Kiswahili: translationQuestions

Updated ? hours ago # views See on DCS Draft Material

2 Chronicles

2 Chronicles 1

2 Chronicles 1:1

Kwa nini Selemani, mwana wa Daudi aliimarishwa katika utawala wake?

Selemani aliimarishwa katika utawala wake kwa sababu Yahwe alikuwa pamaoja naye na alimfanya kuwa na nguvu sana

2 Chronicles 1:2-5

Je, kulikuwa na kitu gani kwa ajili ya ibada wakati Selemani alipoenda kwenye seheme ya ibada iliyokuwa huko Gibeoni?

Palikuwa na hema au madhabahu ambayo Musa aliitengeneza nyikani, na madhabahu ya shabaambayo Bezaleli aliitengeneza, lakini sanduku la agano la Mungu lilikuwa limechukuliwa kutoka Kiriathi Yeriamu na kupelekwa kwenye hema huko Yerusalemu.

2 Chronicles 1:6-7

Je, Selemani alifanya nini kabla Yahwe hajamkaribia na kumuuliza swali, "Nikupe nini"?

Selemani alimwabudu Yahwe katika madhabahu ya shaba kwa kutoa maelfu ya sadaka za kuteketezwa.

2 Chronicles 1:8-11

Kwa nini Selemani alimuomba Yahwe kumpa hekima na maarifa?

Selemani alimwomba Yahwe kumpa hekima na maarifa ili kwamba aweze kuwaongoza watu wa Israeli ambao walikuwa wengi sana.

2 Chronicles 1:12-13

Je, Mungu alimpa nini Selemani pamoja na hekima na maarifa?

Mungu pia alimpa Selemani kitu ambacho hakuwa ameomba: utajiri, mali, na heshima kubwa kuliko wafalme wote wa dunia.

2 Chronicles 1:14-17

Je, ni kwa namna gani utajiri wa Selemani uliweza kuonwa na watu wote?

Selemani alikuwa na magari 1,400 na wanauame wapanda farasi elfu kumi na mbili, fedha na dhahabu zilikuwa nyingi kama mawe, na mbao za mierezi zilikuwa nyingi kama mikuyu katika nchi.

2 Chronicles 2

2 Chronicles 2:1-3

Kwa nini Selemani alimuomba Hiramu kumtumia magogo ya mierezi kama alivyokuwa amefanya kwa baba yake Daudi?

Selemani alimwomba Hiramu kumtumia magogo ya mierezi ili kusudi aweze kuijenga nyumba ya kwa ajili ya jina la Yahwe na ikulu kwa ajili ya ufalame wake.

2 Chronicles 2:4-5

Kwa nini Selemani alipanga kuijenga nyumba kwa ajili ya jina la Yahwe ili kwamba liwe kuu sana?

Selemani alipanga kujenga nyumba kubwa kwa ajili ya jina la Yahwe kwa Mungu wake alikuwa mkuu kuliko miungu mingine yote.

2 Chronicles 2:6-7

Je, Selemani alimhitaji nani akiwa alipaswa kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yahwe ambalo liliaksi ukuu wake?

Selemani alimuhitaji mtu ambaye alikuwa na ujuzi katika kazi za dhahabu, fedha, shaba, chuma, ya dhambarau, nyekundu, na sufu ya samawati, na mtu anayejua kutengeneza aina zote za mapambo ya mbao.

2 Chronicles 2:8-10

Kwa nini Selemani alimtaka Hiramu amtumie miti ya mierezi, miberoshi, na msandali kutoka Lebanoni?

Selemani alimtaka Hiramu amtumie miti hii ili kwamba nyumba ambayo angeijenga kwa ajili ya jina la Yahwe liwe kubwa na la ajabu.

2 Chronicles 2:11-12

Kwa mjibu wa Hiramu, kwa nini Yahwe alimfanya Selemanai kuwa mfalme juu ya watu wa Israeli?

Kwa mjibu wa Hiramu, Yahwe alimfanya Selemani kuwa mfalme kwa sababu Yahwe aliwapenda watu wake na Selemani alikuwa na karama na juhudi na ufahamu.

2 Chronicles 2:13-14

Kwa nini Hiramu alimtuma Huramabi kwa Selemani?

Hiramu alimtuma Huramabi kwa Selemanai kwa sababau alikuwa na ujuzi katika kazzi ya dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe, na katika kazi za mbao, na katika dhambarau, samawati, na sufu nyekundi, na kitani safi, pia na katika kazi au ujuzi wa kubuni kitu cha aina yoyote.

2 Chronicles 2:15-18

Je, iliwezekanaje kusafirisha mbao kutoka Lebanoni hadi Israeli?

Mbao kutoka Lebanoni zilisafirishwa kwenda Israeli kwa njia ya maji kupitia bahari hadi Yafa, na kisha zilibebwa kwenda Yerusalemu.

2 Chronicles 3

2 Chronicles 3:1-3

Kwa nini Selemani alianza kujenga nyumba ya Yahwe katika sakafu ya kupuria juu ya mlima Morio.

Selemani alianza kujenga nyumba ya Yahwe huko kwa sababu huko ndiko Yahwe alikuwa amemtokea Daudi baba yake.

Je, vipimo vya msingi wa nyumba ambao Selemani aliujenga vilikuwaje?

Vipimo vya msingi wa nyumba vilikuwa mikono sitini kwa urefu na mikono ishirini upana, kwa kutumia vipimo vya zamani.

2 Chronicles 3:4-7

Ukumbi wa nyumba upande wa mble ya yumba ulikuwa na urefu gani?

Ukumbi ulikuwa na urefu wa mikono ishirini.

2 Chronicles 3:8-12

Je, kitu gani kilitumika kuifunika sehemu ya mahali patakatifu pa patakatifu?

Sehemu ya mahali patakatifu pa patakatifu palifunikwa kwa dhahabu safi.

2 Chronicles 3:13-17

Je, Selemani aliweka nini juu ya nguzo katika sehemu ya mbele ya nyumba?

Selemani alitengeza minyororo na kuunganisha makomamanga juu ya zile nguzo.

2 Chronicles 4

2 Chronicles 4:1-3

Je, vipimo vya madhabahu ya shaba vilikuwaje?

Madhabahu ya shaba ilikuwa na urefu wa mikono ishirini, upana mikono ishirini, na urefu kwenda juu mikono kumi.

Je, bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa ilikuwa na ukubwa gani?

Bahari ya mduara ya chuma cha kueyushwa ilikuwa na ukubwa wa mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. PIa ilikuwa na urefu wa mikono mitano kwenda juu na mzunguko wa mikono thelathini.

2 Chronicles 4:4-6

Je, madhumuni ya bahari aliyoijenga Selemani kwa ajili ya hekalu yalikuwa ni yapi?

Bahari ilijengwa kwa ajili ya kuoga makuhani.

2 Chronicles 4:7-10

Je, Selemani alijuaje namana ya kuvitengeneza vinara vya dhahabu?

Selemanai alitengeneza vinara vya taa vya dhahabu kwa kufuata maelekezo ya miundo yake.

2 Chronicles 4:11-13

Je, Katika nyumba ya Mungu Hiramu alikamilisha kazi gani kwa ajili ya Huramu?

Huramu alikamilisha kazi ya kutengeneza zile nguzo, mabakuli, nyavu mbili za mapambo, na makoma manga mia nne.

2 Chronicles 4:14-16

Je, Huramabi alitengeneza nini kwa shaba iliyong'arishwa kwa ajili ya Selemani katika nyumba ya Yahwe?

Huramuni alitengeneza vitako na mabirika, bahari moja na ng'ombe dume chini ya bahari, naa vitu vingine vingi.

2 Chronicles 4:17-18

Je, uzito wa shaba iliyotengenezewa vyombo vyoye vya Selemani ulikuwa kiasi gani?

Uzito wa shaba iliyotumika kungenezea vyombo vyote vya Selemani haukuweza kujulikana.

2 Chronicles 4:19-22

Je, vinara pamoja na taa zake ambavyo vilitengenezwa kwa ajili ya kuwaka katika chumba cha ndani vilitengenezwa kwa marighafi gani?

Vina pamoja na taa zake vilitengenezwa kwa kutumia dhahabu safi.

2 Chronicles 5

2 Chronicles 5:1

Je, Selemanai aliviweka wapi vitu ambavyo Daudi alikuwa amevitenga kwa ajili ya Mungu?

Selemanai aliviweka avitu vyote pamoja na fedha, dhahabu, na samani zote, kataika vyumba vya kuhifadhia vya nyumba ya Mungu.

2 Chronicles 5:2-3

Je, baadaye Selemani aliamua kufanya nini?

Selemani aliwakusanya viongozi wa Israeli ili kulileta sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi.

2 Chronicles 5:4-6

Je, Mfalme Selemani pamoja na kusanyiko lote la Israeli walifanya wakati Walawi walipolileta sanduku la agano?

Mfalme Selemani pamoja na kusanyiko lote la Israeli walikusanyika pamoja huku wakitoa dhabihu za kondoo na maksai (ng'ombe wa akulima).

2 Chronicles 5:7-8

Je, makauhanai waliliweka wapi sanduku la agano la Yahwe?

Makuhani waliliweka sanduku la agono la Yahwe katika mahali patakatifu pa patakatifu ndani ya mabawa ya makerubi.

2 Chronicles 5:9-10

Je, kulikuwa na vitu gani katika sanduku la agano?

Hapakaauwa na kitu chochote katika sanduku la agano isipokuwa zile meza mbili tu ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu.

2 Chronicles 5:11-14

Je, Walawi wote kwa ujumla walifanya jambo gani baada ya makuhani kutoka nje ya patakatifu pa patakatifu?

Walawi waliokuwa wamevaa nguo za kitani safi, walisimama katika kona ya upande wa mashariki ya madhabahu huku wakipiga mataoazi, vinanda, na vinubi.

Je, Wapiga tarumbeta na waimbaji walimsifuje Yahwe?

Wapiga tarumbeta pamoja na waimbaji, kwa pamoja walitengeneza mziki huku wakiimba, "Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele."

Kwa nini makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu?

Makuhani hawakuweza kusimama kwa sababu wingu, ambaalo lilikuwa utukufu wa Yahwe, uliijaza nyumba ya Yahwe.

2 Chronicles 6

2 Chronicles 6:1-3

Ni kwa namna gani Selemani alikuwa amepaboresha mahali ambapo Yahwe alipaswa kuishi?

Yahwe alikuwa amesema kuwa angeishi katika giza nene, lakini Selemani alimjengea makazi ya mazjuri kwa ajili ya kuishi milele.

2 Chronicles 6:4-6

Je, Selemani aliamua kuishi wapi na nani alimchagua kuwaongoza Israeli?

Yahwe hakuchagua mji wowote kwa ajili ya kumjengea nyumba wala mtu yeyote kuwa mfalme juu ya Israeli, lakini baadaye aliuchagua Yerusalemu kama mji na Daudi kuwa mfalme wa Israeli.

2 Chronicles 6:7-9

Mungu alisema kitu gani kwa Daudi ili kumzuia asitimize matamanio ya moyo wake.

Yahwe alikuwa amemwambia Daudi, "Ilikuwa katika moyo wako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, lakini mwanao ndiye atakayenijenijengea badala yako."

2 Chronicles 6:10-11

Je, ni kwa namna gani Yahwe alitimiza maneno aliyokuwa ameahidi.

Yahwe alitimiza maneno aliyokuwa ameahidi kwa kumfanya Selemani kuwa mtawala juu ya kiti cha enzi cha Daudi, pia kwa kumpa kibali kumjea nyumba kwa ajili ya jina lake, na kuliweka sanduku la agano ndani yake.

2 Chronicles 6:12-13

Je, Yahwe alisimamaje mbele ya madhabahu ya Yahwe?

Selemani alisimamama juu ya madhabahu ya shaba, akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, na kunyosha mikono yake kuzielekea mbingu.

2 Chronicles 6:14-15

Je, Yahwe huwafanyia nini watumishi wake ambao hutembea mbele yake kwa moyo wote?

Yahwe hutunza agano na upendo imara na watumishi wake ambao hutembea mbele zake kwa moyo wake wote.

2 Chronicles 6:16-17

Yahwe alifanya ahadi gani kwa mtumisshi wake Daudi?

Yahwe alimwambia Daudi kuwa hatasshindwa kuwa na mtu kutoka kabila lake ambaye ambaye angekaa katika kiti cha enzi cha Israeli kama wazawa wake walikuwa waangalifu katika kutembea katika sheria ya Yahwe.

2 Chronicles 6:18-20

Je, Ombi la msingi la Selemani kwa Yahwe lilikuwa nini?

Selemani aliomba kuwa Mungu asikilize kilio chake na maombi yake ili kwamba macho yake yawe macho katika hekalu mchana na usiku.

2 Chronicles 6:21

Selemani alimwomba Yahwe, Mungu wa Israeli, kufanya baada ya kusikiliza maombi yake na ya watu wa Israeli.

Selemani alimwomba Mungu asamehe.

2 Chronicles 6:22-23

Je, mtu mwenye haki angewezaje kuhesabiwa hakai kama alishitakiwa kwa kumtenda dhambi jirani yake?

Mtu mwenye haki angeweza kuhesabiwa haki kwa kuapa kiapo mbele ya madhabahu katika nyumba ya Yahwe.

2 Chronicles 6:24-25

Je, watu wa Israeli walihitaji kufanya nini walipokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi waliyofanya dhidi ya Yahwe.

Watu wa Israeli walihitaji kumrudia Yahwe kwa kukutu kwa jina lake, na kuomba msamaha mbele zake katika hekalu.

2 Chronicles 6:26-27

Je, watu wa Israeli wangefaanya nini endapo mbingu zingefungwa na kukawa hakuna mvua kwa sababu ya kumtenda dhambi Yahwe?

