1 Kings
1 Kings 1
1 Kings 1:1-2
Je, Mfalme Daudi alipozeeka alipata tatizo gsni?
Japokuwa walimfunika mfalme Daudi na nguo, bado hakupata joto.
1 Kings 1:3-4
Ijapokuwa Abishagi alikuwa mrembo na alimhudumia na kumwangalia mfalme lakini ni kitu gani ambacho mfalme Daudi hakukifanya kwa binti huyu?
Mfalme hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti huyu.
1 Kings 1:5-6
Je, Adiniya mwana wa Hagathi alijiinuaje?
Adoniya alitakakuwa mfalme, kwa alijiandalia mwenyewe magari na wapanda wafarasi na watu hamsini ili wamtangulie.
Je, mfalme Daudi alimwadhibu mwanawe na kumrekebisha tabia yake?
Hapana, mfalme Daudi hakumsumbua Adoniya kwa kumwabaia kwa nini unafanya haya?
1 Kings 1:7-8
Je, wale wanaume wawili waliomfuata na kumsaidia Adoniya?
Yoabu na Abiathari ndio waliomsaidia katika njama yake ya kuwa mfalme.
1 Kings 1:9-10
Je, Adoniya hamumkaribishsa nani katika tukio la kutoa sadaka?
Adoniya hakumkaribisha nabii Nathani, watu wakubwa, na ndugu yake Sulemani.
Je, Adoniya hamumkaribishsa nani katika tukio la kutoa sadaka?
Adoniya hakumkaribisha nabii Nathani, watu wakubwa, na ndugu yake Sulemani.
1 Kings 1:11-12
Je, ni nani aliyemtaarifu Bathisheba mama yake na Sulemani kuwa Adoniya alikuwa amejiapiza kuwa mfalme na kwamba maisha yake yalikuwa hatarini?
Nabii Nathani alimtaarifu Bathisheba kuwa maisha yake na maisha ya mwanawe Sulemani yalikuwa hatarini.
Je, ni nani aliyemtaarifu Bathisheba mama yake na Sulemani kuwa Adoniya alikuwa amejiapiza kuwa mfalme na kwamba maisha yake yalikuwa hatarini?
Nabii Nathani alimtaarifu Bathisheba kuwa maisha yake na maisha ya mwanawe Sulemani yalikuwa hatarini.
1 Kings 1:13-14
Je, niswali gani ambalo Nathani alimwambia Bathisheba kumwuliza mfalme Daudi?
Nabii Nathani alimwambIa Bathisheba Kumwuliza Daudi kama alimwahidi Sulemani kuwa atakuwa mfalme, kwa nini sasa Adoniya alikuwa anatawala?
1 Kings 1:15-17
Je, ni ahadi Gani ambayo mfalme Daudi alimwahidi Bathisheba?
Mfalme Daudi alikuwa amemwahidi Bathisheba kuwa Sulemani atakuwa mfalme baada ya Daudi.
1 Kings 1:18-19
Je, Bathisheba alimwambia mfalme Daudi kuwa Adoniya alikuwa anafanya nini?
Bathisheba alimwambia kuwa Adoniya alikuwa amejitangaza kuwa ni mfalme, bila mfalme Daudi kujua, na kwamba alikuwa ametoa sadaka nyingi za wanyama.
Je, Bathisheba alimwambia mfalme Daudi kuwa Adoniya alikuwa anafanya nini?
Bathisheba alimwambia kuwa Adoniya alikuwa amejitangaza kuwa ni mfalme, bila mfalme Daudi kujua, na kwamba alikuwa ametoa sadaka nyingi za wanyama.
1 Kings 1:20-23
Je, Bathisheba alihofia nini kingetokea kama Daudi angelikufa?
Alihofia kuwa yeye na mwanawe wangechukuliwa kuwa ni wahaini.
1 Kings 1:24-27
Kwa nini nabii Nathani alienda kumtembela mfalme Daudi?
Nabii Nathani alitaka kumtarifu mfalme Daudi kuwa Adoniya alikuwa akifanya utaratibu wa kujiaapiza kuwa mfalme bila ruhusa ya Daudi
Je, Nathani alimwuliza mfalme Daudi swali gani?
Nathani alimwuliza Daudi kama alikuwa amesema kuwa Adoniya atatawala baada yake na kukalia kiti cha enzi kama mfalme.
Kwa nini nabii Nathani alienda kumtembela mfalme Daudi?
Nabii Nathani alitaka kumtarifu mfalme Daudi kuwa Adoniya alikuwa akifanya utaratibu wa kujiaapiza kuwa mfalme bila ruhusa ya Daudi
1 Kings 1:28-31
Je, ni kiapo gania ambaacho mfalme Daudi alimwapia Bathisheba?
Daudi alimwapia kuwa mwanawe Sulemani atakuwa mtawala baada yake na kuwa atakalia kiti chake cha enzi.
Je, ni kiapo gania ambaacho mfalme Daudi alimwapia Bathisheba?
Daudi alimwapia kuwa mwanawe Sulemani atakuwa mtawala baada yake na kuwa atakalia kiti chake cha enzi.
1 Kings 1:32-37
Je, mfalme Daudi alimwambia Sadoki, Nathani, na Benaya kumfanyia nini mwanawe Sulemani?
Mfalme Daudi liwaambia hao maofisa wa ikulu yske kumpeleka Sulemani Gihoni kwenye nyumba na kumfanya kuwa mfalme wa Israeli.
Je, mfalme Daudi alimwambia Sadoki, Nathani, na Benaya kumfanyia nini mwanawe Sulemani?
Mfalme Daudi liwaambia hao maofisa wa ikulu yske kumpeleka Sulemani Gihoni kwenye nyumba na kumfanya kuwa mfalme wa Israeli.
1 Kings 1:38-48
Je, watu waliitikiaje Sadoki alipomtia mafuta Sulemani kuwa mfalme?
Watu walisema "Na aishi milele Sulemani!" na walifurahi faraha kubwa!
Je, watu waliitikiaje Sadoki alipomtia mafuta Sulemani kuwa mfalme?
Watu walisema "Na aishi milele Sulemani!" na walifurahi faraha kubwa!
1 Kings 1:49-51
Je, Adoniya alifanya nini aliposikia habari za kuwa Daudi amemfanya Sulemani kuwa mfalme wa Israeli?
Adoniya alimwogopa Sulemani, akaingia kwenye hekalu la Mungu akachukua pembe za madhabahuni.
1 Kings 1:52-53
Je, mfalme Sulemani alimwambia Adoniya kufanya nini walipomleta mbele ta Sulemani?
Mfalme Sulemani alimwambia Adoniya aende kwenye nyumba yake.
1 Kings 2
1 Kings 2:1-4
Je, mfalme Daudi alimwambiaje mwanawe Sulemani?
Daudi alimwambia mwanawe kumtii na kumwogopa Mungu daima.
1 Kings 2:5-6
Je, mfalme Daudi alimwambiaje Sulemani juu ya Yoabu mwana wa Seruya?
Mfalmae Daudi alimwambia kuwa asimwache aende kaburini kwa amani.
1 Kings 2:7
Je, wana wa Barizilai walimfaniyia kitu gani Daudi?
Wana wa Barizilai walimjia Daudi alipokuwa amemkimbia Absalomu.
1 Kings 2:8-9
Je, Shemei alikuwa amemfanyia nini mfalme Daudi?
Shemei alikuwa amemlaani mfalme Daudi kwa fujo.
Je, mfalme Daudi alimwambia Sulemani kumfanya nini Shimei?
Daudi alimwambia Sulemani kuwa asimwache Shimei bila kupata adhabu, bali amlete kaburini kwa damu.
1 Kings 2:10-12
Je, mfalme Daudi aliitawala Israeli kwa muda gani?
Daudi alitawala kwa miaka arobaini.
1 Kings 2:13-15
Je, Adoniya alimwambiaje Bathisheba alipomjia?
Adoniya alisema kuwa Israeli yote ilimtegemea yeye kuwa mfalme.
1 Kings 2:16-18
Je, Adoniya limwomba nini Bathisheba?
Adoniya alimwambia kuwa amwombe Sulemani kumpatia Abishagi Mshunami awe mke wake.
1 Kings 2:19-21
Je, kwa nini Bathisheba alienda kwa Sulemani?
Bathisheba alienda kwa Sulemani kumwombea Abishagi awe mke wa Adoniya.
1 Kings 2:22-23
Je, mfalme Sulemani alimjibuje Bathisheba?
Sulemani alisema kuwa Adoniya amelisema ombi hili kwa gharama ya maisha yake.
1 Kings 2:24-25
Je, Sulemani alimtuma nani kwenda kumwua Adoniya?
Sulemani alimtuma Benaya mwana wa Yehoyada kwenda kumwua Adoniya.
1 Kings 2:26-27
Je, mfalme Sulemani alimwambia Abiatahari kuhani kufanya nini?
Sulemani alimwambia Abiathari kuwa arudi mashambani kwake na akauache ukuhani.
1 Kings 2:28-29
Je, Yoabu alienda wapi kumkimbia Sulemani?
Yoabu alikimbilia kwenye hema l a BWANA akabeba pembe za madhabahuni.
Je, Sulemani alimtuma Benaya mwana wa Yehoyada kufanya nini?
Sulemani alimtuma kwenda kumwua Yoabu.
1 Kings 2:30-31
Je, Yoabu alimwambia nini Benaya mwana wa Yehoyada?
Yoabu alimwambia kuwa hatatoka hekaluni bali atafia madhabahuni.
Je, mfalme Sulemani alimwambia Benaya kumfanya nini Yoabu?
Sulemani alimwambia Benaya kufanya kama Yoabu alivyokuwa ameomba.
1 Kings 2:32-33
a nini mfalme Sulemani alimwua Yoabu?
Sulemani alimwua Yoabukwa sababu Yiabyu alimvamia na kumwua Abineri mwana wa Neri na Amasa mwana wa Jetheri bila idhini ya mfalme Daudi.
1 Kings 2:34-35
Je, mfalme Sulemani alifanya nini kumtuza Benaya mwana wa Yehoyada?
Sulemani alimfanya kuwa mkuu wa jeshi.
1 Kings 2:36-38
Je, mfalme Sulemani alimruhusu Shimei kwenda kuishi wapi?
Sulemani alimwambia Shimei kwenda kuishi Yerusalemu.
Je, falme Sulemani alimpa onyo gani Shimei alipomruhusu kwenda kuishi Yerusalemu?
Sulemani alimwambia Shimei kuwa atakapoondoka tu katika mji wa Yerusalemu kwenda mahali popote, atauawa.
1 Kings 2:39-42
Kwa nini Shimei alitandika punda wake akaondoka Yerusalemu kwenda Gathi?
Shimei aliondoka Yerusalemu kwenda Gathi ili kuwarudisha watumishi wake wawili ambao ambao walikuwa wametoroka.
1 Kings 2:43-44
Je, mfalme Sulelmani alimwambia Shimei kuwa amemfanya nini BWANA?
Sulemani alimwambia Shimei kuwa ameshindwa kutunza kiapo chake kwa BWANA, kwa hiyo BWANA atamrudishia maovu yake kichwani pake.
1 Kings 2:45-46
Je, mfalme Sulemani alifanya nini alipoambiwa kuwa Shimei alikuwa ameondoka Yerusalemu?
Sulemani alimwagaiza Benaya mwana wa Yehoyada kumwua Shimei.
1 Kings 3
1 Kings 3:1-3
Je, ni kwa nanma gani mfalme Sulemani alishirikiana na Farao mfalme wa Misri?
Sulemani alishirikiana na Farao kwa kumwoa binti yake.
Je, Mfalme Sulemani alifanya Kitu gani ambacho hakikutokakana na maagizo ya BWANA?
Sulemani alitoa sadaka na kuchoma uvumba mahali pa juu.
1 Kings 3:4-6
Je, mahali pajuu pa kutolea sadaka palikuwa wapi?
Mahali pa juu pa kutolea sadaka palikuwa Gibioni.
Je, BWANA alijionyeshaje kwa Sulemani?
BWANA alijionyesha kwa Sulemani kwa njia ya ndoto usiku.
1 Kings 3:7-9
Je, mfalme Sulemani alimwomba BWANA kitu gani?
Mfalme Sulemani alimwomba BWANA ampe moyo wa uelewa ili awahukumu watu wake.
1 Kings 3:10-12
Je, ombi la Sulemani lilimpendeza Bwana?
Ndiyo, ombi la Sulemani lilimpendeza Bwana.
Je, Mungu alimpa nini Sulemani?
Mungu alimpatia Sulemani moyo wa hekima Uelewa kiasi kwamba hakuna aliyekuwa kama yeye.
1 Kings 3:13-15
Je, Mungu alimpa Sulemani hata kitu ambacho hakuomba?
Ndiyo, Mngu alimpa Sulemani utajiri na heshima.
Je, Sulemani alitakiwa kufanya nini ili kmfanya Mungu aongeze wingi wa siku zake?
Mungu alisema ataongeza wingi wa siku za Sulemani kama tu ataishi katika maagizo ya Mungu na katika amri zake kama alivyofanya mfalme Daudi.
1 Kings 3:16-17
Je, ni nani aliyekuja akasimama mbele ya Sulemani?
