuhusiana na ukomo wa umri wa kutumika katika hema ya kukutania?
Wale Walawi waliokuwa na umri wa miaka ishirini na tano walitumika mpaka walipokuwa na umri wa miaka hamsini.
Numbers 8:25-26
Je, walifanyanini pale walopokoma kutumika kwenye masikani baada ya miaka 50?
Walawi baada ya miaka 50 waliweza kuwasaidia ndugu zao.
Numbers 9
Numbers 9:1-5
Ni nani aliyenena na Musa katika jangwa la Sinai?
BWANA
Je, ni lini BWANA aliponena na Musa?
BWANA alinena na Musa mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya kutoka katika nchi ya Misri.
Je, wakati gani ambapo watu wa Israeli walitakiwa kuikumbuka Pasaka walipokuwa jangwani?
Kila mwaka walitakiwa kuikumbuka Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
Numbers 9:6-8
Je, Musa alienda kwa BWANA na swali gani?
Musa alienda kwa BWANA na swali kwa sababu kulikuwa na watu waliokuwa najisi lakini walitaka kuishika Pasaka.
Numbers 9:9-10
Je, jibu la BWANA kwa Musa lilikuwaje?
BWANA limwambia Musa kuwa kama mtu ni najisi kwa sababu ya maiti au kwa sababu alikuwa katika safari ndefu, bado anaweza kuikumbuka Pasaka.
Numbers 9:11-12
Je, ni lini ambapo wale watu walitakiwa kuimbuka Paska tofauti na siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza?
Wale watu waliokuwa najisi au kwa sababu ya safari ndefu walitakiwa kuikumbuka pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili.
Je, baadhi ya taratibu za kuikumbuka Pasaka zilikuwaje?
Walitakiwa kuila Pasaka kwa mikate isiyotiwa chachu na mboga chungu na bila kubakiza chochote mpaka asubuhi wala kuvunja mfupa wa mnyama.
Je, baadhi ya taratibu za kuikumbuka Pasaka zilikuwaje?
Walitakiwa kuila Pasaka kwa mikate isiyotiwa chachu na mboga chungu na bila kubakiza chochote mpaka asubuhi wala kuvunja mfupa wa mnyama.
Numbers 9:13-14
Ni kitu gani kilichosababisha mtu aondolewe toka kwa watu wake?
Ni yule mtu aliyekuwa safi na hakuwa safarini lakini hakuikumbuka Pasaka ambayo BWANA alikuwa ameagiza.
Sheria ya Pasaka kwa mtu mgeni katika nchi ya Israeli ilikuwaje?
Alitakiwa kuishika Pasaka, na kufanya maagizo yote, na kutii sheria zilizokuwa zinatakiwa.
Numbers 9:15-17
Je, Wingu lilionekanaje usiku?
Wingu usiku lilionekana kama moto.
Je, Wingu lilionekanaje usiku?
Wingu usiku lilionekana kama moto.
Je, watu walitambuaje kuwa wanataikwa kuanza safari au kutuliia?
Wakati wingu lilipochukuliwa kutoka juu ya hema, watu walitakiwa kusafiri; na pale wingu liliposimama, watu walibaki kwenye kambi zao.
Numbers 9:18-19
Je, watu walitakiwa kufanya nini wakati wingu lilipobaki juu ya masikani kwa miaka mingi?
Watu walitakiwa kutii sheria za BWANA na kuzuia safari.
Numbers 9:20-21
Je, ni wakati gani uliokuwa sahahi kwa watu kuendelea na safari ?
Ni wakati ule wingu lilipokuwa limeinuliwa kwa mari ya BWANA.
Je, ni wakati gani uliokuwa sahahi kwa watu kuendelea na safari ?
Ni wakati ule wingu lilipokuwa limeinuliwa kwa mari ya BWANA.
Numbers 9:22-23
Ni wakati gani ambapo watu walibaki kwenye kambi bila kusafiri?
Wakati wingu lilipokuwa kwenye masikani, watu wa Israeli walibaki kwenye kambi bila kusafiri
Je, watu wa Israeli waliijuaje amri ya BWANA?
Watu wa Israeli waliijua amri ya BWANA kupitia kwa Musa.
Numbers 10
Numbers 10:1-2
Kwa nini BWANA alimwambia Musa kutengeneza Tarumbeta mbili za Fedha?
BWANA alimwambia Musa kutengeneza Tarumbeta mbili ili ziwe zinatumika kwa kuwaita watu waje pamoja au kuwataarifu wakatai wa kuondoa kambi.
Numbers 10:3-5
Ni nani aliyetakiwa kupiga hizo tarumbeta
Makuhani ndio waliotakiwa kupiga hizo tarumbeta.
Ni ishara ipi iliyotumika kwa vioingozi kwa ajili ya kusanyika kwa Musa?
Pale makuhani walipopiga hiyo tarumbeta moja, hiyo ilikuwa ishara ya viongozi kukutana kwa Musa.
Je,ishara ya watu waliokuwa upande wa masharika kuanza safari ilikuwaje?
Ishara ya watu waliokuwa mashariki ya kuanza safari ilikuwa sauti ya juu ya tarumbeta
Numbers 10:6-8
Je, ishara ya taratibu ya tarumbeta ilioyesha nini?
Ilimaanisha kuwa watu wote walitakiwa kukusanyika.
Ni nani ambaye alitakiwa kupiga hizo tarumbeta mara kwa mara.
Wana wa Haruni, kuhani, ndio pekee waliotakiwa kupiga hizo tarumbeta.
Numbers 10:9
Walipoenda vitani na kupiga ishara ya sauti za tarumbeta, BWANA angefanya nini?
Walipoenda vitani na kupiga ishara za sauti za tarumbeta, BWANA aliwakunmuka na kuwaokoa kutoka kwa maadui zao.
Numbers 10:10
Je, ishara ya ukumbusho kwa Mungu wakati wa kusherehekea kuwa BWANA ndiye Mungu wao ilikuwaje?
Walipiga tarumbeta kwa heshima ya sadaka yao ya kuteketezwa na sadaka ya amani.
Numbers 10:11-13
Je, kilitokea nini katika siku ya ishiriini ya mwezi wa pili ya mwaka wa pili?
Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili ya mwaka wa pili lile wingu liliinuka toka kwenye masikani.
Je, watu wa Israeli walienda wapi baada ya kuliacha jangwa la Sinai.
Walipoondoka kwenye jangwa la Sinai walienda kwenye jangwa la Parani.
Numbers 10:14-16
Ni kambi gani iliyokuwa ya kwanza kuondoka?
Kambi ya Yuda ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuondoka.
Numbers 10:17-20
Ni nani aliyetunza masikani?
Uzao wa Gerishoni na wa Merari.
Numbers 10:21-24
Ni akina nani waliobeba vitu vitakatifu vya mahali patakatifu?
Wakohathi ndio waliobeba vitu vitakatifu.
Ni watu wa kwenye bango gani waliofuatia kuondodoka?
Ni jeshi chini ya bango la Efraimu ndio waliofuatia.
Numbers 10:25-28
Ni jeshi la bango gani lilikuwa la mwisho kuondoka?
Jeshi lililokuwa limeweka bango chini ya uzao wa Dani lilikuwa la mwisho kuondoka.
Numbers 10:29-30
Je, Reueli alikwa nani?
Reueli alikuwa baba wa mke wa Musa.
Ni akina nani ambao Musa aliwakaribisha kuja kwenda pamoja na watu wa Israeli?
Musa alimkaribisha Hobabu ambaye ni shemeji wake.
Badala yake Hobabu alipenda kwenda wapi?
Hobabu alitaka kwenda kwenye nchi yake na kwa watu wake.
Numbers 10:31-32
Kwa nini Musa alitaka kwenda na Hobabu?
Musa alimtaka Hobabu aende naye kwa sababu alijua jinsi ya kuweka kambi jangwani
Numbers 10:33-34
Je, ni kitu gani ilichokuwa juuyao walipokuwa wakisafari wakati wa mchana wakiwa na sanduku la agano?
Wingu la BWANA lilikuwa juu yao wakati waliposafari wakati wa mchana wakiwa na sanduku la agano.
Je, ni kitu gani ilichokuwa juuyao walipokuwa wakisafari wakati wa mchana wakiwa na sanduku la agano?
Wingu la BWANA lilikuwa juu yao wakati waliposafari wakati wa mchana wakiwa na sanduku la agano.
Numbers 10:35-36
Je, Musa alimwomba BWANA kufanya nini wakati walipoanza kusafiri?
Alimwomba BWANA awatawanye maadui wake na kuwafanya wale waliomchukia wakimbie.
Je, Musa alimwambia nini BWANA waliposimama?
Alimwomba BWANA awarudie hao makumi elfu.
Numbers 11
Numbers 11:1-3
Je, BWANA alikuwa akisikiliza maneno ya watu gani?
BWANA aliwasikiliza walipokuwa wakinung'unikia matatizo yao.
Je, Musa alifanya nini watu walipomwita kwa ajili ya ule moto?
Walipomlilia Musa, alimwomba BWANA,ndipo ule moto ulipokoma.
Numbers 11:4-6
Je, Watu wa Israeli walikuwa wakiomba nini walipoanza kulia?
Watu wa Israeli walilia wakisema, "ni nani atakayetupa nyama tule?
Numbers 11:7-8
Je, watu walipata mana kutoka wapi?
Walitembea kuzunguka kambi wakikusanya mana.
Numbers 11:9-10
Ni wakati gani ambapo mana zingeanguka kambini?
Ni wakati umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, na mana pia zilianguka.
Numbers 11:11-12
Je, Musa alisema kuwa BWANA amemtendeaje mtumishi wake?
Musa alisema kuwa BWANA amemtedea mtumishi wake vibaya
Numbers 11:13-15
Je, watu walikuwa wakiomba nini walipolia mbele ya Musa?
Walilia mbele ya Musa wakiomba nyama ya kula.
Numbers 11:16-17
Je, BWANA alimwambia Musa amletee watu gani?
BWANA alimwambia Musa amletee viongozi sabini wazee wa Israeli.
Je, BWANA alisema hao wazee watafanya kazi gani baada ya kuwapa sehemu ya Roho?
BWANA alisma kuwa hao wazee watabebe mzigo wa watu pamoja na Musa.
Numbers 11:18-20
Ni nani atakyewapa watu nyama ya kula?
BWANA ndiye atakayewapa nyama, nao watakula.
Je, BWANA alisema kuwa hao watu watakula nyama kwa muda gani?
Watu watakula nyama kwa muda wa mwezi mmoja.
Numbers 11:21-23
Je, BWANA alisema kuwa Musa ataona nini juu ya neno la BWANA?
BWANA alisema kuwa Musa ataona kama neno la BWANA ni la kweli ama sivyo.
Numbers 11:24-25
Je, wale wazee sabini walifanya kitu gani baada ya Roho kuwajia juu yao?
Roho alipowajilia wale wazee sabini, walitabiri
Numbers 11:26-27
Je, kilitokea kitu gani kwa wale wanaume wawili waliokuwa wamebaki kambini?
Roho aliwajia pia wale wanaume wawili waliokuwa wamebaki kambini.
Numbers 11:28-30
Je, Yoshua alimwambia Musa wafanye nini juu ya wale wanaume wawili waliokuwa wakitabiri kambini?
Yoshua alimwambi Mua kuwa awazuie kutabiri.
Numbers 11:31-32
Je, ilikuwa umabli gani kutoka kambini hadi mahali pale ambapo kwale waliangukia?
Kwale waliangukia karibu na kambi, kiasi cha umbali wa mwendo wa siku moja upande mmoja na umbali huo huo upande mwingine.
Je, watu walikusanya hao kwale kwa muda gani?
Watu walikusanya kwale kwa muda wa siku nzima.
Numbers 11:33-35
Je, Mungu alitendaje kwa hasira, wakati watu waliopkuwa wakitafuna zile nyama?
Wakati watu walipokuwa wangali wakitafuna zile nyama, BWANA alishikwa na hasira dhidi yao na kuwaangamiza kwa gonjwa kubwa.
Numbers 12
Numbers 12:1-3
Kwa nini Haruni na Musa waliongea kinyume cha Musa?
Haruni na Miriamu waliongea kinyume cha Musa kwa sababu ya Mke wake Mkushi.
Kitu gani kilichosemwa ili kusisitiza kuwa Musa alikuwa mnyenyekevu sana.
Musa alikuwa mnyenyekevu sana, tena sana kuliko mtu yeyeyote hapa duniani.
Numbers 12:4-5
BWANA aliwaita Musa, Haruni, na Miriamu kwenda wapi?
BWANA aliwaita Musa, Haruni, na Miriamu kwenda kwenye hema yakuktania.
Je, BWANA alionekana wapi na kwenye nini akioingea nao?
BWANA alishuka kwenye nguzo ya wingu na akasimama kwenye lango la hema.
Numbers 12:6-8
Je, BWANA alijifunuaje kwa manabii wake miongoni mwa watu wake?
Wakati malaika wa BWANA alipokuwa na watu, BWANA alijifunua mwenyewe kwa nabii kwa maono na ndoto.
Je, ni kwa jinsi gani BWANA alivyoongea na Musa tofauti na alivyoongea na manabii wengine?
BWANA aliongea na Musa moja kwa moja, wala si kwa maono au mafumbo.
Numbers 12:9-10
Je, Mungu aliwanyaje Haruni na Miriamu?
Hasira yake iliwaka dhidi yao.
Je, Haruni aligundua nini kwa Miriamu BWANA alipoondoka na wingu kuinuka juu ya hema
Wingu lilipoinuka juu ya hema, Miriamu alipatwa na ukoma ghafula akawa mweupe kama theluji.
Numbers 12:11-12
Je, Haruni alisem nini juu ya kile walichokuwa wamemwambia Musa?
Haruni alisema kuwa walikuwa wameongea kwa ujinga na wamefanya dhambi.
Je, Haruni aliuelezaje mwili wa Miriamu ulipopata ukoma?
Alimwelezea kuwa alikuwa kama mwili wa mtoto mchanga aliyekufa ambaye nusu ya mwili wake ulikuwa umeliwa.
Numbers 12:13-16
Je, ni kitu gani ambacho BWANA alisema kuwa ilikuwa adhabu ya kawaida kama baba angemtemea mate usoni binti yake.
BWANA alisema kuwa kama baba angemtemea mate usoni binti yake, angetengwa kwa muda wa siku saba.
Je, Miriamu alipaswa kukaa wapi kwa muda wa siku saba, na watu hawakutakiwa kufanya nini mpaka Miriamu arudi kambini?
Miriamu alifungiwa nje ya kambi kwa muda wa siku saba, na watu hawakuendelea na safari Miriamu atakaporudi kambini.
Numbers 13
Numbers 13:1-12
Je, BWANA alimwambia Musa kutuma baadhi ya watu kwenda wapi?
BWANA a,imwambia Musa atume watu kwenda kuipeleleza nchi ya Kanaani, ambayo alikuwa amewapa watu wa Israeli.
Je, watu waliotumwa na Musa kwenda kuipeleleza nchi walikuwa na vyeo gani?
Watu wote hao walikuwa na viongozi wa makabila ya wana wa Israeli.
Numbers 13:13-16
Je, Musa alitumia jina gani kwa ajili ya Hoshea mwana wa Nuni?
Musa alimwita Hoshea kwa jina la Yoshua.
Numbers 13:17-22
Je, Musa aliwaambia wale wanaume kwenda kutafiti nini kwa wale watu waliokuwa wakiishi katika nchi ile?
Musa aliwaambia wale watu kuwachunguza wale watu waliokuwa wanaishi kule, kama walikuwa ni watu dhaifu au wenye nguvu, kama ni wengi au wachache.
Je, Musa aliwaambia wale wanaume kwenda kutafiti nini kwa wale watu waliokuwa wakiishi katika nchi ile?
Musa aliwaambia wale watu kuwachunguza wale watu waliokuwa wanaishi kule, kama walikuwa ni watu dhaifu au wenye nguvu, kama ni wengi au wachache.
Je, Musa aliwaambia wale viongozi kwenda kuchunguza nini juu ya ile nchi na kuleta vitu gani?
Musa aliwaambia kwenda kuichunguza kama ile nchi ni njema kwa ajili ya mazao, kama kulikuwa na miti, na kuleta sampuli za mazao.
Numbers 13:23-24
Je, wale wanaume walikata nini katika bonde la Eshikoli?
Wale wanaume walipofika bonde la Eshikoli, Walikata tawi la zabibu lenye kishada cha zabibu.
Numbers 13:25-26
Je, wale wanaume walitumia muda gani wakiipeleleza ile nchi?
Wale wapelelezi walirudi baada ya siku arobaini.
Je, ile taarifa waliileta kwa nani nje ya Musa na Haruni?
Walileta taarifa kwa watu wote wa Israeli.
Numbers 13:27-29
Je, wale wanaume walitoa taarifa gani juu ya wakazi wa nchi ile?
Wale wanaume walitoataarifa za kwamba wakazi wa nchi ile ni watu hodari sana.
Je, wale wanaume walieleza neno gani juu ya ile miji ya nchi ile
Wale wanaume walieleza kuwa miji ile ilikuwa mikubwa na yenye maboma.
Numbers 13:30-31
Je, ni lini ambapo Kalebu aliwatia moyo watu kwenda kuiteka ile nchi?
Kalebu aliwahamasisha watu kwenda kuiteka ile nchi mara moja.
Kwa nini wale watu wengine waliokuwa wameenda na Kalebu walisema kuwa hawawezi kuiteka ile nchi?
Wale wanaume wengine waliokuwa wameenda na Kalebu walisema kuwa hawakuwa na uwezo wa kuwateka wale watu kwa sababu walikuwa hodari kuliko wao.
Numbers 13:32-33
Wale wanaume walielezaje jinsi walivyojiona kuwa wao ni wadogo sana ukilinganisha na wale watu walivyo majitu?
Wale wanaume walisema kuwa walijiona kama panzi ukilinganisha na yale majitu.
Numbers 14
Numbers 14:1-3
Je, wana wa Israeli waliipokeaje ile taarifa ya yale majitu yaliyo katika ile nchi?
Usiku huo watu wote waliliakwa sauti.
Je, wana wa Israeli walitamani nini ambacho kingekuwa kimefanyika walipomlalamikia Musa na Haruni?