Watu wa Israeli wangeomba kukabili hekalu, kutubu na kuziacha dhambi zao ili kwamba mvua iinyeshee nchi au ardhi yao.

2 Chronicles 6:28-31

Je, kulikuwa na mazingira gani gani kwa watu wa Israeli pale walipomhitaji Yahwe kusikia maombi yao na kuwasamehe dhambi zao?

Watu katika Israeli walimuhitaji Yahwe kusikiliza maombi yao wakati ambapo palikuwa na njaa, magonjwa, tauni au ukungu, nzige au viwavijeshi, au wakati adui walipowavamia malango ya miji yao, au wakati palipokuwa na mapigo au ugonjwa.

2 Chronicles 6:32-35

Kwa nini Yahwe angejibu maombi ya wageni pale walipokuja na akuomba kukabili nyumba ya Yahwe?

Yahwe angejibu maoambi ya wageni waliomuomba ili kwamba watu wa dunia wapate kulijua jina lake, kumwogopa, na kuijua nyumba iliyokuwa imeitwa kwa jina lake.

2 Chronicles 6:36-42

Je, Selemani alimwomba nini Yahwe?

Selemani aliomba kwamba Yahwe asikie maombi ya toba ya watu wake wa Israeli na kusamehe dhambi zao baada ya kuwa wamemtenda dhambi, kupelekwa mateka katika nchi ya adui zao, na kutubu dhambi zao.

2 Chronicles 7

2 Chronicles 7:1-3

Je, nini kilitokea baada ya Selemani kumaliza maombi yake kwa Yahwe.

Selemani alipomaliza maombi yake kwa Yahwe, moto ulishuka chini kutoka mbinguni ili kuziteketeza dhabihu na kafara, na utukufu wa Yahwe ukaijaza nyumba.

Je, mwitikio wa watu wa Israeli ulikuwaje pale moto uliposhuka chini na utukufu wa Yahwe kuijaza nyumba.

Watu wa Israeli waliinama chini kwa nyuso zao, wakaabudu na kutoa shukrani kwa Yahwe.

2 Chronicles 7:4-6

Kwa nini Selemani pamoja na watu wengine wote walitoa sadaka kwa Yahwe.

Mfalme Selemani na watu wengine walitoa sadaka kwa Yahwe ili kuiweka wakfu nyumba ya Mungu.

2 Chronicles 7:7

Kwa nini Selemani alitoa sadka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani katikati ya uwanja?

Sadaka za kuteketezwa na za mafuta za amani zilitolewa na Selemani katikati ya uwanja kwa sababu madhabahu ya shaba aliyoitengeneza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na sadaka za mafuta.

2 Chronicles 7:8-10

Je, ni kwa nini Selemani aliweza kuwaagiza watu wa Israeli kwenda nyumbani kwa kwa furaha na kwa mioyo ya kushangilia baada ya sikukuu?

Watu walirudishwa na Selemani kwa furaha na mioyo ya kushangilia kwa sababu ya wema aliouonesha Yahwe kwa Daudi, Selemani na watu wake Israeli.

2 Chronicles 7:11-12

Je, ni kitu gani Selemani alikitimiza katika nyumba ya Yahwe na nyumba yake binfsi?

Kila kitu kilitimizwa ambacho kilikuwa katika nyumba ya Yahwe na nyumba yake binafisi.

2 Chronicles 7:13-15

Je, watu wa Israeli walihitaji kufanya nini ili Yahwe asikie maombi yao, kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao?

Watu walioitwa kwa jina la Yahwe walihitaji kujinyenyekesha wenyewe, kwa kuomba, kuutafuta auso wa Yahwe na kuziacha njia zao mbaya.

2 Chronicles 7:16-18

Kwa nini Yahwe aliichagua na kuitakasa nyumba yake?

Yahwe aliichagua na kuitakasa nyumba yake ili kwamba jina lake liweze kuwa humo milele.

Je, ni vigezo gani Yahwe aliviweka vifuatwe na watu wake Israeli ili mzawa wa Daudi aweze kuwa katika kiti cha enzi cha ufalme wake milele?

Yahwe alisema kwamba alikuwa amewaamuru kuzitunza sheria zake na amri zake.

2 Chronicles 7:19-22

Je, ni kitu gani kingetokea kama watu wa Israeli wasingezitii sheria za Yahwe na amri na kuabudu miungu mingine?

Ikiwa watu wa Israeli wasingetii sheria zaYahwe na amri zake na kuabudu miungu mingine, basi angewang'oa kutoka nchi aliyokuwa amewapa na nyumba aliyo

Je, mwitikio gani ungetokea kwa watu ambao wangepita kwenye kushangazwa na akile amabacho Yahwe alikuwa ameifanyia nchi na nyumba yake?

Mwitiko wa watu ungekuwa kwamba Yahwe ameifanyia haya nchi na nyumba yake kwa sababu watu wake walimuasi na kufauifuta miungu mingine, wakiinama kuiabudu.

2 Chronicles 8

2 Chronicles 8:1-4

Je, Selemani alifanya nini wakati alipokuwa anaijenga nyumba ya Yahwe na nyumba yake yeye mwenyewe?

Wakati Selemani alipokuwa anaijenga nyumba ya Yahwe na nyumba yake mwenyewe, pia alikuwa anaijenga miji ambayo Hiramu alikuwa amempa na kuwafanya watu waishi humo.

2 Chronicles 8:5-6

Kwa ujumla wapi na kwa madhumuni gani Selemani alijenga?

Selemani alijenga kwa ajili ya starehe zake mwenyewe katika Yerusalemu, Lebanoni, na nchi zote chini ya utawala wake.

2 Chronicles 8:7-8

Je, ni kitu gani kiliwapata watu wa nchi ambao hawakuwa wa Israeli?

Selemani aliwafanyisha akazi kwa nguvu watu wote ambao hawakuwa wa Israel.

2 Chronicles 8:9-10

Je, Selemani aliwapa kazi gani watu wa Israeli.

Selemani aliwafanya watu wa Israeli kuwa majemedari wake, maafisa, na makanda wa majeshi yake ya farasi na wapanda farasi.

2 Chronicles 8:11

Kwa nini Selemani alimchukua binti Farao na kumpeleka kwenye nyumba aliyokuwa amemjengea nje na mji wa Daudi?

Selemani alimchukua binti Farao na kumpeleka nje ya mji wa Daudi, kwa sababu sanduku la agano la Yahwe lilikuwa humo katika mji wa Daudi na ilikuwa sehemu takatifu.

2 Chronicles 8:12-13

Ni kwa namna gani Selemani alimtolea Yahwe sadaka za kuteketezwanmbele ya ukumbi?

Selemani alitoa sadadaka za kuteketezwa kwa mjibu wa ratibu ya kila siku, akiyafuata amaelekezo yaliyokuwa katika amri ya Musa.

2 Chronicles 8:14-15

Je, majukumu ya makuhani na Walawi yaalikuwa ni yapi?

Makuhani na Walawi waliteeuliwa na Selemani kuwa katika nafasi zao ili kumsifu Mungu na kuhudumu mbele ya makuhanai kwa mjibu wa ratiba ya kila siku.

Je, watunza malango walikuwa waaminifu kiasi gani katika kutimiza wajibu na majukumu yao?

Watunza malango walizitii amri za mfalme kwa makuhani na Walawi katika mambo yote.

2 Chronicles 8:16-18

Je, ni kitu gani kilichokuwa kiashiria cha kwamba kazi zote za Selemani katika nyumba zilikuwa zimekamilika?

Nyumba ya Yahwe ilikamilika kabisa na kuanza kutumika.

2 Chronicles 9

2 Chronicles 9:1-2

Kwa nini Malkia wa Sheba alikwenda Yerusalemu?

Malkia wa sheba alikwenda Yerusalemu kwa sababu alikuwa amesikia umaarufu wa Selemani na alitaka kumpima kwa maswali magumu.

Je, Selemani alijibu wakati Malkia wa Sheba alipomuuliza maswali yote yaliyokuwa moyoni mwake?

Selemani alijibu maswali yote ambayo malkia wa Sheba alimuuliza.

2 Chronicles 9:3-4

Je, malkia wa Shema alisema nini baada ya kuona hekima ya Selemani, majengo yake yote, chakula, mavazi, na watumishi aliokuwa anao?

Malkia wa sheba alipoona mali zote za Selemani, hapakauwa na moyo zaidi ndani yake.

2 Chronicles 9:5-6

Je, matokeo ya tathimini ya malkia wa juu ya Selemani yalikuwa nini?

Malkia wa Sheba alimwambia Mmfalme Selemani kwamba hekima na utajiri wake vilizidi hata yale aliyoyasikia kuhusu.

2 Chronicles 9:7-9

Ni kitu gani Malkia wa Sheba alisema ili kumkumbusha Selemani kuhusu ni kwa jinsi ganaai alipata kuwa katika kiti cha enzi cha Israeli kama mfalme wao?

Malkia wa Sheba alimkumbusha Selemani kuwa Yahwe alimfanya kuwa mfalme juu ya Israeli na alimuweka katika kiti cha enzi kwa Sababu Yahwe aliipenda Israeli na alitaka kuwathibitisha milele.

2 Chronicles 9:10-12

Je, matokeo ya ziara ya malkia wa Sheba kwenda kumuona yalikuwa nini?

Mfalme Seelemani alimpa malkia wa Sheba kila kitu alichoomba kwa kuongeza na vile alivyompelekea mfalme, na kisha aliondoka na kwenda kwenye nchi yake mwenyewe.

2 Chronicles 9:13-14

Ni kiasi ganai cha dhahabu kililetwa kwa Selemani ndani ya mwaka mmoja?

uzito wa dhahabu ambayo ililetwa kwa Selemanaai kwa mwaka ailikuwa talanta 666.

Ni nani alipeleka dhahabu kwa Selemani?

Wachuuzi na wafanya biashara, wafalme wote wa Arabuni na maliwali katika nchi.

2 Chronicles 9:15-16

Selemani alitengeneza ngao ngapi za dhahabu?

Mfalme Selemani alitengeneza mia tatu za dhahabu iliyopigwa.

2 Chronicles 9:17-18

Kiti cha enzi cha Selemani kilitengenezwa kwa malighafi gani?

Kiti cha enzi cha Selemani kilitengenezwa kwa apembe za ndovu na kufunikwa kwa dhahabu safi.

2 Chronicles 9:19-21

Kwa nini hakuna hata kikombe kimoja cha Selemani kilichokuwa kimetengenezwa kwa fedha?

Hapakuwa na kikombe hata kimoja cha Selemani kilichokuwa kimetengenezwa kwa fedha kwa sababu katika siku za Selemani fedha haikuhesabiwa kuwa kitu cha thamaani tena.

2 Chronicles 9:22-24

Je, ni kwa nini watu wote wa dunia waliutafuta uwepo wa Selemani?

Watu wote wa Dunia waliuwaza uwepo wa Selemani kwa sababu ya utajiri wake, na kwa lengo la kusikia hekima zake ambazo Mungu alikuwa ameweka katika moyo wake.

2 Chronicles 9:25-26

Je, Selemani aliwatawala wafalme gani?

Mfalme Selemani aliwatawala wafalme wote kutoka mto wa Waefraimu hadi nchi ya Wafilisti, na mipaka ya Misiri.

2 Chronicles 9:27-31

Ni kwa muda gani Selemani alitawala kama mfalme katika Yerusalemu juu ya Israeli yote?

Selemani alitawala akatika Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa muda wa mika arobaini.

2 Chronicles 10

2 Chronicles 10:1-2

Je, Kwa nini Israeli wote walikuwa wanakuja Shekemu?

Israeli wote walikuwa wanakuja Shekemu kwa ajili ya kumfanya Yereboamu mfalme wao.

2 Chronicles 10:3-5

Je, ni ombi gani Yeroboamu na Israeli wote walimwomba Rehoboamu?

Yeroboamu na Israeli wote walimwomba Rehoboamu kuwalegezea nira nzito ambayo Mfalme Selemani alikuwa ameiweka juu yao.

2 Chronicles 10:6-7

Je, ni jambo ganai wanaume wazee, ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani alipokuwa hai walimshauri Rehoboamu kufanya?

Wanaume wazee walimshauri Mfalme Selemani kuwa mwema kwa watu na kuwapendeza kwa mameno mazuri , na kisha wangekuwa watumishi wake siksu zote.

2 Chronicles 10:8-9

Selemani alifanya nini baada aya kuupuza ushauri aliokuwa amepewa na wale wanaume wazee?

Rehoboamu aliwashirikisha wanaukme vijana wa rika lake, kwa kuwaomba ushaauri kuhusu jinsi ya kujibu ombi la watu la kulegezewa mzigo.

2 Chronicles 10:10-11

Wanaume vijana walimpa ushauri gani Rehoboamu kuhusu ombi la watu la kupunguziwa au kulegezewa mzigo wao?

Wanaume vijana walimshauri Selemani kwamba awaambie watu kuwa ingawa baba yangu aliifanya nira yenu nzito, nitaiongezea niraa yenu.

2 Chronicles 10:12-14

Jambo gani lilitokea pale Yeroboamu na watu wote wa walipomwendea Rehoboamu siku ya tatu?

Mfalme Selemani aliupuuza ushauri wanauame wazee na kuwajibu kwa sauti kwa kufuata ushauri wa wanaume vijana.

2 Chronicles 10:15

Kwa nini Mfalme Rehoboamu hakuusikiliza ushauri wa watu wa Israeli?

Uamuzi wa mfalme Rehoboamu wa kutowasikiliza watu wa Israeli ulikuwa unatimiza neno la Yahwe alilokuwa amelisema kwa Yeroboamu kupitia nabii Eliya.