Wanawake wawili waliokuwa makahaba walikuja wakasimama mbele ya Sulemani.
1 Kings 3:18-22
Je, mwanamke mmoja wao alimwambiaje mfalme Sulemani?
Mwanamke mmoja wao alisema kuwa yule mwanamke mwenzake alichukua mtoto wake aliyekuwa hai toka kwake na kumlaza mtoto wake aliyekuwa amekufa kifuani mwake wakatai yeye alipokuwa amesinzia.
1 Kings 3:23-25
Je, Sulemani aliwaagiza nini watumishi wake?
Sulemani aliwaagiza watumishi wake kumletea upanga ili amgawe mtoto aliyekuwa hai katika sehemu mbili ili awape kila mmoja kipande.
1 Kings 3:26-28
Je, yule mwanamke wa kwanza alimwambia nini mfalme Sulemani?
Yule mwanamke wa kwanza alimwambia mfalme Suleman achukue mtoto aliye hai ampatie yule mwanamke wa pili pasipo kumwua.
Je, mfalme Sulelmani aliamua kufanya nini na yule mtoto aliyekuwa hai?
Sulemani aliamua kumpatia yule mtoto aliyekuwa hai yule mwanamke wa kwanza.
Je, Israeli yote ilifanya nini waliposikia hukumu ya mfalme Sulemani?
Israeli yote walimwogopa mfalme Sulemani kwa sababu waliiona hekima ambayo Mungu alikuwa amempa ili kutoa hukumu.
1 Kings 4
1 Kings 4:1-4
Je, Sulemani alikuwa mfalme juu ya Israeli yote?
Ndiyo, Sulemani alikuwa mfalme juu ya Israeli yote.
1 Kings 4:5-6
Je, mfalme Sulemani alikuwa na maakida na maofisa?
Mfalme Sulemani alikuwa na wanaume wengi waliokuwa maakida na maofisa.
1 Kings 4:7-19
Je, kila akida wa Sulemani alitoa chakula kwa muda gani?
Kila akida alitakiwa kuhudumia chakula kwa muda wa mwezi mmoja katika mwaka.
1 Kings 4:20-23
Je, Yuda na Israeli walikuwa wengi kiasi gani?
Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa ufukwe wa bahari.
Je, ufalme wa Sulemani ulikuwa ukubwa gani?
Ufalme wa Sulemani ulianzia kwenye Mtohadi kwenye nchi ya wafilisti na mpaka kwenye mpaka wa Misri.
Je, chakula cha Sulemani kwa siku kilikuwaje?
Chakula cha Sulemanikwa siku kilikuwa unga safi, ngano,makisai kumi, kondoo mia moja, ayala, paa, fahari ishirini wa malisho, kulingu na kuku walionona.
Je, chakula cha Sulemani kwa siku kilikuwaje?
Chakula cha Sulemanikwa siku kilikuwa unga safi, ngano,makisai kumi, kondoo mia moja, ayala, paa, fahari ishirini wa malisho, kulingu na kuku walionona.
1 Kings 4:24-25
Je, Yuda na Israeli walishije katika siku zote za Sulemani?
Yuda na Israeli walishi kwa amani, kila mtu kwenye mizabibu yake, na mitini yake katika siku zote za mfalme Sulemani.
1 Kings 4:26-28
Je, Sulemani alikuwa na mababnda mangapi ya farasi wa magari yake?
Sulemani alikuwa na mabanda elfu arobaini ya farasi wa magari yake.
Je, farasi wa Suleimani waliletewa kitu gani
Waliletewa shayiri na majani kwa ajili ya walae farasi wa magari yake na kwa wale farasi wa mbio.
1 Kings 4:29-31
Je, Mungu alimpa nini Sulemani?
Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa sana n a ufahamu mwingi kama mchanga wa ufukwe wa bahari.
Je, uvumi wa Sulemani ulienea kiasi gani kwa mataifa yaliyoizunguka Israeli?
Taarifa na uvumi wa Sulemani ulienea kwa mataifa yote yaliyoizunguka israeli.
1 Kings 4:32-34
Je, Suleamani alikuwa na mitjali na nyimbo ngapi?
Sulemani aliimba nyimbo elfu tatu na mithali zake zilikuwa elfu moja na mia tano.
1 Kings 5
1 Kings 5:1-3
Ni nani aliyetuma watumwa kwa Sulemani?
Hiramu mfalme wa Tiro alituma wajumbe kwa Sulemani.
Kwa nini Daudi hakuweza kujenga nyumba kwa jina la BWANA?
Daudi hakuweza kujenga nyumba kwa jinala BWANA kwa sababu ya vita.
1 Kings 5:4-5
Je, BWANA alimwambia nini Daudi?
BWANA alimwambia Daudi "mwanao nitakayemweka kwenye kiti cha enzi ndiye atakayenijengea hekalu kwa jina langu."
1 Kings 5:6
Je, Sulemani alimwaomba Hiramu kufanya nini?
Sulemani alimwomba Hiramu awaamuru watumishi wake wakate mierezi kutoka Lebanoni kwa ajili yake.
1 Kings 5:7-8
Hiramu alifanya nini aliposikia maneno ya Sulemani?
Hiramu alifurahi furaha kubwa mno na akasema, "BWANA wangu na abarikiwe leo."
Je, Hiramu alifanya kama Sulemani alivyokuwa ameomba?
Ndiyo, Hiramu alituma ujumbe kwa Sulemani akisema, "Nitafanya vyote unavyotamani kuhusiana na miti ya mierezi na miti ya miberoshi."
1 Kings 5:9
Je, watumishi wa Hiramu walipaswa kuifanya nini ile miti.
Watumishi wa Hiramu waliileta ile miti kutoka Lebanoni hadi baharini na kuifanya katika vyelezo.
1 Kings 5:10-12
Ni chakula gani ambacho Sulemani alimpa Hiramu?
Sulemanai alimpa Hiramu kori ishirini elfu za ngano n a kori ishirini za mafuta safi.
Je, kulikuwa na amani kati ya Hiramu na Sulemani?
Ndiyo, kulikuwa na amani kati ya Hiramu na Sulemani na hao wawili walitengenenza agano.
1 Kings 5:13-14
Je, Sulemani alikuwana watenda kazi wangapi kutoka Israeli
Watenda kazi wa Sulemani kutoka Israeli walikuwa elfu thelathini.
Je, Sulemani alimweka nani kuwa juu ya hao watenda kazi?
Sulemani alimweka Adoniramu kuwa juu ya hao watenda kazi wote.
1 Kings 5:15-16
Je, Sulemani alikuwa na wanaume waliokuwa wakisimamia kazi zote?
Ndiyo Sulemani alikuwa na maakida 3,300 waliokuwa juu ya kazi na ndio waliosimamia kazi zote.
1 Kings 5:17-18
Je, wafanya kazi walichimba nini kwa ajili ya ujenzi wa msingi nyumba ya BWANA?
Watendakazi walichimba mawe makubwa kwa ajiliya msingi wa nyumba ya BWANA.
1 Kings 6
1 Kings 6:1-2
Je, Sulemani alianza nini kulijenga hekalu la BWANA.
Sulemani alianza kulijenga hekalu katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka Misri.
Je, vipimo vya hekalu ambalo Sulemani alimjengea BWANA vilikuwaje?
Hekalu ambalo Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, upana wa mita 9, na kimo cha mita 13.5.
1 Kings 6:3-6
Je, Sulemani alitengenza madirisha kwa ajili ya ile nyumba
Ndiyo, Sulemani aliweka madairisha kwenye ile nyumba.
1 Kings 6:7-8
Je, yale mawe ya ile nyumba yalitengenezewa wapi?
Yale mawe ya nyumba yalitengengenezewa kwenya kwenye machimbo ya mawe.
1 Kings 6:9-10
Je, Sulemani alitumia nini kuizeka ile nyumba?
Sulemani aliizeka ile nyumba kwa boriti na mbao za mierezi.
Je, vile vyumba vya pembeni viliunganishwaje kwenye nyumba?
Vyumba vya pembeni viliunganishwa kwenye nyumba kwa mbao za mierezi.
1 Kings 6:11-13
Je, BWANA aliahidi kuishi miongoni mwa watu wa Israeli?
Ndiyo BWANA aliahidi kuishi miongoni mwa Waisraeli na kamwe hatawaacha.
1 Kings 6:14-15
Je, Sulemani alitumia kitu gani kuzijenga kuta za ndani?
Sulemani alitumia mbao za mierezi kuzijenga kuta za ndani.
1 Kings 6:16-18
Je, ule ukumbi mkubwa ulikuwa na urefu gani?
Ukumbi mkubwa ulikuwa na urefu wa mita kumi 18.
1 Kings 6:19-20
Kwa nini Sulemani alijenga mahali patakatifu pa patakatifu ndani ya ile nyumba?
Sulemani alitengeneza mahali patakatifu pa patakatifu ndani ya ile nyumba rasmi kwa ajili ya sanduku la agano la BWANA.
1 Kings 6:21-22
Je, Sulemani alitumia nini kusakafia ndani ya hekalu na kwenye madhabahu ya patakatifu pa patakatifu?
Sulemani alisakafia ndani ya hekalu lote na madhabahu ya mahali patakatifu pa patakatifu kwa kutumia dhahabu.
1 Kings 6:23-26
Je, kimo cha makerubi ambayo Sulemani alijenga kwa ajili ya mahali patakatifu sana kilikuwaje?
Makerubi ya mahali patakatifu sana yalikuwa na kimo cha mita 4.5.
1 Kings 6:27-28
Je, Sulemani aliyaweka wapi yale makerubi aliyotengeneza?
Sulemani aliyaweka yale makerubi katika chumba cha ndani.
1 Kings 6:29-30
Je, Sulemani alinakshi nini kwenye kuta za nyumba?
Sulemani aliunakshi ukuta kwa picha za makerubi, miti ya mitende, na maua kwa yaliyochanua.
1 Kings 6:31-36
Je, Sulemani aliweka milango kwenye malango ya mahali patakatifu?
Ndiyo, Sulemani aliweka milango ya mizeituni kwenye malango ya mahali patakatifu.
1 Kings 6:37-38
Je, Sulemani alitumia muda gani kulijenga hekalu?
Sulemani alilijenga hekalu kwa muda wa miaka saba.
1 Kings 7
1 Kings 7:1-5
Je, Sulemanai alijenga nyumba yake kwa muda gani?
Sulemani aliijenga nyumba yake kwa muda wa miaka kumi na mitatu.
Je, Sulemani alitumia msitu gani kuijenga ikulu yake?
Sulemani aliijenga ikulu yake kwa kutumia msitu wa Lebanoni.
1 Kings 7:6
Je, lile colido kwenye ikulu ya Sulemani lilikuwa na ukubwa gani?
Kiolido kwenye ikulu ya Sulemani lilikuwa na urefu wa mita 23 na upana wa mita 14.
1 Kings 7:7
Je, ule ukumbi Sulemani wa hukumu ulikuwa umeezekwa kwa kitu gani?
Ukumbi wa hukumu waSulemani ulikuwa umeezekwa kutoka chini mpaka juu kwa mierezi.
1 Kings 7:8
Je, Sulemani alimjengea ninii mke wake, bunti wa Farao?
Sulemani alimjengea mke wake nyumba ya kuwa kama yake mke wake, binti wa Farao.
1 Kings 7:9-10
Je, yale mawe ya msingi yalikuwa na ukubwa gani?
Yale mawe ya msingi yalikuwa na urefu wa mita 3.7 na mengine mita 4.8.
1 Kings 7:11-12
Je, lile behewa lilikuwa na safu ngapi za mawe yaliyokatwa kuizunguka ikulu.
Behewa kubwa iliyozunguka ikulu ilikuwa na safu tatu za mawe yaliyokatwa.
1 Kings 7:13-14
Ni nani aliyekuja kufanya kazi ya shaba kwa Sulemani?
Hiramu ndiye aliyekuja kufanya kazi ya shaba kwa Sulemani.
1 Kings 7:15-19
Je, Hiramu alitengeneza nguzo ngapi za shaba?
Hiramu alitengeneza nguzo mbili za shaba.
1 Kings 7:20-24
Je, ni kitu gani kilichowekwa kwenye vichwa vya zile nguzo?
Kuliwekwa makomamanga mia mbili katika safu kwenye hivyo vichwa vya nguzo
1 Kings 7:25-26
Je, ile bahari ilikalishwa kwenye makisai wangapi?
Ile bahari iliwekwa juu ya makisai kumi na mbili makisai tatu wakielekea kaskazini, tatu kusini, tatu mashariki na tatu magharibi.
1 Kings 7:27-31
Je, vile vikalishio vya shaba vilikuwa na kim0 gani?
Kimo cha kila kikalishio kilikuwa mita 1.3.
1 Kings 7:32-37
Je, yale magaurudumu yaliyokuwa chini ya papi yalikuwa yametengenezwa kwa vitu gani?
Yale magurudumu chini ya papi yalikuwa yametengenezwa kwa vyuma vyva kusubu.
1 Kings 7:38-39
Je, zile birika za Huramu ziliweza kubeba maji kiasi gani?
Zile birika za Huramu ziliweza kubeba bathi arobaini za maji.
