Kiswahili: translationQuestions

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

Mark

Mark 1

Mark 1:1-3

Je nini ambacho nabii isaya alitabiri kingetokea kabla Bwana hajarudi?

Isaya alitabiri kuwa Mungu angeleta mtumishi, sauti ya mtu aitaye jangwani, kuandaa njia ya Bwana.

Je nini ambacho nabii isaya alitabiri kingetokea kabla Bwana hajarudi?

Isaya alitabiri kuwa Mungu angeleta mtumishi, sauti ya mtu aitaye jangwani, kuandaa njia ya Bwana.

Mark 1:4-6

Kitu gani Yohana alikuja akihubiri?

Yohana alikuja kuhubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.

Je watu walifanya nini wakati wanabatizwa na Yohana?

Watu walikili dhambi zao wakati wanabatizwa na Yohana.

Je Yohana alikula nini?

Yohana alikula nzige na asali ya mwituni.

Mark 1:7-8

Je Yohana alisema ajaye nyuma yake atabatiza kwa kitu gani?

Yohana alisema ajaye nyuma yake atabatiza kwa Roho Mtakatifu.

Mark 1:9-11

Je Yesu aliona nini alipotoka ndani ya maji baada ya kubatizwa na Yohana?

Baada ya kbatizwa, Yesu aliona mbingu zikigawanyika na kufunguka na Roho Mtakatifu akishuka juu yake kama njiwa.

Je sauti kutoka mbinguni ilisema nini baada ya Yesu kubatizwa?

Sauti kutoka binguni ilisema; "wewe ni mwanangu mpendwa nimependezwa na nawe."

Mark 1:12-13

Nani alimwongoza Yesu kwenda nyikani?

Roho alimwongoza Yesu hadi nyikani.

Je Yesu alikaa muda gani jangwani, na ni nii kilimtokea kule?

Yesu alikuwa jangwani kwa siku arobaini, na kule alijaribiwa na shetani.

Mark 1:14-15

Je ni ujumbe gani ambao Yesu alihubiri?

Yesu alihubiri kuwa ufalme wa Mungu umekaribia, na kwmaba watu lazima watubu na kuamini injili.

Mark 1:16-18

Je kazi ya Simoni na Andrea ilikuwa ni ipi?

Simoni na Andrea walikuwa wavuvi wa Samaki.

Je Yesu alisema atawafanya Simoni na Andrea kuwa watu wa namna gani?

Yesu alisema atawafanya Simoni na Andrea kuwa wavuvi wa watu.

Mark 1:19-20

Kazi ya Yakobo na Yohana ilikuwa ipi?

Yakobo na Yohana walikuwa wavuvi

Mark 1:21-22

Kwa nini mafundisho ya Yesu yaliwashangaza watu katika sinagogi?

Mafundisho ya Yesu yaliwashangaza watu kwa sababu Yesu alifundisha kama mtu mwenye mamlaka.

Mark 1:23-26

Je ni jina gani ambalo Yesu alipewa na yule roho mchafu katika sinagogi?

Yule roho mchafu alimpatia Yesu jina au cheo cha mtakatifu wa Mungu ndani ya sinagogi.

Mark 1:27-28

Je ni ni kilitokea juu ya habari za Yesu?

Habari za Yesu zilisambaa kila mahali.

Mark 1:29-31

Je walipo kwenda kwenye nyumba ya Simoni , Yesu alimponya nani?

Walipokwenda kwenye nyumba ya Simoni, Yesu alimponya mama mkwe wa Simon.

Mark 1:32-34

Nini kilitokea wakati wa ilipokuwa jioni?

Wakati ilipofika jioni, watu walileta wote waliokuwa wagonjwa au waliopagawa na mapepo, na Yesu aliwaponya wote.

Nini kilitokea wakati wa ilipokuwa jioni?

Wakati ilipofika jioni, watu walileta wote waliokuwa wagonjwa au waliopagawa na mapepo, na Yesu aliwaponya wote.

Mark 1:35-37

Yesu alifanya nini kabla ya jua kuchomoza?

Kabla ya jua kuchomoza, Yesu alikwenda mahali pa faragha na aliomba huko.

Mark 1:38-39

Yesu alimwambia nini Simoni juu ya kusudi lililomleta?

Yesu alimwambia kuwa alikuja kuhubiri katika miji iliyomzunguka.

Yesu alimwambia nini Simoni juu ya kusudi lililomleta?

Yesu alimwambia kuwa alikuja kuhubiri katika miji iliyomzunguka.

Mark 1:40-42

Yesu alikuwa na mtazamo upi juu ya mwenye ukoma aliyemwomba apate kumponya?

Yesu alikuwa amejawa na huruma kwa mwenye ukoma na alimponya.

Yesu alikuwa na mtazamo upi juu ya mwenye ukoma aliyemwomba apate kumponya?

Yesu alikuwa amejawa na huruma kwa mwenye ukoma na alimponya.

Mark 1:43-45

Je ni jambo gani Yesu alimwambia mkoma kulifanya na kwa nini?

Yesu alimwambia mkoma kwendakutoa sadaka kama musa alivyo agiza kama ushuhuda.

Mark 2

Mark 2:1-2

Je, watu wanne waliokuwa wamembeba mtu aliyepooza walifanya nini?

"Watu waliondoa paa la nyumba nao wakamshusha mtu aliyepooza kwa Yesu.

Mark 2:3-4

Je ni jmbo gani wale watu wanne walifanya wale waliombeba yule mwenye kupooza?

Wale watu waliondoa paa la nyumba na kumshusha yule mwenye kupooza hadi kwa Yesu.

Mark 2:5-9

Yesu alimwambia nini yule mtu aliyepooza?

Yesu alisema, "Mtoto, dhambi zako zimesamehewa."

Kwa nini baadhi ya waandishi walikataa kile alichosema Yesu?

Baadhi ya waandishi walifikiri kwamba Yesu amekufuru kwa sababu ni Mungu pekeyake anaweza kusamehe dhambi.

Kwa nini baadhi ya waandishi walikataa kile alichosema Yesu?

Baadhi ya waandishi walifikiri kwamba Yesu amekufuru kwa sababu ni Mungu pekeyake anaweza kusamehe dhambi.

Mark 2:10-12

Namna gani Yesu alionesha kwamba alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi duniani?

Yesu alimwambia mtu aliyepooza kuchukua kitanda chake na kwenda kwenye nyumba yake, naye alifanya hivyo.

Namna gani Yesu alionesha kwamba alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi duniani?

Yesu alimwambia mtu aliyepooza kuchukua kitanda chake na kwenda kwenye nyumba yake, naye alifanya hivyo.

Mark 2:13-14

Lawi alikuwa anafanya nini wakati Yesu alipomwambia Lawi amfuate?

Lawi alikuwa anakaa katika sehemu ya kukusanyia kodi wakati Yesu alipomwita.

Lawi alikuwa anafanya nini wakati Yesu alipomwambia Lawi amfuate?

Lawi alikuwa anakaa katika sehemu ya kukusanyia kodi wakati Yesu alipomwita.

Mark 2:15-16

Katika nyumba ya Lawi, Yesu alikuwa anafanya nini kilichowakasirisha Mafarisayo?

Yesu likuwa akila na watu wenye dhambi pamoja na wakusanya kodi.

Katika nyumba ya Lawi, Yesu alikuwa anafanya nini kilichowakasirisha Mafarisayo?

Yesu likuwa akila na watu wenye dhambi pamoja na wakusanya kodi.

Mark 2:17

Yesu alisema alikuja kuwaita akina nani?

Yesu alisema kwamba alikuja kuwaita watu wenye dhambi.

Mark 2:18-22

Ni swali gani ambalo baadhi ya watu walimuuliza Yesu kuhusu kufunga?

Walimuuliza Yesu kwa nini wanafunzi wake hawafungi wakati wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo walikuwa wakifunga.

Jinsi gani Yesu alieleza kwa nini wanafunzi wake walikuwa hawafungi?

Yesu alisema kwamba wakati bwana harusi akiwa bado pamoja na wahudumu wa harusi hawawezi kufunga.

Mark 2:23-24

Wanafunzi wa Yesu walifanya nini katika baadhi ya mashamba siku ya sabato kilichowaudhi Mafarisayo?

Wanafunzi wa Yesu walichukua baadhi ya masuke ya ngano na kuyala siku ya Sabato.

Wanafunzi wa Yesu walifanya nini katika baadhi ya mashamba siku ya sabato kilichowaudhi Mafarisayo?

Wanafunzi wa Yesu walichukua baadhi ya masuke ya ngano na kuyala siku ya Sabato.

Mark 2:25-26

Ni mfano gani aliotoa Yesu wa mtu ambaye alihitaji na kula mkate ambao kwa kawaida ulikuwa umekatazwa kwao

Yesu alitoa mfano wa Daudi ambaye alipohitaji alikula mkate wa hekaluni ambao kikawaida ulikuwa umehifadhiwa kwa ajili ya makuhani.

Ni mfano gani aliotoa Yesu wa mtu ambaye alihitaji na kula mkate ambao kwa kawaida ulikuwa umekatazwa kwao

Yesu alitoa mfano wa Daudi ambaye alipohitaji alikula mkate wa hekaluni ambao kikawaida ulikuwa umehifadhiwa kwa ajili ya makuhani.

Mark 2:27-28

Yesu alisema sabato ilifanywa kwa ajili ya kina nani?

Yesu alisema sabato ilifanywa kwa ajili ya watu.

Yesu alisema anatumia mamlaka ya nani?

Yesu alisema kwamba alikuwa Bwana na Bwana wa sabato pia

Mark 3

Mark 3:1-2

Kwa nini walikuwa wanamtazama Yesu siku ya sabato ndani ya sinagogi?

