Kiswahili: translationQuestions

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

1 Samuel

1 Samuel 1

1 Samuel 1:1-4

Wake wawili wa Elikana walikuwa akina nani?

Wake wa Elikana walikuwa Hana na Penina.

Wake wawili wa Elikana walikuwa akina nani?

Wake wa Elikana walikuwa Hana na Penina.

Hana alikuwa na watoto wangapi?

Hana hakuwa na mtoto.

1 Samuel 1:5-8

Kwa nini Elikana alimpa Hana sehemu mara mbili?

Alimpa sehemu mara mbili kwa sababu alimpenda.

Kwa nini mpinzani wa Hana alimchokoza?

Alimchokoza ili kumsikitisha kwa sababu Bwana alifunga tumbo lake.

1 Samuel 1:9-10

Hana alifanya nini kwa sababu alikuwa na dhiki kubwa ya kutokuwa na watoto?

Hana alikwenda kwenye nyumba ya Bwana na kuomba na kulia sana.

Hana alifanya nini kwa sababu alikuwa na dhiki kubwa ya kutokuwa na watoto?

Hana alikwenda kwenye nyumba ya Bwana na kuomba na kulia sana.

1 Samuel 1:11

Hana aliapa nini kwa Bwana?

Hana aliapa kwa Bwana kuwa ikiwa Bwana atamoa mtoto mwanaume atamtoa kwa Bwana na hakuna wembe utakaopita kichwani mwake.

1 Samuel 1:12-14

Kwa sababu Hana alizungumza na Bwana toka moyoni mwake, kuhani Eli alifikiri nini juu ya vitendo vyake?

Eli alipoona midomo ya Hana kama inanena lakini hasikii sauti alifikiri kuwa Hana amelewa mvinyo.

Kwa sababu Hana alizungumza na Bwana toka moyoni mwake, kuhani Eli alifikiri nini juu ya vitendo vyake?

Eli alipoona midomo ya Hana kama inanena lakini hasikii sauti alifikiri kuwa Hana amelewa mvinyo.

1 Samuel 1:15-16

Hana alimthibitishia Eli kuwa anafanya nini?

Hana alimthibitishia Eli kuwa hajalewa lakini anazungumza na Bwana toka moyoni.

Hana alimthibitishia Eli kuwa anafanya nini?

Hana alimthibitishia Eli kuwa hajalewa lakini anazungumza na Bwana toka moyoni.

1 Samuel 1:17-18

Ni kitu gani Eli alimwambia Hana kilichomsababisha aondoke, ale na asione huzuni tena?

Eli alimwambia aende na amani na akamuomba Mungu wa Israeli amjalie ombi lake alilomuomba.

Ni kitu gani Eli alimwambia Hana kilichomsababisha aondoke, ale na asione huzuni tena?

Eli alimwambia aende na amani na akamuomba Mungu wa Israeli amjalie ombi lake alilomuomba.

1 Samuel 1:19-20

Hana alipochukua mimba na kuzaa mwana wa kiume alimuita jina gani?

Hana alimuita mtoto wake Samweli kwa sababu amemuomba toka kwa Bwana.

1 Samuel 1:21-23

Kwa nini Hana hakwenda na mume wake hekaluni kutoa dhabihu ya mwaka?

Kwa sababu alikuwa bado ananyonyesha.

Kwa nini Hana hakwenda na mume wake hekaluni kutoa dhabihu ya mwaka?

Kwa sababu alikuwa bado ananyonyesha.

1 Samuel 1:24-25

Hana alibeba nini pamoja na mwanae mpaka kwenye nyumba ya Bwana kumpa kuhani Eli?

Hana alibeba dhabihu ya ng'ombe wa miaka mitatu, efa moja ya chakula na chupa ya divai ili kumpa kuhani.

Hana alibeba nini pamoja na mwanae mpaka kwenye nyumba ya Bwana kumpa kuhani Eli?

Hana alibeba dhabihu ya ng'ombe wa miaka mitatu, efa moja ya chakula na chupa ya divai ili kumpa kuhani.

1 Samuel 1:26-28

Hana alimpa nini Bwana?

Hana alimpa Bwana mtoto wake kwa muda wote atakaoishi.

Hana alimpa nini Bwana?

Hana alimpa Bwana mtoto wake kwa muda wote atakaoishi.

1 Samuel 2

1 Samuel 2:1-2

Kwa nini Hana aliongea kwa uhodari juu ya adui zake?

Hana aliongea kwa uhodari juu ya adui zake kwa sababu alifurahia wokovu wa Bwana.

1 Samuel 2:3-4

Kwa nini Hana alisema tusijivune au kuzungumza kwa kiburi ?

Hatutakiwi kujivuna au kuzungumza kwa kiburi kwa sababu Bwana ni Mungu wa maarifa na kwake yeye matendo yote hupimwa.

1 Samuel 2:5

Katika wimbo wa Hana nani aliyejawa na huzuni?

Mwanamke mwenye watoto wengi amejawa na huzuni.

1 Samuel 2:6-7

Nani anayeamua mauti na uzima, nani anayeenda chini na anayeinuka juu?

Bwana ndiye anayeamua mauti na uzima na hushusha chini na kuinua juu.

Nani anayemfanya masikini na anayetajirisha?

Bwana ndiye anayemfanya mtu masikini na anayetajirisha.

1 Samuel 2:8

Nani anayemuinua masikini na kumpandisha muhitaji kuketi katika kiti cha heshima?

Bwana humuinua juu ili aketi katika kiti cha heshima.

1 Samuel 2:9

Hana anasema nani ataongoza miguu waaminifu wake na kunyamazisha waovu gizani?

Bwana ataongoza miguu yao na kuwanyamazisha waovu.

1 Samuel 2:10-11

Nani anahukumu miisho ya dunia na kumpa mfalme wake nguvu?

Bwana anahukumu miisho ya dunia na kumpa mfalme wake nguvu.

1 Samuel 2:12-14

Watoto wa nani walikuwa waovu?

Watoto wa Eli walikuwa waovu.

Nini ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu wakati wa kutoa dhabihu?

Desturi yao ilikuwa mtumishi wa kuhani alikuja na uma wa meno matatu na kuchukua nyama kwa ajili ya kuhani.

Nini ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu wakati wa kutoa dhabihu?

Desturi yao ilikuwa mtumishi wa kuhani alikuja na uma wa meno matatu na kuchukua nyama kwa ajili ya kuhani.

1 Samuel 2:15-19

Jambo gani ovu ambalo wana wa kuhani waliwaelekeza watumishi wao?

Badala ya kulka nyama iliyochemshwa Watoto wa Eli waliwaelekeza watumishi wao wawaambie watu wanakula nyama mbichi tuu.

Jambo gani ovu ambalo wana wa kuhani waliwaelekeza watumishi wao?

Badala ya kulka nyama iliyochemshwa Watoto wa Eli waliwaelekeza watumishi wao wawaambie watu wanakula nyama mbichi tuu.

Kwa nini dhambi ya wana wa Eli ilikuwa kubwa?

Dhambi yao ilikuwa kubwa mbele za Bwana kwa sababu walidharau sadaka ya Bwana.

1 Samuel 2:20-21

Ni kwa namna gani Eli alimbariki Elikana na mke wake?

Eli alimbariki Elikana na mke wake kwa kuwaombea wapate watoto wengi kupitia Hana.

Nini yalikuwa majibu ya Bwana kwa maombi ya Eli juu ya wazazi wa Samweli kuwa na watoto wengi?

Mungu alimsaidia Hana naye akazaa wana wa kiume watatu na mabinti wawili.

1 Samuel 2:22-24

Eli aliwaambia watoto wake nini alipoendelea kuwa mzee?

Eli aliwaambia watoto wake kuwa wanafanya maovu na wanasababisha watu wa Mungu wasiwe watii.

Eli aliwaambia watoto wake nini alipoendelea kuwa mzee?

Eli aliwaambia watoto wake kuwa wanafanya maovu na wanasababisha watu wa Mungu wasiwe watii.

1 Samuel 2:25-26

Kwa nini watoto wa Eli hawakusikia sauti yake?

Watoto wa Eli hawakusikia sauti yake kwa sababu Bwana alikusudia kuwaua.

Nani alikua na akampendeza Mungu na wanadamu?

Samweli alikuwa na akampendeza Mungu na wanadamu.

1 Samuel 2:27-28

Nani alimwambia Eli kuwa Bwana alichagua uzao wa Eli kati ya makabila yote ya Israeli kuwa makuhani wa Bwana?

Mtu wa Mungu alimwambia Eli kuwa Bwana amewachagua uzao wa Eli.

Nani alimwambia Eli kuwa Bwana alichagua uzao wa Eli kati ya makabila yote ya Israeli kuwa makuhani wa Bwana?

Mtu wa Mungu alimwambia Eli kuwa Bwana amewachagua uzao wa Eli.

1 Samuel 2:29-30

Ni kwa namna gani Eli alidharau dhabihu na sadaka ya Bwana?

Alidharau dhabihu na sadaka ya Bwana kwa kuwaheshimu watoto wake kuliko Bwana.

1 Samuel 2:31-33

Bwana alimwambia Eli nini kitatokea kwa wanaume wote wanaozaliwa kwenye familia yake?

Bwana alimwambia Eli kuwa wanaume wote wanaozaliwa kwenye famila yake watakufa.

1 Samuel 2:34-36

Bwana alisema ni ishara gani itatokea kuona=esha kuwa wanaume wote wa nyumba ya Eli watakufa?

Watoto wote wa kiume wa Eli watakufa siku moja.

Nani atakwenda mbele ya mfalme wa Bwana aliyepakwa mafuta milele?

Kuhani mwaminifu atakayeinuliwa na Bwana atakwenda mbele ya mfalme aliyepakwa mafuta milele.

Kwa nini familia ya Eli watakwenda na kuinama mbele ya kuhani mwaminifu?

Watamwomba nafasi kama kuhani ili waweze kuwa na chakula.

1 Samuel 3

1 Samuel 3:1-4

Samweli aliitikia vipi aliposikia Bwana akimuita akiwa amelala kitandani?

Alijibu, "mimi hapa."

Samweli aliitikia vipi aliposikia Bwana akimuita akiwa amelala kitandani?

Alijibu, "mimi hapa."

1 Samuel 3:5-6

Eli alimwambia Samweli afanye nini Samweli alipomwendea?

Eli alimwambia kuwa hakumuita na akamwambia arudi kulala tena.

1 Samuel 3:7-8

Ni kitu gani hakikufunuliwa kwa Samweli?

Ujumbe toka kwa Bwana haukufunuliwa kwa Samweli.

Ni kitu gani alikigundua Eli baada ya Samweli kwenda kwake mara tatu?

Eli aligundua kuwa Bwana alimuita kijana.

1 Samuel 3:9

Eli alimwambia Samweli aseme nini endapo Bwana atamuita tena?

Eli alimwambia Samweli aseme, "nena, kwa kuwa mtumishi wako anasikia."

1 Samuel 3:10-11

Bwana anasema nini kitatokea kwa kila mtu atakayesikia jambo ambalo Bwana atakwenda kufanya?

Bwana alisema kuwa masikio ya kila mtu atakayesikia anachotaka kukifanya yatatetemeka.

1 Samuel 3:12-14

Watoto wa Eli walisababisha nini juu yao wenyewe?

Watoto wa Eli walisababisha laana juu yao wenyewe.

Ni nini hakiwezi kupatanishwa kwa dhabihu au sadaka?

Dhambi ya nyumba ya Eli haiwezi kupatanishwa kwa dhabihu wala sadaka.

1 Samuel 3:15-16

Samweli aliogopa kufanya nini asubuhi baada ya kufungua milango ya nyumba ya Bwana?

Aliogopa kumwambia Eli juu ya maono toka kwa Bwana.

1 Samuel 3:17-18

Samweli alifanya nini baada ya Eli kumwambia kuwa asifiche jambo lolote alisema Bwana?

Samweli alimwambia kila kitu na hakumficha Eli chochote.

1 Samuel 3:19-21

Waisraeli toka Dani na Beer-sheba walijua nini kuhusu Samweli?

Waisraeli wote walijua kuwa Samweli aliteuliwa kuwa nabii wa Bwana.

1 Samuel 4

1 Samuel 4:1-2

Nini yalikuwa matokeo ya vita kati ya Israeli na Wafilisti?

Wafilisti waliwashinda Waisraeli.

Nini yalikuwa matokeo ya vita kati ya Israeli na Wafilisti?

Wafilisti waliwashinda Waisraeli.

1 Samuel 4:3-4

Viongozi wa Israeli waliamua kufanya nini ili kuhakikisha usalama dhidi ya adui zao?

Viongozi wa Israeli waliamua kuwa walete sanduku la agano la Bwana na kuwa nalo.

Nani alikuwa na sanduku la agano la Bwana wa majeshi?

Wana wawili wa Eli Hofini na Finehasi walikuwa na sanduku la agano.

1 Samuel 4:5-6

Wafilisti walishangaa nini waliposikia sauti kubwa ya watu wote wa Israeli?

Wafilisti walishangaa kelele toka kwenye kambi za Waebrania zina maana gani.

Wafilisti walishangaa nini waliposikia sauti kubwa ya watu wote wa Israeli?

Wafilisti walishangaa kelele toka kwenye kambi za Waebrania zina maana gani.

1 Samuel 4:7-9

Wafilisti walisema nani amekuja kwenye kambi ya Waebrania?

Wafilisti walisema kuwa Mungu amekuja kwenye kambi ya Waebrania.

Wafilisti walisema Mungu aliwavamia Wamisri kwa kitu gani jangwani?

Walisema kuwa Mungu aliwavamia Wamisri kwa aina nyingi za mapigo.

1 Samuel 4:10-11

Nini kilitokea kwa watoto wawili wa Eli wakati ambao Wafilisti walipigana na kuwashinda Waisraeli?

Wana wawili wa Eli, Hofini na Finehasi walikufa.

Nini kilitokea kwa watoto wawili wa Eli wakati ambao Wafilisti walipigana na kuwashinda Waisraeli?

Wana wawili wa Eli, Hofini na Finehasi walikufa.

1 Samuel 4:12-13

Mji mzima ulifanya nini baada ya mtu kutoka vitani kuingia kwenye mji na kuwapa habari?

Mtu yule alipowapa habari mji mzima wakalia.