1 Kings 7:40-47
Je, Huramu aliikamilisha ile kazi ya kwenye hekalu la BWANA?
Ndiyo, Huramu aliijamilisha kazi yote ambayo aliifanya kwa ajili ya mfalme Sulemani katika hekalu la BWANA.
1 Kings 7:48-50
Je, Sulemani alitumia kitu gani kutengeneza mapambo ya kwenye hekalu la BWANA?
Sulemani alitumia dhahabu kutengeneza mapambo yote ya kwenye hekalu la BWANA.
1 Kings 7:51
Je, Sulemani aliweka kitu gani kwenye chumba cha hazina cha nyumba ya BWANA?
Sulemani aliweka kwenye kile chmba cha hazina cha BWANA fedha zote, dhahabu na mapambo yote ambayo baba yake Daudi alikuwa ameviweka wakfu.
1 Kings 8
1 Kings 8:1-5
Kwa nini Sulemani aliwakusanya viongozi wote wa Israeli mbele yake?
Sulemani aliwakusanya viongozi wa Israeli ili kuliingiza sanduku la agano la BWANA kutoka kwenye mji wa Daudi.
Je, ni akina nani waliokusanyika mbele ya Sulemani kwenye ile sikukuu?
Wanaume wote wa Israeli walikusanyika mbele za Sulemani kwenye ile sikukuu?
1 Kings 8:6-8
Je, wale makuhani waliliweka wapi lile sanduku la agano?
Makuhani waliliingiza lile sanduku la agano la BWANA mahali patakatifu pa patakatifu.
1 Kings 8:9-13
Je, ni kitu gani kilichoijaza nyumba ya BWANA?
Utukufu wa BWANA uliijaza nyumba yake.
1 Kings 8:14-16
Je, mfalme alifanya nini kwa ajili ya mkusanyiko wa Waisraeli.
Mfalme aliwabariki mkusanyiko wote wa Waisraeli walipokuwa wamesimama.
1 Kings 8:17-21
Je, ni kitu gani ambacho BWANA alikuwa amemwambia Daudi?
BWANA alikuwa amemwambia Daudi kuwa mwanawe ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina lake.
1 Kings 8:22-24
Je, Sulemani alifanya kitu gani mbele ya madhabahu ya BWANA?
Sulemani alisimama kwenye maadhabahu ya BWANA akanyosha mikono yake.
1 Kings 8:25-28
Je, Sulemani alimwomba nini BWANA?
Sulemani alimwomba BWANA kuwa ile ahadi yake kwa Daudi itimie.
1 Kings 8:29-30
Je, Sulemani alimwomba BWANA afanye nini?
Sulemani alimwomba BWANA kuwa macho yake yakuwa kwenye lile hekalu mchana na usiku.
Je, BWANA atawaskia Waisraeli kutoka wapi wakimwomba?
BWANA atawasikia kutoka mbinguni mahali anapoishi.
1 Kings 8:31-32
Je, Sulemani alimwomba BWANA kuwafanya nini watu wenye haki
Sulemani aliomba kuwa mtu mwenye haki atunzwe kuwa si mwenye hatia na atunukiwe kutokana na haki yake.
1 Kings 8:33-34
Je, ni wakati gani ambapo Israeli atashindwa na maadui wake?
Ni wakati ambapo watakuwa wamemtenda dhambi BWANA.
1 Kings 8:35-38
Ni wakati gani ambapo mbingu zitafungwa na hakutakuwa na mvua?
Mbingu zitafungwa na hakutakuwa na mvua pale watu wake watakapofanya dhambi dhidi ya BWANA.
1 Kings 8:39-40
Kwa Sulemani anamwomba BWANA kusikia na kusamehe dhambi za watu?
Sulemani alimwomba BWANA kuwasamehe watu ili kwamba wawe na hofu yake siku zote ambazo wataishi katika nchi.
1 Kings 8:41-45
Kwa nini mgeni atatoka katiaka nchi ya mbali?
Mgeni ataka katika nchi ya mbali kwa ajili ya jina la BWANA?
Kwa nini Sulemani anamwomba BWANA kufanya chochote kile ambacho mgeni atamwomba kufanya?
Ili kwamba makundi yote ya watu watalijua jina lake n a kumwogopa.
1 Kings 8:46-47
Kwa nini mgeni atamchukua Israeli kuwa mateka kutoka kwenye nchi yake?
Mgeni atamchukua Israeli kutoka nchi yake na kuwa mtumwa kwa sababu BWANA alikuwa na hasira dhidi ya Israeli na kuwakabidhi kwa maadui zao.
Je, Waisraeli watasema kitu gani wakiwa kwenye nchi y a maadui zao?
Waisraeli watasema, "Tumetenda uovu na kufanya dhamdi.Tumefanya uovu."
1 Kings 8:48
Je, Waisraeli watafanya kitu gani katika nchi ya maaddui zao?
Waisraeli watamrudia BWANA kwa mioyo yao yote na roho zao zote na kumwomba yeye.
1 Kings 8:49-50
Je, Sullelmani alimwomba BWANA kufanya nini kwa watu wake wakimwomba?
Sulemani alimwomba BWANA kuwasamehe watu wake na kuwarehemu.
1 Kings 8:51-53
Je, BWANA aliwaokoa watu wake toka wapi?
BWANA aliwaokoa watu wake toka Misri kama kutoka kwenye tanuru la moto.
Je, Sulemani alimwomba BWANA kufanya nini watu wake watakapomwomba?
Sulemanai alimwomba BWANA kufumbua macho yake kwa ajili ya maombi yao na kuwasikiliza.
Kwa nini BWANA aliwatenga watu wake toka watu wote wa dunia?
BWANA aliwaenga watu wake toka watu wote wa dunia ili wawe wake na wapokee ahadi zake.
1 Kings 8:54-58
Je, Sulemani alifanya nini baada ya kuwa amemaliza maombi yake kwa BWANA?
Baada ya kumaliza maombi yake, Sulemani alisimama na kuwabariki watu wote wa Israeli kwa sauti kuu.
1 Kings 8:59-61
Je, Sulemani alitaka watu wote wa dunia kujua nini?
Sulemani aliwataka watu wote wa dunia kujua kuwa BWANA ni Mungu na hakuuna Mungu mwingine.
Je, Sulemani aliwaambia watu wa BWANA kufanya nini?
Sulemani aliwaambia kuitunza mioyo yao kwa ajili ya BWANA nakuishi katika maagizo na amri zake.
1 Kings 8:62-63
Je, ni nani aliyetoa sadaka kwa BWANA?
Mfalme na Waisraeli waot kwa pamoja walitoa sadaka kwa BWANA.
Je, Sulemani alitoa dhabihu ya makisai na kondoo wangapi?
Sulemani alitoa dhabihu ya makisai 22,000 na kondoo 120,000 kwa BWANA.
1 Kings 8:64
Kwa nini mfalme aliiweka wafu ile behewa ambayo ilikuwa mbele ya hekalu la BWANA?
Mfalme aliiweka wakfu ile behewa kwa sababu ile ile madhabahu ya shaba ilikuwa ndogo sana kwa dhabihu zote.
1 Kings 8:65-66
Je, ni wakati gani ambapo mfalme aliwaambia watu warudi majumbani kwao?
Katika siku ya nane, mfalme aliwarudisha watu majumbani mwao.
1 Kings 9
1 Kings 9:1-2
Sulemani alipomaliza kuuijenga nyumba, BWANA alifanya nini?
Sulemani alipomaliza kujenga nyumba, BWANA alionekana kwa mara ya pili.
1 Kings 9:3
Je, BWANA alimwambiaje Sulemani?
BWANA alimwambia Sulemani, "Nimeyasikia maombi na dua zako ulizoniomba mimi.
1 Kings 9:4-5
Je, BWANA alimtaka Sulelmani atii kitu gani?
BWANA alimtaka Sulemani kutii amri zote na maagizo aliyomwamuru.
Je, BWANA alimwahidi nini Daudi, Baba wa Sulemani?
BWANA aliaahidi kuimarisha kiti cha enzi cha ufalme wa Daudi juu y a Israeli milele.
1 Kings 9:6-7
Je, BWANA alimwonya Sulemani kuwa atafanya nini kama Sulemani hatatii amri zake.
BWANA alimwonya Sulemani kuwa atawakatilia mbali Israeli katika nchi ambayo aliiumba.
1 Kings 9:8-9
Je, watu watasemaje watakapopita katika hilo hekalu?
Watu watasema,"Kwa nini BWANA amefanya hili katika nchi hii na kwa watu hawa?
Kwa nini BWANA aliahidi kuleta janga hilil kwao?
BWANA angewaltea janga hili kwa sababu walimpinga Mungu wao na kuabudu miungu mingine.
1 Kings 9:10-11
Kilitokea nini baada ya miaka ishirini?
Baada ya miaka ishirini Sulemani alimaliza kulijenga hekalu na ikulu ya mfalme.
Je, Hiramu mfalme wa Tiro alimpatia nini Sulemani?
Hiramu mfalme wa Tiro alimpatia Sulemani miti ya mierezi, miboreshi pamoja na dhahabu.
1 Kings 9:12-14
Je, Hiramu alitoka Tiro kuja kuona kitu gani?
Hiramu alitoka Tiro kuja kuona miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia.
Je, Hiramu aliitaje ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempa?
Hiramu aliita ile miji kuwa nia nchi ya Kabuli maana yake ni kwamba haina thamani.
Je, dhahabu kiasi gani ambazo Hiramu alimpa Sulemani?
Hramu alikuwa amemtumia Sulemani dhahabu kiasi cha tani nne za dhahabu.
1 Kings 9:15-16
Je, Sulemani alikuwa amejenga nini kule Hazori, Megido, na Gezeri?
Sulemani alikuwa amejenga kuta za kujiihami kule Hazori, Megodo, na Gezeri.
Je, Farao mfame wa Misri alifanya nini kule Gezeri?
Faraomfalme wa Misrialikuwa ameiteka Gezeri na kuichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika ule mji.
1 Kings 9:17-21
Je, Sulemani alifanya nini kule Gezeri na Bethi Horoni?
Sulemani aliijenga Gezeri na Bethi Horoni.
1 Kings 9:22
Je, Sulemani alifanya nini na watu wake wa Israeli?
Sulemani aliwafanya watu wa Israeli kuwa wanajeshi, watumishi, maakida, maofisa, na viongozi wa majeshi.
1 Kings 9:23-24
Je, Sulemani alikuwa na viongozi wakuu wangapi?
Sulemani alikuwa na viongozi wakuu 550 ambao walikuwa juu ya wasimamizi.
1 Kings 9:25
Je, ni kitu gani ambacho Sulemani alitoa kama sadaka mara tatu kwa mwaka?
Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhahabu ya BWANA mara tatu kwa mwaka.
1 Kings 9:26-28
Je, Sulemani alifanya nini pale Esioni Geberi?
Sulemani alijenga Merikebu pale Esioni Geberi.
Kwa nini Sulemani alituma watumishi kule Ofiri?
Sulemani alituma watumishi kule Ofiri ili wakalete dhahabu
1 Kings 10
1 Kings 10:1-2
Je, kwa nini Malkia wa Sheba alienda kwa Sulemani?
Malkia wa Sheba alienda kwa Sulemani kumjaribu kwa maswali magumu.
Je, Malkia wa Sheba alileta nini Yerusalemu?
Malikiawa Sheba alileta Yerusalemu manukato, dhahabu, na vito vya thamani.
1 Kings 10:3-5
Je, Sulemani alijibu maswali mangapi ya Malkia?
Sulemani alijibu maswali yote ya Malkia wa Sheba.
Je, mwitikio wa Malkia wa Sheba ulikuwaje baada ya kuona hekima ya Sulemani?
Baada ya Malkia wa Sheba kuona hekima ya Sulemani roho yake iliziimia.
1 Kings 10:6-7
Je, Malkia wa Sheba alimwambia nini Sulemani?
Malkia wa Sheba alimwambia Sulemani kuwa, "Umezidi uvumi niliokuwa nimesikia"
1 Kings 10:8-9
Kwa nini Malkia wa Sheba alisema kuwa watumishi wa Sulemani walikuwa wamebarikiwa?
Malkia wa Sheba alisema kuwa watumishi wa Sulemani walikuwa wamebarikiwa kwa sababu waliisikia hekima yake.
Je, BWANA alionyeshaje upendo wake kwa Israeli?
BWANA alionyesha upendo wake kwa Israeli kwa kumweka Sulemani kuwa mfalme.
1 Kings 10:10
Je, Malkia wa Sheba alimpatia nini Sulemani?
Malikia wa Sheba alimpatia Sulemani zaidi ya kilo 4500 za dhahabu, manukato, na vito vya thamani.
1 Kings 10:11-12
Je, merikebu za Hiramu zilileta nini kutoka Ofri?
Merikebu za Hiramuy zilileta dhahabu kutoka Ofri.
Mfalme alitengeneza nini kwenye hekalu la BWANA?
Mfalme alitengeneza nguzo za miti kwa ajili ya hekalu la BWANA.
1 Kings 10:13
Je, Sulemani alimpatia nini Malkia wa Sheaba?
Mfalme Sulemani alimpatia Malkia wa Sheba kila kitu alichoomba.