Walitamani kama wangelifia katika nchi ya Misri au katika jangwa.
Je, walifiria nini ambacho walidhani ni bora kuliko kwenda katika nchi ambayo BWANA alikuwa anawapeleka?
Walidhani ilikuwa bora kurudi Misri na wake zao na watoto wao.
Numbers 14:4-5
Je, wale watu walisemezena kuchukua uamuzi gani?
Walisemezana juu ya kuchagua kiongozi mwingine ili warudi Misri.
Je, Musa na Harui walifanya kitu gani mbele ya huo mkusanyiko?
Musa na Haruni walilala kifudifudi mbele ya huo mkusanyiko.
Numbers 14:6-8
Je, Yoshua na Kalebu walifanya nini?
Yoshua na Kalebu walichana mavazi yao kisha wakasema na watu wote.
Je, Yoshua na Kalebu walifanya nini?
Yoshua na Kalebu walichana mavazi yao kisha wakasema na watu wote.
Je, Yoshua na Kalebu waliwaambia watu kuwa kitatokea nini kama BWANA alikuwa amependezwa nao?
Waliwaambia kuwa kama BWANA alikuwa amependezwa nao, atawaingiza katika hiyo nchi na kuwapa.
Je, Yoshua na Kalebu waliielezeaje hiyo nchi?
Yoshua na Kalebu waliielezea hiyo nchi kuwa nchi inayotiririka maziwa na asali.
Numbers 14:9-10
Kwa nini Yoshua na Kalebu walisema kuwa wale watu watakuwa wameondolewa ulinzi wao?
Walisema kuwa ulinzi wa wale watu utakuwa umeondolewa kwa sababu BWANA alikuwa pamoja na wana wa Israeli.
Je, wale watu waliokuwa wamekusanyika walitaka kuwafanyaje akina Yoshua na Kalebu?
Wale watu waliokuwa wamekusanyika walitaka kuwapiga kwa mawe akina Yoshua na Kalebu mpka kufa. Kisha utukufu wa BWANA ulionekana kwenye hema ya kukutania.
Numbers 14:11-12
Je, BWANA litoa kitu gani kuwabarika ukoo wa Musa baada ya kuwaangamiza kwa tauni na kuwanyang'nya urithi wana wa Israeli?
BWANA alimwambia Musa kuwa ataufanya ukoo wake kuwa taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wana wa Israeli.
Numbers 14:13-14
Je, Musa alisema kuwa Wamisri watasemaje wakisikia kuwa BWANA amewaangamiza Waisraeli?
Musa alisema kuwa Wamisri watawaambia wakazi wa nchi hii.
Numbers 14:15-16
Je Musa alisema kuwa mataifa watasema kitu gani kama BWANA ataangamiza Waisraeli jangwani?
Alisema kuwa watasema kuwa kwa sababU BWANA hakuwa na uwezo wa kuwapelelka hawa watu katika ile nchi aliyowaapia ndiyo maana kawaangamiza jangwani.
Numbers 14:17-19
Kwa nini Musa alimsihi BWANA ili awasamehe Waisraeli dhambi zao.?
Musa alimsihi BWANA awasamehe watu dhambi zao kwa sababu ya ukuu uamiinifu wa agano lake.
Numbers 14:20-22
Je, BWANA alisema kitatokea nini baada ya kuwasamehe kwa sababu ya ombi la Musa?
BWANA alisema kuwa kama aishivyo, dunia yote itajazwa na utukufu wake.
Je, BWANA alisema kitatokea nini baada ya kuwasamehe kwa sababu ya ombi la Musa?
BWANA alisema kuwa kama aishivyo, dunia yote itajazwa na utukufu wake.
Je, watu wote waliokuwa wameuona utukufu wa BWANA na ishara za nguvu zake alizofanya kule Misri na jangwani wamefanya nini?
Watu wote waliona utukufu na ishara wamemjaribu mara kumi na hawajaisikiliza sauti yake.
Numbers 14:23-27
Je, ni kitu kitatokea kwa watu wote waliomdharau BWANA?
Watu wote waliomdharau BWANA hawataiona ile nchi ambayo BWANA alikuwa amewaapia mababu zao.
Je, Kalebu alifanya nini kuwa sababu alikuwa na roho nyingine, na ni kitu gani kilitokea kwa Kalebu?
Kalebu alikuwa na roho nyingine ndiyo maana alimfuata BWANA kwa ukamilifu; kwa hiyo aliingia katika ile nchi ambayo aliipeleleza na uzao wake wataimiliki.
Je, BWANA aliwaambia watu waende wapi kwa siku iliyofuata?
BWANA aliwaambia watu warudi siku iliyofuata na waende jangwani kwa njia ya bahari ya Shamu.
Numbers 14:28-30
Je, ni watu wa umri gani ambao BWANA alisema watafia jangwani?
BWANA alisemakuwa watu wote wenye umri wa kuanzia umri wa miaka ishirini na kuendelea watafia jangwani.
Je, ni wanaume gani wawili ambo walikuwa na umri wa zaidi ya miaka ishirini ambao wataingia katika ile nchi ya ahadi?
Ni Kalebu na Yoshua.
Numbers 14:31-33
Ni watu wapi pia ambao BWANA alisema atawapeleka katik ile nch?i
Ni wale watoto wadogo ambaowazazi wao BWANA alisema hawataiingia ile nchi.
Numbers 14:34-35
Je, watu watapata madahara ya dhambi yao kwa muda wa mika mingapi na sababu ya miaka yote hiyo ni nini?
Watabeba madhara ya dhambi yao kwa muda wa miaka arobaini kwa sababu wale wanaume walipeleleza nchi kwa miaka arobaini.
Numbers 14:36-40
Kilitokea nini kwa wale wanaume waliokuwa wameenda kuiona ile nchi?
Wale wanaume waliokuwa wameenda kuiona ile nchi walikufa wote kwa tauni.
Kilitokea nini kwa wale wanaume waliokuwa wameenda kuiona ile nchi?
Wale wanaume waliokuwa wameenda kuiona ile nchi walikufa wote kwa tauni.
Ni akiina nani waliobaki kati ya wale wanaume waliokuwa wameenda kuiona ile nchi?
Yoshua na Kalebu
Numbers 14:41-43
Kwa nini Musa aliwaambia watu wasiingie ile nchi?
Kwa sababu walikuwa wanavunja sheria ya BWANA na kwa sababu BWANA hakuwa pamoja nao ili kuwazuia maadui zao wasiwashinde.
Kwa nini Musa aliwaambia watu wasiingie ile nchi?
Kwa sababu walikuwa wanavunja sheria ya BWANA na kwa sababu BWANA hakuwa pamoja nao ili kuwazuia maadui zao wasiwashinde.
Numbers 14:44-45
Nani ambaye hakuondoka kambini kwenda katika nchi ya milima na watu?
Si Musa wala sanduku la agano la BWANA waliondoka kambini walipoenda kwenye nchi ya milima.
Numbers 15
Numbers 15:1-3
Je, ile sadaka katika sikukuu ilitoa nini kwa ajiloi ya BWANA?
Ilitoa harufu nzuri kwa ajili ya BWANA.
Numbers 15:4-10
Je, ni sadaka gani ya unga ambayo walitakiwa kuleta pamoja na sadaka ya kondoo dume?
Sadaka ya kondoo dume, ilitakiwa kuletwa pamoja na sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta.
Je, ni sadaka gani ya kinywaji ambayo watu walitakiwa kuleta pamoja na sadaka ya kuteketezwa au pamoja na sadaka ya mwanakondoo?
Waliambiwa kutengeneza divai kuwa sadaka ya kinywaji itolewe pamoja na sadaka ya kuteketezwa au pamoja na sadaka ya mwanakondoo.
Numbers 15:11-13
Ni nani aliyeambiwa kufuata hizo sheria zinazohusu sadaka?
Wazaliwa wote wa Israeli walitakiwa kuandaa dhabihu na sadaka kama BWANA alivyokuwa ameelekeza
Ni nani aliyeambiwa kufuata hizo sheria zinazohusu sadaka?
Wazaliwa wote wa Israeli walitakiwa kuandaa dhabihu na sadaka kama BWANA alivyokuwa ameelekeza
Numbers 15:14-19
Je, sheria hiyo ilitumikaje kwa wageni waliokuwa wakikaa na wana wa Israeli?
Sheria ileile ilitumika kwa wageni waliokuwa wakikaa kati ya wana wa Israeli na wale waliokuwa wakisafiri.
Je, sheria hiyo ilitumikaje kwa wageni waliokuwa wakikaa na wana wa Israeli?
Sheria ileile ilitumika kwa wageni waliokuwa wakikaa kati ya wana wa Israeli na wale waliokuwa wakisafiri.
Numbers 15:20-21
Je, watu walitakiwa kuifanyaje mikate yao ya kwanza?
Kuinua mkate kutokakwenye mikate yao ya kwanza.
Ni mara ngapi BWANA aliwaagiza watu kuinua sadaka zao kutoka kwenye mikate ya kwanza?
Alisema watatoa sadaka za kuinuliwa kwa kizazi chao chote.
Numbers 15:22-24
Je, watu walitikwa kufanyaje juu ya dhambi isiyokusudiwa?
Jamii ya watu wote walitakiwa kutoa fahari mchanga n a sadaka ya unga pamoja na sadaka ya kinywaji, pamoja na beberu kuwa sadaka ya dhambi.
Numbers 15:25-29
Je, kuhani alitakiwa kumfanyia nani sadaka ya upatanisho na kwa nini?
Kwa ajili ya watu wote kwa sababu dhambi hiyo ilikuwa ya kutokukusudiwa.
Je, kuhani alitakiwa kumfanyia nani sadaka ya upatanisho na kwa nini?
Kwa ajili ya watu wote kwa sababu dhambi hiyo ilikuwa ya kutokukusudiwa.
Numbers 15:30-34
Ni kitu gani kilichotakiwa kufanywa kwa mtu aliyefanya kitu kwa kukusudia na kwa nini?
Huyo mtu alitakiwa kukatiliwa na watu wake kwa sababu amelidharau neno la BWANA na amri zake.
Ni kitu gani kilichotakiwa kufanywa kwa mtu aliyefanya kitu kwa kukusudia na kwa nini?
Huyo mtu alitakiwa kukatiliwa na watu wake kwa sababu amelidharau neno la BWANA na amri zake.
Numbers 15:35-36
Je, watu walimfanya nini yule mwanamume aliyekutwa akiokota kuni siku ya Sabato?
Watu walimtoanje ya kambi na kumpiga kwa mawe mpaka kufa.
Je, watu walimfanya nini yule mwanamume aliyekutwa akiokota kuni siku ya Sabato?
Watu walimtoanje ya kambi na kumpiga kwa mawe mpaka kufa.
Numbers 15:37-39
Je, wana wa Israeli waliambiwa wajitengenezee nini kwenye mavazi yao?
Waliambiwa wajitengenezee vishada wavining'inize kwenye pindo za mavazi yao kwa nyuzi za rangi ya samawi.
Je, vile vishada vilikuwa vinawakumbusha kufanya nini?
Vile vishada viliwakumbusha kuzishika amri za BWANA na wala si kufuata matakwa ya mioyo yao na macho yao?
Numbers 15:40-41
Je, vile vishada viliwakumbusha jambo gani tena?
Viliwakumbushsa kuzitii amri za BWANA na kwamba watakuwa watakatifu, kwa ajili ya Muungu.
Je, BWANA alisema alifanya nini ili kuwa Mungu wa wana wa Israeli?
BWANA alisemakuwa aliwatoakatika nchi ya Misri, ili awe Mungu wao.
Numbers 16
Numbers 16:1-3
Ni nani ambaye aliambatana na Dathani, Abiramu, na kadhalika walikusanya watu kinyume cha Musa?
Kora alikusanya watu kinyume cha Musa.
Je, ni nani ambaye aliyeungana na Kora, Dathani Abiramu, na wengine ili kumwinukia Musa?
Viongozi mia mbili na hamsini wa Waisraeli waliungana nao kumwinukia Musa
Je, ni wanaume gani wawili ambao Kora na wengine waliwatuhumu kwa kujiinua juu zaidi juu ya watu wengine wa BWANA?
Musa na Haruni
Numbers 16:4-5
Je, Musa alifanya nini aliposikia kuwa vioingozi walikuwa wamemsema?
Musa alilala kifudifudi aliposikia kile viongozi walichokuwa wamemsema.
Je, Musa aliseama ni nani ambaye atamwonyesha Kora na wengine aliokuwa naokuwa amechaguliwa kuwa kuhani wa BWANA, kwa kumleta kwake asubuhi?
Musa alimwambia Kora na wale alkuwa nao kuwa BWANA atawaonyesha yule aliyemchagua kuwa kuhani, kwa kumleta huyo mtu kwake asubuhi.
Numbers 16:6-7
Je, Musa alimwelekeza nani kuleta vyetezo ili kuonyesha nani alimchagua kuwa mtakatifu, na jinsi walivyotakiwa kufanya kwenye vile vyetezo?
Musa alimwelekeza Kora na wote aliokuwa nao kuleta vyetezo siku iliyofuata na kuweka moto na uvumba mbele ya BWANA ili kuonyesha ambaye BWANA alikuwa amemchagua kuwa mtakatifu.
Je, Musa alimwelekeza nani kuleta vyetezo ili kuonyesha nani alimchagua kuwa mtakatifu, na jinsi walivyotakiwa kufanya kwenye vile vyetezo?
Musa alimwelekeza Kora na wote aliokuwa nao kuleta vyetezo siku iliyofuata na kuweka moto na uvumba mbele ya BWANA ili kuonyesha ambaye BWANA alikuwa amemchagua kuwa mtakatifu.
Numbers 16:8-11
Je, BWANA alikuwa amewatenga Walawi kwa ajili ya kufanya kazi gani kwa Waisraeli?
BWANA wa Israeli alikuwa amewatenga Walawi kati yw awaatu wa Israeli ili awalete karibu na yeye, ili wafanye kazi kwenye masikani ya BWANA, na kuwatumikia watu wa Israeli.
e, BWANA alikuwa amewatenga Walawi kwa ajili ya kufanya kazi gani kwa Waisraeli?
BWANA wa Israeli alikuwa amewatenga Walawi kati yw awaatu wa Israeli ili awalete karibu na yeye, ili wafanye kazi kwenye masikani ya BWANA, na kuwatumikia watu wa Israeli.
Je, Kora na Walawi walikuwa wamekusanyika dhidi ya nani walipoudai ukuhani wa Haruni na kulalamikadhidi ya Haruni?
Kora na Walawi walikuwa wamekusanyika dhidi ya BWANA walipoudai ukuhani wa Haruni n a kumlalamikia Haruni.
Je, Kora na Walawi walikuwa wamekusanyika dhidi ya nani walipoudai ukuhani wa Haruni na kulalamikadhidi ya Haruni?
Kora na Walawi walikuwa wamekusanyika dhidi ya BWANA walipoudai ukuhani wa Haruni n a kumlalamikia Haruni.
Numbers 16:12-14
Je, Dathani na Abiramu walisemaje Musa alipowaita, na walisemaje juu ya Musa?
Walisema hawatakuja kwa Musa. Walisema Musa aliwatoa katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili awaue katika jangwa, na kwamba alitaka kuwatawala.
Je, Dathani na Abiramu walisemaje Musa alipowaita, na walisemaje juu ya Musa?
Walisema hawatakuja kwa Musa. Walisema Musa aliwatoa katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili awaue katika jangwa, na kwamba alitaka kuwatawala.
Numbers 16:15-17
Je, Musa alimwomba nini BWANA kwa hasira juu ya sadaka ya Dathani na Abiramu, na nini ambacho Musa alisema hajachukua kutoka kwao na wala hajakifanya
Kwa hasira Musa alimwambia BWANA kuwa hajapokea sadaka zao, na Musa alisema kuwa hajapokea punda wao hata mmoja na wala kumwumiza hata mmoja wao.
Je, Musa aliwaambia wale wanaume 250 na Haruni walete nini siku iliyofuata na ni wapi walipotakiwa kuja?
Musa alimwambia Haruni na wale wanaume 250 kuja mbele za BWANA wakiwa na vyetezo vyao.
Je, Musa aliwaambia wale wanaume 250 na Haruni walete nini siku iliyofuata na ni wapi walipotakiwa kuja?
Musa alimwambia Haruni na wale wanaume 250 kuja mbele za BWANA wakiwa na vyetezo vyao.
Numbers 16:18-19
Kilitokeanini Kora na wafuasi wake walipokusanyika dhidi ya Musa na Haruni na waliposimama kwenye lango la hema ya kukutania?
Utukufu wa BWANA ulionekana kwa watu wote.
Numbers 16:20-24
Je, BWANA aliwataka Musa na Haruni kufanya nini?
BWANA aliwaambia Musa na Haruni kujitenga nao ili awaangamize mara moja.
Je, BWANA aliwataka Musa na Haruni kufanya nini?
BWANA aliwaambia Musa na Haruni kujitenga nao ili awaangamize mara moja.
Je, Musa na Haruni walifanyaje na walisemaje wakati Mungu wa wote wenye mwili alipowataka waondoke kati ya watu waliokuwa wamekusanyika kwenye lango la kukutania.
Musa na Haruni walilala kifudifudi na wakamwomba Mungu wa wote wenye mwili kwa nini awe na Hasira na watu wote kwa kukusa kwa mtu mmoja.
Numbers 16:25-27
Je, ni nani aliyemfuata Musa alipoenda kwa Dathani na Abiramu na kuwaambia watu waondoke kwenye hema za wale waovu na kutokugusa chochote kilicho chao?
Wazee ndio waliomfuata Musa.
Je, aliwaambia kingetokea nini kama wangekaa karibu na hema zao?
aliwaambia watu kuwa wangeangamizwa pamoja na dhambi zao.
Je, ni nani aliyemfuata Musa alipoenda kwa Dathani na Abiramu na kuwaambia watu waondoke kwenye hema za wale waovu na kutokugusa chochote kilicho chao?
Wazee ndio waliomfuata Musa.
Je, aliwaambia kingetokea nini kama wangekaa karibu na hema zao?
aliwaambia watu kuwa wangeangamizwa pamoja na dhambi zao.
