Kiswahili: translationQuestions

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

Matthew

Matthew 1

Matthew 1:1-14

Katika ukoo wa Yesu Kristo, ni mababu wapi wameorodheshwa wa kwanza, kuonesha umuhimu wao?

Mababu wawili walioorodheshwa wa kwanza ni Daudi na Ibrahimu.

Matthew 1:15-17

Mwishoni mwa orodha ya uzao, mke gani aliyetajwa na kwa nini ametajwa?

Mariam, mke wa Yusufu ametajwa, kwasababu yeye ndiye alimzaa yesu.

Matthew 1:18-19

Nini kilitokea kwa Mariamu kabla hajawa pamoja na Yusufu?

Mariamu alipata mimba kwa Roho Mtakatifu kabla hajawa pamoja na Yusufu.

Yusufu alikuwa mtu wa namna gani?

Yusufu alikuwa mtu wa haki.

Yusufu aliamua kufanya nini alipogundua kuwa Mariamu alikuwa na mimba?

Yusufu aliamua kuvunja uchumba na Mariamu kwa siri.

Matthew 1:20-21

Nini kilitokea kwa Yusufu kilichomfanya kubaki mchumba wa Mariamu?

Malaika alimwambia Yusufu katika ndoto kumchukua Mariamu kama mke wake kwa sababu mtoto alichukuliwa mimba kwa Roho Mtakatifu.

Kwa nini Yusufu aliambiwa mtoto amwite jina Yesu?

Yusufu aliambiwa amwite mtoto Yesu kwa sababau atawaokoa watu wake na dhambi zao.

Matthew 1:22-23

Nini ambacho unabii wa Agano la Kale ulisema kilitimia katika matukio haya?

Unabii wa Agano la Kale ulisema kuwa bikira atazaa mtoto wa kiume, na kwamba watamwita jina lake Emanueli, ambalo maana yake "Mungu pamoja nasi".

Matthew 1:24-25

Jambo gani ambalo Yusufu alikuwa mwangalifu asilifanye hadi pale Mariamu alipomzaa Yesu?

Yusufu alikuwa mwangalifu kulala na Mariamu hadi pale alipomzaa Yesu.

Matthew 2

Matthew 2:1-3

Yesu alizaliwa wapi?

Yesu alizaliwa Bethlehemu ya Uyahudi.

Wenye hekima(mamajusi) kutoka mashariki walimpa cheo gani Yesu?

Wenye hekima(mamajusi) kutoka mashariki walimpa Yesu cheo cha " Mfalme wa Wayahudi"

Wenye hekima(mamajusi) walifahamje kwamba Mfalme wa Wayahudi alikuwa amezaliwa?

Wenye hekima(mamajusi) walikuwa wameona nyota ya Mfalme wa Wayahudi huko mashariki.

Mfalme Herode alikuwa na mwitikio gani juu ya habari kutoka kwa Wenye hekima(mamajusi)?

Mfalme Herode aliposikia habari kutoka kwa Wenye hekima(mamajusi), alifadhaika.

Matthew 2:4-8

Wakuu wa makuhani na waandishi walifahamuje sehemu ambako Yesu angezaliwa?

Walifahamu juu ya unabii uliosema Kristo angezaliwa katika Bethelehemu.

Wakuu wa makuhani na waandishi walifahamuje sehemu ambako Yesu angezaliwa?

Walifahamu juu ya unabii uliosema Kristo angezaliwa katika Bethelehemu.

Matthew 2:9-10

Mamajusi waliwezaje kupata mahali penyewe Yesu alipozaliwa?

Nyota kutoka mashariki iliwatangulia hadi ilisimama juu mahali alipozaliwa Yesu.

Matthew 2:11-12

Yesu alikuwa wa umri gani wakati mamajusi walipo kuja kumwona?

Yesu alikuwa mtoto mdogo wakati mamajusi walipo kuja kumwona.

Mamajusi walitoa zawadi gani kwa Yesu?

Mamajusi walitoa zawadi ya dhahabu, manemane na uvumba kwa Yesu.

Mamajusi walirudi nyumbani kwa njia gani na kwanini walirudi kwa njia hii?

Mamajusi walirudi nyumbani kwa njia nyingine kwa sababu Mungu aliwaonya katika ndoto kwamba wasirudi kwa Herode.

Matthew 2:13-15

Ni maelekezo gani Yusufu aliyapokea katika ndoto?

Yusufu alielekezwa katika ndoto kumchukua Yesu na Mariamu na kukimbilia Misri, kwa sababu Herode alikuwa anaelekea kujaribu kumuua Yesu.

Ni unabii gani ulitimia baadaye Yesu aliporudi kutoka Misri?

Unabii wa " kutoka Misri nimemwita mwangu" ulitimizwa wakati Yesu aliporudi kutoka Misri?

Matthew 2:16-18

Herode alifanya nini wakati mamajusi walipoacha kurudi kwake?

Herode aliwaua watoto wote wa kiume katika mkoa wa Bethlehemu waliokuwa wa umri wa miaka miwili au chini yake.

Matthew 2:19-21

Ni maelekezo gani Yusufu aliyapokea katika ndoto baada ya Herode kufa?

Yusufu alielekezwa katika ndoto kurudi katika nchi ya Israeli.

Ni maelekezo gani Yusufu aliyapokea katika ndoto baada ya Herode kufa?

Yusufu alielekezwa katika ndoto kurudi katika nchi ya Israeli.

Matthew 2:22-23

Yusufu alifanya makazi wapi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu?

Yusufu alifanya makazi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu Nazareti ya Galilaya.

Yusufu alifanya makazi wapi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu?

Yusufu alifanya makazi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu Nazareti ya Galilaya.

Ni unabii gani ulitimia wakati Yusufu alipohamia kwenya makazi yao mapya?

Unabii kuwa Kristo ataitwa Mnazorayo ulitimizwa.

Matthew 3

Matthew 3:1-3

Yohana mbatiza alihubiri ujumbe gani nyikani?

Yohana alihubiri "Tubuni kwa maana ufalme wa mbinguni u karibu".

Unabii wa Isaya ulisema Yohana mbatizaji angelikuja kufanya?

Unabii ulisema kuwa Yohana Mbatizaji angetayarisha njia ya Bwana.

Matthew 3:4-6

Watu walifanya nini baada ya kuwa wamebatizwa na Yohana?

Walipokwisha kubatizwa, watu walitubu dhambi zao.

Matthew 3:7-9

Yohana mbatizaji aliwaambia nini Masadukayo na Mafarisayo?

Yohana mbatizaji aliwaambia Masadukayo na Mafarisayo wazae matunda kulingana na toba.

Yohana mbatizaji aliwaonya Masadukayo na Mafarisayo wasifikiri jambo gani miongoni mwao?

Yohana mbatizaji aliwaonya Masadukayo na Mafarisayo wasifikiri miongoni mwao kuwa wanaye Ibrahimu kama baba yao.

Matthew 3:10-12

Kwa mujibu wa Yohana, hutokea nini kwa kila mti usiozaa matunda mazuri?

Yohana anasema kwamba kila mti usiozaa matunda mazuri hukutwa na kuanguka chini na kutupwa motoni.

Aliyekuwa anakuja baada ya Yohana angebatiza kwa namna gani?

Aliyekuwa anakuja baada ya Yohana angebatiza kwa Roho Mtakatifu na moto.

Matthew 3:13-15

Yesu alimwambia nini Yohana kichomshawishi ambatize?

Yesu alimwambia kwamba ilikuwa haki kwa Yohana kumbatiza Yesu ili kutimiza haki yote.

Matthew 3:16-17

Yesu aliona nini alipotoka majini?

Alipotoka majini, Yesu alimwona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kuwa juu yake.

Sauti kutoka mbinguni ilisema nini baada ya Yesu kubatizwa?

Sauti kutoka mbinguni ilisema, "huyu ni Mwanangu mpendwa, ninayependezwa naye".

Matthew 4

Matthew 4:1-4

Nani alimwongoza Yesu kwenda nyikani kujaribiwa na mwovu?

Roho Mtakatifu alimwongoza Yesu kwenda nyikani kujaribiwa na mwovu.

Yesu alifunga kwa muda gani huko nyikani?

Yesu alifunga siku arobaini mchana na usiku huko nyikani.

Jaribu gani la kwanza alilotoa mwovu kwa Yesu?

Mwovu alimjaribu Yesu kugeuza jiwe liwe mkate.

Jibu la Yesu lilikuwaje katika jaribu la kwanza?

Yesu alisema kwamba mtu hataishi kwa mkate peke yake, bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu.

Matthew 4:5-6

Ni jaribu gani la pili ambalo mwovu alilitoa kwa Yesu?

Mwovu alimjaribu Yesu kujitupa mwenyewe chini kutoka kwenye hekalu.

Ni jaribu gani la pili ambalo mwovu alilitoa kwa Yesu?

Mwovu alimjaribu Yesu kujitupa mwenyewe chini kutoka kwenye hekalu.

Matthew 4:7-9

Jibu la Yesu lilikuwa nini kwa jaribu la pili?

Yesu alisema kwamba usimjaribu Bwana Mungu wako.

Jaribu gani la tatu alilotoa mwovu kwa Yesu?

Mwovu alimjaribu Yesu kumwabudu ili ampe falme zote za ulimwengu.

Matthew 4:10-13

Jibu la Yesu lilikuwa nini kwa jaribu la tatu?

Yesu alisema kwamba yakupasa kumwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.

Matthew 4:14-16

Jambo gani lilitizwa Yesu alipokwenda Kaperanaumu ya Galilaya?

Unabii wa Isaya ulitimizwa ambao uliosema kwmba watu wa Galilaya wangeona mwanga mkuu.

Matthew 4:17

Ni ujumbe gani hivyo Yesu alianza kuhubiri?

Yesu alihubiri, "tubuni, kwa kuwa ufalme wa mbinguni umekaribia."

Matthew 4:18-20

Petro na Andrea waliishi kwa njia gani?

Petro na Andrea walikuwa wavuvi.

Yesu aliwaambia Petro na Andrea atawafanya kuwa nani?

Yesu aliwaambia Petro na Andrea atawafanya kuwa wavuvi wa watu.

Matthew 4:21-22

Yakobo na Yohana waliishi kwa namna gani?

Yakobo na Yohana walikuwa wavuvi.

Matthew 4:23-25

Kwa wakati huu Yesu alienda wapi kufundisha?

Yesu alifundisha katika masinagogi ya Galilaya.

Watu gani waliletwa kwa kwa Yesu na Yesu aliwafanyia nini?

Wote waliokuwa wagonjwa na kupagawa na mapepo waliletwa kwa Yesu na Yesu aliwaponya.

Watu wangapi walikuwa wanafuatana na Yesu kwa kipindi hiki?

Umati makubwa ulikuwa ulikuwa ukimfuata Yesu kwa wakati huu.

Matthew 5

Matthew 5:1-4

Kwa nini walio masikini wa roho wamebarikiwa?

Walio masikini wa roho wamebarikiwa kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.

Kwa nini wanohuzunika sasa wamebarikiwa?

Wale ambao wanahuzunika wamebarikiwa kwa sababu watafarijiwa.

Matthew 5:5-10

Kwa nini wanyenyekevu wamebarikiwa?

Wanyenyekevu wamebarikiwa kwa sababu watarithi nchi.

kwa nini wenye kiu na njaa ya haki wamebarikiwa?

Wenye kiu na njaa ya haki wamebarikiwa kwa sababu watashibishwa.

Matthew 5:11-14

Kwa nini wale ambao wanatukanwa na kuteswa kwa ajili ya Yesu wamebarikiwa?

Wale ambao wanatukanwa na kuteswa kwa ajili ya Yesu wamebarikiwa kwa sababu thawabu yao mbinguni ni kubwa.

Matthew 5:15-16

Nuru ya waumini huangazaje mbele ya watu?

Nuru ya waumini huangaza mbele ya watu kwa kufanya matendo mema.

Matthew 5:17-18

Yesu alikuja kufanya nini na sheria na manabii wa Agano la Kale?

Yesu alikuja kutimiza sheria na manabii wa Agano la Kale.

Matthew 5:19-20

Nani ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni?

Wale ambao wazishikao amri na kuzifundisha kwa wengine wataitwa wakubwa katika ufalme wa mbinguni.

Matthew 5:21-22

Yesu alifundisha kwamba si tu wale ambao wanaua wako katika hatari ya hukumu, bali pia ambao hufanya nini?

Yesu alifundisha kwamba si tu wale ambao wanaua, bali pia wale wanaowachukia ndugu zao wako katika hatari ya hukumu.

Matthew 5:23-24

Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini kama ndugu yetu ana jambo lolote dhidi yetu?

Yesu alifundisha kwamba tunapaswa kumwendea na kupatanishwa na ndugu yetu kama ana jambo lolote dhidi yetu.

Matthew 5:25-26

Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini na mshtaki wetu kabla ya kufika mahakamani?

Yesu alifundisha kwamba tunapaswa kukubaliana na mshtaki wetu kabla ya kufika mahakamani.

Matthew 5:27-28

Yesu alifundisha kwamba haikuwa tu sahihi kuzini, bali pia kufanya nini?

Yesu alifundisha kuwa haikuwa tu sahhi kuzini, bali pia kumtamani mwanamke.

Matthew 5:29-30

Yesu alisema yatulazimu kufanya nini na kitu chochote ambacho hutusababisha kutenda dhambi?

Yesu alisema kwamba yatulazimu kukiondoa kitu chochote kile kinacho tusababisha kutenda dhambi.

Matthew 5:31-32

Kwa swala gani Yesu aliruhusu talaka?

Kwa swala la zinaa aliruhusu talaka.

Mume akimwacha mke wake isivyo sitahili na kuolewa tena anamsababisha kuwa?

Mume anamsababisha mke wake kuwa mzinzi kama atamwacha isivyo sitahili na kuolewa tena.

Matthew 5:33-35

Yesu anasema tunapaswa kufanya nini badala ya kuapa viapo kwa mbingu, kwa nchi, kwa Yerusalemu, au kwa kichwa?

Yesu anasema kwamba badala ya kuapa viapo kwa vitu hivi vyote tunapaswa kusema ndio kuwa ni ndio au hapana kuwa ni hapana.

Matthew 5:36-37

Badala ya kuapa kwa vitu mbalimbali vya kidunia Yesu anasema maneno yetu yawe ya namna gani?

Yesu anasema badala ya kuapa kwa vitu tunapaswa maneno yetu yawe "Ndiyo, ndiyo" au "Hapana, hapana"

Matthew 5:38-42

Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini na yule aliye mbaya kwetu?

Yesu alifundisha kwamba hatupaswi kumpinga yule ambaye ni mbaya kwetu.