1 Kings 10:14-15
Je, ni kiasi gani cha dhahabu kilichoingia kwa mfalme Sulemani kwa mwaka mmoja?
Kiasi cha dhahabu kilichoingia kwa mfalme kwa mwaka mmoja kilikuwa kilo elfu ishirini na tatu za dhahabu.
Je, ni nani aliyeleta hiyo dhahabu kwa mfalme Sulemani?
Wafalme wa Uarabuni, na maliwali wa nchi walileta dhahabu na fedha kwa mfalme Sulemani.
1 Kings 10:16-17
Je, mfalme Sulemani alitengeneza ngao ngapikubwa za kufuliwa?
Mfalme Sulemani alitengeneza ngao kubwa za kufuliwa za dhahabu mia mbili.
Je, mfalme Sulemani aliziweka wapi hizo ngao kubwa za dhahabu mia mbili za kufuliwa?
Mfalme Sulemani aliziweka hizo ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa kwenye ikulu ya msitu wa Lebanoni.
1 Kings 10:18-20
Je, mfalme alitengeneza kitu gani kutokana na na hizo pemba na dhahabu safi?
Mfalme alitengeneza kiti cha enzi kikubwa cha pembe na dhahabu safi.
Je, pembeni mwa hiyo mikono ya kiti cha enzi ambayo mfalme alitengeneza kulisimamishwa nini?
Simba wawili walisimamishwa pembeni mwa mikono ya hicho kiti cha enzi alichokuwa ametengeneza mfalme.
Je, pembeni mwa zile zile ngazi sita za kti cha enzi kuliwekwa nini?
Kulikuwa na simba kumi na mbili waliokuwa wamesimamishwa pembeni mwa zile ngazi sita za kiti cha enzi.
1 Kings 10:21-22
Vile vikombevyva kunywea vilivyokuwa kwenye ikulu ya Lebanoni vilitentengenezwa kwa kitu gani?
Vile vikombe vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi.
Je, mashua za mfalme zilileta nini kila baada ya miaka mitatu?
Kila baada ya miaka mtatu, mashua za mfalme zilileta dhahabu, fedha, pembe, nyani na tumbili.
1 Kings 10:23-25
Kwa nini dunia yote ilitaka kumwona Sulemani?
Dunia yote ilitaka kumwona Sulemani ili isikie hekima ya Mungu ambayo aliweka ndani yake.
Je, wageni wa Sulemani walitoa kodi gani kwake?
Wale waliomtembelea walitoa kodi ya dhahabu, fedha, nguo, silaha na manukato.
1 Kings 10:26-27
Je, Sulemani aliweka wapi kituo chake cha magari na wapanda farasi wake?
Sulemani aliweka kituo chake cha magari na wapanda farasi katika mji wa magari na Yerusalemu.
Je, mfalme alitengeneza kitu gani kwa kutumia miti ya mierezi?
Mfalame alikusanya miti ya mierezi ikawa mingi kama mikuyu iliyo katika nyanda za chini.
1 Kings 10:28-29
Je,farasi wa Sulemani waliletwa toka wapi?
Farasi wa Sulemani waliletwa toka Misri na Kilikia.
Je, bei ya kila gari la Sulemani ilikuwaje?
Yale magari yalinunuliwa kwa bei ya shekeli mia sita za fedha.
1 Kings 11
1 Kings 11:1-2
Je, Sulemani aliwapenda watu gani?
Sulemani aliwapenda wanawake wa kigeni.
Je, BWANA alikuwa ametoa amri gani juu ya kuoa wanawake wa kigeni?
BWANA alikuwa amemwamuru Israeli asioe wanawake wa kigeni.
1 Kings 11:3-4
Je, wanawake wa Sulemani waliufanya nini moyo wake?
Wake wa Sulemani waliugeuza moyo wake.
Je, moyo wa Daudi ulikuwaje kwa BWANA?
Daudi alikuwa ameutoa moyo wake kabisa kwa BWANA.
1 Kings 11:5-6
Je, Sulemani alifuata nini?
Sulemani alimfuata Ashtorethi mungu wa Wasidoni na Milkomu wa Waamori.
Je, Sulemani alifanya nini mbele ya macho ya BWANA?
Sulemani alifanya yaliyo maovu mbele ya BWANA.
1 Kings 11:7-8
Je, Sulemani alimjengea kitu gani Kemoshi?
Sulemani alimjengea Kemoshi mahali pa juu pa kuabudia, ile sanamu ya Wamoabu.
Je, Sulemani alifanya nini pale pa kuabaudia wake zake?
Sulemani alifukiza uvumba na akatoa sadaka mahali pa kuabudia pa wake zake.
1 Kings 11:9-10
Je, BWANA alionekana kwa Sulemani mara ngapi?
BWANA alionekana kwa Sulemani mara mbili.
Je, BWANA alimwamuru Sulemani kufanya nini?
BWANA alimwamuru Sulemani kutowaendea miungu wengine.
1 Kings 11:11-13
Je, BWANA alimwambia Sulelmani kuwa atafanya nini kwa ajili ya hiyo miungu migeni?
BWANA alimwambia Sulemani kuwa kwa ajili ya hiyo miungu migeni ataugawa ufalme kutoka kwake na kuwapatia watumishi wake.
Je, ni makabila mangapi ambayo BWANA aliahidi kumpatia mwana wa Sulemani?
BWANA aliahidi kumpatia mwana wa Sulemani kabila moja.
1 Kings 11:14-17
Je, BWANA alimwinua nani kuwa adui wa Sulemani?
BWANA alimwinua Hadadi Mwedomu kuwa adaui wa Sulemani.
Ni nani aliyeenda kuwazika maiti waliouawa kule Edomu?
Yoabu mkuu wa jeshi ndiye aliyeenda kuwazika wafu waliokuwa wameuawa kule Edomu.
Je, Yoabu na Israeli walikaa Edomu kwa muda gani?
Yoabu na Israeli walibaki Edomu kwa muda wa miezi sita.
Je, Hadadi alipelekwa wapi
Hadadi alipelekwa Misri
1 Kings 11:18-19
Je, ni nani aliyetolewa na Farao kuwa mke wa Hadadi?
Farao alimtoa dada yake na Malkia Tapenesi kuwa mke wa Hadadi.
1 Kings 11:20-22
Je, mtoto wa Hadadi aliitwa nani?
Mtoto wa Hadadi aliitwa Genubathi
Je, Hadadi alimwomba Farao kitu gani?
Hadadi alimwomba Farao kibali cha kuondoka ili arudi nchini kwake.
1 Kings 11:23-25
Je, jina la adui wa pili ambaye aliinuliwa na Mungu kwa ajili y a Sulemani aliitwa nani?
Mungu alimwinua aduui mwingine wa Sulemani aliyeitwa Rezoni mwana wa Eliada.
Je, wanaume wa Rezoni walienda wapi?
Wanaume waliokuwa pamoja na Rezoni walienda Dameski.
Ni kwa muda gani Rezoni alikuwa adaui wa Israeli?
Rezoni alikuwa adaui wa Israeli kwa muda wote wa uhai wa Sulemani.
1 Kings 11:26-27
Je, ni nani aliyeinua mkono wake kinyume na mfalme?
Yeroboamu mwana wa Nebati ndiye aliyeinua mkono wake dhidi ya mfalme.
Kwa nini Yeroboamu mwana wa Nebari aliinua mkono wake dhidi ya mfalme?
Yeroboamu mwana wa Nebati aliinua mkonowake dhidi ya mfalme kwa sababu aliujenga mji wa Milo na kuukarabati ukuta wa mji wa Daudi.
1 Kings 11:28-30
Je, Sulemani alimpa Yeroboamu amri juuy a nini?
Sulemani alimpa Yeroboamu amri juu ya wafanyakazi wote wa nyumba ya Yusufu.
Je, ni nani aliyemkuta Yeroboamu njiani wakati alipokuwa akiondoka Yerusalemu?
Nabii Ahiya ndiye aliyemkuta Yeroboamu njiani wakati alipokuwa akitoka Yerusalemu.
Je, Ahiya alilifanya nini vazi jipya la Yeroboamu?
Ahiya alilishika lile vazi jipya la Yeroboamu na kulichana katika vipande kumi na viwili.
1 Kings 11:31-33
Je, BWANA alikuwa amesemaje juu ya ufalme wa Sulemani?
BWANA alikuwa amesema kuwa ataugawa ufalme wa Sulemani kutoka mkononi mwake.
1 Kings 11:34-36
Je, BWANA alimfanya Sulemani kuwa mtawala kwa muda gani?
BWANA almfanya Sulemani kuwa mtawala katika maisha yake yote.
1 Kings 11:37-40
Je, BWANA aliahidi kumfanyia nini Yeroboamu kama angeliishi katika njia zake?
BWANA alimwahidi Yeroboamu nyumba yake na pia angaelimpatia Israeli kama angeliishi kwa kufuata njia za BWANA.
1 Kings 11:41-43
Je, Sulemani aliitwalaYerusalemu kwa muda gani?
Sulemani aliitawala Yerusalemu kwa muda wa miaka arobaini.
Je, ni nani aliyerithi kiti cha ufalme cha Sulemani?
Rehoboamu ndiye aliyerithi kiti cha ufalme cha Sulemani.
1 Kings 12
1 Kings 12:1-2
Kwa nini Rehoboam alieenda Shekemu?
Rehoboamu alienda Shekemu kwa Sababu Waisraeli wote walikuwa wanaenda kule kumtawaza ili awe mfalme.
1 Kings 12:3-5
Ni nani aliyekuja na mkusanyiko wa Waisraeli ili kuongea na Rehoboamu?
Yeroboamu mwana wa Nebati ndiye aliyekuja na mkusanyiko wa Israeli ili kuongea na Rehoboamu.
Je, Waisraelli walimwomba nini Rehoboamu?
Waisraeli walimwomba Rehoboamu aifanye nira ambayo baba yake aliwawekea kuwa nyepesi.
Je, Rehoboamu aliwapatia Waisraeli muda wa siku ngapi ili kusubiri jibu lake?
Rehoboamu aliwapatia Waisraeli muda wa siku tatu.
1 Kings 12:6-7
Je, Rehoboamu alienda kuomba ushauri kwa watu gani?
Rehoboamu alienda kuomba ushauri kwa wazee waliosimama mbele ya baba yake.
Je, wale wazee walimwambiaje Rehoboamu?
Wale wazee walimshauri Rehoboamuaseme maneno mazuri kwa watu wa Israeli.
1 Kings 12:8-9
Je, Rehoboamu aliuchukuliaje ushauri ambao wazee walimpa?
Rehoboamu aliupuuzia ushauri wa wazee.
1 Kings 12:10-11
Je, wale vijana walimshauri Rehoboamu awaambieje watu?
Wale vijana walimshauri Rehoboamu kusema kuwa, "Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu."
Je, Rehoboamu alisema atatumia nini kuwaadhibu watu?
Rehoboamu alisema kuwa atatumia nge kuwaadhibu watu.
1 Kings 12:12-14
Je, mfalme alikuwa amewaagiza watu kufanya nini?
Mfalame alikuwa amewaagiza watu kurudi siku ya tatu.
Je, mfalme aliwajibuje watu?
Mfame aliwajibu watu kwa ukatili.
Je, mfalme alisema ataifanya nini ile nira waliyokuwanayo watu?
Mfalme alisema kuwa ataiongeza ile nira yao.
1 Kings 12:15
Ni nani aliyesababisha matukio haya?
Matukio haya yalisababishwa na BWANA.
1 Kings 12:16-17
Je, Israeli alisemaje alipoona kuwa mfalme hakuwasikiliza?
Waisraeli wote walisema, "Hatuna urithi kwa mwana wa Yese; kimbilieni kwenye hema zenu."
Je, Rehoboamu alikuwa mfalme wa watu gani?
Rehoboamu alikuwa mfalme juu ya watu wa Israeli waliokuwa wakiishi katika miji ya Yuda.
1 Kings 12:18-19
Je, Waisraeli walimfanyia nini Adoramu?
Waisraeli wote walimpiga mawe Adoramu mpaka akafa.
1 Kings 12:20
Je, ni nani aliyeifuata familia ya Daudi?
Ni kabila ya Yuda pekee ndio walioifuata familia ya Daudi.
1 Kings 12:21
Je, kwa nini Rehoboamu aliikusanya watu wa Yuda kule Yerusalemu?
Reheboamu aliwakusanya watu wa Yuda kusudi apigane na Waisraeli.
1 Kings 12:22-24
Je, neno la Mungu lilimjia nani?
Neno la Mungu lilimjia Shemaya mtu wa Mungu.
Je, BWANA alisema nini?
BWANA alisema kuwa, "Usiwavamia wala kuwashambaulia ndugu zako watau wa Israeli."
1 Kings 12:25-27
Ni wapi ambapo Yeroboamu aliijenga Shekemu?
Yeroboamu aliijengs Shekemu katika nchi ya miliima ya Efraimu.
Je, nikitu gani ambacho Yeroboamu alifikiri katika moyo wake?
Yeroboamu alifikiri kuwa, "Sasa ufalme unarudi katika nyumba ya Daudi."
Je, Yeroboamu alisema nini juu ya watu waliokuwa wakitoa dhabIhu katika hekalu la BWANA?