2 Chronicles 10:16-19

Tuna sehemu gani katika Daudi?

"Hatuna kitu chochote cha kushirikiana aana hawa uzao wa Daudi."

2 Chronicles 11

2 Chronicles 11:1

Kwa nini Rehoboamu aliwakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini ili wapigane dhidi ya Israeli alipowasiri Yerusalemu?

Yeroboamu aliwakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini ili kuurejesha ufalme kwake mwenyewe.

2 Chronicles 11:2-4

Je, Shemaya alileta ujumbe gani kwa Rehoboamu na Israeli wote?

Ujumbe kutoka kwa Yahwe ulikuwa kwamba hawakupaswa kuvamia wala kupigana dhidi ya ndugu zao.

2 Chronicles 11:5-10

Kwa nini Rehoboamu alijenga miji katika Yuda?

Rehoboamu alijenga miji katika Yuda kwa ajili ya ulinzi.

2 Chronicles 11:11-12

Je, baadhi ya mafanikio ya Rehoboamu yalikuwa nini?

Rehoboamu alizifanya imara sana ngome zake, akaweka maamri jeshi, na akaweka ngao na mikuki katika kila mji.

2 Chronicles 11:13-15

Kwa nini Walawi waliiacha nchi yao ya malisho na mali zao ili kwenda Yuda na Yerusalemu?

Walawi waliiacha nchi yao ya malisho na mali zao kwa sababu Yeroboamu na mwanaye walikuwa wamewafukuza, kwa hiyo hawakuweza kufanya kazi za kikuhani tena kwa ajili ya Yahwe.

Je, Yerpboamu aliwekia nini nini kuwa mdala wa Walawi na makuhani waliokuwa wamehamia Yuda?

Yeroboamu alijichagulia mwenyewe madhabahu na sanamu za kuchonga na mbuzi ambazo alikuwa ametengeneza.

2 Chronicles 11:16-21

Je, watu kutoka makabila ya Israeli walifanya nini ili kumuimarisha Rehoboamu na ufalme wa Yuda?

Watu, walioilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe, walikuja Yerusalemu kutoka makabila yote ya Israeli ili kumtolea Yahwe sadaka.

2 Chronicles 11:22-23

Je, ni njia gani amabayo Rehoboamu aliitumia kutawala kwa hekima?

Rehoboamu alitawala kwa hema kwa kuwatawanya wanaye katika nchi yote ya Yuda na Benyamini kwenye kila mji wenye ngome.

2 Chronicles 12

2 Chronicles 12:1

Je, ni jamabao hanai baya Rehoboamau alifanya wakati utawala wake ulipoimarishwa?

Rehoboamu na Israeli wote waliikataa sheria ya Yahwe.

2 Chronicles 12:2-4

Kwa nini Shikaki, mfalme wa Misiri alikuja kinyume na Yerusalemu?

Shishaki alikuja kinyume na Israeli kwa sababu watu hawakuwa waaminifu kwa Yahwe.

2 Chronicles 12:5-6

Je, jibu la Rehoboamu na viongozi wa Yuda lilikuaje wakati Shemaya nabii alipowaambia kuwa walikuwa wametiwa mkononi mwa Shisshaki kwa sababu walikuwa wamemuacha Yahwe?

Rehoboamau na viongozi wa Yuda walijinyenyekesha wenyewe na kutangaza kwamba Yahwe alikuwa mtakatifu.

2 Chronicles 12:7-8

Je, Yahwe aliitkiaje alipoona kuwa Rehoboamu na viongozi wa Yuda walikuwa wamejinyenyekesha wenyewe?

Yahwe aliwaokoa kwa kiasi fulani, bado aliwaruhusu kuwa watumishi chini ya Shishaki.

2 Chronicles 12:9-10

Je, Shishaki alichukua nini kutoka Yerusalemu?

Shishaki alichukua hazina katika nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme, pamoja na ngao za dhahabu amabazo Selemani alikuwa ametengeneza.

2 Chronicles 12:11-12

Kwa nini ghadhabu ya Yahwe ilimpisha mbali Rehoboamu?

Ghadhabu ya Yahwe ilimpisha mbaali kwa mbali Rehoboamu kwa sababu alijinyenyekesha mwenyewe na pia kulikuwa na mambo mema kadhaa yaliyonekaana katika Yuda

2 Chronicles 12:13-16

Kwa nini ilisemwa kwamaba "Mfalme Rehoboamu alifanya yaliyokuwa maovu?

Ilisemwa kwamba Rehoboamu aalifanaaya amaovu kwa sababu hakuulekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.

Je, jambo gani lilitokea baada ya Rehoboamu kufa na kuzikwa katika Yerusalemu?

Abiya mwanaye alikuwa mfalme katika nafasi yake.

2 Chronicles 13

2 Chronicles 13:1-3

Je, Abiya alipigana dhidi ya nani?

Abiya alipigana dhidi ya Yeroboamu.

2 Chronicles 13:4-5

Je, mlima Semaraimu uko wapi?

Mlima Semaraimu uko katika kilima acha nchi ya Efraimu.

2 Chronicles 13:6-7

Akina nani walikusanyika kwa Yeroboamu?

Watu wabaya, washirika wa karibu, walimkusanyikia Yeroboamu

2 Chronicles 13:8-9

Kwa mjibu wa Abiya, ni nani wangepambana na uongozi wa nguvu wa Yahwe?

Kwa mjibu wa Abiya, Yeroboamu ndiye aliyesema kwamba angeupinga uongozi wa nguvu wa Yahwe.

2 Chronicles 13:10-11

Je, ni nani hakuwa amemsahau Yahwe?

Taifa la Abiya halikuwa limemsahau Yahwe.

2 Chronicles 13:12

Akina nani wasingeweza kufanikiwa kama wangepigana dhidi ya Yahwe?

Watu wa Israeli wasingefanikiwa kama wangepigana dhidi ya Yahwe.

2 Chronicles 13:13-15

Mpango wa Yeroboamu juu ya vita ulikuwaje?

Yeroboamu alijiandaa nyuma yao, jeshi lake lilikuwa mbele ya Yuda, na mavamizi yalikuwa nyuma yao.

2 Chronicles 13:16-22

Kwa nini watu wa Yuda walishinda?

Watau wa Yuda walishinda akwa sababau waliamtegemea Yahwe.

Je, Yeroboamu alikufaje?

Yahwe alimpiga na akafa.

2 Chronicles 14

2 Chronicles 14:1-4

Je, ni kitu gani kilikuwa wa uthibitisho wa kwamba Asa alifanya yaliyo mema katika macho ya Yahwe?

Asa iliziondoa na kuzipeleka ambali madhabahu za miungu ya kigeni na sehemu za juu, akaziangusha chini nguzo za mawe, na kuzikata nguzo za Maashera.

2 Chronicles 14:5-6

Kwa nini nchi ilikuwa tulivu na hapakuwa na vita katika kipindi chaautawala wa Asa?

Nchi ilikuwa kimya na hapakuwa na vita katika kipindi cha utawala wa Asa kwa sababu Yahwe alimpa amani.

2 Chronicles 14:7-8

Kwa nini Asa alifanaya mpango wa kujenga miji yenye kuta na mageti?

Asa alifanya mpango wa kujenga miji yenye kuta na mageti kwa sababu Yahwe alikuwa amewapa nchi yenye amani pande zote.

2 Chronicles 14:9-11

Je, mwitikio wa Yahwe ulikuwaje wakati mstaari wa majeshsi ya Sera Mwethiopia yalipokuja dhidi ya watu wa Israeli?

Asa alimlilia Yahwe ili amsaidie kwa kukili kwamba Yeye na jeshi lake walikuwa wamejiweka katika mkono wa Yahwe dhidi ya mstari wa majeshi ya Sera.

2 Chronicles 14:12-15

Nani aliwapiga Waethipia mbele ya Asa na Yuda?

Yahwe ndiye aliwapiga Waethipia mbele ya Asa na Yuda.

2 Chronicles 15

2 Chronicles 15:1-2

Je, ni ujumbe gani kutoka kwa Mungu ambao Azaria alimpelekea Mfalme Asa?

Ujumbe ulikuwa kwamba Asa alikuwa pamoja na Asa, wakati Asa alipokuwa na Yahwe, lakini kama Asa angemuacha Yahwe, hivyo hivyo Yahwe angemuacha Asa.

2 Chronicles 15:3-5

Je, ni kitu gani Waisraeli hawakuwa nacho kwa muda mrefu?

Waisraeli hawakuwa na Mungu wa kweli, wala kuhani wa kuwafundisha, na sheria kwa muda mrefu sana.

Kwa kipindi hicho chote, je, ni kitu gani kilikuwa kikiwapata wakaaji wote wa nchi?

Katika nyakati hizo, taabu kubwa zilikuwa juu ya wakaaji wote wa nchi.

2 Chronicles 15:6-7

Ni kwa namna gani Yahwe aliwataabisha wakaaji wa nchi?

Mungu aliwapa taabu wakaaji wa nchi kwa kuwapa kila aina ya mateso.

2 Chronicles 15:8-11

Je, ni kitu gani Asa alikijenga tena baada ya kusikia ujumbe wa nabii?

Asa aliijenga madhabahu ya Yahwe aliposikia ujumbe wa nabii.

Kwa nini idadi kubwa ya watu walikuja kwa Mfalme Asa kutoka Efraimu, Manase, na Simeoni?

Walikuja kwa sababu waliona kwamba Yahwe alikuwa pamoja na Mfalme Asa.

2 Chronicles 15:12-13

Je, watu walifanya agano la kufanya nini?

Watu waliweka agano la kumtafuta Yahwe kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote.

2 Chronicles 15:14-15

Je, ni kitu gani Yahwe aliwapa watu baada ya kuapa kwake kwa moyo wao wote?

Yahwe aliwapa watu amani katika mazingira yote jirani.

2 Chronicles 15:16-19

Je, halai ya moyo wa Asa ilikuwaje?

Moyo wa Asa ulikuwa umejitoa kikamilifu kwa Yahwe siku zote za maisha yake.

Ni kitu gani hakikutokea mpaka baada ya miaka thelathini na tano ya utawala wa Asa?

Hapakuwa na vita katika nchi mpaka baada ya miaka thelathini ya utawala wa Asa.

2 Chronicles 16

2 Chronicles 16:1

Je, kwa nini Baasha, mfalme wa Israeli alitenda kwa ukatili dhidi ya Yuda kwa kuujenga Rama.

Asa, Baasha alitenda kwa ukatili ili kuhakisha kwamba kwamba hakuna mtu wa kuingia wala akautoka katika nchi ya Asa

2 Chronicles 16:2-3

Je, kwa nini Asa alileta fedha na dhahabau nje ya vyumba vya kuhifadhia na kuvipeleka kwa Benhadadi, mfalme wa Aramu?

Asa alizipeleka fedha na dhahabu kwa Benihadadi ili kumtia moyo avunje mkataba wake na Baasha na kuanzisha mkataba na Asa.

Kwa nini Asa alimtaka Benhadadi avunje mkataba na Baasha?

Asa alimtaka Benhadadi avunje mkataba na Baasha ili kwamba amuache Asa.

2 Chronicles 16:4-6

Nini kilitokea baada ya Baasha kuacha kuujenga Rama kutokana na mavamizi kutoka kwa Benhadadi?

Asa na Yuda waliyaondoa mawe na mbao amabazo Baasha alikuwa anatumia kuujenga Rama na kuuyatumia kuujenga Gaba na Mispa.

2 Chronicles 16:7-8

Kwa nini Hanani mwonaji alimkemea Asa?

Hanani alimkemea Asa kwa sababu alitegemea mkataba na mfalme Aramu badala ya kmtegemea Yahwe kama alivyokuwa amefanya dhidi ya Waethiopia.

2 Chronicles 16:9-10

Kwa nini macho ya Yahwe yako kila mahali?

Macho yakp kila mahali ili kujionesha mwenyewe kuwa na mwenye nguvu kwa niaba ya wale ambao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye.

Je. Asa alijibu nini baada ya kukemewa na Hanani?

Asa alikasirikia Hanani na kumtupa gerezani.

2 Chronicles 16:11-12

Je, Asa alifanaya nini dhidi ya ugonjwa mkali kwenye miguu yake?

Asa hakutafuta msaada kutoka kwa Yahwe, bali aliwaendea waganga tu.

2 Chronicles 16:13-14

Je, Asa alimpa heshsima gani abaada ya kufa kwake?

Watu walimlaza Asa katika kabri lake ambalo lilikuwa limejazwa aina mbali mbali za dawa na pia walitengeneza moto mkubwa sana kwa ajili ya heshima yake.

2 Chronicles 17

2 Chronicles 17:1-2

Je, Yehoshafati aliweka majeshi wapi?

Yehoshafati aliweka majeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome.

2 Chronicles 17:3-4

Kwa nini Yakwe alikuwa pamoja na Yehoshafati?

Yahwe alikuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alitembea katika njia za kwanza za baba yake Daudi.

2 Chronicles 17:5-6

Moyo wa Yehoshafati ulikuwa umeelekea nini?

Moyo wa Yahwe ulikuwa umeziangalia njia za Yahwe.

2 Chronicles 17:7-9

Je, ni kitabu gani walikuwa nacho watumishi, Walawi na makuhani walipokuwa wanafundisha katika Yuda?

Walaifundisha kataika Yuda, wakiwa na kitabu cha sheria ya Yahwe pamoja nao.

2 Chronicles 17:10-11

Falme zilizoizungunga Yuda hazikufanya kitu gani kwa sababu ya hofu ya Yahwe kushuka juu yao?

Hofu yaYahwe ilishuka juu yao waliokuwa karibu au jirani na Yuda, kwa hiyo hawakufanya vita dhidi ya Yehoshafati.