Walikuwa wanamtazama Yesu kuona nini angelifanya siku ya sabato, ili waweze kumshitaki.

Kwa nini walikuwa wanamtazama Yesu siku ya sabato ndani ya sinagogi?

Walikuwa wanamtazama Yesu kuona nini angelifanya siku ya sabato, ili waweze kumshitaki.

Mark 3:3-4

Je ni swali gani Yesu aliwauliza watu juu ya sabato?

Yesu aliwauliza watu kama ilikuwa vema kufanya jambo jema au baya siku ya sabato.

Je ni jinsi gani walijibu swali la Yesu?

Watu walinyamaza.

Mark 3:5-6

Je Yesu alikuwa na mtazamo gani juu yao?

Yesu aliwakasirikia

Je Mafarisayo walifanya nini baada ya Yesu kumponya yule mtu?

Mafarisayo walitoka nje na wakapanga kumuua Yesu.

Mark 3:7-10

Je ni watu wangapi walimfuata Yesu alipokwenda baharini?

Kundi kubwa walimfuata Yesu

Je ni watu wangapi walimfuata Yesu alipokwenda baharini?

Kundi kubwa walimfuata Yesu

Mark 3:11-12

Je pepo walipiga kelele wakisema nini wakati walipo muona Yesu?

Pepo walipiga kelele wakisema Yesu alikuwa mwana wa Mungu.

Mark 3:13-16

Je ni watu wangapi Yesu aliwachagua kuwa mitume, na walipaswa kufanya nini?

Yesu alichagua mitume kumi na wawili ambao wangelikuwa pamoja naye, wakihubiri, na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo.

Je ni watu wangapi Yesu aliwachagua kuwa mitume, na walipaswa kufanya nini?

Yesu alichagua mitume kumi na wawili ambao wangelikuwa pamoja naye, wakihubiri, na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo.

Mark 3:17-19

Je ni mtume gani ambaye angelimsaliti Yesu

Mtume ambaye angelimsaliti Yesu alikuwa ni Yuda Iskariote.

Mark 3:20-22

Je familia ya Yesu walifikiri nini kuhusu umati wa watu na matukio yaliyo mzunguka Yesu?

Familia ilifikiri kuwa amerukwa na akili.

Je ni mashtaka gani ambayo waandishi walimshtaki Yesu?

Waandishi walimshtaki Yesu kwa kutoa pepo kwa nguvu za pepo mkuu au pepo kiongozi.

Mark 3:23-27

Je nini ulikuwa mwitikio wa Yesu kwa mashitaka ya waandishi?

Yesu alijibu kwamba hakuna ufalme unaogawanyika na kubaki umesimama.

Je nini ulikuwa mwitikio wa Yesu kwa mashitaka ya waandishi?

Yesu alijibu kwamba hakuna ufalme unaogawanyika na kubaki umesimama.

Mark 3:28-32

Je ni dhambi gani Yesu alisema haisameheki

Yesu alisema kwamba Kumkufuru Roho Mtakatifu hakusameheki.

Je ni dhambi gani Yesu alisema haisameheki

Yesu alisema kwamba Kumkufuru Roho Mtakatifu hakusameheki.

Mark 3:33-35

Je Yesu alisema Mama yake na ndugu zake walikuwa ni wakina nani?

Yesu alisema mama yake na ndugu zake walikuwa ni wale wanaofanya mapenziya Mungu.

Je Yesu alisema Mama yake na ndugu zake walikuwa ni wakina nani?

Yesu alisema mama yake na ndugu zake walikuwa ni wale wanaofanya mapenziya Mungu.

Mark 4

Mark 4:1-2

Kwa nini Yesu aliingia mtumbwini kufundisha?

Yesu aliingia mtumbwini kufundisha kwa sababu kila kundi kubwa walikusanyika kumzunguka.

Mark 4:3-5

Je nini kilitokea kwa mbegu zilizo pandwa njiani?

Ndege walikuja na kuzila.

Mark 4:6-7

Je nini kilitokea kwa mbegu zilizo pandwa kwenye mwamba baada ya jua kutokea?

Zilinyauka kwa sababau hazikuwa na mizizi.

Je nini kilitokea kwa mbegu zilizo pandwa katikati ya miba?

Mimea ya miba ili zisonga

Mark 4:8-9

Nini kilitoa kwa mbegu zilizo pandwa kwenye udongo mzuri?

Mbegu zilizaa, mara thelathini, sitini, na zingine mara mia zaidi ya zile zilizopandwa.

Mark 4:10-12

Je Yesu alisema kuwa wale kumi na wawili walipewa nini, ambacho wale wa nje hawakupewa?

Yesu alisema siri ya ufalme wa Mungu walipatiwa wale kumi na wawili, na si wale wa nje.

Mark 4:13-15

Katika mfano wa Yesu nini kinasimama badala ya mbegu?

Mbegu ni neno la Mungu

Je mbegu iliyopandwa njiani inasimama badala ya nini?

Inamaanisha wale wanao sikia neno la Mungu, lakini ghafla shetani huja na kulichukua.

Mark 4:16-17

Mbedu iliyopandwa kwenye mwamba inawakilisha nini?

Inawakilisha wale ambao husikia neno kwa furaha, lakini mateso yanapokuja wanajikwaa.

Mbedu iliyopandwa kwenye mwamba inawakilisha nini?

Inawakilisha wale ambao husikia neno kwa furaha, lakini mateso yanapokuja wanajikwaa.

Mark 4:18-20

Mbegu iliyopandwa kwenye mimea ya miiba inawakilisha nini?

Inawakilisha wale ambao wanasikia neno, lakini masumbufu ya dunia yanapotokea yanalisonga lile neno.

Mbegu iliyopandwa kwenye mimea ya miiba inawakilisha nini?

Inawakilisha wale ambao wanasikia neno, lakini masumbufu ya dunia yanapotokea yanalisonga lile neno

Je mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri inawakisha nini?

Inawakilisha wale wanao lisikia neno, wanalipokea, na kuzaa matunda.

Mark 4:21-25

Je Yesu alisema nini kitatokea kwa mambo yaliyo fichika na mambo ya siri?

Yesu alisema mambo yaliyofichika na ya siri yataletwa katika mwanga.

Mark 4:26-29

Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu unafanana na mtu anaye mwaga mbegu katika ardhi?

Mtu anaye mwaga mbegu na inamea lakini hajui ni kwajinsi gani, kisha mavuno yakifika anakwenda kukusanya.

Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu unafanana na mtu anaye mwaga mbegu katika ardhi?

Mtu anaye mwaga mbegu na inamea lakini hajui ni kwajinsi gani, kisha mavuno yakifika anakwenda kukusanya.

Mark 4:30-34

Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu ni kama mbegu ya haradari?

Mbegu ya haradali huanza kama mbegu iliyo ndogo sana, lakini hukua na kufanyika mmea mkubwa sana ambapo ndege wegi wanaweza kutengeneza viota.

Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu ni kama mbegu ya haradari?

Mbegu ya haradali huanza kama mbegu iliyo ndogo sana, lakini hukua na kufanyika mmea mkubwa sana ambapo ndege wegi wanaweza kutengeneza viota.

Mark 4:35-37

Nini kilitokea wakati Yesu na wanafunzi wake wakivuka ng'ambo ya ziwa?

Upepo mkali ulianza, ukitishi kujaza maji ndani ya mtumbwi.

Nini kilitokea wakati Yesu na wanafunzi wake wakivuka ng'ambo ya ziwa?

Upepo mkali ulianza, ukitishi kujaza maji ndani ya mtumbwi.

Mark 4:38-39

Yesu alikuwa anafanya nini katika mtumbwi wakati huo?

Yesu alikuwa amelala

Je ni swali gani ambalo wanafunzi walimuuliza Yesu?

Wanafunzi walimuuliza Yesu ikiwa kama alikuwa anajali wakati wanapokarikbia kufa.

Kisha Yesu alifanya nini?

Yesu aliukemea upepo.

Mark 4:40-41

Baada ya Yesu kufanya hivi, nini ulikuwa ni mwitikio wa wanafunzi?

Wanafunzi walijawa na hofu kuu na walishangaa Yesu alikuwa mtu gani ambaye upepo na bahari vinamtii.

Mark 5

Mark 5:1-2

Yesu alikutana na nani wakati walipokuja katika mkoa wa Genesareti?

Yesu alikutana na mtu mwenye pepo chafu.

Yesu alikutana na nani wakati walipokuja katika mkoa wa Genesareti?

Yesu alikutana na mtu mwenye pepo chafu.

Mark 5:3-6

Mtu huyu alifanya vitu gani?

Mtu huyu aliishi makaburini, alikata minyororo na kuzivunja pingu, alilia na kujikata usiku na mchana.

Mark 5:7-8

Roho mchafu alimpa Yesu cheo gani?

Roho mchafu alimwita Yesu Mwana wa Mungu aliye juu.

Yesu alimwambia nini yule mtu?

Yesu alimwambia yule mtu, " mtoke mtu huyu wewe pepo mchafu."

Mark 5:9-10

Jina la roho mchafu lilikuwa lipi?

Jina la roho mchafu lilikuwa Jeshi, kwa sababu walikuwa wengi.

Mark 5:11-13

Nini ilitokea wakati Yesu alipo mtoa pepo mchafu ndani ya mtu huyu?

Pepo wachafu walimtoka mtu huyu na wakawaingi kundi la nguruwe, ambao walishuka mlimani na kuzama katika ziwa.

Mark 5:14-15

Baada ya pepo mchafu ametolewa, hali ya yule mtu ilikuwa je?

Mtu huyu alikaa na Yesu, amevikwa na akiwa na akili timamu.

