Kiswahili: translationQuestions

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

Jeremiah

Jeremiah 1

Jeremiah 1:1-3

Je, Yeremia alikuwa akifanya kazi gani?

Yeremia alikuwa kuhani.

Ni nani aliyekuwa mfalme wakati neno la BWANA lilipomjia Yeremia?

Yosia alikuwa mfalme wakati neno la BWANA lilipomjia Yeremia.

Jeremiah 1:4-6

Je, BWANA alimchagua lini Yeremia kuwa nabii?

BWANA alimchagua Yeremia kuwa nabii kabla hajazaliwa.

Kwa nini Yeremia alisema kuwa yeye alikuwa hawezi.

Alisema kuwa alikuwa mtoto mdogo.

Jeremiah 1:7-8

Je, BWANA alimwamuru Yeremia kusema nini?

BWANA alimwamuru Yeremia kusema chochote kile atakachomwamuru.

Kwa nini Yeremia hakutakiwa kuogopa?

Hakutakiwa kuogopa kwa sababu BWANA aliahidi kuwa pamoja naye na kumwokoa.

Jeremiah 1:9-10

Je, BWANA aliweka nini kwenye kinywa cha Yeremia?

BWANA aliweka neno kinywani mwa Yeremia.

Jeremiah 1:11-12

Je,Yeremia aliona nini?

Aliona tawi la mlozi.

Je, BWANA atalifanya nini neno lake?

Atalibeba neno lake na kulitimi.za

Jeremiah 1:13-14

Je, kile chungu ambacho Yeremia aliona kilikuwa kinamaanisha nini?

Kile chungu kilikuwa picha janga lililokuwa liinakuja.

Jeremiah 1:15-16

Je, makabila yote ya ufalme wa kaskazini yatatakiwa kufanya nini BWANA atakapowaita?

Yatakuja na kuweka viti vya enzi kuizunguka Yerusalemu yote na Yuda.

Je, BWANA atatamka hukumu gani dhidi ya Yerusalemu na Yuda?

BWANA atwahukumu kwa sababu wameshindwa kumtii.

Jeremiah 1:17-19

Je, watu watafanya nini baada ya Yeremia kutoa unabii kwao?

Watu watampinga.

Jeremiah 2

Jeremiah 2:1-3

Je, BWANA anakumbuka nini juu ya watu wa Yerusalemu?

BWANA anakumbuka kuwa watu wa Yerusalemu walimpenda wakati wa zama za kale.

Je, kitatokea kitu gani kwa watu wa Israeli?

Uovu utawajia

Jeremiah 2:4-6

Je, BWANA anataka nyumba ya Yakobo wamwambie nini?

BWANA anawataka nyumba ya Yakobo wamwambie kama kuna makosa aliyofanya.

Je, BWANA anataka nyumba ya Yakobo wamwambie nini?

BWANA anawataka nyumba ya Yakobo wamwambie kama kuna makosa aliyofanya.

Jeremiah 2:7-8

Je, watu walifanya nini Mungu alipowaleta katika nchi ya Kameli?

Waliinajisi nchi.

Manabii walitoa unabii kwa Mungu gani?

Manabii walitoa unabii kwa Baali.

Jeremiah 2:9-11

Je, watu wa BWANA wameubadilisha utukufu wake na nini?

Watu wa BWANA wameubadilisha utukufu wake kwa vitu visivyoweza kuwasaidia.

Jeremiah 2:12-13

Watu wa BWANA walifanya maovu gani mawili?

Watu wake wameziacha chemichemi za maji hai wakachimba mabirika yao.

Jeremiah 2:14-19

Je, maadui wa Israeli waliwafanyia nini Waisraeli?

Waliwafanya Waisraeli kuwa watumwa.

Kilitokea kitu gani kwenye miji ya Israeli?

Miji yake iliharibiwa na kubaki bila wakazi.

Jeremiah 2:20-22

Je, watu walisemaje BWANA alipovunja nira yao na kuchana vifungo vyao?

Walisema kuwa, "Sitatumika"

Jeremiah 2:23-25

Je, BWANA anasema watu hawa wanafanana na mnyama gani?

BWANA anasema wanafanana na ngamia au punda mwitu.

Je, BWANA anasema watu hawa wanafanana na mnyama gani?

BWANA anasema wanafanana na ngamia au punda mwitu.

Jeremiah 2:26-28

Je, watu wa Israeli wataaibika kwa dhambi gani?

Wataaibika kwa kuabudu miti na mawe.

Je, watu wa Israeli wataaibika kwa dhambi gani?

Wataaibika kwa kuabudu miti na mawe.

Jeremiah 2:29-31

Je, BWANA anasemaje juu ya wana wa Israeli

BWANA anasema kuwa wote wamefanya dhambi.

Ni kitu gani ambacho BWANA anaema amewaadhibi hawa watu bure?

Anasema amewaadhibu kwa sababu hawapokei maonyo.

Jeremiah 2:32-34

Je, watu hawa waliwafnyia nini watu masikini na wale wasiokuwa na hatia?

Waliwaua watu masikini na wasio na hatia.

Jeremiah 2:35-37

Kwa nini watu hawa wanadhani kuwa hasira ya BWANA itawaacha.

Watu wanadahani kuwa hawakutenda dhambi.

Jeremiah 3

Jeremiah 3:1-2

Je, nabii anawafananisha watu na mwanamke gani?

Anawafananisha na mwanamke aliyemwacha mume wake?

Jeremiah 3:3-5

Kwa nini mvua zilikuwa hazinyeshi?

Mvua zilikuwa hazinyeshi kwa sababu watu walikuwa hawazioneii aibu dhambi zao.

Kwa nini mvua zilikuwa hazinyeshi?

Mvua zilikuwa hazinyeshi kwa sababu watu walikuwa hawazioneii aibu dhambi zao.

Jeremiah 3:6-7

Je, Waisraeli walifanya nini kwenye milima na chini ya miti?

Israeli alikuwa kama mwanamke kahaba kwa kuabudu sanamu.

Jeremiah 3:8-10

Je, Mungu aliwafanyia nini Waisraeli?

Aliwataliki.

Je, Yuda alifanya nini baada ya BWANA kumtaliki Israeli?

Yuda alifanya kitu kile kile ambacho Israeli alifanya.

Je, Yuda alifanya nini baada ya BWANA kumtaliki Israeli?

Yuda alifanya kitu kile kile ambacho Israeli alifanya.

Jeremiah 3:11-12

Je, BWANA anamkaribisha Israeli kufanya kitu gani?

Anawakaribisha kurudi.

Jeremiah 3:13-15

Je, watu wanapaswa kufanya nini watakaorudi?

Wanapaswa kukiri dhsmbi zao.

Je, watu wanapaswa kufanya nini watakaorudi?

Wanapaswa kukiri dhsmbi zao.

Jeremiah 3:16

Je, watafikiri nini juu ya sanduku l a agano?

Kamwe hawatalikumbuka tena sanduku la agano.

Jeremiah 3:17-18

Je, kitatokea nini Yerusalemu?

Mataifa mengine yote yatakusanyika huko Yerusalemu.

Je, Yuda na Israeli wataendelea kuwa maadui?

Hapana, watarukuwa pamoja.

Jeremiah 3:19-20

Je, BWANA anapenda kuwaheshimuje watu?

Anapenda kuwaheshimu kwa jinsi baba anavyomheshimu mwanaye.

Jeremiah 3:21-22

Je, kelele gani zinazosikika kwenye nchi tambarare?

Vilio na kusihi kwa wana wa Israeli kunasikika toka nchi tambarare.

Jeremiah 3:23-25

Je, kimetokea nii kwa vitu ambavyo mababu walivifanya?

Masanamu yameramba vitu vile ambavyo mababu walivitengeneza.

Je, watu na mababu walifanya vitu gani?

Hawajaisikiliza sauti ya BWANA Mungu wao.

Jeremiah 4

Jeremiah 4:1-3

Kitatokea kitu gani kama Israeli itarudi kwa BWANA?

Mataifa yataomba baraka za BWANA.

Jeremiah 4:4-6

Ni kitu gani kitakachotokea kwa sababu ya uovu wa watu?

BWANA atakuwa na hasira dhidi yao na ataleta majanga kutoka kaskazini.

Ni kitu gani kitakachotokea kwa sababu ya uovu wa watu?

BWANA atakuwa na hasira dhidi yao na ataleta majanga kutoka kaskazini.

Jeremiah 4:7-8

Je, simba atawafanya nini hao watu?

Ataiharibu miji yao.

Kwa nini watu watajifunika magunia?

Watafanya hivyo ili kuonyesha kuhuzunika kwa sababu ya dhambi yao?

Jeremiah 4:9-12

Kwa nin Yeremia anafikiri kuwa BWANA amewadanganya watu?

BWANA amewaahidi watu kuwa na amani lakini kuna mwingine anayewashambulia.

Jeremiah 4:13-15

Ni kwa jinsi gani watu wa Yerusalemu wanaweza kuokoka?

Wanapaswa kuisafisha mioyo yao kutoka kwenye uovu.

Jeremiah 4:16-18

Kwa nini walinzi wanakuja kutoka nchi ya mbali?

Wanakuja kwa sababu Yuda amempinga BWANA.

Jeremiah 4:19-20

Kwa nini Yeremia yuko katika maumivu?

Kwa sababu anasikia sauti ya vita.

Jeremiah 4:21-22

Je, upumbavu wa watu ni upi?

Ni kutokumjua BWANA.

Jeremiah 4:23-26

Kwa nini ile nchi aliyoiona Yeremia ilikuwa ukiwa?

Ile nchi ilikuwa ukiwa kwa sababu BWANA alikuwa na hasira.

Jeremiah 4:27-29

Je, watu toka kila mji watafanya nini?

Watawakimbia wavamizi na kuiacha nchi ikiwa ukiwa.

Jeremiah 4:30-31

Kitatokea nini kwa wale ambao kwa sasa ni matajiri?

Watauawa

Jeremiah 5

Jeremiah 5:1-3

Ni katika hatua ipi ambayo BWANA ataisamehe Yerusalemu?

Mungu ataisamehe Yerusalemu iwapo kama nabii ataona mtu anayetenda kwa haki.

Ijapokuwa Mungu amewashambulia watu, bado wanafanya nini?

Bado wanakataa kupokea adabu.

Jeremiah 5:4-9

Kwa nini nabii anasema kuwa watu hawa ni masikini, na wapumbavu?

Kwa sababu hawazijui njia za BWANA.

Je, watu wa muhimu wanazijua njia za BWANA?

hapana, wamempinga BWANA.

Je, Yeremia anasema nini juu ya maovu ya watu na uasi wao?

Yeremeia anasema kuwa uovu wao unaongezeka na uasi hauna kikomo.

Jeremiah 5:10-13

Je, watu wamesemaje juu ya Mungu?

Wamesema kuwa yeye si halisi?

Jeremiah 5:14-15

Je, BWANA yuko tayari kuifanya nini nyumba ya Israeli?

Yuko tayari kuwaletea taifa dhidi yao toka mbali.

Jeremiah 5:16-17

Je, maadui wataifanya nini Israeli?

Maadui watawaua watoto wa Waisraeli na kula chakula chao.

Jeremiah 5:18-19

Kwa nini Mungu atamwumiza Israeli na Yuda?

Atawaumiza kwa sababu kwa sababu wamemwacha BWANA na kuabudu miungu migeni.

Jeremiah 5:20-22

Je, macho na masikio ya yale masanamu yanafanya nini?

Hayafanyi chochote.

Jeremiah 5:23-25

Je, BWANA anapenda kuwafanya nini wale wanaomhofu?

Anapenda kuwanyeshea mvua kwa wakati mwafaka ili kwamba mavuno yawae mazuri?

Jeremiah 5:26-29

Je, waovu walio kati ya watu wa BWANA ni masikini au matajiri.

Ni matajiri.

Je, waovu walio kati ya watu wa BWANA ni masikini au matajiri.

Ni matajiri.

Je, BWANA atawafanya nini waovu?

Atawaadhibu.

Jeremiah 5:30-31

Je, watu wanajisikiaje juu ya kazi ambayo manabii na makuhani hufanya?

Wanaipenda.

Jeremiah 6

Jeremiah 6:1-3

Kwa nini watu wa Benyamini watapata usalama wakitoka Yerusalemu

Kwa sababu BWANA ataiangamiza Yerusalemu.

Jeremiah 6:4-5

Je, ni wakati gani ambao maadui watavamia?

Watavamia wakati wa adhuhuri na wakati wa usiku.

Je, ni wakati gani ambao maadui watavamia?

Watavamia wakati wa adhuhuri na wakati wa usiku.

Jeremiah 6:6-8

Kwa nini BWANA anawataka maadui kuivamia Yerusalemu?

Anawatka maadui kuivamia Yerusalemu kwa sababu miji imejaa ukandamizaji n a uovu.

Kitatokea kitu gani iwapo kama Yerusalemu hawatapokea maonyo?

BWANA ataiangamiza Yerusalemu.

Jeremiah 6:9-10

Kwa nini BWANA hawaonyi Waisraeli?

Kwa sababu hawako tayari kuwa wasikivu?

Jeremiah 6:11-12

Kitatokea kitu gani kwa nyumba, mashamba na kwa wanawake?

Vitachukuliwa na watu wengine.

Jeremiah 6:13-15

Je, watu walijisikiaje walipofanya machukizo?

Hawakujisika aibu?

Jeremiah 6:16-19

Kwa nini BWANA yuko tayari kuleta majanga kwa watu hawa?

Kwa sababu hawakuzingatia neno na sheria zake.

Jeremiah 6:20-24

Ubani na uudi unamaanisha kitu gani kwa BWANA?

Havimaanishi kituchochote kwa BWANA. Havipendi.

Je, kile kikwazo kitasababisha kitu gani kwa watu?

Kitawaangamiza.

Jeremiah 6:25-26

Kwa nini yule binti wa watu atafanya mazishi machungu kwa ajili yake?

Atafanya hivi kwa sababu adui atawaharibu watu wake.

Jeremiah 6:27-30

Je, Yeremia atafanya nini kama mtu anayewapima watu wa Mungu?

Atawachunguza na kuzipima njia zao.

Watu hawa wanafananishwa na nini?

Watu hawa ni wasumbufu kama vile shaba na chuma vilivyo vigumu.

Jeremiah 7

Jeremiah 7:3-4

Je, BWANA anawaahidi kitu gani hawa watu kama watazintengeneza vizuri njia zao na matendo yao?

Atawaacha waendelee kuishi mahali pale.

Je, BWANA anawaahidi kitu gani hawa watu kama watazintengeneza vizuri njia zao na matendo yao?

Atawaacha waendelee kuishi mahali pale.

Jeremiah 7:5-7

Je, Waisraeli wanapaswa kufanya nini ili BWANA awaache waishi kwenye hiyo nchi?

Wanapaswa kuzitengeneza vizuri njia na matendo yao kwa kutoa hukumu ya haki.

Je, Waisraeli wanapaswa kufanya nini ili BWANA awaache waishi kwenye hiyo nchi?

Wanapaswa kuzitengeneza vizuri njia na matendo yao kwa kutoa hukumu ya haki.

Je, Waisraeli wanapaswa kufanya nini ili BWANA awaache waishi kwenye hiyo nchi?

Wanapaswa kuzitengeneza vizuri njia na matendo yao kwa kutoa hukumu ya haki.

Je, Waisraeli wanapaswa kufanya nini ili BWANA awaache waishi kwenye hiyo nchi?

Wanapaswa kuzitengeneza vizuri njia na matendo yao kwa kutoa hukumu ya haki.

Jeremiah 7:8-11

Je, hawa watu wanasemaje baada ya kufanya matendo ambayo wanajua kuwa BWANA anayachukia?

Wanaenda hekaluni na kusema kuwa wameokoka.

Jeremiah 7:12-15

Kwa nini BWANA anawataka watu kufikiri juu ya Shilo?

Anawataka wakumbuke kuwa atawafanyia kile alichofanya kule Shilo kwa sababu walikuwa na hatia ya uovu uleule ambao watu wa Shilo walikuwa nayo.

Kwa nini BWANA anawataka watu kufikiri juu ya Shilo?

Anawataka wakumbuke kuwa atawafanyia kile alichofanya kule Shilo kwa sababu walikuwa na hatia ya uovu uleule ambao watu wa Shilo walikuwa nayo.

Jeremiah 7:16-20

Kwa nini BWANA hataisiliza sala ya Yeremia?

Hatamsikiliza kwa sababu ameamua kuwaangamiza Waisraeli.

Kwa nini BWANA atawaangamiza hawa watu?

Kwa sababu wanaabudu miungu miingine.

Jeremiah 7:21-23

Ni amri gani ambayo BWANA aliwapatia watu walipoondoka Misri?

Aliwaamuru kuisikiliza sauti yake.

Jeremiah 7:24-26

Je, watu walifanya nini BWANA alipowatuma manabii?

Hawakuwasikiliza wala kuwajali. Waliendelea kufanya uovu.

Jeremiah 7:27-28

Je, nabii atawaambia ktu gani?

Atawaambia kuwa hili ni taifa ambalo halisikikizi sauti ya BWANA.

Jeremiah 7:29-30

Kwa nini BWANA anamwagiza Yeremia kunyoa nywele zake zote?

Yeremeia alipaswa kuonyesha kuwa BWANA amewakataa Waisraeli.

Jeremiah 7:31-32

Kwa nini watu Waisraeli walijenga maaneo ya kuabudia ya Tofeti katika bonde la Hinomu?

Walijenga ili kwamba wapate kuwateketeza wana na binti zao huko.

Jeremiah 7:33-34

Mizoga ya watu hawa italiwa na nini?

Ndege wa angani na wanyama wa mwitu watawala.

Je, BWANA ataifanya nini miji ya Yuda na mitaa ya Yerusalemu?

Atayafanya kuwa maeneo ya watu wasiokuwa na furaha.

Jeremiah 8

Jeremiah 8:1-3

Je, kitatokea kitu gani kwenye mifupa ya watu?

Watu wataisambaza chini mifupa yote .

Je, wale walio hai watatamani kuwa ni bora kama watakutwa wakiwa wamekufa au wakiwa hai?

Watatamani kuwa wamekufa.

Jeremiah 8:4-5

Je, wale watu waliopotea wanajaribu kufanya nini?

Wanajaribu kupata njia ya kurudi.

Jeremiah 8:6-7

Je, watu wanajisikiaje juuy a uovu wao?

Hakuna anayehuzunikia uovu wake.

Ni kwa jinsi gani watu wa BWANA si kama ndege?

Ndege hujua wanachotakiwa kukifanya, lakini watu wake hawajui maagazo ya BWANA.

Jeremiah 8:8-10

Je, waandishi wamefanya nini?

Wameandika mambo ambayo huwadanganya watu.

Je, BWANA atayafanya nini mashamba na wake wao?

Atawapatia hayo mashsamba na wake zao kwa watu wengine.

Jeremiah 8:11-13

Je, watu hawwa waliona aibu kwa ajili ya dhambi zao?

Hapana, wala hawakuona aibu.

Je, BWANA atafanya nini kwa kuwa hawakuona aibu?

Atawafanya maadui zao wawaue.

Jeremiah 8:14-15

Je, watu waliamua kufanya nini?

Waliamua kwenda kufia kwenye miji.