Mji mzima ulifanya nini baada ya mtu kutoka vitani kuingia kwenye mji na kuwapa habari?

Mtu yule alipowapa habari mji mzima wakalia.

1 Samuel 4:14-15

Eli aliuliza swali gani aliposikia sauti za kilio za mji?

Eli aliuliza maana ya kelele hizo.

1 Samuel 4:16-17

Yule mtu alimwambia Eli kitu gani kimetokea kwa watoto wake na sanduku la Mungu Wafilisti walipowashinda Waisraeli?

Yule mtu alimwambia Eli kuwa watoto wake wawili wamekufa na sanduku la Mungu limechukuliwa.

Yule mtu alimwambia Eli kitu gani kimetokea kwa watoto wake na sanduku la Mungu Wafilisti walipowashinda Waisraeli?

Yule mtu alimwambia Eli kuwa watoto wake wawili wamekufa na sanduku la Mungu limechukuliwa.

1 Samuel 4:18

Ni kidonda gani kilichukua maisha ya Eli alipoanguka kitini pake kwa nyuma pembeni ya mlango?

Shingo yake ilivunjika akafa.

1 Samuel 4:19-20

Nini kilitokea kwa mke wa Finehasi aliyekuwa na mimba baada ya kusikia kuwa sanduku limekamatwa na mume wake na baba mkwe wake wamekufa?

Mke wa Finehasi alipiga magoti chini na akajifungua lakini maumivu yake ya uchungu yalimlemea.

1 Samuel 4:21-22

Mke wa Finehasi alimpa jina gani mtoto na lilikuwa na maana gani?

Alimuita mtoto Ikabodi kwa sababu utukufu umeondoka katika nyumba ya Israeli.

Mke wa Finehasi alimpa jina gani mtoto na lilikuwa na maana gani?

Alimuita mtoto Ikabodi kwa sababu utukufu umeondoka katika nyumba ya Israeli.

1 Samuel 5

1 Samuel 5:1-3

Baada ya Wafilisti kupeleka sanduku la Bwana katika nyumba ya Dagoni siku iliyofuata waliikuta sanamu ya Dagoni imekaaje?

Dagoni alikuwa ameanguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la Bwana.

Baada ya Wafilisti kupeleka sanduku la Bwana katika nyumba ya Dagoni siku iliyofuata waliikuta sanamu ya Dagoni imekaaje?

Dagoni alikuwa ameanguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la Bwana.

1 Samuel 5:4-5

Kesho yake asubuhi ni nini kilisalia kwa Dagoni baada ya kuirudisha sehemu yake mbele ya sanduku?

Kiwiliwili tuu cha Dagoni kilibaki, kichwa na mikono yake ilikuwa chini kwenye kizingiti cha mlango imekatwa.

1 Samuel 5:6-7

Kwa nini watu wa Ashdodi walisema kuwa sanduku lisikae kwao?

Mkono wa Bwana ulikuwa na nguvu dhidi yao na mungu wao Dagoni.

Kwa nini watu wa Ashdodi walisema kuwa sanduku lisikae kwao?

Mkono wa Bwana ulikuwa na nguvu dhidi yao na mungu wao Dagoni.

1 Samuel 5:8-9

Wafilisti walipeleka wapi sanduku la Mungu wa Israeli?

Wafilisti walilipeleka sanduku Gathi.

Bwana aliwapa mateso gani watu wa mji wa Gathi?

Bwana aliwatesa kwa majipu.

1 Samuel 5:10

Watu wa Ekroni walisema Mungu wa Israeli atawafanya nini kwa sababu sanduku lipo kwenye mji wao?

Walisema kuwa Mungu wa Israeli atawaua pamoja na watu wao.

1 Samuel 5:11-12

Watu wa Ekroni waliwaomba viongozi walipeleke wapi sanduku?

Waliwaomba walipeleke sanduku sehemu yake.

Ni sehemu gani ambayo kilio cha watu kilifika?

Kilio cha watu kilifika mbinguni.

1 Samuel 6

1 Samuel 6:1-2

Ni kwa muda gani sanduku la Bwana lilikaa katika nchi ya Wafilisti?

Sanduku lilikaa katika nchi ya Wafilisti miezi saba.

Wafilisti walimwita nani kuomba ushauri ya namna sanduku la Bwana litakavyorudishwa katika nchi yake?

Waliwaita makuhani na waaguzi ili wawaeleze namna ya kurudisha sanduku kwenye nchi yake.

1 Samuel 6:3-4

Makuhani na waaguzi waliwaambia Wafilisti wapeleke nini kwa Mungu wa Israeli kama matoleo ya kosa?

Waliwaambia Wafilisti wapeleke majipu ya dhahabu matano na panya watano wa dhahabu.

Makuhani na waaguzi waliwaambia Wafilisti wapeleke nini kwa Mungu wa Israeli kama matoleo ya kosa?

Waliwaambia Wafilisti wapeleke majipu ya dhahabu matano na panya watano wa dhahabu.

1 Samuel 6:5-6

Kwa nini makuhani na waaguzi walisema Mungu aliwashughulikia sana Wamisri na Farao?

Mungu aliwashughulikia sana Wamisri na Farao kwa sababu waliifanya mioyo yao kuwa migumu.

1 Samuel 6:7-9

Ni wanyama gani ambao makuhani na waaguzi waliwaambia Wafilisti wavifunge katika gari ambalo waliweka sanduku la Bwana?

Waliwaambia wafilisti wafunge ng'ombe wawili wanaonyonyesha kwenye gari.

Wafilisti watajuaje kuwa Bwana atasababisha maafa makubwa kwao?

Wafilisti watajua endapo Ng'ombe wanaosukuma gari wenyewe mpaka Bethshemeshi.

1 Samuel 6:10-12

Ng'ombe wanyonyeshao walielekea wapi na gari lililobeba sanduku na kasha lenye oanya wa dhahabu na sanamu za majipu?

Ng'ombe walikwenda moja kwa moja kwenye njia ya Bethshemeshi.

Ng'ombe wanyonyeshao walielekea wapi na gari lililobeba sanduku na kasha lenye oanya wa dhahabu na sanamu za majipu?

Ng'ombe walikwenda moja kwa moja kwenye njia ya Bethshemeshi.

1 Samuel 6:13

Watu wa Bethshemeshi walikuwa wanafanya nini walipoinua macho yao na kuona sanduku?

Walikuwa wakivuna ngano katika bonde.

1 Samuel 6:14-15

Watu wa Bethshemeshi walizifanyia nini Ng'ombe zilizokuwa zinavuta gari?

Walizitoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.

Nani alilishusha chini sanduku la Bwana na kasha lililokuwa pamoja na sanduku?

Walawi walilishusha chini sanduku la Bwana na kasha lililokuwa pamoja na sanduku.

1 Samuel 6:16

Viongozi watano wa Kifilisti walifanya nini walipoona kilichofanywa na watu wa Bethshemeshi?

Walirudi Ekroni siku hiyo.

1 Samuel 6:17-18

Nini ilikuwa maana ya majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu?

Idadi ya majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu ilikuwa sawa na idadi ya miji yote ya Wafilisti iliyochini ya watawala watano.

Nini ilikuwa maana ya majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu?

Idadi ya majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu ilikuwa sawa na idadi ya miji yote ya Wafilisti iliyochini ya watawala watano.

1 Samuel 6:19-20

Kwa nini Bwana aliwaua watu sabini wa Bethshemeshi?

Bwana aliwaua kwa sababu waliangalia ndani ya sanduku lake.

1 Samuel 6:21

Wajumbe waliwaambia wenyeji wa Kiriathi Yearimu wafanye nini juu ya sanduku ambalo Wafilisti walilirudisha?

Wajumbe waliwaambia wenyeji wa Kiriathi Yearimu washuke chini na wakalichukue sanduku pamoja nao.

1 Samuel 7

1 Samuel 7:1-2

Watu wa Kiriathi Yearimu walimfanya nini mwana wa Abinadamu ili alitunze sanduku la Bwana?

Walimuweka wakfu ili alitunze sanduku la Bwana.

Nyumba yote ya Israeli ilifanya nini kwa kipindi cha miaka ishirini ambayo sanduku lilikuwa Kiriathi Yearimu?

Waliomboleza wakati wote na kutamani kumrudia Bwana.

1 Samuel 7:3-4

Waisraeli walitaka kuondoa nini kati yao ili Bwana awaokoe na mkono wa Wafilisti?

Walitaka kuondoa miungu ya kigeni na Ashtorethi kati yao na kumwabudu Bwana tuu.

Waisraeli walitaka kuondoa nini kati yao ili Bwana awaokoe na mkono wa Wafilisti?

Walitaka kuondoa miungu ya kigeni na Ashtorethi kati yao na kumwabudu Bwana tuu.

1 Samuel 7:5-6

Wana wa Israeli walikubali kuwa walifanya nini walipokusanyika Mispa na kumimina maji mbele ya Bwana?

Walikubali kuwa wametenda dhambi mbele ya Bwana.

Wana wa Israeli walikubali kuwa walifanya nini walipokusanyika Mispa na kumimina maji mbele ya Bwana?

Walikubali kuwa wametenda dhambi mbele ya Bwana.

1 Samuel 7:7-8

Ni kitu gani ambacho Waisraeli walisikia kuhusu Wafilisti kilichowafanya waogope na kumuomba Samweli amlilie Bwana kwa ajili yao.

Walisikia kuwa viongozi wa Wafilisti wamevamia Israeli.

Ni kitu gani ambacho Waisraeli walisikia kuhusu Wafilisti kilichowafanya waogope na kumuomba Samweli amlilie Bwana kwa ajili yao.

Walisikia kuwa viongozi wa Wafilisti wamevamia Israeli.

1 Samuel 7:9

Bwana alifanya nini Samweli alipochukua ndama mchanga na kuitoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana na kumlilia Bwana?

Bwana alimjibu Samweli.

1 Samuel 7:10-11

Ni kitu gani alichokifanya Bwana ambacho kiliwachanganya Wafilisti walipokaribia kuivamia Israeli?

Bwana alisababisha radi yenye sauti kubwa siku hiyo juu ya Wafilisti.

1 Samuel 7:12

Samweli aliweka nini kati ya Mispa na Sheni kama kumbukumbu ya kuwa Bwana aliwasaidia?

Samweli alichukua jiwe na akalisimamisha.

1 Samuel 7:13-14

Nini kilitokea kwa miji ambayo Wafilisti waliichukua toka kwa Waisraeli?

Ilirudushwa kwa Israeli.

1 Samuel 7:15-17

Samweli alifanya nini alipokuwa akizunguka Betheli, Gilgfali, Mispa na kurudi Rama?

Samweli alikuwa mwamuzi wa Israeli katika sehemu hizi zote.

1 Samuel 8

1 Samuel 8:1-3

Ni kwa namna gani wana wawili wa Samweli waliokuwa waamuzi hawakutembea katika njia za baba yao?

Walikuwa wakijipatia faida, wakichukua rushwa na wakipotosha hukumu.

Ni kwa namna gani wana wawili wa Samweli waliokuwa waamuzi hawakutembea katika njia za baba yao?

Walikuwa wakijipatia faida, wakichukua rushwa na wakipotosha hukumu.

1 Samuel 8:4-5

Wazee walitoa ombi gani kwa Samweli?

Walimwomba Samweli awachagulie mfalme ambaye atakayekuwa mwamuzi kama mataifa mengine kwa kuwa yeye alikuwa mzee na watoto wake hawakutembea katika njia zake.

Wazee walitoa ombi gani kwa Samweli?

Walimwomba Samweli awachagulie mfalme ambaye atakayekuwa mwamuzi kama mataifa mengine kwa kuwa yeye alikuwa mzee na watoto wake hawakutembea katika njia zake.

1 Samuel 8:6-7

Samweli alifanya nini baada ya kutofurahishwa na ombi la wazee wa Israeli la kuwapatia mfalme?

Samweli aliomba kwa Bwana.

Samweli alifanya nini baada ya kutofurahishwa na ombi la wazee wa Israeli la kuwapatia mfalme?

Samweli aliomba kwa Bwana.

1 Samuel 8:8-9

Ni onyo gani ambalo Bwana alimwambia Samweli awape wana wa Israeli?

Bwana alimwambia Samweli awaonye wana wa Israeli kuhusu namna ambayo mfalme atatawala juu yao.

Ni onyo gani ambalo Bwana alimwambia Samweli awape wana wa Israeli?

Bwana alimwambia Samweli awaonye wana wa Israeli kuhusu namna ambayo mfalme atatawala juu yao.

1 Samuel 8:10-12

Nini lilikuwa onyo ambalo Samweli aliwapa wana wa Israeli juu ya namna ambavyo mfalme atawachukua watoto wao wa kiume toka kwao?

Samweli aliwaonya watu kuwa mfalme atawachokua watoto wao wa kiume wawe wapanda farasi na askari, na kuwafanya walime mashamba yake na kuvuna mavuni na kuwatumia kutengeneza silaha na kufanya vita.

Nini lilikuwa onyo ambalo Samweli aliwapa wana wa Israeli juu ya namna ambavyo mfalme atawachukua watoto wao wa kiume toka kwao?

Samweli aliwaonya watu kuwa mfalme atawachokua watoto wao wa kiume wawe wapanda farasi na askari, na kuwafanya walime mashamba yake na kuvuna mavuni na kuwatumia kutengeneza silaha na kufanya vita.

1 Samuel 8:13-15

Nini lilikuwa onyo ambalo Samweli aliwapa wana wa Israeli juu ya namna ambavyo mfalme atawafanyia mabinti zao?

Samweli aliwaonya kuwa mfalme atawachukua binti zao na kuwafanya watengenezaji wa manukato, wapishi na waokaji.

Nini lilikuwa onyo ambalo Samweli aliwapa wana wa Israeli juu ya namna ambavyo mfalme atawafanyia mabinti zao?

Samweli aliwaonya kuwa mfalme atawachukua binti zao na kuwafanya watengenezaji wa manukato, wapishi na waokaji.

1 Samuel 8:16-18

Nini lilikuwa onyo ambalo Samweli aliwapa wana wa Israeli juu ya namna ambavyo mfalme atawafanyia wafanyakazi wao, vijana wao na wanyama?