2 Chronicles 17:12-13

Je, vitu viwili alivyojenga Yehoshafati katika Yuda ni nini?

Yehoshafati alijenga ngome na miji ya kuhifadhia katika Yuda.

2 Chronicles 17:14-19

Je, Amasia mwana wa Zikri alitoa kitu agani kwa hiari

Kwa hiari Amasia alijitoa kumtumikia Yahwe.

Je, Eliada alikuwa mtu wa namna gani kutoka Benyamini?

Eliada alikuwa mtu mwenye nguvu na shujaa.

2 Chronicles 18

2 Chronicles 18:1-3

Ni kwa namna gani Yehoshafati alifanya undugu na Ahabu?

Yehoshafati alipatana na Ahabu kwa kumtoa mmoja wa watu wa ndugu zake aolewe katika familia ya Ahabu.

2 Chronicles 18:4-5

Je, Yehoshafati alimwamabia mfalme wa Israeli kufanya nini ili alitafute jibu lake?

Yehoshafati alimwamabia mfalme wa Israeli "Tafadhali litafute kwanza neno la Yahwe kwa ajili ya jibu lako."

2 Chronicles 18:6-8

Kwa nini mfalme wa Israeli alimchukia Mikaya mwana wa Imla?

Mfalme wa Israeli alimchukia Mikaya kwa sababu kamwe hakutabiri kitu chema kuhusu mfalme, ila magumu tu.

2 Chronicles 18:9-11

Je, manabii walisema nani alikuwa ameutia Ramothi katika mkono wa mfalme.

Wote walitabiri kuwa Yahwe alikuwa ameutia Ramothi Gileadi katika mkono wa mfalme.

2 Chronicles 18:12-14

Mjumbe alimwambia Mikaya ya kuwa maneno y manabii lyalikuwa yanasema nini kuhusu mfalme mfalme?

Mjumbe alimwamabia Mikaya kuwa manene ya manabii kwa kinywa kimoja yalikuwa yanatabiri mambo mazuri kwa mfalme.

2 Chronicles 18:15-16

Je, Mikaya aliwalinganisha na nini Israeli alipowaona wametawanyika juu ya mlima?

Mikaya alisema kuwa aliwaona Israeli wametawanyika juu ya milima kama kondoo wasio na mchungaji.

2 Chronicles 18:17-18

Je, Yamikaya alaipomwona Yahwe juu ya akiti chake cha enzi, je majeshi ya mbinguni yalikuwa wapi?

Mikaya alimwona Yahwe ameketi juu ya kiti chake, na majeshi yote ya mbinguni yalikuwa yamesimama katika mkono wake wa kulia na wa kushoto

2 Chronicles 18:19

Je, Yahwe allikuwa anauliza nini kitokee wakati Ahabu alipoenda Ramothi Gileadi?

Yahwe alikuwa alikuwa anauliza mtu atakaye mrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba kwamba aende na kuanagauka huko Ramothi Gileadi.

2 Chronicles 18:20-21

Je, roho ya alikuwa anaenda kuwa roho wa udanganyifu kwa nani?

Roho alisema kwamba angeenda na akuwa roho wa udanganyifu katika kinywa cha manabii wa Ahabu.

2 Chronicles 18:22-24

Je, Mikaya alisema Yahwe alikuwa ametangaza nini kwa ajili ya mfalme wa Israeli?

MIkaya alisema akuwa Yahwe alikuwa ametangaza majanga akwa jili ya mfalme wa Israeli.

2 Chronicles 18:25-27

Je, Mikaya alipaswa kuwa wapi mpaka mfalme wa Israeli arudi salama?

Mfalme alisema akuwa Mikaya awekwe gerezani hadi atakaporudi salama.

kama mfaalme angerudi salama, je, maana ya maneno ya Mikaya ingekuwaje?

Mikaya alisema kuwa kama mfalme angerudi salama basi Mungu asingekuwa amesema naye?

2 Chronicles 18:28-30

Mfalme wa Aramu aliwaambia maamri jeshi kumvamia nani?

Mfalme wa Aramu aliwaambia maamri wa magari yake kwamba wasiwavamie wanajeshi, lakini badala yake wamvamie mfale wa Israeli tu.

2 Chronicles 18:31-32

Je, makamanda waliafanaya nini waliapobaini kuwa Yehoshafati hakuwa mfalme wa Israeli?

Makamanda walipoona ya akuwa hakauwa mfalme wa Israeli, walirudi wakaacha kumkabili.

2 Chronicles 18:33-34

Je, ilikuwa siku gani Ahabu alipokufa?

Ilikuwa kipindi cha jua kuzama. ndipo Ahabu akafa.

2 Chronicles 19

2 Chronicles 19:1-3

Je, ni kitu gani chema kilikuwa katika moyo wa Yehoshafati?

Jambo jema lilikuwa katika moyo wa Yehoshafati, kwamba alikuwa ameulekeza moyo wake katika kumtafuta Mungu.

2 Chronicles 19:4-5

Yehoshafati aliweka waamuzi wapi?

Yehoshafati aliweka waamuzi katika nchi ya miji yenye ngome katika Yuda.

2 Chronicles 19:6-7

Je, Yehoshafati alisema Yahwe alikuwa wapi wakati waamuzi walipotoa hukumu?

Aliwaambia waamuzi kuwa Yahwe alikuwa pamoja naokatika kazi ya kutoa hukumu.

2 Chronicles 19:8-9

Je, Yohoshafati alisema waamuzi waliapaswa akuwa na maoyo wa aina gani katika kumtumikia Yahwe?

Yehoshafati aliwaelekeza kuwa katika kumtumikia Yahwe, walipaswa kuamua kwa uaminifu, na kwa moyo wa ukamilifu.

2 Chronicles 19:10

Je, kitu gani kisingeshuka juu yao kama kama watu wasingefanya dhambi dhidi ya Yahwe?

Watu waliambiwa wasimtende dhambi Yahwe, ili kwamba hasira yake isishuke juu yao.

2 Chronicles 19:11

Je, Yehoshafati aliomba Yahwe awe na nani?

Yehoshafati aliomba kuwa Yahwe awe na wale waliokuwa wema.

2 Chronicles 20

2 Chronicles 20:1-2

Ni kwa sababau gani watu wa Moabu, Amoni na Meuni walikuja kinyume na Yehoshafati?

Waalikuja kinyume na Yehoshafati kwa ajili ya kupigana.

2 Chronicles 20:3-4

Je, watu wa Yuda walikuja kumtafuta Yahwe wakitokea wapi?

Watu walikuja kumtafuta Yahwe wakitokea miji yote ya Yuda.

2 Chronicles 20:5-7

Je, Yehoshafati alisimama wapi katika kusanyiko la watu?

Yehoshafati alisimama kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya uwanja mpya.

2 Chronicles 20:8-9

Je, Yehoshafati alirudia ahadi gani ya Yahwe wakati watu walipomlilia katika mateso yao?

Yehoshafati alisema kuwa, watu watakapomlilia Yahwe katika shida zao, atawasikia na kuwaokoa

2 Chronicles 20:10-11

Ni jambo gani ambalo Yahwe hakuwaruhusu Waisraeli kuwafanyia Waamoni, Moabu, na Mlima Seuri wakati walipotoka Misiri?

Yahwe hakuwaacha Waisraeli kuwavamia walipokuja kutoka nchi ya Misiri.

2 Chronicles 20:12-13

Je, watu gani wa Yuda walisimama mbele ya Yahwe?

Watu wote wa Yuda walisimama mbele ya Yahwe, pamoja na vijana wao, wake zao na watoto wao.

2 Chronicles 20:14-15

Kwa nini Yahwe alisema wasiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya jeshi kubwa dhidi yao?

Yahwe aliwaambia kuwa wasiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya jeshi kubwa, kwa maana vita havikuwa vyao, bali vya Mungu.

2 Chronicles 20:16-17

Yahwe alisema watu wangeona nini kama wangesimama wima?

Yehwe aliwaambia kusimama wima ili wauone wokovu wa Yahwe pamoja nao

2 Chronicles 20:18-19

Je, Yuda na wakaaji wa Yerusalemu walifanya nini katika ibada mbele ya Yahwe?

Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu walianguka chini mbele ya Yahwe, wakimwabudu Yeye.

2 Chronicles 20:20-21

Kwa nini Yehoshafati alisema wamshukuru Yahwe wakati jeshi lilipokuwa linaondoka?

Walipokuwa wanakwenda nje wakilitangulia jeshi, Yehoshafati aliwaambia kusema, "Mshukuruni Yahwe; kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele."

2 Chronicles 20:22-23

Je, Yahwe alifanya nini baada ya watu kuanza kuimba na kusifu?

Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe alipanga wanaume katika mavamizi dhidi ya adui zao.

2 Chronicles 20:24

Watu wa Yuda waliona nini walipoangalia nje kwenye jeshi la adui zao?

Walipoangalia nje kwenye jeshi, walikuwa wamekufa, wamweanguka chini.

2 Chronicles 20:25-26

Je, iliwachukua muda gani watu kusomba nyara kutoka jeshi la adui zao.

Iliwachukua siku tatu kuzisomba nyara , kwa maana zilikuwa nyingi sana.

2 Chronicles 20:27-28

Kwa nini Yeroboamu na watu wake walirudi Yerusalemu kwa furaha?

Walirudi Yerusalemu kwa furaha kwa sababu Yahwe aliwapa kufurahi juu ya adui zao.

2 Chronicles 20:29-30

Ni kitu gani Mungu alimpa Yehoshafat ambacho kilifanya ufalme wake uwe mtulivu?

Ufalme wa Yehoshafati ulikuwa mtulivu kwa sababu Yaahwe alimpa amani katika maeneo yote ya jirani naye.

2 Chronicles 20:31-34

Je, Yehoshafati alifanya nini mbele ya macho ya Yahwe?

Yehoshafati alifanya mema mbele ya macho ya Yahwe.

2 Chronicles 20:35-37

Ni kitu gani kilitabiriwa dhidi ya Yehoshafati kwa sababu alifanya mapatano na Ahazia?

Kwa sababu Yehoshafati alikuwa amefanya mapatanao na Ahazia, Yahwe aliiharibu miradi yake.

2 Chronicles 21

2 Chronicles 21:1-3

Kwa nini Yehoshafati alimpa Yeroboamu kiti cha enzi?

Yehoshafati alimpa Yeroboamu kiti cha enzi kwa sababu Yeroboamu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.

2 Chronicles 21:4-5

Je, baada ya kuimaarishwa kama mflame, Yeroboamu aliwafanyia nini ndugu zake ?

Baada ya Yeroboamu kujiimarisha kama mfalme, aliwaua ndugu zake wote kwa upanga.

2 Chronicles 21:6-7

Kwa nini Yahwe hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi?

Yahwe hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi kwa sababu ya agano alailokuwa amefanya na Daudi

2 Chronicles 21:8-10

Kwa nini Libna iliasi dhidi ya Yuda?

Waliasi kutoka nguvu ya Yuda kwa sababu Yehoramu alimsahau Yahwe.

2 Chronicles 21:11

Je, Yehoramu alijenga kitu gani katika milima ya Yuda?

Yehoramu alijenga sehemu za juu katika milima ya Yuda.

2 Chronicles 21:12-15

Eliya alisema kingetokea kitu gani katika utumbo wa Yehoramu katika ugonjwa wake?

Yehoramu angekuwa na ugonjwa mwingi mpaka pale utumbo wake ungedondoka chini kwa sababu ya ugonjwa.

2 Chronicles 21:16-17

Je, Wafilist na waaeabu walichukua nini kutoka nyumba ya mfalme?

Walichukua utajiri wote uliokuwa kwenye nyumba ya mfalme.

2 Chronicles 21:18-20

Je, watu wake hawakufanya nini kwa ajili ya Yehoramu ambacho walikuwa wamewafanyia babu zake.

Watu wake hawakufanya moto katika heshima yake kama walivyokuwa wamewafanyia babu zake.

2 Chronicles 22

2 Chronicles 22:1-3

Je, Ahazi alitembea katika njia za nani kwa sababu ya ushauri wa mama yake?

Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa maana mama yake ndiye alikuwa mshauri wake katika kufanya mambo maovu.

2 Chronicles 22:4-5

Je, Ahazia alifanya vipi katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wanafanya?

Ahazia alifanya maovu katika macho ya Yahwe, kama vile walivykuwa wanafanya watu watunyumba ya Ahabu.

2 Chronicles 22:6

Kwa nini Ahazia alienda kumtembelea Yoramu, mwana wa Ahabu?

Ahazia alienda Yezreeli ili kumuona kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.

2 Chronicles 22:7-8

Je, Mungu alileta nini kupitia ziara ya Ahazia ya kumtembelea Yoramu?

Uharibifu wa Ahazia uliletwa na Mungu kupitia ziara yake ya kumtembelea Yoramu.

2 Chronicles 22:9

Je, Yehu alikumbuka kitu gani kuhusu baba yake Ahazia?

Yehu alisema kuwa Ahazia alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.

2 Chronicles 22:10-12

Je, mama yake Ahazia aalifanya kitu gaani baada ya kuona kuwa mwanaye alikuwa amekufa?

Alipoona ya kuwa mwanaye alikuwa amekufa, aliamka na kuwaua watoto wote wa kifalme katika Yuda.

Ni kwa muda gani Yoashi alikuwa amejificha katika nyumba ya Mungu katika kipindi cha utawala wa Athalia?

Yoashi alikuwa amejificha katika nyumba ya Yahwe kwa miaka sita wakati Athalia alipotawala katika nchi.

2 Chronicles 23

2 Chronicles 23:1-3

Ni kitu gani kilimpa nguvu nguvu Yehoyada ya kusema kwa viongozi kwamba mwana wa mfalme angetawala?