Yeroboamu alisema kuwa, "Kama hawawatu watatoa dhabihu katika nyumba ta BWANA wataniua na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda."
1 Kings 12:28-30
Je, mfalme Yeroboamu alitengeneza nini?
Yeroboamu alitengeneza ndama wawili wa dhahabu.
Je, Yeroboamu aliwaweka wapi hao ndama wawili wa dhahabu?
Yeroboamu alimweka ndama mmoja Betheli na mwiingine alimweka kule Dani.
1 Kings 12:31-32
Je, niwatu gani ambao Yeroboamu aliwafanya kuwa makuhani?
Yeroboamu aliwafanya watu ambao hawakuwa kati ya Walawi kuwa makuhani.
Je, Yeroboamu alifanya nini kule Betheli?
Yeroboamu alifanya Sikukuu kule Betheli.
1 Kings 12:33
Je, Yeroboamu alifanya nini kwenye ile madhabahu ya Betheli?
Yeroboamu alienda hadi kwenye madhabahu kufukuza uvumba.
1 Kings 13
1 Kings 13:1-3
Ni nani aliyetoka Yuda kwa jina la BWANA?
Mtu mmoja alitoka Yuda kwa neno la BWANA
Je, yule mtu wa Mungu alilia nini dhidi ya zile madhabahu huko Betheli?
Yule mtu wa Mungu alizililia zile madhabahu akisema, "juu yako watachoma mifupa ya watu."
Je, Yule mtu wa Mungu alitoa ishara gani?
Yule mtu wa Mungu alitoa ishara akisema, "Tazama madahabahu zitavunjika na majivu yaliyo juu yake yatamwagika."
1 Kings 13:4-5
Kilitokea nini kwenye mkono wa Yeroboamu alipounyosha tokea madhabahuni?
Yeroboamu alipounyosha mkono wake kutoka madhabahuni, mkono wake ukakauka na hakuweza kuurudisha mwenyewe.
Je, kilitokea nini kwenye ile madhabahu?
Ile madhabhau ilivunjika na yale majivu yalimwagika kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa ameeleza.
1 Kings 13:6-7
Kilitokea nini pale mtu wa Mungu alipomwomba BWANA juu ya mkono wa Yeroboamu?
Mkono wa mfalme ulirudi katika hali yake ya awali.
Je, mfalme alimwambiaje mtu wa Mungu?
Mfalme alimwambi mtu wa Mungu, "Twende nyumbani kwangu nami nitakupa zawadi."
1 Kings 13:8-10
Je, yule mtu wa Mungu alimwambiaje mfalme?
Yule mtu wa Mungu alimwambia mfalme kuwa, "sitaenda na wewe."
Je, yule mtu wa Mungu alifanya nini baada ya kuongea na mfalme?
Baada ya kuongea na mfalme yule mtu wa Mungu alirudi nyumbani kwa njia nyingine tofauti na ile aliyoijia Betheli.
1 Kings 13:11-13
Je, yule nabii mzee alikuwa akiishi wapi?
Yule nabii mzee alikuwa akiishi Betheli.
Ni nani aliyeiona ile njia ambayo mtu wa Mungu alitumia kutoka Betheli?
Ni wale watoto wa yule nabii mzee.
Je, yule nabii mzee alimkuta wapi mtu wa Mungu?
Yule nabii mzee alimkuta mtu wa Mungu akiwa amekaa chini ya mti wa mwaloni.
1 Kings 13:14-17
Je, yule nabii mzee alimwambiaje mtu wa Mungu?
Yule nabii mzee alimwambia mtu wa Mungu kuwa, "Twende nyumbani kwangu ukale chakula."
Je, jibu la mtu wa Mungu lilikuwaje kwa yule nabii mzee?
Mtu wa Mungu alimjibu kuwa, "Siwezi kurudi na wewe wala kuingia ndani na wewe."
Je, jibu la yule nabii mzee kwa mtu wa Mungu lilikuwaje?
Yule nabii mzee alikuwa anamdanganya mtu wa Mungu akisema, "Malaika ameniambia kwa neno la BWANA akisema 'Mrudishe nyumbani kwako.'"
1 Kings 13:18-19
Je, yule mtu wa Mungu alienda wapi baada ya kudanganywa na nabii mzee?
Yule mtu wa Mugu alirudi akala chakula na kunywa maji katika nyumba ya nabii mzee.
1 Kings 13:20-22
Ni kitu gani kilichomjia nabii mzee walipokuwa wameketi mezani?
Neno la BWANA lilimjia nabii mzee walipokuwa wameketi mezani.
Je, neno l a BWANA lilisemaje kwa mtu wa Mungu?
Neno la BWANA lilisema, "Kwa kuwa ulirudi ukala chakula na kunywa maji, basi mwili wako hautazikwa kwenye kaburi la baba zako.
1 Kings 13:23-25
Je, yule nabii mzee alifanya nini baada ya kula chakula?
Baada ya kula, yule nabii mzee alimwandalia punda wake yule mtu wa Mungu.
Kilitokea nini baada ya yule mtu wa Mungu kuondoka?
Baada ya mtu wa Mungu kuondoka, simba alikutana naye na kumwua.
Watu walipouona mwili wa mtu wa Mungu ukiwa umelala barabarani walifanya nini?
Watu walpouona mwili wa mtu wa Mungu ukiwa umelala barabarani, walileta habari na kueleza katika ule mji wa nabii mzee.
1 Kings 13:26-28
Je, jibu la yule nabii mzee kwa watu lilikuwaje?
Yule nabbi mzee aliwajibu kuwa, "Huyu ndiye mtu wa Mungu aliyeshindwa kulitii neno la BWANA.
Je, yule nabii mzee alifanya nini baada ya kuwasikia wale watu?
Nabii mzee aliwaambia wanawe kumwandalia punda wake naye alienda akaukuta ule mwili ukiwa umeachwa barabarani.
1 Kings 13:29-30
Je, nabii mzee aliufanya ule mwili wa mtu wa Mungu?
Nabii mzee aliuchukua mwiili wa mtu wa Mungu na kuuzika kwenye kaburi lake.
1 Kings 13:31-32
Je, nabii mzee aliwaambiaje wanawe juu ya kuzikwa kwake?
Nabii mzee aliwaambia wanawe kuwa, "Nitakapokufa, mnizike kwenye kaburi ambalo mtu wa Mungu amezikwa."
1 Kings 13:33-34
Ni kitu gania ambacho kilikuwa dhambi kwenye familia ya Yeroboamu ambacho kilisababisha kufutiliwa mbali kwenye uso wa dunia?
Yeroboamu hakuuacha uovu na kumweka kuwa kuhani mtu yeyote aliyetaka; jambo hili likawa dhambi kwenye familia ya Yeroboamu.
1 Kings 14
1 Kings 14:1-3
Je, kulitokea nini kwa Abiya mwana wa Yeroboamu?
Abiya mwana wa Yeroboamu alikuwa mgonjwa.
Je, Yeroboamu alimwambia mke wake afanye nini?
Yeroboamu alimwambia mke wake ajibadilishe halafu aende kwa nabii Ahiya wa Shilo.
Kwa nini Yeroboamu alimwabia mke wake aende kwa nabii Ahiya?
Yeroboamu alimwambia mke wake kwenda kwa nabii Ahiya ili kutaka kujua kitakchotokea kwa mtoto wake.
1 Kings 14:4-5
Je, macho ya Ahiya yalikuwa na tatizo gani?
Ahiya alipozeeka macho yake yalipatwa na upofu naye hakuweza kuona.
Ni nani aliyemwambia Ahiya, "Mke wa Yeroboamu anakuja kukuona?"
BWANA ndiye aliyemwambia Ahiya kuwa, "Mke wa Yeroboamu anakuja kukuona wewe ili apate ushauri kuhusu mwanawe.
1 Kings 14:6-8
Je, Ahiya alimwambiaje mke wa Yeroboamu?
Ahiya alipomsikia akija mlangoni akamwambia, "Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine?"
Je, Mungu wa Israeli alisema nini juu ya Yeroboamu?
Munugu wa Israeli alimwambia Yeroboamu kuwa, "Wewe umeshindwa kuwa kama mtumishi wangu wangu ambaye alizishika amri zangu."
1 Kings 14:9-10
Je, Yeroboamu alifanya nini ambacho kilimghadhabishsa BWANA?
Yeroboamu alitengeneza sanamu za kuyeyusha akamkasirisha BWANA.
BWANA alileta janga gani kwa Yeroboamu?
BWANA alisema kuwa atawafutilia mbali watoto wake wote wa kiume katika Israeli.
1 Kings 14:11-13
Je, kilitokea nini kwa mwanafamilia wa Yeroboamu aliyefia mjini?
Mwanafamilia yeyote wa Yeroboamu aliyefia mjini aliliwa na mbwa.
Je, Waisraeli wote walimfanyia nini mtoto wa Yeroboamu.
Waisraeli wote walimwombolezea na kumzika mtoto wa Yeroboamu.
1 Kings 14:14-16
Je, BWANA alisema kuwa atawasambaza Waisraeli mpaka wapi?
BWANA alisema kuwa atawasambaza Waisraeli mbali zaidi ya mto Frati.
Je, BWANA alisema kuwa Yeroboamu aliwaongoza Waisraeli kufanya nini?
BWANA alisema kuwa Yeroboamu aliwaongoza Waisraeli kufanya dhambi.
1 Kings 14:17-18
Je, kilitokea nini wakati mke wa Yeroboamu alipofika kwenye kizingiti cha nyumba yake?
Mke wa Yeroboamu alipofika kwenye kizingiti cha nyumba yake, yule mtoto alikufa.
Je, Waisraeli walifanya nini yule mtoto alipokufa?
Waisraeli wote walimwombolezea na kumzika.
1 Kings 14:19-20
Je, mambo mengine yanayomhusu Yeroboamu yameandikwa wapi?
Mambo mengine yanayomhusu Yeroboamu yaliandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Yeroboamu alitawala kwa miaka mingapi kabla hajalala na baba zake?
Yeroboamu alitawala kwa miaka ishiriini na mbili kabla ya kulala na baba zake.
1 Kings 14:21-22
Ni nani aliyekuwa akitawala huko Yuda?
Aliyekuwa akitawala huko Yuda ni Rehoboamu mwana wa Sulemani.
Je, Yuda alimkasirishaje BWANA?
Yuda ilimkasirisha BWANA akaona wivu kwa dhambi waliyoifanya.
1 Kings 14:23-24
Yuda walijenga vitugani katika mahali pa juu na kila chini ya mti wenye majani mabichi?
Walijenga maeneo ya kuabudia na nguzo za Ashera kwenye maeneo ya juu na chini ya kila miti yenye majani mabichi.
Je, mataifa yalikuwa yanfanya kitu gani kiovu cha kuwafanya wadharauliwe?
Mataifa yalikuwa yanafanya ushoga.
1 Kings 14:25-26
Ni mwaka gani ambapo Shishaki alipoiinukia Yerusalemu?
Katika mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu, Shishaki aliinukia Yerusalemu.
Je, Shishaki alichukua ngao gani kutoka Yerusalemu?
Shishaki alizichukua ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
1 Kings 14:27-28
Je, mfalme alizifanyia nini zile ngao za shaba alizokuwa ametengeneza?
Mfalme Rehoboamu alizikabidhi katika mikono ya wakuu wa walinzi.
Je, walinzi walizibeba hizo ngao wakati gani?
Kila mfalme alipoingia katika nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba zile ngao.
1 Kings 14:29-31
Je, mambo mengine ya mfalme Rehoboamu yameandikwa wapi?
Mambo mengine ya mfalme Rehoboamu yameandikwa kwenye vitabu vya matukio ya wafalme wa Yuda.
Ni nani aliyefuatia kuwa mfalme baada ya mfalme Rehoboamu?
Abiya, mwana wa Rehoboamu ndiye aliyefuatia kuwa mfalme mahali pake.
1 Kings 15
1 Kings 15:1-3
Je, Abiya alianza kutawala lini Yuda
Abiya alaianza kutawala huko Yuda katika mwaka wa kumi na tano wa mfalme Yeroboamu.
Je, Abiya alitawala Yerusalemu kwa muda gani?
Abuya alitawala Yerusalemuk wa muda wa miaka mitatu.
Je, Abiya alikuwa ameutoa moyo wake kwa BWANA Mungu wake?
Hapana! Abiya alikuwa hajauto moyo wake kwa BWANA Mungu wake.
1 Kings 15:4-6
Kwa nini BWANA alimwinua mwana kwa ajili ya Abiya huko Yerusalemu?
BWANA alimwinua mwana kwa ajili ya Abiya huko Yerusalemu ili kuitia nguvu.
Ni katika mambo gani ambayo Daudi alimwacha BWANA?
Daudi alimwacha BWANA katika swala la Uriah Mhiti.
Kilitokea nini katika siku zote za Abiya?
Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu katika maishayote ya Abiya.
1 Kings 15:7-8
Abiya alipolala na baba zake, nani aliyechukua nafasi yake ya ufalme?
Abiya alipolala na baba zake nafasi yake ilichukuliwa na Asa.
1 Kings 15:9-11
Je, Asa alianza lini kutawala Yuda?