Samweli aliwaonya kuwa mfalme atawachukua wafanyakazi wao, vijana wao wazuri na punda zao, na fungu la kumi la makundi yao na kuwafanya watumwa.

Nini lilikuwa onyo ambalo Samweli aliwapa wana wa Israeli juu ya namna ambavyo mfalme atawafanyia wafanyakazi wao, vijana wao na wanyama?

Samweli aliwaonya kuwa mfalme atawachukua wafanyakazi wao, vijana wao wazuri na punda zao, na fungu la kumi la makundi yao na kuwafanya watumwa.

Samweli aliwaonya wana wa Israeli kuwa nini kitatokea watakapolia kwa sababu ya mfalme ambaye wamemchagua wenyewe?

Samweli alisema kuwa watakapomlilia Bwana, Bwana hatawajibu.

1 Samuel 8:19-20

Watu walijibu nini baada ya kupewa onyo na Samweli?

Watu walisisitiza kuwa wanataka mfalme juu yao ili wawe kama mataifa mengine na wawe na mfalme aweze kuwa mwamuzi na atakayepigana vitani.

Watu walijibu nini baada ya kupewa onyo na Samweli?

Watu walisisitiza kuwa wanataka mfalme juu yao ili wawe kama mataifa mengine na wawe na mfalme aweze kuwa mwamuzi na atakayepigana vitani.

1 Samuel 8:21-22

Nini lilikuwa jibu la Bwana Samweli alipomwambia maneno aliyoambiwa na watu masikioni mwake?

Bwana alimwambia Samweli aitii sauti ya watu na awape mfalme.

Nini lilikuwa jibu la Bwana Samweli alipomwambia maneno aliyoambiwa na watu masikioni mwake?

Bwana alimwambia Samweli aitii sauti ya watu na awape mfalme.

1 Samuel 9

1 Samuel 9:1-2

Mwonekano wa nje wa Sauli mwana wa Kushi ulikuwaje?

Samweli alikuwa kijana mzuri ambaye alikuwa mrefu toka mabegani mwake kuliko mtu yeyote.

Mwonekano wa nje wa Sauli mwana wa Kushi ulikuwaje?

Samweli alikuwa kijana mzuri ambaye alikuwa mrefu toka mabegani mwake kuliko mtu yeyote.

1 Samuel 9:3-4

Ni matokeo gani yalitokea baada ya Kushi kumwambia mtoto wake Sauli aende kutafuta punda waliopotea?

Sauli alimchukua mmoja wa watumishi na akapita sehemu nyingi bila kuwapata punda waliopotea.

Ni matokeo gani yalitokea baada ya Kushi kumwambia mtoto wake Sauli aende kutafuta punda waliopotea?

Sauli alimchukua mmoja wa watumishi na akapita sehemu nyingi bila kuwapata punda waliopotea.

1 Samuel 9:5-6

Sauli alimwambia mtumishi wake kuwa watafanya nini watakapofika katika nchi ya Sufu?

Sauli alimwambia mtumishi wake kuwa watarudi nyumbani la sivyo baba yake atakuwa na wasiwasi zaidi juu yao kuliko punda.

Ni wazo gani la tofauti alilolitoa mtumishi wa Sauli?

Mtumishi alimwambia Sauli kuwa wamtafute mtu wa Mungu katika mji ule ambaye atakuwa na uwezo wa kuwaambia waelekee wapi katika safari yao.

1 Samuel 9:7-8

Mtumishi alikuwa na kitu gani cha kumpa mtu wa Mungu ili awaambie njia ya kwenda?

Mtumishi alikuwa na shekeli nne za fedha za kumpa mtu wa Mungu.

Mtumishi alikuwa na kitu gani cha kumpa mtu wa Mungu ili awaambie njia ya kwenda?

Mtumishi alikuwa na shekeli nne za fedha za kumpa mtu wa Mungu.

1 Samuel 9:9-11

Sauli na mtumishi wake waliwauliza kitu gani wanawake waliokwenda kuchota maji?

Sauli na mtumishi wake waliwauliza kama mwonaji yupo kwenye mji ili waende kutafuta maarida ya mapenzi ya Mungu.

Sauli na mtumishi wake waliwauliza kitu gani wanawake waliokwenda kuchota maji?

Sauli na mtumishi wake waliwauliza kama mwonaji yupo kwenye mji ili waende kutafuta maarida ya mapenzi ya Mungu.

1 Samuel 9:12-14

Kwa nini mwonaji alikwenda kwenye mji siku hiyo?

Mwonaji alikwenda kwenye mji siku hiyo kwa sababu watu walitoa dhabihu katika mahali pa juu na mwonaji atabariki dhabihu hizo.

Kwa nini mwonaji alikwenda kwenye mji siku hiyo?

Mwonaji alikwenda kwenye mji siku hiyo kwa sababu watu walitoa dhabihu katika mahali pa juu na mwonaji atabariki dhabihu hizo.

1 Samuel 9:15-16

Ni kitu gani ambacho Bwana alimdhihirishia Samweli juu ya nafasi ya Sauli kwa Israeli?

Bwana alimwambia Samweli kuwa atakuwa mkuu aliyepakwa mafuta na atawaokoa watu wa Bwana toka mikononi mwa Wafilisti.

Ni kitu gani ambacho Bwana alimdhihirishia Samweli juu ya nafasi ya Sauli kwa Israeli?

Bwana alimwambia Samweli kuwa atakuwa mkuu aliyepakwa mafuta na atawaokoa watu wa Bwana toka mikononi mwa Wafilisti.

1 Samuel 9:17-19

Ni mwaliko gani ambao Samweli alimpa Sauli baada ya kudhihirishiwa kuwa alikuwa ni mwonaji aliyekuwa akimtafuta?

Samweli alimkaribisha sauli kwenda naye na kula pamoja naye katika mahali pa juu.

Ni mwaliko gani ambao Samweli alimpa Sauli baada ya kudhihirishiwa kuwa alikuwa ni mwonaji aliyekuwa akimtafuta?

Samweli alimkaribisha sauli kwenda naye na kula pamoja naye katika mahali pa juu.

1 Samuel 9:20-22

Ni kwa namna gani Samweli alimshangaza Sauli kwa alichomwambia?

Japokuwa Sauli alikuwa anatoka kwenye kabila dogo la Benyamini, shauku ya Israeli yote ilikuwa juu yake na nyumba ya baba yake.

Ni kwa namna gani Samweli alimshangaza Sauli kwa alichomwambia?

Japokuwa Sauli alikuwa anatoka kwenye kabila dogo la Benyamini, shauku ya Israeli yote ilikuwa juu yake na nyumba ya baba yake.

1 Samuel 9:23-24

Samweli alimwambia nini sauli kuhusu paja lililowekwa kwa ajili ya dhabihu?

Alimwambia Sauli kuwa aliiweka mpaka siku iliyokusudiwa kwa ajili yake.

Samweli alimwambia nini sauli kuhusu paja lililowekwa kwa ajili ya dhabihu?

Alimwambia Sauli kuwa aliiweka mpaka siku iliyokusudiwa kwa ajili yake.

1 Samuel 9:25-26

Samweli alimwambia nini Sauli baada ya kushuka toka mahali pa juu mpaka mjini?

Samweli alimwambia Sauli ainuke ili ampeleke.

Samweli alimwambia nini Sauli baada ya kushuka toka mahali pa juu mpaka mjini?

Samweli alimwambia Sauli ainuke ili ampeleke.

1 Samuel 9:27

Kwa nini Samweli alimwambia Sauli wakae katika mwisho wa mji kwa muda?

Samweli alimwambia Sauli wakae katika mwisho wa mji kwa muda ili amwambie ujumbe wa Mungu kwake.

1 Samuel 10

1 Samuel 10:1-2

Kwa nini Sauli alimimina mafuta juu ya kichwa cha Sauli na kumbusu?

Alimimina mafuta juu ya kuchwa cha Sauli kwa sababu Bwana alimchagua kuwa mtawala juu ya urithi wake.

Ni matukio gani yanayofuata ambayo Samweli alimshirikisha Sauli?

Samweli alimwambia Sauli atawakuta watu wawili karibu na kaburi la Raheli ambao watamwambia kuwa punda wamepatikana.

1 Samuel 10:3-4

Samweli alimwambia kuwa nini kitatokea watakapofika katika mwaloni wa Tabori?

Watu watatu watakutana naye wamebeba wana mbuzi watatu, mikate mitatu na kiriba cha divai ambavyo atavichukua.

Samweli alimwambia kuwa nini kitatokea watakapofika katika mwaloni wa Tabori?

Watu watatu watakutana naye wamebeba wana mbuzi watatu, mikate mitatu na kiriba cha divai ambavyo atavichukua.

1 Samuel 10:5-6

Samweli alimwambia nini kitatokea atakapofika katika ngome ya Wafilisti?

Roho wa Bwana atamjaza na atabadilishwa kuwa mtu tofauti na atatabiri pamoja na kundi la watabiri toka mjini.

Samweli alimwambia nini kitatokea atakapofika katika ngome ya Wafilisti?

Roho wa Bwana atamjaza na atabadilishwa kuwa mtu tofauti na atatabiri pamoja na kundi la watabiri toka mjini.

1 Samuel 10:7-8

Maelekezo gani ambayo Samweli alimpa Sauli?

Samweli alimwambia Sauli aende Gilgali na Samweli atamfuata ili watoe dhabihu ya kuteketeza na sadaka ya amani.

Maelekezo gani ambayo Samweli alimpa Sauli?

Samweli alimwambia Sauli aende Gilgali na Samweli atamfuata ili watoe dhabihu ya kuteketeza na sadaka ya amani.

1 Samuel 10:9-10

Nini kilitokea Sauli alipogeuka na kuachana na Samweli?

Sauli alipogeuka na kuondoka Mungu alimpa moyo mwingine.

1 Samuel 10:11-13

Kwa nini watu walishangaa ikiwa Sauli alikuwa mmoja wa manabii?

Watu walishangaa ikiwa Sauli ni mmoja wa manabii kwa sababu walimuona akitabiri pamoja na moja wa manabii.

Kwa nini watu walishangaa ikiwa Sauli alikuwa mmoja wa manabii?

Watu walishangaa ikiwa Sauli ni mmoja wa manabii kwa sababu walimuona akitabiri pamoja na moja wa manabii.

1 Samuel 10:14-16

Sauli alimwambia nini baba yake mdogo alipomuuliza kuwa alikwenda wapi?

Sauli alimwambia baba yake mdogo kuwa baada ya yeye na mtumishi wake kuwakosa punda walikwenda kumuona Samweli.

Sauli hakumwambia nini baba yake mdogo aliyoambiwa na Sauli?

Sauli hakumwambia baba yake mdogo mambo yahusuyo ufalme.

Sauli hakumwambia nini baba yake mdogo aliyoambiwa na Sauli?

Sauli hakumwambia baba yake mdogo mambo yahusuyo ufalme.

1 Samuel 10:17-19

Kwa nini Bwana alisema kuwa Israeli wamemkataa?

Israeli walimkataa Bwana kwa sababu walimtaka awape mfalme juu yao.

Kwa nini Bwana alisema kuwa Israeli wamemkataa?

Israeli walimkataa Bwana kwa sababu walimtaka awape mfalme juu yao.

1 Samuel 10:20-21

Nini kilitokea Sauli alipochaguliwa kuwa mfalme?

Walimtafuta Sauli lakini hakuonekana.

Nini kilitokea Sauli alipochaguliwa kuwa mfalme?

Walimtafuta Sauli lakini hakuonekana.

1 Samuel 10:22-23

Kwa nini hawakumuona Sauli alipochaguliwa kuwa mfalme?

Sauli alijificha kwenye mizigo.

1 Samuel 10:24

Samweli alihisi nini juu ya mtu ambaye Bwana amemchagua?

Samweli alihisi kuwa hakuna mtu kama Sauli kati ya watu wote.

1 Samuel 10:25

Nin kwa namna gani desturi na sheria za ufalme zilianzishwa na kuhifadhiwa?

Samweli aliwaambia watu kuwa desturi na sheria za kifalme ziliandikwa katika vitabu na kuwekwa mbele za Bwana.

1 Samuel 10:26-27

Ni kwa namna gani watu wasiofaa walionesha kutokumpenda Sauli?

Baadhi ya watu wasiofaa walimdharau Sauli na hawakumpelekea zawadi zozote na wakamuhoji ni kwa namna gani atawaokoa.

1 Samuel 11

1 Samuel 11:1-2

Nini lilikuwa jibu la Nahashi mwamoni kuhusu ombi la mkataba toka kwa watu wa Yabeshi?

Aliwaambia kuwa atafanya nao mkataba ikiwa ataifedhehesha Israeli yote kwa kuwang'oa wote macho yao ya kulia.

Nini lilikuwa jibu la Nahashi mwamoni kuhusu ombi la mkataba toka kwa watu wa Yabeshi?

Aliwaambia kuwa atafanya nao mkataba ikiwa ataifedhehesha Israeli yote kwa kuwang'oa wote macho yao ya kulia.

1 Samuel 11:3

Wazee wa Yabeshi walijibu nini kutokana na ombi la Nahashi?

Walimuomba awaache kwa siku saba na kuona kama kunamtu katika nchi yote ya Israeli anayeweza kuwasaidia.

1 Samuel 11:4-5

Sauli alishangaa kitu gani kilichokuwa kimewapata watu wa mji wake wa Gebea?

Sauli aliwasikia wakilia baada ya kusikia jambo ambalo litatokea kwenye mji wa Yabeshi.

Sauli alishangaa kitu gani kilichokuwa kimewapata watu wa mji wake wa Gebea?

Sauli aliwasikia wakilia baada ya kusikia jambo ambalo litatokea kwenye mji wa Yabeshi.

1 Samuel 11:6-8

Sauli alijibu nini juu ya vitisho dhidi ya Yabeshi?

Alikasirika sana na akawakusanya wanaume wa Israeli ili wamfuate na kupigana dhidi ya adui wa Yabeshi.

Sauli alijibu nini juu ya vitisho dhidi ya Yabeshi?

Alikasirika sana na akawakusanya wanaume wa Israeli ili wamfuate na kupigana dhidi ya adui wa Yabeshi.

1 Samuel 11:9-10

Wajumbe waliwaambia nini watu wa Yabeshi?

Waliwaambia watu wa Yabeshi kuwa wataokolewa siku inayofuata wakati wa jua kali.