Mark 5:16-17

Je nii watu wa mkoa ule walimuomba Yesu afanye?

Watu walimuomba Yesu aondoke katika mkoa wao.

Mark 5:18-20

Yesu alimwambia mtu aliye ishi makaburini afanye nini sasa?

Yesu alimwambia awajulishe watu wake nini Bwana amemfanyia.

Mark 5:21-24

Je ni ombi gani ambalo Yairo kiongozi wa sinagogi alimuomba Yesu?

Yairo alimuomba Yesu aende naye nyumbani kwake akaweke mikono yake juu ya binti yake ambaye alikuwa karibu kufa.

Je ni ombi gani ambalo Yairo kiongozi wa sinagogi alimuomba Yesu?

Yairo alimuomba Yesu aende naye nyumbani kwake akaweke mikono yake juu ya binti yake ambaye alikuwa karibu kufa.

Mark 5:25-27

Tatizo la mwanamke aliyegusa vazi la Yesu lilkuwa lipi?

Mwanamke aliteseka kwa kutokwa na damu kwa miaka kumi na mbili.

Mark 5:28-29

Kwa nini mwanamke aligusa vazi la Yesu?

Mwanamke alifikiri kwamba kama akiligusa tu vazi la Yesu, atapona.

Mark 5:30-32

Yesu alifanya nini mwanamke alipoligusa vazi lake?

Yesu alijua kwamba nguvu zimemtoka na akatazama huku na huku kuona aliyemgusa.

Yesu alifanya nini mwanamke alipoligusa vazi lake?

Yesu alijua kwamba nguvu zimemtoka na akatazama huku na huku kuona aliyemgusa.

Mark 5:33-34

Wakati mwanamke alipomwambia Yesu ukweli wote je Yesu alimwambia nini?

Yesu alimwambia kwamba imani yake imemfanya apone na kwenda kwaamani.

Mark 5:35

Binti wa Yairo alikuwa na hali gani wakati Yesu alipofika nyumbani kwake?

Binti wa Yairo alikuwa amekufa.

Mark 5:36-38

Yesu alimwambia nini Yairo?

Yesu alimwambia Yairo asiwe na hofu, lakini aamini tu.

Ni mwanafunzi yupi alikwenda chumbani pamoja na Yesu mahali alipokuwapo yulebinti?

Petro, Yakobo na Yohana walienda na Yesu chumbani.

Mark 5:39-40

Kwa nini mnasikitika na kwa nini mnalia?

"Hampaswi kusikitika na kuendelea kulia

Mark 5:41-43

Wakati binti alipo amka na kutembea ni jinsi gani watu waliitikia?

Watu walipata mshangao mkuu

Mark 6

Mark 6:1-3

Kwanini watu wa mji wa Yesu walistushwa naye?

Watu hawakujua ni wapi alipata mafundisho yake, hekima yake, na miujiza yake.

Mark 6:4-6

Ni mahali gani Yesu alisema nabii hana heshima?

Yesu alisema nabii hana heshima katika mji wa nyumbani wake, katikati ya ndugu zake, na katika kaya yake.

Ni jambo gani lilimshangaza Yesu kuhusu watu wake kwenye mji aliotoka?

Yesu alishangazwa na kutoamini kwa watu wa mjini kwake

Mark 6:7-9

Je ni mamlaka gani Yesu aliwapatia wanafunzi wake alipowatuma?

Yesu aliwapa wale kumi na mbili mamlaka juu ya pepo wachafu.

Je wale kumi na wawili walichukua nini katika safari yao?

Wale kumi na wawili walichukua fimbo, viatu, na kanzu.

Je wale kumi na wawili walichukua nini katika safari yao?

Wale kumi na wawili walichukua fimbo, viatu, na kanzu.

Mark 6:10-13

Nini ambacho Yesu aliwaambia wale kumi na wawili kufanya ikiwa hawatapokelewa mahali?

Yesu aliwaambia wakung'ute mavumbi katika miguu yao kama ushuhuda dhidi yao.

Mark 6:14-17

Watu walifikiri Yesu ni nani?

Watu walifikiri Yesu alikuwa Yohana mbatizaji, au Eliya, au nabii.

Watu walifikiri Yesu ni nani?

Watu walifikiri Yesu alikuwa Yohana mbatizaji, au Eliya, au nabii.

Mark 6:18-22

Yohana mbatizaji alimwambia nini Herode kuwa anafanya kinyume na sheria?

Yohana alimwambia Herode haikuwa sheria kuoa mke wa ndugu yake.

Herode aliitikiaje wakati aliposikia Yohana akihubiri?

Herode alikasirika aliposikia Yohana anahubiri, ingawa alikuwa bado akifurahi kumsikia.

Mark 6:23-25

Je ni kiapo gani Herode aliapa kwa Herodia?

Herode aliapakwamba atampatia chochote atakacho mwomba, hata nusu ya ufalme wake.

Herodia alimwomba nini?

Herodia aliomba kichwa cha Yohana mbatizaji kwenye sahani.

Mark 6:26-32

Je Herode aliitikiaje ombi la Herodia?

Herode alihuzunika sana, lakini hakumkatalia ombi lake kwa sababu ya kiapo alichokuwa amekitoa mbele ya wageni wake.

Mark 6:33-36

Kulitokea nini wakati ambapo Yesu pamoja na mitume walipokuwa wakijaribu kuondoka wao wenyewe kwenda kupumzika?

Watu wengi waliwatambua na wakakimbia kwenda ili wafike mapema kabla ya Yesu na mitume.

Nini ilikuwa mtazamo wa Yesu juu ya makutano waliokuwa wakiwasubiri?

Yesu aliwahurumia kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.

Mark 6:37-38

Walipo ulizwa na Yesu, wanafunzi walifikiri wangefanya nini kuwalisha watu?

Wanafunzi walifikiri kwenda kununua mikate ya thamani ya dinari mia mbili.

Ni chakula gai ambacho wanafunzi walikuwa nacho tayari?

Wanafunzi walikuwa tayari wana mikate mitano na samaki wawili.

Mark 6:39-47

Je Yesu alifanya nini alipochukua mikate na samaki wawili?

Alipochukua mikate na samaki, Yesu alitazama juu mbinguni, akabariki na kuvunja mikate, na kuwagawia wanafunzi wake.

Mark 6:48-50

Kwa jinsi gani Yesu alikuja kwa wanafunzi wake pale ziwani?

Yesu alikuja kwa wanafunzi wake akitembea juu ya ziwa au juu ya maji.

Yesu aliwambia nini wanafunzi wake walipo mwona?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa jasiri na wasiogope.

Mark 6:51-52

Kwa nini wanafunzi wake hawakuelewa kuhusu ule muujiza wa mikate?

Wanafunzi wake hawakuelewa muujiza wa mikate kwa sababu fikra zao zilikuwa nzito kuelewa.

Mark 6:53-55

Watu wa mkoa ule walifanya nini walipo mtambua Yesu?

Watu walimletea wagonjwa kwenye machela kila mahali waliposikia anakuja.

Mark 6:56

Ilitokea nini kwa wale walio shika pindo la vazi la Yesu?

Wale ambao walishika pindo la vazi la Yesu awlipona.

Mark 7

Mark 7:2-4

Ni mambo gani waliyoyafanya baadhi ya wanafunzi wa Yesu ambayo hayakuwafurahisha Mafarisayo na Waandishi?

Baadhi ya wanafaunzi walikuwa wanakula kwa mikono isiyo oshwa.

Ilikuwa nai desturi ya watu gani kwamba mikono, masufuria, vikombe, vyombo vya shaba na viti vinavyotumika wakati wa kula vioshwe kabla ya kula?

Ilikuwa ni desturi ya wazee kwmba mikono, vikombe, masufuria, vyombo vya shaba na viti vya kukalia wakati wa chakula vioshwe kabla ya kula.

Ilikuwa nai desturi ya watu gani kwamba mikono, masufuria, vikombe, vyombo vya shaba na viti vinavyotumika wakati wa kula vioshwe kabla ya kula?

Ilikuwa nai desturi ya watu gani kwamba mikono, masufuria, vikombe, vyombo vya shaba na viti vinavyotumika wakati wa kula vioshwe kabla ya kula?

Mark 7:5-7

Ni mambo gani waliyofanya baadhi ya wanafunzi wa Yesu ambyo hayakuwafurahisha Mafarisayo na Waandishi.

Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanakula bila kuosha mikono yao

Mark 7:8-10

Yesu alisema nini kwa Mafarisayo na Waandishi kuhusu mafundisho yao juu ya jambo la kunawa?

Yesu alisema kwamba Mafarisayo na Waandishi walikuwa wanafiki, wakifundisha sheria za wanadamu huku wakiziacha amri za Mungu.

Yesu alisema nini kwa Mafarisayo na Waandishi kuhusu mafundisho yao juu ya jambo la kunawa?

Yesu alisema kwamba Mafarisayo na Waandishi walikuwa wanafiki, wakifundisha sheria za wanadamu huku wakiziacha amri za Mungu.

Mark 7:11-13

Ni kwa jinsi gani mafarisayo na waandishi walibatilisha amri ya Mungu inayo sema waheshimu baba na mama yako?

Walibatilisha amri ya Mungu kwa kuwambia watu wawapatie sadaka fedha ambazo zingeweza kuwasaidia baba zao na mama zao.

Ni kwa jinsi gani mafarisayo na waandishi walibatilisha amri ya Mungu inayo sema waheshimu baba na mama yako?

Walibatilisha amri ya Mungu kwa kuwambia watu wawapatie sadaka fedha ambazo zingeweza kuwasaidia baba zao na mama zao.