Asa alianza kutawala Yuda katika mwaka wa ishirini wa Yeroboamu mfalme wa Yerusalemu.
Je, Asa alitawala kwa muda wa miaka mingapi huko Yerusalemu?
Asa alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja huko Yerusalemu.
Je, Asa alifanya nini katika macho ya BWANA?
Asa alifanya yaliyo mema mbele ya BWANA kama Daudi alivyofanya.
1 Kings 15:12-13
Je, Asa alifanya nini katika nchi?
Asa aliwaondoa wale waliokuwa wakifanya ushoga na yale masanamu ambayo mababu zake walikuwa wametengeneza katika nchi.
Je, Asa alimwondoa nani ili aswe Malkia?
Asa alimwondoa bibi yake Maaka asiwe Malkia.
1 Kings 15:14-15
Je, moyo wa Asa ulikuwaje kwa BWANA?
Moyo wa Asa aulikuwa umotolewa kabisa kwa BWANA.
Je, Asa alileta nini katika hekalu la BWANA?
Asa alileta vitu vilivyotakaswa katika nyumba ya BWANA.
1 Kings 15:16-17
Je, Asa alikuwa na vita na nani?
Asaalikuwa katika vita na Baasha mfalme wa Israeli katika siku zao zote.
Kwa nini Baasha aliijenga Ram?a
Baasha aliijenga Rama ili kwamba asitokee mtu wa kuingia wala kutoka katika nchi Asa.
1 Kings 15:18-19
Je, Asa alizifanyaje fedha nadhahabu zote kutoka kwenye vyumba vya hazina vya nyumbabya BWANA?
Asa alizituma zile fedha kwa Benihadadi aliyekuwa akiishi Dameski.
Je, Asa alimwambia nini Benihadadi?
Asa alimwambia Benihadadi kuwa, "Naomba tutengeneze mkataba kati yangu na wewe, kama ilivyokuwa kwa baba yangu na baba yako.
1 Kings 15:20-22
Je, Benihadadi alifanya nini baad ya kumsikiliza Asa?
Baada ya kumsikiliza Asa, Benihadadi alituma majeshi yake yakaenda kuishambuli miji ya Israeli.
Je, Baasha alifanya nini alipoyasikia haya?
Baasha aliposika uvamizi huu, aliaacha kuijenga Rama.
Je, Asa alivifanyia nini vile vifaa ambavyo vilikuwa vinatumika kuijenga Rama?
Asa alivichukua vile vifaa vilivyokuwa vinatumika kwenye ujenzi huko Rama kisha akavitumia kuijenga Geba na Mispa.
1 Kings 15:23-24
Je, mambo yote ya Asa yameandikwa wapi?
Mambo yote ya Asa yameandikwa kwenye kitabu ch a matukio cha wafalme wa Yuda.
Baada ya Asa kulala nababa zake, nani aliyekuwa mfalme mahali pake?
Baada ya Asa kulala na baba zakae, mwanwe Yehoshafati alikuwa mfalme mahali pake
1 Kings 15:25-26
Je, ni nani aliyeanza kutawala Israeli katika mwaka wa pili wa Asa?
Nadabu mwana wa Yeroboamu alianza kutawala Yerusalemu katika mwaka wa pili wa Asa.
Je, Nadabu aliishije mbele ya macho ya BWANA?
Nadabu alifanya maovu mbele ya macho ya BWANA kwani aliishi katika njia za baba yake.
1 Kings 15:27-28
Je, Baasha mwana wa Ahiya alifanyaje kule Gibethoni?
Baasha mwana wa Ahiya alimwua Nadabu kule Gibethoni.
1 Kings 15:29-30
Je, Baasha alifanya kitu gani mara tu baada ya kuwa mafalme?
Baada tu ya Baasha kuwa mafalme, aliwaua wanafamilia wote wa Yeroboamu.
1 Kings 15:31-32
Je, vita kati ya Asa na Baasha vilidumu kwa muda gani?
Kulikuwa na vita kati ya Baasha na Asa kwa muda wote.
1 Kings 15:33-34
Je, Baasha alitawala kwa muda gani kule Tirza?
Baasha alitawala Tirza kwa muda wa miaka ishirini na nne.
Je, maisha ya Baasha ylikuwaje?
Baasha alifanya maovu mbele ya macho ya BWANA na aliishi katika njia za Yeroboamu.
1 Kings 16
1 Kings 16:1-2
Je, BWANA alimwinua Baasha kutoka kwenye nini?
BWANA alimwiinua kutoka kwenye mavumbi.
1 Kings 16:3-6
Je, ni kitu gani ambacho kitamla mtu yeyote kutoka kwenye familia ya Baasha atakayefia mjini?
Mtu yeyote kutoka mkwenye familia ya Baasha atakayefia kwenye familia ya Baasha atakayefia mjini ataliwa na mbwa.
1 Kings 16:7
Kwa nini neno la BWANA lilikuja kinyume na Baasha na familia yake?
Neno la BWANA lilikuja kinyume na familia ya Baasha na familia yake, kwa sababu ya maovu yote aliyofanya mbele ya BWANA, pia kwa sababu alikuwa amewaua familia yote ya Yeroboamu.
1 Kings 16:8-10
Je, Ela alikuwa akifanya nini wakati Zimri alipomwua?
Ela alikuwa akinywa na kulewa nyumbanki kwa Arza wakati Zimri alipomwua.
Je, Ela alikuwa akifanya nini wakati Zimri alipomwua?
Ela alikuwa akinywa na kulewa nyumbanki kwa Arza wakati Zimri alipomwua.
1 Kings 16:11-14
Je, Zimri aliwaua wakati gani wanafamilia wa Baasha?
Mara tu Zimri kukaa kwenye kiti cha enzi, ndipo alipowau familia yote wa Baasha.
1 Kings 16:15-17
Je, Gibethoni ilikuwa mali ya nani?
Gibethoni ilikuwa ya Wafilisti
1 Kings 16:18-20
Je, Zimri alijiulia wapi?
Zimri alijiulia kwenye ile ngome iliyounganishwa na ikulu ya mfalme.
1 Kings 16:21-22
Je, Waisraeli waligawanyika katika sehemu kuu mbili kufuata viongozi wawili wapi?
Wana wa Israeli waligawanyika makundi mawili wakiwafuata viongozi wawili ambao ni Tibni mwana wa Ginathi na Omri.
1 Kings 16:23-26
Kwa nini Omri aliuuta mji kwa jina la Samaria?
Omri aliuita mji kwa jina la Samaria, kwa kufuata jina la Shemeri, mmiliki wa kwanza wa ule mlima.
1 Kings 16:27-30
Ni nani aliyemrithi Omri?
Ahabu ndiye aliyemrithi Omri.
1 Kings 16:31-33
Ni nani aliyeijenga nyumba ya Baali kule Samaria?
Ahabu ndiyealiyeijenga nyumb ya Baali kule Samaria.
1 Kings 16:34
Ni kitu gani kilichosababisha kifo cha Abiramu mwana wa Hieli?
Hieli alipoijenga Yeriko ilisababisha Abiramu kufa.
1 Kings 17
1 Kings 17:1
Ni ujumbe gani wa adhabu ambao Eliya alimpatia Ahabu?
Eliya alimwambaia Ahabu kuwa kama BWANA aishivyo hapatakuwa na umande wala mvua isipokuwa kwa neno lake.
1 Kings 17:2-4
Ni nani ambao BWANA aliwamuru wamlishe Eliya wakati alipokuwa kwenye kisima cha Kerithi
BWANA aliwaamuru kunguru kumlisha Eliya kwenye kisima cha Kerithi.
1 Kings 17:5-7
Klitokea kitu gani wakati mvvua ilipokosekana kwenye ardhi?
Mvua ilipokosekana kwenye ardhi kisima kilikauka.
1 Kings 17:8-10
Je, Eliya alienda wapi baada ya kisima kukauka?
BWANA alimwamuru Eliaya aenda kwa mjane kule Sarepta.
Je, Eliya alienda wapi baada ya kisima kukauka?
BWANA alimwamuru Eliaya aenda kwa mjane kule Sarepta.
1 Kings 17:11-13
Kwa nini yule mjane alikuwa akiokota kuni mbili?
Yule mjane alikuwa akiokota kuni mbili iliaende kupika kwa ajili yake na na mwanae ili wale kisha wasubiri kufa.
1 Kings 17:14-16
Ni kwa muda gani kile chombo cha unga cha yule mjane kitakuwa kimejaa na kile cha mafuta?
Vitakuwa vimejaa mpaka pale BWANA atakapleta mvvua katika nchi.
1 Kings 17:17-18
Je, yule mwana wa yule mjane alikuwa anaumwaje?
Mwana wa yule mjane alikuwa mgaonjwa sana kiasi kwamba hapakuwa na pumzi ndani yake.
1 Kings 17:19-21
Je, Eliya alifanya nini kuokoa maisha ya mtoto?
Eliya alijilaza kwa mtoto mara tatu; akamlilia BWANA akisema, "BWANA Mungu wangu, nakuomba uhai wa mtoto huyu umrudie."
1 Kings 17:22-24
Je, yule mwanamke alijuaje kuwa Eliya alikuwa mtu wa Mungu?
Yule mwanamke alijua kuwa Eliya aliikuwa mtu wa Mungu pale mwanae alipohuhishwa, naye Eliya akamchukua yule mtoto akamtoa chumbani kwake na kumleta mpaka kwenye nyumba.
Je, yule mwanamke alijuaje kuwa Eliya alikuwa mtu wa Mungu?
Yule mwanamke alijua kuwa Eliya aliikuwa mtu wa Mungu pale mwanae alipohuhishwa, naye Eliya akamchukua yule mtoto akamtoa chumbani kwake na kumleta mpaka kwenye nyumba.
1 Kings 18
1 Kings 18:1-2
Je, ni ujumbe gani ambao BWANA alimpatia Eliya ili aulete kwa Ahabu wakati wa njaa kali?
BWANA alimwambia Eliya amwambie Ahabu kuwa atainyeshea ardhi mvua.
Je, ni ujumbe gani ambao BWANA alimpatia Eliya ili aulete kwa Ahabu wakati wa njaa kali?
BWANA alimwambia Eliya amwambie Ahabu kuwa atainyeshea ardhi mvua.
1 Kings 18:3-4
Je, Obadia alimheshimuje BWANA wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa BWANA?
Obadia alimheshimu BWANA kwa kuwaficha manabii miamoja kwa makundi ya hamsini hamsini kwenye pango n a kuwalisha kwa mikate na maji.
Je, Obadia alimheshimuje BWANA wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa BWANA?
Obadia alimheshimu BWANA kwa kuwaficha manabii miamoja kwa makundi ya hamsini hamsini kwenye pango n a kuwalisha kwa mikate na maji.
1 Kings 18:5-6
Kwa nini Obadia na Ahabu walienda nchi yote wakipita katika visima vyote na chemichemi zote?
Ahabu na Obadia walikuwa wakitafuta maji ili wasije kuwapoteza farasi na wale nyumbu.
Kwa nini Obadia na Ahabu walienda nchi yote wakipita katika visima vyote na chemichemi zote?
Ahabu na Obadia walikuwa wakitafuta maji ili wasije kuwapoteza farasi na wale nyumbu.
1 Kings 18:7-8
Ni ujumbe gani wa hatari ambao Eliya alimwabia Obadia akamwambie Ahabu?
Eliya alimwambia Obadia akamwambie Ahabu kuwa Eliya yuko hapa.
Ni ujumbe gani wa hatari ambao Eliya alimwabia Obadia akamwambie Ahabu?
Eliya alimwambia Obadia akamwambie Ahabu kuwa Eliya yuko hapa.
1 Kings 18:9-11
Kwa nini Obadia hakuwa tayari kwenda kumwambia Ahabi kuwa ''Eliya yuko hapa"?
Obadia hakuwa tayari kumwambia Ahabu kuwa, "Eliya yuko hapa." Kwa sababu mataifa yote ya jirani yalikuwa yameapa kuwa Eliya hakuweko.
Kwa nini Obadia hakuwa tayari kwenda kumwambia Ahabi kuwa ''Eliya yuko hapa"?
Obadia hakuwa tayari kumwambia Ahabu kuwa, "Eliya yuko hapa." Kwa sababu mataifa yote ya jirani yalikuwa yameapa kuwa Eliya hakuweko.
1 Kings 18:12-13
Je, Obadia alidhani kitatokea nini mara tu atakapoachana na Eliya?
Obadaia alidhani kuwa Roho wa BWANA atamnyakua Eliya n a kumpeleka katika eneo ambalo Obadia asingeweza kufahamu.
1 Kings 18:14-15
Je, Eliya alimwambia Obadia atulizeje hofu zake?
Eliya alimwambia Obadia kuwa kama vile BWANA aishivyo, kwa hakika atajionyesha kwa Ahabu katika siku hiyo.
Je, Eliya alimwambia Obadia atulizeje hofu zake?
Eliya alimwambia Obadia kuwa kama vile BWANA aishivyo, kwa hakika atajionyesha kwa Ahabu katika siku hiyo.
1 Kings 18:16-17
Je, Ahabu alimwitaje Eliya alipokutana naye?