Ni nani aliyetoka kwenye hema zao na kusimama kwenye milnago ya hema zao, na wake zao na wana wao na watoto wao wadogo?
Ni Dathani na Abiramu.
Numbers 16:28-30
Je, watu wagejuaje kuwa BWANA alikuwa amemetuma Musa kufanya kazi hizo na kwamba hakufanyakazi hizo kwa akili zake?
Kama watu wangekufa kifo cha kawaida basi watu wasingetambua kuwa BWANA alkuwa amemtuma Musa. Kama BWANA aliyeumba milango ya ardhi ambayo huwameza wakiwa hai shimoni, ndipo watu watakapotambua kuwa wale watu walikuwa wamemdharau BWANA.
Je, watu wagejuaje kuwa BWANA alikuwa amemetuma Musa kufanya kazi hizo na kwamba hakufanyakazi hizo kwa akili zake?
Kama watu wangekufa kifo cha kawaida basi watu wasingetambua kuwa BWANA alkuwa amemtuma Musa. Kama BWANA aliyeumba milango ya ardhi ambayo huwameza wakiwa hai shimoni, ndipo watu watakapotambua kuwa wale watu walikuwa wamemdharau BWANA.
Numbers 16:31-32
Kilitokea nini Pale Musa alipomaliza kuongea na Kora pamoja na wale watu?
Mara tu Musa alipomaliza kuongea, Nchi ikafununu mdomo wake ikawameza Kora, wale wanaume, familia zao, na malizao zote.
Kilitokea nini Pale Musa alipomaliza kuongea na Kora pamoja na wale watu?
Mara tu Musa alipomaliza kuongea, Nchi ikafununu mdomo wake ikawameza Kora, wale wanaume, familia zao, na malizao zote.
Numbers 16:33-35
Je, kilitokea nini kwa kila mmoja kwenye familia zao?
Kila mmoja kwenye familia zao aliingia shimoni akiwa ahi, na dunia ikawafunika, na wakapotea kutoka kwa watu.
Je, Israeli yote ilifanya nini, na walihofia nini?
Israeli yote walikimbia kwa sababu walihofia kuwa dunia inaweza pia kuwameza.
Je, kilitokea nini kwa wale wanaume 250 waliofukiza uvumba kwa Bwana?
Moto ulishuka toka kwa BWANA na kuwaangamiza wale wanaume 250 waliofukiza uvumba.
Numbers 16:36-38
Je, BWANA alimwambia nini Musa ili kumwambia Eliazeri, mwana wa Haruni kuhani, kukifanya na kwa nini?
BWANA alimwambia Musa amwambie Eliazeri kuvichukua vile vyetezo kutoka kwenye ule moto na aumwage ule moto kwa sababu vile vyetezo vilikuwa vitakatifu kwa ajili ya BWANA
Je, Musa alimwabia Eliazari avifanye nini vile vyetezo vya chuma vya hao waliopoteza maisha yao kwa sababu ya dhambi zao?
Eliazari aliambiwa avifue vile vyetezo vya chuma ili avitengeneze kuwa vifuniko vya madhabahu kwani ni vyombo vilivyotengwa kwa ajili ya BWANA
Je, vile vifuniko vya madhabahu vingekuwa ishara ya nini?
Ishara ya uwepowa BWANA kwa Israeli.
Numbers 16:39-40
Je, vile vyetezo vya shaba vilibaki kuwa ishara ya nini?
Vilibaki kuwa ukumbusho wa Waisraeli, kwamba hakuna mtu, wala uzao wa Haruni, watakaokuja kufukiza uvumba mbele ya BWANA.
Je, vile vyetezo vya shaba vilibaki kuwa ishara ya nini?
Vilibaki kuwa ukumbusho wa Waisraeli, kwamba hakuna mtu, wala uzao wa Haruni, watakaokuja kufukiza uvumba mbele ya BWANA.
Numbers 16:41-43
Je, wale watu wa Israeli walisemaje asubuhi siku iliyofuata walipokuwa wakilalamika dhidi ya Musa na Haruni?
Walimlalamikia Musa na Haruni kwamba wamewauawatu wa BWANA.
Kilitokea nini wakati wale watu walipoitazama ile hema ya kukutania?
Lile wingu lilikuwa likiifunika ile hema ya kukutania na utukufu wa BWANA ulionekana.
Je, Musa na Haruni walienda wapi?
Musa na Haruni walienda mbele ya hema ya kukutania.
Numbers 16:44-46
Je, BWANAlimwambiaje Musa alipokuwa amesimama mbele ya mahali patakatifu?
BWANA alimwambia Musa kuwa waondoke mbele ya watu ili awaangamize mara moja.
Je, Musa na Haruni walifanya nii walipoambiwa kuondoka miongoni mwa watu?
Musa na Haruni walilala kifudifudi walipoambiwa kutoka miongoni mwa watu.
Musa alimwambia Haruni kufanya nini ili kuzuia ile tauni kwa sababu ya hasira ya BWANA?
Musa alimwambia Haruni kuchukua chetezo, na aweke moto ndani yake kutoka madhabahuni, aweke uvumba ndani yake, na akipeleke haraka kwa wale Waisraeli kwa ajili yao.
Numbers 16:47-48
Ni wapi ambako Haruni alikimbilia ili kufanya upatanisho wakati ile tauni ilipokuwa ikisambaa , na alisimama kati ya nini?
Haruni alikimbia katikati ya watu akasimma kati ya zile maiti na watu waliokuwa hai wakati tauni ikiendelea kusambaa ili kufanya upatanisho.
Vilibaki kuwa ukumbusho wa Waisraeli, kwamba hakuna mtu, wala uzao wa Haruni, watakokuja kufukiza uvumba mbele ya BWANA.
Haruni alikimbia katikati ya watu akasimma kati ya zile maiti na watu waliokuwa hai wakati tauni ikiendelea kusambaa ili kufanya upatanisho.
Numbers 16:49-50
Nje na wale waliokufa kwa sababu ya swala la Kora, walikufa watu wangapi?
Wale waliokufa kwa tukio la tauni idadi yao ilikuwa watu 14,700.
Kilitokea nini Haruni aliporudi kwenye lango la hema?
Ile tauni ilikoma Haruni aliporudi kwenye lango la hema takatifu.
Numbers 17
Numbers 17:1-2
Je, BWANA aliwaambia watu wa Israeli wachukue kitu gani kutoka katika kila kabila na wafanyeje na hicho walichokijchukua?
BWANA alimwaelekeza Musa achukue fimbo kumi na mbili, ambayo ni fimbo moja toka kwa kila kiongozi wa kabila, na uandike jina la kila kiongozi kwenye hiyo fimbo yake.
Numbers 17:3-5
Ni jina gani ambalo BWANA limwagiza Musa kuandika kwenye fimbo ya Lawi?
Jina la Haruni
Je, Musa alitakiwa kufanya nini na hizo fimbo kumi na mbili?
Musa alitakiwa kuziweka fimbo hizo kwenye hema ya kukutania mbele ya sanduka la agano.
Je, BWANA alisema kuwa kitatokea nini kwenye fimbo y a mtu yule aliyemchagua?
Ile fmbo ya mtu yule ambaye BWANA amemchagua itachipua.
Kingetokea nini kama BWANA akiifanya fimbo kuchipua?
BWANA atayafanya malalamiko ambayo wana wa Israeli walikuwa wakiyaongea kukoma.
Numbers 17:6-7
Musa alipoongea na wana wa Israeli, ni nani aliyempa Musa hizo fimbo?
Viongozi wote wa makabila walimpa Musa hizo fimbo ikiwemo na ya Haruni.
Numbers 17:8-9
Kilitokea nini kwenye fimbo mojawapo Musa alipoziweka zile fimbo mbele ya BWANA kwenye hema ya sanduku la agano?
Fimbo ya Haruni ilichipua na kutoa maua na malozi mabivu.
Je, Musa alizifanya nini hizo fimbo?
Musa alileta fimbo zote toka kwa BWANA, na kila mmoja aliiona fimbo yake na kuchukua
Numbers 17:10-11
Je, BWANA alimwambia Musa aifanyeje fimbo ya Haruni?
BWANA alimwambia Musa aiweke fimbo ya Haruni mbele ya sanduku la agano.
Kwa nini BWANA alimwambia Musa kuiweka fimbo ya Haruni mbele ya sanduku la agano.
Ili kuitunza kuwa ishara ya hatia dhidi ya watu ambao walipinga ili kwamba Musa atakomesha malalamiko dhidi ya BWANA.
Numbers 17:12-13
Je, watu wa Israeli walihofia nini?
Watu wa Israeli walihofia kuwa watakufa wakilsogelea masikani ya BWANA.
Je, watu wa Israeli walihofia nini?
Watu wa Israeli walihofia kuwa watakufa wakiisogelea masikani ya BWANA.
Numbers 18
Numbers 18:1-2
Je, ni jukumu gani ambalo BWANA alisema kuwa ni Haruni pekee yake, wana wake, na ukoo wake ndio watakaoajibika?
Ni kwa ajili dhambi zilizofanywa mahali patakatifu.
Je, BWANA alisema nani atakayeajibika kwa dhambi zilizofanywa na yeyote mahali patakatifu?
Ni Haruni pekee yake na wanawe.
Ni kabila gani waliaotakiwa kumsaidia Haruni na wanawe wanapohudumia mbele ya hema la sanaduku la ushahidi?
Ni kabila la Lawi, ambalo ni kabila la mababu wa Haruni ndilo litakaloungana na Haruni wanawe wakati wa kuhudumia mbele ya hema la sanduku la agano.
Numbers 18:3-5
Je, Walawi hawakutakiwa kwenda wapi wakati wanapomtumikia Haruni na hema?
Walawi hawakutakiwa kukaribia mahali patakatifu wala madhabahuni.
Kingetokea nini kama Walawi wangekaribia mahali patakatifu au madhabahuni?
Wao na Haruni wangekufa.
Nani ambaye hakutakiwa kumkaribia Haruni?
Mgeni hakutakiwa kumkaribia Haruni
Walawi walitakiwa kufanya majukumu gani?
Walawi walitakiwa kuungana na Haruni ili kulitunza hema na kazi zote zinazohusiana na hema.
Kwa nini haruni nawanwe ndio waliotakiwa kupatunza mahali patakatifu na madhabahu?
Ili kwamba hasira za BWANA zisiwajie watu wa Israeli tena.
Numbers 18:6-7
Je, ni zawadi gani ambayo BWANA alimpa Haruni na wanawe na ipi ilikuwa sababu ya kuwapa?
BWANA aliwachagua Walawi kuwa zawadi kwa Haruni, Walitolewa kwa BWANA ili wafanye kazi ya kwenye hema ya kukutania.
Je, ni watu gani pekee waliokuwa wanaruhusiwa kufanya kazi ya kikuhani inayohusina na madhabahuni na kila kitu kilicho ndani ya pazia?
Ni Haruni tu ndiye aliyeruhusiwa.
Kingetokea ktu gani kwa mgani ambaye alikaribia madhabahuya BWANA ndani ya pazia?
Angeuawa.
Numbers 18:8-9
Je, ni sadaka gani takatifu ambayo ilitolewa kwa BWANA na kishsakuewa Haruni na wanawe kama gawio lao endelevu
Vile vitu vitakatifu kabisa ambavyo watu wa Israeli walitoa kwa BWANA ambvyo havikuteketezwa kabisa vilibaki kuwa vya Haruni na wanawe.
Je, ni sadaka gani takatifu ambayo ilitolewa kwa BWANA na kishsakuewa Haruni na wanawe kama gawio lao endelevu
Vile vitu vitakatifu kabisa ambavyo watu wa Israeli walitoa kwa BWANA ambvyo havikuteketezwa kabisa vilibaki kuwa vya Haruni na wanawe.
Je, ni sadaka gani zingine ambazo alipewa Haruni na wanawe?
Kila sadakaambayo watu walileta pamoja na sadaka za unga, kilasadka ya dhambi, na kila sadaka ya hatia ilikuwa ya Haruni na wanawe.
Numbers 18:10-11
Je, ni jinsi gani ambavyo Walawi wa kiume walizila zile sadaka?
Kila Mlawi wa kiume alizila zile sadaka kama vitu vitakatifu sana, ambavyo vilikuwa vimetolewa kwa BWANA.
Je, BWANA alimpa nani kama gawio endelevu, zila sadaka za kuinuliwa zilizotengwa za wana wa Israeli?
Walipewa wa Haruni na binti zake kama gawio lao endelevu.
Numbers 18:12-13
Ni vitu gani zaidi vilivyotolewa kwa familia ya Haruni?
Mafuta yote mazuri, divai nzuri, unga wa mazao ya kwanza, na malimbuko ya mashamba yao ambayo watu walileta kwa BWANA yalitolewa kwa Haruni na familia yake.
Ni vitu gani zaidi vilivyotolewa kwa familia ya Haruni?
Mafuta yote mazuri, divai nzuri, unga wa mazao ya kwanza, na malimbuko ya mashamba yao ambayo watu walileta kwa BWANA yalitolewa kwa Haruni na familia yake.
Numbers 18:14-16
Je, ni kitu gani ambacho watu walitakiwa kuvikomboa?
Walitakiwa kuwakomboa wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa watu na wa wanyama.
Je, ni wakati gani ambapo watu walitakiwa kuwakomboa wazaliwa wa kwanza wa kiume?
Watu walitakiwa kuwakomboa wazaliwa wa kwanza wa kiume watakapokuwa na umri wa mwezi mmoja.
Numbers 18:17-18
Ni wanyama gani ambao hawakutakiwa kukombolewa kwa kuwa walikuwa watakatifu, waliwekwa kwa ajili ya BWANA kuwa dhabihu ambao Haruni na wanawe watakula?
Wazaliwa wa kwanza wa ng'ombe, kondoo, mbuzi hawakutakiwa kukombolewa kwa sababu walikuwa watakatifu, waliowekwa kwa ajili ya BWANA na nyama yao ilikuwa kwa ajili ya Haruni na wanawe.
Ni wanyama gani ambao hawakutakiwa kukombolewa kwa kuwa walikuwa watakatifu, waliwekwa kwa ajili ya BWANA kuwa dhabihu ambao Haruni na wanawe watakula?
Wazaliwa wa kwanza wa ng'ombe, kondoo, mbuzi hawakutakiwa kukombolewa kwa sababu walikuwa watakatifu, waliowekwa kwa ajili ya BWANA na nyama yao ilikuwa kwa ajili ya Haruni na wanawe.
Numbers 18:19-20
Je, BWANA alisema ni kitu gani ambacho atapewa Haruni na wanawe na binti zake kama gawio endelevu kwa kuwa dhabihu hizo zilikuwa ni za agano la chumvi, agano linalofunga milele mbele ya Haruni na uzao wake?
BWANA alitoa vitu vyote vilivyotolewa vya vitu vitakatifu kwa Haruni na wanawe na binti zake kama gawio endelevu kwa kuwa dhabihu hizo zilikuwa ni za agano la chumvi, agano linalofunga milele mbele ya Haruni na uzao wake?
Kwa nini BWANA alimwambia Haruni kuwa hatakuwa na urithi katika hiyo nchi?
Ni kwa sababu BWANA ndiye aliyekuwa urithi wake.
Numbers 18:21-24
Ni kitu gani pia ambacho BWANA aliwapa uazo Lawi kama mbadala wa huduma yao kwenye hema ya kukutania?
BWANA aliwapa zaka zote za Israeli kwa uzao Lawi kuwa urithi wao kwa sababu ya huduma yoa ya kwenye hema ya kukutania.
Je, ni mtu gani ambaye BWANA alisema moja atakufa mara moja kama tu atasogea kwenye hema la BWANAla kukutania?
BWANA alimwambia Haruni kuwa watu wa Israeli wasisogelee hema ya kukutania, vinginevyo watakufa.
Numbers 18:25-27
Je, Walawi walitoa sadaka gani kwa BWANA walipopokea sadaka ya unga au ya divai toka kwa Waisraeli?
Ilikuwa ni moja ya kumi ya unga au ya divai
Numbers 18:28-32
Je,Walawi walimpa nani ile sadaka yao ya BWANA kutoka kwenye zile zaka walizokuwa wamepokea toka kwa Waisraeli?
Walawi walimpa Haruni.
Numbers 19
Numbers 19:1-2
Ni amri gani za sheria ambazo BWANA aliwaamuru Waisraeli?
BWANA aliwaamuru Waisraeli kuleta ng'ombe jike mwekundu asiyekuwa na dosari.
Numbers 19:3-6
Je, Eliazeri kuhani alimpelekawaoi huyo ng'ombe jike ambaye aliuawa na mtu mbele yake?
Eliazeri alimpeleka huyo ng'ombe nje ya mji
Je, Eliazeri aliifanyaje damu ya huyo ng'ombe?
Eliazeri alichukua baadhi ya damu yake kwenye kidole chake akainyunyizia mara saba kuelekea mbele ya hema ya kukutania
Je, Eliazeri aliifanyaje damu ya huyo ng'ombe?
Eliazeri alichukua baadhi ya damu yake kwenye kidole chake akainyunyizia mara saba kuelekea mbele ya hema ya kukutania
Je, kuhani aliutupa wapi ule mti wa mwerezi, hisopo, na sufu ?
Kuhani aliutupa ule mtiwa mwerezi, hisopo na sufu katikati ya huyo ng'ombe anayechomwa.
Numbers 19:7-8
Je, Eliazeri albaki kuwa najisi kwa muda gani baada ya kufua mavazi yake, na kuoga kwenye maji, na kurudi kwenye kambi?
Eliazeri alibaki najisi hadi jioni.
Je, yule kuhani akiyemchoma huyo ng'ombe atabaki najisi hadi lini baada ya kuwa amefua mavazi yake, ameoga maji, na kurudi kambini?
Yule kuhani alibaki najisi mpaka jioni.
Numbers 19:9-10
Je mtu aliyekuwa safi aliyafanyaje hayo majivu ya yule ng'ombe
Mtu aliyekuwa safi aliyakusanya majivu ya huyo ng'ombe na kuyaweka nje ya kambi mahali safi.
Kilitokea nini kwenye yale yale majivu yaliyokuwa yamewekwa nje mahali safi?