Yehoyada alisema kuwa mwana wa mfalme atatawala, kama jinsi Yahwe alivyokuwa ameahidi kuhusu wazawa wa Daudi.

2 Chronicles 23:4-5

Je, ni kazi gani walikuwa wamepangiwa makuhani na Walawi kwa aaajili ya kufanya katika Sabato?

Wale ambao walikuja kuhudumu siku ya Sabato walipangwa kuwa walinzi katika milango.

2 Chronicles 23:6-7

Ni wakati gani Walawi waliambiwa kukaa na mfalme?

Waliambiwa kukaa na mfalme wakati alipokuja ndani na wakati alipotoka

2 Chronicles 23:8-9

Je, ni kwa namna gani Walawi na Yuda wote walifuata kikamilifu amri ya Yehoyada?

Walihudumu katika kila njia katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru.

2 Chronicles 23:10-11

Je, walimpa nini mwana wa mfalme wakati walipomvika taji?

Walimtoa nje mwana wa mfalme, wakamvika taji, na kumpa agano la sheria.

2 Chronicles 23:12-13

Je, kelele gani zilimfanya Athalia kuja kwa watu katika nyumba ya Yahwe?

Aliposikia sauti za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, alikuja kwa watu katika nyumba ya mfalme.

Je, Athalia alifanya kitu gani wakati alipokuwa akipiga kelele akisema "Fitina."?

Aliyalarua maavazi yake na kusema, "Fitina!"

2 Chronicles 23:14-15

Je, Yehoyada aliamurisha kifanywe nini kwa kila mmoja aliyemfuata Athalia?

Yehoyada alisema kuwa kila mtu aliyemfuta Athalia auawe kwa upanga.

2 Chronicles 23:16-17

Je, Yehotada alifanya agano gani kati yake, watu, na mfalme?

Yehoyada alifanya agano kati yake na watu wote, na mfalme, kwamba wawe watu wa Yahwe.

2 Chronicles 23:18-19

Je, Yehoyada alimzuia nani kuingia kwa kuweka kwenye nyumba ya Yahwe kwa kuweka walinzi katika malango?

Yehoyada aliweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba asiingie mtu yeyote asiyesafi.

2 Chronicles 23:20-21

Je, Yehoyada na watu walisimamisha mfalme wapi baada ya kuja kupitia Lango la juu?

Watu wwlikuja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la Juu na kusimamisha mfalme katika kiti cha enzi cha ufalme.

2 Chronicles 24

2 Chronicles 24:1-3

Je, ni kwa muda ganai Yoashi alifanya yaliyo mema mbele ya macho ya Yahwe?

Yoashi alifanya yaliyo mema mbele ya macho ya Yahwe kwa siku zote za maisha ya Yehoyada, kuhani.

2 Chronicles 24:4-5

Je, Yoashi aliwatuma makuhuani na Walawi kukusanya fedha kwa ajili ya kazi gani?

Yoashi aliwatuma kwenda kukusanya fedha katika Israeli yote kwa ajili ya kuikarabati nyumba ya Mungu wao.

2 Chronicles 24:6-7

Je, ni kitu gani wana wa Athalia walikuwa wamechukua kutoka kwenye nyumba ya Yahwe na kuwapa Mabaali?

Walikuwa wamezitoa samani zote za nyumba ya Yahwe na kuwapa Mabaali.

2 Chronicles 24:8-10

Mfalme alikuwa ameagiza kasha litakalotengenezwa liwekwe wapi?

Mfalme aliamuru, na walitengeneza kasha na kuliweka nje kwenye mlango wa nyumba ya Yahwe.

Watu gani walishangilia na kuleta pesa ili ziwekwe kwenye kasha?

Viongozi wote na watu wote walishangilia na kuleta pesa ili ziwekwe kwenye kasha.

2 Chronicles 24:11-12

Je, viongoz walikusanya nini baada ya kuhamisha pesa kutoka kwenye kasha siku baada ya siku?

Walihamisha pesa kwenye kasha siku baada ya siku, wakikusanya kiasi kikubwa sana cha fedha.

2 Chronicles 24:13-14

Je, wafanya kazi waliisimamishaje nyumba ya Mungu kwa namna walivyokuwa wanaikarabati?

Wafanya kazi waliipanga nyumba ya Mungu katika muundo wake wa asili na kuiimarisha.

2 Chronicles 24:15-16

Kwa nini Yehoyada alizikwa miongoni mwa wafalme katika mji wa Daudi?

Walimzika katika mji wa Daudi miongoni mwa wafalme, kwa sababu alifanya vizuri kwa Mungu katika Israeli, na katika nyumba ya Mungu.

2 Chronicles 24:17-19

Je, watu walifanya nini baada ya Yahwe kutuma manabii kutuma manabii kwenda kushuhudia kinyume nao?

Yahwe aalituma manabii kwenda kushuhudia kunyume na watu, lakini walipuuza kusikiliza.

2 Chronicles 24:20-22

Ni kwa namna gani Mfalme Yoashi alipuuza ukarimu ambao baba yake Zakaria alikuwa amemfanyia?

Yoashi, mfalme, alipuuza ukarimu aliokuwa amefanyiwa na baba yake Zakaria, badala yake aliwauwa wana wa Yehoyada.

Kwa nini Zakaria aliwaambia watu ya kuwa Mungu alikuwa amewasahau?

Zakaria aliwaambia watu ya kwamba kwa kuwa walikuwa wamemsahau Yahwe, hivyo Yahwe alikuwa amewasahau pia?

2 Chronicles 24:23-24

Je, Yahwe aliwapa nini jeshi dogo la Waaramu kwa sababu ya Yuda kumsahau?

Waaramu walikuwa wamekuja na jeshi dogo, lakini Yahwe aliwapa ushindi juu ya jeshi kubwa, kwa sababu Yuda walikuwa wamemsahau Yahwe.

2 Chronicles 24:25-27

Kwa nini watumishi wa Yoashi waliasi dhidi yake?

Watumishi wa Yoashi waliasi dhidi yake kwa sababu ya mauaji ya wana wa Yehoyada kuhani.

2 Chronicles 25

2 Chronicles 25:1-2

Amazia alianza kutawala akiwa na umri gani, na alitawala kwa muda gani?

Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala ma alitawala kwa miaka ishirina na tisa.

Je, moyo wa Amazia ulikuwaje?

Moyo wa Amazia haukuwa ujimetoa kwa Mungu kikamilifu.

2 Chronicles 25:3-4

Kwa nini Amazia haakuwaua wana watoto wa watumishi waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme?

Amazia hakuwaua watoto wa watumishi waliokuwa wamemuua baba yake kwa sababu sheria katika kitabu cha Musa ilisema kwamba watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao, bali kila mtu atakufa kwa dhambi zake mwenyewe.

2 Chronicles 25:5-6

Ni kwa namna gani Amazia aliongeza watu katika wale 300,000, wanaume waliokuwa wamechaaguliwa kutoka Yuda na Benyamini ambao walikuwa wameandikwa kwa majina ya nyumba za babu zao?

Amazia alikodi wanaume waendao vitani 100,000 kutoka Israeli na kuwaongeza katika wale 300,00, watu waliochaguliwa kutoka Yuda.

2 Chronicles 25:7-8

Kwa nini mtub wa Mungu alimwambia mfalme asiwaruhusu jeshi la Israeli waende pamoja naye?

Mtu wa Mungu alimwambia mfalme kuwa asiwaruhusu jeshi la Israeli kwenda pamoja naye kwa sababu Yahwe hakuwa pamoja na Israeli.

Je, mtu wa Mungu alisema kingetokea kitu gani hata kama Amazia alikuwa jasiri na imara katika vita?

Mtu wa Mungu alisema kwamba Mungu angemrusha chini mbele za jeshi.

2 Chronicles 25:9-10

Mtu wa Mungu alimjibuje Amazia kuhusu swalai lake juu ya jinsi ya kufanya kuhusu zile talanta mia moja ambazo alikuwa amewapa jeshi la Israeli?

Mtu wa Mungu alimwambia Amazia kwamba Yahwe alikuwa na uwezo wa kumpa vingi kuliko hicho.

Kwa nini hasira ya jeshi kutoka Efraimu iliwaka juu ya Yuda?

Hasira yao iliwaka dhidi ya Yahwe kwa sababu Amazia alilitenganisha jeshi na kuwarudisha nyumbani

2 Chronicles 25:11-12

Je, kitu gani kiliwapata wwatu wanaume elfu kumi wa Seiri wakati Amazia alipowaongoza watu wake hadi Bonde la Chumvi?

Amazia aliwaongoza watu wake hadi Bonde la Chumvi na kuwashinda wale wanaume elfu kumi wa Seiri.

2 Chronicles 25:13

Je, Jeshi la Israeli liifanyia nini miji ya Yuda kuanzia Samaria hadi Beth-horoni?

Jeshi la Israeli waliivamia miji, wakawaua wanaume elfu tatu na kuchukua nyara nyingi sana.

2 Chronicles 25:14-15

Amazia aliitumiaje miungu aliyokuwa ameichukua kutoka kwa watu wa Seiri?

Amazia aliisimamisha miungu ili iwe miungu yake, akaisujudia, na kuitolea uvumba au sadaka za kuteketezwa.

2 Chronicles 25:16

Nabii alisema Mungu alikuwa na sababu gani nzuri ya uamzi wake wa kumuangamiza Amazia?

Sababu ya Mungu kuamua kumuangamiza Amazia ilikuwa kwamba alifanya jambo hili na hakuwa amememsikiliza nabii.

2 Chronicles 25:17

Je, Amazia alituma ujumbe gani kwa Yoashi, mfalme?

Amazia alituma almtumia ujumbe Yoashi, akimtaka aje wakutane uso kwa uso katika vita.

2 Chronicles 25:18-19

Kwa nini mjumbe wa Yoashi alimwambia Amazia kubaki nyumbani?

Mjumbe wa Amazia alimwambia Yehoashi kubaki nyumbani kwa sababau wote Amazia na Yuda wangeanguka.

2 Chronicles 25:20-22

Kwa nini Mungu angewatia watu wa Yuda katika mkono wa adui zao?

Mungu angewatia mkononi mwa adui zao kwa sababu walikuwa wametafutafuta ushauri kutoka miungu ya Edomu.

Baada ya Yehoashi mfalme wa Israeli, na Amazia mfalme wa Yuda kukutana uso ka uso katika vita huko Beth- Shemishi matokeo yake yalikuwaje?

Matokeo yake yalikuwa kwamba, Yuda walipigwa mbele ya Israeli na kila mtu alikimbia nyumbani.

2 Chronicles 25:23-24

Je, Yehoashi alirudi wapi baada ya kuuharibu ukuta wa Yerusalemu na kuchukua vyombo vingi vya thamani kutoka hekaluni na ikulu, pamoja na mateka?

Yehoashi alirudi Samaria baada ya kuubomoa ukuta wa Yerusalemu na kuchukua vitu vya thamani na mateka pia.

2 Chronicles 25:25-26

Amazia mfalme wwa Yudaaliishi kwa muda ganai baada ya kifo cha Yehoashi mfalme wa Israeli?

Amazia aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi.

2 Chronicles 25:27-28

Amazia alipoacha kumfuata Yahwe, je kitu gani kilianza kwenda kinyume naye?

Baada ya Amazia kuacha kumfuata Yahwe, njama ya kumuua ilianzzisshwa.

Amazia alipouawa alizikwa wapi kaatika Lachishi?

Amazia alizikwa pamoja na babu zale katika Yuda.

2 Chronicles 26

2 Chronicles 26:1-3

Nani alimfanya Uzia kuwa mfalme baada ya kifo cha baba yake Amazia?

Watu wa Yuda walimchukua Uzia na kumfanya mfalme kaatika nafasi ya baba yake Amazia.

Je, Uzia aliufanya nini mji wa Elothi baada ya kuwa mfalme?

Uzia aliujenga Elothi na kuurejesha Yuda.

2 Chronicles 26:4-5

Ni kwa namna gani Uzia aliufuata mfano wa baba yake katika kujenga uhusianao na Yahwe?

Uzia alaifanya yaliyomema machoni pa Yahwe na alijitoa kumtafuta Mungu.

Nini kilitokea kwa Uzia kadri alivyokuwa anamtafuta Yahwe?

Uzia kadri alivyokuwa anamtafuta Yahwe, Mungu alimfanikisha.

2 Chronicles 26:6-8

Maatokeo ya Mungu kumsaidia Uzia kupigani dhidi ya adui zake yalikuwa nini?

Mungu alimsaidia Uzia kupigana na adui zake, na umaarufu wake ukaenea katika nchi zingine na akawa na nguvu sana.

2 Chronicles 26:9-10

Je, Uzia alijenga nini katika malango ya huko Yerusalemu na katika jangwa?

Uzia alijenga minara kwenye malango ya makutano ya Yerusalemu na katika lango la kona. Pia alijenga mnari wa saa katika nyika.

Kwa nini Uzia alijenga mnara wa saa, na kwa nini alichimba mabwawa katika nyika?

Uzia alijenga mnara wa saa na kuchimba mabwawa katika nyika kwa sababu alikuwa na mifugo na watu waliopenda kililimo na kufanya shughuli za kulima.

2 Chronicles 26:11-13

Jeshi la Uzia walifanyaje vita?

Jeshi la Uzia walifanya vita kwa nguvu ili kumsaidiaa mfalme dhidi ya adui.

2 Chronicles 26:14-15

Wakati Uzia analinoa jeshi lake, je, ni kitu gani kiligunduliwa na wanaume wenye ujuzi?

Kkatika Yerusalemu, Uzia alijenga injini ambazo zilikuwa zimegunduliwa na wanaume wenye ujuzi.

