Micah
Micah 1
Micah 1:1
Ni akina nani walikuwa wafalme wa Yuda wakati neno la Yahwe lilipomjia Mika?
Yotahamu, Ahazi, na Hezekia walikuwa wafalme wa Yuda wakati neno la Yahwe lilipomjia Mika.
Micah 1:2-4
Kwa namna gani Yahwe atashuka na kupakanyaga?
Yahwe atashuka chini na kukanyaga kwenye madhabahu ya wapagani juu ya nchi.
Micah 1:5
Kwa nini Yahwe ataileta hii hukumu?
Yahwe ataileta hii hukumu kwa sababu ya uasi wa Yakobo, na kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli
Micah 1:6-7
Je! Ni jinsi gani Samaria ilivyokusanya picha zilizochongwa, zawadi, na sanamu?
Samaria ilikusanya picha za kuchongwa, zawadi, na sanamu kutoka zawadi kwenda kwa ukahaba wake.
Micah 1:8-10
Je! ni jinsi gani Mika anaeleza huzuni juu ya dhambi ya Israeli na Yakobo?
Mika alilia na kuomboleza, na kwenda peku na uchi.
Micah 1:11-12
Kwa nini Beth Ezeli aliomboleza?
Beth ezeli aliomboleza, kwa ajili ya ulinzi wao ulikuwa umechukuliwa.
Micah 1:13-14
Ni Mji gani ulikuwa chanzo cha dhambi kwa ya binti wa Sayuni?
Lakishi ulikuwa chanzo cha dhambi kwa binti wa Sayuni.
Micah 1:15-16
Kwa nini Waisraeli walitakiwa kunyoa vichwa vyao?
Walitakiwa kunyoa vichwa vyao, kwa ajili ya watoto wao watakaokwenda utumwani kutoka kwao.
Micah 2
Micah 2:1-2
Ni wapi watu wanapanga kufanya uovu?
Wanapanga kufanya uovu juu ya vitanda vyao.
Micah 2:3-5
Kwa nini watu matajiri hawana ukoo kugawanya eneo?
Yahwe atalibadilisha eneo la watu, na kuliondoa kutoka kwao. Hivyo watu matajiri hawatakuwa na ukoo kuligawanya eneo.
Micah 2:6-8
Je! Ni kutoka kwa nani watu wa Yahwe watavua joho?
Wamelivua vazi kutoka wale ambao wapitao karibu na wasioshutumiwa.
Micah 2:9-11
Kwa nini watu wa Yahwe watainuka na kuondoka?
Watainuka na kuondoka kwa kuwa hii haikuwa sehemu ambayo wangeweza kuishi, kwa sababu ya unajisi wake.
Micah 2:12-13
Je! Ni nani atawakusanya mabaki ya Israeli?
Yahwe atawakusanya mabaki ya Israeli.
Micah 3
Micah 3:1-3
Je! Ni nani alaye nyama ya watu wa Yahwe?
Wakuu wa Yakobo hula nyama ya watu wa Yahwe.
Micah 3:4
Kwa nini Yahwe atauficha uso wake kutoka kwa wakuu wa yakobo?
Yahwe atauficha uso wake kutoka kwa wakuu wa Yakobo kwa sababu wamefanya matendo maovu.
Micah 3:5-8
Je! Kwa nini manabii hawawezi kubashiri?
Itakuwa giza ili kwamba manabii wafanye utabiri
Micah 3:9-12
Je! Kwa ajili gani wakuu wanahukumu?
Wakuu wanahukumu kwa ajili ya rushwa.
Micah 4
Micah 4:1
Ni lini mlima wa nyumba ya Yahwe utaimarishwa juu ya milima?
Katika siku za mwisho mlima wa Yahwe utaimarishwa juu ya milima mingine.
Micah 4:2-3
Kwa nini mataifa mengi yatataka kwenda kwenye mlima wa Yahwe?
Mataifa mengi yatataka kwenda kwenye mlima wa Yahwe, hivyo atawafundisha njia zake, na watatembea katika njia zake.
Micah 4:4-5
Ni katika nini wote hutembea?
Watu wote hutembea katika jina la mungu wao
Micah 4:6-8
Yahwe asema atamkusanya nani?
Yahwe atamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao aliyekuwa amefukuzwa.
Micah 4:9-10
Binti Sayuni ataokoka wapi?
Binti Sayuni ataokoka katika Babeli.
Micah 4:11-12
Kutokana na nabii, ni nani ambaye hayajui mawazo ya Yahwe?