Jeremiah 8:16-17

Je, wale farasi wenye nguvu wa BWANA walifanya nini?

Watakuja kuiangamiza nchi na utajiri wake, mji na wote wakaao ndani yake.

Je, BWANA anatuma nini cha kuwadhuru.

Anatuma nyoka ili kuwadhuru.

Jeremiah 8:18-22

Wako wapi wale watu wanaopiga kelele?

Wako mbali kwenye ile nchi.

BWANA yuko wapi?

BWANA yuko Sayuni.

Jeremiah 9

Jeremiah 9:1-3

Kwa nini nabii anataka kuomboleza?

Anataka kuomboleza kwa sababu watu wake wengi wameuawa.

Kwa nini anataka kuwaacha watu wake?

Anataka kuwaacha kwa sababu ni wazinzi na wasaliti.

Je, watu waovu wanasemaje?

Wanasema uongo.

Jeremiah 9:4-6

Kwa nini kila mmoja wao amlinde jirani yake na ndugu yake?

Watalindana kwa sababu kila jirani na ndugu yake ni mlaghai.

Kwa nini watu wamedhoofika?

Wamedhofika kwa sababu ya kufanya uovu.

Kwa nini BWANA atawaadhibu Waisraeli?

Atawaadhibu Wisraeli kwa sababu wametahiriwa miili yao tu na wala si mioyoni.

Jeremiah 9:7-9

Kwa nini BWANA anataka kuwajaribu watu wake?

Anataka kuwajaribu kwa sababu wanawadanganya majirani zao.

Jeremiah 9:10-12

Je nabii ataimba wimbo gani?

Ataimba wimbo wa mazishi na nyimbo za kuomboleza kwa ajili ya milima na nyikani.

Je, BWANA ataufanya Yerusalemu na Yuda kuwa katika hali gani?

Ataibadalisha na kuifanya kuwa maeneo yaliyoteketezwa.

Je, nchi itakuwaje baada ya kupotezwa?

Itakuwa kama jangwa, na hakuna mtu atakayepita katikati yake.

Jeremiah 9:13-14

Je, watu wamefanya kitu gani ambacho hakijampendeza BWANA?

Wameziacha sheria zake na wala hawamsikilizi.

Jeremiah 9:15-16

Je, BWANA anasema kuwa atawafanya nini Waisraeli?

Atawafanya kuwa wenye huzuni kama watu wasiokuwa na chochote isipokuwa vyakula vichungu na maji machungu. Kisha atawaondoa kwenye nyumba zao na na kuwaua.

Jeremiah 9:17-18

Je, wale wanawake wenye utalaamu wa kuomboleza wanatakiwa kufanya nini.

Wanatakiwa kuimba nyimbo za huzuni ili watu walie.

Je, wale wanawake wenye utalaamu wa kuomboleza wanatakiwa kufanya nini.

Wanatakiwa kuimba nyimbo za huzuni ili watu walie.

Jeremiah 9:19-20

Je, waliaji wa Sayuni wanajisikiaje?

Wamepata aibu kubwa sana.

Je, wanawake wanapaswa kuwafundisha kitu gani binti zao?

Wanapaswa kuwafundisha binti zao wimbo wa maombolezo.

Jeremiah 9:21-22

Ni watu gani ambao nabii anasema kuwa watakufa?

Watoto na vijana watakufa.

Ni kwa namna gani mizoga yao itakuwa kama mavi na mabua?

Kwa sababu hakutakuwepo na mtu wa kuwazika.

Jeremiah 9:23-24

Je, watu wanapaswa kujivunia kitu gani?

Watu wanatakiwa kujivunia ufahamu wa kumjua BWANA.

Je, BWANA husema kuwa hutenda kazi kwa kutumia nini?

BWANA hufanya kazi kwa kutumia agano la wema.

Jeremiah 9:25-26

Kwa nini BWANA atawaadhibu Waisraeli?

Atawaadhibu Waisraeli kwa sababu wametahiriwa miili yao tu na wala si katika mioyo yao.

Kwa nini BWANA atawaadhibu watu wengine?

Atawaadhibu kwa sababu hata miili yao haijatahiriwa.

Jeremiah 10

Jeremiah 10:1-2

Je, BWANA hataki wana wa Israeli kufanya nini?

Hataki wajifunze njia za watu wa mataifa.

Je, BWANA hataki wana wa Israeli kufanya nini?

Hataki wajifunze njia za watu wa mataifa.

Jeremiah 10:3-5

Ni desituri gani ambazo ni batili?

Ni zile desituri za kutengeneza masanamu.

Ni desituri gani ambazo ni batili?

Ni zile desituri za kutengeneza masanamu.

Kwa nini watu hawatakiwi kuwa na hofu ya masanamu?

Kwa sababu sanamu haziwezi kufanya chochote kibaya au chema.

Jeremiah 10:6-10

Ni nani aliye kama BWANA?

Hakuna aliye kama BWANA.

Jeremiah 10:11-13

Je, kitatokea kitu gani kwa miungu ambayo haikuumba dunia?

Itaangamia.

Je, Mungu wa kweli alifanya nini?

Ndiye aliyeumba nchi kavu na kuzitandaza mbingu.

Jeremiah 10:14-16

Kuna tofauti gani kati ya sanamu na Muungu wa Ukweli?

Sanamu haziko hai, bali Mungu yeye aliumba vitu vyote.

Kuna tofauti gani kati ya sanamu na Muungu wa Ukweli?

Sanamu haziko hai, bali Mungu yeye aliumba vitu vyote.

Jeremiah 10:17-18

Je, wale watu waliokuwa wakiishi kwenye mazingiwa walipaswa kufanya nini?

Walipaswa kukusanya vitu vyao na kuondoka.

Jeremiah 10:19-20

Kwa nini hapakuwepo mtu yeyote wa kuitandaza hema ya nabii?

Kwa sababu wamewachukua watoto wake.

Jeremiah 10:21-22

Kwa nini wachungaji wamekuwa wapumbavu?

Kwa sababu hawamtafuti BWANA.

Kitatokea kitu gani tetemeko litakapokuja?

Miji ya Yuda itaharibiwa.

Jeremiah 10:23-25

Je, nabii anamwombaje BWANA ili amwadhibu?

Anamwomba BWANA amwadhibu kwa haki na wala si kwa hasira.

Je, nabii anamwaomba BWANA amwage hasira zake kwa nani?

Nabii anamwomba BWANA amwage hasira zake juu ya mataifa ambayo hayamjui yeye.

Kwa nini wapokee hasira ya BWANA?

Wapokee hasira ya BWANA kwa sababu wamemharibu Yakobo na nchi yake.

Jeremiah 11

Jeremiah 11:1-2

Bwana alimwambia Yeremia awaambie akina nani maneno yake?

Bwana alimwambia Yeremia amwambie kila mtu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.

Jeremiah 11:3-5

Kwa nini watu watalaaniwa?

Watu watalaaniwa ikiwa hawatasikia maneno ya agano.

Akina nani walipewa agano?

Mababu wa Israeli walipewa agano.

Agano lilitolewa lini?

Agano lilitolewa siku ambayo Bwana aliwatowa Waisraeli Misri.

Bwana aliapa nini kwa baba wa Israeli?

Bwana aliapa kuwa atawapa nchi yenye maziwa na asali.

Jeremiah 11:6-8

Kwa nini Bwana alileta laana yote katika agano dhidi ya watu wake?

Alilewa laana kwa sababu watu hawakutii agano.

Kwa nini Bwana alileta laana yote katika agano dhidi ya watu wake?

Alilewa laana kwa sababu watu hawakutii agano.

Jeremiah 11:9-10

Ni njama ipi iliyokuwepo kati ya watu wa Yuda na Yerusalemu?

Walikataa kumsikiliza Bwana na kuabudu miungu mingine.

Jeremiah 11:11-13

Bwana atakapoleta majanga kwa watu na wakimiuta atawajibu vipi?

Hatawasikiliza.

Idadi ya madhabahu ya Baali iliyoongezeka ambayo ilitengenezwa Yerusalemu ilikuwaje?

Idadi ya madhabahu ya Baali iliyoongezeka ambayo ilitengenezwa Yerusalemu ilikuwa sawa na idadi ya miji.

Jeremiah 11:14-16

Kwa nini Bwana alimuamuru Yeremia asiombe kwa ajili ya watu?

Asiwaombee kwa sababu Bwana hatasikiliza.

Kwa nini dhabihu za watu hazitawasaidia?

Dhabihu za watu hazitawasaidia kwa sababu wamefanya uovu na kuufurahia.

Jeremiah 11:17

Ni tendo gani baya ambalo watu walifanya?

Walitoa sadaka kwa Baali.

Jeremiah 11:18-20

Ni sehemu gani ya mtu ambayo Bwana huchunguza?

Bwana huchunguza moyo na akili.

Jeremiah 11:21-23

Watu wa Anathothi walisema watamfanya nini Yeremia akiendelea kutoa unabii kwa jina la Bwana?

Walisema watamuua.

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu waliotaka kumuua Yeremia?

Bwana alisema atawaua wana wao kwa vita na njaa.

Jeremiah 12

Jeremiah 12:1-2

Yeremia alikuwa analalamika nini juu ya watu waovu?

Alilalamika kuwa njia zao zinafanikiwa.

Yeremia alikuwa analalamika nini juu ya watu waovu?

Alilalamika kuwa njia zao zinafanikiwa.

Jeremiah 12:3-4

Yeremia alitaka Bwana awafanyie nini watu?

Alitaka Bwana awaondoe.

Kwa nini mimea inakauka?

Mimea inakauka kwa sababu ya uovu wa watu.

Jeremiah 12:5-6

Nani alimsaliti Yeremia?

Ndugu zake Yeremia na familia ya baba yake walimsaliti.

Jeremiah 12:7-9

Kwa nini mungu aliwachukia watu wake?

Kwa sababu walijiweka wenyewe juu ya yake.

Jeremiah 12:10-11

Wachungaji waliifanyia nini sehemu nzuri?

Wachungaji waliigeuza kuwa jangwa.

Wachungaji waliifanyia nini sehemu nzuri?

Wachungaji waliigeuza kuwa jangwa.

Jeremiah 12:12-13

Ni sehemu gani kwenye nchi kulikuwa salama kwa viumbe hai?

Hakukuwa na sehemu salama kwa viumbe hai.

Kwa nini wafanyakazi wataona aibu kwa faisa zao?

Wataaibika kwa sababu ya hasira ya Bwana.

Jeremiah 12:14-15

Nini kitatokea kwenye nyumba ya Yuda Bwana akiwaonea huruma?

Bwana atawarudisha kwenye nchi yao.

Jeremiah 12:16-17

Bwana aliwaahidi nini mataifa ambayo huapa, "'Kama Bwana anaishivyo"?

Watajengwa katikati ya watu wa Bwana.

Nini kitatokea ikiwa hayo mataifa hayatasikiliza?

Bwana atawang'oa.

Jeremiah 13

Jeremiah 13:1-4

Bwana alimwambia Yeremia alifanyie nini nguo ya kitani?

Alimwambia Yeremia aivae nguo hiyo kisha aende nayo Frati na kuificha.

Bwana alimwambia Yeremia alifanyie nini nguo ya kitani?

Alimwambia Yeremia aivae nguo hiyo kisha aende nayo Frati na kuificha.

Jeremiah 13:5-7

Nguo ya kitani ilikuwa na ubora gani wakati Yeremia alipoitia sehemu aliyokuwa ameificha?

Haikuwa nzuri kabiosa.

Jeremiah 13:8-11

Ni kwa namna gani watu waovu wanafanana na hiyo nguo?

Hawafai kitu kwa sababu wamekataa kusikiliza maneno ya Bwana.

Bwana alitaka watu wamletee mambo gani matatu?

Alitaka wamletee sifa, heshima na kumfanyia jina.

Jeremiah 13:12-14

Bwana atawajaza nini watu wote?

Bwana atawajaza ulevi.

Bwana atafanya nini baada ya kuwajaza ulevi?

Atawaangamiza.

Jeremiah 13:15-17

Nini kitatokea ikiwa watu hawatamheshimu Bwana?

Ataleta giza.

Jeremiah 13:18-19

Kwa nini mfalme na mama wa malkia watajinyenyekesha?

Kwa sababu taji zao zimeanguka.

Jeremiah 13:20-21

Bwana atawaweka akina naji juu ya watu?

Bwana atawaweka juu yao wale aliowafundisha kuwa rafiki zao.

Jeremiah 13:22-24

Kwa nini mambo mabaya yaliwapata watu?

Mambo mabaya yaliwapata watu kwa sababu wamefanya machukizo mengi.

Jeremiah 13:25-27

Bwana atafanya nini juu ya mabaya yote ambayo watu waliyafanya kwa siri?

Atayaonesha kwa watu wote.

Jeremiah 14

Jeremiah 14:1-3

Nini kilitokea watumishi walipotafuta maji?

Hawakuweza kupata maji.

Jeremiah 14:4-6

Nini hutokea kusipokuwa na mvua?

Hakuna majani wana mimea.

Nini hutokea kusipokuwa na mvua?

Hakuna majani wana mimea.

Jeremiah 14:7-9

Bwana aliwaokoa Waisraeli wakati gani?

Bwana aliwaokoa wakati wa dhiki.

Jeremiah 14:10-12

Bwana alimwambia Yeremia asifanye nini kwa ajili ya watu?

Bwana alimwambia Yeremia asiombe mazuri kwa ajili ya watu.

Jeremiah 14:13-14

Ni wapi hutoka maneno ya udanyanyifu ya manabii wa uongo?

Yanatoka kwenye mioyo ya manabii wa uongo.

Jeremiah 14:15-16

Nini kitatokea kwa manabii wa uongo?

Watakufa kwa upanga na njaa.

Jeremiah 14:17-18

Watu watakufa wapi kwa upanga?

Watakufa kwa upanga mashambani.

Watu watakufa wapi kwa njaa?

Watakufa kwa njaa katika mji.

Jeremiah 14:19-20

Ni kitu gani Yeremia alikiri kwa Bwana kuwa ni uovu wa baba zao?

Walitenda dhambi dhidi ya Bwana.

Jeremiah 14:21-22

Kwa nini watu wanapaswa kuwa na tumaini kwa Bwana?

Bwana ameandaa mbingu na kutoa mvua.

Jeremiah 15

Jeremiah 15:1-2

Bwana alisema hatabadilisha nini hata kama Musa na Samweli watawaombea watu?

Hatawafikiria tena watu hawa.

Nini kitatokea kwa watu wa Yuda na Yerusalemu?

Wengine watakufa, wengine watauawa, wengine watakufa kwa njaa, wengine watapelekwa mbali na nyumbani.

Jeremiah 15:3-4

Mambo gani manne yatatokea kwa watu?

Wengine watakufa kwa upanga, mbwa watawararua wengine, ndege watawala na wanyama wakali watawala wengine.

Jeremiah 15:5-7

Nani ataijali Yerusalemu?

Hakuna atakayeijali Yerusalemu.

Ni kitu gani Bwana alichoka kuwafanyia Yerusalemu?

Bwana alichoka kuwahurumia.

Jeremiah 15:8-9

Ni kitu gani kitamfanya mama wa watoto saba aaibike na kufedheheka?

Bwana atamfanya adui yake kuua watoto wake.

Jeremiah 15:10-12

Ni lini Bwana atawafanya adui wa Yeremia wamuombe msaada?

Bwana atawafanya adui wa Yeremia wamuombe msamaha wakati wa msiba na dhiki.

Jeremiah 15:13-14

Kwa nini Bwana atawapa maadui utajiri wa watu?

Atawapa kwa sababu ya dhambi zote za watu.

Jeremiah 15:15-18

Yeremia alifanya nini kuhusu maneno ya Bwana.

Yeremia aliyala maneno ya Bwana.

Jeremiah 15:19-21

Yeremia alipaswa kufanya nini ili kurejeshwa?

Alipaswa kutubu.

Bwana atamuokoa Yeremia kutoka kwa watu gani?

Bwana atamuokoa Yeremia kutoka kwa watu waovu na washindani.

Jeremiah 16

Jeremiah 16:1-4

Ni amri ipi ambayo Bwana alimpa Yeremia?

Bwana alimuamuru Yeremia asioe.

Ni kipi kitatokea kwa watoto watakaozaliwa sehemu hiyo?

Watakufa.

Ni kipi kitatokea kwa watoto watakaozaliwa sehemu hiyo?

Watakufa.

Nini kitatokea kwa mizoga yao.

Mizoga yao itakuwa kama samadi juu ya nchi na itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.

Jeremiah 16:5-6

Kwa nini Bwana alimkataza Yeremia asiende kwenye nyumba ambazo wanaomboliza?

Alimuamuru kwa sababu watu wote matajiri na masikini watakufa na hamna hata mmoja atakayewaombolezea.

Kwa nini Bwana alimkataza Yeremia asiende kwenye nyumba ambazo wanaomboliza?

Alimuamuru kwa sababu watu wote matajiri na masikini watakufa na hamna hata mmoja atakayewaombolezea.

Jeremiah 16:7-9

Kwa nini Bwana alimuamuru Yeremia asiende katika nyumba ya watu wanaosherehekea?

Bwana aliamuru hivyo kwa sababu atakwenda kukomesha sherehe.

Jeremiah 16:10-11

Watu watauliza nini Yeremia akiripoti neno la Bwna kwao?

Watu watamuuliza Yeremia kwa nini Bwana amesema maafa juu yao.

Jeremiah 16:12-15

Nani alifanya uovu zaidi, watu hao au baba zao?

Watu hao walifanya uovu zaidi kuliko baba zao.

Jeremiah 16:16-18

Kwa nini Bwana atawalipa mara mbili uovu na dhambi ya Israeli?

Atafanya hivyo kwa sababu wameiharibu nchi kwa sanamu zao.

Jeremiah 16:19-21

Mataifa watasema nini kuhusu baba zao watakapoenda kwa Bwana?

Mataifa watasema kwamba baba zao walirithi udanganyifu.

Jeremiah 17

Jeremiah 17:1-2

Dhambi ya Yuda ilichongwa wapi?

Dhambi ya Yuda ilichongwa kwenye mioyo yao.

Miti ya Ashera za watu zilikuwa wapi?

Miti ya Ashera ilikuwa kwenye miti ya majani kwenye milima mirefu.

Jeremiah 17:3-4

Ni mahali gani Yuda itatumikishwa?

Yuda itatumikishwa katika nchi ambayo hawaijui.

Jeremiah 17:5-8

Ni nani ambaye Bwana anasema amelaaniwa?

Bwana anasema amelaaniwa mtu anayemtegemea mwanadamu.

Jeremiah 17:9-11

Moyo upo kama nini?

Moyo ni mdanganyifu zaidi kuliko kitu kingine chochote, una ugonjwa na hamna anayeweza kuuelewa.

Jeremiah 17:12-14

Nini kitatokea kwa wale wanaomuacha Bwana?

Wote wanaomuacha Bwana wataaibika na kuuawa.

Jeremiah 17:15-18

Yeremia hakukimbia kazi gani?

Yeremia hakuikimbia kazi ya kuwa mchungaji akimfuata Bwana.

Jeremiah 17:19-20

Bwana alitaka Yeremia afanye nini aliposimama kwenye makango?

Bwana alitaka Yeremia awaambie watu wasikilize neno la Bwana.