Je, umaarufu wa Uzia ulienea hadi wapi wakatai alipokuwa amesaidiwa sana na Yahwe mpaka akawa na nguvu sana?

Umarufu wa Uzia ulienea hadi nchi za mbali sana.

2 Chronicles 26:16-18

Je, Uzia alimuasije Mungu Yahwe, Mungu wake, baada ya kuwa na nguvu sana?

Uzia alimuasi Yahwe baada ya kuingia katika nyumba ya Yahwe kufukiza uvumba juu ya madhabahu ya kufukizia.

Kwa nini Azaria na wale makuhani wanane walimfuata ndani Uzia, na kwa nini Azaria alisema kwamba Uzia amemuasi Mungu alipofukiza uvumba katika madhabahu?

Makuhani walimwambia Uzia kwamba, ni makuhani pekee, wana wa Haruni, ambao wamewekwa wakfu kwa ajili ya kufukiza uvumba katika madhabahu, na kwa hiyo Uzia amemuasi Yahwe alipomfukizia uvumba.

2 Chronicles 26:19-20

Nini kilimpata Uzia alipokuwa ameshikilia chetezo mkononi mwake kwa ajili ya kufukza uvumba, na alipokuwa na alipowakasirikia makuhani?

Wakati Uzia alipokuwa ameshikilia chetezo, na alipowakasirikia makuhani, ukoma ukamwenea katika uso wake.

Kwa nini ukoma ulimwenea Uzia katika uso wake?

Ukoma ulipata Uzia katika uso wake kwa sababu Yahwe alikuwa amempiga.

2 Chronicles 26:21

Kwa nini Uzia alipaswa kuishi katika nyumba ya kutengwa hadi siku ya kufa kwake?

Uzia alipaswa kuishi katika nyumba ya kutengwa kwa sababu alikuwa mwenye ukoma na aliondolewa kwenye nyumba ya Yahwe.

2 Chronicles 26:22-23

Je, nani alikuwa mfalme baada ya Uzia kufa na kuzikwa katika makaburi ya babu zake?

Yotahamu, mwana wa Uzia, ndiye aliyekuwa mfalme katika nafasi ya baba yake.

2 Chronicles 27

2 Chronicles 27:1-2

Yothamu alikuwa na umri gani alipokuwa mfaalme, na je alitawala kwa muda gani?

Yothamu alikuwa na umri wa miaka ishiini na mitano alipokuwa mfalme na alitawala kwa miaka ishirini na sita katika Yerusalemu.

Je, mwenenddo wa watu wa Yuda uliendeleaje, ingawa walifiri kuwa Yothamu alifanya yaliyo mema mbele za macho ya Yahwe?

Watu wa Yuda bado waliendelea kufanya uovu, richa ya kuwa walifikiri kuwa Yothamu alifanya mema katika maacho ya Yahwe.

2 Chronicles 27:3-4

Je, Yothamu alijenga nini katika Yerusalemu?

Yothamu alijenga lango la juuya nyumba ya Yahwe, na alijenga mengi katika milima ya Ofeli.

Yothamu alijenga nini kaatika kilima cha Yuda na katika mistu ya Yuda?

Yothamu alijenga miji katika kilima cha nchi, na ngome na minara katika misitu ya Yuda.

2 Chronicles 27:5

Kwa nini watu wa Amoni walimpa Yothamu fedha, ngano, na shayiri?

Watu wa Amoni wlimpa Yothamu fedha, ngano na shayiri kwa sababu alipigana nao na kuwashinda.

2 Chronicles 27:6-7

Kwa nini Yothamu alikuwa na nguvu sana?

Yothamu alikuwa na nguvu sana kwa sababu alitembea imara mbele za Yahwe.

2 Chronicles 27:8-9

Yothamu alipokufa alizikwa wapi?

Yothamu alizikwa katika mji wa Daudi.

Nani alikuwa mfalme wa Yuda baada ya kifo cha Yothamu?

Ahazi, mwana wa Yothamu, ndiye alikuwa mfalme katika nafasi ya baba yake.

2 Chronicles 28

2 Chronicles 28:1-2

Je, Yothamu hakufanya kitu gani kama kama Daudi babu yake alivyofanya ?

Ahazi hakufanya yaliyomema machoni pa Yahwe kama babu yake Daudi alivyokuwa amefanya.

2 Chronicles 28:3-4

Je, ni kitu gani kingine Ahazi aliwafanyia watoto wake, mbali na kutengeneza sanamu za Mabaali, kutoa kutoa sadaka za uvumba, na kuufuata uovu wa makundi ya watu ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele nje ya nchi mbele ya Israeli?

Ahazi aliwaweka watoto wake juu ya moto kama sadaka za kuteketezwa.

2 Chronicles 28:5-6

Je, ni kitu gani kilichopelekea Ahazi akashindwa katika mikono ya Waaramu na pia katika mkono wa mfalme wa Israeli?

Ahazi alishindwa na Waaramu na mfalme wa Israeli kwa sababu yeye na watu wake walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.

2 Chronicles 28:7-8

Je, Jeshi la Israeli lilirudisha kitu gani Samaria?

Jeshi la Israeli lilirudisha mateka kutoka kwa ndugu zao, na pia walichukua nyara ambazo walizirudisha Samaria.

2 Chronicles 28:9-11

Nani alitoka kwenda kukutana na jeshi lilokuwa likija Samaria.

Obedi, nabii wa Yahwe, alitoka kukutana na jeshi.

Je, Obedi aliwashutumu jeshi kuhusu kitu gani?

Obedi aliwashutumu jeshi kwa kuwaua watu wa Yuda kwa hasira amabayo ilifika hadi juu mbinguni?

Je, Obedi aliwaambia jeshi la Israeli kuwafanya nini wafungwa waliokuwa wamewachukuwa aakama watumwa kutoka Yerusalemu?

Obedi aliliambia jeshi kuwarudisha wafungwa, kwa sababu gadhabu ya Yahwe ilikuwa juu yao.

2 Chronicles 28:12-13

Je, wakuu wa watu wa Efraimu walisema sababu ya kutowarudisha wafungwa Samaria ilikuwa nini?

Viongozi walisema jambo hilo lingeifanya dhambi yao kuwa kubwa dhidi ya Yahwe na kuileta hasira ya Yahwe juu ya Israeli.

2 Chronicles 28:14-15

Je, viongozi waliwaafanya nini wafungwa askari walipowaachia mbele yao?

Viongozi waliwavika nguo, wakawapa viatu, chakula wale na vinywaji, kuyahudumia majeraha yao, na kuwarudisha kwenye familia zao huko Yeriko.

2 Chronicles 28:16-18

Ni kitu gani kilimfanya Mfalme Ahazi kutuma ujumbe kwa wafalme wa Ashuru akiomba msaada?

Ilikuwa muhimu kwa Ahazi kuwaomba wafalme wa Ashuru msaada kwa sababu Waedomu walikuwa wameivaamia Yuda na Wafilist walikuwa wameivamia miji ya chini na ya Negebu ya Yuda.

2 Chronicles 28:19-21

Je, ni jambo gani Ahazi alifanya ambalo lilimfanya Yahwe kuishusha chini Yuda?

Yuda ilishushwa chini kwa sababu Ahazi alikuwa ametenda uovu na kufanya dhambi kubwa Yahwe.

Kwa nini Ahazi aliiteka nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongizi?

Ahazi aliiteka nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi ili kuwapa vitu vya thamani wafalme wa Ashuru.

2 Chronicles 28:22-23

Ni kitu gani kiliwaweka katika mateso Ahazi na Isreli wote?

Ahazi alimtenda dhambi Yahwe na kutoa sadaka kwa miungu ya Damesiki.

2 Chronicles 28:24-25

Ahazi alivifanya nini samani za nyumba ya Mungu?

Ahazi alizikata vipande vipande samani na kuifunga milango ya nyumba ya Yahwe.

Je, matokeo ya Ahzai kutengeneza madhabahu katika kila pembe ya Yerusalemu, na kutengeneza sehemu za juu kwa ajili ya kufukiza uvumba kwa miungu mingine katika kila mji wa Yuda?

Matokeo ya vitendo vya Ahazi ni kwamba alimgadhabisha Yahwe, Mungu wa babu zake.

2 Chronicles 28:26-27

Matendo yote ya Ahazi yameandikwa wapi?

Matendo yote ya Ahazi yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli?

Nani alikuwa mfalme baada ya Ahazi kufa na kuzikwa huko Yerusalemu?

Hezekia, mwana wa Ahazi, alikuwa mfalme katika nafasi yake.

2 Chronicles 29

2 Chronicles 29:1-2

Hezekia alifuata mfano wa nani alipoanza kutawala katika umri wa miaka ishirini na mitano?

Hezekia aliufuata mfano wa babu yake Daudi na alifanya yaliyokuwa mema machoni pa Yahwe.

2 Chronicles 29:3-5

Je, Hezekia aliwaambia nini Walawi baada ya kufungua milango ya nyumba ya Yahwe na kuikarabati?

Hezekia aliwaambia Walawi kujitakasa wenyewe, kuitakasa nyumba ya Yahwe, na kuuondoa uchafu kutoka mahali patakatifu.

2 Chronicles 29:6-7

Hezekia alisema babu zake walifanya nini mbele ya macho ya Yahwe?

Hezekia alisema kwamba babu zake waliasi na kutenda maovu katika macho ya Yahwe Mungu wao.

Je, babu zao hawakufanya kitu gani katika mahala ambapo Yahwe aliishi?

Babau zao hawakufukza uvumbawa wala kutoa sadaka za kuteketezwa kaaatika mahali patakatifu kwa ajili ya Mungu wa Israeli.

2 Chronicles 29:8-9

Je, matokeo ya gadhabu ya Yahwe kushuka juu ya Yuda na Yerusalemu yalikuwa nini?

Yahwe alivifanya Yuda na Yerusalemu kuwa kitu cha wasi wasi, hofu na kudharauliwa.

Je, nini kiliwapata baba zao, wana wao, binti zao na wake zao kwa sababu ya hasira ya Yahwe?

Baba zaowwalikufa kwa upanga na wana wao, binti zao na wake zao walipelekwa autumwani kwa sababu ya gadhabu ya Yahwe.

2 Chronicles 29:10-14

Je, Hezekia alipendekeza kufanya ili kwamba gadhabu ya Yahwe igeuke mbali?

Hezekia alipendekeza kwamba wafanye agano pamoja na Yahwe, Mungu wa Israeli.

2 Chronicles 29:15-17

Walawi walifanya jambo gaai baada ya kuwakusanya ndugu zao?

Walawi na ndugu zao, walijitoa waakifu kwa Yahwe wao na ndugu zao, na wakaenda ndani ya nyumba ya Yahwe kuisafisha.

Je, Makuhani waliufanya nini uchafu waliokuta katika hekalu la ya Yahwe wakati wanalisafisha?

Makuhani walibeba uchafu wote na kwenda kuutupa katika kijito Kidroni.

Iliwachukua muda gani makuhani kuitakasa nyumba ya Yahwe?

Makuhani walianza siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, na katika siku ya kumi nasita ya mwezi wakamaliza.

2 Chronicles 29:18-19

Je, makuhani walimwambia Hekia kuwa kuwa walikuwa wameandaa kitu gani zaidi tofauti na kuitakasa nyumba ya Yahwe?

Zaidi ya kuitakasa nyumba ya Yahwe, makuhani walikuwa wameandaa na kuvitakasa vyombo vyote ambavyo mfalme Ahazi alikuwa amevitupa wakati alipoasi katika kipindi cha utawala wake.

2 Chronicles 29:20-21

Hezekia aliwaamabia makuhani kuwafanya nini wanyama waliokuwa wameletwa kama sadaka ya dhambi?

Hezekia aliwaambia makuhani kutoa wanyama juu ya madhabahau ya Yahwe.

2 Chronicles 29:22-24

Kwa nini makuhani wwaliwaua wanyama na kuipaka damu yao juu ya madhabahu?

Makuhani waliwaua wanyama na kuweka damu yao juu ya ya madhabahu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Waisraeli wote. Sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya dhambi zilipaswa kutolewa kwa ajili ya Waisraeli wote.

2 Chronicles 29:25-26

Agizo la kuwapanga Walawi na vyombo vyao katika nyumba ya Yahwe ilitoka kwa nani?

Agizo lilitoka kwa Yahwe kupitia nabii wake.

2 Chronicles 29:27-28

Je, nyimbo na mziki viliendelea kwa muda gani wakati kusanyiko lote walipokuwa wakiabudu na sadaka za kuteketezwa zilipokuwa zinatolewa?

Nyimbo na sadaka za kuteketezwa ziliendelea hadi sadaka za kuteketezwa zilipokwisha.

2 Chronicles 29:29-30

Mtazamo wa Walawi ulikuwa nini wakati walipokuwa wanamsifu Mungu kwa kutumia maneno ya Daudi na Asafu?

Walawi waliimba sifa kwa furaha na walipiga magoti na kuabudu.

2 Chronicles 29:31

Kusanyiko walipeka nini katika nyumba ya Yahwe?

Kusanyiko walipeleka dhabihu na sadaka za shukrani katika nyumba ya Yahwe, na wote wenye moyo wa hiari walipeleka sadaka za kuteketezwa.

2 Chronicles 29:32-33

Je, niaina gani ya wanyama kusanyiko walipeleka kuwa sadaka ya kuteketezwa?

Kusanyiko walipeleka kambaku, kondoo dume, maksai na kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa?

2 Chronicles 29:34

Kwa nini makuhani waliwaomba Walawi kuwasaidia kuwachuna ngozi wale wanayama wa sadaka za kuteketezwa?

Makuhani iliwalazimu kuwaomba Walawi kuwasadia kuchuna ngozi wanyama wa sadaka ya kuteketezwa kwa sababu makuhani walikuwa wachache sana kuifanya kazi peke yao.