Haya majivu yalitunzwa kwa ajili ya watu wa Israeli ili yachanganywe na maji kwa ajili ya utakaso wa dhambi kwa kuwa walikuwa wanatoka kutoa sadaka ya dhambji.
Je, sheria ya kudumu kuhusu yule aliyeyakusanya majivu ya yule ng'ombe ilikuwaje?
Yule aliyekusanya majiu ya yule ng'ombe na kufua mavazi yake, alibaki najisi hadi jioni.
Numbers 19:11-13
Je, mtu yeyote aliyegusa maiti alitakiwa kukaa kwa muda gani akiwa najisi?
Takuwa najisi mpaka siku ya sba.
Je, mtu aliyegusa maiti alitakiwa kujitakasaje?
Mtu aliyegusa maiti alijitakasa katika siku ya tatu na siku ya saba.
Kilitokea nini kwa mtu aliyegusa maiti lakini hakujitakasa katika ile siku ya tatu?
Huyo hatakuwa safi katika siku ya saba.
Je, kwa nini mtu aliyegusa maiti, lakini hakujitakasa, alibaki kuwa najisi; na ni kitu gani kilichotakiwa kwa mtu huyo?
Alibaki najisi kwa sababu alikuwa ameinajisi masikani ya BWANA. Huyo mtu alikatiliwa mbali toka kwa Israeli na alibaki najisi.
Numbers 19:14-16
Kilitokea nini kwa mtu aliyeingia heamani ambamo kulikuwa na mtu aliyekufa au ambaye tayari alikuwa hemani ambpoalifi mtu?
Wote ambao waliingia hemani ambamo alifia mtu na wale ambao walikuwa wameshaingia hemani alimofia mtu watakuwa najisi kwa muda wa siku saba.
Kilitokea nini kwa vyombo ambavyo vilikuwa wazi wakati kuuna mtu aliyekufa hemani?
Kila chombo kilichokuw awazi kilinajisika pale mtu alipofia hemani.
Je, sheria ilikuwaje kwa mtu aliyekuwa nje ya hema aliyeguda mtu ali yekuwa ameuawa kwa upanga au aliyegusa maiti, mfupa wa mtu, au au kaburi?
Mtu wa Israeli aliyegusa mtu aliyeuawa kwa upanga au aliyegusa maiti, au mfupa wa mtu, au kabauri atakuwa najisi kwa muda wa siku saba.
Numbers 19:17-19
Ni kitu gani kilichotumika kwa ajili ya mtu aliyekuwa najisi, na kilichanganywa na kitu gani?
Majivu ya sadaka ya dhambi ya kuteketezwa yalitumika. Majivu hayo yalichanganywa na majisafi kwenye chombo.
Je, mtu aliyafanyaje hayomajivu ya sadaka ya dhambi ya kuteketezwa yaliyochanganywa kwenye chombo na maji safi?
Kwa kutumia hisopo, mtu aliyekuwa safi alinyunyizia baadhi ya maji kwenye hema na kwa vitu na watu waliokuwa hemani ambamo kulikuwa na mtu aliyekuwa amekufa. Maji hayo pia yalinyunyiziwa kwa mtu aliyekuwa amegusa mfupa wa mtu, maiti au kaburi.
Numbers 19:20-22
Kilitokea nini kwa mtu aliyenyunyiziwa maji ya farakano, alikuwa najisi kwa muda gani?
Alitakiwa kufua nguo zake kwani alikuwa najisi hadi jioni.
Kilitokea nini kwa mtu alieyegusakitu kilichoguswa na mtu najisi?
Mtu yeyote aliyegusa kitu kilichoguswa na mtu najisi alikuwa najisi mpka jioni.
Numbers 20
Numbers 20:1
Ni nani aliyeenda kwenye jangwa la Sini katika mwezi wa kwanza akaishi Kadeshi?
Watu wa Israeli walienda katika jangwa la Sini.
Kilimpata nini Mriamu huko Kadeshi?
Mriamu alikufa na kuzikwa huko Kadeahi.
Numbers 20:2-3
Kitu gani kilichotokea kikawafanya watu wamlalamikie Musa na Haruni?
Maji yalikosekana.
Kitu gani kilichotokea kikawafanya watu wamlalamikie Musa na Haruni?
Maji yalikosekana.
Numbers 20:4-5
Je, watu na jamii yote walimwambiaje Musa na Haruni?
Watu na jamii yote walimwambia Musa na Haruni kuwa kwa nini waliwaleta jangawni wao na wanyama wao ili wafe.
Je, watu walikoswa nini walipokuwa kwenye jangwa la Sini?
Watu walikoswa nafaka, wala mizabibu, wala makomamanga wala maji ya kunywa.
Numbers 20:6
Kilitokea nini kwa Musa na Haruni walipoenda kwenye lango la hema ya kukutania na kulala kifudifudi?
Utukufu wa BWANA ulionekana kwao walipokuwa wamelala kifudifudi kwenye lango la hema ya kukutania.
Numbers 20:7-9
Kwa nini BWANA alimwambia Musa kuchukuafimbo yake, awakusanye wtuatu wote na kuuamuru ule mwamba mbele ya watu?
BWANA alimwambia Musa afanye hivi ili ule mwamba utoe maji ya kunywa wao na mifugo yao.
Kwa nini BWANA alimwambia Musa kuchukuafimbo yake, awakusanye wtuatu wote na kuuamuru ule mwamba mbele ya watu?
BWANA alimwambia Musa afanye hivi ili ule mwamba utoe maji ya kunywa wao na mifugo yao.
Numbers 20:10-11
Musa aliwaitaje hao watu kabla hajaupiga ule mwamba?
Musa aliwaita hao watu kuwa ni wapinzani.
Kilitokea nini Musa alipoupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake?
Musa alipoupiga mwamba maji mengi yalitoka kwenye mwamba ule na watu wote na mifugo yao wakanywa yale maji
Kilitokea nini Musa alipoupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake?
Musa alipoupiga mwamba maji mengi yalitoka kwenye mwamba ule na watu wote na mifugo yao wakanywa yale maji.
Numbers 20:12-13
Je, BWANA aliwaambiaje Musa na Haruni kuwa kitatokea nini kwa kuwa hawakumheshimu BWANA na kumwamini mbele ya macho ya watu wa Israeli?
BWANA aliwaambia kuwa hawatawaingiza watu kwenye ile nchi ambayo BWANA amewapa.
Je, BWANA aliwaambiaje Musa na Haruni kuwa kitatokea nini kwa kuwa hawakumheshimu BWANA na kumwamini mbele ya macho ya watu wa Israeli?
BWANA aliwaambia kuwa hawatawaingiza watu kwenye ile nchi ambayo BWANA amewapa.
Numbers 20:14-16
Je, Musa alituma wajumbe kwa nani akieleza magumu ambayo watu wameyapata?
Musa alituma wajumbe kwa mfalme wa Edomu.
Je, Musa alituma wajumbe kwa nani akieleza magumu ambayo watu wameyapata?
Musa alituma wajumbe kwa mfalme wa Edomu.
Numbers 20:17
Je, Musa alimwomba mfalme wa Edomu awaruhusu watu kufanya nini?
Musa alimwomba mfalme wa Edomu awaruhusu Waisraeli kupita katika nchi yake.
Je, Musa alisema watu hawatafanya nini mpaka watakapopita mipaka ya mfame?
Musa alisema kuwa watu hawatageuka kushoto wala kulia mpaka watakapovuka mipaka ya mfalme.
Numbers 20:18-19
Je, jibu la mfalme kwa Musa lilikuwaje?
Mfalme alimjibu Musa kuwa waaaatu wa Israeli wasipite kwenye nchi yake vinginevyo atawaangamiza kwa upanga kama watathubutukupita katika nchi hiyo nchi.
Je, jibu la watu kwa Mfalme wa Edomu lilikuwaje?
Watu walimjibumfame kuwa watapita katika njia kuu ya mfalme, na kuwa watalipia maji ambayo mifugo yao itakunywa na kuwa watapita tu na hawatafanya kitu kingine chohcote.
Numbers 20:20-21
Je, mfalme wa Edomu alifanya nini baada ya kuwazuia Waisraeli kupita katika nchi yake?
Mfame wa Israeli aliwajia kinyume Waisraeli kwa mkono wenye nguvu akiwa na maaskari wengi.
Je, mfalme wa Edomu alifanya nini baada ya kuwazuia Waisraeli kupita katika nchi yake?
Mfame wa Israeli aliwajia kinyume Waisraeli kwa mkono wenye nguvu akiwa na maaskari wengi.
Je, Israeli alifanya nini alipozuiliwa na mfalme wa Edomu kupita katika nchi yake?
Israel aligeka akaicha nchi ya Edomu.
Numbers 20:22-24
Je, watu wa Israeli walielekeea wapi walipotoka Kadeshi?
Walielekea Mliima Hori.
Je, BWANA alimwambia kitu gani Musa na Haruni walipokuwa Mlima Hori juu ya uasi wao?
BWANA alimwabia Haruni kuwa lazima akakusanyike na watu wake kwani Haruni hataingia kwenye nchi ambayo BWANA aliwapa Israeli kwa kuwa wote walimwasi BWANA pale kwenye maji ya Meriba.
Je, BWANA alimwambia kitu gani Musa na Haruni walipokuwa Mlima Hori juu ya uasi wao?
BWANA alimwabia Haruni kuwa lazima akakusanyike na watu wake kwani Haruni hataingia kwenye nchi ambayo BWANA aliwapa Israeli kwa kuwa wote walimwasi BWANA pale kwenye maji ya Meriba.
Numbers 20:25-26
Je, BWANA alisema Musa na Haruni watakuja na nini pale Mlima Hori?
BWANA alimwambia Musakuwa atakuja na Eliazeri, mwana wa Haruni, pale kwenye Mliima Hori.
Kwa nini BWANA aliwaambia kumvulisha Haruni yale mavazi ya kikuhani na kumvalisha Eliazari mwanawe?
BWANA aliwaambia kuwa Haruni lazima atakufa naye atakusanyika na watu wake.
Numbers 20:27-29
Je, watu wote walifanya nini baada ya Musa kufanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru na kisha wakaona kuwa Haruni amekufa?
Watu wotewalipoona kuwa Haruni amekufa, watu wote walimlilia Haruni kwa siku arobaini.
Je, watu wote walifanya nini baada ya Musa kufanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru na kisha wakaona kuwa Haruni amekufa?
Watu wotewalipoona kuwa Haruni amekufa, watu wote walimlilia Haruni kwa siku arobaini.
Numbers 21
Numbers 21:1-3
Je, Aradi mfalme wa Wakanaani alifanya nini aliposikia kuwa Israeli alikuwa akisafairi kwa barabara kuielekea Atharimu?
Mfalme Aradi alipigana na Israeli na kuwachukuwa baadhi yao kuwa mateka.
Je, BWANA alifanya nini kwa ajili ya kiapo cha Israeli kwamba ataiharibu kabisa miji ya Aradi kama BWANA angelimpa Israeli ushiindi dhidi yao?
BWANA alimsikiliza Israeli naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani.
Watu wotewalipoona kuwa Haruni amekufa, watu wote walimlilia Haruni kwa siku arobaini.
BWANA alimsikiliza Israeli naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani.
Je, jina la mahali pale ambapo Israeli aliaangamiza kabisa miji ya Wakanaani paliitwaje?
Jina la mahali pale paliitwa Horima
Numbers 21:4-5
Je, kilitokea nini katika mioyo wa watu walipokuwa wakisafari kutoka Mlima Hori kwa barabara kupitia bahari y Shamu kuizunguka Edomu?
Mioyo ya watu ilizimia.
Je, malalamiko ya watu dhidi ya Musa na Mungu yalikuwaje?
Watu walimlalalamikia Mungu na Musa n a wakasema kwa nini walitolewa Misri ili wafie katika jangwa kwa sababu hawakuwa na mikate, hawakuwa na maji na walikichukia kile chakula.
Numbers 21:6-7
nini kwa watu wakati BWANA alipotuma nyoka wa sumu kwa watu?
Wale nyoka waliwauma watu na watu wengi walikufa
Je, watu walimwomba Musa afanye nini baada ya kukiri kuwa walikuwa wamekosa na walikuwa wameongea dhidi ya Musa na Mungu.
Watuwalimwambia Musa amwombe BWANA ili awatoe hao nyoka toka kwao.
Numbers 21:8-15
Je, BWANA aliwamwambia Musa kufanya nini baada ya Musa kuwaombea watu?
BWANA alimwambia Musa kutengeneza Nyoka amweke juu ya nguzo.
Kilitokea nini pale mtu alipomtazama yule nyoka wa shaba baada ya kuwa ameumwa na nyoka?
Mtu aliyemtazama yule nyoka wa shaba alipona
Numbers 21:16
Je watu waliona nini pale Beeri
Pale palikuwa na kisima ambapo BWANA alimwambia Musa awakusanye watu ili BWANA awape Maji.
Numbers 21:17-20
Je, Israeli aliimba kwa ajili ya nini?
Waliimba kwa ajili ya Kisima ambacho viongozi walichimba ili wawape maji
Je, Israeli aliimba kwa ajili ya nini?
Waliimba kwa ajili ya Kisima ambacho viongozi walichimba ili wawape maji
Numbers 21:21-23
Je Waisraeli walituma wajumbe kwenda kwa nani?
Waisraeli walituma wajumbe kwenda kwa Sihoni mfalme wa Waamori
Je, wale wajumbe wa Israeli walimwomba nini Sihoni?
Waisraeli waliomba wapite katika nchi yake bila kunywa maji ya visima vyake bali watabaki njia kuu ya mfalme.
Me, mfalme aliwajibuje Waisraeli
Mflme alikataa kuwaruhusu waisraeli wapite kwenye mipaka yake. Alikusanya jeshi lake na kumshambulia Israeli.
Numbers 21:24-30
Je, Israeli alifanyaje baada ya kupata jibu la Sihoni?
Waisraeli walilishambulia jeshi la Sihoni kwa makali ya upanga na kuitwaaa nchi yake.
Numbers 21:31-32
Je, Israeli aliishi kuanzi wapi?
Israeli aliishi kuanzia nchi ya Waamori.
Je, kilitokea nii baadya Musa kuwatuma wanaume kwenda kuitazama Jaziri?
Israeli alivitwaa vijiji vyake na kuwafukuza Waamori waliokuwemo.
Numbers 21:33-35
Je, Ogu alifanya nini baada ya Israeli alipogeuka na kwenda kwa njia ya Bashani
Ogu na jehi lake walipanda kwenda kupigana na Israeli kule Edrieli.
Je, BWANA alimwabia nini Musa juu ya Ogu na jeshi lake?
BWANA alimwambia Musa asiliogope Ogu na amfanye kamaWaisraeli walivyomfanya Sihoni kwa sababu BWANA alikuwa amewapa dhidi yake, jeshi lake, na nchi yake.
Je, Musa na watu wa Israeli walipokeaje maelekezoya BWANA?
Musa na watu walimwua Ogu, wanawe, jeshi lake, na watu wake na kuichukua nchi yake.
Numbers 22
Numbers 22:1
Je, ni mji gani uliokuwa karibu na mahali pale ambapo watu wa Israel walikuwa wameweka kambi katika uwanda wa Moabu upande wa pili wa Mto Yorodani?
Mji huo ulikuwa ni Yeriko ndio uliokuwa upande mwingine wa Mto Yorodani karibu na mahali walipokuwa wameweka kambi.
Numbers 22:2-4
Kwa nini watu wa Moabu waliwahofia Waisraeli?
Watu wa Moabu waliwahofia wana wa Israeli kwa sababu walikuwa wameona yote ambayo Waisraeli walikuwa wamewafanyia Waamori, pia kwa sababu walikuwa wengi sana.
Kwa nini watu wa Moabu waliwahofia Waisraeli?
Watu wa Moabu waliwahofia wana wa Israeli kwa sababu walikuwa wameona yote ambayo Waisraeli walikuwa wamewafanyia Waamori, pia kwa sababu walikuwa wengi sana.
Je, Balaki alikuwa mfalme wa nchi gani?
Balaki alikuwa mfalme wa Moabu
Numbers 22:5-6
Je, Balaki alimtaka Balaamu alifanyie nini taifa lile lilikuwa likitoka Misri?
Balaki alimtaka Balaamu alilaani taifa lile lililokuwa lilkitokea Misri.
Kwa nini Balaki alimtaka Balaamu kuliaani lile taifa lililokuwa likitokea Misri?
Kwa sababu walifunika uso wote wa dunia, pia yeye ndiye aliyekuwa akifuatia, na walikuwa na nguvu zaidi yake.
Je, Balaki alimtaka Balaamu alifanyie nini taifa lile lilikuwa likitoka Misri?
Balaki alimtaka Balaamu alilaani taifa lile lililokuwa lilkitokea Misri.
Kwa nini Balaki alimtaka Balaamu kuliaani lile taifa lililokuwa likitokea Misri?
Kwa sababu walifunika uso wote wa dunia, pia yeye ndiye aliyekuwa akifuatia, na walikuwa na nguvu zaidi yake.
Je, Balaki alifahamu kitu gani ambacho Balaamu alikuwa anaweaza kukifanya?
Balaki alifahamu kuwa yeyote amabye Balaamu humbariki kweli hubarikiwa na yeyote amlaaniye kweli hulaaniwa.
Numbers 22:7-8
Je, Balaamu alisema kitu gani aliposikia ujumbe wa Balaki?
Balaamu alisema kuwa wala wajumbe wakae pale kwa usiku ule naye angeliwaletea kile ambacho BWANA alikuwa amemwambia.
Numbers 22:9-11
Je, Balaamu alimwambiaje BWANA juu ya maombi ya wale watu waliokuwa wamekuja kwake toka kwa Balaki?
Balaamu alimwabaia Mungu kuwa Balaki alikuwa anaomba kuwalaani watu wa Israeli ili kwamba Balaki aweze kupigana nao na kuwafukuza.
Numbers 22:12-14
Je, Mungu alimwambiaje Balaamu juu ya kwenda na wale wajumbe na juu ya kuwalaani Waisraeli?
Mungu alimwambia Balaamu kuwa asiende nao na wala asiwalaani wana wa Israeli.
Je, Balaamu aliwaambiaje viongozi wa Balaki asubuhi kuliipokucha?