Jeremiah 17:21-23

Bwana alitaka watu waache kufanya nini?

Alitaka waache kubeba mizigo siku ya sabato.

Jeremiah 17:24-25

Nini kitatokea kwenye mji kama watu watasikia na kutofanya kazi siku ya sabato?

Kama wakisikiliza na kutii mji utakaa milele.

Jeremiah 17:26-27

Nini kitatokea watu wasiposikiliza?

Watu wasiposikiliza Bwana ataichoma Yerusalemu.

Jeremiah 18

Jeremiah 18:1-4

Ni mahali gani ambapo Bwana alimwambia Yeremia aende ili asikilize neno lake?

Bwana alimwambia aende kwenye nyumba ya mfinyanzi.

Nini kilitokea kwa chombo cha udongo ambacho mfinyanzi alikitengeneza Yeremia akiwa anatazama?

Kiliharibika mkononi mwake.

Jeremiah 18:5-8

Bwana atafanya nini kwa taifa ambalo litaacha uovu baada ya kusikia tamko lake?

Atagairi asitende maafa aliyokuwa ameyapanga juu ya taifa hilo.

Jeremiah 18:9-10

Bwana atayafanya nini mataifa ambayo hayasikilizi sauti yake?

Hatawatendea mema ambayo alisema atawatendea.

Jeremiah 18:11-14

Kwa nini Bwana alitengeneza mabaya dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu?

Kwa sababu wanafanya mambo maovu.

Watu wa Yuda na Yerusalemu watafanya nini baada ya Yeremia kuwaonya?

Hawatasikiliza wala kuacha kufanya mambo maovu.

Jeremiah 18:15-17

Kwa nini Israeli itakuwa na hofu?

Waisraeli watakuwa na hofu kwa sababu wamemsahau Bwana na kutoa sadaka kwa sanamu.

Kwa nini kila mtu atakayepita karibu atashuhudia na kutingisha kichwa?

Watafanya hivyo kwa sababu Bwana aliifanya nchi kuwa na hofu.

Jeremiah 18:18-20

Watu walipanga njama gani juu ya Yeremia?

Walipanga kumvamia kwa maneno yao na kutotega sikio kwa lolote atakalolisema.

Yeremia alimuomba Bwana amkumbuke kwa kipi?

Yeremia alimuomba Bwana akumbuke namna ambavyo Yeremia alisema mema kwa ajili ya watu.

Jeremiah 18:21-23

Yeremia alimuomba Bwana awafanyie nini adui zake?

Yeremia alimuomba Bwana awaue watu wote na asiwasamehe dhambi zao.

Jeremiah 19

Jeremiah 19:1-3

Ni kitu gani Bwana alimwambia Yeremia akanunue?

Bwana alimwambia Yeremia akanunue chupa ya udongo.

Bwana alisema ataleta nini kwa wafalme wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu?

Bwana alisema ataleta msiba mahali pale na kufanya masikio yao kuwaka.

Jeremiah 19:4-5

Kwa nini Bwana alileta maafa Yerusalemu?

Alileta maafa kwa sababu watu walimuacha Mungu na kudharau mahali pake, wakaifuata miungu mingine na kujaza mahali damu isiyo na hatia.

Kwa nini watu walimjengea Baali madhabahu?

Walimjengea Baali madhabahu ili wawachome moto watoto wao kama sadaka za kuteketezwa kwake.

Jeremiah 19:6-9

Bonde la Ben Hinomu lilikuwa linaitwaje?

Liliitwa bonde la machinjio.

Jeremiah 19:10-11

Yeremia aliifanyia nini chupa ya udongo?

Aliivunja chupa ya udongo mbele ya watu waliokwenda pamoja naye.

Jeremiah 19:12-13

Watu wasio safi walifanya nini kwenye paa?

Watu wasio safi waliabudi nyota katika paa na kumimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine.

Jeremiah 19:14-15

Kwa nini Bwana alileta maafa katika jiji na miji yake yote?

Bwana alileta maafa kwao kwa sababu walifanya shingo zao kuwa ngumu na wakakataa kusikiliza neno la Bwana.

Jeremiah 20

Jeremiah 20:1-2

Kwa nini Pashuru alimpiga Yeremia na kumuweka katika masanduku?

Alimuadhibu Yeremia kwa sababu Yeremia alitabri alitabiri maneno hayo mbele ya nyumba ya Bwana.

Kwa nini Pashuru alimpiga Yeremia na kumuweka katika masanduku?

Alimuadhibu Yeremia kwa sababu Yeremia alitabri alitabiri maneno hayo mbele ya nyumba ya Bwana.

Jeremiah 20:3-4

Bwana atampa nini mfalme wa Babeli?

Bwana atampa mali za jiji hili na utajiri wake wote, vitu vyake vya thamani na hazina ya mfalme wa Yuda.

Jeremiah 20:5-6

Nini kitatokea kwa Pashuri na wenyeji wa nyumba yake?

Wataenda Babeli na kufa huko.

Jeremiah 20:7-9

Nini kilitokea Yeremia alipojaribu kuacha kutanganza jina la Bwana tena?

Neno lake likawa kama moto kwenye moyo wa Yeremia uwakao katika mifupa yake na akashindwa kustahimili.

Ni ujumbe gani ambao Yeremia aliita na kuutangaza?

Yeremia aliita na kutangaza ujumbe wa vurugu na uharibifu.

Nini kilitokea Yeremia alipojaribu kuacha kutanganza jina la Bwana tena?

Neno lake likawa kama moto kwenye moyo wa Yeremia uwakao katika mifupa yake na akashindwa kustahimili.

Jeremiah 20:10-11

Nini kilitokea kwa wale waliokuwa wakiangalia kama Yeremia ataanguka?

Watajikwaa, hawatamshinda na watakuwa na aibu ya kudumu.

Nini kilitokea kwa wale waliokuwa wakiangalia kama Yeremia ataanguka?

Watajikwaa, hawatamshinda na watakuwa na aibu ya kudumu.

Jeremiah 20:12-13

Kwa nini Yeremia alisema kuimba na kumsifu Bwana?

Kila mtu anapaswa kuimba na kumsifu Bwana kwa sababu humtazama mwenye haki na kuona akili na moyo wao, hulipa kisasi na kuwaokoa watu waliokandamizwa.

Kwa nini Yeremia alisema kuimba na kumsifu Bwana?

Kila mtu anapaswa kuimba na kumsifu Bwana kwa sababu humtazama mwenye haki na kuona akili na moyo wao, hulipa kisasi na kuwaokoa watu waliokandamizwa.

Jeremiah 20:14-18

Yeremia alisema nini juu ya siku aliyozaliwa?

Yeremia aliilaani siku aliyozaliwa na kuomba isibarikiwe.

Jeremiah 21

Jeremiah 21:1-2

Pashuri na Sefania walimuomba nini Yeremia?

Walimuomba aombe ushauri kwa Bwana.

Kwa nini walitaka Yeremia aombe ushauri kwa Bwana?

Walitumaini kuwa Bwana atawafanyia muujiza.

Pashuri na Sefania walimuomba nini Yeremia?

Walimuomba aombe ushauri kwa Bwana.

Kwa nini walitaka Yeremia aombe ushauri kwa Bwana?

Walitumaini kuwa Bwana atawafanyia muujiza.

Jeremiah 21:3-5

Ujumbe gani ambao Yeremia alimpa Sedekia?

Bwana atapigana dhidi ya Sedekia.

Ujumbe gani ambao Yeremia alimpa Sedekia?

Bwana atapigana dhidi ya Sedekia.

Jeremiah 21:6-7

Bwana atapigana kwa namna gani dhidi ya mfalme Sedekia?

Bwana atapigana dhidi ya mfalme Sedekia kwa magonjwa, upanga na njaa.

Bwana atapigana kwa namna gani dhidi ya mfalme Sedekia?

Bwana atapigana dhidi ya mfalme Sedekia kwa magonjwa, upanga na njaa.

Jeremiah 21:8-10

Watu wanaotaka kuishi wanapaswa kufanya nini?

Walipaswa kwenda nje ya mji na kuanguka mbele ya Wakaldayo.

Nini kitatokea kwa watu watakaokaa ndani ya mji?

Watakufa.

Watu wanaotaka kuishi wanapaswa kufanya nini?

Walipaswa kwenda nje ya mji na kuanguka mbele ya Wakaldayo.

Nini kitatokea kwa watu watakaokaa ndani ya mji?

Watakufa.

Jeremiah 21:11-12

Bwana alitaka mfalme wa Yuda afanye nini?

Alitaka mfalme asikilize maneno ya Bwana, afanye haki na kuwaokoa wanaoonewa.

Bwana alitaka mfalme wa Yuda afanye nini?

Alitaka mfalme asikilize maneno ya Bwana, afanye haki na kuwaokoa wanaoonewa.

Jeremiah 21:13-14

Bwana yuko juu ya nani?

Bwana juko juu ya watu wanaoishi katika bonde na mwamba wa nchi ya wazi.

Bwana atafanya nini kutokana na mambo yanayofanywa na watu?

Bwana atawasha moto katika msitu na kuteketeza kila kitu.

Bwana yuko juu ya nani?

Bwana juko juu ya watu wanaoishi katika bonde na mwamba wa nchi ya wazi.

Bwana atafanya nini kutokana na mambo yanayofanywa na watu?

Bwana atawasha moto katika msitu na kuteketeza kila kitu.

Jeremiah 22

Jeremiah 22:1-3

Bwana alimwambia mfalme wa Yuda, mtumishi wake na watu wake wafanye nini?

Walitakiwa wasikilize neno la Bwana, watende haki, wawasaidie watu walioibiwa na kumuokoa anayeonewa. Hawakupaswa kuwanyanyasa wageni, yatima, wajane na wasifanye vurugu wala kuua watu wasio na hatia.

Bwana alimwambia mfalme wa Yuda, mtumishi wake na watu wake wafanye nini?

Walitakiwa wasikilize neno la Bwana, watende haki, wawasaidie watu walioibiwa na kumuokoa anayeonewa. Hawakupaswa kuwanyanyasa wageni, yatima, wajane na wasifanye vurugu wala kuua watu wasio na hatia.

Jeremiah 22:4-5

Nini kitatokea wasiposikiliza maneno haya ya tamko la Bwana?

Nyumba ya kifalme itaharibiwa.

Jeremiah 22:6-7

Kwa namna gani nyumba ya kifalme itakuwa jangwa?

Bwana atachagua watu waende kuiangamiza.

Kwa namna gani nyumba ya kifalme itakuwa jangwa?

Bwana atachagua watu waende kuiangamiza.

Jeremiah 22:8-9

Kwa nini Bwana alifanya mambo haya kwenye mji mkuu?

Alifanya mambo haya kwa sababu watu waliliacha agano na kuabudu miungu mingine.

Kwa nini Bwana alifanya mambo haya kwenye mji mkuu?

Alifanya mambo haya kwa sababu watu waliliacha agano na kuabudu miungu mingine.

Jeremiah 22:10-14

Kwa nini watu watawalilia wale wanaoenda kifungoni?

Watawalilia kwa sababu wanaoenda kifungoni hawatarejea au kuiona nchi tena.

Jeremiah 22:15-16

Mfalme mzuri anatakiwa afanye nini?

Anatakiwa afanye haki hata kwa masikini na wenye uhitaji na kumjua Bwana.

Mfalme mzuri anatakiwa afanye nini?

Anatakiwa afanye haki hata kwa masikini na wenye uhitaji na kumjua Bwana.

Jeremiah 22:17-19

Kwa nini watu hawakuomboleza kwa ajili ya mfalme Yehoyakimu?

Hawataomboleza kwa sababu aliiba, aliua watu wasio na hatia na alinyanyasa watu.

Ni aina gani ya maziko walimfanyia Yehoyakimu?

Watamzika maziko ya punda.

Jeremiah 22:20-21

Nini ilikuwa desturi ya watu tangu walipokuwa vijana?

Hawakusikiliza sauti ya Bwana.

Jeremiah 22:22-23

Nini kitatokea kwao ikiwa hawatasikiliza?

Watapoteza kondoo wao, rafiki zao watakwenda kifungoni na wataaibika na kunyanyasika.

Jeremiah 22:24-28

Nini kitatokea kwa Yehoyakimu?

Bwana atamtia Yehoyakimu kwa mfalme wa Babeli na atakufa mbali na nchi.

Nini kitatokea kwa Yehoyakimu?

Bwana atamtia Yehoyakimu kwa mfalme wa Babeli na atakufa mbali na nchi.

Jeremiah 22:29-30

Bwana alisema nini kuhusu Yehoyakimu?

Yehoyakimu hatakuwa na mtoto na hatafanikiwa.

Jeremiah 23

Jeremiah 23:1-2

Wachungaji wa siku za Yeremia waliwafanya nini kondoo?

Wachungaji waliwaharibu na kuwatawanya kondoo, waliwafukuza na hawakuwajali.

Wachungaji wa siku za Yeremia waliwafanya nini kondoo?

Wachungaji waliwaharibu na kuwatawanya kondoo, waliwafukuza na hawakuwajali.

Jeremiah 23:3-4

Bwana alitamka atafanya nini kwa kundi lake?

Atawakusanya, atawapa sehemu ya malisho na atawapa mchungaji mzuri.

Bwana alitamka atafanya nini kwa kundi lake?

Atawakusanya, atawapa sehemu ya malisho na atawapa mchungaji mzuri.

Jeremiah 23:5-6

Bwana atafanya nini siku zijazo?

Atamuinua mfalme mwenye haki.

Bwana atafanya nini siku zijazo?

Atamuinua mfalme mwenye haki.

Jeremiah 23:7-8

Watu watasema Bwana amewafanyia nini?

Watu watasema Bwana amewarejesha toka kwenye nchi nyingine ili waishi katika nchi yao.

Watu watasema Bwana amewafanyia nini?

Watu watasema Bwana amewarejesha toka kwenye nchi nyingine ili waishi katika nchi yao.

Jeremiah 23:9-10

Kwa nini moyo wa Yeremia ulivunjika?

Moyo wake ulivunjika kwa sababu maneno ya Bwana ni matakatifu lakini manabii ni waongo na nchi imejaa wazinzi.

Jeremiah 23:11-12

Nini kitatokea kwa manabii na makuhani?

Bwana atawasukuma chini na mabaya yataenda juu yao.

Nini kitatokea kwa manabii na makuhani?

Bwana atawasukuma chini na mabaya yataenda juu yao.

Jeremiah 23:13-15

Nini makosa ya manabii?

Walitoa unabii kwa kutumia Baali, wakawatoa watu wa Bwana katika njia sahihi, walifanya uzinzi, waliwadanganya watu na kuwahimiza watu kufanya maovu.

Nini makosa ya manabii?

Walitoa unabii kwa kutumia Baali, wakawatoa watu wa Bwana katika njia sahihi, walifanya uzinzi, waliwadanganya watu na kuwahimiza watu kufanya maovu.

Bwana alisababisha manabii hawa wafanye nini?

Aliwafanya wale magugu na kunywa maji yenye sumu.

Jeremiah 23:16-18

Kwa nini Bwana alisema "msiwasikilize manabii"?

Kwa sabau waliwadanganya watu.

Kwa nini Bwana alisema "msiwasikilize manabii"?

Kwa sabau waliwadanganya watu.

Jeremiah 23:19-20

Hasira ya Bwana ni kama nini?

Hasira yake ni kama dhoruba.

Jeremiah 23:21-22

Nini tatizo la manabii?

Bwana hakuwatuma.

Nini tatizo la manabii?

Bwana hakuwatuma.

Jeremiah 23:23-24

Watu watakwenda wapi ili kumkwepa Bwana?

Hakuna sehemu yoyote wanayoweza kwenda ili kumkwepa Bwana. Anaona mahali pa siri na yupo kila sehemu mbinguni na duniani.

Watu watakwenda wapi ili kumkwepa Bwana?

Hakuna sehemu yoyote wanayoweza kwenda ili kumkwepa Bwana. Anaona mahali pa siri na yupo kila sehemu mbinguni na duniani.

Jeremiah 23:25-27

Manabii walitaka watu wafanye nini?

Walitaka watu waache kumuabudu Bwana.

Manabii walitaka watu wafanye nini?

Walitaka watu waache kumuabudu Bwana.

Jeremiah 23:28-30

Ni kwa namna gani nabii wa Bwana alitamka alichosikia toka kwa Bwana?

Alitamka neno la Bwana kwa kweli na sio kuiba maneno toka kwa watu wengine.

Ni kwa namna gani nabii wa Bwana alitamka alichosikia toka kwa Bwana?

Alitamka neno la Bwana kwa kweli na sio kuiba maneno toka kwa watu wengine.

Jeremiah 23:31-32

Kwa nini Bwana aliwapinga manabii?

Aliwapinga kwa sababu waliwadanganya watu kwa kuwaambia kuwa mawazo yao wenyewe ndio maneno ya Bwana.

Kwa nini Bwana aliwapinga manabii?

Aliwapinga kwa sababu waliwadanganya watu kwa kuwaambia kuwa mawazo yao wenyewe ndio maneno ya Bwana.

Jeremiah 23:33-34

Ni kitu gani ambacho Bwana alimtaka Yeremia awaambie watu ambao walimuomba neno toka kwa Bwana?

Alitakiwa awaambie kuwa hakuna neno toka kwa Bwana kwa sababu Bwana amewaacha watu.

Bwana aawaadhibu akina nani?

Atawaadhibu wale wanaosema wana ujumbe kutoka kwa Bwana.

Jeremiah 23:35-36

Kwa nini watu hawakutakiwa kuongea wenyewe kwa wenyewe kuhusu tamko la Bwana?

Hawakutakiwa kufanya hivyo kwa sababu kila mtu hutumia maneno yake mwenyewe na wamepotosha maneno ya Mungu aliye hai.

Kwa nini watu hawakutakiwa kuongea wenyewe kwa wenyewe kuhusu tamko la Bwana?

Hawakutakiwa kufanya hivyo kwa sababu kila mtu hutumia maneno yake mwenyewe na wamepotosha maneno ya Mungu aliye hai.

Jeremiah 23:37-40

Ni kwa namna gani Yeremia aliwajaribu manabii?

Aliwauliza maswali kuona kama wangekosea kusema kuwa walipokea tamko kutoka kwa Bwana.

Ni kwa namna gani Yeremia aliwajaribu manabii?

Aliwauliza maswali kuona kama wangekosea kusema kuwa walipokea tamko kutoka kwa Bwana.

Nini kilitokea kwa manabii wanaotoa ripoti yauongo?

Bwana atawatupa mbali na kuweka aibu ya milele kwao.

Nini kilitokea kwa manabii wanaotoa ripoti yauongo?

Bwana atawatupa mbali na kuweka aibu ya milele kwao.

Jeremiah 24

Jeremiah 24:1-3

Ni maono gani Bwana alimpa Yeremia?

Bwana alimuonesha Yeremia kikapu cha tini nzuri na kikapu cha tini mbaya sana.

Ni maono gani Bwana alimpa Yeremia?

Bwana alimuonesha Yeremia kikapu cha tini nzuri na kikapu cha tini mbaya sana.

Jeremiah 24:4-7

Ni watu gani ambao Bwana anasema wapo kama tini nzuri?

Bwana anasema mateka wapo kama tini nzuri.

Ni watu gani ambao Bwana anasema wapo kama tini nzuri?