Matthew 5:43-45

Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini na maadui wetu na wale ambao wanatutesa?

Yesu alifundisha kwamba tunapaswa kuwapenda na kuwaombea maadui wetu na wale wanao tutesa.

Matthew 5:46-48

Kwa nini Yesu alisema haitulazimu kuwapenda tu wale ambao wanatupenda sisi, bali pia kuwapenda maadui wetu?

Yesu lisema kwamba kama tunawapenda tu wale ambao wanatupenda sisi, hatupokei thawabu kwa sababu tunafanya tu kile Wamataifa tayari wanafanya.

Matthew 6

Matthew 6:1-2

Thawabu yao ni nini wale wanaofanya matendo ya haki ili watazamwe na watu?

Wale wanaofanya matendo ya haki ili watazamwe na watu wanapokea sifa kutoka kwa watu kama thawabu yao.

Matthew 6:3-4

Tufanye matendo ya haki kwa namna gani ili tupate thawabu toka kwa Baba?

Tuapaswa kufanya matendo yetu ya haki katika faragha.

Matthew 6:5-7

Thawabu gani wanapata wale wanaoomba kinafiki ili watu wawaone?

Wale wanaoomba kinafiki ili watu wawaone wanapokea thawabu yao kutoka kwa watu.

Wale wanaoomba katika faragha wanapokea thawabu toka kwa nani?

Wale waombao katika faragha wanapokea thawabu kutoka kwa Baba.

Kwa nini Yesu anasema tusiombe kwa kurudia maneno yasiyo na maana?

Yesu anasema tusiombe kwa kurudia maneno yasiyo na maana kwa sababu Baba anajua kitu gani tunahitaji hata kabla hatujamwomba yeye.

Matthew 6:8-13

Wapi tumwombe Baba ili mapenzi yake yafanyike?

Tumwombe Baba ili mapenzi yake yafanyike hapa duniani kama yanavyofanyika mbinguni.

Matthew 6:14-15

Kama hatutawasemehe wengine makosa yao, Baba yetu atafanya nini?

Kama hatutawasemehe wengine makosa yao, Baba yetu hatusamehe makosa yetu.

Matthew 6:16-18

Tufunge kwa njia gani ili tupate thawabu kutoka kwa Baba?

Tunapaswa kufunga bila kuonyesha watu kama tumefunga na ndipo Baba atatupatia thawabu.

Matthew 6:19-21

Tunapaswa kutunaza wapi hazina zetu na kwa sababu gani?

tunapaswa kutunza hazina zetu mbinguni kwa sababu haziwezi kuharibiwa au kuibiwa.

Nini kitakuwepo mahali pa hazina zetu?

Mioyo yetu itakuwepo mahali zilipo hazina zetu.

Matthew 6:22-24

Ni mabwana gani wawili tunaopaswa kuchagua mmoja kati yao?

Lazima tuchague kati ya Mungu na utajiri kama mabwana zetu.

Matthew 6:25-26

Kwa nini tusiwe na hofu kuhusu chakula,vinywaji na mavazi?

Hatupaswi kuwa na hofu kuhusu chakula,vinywaji na mavazi kwa vile Baba anawalinda na kuwatunza ndege, na nasi tuna thamani zaidi kuliko wao.

Matthew 6:27-31

Yesu anatukumbusha nini amabcho hatuwezi kufanya kwa kuwa na wasiwasi?

Yesu anatukumbusha sisi kwamba hatuwezi kuongeza kipimo kimoja cha maisha ya kuishi kwa kuwa na wasiwasi

Matthew 6:32-34

Kitu gani tunapaswa kutafuta kwanza na mahitaji yetu yote ya kimwili tutapatiwa?

Ni lazima tutafute kwanza ufalme na haki ya Baba na baada ya hapo mahitajiyetu yote ya mwilini tutapatiwa.

Matthew 7

Matthew 7:1-2

Nini cha lazima cha kufanya kwanza kabla yya kuona vizuri na kuwasaidia ndugu?

Ni lazima kwanza kujihukumu wenyewe na kutoa gogo kwenye macho yako kabla ya kusaidia ndugu zetu.

Matthew 7:3-5

Tunapaswa kufanya nini kwanza kabla yakutaka kumsaidia ndugu yetu?

Tunapaswa kwanza kujihukumu wenyewe na kuondoa gogo kutoka kwenye macho yetu ndipo tuweze kumsaidia ndugu yetu.

Matthew 7:6

Nini kitatokea endapo utawapa kitu kitakatifu mbwa?

Endapo utawapa kitu kitakatifu mbwa, watakivuruga hicho na tena kukugeukia na kukularua vipande.

Matthew 7:7-10

Tunapaswa kufanya nini ili tupokee kutoka kwa Baba?

Lazima tuombe, tutafute na kubisha ili kupokea kutoka kwa Baba.

Matthew 7:11-12

Mungu anawapa nini kwa wale wanaomwomba yeye?

Mungu anawapa vitu wale wanaomwomba.

Sheria na manabii inatufundisha nini juu ya matendo yetu kwa wengine?

Sheria na manabii inatufundisha kuwatendea wengine matendo ambayo nasisi tunapenda watu tutendewe

Matthew 7:13-14

Njia pana inaongoza kwenda wapi?

Njia pana inaongoza kwenye uharibifu

Matthew 7:15-20

Tunawezaje kuwatambua manabii wa uongo?

Tunaweza kuwatambua manabii wa uongo kwa matunda ya maisha yao.

Matthew 7:21-23

Nani ataingia katika ufalme wa mbinguni?

Wale wanaofanya mapenzi ya Baba wataingia katika ufalme wa mbinguni.

Yesu atawaambia nini wengi ambao walitoa utabiri, kufukuza pepo na kufanya miujiza kwa jina la Yesu?

Yesu atawaambia " sikuwatambua ninyi! Ondokeni kwangu , ninyi watenda mabaya"!

Matthew 7:24-25

Nani ni kama mtu mwenye hekima katika mfano waYesu wa nyumba mbili?

Yule anayesikia maneno ya Yesu na kuyatii ni kama mtu mwenye hekima.

Matthew 7:26-27

Nani ni kama mtu mpumbavu katika mfano wa Yesu wa nyumba mbili?

Yule anayesikia maneno ya Yesu na asiyatii ni kama mtu mpumbavu.

Matthew 7:28-29

Yesu aliwafundishaje watu ikilinganishwa na waandishi walivyofundisha?

Yesu aliwafundihsa watu kama mtu mwenye mamlaka , si kama waandishi.

Matthew 8

Matthew 8:4

Kwa nini Yesu alimwambia aliyeponywa ukoma aende kwa kuhani na kutoa zawadi ambayo Musa aliagiza?

Yesu alimwambia mkoma aliyeponywa kwenda kwa kuhani kwa ushuhuda wao.

Matthew 8:5-7

Yesu alisema atafanya nini alipoambiwa na Jemedari kuhusu mtumishi wake aliyepooza?

Yesu alisema angeenda kwenye nyumba ya jemedari na kumponya mtumishi wake.

Matthew 8:8-10

Kwa nini jemedari alisema kwamba Yesu hakuwa na sababu ya kwenda nyumbani kwake?

Jemedari alisema kwamba yeye hanakuwa na thamani kwa Yesu kuingia katika nyumba yake na kwamba Yesu angeweza kusema neno tu na kumponya mtumishi.

Yesu alitoa sifa gani kwa jemedari?

Yesu alisema kwamba hata katika Israeli hajawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama jemedari.

Matthew 8:11-13

Yesu alisema nani atakuja na kuketi katika meza katika ufalme wa Mbinguni?

Yesu alisema kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi na kuketi katika meza katika ufalme wa Mungu.

Yesu alisema nani watatupwa katika giza la nje ambapo kuna kilio na kusaga meno?

Yesu alisema kuwa wana wa ufalme wangetupwa katika giza la nje.

Matthew 8:14-15

Yesu alimponya nani alipoingia katika nyumba ya Petro?

Yesu alimponya mama mkwe wa Petro alipoingia kwenye nyumba ya Petro.

Matthew 8:16-17

Ni unabii gani kutoka kwa Isaya ulitimia pale Yesu alipowaponya wote waliopagawa na mapepo na wagonjwa?

Unabii wa Isaya,"Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu" ulitimia.

Matthew 8:18-20

Yesu alisema alikuwa anaishi kwa njia gani pale mwandishi alipomwomba amfuate?

Yesu alisema hakuwa na nyumba ya kudumu.

Matthew 8:21-22

Kipindi mwanafunzi anaomba kwenda kumzika baba yake kabla ya kumfuata yesu, Yesu alimwambia nini?

Yesu alimwambia mwanafunzi kumfuata yeye na kuacha wafu kuzika wafu wenzao

Matthew 8:23-25

Yesu alikuwa anafanya nini kwenye mtumbwi yalipotokea dhoruba baharini?

Yesu alikuwa amelala wakati dhiruba kuu inatokea juu ya bahari.

Matthew 8:26-27

Kipindi wanafunzi wanamwamsha Yesu kwa sababu waliogopa kuangamia, Yesu alisema nini kwao?

Yesu aliwaambia wanafunzi, "Kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo"?

Kwa nini wanafunzi walimshangaa Yesu baada ya kuwa na utulivu?

Wanafunzi walimshangaa Yesu kwa sababu upepo na bahari vilimtii.

Matthew 8:28-29

Mtu wa aina gani Yesu alikutana naye wakati alipokuja kwenye nchi ya Wagerasi

Yesu alikutana na watu wawili waliopagawa na pepo ambao walikuwa wasumbufu

Pepo walioonge nini kupitia yule mtu kwa Yesu?

Pepo waliongea kuhusu kuja kwa Yesu kuwatesa kabla ya wakati kufika.

Matthew 8:30-32

Nini kilitokea wakati Yesu alipofukuza pepo?

Wakati Yesu alipowafukuza pepo, waliingia katika kundi la nguruwe na wale nguruwe wakakimbilia majini na kuangamia.

Matthew 8:33-34

Watu walimsihi Yesu afanye nini walipotoka mjini kuja kuonana naye?

Watu walimsihi Yesu aondoke katika mkoa wao.

Matthew 9

Matthew 9:3-6

Kwa nini baadhi ya walimu wa sheria walifikiri kwamba Yesu alimkufuru Mungu?

Baadhi ya walimu wa sheria walifikiri kwamba Yesu alimkufuru Mungu kwa sababu Yesu alimwambia mtu aliyepooza kwamba dhambi zako zimesamehewa.

Kwa nini Yesu alikuwa amemwambia aliyepooza kwamba dhambi zako zimesamehewa badala ya kumwambia simama na utembee?

Yesu alimwambia aliyepooza dhambi zako zimesamehewa ili kuonyesha kuwa anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi.

Matthew 9:7-9

Kwa nini watu walimsifu Mungu walipoona mtu aliyepooza amesamehewa dhambi na kuponywa?

Walishangaa na kumsifu Mungu aliyewapa mamlaka kama hayo kwa watu.

Mathayo alikuwa na kazi gani kabla ya kumfuata Yesu?

Mathayo alikuwa mtoza ushuru kabla ya kumfuata Yesu.

Matthew 9:10-11

Yesu pamoja na wanafunzi wake walikula na nani?

Yesu na wanafunzi wake walikula pamoja na watoza ushuru na watu wenye dhambi.

Matthew 9:12-13

Yesu alisema ni akina nani alikuja kuwaita ili watubu?

Yesu alisema alikuja kuwaita mwenye dhambi ili watubu

Matthew 9:14-19

Yesu alisema ni kwa nini wanafunzi wake walikuwa hawafungi?

Yesu alisema wanafunzi wake walikuwa hawafungi kwa sababu awakuwa bado yupo pamoja nao.

Ni wakati gani Yesu alisema wanafunzi wake wangeweza kufunga?

Yesu alisema wangeweza kufunga wakati atakapokuwa amechukuliwa kutoka kwao.

Matthew 9:20-22

Mwanamke aliyetokwa na damu kwa wingi alifanya nini na kwa nini?

Mwanamke aliyetokwa na damu kwa wingi aligusa sehemu la nguo ya Yesu akifikiri kwamba endapo atagusa nguo yake tu, atapata uponya na kuwa mzima.

Yesu alisema kitu gani kilimponya mwanamke mwenye kutokwa damu kwa wingi?

Yesu alisema mwanamke mwenye kutokwa damu nyingi alinywa kwa imani yake.

Matthew 9:23-24

Kwa nini watu walimcheka Yesu alipoingia kwenye nyumba ya afisa wa kiyahudi?

Watu walimcheka Yesu kwa sababu alisema binti alikuwa hajafa bali amelala.

Matthew 9:25-26

Nini kilitikea baada ya Yesu kumfufua binti?

Habari kuhusu Yesu kumfufua binti zilienea katika mji wote.

Matthew 9:27-28

Wale vipofu wawili walipiga kelele gani kwa Yesu?

Vipofu wawili waliendelea kupiga kelele, "utuhurumie sisi, mwana wa Daudi

Matthew 9:29-31

Yesu aliwaponya vipofu wawili kutokana na nini?

Yesu aliwaponya vipofu wawili kutokana na imani yao.

Matthew 9:32-34

Baada ya Yesu kumponya bubu, Mafarisayo walitoa shutuma gani dhidi yake?

Mafarisayo walimshutumu Yesu kuwa alitoa mapepo kwa nguvu ya mkuu wa mapepo?

Matthew 9:35-36

Kwa nini Yesu aliuhurumia umati?

Yesu aliwaonea huruma umati kwa sababu kwa sababu walisumbuka na kuvunjika moyo, na walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.

Matthew 9:37-38

Yesu aliwaambia wanafunzi wake ni muhimu waombee nini?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake ni muhimu waombe kwamba Bwana wa mavuno atume wafanyakazi katika mavuno.

Matthew 10

Matthew 10:1

Mamlaka gani Yesu aliwapa wanafunzi wake kumi na wawili?

Yesu aliwapa wanafunzi wake kumi na wawili mamlaka ya kutoa pepo wachafu, na kuponya magonjwa ya kila namna.

Matthew 10:2-4

Ni jina gani la mwanafunzi ambaye angemsaliti Yesu?

Jina la mwanafunzi ambaye angemsaliti Yesu alikuwa Yuda Iskariote.

Matthew 10:5-7

Yesu aliwatuma wapi wanafunzi wake kwa wakati huu?

Yesu aliwatuma wanafunzi wake kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli tu.

Matthew 10:8-10

Wanafunzi walipaswa kubeba pesa yoyote au mavazi ya ziada?

Hapana, wanafunzi hawakupaswa kubeba pesa yoyote au mavazi ya ziada.