Balaamu aliwaambia viongozi wa Balaki warudi nchini kwao kwa sababu BWANA alikuwa amemzuia kwenda nao.
Je, wale viongozi walimwambiaje Balaki walipoenda kwake?
Wale viongozi walmwabia Balaki kuwa Balaamu amekataa kuja pamoja nao.
Numbers 22:15-17
Je, Balaki alijaribuje kumpata Balaamu ili aje kwake alipojaribu kuwatuma viongozi wanaoheshimika zaidi kwenda kwa Balaamu?
Balaki alijaribu kumpata Balaamu ili awalaani Israeli kwa kumlipa vizuri, kumpatia heshima zaidi na kwa kumfanyia chochote alichotaka.
Numbers 22:18-20
Je, Balaamu aliwajibuje wale watu waliokuwa wametumwana na Balaki?
Balaamu aliwaambia kuwa hawezi kuvuka neno la BWANA, Mungu wake wa lahawezi kupunguza wala kuongeza kile alichoambiwa.
Kwa nini Baalamu aliwaamiwa wajumbe wa Balaki kuwa wasubiri kwa muda wa usiku mzima?
Ili kwamba Balaamu apate kujifunza zaidi toka kwa Mungu.
Je, Mungu alimwambia Baalamu afanyeje alipomjia wakati wa usiku?
Mungu alipomjia Baalamu usiku huo, alimwambia Baalamu ainuke na aende na wale wanaume ila atafanya tu lile ambalo Mungu atamwambia kufanya.
Numbers 22:21-23
Je, Baalamu alifanya nini asubuhi kulipokucha?
Baalamu alipoamka, alimwandaa punda wake, naye akaenda pamoja na wale viongozi wa Moabu asubuhi hiyo.
Kwa nini hasira za Mungu ziliwaka?
Kwa sababu Baalamu alienda nao
Je, malaika wa BWANA alifanya nini?
Malaika wa BWANA aliingia barabarani kama mtu aliyekuwa adui wa Baalamu.
Je, punda wa Baalamu alimwona nani akiwa amesimama barabarani?
Punda wa Baalamu alimwona malaika wa BWANA akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake.
Je, punda wa Baalamu alifanya nini alipomwona malaika wa BWANA, na Baalamu alimfanya nini yule punda wake?
Punda wa Baalamualigeuka akatoka barabarani ana kuelekea shambani; Baalamuakampiga punda wake ili arudi barabarani.
Numbers 22:24-25
Je, kulikuwa na nini upande wa kushoto na wa kulia wa huyo malaika wa BWANA aliposimama kwenye njia nyembamba kati ya mashamba ya mizabibu?
Kulikuwa na ukuta upande wa kushoto wa shamba la mizabibu na ukuta mwingine upande wa kulia wa shamba la mizabibu.
Je, punda alifanya nini alipomwona malaika wa BWANA akiwa na upanga mkononi kwenye hiyo njia nyembamba, na Baalamu alimfanya nini punda wake?
Punda alipomwona malaika wa BWANA, akajisogeza zaidi ukutani na kuubana mguu wa Baalamu kwenye huo ukuta, kisha Baalamu akampiga tena.
Numbers 22:26-27
Je, punda alifanya nini alipomwona malaika wa BWANA kwenye njia nyingine nyembamba mahali ambapo hapakuwa na uwezekano wa kugeuka upande wowote, na Baalamu alifanya nini?
Punda alilala chini ya Baalamu; Baalamu akampiga punda kwa fimbo yake.
Numbers 22:28-30
Je, yule punda alimwambiajae Baalamu BWANA alipofumbu akinywa chake ili aongee?
Punda alimwuliza Baalamu alichomkosea kiasi kwamba amemepiga mara tatu
Je, Baalamu alimjibuje punda, na alitamani kufanya nini zaidi?
Baalamu alimjibu punda kuwa amempiga kwa sababu alitenda kwa ujinga, na alitamani kama angekuwa na upanga mkononi mwake angemwua.
Numbers 22:31-33
Je, Baalamu aliona niin na alifanya nini BWANA alipofumbua macho yake?
Baalamu alimwonamalaika wa BWANA amesimama barabarani akiwana upanga mkononi mwake kwa hiyo Baalamu akainamisha kichwa chake chini.
Kwa nini malaika wa BWANA alimwambia Baalamu sababu ya punda wake kufanya hivyo?
Malaika alimwambia Baalamu kuwa punda wake alipomwona malaika aligeuka mara tatu.
Kwa nini malaika wa BWANA alimwambia Baalamu sababu ya punda wake kufanya hivyo?
Malaika alimwambia Baalamu kuwa punda wake alipomwona malaika aligeuka mara tatu.
Je, malaika alimwambia Baalamu kuwa kingetokea nini kama punda wake asingegeuka?
Malaika alimwabia Baalamu kuwa kama punda wake asingegeuka malaika angemwua Baalamu na kumwacha punda hai.
Numbers 22:34-35
Je, Baalamu alikiri kitu gani kwa yule punda na aliamua kufanya nini?
Baalamu alikiri kuwa amekosea na aliamua kurudi nyumbani kwake alikotokea.
Je, malaika alimjibuje Baalamu?
Malaika alimjibu Baalamukuwa aenedelee na safari yake akiwa na wale wanaume ila atasema tu kile ambacho malaika alimwelekeza kusema.
Numbers 22:36-37
Je, Balaki alifanya nini aliposikia kuwa Baalamu alikuwa amekuja?
Balaki alienda kukutana na Baalamu.
Je, Balaki alimwabiaje Baalamu walipokutana naye kwenye mji wa Haruni, mji ulio kwenye mpaka wa Moabu?
Balaki alimwuliza Baalamu kwa nini hakuja lipomwita, Baalamu hakufikiri kuwa Balaki alikuwa na uwezo wa kumheshimu.
Numbers 22:38-40
Je, Baalamu alimwabia Balaki kuwa atasema nini?
Baalamu alimwabia Balaki ambaye kuwa atasema maneno yale ambayo Mungu ameweka kinywani mwake.
Je, Balaki alifanya nini wakati yeye na Baalamu walipofks Kiriathi Husothi?
Walipofika Kiriathi Husothi, Balakialitoa dhabihu za Makisai na kondoo na kumpatia baadhi ya hizo nyama Baaalmu na wale viongozi walioikuwa pamoja nao.
Je, Balaki alifanya nini wakati yeye na Baalamu walipofks Kiriathi Husothi?
Walipofika Kiriathi Husothi, Balakialitoa dhabihu za Makisai na kondoo na kumpatia baadhi ya hizo nyama Baaalmu na wale viongozi walioikuwa pamoja nao.
Numbers 22:41
Je, Baalamu aliona nini, Balaki alipompelekakule juu mahali pa kutambikia?
Baalamu aliweza kuona sehemu tu ya kambi za Waisraeli.
Numbers 23
Numbers 23:1-3
Je, Baalamu yule nabii alimwambia mfalme Balaki afanye nini?
Baalamu alimwambia Balaki ajenge madhabahu saba na amwandalie makaisai saba na kondoo dume saba.
Je, Balaki alifanya nini alipoambiwa hitaji la Baalamu?
Balaki alifanya kama Baalamu alivyokuwa ameomba, n a walitoa dhabihu ya fahari na kondoo katika kila madhabahu.
Je, Baalamu alimwabia Balaki kuwa BWANA anaweza kufanya nini Baalamu atakapoenda pembeni?
Baalamu alimwabia Balaki kuwa BWANA anawezakuja kukutana naye na kisha atamwambia Balaki kile ambacho BWANA atamwonyesha.
Numbers 23:4-6
Je, BWANA alimwambia Baalamu kufanya nini
BWANA alimwambia Baalamu arudi kwa Balaki kumwabia ujumbe.
Numbers 23:7-8
Je, ni maswali gani mawili ambayo Baalamu aliuliza kuhusiana na ujumbe ambao Mungu alimpatia?
Baalamu aliuliza hivi, "Naweza kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani?Naweza kuwapingawale ambao BWANA hajawapinga?"
Je, ni maswali gani mawili ambayo Baalamu aliuliza kuhusiana na ujumbe ambao Mungu alimpatia?
Baalamu aliuliza hivi, "Naweza kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani?Naweza kuwapingawale ambao BWANA hajawapinga?"
Numbers 23:9
Je, Baalamu alisema Waisraeli wanajidhaniaje wenyewe?
Baalamu alisema kuwa Waisraeli hawajidhanii kuwa wao ni taifa la kawaida tu.
Numbers 23:10
Je, Baalamu alisemaje juu ya ukubwa wa Israeli?
Alisema hakuna awezaye kuwahesabu hata robo ya Israeli.
Je, Baalamu alitamani kufa kifo gani?
Baalamu alitamani kufa kifo cha mtu mwenye haki, na kwamba alipenda mwisho wa maisha yake kuwa kama mwisho wa Israeli.
Numbers 23:11-12
Je, Balaki alisem Baalamu amefanya nini badala ya kuwalaani maadui?
Balaki alisema kuwa Baalamu amewabariki maadui badala ya kuwalaani.
Je, Baalamu alijibuje Balaki aliposema kuwa amewabariki maadui badala ya kuwalaani?
Baalamu alisema kuwa alikuwamwangalifu kusema kile ambacho BWANA alikuwa ameweka kinywani nwake.
Numbers 23:13-18
Je, Balaki alitaka Baalamu afanye nini alipompeleka mahali pengine ambapo aliweza kuwaona sehemu ya Waisraeli, maadui wa Balaki?
Balaki alitaka Baalamu awalaani maadui wa Balaki.
Je, Balaki alimpeleka wapi Baalamu, na alifanya nini huko?
Balaki alimpeleka Baalamu kwenye kilele cha Mlima Pisiga na akajenga madhabahu saba zaidi na akatoa dhabihu za fahari na kondoo dume kwa kila madhabahu.
Je, Baalamu alimwabia Balaki kuwa alikuwa anaenda kufanya nini wakati Balaki alipokuwa amesimama kwenye sadaka zake za kutekektezwa?
Baalamu alisema kuwa alikuwa anaenda kukutana na BWANA.
Numbers 23:19-20
Je, BWANA alikuwa ameweka ujumbe gani kwa Baalamu?
Baalamu alisema kuwa Mungu hadanganyi na wala akili yake haibadiliki.
Je, Baalamu alisema kuwa hatafanya nini kuhusu amri ya Mungu ya kuwabariki Waisraeli?
Baalamu alisema kuwa hatabadilisha amri ya Mungu ya kumbarikai Israeli.
Numbers 23:21-22
Je, Baalamu alisema ni nani aliyekuwa na Waisraeli?
Baalamu alisema kuwa BWANA alikuwa na Waisraeli.
Je, Baalamu alisema kuwa Nguvu za Mungu ni kama nini?
Alisema kuwa nguvu za Mungu ni k ama za nyati.
Numbers 23:23
Je, ni vitu gani ambavyo haviwezi kufanikiwa wala kumdhuru Israeli?
Uchawi na uganga hauwezi kufanikiwa wala kumdhuru Israeli.
Je, kitu gani kilipaswa kusemwa juu ya Yakobo na Israeli?
Kilichotakiwa ni kusema, "Tazama kile ambacho Mungu amefanya!"
Numbers 23:24
Je, Baalamu alieleza watu wa Israeli ni kama nini?
Watu wa Israeli walikuwa kama simba ashambuliavyo na kula mawindo yake.
Numbers 23:25-27
Je, Balaki alimwambiaje Baalamu baada ya kutoa unabii wake?
Balaki alimwambia Baalamu kuwa asiwabariki wala kuwalaani Waisraeli.
Je, Baalamu alimwambia Balaki kuwa ni kitu gani alichokuwa anaweza kusema?
Baalamu alimwambaia Balaki kuwa Yeye atasema kile tu ambacho BWANA alikuwa amemwambia kusema.
Je, Balaki alidhani kuwa Baalamu angeweza kufanya nini kama angempeleka Baalamu mahali pengine?
Balaki alidhani kuwa Mungu angemruhusu Baalamu kuwalaani Waisraeli kama angempeleka Baalamu mahali pengine.
Numbers 23:28-30
Kwa hiyo Balaki alimpeleka Baalamu wapi?
Balaki alimpeleka Baalamu kwenye kilele cha Mlima Peori.
Je, safari hii Baalamu alimwabia Balaki afanyeje kitu gani, na Balaki alifanya kitu gani?
Baalamu alimwambia Balaki ajenge madhabahu saba, kwa hiyo Balaki akafanya kama alivyokuwa ameambiwana Baalamu na akatoa sadaka ya fahari na kondoo dume kwa kila madhabahu.
Je, safari hii Baalamu alimwabia Balaki afanyeje kitu gani, na Balaki alifanya kitu gani?
Baalamu alimwambia Balaki ajenge madhabahu saba, kwa hiyo Balaki akafanya kama alivyokuwa ameambiwana Baalamu na akatoa sadaka ya fahari na kondoo dume kwa kila madhabahu.
Numbers 24
Numbers 24:1
Je, Baalamu nabii alikataa kufanya nini alipoona kuwa kuwabariki Waisraeli kulimpendeza Mungu?
Baalamu hakutumia uchawi bali alitazama jangwani.
Numbers 24:2-3
Kilitokea nini Baalamu alipoinua macho yake na kumwona Israeli ameweka kambi, kila mmoja katika kabila yake?
Baalamu alipoinua macho yake na kumwona Israeli ameweka kambi, Roho wa Mungu alimjia Baalamu naye akapokea unabii.
Kilitokea nini Baalamu alipoinua macho yake na kumwona Israeli ameweka kambi, kila mmoja katika kabila yake?
Baalamu alipoinua macho yake na kumwona Israeli ameweka kambi, Roho wa Mungu alimjia Baalamu naye akapokea unabii.
Numbers 24:4-5
Je, Baalamu alifanya nini alipoona maono toka kwa Mwenyezi?
Baalamu alisujudu na macho yake yakiwa yamefumbuliwa.
Je, Baalamu alisemaje juu ya hema za Yakobo?
Baalamu alisema kuwa hema za Yakobo zilikuwa nzuri.
Numbers 24:6
Je, Baalamu aliulezaje uzuri wa mahali pale Israeli alipokuwa anaishi?
Baalamu aliyaeleza yale mabonde ni kama bustani pembezoni mwa mto, kama miti y a mishubiri iliyopandwa na BWANA, na kama mfano wa Mierezi pembezoni mwa maji.
Numbers 24:7
Je, Mungu aliwabarika Waisraeli kwa kitu gani katika nchi wanayoishi?
Mungu aliwabariki Waisraeli kwa maji yatairirikayo ambayo kwayo watamwagilia mbegu zao walizopanda.
Je, kitatokea nini kwenye ufalme wa Israeli?
Ufalme wao utaheshimiwa.
Numbers 24:8
Je, Mungu aliewatoa watu wake kutoka wapi?
Mungu aliwatoa watu wake toka Misri
Je, Baalamu alisemaje juu ya nguvu ya Israeli?
Baalamu alisema Israeli ana nguvu kama nyati.
Je, kitatokea kitu gani kwa taifa liltakalopigana na Israeli?
Baalamu alisema kuwa Israeli atawala mataifa watakaopigana naye, atawavunja mifupa yao katika vipande vipande, na kuwapiga kwa mishale yake.
Numbers 24:9
Je, Baalamu alitabiri kuwa kitatokea nini kwa wale watakaombariki au kumlaani Israeli?
Wale watakaombariki Israeli watabarikiwa na wale watakaomlaani Israeli watalaaniwa.
Numbers 24:10-11
Je, Balaki alionyeshaje hasira zake kwa Baalamu?
Balaki alipiga mikono yake kwa pamoja kwa hasira.
Je, Balaki alisema kuwa kitu gani kimemzuia Baalamu kupata zawsadi alizokuwa amemwahidi?
Balaki alisema kuwa BWANA amemzuia asipate zawadi alizokuwa amemwahidi.
Numbers 24:12-14
Kitu gani ambacho Baalamu alimwambia Balaki kuwa hatakifanya hata kama angempatia ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu?
Baalamu alimwambia Balaki kuwa hatafanya kinyume na maneno ya BWNA ili kusema chochote kibaya au chema, au kusema chochote ambacho angependa niseme.
Je, Baalamu alisema kuwa yeye alikuwa tayari kusema jambo gani?
Baalamu alisema kuwa yeye alikuwa tayari kusema ambacho BWANA alimwambia.
Je, Baalamu alimwonya Balaki juu ya nini kabla hajarudi kwa watu wake?
Baalamu alimwonya Balaki juu ya kile ambacho Israeli alikusudia kufanya kwa watu wa Balaki katika siku za usoni.
Numbers 24:15-16
Je, Baalamu alisema kuwa unabii wake, maneno yake, maarifa yake, na maono yake yalitoka wapi?
Alisema kuwa yalitoka kwa Mungu mwenyezi aliye juu.
Numbers 24:17
Je, Baalamu alisema ni kitu gani ambacho kitatoka kwa Yakobo na kuinuka toka kwa Israeli?
Baalamu alisema kuwa nyota itatokea katiak Yakobo, fimbo ya enzi itatokea katika Israeli.
Je, Baalamu alisema kuwa hiyo nyota na fimbo ya enzi itafany nini kwa viongozi wa Moabu na uzao wote wa Sethi?
Baalamu alisema kuwa hiyo nyota na fimbo itazivunjavunja na kuwaangamiza viongozi wa Moabu na uzao wote wa Sethi.
Numbers 24:18-19
Je, kitatokea nini kwa Edomu na Seiri Israeli atakapowaangamiza kwa nguvu?
Edomu na Seiri watakuwa miliki ya Israeli, naye Israeli atawashinda kwa nguvu.
Je, ni kitu gani kitakachotoka kwa Yakobo na atafanaya nini?
Mfalme atakayetawala atatokea katika Yakobo nayae atawaangamiza masalia wote wa mji.
Numbers 24:20
Je, kingetokea nini kwa Amaleki lile taifa kubwa?
Mwisho wa Amaleki lile taifa kubwa ulikuwa uharibifu.
Numbers 24:21-22
Je, Baalamu alitabiri kuwa kitatokea nini k wa Kaini na kwa Wakeni ambao walishi katika maene imara ya miambani?