Watu wa Yabeshi walisema nini kumdanganya Nahashi?

Walimwambia Nahashi kuwa watasalimu amri kwake kesho yake na atawafanyia chochote anachotaka.

1 Samuel 11:11

Nini kilikuwa matokeo ya vita kati ya watu wa Israeli na Nahashi mwamoni?

Watu wa Israeli walivamia na kuwashinda Waamoni na wao waliosalia walitawanyika.

1 Samuel 11:12-13

Kwa nini Sauli alisema wapinzani wake wasiuawe?

Alisema mtu yeyote asiuawe kwa sababu Bwana ndiye aliyewaokoa Israeli.

Kwa nini Sauli alisema wapinzani wake wasiuawe?

Alisema mtu yeyote asiuawe kwa sababu Bwana ndiye aliyewaokoa Israeli.

1 Samuel 11:14-15

Kwa nini Samweli, Sauli na watu wote wa Israeli walienda Gilgali?

Walienda Gilgali kutoa dhabihu ya amani na kumsimika Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana.

Kwa nini Samweli, Sauli na watu wote wa Israeli walienda Gilgali?

Walienda Gilgali kutoa dhabihu ya amani na kumsimika Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana.

1 Samuel 12

1 Samuel 12:4-5

Samweli alishawahi kufanya jambo lolote ovu dhidi ya wana wa Israeli?

Wana wa Israeli walimwambia Samweli kuwa hajawadanganya au kuwaonea au kuwaibia kitu chochote.

1 Samuel 12:6-7

Kwa nini Samweli aliwaambia wana wa Israeli wajihudhurishe wenyewe mbele za Bwana?

Aliwaambia wajihudhurishe wenyewe ili awakumbushe matendo yote ya haki ya Bwana aliyoyafanya zamani.

Kwa nini Samweli aliwaambia wana wa Israeli wajihudhurishe wenyewe mbele za Bwana?

Aliwaambia wajihudhurishe wenyewe ili awakumbushe matendo yote ya haki ya Bwana aliyoyafanya zamani.

1 Samuel 12:8-9

Mungu aliwafanya nini mababu wa wana wa Israeli baada ya kumsahau Bwana Mungu wao baada ya Musa na Haruni kuwatoa Misri?

Mungu aliwauza mikononi mwa nchi ya Sisera, mikononi mwa Wafilisti na mikononi mwa Moabu.

Mungu aliwafanya nini mababu wa wana wa Israeli baada ya kumsahau Bwana Mungu wao baada ya Musa na Haruni kuwatoa Misri?

Mungu aliwauza mikononi mwa nchi ya Sisera, mikononi mwa Wafilisti na mikononi mwa Moabu.

1 Samuel 12:10-11

Bwana alifanya nini baada ya mababu wa Israeli kumlilia na kumuomba awaokoe toka kwenye mikono ya adui zao?

Bwana alimtuma Yerubu Baali, Bedani, Yefta na Samweli ili kuwaokoa toka kwa adui zao.

Bwana alifanya nini baada ya mababu wa Israeli kumlilia na kumuomba awaokoe toka kwenye mikono ya adui zao?

Bwana alimtuma Yerubu Baali, Bedani, Yefta na Samweli ili kuwaokoa toka kwa adui zao.

1 Samuel 12:12-13

Ni ukweli gani ambao Samweli alitaka wana wa Israeli wakumbuke?

Samweli aliwakumbusha wana wa Israeli kuwa walitaka mfalme wa kutawala juu yao.

Ni ukweli gani ambao Samweli alitaka wana wa Israeli wakumbuke?

Samweli aliwakumbusha wana wa Israeli kuwa walitaka mfalme wa kutawala juu yao.

1 Samuel 12:14-15

Ni uchaguzi gani ambao Samweli aliutoa mbele ya wana wa Israeli?

Wachague kutii amri za Bwana na kuwa wafuasi wa Bwana au waasi dhidi ya amri za Bwana na wauone mkono wake juu yao.

Ni uchaguzi gani ambao Samweli aliutoa mbele ya wana wa Israeli?

Wachague kutii amri za Bwana na kuwa wafuasi wa Bwana au waasi dhidi ya amri za Bwana na wauone mkono wake juu yao.

1 Samuel 12:16-18

Ni jambo gani ambalo Samweli alilisema mbele ya wana wa Israeli?

Samweli aliwaambia watu wajihudhurishe wenyewe mbele za Bwana na kuona mambo makuu atakayoyafanya mbele ya macho yao.

Samweli alimuomba Bwana atume nini ili wana wa Israeli wafahamu kwamba ouvu wao ni mwingi?

Alimwomba Bwana atume ngurumo na mvua.

Samweli alimuomba Bwana atume nini ili wana wa Israeli wafahamu kwamba ouvu wao ni mwingi?

Alimwomba Bwana atume ngurumo na mvua.

1 Samuel 12:19-21

Samweli alijibu nini baada ya wana wa Israeli kutambua dhambi yao?

Samweli aliwaambia watu wasiogope lakini wamtumikie Mungu kwa mioyo yao yote.

Samweli alijibu nini baada ya wana wa Israeli kutambua dhambi yao?

Samweli aliwaambia watu wasiogope lakini wamtumikie Mungu kwa mioyo yao yote.

1 Samuel 12:22-23

Ni ujumbe gani wa faraja Samweli aliwapa wana wa Israeli?

Samweli aliwafariji wana wa Israeli kwa kuwaambia kuwa Mungu hajawakataa.

Samweli aliamua kufanya nini kwa ajili ya Israeli?

Aliamua kuwafundisha watu njia ambazo ni njema na sahihi na kutoacha kuwaombea.

1 Samuel 12:24-25

Ni changamoto gani Samweli aliwapa wana wa Israeli?

Samweli aliwaambia wayatafakari matendo makuu ya Bwana aliyowatendea ili wamwogope na kumtumikia yeye katika kweli kwa mioyo yao.

1 Samuel 13

1 Samuel 13:1-2

Sauli aliwafanya nini askari ambao hakuwachagua kwenda naye?

Aliwarudisha askari hao kwenye mahema yao.

1 Samuel 13:3-4

Kwa nini Israeli ilikuwa uvundo kwa Wafilisti?

Walikuwa uvundo kwa Wafilisti kwa sababu Sauli aliipiga ngome ya Wafilisti.

Kwa nini Israeli ilikuwa uvundo kwa Wafilisti?

Walikuwa uvundo kwa Wafilisti kwa sababu Sauli aliipiga ngome ya Wafilisti.

1 Samuel 13:5

Wafilisti walifanya nini baada ya wana Waisraeli kuwashinda?

Walikusanya magari mengi na watu ili kupigana na Israeli.

1 Samuel 13:6-7

Waisraeli walifanya nini walipoona nguvu ya wafilisti?

Walikata tamaa wakajificha kwenye mapango, kwenye vichaka, kwenye miamba, kwenye visima na katika mashimo.

Waisraeli walifanya nini walipoona nguvu ya wafilisti?

Walikata tamaa wakajificha kwenye mapango, kwenye vichaka, kwenye miamba, kwenye visima na katika mashimo.

1 Samuel 13:8-10

Sauli alifanya nini Samweli aliposhindwa kufika Gilgali kwa siku saba?

Samweli alitoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani mwenyewe.

Sauli alifanya nini Samweli aliposhindwa kufika Gilgali kwa siku saba?

Samweli alitoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani mwenyewe.

1 Samuel 13:11-12

Ni sababu gani ambayo Sauli alimpa Samweli kwa kutokumsubiri yeye atoe sadaka?

Alisema aliona watu wakiondoka hivyo akajilazimisha mwenyewe kutoa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.

Ni sababu gani ambayo Sauli alimpa Samweli kwa kutokumsubiri yeye atoe sadaka?

Alisema aliona watu wakiondoka hivyo akajilazimisha mwenyewe kutoa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.

1 Samuel 13:13-16

Samweli alisema nini kumkemea Sauli?

Samweli alimwambia Sauli kuwa ametenda mambo ya kipumbavu kwa kutotii amri ya Bwana aliyopewa.

Samweli alisema kuwa kitu gani kitakuwa matokeo ya matendo ya Sauli?

Kwa sababu Sauli hakutii amri ya Bwana utawala wake juu ya Israeli hautaendelea milele badala yake Bwana atamchagua mtu toka moyoni mwake kuwa mkuu juu ya watu wake.

Samweli alisema kuwa kitu gani kitakuwa matokeo ya matendo ya Sauli?

Kwa sababu Sauli hakutii amri ya Bwana utawala wake juu ya Israeli hautaendelea milele badala yake Bwana atamchagua mtu toka moyoni mwake kuwa mkuu juu ya watu wake.

1 Samuel 13:17-18

Ni mbinu gani Wafilisti waliitumia dhidi ya wana wa Israeli?

Wafilisti walituma wateka nyara toka kwenye kambi zao kwenda kwenye maeneo tofauti matatu ya Israeli.

1 Samuel 13:19-21

Ni vikwazo gani askari wa Israeli walipata wakati wanapigana na Wafilisti?

Wafilisti hawakuwaruhusu Waisraeli wawe na mhunzi ambaye atawatengenezea mapanga au mikuki.

1 Samuel 13:22-23

Askari wa Israeli walizuiwa kwa namna gani katika mapigano yao dhidi ya Wafilisti?

Askari wa Israeli hawakuwa na makanga wala mikuki kwenye mikono yao.

1 Samuel 14

1 Samuel 14:1

Ni siri gani ambayo Yonathani mwana wa Sauli hakumwambia baba yake?

Yonathani na mbeba silaha wake walikwenda upande mwingine wa ngome ya Wafilisti.

1 Samuel 14:2-5

Ni kitu gani hawakukijua watu elfu sita waliokuwa na Sauli?

Hawakujua kuwa Yonathani ameenda kwenye ngome ya Wafilisti.

Ni kitu gani hawakukijua watu elfu sita waliokuwa na Sauli?

Hawakujua kuwa Yonathani ameenda kwenye ngome ya Wafilisti.

1 Samuel 14:6-7

Ni wazo gani Yonathani alimwambia mbeba silaha wake?

Yonathani alimwambia kuwa Bwana atatenda kwa niaba yao ili kuwaokoa watu wengi ikiwa watavuka hadi kwenye ngome ya Wafilisti.

Mbeba silaha wa Yonathani alimwambia nini?

Mbeba silaha wa Yonathani alikuwa tayari kutii amri zote hivyo akamtia moyo kuwa afanye kila kitu kilichokuwa moyoni mwake.

1 Samuel 14:8-10

Ni ishara gani ambayo Yonathani na mbeba silaha wake watapewa kuonesha kwamba Bwana atawatia Wafilisti kwenye mikono yao?

Ikiwa Wafilisti watawaambia wawafuate hii ni ishara kuwa Bwana atawatia katika mikono yao.

Ni ishara gani ambayo Yonathani na mbeba silaha wake watapewa kuonesha kwamba Bwana atawatia Wafilisti kwenye mikono yao?

Ikiwa Wafilisti watawaambia wawafuate hii ni ishara kuwa Bwana atawatia katika mikono yao.

1 Samuel 14:11-12

Yonathani alimwambia nini mbena silaha wake baada ya Wafilisti kuwaambia, "Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani"?

Alimwambia mbeba silaha wake kuwa wamfuate kwa sababu Bwana amewatia mikononi mwa Israeli.

Yonathani alimwambia nini mbena silaha wake baada ya Wafilisti kuwaambia, "Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani"?

Alimwambia mbeba silaha wake kuwa wamfuate kwa sababu Bwana amewatia mikononi mwa Israeli.

1 Samuel 14:13-15

Nini yalikuwa matokeo ya uvamizi ambayo Yonathani na mbeba silaha wake waliyafanya katika ngome ya Wafilisti?

Yonathani na mbeba silaha wake waliwaua watuwapatao ishirini.

Nini yalikuwa matokeo ya uvamizi ambayo Yonathani na mbeba silaha wake waliyafanya katika ngome ya Wafilisti?

Yonathani na mbeba silaha wake waliwaua watuwapatao ishirini.

1 Samuel 14:16-17

Sauli alifanya nini wakati walinzi wake wa Gibea ya Benyamini walipoona kundi la askari wa Wafilisti wakitawanyika huku na kule?

Sauli aliwahesabu watu ili ajue nani hayupo na wakagundua kuwa Yonathani na mbeba silaha wake hawapo.

Sauli alifanya nini wakati walinzi wake wa Gibea ya Benyamini walipoona kundi la askari wa Wafilisti wakitawanyika huku na kule?

Sauli aliwahesabu watu ili ajue nani hayupo na wakagundua kuwa Yonathani na mbeba silaha wake hawapo.

1 Samuel 14:18-19

Kwa nini Sauli alimuamuru kuhani Ahiya apeleke naivera ya Mungu kwake?

Sauli alimuamuru kuhani Ahiya apeleke naivera ya Mungu ili wajue mapenzi ya Mungu.

Kwa nini Sauli alimuamuru kuhani Ahiya apeleke naivera ya Mungu kwake?

Sauli alimuamuru kuhani Ahiya apeleke naivera ya Mungu ili wajue mapenzi ya Mungu.

1 Samuel 14:20-21

Nani aliungana na Waisraeli waliokuwa na Sauli na Yonathani?

Waebrania ambao mwanzo walikuwa na Wafilisti na ambao walikwenda nao katika kambi na kuungana na Wasiraeli waliokuwa na Sauli na Yonathani.

1 Samuel 14:22-23

Nani aliwaokoa Waisraeli siku hiyo?

Bwana aliwaokoa Waisraeli siku hiyo.

1 Samuel 14:24-26

Nini kilisababisha watu wenye njaa wa Israeli kuwa katika dhiki?

Sauli aliwaweka watu chini ya kiapo kuwa mtu yeyote atakayekula chakula mpaka jioni atalaaniwa.

1 Samuel 14:27-28

Yonathani alifanya nini pasipo kujua na akavinja kiapo?

Yonathani alikula asali toka msituni.

1 Samuel 14:29-32

Ni kwa namna gani kiapo cha baba yake na Yonathani kilikuwa cha hatari?

Yonathani alisema kuwa ikiwa watu wangekuwa huru kula asali kutoka katika nyara za adui zao kungekuwa na mauaji makubwa kati ya Wafilisti.