Matthew 10:11-13

Wanafunzi wa Yesu walipaswa kukaa wapi walipokwenda kijiji kwa kijiji?

Wanafunzi walipasa kutafuta mtu ambaye ni anayestahili katika kijiji na kukaa mpaka walipoondoka.

Matthew 10:14-15

Kutakuwa na hukumu gani katika miji ambayo haikuwakaribisha wanafunzi au kuwasikiliza maneno yao?

Hukumu katika miji ambayo haikuwapokea wanafunzi au kusikiliza maneno yao itakuwa mbaya zaidi kuliko hukumu ya Sodoma na Gomora.

Matthew 10:16-18

Yesu alisema watu wangeliwatendea nini wanafunzi?

Yesu alisema watu wangewapeleka wanafunzi kwenye mabaraza, watawapiga na kuwapeleka mbele ya wakuu na wafalme.

Matthew 10:19-20

Nani ataongea ndani ya wanafunzi watakapokuwa wamekamatwa?

Roho wa Baba ataongea ndani ya wanafunzi watakapokuwa wamekamatwa

Matthew 10:21-23

Yesu alisema ni kina nani hatimaye wataokolewa?

Yesu alisema wataokolewa wale watakaovumilia hadi mwisho.

Matthew 10:24-27

Kwa namna gani wale waliomchukia Yesu wangewatendea wanafunzi wa Yesu?

Wale waliomchukia Yesu pia wangewachukia wanafunzi wake.

Matthew 10:28-31

Je ni nani Yesu alisema tusiwaogope?

Tusiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho.

Je ni nani Yesu alisema tumwogope?

Tunapaswa kumwogopa yeye awezaye kuangamiza mwili na roho katika jehanamu

Matthew 10:32-33

Je Yesu atafanya nini kwa kila mtu anaye mkiri mbele za watu?

Yesu atamkiri yeye mbele za Baba yake wa mbinguni

Je Yesu atafanya nini kwa kila mtu anaye mkana mbele za watu?

Yesu pia atamkana mtu huyo mbele Baba wa mbinguni

Matthew 10:34-36

Ni migawanyiko ya aina gani Yesu alisema alikuja kuileta?

Yesu alisema kwamba alikuja kuleta mgawanyiko hata ndani ya familia.

Matthew 10:37-41

Mtu anayepoteza maisha yake kwa ajili ya Yesu atapata nini?

Mtu anayepoteza maisha yake kwa ajili ya Yesu atayapata maisha yake.

Matthew 10:42

Nini atakachopokea yule anaye toa hata kikombe cha maji baridi kwa mwanafunzi asiye na umuhimu ?

Mtu ambaye humpatia hata kikombe cha maji baridi kwa mwanafunzi asiye na umuhimu atapokea zawadi yake.

Matthew 11

Matthew 11:1-3

Yesu alikamilisha jambo gani kabla ya kuondoka kwenda kufundisha na kuhubiri kwenye miji?

Kabla ya kuondoka Yesu akamilisha kuwapa maelekezo wanafunzi wake kumi na wawili.

Yohana Mbatizaji alituma ujumbe gani kwa Yesu?

Yohana Mbatizaji alituma ujumbe, "Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?"

Matthew 11:4-8

Yesu alisema kitu gani kilikuwa kinatokea kama ushahidi kwa yule ajaye?

Yesu alisema wagonjwa walikuwa wanaponywa, wafu wanafufufliwa, na wahitaji kuhubiriwa habari njema.

Yesu aliahidi nini kwa kwa wale wasiojikwaa dhidi yake?

Yesu aliahidi baraka kwa wale wasiojikwaa dhidi yake.

Matthew 11:9-12

Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa na wajibu gani katika maisha yake?

Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa ni mjumbe aliyetabiliwa ambaye angeandaa njia kabla ya kuja yule ajaye.

Matthew 11:13-17

Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa ni nani?

Yesu alisema kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa Eliya.

Matthew 11:18-19

Watu wa kizazi kile walisema nini kuhusu Yohana Mbatizaji aliyekuja hali mkate wala kunywa divai?

Watu wa kizazi kile walisema Yohana alikuwa na pepo

Watu wa kizazi kile walisema nini kuhusu Yesu aliyekuja akila na kunywa?

KWatu wa kizazi kile walisema mrafi na mlevi, na rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi.

Matthew 11:20-24

Yesu alitamka ninki kuhusu miji ambayo alifanya matendo makuu lakini bado walikuwa hawajatubu?

Yesu aliikemea miji ile ambayo alifanya matendo makuu lakini walikuwa bado hawajatubu.

Matthew 11:25-27

Yesu alimtukuza Baba kwa kumficha nani ufalme wa mbinguni?

Yesu alimtukuza Baba kwa kuwaficha wenye hekima na akili habari za ufalme wa mbinguni.

Yesu alimtukuza Baba kwa kumfunulia nani ufalme wa mbinguni?

Yesu alimtukuza Baba kwa kuwafunua habari za ufalme wa mbinguni wasio na elimu, na ambao wapo kama watoto wadogo

Yesu alisema ni nani anayemjua Baba?

Yesu alisema yeye ndiye anayemjua Baba na yeyote ambaye anapenda kumfunulia.

Matthew 11:28-30

Yesu aliahidi pumziko kwa nani?

Yesua aliahidi pumziko kwa wote wanaosumbuka na wenye mizigo mizito.

Matthew 12

Matthew 12:1-4

Wanafunzi wa Yesu walikuwa wanafanya nini walipolalamikiwa na mafarisayo?

Mafarisayo walilalamika kuwa wanafunzi wa Yesu walikuwa wakivunja na suke ya ngano na kula, jambo ambalo Mafarisayo waliamini halikuwa halali kufanyika siku ya sabato.

Matthew 12:5-6

Yesu alisema ni nani alikuwa mkuu kuliko hekalu?

Yesu alisema alikuwa mkuu kuliko hekalu.

Matthew 12:7-8

Yesu mwana wa Adamu anamamlaka gani?

Yesu, mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato

Matthew 12:9-10

Mafarisayo walimuuliza swali gani Yesu ndani ya sinagogi mbele ya mtu ya mwenye mkono uliopooza?

Mafarisayo walimuuliza Yesu "Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?"

Matthew 12:11-12

Yesu alisema ilikuwa halali kufanya nini siku ya sabato?

Yesu alisema likuwa ni halali kutenda mema siku ya Sabato.

Matthew 12:13-17

Mafarisayo walipoona Yesu amemponya mwenye mkono uliopooza walifanya nini?

Mafarisayo walitoka nje na na kupanga njama dhidi yake na kutafuta jinsi ya kumwangamiza.

Matthew 12:18

Katika unabii wa Isaya kuhusu Yesu, nani angesikia hukumu ya Mungu na kuwa na matumaini kwa Yesu?

Watu wa mataifa wangesikia hukumu ya Mungu na kumtumaini Yesu.

Matthew 12:19-25

Katika unabii wa Isaya kuhusu Yesu, jambo gani Yesu asingelifanya?

Yesu hatalia kwa nguvu, hatavunja tete lilichubuka, au kuuzima utambi unaotoa moshi.

Matthew 12:26-27

Yesu alisema nini juu ya tuhuma kwamba alitoa mapepo kwa nguvu ya Belizabuli?

Yesu alisema kuwa kama shetani anampinga Shetani, basi je ufalme wa Shatani utasimama?

Matthew 12:28-30

Yesu alisema jambo gani lilikuwa likitokea kama alikuwa anatoa pepo kwa Roho wa Mungu?

Yesu alisema kwamba ufalme wa Mungu umekuja juu yao kama alikuwa anatoa mapepo kwa Roho wa Mungu.

Matthew 12:31-32

Yesu alisema ni dhambi gani haina hatasamehewa?

Yesu alisema kufuru dhidi ya Roho haitasamehewa.

Matthew 12:33-35

Mtu hujulikana kwa namna gani?

Mtu hujulikana kwa matunda yake.

Matthew 12:36-37

Yesu alisema kwa jambo gani Mafarisayo wangepata hukumu na haki?

Yesu alisema kuwa Mafarisayo wangepata hukumu na haki kwa maneno yao.

Matthew 12:38-40

Yesu alisema ni ishara gani angetoa katika kizazi chache?

Yesu alisema katika kizazi chake angetoa ishara ya Yona, kuwa ndani ya moyo wa nchi kwa siku tatu mchana na usiku.

Matthew 12:41

Yesu alisema ni nani alikuwa mkuu kuliko Yona?

Yesu alisema Yeye alikuwa mkuu kuliko Yona.

Kwa nini watu wa Ninawi watawahukumu wa kizazi cha Yesu?

Watu wa Ninawi watakihukumu kizazi cha Yesu kwa sababu walisikia ujumbe wa Mungu kwa Yona lakini kizazi cha Yesu hakikusikiliza ujumbe wa Mwana wa Adamu ambaye ni mkuu kuliko Yona.

Matthew 12:42

Yesu alisema ni nani alikuwa mkuu kuliko Selemani?

Yesu alisema kuwa Yeye alikuwa mkuu kuliko Sulemani.

Matthew 12:43-47

Kizazi cha Yesu kitamwacha na kufanana na mtu mwenye pepo mchafu kwa namna gani?

Kizazi cha Yesu kitamwacha na kufanana na mtu mwenye roho mchafu kwa sababu roho mchafu hurudi na roho wachafu wengine saba na hali mwisho ya mtu huwa mbaya zaidi kuliko ya kwanza.

Matthew 12:48-50

Yesu alisema ni nani walikuwa ndugu zake na mama yake?

Yesu alisema wale wanaofanya mapenzi ya Baba ni ndugu zake na ni mama yake.

Matthew 13

Matthew 13:3-6

Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka kando ya njia?

Mbegu zilizoanguka kando ya njia zililiwa na ndege.

Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka juu ya mwamba?

Mbegu zilizoanguka juu ya mwamba ghafla zilichipuka lakini zilichomwa na jua na zilikauka.

Matthew 13:7-12

Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka katika miti yenye miiba?

wenye mbegu zilizoanguka katika miti yenye miiba zilisongwa na miti yenye miiba.

Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka katika udongo mzuri?

Mbegu zilizoanguka katika udongo mzuri zilizaa, zingine mar mia, zingine mara sitini na zingine thelathini.

Matthew 13:13-14

Unabii wa Isaya ulisema watu wangesikia lakini wasiweze kufanya nini?

Unabii wa Isaya ulisema watu wangesikia lakini wasiweze kuelewa na wangeona lakini wasiweze kutambua.

Matthew 13:15-17

Watu waliomsikia Yesu bila kumwelewa walikuwa na tatizo gani?

Watu waliomsikia Yesu wasiweze kumwelewa walikuwa na mioyo yenge giza na wagumu kusikia na walifumba macho yao.

Matthew 13:18-19

Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kando ya njia?

Mbegu iliyopandwa kando ya njia ni yule ambaye husikia neno la ufalme lakini na halielewi, ndipo mwovu huja na kukinyakua kilichokwisha kupandwa ndani ya moyo wake.

Matthew 13:20-21

Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kwenye ardhi yenye mwamba?

Mbegu iliyopandwa kwenye ardhi yenye mwamba ni yule asikiaye neno na kulipokea haraka kwa furaha, lakini hujikwaa ghafla wakati mateso yanapotokea.

Matthew 13:22-26

Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba?

Mbegu iliyopandwa kwenye miiba ni yule mtu anayesikia neno la Mungu, lakini masumbufu ya dunia na udanganyifu wa utajiri hulisonga neno.

Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri?

Mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu anayesikia neno la Mungu na kulielewa na kisha huzaa matunda.

Matthew 13:27-28

Katika mfano wa magugu ni nani aliyepanda magugu shambani?

Adui alipanda magugu katika shamba.

Matthew 13:29-30

Mwenye shamba aliwapa maelekezo gani watumishi juu ya ngano na magugu?

Mwenye shamba aliwaambia watumishi kuviacha vyote vikue pamoja hadi wakati wa mavuno, kisha kuyakusanya magugu na kuyachaoma na ngano kuikusanya kwenye ghala.

Matthew 13:31-32

Katika mfano wa Yesu juu ya mbegu ya haradari, nini kilitokea kwenye mbegu ndogo ya haradari?

Mbegu ya haradari ilistawi kuwa mti mkubwa kuliko mimea ya bustani hivyo ndege hujenga viota vyao katika matawi yake.

Matthew 13:33-35

Yesu alisema ni kwa jinsi gani ufalme wa mbinguni ni kama hamira?

Yesu alisema kuwa ufalme wa mbinguni ulikuwa kama hamira iliyochanganywa kwa vipimo vitatu vya unga hadi ilipoumuka.

Matthew 13:36-39

Katika mfano wa magugu, ni nani alipanda mbegu njema, shamba ni nini, mbegu njema ni nini, na ni nani aliyepanda magugu?

Aliyepanda mbegu ni mwana wa Adamu, shamba ni ulimwengu, mbegu njema ni wana wa ufalme, magugu ni wana wa yule mwovu, na aliyepanda magugu ni mwovu.

Katika mfano wa magugu wavunaji ni nani na mavuno yanawakilisha nini?

Wavunaji ni malaika, na mavuno ni mwisho wa ulimwengu.

Matthew 13:40-43

Mwisho wa dunia kitatokea kitu gani kwa watenda maasi?

Katika mwisho wa dunia wale wanaofanya maovu watatupwa katika tanuru ya moto.

Mwisho wa dunia kitatokea kitu gani kwa watenda haki?

Katika mwisho wa dunia watendao haki watang'aa kama jua.

Matthew 13:44-46

Katika mfano wa Yesu yule mtu alifanya nini ili kupata hazina kwenye shamba ambacho kinawakisha ufalme wa mbinguni?

Mtu aliyepata hazina aliuza kila kitu alichakuwa nacho na kununua lile shamba.

Katika mfano wa Yesu yule mtu alifanya nini ili kupata lulu ya thamani kuu inawakilisha ufalme wa mbinguni?

Mtu yule aliyepata lulu ya thamani kuu aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kuinunua.

Matthew 13:47-53

Namna gani mfano wa nyavu ya kuvulia samaki unafanaishwa na tukio la mwisho wa dunia?

Kama vile vitu vitu vibaya vilivyotengenishwa na vitu vizuri kutoka kwenye nyavu na vibaya vikatupwa, mwisho wa dunia watu waovu watatenganishwa kutoka miongoni mwa wenye haki na kutupwa katika tanuru ya moto.

Matthew 13:54-56

Watu wa mkoa wa Yesu waliuliza swali gani waliposikia habari za mafundisho ya Yesu?

Watu waliuliza, "Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza hii?