Kaini ataharibiwa kabisa Ashuru atakapomchukua mateka.
Je, Baalamu alitabiri kuwa kitatokea nini k wa Kaini na kwa Wakeni ambao walishi katika maene imara ya miambani?
Kaini ataharibiwa kabisa Ashuru atakapomchukua mateka.
Numbers 24:23-25
Je, kitatokea nini toka kwenye Pwani ya Kittimu ambacho kitaishambulia Ashuru na kuwaangamiza Eberi, kitu gani pia ambacho kitawapata?
Merikebu zitakuja kutoak Pwani y a Kittimu ambazo zitaishambulia Ashuru na kuwashinda Eberi; lakini pia, hata wao mwisho wao ni uharibifu
Numbers 25
Numbers 25:1-3
Je, ni kitu gani kilichosababisha hasira za BWANA kuwaka juu ya Israeli?
Wanaume walianza kulala na wanawake wa Moabu, watu wakala na kuiabudu miungu ya Wamoabu.
Je, ni kitu gani kilichosababisha hasira za BWANA kuwaka juu ya Israeli?
Wanaume walianza kulala na wanawake wa Moabu, watu wakala na kuiabudu miungu ya Wamoabu.
Numbers 25:4-5
Je, BWANA alimwambia Musa awafanye nini viongozi wa Israeli waliomwabudu Baali wa Peori?
BWANA alimwambia Musa awaue viongozi wote wa Israeli waioshiriki kumwabudu Baali wa Peori na kuwanyonga wale viongozi mbele ya BWANA.
Numbers 25:6-7
Je, watu wa Israeli walikuwa wapi wakati mmoja wao alipomleta mwanamke wa Wamidiani kuwa mmoja wa wanafamiia wake?
Wana wa Israeli walikuwa wanalia kwenye lango la hema ya kukutania.
Je, Finehasi mwana wa Eliazeri alifanya nini alipomwona yule Mwisraeli na akiwa na mwanamke wa Wamidiani?
Finehasi alipomwonahuyo mwanume akiwa na yule mwanamke wa Wamidiani, aliondoka kutoka kati ya watu na akabeba mkuki mkononi mwake.
Numbers 25:8-9
Je, kilitokea nini kwa Yule mwanaume wa Israeli aliyemleta mwanamke wa Wamidiani kambini mbele ya Musa?
Finehasi kuhani alichukua mkuki akamchoma yule mwanamume mwilini mwake pamoja na yule mwananmke.
Je, Mungu alifanya nini ili kuwazuia wasiendelee kulala na wanawake wa Wamoabu na kumwabudu Baali wa Peori, na ni watu wangapi waliokufa?
Mungu alituma tauni wakafa watu 24,000.
Je, Mungu alifanya nini ili kuwazuia wasiendelee kulala na wanawake wa Wamoabu na kumwabudu Baali wa Peori, na ni watu wangapi waliokufa?
Mungu alituma tauni wakafa watu 24,000.
Numbers 25:10-11
Kwa nini hasira za BWANA ziliondoka kwa wana wa Israeli?
Hasira za BWANA ziliondoka kwa Waisraeli kwa sababu Finehasi alimwonea wivu BWANA.
Numbers 25:12-15
Je, jina la kwanza ambalo BWANA aliliita agano la ukuhani wa kudumu.
BWANA aliliita agano lake la ukuhani wa kudumu , kuwa agano la amani.
Kwa nii BWANA alifanya agano la ukuhani wa kudumu na Finehasi?
BWANA alifanya agano na Finehasi kwa sababu alimwonea wivu BWANA na alifanya upatanisho na watu wa Israeli.
Numbers 25:16-18
Kwa nini BWANA alimwambia Musa kuwachukulia Wamidiani kama maadui na kuwashambulia?
Mungu alimwambia Musa kuwachukulia Wamidiani na kuwashambulia kwa sababu waliwaona Waisraeli kama maadui kwa uongo wao.
Kwa nini BWANA alimwambia Musa kuwachukulia Wamidiani kama maadui na kuwashambulia?
Mungu alimwambia Musa kuwachukulia Wamidiani na kuwashambulia kwa sababu waliwaona Waisraeli kama maadui kwa uongo wao.
BWANA anamlinganishaje Cozibi binti wa kiongozi wa Wamidiani aliyeuawa siku ya tauni?
BWANA alimlinganisha Cozibi, binti wa Wamidiani aliyeuawa siku ya tauni kuwa ni dada yao.
Numbers 26
Numbers 26:1-2
Je, BWANA alimwambia Musa na Eliazeri kufanya nini baada ya tauni?
BWANA aliwaambia kuwahesabu Waisraeli wote wenye umri kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa kufauta kabila zao ambao walikuwa tayari kwenda vitani.
Numbers 26:3-4
Je, Musa na Eliazeri waliwaambia watu kuwa BWANA aliwaagiza kufanya nini?
Waliwaambia watu kuwa walihitaji kufanya sensa ya watu wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi, ambao walitoka katika nchi ya Misri.
Numbers 26:5-7
Ni nani aliyekuwa mazaliwa wa kwanza wa Israeli?
Mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Reubeni.
Je, ukoo wa Reubeni ulikuwa na wazao wangapi?
Idadi ya uzao wa ukoo wa Reubeni ilikuwa wanaume 43,730.
Numbers 26:8-9
Je, wana wa Eliabu mzao wa Reubeni walikuwa akina nani, na wanawe walifanya kitu gani?
Wana wa Eliabu ni Nemueli, Dathani, na Abiramu. Dathani na Abiramu walimpinga BWANA kwa kumfuata Kora waliompinga Musa na Haruni.
Numbers 26:10-11
Je, kilitokea nini kwa wafausi wote wa Kora ambacho kilikuwa kama ishara ya onyo?
Dunia iliwameza wote na moto uliwaangamiza wanaume 250.
Je, ni ukoo wa ani ambao hawakufa wote?
Ukoo wa Kora hawakufa wote.
Numbers 26:12-14
Ni nani aliyekuwa wa pili kwa wana wa Israeli, na idadi ya wazao wake walikuwa wangapi?
Ukoo wa Simeoni walifuatia katika wana wa Israeli; Idadi yao ilikuwa wanaume 22,200.
Numbers 26:15-18
Je, uzao wa Gadi ulikuwa na wanaume wangapi?
Idadi ya wazao wa ukoo wa Gadi ilikuwa wanaume 40,500.
Numbers 26:19-22
Kilitokea nini kwa wana wa Yuda, Eri na Onani?
Walifia katika nchi ya Kanaani.
Je, uzao mwingine wa Yuda uliukuwa na wanaume wangapi?
Ule uzao mwingine wa Yuda ulikuwa na wanaume 76,500.
Numbers 26:23-25
Idadi ya wanaume toka uzao wa ukoo wa Isakari walikuwa wangapi?
Idadi ya wanaume toka uzao wa ukoo wa Isakari ilikuwa wanaume 64,300.
Numbers 26:26-27
Je, idadi ya wanaume toka uzao wa ukoo wa Zabuloni walikuwa wangapi?
Idadi ya wanaume toka ukoo wa Zabuloni walikuwa wanaume 60,500.
Numbers 26:28-32
Je, watoto wa Yusufu walikuwa akina nani?
Watoto wa Yusufu walikuwa Manase na Efraimu
Numbers 26:33-34
Je, Zelofehadi mwana wa Hefa alikuwa na binti wangapi ijapokuwa hakuwa na watoto wa kiume?
Zelofehadi mwana wa Hefa alikuwa na binti watano na hakuwa na mtoto wa kiume.
Je, ni wanaume wangapi walitokana na uzao wa Manase?
Wanaume waliotokana na uzao wa Manase walikuwa 52,700.
Numbers 26:35-37
Ni wanaume wangapi walitokana na uzao wa Efraimu?
Wanaue waliotokana na uzao wa Efarimu walikuwa 32,500.
Numbers 26:38-41
Je, ni wanaume wangapi walitokana na uzao wa Benjamini?
Wanaume waliotokana na uzao wa Benjamii walikuwa 45,600.
Numbers 26:42-43
Ni wanaume wangapi walitokana na uzao wa Dani?
Wanaume waliotokana na uzao wa Dani walikuwa 64,400.
Numbers 26:44-47
Ni wanaume wangapi walitokana na uzao wa Asheri?
Idadi ya wanaume waliotokana na uzao wa Asheri walikuwa 53,400.
Numbers 26:48-50
Uzao awa Naftali ulikuwa na wanume wangapi
Wanaume waliotokana na uzao wa Naftali walikuwa 45,400.
Numbers 26:51
Jumla kuu ya wanaume wa Israeli ilikuwaje?
Jumla kuu ya wanaume toka kwa Waisraeli ilikuwa 601,730.
Numbers 26:52-53
Je, BWANA alisema nchi itagawiwaje?
BWANA alisema kuwa ilke nchi itagawiwa iwe urithi kwa kufuata idadi ya majina yao.
Numbers 26:54-56
Je, ni nani aliyetakiwa kupata zaidi na ni nani aliyetakiwa kupata kidogo kwa ajili ya urithi wao?
Ukoo uliokuwa na idadi kubwa walitakiwa kupata urithi zaidi na ukoo uliokuwa na idadi ndogo walipata urithi kidogo.
Ni njia gani iliyotumika kuigawa nchi?
Nchi iligawiwa kwa kufuata kura kutoka kwa mababu zao.
Numbers 26:57-59
Je, Gerishoni, Kohathi, na Merari walitoka .ukoo gani?
Walitoka ukoo wa Lawi
Je, Walibni, Wahebroni, Wamahilati, Wamushi, na Wakora walitoka ukoo gani
Walitoka ukoo wa Lawi.
Je, Niani aliyekuwa babu wa Amramu?
Babu wa Amramu alikuwa Kohathi.
Je, watoto wa Amramu na Jakobedi, watoto wa Lawi waliozaliwa Misri walikuwa akiina nani?
Watoto wao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu.
Numbers 26:60-62
Je ni nani aliyekuwa baba wa Nadabu, Abihu, Eliazeri, na Ithamari?
Baba yao alikuwa Haruni.
Kilitokea nini kwa Abihu na Nadabu na kwa nini walikufa?
Abihu na Nadabu walikufa kwa kuwa walitoa sadaka ya moto usiokubalika.
Je, Idadi ya wanaume toka ukoo wa Lawi ambao umri wao ulianzia mwezi mmoja na zaidi ilikuwaje?
Idadi yao ilikuwa 23,000.
Kwa nini idadi ya wanaume waliokuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi haikuhesabiwa kwa Waisraeli?
Hawakuhesabiwa kwa Waisraeli kwa sababu hawakuwa na urithi wa ardhi kwa Waisraeli.
Numbers 26:63-64
Je, Musa na Eliazeri kuuhani walikuwa wapi walipowahesabu Waisraeli?
Walikuwa kwenye uwanda wa Moabu
Je, ni wanaume wangapi walipatikana waliohesabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati uzao wa wana wa Israeli walipohesabiwa kule kwenye jangwa la Sinai
Hapakuwepo na mwanamume hata mmoja ambaye Musa na Haruni waliwahesabu uzao wa Israeli kwenye jangwa la Sinai.
Numbers 26:65
Kwa nini Musa na Haruni hawakuweza kuuhesabu uzao huu?
Kwa sababu BWANA alikuwa amesema kuwa watu hao watafia jangwani, isipokuwa Kalebu na Yoshua.
Numbers 27
Numbers 27:2-3
Kwa nini Zelofehadi alifia janwani?
Zelofehadi alifia jangwani si kwa sababu kuwa alikuwa mmoja wa wale waliokusanyika kinyume cha BWANA katika lile kundi la Kora, bali alikufa kwa sababu ya dhambi zake.
Numbers 27:4-5
Je, wale binti wa Zelofehadi walimtaka Musa awapatie kitu gani?
Wale binti wa Zelofehadi walimtaka Musa awapatie ardhi toka kwa ndugu wa baba yao.
Numbers 27:6-8
Je, BWANA alisema urithi wa mtu ambaye ambaye atakufa bila kuwa na mwana wa kurithi itakuwaje?
Mtu anapokufa bila kuwa na mwana, basi urithi wake watapewa binti zake.
Numbers 27:9-11
Kama mtu atakufa na hana mwana wala binti, ni nani atakayepokea urithi wake?
Kama mtu hana mwana wala binti, urithi wake walipewa ndugu zake.
Numbers 27:12-14
Kwa nii Musa alikusanyika na watu wake badala ya kufika kwenye ile nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa?
Ni kwa sababu yeye na Haruni walilipinga agizo la BWANA kwa kuupiga mwamba kwa hasira.
Kwa nii Musa alikusanyika na watu wake badala ya kufika kwenye ile nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa?
Ni kwa sababu yeye na Haruni walilipinga agizo la BWANA kwa kuupiga mwamba kwa hasira.
Numbers 27:15-17
Kwa nini Musa alimwomba BWANA achague mtu kwa ajili ya hao watu?
Musa alimwomba BWANA achague mtu kwa ajili ya hao watu ili wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.
Kwa nini Musa alimwomba BWANA achague mtu kwa ajili ya hao watu?
Musa alimwomba BWANA achague mtu kwa ajili ya hao watu ili wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.
Numbers 27:18-19
Kwa nini BWANA alimwelekeza Musa kuweka mkono wake kwa Yoshua, mwana wa Nuni?
BWANA alimwelekeza Musa kumchagua Yoshua kwa sababu alikuwa mtu ambaye Roho ya BWANA ilikaa.
Kwa nini BWANA alimwelekeza Musa kuweka mkono wake kwa Yoshua, mwana wa Nuni?
BWANA alimwelekeza Musa kumchagua Yoshua kwa sababu alikuwa mtu ambaye Roho ya BWANA ilikaa.
Numbers 27:20-21
Ni mamlaka kiasi gani ambayo BWANA alimwagiza Musa kumpa Yoshua?
Musa alitakiwa kumpatia Yoshua mamlaka ya kutafuta mapenzi ya BWANA kwa uamuzi wa kura na kuwaamuru Waisraeli wote kumtii.
Ni mamlaka kiasi gani ambayo BWANA alimwagiza Musa kumpa Yoshua?
Musa alitakiwa kumpatia Yoshua mamlaka ya kutafuta mapenzi ya BWANA kwa uamuzi wa kura na kuwaamuru Waisraeli wote kumtii.
Numbers 27:22-23
Je, Musa aliitikiaje agizo la BWANA?
Musa alimweka Yoshua mbele ya Eliazeri kuhani na mbele y a watu wote na kuweka mkono wake kwake wakati akimwamuru kuongoza kama BWANA alivyokuwa amemwelekeza.
Je, Musa aliitikiaje agizo la BWANA?
Musa alimweka Yoshua mbele ya Eliazeri kuhani na mbele y a watu wote na kuweka mkono wake kwake wakati akimwamuru kuongoza kama BWANA alivyokuwa amemwelekeza.
Numbers 28
Numbers 28:1-2
Je, BWANA alisema kuwa dhabihu htoa nini kwake?
BWANA alisema kuwa dhabihu hutoa harufu nzuri kwake.
Numbers 28:3-5
Je, ni wanyama gani wawili ambao mmoja ni wa asubuhi na mwingine jioni waliotakiwa kutolewa sadaka ya kuteketezwa ya kawaida kila siku?
Sadaka ya kuteketezwa ya kawaida ya asubuhi na ya jioni ilikuwa ni mwanakondoo dume asiyekuwa na waa.
Je, ni wanyama gani wawili ambao mmoja ni wa asubuhi na mwingine jioni waliotakiwa kutolewa sadaka ya kuteketezwa ya kawaida kila siku?
Sadaka ya kuteketezwa ya kawaida ya asubuhi na ya jioni ilikuwa ni mwanakondoo dume asiyekuwa na waa.
Je, walikuwa wanatoa nini zaidi ya sadaka za kawaida za kuteketezwa?
Walitakiwa kutoa sehemu z akumi za efa za unga mwembamba zilizochanganywa na robo ya hini ya mafuta.
Numbers 28:6-8
Je, ni sadaka gani ya kinywaji kwa BWANA iliyotakiwa kuongezwa kwenye sadaka za kuteketezwa za kila siku na walifanya nini na hizo sadaka?
Robo ya hini ya kinywaji kizuri ilitakiwa kuongezwa kwenye hizo sadaka ambazo zilimiminwa mahali patakatifu.
Je, ni sadaka gani ya kinywaji kwa BWANA iliyotakiwa kuongezwa kwenye sadaka za kuteketezwa za kila siku na walifanya nini na hizo sadaka?
Robo ya hini ya kinywaji kizuri ilitakiwa kuongezwa kwenye hizo sadaka ambazo zilimiminwa mahali patakatifu.
Numbers 28:9-10
Je, kitu gani kilitolewa dhabihu katika siku ya Sabato?
Vitu vilivyotolewa dhabihu katika siku ya Sabato, vilikuwa wanakondoo dume wawili, wenye umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na waa na unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, na sadaka ya kinywaji.
Je, kitu gani kilitolewa dhabihu katika siku ya Sabato?
Vitu vilivyotolewa dhabihu katika siku ya Sabato, vilikuwa wanakondoo dume wawili, wenye umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na waa na unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, na sadaka ya kinywaji.
Numbers 28:11-13
Je, ni mnyama gani maalumuambayae alitolewa dhabihu kila mwanzo wa mwezi?
Mwanzoni mwa mwezi wanyama maaljmu waliotolewa sadaka walikuwa fahariwawili wachanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Je, sadaka ya unga na fahari wawili wachanga na kondoo dume mmoja walitolewa pamoja na nini?
Sadaka ya unga kwa kila fahari wawili wachanga ilikuwa sehemu ya kumi tatu za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, na ile sadaka ya unga kwa yule kondoo dume mmoja ilikuwa sehemu mbili za kumi za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta.
Sadaka ya unga kwa kila mwankondoo ilikuwaje?
Kila mwankondoo alikuwa na sadaka ya unga ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na unga mwembamba.
Numbers 28:14-15
Je hii sadaka maalumu ilitolewa mara ngapi?
Ilitolewa kila mwezi kwa mwaka mzima
Je, ni kitu gani kilichotolewa na sadaka ya kila siku pamoja na sadaka ya kinywaji?