Bwana anasema mateka wapo kama tini nzuri.

Bwana atawafanya nini watu walio kama tini nzuri?

Atawarejesha kwenye nchi.

Jeremiah 24:8-10

Ni watu gani ambao Bwana alisema ni kama tini mbaya?

Sedekia, watu waliobaki katika nchi na watu walioenda Misri ni kama tini mbaya.

Bwana atawafanya nini watu ambao ni kama tini mbaya?

Atawafanya wapate maafa, atawaua kwa upanga, njaa na magonjwa.

Bwana atawafanya nini watu ambao ni kama tini mbaya?

Atawafanya wapate maafa, atawaua kwa upanga, njaa na magonjwa.

Jeremiah 25

Jeremiah 25:1-2

Nabii Yeremia alitamka maneno haya kwa nani?

Alitamka maneno kwa watu wote wa Yuda na wenyeji wa Yeresalemu.

Nabii Yeremia alitamka maneno haya kwa nani?

Alitamka maneno kwa watu wote wa Yuda na wenyeji wa Yeresalemu.

Jeremiah 25:3-4

Kwa muda gani Yeremia alitamka maneno ya Bwana?

Aliyatamka kwa miaka 23.

Watu walipokeaje maneno yaliyotamkwa na Yeremia?

Hawakuyasikiliza.

Kwa muda gani Yeremia alitamka maneno ya Bwana?

Aliyatamka kwa miaka 23.

Jeremiah 25:5-6

Manabii walimwambia nini kila mtu?

Waliwaambia watu waache uovu, waache kuabudu miungu mingine na wasimkasirishe Bwana kwa matendo yao.

Manabii walimwambia nini kila mtu?

Waliwaambia watu waache uovu, waache kuabudu miungu mingine na wasimkasirishe Bwana kwa matendo yao.

Jeremiah 25:7-9

Kwa sababu ya kutosikia kwao Bwana aliwafanya nini?

Bwana alituma watu wa kaskazini na Nebukadreza kuwaangamiza.

Kwa sababu ya kutosikia kwao Bwana aliwafanya nini?

Bwana alituma watu wa kaskazini na Nebukadreza kuwaangamiza.

Jeremiah 25:10-11

Ni sauti gani itatoweka katika mataifa haya walimyumikia mfalme wa Babiloni kwa miaka sabini?

Sauti ya sherehe na sauti ya kazi itatoweka.

Ni sauti gani itatoweka katika mataifa haya walimyumikia mfalme wa Babiloni kwa miaka sabini?

Sauti ya sherehe na sauti ya kazi itatoweka.

Jeremiah 25:12-14

Nini kitatokea kwa miaka sabini?

Bwana atawaadhibu watu wa Babiloni kwa uovu wao.

Nini kitatokea kwa miaka sabini?

Bwana atawaadhibu watu wa Babiloni kwa uovu wao.

Jeremiah 25:15-16

Mataifa yote yatafanya nini wakati Bwana atakapowapa kikombe chake cha ghadhabu?

Watakunywa, watalewa na kufanya wazimu.

Mataifa yote yatafanya nini wakati Bwana atakapowapa kikombe chake cha ghadhabu?

Watakunywa, watalewa na kufanya wazimu.

Jeremiah 25:17-23

Nini kilitokea baada ya Yerusalemu, mji wa Yuda na wafalme wake na wakuu kunywa toka kwenye kikombe ambacho walipewa na Yeremia?

Walifanywa kuwa ukiwa.

Nini kilitokea baada ya Yerusalemu, mji wa Yuda na wafalme wake na wakuu kunywa toka kwenye kikombe ambacho walipewa na Yeremia?

Walifanywa kuwa ukiwa.

Jeremiah 25:24-26

Taifa lipi lilikuwa la mwisho kunywa kikombe cha Bwana cha ghadhabu?

Babeli ilikuwa taifa la mwisho kunywa kikombe cha Bwana cha ghadhabu.

Jeremiah 25:27-31

Nini kitatokea kama taifa litakataa kuchukua kikombe kutoka kwenye mkono wa Yeremia?

Wataadhibuwa.

Nini kitatokea kama taifa litakataa kuchukua kikombe kutoka kwenye mkono wa Yeremia?

Wataadhibuwa.

Jeremiah 25:32-33

Taabu toka kwa Bwana atamuua nani?

Itamuua kila mmoja toka upande mmoja wa dunia hadi mwingine.

Taabu toka kwa Bwana atamuua nani?

Itamuua kila mmoja toka upande mmoja wa dunia hadi mwingine.

Jeremiah 25:34-36

Kwa nini wachungaji wanapiga yowe?

Kwa sababu ni siku yao ya kufa.

Kwa nini wachungaji wanapiga yowe?

Kwa sababu ni siku yao ya kufa.

Jeremiah 25:37-38

Kwa nini malisho ya amani yaliharibiwa?

Kwa sababu Bwana alikasirika.

Kwa nini malisho ya amani yaliharibiwa?

Kwa sababu Bwana alikasirika.

Jeremiah 26

Jeremiah 26:1-3

Je, Yahwe anamwambia Yeremia kutangaza kitu gani katika uwanja?

Anamwambia kutangaza maneno yote ya Yaahwe.

Je, watu wanaweza kufanya nini ili kumfanya Yahwe asilete adhabu juu yao.

Kama watu watasikia na kuyaacha maovu yao, Yaahwe hataleta hukumu juu yao.

Jeremiah 26:4-6

Kama watau hawatayasikia maneno ya Yahwe, je, Yahwe atafanya nini juu ya mji wao?

Yahwe ataugeuza mji wao kuwa laana endapo hawatayasikia maneno yake.

Jeremiah 26:7-9

Je, ni kitu gani kinampata Yeremia anapotangaza maneno ya Yahwe?

Makuhani, manabii, na watu walimzuia na kumwaambia kuwa atakufa.

Jeremiah 26:10-12

Je, watu walimpelekaa wapi Yeremia kwa ajili ya kumuhukumu?

Walmpeleka kwenye njia ya Lango Jipya la hekalu.

Jeremiah 26:13-15

je, jambo gani litatokea endapo wakuu watamuua Yeremia?

Endapo wakuu watamuua Yeremia, basi watakuwa na hatia ya kuua mtu asiye na hatia.

Jeremiah 26:16-17

Je, wakuu, watu, na wazee wanasema nini kuhusu suala la kumuua Yeremia.

Wanasema kuwa itakuwa kosa kumuua.

Jeremiah 26:18-19

Je, Mikaya alitabiri jamabo gani?

Mikaya alitabiri kwamba, Sayuni, Yerusalemu, na mlima wa hekalu vitakuwa rundo la magofu.

Jeremiah 26:20-21

Je, mfalme anajaribu kumfanya nini Uria?

Mfalme anajaribu kumuua Uria.

Je, uria anafanya jambo gani?

Uria anakwenda Misiri.

Jeremiah 26:22-24

Je, Yehoyakimu aliwezaje kumuua Uria?

Yehoyakimu alituma watu kwenda Misiri, kisha Yehoyakimu alimuua Uria kwa upanga.

Jeremiah 27

Jeremiah 27:1-4

Je, ni mfalme gani ambaye Yeremia anapata neno la Yahwe kwa ajili yake?

Alipata ujumbe kwa ajili ya wafalme wa Edomu, Moabu, Amoni, Tiro, na Sidoni.

Jeremiah 27:5-7

Je, ujumbe kwa wafalme unasemaje?

Mataifa yote watamtumikia Nebukadreza, mfalme wa Babeli.

Jeremiah 27:8

Je, kitu gani kitatokea kwa mataifa ambayo hayamtumikii Nebukadreza?

Yahwe atayaadhibu kwa upanga , njaa na tauni,mataifa ambayo hayamtumikii Nebukadreza.

Jeremiah 27:9-11

Je, ni jambo gani litawapata watu ambao wanasikiliza unabii wa uongo?

Yahwe atawaondoa kwenye nchi yao, na watakufa.

Je, taifa wanaoichukua nira ya mfalme wa Babeli watapokea kitu gani?

Watabaki katika nchi yao, watailima, na kufanya nyumba zao humo. .

Jeremiah 27:12-13

Je, Mfalme Sedekia alipaswa kufanya jambo gani kama angependa kuendelea kuishi?

Alipaswa kumtumikia mfalme wa Babeli.

Jeremiah 27:14-15

Je, ni jambo gani litampata Sedekia ikiwa atawasikiliza manabii zake?

Yahwe atamfukuza na atakufa.

Jeremiah 27:16-18

Je, Yeremia anawaambia jambo gani makuhani na watu?

Hawapaswi kuwasikiliza manabii. Wanapaswa kumtumikia mfalme wa Babeli ili waishi.

Jeremiah 27:19-20

Je, Nebukadreza alichukua nini kutoka Yuda na Yerusalemu?

Alimchukua Yehoyakimu pamoja na wakuu wote.

Jeremiah 27:21-22

Kitu gani kitatokea dhidi ya vyombo katika hekalu?

Nebukadreza atavichukua kwenda Babeli.

Jeremiah 28

Jeremiah 28:1-7

Kwa ufupi Hanania alimwambai nini Yeremia mbele ya makuhani na watu?

Hanania alisema kwamba Yahwe ameivunja nira iliyokuwa imewekwa na na mfalme wa Babeli.

Jeremiah 28:8-9

Ni kwa namna gani mtu anaweza kujua kama nabii ni wa kweli na ametumwa na Yahwe?

Maneno ya nabii wa kweli lazima yatimie.

Jeremiah 28:10-11

Je, kwa nini Hanania anaivunja nira ya Yeremia?

Anataka watu waamini kuwa watakuwa huru dhidi ya babeli

Jeremiah 28:12-14

Je, maneno ya Hanania ni kweli?

Hapana, watu hawatakuwa huru dhidi ya babeli.

Jeremiah 28:15-17

Je, ujumbe wa Yahwe kwa Hanania kupitia kwa Yeremia unasemaje?

Yahwe aatamuua Hanania mwaka huu kwa sababu Hanania aliwaambia watu kuasi dhidi ya Yahwe.

Jeremiah 29

Jeremiah 29:1-5

Je, Yeremia aliwatumia nani waraka wake?

Ulitumwa kwa watu wote waliokuwa utumwani Babeli.

Jeremiah 29:6-7

Kwa nini Yahwe aliwaambia mateka kuitafuta amani ya mji walikokuwa wametekwa na kumwomba Yahwe kwa niaba ya mji huo?

Aliwaambia kufanya hivyo kwa sababu mateka wangekuwa na amani kama mji ungekuwa na amani.

Jeremiah 29:8-9

Je, onyo la Yakwe kwa mateka kupitia Yeremia likuwa linasemaje?

Anawaonya wasisikilize ndoto au manabii ambao Yahwe hakuwatuma.

Jeremiah 29:10-11

Mpango wa Yahwe kwa mateka baada ya miaka saabini ni upi?

Atawarudisha Yuda na kuwapa amani.

Jeremiah 29:12-14

Ni lini watamuona Yahwe?

Watamuona watakapomuita, kumwomba, na kumtafuta kwa moyo wao wote.

Jeremiah 29:15-19

Je, Yahwe alikuwa amepanga kufanya nini kwa watu ambao walibaki katika mji bila kupelekwa utumwani?

Yahwe alisema kuwa alaaikuwa karibu tuma upanga, njaa na magonjwa juu yao.

Jeremiah 29:20-21

Je, Yahwe anasema atawafanya nini Ahabu na Sedekia?

Atawatia kwenye mkono wa Nebukadreza, ambaye atawaua.

Jeremiah 29:22-23

Je, mateka katika Babeli watatamka laana gani?

Watasema, "Yahwe wafanye kama Sedekia na Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwaoka katika moto."

Kwa nini Yahwe atawaua Yahwe na Sedekia?

Atawaua kwa sababu ya mbambo ya aibu waliyofanya.

Jeremiah 29:24-26

Je, Shemaya alikuwa wapi alipoiandika barua?

Alikuwa Babeli.

Je, watu ambao Shemaya aliwaandikia barua walikuwa wapi?

Walikuwa Yerusalemu

Je, Shemaya alimtaka Zefania kufanya nini?

Alimtaka Zefania kufanya wafungwa wa manabii.

Jeremiah 29:27-29

Kwa nini Shemaya alimtaka Zefania kumkemea Yeremia?

Yeremia alisema kuwa watu wangekuwa utumwani Babeli kwa muda mrefu sana.

Jeremiah 29:30-32

Kwa nini Yahwe ilikuwa amwadhibu Shemaya pamoja na uzao wake?

Atafanya hivyo kwa sababu Shemaya alitabiri uongo kwa watu ili kwamba wamwasi Yahwe.

Jeremiah 30

Jeremiah 30:1-3

Je, Yahwe atafanya nini kwa watu wake?

Atawarudisha wafungwa wao na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Jeremiah 30:4-5

Je, nani walisikia sauti ya kutetemesha?

Yahwe anazungumza kuhusu yeye mwenyewe kama "tumesikia," lakini yeye mwenyewe ndiye aliyesikia sauti.

Jeremiah 30:6-7

Kwa nini wanaume vija wameshika mikono kwenye viuno vyao na nyuso zao zimegeuka rangi?

Wazawa wa Yakobo watakuwa na kipindi cha huzuni.

Jeremiah 30:8-9

Je, Waisreli watashangiliaje kuachiliwa kwao huru kutoka utumwani?

Watamwabudu Yahwe Mungu wao na kumtumikia Daudi mfalme wao.

Jeremiah 30:10-11

Je, kwa nini uzao wa Yakobo hawatapata hofu?

Yahwe atawarudisha kutoka alikowatawanya kuwa watumwa.

Jeremiah 30:12-13

Je, Jeraha la Israeli litaponwaje?

Jeraha la Israeli haliweza akuponywa.

Jeremiah 30:14-15

Kwa nini Yahwe anawaadhibu Waisraeli?

Yahwe anawaadhibu Waisraeli kwa sababu ya uovu na dhambi zao.

Jeremiah 30:16-17

Yahwe atawafanya nini wale waliomuumiza Israeli?

Atawaruhusu adui zao kuwapiga, na kuwateka na kuwafanya mateka wao.

Jeremiah 30:18-19

Je, watu watafanya nini baada ya mji kujengwa?

Wataimba nyimbo za kusifu, wataongozeka idadi, na Yahwe atawaheshimu.

Jeremiah 30:20-24

Je, Yahwe atafanya nini baada ya kulikusanya kusanyiko la Israeli?

Atachagua kiongozi kwa ajili ya Israeli.

Jeremiah 31

Jeremiah 31:1-3

Je, Yahwe atakuwa Mungu wa nani?

Atakuwa Mungu wa uzao wote wa Israeli.

Kwa nini watu wa Israaeli ambao walipona na upanga walipata kibali cha Mungu?

Walipata kibali kwa Yahwe kwa sababu Yahwe aliwapenda kwa agano la milele.

Jeremiah 31:4-6

Je, Israeli atafanya kitu gani baada ya Yahwe kumjenga tena.

Atakwenda nje kwa michezo ya furaha na akuwa na mazao mazuri.

Jeremiah 31:7

Yahwe amemwokoa nani?

Amewaokoa masalia wa Israeli.

Jeremiah 31:8-9

Je, Yahwe atawarudisha masalia wa Israeli kutoka wapi?

Atawarudisha kutoka nchi za kaskazini na dunia ya mbali.

Jeremiah 31:10-11

Nani ambaye anatajwa kuwa "Yule aliyemtawatawanaya Israeli?

Yahwe ndiye aliyewatawanya Israeli.

Jeremiah 31:12

Je, kitu gani kitakuwa ishara ya wema wa Yahwe?

Watu watakuwa na chakula kingi, divai, mafauta na mifugo.

Jeremiah 31:13-14

Je, watu watafanya nini watakapo acha kuomboleza?

Washerehekea.

Jeremiah 31:15

Kwa nini kuna vilio na maombolezo ya uchungu katika mji wa Rama?

Kuna vilio na maombolezo kwa sababu watoto wa Raheli wamekufa.

Jeremiah 31:16-17

Kwa nini watu wanatakiwa kuacha kuomboleza?

Yahwe atawarudisha uzao wao kutoka nchi ya adui zao.

Jeremiah 31:18-22

Kwa nini Yahwe atakuwa na huruma kwa Efraimu?

Atakuwa na huruma kwa sababu Efraimu alikuwa na aibu kwa sababu ya watoto wake.

Jeremiah 31:23-26

Kwa nini watu watasema, 'Yahwe akubarki"?

Watasema hivyo kwa sababu watu wataishi katika miji na wakulima na wachungaji wataishi katika nchi.

Jeremiah 31:27-28

Je, Yahwe atafanya nini kwa nyumba ya Israeli na Yuda ambayo ameiong'oa na kuiangusha?

Yahwe atawalinda ili kwamba awajenge na kuwapanda.

Jeremiah 31:29-32

Je, ni msemo gani ambao watu wa Israeli na Yuda hawatautumia tena?

Msemo ni, "Baba za watu wamekula zabibu kali, bali meno ya watoto ni butu."

Kwa nini watu hawatautumia tena msemo huu?

Kila mtu atakufa kwa sababu ya dhambi zake mwenyewe.

Jeremiah 31:33-34

Je, agano jipya ambalo Mungu ataanzisha na Israeli na Yuda ni lipi?

Agano jipya ni hili: Yahwe ataiandika sheria yake juu ya mioyo yao.

Jeremiah 31:35-36

Je, Israeli atakuwa taifa bila kutokweka?

Watakuwa taifa kama vile jua, mwezi, nyota na bahari zisivyotoweka.

Jeremiah 31:37

Je, Yahwe atawakataa uzao wa Israeli ikiwa mambo gani mawili yametokea?

Watakuwa taifa kwa kuwa hakuna mtu aliyewahi kupima urefu wa mbingu wala kugundua misingi ya dunia.

Jeremiah 31:38-40

Mji utakapojengwa, je, utakuwa mkubwa au mdogo kuliko ulivyokuwa awali?

Utakuwa mkubwa sana.

Jeremiah 32

Jeremiah 32:1-2

Yeremia

Sura ya 32

Jeremiah 32:3-5

Kwa nini Sedekia alimfunga Yeremia?

Sedekia alimfunga Yeremia kwa sababu alitabiri kwamba Yurusalemu na Sedekia watatekwa na Wabebeli.

Jeremiah 32:6-9

Yahwe alimwambia Yeremia kwamba jambo gani litatokea?

Yahwe alimwambia Yeremia kwamba Hanameli mwana wa Shalumu, mjomba wake alikuwa anakuja Yerusalemu na angesema, "Linunue shamba langu ambalo liko Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako."

Jeremiah 32:10-12

Je, Yeremia alilinunuaje shamba?

Yeremia alizisaini nyaraka au hati za manunuzi, akaipima fedha katika mizani, na kumpa Baruku nyaraka au hati zilisaianiwa mbele ya mashahidi.

Jeremiah 32:13-15

Je, Yeremia aliwambia Baruku kuzifanyia nini zile nyaraka zilizopigwa muhuri?

Yeremia alimwambia Baruku kuzichukua nyaraka za manunuzi na kuziweka ndani ya chungu kipya

Je, Yahwe alitaka kutoa ujumbe gani kupitia ununuzi huo wa ardhi?

Yahwe aliwataka watu wote kujua kwamba watu wangenunu nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu katika nchi.