Matthew 13:57-58

Yesu alisema kitu gani huwa kinatokea kwa nabii katika nchi yake?

Yesu aliisema nabii hapati heshima katika nchi yake.

Nini kilitokea katika mkoa wa Yesu kwa sababu watu hawakuamini?

Kwa sababu watu hawakuamini, Yesu hakufanya miujiza mingi katika mko wake.

Matthew 14

Matthew 14:1-2

Herode alifikiri Yesu kuwa ni nani?

Herode alifikiri kuwa Yesu ni Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka katika wafu.

Matthew 14:3-5

Herode alikuwa anafanya kosa gani ambalo lilimfanya Yohana mbatizaji amkemee?

Herodealikuwa amemwoa mke wa ndugu yake

Kwa nini Herode hakumwuaYohana Mbatizaji mara moja?

Herode hakumwua Yohana mbatizaji mara moja kwa sababu aliwahofia watu ambao walimtambua Yohana kuwa ni nabii

Matthew 14:6-7

Herode alifanya nini baada ya Herodia kucheza katika siku ya kuzaliwa kwake?

Herode aliahidi kwa kiapo kumpa Herodia chochote ambacho angeomba.

Matthew 14:8-12

Binti wa Herodia aliomba kitu gani?

Binti wa Herodia aliomba kichwa cha Yohana Mbatizaji kiletwe kwenye sahani

Kwa nini Herode alimpatia binti wa Herodia kama ombi lake lilivyokuwa?

Herode alimpatia Binti wa Herodia kwa sababu ya kiapo chake na kwa sababu ya watu waaliokuwapo kwenya sherehe hiyo.

Matthew 14:13-15

Yesu alifanya nini alipoona umati mkubwa ukimfuata?

Yesu aliwahurumia na kuwaponya wagonjwa wao.

Matthew 14:16-18

Yesu aliwaambia wanafunzi wake wafanye nini kwa umati?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwapa umati chakula.

Matthew 14:19-21

Yesu alifanya nini kwa mikate mitano na samaki wawili alipoletewa na wanafunzi?

Yesu alitazama juu mbinguni, akabariki na kumega mikate na akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa umati.

Watu wangapi walikula na chakula kiasi gani kilibaki?

Waliokula walikuwa wanaume elfu tano bila ya kuwahesabu wanawake na watoto, na vilibaki vikapu kumi na mbili.

Matthew 14:22-24

Yesu alifanya nini baada ya kuwatawanya makutano?

Yesu alipanda yeye mwenyewe mlimani kuomba.

Kilikuwa kinatokea nini kwa wanafunzi walipokuwa katikati ya bahari?

Ile mashua ya wanafunzi ilikuwa ikiyumbayumba kwa sababu y a upepo na mawimbi.

Matthew 14:25-27

Yesu alikwenda kwa wanafunzi wake kwa namna gani?

Yesu alikwenda kwa wanafunzi kwa kutembea juu ya maji.

Wanafunzi walipomwona Yesu aliwaambia nini?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake wajipe moyo na wasiogope.

Matthew 14:28-30

Yesu alimwambia Petro aje na afanye nini?

Yesu alimwambia Petro aje na atembee juu ya maji.

Kwa nini Petro alianza kuzama ndani ya maji?

Petro alianza kuzama ndani ya maji alipoogopa.

Matthew 14:31-33

Nini kilitokea wakati Yesu na Petro walipoingia kwenye mashua?

Wakati Yesu na Petro walipoingia kwenye mashua upepo ulikoma kuvuma.

Wanafuzi wakifanya nini walipoona jambo hili?

Wanafunzi walipoona jambo hili walimwabudu Yesu na kusema kweli alikuwa ni Mwana wa Mungu.

Matthew 14:34-36

Watu walifanya nini wakati Yesu na wanafunzi walipokwenda upande mwingine wa bahari?

Wakati Yesu na wanafunzi walipokwenda upande mwingine wa bahari, watu walimletea Yesu wagonjwa wote.

Matthew 15

Matthew 15:4-6

Je, Yesu alitoa mfano gani wa jinsi Mafarisayo walivyolifanya neno la Mungu kuwa halina thamani mbele ya mapokeo yao ?

Mafarisayo waliwazuia watoto kuwasaidia wazazi wao kwa kuchukua fedha kuwa "ni zawadi kutoka kwa Mungu"

Je, Yesu alitumia mfano gani unoonesha kuwa Mafarisayo walilifanya neno la Mungu kuwa si kitu mbele ya mapokeo yao.

Mafarisayo waliwazuia watoto kuwasaidia wazazi wao kwa kuchukua pesa na kuzifanya kuwa ni "zawadi toka kwa Mungu"

Matthew 15:7-9

Je, Isaya alitoa unabii gani juu ya midomo na mioyo ya mafalisayo

Isaya alitabiri kuwa mafarisyo watmheshimu Mungu kwa midomo yao, bali mioyo yao itakuwa mbali na Mungu

Je, Isaya alitabiri nini juu ya midomo ya Mfaisayo na mioyo yao?

Isaya alitabiri kuwa Mafarisayo watamuheshimu Mungu kwa midomo y ao, lakini mioyo yao itakuwa mbali.

Badala ya kufundisha neno la Mungu, Mafarisayo walifundisha nini badala yake kuwa ndiyo mafundisho

Mafarisayo walifundisha maagizo ya wanadamu kuwa ndiyo mafundisho

Matthew 15:10-11

Je, Yesu alisema ni kitu gani ambacho hakimtii mtu unajisi?

Yesu alisema kuwa kiingiacho mdomoni hakimtii mtu unajisi

Je, Yesu alisema ni kitu gani ambacho humtia mtu unajisi?

Yesu alisema kile kitokachokinywani, ndicho kimfanyacho mtu kuwa najisi.

Matthew 15:12-17

Je, Yesu aliwaitaje Mafarisyo, na alisema kitatokea nini kwao?

Yesu aliwaita Mafarisayo kuwa ni viongozi vipofu, na kwamba alisema kuwa watatumbukia shimoni.

Matthew 15:18-20

Nivitu gani vikaavyo moyoniambavyo humtia mtu unajisi?

Kutoka moyoni hukaa mawazo machafu, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, wizi, ushuhuda wa uongo, na matusi

Matthew 15:21-23

Je, Yesu alifanya nini kwanza wakati yule mwanamke Mkananayo alipomwaomba Yesu msaada?

Yesu hakumjibu neno lolte

Matthew 15:24-26

Je, maelezo ya Yesu yalikuwaje juu ya kutokumsaidia yule mwanamke Mkanani?

Yesu alieleza kuwa Yeye alikua ametumwa kwa kondoo wa nyumba Israeli waliokuwa waliopotea.

Matthew 15:27-28

Yle mwanamke Mkananayo aliponyinyekeza, Yesu alimwabia nini na kumfanyia nini?

Yesu alisema kuwa yule mwanamke ana imani kubwa.

Matthew 15:29-31

Je, Yesu aliwanyia nini wale makutano waliokuja kwake kule galilaya?

Yesu aliwaponya mabubu, viwete, vilema, na vipofu

Yesua aliwafanyia nini wale makutano waliokuja kwake kule Galilaya?

Yesu aliwaponya mabubu, viwete, vilema, na vipofu

Matthew 15:32-35

Wale wanafunzi walikuwa na mikate mingapi na samaki wangapi ya kuwalisha makutano?

Wanafunzi walikuwa na mikate saba na samaki wadogo wachache?

Matthew 15:36-39

Yesu alifanya nini kwa ile mikate na samaki?

Yesu aliichukua ile mikate na samaki halafu akashukuru, akaivunja ile mikate na akawapa wanafunzi.

Ni kiasi gani cha chakula kilibaki baada ya wote kula?

Kulikuwa na vikapu saba vilivyojaa vilibaki baada ya kila mmoja kula.

Ni watu wangapi waliokula na kutosheka kutokana na ile mikate na wale samaki?

Wanaume elfu nne, pamoja na wanawake na watoto walikula na walitosheka.

Matthew 16

Matthew 16:1-2

Mafarisayo na Masukayo walitaka kuona nini kwa Yesu?

Walitaka awaonyeshe Ishara

Matthew 16:3-4

Yesu alisema angewapatia nini Mafarisayo na Masdukayo?

Yesu alisema angewapatia Mafarisayo na Masadukayo ishara ya Yona.

Matthew 16:5-10

Je, Yesu aliwaambia wanafunzi wajitaharishe na nini?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake wajitahadharishe na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.

Matthew 16:11-12

Yesu alikuwa anaongelea nini wakati alipokuwa akiwaambia wnafunzi wajitahadharishe nacho?

Yesu alikuwa akiwaambia juu ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo

Matthew 16:13-16

Ni swali gani ambalo Yesu aliwauliza wanafunzi wake wakati walipokuwa wakitoka Kaisaria ya Filipi?

Watu wanasema kuwa Mwana wa Adamu ni nani?

Je, watu wengine walidhani kuwa Yesu alikuwa nani?

Watu wengine walidhani kuwa Yesu alikuwaYohana Mbatizaji

Ni jibu gani ambalo Petro alimjibu Yesu kkwa swali lake?

Jibu la Petro lilikuwa hivi, "Wewe ni Kristo, mwana wa Mungu aliye hai".

Matthew 16:17-18

Petro alijuwaje jibu la swali la Yesu?

Alifunuliwa na Baba wa mbiguni

Matthew 16:19-20

Ni mamlaka gani ambayo Yesu alimpa Petro hapa duniani?

Alipewa mamlaka ya kufunga chochote duniani, na kitakuwa kimefungwa mbinguni, na chochote atachokifungua duniani kitafunguliwa na mbinguni.

Matthew 16:21-23

katika kipindi hiki, ni kitu gani Yesu alianza kuwaambia wanafunzi kwa uwazi?

Ni lazima aende Yerusalemu, kuteswa kwa mambo mengi katika mikono ya wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, kuuawa na kufufuka siku ya tatu.

Je, Yesu alimwambia niniPetro wakati Petro alipopinga kile ambacho Yesu alikuwa akieleza kuwa kitampata?

Yesu alimwambia Petro, "Rudi nyuma yangu shetani"

Matthew 16:24-26

Ni jambo gani ambalo kila mmoja anayetaka kumfuata Yesu ni lazima alifanye?

Ni lazima ajikane yeye mwenyewe, auchukue msalaba wake, na amfuate Yesu.

Yesu alisema kitu gani ambacho hakimpi faida mwanadamu?

Yesu alisema kuwa haimpii faida mwanadamu kuupata ulimwengu wote.

Matthew 16:27-28

Yesu alisema Mwana wa Adamu atakuja kwa namna gani?

Yesu alisema kuwa Mwana Adamu atakuja katika utukufu wa baba yake na malaika wake.

Mwana wa Adamu atamlipaje kila mtu atakapokuja?

Mwana wa Adamu atamlipa kila mtu kutokana na matendo yake atakapokuja

Yesu alisema ni nani atakayemwona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake?

Yesu alisema kuwa baadhi yao waliokuwa wamesimama naye watamwona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.

Matthew 17

Matthew 17:1-2

Ni akina nani walioienda na Yesu juu ya mlima mrefu?

Petro, na Yakobo na Yohana kaka yake.

Kilitokea kitu gani katika muonekano wa Yesu kule mlimani?

Yesu alibalishwasura kiasI kwamba sura yake iling'aa kama jua, na mavazi yake yaling'aa kama nuru.

Matthew 17:3-4

Ni akina nani waliomtokea Yesu na kuongea naye?

Akawatokea Musa na Eliya wakaongea naye

Je, Petro alisema wafanye nini?

Yesu alisema wajenge vibanda vitatu kwa ajili ya wale wanaume watatu.

Matthew 17:5-8

Sauti iliyosikika kutoka katika wingu ilisema nini?

Huyu ni mwanangu mpedwa, niliyependezwa naye.

Matthew 17:9-10

Yesu aliwaagiza nini wanafunzi wake walipokuwa wakishuka chini ya mlima?

Wasitoe habari ya maono hayo mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu.

Matthew 17:11-13

Yesu alisema nini juu ya mafundisho ya waandishi kuwa Eliya atakuja kwanza?

Yesu akawajibu na kusema, Eliya atakuja kweli na atarudisha vitu vyote.

Yesu alisema Yohana Mbatizaji ndiye aliyekuwa Eliya ambaye tayari alikuwa amekwisha kuja, na kile alichofanyiwa.

Yesu alisema kuwa Yohana Mbatizaji ndiye aliyekuwa Eliya ambaye tayari alikuwa amekwisha kuja, na walimfanyia kile walichotaka kumfanyia.

Yesu alisema kuwa Eliya alikuwa amekwisha kuja alikuwa nani, na kile alichofanyiwa?

Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa Eliya ambaye tayari alikuwa amekwisha kuja, na walimfanyia chochote walichotaka kumfanyia.

Matthew 17:14-16

Ni kitu gani wanafunzi walikuwa wakikiweza kukifanya kwa mvulana aliyekuwa na kifafa?

Walikuwa wakiweza kumponya kijana mwenye kifafa.

Wanafunzi wa Yesu waliweza kufanya nini kwa yule mgonjwa wa kifafa?

Wanafunzi hawakuwa na uwezo wa kumponya yule mgonjwa wa kifafa.

Matthew 17:17-18

Yesu alifanya nini kwa yule mgonjwa kifafa?

Yesu alilikemea lile pepo, na yule kijana alipona tangu saa ile

Matthew 17:19-21

Kwa nini wale wanafunzi hawakuweza kumponya yule kijana?

Yesu alisema kuwa ni kwa sababu ya imani yao ndogo kwa hiyo wasingeweza kumponya yule kijana mwenye kifafa.

Matthew 17:22-25

Yesu aliwaambia nini wanafunzi wake kilichowafanya wawe na huzuni?

Kuwa Mwana wa Mtu atatiwa mikononi mwa watu, watamwua, na siku ya tatu atafufuka.

Yesu aliwaambia kitu gani wanafunzi wake kilichowafanya kuwa na huzuni?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa atatiwa mikononi watu ambao watamwua, na kwamba siku ya tatu atafufuliwa.

Matthew 17:26-27

Yesu na Petro walilipaje ile kodiya nusu shekeli?

alimwambia Petro kwenda baharini, akatupe ndoano na kuchuku yule samaki wa kwanza, naye atakuwa na shekeli mdomoni mwake kwa ajili ya kodi.

Matthew 18

Matthew 18:1-3

Yesu alisema kitu gani ambacho ni lazima tukifanye ili kuingia mbinguni?

Yesu alisema lazima tutubu na kuwa kama watoto wadogo.

Matthew 18:4-6

Yesu alisema mkuu katika ufalme wa mbinguni ni nani?