Ahabu alipokutana na Eliya alimwita "mtabisahaji".
Je, Ahabu alimwitaje Eliya alipokutana naye?
Ahabu alipokutana na Eliya alimwita "mtabisahaji".
1 Kings 18:18-19
Je, Eliya alipoitwa na Ahabu kuwa ni mtabishaji aliitikiaje?
Eliya alimwambia Ahabu kuwa yeye na familia ya baba yake ndio watabishaji kwa sababu waliziacha amri za BWANA na kufuata masanamu ya Baali.
Je, Eliya alisema watu gani wakusanywe kwenye mlima Kameli?
Eliya alisema watu wote wa Israeli wakusanywe pamoja na manabii 450 wa Baali na wale manabii 400 wa Ashera wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.
1 Kings 18:20-21
Je, Eliya aliwaambia watu wamfuate nani?
Eliya aliwaambia watu wamfuate BWANA kama yeye ndiye Mungu au Baali kama yeye ndiye Mungu.
1 Kings 18:22-24
Je, ni mapendekezo gani ambayo Eliya aliwaambia watu?
Eliya alipendekeza kuwa wale manabii wa Baali na yeye mwenyewe kila mmoja amwite mungu wake ili aje airambe ile dhabihu ya mafahari kwa moto ili kudhibitisha uungu wake.
e, ni mapendekezo gani ambayo Eliya aliwaambia watu?
Eliya alipendekeza kuwa wale manabii wa Baali na yeye mwenyewe kila mmoja amwite mungu wake ili aje airambe ile dhabihu ya mafahari kwa moto ili kudhibitisha uungu wake.
1 Kings 18:25-26
Je, manabii wa baali walimwita Baalikwa muda gani?
Manabii wa baali walimwita Baali kuanzia asubuhi mpaka adhuhuri.
1 Kings 18:27-29
Je, baada ya Eliya kuwadhihaki manabii wa Baali wakati wa adhuhuri manabii wa Baaali walifnya nini?
Manabii wa Baali walimwita kwa ngivu na wakajikatkata kwa nyembe na upanga.
Je, wale manabii wa Baali waliendelea kutabiri kwa muda gani?
Manabii wa Baali waliendelea kutabiri mpaka muda wa dhabihu ya jioni.
1 Kings 18:30-32
Je, Eliya alizifanyaje zile madhabahu za BWANA zilizokuwa zimeharibika?
Eliya alijenga upya zile madhabahu za BWANA kwa mawe kumi na mbili.
Je, Eliya alizifanyaje zile madhabahu za BWANA zilizokuwa zimeharibika?
Eliya alijenga upya zile madhabahu za BWANA kwa mawe kumi na mbili.
Je, Eliya alizifanyaje zile madhabahu za BWANA zilizokuwa zimeharibika?
Eliya alijenga upya zile madhabahu za BWANA kwa mawe kumi na mbili.
1 Kings 18:33-37
Je, Eliya aliwataka watu wafanye nini kwa zile uni na wale fahari wa dhabihu za kuteketezwa?
Eliya aliwaambia watu wajaze maji kwenye mapipa mara tatu na kuyamwaga kwenye zile kuni na zile dhabihu za kuteketezwa.
Je, Eliya aliwataka watu wafanye nini kwa zile kuni na wale fahari wa dhabihu za kuteketezwa?
Eliya aliwaambia watu wajaze maji kwenye mapipa mara tatu na kuyamwaga kwenye zile kuni na zile dhabihu za kuteketezwa.
1 Kings 18:38-42
Je, watu walifanyaje moto wa BWANA uliposhuka na kuziramba zile dhabihu na kila kitu kilichokuwa karibu?
Watu walilala kifudifudi chini wakasema, "BWANA ndiye Mungu! BWANA ndiye Mungu!"
Je, watu walifanyaje moto wa BWANA uliposhuka na kuziramba zile dhabihu na kila kitu kilichokuwa karibu?
Watu walilala kifudifudi chini wakasema, "BWANA ndiye Mungu! BWANA ndiye Mungu!"
Je, Eliya aliwafanyaje wale manabii wa Baali?
Eliya aliwaleta wale manabii wa Baali kwenye kisima cha Kishoni na kuwaua kule.
1 Kings 18:43-44
Je, mtumishi wa Eliya aliona nini baada ya kutazama baharini mara saba?
Baada ya kutaza mara ya saba, yule mtumishi aliona wingu dogo kama mkono wa mtu.
Je, mtumishi wa Eliya aliona nini baada ya kutazama baharini mara saba?
Baada ya kutaza mara ya saba, yule mtumishi aliona wingu dogo kama mkono wa mtu.
Je, Eliya alimwambia mtumishi wake akamwmbieje Ahabu?
Eliya alimwambia mtumishi wake kuwa akamwambia Ahabu aandae magari yake aende kabla mvua haijamzuia.
1 Kings 18:45-46
Je, Eliya alifanya nini wakati Ahabu akienda Yezreeli?
Eliya alikaza vazi lake kwa mshipi naya akakimbia mbele ya Ahabu kwenye lango la Yezreeli.
1 Kings 19
1 Kings 19:1-3
Je, Yezebeli alimpa Eliya kitisho gani?
Yezebeli alimwambia Eliya kuwa, atamfanya kuwa kama mmoja wa hao manabii waliokufa siku itakayofuata.
Je, Yezebeli alimpa Eliya kitisho gani?
Yezebeli alimwambia Eliya kuwa, atamfanya kuwa kama mmoja wa hao manabii waliokufa siku itakayofuata.
Je, Eliya alifanya nini baada ya kupata kitisho kwa Yezebeli?
Eliya alikimbilia Beerisheba ili kuokoa maisha yake.
1 Kings 19:4-6
Kwa nini Eliya aliomba kufa?
Eliya aliomba kufa kwa sababi alidhani kuwa yeye hakuwa mzuri kuliko mababu zake.
Kilitokea nini wakati Eliya alipokuwa amelala kwenye ule mretemu?
Malaika alimgusa Eliya akamwambia, "Amka ule."
Eliya aliona na kufanya nini baada ya malaika kumgusa?
Eliya aliona mkate uliokuwa umeokwa kwa mkaa na gudulia la maji. Eliya akala na kunywa kisha akalala tena.
1 Kings 19:7-8
Je, ilimchukua Eliya muda gani kufifka Horebu, ule Mlima wa Mungu
Eliya alisafiri kwa siku arobaini kufika Horebu.
1 Kings 19:9-14
Je, Eliya alimjibuje BWANA alimpomwuliza kile alichokuwa akifanya pangoni?
Elya alimwambia BWANA kuwa yeye alikuwa na wivu mwingi sana kwa BWANA, lakini watu wa Israeli wameliacha agano lake, wameziharibu madhabahu zake, na kuwaua manabii wake, na yeye peke yake ndiye aliyebaki.
Je, Eliya alimjibuje BWANA alimpomwuliza kile alichokuwa akifanya pangoni?
Elya alimwambia BWANA kuwa yeye alikuwa na wivu mwingi sana kwa BWANA, lakini watu wa Israeli wameliacha agano lake, wameziharibu madhabahu zake, na kuwaua manabii wake, na yeye peke yake ndiye aliyebaki.
1 Kings 19:15-16
Je, BWANA alimwambia Eliya kufanya nini?
BWANA alimwambia Eliya kurudi jangwani ili kumpka mafuta Hazaeli kuwa mfalme wa Shamu, Yehu kuwa mfalme Israeli, na Elisha kuwa nabii mahali pake.
Je, BWANA alimwambia Eliya kufanya nini?
BWANA alimwambia Eliya kurudi jangwani ili kumpka mafuta Hazaeli kuwa mfalme wa Shamu, Yehu kuwa mfalme Israeli, na Elisha kuwa nabii mahali pake.
1 Kings 19:17-18
Je, BWANA alimjibuje Eliya aliposema kuwa yeye ndiye nabii pekee aliyekuwa amebaki?
BWANA alimwambia Eliya kuwa kulikuwa na manabii elfu saba huko Israeli waliokuwa waaminifu kwake.
1 Kings 19:19-21
Je, Elisha alitoa udhuru gani kwa Eliya baada ya Eliya kumtupia vazi lake?
Elisha alimwambia Eliya kuwa kwanza aende kumbusu mama na baba yake kabla ya kumfuata.
Je, Elisha alitoa udhuru gani kwa Eliya baada ya Eliya kumtupia vazi lake?
Elisha alimwambia Eliya kuwa kwanza aende kumbusu mama na baba yake kabla ya kumfuata.
1 Kings 20
1 Kings 20:1-3
Je, Ahabu alipokea ujumbe gani toka kwa Beni Hadadi wakati mji wa Samaria ulipokuwa umetekwa?
Beni Hadadi alimwabia Ahabu kuwa fedha zake, dhahabu zake, wake zake pamoja na watoto wake sasa ni mali ya Beni Hadadi.
Je, Ahabu alipokea ujumbe gani toka kwa Beni Hadadi wakati mji wa Samaria ulipokuwa umetekwa?
Beni Hadadi alimwabia Ahabu kuwa fedha zake, dhahabu zake, wake zake pamoja na watoto wake sasa ni mali ya Beni Hadadi.
1 Kings 20:4-6
Je, Beni Hadadi alipokeaje jibu la Ahabu la utayari wa Ahabu wa kumpatia Beni Hadadi fedha zake, dhahabu, wakae zake,na watoto wake?
Beni Hadadi alimtaarifu Ahabu kuwa alikuwa anatuma wajumbe wake siku iliyofufata, nao watachukua kwa mikono yao chochote kile kitakachopendeza macho yao.
Je, Beni Hadadi alipokeaje jibu la Ahabu la utayari wa Ahabu wa kumpatia Beni Hadadi fedha zake, dhahabu, wakae zake,na watoto wake?
Beni Hadadi alimtaarifu Ahabu kuwa alikuwa anatuma wajumbe wake siku iliyofufata, nao watachukua kwa mikono yao chochote kile kitakachopendeza macho yao.
1 Kings 20:7-8
Je, mfalme wa Israeli alipewa ushauri gani toka kwa wazee na watu wa Israeli?
Wazee wa Israeli na watu walimwambia mfalme kuwa asimsikilize wala kukubaliana na Beni Hadadi kwa sababu alikuwa anatafuta matatizo.
Je, mfalme wa Israeli alipewa ushauri gani toka kwa wazee na watu wa Israeli?
Wazee wa Israeli na watu walimwambia mfalme kuwa asimsikilize wala kukubaliana na Beni Hadadi kwa sababu alikuwa anatafuta matatizo.
1 Kings 20:9-10
Je, Ahabu alirudisha ujumbe gani kwa Beni Hadadi?
Ahabu alimjibu Beni Hadadi kuwa alikuwa amekubaliana na hitaji lake la kwanza, lakini hakukubaliana na hitaji lake la pili.
Je, Beni Hadadi alimjibuje Ahabu?
Beni Hadadi alijibu kuwa ataifanya Samaria kuwa majivu.
1 Kings 20:11-12
Je, Beni Hadadi alisemaje alipoambiwa na na mafalme wa Israeli kuwa asijisifu kama vile vita vimeisha?
Beni Hadadi aliyaamuru majeshi yake kujipanga katika nafasi zao tayari kwa vita.
Je, Beni Hadadi alisemaje alipoambiwa na na mafalme wa Israeli kuwa asijisifu kama vile vita vimeisha?
Beni Hadadi aliyaamuru majeshi yake kujipanga katika nafasi zao tayari kwa vita.
1 Kings 20:13-15
Je, ni nani ambaye BWANA alisema kuwa atavishinda vita kwa ajili ya Israeli dhidi ya majeshi ya Washami?
BWANA alimwambia Ahabu kuwa wale vijana wanowatumikia Maliwali wa Wilaya ndio watakaovishinda vita kwa ajili ya Israeli.
Je, ni nani ambaye BWANA alisema kuwa atavishinda vita kwa ajili ya Israeli dhidi ya majeshi ya Washami?
BWANA alimwambia Ahabu kuwa wale vijana wanowatumikia Maliwali wa Wilaya ndio watakaovishinda vita kwa ajili ya Israeli.
1 Kings 20:16-19
Wakati wale vijana wanaowatumikia Maliwali wa wilaya walipotangulia mbele, BeniHadadi na wale wafalme wadogo wadogo walikuwa wanafanya nini?
Beni Hadadi na wale wafalme wadogo wadogo thelathini na mbili walikuwa wakinywa pombe na kulewa wenyewe..
Wakati wale vijana wanaowatumikia Maliwali wa wilaya walipotangulia mbele, BeniHadadi na wale wafalme wadogo wadogo walikuwa wanafanya nini?
Beni Hadadi na wale wafalme wadogo wadogo thelathini na mbili walikuwa wakinywa pombe na kulewa wenyewe..
1 Kings 20:20-21
Je, kilitokea nini kwa Beni Hadadi na kwa Washami?
Beni Hadadi alitoroka kwa farasi na baadhi wapanda farasi na Washami wengi waliuawa kwa mauaji ya kimbali.
Je, kilitokea nini kwa Beni Hadadi na kwa Washami?
Beni Hadadi alitoroka kwa farasi na baadhi wapanda farasi na Washami wengi waliuawa kwa mauaji ya kimbali.