Jeremiah 32:16-18

Je, ni kwa namna gani Yahwe aliziumba mbingu na dunia?

Aliziumba mbingu na nchi kwa nguvu zake kuu na kwa mkono wake ulioinuka.

Jeremiah 32:19-21

NI kwa namna gani Yahwe alilifanya jina lake kuwa maarufu?

Aliwatoa watu wa Israeli nje ya nchi ya Misiri.

Jeremiah 32:22-23

Je, watu wa Israeli walifanya nini baada ya Yahwe kuwapa nchi?

Hawakumtii Yeye.

Jeremiah 32:24-25

Je, Yahwe alimwambia Yahwe kufanya nini wakati mji wa Yerusalemu ulipokuwa unatiwa katika mikono ya Wababeli?

Alimwambia kununua shamba.

Jeremiah 32:26-30

Kwa nini Nebukadreza ataweza kuuteka mji?

Yahwe atampa huo mji.

Jeremiah 32:31-32

Ni kwa muda gani mji wa Yerusalemu umeakuwa chukizo au sababu ya hasira ya Yahwe?

Yerusalemu umekuwa sababu ya hasira ya Yahwe tangu siku walipoujenga.

Jeremiah 32:33-35

Je, watu wa Israeli walifanya nini kumkasirisha Yahwe?

Waligeuza migongo yao, wakaweka vitu viovu katika hekalu, wakajenga sehemu za juu kwa ajili ya Baali, na kuwatoa kafara watoto wao kwa Moleki.

Jeremiah 32:36-37

Je, Yahwe ameahidi kufanya nini kwa ajili ya watu wa Yuda ingawa wamekuwa waovu?

Ameahidi kuwakusanya kutoka waliko na kuwarudisha katika nchi.

Jeremiah 32:38-40

Je, Yahwe ataahidi nini kwa ajili ya watu wa Yuda?

Atawapa moyo mmoja na njia moja ili wamweshimu yeye, na taanzisha agano la milele pamoja nao.

Jeremiah 32:41-44

Kama vile Yahwe alivyoleta majanga juu ya watu wake, ni kitu gani kingine alikuwa anakwenda kuwafanyia katika siku za baadaye?

Yahwe alisema angewaletea juu yao mambo mazuri ambayo alisema atawafanyia.

Jeremiah 33

Jeremiah 33:1-3

Yahwe anamwambia Yeremia afanye nini?

Yahwe anamwambia Yeremia kumwita.

Jeremiah 33:4-5

Je, Wakaldayo(Wababeli) wanakwenda kuifanya nini nyumba katika mji?

Wanakwenda kuzijaza nyumba kwa majeshi ya watu.

Jeremiah 33:6-11

Je, ni habari gani njem Yeremia anawashirikisha watu wa Yuda?

Yahwe atasamehe makosa yote ya watu, atwaponya, na kuwapa amani.

Je, mji wa Yerusalemu utakuwa kitu gani kwa ajili ya Yahwe?

Yerusalemu utakuwa chombo cha furaha kwa ajili ya Yahwe.

Jeremiah 33:12-13

Je, miji ya Yuda utabadilikaje?

Miji ina ukiwa sasa, lakini wchungaji watongoza makundi yao ktika miji hiyo

Jeremiah 33:14-16

Je,Yahwe ameahidi kufanya nini kwa ajili ya watu wa Yuda na Yerusalemu?

Yahwe ameahidi kumfanya mzawa wa Daudi mfalme wao ili kwamba aweze kufanya haki na utakatifu katika nchi.

Jeremiah 33:17-18

Je, Yahwe ameuahidi nini Yerusalemu?

Ameahidi kwamba siku zote kutakuwa na mtu kutoka ukoo wa Daudi ambaye atawaongoza Waisraeli na makuhani wa Kilawi kwa ajili ya kutoa dhabihu.

Jeremiah 33:19-22

Je, lini Yahwe atavunja agano lake na Daudi?

Yahwe hatalivunja agano lake na Daudi.

Jeremiah 33:23-24

Je, watu wametangaza nini kuhusu hukumu ya Yahwe kwa Yuda?

Watu wametangaza kwamba Yahwe amezikataa zile koo mbili ambazo alizichagua, kwa hiyo koo hizo siyo taifa tena.

Jeremiah 33:25-26

Je, ni lini Yahwe atawakataa wazawa wa Yakobo?

Yahwe hatawakataa kamwe wazawa wa Yakobo.

Jeremiah 34

Jeremiah 34:1-3

Je, ni lini Yeremia alipokea maneno kutoka kwa Yahwe?

Yeremia alipokea maneno kutoka kwa Yahwe wakati Nebukadreza mfalme wa Babeli na jeshi lake lote walipokuwa wanapigana vita dhidi ya Yerusalemu na miji yake.

Jeremiah 34:4-9

Yahwe alimwambia nini Zedekia mfalme wa Yuda?

Alimwambia ya kuwa atakufa kwa amani

Jeremiah 34:10-11

Je, kitu gani kilitokea baada ya viongozi na watu katika Yerusalemu walipowaacha huru Waisraeli watumishi?

Watu waliwaacha huru watumishi wao wote, lakini baadaye walibadili akili zao na kuwafanya watumishi wao watumwa tena.

Jeremiah 34:12-14

Je, Yahwe aliwaamuru mababu wa Israeli kufanya nini hata baada ya miaka saba?

Aliwaagiza kuwaacha huru watumwa wao kila baada ya miaka saba.

Jeremiah 34:15-16

Watu wa Yuda walifanya uovu gani?

Waliwaacha watumwa wao huru, lakini wakawalazimisha kuwa watumwa tena

Jeremiah 34:17-19

Je, Yahwe atawaazibuje?

Watakufa kwa upanga, tauni, na njaa.

Je, ni kwa namna gani watu walionesha kuwa walikubaliana na agano?

Walimkata ng'ombe dume kati kati na wakatembea kati kati ya vipande vyake.

Jeremiah 34:20-22

Je, ni kwa namna gani Yahwe ataonesha kuwa ana hasira na watu wa Yuda?

Atawatia katika mkono wa adui zao, ambao watawaua.

Jeremiah 35

Jeremiah 35:1-4

Je, Yahwe alimwambia Yeremia kufanya jambo gani?

Yahwe alimwambia Yeremia kuwaleta Warekabi katika hekalu na kuwapa divai ili wanywe.

Jeremiah 35:5-7

Je, ukoo wa Warekabi walijibu nini walipopewa divai ili wanywe?

Walipopewa divai ili wanywe Warekabi walikataa.

Je, kwa nini Warekabi walikataa kunywa divai?

Warekabi walikataaa kunywa divai yoyote kwa sababu babu yao, Yonadabu mwana wa Rekabu, alikuwa amewaamuru 'Msinywe divai yoyote milele, wala watoto wenu.

Kwa nini Yonadabu aliwaamuru Warekabi wasijenge nyumba, kupanda mbegu, wala kupanda mashamba ya mizabibu?

Yonadabu aliwapa amri kwa sababu walipaswa kuishi katika hema.

Jeremiah 35:8-11

Je, Warekabu waliitikiaje amri ya Yonadabu?

Warekabu hawakunywa divai wala kujenga nyumba.

Kwa Warekabi walikuwa wanaishi Yerusalemu?

Walikuwa wakwepa majesshi ya Wakaldayo na Waaramu.

Jeremiah 35:12-14

Je, Yahwe aliwatumiaje Warekabi kama mfano chanya kwa wanaume wa Yuda?

Yahwe aliwataka watu wa Yuda wamtii kama vile Warekabi walivyomtii Yonadabu.

Jeremiah 35:15-16

Je, manabii waliwaambia nini watu wa Yuda?

Manabii waliwaambia kuacha kufanya maovu, kuanza kufanya mema, kuacha kuabudu miungu mingine, na kurudi kwenye nchi.

Jeremiah 35:17

Je, Yahwe atafanya jambo gani kwa sababu ya watu wa Yuda hawakumtii?

Yahwe ataleta juu yao majanga yote ambayo ameyatangaza juu yao.

Jeremiah 35:18-19

Je, Yahwe ameahidi ahadi gani kwa familia ya Warekabi kupitia Yeremia?

Yahwe ameahidi kuwa siku zote kutakuwa na mtu wa kuhudumu kutoka nyumba au familia yao.

Jeremiah 36

Jeremiah 36:1-3

Kwa nini Bwana alitaka Yeremia aandike maneno yake kwenye kitabu?

Bwana alitaka Yeremia aandike maneno yake kwenye kitabu ili watu wa Yuda wamsikilize Bwana na Bwana awasamehe makosa yao.

Kwa nini Bwana alitaka Yeremia aandike maneno yake kwenye kitabu?

Bwana alitaka Yeremia aandike maneno yake kwenye kitabu ili watu wa Yuda wamsikilize Bwana na Bwana awasamehe makosa yao.

Jeremiah 36:4-6

Yeremia alimuamuru Baruku afanye nini?

Yeremia alimuamuru Baruku achukue kitabu chenye maneno ya Yeremia na ayasome kwa familia ya Baruku pamoja na watu wa Yuda.

Yeremia alimuamuru Baruku afanye nini?

Yeremia alimuamuru Baruku achukue kitabu chenye maneno ya Yeremia na ayasome kwa familia ya Baruku pamoja na watu wa Yuda.

Jeremiah 36:7-8

Kwa nini Yeremia alitaka Baruku asome kitabu?

Yeremia aliamini kuwa watu watasikiliza ma kuacha njia zao mbaya.

Kwa nini Yeremia alitaka Baruku asome kitabu?

Yeremia aliamini kuwa watu watasikiliza ma kuacha njia zao mbaya.

Jeremiah 36:9-10

Nini kilitokea wakati wa mbiu ya kufunga mbele za Bwana?

Baruku alisoma maneno ya Bwana katika hekalu ili watu wote wasikie.

Nini kilitokea wakati wa mbiu ya kufunga mbele za Bwana?

Baruku alisoma maneno ya Bwana katika hekalu ili watu wote wasikie.

Jeremiah 36:11-12

Mikaya alifanya nini aliposikia Baruku akisoma kitabu?

Alikwenda katika chumba cha mwandishi nyumbani kwa mfalme.

Jeremiah 36:13-15

Waandishi walifanya nini waliposikia ripoti ya Mikaya?

Walimtuma Yehudi akamlete Baruku, na Baruku akawasomea kitabu.

Waandishi walifanya nini waliposikia ripoti ya Mikaya?

Walimtuma Yehudi akamlete Baruku, na Baruku akawasomea kitabu.

Jeremiah 36:16-22

Nini kilitokea baada ya Baruku kusoma kitabu?

Watu waliosikia Baruku akisoma waliogopa na kuamua kumwambia maneno hayo mfalme.

Ni ushauri gani ambao Baruku alipewa na waandishi baada ya kuambiwa kuwa aliyaandika maneno ya Yeremia katika kitabu?

Walimwambia kua yeye pamoja na Yeremia wanatakiwa kujificha na mtu yeyote asifahamu walipo.

Ni ushauri gani ambao Baruku alipewa na waandishi baada ya kuambiwa kuwa aliyaandika maneno ya Yeremia katika kitabu?

Walimwambia kua yeye pamoja na Yeremia wanatakiwa kujificha na mtu yeyote asifahamu walipo.

Jeremiah 36:23-24

Mfalme alichukua hatua gani baada ya kusomewa kitabu na Yehudi?

Mfalme alichana kipande ambacho Yehudi alikisoma na kukitupa katika moto mpaka kitabu chote kikateketea.

Mfalme alichukua hatua gani baada ya kusomewa kitabu na Yehudi?

Mfalme alichana kipande ambacho Yehudi alikisoma na kukitupa katika moto mpaka kitabu chote kikateketea.

Jeremiah 36:25-26

Mfalme alifanya nini baada ya watu kumshauri asikichome moto kitabu?

Hakuwasikiliza.

Jeremiah 36:27-29

Bwana alimwambia Yeremia afanye nini baada ya Mfalme kukichoma moto kitabu?

Alimwambia Yeremia amwambie Baruku aandike katika kitrabu kipya maneno yote yaliyokuwa katika kitabu cha awali.

Bwana alimwambia Yeremia afanye nini baada ya Mfalme kukichoma moto kitabu?

Alimwambia Yeremia amwambie Baruku aandike katika kitrabu kipya maneno yote yaliyokuwa katika kitabu cha awali.

Jeremiah 36:30-32

Bwana alisema atamfanya nini Yehoyakimu?

Alisema hataruhusu uzao wa Yehiyakimu kupata ufalme na atahakikisha kuwa hakuna atakayezika maiti ya Yehoyakimu.

Bwana alisema atamfanya nini Yehoyakimu?

Alisema hataruhusu uzao wa Yehiyakimu kupata ufalme na atahakikisha kuwa hakuna atakayezika maiti ya Yehoyakimu.

Jeremiah 37

Jeremiah 37:1-2

Nani alimuweka Sedekia kuwa mfalme?

Nebukadreza alimuweka Sedekia kua mfalme.

Mfalme Sedekia alimjibu nini Yeremia wakati alipotangaza maneno ya Bwana?

Sedekia hakusikiliza maneno ya Bwana.

Mfalme Sedekia alimjibu nini Yeremia wakati alipotangaza maneno ya Bwana?

Sedekia hakusikiliza maneno ya Bwana.

Jeremiah 37:3-5

Mfalme Sedekia na Sefania walimuomba Yeremia afanye nini?

Walimuomba Yeremia awaombee kwa Bwana.

Kwa nini Wakaldayo waliondoka Yerusalemu?

Walitaka kutoka katika jeshi la Farao lililotoka Misri.

Jeremiah 37:6-10

Bwana alimwambia Yeremia nini kitatokea baada ya majeshi ya Farao kurudi Misri?

Alisema kuwa Wakaldayo watarudi, kupigana dhidi ya mji, kuuteka na kuuchoma moto.

Kwa nini jeshi la Farao lilitoka Misri?

Walienda kuwasaidia watu wa Yuda kwa kupigana na Wakaldayo.

Bwana alimwambia Yeremia nini kitatokea baada ya majeshi ya Farao kurudi Misri?

Alisema kuwa Wakaldayo watarudi, kupigana dhidi ya mji, kuuteka na kuuchoma moto.

Jeremiah 37:11-13

Kwa nini Yeremia aliondoka Yerusalemu?

Aliondoka ili kwenda kuimiliki nchi.

Kwa nini Yeremia aliondoka Yerusalemu?

Aliondoka ili kwenda kuimiliki nchi.

Iriya alifikiri kuwa Yeremia amekwenda kufanya nini?

Iriya alifikiri kuwa Yeremia alikwenda kujiunga na Wakaldayo.

Jeremiah 37:14-15

Iriya alifanya nini baada ya Yeremia kumwambia kuwa hakujiunga na Wakaldayo?

Iriya alimpeleka Yeremia kwa wakuu nao wakampiga na kumuweka gerezani.

Iriya alifanya nini baada ya Yeremia kumwambia kuwa hakujiunga na Wakaldayo?

Iriya alimpeleka Yeremia kwa wakuu nao wakampiga na kumuweka gerezani.

Jeremiah 37:16-17

Yeremia alimjibu nini mfalme Sedekia baada ya Sedekia kumuuliza Yeremia kama ana neno toka kwa Bwana?

Yeremia alimwambia Sedekia kuwa Bwana atamtia Sedekia katika mikono ya mfalme wa Babeli.

Yeremia alimjibu nini mfalme Sedekia baada ya Sedekia kumuuliza Yeremia kama ana neno toka kwa Bwana?

Yeremia alimwambia Sedekia kuwa Bwana atamtia Sedekia katika mikono ya mfalme wa Babeli.

Jeremiah 37:18-20

Kwa nini Yeremia hakutaka kurudi katika nyumba ya Yonathani mwandishi?

Alikuwa anaogopa kuwa atakufa huko.

Kwa nini Yeremia hakutaka kurudi katika nyumba ya Yonathani mwandishi?

Alikuwa anaogopa kuwa atakufa huko.

Jeremiah 37:21

Mfalme Sedekia alifanya nini kutokana na ombi la Yeremia?

Aliwaamuru watumishi wake wamuweke Yeremia katika uwanda wa walinzi.

Jeremiah 38

Jeremiah 38:1-3

Nini kitatokea kwa watu waliokaa katika mji?

Watakufa kwa upanga, njaa na tauni.

Ni kwa namna gani watu wanaweza kuishi?

Wanaweza kuishi kwa kwenda kwa Wakaldayo.

Nini kitatokea kwenye mji?

Wakaldayo watauteka.

Jeremiah 38:4-5

Kwa nini wakuu walitaka Yeremia afe?

Walitaka afe kwa sababu aliwaambia askari waungane na Wakaldayo.

Jeremiah 38:6

Wakuu walimfanya nini Yeremia?

Walimuweka katika shimo.

Jeremiah 38:7-9

Elidmeleki alimwambia nini mfalme kuhusu Yeremia?

Alimwambia mfalme, wakuu walifanya uovu kwa namna walivyomfanyia nabii Yeremia. Walimtupa katika shimo ili afe kwa njaa.

Elidmeleki alimwambia nini mfalme kuhusu Yeremia?

Alimwambia mfalme, wakuu walifanya uovu kwa namna walivyomfanyia nabii Yeremia. Walimtupa katika shimo ili afe kwa njaa.

Jeremiah 38:10-13

Mfalme Sedekia alimuamuru nini Ebedmeleki kuhusu Yeremia?

Mfalme Sedekia alimuamuru Ebedmeleki kuchukua watu thelethini na kumtoa Yeremia kwenye shimo kabla hajafa.

Jeremiah 38:14-16

Yeremia alifikiri kuwa Sedekia atamfanya nini endapo atasema ukweli?

Alifikiri kuwa Sedekia atamuua.

Sedekia alimshawishi vipi Yeremia ili ampe jibu?

Sedekia aliapa kwa Bwana kuwa hatamuua.

Jeremiah 38:17-18

Yeremia alimwambia nini Sedekia?

Yeremia alimwambia Sedekia kuwa akienda kwa Wakaldayo atakuwa hai na asipokwenda yeye pamoja na mji utaharibiwa.

Yeremia alimwambia nini Sedekia?

Yeremia alimwambia Sedekia kuwa akienda kwa Wakaldayo atakuwa hai na asipokwenda yeye pamoja na mji utaharibiwa.

Jeremiah 38:19

Kwa nini mfalme Sedekia aliwaogopa watu wa Yuda walioungana na Wakaldayo?

Aliogopa kuwa Nebukadreza atawaamuru wamtendee mabaya.

Jeremiah 38:20-21

Yeremia alimpa uhakika gani mfalme Sedekia?

Alimwambia mfalme Sedekia kuwa ikiwa Sedekia atatii ujumbe wa Bwana, Nebukadreza hataruhusu watu wamfanyie mabaya Sedekia.

Jeremiah 38:22-23

Wanawake watafanya nini ikiwa Sedekia atakataa kutoka?

watamkemea na kumtukana.

Wanawake watafanya nini ikiwa Sedekia atakataa kutoka?

watamkemea na kumtukana.

Jeremiah 38:24-26

Sedekia alimwambia Yeremia aseme nini kwa watu watakaomuuliza kuhusu mambo waliyozungumza?