Mark 7:14-16

Yesu alisema nini ambacho hakiwezi kumtia mtu unajisi?

Yesu alisema kuwa hakuna kitu cha nje ya mtu kinaweza kumtia unajisi mtu wakati kinapoingia.

Yesu alisema ni kitu gani ambacho humtia mtu unajisi?

Yesu alisema kuwa kile kimtokacho mtu ndicho kinacho mtia mtu unajisi.

Mark 7:17-19

Je ni vyakula gani ambavyo Yesu alivitangaza kuwa ni safi?

Yesu alitangaza kuwa vyakula vyote ni safi.

Mark 7:20-23

Ni vitu gani vitatu ambavyo ambavyo Yesu alisema vinapomtoka vinamtia mtu unajisi?

Yesu alisema mawazo maovu, zinaa, wizi, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, uongo, majivuno vinaweza kumtoka mtu na kumnajisi.

Ni vitu gani vitatu ambavyo ambavyo Yesu alisema vinapomtoka vinamtia mtu unajisi?

Yesu alisema mawazo maovu, zinaa, wizi, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, uongo, majivuno vinaweza kumtoka mtu na kumnajisi.

Mark 7:24-26

Je mwanamke aliye kuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myahudi au myunani?

Mwanamke ambaye alikuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myunani.

Je mwanamke aliye kuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myahudi au myunani?

Mwanamke ambaye alikuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myunani.

Mark 7:27-28

Ni jinsigani yule mwanamke aliitikia alipoambiwa na Yesu kuwa si vema kukitwaa chakula caha watoto na kuwatupia mbwa?

Mwanamke alisema hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto

Mark 7:29-32

Yesu alifanya nini kwa mwanamke?

Yesu alimfukuza pepo atoke nje ya binti yake mwanamke.

Yesu alifanya nini kwa mwanamke?

Yesu alimfukuza pepo atoke nje ya binti yake mwanamke.

Mark 7:33-35

Wakati mwanamume aliyekuwa kiziwi na hakuweza kuzungumza aliletwa kwa Yesu, alifanya nini kumponya?

Yesu aliweka vidole vyake katika masikio ya mwanamume, alitema na aligusa ulimi wake, ndipo aliangalia mbinguni na kusema, "fungua!"

Wakati mwanamume aliyekuwa kiziwi na hakuweza kuzungumza aliletwa kwa Yesu, alifanya nini kumponya?

Yesu aliweka vidole vyake katika masikio ya mwanamume, alitema na aligusa ulimi wake, ndipo aliangalia mbinguni na kusema, "fungua!"

Mark 7:36-37

Watu walifanya nini wakati Yesu alipowaambia wasimwambie mtu yeyote kuhusu uponyaji wake?

Kadri Yesu alivyo waamuru wakae kimya, ndivyo walivyozidi kuzungumza kuhusu jamo hilo.

Mark 8

Mark 8:1-4

Yesu alisema anahusikaje kwa kundi kubwa ambalo lilikuwa likimfuata?

Yesu alisema kuwa ilikuwa inamuhusu kuwa kundi kubwa walikuwa hawana chakula.

Yesu alisema anahusikaje kwa kundi kubwa ambalo lilikuwa likimfuata?

Yesu alisema kuwa ilikuwa inamuhusu kuwa kundi kubwa walikuwa hawana chakula.

Mark 8:5-6

Wanafunzi walikuwa na mikate mingapi?

Wanafunzi walikuwa na mikate mitano.

Je Yesu alifanya nini na ile mikate mitano?

Yesu alishukuru, akamega vipande, na kuwapatia wanafunzi wake wawagawie watu.

Mark 8:7-10

Nchakula kiasi gani kilibaki baada ya kuwa watu wote walipokuwa wamekula?

Kulikuwa na vikapu saba vya vyakula vilivyo baki baada ya watu wote kula.

Je ni watu wangapi walikula na kushiba?

Walikuwa wanakaribia elfu nne wanaume ambao walishiba.

Mark 8:11-13

Kumjaribu, je nini ambacho mafarisayo walitaka Yesu afanye?

Mafarisayo walitaka Yesu awapatie ishara kutoka mbinguni.

Mark 8:14-15

Ni kuhusu nini , Yesu aliwaonya wanafunzi wake kuhusiana na mafarisayo?

Yesu aliwatahadharisha wanafunzi wake kujilinda na chachu ya mafarisayo

Mark 8:16-17

Wanafunzi wake walifikiri anawambia nini?

Wanafunzi wake walidhania anawambia kuhusu ukweli kwamba wamesahau kuchukua mikate.

Mark 8:18-21

Yesu aliwakumbusha juu ya nini kilitokea wakati anavunja ile mikate mitano?

Yesu aliwakumbusha kwamba wakati alipokuwa amevunja ile mikate mitano, watu elfu tano walikula na vikapu kumi na viwili vilivyo jaa vipande vipande viliokotwa.

Mark 8:22-23

Ni mambo gani mawili ambayo Yesu alifanya kwanza ili kurudisha kuona kwake?

Yesu kwanza alimtemea mate juu ya macho yake na akaweka mikono yake juu yake.

Mark 8:24-26

Jambo gani la tatu ambalo Yesu alifanya ili kurudisha kuona kwake?

Yesu aliweka mikono yake juu ya macho yake

Mark 8:27-28

Watu walisema kuwa Yesu ni nani?

Watu walikuwa wanasema kuwa Yesu alikuwa ni Yohana mbatizaji, Eliya, au mmoja kati ya manabii.

Mark 8:29-30

Petro alisema Yesu ni nani?

Petro alisema kwamba Yesu ni Kristo.

Mark 8:31-32

Ni kuhusu matukio gani ya wakati ujao ambayo Yesu alianza kuwafundisha vema wanafunzi wake?

Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kwamba mwana wa Adamiu lazima ateseke, akataliwe, auwawe na kufufuka baada ya siku tatu.

Mark 8:33-34

Je yesu alisema nini wakati Petro alipoanza kumkemea?

Yesu aimwambia Petro, "kaa nyuma yangu shetani haujali mabo ya Mungu, isipokuwa mambo ya watu.

Yesu alisema nini kwa yeyote anaye taka kumfuata lazima afanye nini?

Yesu alisema kwamba yeyote anaye taka kumfuata lazima lazima ajikane mwenyewe na achukuwe msalaba wake.

Mark 8:35-37

Yesu alisema nini kuhusu watu wanaotamani kupata mambo ya dunia?

Yesu alisema itamfaidia nini mtu akipata ulimwengu wote na baadaye kupoteza maisha yake?

Mark 8:38

Yesu alisema nini kuhusiana na wale ambao wanamuonea haya na neno lake?

Yesu alisema wakati wa kurudi kwake atawaonea haya wale ambao walimuonea haya na neno lake

Mark 9

Mark 9:1-3

Nani Yesu alisema atauona ufamle wa Mungu unakuja kwa nguvu?

Yesu alisema kwamba baadhi wamesimama hapa pamoja naye wasingekufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.

Nini kilitokea kwa Yesu wakati Petro, Yakobo, na Yohana walipokwenda mlimani pamoja naye?

Yesu alibadilika na mavazi yake yakawa na mng'ao mkali.

Nini kilitokea kwa Yesu wakati Petro, Yakobo, na Yohana walipokwenda mlimani pamoja naye?

Yesu alibadilika na mavazi yake yakawa na mng'ao mkali.

Mark 9:4-6

Nani walikuwa wakizungumza na Yesu pale mlimani?

Eliya na Musa walikuwa wanazungumza naYesu.

Mark 9:7-8

Mlimani, sauti kutoka mawinguni ilisema nini?

Sauti ilisema, "Huyu ni Mwanangu mpendwa. Msikieni yeye."

Mark 9:9-10

Yesu aliwaamuru nini wanafunzi kuhusu kile walichokiona mlimani?

Yesu aliwaamuru kutomwambia mtu yeyote kile walichokiona, mpaka Mwana wa Mtu afufuliwe kutoka kwa wafu.

Mark 9:11-16

Yesu alisema nini kuhusu kuja kwa Eliya?

Yesu alisema kwamba, Eliya aja kwanza kuokoa vitu vyote, na Eliya amekwisha kuja tayari.

Yesu alisema nini kuhusu kuja kwa Eliya?

Yesu alisema kwamba, Eliya aja kwanza kuokoa vitu vyote, na Eliya amekwisha kuja tayari.

Mark 9:17-19

Ni nini wanafunzi hawakuweza kufanya kwa baba na mwanae?

Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kutoka kwa mtoto.

Ni nini wanafunzi hawakuweza kufanya kwa baba na mwanae?

Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kutoka kwa mtoto.

Mark 9:20-22

Ni katika nini roho yule mchafu alimtupa kijana katika kujaribu kumharibu

Roho mchafu alimtupa kijana katika moto au katika maji katika kujaribu kumharibu.

Mark 9:23-27

Baba alijibu nini wakati Yesu aliposema kila kitu kinawezekana kwa yeye aaminiye?

Baba alijibu, "Ninaamini! Nisaidie kutokuamini kwangu!"

Baba alijibu nini wakati Yesu aliposema kila kitu kinawezekana kwa yeye aaminiye?

Baba alijibu, "Ninaamini! Nisaidie kutokuamini kwangu!"

Mark 9:28-29

Kwanini wanafunzi hawakuweza kufukuza roho bubu na roho kiziwi kwa mvulana?

Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kwasababu haiwezekani kufukuza isipokuwa kwa maombi.

Kwanini wanafunzi hawakuweza kufukuza roho bubu na roho kiziwi kwa mvulana?

Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kwasababu haiwezekani kufukuza isipokuwa kwa maombi.

Mark 9:30-32

Ni jambo gani Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa lingemtokea?