Ni kwa namna gani kiapo cha baba yake na Yonathani kilikuwa cha hatari?

Yonathani alisema kuwa ikiwa watu wangekuwa huru kula asali kutoka katika nyara za adui zao kungekuwa na mauaji makubwa kati ya Wafilisti.

1 Samuel 14:33-35

Ni kwa namna gani wana wa Israeli walitenda dhambi dhidi ya Bwana baada ya vita yao na Wafilisti?

Wana wa Israeli walikula damu ya wanayama waliowaua toka kwenye nyara.

Ni kwa namna gani wana wa Israeli walitenda dhambi dhidi ya Bwana baada ya vita yao na Wafilisti?

Wana wa Israeli walikula damu ya wanayama waliowaua toka kwenye nyara.

1 Samuel 14:36-37

Nini kilimsababisha Sauli asiwafukuze Wafilisti japokuwa alitamani kufanya hivyo?

Hakupokea jibu lolote toka kwa Mungu siku hiyo.

1 Samuel 14:38-39

Sauli alisema atashughulikia vipi dhambi hii katika Israeli?

Alisema kuwa mtu aliyefanya dhambi hii hakika atakufa hatakama ni mtoto wake Yonathani.

1 Samuel 14:40-44

Ni kwa namna gani iligundulika kuwa Yonathani alitenda dhambi?

Aligundulika kwa kura.

1 Samuel 14:45-46

Ni kwa namna gani Yonathani aliokoka na kifo?

Watu wa Israeli hawakuruhusu Yonathani afe kwa sababu alifanikisha ushindi mkubwa.

1 Samuel 14:47-52

Ni kwa namna gani Sauli aliwaongoza wana wa Israeli kama mfalme wao?

Sauli alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwaokoa Waisraeli toka kwenye mikono ya waliowateka nyara.

Ni kwa namna gani Sauli aliwaongoza wana wa Israeli kama mfalme wao?

Sauli alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwaokoa Waisraeli toka kwenye mikono ya waliowateka nyara.

1 Samuel 15

1 Samuel 15:1-5

Kwa nini Bwana alimtaka Sauli amshambulie na kumuangamiza kabisa Amaleki?

Amaleki aliipinga Israeli walipokuwa njiani toka Misri.

Kwa nini Bwana alimtaka Sauli amshambulie na kumuangamiza kabisa Amaleki?

Amaleki aliipinga Israeli walipokuwa njiani toka Misri.

1 Samuel 15:6-7

Kwa nini Sauli aliwaambia Wakeni wajitenge na Waameleki?

Wakeni walionesha wema kwa wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri.

Kwa nini Sauli aliwaambia Wakeni wajitenge na Waameleki?

Wakeni walionesha wema kwa wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri.

1 Samuel 15:8-9

Kwa namna gani Sauli hakutii maelekezo aliyopewa na Bwana?

Sauli hakumuua mfalme Agagi pamoja na wanyama wazuri wa Waamaleki.

Kwa namna gani Sauli hakutii maelekezo aliyopewa na Bwana?

Sauli hakumuua mfalme Agagi pamoja na wanyama wazuri wa Waamaleki.

1 Samuel 15:10-11

Kwa nini Bwana alihuzunika kwamba amemfanya Sauli kuwa mfalme?

Sauli amegeuka na kuacha kufuata amri za Bwana.

Kwa nini Bwana alihuzunika kwamba amemfanya Sauli kuwa mfalme?

Sauli amegeuka na kuacha kufuata amri za Bwana.

1 Samuel 15:12-13

Ni uongo gani ambao Sauli alimwambia Samweli?

Alimwambia kuwa alitekeleza amri ya Bwana.

Ni uongo gani ambao Sauli alimwambia Samweli?

Alimwambia kuwa alitekeleza amri ya Bwana.

1 Samuel 15:14-16

Samweli alijibu vipi kutokana na uongo ambao aliambiwa na Sauli?

Samweli alimuuliza kuhusu kilio cha kondoo na milio ya ng'ombe anaowasikia.

Ni sababu gani ambayo Sauli alimpa Samweli katika kujaribu kuelezea kutotii kwake?

Alisema kuwa watu waliwaacha kondoo wazuri na ng'ombe ili wawatoe sadaka kwa Bwana.

1 Samuel 15:17-19

Sauli alisema nini ili kumkemea Sauli?

Alimwambia Sauli kuwa Bwana alimchagua mfalme juu ya Israeli na akamwambia awaangamize kabisa Waamaleki lakini badala yake alishikilia nyara na kufanya uovu machoni pa Bwana.

Sauli alisema nini ili kumkemea Sauli?

Alimwambia Sauli kuwa Bwana alimchagua mfalme juu ya Israeli na akamwambia awaangamize kabisa Waamaleki lakini badala yake alishikilia nyara na kufanya uovu machoni pa Bwana.

1 Samuel 15:20-21

Ni sababu ipi ambayo Sauli alimpa Samweli?

Sauli alisisitiza kuwa ni watu ndio waliochukua nyara ili wavitoe dhabihu kwa Bwana.

Ni sababu ipi ambayo Sauli alimpa Samweli?

Sauli alisisitiza kuwa ni watu ndio waliochukua nyara ili wavitoe dhabihu kwa Bwana.

1 Samuel 15:22-23

Nini lilikuwa jibu la Samweli kwa Sauli?

Kumtii Mungu ni bora kuliko dhabihu na uasi na ukaidi ni dhambi kwa Bwana.

Nini lilikuwa jibu la Samweli kwa Sauli?

Kumtii Mungu ni bora kuliko dhabihu na uasi na ukaidi ni dhambi kwa Bwana.

1 Samuel 15:24-25

Ni sababu ipi iliyomfanya Sauli amwambie Samweli kuwa ametenda dhambi?

Sauli alisema kuwa amevunja amri za Bwana kwa sababu aliwaogopa watu.

1 Samuel 15:26-27

Ni tamko gani ambalo Samweli alimpa Sauli toka kwa bwana?

Bwana alimkataa Sauli kuwa mfalme wa Israeli.

1 Samuel 15:28-31

Bwana atakwenda kumpa nani ufalme wa Israeli?

Samweli alimwambia Sauli kuwa Bwana atakwenda kumpa ufalme wa Israeli moja wa majirani wa Sauli ambaye ni bora kuliko Sauli.

1 Samuel 15:32-35

Samweli alifanya nini ili kukamilisha kazi ambayo Sauli hakuifanya?

Samweli alitumia upanga kumuua Agagi mbele ya Bwana.

Samweli alifanya nini ili kukamilisha kazi ambayo Sauli hakuifanya?

Samweli alitumia upanga kumuua Agagi mbele ya Bwana.

1 Samuel 16

1 Samuel 16:1

Bwana alimwambia Samweli kuwa amemkataa Sauli asiwe nani?

Bwana alimkataa Sauli asiwe mfalme juu ya Israeli.

1 Samuel 16:2-3

Samweli aliogopa kitu gani ikiwa Sauli atasikia kuwa anasafiri kwenda Bethlehemu?

Aliogopa kuwa Sauli atamuua.

Bwana alimwambia kuwa Samweli atamfahamu vipi mtu wa kumtia mafuta?

Alimwambia Samweli kuwa atampaka mafuta mtu ambaye Bwana atamwambia.

1 Samuel 16:4-5

Wazee walifanya nini Sauli alipoingia Bethlehemu?

Walikuwa wakitetemeka walipoenda kuonana naye.

1 Samuel 16:6-7

Samweli alijiambia nini yeye mwenyewe alipomwangalia Eliabu?

Alijiambia kuwa mtiwa mafuta wa Bwana hakika amesimama mbele yake.

Ni kwa namna gani Bwana alimuelezea Samweli kuwa haangalii kama mwanadamu anavyoangalia?

Bwana alisema kuwa mwanadamu anaangalia sura ya nje lakini Mungu anaangalia Moyo.

1 Samuel 16:8-10

Samweli alimwambia nini Yese baada ya kufanya watoto saba kupita mbele yake.

Samweli alimwambia kuwa Bwana hakumchagua hata mmoja.

1 Samuel 16:11-12

Mtoto mdogo alikuwa wapi kabla Samweli hajatuma wamuite?

Mtoto wa mwisho alikuwa akichunga kondoo.

1 Samuel 16:13

Ni lini roho wa Bwana alimwijia Daudi.

Roho wa Bwana alimwijia Daudi tangu siku hiyo na kuendelea.

1 Samuel 16:14-16

Ni roho gani ilimsumbua Sauli badala ya roho ya Bwana?

Roho ya ubaya toka kwa Bwana ilimsumbua.

Mtumishi wa Sauli alisema kuwa mpigani mzuri wa kinubi atafanya nini wakati ambao roho ya ubaya ipo kwa Sauli?

Mpigaji wa kinubi atakipiga na Sauli atajisikia vizuri.

1 Samuel 16:17-19

Sauli alisema ni mtoto yupo wa Yese alitaka wamwitie?

Alimtuma mjumbe wake kwa Yese amwite mtoto wake Daudi aliyekuwa na kondoo.

1 Samuel 16:20-21

Ni kazi gani ambayo Sauli alimpa Daudi maana alimpenda sana?

Sauli alimfanya Daudi kuwa mbeba silaha wake.

1 Samuel 16:22-23

Ni kitu gani kiliondoka kwa Sauli ili aburudishwe wakati ambao Daudi alipiga kinubi?

Roho wa ubaya aliondoka kwa Sauli.

1 Samuel 17

1 Samuel 17:2-3

Kwa nini Sauli na wana wa Israeli waliweka kambi katika bonde la Ela?

Waliweka kambi katika bonde la Ela ili kupanga vita kukutana na Wafilisti.

1 Samuel 17:4-5

Nini kilikuwa juu ya kichwa cha Goliati?

Alikuwa na chepeo ya shaba kichwani mwake.

1 Samuel 17:6-7

Goliati alibeba nini katikati ya mabega yake?

Alikuwa na mkuki wa shaba katikati ya mabega yake.

1 Samuel 17:8-9

Goliati alisema kuwa Israeli ni watumishi wa nani?

Goliati alisema kuwa Israeli ni watumishi wa Sauli.

Goliati alisema nini kitatokea kwa Israeli ikiwa mtu wao atamuua?

Alisema kuwa Wafilisti watawatumikia.

1 Samuel 17:10-11

Sauli na Waisraeli wote waliposikia maneno ya Wafilisti walijisikiaje?

Walikata tamaa na wakaogopa sana.

1 Samuel 17:12-13

Ni mtoto yupi wa Yese alimfuata Sauli vitani?

Watoto watatu wakubwa wa Yese walimfuata Sauli vitani.

1 Samuel 17:14-18

Ni kwa muda wa siku ngapi Mfilisti mwenye nguvu alikuwa akijitokeza vitani?

Kwa muda wa siku arobaini alijitokeza asubuhi na jioni kwa ajili ya vita.

1 Samuel 17:19-21

Jeshi lilikuwa likifanya nini wakati Daudi anafika kambini?

Jeshi lilikuwalikienda kwenye uwanja wa vita wakipiga kelele za vita.

1 Samuel 17:22-24

Dausi alipokuwa akiongea na ndugu zake nani alikuja toka kwenye majeshi ya Wafilisti?

Mtu mwenye nguvu Goliati alikuja toka kwenye jeshi la Wafilisti.

1 Samuel 17:25

Mfalme angefanya nini kwa nyumba ya baba yake mtu atakayemuua Goliati?

Mfalme atampa mtu huyo utajiri na kuifanya nyumba ya baba yake kutolipa kodi katika Israeli.

1 Samuel 17:26-27

Daudi alisema kuwa mtu atakayemuua Mfilisti ni kitu gani atakiondoa kwa Israeli?

Mtu atakayemuua Mfilisti atakuwa ameondoa fedheha kwa Israeli.

1 Samuel 17:28-30

Ni utundu gani ambao Eliabu alisema ulikuwa moyoni mwa Daudi?

Alisema kuwa anakijua kiburi cha Daudi na ameenda huko ili aweze kuona mapigano.

1 Samuel 17:31-33

Saudi alimwambia Sauli kuwa atafanya nini ili asiwepo mtu atakayezimia moyo kwa sababu ya Mfilisti?

Daudi alimwambia Saduli kuwa atakwenda na kupigana na Mfilisti.

1 Samuel 17:34-35

Daudi alimfanya nini simba au dubu aliyesimama dhidi yake?

Alimkamata ndevu zake, akampiga na kumuua.

1 Samuel 17:36-38

Kwa nini Daudi alisema kuwa huyu Mfilisti asiyetahiriwa ni kama simba au dubu aliyowahi kuwaua mwanzo?

Mfilisti aliyadharau majeshi ya Mung aliye hai.

1 Samuel 17:39-40

Kwa nini Daudi alishindwa hakuweza kutembea akiwa na mavazi ya kivita?

Kwa sababu hakupata mafunzo ya vitu hivyo.

1 Samuel 17:41-43

Kwa nini Mfilisti alimdharau Daudi alipomwona?

Daudi alikuwa kijana tuu, mwekundu na mwenye umbo la kupendeza.

1 Samuel 17:44-45

Mfilisti alipokuja na upanga, mkuki na mkuki mdogo Daudi alimwambia namjia kwa nini?

Daudi alimwambia kuwa anamjia kwa jina la Bwana wa Majeshi, Mungu wa Majeshi ya Israeli, ambaye Mfilisti alimdharau.

1 Samuel 17:46-47

Daudi alisema kuwa dunia itajua nini kwa sababu mizoga ya Wafilisti watapewa ndege na wanyama wa mwituni?

Dunia nzima itajua kuwa kuna Mungu katika Israeli.

1 Samuel 17:48-49

Daudi alifanya nini wakati ambao Goliati alimsogelea.

Daudi alikimbia kwa haraka kuelekea jeshi la adui ili akutane naye.

1 Samuel 17:50-51

Wafilisti walifanya nini walipoona mtu wao mwenye nguvu amekufa?

Wafilisti walikimbia.

1 Samuel 17:52-56

Wana wa Israeli walifanya nini walipotoka kuwakimbiza Wafilisti?

Waliteka nyara kambi ya Wafilisti.

1 Samuel 17:57-58

Daudi alikuwa na nini mkononi mwake wakati ambao Abneri anampeleke mbele ya Sauli?