Alimwambia Yeremia awaambie kuwa, alikwenda kumsihi wasimrudishe Yeremia kwenye nyumba ya Yonathani ili afe.

Sedekia alimwambia Yeremia aseme nini kwa watu watakaomuuliza kuhusu mambo waliyozungumza?

Alimwambia Yeremia awaambie kuwa, alikwenda kumsihi wasimrudishe Yeremia kwenye nyumba ya Yonathani ili afe.

Jeremiah 38:27-28

Nini kilitokea baada ya wakuu toka kwenye nyumba ya Yda kumuuliza maswali Yeremia?

Yeremia aliwaambia yale aliyoambiwa na Sedekia.

Nini kilitokea baada ya wakuu toka kwenye nyumba ya Yda kumuuliza maswali Yeremia?

Yeremia aliwaambia yale aliyoambiwa na Sedekia.

Jeremiah 39

Jeremiah 39:1-3

Nani alikuja na jeshi lake na kuivamia Yerusalemu?

Nebukadreza.

Mji gani uliharibiwa?

Mji wa Yerusalemu uliharibiwa.

Nani alikwenda na kukaa katikati ya geti?

Wakuu wote wa mfalme wa Babeli walikwenda na kukaa katikati ya geti.

Jeremiah 39:4-5

Sedekia na wapiganaji wake walifanya nini walipowaona wakuu wa mfalme wa Babeli katikati ya geti?

Walikimbia usiku toka mjini.

Jeshi la wakaldayo (babeli) walifanya nini walipomkamata Sedekia?

Walimkamata na kumpeleka kwa Nebukadreza.

Jeremiah 39:6-7

Nebukadreza alifanya nini Sedekia alipopelekwa kwake?

Aliwaua wana wa Sedekia na kuwaua wakuu wa Yuda.

Mfalme wa Babeli walimfanya nini Sedekia?

Alimpofusha macho Sedekia, akamfunga pingu na akampeleka Sedekia Babeli.

Jeremiah 39:8-10

Wakaldayo waliifanya nini nyumba na kuta za Yerusalemu?

Waliichoma moto.

Nebukadreza aliwapeleka akina nani uhamishoni?

Aliwapeleka uhamishoni watu wote waliobaki mjini na watu walioungana na Wakaldayo.

Ni watu gani walioruhusiwa kukaa katika nchi ya Yuda?

Aliwaruhusu watu masikini wabaki.

Nebukadreza aliwapa nini watu waliobaki?

Nubukadreza aliwapa mashamba ya mizabibu watu waliobaki.

Jeremiah 39:11-14

Nebukadreza alimuamuru Nebuzaradani amfanyie nini Yeremia?

Nebukadreza alimuamuru Nebuzaradani amtunze Yeremia na afanye lolote ambalo Yeremia atamuamuru afanye.

Nebukadreza alimuamuru Nebuzaradani amfanyie nini Yeremia?

Nebukadreza alimuamuru Nebuzaradani amtunze Yeremia na afanye lolote ambalo Yeremia atamuamuru afanye.

Nebuzaradani, Nergal-Shareza na wakuu wa mfalme wa Babeli walimfanyia nini Yeremia?

Walimuweka Yeremia katika uwanda wa walinzi na wakamuweka katika mikono ya Gedalia ili ampeleke nyumbani.

Jeremiah 39:15-16

Bwana alimwambia Yeremia amwambie nini Ebedmeleki Mkushi?

Bwana alimwambia Yeremia amwambie Ebedmeleki Mkushi kuwa Bwana analeta maafa katika nchi.

Bwana alimwambia Yeremia amwambie nini Ebedmeleki Mkushi?

Bwana alimwambia Yeremia amwambie Ebedmeleki Mkushi kuwa Bwana analeta maafa katika nchi.

Jeremiah 39:17-18

Bwana alisema nini kitatokea kwa Ebedmeleki siku ambayo Bwana atatimiza neno lake juu ya mji?

Alisema kuwa atamuokoa Ebedimeleki.

Kwa sababu ipi Bwana atamuokoa Ebedmeleki na upanga?

Atamuokoa Ebedmeleki kwa sababu alimuamini Bwana.

Jeremiah 40

Jeremiah 40:1-2

Nini kilimjia Yeremia baada ya Nebukadreza kumpeleka Rama?

Neno la Bwana lilimjia Yeremia baada ya Nebukadreza kumpeleka Rama.

Nebukadreza alifanya nini kwa watu wa Yerusalemu na Yuda?

Aliwapeleka Babeli.

Mlinzi mkuu alimwambia nini Yeremia kuhusu Bwana na Yerusalemu?

Mlinzi mkuu alimwambia kua Bwana alitangaza maafa dhidia ya mahali hapo.

Jeremiah 40:3-4

Mlinzi mkuu alisema Yeremia atakwenda wapi?

Alisema kuwa Yeremia atakwenda naye Babeli au popote atakapotaka kwenda.

Jeremiah 40:5-6

Mlinzi mkuu alisema Yeremia atakwenda kwa nani?

Alisema kuwa Yeremia atakwenda kwa Gedalia aliyekua anatawala miji ya Yuda.

Jeremiah 40:7-8

Makamanda wa Yuda na watu wao walifanya nini waliposikia Gedalia amewekwa kutawala juu ya hao ambao hawakwenda uhamishoni Babeli?

Walikwenda kwa Gedalia huko Mizpa.

Makamanda wa Yuda na watu wao walifanya nini waliposikia Gedalia amewekwa kutawala juu ya hao ambao hawakwenda uhamishoni Babeli?

Walikwenda kwa Gedalia huko Mizpa.

Jeremiah 40:9-10

Gedalia aliwaambia makamanda wa jeshi la Yuda na watu wake wafanye nini?

Aliwaambia kuwa ikiwa watawatumikia wakuu wa Malakdayo na mfalme wa Babeli na kuishi katika nchi hiyo watakuwa salama.

Gedalia aliwaambia makamanda wa jeshi la Yuda na watu wake wafanye nini ili wachume divai, matunda wakati wa jua na mafuta?

Aliwaambia wakae katika nchi waliyoipata.

Jeremiah 40:11-12

Watu wa Yuda walifanya nini waliposikia kuwa Mfalme wa Babeli amewaruhusu watu wa Yuda waliobaki kukaa huko?

Watu wa Yuda walirudi Yuda toka kila sehemu na wakachuma divai, matunda ya wakati wa jua kwa wingi.

Watu wa Yuda walifanya nini waliposikia kuwa Mfalme wa Babeli amewaruhusu watu wa Yuda waliobaki kukaa huko?

Watu wa Yuda walirudi Yuda toka kila sehemu na wakachuma divai, matunda ya wakati wa jua kwa wingi.

Jeremiah 40:13-14

Yohana na makamanda wa jeshi walimuuliza nini Gedalia huko Mizpa?

Walimuuliza kama mflame wa Baali alimtuma Ishmaeli kumuua.

Yohana na makamanda wa jeshi walimuuliza nini Gedalia huko Mizpa?

Walimuuliza kama mflame wa Baali alimtuma Ishamaeli kumuua.

Gedalia alifikiri nini kuhusu jambo ambalo aliambiwa na Yonathani na makamanda wa jeshi?

Hakuamini.

Jeremiah 40:15-16

Yonathani alimwambia Gedalia kuwa anataka kufanya nini?

anataka kumuua Ishmaeli.

Gedalia alifikiri nini juu ya maneno ya Yonathani kuhusu Ishamaeli?

Gedalia alifikiri kuwa Yonathani anasema uongo juu ya Ishmaeli.

Jeremiah 41

Jeremiah 41:1-3

Kwa nini Ishmaeli na watu kumi aliokua nao walikwenda kula na Gedalia?

Walitaka kumuua Gadalia.

Ishmaeli na watu wake waliwaua akina nani?

Walimuua Gedalia, Watu wote wa Yuda aliokua nao na askari wa Wakaldayo waliokuwepo pale.

Kwa nini Ishmaeli na watu kumi aliokua nao walikwenda kula na Gedalia?

Walitaka kumuua Gadalia.

Ishmaeli na watu wake waliwaua akina nani?

Walimuua Gedalia, Watu wote wa Yuda aliokua nao na askari wa Wakaldayo waliokuwepo pale.

Jeremiah 41:4-5

Watu gani walikuja siku ya pili baada ya Ishmaeli kumuua Gedalia?

Watu themanini walikuja toka Shekemu, Shilo na Samaria.

Watu gani walikuja siku ya pili baada ya Ishmaeli kumuua Gedalia?

Watu themanini walikuja toka Shekemu, Shilo na Samaria.

Walikua wanakwenda wapi?

Walikuwa wanakwenda hekaluni.

Jeremiah 41:6-7

Ishmaeli waliwaambia nini wale watu themanini?

Aliwaalika wakamuone Gedalia.

Ishmaeli na watu wake waliwafanyia nini watu themanini waliokwenda mjini?

Waliwaua na kuwatupa katika shimo.

Jeremiah 41:8-9

Kwa nini hawakuwaua watu kumi kati ya themanini?

Watu kumi walikua na akiba.

Ishmaeli alizitupa wapi maiti za watu aliowaua?

Aliwatupa katika shimo ambalo Mfalme Asa alilichimba.

Jeremiah 41:10

Ishmaeli aliwafanya nini watu wote waliokua Mizpa?

Ishmaeli aliwakamata watu wote waliokua Mizpa na kuwapeleka Amoni.

Jeremiah 41:11-12

Yohana na makamanda wake wa jeshi walifanya nini waliposikia mambo aliyoyafanya Ishmaeli?

Aliwachukua watu wake wote na kwenda kupigana na Ishmaeli.

Yohana na makamanda wake wa jeshi walifanya nini waliposikia mambo aliyoyafanya Ishmaeli?

Aliwachukua watu wake wote na kwenda kupigana na Ishmaeli.

Jeremiah 41:13-14

Watu waliokua na Ishmaeli walifanya nini walipomuona Yohana akiwa pamoja na makamanda wake wa jeshi?

Walikuwa na furaha na wakamfuata Yohana.

Watu waliokua na Ishmaeli walifanya nini walipomuona Yohana akiwa pamoja na makamanda wake wa jeshi?

Walikuwa na furaha na wakamfuata Yohana.

Jeremiah 41:15-16

Ishmaeli na watu wake walikwenda wapi ili kumkimbia Yohana?

Walikwenda kwa watu wa Amoni.

Jeremiah 41:17-18

Yohana na watu wengine walikwenda wapi baada ya kuondoka Mizpa?

Walikwenda Geruthi Kimhamu iliyokuwa karibu na Bethlehemu.

Yohana na watu wengine walitaka kwenda wapi?

Walitaka kwenda Misri.

Kwa nini walitaka kwenda Misri?

Waliwaogopa Wakaldayo.

Kwa nini Yohana na watu wengine waliwaogopa Wakaldayo?

Waliwaogopa Wakaldayo kwa sababu Ishmaeli alimuua Gedalia.

Jeremiah 42

Jeremiah 42:1-3

Watu wote pamoja na makamanda la jeshi walimuomba nini Yeremia?

Walimuomba awaombee na awaambie namna ambavyo inawapasa kuenenda na kufanya.

Watu wote pamoja na makamanda la jeshi walimuomba nini Yeremia?

Walimuomba awaombee na awaambie namna ambavyo inawapasa kuenenda na kufanya.

Jeremiah 42:4-6

Yeremia aliwajibu nini?

Aliwaambia atawaombea na kuwaambia chochote atakachojibiwa na Bwana.

Watu walimwambia nini Yeremia?

Walimwambia kua watafanya kila kitu ambacho Bwana atawaamuru wafanye.

Watu walimwambia nini Yeremia?

Walimwambia kua watafanya kila kitu ambacho Bwana atawaamuru wafanye.

Jeremiah 42:7-10

Nini kilitokea baada ya siku kumi?

Baada ya siku kumi neno la Bwana lilimjia Yeremia.

Jeremiah 42:11-14

Bwana alisema kuwa atafanya nini kwa sababu yuko pamoja nao?

Alisema kuwa atawasaidia, atawarehemu, atawahurumia na kuwarejesha katika nchi yao.

Bwana alisema kuwa atafanya nini kwa sababu yuko pamoja nao?

Alisema kuwa atawasaidia, atawarehemu, atawahurumia na kuwarejesha katika nchi yao.

Jeremiah 42:15-17

Bwana alisema kipi kitawapata watu watakaoenda kuishi Misri?

Wakienda Misri watauawa kwa upanga, njaa na tauni.

Bwana alisema kipi kitawapata watu watakaoenda kuishi Misri?

Wakienda Misri watauawa kwa upanga, njaa na tauni.

Jeremiah 42:18-19

Wakienda Misri watakuwaje?

Watalaaniwa na hawatarudi tena.

Kwa nini watu hawataiona nchi tena?

Bwana aliwaambia wasiende Misri na atakuwa na hasira juu yao endapo wataenda.

Jeremiah 42:20-22

Kwa nini itawagarimu watu maisha yao watakapokwenda Misri?

Itawagarimu maisha yao kwa sababu walimuomba Yeremia awape ujumbe aliopewa na Bwana lakini hawakufanya kama Bwana alivyowaagiza wafanye.

Kwa nini itawagarimu watu maisha yao watakapokwenda Misri?

Itawagarimu maisha yao kwa sababu walimuomba Yeremia awape ujumbe aliopewa na Bwana lakini hawakufanya kama Bwana alivyowaagiza wafanye.

Jeremiah 43

Jeremiah 43:1-3

Yeremia alimaliza kutangaza nini kwa watu wote?

Alimaliza kutangaza maneno yote aliyoamuriwa na Bwana kuyasema.

Azaria, Yohana na watu wote wenye kiburi walimshtaki Yeremia kwa lipi?

Walimshtaki kwa kumwambia kuwa alisema uongo ili Wakaldayo wawaue na kuwafanya mateka huko Babeli.

Jeremiah 43:4-7

Yohana na watu wengine walifanya nini badala ya kufanya waliyoambiwa na Bwana?

Wote walikwenda Misri.

Yohana na watu wengine walifanya nini badala ya kufanya waliyoambiwa na Bwana?

Wote walikwenda Misri.

Jeremiah 43:8-10

Bwana alimwambia Yeremia ayafanye nini mawe?

Alimwambia ayaweke karibu na nyumba ya Farao huko Tahpenesi ili kuonesha kuwa Nebukadreza atakaa katika ufalme mahali hapo.

Bwana alimwambia Yeremia ayafanye nini mawe?

Alimwambia ayaweke karibu na nyumba ya Farao huko Tahpenesi ili kuonesha kuwa Nebukadreza atakaa katika ufalme mahali hapo.

Jeremiah 43:11-13

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu Nebukadreza atakapoivamia nchi ya Misri?

Bwana aliwaambia kuwa Nebukadreza atawaua watu na kuwafanya wengine mateka.

Bwana alisema Nebukadreza atalifanyia nini hekalu yenye miungu ya Misri?

Bwana alisema ataizika na kuwakamata.

Bwana alisema Nebukadreza atalifanyia nini hekalu yenye miungu ya Misri?

Bwana alisema ataizika na kuwakamata.

Jeremiah 44

Jeremiah 44:1-3

Kwa nini Yeremia alisema kuwa Bwana ataleta maafa Yerusalemu na katika miji ya Yuda?

Yeremia alisema hivyo kwa sababu watu waliabudu miungu mingine.

Kwa nini Yeremia alisema kuwa Bwana ataleta maafa Yerusalemu na katika miji ya Yuda?

Yeremia alisema hivyo kwa sababu watu waliabudu miungu mingine.

Jeremiah 44:4-6

Manabii wa Bwana waliwaambia nini watu?

Manabii waliwaambia watu waache kufanya mambo yanayomkasirisha Bwana.

Watu walifanya nini baada ya manabii kuongea nao?

Hawakusikiliza.

Bwana alifanya nini watu wa Yuda walipokataa kuwasikiliza manabii?

Bwana alimimina hasira yake na ghadhabu na kuwaangamiza Yuda na Yerusalemu.

Jeremiah 44:7-8

Ni watu wangapi walioruhusiwa na Bwana kuishi?

Hakuruhusu mtu yeyote kuishi.

Walimkosea Bwana kwa namna gani?

Walimkosea Bwana kwa matendo ya mikono yao kwa kufukiza uvumba kwa miungu mingine katika nchi ya Misri

Bwana alisema nini kitawatokea wakiwa Misri?

Alisema atawaangamiza.

Jeremiah 44:9-10

Bwana alisema akina nani wamefanya uovu?

Alisema watu pamoja na mababa zao wamefanya uovu.

Jeremiah 44:11-12

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu watakaoenda Misri?

Bwana alisema hatawatizama na ataleta maafa juu yao na kuwaangamiza wote kama alivyoiadhibu Yerusalemu.

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu watakaoenda Misri?

Bwana alisema hatawatizama na ataleta maafa juu yao na kuwaangamiza wote kama alivyoiadhibu Yerusalemu.

Jeremiah 44:13-14

Bwana alisema nini juu ya watu waliosalia Yuda?

Alisema kuwa atakayerudi Yuda japokua wachache watatoroka toka Misri.

Jeremiah 44:15-21

Watu walifikiri nini kitatokea wakiendelea kufukiza uvumba na kumwaga vinywaji kwa malkia wa mbingu?

Watu walifikiri kuwa watajazwa na vyakula na watafanikiwa bila kupata maafa yoyote.

Jeremiah 44:22-23

Ni kitu gani ambacho Bwana hakuweza kuvumilia?

Bwana hakuweza kuvumilia mambo ambayo watu waliyafanya.

Nini kilitokea kwenye ardhi yao baada ya Bwana kushindwa kuvumilia mambo waliyoyafanya?

Nchi ilikuwa ukiwa, laana na ajabu.

Kwa nini maafa haya yaliwapata?

Kwa sabau walifukiza uvumba na kuabudu miungu na kumkosea Bwana pia hawakumsikiliza.

Jeremiah 44:24-25

Yeremia aliwaambia nini watu waliotaka kutimiza viapo vyao kwa malkia wa mbingu?

Aliwaambia watimize viapo vyao.

Jeremiah 44:26-28

Yeremia alisema watu watafanya nini baada ya kutimia viapo vyao?

Aliwaambia kuwa hawatamuabudu Bwana tena, lakini wataangamia wote kwa upanga na njaa.

Yeremia alisema watu watafanya nini baada ya kutimia viapo vyao?

Aliwaambia kuwa hawatamuabudu Bwana tena, lakini wataangamia wote kwa upanga na njaa.

Nini kitatokea kwa watu ambao hawatakufa kwa upanga?

Watarudi toka Misri mpaka Yuda.

Jeremiah 44:29-30

Watu wataelewa nini Hofra akifa?

Wataelewa kuwa Bwana atawafanyia kilakitu alichosema kuwa atakifanya.

Bwana alisema atamfanyia nini Hofra Farao?

Alisema atamtia Hofra Farao kwenye mikono ya adui zake.

Jeremiah 45

Jeremiah 45:1-3

Kwa nini Bwana alimpa Yeremia ujumbe wa Baruku?

Alifanya hivyo kwa sababu Baruku alisema kuwa Bwana amemfanya kuwa na huzuni.

Kwa nini Bwana alimpa Yeremia ujumbe wa Baruku?

Alifanya hivyo kwa sababu Baruku alisema kuwa Bwana amemfanya kuwa na huzuni.