Yesu aliwaambia kuwa atauawa, kisha baada ya siku tatu atafufuka tena.

Mark 9:33-35

Wanafunzi walibishana kuhusu nini walipokuwa njiani?

Wanafunzi walibishana juu ya nani kati yao alikuwa mkubwa.

Wanafunzi walibishana kuhusu nini walipokuwa njiani?

Wanafunzi walibishana juu ya nani kati yao alikuwa mkubwa.

Yesu alisema kuwa wa kwanza ni yupi?

Yesu alisema wa kwanza ni yule ambaye ni mtumishi wa wote.

Mark 9:36-41

Mmoja wao anapompokea mtoto mdogo kwa jin la Yesu, watakuwa piawamempokea nani?

Mmoja wao anapopokea mtoto mdogo katika jina la Yesu, pia wanampokea Yesu nayule aliyemtuma Yesu.

Mmoja wao anapompokea mtoto mdogo kwa jin la Yesu, watakuwa piawamempokea nani?

Mmoja wao anapopokea mtoto mdogo katika jina la Yesu, pia wanampokea Yesu nayule aliyemtuma Yesu.

Mark 9:42-46

Ni nini itakuwa bora kwa yeyote anayemkwaza mdogo ambaye aamini katika Yesu ?

Itakuwa bora kwa yule kama atafungiwa shingoni jiwe la kusagia na kutupwa baharini.

Mark 9:47-50

Yesu alisema nini kufanyiwa chochote yule anayewakosesha?

Yesu alisema kuondoa chochote kile kinasababisha kukukwaza.

Yesu alisema nini kinatokea kuzimu?

Yesu alisema kuzimu , funza hawafi na moto hauzimi

Mark 10

Mark 10:1-4

Je ni swali gani mafarisayo walimuuliza Yesu kwa kumjaribu?

Mafarisayo walimuuliza Yesu kama ilikuwa halali kwa mume kumpa talaka mke wake.

Je ni amri gani ambayo Musa aliwapa wayahudi kuhusiana na talaka?

Musa alikuwa ameruhusu mume amuandikie cheti cha talaka na kumuacha mke wake.

Mark 10:5-6

Kwa nini Musa aliwapa wayahudi amri hii kuhusu kuachana?

Musa aliitoa amri hii kwa Wayahudi kwa sababu ya mioyo yao migumu.

Je ni katika tukio gani katika historia ambalo Yesu alirejea alipokuwa anawambia mafarisayo kuhusu mpango wa awali wa Mungu juu ya ndoa?

Yesu alirejea kwenye mwanzo wa uumbaji wa mwanamume na mwanamke wakati alipoeleza kuhusu mpango wa awali wa Mungu juu ya ndoa.

Mark 10:7-12

Yesu alisema watu wawili, mume na mke wake, wanakuwaje wanapokuwa wameoana?

Yesu alisema kwamba wawili wanakuwa mwili mmoja.

Yesu alisema watu wawili, mume na mke wake, wanakuwaje wanapokuwa wameoana?

Yesu alisema kwamba wawili wanakuwa mwili mmoja.

Je Yesu alisema nini kuhusu kile ambacho Mungu amekiunganisha katika ndoa?

Yesu alisema kwamba kile ambacho Mungu amekiunganisha pamoja, mtu asikitenganishe.

Mark 10:13-14

Yesu alionyesha hisia gani wakati wanafunzi walipowakemea waliokuwa wanawaleta watoto wadogo kwa Yesu?

Yesu aliwakasirikia wanafunzi na kuwaambia wawaruhusu watoto wadogo waje kwake.

Yesu alionyesha hisia gani wakati wanafunzi walipowakemea waliokuwa wanawaleta watoto wadogo kwa Yesu?

Yesu aliwakasirikia wanafunzi na kuwaambia wawaruhusu watoto wadogo waje kwake.

Mark 10:15-16

Ni jinsi gani Yesu alisema ufalme wa Mnungu lazima upokelewe ili kuweza kuingia?

Yesu alisema ufalme wa Mungu lazima upokelewe kama mtoto mdogo ili kuweza kuingia.

Mark 10:17-19

Je Yesu alimwambia ninimtu yule kwanza afanye nini kuurithi uzima wa milele?

Yesu alimwambia mtu yule kwamba lazima asiue, asizini, asiibe, asishuhudie uongo, asidhurumu na lazima awaheshimu baba na mama yake.

Mark 10:20-22

Je ni amri gani zaidi Yesu alimwambia yule mtu?

Yesu alimwamuru auze vyote alivyo kuwa navyo na kumfuata.

Je yule mtu aliitikiaje wakati Yesu alipo toa amri hii na kwa nini?

Yule mtu alihuzunika na alikwenda zake kwa kuwa alikuwa na mali nyingi.

Mark 10:23-25

Ni nani ambaye Yesu alisema ni vigumu sana kwake kuingia ufalme wa Mungu?

Yesu alisema kwamba ni vigumu sana kwa tajiri kuingia ufalme wa Mungu.

Ni nani ambaye Yesu alisema ni vigumu sana kwake kuingia ufalme wa Mungu?

Yesu alisema kwamba ni vigumu sana kwa tajiri kuingia ufalme wa Mungu.

Mark 10:26-28

Ni jinsi gani Yesu alisema hata mtu tajiri anaweza kuokolewa?

Yesu alisema kwamba kwa watu haiwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.

Ni jinsi gani Yesu alisema hata mtu tajiri anaweza kuokolewa?

Yesu alisema kwamba kwa watu haiwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.

Mark 10:29-31

Ni kitu gani ambacho Yesu alisema kuwa mtu yeyote aliyeacha nyumba yake, familia yake, na aridhi kwa ajili ya Yesu atapokea?

Yesu alisema wangepokea mara mia zaidi ya yaliyo katika dunia yenye mateso, na maisha ya milele katika dunia ijayo.

Ni kitu gani ambacho Yesu alisema kuwa mtu yeyote aliyeacha nyumba yake, familia yake, na aridhi kwa ajili ya Yesu atapokea?

Yesu alisema wangepokea mara mia zaidi ya yaliyo katika dunia yenye mateso, na maisha ya milele katika dunia ijayo.

Mark 10:32-34

Yesu na wanafunzi wake walisafiri kupitia njia gani?

Yesu na wanafunzi wake walisafiri kwenye njia iendayo mpaka Yerusalemu.

Yesu aliwambia wanafunzi wake nini kingemtokea awapo Yerusalemu?

Yesu aliwambia wanafunzi wake kuwa atahukumiwa kufa na baada ya siku tatu atafufuka

Yesu aliwambia wanafunzi wake nini kingemtokea awapo Yerusalemu?

Yesu aliwambia wanafunzi wake kuwa atahukumiwa kufa na baada ya siku tatu atafufuka

Mark 10:35-37

Yakobo na Yohana waliomba nini kwa yesu?

Yakobo na Yohana waliomba kukaa mkono wa kuume wa Yesu na wa kushoto pamoja naye katika utukufu

Yakobo na Yohana waliomba nini kwa yesu?

Yakobo na Yohana waliomba kukaa mkono wa kuume wa Yesu na wa kushoto pamoja naye katika utukufu

Mark 10:38-40

Yesu aliwaambia Yakobo na Yohana kuwa wataweza watastahimili nini

Yesu aliwambia Yakobo na Yohana kuwa watastahimili kikombe ambacho yesu angekinywea pamoja na ubatizo atakao batizwa

Je Yesu aliwapatia Yakobo na Yohana kile walichoomba?

Hapana, Yesu alisema viti katika upande wake wa kulia na kushoto si vyake kuwapatia.

Mark 10:41-42

Ni kwa namna gani Yesu alisema watawala wa mataifa wanawatendea wanao watawala?

Yesu alisema kwamba watawala wa mataifa huwakandamiza wanaowatawala.

Mark 10:43-45

Yesu alisema lazima waishi vipi wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi?

Yesu aliwaambia wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi lazima wawe watumwa wa wote.

Yesu alisema lazima waishi vipi wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi?

Yesu aliwaambia wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi lazima wawe watumwa wa wote.

Mark 10:46-50

Kipofu Batimayo alifanya nini wakati walipokuwa wakimzuia na kumwambia anyamaze?

Batimayo alipiga kelele zaidi , "Mwana wa Daudi, nihurumie!."

Mark 10:51-52

Yesu alisema nini kimemponya Batimayo upofu wake?

Yesu alisema kuwa imani ilimponya batimayo

Mark 11

Mark 11:1-3

Yesu aliwatuma wanafunzi wake wawili kufanya nini katika kijiji kilichokuwa kinawakabili?

Yesu aliwatuma kwenda kumletea mwanapunda ambaye hajapandwa.

Mark 11:4-6

Kulitokea nini wakati wanafunzi wanamfungua mwanapunda?

Baadhi ya watu waliwauliza wanafunzi kuwa , walikuwa wanafanya nini,kwa hiyo wakawambia kama Yesu alivyo kuw amewaambia na watu wakawaacha wakaenda.

Kulitokea nini wakati wanafunzi wanamfungua mwanapunda?

Baadhi ya watu waliwauliza wanafunzi kuwa , walikuwa wanafanya nini,kwa hiyo wakawambia kama Yesu alivyo kuw amewaambia na watu wakawaacha wakaenda.

Mark 11:7-10

Je watu walitandaza nini njiani wakati Yesu anakwenda juu ya mwanapunda?

Watu walitandika ngua, pamoja na matawi ya miti waliyo yakata mashambani.

Je ni ufalme gani ujao ambao watu walikuwa wakuuzungumza na kupiga kelele wakati Yesu alipokuwa anakwenda Yesrusalemu?