2 Chronicles 29:35-36

Hezekia na watu wote walifanya nini huduma ya nyumba ya Yahwe ilipokuwa imepangwa?

Hezekia na watu wote walifurahia.

2 Chronicles 30

2 Chronicles 30:1-3

Hezekia alituma wajumbe kwa wapi, na alimwandikia barua nani?

Hezekia alituma wajumbe kwa Israeli na Yuda yote, na aliwaandikia barua Efraimu na Manase.

Je, ujumbe wa Hezekia uliwaambiaje?

Ujumbe uliwaambia kuwa walipaswa kwenda Yerusalemu kwenye nyumba ya Yahwe kwa ajili ya kusherehekea Pasaka.

Ni akina nani walikuwa wameshauriana pamoja kusherehekea Pasaka katika mwezi wa wa pili?

Walikuwa wafalme, viongozi wake, na kusanyiko lote katika Yerusalemu.

Kwa ni ni hawakuisherekea Pasaka mapema kabla ya hapo?

Hawakuweza kuisherekea Pasaka mapema kwa sababu hapakuwa na makuhani wa kutosha, wala watu hawakuwa wamekusanyika katika Yerusalemu.

2 Chronicles 30:4-5

Mpango huu ulionekanaje kwa mfalme na kusanyiko lote.

Mpango ulionekana kuwa sahihi katika macho yake.

Je, mfalme na kusanyiko lote walianzisha na kutengeneza nini?

Walianzisha sheria na kufanya tangazo.

Je, tangazo lilipelekwa kwa wapi??

Tangazo lilenda katika Yuda yote kutoka Beeer- sheba hadi Dani.

Je, tangazo lilisema nini?

Tangazo lilisema kwamba watu walipaswa kuja kusherehekea Pasaka ya Yahwe katika Yerusalemu.

2 Chronicles 30:6

Je, tangazo lilipelekwa kwa njia gani?

Tangazo lilipelekwa na matarishi kwa njia ya barua kutoka kwa mfalme na viongozi kwenda kwa Israeli na Yuda wote.

2 Chronicles 30:7-9

Tangazo lilisema kitu gani kingetokea ikiwa watu wangemrudia Yahwe?

Watoto na ndugu wangeona huruma mbele za wale waliokuwa wamewachukua kama wafungwa, na wangerudi katika Israeli.

2 Chronicles 30:10-12

Matarishi walienda wapi, na je, watu waliitikiaje?

Matarishi walienda mji baada ya mji kutoka Efraimu na Manase hadi Zebuloni, lakini watu waliwacaheka na kuwazomea.

Ni nani walijinyenyekeza na walifanya nini?

Baadhi ya watu wa Asheri, na Zabuloni walijinyenyekeza wenyewe na kuja Yerusalemu.

Je, mkono wa Mungu ulifanya nini na kitu gani kilitokea?

Mkono wa Mungu ulikuja juu ya Yuda na walikuwa na moyo mmoja katika kulikubali agizo

2 Chronicles 30:13-15

Je, ni watu wangapi walikusanyika Yerusalemu kwa ajili ya kusheherekea Sikukuuu ya Mikate Isiyochacha katika mwezi wa pili?

Watu wengi, kusanyiko kubwa, lilikusanyika Yerusalemu.

Wale waliokusanyika Yerusalemu walifanya kitu gani?

Walizichukua madhabahu, madhabahu zote kwa ajili ya uvumba, na kuzitupa katika kijito Kidroni. Kisha walimuua mwana kondoo wa Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili.

Je, makuhani na Walawi waliokuwa wamekusanyika walifanya nini?

Walijitakasa wenyewe na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe.

2 Chronicles 30:16-17

Je, walisimamaje na makuhani walifanya nini?

Walisimama kataika makundi yao wakifuata sheria ya Musa, na makuhani wakanyunyiza damu.

Kwa nini makuhani waliinyunyiza damu waliyokuwa wameipokea kutoka kwa Walawi?

Kwa sababu wengi hawakuwa wamejitakasa, Walawi walikuwa wasimamizi wa shuguli ya kuwachinja wanakondoo wa Pasaka, na makauhani walipokea kutoka kwao na kunyunyiza.

2 Chronicles 30:18-20

Kwa nini Hezekia aliomba kwa ajili ya watu wa Efraimu, Manase, Isakari, na Zaabuloni, na je, aliwaombea kwa ajili ya nini?

watu wengi hawakuwa wamejitakasa na walikila chakula cha Pasaka kinyume na utaratibu. Kwa hiyo, Hezekia aliomba ili Yahwe awasamehe wale ambao walielekeza mioyo yao kumtafuta Mungu, ingawa hawakuwa wametakaswa kwa kiwango vya patakatifu.

2 Chronicles 30:21-22

Je, watu wa Israeli, Walawi na makuhani walifanya nini?

Watu waliitunza Sikukuu kwa furaha kwa muda wa siku saba. Walawi na makuhani walimsifu Yahwe wakiimba kwa vyombo vya sauti kuu.

Je, Hezekia alisemaje kwa Walawi walikuwa wanaelewa huduma ya Yahwe, na je, walifanya nini?

Hezekia aliwatia moyo na waalikula katika muda wote wa sikuku kwa siku saba, wakitoa sadaka za amani, na kutubu kwa Yahwe.

2 Chronicles 30:23-24

Je, kusanyiko waliamua kufanya nini baada ya Hezekia kuwapa makambaku efu moja, na kondoo elfu saba, na viongozi kuwapa madume ya ng'omnbe elfu moja na kondop na mbuzi elfu kumi?

Kusanyiko zima waliamua kusherekea kwa siku zingine saba na walifanya kwa furaha kubwa.

2 Chronicles 30:25-27

Nani waliokuwa wanafurahia katika sikukuu?

Kusanyiko lote la Yuda, makuhani, Walawi, na watu waliokuja nkutoka Israeli, wageni waliokuwa wametoka Israeli, na wote waliokuwa wakikaa katika Yuda walifurahia.

2 Chronicles 31

2 Chronicles 31:1

Je, Waisreli walifanya nini baada ya kushurehekea Sikukuu ya Mikate Isiyochacha?

Watu wa Israeli walienda katika mijin ya Yuda, wakazivunja nguzo takatifu za mawe, wakaingusha Maashera, wakazivunja sehemu za juu na madhabahu katika Yuda, Benyamini, Efraimu, na Manase hadi walipokuwa wameviharibu vyote.

Baada ya kufanya hivyo watu wa Israeli walienda wpi?

Walirudi katika nchi na miji yao.

2 Chronicles 31:2-3

Hezekia aliwaamba makuhani na Walawi kufanya nini baada ya kuwapanga katika makundi na zamu zao?

Hezekia aliwapanga kutengeneza sadaka za kuteketezwa, sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.

Hezekia alitoa sehemu gani na ni muda gani lipaswa kutolewa?

Sehemu iliaswa kuwa sehemu ya mfalme kutokaa mali zake mwenyewe,na sadaka za kutekezwa zilikuwa kwa aajili ya kutolewa asubuhi, jiono, katika Siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika au za kawaida.

2 Chronicles 31:4-5

Je, Hezekia aliagiza watu wa Yerusalemu kufanya nini ili kwamba makuhani na Walawi waweze kujitoa kikamilifu katika kutii sheria ya Yahwe?

Watu walipaswa kutoa mafungu kwa ajili ya makuhani na Walawi.

Jambo gani lilitokea mara baada ya amri au agizo kuwafikia watu?

Watu wa Israeli walitoa mavuno ya kwanza ya nafaka, divai mpya, mafuta, asali, na kutoka matunda ya aina zote za mazao kwa wingi. Pia walitoa moja ya kumi ya kila kitu.

2 Chronicles 31:6-8

Je, watu katika miji ya Yerusalemu walifanya nini kuhusu amri hiyo?

Watu katika miji ya Yuda walileta moja ya kumi ya maksai, kondoo, na moja ya kumi ya vitu vilivyokuwa vimetolewa wakfu kwa ajili ya Yahwe, wakaziweka katika marundo.

Ilikuwa mwezi gani watu walipoyarundika marundo ya vitu?

Watu waliyarundika marundo kuanzia mwezi wa tatu na kuyakamilisha marundo katika mwezi wa saba.

Je, nani alimbariki Yahwe na watu walipoyaona marundo ya vitu vilivyokuwa vimetolewa?

Hezekia na viongozi walimbariki Yahwe na watu pia.

2 Chronicles 31:9-15

Je, Azaria, kuhani mkuu alimjibu nini Hezekia alipowauliza makuhani na Walawi kuhusu yale marundo ya vitu?

Azaria alijibu kwamba watu wlileta moja ya kumi na kuziweka katika marundo haya makubwa. Alimwambia Hezekia kuwa walikuwa wamekula vya kutosha, na marundo haya yalikuwa yamebaki kwa sababu Yahwe alikuwa amewabariki watu.

Hezekia aliagiza kiliandaliwe kitu gani, na je, watu walifanya nini?

Hezekia aliagiza vitengenezwe vyumba nya kuhifadhia katika nyumba ya Yahwe. Kisha watu waliviandaa na kupeleka mle zile sadada, zaka, na vitu vilivyokuwa vimetakaswa.

Je, Hezekia na Azaria walimteua nani kuwa msimamizi wa vyumba vya kuhifadhia?

Hezekia na Azaria walimteua Konania kuwa msimamizi mkuu, na Shimei, nduguye Konania kuwa msimamizi msaidizi.

2 Chronicles 31:16

Je, Kore na wale waliokuwa pamoja naye waliyagawa wapi matoleo?

Waliyagawa kwa wale waliokuwa na wanaume wa mika mitatu na kuendelea, makundi kwa makundi, waliokuwa wamehesabiwa katika vizazi vilivyokuwa vimeingia katika nyumba ya Yahwe ambao walifanya kazi katika makundi yao.

2 Chronicles 31:17-19

Nani walihesabia kwa ajili ya kupokea matoleo?

Waliwapa makuhani wenye umri wa mika ishirini na mitano na kuendelea ambao walikuwa wakijaza nafasi zao kwa zamu zao.

Je, watu walikuwa wamefanya nini kabla ya kupokea matoleo kutoka kwa Kore pamoja na watu aliokuwa pamoja nao?

Watu walikuwa wamejitakasa wenyewe kabla ya kuwagawia wadogo wao wote, wake zao, na wana wao, binti zao, waliokuwa wamehesabiwa katika vizazi vyao.

KItu gani kilifanywa kwa aajili ya makuhani ambao walikuwa wamehasabiwa kuwa miongoni mwa kizazi cha Walawi?

Palikuwa na wanaume waliokuwa wamepangiwa kutoa mafungu kwa wanaume wote waliokuwa kwenye mashamba ya vijiji ambavyo vilikuwa kwenye miji au kila mji.

2 Chronicles 31:20-21

Je, Hezekia alikamilisha wapi hili jambo na kwa namna gani lilifanyika?

Hezekia alifanya katika Yuda yoye na lilifanyika vizuri sana, kwa sahihi na uaminifu mbele za Yahwe.

Kwa namna gani Hezekia alifanya kila mradi na matokeo yake yalikuwa ni nini?

Hezekia alifanya miradi hii kwa moyo wake wote, na alifanikiwa sana.

2 Chronicles 32

2 Chronicles 32:1

Senakeribu, mfalme wa Ashuru aliwatenda nini Yuda?

Aliingia Yuda na kuivamia miji.

2 Chronicles 32:2-4

Je, Hezekia aliwaomba viongozi wake kusaidia nini?

Aliwaambia kuziziba chemi chemi zote na mitaro ili kwamba mfalme wa Ashuru asipate maji.

2 Chronicles 32:5

Hezekia alifanya kitu gani ili kujilinda dhidi ya mavamizi ya adui?

Alijenga kuta na kutengeneza silaha nyingi sana.

2 Chronicles 32:6-8

Je, Hezekia aliwapa watu wake maneno gani ya kutia moyo?

Aliwaambia kauwa imara, jasiri na kutoogopa kwa sababu Yahwe, aliyemkuu kuliko adui zao angewasaidia kupigana nao.

2 Chronicles 32:9-10

Kwa nini Senakeribu aliwatuma watumishi wake kwenda Yerusalemu?

Alitaka kujua kitu ambacho Hezekia alikuwa amekitegea kwa ajili ya ushindi wake.

2 Chronicles 32:11-12

Ni kwa namna gani Senakeribu alijaribu kuwashawishi watu kuwa Hezekia alikuwa anawapotosha?

Alisema kuwa lazima wangekufa kwa njaa na kiu na kuuliza kama Yahwe angweweza kuwaokoa.

2 Chronicles 32:13-15

Je, Senakeribu na babu zake waliwafanyaje watu wengine na nchi zao?

Kwa sababu miungu yao haikuweza kuwasaidia, waliteketezwa kabisa.

Kwa nini Senakeribu alisema kwamba Waisiraeli hawakupaswa kabisa kumwamini Hezekia?

Senakerbu alitaka kuwadanganya watu ili waamini kwamba Mungu asingewaokoa kutoka mkono wake wenye nguvu.

2 Chronicles 32:16-17

Je, Senakeribu alifanya kitu gani ili kumdhihaki Yahwe?

Aliandika nyaraka za kumpinga Yahwe, kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu mambo yaliyopita, na kwamba Mungu wa Hezekia asingewaokoa kabisa.

2 Chronicles 32:18-19

Kwa nini watumishi wa Senakeribu waliwalilia watu wa Yerusalemu kwa lugha ya Kiyahudi?

Watumishi walitaka kuwaogopesha watu ili kwamba wauteke mji.

2 Chronicles 32:20-21

Je, Yahwe aliitikiaje wakati Hezekia na Isaya walipolia kuelekea mbinguni?