Alikuwa na kichwa cha Mfilisti mkononi mwake.

1 Samuel 18

1 Samuel 18:1-2

Ni kwa kiasi gani roho ya Yonathani ilishikana na roho ya Daudi?

Yonathani alimpenda Daudi kwa roho yake mwenyewe.

1 Samuel 18:3-4

Yonathani alitoa nini na kumpa Daudi pamoja na silaha zake?

Yonathani alitoa kanzu aliyokuwa amevaa akampa Daudi.

1 Samuel 18:5-7

Sauli alimteua Daudi awe juu ya nani?

Alimteua Daudi awe juu ya wapiganaji.

1 Samuel 18:8-9

Ni wimbo gani ambao waimbaji walimsifia Daudi ukamkasirisha Sauli?

Walimsifia Daudi juu ya makumi elfu lakini wakamsifia Sauli juu ya maelfu tuu.

1 Samuel 18:10-12

Daudi alifikiri nini aliporusha mkuki kwa Daudi?

Sauli alifikiri kuwa atampigilia ukutani.

1 Samuel 18:13-16

Kwa nini Daudi alifanikiwa katika njia zake?

Daudi alifanikiwa kwa kuwa Bwana alikuwa pamoja naye.

1 Samuel 18:17-19

Kwa nini Sauli alifikiri kuwa mkono wake usije kuwa juu ya Daudi.

Sauli alifikiri kuwa mkono wa Wafilisti uwe juu ya Daudi.

1 Samuel 18:20-21

Sauli alifikiri kuwa binti yake Mikali atakuwa nini kwa Daudi ikiwa Sauli atampatia Daudi binti yake?

Sauli alifikiri kuwa utakuwa mtego kwa Daudi.

1 Samuel 18:22

Ni mahali gani ambapi Sauli aliwaamuri watumishi wake wazungumze na Daudi juu ya yeye kuwa mkwe wa mfalme?

Aliwaamuru watumishi wake wazungumze na Daudi faragha.

1 Samuel 18:23-24

Kwa nini Daudi alifikiri kuwa hastahili kuwa mkwe wa mfalme?

Kwa sababu alikuwa mtu masikini na heshima yake ilikuwa ndogo.

1 Samuel 18:25-26

Ni mahari gani ambayo mfalme aliitaka kwa Daudi?

Mfalme alitaka govi mia moja za Wafilisti.

1 Samuel 18:27-29

Daudi na watu wake walifanya nini kilichozidisha mahari aliyoitaka mfalme?

Waliwaua wafilisti mia mbili na kupeleka govi zao.

1 Samuel 18:30

Ni kwa namna gani Daudi alifanikiwa na jina lake likapata heshima sana?

Daudi alifanikiwa zaidi ya watumishi wote wa Sauli.

1 Samuel 19

1 Samuel 19:1-3

Kwa nini Yonathani alimwambia Daudi awe macho muda wote na ajifiche mwenyewe?

Sauli alitaka kumuua.

1 Samuel 19:4-5

Yonathani alimwambia Sauli kuwa matendo ya Daudi yamemletea nini yeye?

Yonathani alimwambia Sauli kuwa matendo ya Daudi yalimletea Sauli mema.

1 Samuel 19:6-7

Sauli aliapa nini baada ya kumsikiliza Yonathani?

Aliapa kuwa hatamuua Daudi.

1 Samuel 19:8-9

Nini kilitokea Daudi alipokwenda kupigana na Wafilisti?

Daudi aliwashinda Wafilisti kwa mauaji makubwa.

1 Samuel 19:10-11

Kwa nini Sauli alituma wajumbe nyumbani kwa Daudi kumwangalia?

Sauli alitaka kumuua asubuhi.

1 Samuel 19:12-13

Mikala alimsaidiaje Daudi kukimbia na kutoroka?

Mikala alimuacha Daudi ateremke kwa kupitia dirishani.

1 Samuel 19:14-15

Sauli alipanga kufanya nini alipoamuru Daudi apelekwe kwake akiwa kitandani?

Sauli alipanga kumuua.

1 Samuel 19:16-17

Mikala alikitumia kufanya nini kinyago pale kitandani ili kionekane kama Daudi?

Aliweka mto wa singa za mbuzi kichwani mwa kinyago.

1 Samuel 19:18-20

Daudi alipoondoka na kukimbia alikwenda kumuona nani huko Rama?

Daudi alikwenda kwa Sauli?

Nini kilitokea kwa wajumbe wa Sauli ambao aliwasababisha watabiri?

Roho wa Bwana alikuja juu yao.

1 Samuel 19:21-22

Baada ya kutuma wajumbe mara ya tatu Sauli alifanya nini?

Sauli alikwenda Rama.

Baada ya kutuma wajumbe mara ya tatu Sauli alifanya nini?

Sauli alikwenda Rama.

1 Samuel 19:23-24

Ni kwa muda gani Sauli alilala uchi mbele ya Sauli?

Alilala uchi mchana kutwa na usiku kucha.

1 Samuel 20

1 Samuel 20:1-2

Yonathani alisema kuwa baba yake hawezi kufanya nini bila kumwambia?

Alisema kuwa baba yake haweze kufanya jambo lolote liwe kubwa au dogo bila kumwambia.

1 Samuel 20:3

Ni kwa kiasi gani Daudi anasema alikuwa karibu na kufa?

Alisema kuwa kuna hatua moja kati yake na mauti.

1 Samuel 20:4-5

Daudi aliomba kufanya nini mpaka siku ya tatu jioni?

Daudi aliomba kujificha katika shamba mpaka siku ya tatu jioni.

1 Samuel 20:6-7

Ni sababu zipi Daudi alimwambia Yonathani amle Sauli ikiwa Sauli atamkosa?

Alimwambia amwambie Sauli kuwa amekwenda Bethlehemu kwa sababu ni kipindi cha utoaji dhabihu ya mwaka kwa familia yao yote.

1 Samuel 20:8-9

Kwa nini Daudi alimuomba Yonathani amtendee mema kama mtumishi wake?

Yonathani alimuweka Daudi mtumishi wake katika agano la Bwana pamoja naye.

1 Samuel 20:10-11

Ni sehemu gani ambayo Yonathani aliwambia waende ili kuendeleza mazungumzo yao?

Alimwambia Daudi aende naye mpaka shambani.

1 Samuel 20:12-16

Kwa nini Yonathani alitaka Daudi ajue mipango ya baba yake na kumpeleka mbali?

Yonathani aliahidi kumjulisha Daudi ili Daudi aende kwa amani.

1 Samuel 20:17-19

Kwa nini Yonathani alimfanya Daudi aape juu yake tena?

Alimfanya Daudi aape juu yake tena kwa sababu ya upendo aliokuwa nao kwake.

1 Samuel 20:20-23

Yonathani alisema atamtuma nani kutafuta mishale aliyoirusha?

Alisema kuwa atamtuma kijana kutafuta mishale.

1 Samuel 20:24-25

Mwenzi mpya utakapoandama mfalme ataketi chini kufanya nini?

Mfalme ataketi chini kula chakula.

1 Samuel 20:26-27

Sauli alifikiri kuwa nini kitamsababisha Daudi asihudhurie kwenye chakula?

Sauli alifikiri kuwa Daudi hayuko safi.

1 Samuel 20:28-29

Kwa nini Yonathani alisema kuwa Daudi anapaswa kuhudhuria dhabihu ya familia?

Alisema kuwa kaka yake daudi aliamuru awe pale.

1 Samuel 20:30-31

Ni kwa namna gani Sauli alimuelezea mama yake na Yonathani akiwa amewakwa na hasira?

Alimuita mwana wa mwanamke mkaidi na muasi.

1 Samuel 20:32-34

Kwa nini Daudi aliomboleza juu ya Daudi?

Aliomboleza juu ya Daudi kwa sababu baba yake amemwaibisha.

1 Samuel 20:35-40

Yonathani alirusha wapi mshale wakati yule kijana anakimbia?

Yonathani alitupa mshale mbele ya yule kijana.

1 Samuel 20:41-42

Yonathani alifanya nini Daudi aliposimama na kuondoka?

Yonathani alirudi mjini.

1 Samuel 21

1 Samuel 21:1-2

Daudi alisema Mfalme amwemwambia kuhusu nini ambacho hakutakiwa kumwambia mtu?

Alisema kuwa mfalme alimwambia kuwa asimwambie mtu yeyote kuhusu shughuli aliyomtuma na kitu alichomuamuru.

1 Samuel 21:3-4

Kuhani alimjibu nini Daudi juu ya mkate uliokuwa mkononi?

Kuhani alimwambia kuwa hakukuwa na mkate wa kawaida bali kulikuwa na mkate mtakatifu.

1 Samuel 21:5-6

Mkate wa wonyesho uliondolewa kutoka kwenye nini?

Mkate wa wonyesho uliondolewa kutoka kwa Bwana.

1 Samuel 21:7

Ni kazi gani ambayo Doegi Mwedomu alimfanyia Sauli?

Doegi Mwedomu alikuwa mkuu wa wachungaji wa Sauli.

1 Samuel 21:8-9

Kwa nini Daudi alisema kuwa hakubeba silaha?

Alisema kuwa hakubeba silaha kwa sababu shughuli ya mfalme ilikuwa maalumu.

1 Samuel 21:10-11

Daudi alikimbia toka kwa nani alipokwenda Akishi?

Alikimbia toka kwa Sauli siku ile.

1 Samuel 21:12-13

Daudi alijifanya kuwa nini alipobadili mwenendo wake mbele ya Akishi?

Alijifanya kuwa mwenda wazimu mikononi mwao.

1 Samuel 21:14-15

Akishi alimuuliza nini mtumishi wake alipoona Daudi ni mwendawazimu?

Alimuuliza kwa nini wamempelekea mtu mwendawazime.

1 Samuel 22

1 Samuel 22:1-2

Ni akina nani tofauti na nyumba ya baba yake Daudi waliokusanyika kwake katika pango la Adulamu?

Kila mtu aliyekuwa na mahangaiko kila mmoja aliyekuwa na deni, na kila mmoja ambaye hakuwa na furaha moyoni, walikusanyika kwake.

1 Samuel 22:3-5

Ni kwa muda gani baba na mama yake Daudi walikaa na mfalme wa Moabu?

Walikaa muda wote ambao Daudi alikuwa kwenye ngome yake.

1 Samuel 22:6

Kina nani walipatikana pamoja na Daudi?

Watu waliokuwa na Daudi walipatikana pia.

1 Samuel 22:7-8

Sauli aliwashtaki watumishi wake kwa kutomwambia nini?

Sauli alisema kuwa hakuna tumishi hata mmoja aliyemwambia kuwa mtoto wake anamchochea mtumishi wake Daudi.

1 Samuel 22:9-10

Doegi Mwedomu alimwambia Sauli kuwa ni vitu gani viwili Ahimeleki alimpa Daudi?

Ahimeleki alimpa Daudi mahitaji na upanga wa Goliathi, Mfilisti.

1 Samuel 22:11-15

Sauli alisema kuwa Ahimeleki alimpa nini mwana wa Yese tofauti na mkate na upanga?

Sauli alisema kuwa Ahimeleki alimuombea kwa Mungu ili amsaidie.

1 Samuel 22:16-17

Ni kitu gani ambacho watumishi wa Daudi hawakutaka kuweka mikono yao juu yake?

Hawakutaka kumuua kuhani wa Bwana.

1 Samuel 22:18-19

Doegi aliwaua akina nani kwa ncha ya upanga kwenye mji wa makuhani?

Aliwaua wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, ng'ombe na punda na kondoo.

1 Samuel 22:20-21

Abiathari alilwenda wapi alipokimbia mapigano?

Abiathari alikimbia kwa Daudi.

1 Samuel 22:22-23

Daudi alimwambia Abiathari kuwa anahusika na nini?

Daudi alimwambia kuwa anahusika na vifo vyote katika nyumba ya baba yake.

1 Samuel 23

1 Samuel 23:1-2

Daudi aliomba msaada kwa nani wakati Wafilisti wanapigana dhidi ya Keila na wanapora nafaka inayopurwa?

Daudi alimuomba Bwana msaada.

Daudi aliomba msaada kwa nani wakati Wafilisti wanapigana dhidi ya Keila na wanapora nafaka inayopurwa?

Daudi alimuomba Bwana msaada.

1 Samuel 23:3-4

Kwa nini Daudi alimuomba Bwana dhidi ya Wafilisti?

Watu wa Daudi walimwambia kuwa walikuwa wanaogopa huko Yuda na waliogopa kuwavamia Wafilisti.

Kwa nini Daudi alimuomba Bwana dhidi ya Wafilisti?

Watu wa Daudi walimwambia kuwa walikuwa wanaogopa huko Yuda na waliogopa kuwavamia Wafilisti.

1 Samuel 23:5-6

Nini yalikuwa matokeo baada ya Daudi na watu wake kupigana na Wafilisti kama Bwana alivyomwambia?

Bwana alimpa ushindi juu ya Wafilisti hivyo Daudi akawaokoa wenyeji wa Kelia.

1 Samuel 23:7-9

Kwa nini Sauli alifikiri kuwa atamvamia Daudi na watu wake?

Daudi na watu wake walifungiwa ndani ya mji wenye malango na makomeo.

Kwa nini Sauli alifikiri kuwa atamvamia Daudi na watu wake?

Daudi na watu wake walifungiwa ndani ya mji wenye malango na makomeo.

Baada ya Daudi kujua kuwa Sauli alipanga mabaya juu yake, Daudi alimwambia nini kuhani Abiatheri?

Daudi alimwambia kuhani Abiatheri , "leta hapa naivera."

1 Samuel 23:10-11

Daudi alimuuliza nini Bwana kuhusu Sauli na watu wa Keila.

Daudi alitaka kujua kama Sauli atakuja Keila na kama watu wa Keila watajisalimisha kwenye mikono ya Sauli.

Daudi alimuuliza nini Bwana kuhusu Sauli na watu wa Keila.

Daudi alitaka kujua kama Sauli atakuja Keila na kama watu wa Keila watajisalimisha kwenye mikono ya Sauli.

1 Samuel 23:12

Nini lilikuwa jibu la Bwana kuhusu watu wa Keila?

Bwana alimwambia Daudi kuwa watu wa Keila watajisalimisha kwenye mikono ya Sauli.