Watu walipiga kelele kuwa ufalme wa Daudi babayao umekuja.

Mark 11:11-12

Yesu alifanya nini alipoingia hekaluni?

Aliangalia huku na huku na ndipo akaenda Bethania.

Mark 11:13-14

Yesu alifanya nini alipona mtini usio na matunda juu yake.

Yesu aliuambia mtini, hapatakuwa na mtu atakaye kula tunda kutoka kwako."

Mark 11:15-16

Yesu alifanya nini alipoingia hekaluni?

Yesu aliwafukuza wauzaji na wanunuaji, na hakumruhusu yeyote kubeba bidhaa kutoka hekaluni.

Yesu alifanya nini alipoingia hekaluni?

Yesu aliwafukuza wauzaji na wanunuaji, na hakumruhusu yeyote kubeba bidhaa kutoka hekaluni.

Mark 11:17-19

Yesu alisema hekalu lilipaswa kuwaje, kulingana na maandiko?

Yesu alisema kwamba hekalu lilipaswa kuwa nyumba ya sala kwa mataifa yote.

Yesu aliwaambia makuhani wakuu nawaandishi wamelifanya hekalu kuwa nini?

Yesu alisema wamelifanya hekalu pango la wezi.

Makuhani wakuu pamoja na waandishi walijaribu kufanya nini?

Makuhani wakuu na waandishi walikuwa wanajaribu kumuua Yesu.

Mark 11:20-23

Kulitokea nini kwenye mti mtini ambao Yesu aliusema?

Mti mtini ambao Yesu aliusema ulikauka mpaka kwenye mizizi yake.

Mark 11:24-26

Yesu alisema nini kuhusu yote tuyaombayo?

Yesu alisema kwamba chochote tunachoomb, tuamini kwamba tumekwisha kupokea, na vitakuwa vyetu.

Yesu alisema tunapaswa kufanya nini ili kwamba baba yetu wa mbinguni aweze kutusamehe sisi pia?

Yesu alisema tunapaswa kusamehe chochote kilichopo kati yetu na mwingine yeyote, ili kwamba Baba pia atusamehe sisi.

Mark 11:27-28

Ndani ya hekalu, makuhani wakuu, waandishi, na wazee walitaka kujua nini kutoka kwa Yesu?

Walitaka kujua ni kwa mamlaka gani alifanya vitu alivyokuwa akivifanya.

Ndani ya hekalu, makuhani wakuu, waandishi, na wazee walitaka kujua nini kutoka kwa Yesu?

Walitaka kujua ni kwa mamlaka gani alifanya vitu alivyokuwa akivifanya.

Mark 11:29-30

Je ni swali gani ambalo Yesu aliwauliza makuhani wakuu, waandishi na wazee?

Yesu aliwauliza ikiwa ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au ulitoka kwa watu.

Mark 11:31-33

Kwa nini makuhani wakuu, waandishi, na wazee hawakutaka kujibu kwamba ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni?

Hawakutaka kumpa jibu hili kwa sababu Yesu angewauliza kwa nini hawakumwamini Yohana.

Kwa nini makuhani wakuu, waandishi, na wazee hawakutaka kujibu kwamba ubatizo wa Yohana ulitoka kwa watu?

Hakutaka kutoa jibu hili kwa sababu waliwaogopa watu, ambao wote waliamini kuwa Yohana alikuwa nabii

Mark 12

Mark 12:1-3

Baada ya kujenga na kupangisha shamba la mizabibu, mmiliki wake alifanya nini?

Baada ya kujenga na kupangisha shamba la mizabibu mwenye shamba alikwenda safari ya mbali.

Mark 12:4-5

Mtunzaji wa shamba la mzabibu aliwatendea nini watumwa ambao mwenye shamba aliwatuma kupokea matunda ya shamba la mzabibu?

Mtunzaji wa shamaba la mzabibu aliwapiga na kuwaua miongoni mwa watumishi.

Mark 12:6-7

Mwenye shamba alimtuma nami wa mwisho kwa watunza shamba la mizabibu?

Mwenye shamba alimtuma wa mwisho kwa watunza shamba alikuwa ni mwanawe mpendwa.

Mark 12:8-9

Watunza shamba la mizabibu walimtendea nini yule mmoja aliyetumwa wa mwisho na mwenye shamba?

Watunza shamba la mizabibu walimvamia, wakamwua na kumtupa nje ya shamba la mizabibu.

Je mwenye shamba atamfanya nini yule mtunzaji wa shamba?

Mwenye shamba atakuja na kumharibu mtunzaji na kuwapatia wengine.

Mark 12:10-12

Katika maandiko. Nini kilitokea kwa lile jiwe ambalo wajenzi walilikataa?

Jiwe ambalo wajenzi walilikataa limefanywa kuwa jiwe la pembeni

Mark 12:13-15

Je ni swali gani mafarisayo pamoja na baadhi ya maherodia walimuuliza Yesu?

Walimuuliza kama ilikuwa ni halali kulipa ushuru/ kodi kwa kaisari.

Mark 12:16-17

Ni kwa jinsi gani Yesu aliwajibu swali lao

Yesu aisema wanapaswa kumpa kaisari vitu ambavyo ni vya kaisari, na kumpatia Mungu vilivyo vya Mugu.

Mark 12:18-19

Katika eneo gani Masadukayo hawaamini?

Masadukayo hawaamini katika suala la ufufuo.

Mark 12:20-23

Katika simulizi iliyo simuliwa na masadukayo, ni waume wangapi aliokuwa nao yule mwanamke?

Mwanamke alikuwa na waume saba

Je ni swali gani amabalo masadukayo walimuuliza Yesu kuhusu yule mwanamke?

Walimuuliza kuwa je ni mume yupi ambaye angekuwa mume wa yule mwanamke wakati wa ufufuo

Mark 12:24-25

Ni sababu ipi Yesu aliwapa masadukayo juu ya makosa yao?

Yesu aliwaambia masadukayo hawayajui maandiko wala nguvu za Mungu.

Jibu la Yesu kwamasadukayo lilikuwa ni lipi kuhusu mwanamke?

Yesu alisema kuwa katika ufufuo, wanaume na wanawake hawataoa, bali watakuwa kama malaika.

Mark 12:26-27

Jinsi gani Yesu alionyesha kupitia maandiko kuwa kuna ufufuo?

Yesu alinukuu kutoka katika torati ya Musa pale Mungu aliposema, yeye ni Mungu wa Ibrahimu,Isaka, Yakobo - wote ambao lazima wabakie hai.

Jinsi gani Yesu alionyesha kupitia maandiko kuwa kuna ufufuo?

Yesu alinukuu kutoka katika torati ya Musa pale Mungu aliposema, yeye ni Mungu wa Ibrahimu,Isaka, Yakobo - wote ambao lazima wabakie hai.

Mark 12:28-34

Je ni amri ipi ambayo Yesu alisema ni ya muhimu?

Yesu alisema kwamba kumpenda Mungu wako kwamoyo wako, kwa roho yako, na kwa akili zako na kwa nguvu zako ni amri ya muhimu sana.

Je ni amri ipi ambayo Yesu alisema ni ya muhimu?

Yesu alisema kwamba kumpenda Mungu wako kwamoyo wako, kwa roho yako, na kwa akili zako na kwa nguvu zako ni amri ya muhimu sana.

Je ni amri ipi Yesu alisema ni ya pili

Yesu alisema kuwa kumpenda jirani yako kama wewe mwenyewe ni amri ya pili

Mark 12:35-37

Swali gani Yesu aliwauliza waandishi kuhusu Daudi?

Yesu aliwauliza jinsi gani Daudi aliweza kumwita Kristo Bwana wakati Kristo ni mwana wa Daudi.

Swali gani Yesu aliwauliza waandishi kuhusu Daudi?

Yesu aliwauliza jinsi gani Daudi aliweza kumwita Kristo Bwana wakati Kristo ni mwana wa Daudi.

Mark 12:38-42

Yesu aliwaambia nini watu katika kuwa waangalifu juu ya waandishi?

Yesu aliwaanbia waandishi wanatamani kuheshimiwa na watu, lakini wanameza nyumba za wajane na kuomba sala ndefu ili waonekane na watu.

Yesu aliwaambia nini watu katika kuwa waangalifu juu ya waandishi?

Yesu aliwaanbia waandishi wanatamani kuheshimiwa na watu, lakini wanameza nyumba za wajane na kuomba sala ndefu ili waonekane na watu.

Mark 12:43-44

Kwa nini Yesu alisema mjane masikini ameweka au ametoa zaidi kuliko wote walio changa katika sanduku la matoleo?

Yesu alisema amechangia zaidi kwa sababu alitoa katika umasikini wake wakati wengine walitoa katika wingi wa vitu walivyo navyo.

Mark 13

Mark 13:1-2

Yesu alisema nini kingetokea katika mawe mazuri na majengo ya hekalu?

Yesu alisema kwamba hapata salia jiwe juu ya jiwe lingie ambalo halita angushwa chini.

Mark 13:3-4

Je ni swali gani baadaye wanafunzi walimuuliza Yesu?

Wanafunzi walimuuliza Yesu , niwakati gani mambo haya yatatokea na kutakuwa na ishara gani.

Mark 13:5-6

Ni kuhusiana na nii Yesu aliwambia wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu?

Yesu alisema wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu mtu asiwapotoshe.

Ni kuhusiana na nii Yesu aliwambia wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu?

Yesu alisema wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu mtu asiwapotoshe.

Mark 13:7-8

JeYesu alisema ni ni itakuwa mwanzo wa utungu

Yesua alisema mwanzo wa utungu itakua ni vita, tetesi za vita, matetemeko, na njaa.