Alituma malaika, ambaye aliwauwa wanaume wa kwenda vitani na wakuu wengine.

Kitu gani kilimpata Senakeribu baada ya malaika kuliua jeshi lake?

Senakeribu alirudi kwenye nchi yake akiwa ameaibika sana, ambako wanawe walimuua.

2 Chronicles 32:22-23

Hezekia aliinuliwaje?

Yahwe alimwokoa Hezekia dhidi ya Sebajeribu na wengine. Watu wengi walimtolea zawadi nzuri Yahwe na Hezekia.

2 Chronicles 32:24-26

Nini kilimpata Hezekia alipokuwa hajamtolea Yahwe shukrani wakati alipokuwa mgonjwa karibu ya kufa?

Gadhabu ya Mungu ilishuka juu yake, na Yuda na Yerusalemu. Baada ya yeye na wtu wa Yerusalmu kujinyenyekeza, gadhabu ya Yahwe haikushuka juu yao kwa siku zote za maisha ya Hezekia.

2 Chronicles 32:27-29

Baada ya Hezekia kujinyenyekeza, je, Mungu alimpa nini?

Mungu alimbariki kwa wingi wa vito, maaavuno mengi, na wanyama wengi, na miji mingi.

2 Chronicles 32:30-31

Kwa nini Mungu alimwacha Hezekia baada ya kufanikiwa katika miradi yake yoye?

Mungu alitaka kumjaribu na kujua yaliyokuwa moyoni mwake.

2 Chronicles 32:32-33

Je, matendo mema ya Hezekia yameandikwa wapi?

Yameandikwa katika Maono ya Isaya Nabii na katika Kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

2 Chronicles 33

2 Chronicles 33:1-3

Je, Manase alikuwa mfalme wa namna gani kwa kipindi chote ch amiaka hamsini na mitano?

Alifanya mambo maovu katika macho ya Yakwe, alizijenga tena sana amabazo Hezekia alikuwa amezivunja, na aliziabudu nyota za mbingu.

2 Chronicles 33:4-6

Je, alifanya jambo gani kuichochea hasira ya Mungu?

Manase aliwatoa watoto wake kuwa sadka ya kuteketezwa, alifanya uganga, na kushirikiana na wale wazungumzao na wafu.

2 Chronicles 33:7-9

Je, Manase alifanya kitu gani ili kuwaongoza watu wa Yuda na Yerusalemu kufanya maovu?

Alizivunja amri kwa kuziingiza sanamu za kuchonga kwenye nyumba ya Mungu.

2 Chronicles 33:10-11

Kitu gani kilimpata Manase baada ya Yahwe kusema naye na watu pia?

Kwa sababu hawakujali, Yahwe aliliruhusu jeshi la Ashuru kumfungu minyororo na kumpeka Babeli.

2 Chronicles 33:12-13

Je, Manase alifanya kitu gani ili kwamba Mungu aweze kumrudisha Yerusalemu?

Alinyenyekeza mwenyee, akaomba na kumsihi Mungu.

2 Chronicles 33:14-15

Baada ya Manase kuomba, je,alifanya tendo gani ili kuonesha kujutia kwake?

Alijenga ukuta mrefu kuzunguka Yuda na kuiondoa miungu ya kigeni, sanamu ambazo alikuwa ameziweka kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote alizokuwa amejenga.

2 Chronicles 33:16-17

Je, watu walimtolea sadaka nani katika madhabahu?

Walimtolea sadaka Yahwe peke yake katika madhabahu.

2 Chronicles 33:18-20

Je, maombi ya Manase na mambo mengine muhimu yalitunzwa vipi?

Mambo muhimu ya Manase, maombi yake, na maneno ya waonaji yameandikwa katika matendo ya wafalme wa Israeli.

2 Chronicles 33:21-23

Amoni alikuwa mfalme wa namana ganai katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wake?

Alikuwa mwovu kuliko hata baba yake, aliabudu sanamu za kuchonga, na hakujinyenyekeza mbele za Yahwe.

2 Chronicles 33:24-25

Baada ya Mfalme Amoni kuuawa na watumishi wake, je, watu wa nchi waliwafanya nini watu waliowaua?

Watu wa nchi waliwaua watumishi wote ambao walimuua Amoni.

2 Chronicles 34

2 Chronicles 34:1-3

Ingawa Yosia alimuwa na umri wa miaka minane tu alipokuwa mfalme, je, alifanya kitu gani katika kipindi cha utawala wake ambacho kilimpendeza Yahwe?

Alimtafuta Yahwe, alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kutoka sehemu za juu, sanamu na sanamu za kuchonga.

2 Chronicles 34:4-5

Je, ni kwa namna gani Yosia alizisafisha Yuda na Yerusalemu?

Alizziharibu madhabahu, akazivunja Maashera, sanamu za kuchonga, na sana za chuma ya kuyeyushwa na mavumbi akayasambaza kwenye makabur. Mifupa ya makuhani akaichoma kwenye madhabahu.

2 Chronicles 34:6-7

Yosia alifananya jambo gani katika nchi ya Israeli kabla ya kurudi Yerusalemu?

Aliirudia kazi ya kusafisha ambayo alikuwa ameifanya katika Yuda na Yerusalemu.

2 Chronicles 34:8-9

Pesa a kukarabati nyumba ya Yahwe ilitarajiwa kutoka wapi?

Fedha zilikuwa zimekusanywa kutoka kwa watu wa Yerusalemu na kukabidhiwa kwa kuhani mkuu.

2 Chronicles 34:10-11

Je, fedha ziligawiwa kwa watu gani na zzilipaswa kutumikaje?

Maselemara na wajenzi walinunua mawe na mbao kwa ajili ya kulikarabati hekalu.

2 Chronicles 34:12-13

Waliwi walikuwa na wajibu gani katika kazi ya kurikarabati hekalu?

Baadhi walikuwa wasimamizi, waandishi, watendaji, na walinzi wa malango; wengine walikuwa wanamuziki wazuri na kuwaongoza watendakazi.

2 Chronicles 34:14-16

Je, kuhani aliona nini alipoleta fedha nje mabazo zilikuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe?

Kuhani mkuu alikiona kitabu cha sheria ya Yahwe ambacho Mungu alikitoa kupitia Musa.

2 Chronicles 34:17-22

Je, mfalme alifanya nini baada ya kusikia maneno ya sheria?

Mfalme Yosia aliyararua mavazi yake.

2 Chronicles 34:23-25

Kwa nini gadhabu ya Yahwe itamiminwa juu ya watu bila kukoma?

Kwa sababu wamemsahau Mungu kwa kuabudu miungu mingine kama vile babu zao walivyokuwa wamefanya.

2 Chronicles 34:26-28

Kwa sababu moyo wa Yosia ulipondeka, je, kitu gani kilitokea alipojinyenyekeza baada ya kuyasikia maneno ya Mungu?

Mungu alisema angempa amani, na asingeona janga lolote ambalo Mungu angeleta juu ya watu na nchi.

2 Chronicles 34:29-30

Kwa nini Yosia aliwakusanya watu wote pamoja, wakubwa kwa wadogo?

Yosia aliwasomea kitabu cha agano.

2 Chronicles 34:31-32

Je, Yosia alifanya agano gani na Yahwe?

Alifanya agano na Yahwe kwamba atazishika sheria zake.

2 Chronicles 34:33

Watu wa Israeli walifanya jambo gani ili kumtii Yosia?

Walimwabudu Yahwe na hawakugeuka kumuacha.

2 Chronicles 35

2 Chronicles 35:1-2

Je, Yosia aliitunzaje Pasaka katika Yerusalemu?

Alichinja wanakondoo wa Paska na kuwaweka makuhani katikanafasi zao katika nyumba ya Yahwe.

2 Chronicles 35:3-4

Je, Yosia aliwaambia watu kuliweka wapi sanduku la agano, badala ya kulibeba kwenye mabega yao?

Waliambiwa kuliweka sanduku la agano kwenye nyumba ambayo Selemani aliijenga.

2 Chronicles 35:5-9

Watu walipaswa kujiandaaje kwa ajili ya Pasaka?

Watu walipaswa kuchinja wanakondoo wa Pasaka na kujitakasa wenyewe kwa kulitii neno la Mungu.

2 Chronicles 35:10-15

Je, watu wa Israeli walitoaje sadaka zao kwa Yahwe?

Waliua mwanakondoo wa Pasaka, wakainyunyiza damu, wakawachuna wanakondoo, na kutoa sadaaka za kuteketezwa kwa Yahwe, kama ilivyokuwa imeandikwa katika kitabu cha Musa.

2 Chronicles 35:16-17

Je, watu wa Israeli walifanya nini baada ya kusherehekea Pasaka?

Walisherehekea Sikukuu ya Mikate Isiyochacha kwa siku saba.

2 Chronicles 35:18-19

Kwa nini sikukuu hii ya Paasa ka ilikuwa maalumu sana?

Ilikuwa maalumu sana kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kufanyika katika Israeli toka siku za nabii Samweli.

2 Chronicles 35:20-21

Je, ujumbe aliokuwa ameleta mfale wa Misiri kwa Yosia ulikuwa unahusu nini?

Alisema kuwa Mungu alikuwa amemuagiza kupigana dhidi Karkemist na kwamba Yosia hakupaswa kuingilia.

2 Chronicles 35:22

Je, mwitikio wa Yosia ulikuwaje dhidi ya ujumbe wa mfalme wa Misiri?

Hakusikiliza maneno ya mfalme, badala yake, Yosia alijibadili mwenye ili kwamba aende kupigana.

2 Chronicles 35:23-24

Je, kitu gani kilimpata Yosia katika uwanja wa vita?

Wapiga upinde walimchoma na waatumishi wake wakamrudisha Yerusalemu, ambako baadaye alikufa.

2 Chronicles 35:25-27

Je, ni wimbo gani wa maombolezo ambao umekuwa desituri katika Israeli?

Ni nyimbo ambazo zimekuwa zzikiimbwa kuomboleza kwa ajili ya Yosia na bado zinaimbwa hata leo.

2 Chronicles 36

2 Chronicles 36:1-2

Je, nani alikuwa mfalme wa Israeli baada ya Yosia kufa?

Waatu wa nchi wlimfanya mwana wa Yosia aitwaye Yehoazi, kuwa mfalme na alitwala kwa miezi mitatu.

2 Chronicles 36:3-4

Ni kwa namna agani Eliakimu alipata kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu?

Ndugu yake, mfalme wa Missiri, alimwondoa Yehoazi baada ya miezi mitatu na kumfanya Eliakimu kuwa mfalme, huku akilibadili jina lake kuwa Yehoakimu.

2 Chronicles 36:5-7

Yehoakimu alikuwa mtawala wa aina gani katika kipindi chake cha utawala wa miaka kumi na moja?

Yehoakimu alikuwa mwovu katika macho ya Yahwe.

Je, Mfalme Nebukdreza wa Babeli alimfanya nini mfaalme wa Yuda?

Alimvamia, akamfunga minyororo, na kumpeleka Babeli.

Je, Nebukadreza aliifanya nini nyumba ya Yahwe?

Alivichukua baadhi ya vyombo katika nyumba ya Yahwe na kuvipeleka Babeli, na kuviweka katika ikulu yake.

2 Chronicles 36:8

Nani alikuwa mfalme baada ya Yehoyakimu.

Mwanaye, Yehoyakimu alikuwa mfalme baada yake.

2 Chronicles 36:9-10

Je, Yehoyakimu alikuwa mfalme wa namna gani?

Katika kipindi chake kifupi cha utawala, alifanya maovu katika macho ya Yahwe.

Je, mfalme Nebudreza alimtendeaje huyu Yehoyakimu?

Alimpeleka Yehoyakimu Babele pamoja na vitu vingine vingi vya thamani kutoka kwenye nyumba ya Yahwe.

2 Chronicles 36:11-12

Je, Sedekia aliimwitiaje Yahwe?

Alifanya maovu katika macho aya Yahwe, na hakujinyenyekesha mbele za nabii Yeremia, ambaye alinena meneno ya Yahwe.

2 Chronicles 36:13-14

Je, ni kwa namna gani Sedekia alimuasi mfalme Nebukadreza?

Aliushupaza moyo wake dhidi ya Yahwe na kugeuka mbali na Mfalme Nebukadreza.

2 Chronicles 36:15-16

Je, watu waliitiaje huruma ambayo Yahwe aliendelea kuwaonesha?

Waliwadhihaki waajumbe wa Mungu, wakayadharau maneno yake, na kuwazomea manabii wake.

2 Chronicles 36:17

Je, Mungu aliwashughulikiaje wenye midhaha?

Aliwaua wanaume vijana kwa mkono wa mfalme wa Wakaldayo, na wengine wote walitiwa katika mkono wa mfalme.

2 Chronicles 36:18-19

Je, mfalme wa Babeli aliufanyia nini Yurusalemu na je, alichukua nini na kupeleka Babeli?

Aliiharibu nyumba ya Mungu, ukuta wa Yerusalemu, ikulu zake zote, na vitu vyote vizuri ndani yake. Kisha alichukua samani na hazina yote na kupelek Babeli.

2 Chronicles 36:20-21

Je, jambomgani lilitokea kwa wale walionusirika na mauji?

Walikuwa watumishi wa mfalme na wanawe, jambo ambalo lilitimiza unabii wa neno la Mungu kwa kinywa cha Yeremia.

2 Chronicles 36:22-23

Je, Koreshi, mfalme wa Uajemi alitangaza jambo gani na kuliandika?

Alisema kuwa Yahwe alikuwa amemuagiza kuijenga nyumba ya Mungu katika Yerusalemu na kwamba Mungu angekuwa pamoja nao wakati watakapoenda kwenye nchi.