1 Samuel 23:13-14

Kwa nini Sauli aliacha kumfukuza Daudi huko Keila na kumtafuta sehemu nyingine?

Sauli aliambiwa kuwa Daudi alitoroka huko Keila.

Kwa nini Sauli aliacha kumfukuza Daudi huko Keila na kumtafuta sehemu nyingine?

Sauli aliambiwa kuwa Daudi alitoroka huko Keila.

1 Samuel 23:15-16

Ni kwa namna gani Yonathani mwana wa Sauli alimsaidia Daudi jangwani?

Alikwenda kwa Daudi na kuitia nguvu mikono yake kwa Bwana.

1 Samuel 23:17-23

Kabla Yonathani hajaenda nyumbani yeye na Daudi walifanya nini huko Horeshi?

Walifanya agano mbele ya Bwana.

1 Samuel 23:24-25

Kwa nini Daudi hakuwa salama huko Horeshi na alifanya nini?

Angekwenda kusalitiwa na watu na wangempeleka kwa Sauli hivyo yeye na watu wake wakaenda jangwani.

1 Samuel 23:26-27

Nini kilitokea Sauli na watu wake walipomzunguka Daudi na watu wake?

Mjumbe alikuja kwa Sauli na kumwambia kuwa Wafilisti wamepanga uvamizi juu ya nchi.

Nini kilitokea Sauli na watu wake walipomzunguka Daudi na watu wake?

Mjumbe alikuja kwa Sauli na kumwambia kuwa Wafilisti wamepanga uvamizi juu ya nchi.

1 Samuel 23:28-29

Sauli alifanya nini baada ya habari hizi?

Sauli alirudi na kupigana na Wafilisti.

1 Samuel 24

1 Samuel 24:1-2

Sauli alifanya nini aliposikia kuwa Daudi yupo kwenye jangwa la Engedi?

Alichukua watu elfu tatu waliochaguliwa na kwenda kumtafuta Daudi na watu wake.

Sauli alifanya nini aliposikia kuwa Daudi yupo kwenye jangwa la Engedi?

Alichukua watu elfu tatu waliochaguliwa na kwenda kumtafuta Daudi na watu wake.

1 Samuel 24:3-4

Daudi alimfanyia nini Sauli pangoni badala ya kumuua?

Alikata pindo la kanzu ya Sauli bila kugundulika.

1 Samuel 24:5-7

Kwa nini Daudi hakuwaruhusu watu wake wamvamie Sauli na wakaondoka kwenye pango kwa usalama?

Moyo wa Daudi ulimchoma na alihisi kuwa Bwana hakutaka yeye amdhuru mpakwa mafuta wa Bwana.

Kwa nini Daudi hakuwaruhusu watu wake wamvamie Sauli na wakaondoka kwenye pango kwa usalama?

Moyo wa Daudi ulimchoma na alihisi kuwa Bwana hakutaka yeye amdhuru mpakwa mafuta wa Bwana.

1 Samuel 24:8-9

Daudi alipoondoka pangoni baada ya Sauli alifanya nini kuonesha heshima kwa Sauli?

Alimwita Sauli bwana wake na kisha akasujudu mpaka chini.

1 Samuel 24:10-15

Ni kwa namna gani Daudi alimuonesha Sauli kuwa hakutaka kumdhuru?

Daudi alimuonesha pindo la vazi lake ambalo Daudi alilikata.

Ni kwa namna gani Daudi alimuonesha Sauli kuwa hakutaka kumdhuru?

Daudi alimuonesha pindo la vazi lake ambalo Daudi alilikata.

1 Samuel 24:16

Nini lilikuwa jibu la Sauli kwa Daudi?

Alimuita Daudi mtoto wake kisha Sauli alinyanyua sauti yake akalia.

1 Samuel 24:17-18

Kwa nini Sauli alisema kuwa Daudi alikuwa na haki zaidi kuliko yeye?

Daudi alimlipa Sauli mema japokuwa Sauli alimfanyia Daudi mabaya.

Kwa nini Sauli alisema kuwa Daudi alikuwa na haki zaidi kuliko yeye?

Daudi alimlipa Sauli mema japokuwa Sauli alimfanyia Daudi mabaya.

1 Samuel 24:19-20

Sauli alitambua nini kuhusu Daudi?

Sauli alijua kuwa Daudi atakuwa mfalme na ufalme wa Israeli utaimarishwa na Daudi.

1 Samuel 24:21-22

Kabla Sauli hajaenda nyumbani ni kiapo gani Daudi alikifanya mbele yake?

Daudi alimuahidi hataharibu uzao wa Sauli na hataharibu jina la Sauli katika nyumba ya baba yake.

Kabla Sauli hajaenda nyumbani ni kiapo gani Daudi alikifanya mbele yake?

Daudi alimuahidi hataharibu uzao wa Sauli na hataharibu jina la Sauli katika nyumba ya baba yake.

1 Samuel 25

1 Samuel 25:2-3

Nabali alikuwa mtu wa aina gani?

Alikuwa mkaidi na muovu.

Mke wa Nabali, Abigaili alikuwa mtu wa aina gani?

Alikuwa mwenye busara na mzuri wa sura.

1 Samuel 25:4-6

Daudi aliwatuma akina nani wakamsalimie Nabali alipokuwa akikata mayoya kondoo wake?

Daudi aliwatuma vijana ku i kumsalimia Nabali.

1 Samuel 25:7-8

Ni kwa nini Daudi alifikiri kuwa Nabali atamsaidia yeye na vijana wake kumi?

Kundi la Daudi liliwalinda wachungaji wa Nabali walipokuwa pamoja na kundi la Daudi.

Vijana wa Daudi walimuomba Nabali awape nini?

Walimuomba Nabali awape wao na Daudi chochote alichokuwa nacho mkononi siku ya sikukuu.

1 Samuel 25:9-11

Nabali aliwajibu nini vijana wa Daudi?

Nabali aliwaambia kuwa hamfahamu Daudi na alichonacho ni kwa ajili ya wakata manyoya wake.

Nabali aliwajibu nini vijana wa Daudi?

Nabali aliwaambia kuwa hamfahamu Daudi na alichonacho ni kwa ajili ya wakata manyoya wake.

1 Samuel 25:12-13

Daudi aliwaambia watu wake wafanye nini aliposikia jibu la Nabali?

Daudi aliwaamuru watu wake kila mmoja afunge upanga wake.

1 Samuel 25:14-15

Kijana alimwambia Abigaili kuwa Daudi na watu wake waliwafanyia nini walipokuwa mbugani?

Alimwambia kuwa waliwatendea mema wachungaji ya Nabali walipokuwa nao mbugani.

Kijana alimwambia Abigaili kuwa Daudi na watu wake waliwafanyia nini walipokuwa mbugani?

Alimwambia kuwa waliwatendea mema wachungaji ya Nabali walipokuwa nao mbugani.

1 Samuel 25:16-17

Kwa nini kijana alikwenda kwa Abigaili badala ya kwenda kwa Nabali?

Nabali alikuwa mtu asiyefaa na hakuna mtu aliyeweza kushauriana naye.

1 Samuel 25:18-19

Abigaili alifanya nini baada ya kusikia jibu la mume wake?

Abigaili aliharakisha akachukua mahitaji na kumwambia kijana atangulie mbele yake lakini hakumwambia Nabali.

Abigaili alifanya nini baada ya kusikia jibu la mume wake?

Abigaili aliharakisha akachukua mahitaji na kumwambia kijana atangulie mbele yake lakini hakumwambia Nabali.

1 Samuel 25:20

Akina nani walimwendea Abigaili alipokuwa akiendesha punda wake na kupeleka mahitaji?

Daudi na watu wake walishika chini kwa Abigaili na wakakutana naye.

1 Samuel 25:21-22

Daudi alisema kuwa alipanga kufanya nini baada ya kulinda mali za Nabali zisipotee?

Daudi alipanga kumuua kila mtu aliyekuwa na Nabali.

Daudi alisema kuwa alipanga kufanya nini baada ya kulinda mali za Nabali zisipotee?

Daudi alipanga kumuua kila mtu aliyekuwa na Nabali.

1 Samuel 25:23-24

Abigaili alifanya nini alipokutana na Daudi?

Abigaili aliharakisha akashuka chini ya punda wake akainamisha kichwa chake mbela ya Daudi na akamuomba azungumze naye kama mtumishi wake.

Abigaili alifanya nini alipokutana na Daudi?

Abigaili aliharakisha akashuka chini ya punda wake akainamisha kichwa chake mbela ya Daudi na akamuomba azungumze naye kama mtumishi wake.

1 Samuel 25:25-26

Abigaili alitegemea kulinda nini baada ya kuongea na Daudi?

Alitegemea kuzuia kumwagika kwa damu ya waliokuwa na Nabali.

Abigaili alitegemea kulinda nini baada ya kuongea na Daudi?

Alitegemea kuzuia kumwagika kwa damu ya waliokuwa na Nabali.

1 Samuel 25:27-28

Abigaili alitegemea kupata nini baada ya kumpa Daudi na vijana wake mahitaji?

Abigaili alitegemea kuwa Daudi atasamehe dhambi za Nabali.

Abigaili alitegemea kupata nini baada ya kumpa Daudi na vijana wake mahitaji?

Abigaili alitegemea kuwa Daudi atasamehe dhambi za Nabali.

Abigaili alimwambia Daudi kuwa nani ataifanya nyumba yake kuwa imara na isiyo na uovu?

Abigaili alisema kuwa Bwana ataifanya nyumba ya Daudi kuwa imara.

1 Samuel 25:29-31

Nani atafunga katika furushi maisha ya adui za Daudi toka kwenye mfuko wa kombeo?

Bwana atamlinda Daudi japokuwa watu watainuka kuchukua maisha yake.

1 Samuel 25:32-33

Daudi alisema kuwa nani alimtuma Abigaili kukutana naye?

Daudi alisema kuwa Bwana alimtuma Abigaili.

Kwa nini Daudi alisema kuwa Abigaili na hekima yake ibarikiwe?

Kwa sababu ya tendo la haraka la Abigaili, Daudi alighairi kumwaga damu na kutojilipizia kisasi mwenyewe.

1 Samuel 25:34-35

Nani alimzuia Daudi asiwaue wanaume wote wa nyumba ya Nabali kwa kumtuma haraka Abigaili?

Bwana Mungu wa Israeli alimzuia Daudi asiwaue wanaume wa nyumba ya Nabali.

1 Samuel 25:36

Kwa nini Abigaili hakuwambia Nabali alipotoka kumuona Daudi?

Nabali alifanya sherehe na alikuwa amelewa sana.

1 Samuel 25:37-38

Nini kilitokea kwa Nabali asubuhi Abigaili alipoongea naye?

Moyo wake ulikufa akawa kama jiwe na siku kumi baadaye Bwana alimvamia Nabali akafa.

Nini kilitokea kwa Nabali asubuhi Abigaili alipoongea naye?

Moyo wake ulikufa akawa kama jiwe na siku kumi baadaye Bwana alimvamia Nabali akafa.

1 Samuel 25:39-40

Daudi alifanya nini aliposikia kuwa Nabali amekufa?

Alituma watumishi wake waende kumuomba Abigaili awe mke wa Daudi.

Daudi alifanya nini aliposikia kuwa Nabali amekufa?

Alituma watumishi wake waende kumuomba Abigaili awe mke wa Daudi.

1 Samuel 25:41-42

Abigaili alifanya nini aliposikia kuwa Daudi anataka kumuoa?

Abigaili aliinuka akapanda punda akawafuata wajumbe wa Daudi na akawa mke wake.

1 Samuel 25:43-44

Nini kilitokea kwa mke wa Daudi Mikala?

Sauli alimchukua akampa kwa mwanaume mwingine kama mke wake.

1 Samuel 26

1 Samuel 26:1-2

Sauli alikwenda na nani katika jangwa la Zifu kumtafuta Daudi?

Sauli aliwachukua watu elfu tatu wanIsraeli waliochaguliwa.

1 Samuel 26:3-4

Ni kwa namna gani Daudi alijua kuwa Sauli anamfuata huko jangwani?

Daudi alituma wapelelezi na akafahamu kuwa Sauli anamfuata.

1 Samuel 26:5

Daudi alikwenda wapi baada ya kufaha muwa Sauli anamfuata?

Daudi aliinuka na kwenda sehemu ambayo Sauli aliweka kambi.

1 Samuel 26:6-8

Ndugu yake Yoabu alitaka kufanya nini baada ya yeye na Daudi kuona kuwa sauli amelala ndani ya kambi?

Ndugu yake na Yoabu alitaka kumuu Sauli kwa mkuki wake.

Ndugu yake Yoabu alitaka kufanya nini baada ya yeye na Daudi kuona kuwa sauli amelala ndani ya kambi?

Ndugu yake na Yoabu alitaka kumuu Sauli kwa mkuki wake.

1 Samuel 26:9-10

Kwa nini Daudi hakutaka ndugu yake na Yoabu amuue Sauli?

Daudi alisema mtu yeyote asimnyooshee mkono mpakwa mafuta wa Bwana na asiwe na hatia.

Daudi alisema kuwa Sauli atakufa kwa namna gani?

Bwana atamuua Sauli au atakufa nwenyewe au atakufa vitani.

1 Samuel 26:11-12

Daudi alichukua nini toka kwa Sauli?

Daudi alichukua mkuki na jagi la maji lililokuwa karibu na kichwa cha Sauli.

Daudi alichukua nini toka kwa Sauli?

Daudi alichukua mkuki na jagi la maji lililokuwa karibu na kichwa cha Sauli.

1 Samuel 26:13-14

Daudi alikwenda wapi baada ya kuondoka kwenye kambi ya Sauli?

Alikwenda upande mwingine na akasimama juu ya mlima mbali sana.

1 Samuel 26:15-16

Kwa nini Daudi alisema kuwa Abineri mtu anayemlinda Sauli anastahili kufa?

Hakumlinda bwana wake Sauli wakati ambao mtu anaingia ili kumuua.

Kwa nini Daudi alisema kuwa Abineri mtu anayemlinda Sauli anastahili kufa?

Hakumlinda bwana wake Sauli wakati ambao mtu anaingia ili kumuua.

1 Samuel 26:17-18

Daudi alimuuliza Sauli swali gani?

Daudi alimuuliza Sauli kwa nini anamwandama Daudi na ni uovu gani ametenda.