JeYesu alisema ni ni itakuwa mwanzo wa utungu

Yesua alisema mwanzo wa utungu itakua ni vita, tetesi za vita, matetemeko, na njaa.

Mark 13:9-10

Yesu alisema nini kingetokea kwa wanafunzi?

Yesu alisema wanafunzi watafikishwa kwenye mabaraza, watapigwa katika masinagogi, nawatasimama mbele ya watawala na wafalme kama ushuhuda.

Yesu alisema nini lazima kitokee kwanza?

Yesu alisema injili lazima ihubiriwe kwa mataifa yote kwanza.

Mark 13:11-13

Yesu alisema nini kitatokea kati ya ndugu wa familia?

Yesu alisema kwamba ndugu wa familia watauana.

Yesua alisema ni nani atakaye okoka?

Yesua alisema yeye atakaye vumilia mpaka mwisho ndiye atakaye okoka

Mark 13:14-16

Yesu alisema wale wa Yuda wafanye nini watakapoliona lile chukizo la uharibifu?

Yesua alisema wale wa Yuda wakimbie milimani watakapoliona chukizo la uharibifu

Mark 13:17-20

Yesu alisema Bwana atafanya nini kwa ajili ya wateule, ili kwamba waweze kuokolewa?

Yesu alisema Bwana atafupisha siku za dhiki kuu kwa ajili ya wateule.

Mark 13:21-23

Yesu alisema nani atatokea kudanganya watu?

Yesu alisema kwamba makristo na manabii wa uongo watatokea kuwadanganya watu.

Mark 13:24-29

Nini kitatokea kwenye mamlakaya ya mbingu baada ya ile dhiki ya siku zile?

Jua na mwezi vitatiwa giza, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu katika mbingu zitatikisika

Nini kitatokea kwenye mamlakaya ya mbingu baada ya ile dhiki ya siku zile?

Jua na mwezi vitatiwa giza, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu katika mbingu zitatikisika

Kitu gani watu watakiona mawinguni?

Watamwona mwana wa Adam akija mawinguni na nguvu kubwa na utukufu.

Mwana wa Adamu atafanya nini atakapo kuja?

Mwana wa Adamu atawakusanya wateule wake kutoka katika miisho ya dunia na anga.

Mark 13:30-32

Yesu alisema kitu ganihakitapita hadi mambo yote haya yatimie?

Yesu alisema kuwa kizazi hiki hakitapita mpaka yote haya yawe yametimia.

Ni jambo gani Yesu alisema halitapita?

Yesu alisema kwamba neno lake halitapita.

Yesu alisema haya yote yatatokea wakati gani?

Yesu alisema hakuna ajuaye siku wala saa, isipokuwa Baba.

Mark 13:33-34

Ni amri gai Yesu aliwapa wanafunzi kuhusiana na ujio wake?

Yesu aliwambia wanafunzi kuwa wawe tayari.

Mark 13:35-37

Ni amri gai Yesu aliwapa wanafunzi kuhusiana na ujio wake?

Yesu aliwambia wanafunzi kuwa wawe tayari

Ni amri gai Yesu aliwapa wanafunzi kuhusiana na ujio wake?

Yesu aliwambia wanafunzi kuwa wawe tayari

Mark 14

Mark 14:1-2

Makuhani wakuu na waandishi walikuwa wakifanya nini?

Walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa siri na kisha wamuue.

Kwa nini makuhani wakuu na waandishi hawakutaka kutimiza haya wakati wa sherehe ya mikate isiyotiwa chachu?

Walikuwa wanaogopa kuwa ghasia itatokea miongoni mwa watu

Mark 14:3-5

Ni nini Yesu alicho fanyiwa na mwanamke katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma?

Mwanamke alivunja chupa ya marashi nakuyamimina juu ya kichwa cha Yesu.

Ni kwa ajili gani watu walikuwa wanamkemea yule mwanamke?

Baadhi walikuwa wanamkemea mwanamke kwamba ange uza yale manikato na kutoa fedha ile kwa maskini.

Mark 14:6-9

Ni jambo gani Yesu alisema mwanamke amemfanyia Yesu?

Yesu alisema mwanamke amempaka mafuta kwenye mwili wake kwa ajili ya maziko.

Je ni ahadi gani Yesu aliitoa kuhusu kile alicho fanya mwanamke?

Yesu alitabiri kwamba popote ambapo injili ilihubiriwa katika ulimwengu wote, kile alicho fanya mwanamke kitazungumzwa kwa kumbukumbu yake.

Mark 14:10-11

Ni kwa nini yuda Iskariote aliondoka na kwenda kwa makuhani wakuu?

Yuda Iskariote aliondoka nakwenda kwa makuhani wakuu ili aweze kumuweka Yesu mikononi mwao.

Mark 14:12-16

Ni jinsi gani Yesu alitafuta sehemu ambapo wangeweza kula mlo wa Pasaka?

Yesu aliwaambia kwenda mjini na wamfuate mwanamume ambaye amebeba mtungiwa maji na kisha mumuulize mahali nyumba ya wageni ilipo ambayo mtatumia kulia Pasaka.

Ni jinsi gani Yesu alitafuta sehemu ambapo wangeweza kula mlo wa Pasaka?

Yesu aliwaambia kwenda mjini na wamfuate mwanamume ambaye amebeba mtungiwa maji na kisha mumuulize mahali nyumba ya wageni ilipo ambayo mtatumia kulia Pasaka.

Mark 14:17-19

Yesu alisema nini wakati walipokuwa wameketi mezani na kula?

Yesu alisema kuwa mmoja kati ya wanafunzi anayekula pamoja naye atamsaliti.

Mark 14:20-21

Ni mwanafunzi gani ambaye Yesu alisema atamsariti?

Yesu aliwambia ni mmoja wenu ambaye anachova tonge sasa kwenye bakuli pamoja nami ndiye atakaye nisaliti.

Yesu alisema nini kuhusu hatima ya yule atakaye msaliti?

Yesu alisema ingelikuwa vema kwake kama asingelizaliwa.

Mark 14:22-25

Yesu alisema nini alipowapa wanafunzi mkate uliokatwa?

Yesu alisema, ''Chukueni. Huu ni mwili wangu''.

Yesu alisema nini alipokuwa anawapa wanafunzi wake kikombe?

Yesu alisema, Hii ni damu yangu ya agano, damu ambayo imetolewa kwa ajili ya wengi.

Ni wakati gani Yesu alisema ange kunywa tena tunda la mdhabibu?

Yesu alisema atakunywa tena tunda hili la mzabibu katika siku ambayo atakunywa divai mpya katika ufalme wa mbinguni.

Mark 14:26-29

Katika mlima wa mizeituni, Yesu alitabiri nini kuhusu wanafunzi wake?

Yesu alitabiri kuwa wanafunzi wake wote watajitenga kwa sababu yake.

Mark 14:30-31

Yesu alimwambia nini Petro baada ya Petro kusema itanilazimu kufa pamoja nawe?

Yesuakamwambia Petro kwamba kabla jogoo hajawika mara mbili , utakuwa umenikana mara tatu.

Mark 14:32-34

Yesu aliwaambia kufanya nini wanafunzi wake watatu wakati akiomba?

Yesu aliwaambia kwmba kaeni hapa muangalie.

Yesu aliwaambia kufanya nini wanafunzi wake watatu wakati akiomba?

Yesu aliwaambia kwmba kaeni hapa muangalie.

Mark 14:35-36

Yesu aliombea nini?

Yesu aliomba kuwa saa hii iondoke kwake.

Yesu alikuwa tayari kupokea jibu lipi katika maombi yake kwa baba?

Yesu alikuwa tayari kupokea chochote ambacho ni mapenzi ya baba kwake.

Mark 14:37-39

Yesu alikuta nini alipo rudi kwa wanafunzi wake watatu?

Yesu alikuta wanafunzi wake watatu wamelala.

Mark 14:40-42

Yesu alikuta nini tena aliporudikutoka kuomba mara ya pili?

Yesu aliwakuta wanafuzi wake watatu wamelala.

Yesu alikuta nini tena aliporudikutoka kuomba mara ya tatu?

Yesu aliwakuta wanafuzi wake watatu wamelala.

Mark 14:43-46

Ni ishara gani ambayo Yuda alitoa kuwaonesha walinzi ni mtu yupi alikuwa Yesu?

Yuda alimbusu Yesu kuonesha ni mtu yupi alikuwa Yesu.

Ni ishara gani ambayo Yuda alitoa kuwaonesha walinzi ni mtu yupi alikuwa Yesu?

Yuda alimbusu Yesu kuonesha ni mtu yupi alikuwa Yesu.

Mark 14:47-50

Yesu alisema ni kinafanyika wakati wanamkamata kilichokuwa kinatimiza maandiko?

Yesu alisema kwamba Maandiko yalikuwa yanatimizwa kwasababu walikuja kumkamata kama mwizi, kwa mapanga na marungu.

Yesu alisema ni kinafanyika wakati wanamkamata kilichokuwa kinatimiza maandiko?

Yesu alisema kwamba Maandiko yalikuwa yanatimizwa kwasababu walikuja kumkamata kama mwizi, kwa mapanga na marungu.

Wale waliokuwa na Yesu walifanya nini wakati Yesu alipokamatwa?

Wale waliokuwa na Yesu walimwacha na kukimbia.

Mark 14:51-52

Kijana mdogo aliye kuwa aki mfuata Yesu alifanya nini yesu alipo kamatwa?

Kijana aliachia shuka pale akakimbia uchi.

Kijana mdogo aliye kuwa aki mfuata Yesu alifanya nini yesu alipo kamatwa?

Kijana aliachia shuka pale akakimbia uchi.