Yeye ajishushaye kama mtoto mdogo, mtu kama huyo ni mkuu katika ufalme wa mbinguni.

kInatokea nini kwa mtu yule anayemkosesha mtoto mdogo amwaminiye Yesu kufanya dhambi?

Yeyote anayemkosesha mtoto mdogo amwaminiye Yesu kufanya dhami, ni vizuri mtu huyo kufungiwa jiwe la kusagia shingono mwake na kutupwa baharini.

Matthew 18:7-9

Je, Yesu alisema tufanye nini juu ya kitu kile kinachokwaza?

Yesu alisema lazima tukitupe kila kitu ambacho kinatukwaza.

Matthew 18:10-11

kwa nini Yesu alisema tusiwadharau walio wadogo?

Kwa maana huko mbinguni malaika wao huutazama uso wa Baba siku zote.

Matthew 18:12-14

Ni kwa namna gani mtu amtafutaye kondoo aliyepotea ni kama Baba wa mbinguni?

Ni kwa sababu si mapenzi ya Baba kwamba mmoja wa wadogo hawa kupotea

Ni kwa nanmna gani mtu amtafutaye kondoo aliyepotea ni kama Baba wa mbinguni?

Ni kwa sababu kuwa si mapenzi ya Baba kwamba mmoja wa wadogo hawa kupotea

Matthew 18:15-16

kama ndugu yako akikukosea, ni kitu gani cha kwanza unatakiwa kufanya?

Nenda ukwamwonyeshe kosa lililopo kati yako na yeye mwenyewe.

Kama ndugu yako hakusikilizi, ni kitu gani cha pili unachotakiwa kufanya?

Kitu cha pili, ni kumchukua mtu mmoja au wawili kwa ajili ya ushahidi.

Matthew 18:17

Kama ndugu yako bado hakusikilizi, ni jambo gani la tatu unalotakiwa kufanya?

Kama akipuuza kuwasikiliza, liambie kanisa jambo hilo. kwenu kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.

Kama akipuuza kukusikiliza ni nini unachotakiwa kufanya?

Mwisho, kama hatalisikiliza kanisa, anataikwa umchukulie kama mtu wa mataifa au mtoza ushuru.

Matthew 18:18-20

Yesu anaahidi kitu gani kitataokea pale ambapo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina lake

Yesu anaahidi kuwepo pamoja nao wawili au watatu waliokusanyika kwa jina lake.

Matthew 18:21-22

Yesu alisema tunatakiwa tuwasamehe ndugu zetu mara ngapi?

Yesu alisema hata saba mara sabini.

Yesu alisema tunatakiwa tuwasamamehe ndugu zetu mara ngapi?

Yesu alisema tunatakiwa kuwasamehe saba mara sabini.

Matthew 18:23-25

Je, yule mtumishi alikuwa anadaiwa nini na bwana wake, alichotakiwa kulipa?

Yule mtumwa alikuwa anadaiwa talanta kumi, ambazo hakuweza kuzilipa.

Je, yule mtumishi alikuwa anadaiwa nini na bwana wake, alichotakiwa kulipa?

Yule mtumwa alikuwa anadaiwa talanta kumi, ambazo hakuweza kuzilipa.

Matthew 18:26-29

Kwa nini Yule Bwana alimsamehe mtumishi wake?

Yule Bwana alimhurumia mtumwa wake na kumsamehe deni lake

Matthew 18:30-31

Je mtumwa alifanya nini kwa mtumwa mwenzie aliyekuwa anamdai dinari mia moja?

Alienda akamtupa gerezani mpaka atakapomlipa kile anachomdai.

Matthew 18:32-33

Yuele Bwana alimwambia nini yule mtumishi ambacho alichopaswa kumnyia mtumishi mwenzake?

Yule Bwana alimwambia yule mtumishi kuwa alipaswa kumhurumia mtumishi mwenzake.

Matthew 18:34-35

Bwana wao alifanya nini kwa mtumwa?

Alimkasirikia na akamkabidhi kwa wale watesaji mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.

Je, Yesu alisema Baba atafanya nini, kama hatutawasamehe ndugu zetu kutoka moyoni?

Yesu alisema kuwa Baba atatufanya kama yule Bwana alivyomfanyia mtumishi wake kama hatutawasamehe ndugu zetu kutoka mioyoni mwetu.

Matthew 19

Matthew 19:3-4

Ni swali gani Mafarisayo walimwuuliza Yesu ili kumjaribu?

Je ni halali kwa mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?

Yesu alisema ukweli ulikuwaje tokea mwanzo?

Yesu alisema kuwa tokea mwanzo wa kuumbwa, Mungu aliwaumba mume na mke.

Matthew 19:5-6

Kwa kuwa Mungu aliwaumba mtu mume na mke, Yesu alisema mume anatakiwa afanye nini?

Yesu alisema kuwa mume atawaacha babana mama yake na kushikamana na mke wake.

Je, Yesu alisema kuwa huwa kinatokea nini pale mume anaposhikaman na mke wake?

Yesu alisema kuwa, mume anaposhikamana na mke wake wale wawili huwa mwili mmoja.

Je, Yesu alisema mwanmume asifanye nini juu ya kile alichokiunganisha Mungu?

Yesu alisema kuwa alichokiunganisha Mungu mtu asikitenganishe.

Matthew 19:7-9

Yesu alitoa sababu gani ya Musa kuruhusu talaka?

Ni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao

Yesu alitoa sababu gani ya Musa kuruhusa=u talaka?

Ni kwa sababu y a ugumu wa mioyo yao

Yesu alisema ni mtu gani anayefanya uzinzi?

Yesu alisemayeyote amwachaye mke wake isipokuwa kwa uzinzi, na kuoa mwanake mwingine huyo afanya uzinzi, na kwamba mwanamumeanyeoa mwanamke aliyeachwa afanya uzinzi.

Matthew 19:10-12

Yesu alisema ni nani awezaye kuwa towashi?

Ni kwa wale walioruhusiwa na Mungu kuipokea hali hiyo.

Yesu alisema ni nani awezaye kuwa towashi?

Ni kwa wale walioruhusiwa na Munga kuipokea hali hiyo.

Matthew 19:13-15

Wanafunzi walifanya nini walipowaona watoto wadogo wameletwa kwa Yesu?

Wanafunzi wake waliwakemea

Yesu alisema nini alipowaona watoto wadogo

Yesu aliseamawaacheni watoto wadogo waje, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wa watoto kama hawa.

Matthew 19:16-19

Yesu alimwambia kijana afanye nini ili kuuingia katika uzima wa milele?

Alimwambia ashike sheria za Mungu

Yesu alimwambia kijana anapaswa kufanya nini ili kuingia kwenye uzima wa milele?

Yesu alimwambia yule kijana kuzishika amri ili kuingia kwenye uzima wa milele

Matthew 19:20-22

Baadaya kijana kusema kuwa anazishika amri, Yesu alimwambia nini?

Nenda ukauze ulivyo navyo, na uwape maskini, na utakuwa na hazina mbinguni.

Baada ya lkijana kusema anazishika amri, Yesu alimwambia nini?

Nenda ukauze ulivyo navyo, na uwape masikini, na utakuwa na hazina mbinguni

Mwitikio a yule kijana ulikuwaje kwa amri ya Yesu ya kuuza vyote alivyokuwa navyo?

Yule kijana aliondoka akiwa amehuzunika sana kwa sababu alikuwa na mali nyingi.

Matthew 19:23-24

Yesu alisema nini juu ya matajiri kuuingia ufalme wa Mbinguni?

Ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Matthew 19:25-27

Je, Yesu alisemaje juu ya uwezekano wa mtu tajiri kuurithi ufalme wa mbinguni?

Yesu alisema kuwa kwa wanadamu hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu yote yanawezekana.

Matthew 19:28

Yesu aliwaahidi nini wanafunzi wake waliokuwa wakimfuata?

Katika uzao mpya wakati Mwana wa Adamu atakapoketi katika kiti cha enzi, wanafunzi nao wataketi naye wakiyahukumu makabila kumi na mbili ya Israel.

Matthew 19:29-30

Je, Yesu alisemaje juu ya wale ambao ni wa kwanza kwa sasa na wale ambao ni wa mwisho sasa?

Yesu alisema kwamba ambao ni wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho na wale ambao ni wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza.

Matthew 20

Matthew 20:1-2

Ni kiwango gani cha malipo, mwenye shamba alikubali kuwalipa wale aliokuwa amewaajiri asubuhi na mapema?

Dinari moja kwa kutwa

Ni kiwango gani cha malipo, mwenye shamba alikubali kuwalipa wale aliokuwa amewaajiri asubuhi na mapema?

Dinari moja kwa kutwa

Matthew 20:3-7

Ni kiasi gani mwenye shamba alisema atawalipa wale aliowaajiri mara ya tatu?

Atawalipa chochote kilicho halali

Matthew 20:8-10

Ni kiasi gani walicholipwa wale wafanya kazi walioajiriwa saa kumi na moja?

Dinari moja

Matthew 20:11-12

Ni malalamiko gani waliyokuwa nayo wafanyakazi walioajiriwa asubuhi na mapema?

Walilalamika kuwa wao walikuwa wamefanya kazi kwa siku nzima, lakini wamepokea kiasi sawa na wale waliofanya kazi kwa saa moja.

Ni malalamiko gani waliokuwa nayo wafanyakazi walioajiriwa asubuhi namapema?

Walilalamika kuwa wao walikuwa wamefanya kazi kwa siku nzima, Lakini wa,epokes kiasi sawa na wale waliofanya kazi kwa saa moja.

Matthew 20:13-16

Mwenye shamba alijibuje kwa malalamiko ya wafanyakazi?

Mwenye shamba aliwaambia kuwa hajawakosea chochote wafanyakazi na amewalipa kile walichostahili.

Mwenye shamba alijibuje malalmiko ya wawafanyakazi?

Mwenye shamba aliwaambia kuwa hajawakosea chochote wafanya kazi na amewalipa kile waliochostahili.

Matthew 20:17-19

Ni tukio gani Yesu aliwaambia wanafunzi wake mapema walipokuwa wakienda Yerusalemu?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa atatolewa kwa makuhani wakuu na waandishi, na kuhukumiwa kifo, atasulibiwa, na siku ya tatu atafufuka.

Ni tukio gani amabloYesu aliwaambia wanafunzi wake mapema walipokuwa wakienda Yerusalemu

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa atatolewa kwa makuhani wakuu na waandishi, na kuhukumiwa kifo, atasulibiwa na siku ya tatu atafufuka.

Matthew 20:20-21

Ni ombi gani alilokuwa nalo mama wa watoto wa Zebedayo?

Alimtaka Yesu aamuru kuwa watoto wake wawili wakae, mmoja mkono wake wa kushoto na mmoja mkono wake wa kuume.

Ni ombi gani alilokuwa nalo mama wa watoto wa Zebedayo?

Alimtaka Yesu aamuru kuwa watoto wake wawili wakae mmoja mkono wake wa kushoto na mmoja mko wake wa kuume

Matthew 20:22-24

Je, Yesu alisema ni nani mwenye kuamua nani akae mkono wake wa kushoto na nani akae mkono wake wa kuume kataka ufalme wake?

Yesu alisema kuwa Baba ameyaandaa maeneo hayo kwa ajili y a wale aliowachagua.

Matthew 20:25-28

Yesu alisemaje juu ya yule anayetaka kuwa mkuu kati ya wanafunzi wake

Yesu aliseam kuwa anayetaka kuwa mkuu lazima awe mtumwa.

Kwa nini Yesu alisema kuwa alikuja?

Yesu alisema kuwa alikuja kutumika na kuyatoa maisha yake kuwa ukombozi kwa wengi.

Matthew 20:29-31

Je, wale vipofu wawili waliokuwa wakikaa kando ya nija walifanya nini?

Wale vipofu wawili walipiga kelele, "Bwana, Mwana wa Daudi, uturehemu."

Matthew 20:32-34

Je, kwa nini Yesu aliwapnya wale vipofu wawili?

Yesu aliwaponya wale vipofu wawili kwa sababu aliwaonea huruma.

Matthew 21

Matthew 21:1-3

Je, Yesu alisema wanafunzi wake wawili wataona nini kwenye kile kijiji kinachowakabili?

Yesu aliseama watamwona punda amefunwa, na mwanapunda pamoja naye.

Matthew 21:4-5

Nabii alikuwa ametabiri nini juu ya hili tukio?

Nabii alitabri kuwa mfalme anawaijieni, akiwa amempanda punda na mwanapunda.

Nabii alikuwa ametabiri nini juu ya hili tukio?

Nabii alikuwa ametabiri kuwa Mfalme anawaijieni, akiwa amempanda punda na mwanapunda.

Matthew 21:6-8

Je, makutano walifanya nini njiani wakati wanaingia Yerusalemu?

Makutano walitandika mavazi yao juu yake na waliweka matawi ya miti njiani

Matthew 21:9-11

Umati ulikuwa ukisema nini wakati Yesu alikuwa akiingia Yerusalemu?

walisema Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana. Hosana juu!!

Matthew 21:12-14

Yesu alifanya nini alipoingia katika hekalu la Mungu huko Yerusalemu?

Aliwavurumisha nje wote waliokuwa wakinunua na kuuza hekaluni. Pia alipindua meza za wabadilisha fedha na viti vya wauza njiwa.

Matthew 21:15-17

Wakati wakuu wa makuhani na waandishi walipopinga kile watoto walichokuwa wakipiga kelele juu ya Yesu, Yesu aliwaambia nini?

Yesu aliwaambia, "Ndiyo!" Hajasoma ilivyoaandikwa kuwa katika midomo ya watoto kuna sifa kamili?

Matthew 21:18-19

Yesu alifanya nini kwa mtini na ni kwa nini?

Aliulaani mtini, ukakauka, kwasababu haukuwa na matunda.

Matthew 21:20-22

Yesu aliwafundisha nini wanafunzi wake kuhusu maombi kupitia kukauka kwa mtini?

Kweli nawaambieni kama mkiwa na imanin na hamna wasiwasi yoyote, hamtafanya kile kilichofanyika kwa huo mtini tu, lakini mtasema hata kwa huo mlima, uchukuliwe na utupwe bahrini, na itafanyika hivyo.

Matthew 21:23-24

Wakati Yesu alipokuwa akifundisha, wakuu wa makuhani na wazee walimuuliza juu ya nini?

walimuuliza juu ya mamlaka gani alikuwa anayafanya hayo?

Matthew 21:25-27

Ni swali gani Yesu aliwauliza wakuu wa makuhani na wazee?

Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? mbinguni au kwa wanadamu?