Jeremiah 45:4-5

Bwana alipanga kufanya nini kwenye taifa la Baruku?

Alipanga kuangamiza.

Baruku hakutakiwa kutamani nini?

Hakupaswa kutamani watu wamuheshimu kwa namna ya kipekee.

Bwana aliahidi kufanya nini kwa Baruku?

Bwana aliahidi kumlinda Baruku popote atakapokwenda.

Jeremiah 46

Jeremiah 46:1-4

Bwana aliliambia jeshi la Misri lifanye nini?

Aliwaambia wachukue ngao zao, farasi, ngao na chepeo kisha waende mbele na kupigana.

Ni wafalme gani waliokwenda vitani?

Mfalme Nebukadreza wa Babeli na Neko mfalme wa Misri.

Bwana aliliambia jeshi la Misri lifanye nini?

Aliwaambia wachukue ngao zao, farasi, ngao na chepeo kisha waende mbele na kupigana.

Jeremiah 46:5-6

Bwana aliwaona wanajeshi wa Misri wakifanya nini?

Aliwaona wanajeshi wa Misri wakikimbia ili kujiponya katika mto Frati.

Bwana aliwaona wanajeshi wa Misri wakifanya nini?

Aliwaona wanajeshi wa Misri wakikimbia ili kujiponya katika mto Frati.

Jeremiah 46:7-9

Bwana alilifananisha jeshi la Misri na kitu gani?

Jeshi ni kama mto Nile unapojaa na kuharibu miji na wanaokaa ndani yake.

Bwana alilifananisha jeshi la Misri na kitu gani?

Jeshi ni kama mto Nile unapojaa na kuharibu miji na wanaokaa ndani yake.

Jeremiah 46:10

Bwana atalipiza vipi kisasi?

Atalipiza kisasi upanga ukila na kushiba. Hiyo itakuwa kama sadaka kwa Bwana.

Jeremiah 46:11-12

Bwana aliwaambia Wamisri wafanye nini?

Waende kuchukua dawa Gileadi lakini haitawaponya.

Bwana aliwaambia Wamisri wafanye nini?

Waende kuchukua dawa Gileadi lakini haitawaponya.

Jeremiah 46:13-14

Bwana aliwaambia watu wa Mighodi na Nofu wafanye nini?

Aliwaambia waende Tahpanesi kupigana.

Bwana aliwaambia watu wa Mighodi na Nofu wafanye nini?

Aliwaambia waende Tahpanesi kupigana.

Jeremiah 46:15-17

Nini kilitokea kwa miungu ya Misri?

Miungu ilikimbia na Bwana aliiangusha chini.

Askari walitaka kufanya nini?

Walitaka kwenda kwenye nyumba zao.

Askari walitaka kufanya nini?

Walitaka kwenda kwenye nyumba zao.

Jeremiah 46:18-19

Bwana alisema kuwa Misri inatakiwa ijiandae kwa kipi?

Aisema Misri inatakiwa ijiandae kuwa mateka.

Jeremiah 46:20-22

Mwandishi anasema kuwa Misri ni kama mnyama gani kabla ya vita?

Misri ni kama ndama mzuri na askari wao ni kama ng'ombe aliyenona.

Mwandishi anasema kuwa Misri ni kama mnyama gani kabla ya vita?

Misri ni kama ndama mzuri na askari wao ni kama ng'ombe aliyenona.

Mwandishi anasema kuwa Misri ni kama nyama gani baada ya vita?

Anasema kuwa Misri ni kama nyoka.

Jeremiah 46:23-24

Akina nani watawaua askari wa Misri?

Watu kutoka kaskazini watawachinja.

Akina nani watawaua askari wa Misri?

Watu kutoka kaskazini watawachinja.

Jeremiah 46:25-26

Bwana atawatia Wamisri katika mikono ya nani?

Atawatia Wamisri katika mikono ya Nebukadreza.

Bwana atawatia Wamisri katika mikono ya nani?

Atawatia Wamisri katika mikono ya Nebukadreza.

Jeremiah 46:27-28

Bwana alisema atafanya nini kwa watu wake wa Israeli?

Atawatoa utumwani na kuwarudisha kwenye nchi yao ambapo watapata amani na watakuwa salama.

Bwana alisema atafanya nini kwa watu wake wa Israeli?

Atawatoa utumwani na kuwarudisha kwenye nchi yao ambapo watapata amani na watakuwa salama.

Jeremiah 47

Jeremiah 47:1-2

Bwana alisema nini kitawapata Wafilisti?

Watavamiwa toka kaskazini na wataomboleza.

Bwana alisema nini kitawapata Wafilisti?

Watavamiwa toka kaskazini na wataomboleza.

Jeremiah 47:3-4

Wafilisti watajuaje kuwa adui anakuja kuwaangamiza?

Watasikia sauti ya farasi na mbio za magari. Watu watakimbia hawataacha kuwasaidia watoto wao na hawatakuwa na msaada.

Wafilisti watajuaje kuwa adui anakuja kuwaangamiza?

Watasikia sauti ya farasi na mbio za magari. Watu watakimbia hawataacha kuwasaidia watoto wao na hawatakuwa na msaada.

Jeremiah 47:5-7

Wafilisti watamuomba Bwana afanye nini?

Watamuomba aache kuwaua.

Wafilisti watamuomba Bwana afanye nini?

Watamuomba aache kuwaua.

Kwa nini Bwana hakusimamisha mauaji?

Kwa sababu alikusudia kuwavamia watu tote waiship Ashkeloni na miji iliyopo kando na pwani.

Jeremiah 48

Jeremiah 48:1-2

Bwana alisema nini kuhusu Moabu?

Uharibifu utatokea katika miji, hakuna atakayemuheshimu Moabu na adui zake watajaribu kumuangamiza.

Bwana alisema nini kuhusu Moabu?

Uharibifu utatokea katika miji, hakuna atakayemuheshimu Moabu na adui zake watajaribu kumuangamiza.

Jeremiah 48:3-5

Kwa nini watu walipiga kelele, wakaomboleza na kulia?

Walifanya hivi kwa kuwa Moabu iliangamizwa.

Kwa nini watu walipiga kelele, wakaomboleza na kulia?

Walifanya hivi kwa kuwa Moabu iliangamizwa.

Jeremiah 48:6-7

Kwa nini Kemoshi na makuhani wake walichukuliwa mateka?

Kwa sababu waliweka imani yao kwenye mali zao.

Jeremiah 48:8-10

Bwana alisema nini kitatokea kwenye miji katika Moabu?

Yote itaangamizwa, hakuna atakayekimbia.

Nini kitatokea katika miji yao?

Haitafaa na hakuna atakayeishi huko.

Bwana atamfanyia nini mtu yeyote ambaye hatawaua Wamoabu?

Bwana atamlaani.

Jeremiah 48:11-14

Bwana alisema nini kitawapata Wamoabu?

Alisema atatuma maadui wawavamie na kuwaangamiza.

Bwana alisema nini kitawapata Wamoabu?

Alisema atatuma maadui wawavamie na kuwaangamiza.

Jeremiah 48:15-17

Bwana alisema nini kitatokea kwenye nchi ya Moabu?

Moabu itaharibiwa.

Bwana alisema nini kitatokea kwenye nchi ya Moabu?

Moabu itaharibiwa.

Watu wanaoishi karibu na Moabu wanatakiwa kufanya nini baada ya Moabu kuharibiwa?

Watamlilia Moabu kwa sababu nguvu yao imeharibiwa.

Jeremiah 48:18-20

Watu wa miji ya Dibori na Aroeri wanapaswa kufanya nini badala ya kujivuna?

Wanatakiwa atambue kuwa wamevamiwa na kuwatambua watu waliotoroka. Wanatakiwa waomboleze na kuomba Msaada maana Moabu ameharibiwa.

Watu wa miji ya Dibori na Aroeri wanapaswa kufanya nini badala ya kujivuna?

Wanatakiwa atambue kuwa wamevamiwa na kuwatambua watu waliotoroka. Wanatakiwa waomboleze na kuomba Msaada maana Moabu ameharibiwa.

Jeremiah 48:21-25

Ni adhabu gani ilikua juu ya miji yote ya Moabu?

Bwana aliadhibu miji mingi na jeshi la Moabu liliharibiwa.

Ni adhabu gani ilikua juu ya miji yote ya Moabu?

Bwana aliadhibu miji mingi na jeshi la Moabu liliharibiwa.

Jeremiah 48:26-27

Wamoabu walidhani kuwa wana nguvu kuliko Bwana lakini Bwana atawafanya nini?

Bwana atawahukumu Moabu na adui zake watamcheka.

Wamoabu walidhani kuwa wana nguvu kuliko Bwana lakini Bwana atawafanya nini?

Bwana atawahukumu Moabu na adui zake watamcheka.

Jeremiah 48:28-29

Wenyeji watafanya nini kwa sababu ya kiburi chao?

Watauacha mji na kwenda kukaa katika majabali.

Wenyeji watafanya nini kwa sababu ya kiburi chao?

Watauacha mji na kwenda kukaa katika majabali.

Jeremiah 48:30-32

Kwa nini Bwana aliomboleza na kupiga kelele kwa huzuni kwa sababu ya watu wa Moabu?

Bwana aliomboleza kwa sababu alijua majivuno ya Moabu si kitu.

Kwa nini Bwana aliomboleza na kupiga kelele kwa huzuni kwa sababu ya watu wa Moabu?

Bwana aliomboleza kwa sababu alijua majivuno ya Moabu si kitu.

Jeremiah 48:33

Bwana alimfanya nini Moabu?

Aliondoa furaha yake.

Jeremiah 48:34-35

Bwana alisema atawafanya nini watu wa Moabu ambao wanatoa sadaka na kufukiza uvumba kwa miungu yao?

Atawaharibu watu hao.

Jeremiah 48:36-37

Watu wa Kir-Heresi walionesha huzuni yao kwa namna gani baada ya utajiri wao kuondoka?

Walinyoa vichwa na ndevu zao kisha wakavaa magunia katika viuno vyao.

Watu wa Kir-Heresi walionesha huzuni yao kwa namna gani baada ya utajiri wao kuondoka?

Walinyoa vichwa na ndevu zao kisha wakavaa magunia katika viuno vyao.

Jeremiah 48:38-39

Kwa nini kuna maombolezo katika dari na njia zote?

Kwa sababu Bwana ameiharibu Moabu kama ambavyo watu waharibivyo vyombo ambavyo hakuna anayevitaka tena.

Kwa nini kuna maombolezo katika dari na njia zote?

Kwa sababu Bwana ameiharibu Moabu kama ambavyo watu waharibivyo vyombo ambavyo hakuna anayevitaka tena.

Jeremiah 48:40-41

Bwana anasema kukamatwa kwa Keriothi kutakuwaje?

Kutatokea haraka kama tai anyakuavyo mawindo. Adui watawakamata wenye nguvu na askari wataogopa.

Bwana anasema kukamatwa kwa Keriothi kutakuwaje?

Kutatokea haraka kama tai anyakuavyo mawindo. Adui watawakamata wenye nguvu na askari wataogopa.

Jeremiah 48:42-44

Bwana ataiangamiza vipi Moabu?

Bwana atasababisha watu waogope na kuanguka katika mashimo na mitego.

Bwana ataiangamiza vipi Moabu?

Bwana atasababisha watu waogope na kuanguka katika mashimo na mitego.

Jeremiah 48:45

Kwa nini watu watakimbia toka mji wa Heshiboni?

Kwa sababu moto atateketeza Heshboni na kuangamiza watu wote wa Moabu .

Jeremiah 48:46-47

Yeremia alisema nini kitawapata Wamoabu?

Wamoabu wataharibiwa na wana wao wakike na kiume watakamatwa na kupelekwa katika nchi nyingine lakini siku moja Bwana atawaruhusu warudi katika nchi yao.

Yeremia alisema nini kitawapata Wamoabu?

Wamoabu wataharibiwa na wana wao wakike na kiume watakamatwa na kupelekwa katika nchi nyingine lakini siku moja Bwana atawaruhusu warudi katika nchi yao.

Jeremiah 49

Jeremiah 49:1-2

Kwa nini Malkamu hachukui nchi ya Gadi?

Malkamu hachukui nchi ya Gadi kwa sababu inamilikiwa na watoto wa Israeli.

Nini kitatokea kwa Raba?

Itakuwa jangwa la ukiwa.

Jeremiah 49:3-4

Nini kitatokea kwa Malkamu?

Mji utaangamizwa na watu watachukuliwa mateka.

Mabinti watamini katika nini?

Mabinti wataamini katika utajiri wao.

Jeremiah 49:5-6

Kwa nini watu watakuwa na hofu?

Watakuwa na hofu kwa sababu watalazimishwa na adui zao kutawanyika katika nchi nyingine.

Bwana atawafanya nini watu wa Amoni hapo baadae?

Bwana atawarejesha.

Jeremiah 49:7-8

Nini kitawapata watu wenye hekima wa Edom?

Watu wenye hekima wa Edom wataondoka.

Watu wa Edomu watafanya nini baada ya watu wao wenye hekima kuondoka?

Wataondoka na kuishi katika mashimo ya ardhi.

Bwana atamfanya nini Esau?

Atasababisha maafa kwa Esau.

Jeremiah 49:9-11

Bwana alisema nini kuhusu yatima na wajane wa Edomu?

Alisema atawajali yatima na wajane.

Jeremiah 49:12-13

Kwa nini Waedomi walijua kuwa tayari Bwana anawaadhibu?

Kwa sababu waliona kuwa hatawale ambao Bwana hawaadhibu wanateseka.

Bwana alisema ataifanya nini Bozra?

Ataiangamiza.

Jeremiah 49:14-15

Mjumbe wa Bwana ataenda kuwaambia nini mataifa?

Mjumbe walikwenda kuwaambia mataifa kuwa wajiandae kwa vita na kuiteka Edomu.

Bwana aliwaambia nini watu wa Edomu?

Aliwaambia kuwa amewafanya watu wa Edomu kuwa wadogo ukilinganisha na mataifa mengine ambayo watu wanayadharau.

Jeremiah 49:16

Kwa kuwa Waedomu wamejidanganya wenyewe na kufikiri kuwa wako salama katika jabali Bwana alisema atawafanya nini?

Atawashusha chini.

Jeremiah 49:17-18

Bwana liifananisha Edomu na nini?

Aliifananisha kama Sodoma na Gomora na jirani zao ambapo hakuna mtu anayeishi hapo.

Bwana liifananisha Edomu na nini?

Aliifananisha kama Sodoma na Gomora na jirani zao ambapo hakuna mtu anayeishi hapo.

Jeremiah 49:19

Bwana atawafanya nini Waedomu baada ya kuwatoa katika nchi yao?

Atachagua mtu atakayekua juu yao.

Jeremiah 49:20

Ni mpango gani alionao Mungu dhidi ya Edomu?

Ana mpango wa kuwaharubu wanaokaa Temani na kuyageuza malisho yao kuwa mahali palipoharibiwa.

Jeremiah 49:21-22

Edoni ikiharibiwa nini kitatokea?

Nchi itatikisika na watu walioko mbali karibu na bahari ya Shamu watasikia sauti za kilio. Na watu wenye nguvu watajawa na hofu.

Edoni ikiharibiwa nini kitatokea?

Nchi itatikisika na watu walioko mbali karibu na bahari ya Shamu watasikia sauti za kilio. Na watu wenye nguvu watajawa na hofu.

Jeremiah 49:23-25

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu wa Dameski?

Watakuwa dhaifu watarudi na kuwa na huzuni.

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu wa Dameski?

Watakuwa dhaifu watarudi na kuwa na huzuni.

Jeremiah 49:26-27

Nini kitatokea baada ya Bwana kuwasha moto katika kuta za Dameski?

Moto utaangusha nyumba ya Ben-hadadi na vijana na wote wapiganaji wote watakufa.

Nini kitatokea baada ya Bwana kuwasha moto katika kuta za Dameski?

Moto utaangusha nyumba ya Ben-hadadi na vijana na wote wapiganaji wote watakufa.

Jeremiah 49:28-29

Bwana alimwambia Nebukadreza amfanye nini Kedari?

Alimwambia Nebukadreza awakamate watu, awaangamize na kuchukua hazina zao.

Bwana alimwambia Nebukadreza amfanye nini Kedari?

Alimwambia Nebukadreza awakamate watu, awaangamize na kuchukua hazina zao.

Jeremiah 49:30-31

Kwa nini hii itakuwa uvamizi mwepesi kwa Nebukadreza?

Itakuwa rahisi kwake kwa kuwa watu hawakuwa na milango wala makomeo na waliishi pekeyao.

Watu wa Kedari wataishi wapi baadaya kuvamiwa na Nebukadreza?

Wataishi katika mashimo ardhini.

Kwa nini hii itakuwa uvamizi mwepesi kwa Nebukadreza?

Itakuwa rahisi kwake kwa kuwa watu hawakuwa na milango wala makomeo na waliishi pekeyao.

Jeremiah 49:32-33

Bwana atawafanya nini watu wa Hazori baada ya Nebukadreza kuchukua ngamia zao na mali kama nyara?

Atawatawanya na maafa yatakua juu yao.

Nani ataishi katika mji baada ya Nebukadreza kuvamia?

Mbwa mwitu wataishi huko.

Jeremiah 49:34-36

Ni lini Yeremia alipokea unabii kuhusu Elamu?

Alipokea kipindi cha utawala wa Sedekia.

Bwana alipovunja upinde wa Elamu watu walikwenda wapi?

Watu walikwenda pande zote za dunia.

Bwana alipovunja upinde wa Elamu watu walikwenda wapi?

Watu walikwenda pande zote za dunia.

Jeremiah 49:37-39

Bwana atafanya nini kwa kuwa ana hasira na watu wa Elamu?

Bwana ataruhusu maadui zao wawaangamize na kuleta maafa juu yao, kuwaua na kuwaangamiza kabisa.

Bwana atafanya nini kwa kuwa ana hasira na watu wa Elamu?

Bwana ataruhusu maadui zao wawaangamize na kuleta maafa juu yao, kuwaua na kuwaangamiza kabisa.

Bwana atawafanya nini watu wa Elamu baadae?

Atawaruhusu warudi katika nchi yao.

Jeremiah 50

Jeremiah 50:1-2

Nini kitatokea kwa Babeli.

Babeli itachukuliwa na miungu itatiwa katika aibu.

Jeremiah 50:3-5

Nani atasimama dhidi ya Babeli?

Taifa toka kaskazini.

Watu wa Israeli watafanya nini Babeli ikivamiwa?

Watu watakusanyika pamoja na kumtafta Bwana. Wataelekeza nyuso zao sayuni na kuweka upya agano na Bwana.

Watu wa Israeli watafanya nini Babeli ikivamiwa?

Watu watakusanyika pamoja na kumtafta Bwana. Wataelekeza nyuso zao sayuni na kuweka upya agano na Bwana.

Jeremiah 50:6-7

Kwa nini Bwana aliwafananisha watu hawa kama kondoo waliopotea?

Aliwafananisha kama kondoo waliopotea kwa sababu mchungaji wao aliwapoteza nao wakasahau nchi yao.

Adui zao walisema kwa nini waliweza kuwaangamiza watu wa Bwana?

Adui zao walisema hivyo kwa sababu watu wa Bwana walimtenda dhambi Bwana.