Mataifa hawayajui mawazo ya Yahwe
Micah 4:13
Kwa nani Yahwe atawaweka wakfu milki za watu wengi?
Yahwe ataziweka milki zao kwake mwenyewe.
Micah 5
Micah 5:1
Maaskari watampiga mkuu wa Israeli kwa nini?
Watampiga mkuu wa Israeli kwa fimbo kwenye shavu.
Micah 5:2-3
Je! Ni kwa mda gani Mungu ataziacha koo za Yuda?
Mungu atawaacha, hadi mda wakati yeye ambaye aliye na uchungu atakapozaa mtoto.
Micah 5:4-5
Ni nani atakaye chunga kundi lake kwa nguvu ya Yahwe?
Mwana atachunga kundi lake katika nguvu ya Yahwe.
Micah 5:6-7
Kwa ajili gani mabaki ya Yakobo hatasubiri?
Mabaki ya Yakobo hayamsubiri mtu.
Micah 5:8-11
Nini kitatokea wakati mkono wa Waisraeli utakapobakia juu ya adui zao?
Wakati mkono wa Waisraeli utakapobakia juu ya maadui zao, utawaharibu.
Micah 5:12-15
Ni juu ya nani Yahwe atalipiza kisasi?
Yahwe atalipiza kisasi juu ya mataifa ambao hakusikiliza.
Micah 6
Micah 6:1-2
Je! Yahwe atafanya nini juu ya Israeli?
Yahwe atapigana katika mahakama juu ya Israeli.
Micah 6:3-5
Yahwe aliwaamuru watu wake kufanya nini juu yake?
Aliwaamuru kushuhudia juu yake.
Micah 6:6-10
Je! Yahwe alitaka nini kutoka kwa watu wake?
Yahwe aliwataka watu wake kutenda haki, upendo, ukarimu, na kuenenda kwa unyenyekevu pamoja na Mungu wao.
Micah 6:11-12
Je! Ni ulimi wa nani mdanganyifu?
Ulimi wa wenyeji ndio umenena mdanganyifu.
Micah 6:13-15
Je! Kwa nini Yahwe ameuharibu mji?
Yahwe aliuharibika kwa sababu ya dhambi zao.
Micah 6:16
Je! Ni kwa ushauri wa nani mji ulitembea?
Mji ulitembea kwa ushauri wa Omri na Ahabu.
Micah 7
Micah 7:1-2
Je! Ni nani aliangamizwa kutoka kwenye dunia?
Mcha Mungu ameangamizwa kutoka kwenye dunia.
Micah 7:3-4
Je! ni nani aliyewajulisha siku ya Hukumu ya watu waliosalia?
Walinzi waliwaajulisha siku ya Hukumu ya watu waliobakia.
Micah 7:5-6
Je! Ni nani maaadui wa mtu?
Maadui wa mtu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Micah 7:7-8
Ji! Ni nini kitatokea baada ya Mika kuanguka?
Baada ya Mika kuanguka, atainuka.
Micah 7:9
Je! Ni kwa mda gani Mika atabeba ghadhabu ya Yahwe?
Mika atabeba ghadhabu ya Yahwe hadi Yahwe atakapotoa maelezo ya kosa lake, na kutoa hukumu kwa Mika.
Micah 7:10
Je! Macho ya Mika yatatazama kwa nani?
Macho ya Mika yatatazama kwa adui yake.
Micah 7:11-13
Je! Nini kitatokea wakati siku ya itakapokuja kuzijenga kuta?
Wakati siku itakapofika ya kuzijenga kuta, mipaka itanyooshwa mbali sana.
Micah 7:14-15
Je! Mika alimuulizaje Yahwe jinsi ya kuwachunga watu wake?
Mika alimuuliza Yahwe kuwachunga watu wake kwa fimbo yake.
Je! Yahwe atawaonyesha watu wake kufanya nini?
Yahwe atawaonyesha miujiza.
Micah 7:16-17
Je! Mataifa yataona nini na kuonea aibu?
Wataona na kuonea aibu nguvu zake zote.
Je! Mataifa watakuja kwa nani na kumhofia?
Mataifa watakuja kwa Yahwe na kuogopa kwa sababu yake.
Micah 7:18
Kwa nini Yahwe hataweza kutunza hasira yake milele?
Yahwe hataweza kutunza hasira yake milele, kwa sababu anapenda kuonyesha agano lake amanifu.
Micah 7:19-20
Je! Yahwe atazitupa dhambi za watu wa Israeli kwenye nini?
Yahwe atazitupa dhambi zao kwenye vilindi vya bahari.