Matthew 21:28-30

Katika mfano wa Yesu wa wana wawili, Yule mtoto wa kwanza alifanya nini alipoambiwa kufanya kazi kwenya shamba la mizabibu?

Yule wa kwanza alisema hataweza kufka, lakini baadaye akaenda.

Katika mfano wa Yesuwa wan wawili, Yule mtoto wa kwanza alifanya nini alipoambiwa kufanya kwenye shamba la mizabiu?

Yule mtoto wa kwanza alisema hataenda lakini baadaye akaenda

Yule mtoto wa pili alifanya nini alipoambiwa kwenda kufanya kazi kwenye shamba la mizabibu?

Yule mtoto wa pili alisema atakwenda, halafu hakwenda.

Matthew 21:31-34

Ni mtoto yupi aliyefanya mapenzi ya Mungu?

Mtoto wa kwanza

Kwanini Yesu alisema kuwa watoza ushuru na makahaba watauingia ufalme wa Mungu kabla ya makuhani wakuu na waandishi?

Ni kwasababu watoza ushuru na makahaba walimwamini Yohana, lakini Wakuu wa Makuhani na waandishi hawakumwamini Yohana.

Matthew 21:35-37

wakulima wa mizabibu walifanya nini kwa watumishi ambao mwenye shamba alikuwa amewatuma?

Waliwachukua wake, wakawapiga, na kuwaua.

Matthew 21:38-39

Wakukima wa mizabibu walimfanya nini yule mtu aliyetumwa na mwenye shamba kwa mara ya mwisho?

Wakulima wa mizabibu walimwua mtoto wa mwenye shamba.

Wakulima wa mizabibu walimfanya nini yule mtu aliyetumwa kwa maraa ya mwisho na mwenye shamba?

wakulima wa mizabibu walimwua mtoto wa mwenye shamba.

Matthew 21:40-41

Watu walisema nini alichotakiwa kufanya mmliki wa shamba?

Watu walisema kuwa mmiliki anapaswa kuwaangamiza wale wakulima wa kwanza wa mizabibu na kulipangasha shamba kwa wakulima wengine

Watu walisema nin alichotakiwa kufanya mmiliki wa shamba?

Watu walisema kuwa mmiliki anapaswa kuwaangamiza wale wakulima wa kwanza wa mizabibu na kulipangasha shamba kwa wakulima wengine

Matthew 21:42

katika maandiko ambayo Yesu aliyanukuuu, ni nini kilitokea kwa jiwe lililokataliwa na waashi?

Jiwe lililokataliwa na waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni/msingi

Matthew 21:43-44

kwa kuzingatia maandiko ambayo Yesu aliyanukuu, Yesu alisema kutatokea nini?

Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwa wakuu wa Makuhani na Mafarisayo na wapea taifa linalojali matunda yake.

Matthew 21:45-46

Kwa nini Wkuu wa makuhani na Mfarisayo hawakumnyoshea mikono Yesu mapema?

Waliwaogopa makutano, kwa sababu makutano walimwona Yesu kuwa ni nabii.

Matthew 22

Matthew 22:5-7

Je wale waliokuwa wamealikwa kwenye harausi ya mwana wa mfalme walifanya nini walipoletewa mialiko na watumishi wa mfalme?

Baadhi yao hawakuizingatia ile mialiko na kuendelea na shughuli zao, na wengine waliwanyoshea mikono wale watumishi wa mfalme na kuwaua.

Je, wale waliokuwa wamealikwa kwenye harusi ya mwana wa mfalme walifanya nini walipoletewa mialiko na watumishi wa mfalme?

Baadhiyao hawakuzingatia hiyo mialiko na kuendelea na shughuli zao, na wengine waliwanyoshea mikono hao watumishi wa mfalme na kuwaua.

Mfalme alifanya nini kwa wale waliokuwa wa kwanza kukaribishwa kwenye hiyo Harusi?

Mfalme alituma jeshi, na kuwaua wale wauuaji, na kuichoma miji yao

Matthew 22:8-12

Je, ni watu gani basi ambao mfalme aliwakaribisha kwenye hiyo harusi?

Basi, malme alikarisha watu wengi kadri watumishi wake walivyoweza kuwapata. wote wema na wabaya.

Je, ni watu gani basi ambao mfalme aliwajkaribisha kwenye hiyo harusi?

Basi, mfalme aliwakaribisha watu wengi kadri watumishi wake walivyoweza kuwapata. Wote wema na wabaya.

Matthew 22:13-14

Mfalme alimfanyia nini mtu yule aliyekuja katika sherehe bila vazi la harusi?

Mfalme aliamuru afungwe na atupwe nje kwenye giza.

Matthew 22:15-19

Mafarisayo walijaribu kumfanyia nini Yesu?

Mafarisayo walijaribu kumnasa Yesu katika mazungumzo yake.

Ni swali gani ambalo wanafunzi wa Mfarisayo walimwuliza Yesu?

Walimwuliza Yesu kama ilikuwa halali kulpa kodi kwa Kaisari.

Matthew 22:20-22

Yesu alilijibuje swali la wanafunzi wa Mfarisayo?

Yesu aliseam kumpa Kaosari kilicho chake, na kumpa Mungu kilicho cha Mungu.

Matthew 22:23-24

Je, Masadukayo walikuwa na imani ya gani kuhusu ufufuo wa wafu?

Masadukayo waliamini kwamba hakutakuwaepo na ufufuo wa wafu.

Matthew 22:25-28

Katika habari ya Masadukayo, yule mwanamke alikuwa na waume wangapi?

Yule mwanamke alikuwa na waume saba

Katika habari ya Masadukayo, yule mwanamke alikuwa na waume wangapi?

Yule mwanamke alikuwa na waume saba

Matthew 22:29-30

Je, Yesu alisema vitu gani viwili ambavyo Masadukayo hawakuvifahamu?

Yesu alisema kwamba Mafarisayo hawakujua Maandiko Matakatifu wala nguvu za Mungu.

Je, Yesu alisemaje juu ya kuoa na kuolewa katika ufufuo?

Yesu alisema katika ufufuo hakuna kuolewa wala kuoa

Matthew 22:31-33

Je, Yesu aliyatumiaje aandiko kuonesha kuwa kutakuwa na ufufuo?

Yesu alinukuu maandiko ambayo Mungu anasema kuwa yeye ni Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na Mungu wa Yakobo - Mungu wa walio hai.

Matthew 22:34-36

Ni swali gani ambalo farisayo mwansheria alimwuliza Yesu?

Yule mwanasheria alimwuliza Yesu kuwa sheria iliyo kuu ni ipi?

Matthew 22:37-38

Je, Yesu alisema amri kuu na ya kwanza ni ipi?

Yesu alisema lazima, kumpenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili zako zote, na kumpenda jirani yako kama nafsi yako, hizo ndizo amri kuu mbili.

Je, Yesu alisema amri kuu na ya kwanza katika amri ni ipi?

Yesu alisema lazima, umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kumpenda jirani yako kama nafsi yako, hii ndiyo amri iliyo kuu na ya kwanza.

Matthew 22:39-40

Je Yesu alisema amri ya pili ni ipi?

Yesu alisema kumpenda jirani yako kama nafsi yako, hiyo ndiyo amri ya pili.

Matthew 22:41-44

Je, Yesu aliwauliza swali gani wale Mafarisayo?

Yesu aliwauliza kuwa, Kristo ni mwana wa nani?

Wale Mafarisayo walimjibuje Yesu?

Mafarisayo walimjibu Yesu kuwa Kristo alikuwa Mwana wa Daudi.

Matthew 22:45-46

Swali lipi la pili ambalo baadaye Yesu aliwauliza Mafarisayo?

Baadaye Yesu aliwauliza jinsi gani Daudi angeweza kumwita mwana wake, Kristo, Bwana,

Mafarisayo walimjibuje Yesu?

Mafarisayo hawakuweza kumjibu Yesu neno lolote.

Matthew 23

Matthew 23:1-3

Kwa kuwa Mafarisayo walikaa kwenye kiti cha Musa, Yesu aliwaambiaje watu juu ya mafundisho yao?

Yesu aliwaambia watu kufanya na kuyasikiliza mafundisho ya Mafarisayo waliyofundisho toka kwenye kiti cha Musa.

Kwa kuwa Mafarisayo walikaa kwenye kti cha Musa, Yesu aliwaambiaje watu juu ya mafundisho yao?

Yesu aliwaaambia watu kufanya na kuyasikiliza mafundisho ya Mafarisayo waliyofundisha toka kwenye kti cha Musa.

Kwa nini Yesu alisema kwamba watu wasiyafuate matendo ya waandishi na Mafarisayo?

Yesu alisema wasiyafuate matendo yao kwa sababu walikuwa wakisema vitu ambavyo wao wenyewe hawavifanyi.

Matthew 23:4-7

Je, Mafarisayo na waandishi walifanya matendo yao kwa lengo gani?

Walifanya matendo yao kusudi watazamwe na watu.

Matthew 23:8-10

Je, Yesu alimsema nani aliye Baba yetu na mwalimu wetu pekee?

Yesu alisema kwamba, Baba yetu aliye mmoja ni Yeye Mwenyewe aliye mbinguni, na mwalimu wetu pekee ni Kristo.

Je, Yesu alimsema ni nani aliye baba yetu na mwalimu wetu pekee?

Yesu alisema kwamba, Baba yetu aliye mmoja ni yeye mwenyewe aliye mbinguni, na mwalimu wetu pekee ni Kristo.

Matthew 23:11-12

Je, Mungu atamfanya nini mtu yule ajikwezaye, na mtu yule ajinyenyekezaye mwenyewe?

Mungu atamshusha mtu yule ajikwezaye mwenyewe na kumwinua mtu yule ajishushaye.

Matthew 23:13-15

Je, ni jina gani ambalo Yesu mara kwa mara aliwaita waandishi na Mafarisayo lililoeleza tabia yao?

Mara kwa mara Yesu aliwaita waandishi na Mafarisayo wanafiki.

Waandishi na Mafarisayo walipopata mfuasi mpya, alikuwa mwana wa nani?

Mafarisayo na waandishi walipopata mfuasi mpya alikuwa mwana wa kuzimu mara mbili.

Je, ni jina gani ambalo Yesu aliwaita mara kwa mara waandishi na Mafarisayo lilieleza tabia yao?

Mara kwa mara Yesu aliwaita waandishi na Mafarisayo wanafiki

Matthew 23:16-22

Juu ya kufungwa na viapo, je, Yesu alisema nini kuhusu mafundisho ya waandishi na Mafarisayo?

Yesu alisema kwamba waandishi na Mafarisayo walikuwa viongozi vipofu na vipofu wapumbavu.

Juuya kufungwa na viapo, Yesu alisema nini kuhusu mafundisho ya waandishi na Mafarisayo?

Yesu alisema kwamba waandishi na Mafarisayo walikuwa viongozi vipofu na vipofu wapumbavu.

Matthew 23:23-24

Japokuwa walilipa zaka zao za mnanaa, bizali na mchicha, waandishi na Mafarisayo walishindwa kufanya nini?

Waandishi na Mafarisayo walishindwa kufanya mambo makubwa ya sheria haki, rehema, na imani.

Matthew 23:25-26

Je, waandishi na Mafarisayo walishindwa kusafisha nini?

Waandishi na Mafarisayo walishindwa kusafisha ndani ya kikombe chao, ili upande wa nje pia uwe safi.

Je, waandishi na Mafarisayo walishindwa kusafisha nini?

Waandishi na Mafarisayo walishiindwa kusafisha ndani ya kikombe chao, ili upande wa nje pia uwe safi.

Matthew 23:27-28

Mafarisayo na waandishi walikuwa wamejaa nini ndani?

Waandishi na Mfarisayo ndani yao walikuwa wamejaa majivuno, udhalimu, unafiki na uovu.

Matthew 23:29-31

Mababa wa Mafarisayo na wa Waandishi waliwafnyia nini manabii?

Waliwaua manabii

Je, wazazi wa waandishi na Mafarisayo waliwafanyia nini manabii wa Mungu?

Wazazi wa waandishi na Mafarisayo waliwaua manabii wa Mungu.

Matthew 23:32-33

Ni hukumu gani ambayo waandishi na Mafarisayo wataipata?

Hukumu ya Jehanamu

Matthew 23:34-36

Je, Yesu alisema waandishi na Mafarisayo wangefanya nini juu manabii, watu wenye hekima na waandishi ambao angewatuma Yeye?

Yesu alisema watawaua na kuwasulibisha baadhi yao, kuwapiga baadhi yao, na wengine kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.

Kama matokeo ya tabia yao, Mafarisayo na Waandishi watapata hatia gani?

Hatia ya kumwagika kwa damu ya wenye haki katika duniani itakuja juu ya waandishi na Mafarisayo.

Ni kwa kizazi gani ambacho Yesu alisema kuwa haya yote yangetokea?

Yesu alisema kuwa haya yote yatatokea kwenye kizazi hiki.

Matthew 23:37-39

Yesu alikuwa na haja gani kwa ajili ya watoto wa Yerusalemu, na kwa nini haikutimizwa?

Yesu alitamani kuwakusanya watoto wa Yerusalemu pamoja, lakini hawakukubali.

Ni kwa namna gani nyumba za Yerusalemu zitabaki ukiwa?

Nyumba za Yerusalemu zitabaki ukiwa.

Matthew 24

Matthew 24:1-2

Je, Yesu alitabiri nini juu ya hekalu huko Yerusalemu?

Yesu alitabiri kuwa haltabakijiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.

Matthew 24:3-5

Baada ya kusikia unabii kuhusu Hekalu, wanafunzi walimuuliza nini Bwana Yesu?

Wanafunzi walimuuliza ni lini mambo haya yangetokea, na ni nini dalili za kuja kwake na mwisho wa ulimwengu?

Ni aina gani ya watu ambao Yesu alisema kuwa watawapotosha wengi?

Yesu alisema kuwa wengi watakuja wakisema wao ni makristo, watawapotosha wengi.

Matthew 24:6-8

Ni matukio gani ambayo yesu alisema yatakuwa mwanzo wa utungu?

Yesu alisema kwamba vita, njaa, na matetemeko yatakuwa mwanzo wa utungu.

Ni matukio gani ambayo Yesu alisema kuwa yatakuwa mwanzo wa utungu?

Yesu alisema kuwa vita njaa, na matetemeko yatakuwa mwanzo wa utungu

Matthew 24:9-11

Yesu alisema kungetokea nini kati ya wanafunzi katika majira hayo?

Yesu alisema kwamba wanafunzi watapata mateso ya dhiki kuu, baadhi watajikwaa na kusalitiana, na mioyo ya watu wengi itapoa.

Yesu alisema kungetokea nini kati ya wanafunzi katika majira hayo?