Jeremiah 50:8-10

Kwa nini Waisraeli wanapaswa kuondoka Babeli kabla Babeli haijavamiwa?

Wanapaswa waondoke kwa sababu mataifa makubwa toka Kaskazini yanakuja kuivamia Babeli.

Kwa nini Waisraeli wanapaswa kuondoka Babeli kabla Babeli haijavamiwa?

Wanapaswa waondoke kwa sababu mataifa makubwa toka Kaskazini yanakuja kuivamia Babeli.

Jeremiah 50:11-13

Nini kitatokea kwa Babeli kwa kuwa wamechukua urithi wa Bwana kama nyara?

Babeli itakuwa taifa lililo nyuma na nchi yenye jangwa.

Nini kitatokea kwa Babeli kwa kuwa wamechukua urithi wa Bwana kama nyara?

Babeli itakuwa taifa lililo nyuma na nchi yenye jangwa.

Jeremiah 50:14-15

Kwa kuwa Babeli imemuasi Bwana nini kitawapata?

Kila mtu atampiga Babeli, Babeli itasalimisha nguvu zake, minara yake itaanguka, kuta zake zitaangushwa chini na watatendewa kama walivyotendea mataifa mengine.

Kwa kuwa Babeli imemuasi Bwana nini kitawapata?

Kila mtu atampiga Babeli, Babeli itasalimisha nguvu zake, minara yake itaanguka, kuta zake zitaangushwa chini na watatendewa kama walivyotendea mataifa mengine.

Jeremiah 50:16

Mataifa mengine yatafanya nini Babeli akivamiwa?

Watakimbilia kwenye nchi zao.

Jeremiah 50:17-18

Bwana alisema atafanya nini kwa taifa la Ashuru na Babeli?

Alisema atamuadhibu mfalme wa Babeli na watu wake kama alivyomuadhibu mfalme wa Ashuru.

Bwana alisema atafanya nini kwa taifa la Ashuru na Babeli?

Alisema atamuadhibu mfalme wa Babeli na watu wake kama alivyomuadhibu mfalme wa Ashuru.

Jeremiah 50:19-20

Bwana atawafanya nini watu waliosalia?

Bwana atawarejesha Israeli katika nchi yao na atawasamehe watu makosa yao.

Bwana atawafanya nini watu waliosalia?

Bwana atawarejesha Israeli katika nchi yao na atawasamehe watu makosa yao.

Jeremiah 50:21-22

Bwana aliwahimiza maadui wa Babeli wafanye nini?

Bwana aliwataka wapige sauti za vita na wasababishe maangamizi kwa Babeli.

Bwana aliwahimiza maadui wa Babeli wafanye nini?

Bwana aliwataka wapige sauti za vita na wasababishe maangamizi kwa Babeli.

Jeremiah 50:23-24

Kwa nini jeshi la Babeli lilikamatwa?

Lilikamatwa kwa sababu lilishindana na Bwana.

Kwa nini jeshi la Babeli lilikamatwa?

Lilikamatwa kwa sababu lilishindana na Bwana.

Jeremiah 50:25-26

Ni kazi gani aliyoifanya Bwana?

Bwana alifungua silaha zake, akatoa silaha akawahimiza maadui kuivamia Babeli na kuleta maangamizi.

Ni kazi gani aliyoifanya Bwana?

Bwana alifungua silaha zake, akatoa silaha akawahimiza maadui kuivamia Babeli na kuleta maangamizi.

Jeremiah 50:27-28

Waisraeli waliosalia katika Babeli watasema nini?

Watasema namna ambavyo Bwana aliiadhibu Babeli kwa kuwachinja mashujaa kwa namna walivyolifanya hekalu la Sayuni.

Waisraeli waliosalia katika Babeli watasema nini?

Watasema namna ambavyo Bwana aliiadhibu Babeli kwa kuwachinja mashujaa kwa namna walivyolifanya hekalu la Sayuni.

Jeremiah 50:29-30

Nini kitatokea kwa sababu amemfanyia kiburi Bwana?

Hakuna atakayekimbia uharibifu ambao adui wa Babeli watauleta. Adui watawaharibu wapiganaji wote kwa sababu ya jinsi walivyomfanyia Bwana.

Nini kitatokea kwa sababu amemfanyia kiburi Bwana?

Hakuna atakayekimbia uharibifu ambao adui wa Babeli watauleta. Adui watawaharibu wapiganaji wote kwa sababu ya jinsi walivyomfanyia Bwana.

Jeremiah 50:31-32

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu wenye kiburi?

Watatetemeka na kuanguka.

Bwana alisema nini kitatokea kwa watu wenye kiburi?

Watatetemeka na kuanguka.

Jeremiah 50:33-34

Nani atawaokoa watu wa Israeli walioonewa?

Bwana wa majeshi atawaokoa Israeli.

Nani atawaokoa watu wa Israeli walioonewa?

Bwana wa majeshi atawaokoa Israeli.

Jeremiah 50:35-37

Maadui watawafanya nini watu wa Babeli?

Watawapiga wenyeji, wakuu, wenye hekima na watu wote. Watawapiga manabii wao wa uongo, mashujaa wao na farasi zao na magari.

Maadui watawafanya nini watu wa Babeli?

Watawapiga wenyeji, wakuu, wenye hekima na watu wote. Watawapiga manabii wao wa uongo, mashujaa wao na farasi zao na magari.

Jeremiah 50:38-40

Babeli itakuwa kama nini?

Babeli itakuwa kama Sodoma na Gomora.

Babeli itakuwa kama nini?

Babeli itakuwa kama Sodoma na Gomora.

Jeremiah 50:41-43

Mfalme wa Babeli alisikia nini kuhusu watu wa kaskazini?

Alisikia kuwa ni wakorofi na hawana huruma.

Mfalme wa Babeli alisikia nini kuhusu watu wa kaskazini?

Alisikia kuwa ni wakorofi na hawana huruma.

Mfalme wa Babeli alijisikiaje baada ya Yeremia kumwambia kuwa jeshi la kaskazini linakuja kuipindua Babeli?

Aliposikia taarifa hiyo alijisikia kwama mwanamke mwenye maumivu ya uchungu.

Jeremiah 50:44

Bwana ataifanyia nini Babeli?

Atawafukuza watu toka Babeli na kumchagua mtu wa kuisimamia.

Jeremiah 50:45-46

Bwana alipanga kuwafanyia nini watu wa Babeli?

Alipanga kuwaharibu kabisa watu wa Babeli.

Bwana alipanga kuwafanyia nini watu wa Babeli?

Alipanga kuwaharibu kabisa watu wa Babeli.

Jeremiah 51

Jeremiah 51:9-10

Waisraeli watafanya nini kwa sababu Babeli hawatapona?

Waisraeli wataondoka na kurudi katika nchi yao na kuwaambia wengine katika sayuni kuwa Bwana amewasamehe

Jeremiah 51:11-12

Nani atakwenda vitani dhidi ya Babeli kwa sababu Babeli imeharibu hekalu la Bwana Yerusalemu?

Jeshi la Midi na Peru litaiharibu Babeli.

Jeremiah 51:13-14

Bwana aliapa kuwa atawafanyia nini matajiri wa Babeli?

Bwana atainua kilio dhidi yao. Mwisho wao umekaribia.

Bwana aliapa kuwa atawafanyia nini matajiri wa Babeli?

Bwana atainua kilio dhidi yao. Mwisho wao umekaribia.

Jeremiah 51:15-16

Bwana alifanya nini kwa ngiuvu zake, hekima na ufahamu?

Aliumbe dunia, akaiweka sawa na kuzitandaza mbingu.

Nini hutokea Bwana akiongea?

Hutokea radi, mvua, ngurumo na upepo toka duniani.

Nini hutokea Bwana akiongea?

Hutokea radi, mvua, ngurumo na upepo toka duniani.

Jeremiah 51:17-19

Kutengeneza sanamu kunaweza kuwaridhisha watu?

Hapana, sanamu haziwezi kuwafanyia lolote. Hazifai kitu.

Kutengeneza sanamu kunaweza kuwaridhisha watu?

Hapana, sanamu haziwezi kuwafanyia lolote. Hazifai kitu

Nani ni Mungu wa Israeli?

Mungu wa Israeli ni mmoja aliyeumba kila kitu.

Jeremiah 51:20-23

Mungu alisema Israeli ni nini?

Mungu alisema kuwa Israeli ni rungu lake, silaha yake ya vita.

Jeremiah 51:24

Yahwe anawambia nini watu wa Babiloni?

Yahwe anasema atawalipiza watu kwa ajili ya uovu walioufanya Yerusalemu

Jeremiah 51:25-26

Bwana ataifanyia nini Babeli kwa sababu ya kuwateka nyara watu wa dunia nzima?

Bwana ataiharibu kabisa Babeli na hakuna atakayeishi huko tena.

Bwana ataifanyia nini Babeli kwa sababu ya kuwateka nyara watu wa dunia nzima?

Bwana ataiharibu kabisa Babeli na hakuna atakayeishi huko tena.

Jeremiah 51:27-28

Yeremia aliwaambia nini taifa la Mini na Peru?

Mataifa haya yanatakiwa kukusanya majeshi yao na kujiandaa kuivamia Babeli.

Yeremia aliwaambia nini taifa la Mini na Peru?

Mataifa haya yanatakiwa kukusanya majeshi yao na kujiandaa kuivamia Babeli.

Jeremiah 51:29

Mpango wa Bwana dhidi ya Babeli ni upi?

Bwana alipanga kufanya nchi ya Babeli kuwa ukiwa bila wakaaji.

Jeremiah 51:30-32

Askari wa Babeli watafanya nini kuhusu vita dhidi yao?

Askari watachanganyikiwa kwa sababu njia zitakuwa zimefungwa na mji utateketezwa kwa moto.

Askari wa Babeli watafanya nini kuhusu vita dhidi yao?

Askari watachanganyikiwa kwa sababu njia zitakuwa zimefungwa na mji utateketezwa kwa moto.

Jeremiah 51:33

Bwana alisema kuwa Babeli ni kama nini?

Babeli ni kama sakafu za kufikichia wakati wa mavuno.

Jeremiah 51:34-35

Watu wa Yerusalemu walitaka Bwana awafanyie nini watu wa Babeli?

Walitaka Bwana asababishe maafa kwa Babeli kama walivyoteseka wakiwa chini ya utawala wa mfalme Nebukadreza.

Watu wa Yerusalemu walitaka Bwana awafanyie nini watu wa Babeli?

Walitaka Bwana asababishe maafa kwa Babeli kama walivyoteseka wakiwa chini ya utawala wa mfalme Nebukadreza.

Jeremiah 51:36-37

Bwana aliwajibu nini Waisraeli?

Atasikia maombi yao na kulipiza kisasi juu ya Babeli. Atakausha chemichemi zao na kufanya nchi kuwa ukiwa.

Bwana aliwajibu nini Waisraeli?

Atasikia maombi yao na kulipiza kisasi juu ya Babeli. Atakausha chemichemi zao na kufanya nchi kuwa ukiwa.

Jeremiah 51:38-40

Bwana atawafanyia nini watu wa Babeli?

Bwana ataandaa karamu itakayosababisha walewe kwa mvinyo kisha wauawe wote.

Bwana atawafanyia nini watu wa Babeli?

Bwana ataandaa karamu itakayosababisha walewe kwa mvinyo kisha wauawe wote.

Jeremiah 51:41-42

Babeli itakuwa sehemu ya aina gani?

Babeli itakuwa sehemu iliyoharibiwa kati ya mataifa yote.

Jeremiah 51:43-44

Bwana ataifanya nini Beli?

Bwana ataiadhibu Beli na kufanya watu wa Babeli wachukue sadaka walizozitoa kwa Beli na ukuta wa Babeli utaanguka.

Bwana ataifanya nini Beli?

Bwana ataiadhibu Beli na kufanya watu wa Babeli wachukue sadaka walizozitoa kwa Beli na ukuta wa Babeli utaanguka.

Jeremiah 51:45-46

Bwana aliwaambia watu wake walioko Babeli wafanye nini?

Aliwaambia wakimbie ili kuokoa maisha yao kutokana na maafa yatakayoikuta nchi.

Bwana aliwaambia watu wake walioko Babeli wafanye nini?

Aliwaambia wakimbie ili kuokoa maisha yao kutokana na maafa yatakayoikuta nchi.

Jeremiah 51:47-49

Nini kitatokea na kufanya mbingu na nchi vishangilie?

Mbingu na nchi vitashangilia kwa sababu Babeli itaharibiwa na jeshi la kaskazini.

Nini kitatokea na kufanya mbingu na nchi vishangilie?

Mbingu na nchi vitashangilia kwa sababu Babeli itaharibiwa na jeshi la kaskazini.

Jeremiah 51:50-51

Yeremia aliwaambia Waisraeli wafanye nini?

Walitakiwa watoke Babeli, warudi Yerusalemu na wamrudie Bwana.

Waisraeli walisikia nini kuhusu nyumba ya Bwana?

Walisikia kuwa wageni waliingia mahali patakatifu pa nyumba ya Bwana.

Jeremiah 51:52-53

Bwana aliwaambia watu kuwa atafanya nini?

Aliwaambia kuwa atatuma jeshi kuiangamiza Babeli.

Bwana aliwaambia watu kuwa atafanya nini?

Aliwaambia kuwa atatuma jeshi kuiangamiza Babeli.

Jeremiah 51:54-56

Watu watasikia nini toka Babeli?

Watasikia sauti za maombolezo Bwana anapoiharibu Babeli.

Watu watasikia nini toka Babeli?

Watasikia sauti za maombolezo Bwana anapoiharibu Babeli.

Jeremiah 51:57-58

Nini kitatokea kwa mataifa yatakayofanya kwa ajili ya Babeli?

Hawatakuwa na msaada wowote.

Jeremiah 51:59-60

Nani alikuwa kiongozi mkuu wa mfalme Sedekia?

Seraya alikuwa kiongozi mkuu.

Yeremia aliandika nini katika kitabu?

Yeremia aliandika mapigo yote ambayo yataipata Babeli.

Jeremiah 51:61-62

Yapi yalikuwa maelezo ya Yeremia kwa Seraya?

Yeremia alimwambia Seraya kuwa akifika Babeli anatakiwa asome maneno yote yaliyo katika kitabu, afunge jiwe na kutupa katika mto Frati.

Nini kiliandikwa katika kitabu?

Bwana alisema kuwa Babeli itaangamizwa na nchi itakuwa ukiwa.

Jeremiah 51:63-64

Maelekezo ya Yeremia kwa Seraya yalikuwa ni nini?

Yeremia alimwambia Seraya kuwa akifika Babeli anapaswa kusoma maneno yote katika kitabu, kuyafunga katika jiwe na kuyatupa katika mto Frati.

Kwa nini Seraya alitakiwa kutupa kitabu katika mto?

Akitupa kitabu katika mto watu wataelewa kuwa Babeli itazama kama kitabu kwa sababu ya mapigo atakayoyatuma Bwana.

Kwa nini Seraya alitakiwa kutupa kitabu katika mto?

Akitupa kitabu katika mto watu wataelewa kuwa Babeli itazama kama kitabu kwa sababu ya mapigo atakayoyatuma Bwana.

Jeremiah 52

Jeremiah 52:1-3

Sedekia alikuwa mfalme wa aina gani?

Sedekia alikuwa mfalme mbaya kama Yehoyakimu.

Sedekia alikuwa mfalme wa aina gani?

Sedekia alikuwa mfalme mbaya kama Yehoyakimu.

Jeremiah 52:4-5

Mfalme Nebukadreza alifanya nini alipokaribia Yerusalemu?

Aliweka kambi pambeni ya mji na kuuvamia mji kwa miaka miwili.

Mfalme Nebukadreza alifanya nini alipokaribia Yerusalemu?

Aliweka kambi pambeni ya mji na kuuvamia mji kwa miaka miwili.

Jeremiah 52:6-8

Wakaldayo walimkamata wapi Sedekia na watu wake?

Waliwakamata katika nchi tambarare ya Yordani karibu na mto Yeriko.

Wakaldayo walimkamata wapi Sedekia na watu wake?

Waliwakamata katika nchi tambarare ya Yordani karibu na mto Yeriko.

Jeremiah 52:9-11

Mfalme wa Babeli alimfanyia nini Sedekia na watoto wake?

Mfalme aliwaua watoto wa Sedekia mbele ya macho yake na atampofusha Sedekia, akamfunga minyororo na kumpeleka Babeli.

Mfalme wa Babeli alimfanyia nini Sedekia na watoto wake?

Mfalme aliwaua watoto wa Sedekia mbele ya macho yake na atampofusha Sedekia, akamfunga minyororo na kumpeleka Babeli.

Jeremiah 52:12-14

Nebukadreza alifanya nini Yerusalemu?

Alichoma moto nyumba ya Bwana, nyumba ya mfalme, nyumba zote na majengo muhimu na akateketeza kuta zinazozunguka Yerusalemu.

Nebukadreza alifanya nini Yerusalemu?

Alichoma moto nyumba ya Bwana, nyumba ya mfalme, nyumba zote na majengo muhimu na akateketeza kuta zinazozunguka Yerusalemu.

Jeremiah 52:15-16

Nebukadreza aliwafanya nini watu masikini wa Yerusalemu?

Baadhi aliwapeleka mateka na akawaacha baadhi yao kufanya kazi katika mizabibu.

Nebukadreza aliwafanya nini watu masikini wa Yerusalemu?

Baadhi aliwapeleka mateka na akawaacha baadhi yao kufanya kazi katika mizabibu.

Jeremiah 52:17-23

Nini kilitokea kwenye shaba, dhahabu na fedha?

Wakaldayo walizichukua.

Nini kilitokea kwenye shaba, dhahabu na fedha?

Wakaldayo walizichukua.

Jeremiah 52:24-25

Nebukadreza alimfanya nini Sefania na wakuu wengine wa mji?

Aliwaweka gerezani.

Nebukadreza alimfanya nini Sefania na wakuu wengine wa mji?

Aliwaweka gerezani.

Jeremiah 52:26-27

Mfalme wa Babeli aliwafanya nini wafungwa aliopelekewa na Nebukadreza?

Aliwaua.

Mfalme wa Babeli aliwafanya nini wafungwa aliopelekewa na Nebukadreza?

Aliwaua.

Jeremiah 52:28-30

Wayahudi wangapi walichukuliwa mateka?

Wayahudi 4,600 walichukuliwa mateka toka Yerusalemu.

Wayahudi wangapi walichukuliwa mateka?

Wayahudi 4,600 walichukuliwa mateka toka Yerusalemu.

Jeremiah 52:31

Nani alimtoa Yehoyakini mfalme wa Yuda gerezani?

Evil-morodaki mfalme wa Babeli alimtoa Gerezani.

Jeremiah 52:32-34

Evil-merodaki alimtendea nini Yehiyakini alipotolewa gerezani?

Alizungumza nae vizuri na akampa kiti cha heshima. Aliyaondoa mavazi ya gerezani ya Yehoyakini na kumfanya ale katika meza yake na kumpa chakula siku zote za maisha yake.

Evil-merodaki alimtendea nini Yehiyakini alipotolewa gerezani?

Alizungumza nae vizuri na akampa kiti cha heshima. Aliyaondoa mavazi ya gerezani ya Yehoyakini na kumfanya ale katika meza yake na kumpa chakula siku zote za maisha yake.