Mark 14:53-54

Petro alikuwa wapi wakati Yesu alipochukuliwa kwenda kwa makuhani wakuu?

Petro aliketi pamoja na walinzi, waliokuwa wameketi karibu na moto wakiota ili kupata joto.

Petro alikuwa wapi wakati Yesu alipochukuliwa kwenda kwa makuhani wakuu?

Petro aliketi pamoja na walinzi, waliokuwa wameketi karibu na moto wakiota ili kupata joto.

Mark 14:55-59

Nini likuwa kosa na ushaidi uliotolewa kuhusu Yesu kwenye Baraza?

Ushuhuda dhidi ya Yesu ulikuwa ni wa uongo na haukupatana.

Nini likuwa kosa na ushaidi uliotolewa kuhusu Yesu kwenye Baraza?

Ushuhuda dhidi ya Yesu ulikuwa ni wa uongo na haukupatana.

Mark 14:60-62

Ni swali gani kuhani mkuu alimuuliza Yesu kuhusu yeye alikuwa ni nani?

Kuhani mkuu alimuuliza Yesu ikiwa yeye ni Kristo, mwana wa mbarikiwa.

Jibu la Yesu lilikuwa lipi kwa swali la kuhani mkuu?

Yesu alijibu kuwa alikuwa ndiye Kristo mwana wa mbarikiwa.

Mark 14:63-65

Aliposikia jibu la Yesu, kuhani mkuu alisema Yesu anahatia gani?

Kuhani mkuu alisema Yesu alikuwa na hatia ya kukufuru.

Walimfanyia nini baada ya kumuhukumu kuwa anastahili kifo?

Walimtemea mate, wakampiga, na kumchapa

Mark 14:66-70

Jibu la Petro lilikuwa ni lipi kwa mmoja wapo wawatumishi wasichanawa kuhani aliye mwambia Petro kuwa alikuwa pamoja na Yesu?

Petro alikana kuwa hajui wala aelewi kile msichana anacho sema.

Jibu la Petro lilikuwa ni lipi kwa mmoja wapo wawatumishi wasichanawa kuhani aliye mwambia Petro kuwa alikuwa pamoja na Yesu?

Petro alikana kuwa hajui wala aelewi kile msichana anacho sema.

Mark 14:71-72

Petro alijibu nini alipo ulizwa mara ya tatu kuwa alikuwa moja ya wanafunzi wa Yesu?

Petro alianza kujilaani mwenyewe na kuapa kuwa amujui Yesu.

Mark 15

Mark 15:1-3

Asubuhi na mapema ni kitu gani kuhani mkuu alifanya kwa Yesu?

Asubuhi na mapema walimfunga Yesu na kumpeleka kwa Pilato

Mark 15:4-5

Wakati kuhani mkuu akieleza mashitaka mengi dhidi ya Yesu ni jambo gani lilimshangaza Pilato kuhusu Yesu?

Pilato alishangaa kuwa Yesu alikuwa hamjibu.

Mark 15:6-8

Pilato alikuwa akifanya nini marakwa mara kwa ajili ya makutano wakati wa sherehe.

Pilato mara kwa mara alikuwa akiwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sherehe

Mark 15:9-11

Kwa nini Pilato alitaka kumkabidhi Yesu kwa makutano?

Pilato alijua kuwa ni kwasababu ya wivu , kuhani mkuu alimleta Yesu kwake

Makutano walimlilia nani afunguliwe?

Makutano walimlilia baraba afunguliwe

Mark 15:12-15

Nini ambacho makutano walisema kifanyike kwa mfalme wa wayahudi?

Makutano walisema , mfalme wa wayahudi asulibiwe.

Nini ambacho makutano walisema kifanyike kwa mfalme wa wayahudi?

Makutano walisema , mfalme wa wayahudi asulibiwe.

Mark 15:16-18

Kikosi cha maaskari walimvika nini Yesu?

Maaskari walimvika Yesu kanzu ya rangi ya zambarawe, na kumvika taji ya miba iliyogeuzwa

Mark 15:19-21

Nani alibeba msalaba wa Yesu?

Mptaji, Simon mkirene, alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu.

Mark 15:22-24

Jina la mahali ambapo maaskari walimpeleka Yesu asulibiwe paliitwaje?

Jina la mahali ni goligotha, ambayo inamaanisha Fuvu lakichwa.

Maaskaari walizifanyia nini nguo za Yesu?

Maaskari walizipigia kura ngua za Yesu.

Mark 15:25-28

Je ni shitaa gani ambalo maaskari waliandika kwenye tangazo juu ya ubao?

Maaskari waliandika, "Mfalme wa wayahudi" juu ya ubao.

Mark 15:29-30

Wale wapitaji walikuwa wanamwambia Yesu afanye nini?

Wale waliokuwa wanapita walimwambia Yesu ajiokoe na ashuke kutoka msalabani.

Wale wapitaji walikuwa wanamwambia Yesu afanye nini?

Wale waliokuwa wanapita walimwambia Yesu ajiokoe na ashuke kutoka msalabani.

Mark 15:31-32

Je kuhani mkuu alisema Yesu afanye nini ili waweze kuamini?

Kuhani mkuu alisema Yesu ashuke chini ili waeweze kuamini.

Je kuhani mkuu alisema Yesu afanye nini ili waweze kuamini?

Kuhani mkuu alisema Yesu ashuke chini ili waeweze kuamini.

N vyeo gani kuhani mkuualimpatia Yesu wakati wanamdhihaki?

Kuhani mkuu alimuita Yesu "Kristo" na "mfalme wa Israel"

Mark 15:33-35

Kulitokea nini katika saa ya sita?

Katika saa ya sita giza lilitanda juu ya nchi yote

Yesu alilia namna gani wakati wa saa tisa?

Yesu alilia , Mungu wangu Mungu wangu, kwa nini umeniacha?

Mark 15:36-38

Yesu alifanya nini kabla ya kufa

Yesu alilia kwa sauti kuu kabla hajafa.

Nini kilitokea hekaluni wakati Yesu alipokufa.

Pazia la hekalu lilipasuka mara mbili kutoka juu kwenda chini wakati Yesu alipokufa.

Mark 15:39-41

Afisa alishuhudia nini wakati alipoona Yesu akikata roho

Afisa alisema, kweli mtu huyu alikuwa mwana wa Mungu."

Mark 15:42-44

Ni siku gani ambayo Yesu alikufa?

Yesu alikufa siku moja kabla ya sabato

Mark 15:45-47

Yusufu wa almataya alifanya nini baada ya Yesu kufa

Yusufu wa almataya aliushusha mwili wa Yesu msalabani, akufunga sanda na kuulaza ndani ya kaburi, akivingilisha jiwe kuziba mlango wa kuingilia kaburini.

Mark 16

Mark 16:1-2

Je wanawake walikwenda wakati gani kaburini kupaka mafuta mwili wa Yesu?

Wanawake walikwenda kaburini siku ya kwanza ya juma asubuhi jua lilipochomoza.

Mark 16:3-4

Ni jinsi gani wanawake waliingia kaburini wakati kulikuwa na jiwe kubwa kwenye mlango wa kuingilia kaburini?

Mtu mmoja alikuwa amelivingilisha jiwe lile kubwa mbali kutoka pale kaburini.

Mark 16:5-8

Wanawake waliona nini wakati walipoingia kaburini?

Wanawake waliona kijana aliye vaa kanzu amekaa upande wa kulia.

Kijana alisema nini kuhusu Yesu

Kijana alisema Yesu amefufuka hayupo hapa

Kijana alisema wanafunzi wake waende wapi kukutana na Yesu?

Kijana alise wanafunzi wake waende Galillaya ndiko watakutana na Yesu

Mark 16:9-11

Yesu alionekana na nani kwa mara ya kwanza baada ya kufufuka?

Yesu alionekana kwa Mariam Magdalena

Wanafunzi wa Yesu waliitikiaje wakati Mariam alipowaambia amemuona Yesu akiwa hai?

Wanafunzi wake hawakuamini

Mark 16:12-13

Wanafunzi wa Yesu waliitikiaje wakati Mariam alipowaambia amemuona Yesu akiwa hai

Wanafunzi wake hawakuamini

Mark 16:14-16

Wakati alipoonekana na wanafunzi Yesu aliwambia nini kuhusu kutoamini kwao?

Yesu alikemea kutoamini kwao

Ni amri gani Yesu aliwapa wanafunzi?

Yesu aliwapa amri ya kwenda ulimwenguni pote na kuhubiri injili.

Ni nani Yesu alisema wataokoka?

Yesua alisema waaminio ndio watakao okoka.

Ni wakina nani ambao Yesu alisema watahukumiwa?

Yesu alisema wale ambaohawakuamini ndio watakao hukumiwa

Mark 16:17-18

Je ni ishara gani zitaambatana na waaminio?

Yesu alisema waaminio watafukuza pepo, watazungumza lugha mpya, hawatadhuliwa na kitu cha kufisha, na watawaponya wengine.

Je ni ishara gani zitaambatana na waaminio?

Yesu alisema waaminio watafukuza pepo, watazungumza lugha mpya, hawatadhuliwa na kitu cha kufisha, na watawaponya wengine.

Mark 16:19-20

Nini kilitokea baada ya Yesu kuzungumza na wanafunzi wake?

Baada ya kuzungumza na wanafunzi wake, Yesu alichukuliwa juu mbinguni na kukaa mkono wa kulia wa Mungu.

Baadaye wanafunzi walifanya nini?

Wanafunzi baadaye waliondoka na wakahubiri kila mahali.

Bwana alifanya nini baadaye?

Bwana baadaye alitembea paoja na wanafunzi wake na kulithibitisha neno kwa miujiza na ishara.