Yesu alisema kuwa wanafunzi wangepata mateso ya dhiki kuu, baadhi watajikwaa na kusalitiana,na mioyo ya watu wengi itapoa

Matthew 24:12-14

Yesu alisema ni nani atakaye okoka?

Yesu alisema kwamba atakayevumilia mpaka mwisho ndiyo atakayeokoka?

Kitatokea ni juu ya injili kabla ya mwisho kufika?

Injil ya ufalme itahubiriwa duniani kote kabla mwisho kuja.

Matthew 24:15-18

Yesu alisema waumini wanapaswa kufanya nini watakapoona chukizo la uharibifu limesimama mahali patakatifu? (24:15)

Yesu alisema waumini watakimibilia milimani.

Yesu alisema waumini wanapaswa kufanya niiwatapoona chukizo la uharibifu limesimama mahali patakatifu?

Yesu alisema waumini watakimblia milimani.

Matthew 24:19-22

Ile dhiki itakuwa kubwa kiasi gani siku zile?

Katika siku zile, ile dhiki itakuwa kubwa sana kuliko ambavyo ilishawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia.

Matthew 24:23-25

Ni kwa jinsi gani makristo wa uongo na manabii wa uongo watawapotosha watu?

Makristo wa uongo na manabii wa uongo watawapotosha watu kwa kufanya ishara na maajabu.

Matthew 24:26-28

Kuja kwa Mwana wa Adamu kutakuwaje?

Kuja kwa Mwana wa Adamu kutakuwa kama radi inavyomulika kutokea mashariki na kuangaza hadi magharibi.

Matthew 24:29

Kitu gani kitalitokea jua, mwezi, na nyota baada dhiki kuu ya siku hizo?

Jua na mwezi vitatiwa giza, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni.

Matthew 24:30-33

Je, makabila yote duniani yatafanya nini watakapomwona Mwana wa Adamu akija katka nguvu na utukufu mkuu?

Makabila ya duniani watapigapiga vifua vyao.

Ni sauti gani itakayosikika Mwana wa Adamu atakapotuma malaika wake kuwakusanya wateule?

Sauti kuu ya tarumbeta itasikika malaika watakapowakusanya wataeule.

Matthew 24:34-35

Yesu alisema kitu gani hakitapita hadi mambo haya yote yatimie?

Yesu alisema kwamba kizazi hiki hakitapita mpaka mambo haya yote yatimie.

Yesu alisema kitu gani kitapita, na kitu gani hakitapita kamwe?

Yesu alisema kuwa mbingu na dunia zitapita, lakini neno lake halitapita kamwe.

Matthew 24:36

Ni nani ajuae wakati gani mambo haya yatatokea?

Ni Baba peke yake ajuae lini matukio haya yatatokea.

Matthew 24:37-39

Jinsi gani kuja kwa Mwana wa Adamu kuna fanana na siku za Nuhu kabla ya Gharika?

Watu watakuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, bila kujua hukumu itawajilia kuwaangamiza.

Jinsi gani kuja kwa mwana wa Adamu kunafanana na siku za Nuhu kabla ya Gahrika?

Watu watkuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, bila kujua hukumu itawajilia kuwaangamiza.

Matthew 24:40-44

Ni tabia gani ambayo Yesu alisema waumini wake lazima waendelee kuwa nayo juu ya ujio wake, na kwa nini?

Yesu alisema kuwa waumini wake lazima wawe tayari, kwa sababu hawajui ni siku gani Bwana atakapokuja.

Matthew 24:45-47

Kitu gani mtumwa mwaminifu na mwenye busara alifanya kipindi bwana wake alipokuwa ameondoka?

Mtumwa mwaminifu na mwenye busara alitunza mali yote ya bwana wake wakati bwana wake alipokuwa amesafiri.

Kitugani mtumwa mwaminifu na mwenye busara alifanya kipindi bwana wake alipokuwa ameondoka?

Mtumwa mwaminifu na mwenye busara alitunza mali yote ya bwana wake wakati bwana wake aliokuwa amesafiri

Kitu gani bwana wake atafanya kwa mtumwa mwaminifu na mwenye busara wakati bwana wake atakaporudi?

Takapokuja, bwana wake atamweka mtumwa mwaminnifu na mwenye busara juu ya kila kitu anachokimiliki.

Matthew 24:48-51

Je, yule mtumwa mwovu alifanya nini wakati bwana wake alipokuwa amesafiri?

Mtumwa mwovu aliwapiga wafanyakazi wake na akala na kunywa pamoja na walevi wakati bwana hajarudi.

Je, yule mtumwa mwovu alifanya nini wakati bwana wake alipokuwa amesafiri?

Mtumwa mwovu aliwapiga wafnyakazi wake na akala na kunywa pamoja na walevi wakati bwana hajarudi.

Bwana atamfanya nini yule mtumwa mwovu atakaporudi?

Bwana atakaporudi, atamkata yule mtumwa mwovu katika vipande viwili na kumpeleka mahali ambapo kutakuwa na kilo na kusaga meno.

Matthew 25

Matthew 25:1-4

Je, wale wanawali wapumbuvu hawakufanya nini walipoenda kumwona bwana harusi?

Wale wanawali wapumbavu walipochukua taa zao hawakuchukua mafuta.

Je, wale wanawali wenye busara walifanya nini walipoenda kumpokea bwana harusi?

Wale wanawali wenye busara walichukua vyombo vyenye mafuta pamoja na taa zao.

Matthew 25:5-9

Bwana arusi alifika saa ngapi, na je, huu ndio muda uliotarajiwa?

Bwana arusi alifika usiku wa manane, baada ya muda uliotarajiwa.

Bwana Harusi alifika saa ngapi, na je huu ndio muda uliotarajiwa?

Bwana Harusi alifika usiku wa manane, baada ya muda uliotarajiwa.

Matthew 25:10-13

Kitu gani kiliwatokea wale wanawali welevu alipokuja bwana arusi?

Wanawali welevu walienda pamoja na bwana arusi katika sherehe ya harusi.

Kilitokea kitu gani kwa wale wanawali wapumbavu bwana harusi alipokuja?

Wale wanawali wapumbavu walienda kununua mafuta, na walipokuja ule mlango wa kuingia kwenye sherehe ulikuwa umefungwa.

Kilitokea kitu gani kwa wanawali wapumavu bwana harusi alipokuja?

Wale wanawali wapumbavu walienda kunua mafuta, na walipokuja ule mlango wa kuingia kwenye sherehe ulikuwa umefungwa.

Je, Yesu alisema alitaka waumini wajifunze nini kutokana na mfano wa wanawali?

Yesu alisema kuwa waumii wanapaswa kuwa tayari kwa kuwa hawajui siku wala saa.

Matthew 25:14-16

Je, yule watumishi wenye talanta tano, na mwenye talanta mbili walizifanyia nini zile talanta wakati bwana wao alipokuwa safarini?

Yule mtumishi mwenye talanta tano alizalisha talanta zingine tano na yule mwenye talanta mbili alizalisha zingine mbili.

Matthew 25:17-18

Yule mtumwa, mwenye taranta moja na alifanya nini ile talanta wakati bwana wake alipokuwa safarini?

Yule mwenye moja alichimba shimo na kuifukia ile talanta ya bwana wake .

Matthew 25:19-25

Huyu bwana alikaa muda gani akiwa huko safarini.

Huyo bwana alikaa huko safarini kwa muda mrefu.

Huyo bwana aliporudi, alifanya nini kwa mtumwa aliyekuwa amepewa talanta tano na yule aliye kuwa amepewa talanta mbili?

Yule bwana alisema, "hongera, watumwa wazuri na waamiinifu" na aliwaweka kuwa wasimamizi wa mambo mengi.

Huyo bwana aliporudi, alifanya nini kwa mtumwa aliyekuwa amepewa talanta tano na yule aliye kuwa amepewa talanta mbili?

Yule bwana alisema, "hongera, watumwa wazuri na waamiinifu" na aliwaweka kuwa wasimamizi wa mambo mengi.

Matthew 25:26-30

Yule bwana aliporudi alimfanya nini yule mtumwa aliyekuwa amepewa talanta moja

Tule bwana alisema, "wewe mtumwa mwovu na mzembe," alimnyanga'nya ile talanta moja, na kumtupa katika giza la nje.

Matthew 25:31-33

Mwana wa Adamu atafanya nini atakapokuja na kukaa juu ya kiti chake cha utukufu?

Mwana Adamu atayakusanya mataifa yote na atawatenganisha watu kundi moja kutoka kundi jingine.

Mwana wa Adamu atafanya nini atakapokuja na kukaa juu ya kiti chake cha utukufu?

Mwana Adamu atayakusanya mataifa yote na atawatenganisha watu kundi moja kutoka kundi jingine.

Matthew 25:34-40

Wale watakaokuwa upande wa kulia wa Mfalme watapokea nini?

Wale wa upande wa kulia wa Mfalme kupokea ufalme ulioandaliwa kwa ajili yao tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.

Matthew 25:41-46

Wale watakaokuwa upande wa kushoto wa Mfalme watapokea nini?

Wale wa upande kushoto wa Mfalme watapokea moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake.

Je, walewa upande wa kushoto kwa mfalme hawakufanya nini maishani mwao?

Wale wa upande wa kushoto wa mfalme hawakuwapa chakula wenye njaa, wala kinywaji wenye kiu, hawakuwakaribisha wageni, hawakuwapa nguo walio uchi, hawakuwajali wagonjwa, wala kuwatembelea wafungwa.

Je, walewa upande wa kushoto kwa mfalme hawakufanya nini maishani mwao?

Wale wa upande wa kushoto wa mfalme hawakuwapa chakula wenye njaa, wala kinywaji wenye kiu, hawakuwakaribisha wageni, hawakuwapa nguo walio uchi, hawakuwajali wagonjwa, wala kuwatembelea wafungwa.

Matthew 26

Matthew 26:1-2

Ni sikukuu gani ya Wayahudi ambayo yesu alisema ingetokea baada ya siku mbili.

Yesu alisema Pasaka ilikuwa inawadia baada ya siku mbili.

Matthew 26:3-5

Wale wakuu wa Makuhani na wazee walikuwa wanapanga njama gani katika makao makuu ya kuhani mkuu?

Walikuwa wanapanga kumkamata Yesu kwa siri na kumuua.

Wale wakuu wa makuhani na wazee walikuwa wanaogopa nini?

Walikuwa wanaogopa kumwua Yesu wakati wa Pasaka kwa hofu ya watu wasije kuzua ghasia.

Matthew 26:6-11

Mwanamke alipomimina mafuta yenye thamani juu ya kichwa cha Yesu mwitikio wa wanafunzi wake ulikuwaje?

Wanafunzi walikasirika na walitaka kujua kwa nini mafuta yasingeuzwa na pesa zake wakapewa maskini.

Mwanamke alipomimina mafuta yenye thamani juu ya kichwa cha Yesu mwitikio wa wanafunzi wake ulikuwaje?

Wanafunzi walikasirika na walitaka kujua kwa nini mafuta yasingeuzwa na pesa zake wakapewa maskini.

Matthew 26:12-13

Yesu alisema sababu gani ilimfanya mwanamke amimine mafuta juu yake?

Yesu alisema mwanamke alimimina mafuta juu yake kwa ajili ya maziko yake.

Matthew 26:14-19

Yuda Iskariote alilipwa nini ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani?

Yuda alilipwa vipande thelathini vya fedha ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani.

Yuda Iskariote alilipwa nini ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani?

Yuda alilipwa vipande thelathini vya fedha ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani.

Matthew 26:20-22

Yesu alisema nini kwenye chakula cha jionni juu mwanafunzi wake mmoja?

Yesu alisema kuwa mmoja wa wanafunzi wake angemsaliti.

Matthew 26:23-25

Yesu alisemaje juu ya maisha ya baadaye ya yule ambaye atamsaliti?

Yesu alisema kuwa ingekuwaafadhali kwa mtu atakayemasaliti kama asingezaliwa.

Je, Yesu alimjibuje Yuda alipomwuliza kuwa kama ni yeye ambaye atamsaliti.?

Yesu alisema "wewe wasema"

Matthew 26:26

Yesu alisema nini alipochukua mkate, akaubariki,akauvunja, na kuwapa wanafunzi?

Yesu alisema, "Twaeni, mle. Huu ni mwili wangu."

Matthew 26:27-29

Yesu alisema nini juu ya kikombe na kisha kuwapa wanafunzi?

Yesu alisema kuwa kile kikombe ni damu yake ya agano ambayo inamwagwa kwa ajili ya wengi kwamsamaha wa dhambi.

Matthew 26:30-32

Yesu aliwaambia wanafunzi wake wote kuwa wangefanya nini usiku ule katika Mlima wa Mizeituni?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwamba wote wangetawanyika usiku ule kwa sababu yake.

Yesu aliwaambia wanafunzi wake wote kuwa wangefanya nini usiku ule katika Mlima wa Mizeituni?

Yesu aliwote wangetawanyika usiku ule kwa sababu yake.waambia wanafunzi wake kwamba

Matthew 26:33-35

Petro alisema asingemuacha kamwe, je, Yesu alimwambia angefanya nini usiku ule?

Yesu alisema kwamba Petro angemkana Yesu usiku ule mara tatu kabla jogoo hajawika.

Petro alisema asingemuacha kamwe, je, Yesu alimwambia angefanya nini usiku ule?

Yesu alisema kwamba Petro angemkana Yesu usiku ule mara tatu kabla jogoo hajawika.

Matthew 26:36-38

Yesua limwambia nini Petro na wale wawili wa Zebedayo wakati anaomba?

Yesu aliwaambia kaeni hapa na kukusha naye.

Yesua limwambia nini Petro na wale wawili wa Zebedayo wakati anaomba?

Yesu aliwaambia kaeni hapa na kukusha naye.

Matthew 26:39-41

Ni ombi gani alilofanya Yesu kwa Baba katika sala yake?

Yesu aliomba kwamba, kama ingewezekana kikombe hiki kimwepuke.

Yesu aliporudi toka kwenye maombi aliwakuta wanafunzi wanafanya nini?

Wanafunzi walikuwa wamesinzia Yesu aliporudi toka kwenye maombi

Matthew 26:42-44

Yesu aliomba nini kitimia, ambacho si kwa mapenzi yake?

Yesu aliomba kwamba mapenzi ya Baba yatimie, kuliko mapenzi yake mwenyewe.

Ni mara ngapi Yesu aliwaacha wanafunzi wake akaenda kuomba?

Yesu aliwaacha wanafunzi wake mara tatu naye akaenda kuomba

Ni mara ngapi Yesu aliwaacha wanafunzi wake akaenda kuomba?