Beberu mmoja alitolewa kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA.
Numbers 28:16-18
Je, sadaka ya BWANA ilikuja lini?
Sadaka ya BWANA ilikuja mwezi wa kwanza, wa siku ya kumi na nne ya mwezi.
Je, sikukuu zilifanyika katika sku gani na aina gani ya mikate iliyoliwa kwa muda wa siku saba?
Sikukuu zilifanyika katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, nao walikula mikate isiyotiwa chachu kwa muda wa siku saba.
Je, sikukuu zilifanyika katika sku gani na aina gani ya mikate iliyoliwa kwa muda wa siku saba?
Sikukuu zilifanyika katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, nao walikula mikate isiyotiwa chachu kwa muda wa siku saba.
Je, walifanya nini kuonyesha heshima kwa BWANA katika siku ya kwanza ya Pasaka, na kitu gani hakikufanyika katika siku hiyo?
Walifanya kusanyiko takatifu la kuheshimu BWANA; na pia katika siku hiyo hawakufanya kazi zao za kila siku.
Numbers 28:19-22
Je, ni aina gani ya sadaka ya mnyama iliyotakiwa kutolewa katika siku hizo saba za Pasaka?
Walitoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoodume mmoja, na wanakondoo dume saba wasiokuwa na dosari.
Je, ni aina gani ya sadaka ya unga waliyotoa pamoja na fahari wachanga na kondoo dume?
Pamoja na fahari walitoa sehemu tatu za kumi za efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta pamoja na kondoo dume na sehemu za pili za kumi.
Je, walitoa sadaka gani pamoja na mwanakondoo?
Pamoja na hao wanakondoo walitoa sehemu ya kumi y efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta.
Kwa nini walitoa beberu?
Bebebru alitolewa kuwa sadaka ya upatanisho kwa ajili yao wenyewe.
Numbers 28:23-25
Je, kulikuwa na tukio gani katika siku ya saba ya sikukuu ya Pasaka?
Sikiu ya saba ya sikukuu ya Pasaka walitakiwa kuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA na kutokufanya kazi zao za kila siku katika siku hiyo.
Numbers 28:26-31
Je, walitakiwa kutoa sadaka gani katika siku ya kwanza ya malimbuko katika sikukuu zao za majuma na katika siku hiyo walifanya kitu gani?
Katika siku ya malimbuko, walitoa sdaka ya unga mpya kwa BWANA katika sikukuu zao za majuma, na pia walifanya kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA na hawakufanya kazi zao za kila siku.
Numbers 29
Numbers 29:1
Kwa nini wana wa Israeli walifanya kusanyiko takatifu katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba; na hawakufanya kitu gani na nini walichokifanya katika siku hiyo?
Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba watu wa Israeli walifanya kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA;hawakufanya kazi zao za kila siku bali walipiga panda.
Numbers 29:2
Katika siku hiyo walitoa sadaka ya mnyama gani na kwa sababu ipi?
Katika siku hiyo walitoa sdaka ya kuteketezwa ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari ili kutoa harufu nzurI kwa BWANA.
Numbers 29:3-5
Je, ni sadaka gani ya unga waliyotoa pamoja na wanyama?
Pamoja na wanyama walitoa sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta.
Kwa nini walitoa sadaka ya beberu mmoja?
Walitoa sadaka ya bebebru mmoja kuwa sadaka ya dhamai ili kufanya upatanisho kwa ajili yao?
Numbers 29:6
Je, ni wakati gania ambapo walitakiwa kutoa sadaka ya dhambi, zaidi y a sadaka ya kawaida ambayo walitakiwa kutoa kila mwezi?
WAlitakiwa kutoa sdaka ya dhambi kila ifikapo mwezi wa saba, kama ziada ya sadaka ya kawaida waliyotakiwa kutoa kila mwezi.
Numbers 29:7-8
Je, BWANA alisemakuwa Waisraeli watafanyanini siku ya kumi ya mwezi wa saba?
Siku ya kumi ya mwezi wa saba wana wa Israeli watakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA, kunyenyekeza na kutofanya kazi kazi.
Ni mnyama gani waliyotakiwa kumtoa kuwa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba?
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba wana wa Israeli walitakiwa kutoa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Numbers 29:9-11
Je, waisraeli walitakiwa kuweka nini katika kila mnyama?
Wana wa Israeli walitakiwa kuweka unga uliochanganywa na mafuta katika kila mnyama.
Je, waisraeli walitakiwa kuweka nini katika kila mnyama?
Wana wa Israeli walitakiwa kuweka unga uliochanganywa na mafuta katika kila mnyama.
Kwa nini walitoa beberu?
Beberu alitolewa kuwa sadaka ya dhambi
Numbers 29:12-13
Je, mwezi gani tena walipokuwa na kusanyiko takatifu tena la kumwabudu BWANA siku ambayo hawakufanya kazi zao za kawaida na ambapo walifanya sikukuu kwa ajili yake kwa muda wa siku saba?
Katika siku ya kumi na tano ya mweziwa saba kulikuwa na kusanyiko takatifu la kumwaabudu BWANA na hawakufanya kazi na kufanya sikukuu kwa muda wa siku saba.
Katika siku hii walitolewa fahari wachanga wangapi, na wanakondoo dume wangapi, wasiokuwa na dosari?
Katika siku hii walitoa sadaka ya fahari wachanga kumi na tatu, kondoo dume wawili wenye umri wa mwaka mmoja, wasiokuwa na dosari.
Numbers 29:14-16
Zaidi ya sadaka ya unga, Na sadaka ya kinywaji, na sadaka zingine za wanyama ni sadaka gani nyingine za wanyama zilitolewa kama sadakaza dhambi?
Sadaka zaidi ya sadaka za unga, sadakaza vinywaji na sadaka zingine za wanyama, pia alitolewa beberu kuwa sadaka ya dhambi.
Numbers 29:17-19
Je, ni fahari wangapi walitolewa siku ya pili ya kusanyiko hilo?
Siku ya pii ya kusanyiko jumla ya fahari kumi na mbili walitolewa kuwa sadaka.
Numbers 29:20-22
Je, ni fahari wangapi walitolewa kuwa sadaka siku ya tatu ya kusanyiko?
Fahari kumi na moja walitolewa kuwa sadaka siku ya kumi na moja ya kusanyiko.
Je, ni fahari wangapi walitolewa kuwa sadaka siku ya tatu ya kusanyiko?
Fahari kumi na moja walitolewa kuwa sadaka siku ya kumi na moja ya kusanyiko.
Numbers 29:23-25
Je, ni fahari wangapi walitolewa kuwa sadaka katika siku ya nne ya kusanyiko kama nyongeza ya matolea ya sadaka za mwanzoni.
Siku ya nne ya kusanayiko watu wa Israeli waltoa mafahari kumi pamoja na matoleo yote ya sadaka za mwanzoni.
Je, ni fahari wangapi walitolewa kuwa sadaka katika siku ya nne ya kusanyiko kama nyongeza ya matolea ya sadaka za mwanzoni.
Siku ya nne ya kusanayiko watu wa Israeli waltoa mafahari kumi pamoja na matoleo yote ya awali.
Numbers 29:26-28
Je, watu wa Israeli walitakiwa kuisherehekeaje siku ya tano ya kusanyiko?
Siku ya tano ya kusanyiko wa tu wa Israeli walitoa mafaharti watano na matoleo yote ya sadaka zate walizotoa mwanzoni.
Je, watu wa Israeli walitakiwa kuisherehekeaje siku ya tano ya kusanyiko?
Siku ya tano ya kusanyiko wa tu wa Israeli walitoa mafaharti watano na matoleo yote ya sadaka zate walizotoa mwanzoni.
Numbers 29:29-31
Je, Waisraeli waliisherehekeaje sikukuu katika sikuya sita ya kusanyiko?
Siku ya sita ya kusanyiko watu wa Israeli walitoa mafahari nane na sadaka zote za walizotoa mwanzoni.
Je, Waisraeli waliisherehekeaje sikukuu katika sikuya sita ya kusanyiko?
Siku ya sita ya kusanyiko watu wa Israeli walitoa mafahari nane na sadaka zote za walizotoa mwanzoni.
Numbers 29:32-34
Je, watu wa Israeli walitakiwa kuisherehekeaje siku ya saba ya kusanyiko?
Siku ya saba yakusanyiko watu wa Israeli walitakiwa kutoa mafahari saba na sadaka zote zilizotolewa siku ya nyuma.
Je, watu wa Israeli walitakiwa kuisherehekeaje siku ya saba ya kusanyiko?
Siku ya saba yakusanyiko watu wa Israeli walitakiwa kutoa mafahari saba na sadaka zote zilizotolewa siku ya nyuma.
Numbers 29:35-36
Je, watuwa Israeli waltakiwa kusherehekeaje katika siku ya nane ya kusanyiko?
Katika siku ya nane ya kusanyiko watu wa Israeli walitakiwa kuwa na kusanyiko jingine makini na kutokufanya kazi yeyote.
Je, ni wanyamagani walitakiwa kutolewa kuwa sadaka siku ya nane kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA?
Walitakiwa kutoa fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Numbers 29:37-38
Ni kitu gani zaidi walichotakiwa kutoa zaidiya fahari, kondoodume, na wanakondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Zaidi ya fahari, kondoo dume, wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari walitakiwa kutoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji pamoja na beberu mmoja wa sadaka ya dhambi.
Ni kitu gani zaidi walichotakiwa kutoa zaidiya fahari, kondoodume, na wanakondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Zaidi ya fahari, kondoo dume, wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari walitakiwa kutoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji pamoja na beberu mmoja wa sadaka ya dhambi.
Numbers 29:39-40
Zaidi ya sadka zao za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani, ni sadaka gani zaidi walizptakiwa kutoa?
Walitakiwa kutoa sadaka ya viapo na sadaka za hiari.
Je, Musa aliwaambia nini watu wa Israeli?
Musa aliwaambia watu wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru.
Numbers 30
Numbers 30:1-2
Je, mtu anayeweka nadhiri hakutakiwa kufanya nini?
Hakutakiwa kuvunja neno lake.
Je, mtu anayeweka nadhiri hakutakiwa kufanya nini?
Hakutakiwa kuvunja neno lake.
Numbers 30:3-5
Kama msichana anayeishi na baba yake, atamwekea nadhiri BWANA na baba yake akamsikia lakini akanyamaza bila kuitangua hiyo nadhiri, hiyo nadhiri lazima ithibitike?
Ndiyo, lazima ithibitike.
Kama msichana anayeishi na baba yake, atamwekea nadhiri BWANA na baba yake akamsikia lakini akanyamaza bila kuitangua hiyo nadhiri, hiyo nadhiri lazima ithibitike?
Ndiyo, lazima ithibitike.
Numbers 30:6-7
Kama msichanaaliyeolewa aatafanya nadhiri na mume wake akasikia nadhiri hiyo lakini akanyamza bila kuitangaua nadhiri hiyo, nadhiri hiyo lazima ithibitike?
Ndiyo, lazima ithibitike?
Kama msichanaaliyeolewa aatafanya nadhiri na mume wake akasikia nadhiri hiyo lakini akanyamza bila kuitangaua nadhiri hiyo, nadhiri hiyo lazima ithibitike?
Ndiyo, lazima ithibitike?
Numbers 30:8
Kama kijana mume wa msichana atatangua nadhiri katika siku hiyohiyo asikiapo nadhiri, nadhiri hiyo takuwa na nguvu?
Hapana, nadhiri hiyo haitakuwa na nguvu.
Numbers 30:9-14
Kama mjane au mke aliyetalikiwa atafanya nadhiri kwa BWANA, nadhiri hiyo itakuwa na nguvu?
Ndiyo nadhiri hiyo itakuwa na nguvu.
Kama mwanamke katka nyumba ya mume wake na mume wake akaitangua siku hiyohiyo ambayo ataisikia, nadhiri hiyo itakuwa na nguvu?
Hapana, nadhiri yake haitakuwa na nguvu.
Numbers 30:15-16
Kama mume wa msichana atatangua nadhiri ya mke wake baada ya muda mrefu, nadhiri hiyo itakuwa na nguvu?
Ndiyo itakuwa na nguvu, na kama atajaribu kuivunja, basi ataajibika kwa dhambi ya mke wake na kapata adhabu kwa ajili ya kuivunja hiyo nadhiri.
Numbers 31
Numbers 31:1-2
Je, BWANA alimwambiaje Musa baada ya kuwa amelipa kisasi kwa Wamidiani dhidi ya Waisraeli?
BWANA alimwambia Musa kuwa atakufa na kukusanyika na watu wake.
Je, BWANA alimwambiaje Musa baada ya kuwa amelipa kisasi kwa Wamidiani dhidi ya Waisraeli?
BWANA alimwambia Musa kuwa atakufa na kukusanyika na watu wake.
Numbers 31:3-5
Je, ni wanajeshi wangapi ambao kila kabila lilitakiwa kuwapeleka vitani dhidi ya Wamidiani?
Kila kabila lilitakiwa kupeleka wanajeshi elfu moja.
Je, ni wanajeshi wangapi ambao kila kabila lilitakiwa kuwapeleka vitani dhidi ya Wamidiani?
Kila kabila lilitakiwa kupeleka wanajeshi elfu moja.
Numbers 31:6-8
Kilitokea kitu gani katika vita ya Waisraeli dhidi ya Wamidiani?
Kila Mmidiani aliuawa, pamoja na mfalme wao na pia Baalamu.
Kilitokea kitu gani katika vita ya Waisraeli dhidi ya Wamidiani?
Kila Mmidiani aliuawa, pamoja na mfalme wao na pia Baalamu.
Numbers 31:9-12
Je, Waisraeli walichukua nyara gani kutoka kwa Wamidiani?
Wanajeshi wa Israeli waliwachukuawanawake wa Midiani, watoto wao, na mifugo wao, kondoo wao na bidhaa zao kuwa mateka.
Numbers 31:13-15
Kwa nini Musa alichukizwa na wakuu wa jeshi la Waisraeli?
Musa alichukizwa na wakuu wa jeshi la Waisraeli kwa sababu waliwaacha hai wanawake wa Wamidiiani.
Kwa nini Musa alichukizwa na wakuu wa jeshi la Waisraeli?
Musa alichukizwa na wakuu wa jeshi la Waisraeli kwa sababu waliwaacha hai wanawake wa Wamidiiani.
Numbers 31:16-17
Kwa niniMusa alichukizwa na kitendo cha wakuu wa majeshi ya Israerli kuwaacha hai wanawake wa Midiani?
Musa alichukia kwa sababu wanawake wa Midiani ndio waliowasababisha Waisraeli kupitia ushauri wa Baalamu kufanya dhambi dhidiya BWANA.
Je, Musa aliwaamuru wakuu wa majaeshi ya Israeli kumwua nani?
Musa aliwaamuru wakuu wa amjeshi ya Israeli kumwua kila mwanaume kati ya wadogo wote na kila mwanamke aliyekuwa amelala na mwanamume.
Numbers 31:18-24
Je, Musa aliwaamia wakuu wa majeshi ya Israeli kuchukua watu gani kwa ajili yao?
Musa aliwaambia wakuu wa majeshi ya Israeli kuwachukua wasichina bikra kwa ajili yao.
Je, ni kwa muda gani wanajaeshi wa Israeli waliokuwa wameua watu au kugusa maiti walitakiwa kukaa nje ya kambi ya Waisraeli?
Walitakiwa kukaa nje ya kambi kwa muda wa siku saba.
Ni watu gani katika wanajeshi wa Israeli walitakiwa kujitakasa wenyewe?
Wanaume wote katika jeshi waliokuwa wameua au kugusa maiti walitakiwa kujitakasa.
Je, ni kwa muda gani wanajaeshi wa Israeli waliokuwa wameua watu au kugusa maiti walitakiwa kukaa nje ya kambi ya Waisraeli?
Walitakiwa kukaa nje ya kambi kwa muda wa siku saba.
Ni katika siku zipi ambazo wale wanajeshi na wafungwa wao waliokuwa wameweka kambi zao nje ya Israeli walizotakiwa kujitakasa wenyewe?
Katika siku ya tatu na siku ya saba.
Ni watu gani katika wanajeshi wa Israeli walitakiwa kujitakasa wenyewe?
Wanaume wote katika jeshi waliokuwa wameua au kugusa maiti walitakiwa kujitakasa.
Numbers 31:25-27
Ni katika makundi yapi ambayo Musa alimwambia Eliazeri kuhani kuzigawa zile nyara za vita?
Ni kati ya Maaskari walioenda vitani na kati ya watu wengine wote.
Ni katika makundi yapi ambayo Musa alimwambia Eliazeri kuhani kuzigawa zile nyara za vita?
Ni kati ya Maaskari walioenda vitani na kati ya watu wengine wote.
Numbers 31:28-29
Je, ni kodi ipi ambayo Maaskari walitakiwa kulipa kwa Eliazeri kuhani.
Maaskari walitakiwa kutoa moja ya watu mia tano, mifugo, punda, kondoo, au mbuzi.
Je, ni kodi ipi ambayo Maaskari walitakiwa kulipa kwa Eliazeri kuhani.
Maaskari walitakiwa kutoa moja ya watu mia tano, mifugo, punda, kondoo, au mbuzi.
Numbers 31:30-49
Ni kodi gani ambayo watu wa Israeli walitakiwa kuwapa Walawi ambao waliingalia masikani?
Watu wa Israeli walitakiwa kulipa moja kati ya watu hamsini, mifugo, punda, kondoo na mbuzi.
Ni kodi gani ambayo watu wa Israeli walitakiwa kuwapa Walawi ambao waliingalia masikani?
Watu wa Israeli walitakiwa kulipa moja kati ya watu hamsini, mifugo, punda, kondoo na mbuzi.
Numbers 31:50-51
Kwa nini wale wakuu wa jeshi la Waisraeli walimtolea BWANA sadaka?
Walitoa sadaka ili kufanya upatanisho kwa ajili yao wenyewe mbele ya BWANA.
Kwa nini wale wakuu wa jeshi la Waisraeli walimtolea BWANA sadaka?
Walitoa sadaka ili kufanya upatanisho kwa ajili yao wenyewe mbele ya BWANA.