Daudi alimuuliza Sauli swali gani?

Daudi alimuuliza Sauli kwa nini anamwandama Daudi na ni uovu gani ametenda.

1 Samuel 26:19-20

Daudi alitaka nini kitokee kwa watu wanaomchochea Sauli dhidi yake?

Daudi alitaka walaaniwe mbele za Bwana.

1 Samuel 26:21

Sauli alimwambia nini Daudi?

Sauli alimwambia Daudi kuwa ametenda dhambi na hatamdhuru tena.

1 Samuel 26:22-23

Daudi alimwambia nini Sauli juu ya mkuki wake?

Alimwambia Sauli kutuma moja wa vijana wake kuchuuchukua.

1 Samuel 26:24-25

Ni thamani gani ambayo Daudi aliionesha kuwa anayo juu ya maisha ya Sauli?

Maisha ya Sauli yalikuwa ya thamani machoni pa Daudi.

1 Samuel 27

1 Samuel 27:1

Kwa nini Daudi alifikiri luwa anatakiwa atoroke hadi nchi ya Wafilisti?

Daudi alifikiri kuwa ni njia pekee ya kumtoroka Sauli.

1 Samuel 27:2-4

Nini kilimfanya Sauli asiendelee kumtafuta Daudi?

Sauli alisikia kuwa Daudi na aliokuwa nao wamekimbilia Gathi.

1 Samuel 27:5-7

Ni kitu gani Daudi alikiomba na kukipata kwa Akishi Mfilisti?

Daudi aliomba mahali katika moja ya miji kwenye nchi ile na Akishi akampa Zilkagi.

Ni kitu gani Daudi alikiomba na kukipata kwa Akishi Mfilisti?

Daudi aliomba mahali katika moja ya miji kwenye nchi ile na Akishi akampa Zilkagi.

1 Samuel 27:8-9

Daudi na watu wake walifanya nini kwa wanaume, wanawake, wanyama na nguo toka kwenye nyara?

Waliwaua watu na kuchukua wanyama na nguo kisha wakarudi Akishi.

Daudi na watu wake walifanya nini kwa wanaume, wanawake, wanyama na nguo toka kwenye nyara?

Waliwaua watu na kuchukua wanyama na nguo kisha wakarudi Akishi.

1 Samuel 27:10

Daudi alimwambia Akishi kuwa alikuwa wapi baada ya kurudi toka kwenye mashambulizi?

Daudi alimwambia kuwa amefanya mashambulizi kusini mwa Yuda hivyo Akishi akafikiri kuwa aliivamia Israeli.

1 Samuel 27:11-12

Kwa nini Daudi hakumuacha mtu yeyote hai na kwenda naye Gathi?

Daudi alimuua kila mtu ili wasiweze kusema alichokifanya Daudi.

Kwa nini Akishi alifikiri kuwa Daudi aliwafanya watu wa Israeli wamchukie kabisa Daudi?

Akishi aliamini uongo wa Daudi kuwa aliwashambulia watu wa Israeli.

1 Samuel 28

1 Samuel 28:1-2

Akishi alitaka Daudi afanye nini Wafilisti walipokusanyika ili kupigana na Israeli?

Akishi alimtaka Daudi awe mlinzi wake binafsi Daima.

Akishi alitaka Daudi afanye nini Wafilisti walipokusanyika ili kupigana na Israeli?

Akishi alimtaka Daudi awe mlinzi wake binafsi Daima.

1 Samuel 28:3-4

Sauli aliwafukuza akina nani baada ya kifo cha Sauli?

Aliwafukuza wote waliiongea na wafu na pepo.

Nchi gani zilikusanyakika kupigana?

Wafilisti na Israeli walikusanyika.

1 Samuel 28:5-7

Kwa nini Sauli alimtafuta mwanamke ambaye alisema anaongea na wafu?

Sauli aliliogopa jeshi la Wafilisti na hakusikia toka kwa Bwana.

Kwa nini Sauli alimtafuta mwanamke ambaye alisema anaongea na wafu?

Sauli aliliogopa jeshi la Wafilisti na hakusikia toka kwa Bwana.

1 Samuel 28:8-10

Yule mwanamke aliogopa nini wakati Sauli na watu wake wawili walipokwenda kuongea naye?

Aliogopa kwa kuwa Sauli alimuua kila mtu aliyeongea na wafu baada ya kifo cha Samweli.

Yule mwanamke aliogopa nini wakati Sauli na watu wake wawili walipokwenda kuongea naye?

Aliogopa kwa kuwa Sauli alimuua kila mtu aliyeongea na wafu baada ya kifo cha Samweli.

Sauli alimwahidi nini yule mwanamke?

Sauli alimuahidi kuwa hatamuadhibu ikiwa atamsaidia Sauli.

1 Samuel 28:11-12

Yule mwanamke alijuaje kuwa Sauli alikuwa mtu aliyemuomba amuinulie Samweli?

Aligundua kuwa amedanganywa baada ya kumuona Samweli.

Yule mwanamke alijuaje kuwa Sauli alikuwa mtu aliyemuomba amuinulie Samweli?

Aligundua kuwa amedanganywa baada ya kumuona Samweli.

1 Samuel 28:13-14

Mwanamke alisema Samweli anafanana na nani?

Mwanamke alisema kuwa alimwona mungu akitoka katika nchi na mtu mzee amevaa kanzu.

Mwanamke alisema Samweli anafanana na nani?

Mwanamke alisema kuwa alimwona mungu akitoka katika nchi na mtu mzee amevaa kanzu.

1 Samuel 28:15

Kwa nini Sauli alimwinua Samweli?

Sauli alitaabika kwa sababi Wafilisti walipanga vita dhidi yake na Mungu alimuacha Sauli.

1 Samuel 28:16-17

Samweli alisema kuwa Bwana ameufanya nini ufalme wa Sauli?

Bwana amerarua ufalme wa Sauli toka mikononi mwake na kumpa Daudi.

Samweli alisema kuwa Bwana ameufanya nini ufalme wa Sauli?

Bwana amerarua ufalme wa Sauli toka mikononi mwake na kumpa Daudi.

1 Samuel 28:18-21

Ni lini Sauli na watoto wake watakufa pamoja na Samweli?

Watakufa siku inayofuata.

1 Samuel 28:22-23

Yule mwanamke na watumishi wa Sauli walimsihi afanye nini?

Walisihi ale ili apate nguvu.

1 Samuel 28:24-25

Mwanamke alimpelekea Sauli na watumishi wake chakula gani?

Alimchinja ndama mnono na akaoka mkate usiotiwa chachu kwa ajili yao wale.

Mwanamke alimpelekea Sauli na watumishi wake chakula gani?

Alimchinja ndama mnono na akaoka mkate usiotiwa chachu kwa ajili yao wale.

1 Samuel 29

1 Samuel 29:3

Akishi alisema kuwa hakuona nini kwa Daudi?

Akishi alisema kuwa hakuona kosa lolote kwa Daudi tangu alipokwenda kwake.

1 Samuel 29:4-5

wakuu wa Wafilisti waliogopa kuwa Daudi atafanya nini wakati wa vita?

Waliogopa kuwa Daudi atakuwa adui yao vitani.

1 Samuel 29:6-7

Akishi alimwambia Daudi afanye nini kwa sababu wakuu wa Wafilisti hawamtaki Daudi hapo?

Aliwambia Daudi arudi kwa amani nyumbani kwake.

Akishi alimwambia Daudi afanye nini kwa sababu wakuu wa Wafilisti hawamtaki Daudi hapo?

Aliwambia Daudi arudi kwa amani nyumbani kwake.

1 Samuel 29:8-9

Nini ulikuwa uamuzi wa mwisho kuhusu Daudi ambao Akishi alimwambia Daudi?

Walimwambia kuwa Daudi lazima apande nao vitani.

1 Samuel 29:10-11

Akishi alimwambia Daudi afanye nini asubuhi?

Alimwambia Daudi aamke mapema achukue watumishi waliokuja pamoja naye na waondoke.

1 Samuel 30

1 Samuel 30:1-2

Daudi na watu wake waligundua nini kilitokea Ziklagi muda ambao hawakuwepo?

Waameleki walifanya mashambulizi, wakavamia, wakachoma moto na kuwakamata wanawake wote na kuwachukua.

Daudi na watu wake waligundua nini kilitokea Ziklagi muda ambao hawakuwepo?

Waameleki walifanya mashambulizi, wakavamia, wakachoma moto na kuwakamata wanawake wote na kuwachukua.

1 Samuel 30:3-4

Daudi na watu wake walifanya nini baada ya kuona kilichotokea Ziklagi?

Walipaza sauti zao na kulia hadi walipokuwa hawana nguvu zaidi za kulia.

Daudi na watu wake walifanya nini baada ya kuona kilichotokea Ziklagi?

Walipaza sauti zao na kulia hadi walipokuwa hawana nguvu zaidi za kulia.

1 Samuel 30:5-6

Kwa nini Daudi alifadhaika sana?

Wake zake walichukuliwa mateka na watu walikuwa wanaongea kuhusu kumpiga mawe.

Kwa nini Daudi alifadhaika sana?

Wake zake walichukuliwa mateka na watu walikuwa wanaongea kuhusu kumpiga mawe.

1 Samuel 30:7-8

Daudi alitaka kujua nini alipoomba kwa Bwana?

Daudi alitaka kujua kama akiwafuata Waamaleki atawapata.

Bwana alimpa jibu gani Daudi?

Bwana alimwambia kuwa akilifuata jeshi atafanikiwa na kupata kila kitu kilichochukuliwa.

1 Samuel 30:9-10

Nini kilitokea kwa watu mia mbili wa Daudi katika kijito cha Besori?

Walikuwa wamechoka hivyo wakabaki nyuma.

1 Samuel 30:11-12

Mmisri aliyekutwa na Daudi na watu wake wakati wanawafukuza Waameleki alikuwa na shida gani?

Hakula mkate wala maji kwa siku tatu usiku na mchana.

1 Samuel 30:13-14

Kwa nini bwana wa Mmisri alimuacha?

Alisema kuwa alikuwa mgonjwa siku tatu zilizopita.

1 Samuel 30:15

Nini lilikuwa ombi la Mmisri kabla ya kumuonesha Daudi lilipokuwa jeshi lililofanya mashambulizi?

Alimwambia Daudi amuapie kuwa hatamuu wala kumsaliti kwa bwana wake.

1 Samuel 30:16-17

Wateka nyara walikuwa wakifanya nini Daudi alipovamia?

Walikuwa wakisherehekea kwa sababu ya nyara zote walizokuwa wamezitwaa kutoka nchi ya Wafilisti na kutoka nchi ya Yuda.

Wateka nyara walikuwa wakifanya nini Daudi alipovamia?

Walikuwa wakisherehekea kwa sababu ya nyara zote walizokuwa wamezitwaa kutoka nchi ya Wafilisti na kutoka nchi ya Yuda.

1 Samuel 30:18-20

Daudi alirudisha nini baada ya kuwavamia wateka nyara?

Alirudisha kila kitu ambacho Waamaleki na wavamizi walikichukua.

1 Samuel 30:21-22

Kwa nini watu waovu waliokwenda kurudisha nyara walifikiri kuwa hawakupaswa kugawana pamoja na watu waliowaacha nyuma?

Walisema kuwa watu walioachwa ntyma hawakwenda na kupigana pamoja nao.

1 Samuel 30:23-25

Kwa nini Daudi aliwaambia watu waovu kuwa wanapaswa kugawana sawa?

Alisema kuwa Bwana aliwalinda na aliwapa ushindi juu ya wateka nyara waliokuja juu yao.

Kwa nini Daudi aliwaambia watu waovu kuwa wanapaswa kugawana sawa?

Alisema kuwa Bwana aliwalinda na aliwapa ushindi juu ya wateka nyara waliokuja juu yao.

1 Samuel 30:26-31

Daudi alifanyia nini nyara toka kwa adui wa Bwana alipokwenda Ziklagi?

Daudi aliwapa nyara wazee wa Yuda na sehemu nyingine ambazo yeye na watu wake walikwenda.

1 Samuel 31

1 Samuel 31:1-3

Nini kilitokea kwa watu wa Israeli walipopigana na Wafilisti?

Watu wa Israeli walikimbia mbele ya Wafilisti na kufa.

Nini kilitokea kwa mtoto wa Sauli?

Wafilisti walimuua mtot wa Sauli.

Nini kilitokea kwa Sauli alipokuwa vitani?

Wapiga upinde walimpata na akapata maumivu makali.

1 Samuel 31:4-6

Sauli alimuomba mbeba silaha wake afante nini kwa sababu alikuwa katika maumivu makali na aliogopa kuwa adui zake watakuja na kumnyanyasa?

Alimuomba anyanyue upanga wake na amuue.

Sauli alifanya nini mbeba silaha wake alipoogopa na kukataa kumuua?

Sauli alichukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia.

Mbeba silaha alifanya nini baada ya kuona Sauli amekufa?

Aliangukia upanga wake na akafa.

1 Samuel 31:7-8

Kwa nini watu wa Israeli toka upande mwingine wa bonde na ng'ambo ya Yordani waliiacha miji yao na kukimbia?

Walikimbia kwa sababu waliona watu wengine wa Israeli wanakimbia na kwamba Sauli na mtoto wake wamekufa.

1 Samuel 31:9-10

Wafilisti waliufanya nini mwili wa Sauli walipokwenda kuukata?

Wafilisti walikata kichwa cha Sauli na wakatundika kiwiliwili chake kwenye ukuta wa mji wa Bethi Shani.

1 Samuel 31:11-13

Wapiganaji wa Yabeshi Gileadi walifanya nini baada ya wenyeji kusikia kilichotokea kwa Sauli?

Walikwenda Bethi Shani na kuuangalia mwili wa Sauli na wa mwanaye Yabeshi na wakaichoma moto.

Wapiganaji wa Yabeshi Gileadi walifanya nini baada ya wenyeji kusikia kilichotokea kwa Sauli?

Walikwenda Bethi Shani na kuuangalia mwili wa Sauli na wa mwanaye Yabeshi na wakaichoma moto.

Wenyeji wa Yabeshi waliifanya nini mifupa ya Sauli na mtoto wake?

Waliizika mifupa yao chini ya mkwaju na wakafunga kwa siku saba.