Yesu aliwaacha wanafunzi wake mara tatu naye akaenda kuomba

Matthew 26:45-46

Wanafunzi walikuwa wakifanya nini wakati Yesu akirudi kutoka maombini?

Wanafunzi walikuwa wamesinzia wakati Yesu akirudi kutoka maombini.

Matthew 26:47-50

Yuda aliwapa kikosi ishara gani ya kumtambua Yesu kuwa ndiye wa kukamatwa?

Yuda alimbusu kama ishara kwa kikosi kwamba Yesu ndiye wa kukamatwa.

Yuda aliwapa kikosi ishara gani ya kumtambua Yesu kuwa ndiye wa kukamatwa?

Yuda alimbusu kama ishara kwa kikosi kwamba Yesu ndiye wa kukamatwa.

Matthew 26:51-54

Je, mmoja wa wanafunziwa wa Yesu alifanya nini Yesu alipokamatwa?

Mmoja wa wanafunzi wa Yesu alichomoa upanga wake na kumkata sikio mtumishi wa Kuhani Mkuu.

Yesu aliseam angefanya nini kama angetaka kujihami?

Mmoja wa wanafunzi wa Yesu alifuta upanga wake na kumkata sikio mtumishi wa kuhani mkuu.

Yesu alisema kitu gani kilichokuwa kinatimilika kutokana na matukio hayo?

Yesu alisema kuwa maandiko yalikuwa yanatimizwa kwa matukio hayo

Matthew 26:55-58

Je, wanafunzi wote walifanya nini?

Wanafunzi wote walimwacha na kukimbia

Matthew 26:59-61

Kwa sababu gani wakuu wa makuhani na baraza zima walitafuta ili kumuua Yesu?

Walikuwa wakitafuta ushahidi wa uongo dhidi ya yake ili kumuua Yesu.

Matthew 26:62-64

Ni amri gani ambayo kuhani mkuu alimwamuru Yesu kama Mungu aishivyo?

Kuhani mkuu alimwamuru Yesu asema kama yeye ndiye Kristo, Mwana wa Mungu

Yesu alimjibuje kuhani mkuu kwa amri yake?

Yesu alisema "wewe wasema"

Yesu alisema nini ambacho kuhan mkuui atakiona?

Yesu alimwambia kuhani mkuu atamwona Mwana wa Adamu amekaa mkono wa kuume wa mamlaka, na akija katika mawingu ya mbinguni.

Matthew 26:65-66

Ni mashitaka gani ambayo Kuhani Mkuu aliyafanya dhidi ya Yesu?

Kuhani Mkuu alimshitaki Yesu kwa kosa la kukufuru.

Matthew 26:67-72

Walimfanyia nini Yesu baada ya kuwa wamemkamta?

Walimtemea Yesu usoni, wakampiga, na kumchapa makofi kwa mikono yao.

Matthew 26:73-75

Petro alijibu mara tatu jibu gani kwa swali amabalo mtu alimwuliza kama na yeye alikuwa na Yesu?

Petro alijibu kuwa hakumfahamu Yesu

Kilitokea nini baada ya Petro kujibu ile mara ya tutu?

Baada tu ya Petro kujibu mara ya tatu, jogoo aliwika.

Petro alijibu mara tatu jibu gani kwa swali amabalo mtu alimwuliza kama na yeye alikuwa na Yesu?

Petro alijibu kuwa hakumfahamu Yesu

Je, Petro alikumbuka nini baada ya jibu lake la tatu?

Petro alikumbuka kuwa Yesu alikuwa amesema kuwa, kabala jogoo hajawika atakuwa amemkana mara tatu..

Matthew 27

Matthew 27:1-2

Je, asubuhi wakuu wa makuhani na wazee walimpeleka wapi Yesu?

Asubuhi walimpeleka Yesu kwa Liwali Pilato

Matthew 27:3-5

Je, Yuda alifanya nini alipoona kuwa Yesu amehukumiwa?

Yesu alikiri kuisaliti damu isiyo hatia, akazirudisha zile fedha, akatoka nje, akajinyonga.

Je, Yuda alifanya nini alipoona kuwa Yesu amehukumiwa?

Yesu alikiri kuisaliti damu isiyo hatia, akazirudisha zile fedha, akatoka nje, akajinyonga.

Matthew 27:6-8

Je, wakuu wa makuhani walifanya nini na vile viapende thelathini vya fedha?

Walinunua shamba la mfinyanzi kwa ajili ya maziko ya wageni.

Je, wakuu wa makuhani walifanya nini na vile viapende thelathini vya fedha?

Walinunua shamba la mfinyanzi kwa ajili ya maziko ya wageni

Matthew 27:9-10

Ni unabii gani ambao unatimiza matukio haya?

Matukio haya yanatimiza unabii wa Yeremia.

Ni unabii gani ambao unatimiza matukio haya?

Matukio haya yanatimiza unabii wa Yeremia.

Matthew 27:11-14

Ni swali gani ambalo Pilato alimwuliza Yesu, na jibu la Yesu lilikuwaje?

Pilato alimwuliza Yesu kama yeye alikuwa ni maflme wa Wayahudi, na Yesu alimjibu, "wewe wasema".

Yesu alijibu nini kwa mashitaka yote ya wazee na wakuu wa Makuhani?

Yesu hakujibu hata neno moja.

Yesu alijibu nini kwa mashitaka yote ya wazee na wakuu wa Makuhani?

Yesu hakujibu hata neno moja.

Matthew 27:15-16

Je, Pilato alitamani kufanya nini kwa Yesu, kwa mjibu wa tamaduni za Wayahudi?

Pilato alitamani kumwachia huru Yesu. kwa mjibu watamaduni za Wayahudi.

Je, Pilato alitamani kufanya nini kwa Yesu, kwa mjibu wa tamaduni za Wayahudi?

Pilato alitamani kumwachia huru Yesu. kwa mjibu watamaduni za Wayahudi.

Matthew 27:17-19

Ni ujumbe gani ambao mke wa Pilato alimtumia mume wake alipokuwa ameketi kwenye kiti chake cha hukumu?

Alimwambia Pilato kuwa asimfanyechochote huyo mtu asiyekuwa na hatia.

Matthew 27:20-22

Kwa nini Baraba aliachiwa huru na wala siyo Yesu kwa mjibu wa tamaduni za siku kuu?

Wkuu wa makuhani nawazee waliwashawishi makutano wamwombe baraba afunguliwe badala ya Yesu.

Je, makutanao walipiga kelele wakiomba Yesu afanywe nini?

Makutano walipiga kelele wakiomba Yesu asulibiwe.

Matthew 27:23-24

Pilato alipoona makutano wameanza kupiga kelele alifanya nini?

Pilato alinawa mikona yake, alikuwa hana hatia kwa damu ya mtu asiyekuwa na hatia, na kisha akamtoa Yesu kwa makutano.

Matthew 27:25-26

Je, watu walisemaje Pilato alipomtoa Yesu kwao?

Watu waalisema hivi, "damu yake na iwe juu yetu na watoto wetu".

Matthew 27:27-31

Je, wale maaskari wa Liwali walimwekea nini Yesu?

Wale maaskari walimvalisha kanzu ya rangi nyekundu, na taji ya miiba kichwani mwake.

Je, wale maaskari wa Liwali walimwekea nini Yesu?

Wale maaskari walimvalisha kanzu ya rangi nyekundu, na taji ya miiba kichwani mwake.

Matthew 27:32-34

Simoni wa Krene alilazimishwa kufanya nini?

Simon alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu.

Walimpeleka wapi Yesu kwa ajili ya kumsulubisha?

Walimpeleka Golgotha, maana yake "fuvu la kichwa".

Matthew 27:35-37

Je, wale maaskari walifanya nii baada ya kumsulibisha Yesu?

Maaskari walipiga kura ili kugawana mavazi yake na waliketi na kumwangalia".

Je, wale maaskari walifanya nii baada ya kumsulibisha Yesu?

Maaskari walipiga kura ili kugawana mavazi yake na waliketi na kumwangalia".

Waliweka maandisjhi gani juu ya kichwa cha Yesu?

Waliandika, "HUYU NDIYE YESU MFALME WA WAYAHUDI".

Matthew 27:38-40

Ni nani ambao walisulibishwa pamoja na Yesu"

Wanyang'anyi wawili walisulibuwa pamoja na Yesu, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.

Matthew 27:41-44

Je, watu, wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi walimtaka Yesu kufanya nini?

Wote walimtaka Yesu ajiokoe nakushuka msalabani?

Matthew 27:45-47

Kilitokea nini kuanzia saa sita mpaka saa tisa?

Giza lilikuja juuya dunia kuanzia saa sita mpaka saa tisa.

Yesu aliliaje ilipofika saa tisa?

"Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?"

Matthew 27:48-50

Kilitokea nini baad ya Yesu kulia tena kwasauti kuu?

Yesu aliitoa nafsi yake.

Matthew 27:51-53

Kilitokea nini hekaluni Yesu alipokufa?

Lile pazia la hekalu lilipasuka sehemu mbili kutoka juu hadi chini baada ya Yesu kufa.

Kilitokea nini makaburini Yesu alipokufa?

Watakatifu wengi aliokuwa wamelala usingizi walifufuka nao wakawatokea wengi baada ya Yesu kufa.

Kilitokea nini makaburini Yesu alipokufa?

Watakatifu wengi aliokuwa wamelala usingizi walifufuka nao wakawatokea wengi baada ya Yesu kufa.

Matthew 27:54-56

Baada ya kushuhudia matukio haya yote, yule akida alitoa ushuhuda gani?

Yule akida alishuhudia kuwa, "Hakika huyu alikuwa mwana wa Mungu".

Matthew 27:57-58

Baada ya kuwa amesulibishwa kilitokea nini kwenye mwili wa Yesu?

Mwanafunzi tajiri wa Yesu, Yusufu, alimwomba Yesu mwili wa Yesu, aliufunga sanda ya sufi, na kuulaza kwenye kaburi lake jipya.

Baada ya kuwa amesulibishwa kilitokea nini kwenye mwili wa Yesu?

Mwanafunzi tajirialimwomba Yesu mwili wa Yesu, aliuzonga kwenye sanda ya kitani, na kuulaza kwenye kaburi lake jipya. wa Yesu, Yusufu,

Matthew 27:59-61

Kiliwekwa nini kwenye mlango wa kaburi ambaplo Yesu alikuwa amelazwa?

Jiwe kubwa liliwekwa kwenye mlango wa lile kaburi ambamo mwili wa Yesu ulikuwa umelazwa.

Matthew 27:62-64

Kwsa nini wakuu wamakuhani na Mafarisayo waliktana na Pilato siku iliyofuata?

Wakuuwa makuhani na Mafarisayo walitaka kuhakikisha kuwa kaburi la Yesu liko salama ili mtu asije akauiba mwili wa Yesu.

Kwsa nini wakuu wamakuhani na Mafarisayo waliktana na Pilato siku iliyofuata?

Wakuuwa makuhani na Mafarisayo walitaka kuhakikisha kuwa kaburi la Yesu liko salama ili mtu asije akauiba mwili wa Yesu.

Matthew 27:65-66

Je, ni kitu gani ambacho Pilato aliwaruhusu kuweka kaburini?

Pilato aliwaruhusu waweke mhuri kaburini na kulilinda.

Je, ni kitu gani ambacho Pilato aliwaruhusu kuweka kaburini?

Pilato aliwaruhusu waweke mhuri kaburini na kulilinda.

Matthew 28

Matthew 28:1-2

Ni siku gani na wakati gani ambapo Mariam Magadalena na yule Mariamu wa pilli walipoende kwenye kabiri la Yesu?

Jua lilipokuwa likichwa kuelekea siku ya kwanza ya Juma, walienda kwenye kaburi la Yesu.

Lile jiwe lilivingirishwaje kutoka kwenye kaburi la Yesu?

Malaika wa Bwana alishuka na kulivingirisha lile jiwe.

Matthew 28:3-4

Je, wale walinzi walifanya nii walipomwona malaika?

Wale walinzi waloishikwa na hofu wakawa kama wafu walipomwona malaika.

Matthew 28:5-7

Yule malaika aliwaambia nini wale wanawake wawili juu ya Yesu?

Malaika alisema kuwa Yesu alikuwa amefufuka naye alikuwa anawatangulia kwenda Galilaya

Yule malaika aliwaambia nini wale wanawake wawili juu ya Yesu?

Malaika alisema kuwa Yesu alikuwa amefufuka naye alikuwa anawatangulia kwenda Galilaya

Matthew 28:8-10

Kiliwatokea nini wale wanawake wawili walipokuwa njiani kwenda kuwaambia wanafunzi?

Wale wanawake walikutana na Yesu na kumshikilia miguu yake na kisha kumwabudu.

Kiliwatokea nini wale wanawake wawili walipokuwa njiani kwenda kuwaambia wanafunzi?

Wale wanawake walikutana na Yesu na kumshikilia miguu yake na kisha kumwabudu.

Matthew 28:11-15

Wakati wale walizi walipowaambia wale wakuu Makuhani kilichokuwa kimetokea pale kaburini, wale wakuu wa Makuhani walifanya nini?

Wakuu wa Makuhani waliwalipa wale askari kiasi kikubwa cha pesa na kuwaambia waseme kuwa wanafunzi wa Yesu waliuiba mwili wa Yesu

Wakati wale walizi walipowaambia wale wakuu Makuhani kilichokuwa kimetokea pale kaburini, wale wakuu wa Makuhani walifanya nini?

Wakuu wa Makuhani waliwalipa wale askari kiasi kikubwa cha pesa na kuwaambia waseme kuwa wanafunzi wa Yesu waliuiba mwili wa Yesu

Matthew 28:16-17

Je, wanafunzi walifanya nii walipomwona Yesu kule Galilaya?

Wale wanafunzi walimwabudu Yesu, japo wengine waliona shaka.

Matthew 28:18-19

Ni mamlaka gsni ambayo Yesu alisema kuwa alikuwa amepewa?

Yesu alisema kuwa alikuwa amepewa mamlka yote yaliyo mbinguni na duniani.

Je,Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kufanya nini?

Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kwenda na kuwafanya watu kuwa wanafunzi wake na kuwabatiza.

Ni katika jina gani ambalo Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kubatiza?

Yesu aliwaambia wanafunzi wake kubatiza katika jina la Baba na la mwana na la Roho mtakatifu.

Matthew 28:20

Je, Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kufundisha nini?

Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kuwafundisha mataifa kutii mambo yote aliyoamuru.

Je, Yesu aliwapa ahadi gani ya mwisho wanafunzi.

Yesu aliahidi kuwa nao mpaka mwisho wa Ulimwengu