Numbers 31:52-54
Kwa nini dhahabu zote kutoka kwa viongozi wa wanjeshi maelfu na makamanda wa mamia zilitolewa kwa BWANA?
Ziliwekwa kwenye hema ya kukutania ili kumkumbusha BWANA juu ya Waisraeli.
Kwa nini dhahabu zote kutoka kwa viongozi wa wanjeshi maelfu na makamanda wa mamia zilitolewa kwa BWANA?
Ziliwekwa kwenye hema ya kukutania ili kumkumbusha BWANA juu ya Waisraeli.
Numbers 32
Numbers 32:1-5
Kwa nini wana wa uzo wa Reubeni na wa Gadi walienda kuongea na Musa?
Walienda kuongea na Musa kwa sababu waliona kuwa ile nchi ya Jazeri na Gileadi ilikuwa nchi nzuri kwa ufugaji nao walikuwa na makundi makubwa ya mifugo.
Kwa nini wana wa uzo wa Reubeni na wa Gadi walienda kuongea na Musa?
Walienda kuongea na Musa kwa sababu waliona kuwa ile nchi ya Jazeri na Gileadi ilikuwa nchi nzuri kwa ufugaji nao walikuwa na makundi makubwa ya mifugo.
Numbers 32:6-7
Kwa nini Musa alifiri kuwa wana wa uzao wa Reubeni na Gadi walitaka kubaki Jazeri na Gileadi?
Alifikiri walitaka kubaki pale na kuwaacha ndugu zao waende vitani pekee yao.
Je, Musa alifikiri nini kingetokea katika mioyo ya Waisraeli kama ndugu zao wangebaki pale?
Alifikiri kuwa mioyo ya watu ingekata tamaa.
Numbers 32:8-9
Je, baba zao walifanya nini Musa alipowatuma kutoka Kadashi Barinea kwenda kuipeleleza ile nchi?
Waliiona nchi na kisha wakawakatisha mioyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia katika ile nchi.
Numbers 32:10-12
Kwa nini BWANA aliapa kiasi kwamba hakuna mwanamume wa Israeli wa kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi isipokuwa Kalebu na Yoshua ndio watakaoingia ile nchi ambayo alimwapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo?
BWANA aliapa hivi kwa sababu alikuwa na hasira dhidi ya wanaume wa Israeli kwa kushindwa kumfuata kwa mioyo yao yote.
Kwa nini BWANA aliapa kiasi kwamba hakuna mwanamume wa Israeli wa kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi isipokuwa Kalebu na Yoshua ndio watakaoingia ile nchi ambayo alimwapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo?
BWANA aliapa hivi kwa sababu alikuwa na hasira dhidi ya wanaume wa Israeli kwa kushindwa kumfuata kwa mioyo yao yote.
Numbers 32:13-15
Je, BWANA alifanya nini kwa sababu ya kuwa na hasira dhidi ya watau wa Israeli?
Aliwafanya wazungukezunguke jangwani kwa miaka arobaini.
Numbers 32:16-19
Je, wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi waliweka ahadi gani kwa Musa kama atawaruhusu wajenge uzio kwa ajili ya mifugo wao na familia zao?
Waliahidi kujipanga kijeshi na kuambatana na Waisraeli na kutokurudi mpaka watakapowaongoza Waisraeli mpaka mahali pao.
Je, wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi waliweka ahadi gani kwa Musa kama atawaruhusu wajenge uzio kwa ajili ya mifugo wao na familia zao?
Waliahidi kujipanga kijeshi na kuambatana na Waisraeli na kutokurudi mpaka watakapowaongoza Waisraeli mpaka mahali pao.
Numbers 32:20-27
Je, Musa aliamua kufanya nini juu ya ombi la wana wa uzao wa Reubeni na Gadi ambalo walimwabia Musa?
Musa aliwaambia kuwa kama wataenda nao vitani na kuwafukuza maadui kutoka katika ile nchi, ndipo watakaporudi katika nchi wanayoimiliki nao hawatakuwa na hatia kwa BWANA na kwa Waisraeli.
Je, Musa aliamua kufanya nini juu ya ombi la wana wa uzao wa Reubeni na Gadi ambalo walimwabia Musa?
Musa aliwaambia kuwa kama wataenda nao vitani na kuwafukuza maadui kutoka katika ile nchi, ndipo watakaporudi katika nchi wanayoimiliki nao hawatakuwa na hatia kwa BWANA na kwa Waisraeli.
Numbers 32:28-30
Je, ingekuwaje kama wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi wasingevuka na kupigana pamoja na na wale wanaume wa Israeli ili kuichukua nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa?
Kama wasingevukamilki yao na kupigana pamoja na wanume wa Israeli, wasingepewa hiyo nchi ya Gileadi, bali wangepata milki yao katika nchi ya Kanaani.
Je, ingekuwaje kama wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi wasingevuka na kupigana pamoja na na wale wanaume wa Israeli ili kuichukua nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa?
Kama wasingevukamilki yao na kupigana pamoja na wanume wa Israeli, wasingepewa hiyo nchi ya Gileadi, bali wangepata milki yao katika nchi ya Kanaani.
Numbers 32:31-32
Je, watu wa uzao wa Reubeni na Gadi na nusu ya Manase waliwaahidi nini viongozi wa Israeli?
Waliawaahidi kuvuka pamoja nao hadi nchi ya Kanaani.
Je, watu wa uzao wa Reubeni na Gadi na nusu ya Manase waliwaahidi nini viongozi wa Israeli?
Waliawaahidi kuvuka pamoja nao hadi nchi ya Kanaani.
Numbers 32:33-42
Je, Musa aliwapa wana wa Uzao Gadi na Reubeni na nusu ya Manase nchi ya nani?
Aliwapa nchi ya Sihoni, mfalme wa Waamori, na Ogu, mfalme wa Bashani.
Numbers 33
Numbers 33:3-7
Je, kwa nini watu wa Israeli walikuwa tayari kuiacha Ramesi bila upinzani toka kwa Wamisiri?
Walikuwa tayari kuiacha bila upiinzani toka kwa Wamisiri kwa sababu Wamisiriwalikuwa na kazi kubwa ya kuwazika wazaliwa wao wa kwanza.
Je, kwa nini watu wa Israeli walikuwa tayari kuiacha Ramesi bila upinzani toka kwa Wamisiri?
Walikuwa tayari kuiacha bila upiinzani toka kwa Wamisiri kwa sababu Wamisiriwalikuwa na kazi kubwa ya kuwazika wazaliwa wao wa kwanza.
Numbers 33:8-10
Kwa nini watu wa Israeli walichagua kuweka kambi yao Elimu?
Walichagua kuwekda kambi yao pale kwa sababu kulikuwa na kumi nchemichemi kumi na mbili za maji na miti ya mitende sabini.
Numbers 33:11-37
Je, watu wa Israeli walikoswa nini pale Refidimu?
Walikoswa maji pale Refidimu.
Numbers 33:38-49
Ilichukua muda gani tangu Waisraeli kutoka Misri hadi kifo cha Haruni pale kwenye Mlima wa Hori?
Haruni alikufa baada ya miaka arobaini tangu waisraeli kutoka Misri.
Ilichukua muda gani tangu Waisraeli kutoka Misri hadi kifo cha Haruni pale kwenye Mlima wa Hori?
Haruni alikufa baada ya miaka arobaini tangu waisraeli kutoka Misri.
Numbers 33:50-52
Je, BWANA aliwaamuru watu kwa kinywa cha Musa kufanya nini baada ya kuwa wamevuka mto Yorodani kuingia Kanaani?
BWANA aliwaamuru watu kuwafukuza wakazi wote wa nchi na kuziharibu sanamu zao zao zote za kusubu na kupaharibu mahali pao pote palipoinuka.
Je, BWANA aliwaamuru watu kwa kinywa cha Musa kufanya nini baada ya kuwa wamevuka mto Yorodani kuingia Kanaani?
BWANA aliwaamuru watu kuwafukuza wakazi wote wa nchi na kuziharibu sanamu zao zao zote za kusubu na kupaharibu mahali pao pote palipoinuka.
Numbers 33:53-54
Je, BWANA alipenda watu waigaweje ile nchi waliokuwa wanaenda kuimiliki?
BWANA alipenda watu waigawe ile nchi kwa kura, Wale watu wenye ukoo mkubwa wapewe sehemu kubwa ya ardhi na wale watu wenye ukoo mdogo wapewe sehemu ndogo ya ardhi
Je, BWANA alipenda watu waigaweje ile nchi waliokuwa wanaenda kuimiliki?
BWANA alipenda watu waigawe ile nchi kwa kura, Wale watu wenye ukoo mkubwa wapewe sehemu kubwa ya ardhi na wale watu wenye ukoo mdogo wapewe sehemu ndogo ya ardhi
Numbers 33:55-56
Je, kingetokea nini kama watu wa Israeli wasingeliwatoa wakazi wa nchi ile?
Wale watu ambao wangeliwaruhusu kukaa wangeyafanya maisha ya Waisraeli kuwa magumu.
Je, kingetokea nini kama watu wa Israeli wasingeliwatoa wakazi wa nchi ile?
Wale watu ambao wangeliwaruhusu kukaa wangeyafanya maisha ya Waisraeli kuwa magumu.
Numbers 34
Numbers 34:13-15
Je, ni watu wa kabila gani ambao waliipokea nchi ya Kanaani kuwa milki yao?
Ni wale makabila tisa na nusu ya Israeli ndio walioipokea nchi ya Kanaani kuwa milki yao.
Je, uzao wa Reubeni na Gadi na wale nusu ya Manase walipokea mgao gani?
Uzao wa Reubeni na Gadi na Wale nusu kabila ya Manase walipokea mgao wao wa ardhi ng'ambo ya Yorodani na eneo la mashariki ya Yeriko.
Je, uzao wa Reubeni na Gadi na wale nusu ya Manase walipokea mgao gani?
Uzao wa Reubeni na Gadi na Wale nusu kabila ya Manase walipokea mgao wao wa ardhi ng'ambo ya Yorodani na eneo la mashariki ya Yeriko.
Numbers 34:16-26
Ni wanaume wapi waliopewa jukumu la kuwagawia watu urithi wa ardhi?
Wale wanaume walikuwa ni Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na kiongozi mmoja kutoka kila kabila.
Ni wanaume wapi waliopewa jukumu la kuwagawia watu urithi wa ardhi?
Wale wanaume walikuwa ni Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na kiongozi mmoja kutoka kila kabila.
Numbers 34:27-29
Je, BWANA aliwaamuru hawa watu wafanye nini
Aliwaamuru kuwagawia nchi ya Kanaani kila kabila mgao wao.
Numbers 35
Numbers 35:1-5
Je, BWANA aliamuru kitu gani cha kufanywa na kila kabila la Israeli kwa Walawi?
Aliwaamuru kuwapatia Walawi baadhi ya gawio lao la ardhi, miji ya kuishi, na malisho yanayozunguka miji.
Je, BWANA aliamuru kitu gani cha kufanywa na kila kabila la Israeli kwa Walawi?
Aliwaamuru kuwapatia Walawi baadhi ya gawio lao la ardhi, miji ya kuishi, na malisho yanayozunguka miji.
Numbers 35:6-15
Ni miji mingapi ambayo ilitakiwa kutolewa kwa Walawi?
Miji arobaini na nane ilitakiwa kutole.wa kwa Walawi
Je, lengo la Walawi kupewa ile miji sita lilikuwa nini?
Ile miji sita ilitakiwa kutumika kama miji ya ukumbizi ambayo watu waliotuhumiwa kuuawa wangeweza kukimbilia.
Numbers 35:16-18
Je, ni kosa gani ambalo lilisababisha mtu apate hukumu ya kifo?
Mtu alipata hukumu ya kifo pale alipompiga mtu na kitu cha chuma, jiwe mkononi mwake, au silaha ya mti na mtu huyo kufa.
Je, ni kosa gani ambalo lilisababisha mtu apate hukumu ya kifo?
Mtu alipata hukumu ya kifo pale alipompiga mtu na kitu cha chuma, jiwe mkononi mwake, au silaha ya mti na mtu huyo kufa.
Numbers 35:19-23
Je, ilikuwaje pale mtuhumiwa alipomwumiza mtu bila silaha lakini yule mtu akafa?
Mtuhumiwa alipomshinda mtu bila asilaha au akamponda kwa kitu akiwa amejificha, au akamwangusha chini kwa mikono yake kiasi kwamba yule mtu akafa, basi mtuhumiwa lazima auawe.
Je, ilikuwaje pale mtuhumiwa alipomwumiza mtu bila silaha lakini yule mtu akafa?
Mtuhumiwa alipomshinda mtu bila asilaha au akamponda kwa kitu akiwa amejificha, au akamwangusha chini kwa mikono yake kiasi kwamba yule mtu akafa, basi mtuhumiwa lazima auawe.
Numbers 35:24-25
Je, jamii ilipaswa kufanya nini ili kumwokoa mtu anayetuhumiwa kwa kumwua mtu pasipo kukusudia?
Jamii ilitakiwakumwokoa mtuhumiwa huyo kwa kumrudisha katika mji wa ukimbizi ambao alikuwa amekimbilia kujihifadhi.
Numbers 35:26-28
Je, ni wakati gani pale mlipa kisasi atamwua mtuhumiwa bila kuhesabiwa hatia ya mauji?
Ni wakati ule pale mlipa kisasi atmkuta yule mtuhumiwa akiwa nje ya mipaka ya mji wa ukimbizi.
Je, ni wakati gani pale mlipa kisasi atamwua mtuhumiwa bila kuhesabiwa hatia ya mauji?
Ni wakati ule pale mlipa kisasi atmkuta yule mtuhumiwa akiwa nje ya mipaka ya mji wa ukimbizi.
Je, ni wakati gania ambapo mtuhumiwa alikuwa huru kurudi kwenye mali zake.
Alikuwa huru kurudi baada ya kifo cha kuhani mkuu.
Numbers 35:29-30
Je, ni kitu gani kilichotakiwa kufanyika kabla ya mwuaji kuuawa?
Ushuhuda wa zaidi ya mtu mmoja ulihiitajika kabla ya mwuaji kuuawa.
Numbers 35:31-32
Je, ni fidia gani ilihitajika badala ya mwuaji?
Watu hawakutakiwa kupokea fidia yeyote badala ya uhai wa mwuaji au ya mtu aliyekimbilia kwenye mji wa ukimbizi.
Je, ni fidia gani ilihitajika badala ya mwuaji?
Watu hawakutakiwa kupokea fidia yeyote badala ya uhai wa mwuaji au ya mtu aliyekimbilia kwenye mji wa ukimbizi.
Numbers 35:33-34
Je, ni kitu gani kilichitakiwa kwa ajili ya upatanisho wa ardhi ambayo damu imemwagikga?
Ni damu ya yule tu aliyesababisha damu kumwagika ndiye aliyekuwa upatanisho wa ardhi hiyo.
Je, ni kitu gani kilichitakiwa kwa ajili ya upatanisho wa ardhi ambayo damu imemwagikga?
Ni damu ya yule tu aliyesababisha damu kumwagika ndiye aliyekuwa upatanisho wa ardhi hiyo.
Numbers 36
Numbers 36:1-2
Je, BWANA alimwamuru Musa kuwa ardhi ya Zelofehadi apewe nani?
BWANA alimwamuru Musa kuwa ardhiya Zelofehadi wapewe biniti zake.
Je, BWANA alimwamuru Musa kuwa ardhi ya Zelofehadi apewe nani?
BWANA alimwamuru Musa kuwa ardhiya Zelofehadi wapewe biniti zake.
Numbers 36:3-4
Je, kingetokea kitu gani kwenye ardhi ya Zelofehadi kama binti zake wangeolewa na wanaume wa kabila nyingine yaIsraeli?
Kama wangefanya hivyo baadhi ule mgao wa ardhi yao ungekuwa kule wanakoolewa.
Kingetokea nini kwenye ardhi iliyomilikiwa na binti ambaye ameolewa na mwanamume toka kabila nyingine wakati yubilee ilipofika?
Yubilee ilipofika, ule mgao uliokuwa miliki ya yule binti utakuwa mali ya kabila ya mume wa yule binti n a kuondolewa kutoka kwenye kabila la Zelofehadi.
Numbers 36:5-6
Je, BWANA alitoa amri gani kupitia kwa Musa kuhusu binti wa Zelofehadi?
Aliamuru kuwa binti wa Zelofehadi waolewa ndani ya kabila ya baba yao.
Je, BWANA alitoa amri gani kupitia kwa Musa kuhusu binti wa Zelofehadi?
Aliamuru kuwa binti wa Zelofehadi waolewa ndani ya kabila ya baba yao.
Numbers 36:7
Ni kitu gani ambacho hakikutakiwa kutokea katika mgao wa ardhi ya Waisraeli?
Hakuna mgao wa ardhi ya Waisraeli ambao utabadilika toka kabila moja kwenda kabila nyingine. Kila mgao wa mtu utabaki kwenye ukoo uleule wa mababu zao.
Numbers 36:8-9
Kwa nini BWANA aliamuru kuwa kila mwanamke ndani ya watu wa Israeli aliyemiliki ardhi ndani ya kabila lazima aolewe na mtu toka ndani ya ukoo wa kabila ya baba yake?
BWANA alitoa amri hiyo ili kwamba kikla mmoja toka watu wa Israeli ataweza kumilki ardhi kutoka kwa mababu zake.
Kwa nini BWANA aliamuru kuwa kila mwanamke ndani ya watu wa Israeli aliyemiliki ardhi ndani ya kabila lazima aolewe na mtu toka ndani ya ukoo wa kabila ya baba yake?
BWANA alitoa amri hiyo ili kwamba kikla mmoja toka watu wa Israeli ataweza kumilki ardhi kutoka kwa mababu zake.
Numbers 36:10-13
Je, wale binti wa Zelofehadi walizingatiaje amri ya BWANA?
Waliolewa ndani ya ukoo wa uzao wa Manase kwa hiyo urithi wao ulibaki ndani ya ukoo wa kabila ya baba yao.
Je, wale binti wa Zelofehadi walizingatiaje amri ya BWANA?
Waliolewa ndani ya ukoo wa uzao wa Manase kwa hiyo urithi wao ulibaki ndani ya ukoo wa kabila ya baba yao.