1 Kings 20:22-25
Je, nabii alimlettea ujumbe gani mfalme wa Israeli?
Nabii alimwambia mfalme kuwa mfalme wa Washami angerudi tena dhidi yao, kwa hiyo Israeli na wajipange na kujitia nguvu.
Je, watumishi wa mfalme wa Shamu walisema sababu gani iliyowafanya Waisraeli wawe na nguvu katikavita kuliko Washami?
Watumishi wa mfalme wa Shami walimwambia Israeli ana nguvu kuliko Washami kwa kuwa mungu wao ni mungu wa milima.
1 Kings 20:26-27
Je, Beni Hadadi alifanya nini baada ya mwanzo wa mwaka mpya?
Baada ya mwanzo wa mwaka mpya Beni Hadadi aliwahesabu Washami wote na kisha akaenda Afeki ili kupigana na Israeli.
1 Kings 20:28
Je, mtu wa Mungu alisema nini kuhusiana na Washami?
Yule mtu wa Mungu alisema hivi, kwa kuwa Washami wamesema kuwa Mungu wa Israelini Mungu wa milimani na wala si Mungu wa mabondeni kwa hiyo Mungu alikuwa anaenda kuliweka jeshi la Washamikatika mikono ya mfalme wa Israeli.
1 Kings 20:29-30
Je, matokeo ya vita vya haya majeshi yalikuwaje?
Israeli aliwaua Washami waendeo kwa miguu laki moja. Na wale wengine walikimbilia Afeki, kwenye ule mji ambako ukuta uliangushwa na wale watu elfu ishirini na saba waliokuwa wamebaki na Beni Hadadi akakimbilia mjini akajificha kwenye chumba cha ndani.
Je, matokeo ya vita vya haya majeshi yalikuwaje?
Israeli aliwaua Washami waendeo kwa miguu laki moja. Na wale wengine walikimbilia Afeki, kwenye ule mji ambako ukuta uliangushwa na wale watu elfu ishirini na saba waliokuwa wamebaki na Beni Hadadi akakimbilia mjini akajificha kwenye chumba cha ndani.
1 Kings 20:31-32
Je, watumishi wa Beni Hadadi walimfanyaje Beni Hadadi?
Watumishi wa Beni Hadadi walivaa magunia viunoni mwao na kamba vichwani mwao kisha wakaenda kwa mfalme wa Israeli kumwombea radhi Beni Hadadi ili asiuawe.
Je, watumishi wa Beni Hadadi walimfanyaje Beni Hadadi?
Watumishi wa Beni Hadadi walivaa magunia viunoni mwao na kamba vichwani mwao kisha wakaenda kwa mfalme wa Israeli kumwombea radhi Beni Hadadi ili asiuawe.
1 Kings 20:33-34
Je, Beni Hadadi alitoa mapendekezo gani kwa Ahabu pale alipoitwa kukutana naye kwenye gari lake?
Beni alimwambia Ahabu kuwa atamrudishia miji iliyokuwa imechukuliwa toka kwa Israeli kama Ahabu atamwacha huru.
Je, Beni Hadadi alitoa mapendekezo gani kwa Ahabu pale alipoitwa kukutana naye kwenye gari lake?
Beni alimwambia Ahabu kuwa atamrudishia miji iliyokuwa imechukuliwa toka kwa Israeli kama Ahabu atamwacha huru.
1 Kings 20:35-36
Kwa nini mmoja wa manabii aliuawa na simba?
Mmoja wa manabii aliuawa na simba kwa sababu hakuitii sauti ya BWANA kwa kutompiga nabii mwenzake.
Kwa nini mmoja wa manabii aliuawa na simba?
Mmoja wa manabii aliuawa na simba kwa sababu hakuitii sauti ya BWANA kwa kutompiga nabii mwenzake.
1 Kings 20:37-38
Je, yule nabii alijichaje kwa mfalme baada ya kuwa amepigwa na kuumizwa?
Yule nabii alijificha kwa kujibadilisha kwa kilemba akifunika macho yake.
Je, yule nabii alijichaje kwa mfalme baada ya kuwa amepigwa na kuumizwa?
Yule nabii alijificha kwa kujibadilisha kwa kilemba akifunika macho yake.
1 Kings 20:39-40
Kwa nini yule nabii alisimulia habari kwa mfalme wa Israeli?
Nabii alisimulia habari hii kwa mfalme wa Israel ili kumdanganya, ili mfalme afanye utawala ambao matokeo yake yangesababisha mfalme apoteze uhai wake.
Kwa nini yule nabii alisimulia habari kwa mfalme wa Israeli?
Nabii alisimulia habari hii kwa mfalme wa Israel ili kumdanganya, ili mfalme afanye utawala ambao matokeo yake yangesababisha mfalme apoteze uhai wake.
1 Kings 20:41-43
Je, ni kauli gani ya ujasiri ambayo mfalme aliisema kwa mfalmle?
Nabii alimwambia mfalme kuwa ataypoteza maisha yake kwa kumwacha hai mtu ambaye BWANA alikuwa amemhukumu kufa.
Je, ni kauli gani ya ujasiri ambayo mfalme aliisema kwa mfalmle?
Nabii alimwambia mfalme kuwa ataypoteza maisha yake kwa kumwacha hai mtu ambaye BWANA alikuwa amemhukumu kufa.
1 Kings 21
1 Kings 21:1-2
Je, Ahabu mfalme wa Samria alitaka nini kutoka kwa Nabothi Myezreeli?
Ahabu mfalme wa Samaria alitaka shamba la mizabibu la Nabothi, ambalo lilikuwa karibu na ikulu yake.
Je, Ahabu mfalme wa Samria alitaka nini kutoka kwa Nabothi Myezreeli?
Ahabu mfalme wa Samaria alitaka shamba la mizabibu la Nabothi, ambalo lilikuwa karibu na ikulu yake.
Je, Ahabu alimpatia nini Nabothi badala ya shamba lake?
Ahabu alitaka kumpatia Nabothi shamba zuri la mizabibu au kumlipa pesa.
1 Kings 21:3-4
Kwa nini Nabothi alikataa kumpa Ahabu shamba lake?
Nabothi alikataa kumpa Ahabu shamba lake kwa sababu ulikuwa urithi wake toka kwa mababu zake.
Ahabu alifanya nini baada ya Nabothi kumnyima shamba lake.
Ahabu alikuwa mchovu na mwenye hasira, alienda kulala, na akakataa kula chakula chochote.
1 Kings 21:5-7
Ni nani aliyemwambia Ahabu kuamka, kula, na kuwa mwenye furaha?
Mke wa Aahabu, Yezebeli ndiye aliyemwambia Aahabu kuamka, kula na kuwa mwenye furaha.
1 Kings 21:8-16
Je, Yezebeli alifanya nini ili kuhakikisha kuwa Ahabu analipata shamba la mizabibu la Nabothi?
Yezebeli alitafuta watu wawili wasiowaaminifu ili watoe ushahidi wa uongo ili tu Ahabu alipate lile shamba?
Je, ni adhabu gani ambayo iliandaliwa kutokana na msimamo huo wa Nabothi?
Nabothi aliandaliwa adhdabu ya kifo kwa kupigwa mawe nje ya mji.
1 Kings 21:17-18
Je, BWANA alimtuma nani kwenye lile shamba la mizababu ili kukutana na Ahabu?
BWANA alimtuma Eliya Mtishibi kule kwenye shamba la mizabibu.
Je, Ahabu alifanya nini alipoambiwa kuwa Nabothi alikuwa amekufa?
Ahabu aliposikia kuwa Nabothi alimekufa, alienda kwenye lile shamba na kulifanya kuwa lake.
1 Kings 21:19-20
Je, Eliya alimwambia Ahabu kuwa kitatokea nini kwa sababu ya dhambi yake hiyo?
Eliya alimwambia Ahabu kuwa mbwa wataramba damu yake m ahali ambapo wameramba damu ya Nabothi.
1 Kings 21:21-22
Je, ni ujumbe gani toka kwa BWANA ambao Eliya alimwambia Ahabu?
Eliya alimwambia Ahabu kuwa BWANA asema kuwa atakatiliwa mbali kila mtoto wa kiume na mtumwa na mtu huru wa Israeli kwa kuwa amewafanya Israeli kufanya uovu.
1 Kings 21:23-26
Je, kitatokea nini kwa Yezebeli?
Yezebeli ataliwa na mbwa kwenye ukuta wa Yezreeli.
1 Kings 21:27-29
Je, Ahabu alifanya nini alipoyasikia maneno haya?
Ahabu alirarua mavazi yake, akavaa magunia, na kufunga.
Je, BWANA alifanya nini Ahabu alipojinyenyekeza mbele ya zake?
BWANA alisema kuwa hatayaleta majanga haya katika siku za Ahabu, bali ataleta wakati wa mwana wake.
1 Kings 22
1 Kings 22:1-2
Je, hapakuwepo na vita kwa miaka mingapi kati ya Shamu na Israeli?
Hapakuwepo na vita kwa muda wa miaka mitatu kati ya Shamu na Israeli.
Ni nani alyekuwa mfalme wa Yuda?
Mfalme wa Yuda alikuwa Yehoshafati.
1 Kings 22:3-4
Je, mfalme wa Israeli alimwomba Yehoshafati afanye nini pamoja naye?
Mfalme wa Israeli alimwomba Yehoshafati aende naye Ramothi Gileadi ili wakapigane na mfalme wa Shamu.
1 Kings 22:5-6
Je, mfalme wa Israeli aliwaita watu gani ili kupata mapenzi ya BWANA katika swala hili?
Mfalme wa Israeli aliwakusanya manabii, wanaume 400, naye akawauliza juu ya kufanya vita na Shamu.
1 Kings 22:7-9
Je, mfalme wa Israeli alitafuta ushauri kwa nabii gani tena?
Mfalme wa Israeli alimwita nabii Mikaya mwana wa Imla.
1 Kings 22:10-12
Je, wafalme walipokuwa wameketi kwenye viti vyao vya enzi mbele ya manabii, walisikia unabii gani?
Wafalme Ahabu na Yehoshafati walipokuwa wameketi kwenye viti vyao vya enzi, manabii wote waliwaambia kuwa waivamie Ramothi Geleadi nao watashinda.
1 Kings 22:13-15
Je, nabii Mikaya alikubaliana na manabii wengine wote?
Hapana, Mikaya hakukubaliana na manabii wengine wote.
1 Kings 22:16-20
Ni ujumbe gani mbaya ambao Mikaya alimwambia mfalme wa Israeli?
Mikaya alimwambia mfalme wa Israeli kuwa hawatakuwa na mchungaji na watatawanyika.
1 Kings 22:21-25
Je, Mikaya alimwambia mfalme wa Israeli kuwa atadanganywaje na uongo wa Manabii wake ili aende Ramothi Gileadi.
Mikaya alimwambia mfalme wa Israeli kuwa atadanganywa ili aende Ramothi Gileadi kwa uongo wa manabii wake
Je, Mikaya alimwambia mfalme wa Israeli kuwa atadanganywaje na uongo wa Manabii wake ili aende Ramothi Gileadi.
Mikaya alimwambia mfalme wa Israeli kuwa atadanganywa ili aende Ramothi Gileadi kwa uongo wa manabii wake
1 Kings 22:26-28
Je, mfalme wa Israeli aliagiza Mikaya afanyweje?
Mfalme wa Israeli aliagiza kwamba Mikaya akamatwe na kufungwa gerezani na apewe mkate kidogo na maji mpaka mfalme wa Israeli atakaporudi salama
Je, mfalme wa Israeli aliagiza Mikaya afanyweje?
Mfalme wa Israeli aliagiza kwamba Mikaya akamatwe na kufungwa gerezani na apewe mkate kidogo na maji mpaka mfalme wa Israeli atakaporudi salama.
1 Kings 22:29-33
Je, mfalme wa Israeli alifanya nini ili kuepuka kukamatwa katika vita kule Ramothi Gileadi.
Mfalme wa Israeli alijibadilisha ili kuepuka kukamatwa kule Ramothi Gileadi.
1 Kings 22:34-36
Ni, jinsi gani Ahabu alivyopata jeraha kubwa kule vitani Ramothi Gilreadi?
Askari wa Sahmu alirusha mkuki wake kwa kubahatisha ukampiga Ahabu katikati ya mwunganiko wa silaha zake.
1 Kings 22:37-38
Je, Ahabu alizikwa wapi?
Ahabu alizikwa Samaria
1 Kings 22:39-40
Ni nani aliyekuwa mfalme baada ya Ahabu?
Mwanae Ahaziya ndiye alikuwa mfalme wa Israeli.
1 Kings 22:41-42
Je, Yehoshafati alikuwa mfalme kwa muda gani?
Yehoshafati alitawala Israeli kwa muda wa miaka ishirini na tano.
1 Kings 22:43-50
Je, ni kitu gani kilichosemwa juu ya utawala wa Yehoshafati
Utawala wake ulisemwa kuwa Yehoshafati alifanya yaliyo mema mbele ya macho ya BWANA
1 Kings 22:51-53
Je, ni kitu gani kilichosemwa juu ya utawala wa Ahabu?
Ilisemwa kuwa Ahabu alifanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA